Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

SLAVE SEX SEHEMU YA 5/10


SLAVE SEX
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 5 KATI YA 10
*******


“Kama nani yangu?”
“Nawewe siku hizi umekuwa polisi?mbona maswali hivyo”
Sebastian akaweka utani,wote wakacheka.

Ilikuwa ni lazima aende na Sonia nchini Marekani kwa wazazi wake ili akamtambulishe akiamini kwamba akifanya ivyo ndiyo Sonia atamuamini.Siku zikasogea, kila mwanaume aliyekuwa akimsimamisha Sonia popote pale ilikuwa ni lazima afuatwe na Sebastian ahojiwe maswali lukuki, tena majibu yake yawe yanaeleweka.
“Huyu demu upo naye vipi?”
“Ni mshkaji wangu tu kaka”
“Mimi sio kaka yako.Mshkaji wako kivipi?”
“Naniii,naniiii kuna notes nilikuwa namuomba mara moja”
“Ndiyo uje mpaka huku hostel kwake?kwanini usingemsubiri chuo?”
“Kaka samahani”
“Nijibu swali,kabla sijakufumua”
“Tuna mitihani keshokutwa ndiyo maana,alafu leo sikumuona chuoni ndiyo nikamfuata hapa kaka,nisamehe”
Sebastian akamkata jicho kijana wa kizungu waliokutana mlangoni kwa Sonia,akiwa anatoka yeye akitaka kuingia,kijana akashikwa na kiwewe alimtambua sana Sebastian ndiyo maana akajibu kwa adabu vinginevyo angeshapewa vyake mapema.
Sebastian alivyoridhishwa na majibu akaingia chumbani kwa Sonia,akamkuta anajisomea.
“Vipi mrembo wangu?”
“Alafu wewe Sebastian mkorofi sana”
“Kwanini tena?”
“Nimekusikia hapo nje,ulivyomuhoji Melvin”
“Amna, nilikuwa namchangamsha tu”
“Nipe mpya”
“Sina mpya,nilikuwa nakuja kukuona twende lunch”
“Ndio kwanza nimeanza kusoma hapa,kwanini usinipitie baadaye kidogo”
“Saa ngapi?”
“Saa kumi”
“sasa hiyo sio lunch tena”
“Usijali,nilikula kanteen hapo chini,nimetoka kuamka sasa hivi nikala ndiyo nikaja chumbani”
Kwa heshima na taadhima Sebastian akatoka nje na kumuacha Sonia ajisomee,yeye akarudi anapoishi.
***
MITIHANI iliisha tarehe 03 September na kilikuwa ni kipindi cha Winter,baridi lilikuwa kali kupita kiasi, lilipanda mpaka digrii-14,kulikuwa mpaka kuna barafu barabarani,kipindi hicho ndicho kilikuwa kigumu kwa wazungu na walilazimika kukimbilia nchi za Afrika kama Sudan,Kenya na Tanzania ili kukwepa baridi.
Katika watu walioteseka zaidi ni Sonia hakuzoea hali hiyo, alitamani aondoke mara moja nchini humo,hakudhubutu hata kutoka nje ya hostel ingawa walikuwa tayari wamemaliza mitihani,Sebastian alibakisha mtihani mmoja tu ili nayeye aanze likizo.
Bado Sonia alikuwa njiapanda yaani hajui aende wapi Marekani au arejee nyumbani kwao Tanzania.
“Inabidi nimuombe ruksa kwanza anco Dustan”
Aliwaza Sonia akiwa chumbani kwake,hapohapo akaingia kwenye kompyuta, mtandao wa Skype na kumpigia.Wakaanza kuongea huku wanaonana.
“Anco Shikamoo”
“Marahaba mwanangu hujambo?naona mpaka umenenepa, Ulaya imekukubali”
“Sio kweli Anco,nimemisi nyumbani”
“Utakuja tu,vipi masomo?”
“Salama Anco,tumefunga chuo tayari”
“Sasa nitakutumia tiketi kesho”
“Anco usijali,ninataka kwenda kutembea na rafiki yangu”
“Wapi tena?”
“Marekani”
“Sasa huko Marekani utaenda kuishi kwa nani?”
“Kwa huyo rafiki yangu,wala usijali,nilikuwa naomba ruksa yako tu”
“Huko watahitaji viza,unayo tayari?”
“Itapatikana usiwe na wasiwasi juu ya hilo”
“Kwahiyo likizo yote utakaa huko?”
“Ndio Anco,vipi Mama hajambo?”
“Mama yako yupo,lakini bado anaumwa umwa”
“Msalimie sana,nitaongea naye”
“Sawa,pesa zanakutosha au nikutumie?”
“Anco usijali,pesa ninayo”
Hatimaye mlezi wa Sonia akakubaliana na ombi lake,Moyoni Sonia akafurahi sana.
Siku hiyo jioni baada ya Sebastian kutoka kwenye mtihani wake wa mwisho,habari ya kwanza kumpa ilikuwa ni hiyo.
Wote wakajumuisha furaha zao.Na kwa kuwa walikuwa wamemaliza mitihani furaha ikazidi maradufu.Siku hiyo usiku wakaenda Disco.
Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa Sonia kuingia 'night club'.
“Tafadhali nitoe humu kuna baridi,naomba nikapumzike mimi siwezi”
Sonia alilalamika.
“Tubaki kidogo”
“Hapana Sebastian,utaniudhi”
Hapakuwa na kipingamizi,wakaondoka na Sonia akarudishwa mpaka Hostel,wakapiga Stori kisha Sebastian akarudi anapoishi.

****

Taratibu za viza zikaanza kupelekwa mkuku mkuku.Baada ya Siku saba Sonia akawa ana viza tayari ya Marekani na tiketi juu.Baada ya siku mbili,walikuwa angani ndani ya ndege,wanaelekea Marekani.
“Lala tu kama una usingizi maana ni safari ndefu”
“Naomba hilo shuka”
Sonia akajitupa usingizini kichwa chake akakiweka kifuani kwa Sebastian huku ndege ikizidi kutoboa mawingu.Usiku mzima walikuwa angani,hatimaye kesho yake mchana wakawa wameingia Marekani, LOS ANGELES.
Ndege ikatua na kutembea kwa kasi,kisha kusimama.
Habari za kufika kwa Sebastian zilijulikana kwa wazazi wake.Tayari magari matatu aina ya Limonzin nyeusi milango sita yalikuwa uwanja ya ndege mtoto wa tajiri alikuwa akisubiriwa kwa hamu kubwa.
Kitendo cha kushuka ndani ya ndege na Sonia wakaona kibao kilichoandikwa WELCOME BACK SEBASTIAN akatambua ndiye yeye akaenda kumgusa bega mwanaume aliyeshika kibao hicho.
“I am Sebastian”
“Okay, this way sir”
Kijana huyo akatembea mbele huku Sebastian na Sonia wakiburuza mabegi mpaka nje, ambapo zilikuwa gari nyeusi ndefu tatu,Mabaunsa watatu wakashuka na kumpa mkono.
Akaingia ndani ya gari lakini alipotaka kuingia Sonia,akashikwa mkono na mmoja wa mabaunsa,wakamzuia kuingia ndani ya gari.
“Hey hey hey what is wrong with you?”(tatizo lako nini?)
Sebastian akauliza kwa jazba.
“Your father said, only you.Get inside”
Baunsa akajibu huku akimuingiza Sebastian ndani ya gari.Akimwambia kuwa baba yake aliwatuma wampeleke yeye peke yake, hawakuambiwa kuwa kuna mgeni mwingine.
“Son of bitch, leave me alone!Are you out of your mind?”(Mtoto wa malaya,niache.Una akili wewe)
“I said get inside,we have orders Mr.Sebastian”(Nasema ingia ndani,tumepewa amri Mr.Sebastian)
Mtafaruku mkubwa ulitokea uwanja wa ndege ndani ya gari,kitendo cha Sonia kuzuiliwa kuingia ndani ya gari kilimchanganya akili, akataka kuongea na baba yake lakini haikuwezekana maana alikuwa kwenye kikao.
“Without her,i wont go anywhere,open the fuck***ng door, now”
“No thank you”
Gari likawashwa,Sebastian alikuwa ndani anajitahidi kupambana na walinzi lakini walimdhibiti,alivyoangalia nyuma alimuona Sonia amebaki tu amesimama, kama lolote lingemtokea baya, lawama zingekuwa zote juu yake,alivyowaza hayo alizidi kupiga kelele na kuwatukana walinzi ndani ya gari.
****
Hakuna siku aliyochanganyikiwa kama hiyo katika maisha yake na pia aliona aibu,kilikuwa ni kitendo kilichomfanya ajihisi amedhalilika,akajihisi kama ametengwa,alijutia uamuzi wa kuingia Marekani,alikuwa kama yupo ndani ya giza nene.Hakuelewa lolote juu ya mji huo.Mara ghafla aliona kikundi cha watu kinapita wakipiga kelele tena kwa lugha ya nyumbani,kiswahili.
Taratibu akajisogeza karibu ili ajichanganye na kuomba msaada.
“Samahanini kaka zangu”
Sonia akasema,Kijana mmoja akasimama na kumtizama.
“Vipi mrembo?nawewe ni mbongo mwenzetu au Kenya?”
“Mimi natokea Tanzania”
“Duu!unafanya nini huku kisura?”
“Ni stori ndefu kidogo naomba msaada wenu”
“Msaada gani?”
Sonia akajieleza kwa kifupi.
“Kwahiyo unaelekea wapi sasa hivi?”
“Kwa kweli sina pa kwenda”
“Mimi naitwa Salim ni zanzibar lakini wenzangu wote hawa watu wa Dar es salaam”
“Mimi naitwa Sonia naishi Dar”
Salim kwa uchangamfu akamsaidia kuburuza Begi sonia mpaka wakaingia ndani ya costa kubwa na kuondoka.
“Nyie mmekuja kufanya nini huku?”
“Kucheza mpira,tuna mechi leo.Wenzetu wapo huko..Ngoja tumpitie Captain hapo kwenye mgahawa maana bila yeye hakuna kitu,yeye ndiye Streka,Dada sijui Sonia kuwa na amani usiwe na wasiwasi kabisa”
Ndani ya gari vijana walikuwa wana furaha sana,Sonia alikuwa kimnya na aliona hao ndiyo msaada tosha kwake.
Dakika moja mbele gari likasimama akaingia mwanaume mmoja mrefu mwenye ndevu kiasi zilizoshuka na kuchora herufi O mdomoni.
“Captain,kuna demu hapa njoo umuone katoka Tanzania”
Salim akaongea na kutembea mpaka nyuma kabisa alipokuwa Sonia.
“Soniaa”
“Partson”
Kila mtu alikuwa ana mshangaa mwenzake,ulikuwa ni kama muujiza kukutana siku hiyo.


****

Hakukuwa na haja ya kukataa kwamba siku zote milima haikutani lakini binadamu wanakutana,sio Partson wala Sonia,hakuna hata mmoja wapo aliyekuwa tayari kukubali kwamba wamekutana nchini Marekani tena katika mazingira kama hayo.
“Hivi niwewe au naota?”
Partson alimuuliza Sonia,akiwa bado hayaamini macho yake.
“Ndiyo mimi wala huoti”
“Enhee..Nini kimekuleta huku Marekani,bibiye?”
Partson nayeye akauliza.
“Kaka kumbe mnajuana?”
Salim akaingilia maongezi yao,hata yeye alishindwa kuelewa kinachoendelea.
“Namfahamu huyu mtoto,nilisoma naye Uganda”
“Mh”
Stori zikaanza upya,Sonia akasahau kila kitu, furaha aliyokuwa nayo ikameza vyote.Walikuwa wana mambo mengi yakuhadithiana maana ni miaka mingi ilipita.
“Ndiyo ivyo tunaenda kucheza mechi, pia nina mikataba natakiwa nikasaini”
“Bado hujaacha mpira?”
“Mpira upo kwenye damu,sasa naanzaje kuacha..Enhe niambie umekuja na nani huku?”
“Nilikuja na rafiki yangu,sema kuna mambo fulani yameingiliana tukapoteana hata sijui pa kuanzia,Mungu ni Mkubwa sana nimekutana nawewe”
“Kwa kweli Mungu ni mkubwa,mbona unazidi kuwa mzuri kiachi hicho?Vipi shemeji mzima lakini?”
“Tuachane na hayo mambo bwana”
Costa lililokodiwa kwa ajili ya kuwatembeza wachezaji wa timu kutoka Tanzania ili kucheza mechi likazidi kusonga mbele mpaka walipofika San Bernadirno mji uliochangamka,ulikuwa karibu na nje kabisa ya mji wa Los Angeles.
Tanzania ilikuwa katika michuano mikali ya kuingia katika kombe la dunia na walikuwa katika mchujo,mpaka hatua iliyofikia nchi ya Tanzania ilishangaza kwa ujumla,haikuwahi kutokea katika nchi hiyo Tanzania kufika hatua hiyo na ndiyo maana kila mtu alikuwa akitamani kwa hamu sana siku ya Jumamosi tarehe 14 siku ya mechi.
Partson Ngogo alijichukulia umaarufu mkubwa sana,kipaji chake kilimpa jina kuliko umri wake.Alikuwa ni kijana mdogo lakini mwenye mambo makubwa,mpaka timu inafika mchuano mkubwa kiasi hicho yeye ndiye kwa asilimia nyingi alikuwa ameibeba timu,kila mtu alimtegemea yeye na macho ya watanzania yalikuwa kwake mbali na hapo tayari alikuwa yupo kwenye soko la kununuliwa na timu mbalimbali kubwa.
“Sonia nikwambie kitu”
Partson alisema baada ya Costa kusimama na watu kuanza kushuka.
“Nambie”
“Unataka nishinde magoli mangapi siku hiyo?”
Picha ya kuvunjwa kwa mguu ilianza kupita kichwani mwa Sonia,akakumbuka kupindi wanasoma Uganda jinsi alivyovujwa mguu kwa ajili yake akiwa mpirani,swali hilo lilikuwa lina moto sana kwake.
“Magoli matatu kwa ajili yako wala sio mengi”
Partson akaongea kwa ujasiri bila wasiwasi wowote,wote wakaingia ndani ya Hotel.
“Inakubidi wewe ulale ndani ya hiki chumba,sasa hivi pumzika mimi naenda kwenye mazoezi ya mwisho keshokutwa ndiyo kasheshe linaanza.Usiwe na wasiwasi ukisikia njaa,utapiga simu ile pale”
Yalikuwa ni maagizo kutoka kwa Partson Ngogo,kichwani mwake hakuwaza kitu kingine bali mpira na aliwaza ushindi, mbali na hapo hakutaka kuwaangusha nyumbani na ndiyo maana kwa wakati huo akili yake ilikuwa juujuu.
Alivyohakikisha kila kitu kimeenda sawa,aliondoka zake na kumuacha Sonia.

Baada ya Sonia kutulia kwa kama dakika tano mawazo yake yakarudi kwa Sebastian,akasikitika sana na hakuelewa ni kwa njia gani ataonana naye,alihisi kuidhurumu nafsi endapo asingemtia mwanaume huyo machoni ilikuwa ni lazima afanye njia yoyote ile ili ampate.
“Baba yake ni maarufu,nishakumbuka lazima atakuwa anajulikana hapa Marekani”
Sonia akawaza.Haraka akatoa laptop yake na kuiwasha akijaribu kuingia kwenye mtandao.
Akaingia mtandao wa 'Google' ambao una kila kitu.Akaandika AIDAN WYATTE.kidude kikaanza kuzunguka kikijaribu kutafuta majina,hatimaye yakaja majina mengi na picha.
Hata siku moja hakuwahi kumuona Baba yake na Sebastian, jambo hilo likazidi kumchanganya akili yake.Akazidi kupekua na kukuta majina ya kampuni na viwanda mbalimbali.Akakuta jina lililoandikwa AOS MINING INDUSTRY.Akatafakari kwa muda kisha akaanza kuperuzi.
Mzee Aidan Wyatte alikuwa ni tajiri mkubwa mwenye kiwanda kinachofanya kazi ya uchimbaji na uuzaji wa madini, mwaka 1992 ndipo alipokianzisha rasmi akiwa amerejea nchini Marekani na mke wake Olivia Mwanamke wa ki_namibia,kiwanda kilikuwa chapchap na kikaanza kuingiza pesa,walijivunia sana utajiri wao na kitu kilichowapa furaha katika maisha yao ni mtoto wao wa kiume Sebastian na ndiyo maana kiwanda kikapewa jina la AOS kila mtu herufi yake ya kwanza iliwekwa.
Walizidi kujilimbikizia mali zikawa nyingi,wakafungua tena viwanda vingine nchi tofauti kama Ufaransa,Italy na Dubai.
Ilikuwa ni familia maarufu mno yenye utajiri mkubwa,watu walidiriki kusema kuwa Mr.Aidan Wyatte yupo katika chati ya matajiri wa Marekani.
Sonia ndiye alikuwa mtamboni akisoma historia hiyo fupi, ni kweli alimtizama mzee wa Kizungu aliyekuwa na mvi kichwani kwa mbali alifanana na Sebastian,akazidi kudadafua.Akakumbana na mwanamke wa kiafrika,huyu ndiyo kabisa.
Akapata jibu la swali lake.Sebastian alifanana sana na Mama yake kwa kila kitu.Chini akaona namba za simu za kiwanda,bila kupoteza wakati akazichukua na kuziandika kwenye karatasi.

Asubuhi kulivyokucha kitu cha kwanza alichukua mkonga wa simu na kuanza kubonyeza nambari,mapigo yake ya moyo yalimdunda,hakuelewa angeanza vipi mazungumzo, alivyohakikisha namba ni sahihi alipiga simu.
“Hallooo,this is AOS Mining industry how may I help you?”(Halloo,hiki ni kiwanda cha uchimbaji madini,nikusaidie nini)
Sauti nyororo ilikuwa imesikika upande wa pili wa simu.
Sonia akaomba azungumze na mkurugenzi Mr.Aidan Wyatte,ukimnya wa kama sekunde tano ukatokea kisha sauti ya mkwaruzo ikasikika.
“Mr.Aidan here,who could this be?”
Sonia akapata kigugumizi cha ghafla.
***
“I said this is bullshit,who cares by the way?Listen Dad Fuc** you.Fuc*** you..You can't do this to me”(Huu ni upuuzi,nani anajali.Nisikilize baba ******huwezi kunifanyia mimi hivi)
“Listen my Son”(Nisikilize mwanangu)
“Don't even dare to call me Son,i'm not your son”(Usijaribu tena kuniita hilo jina,mimi sio mwanao)
Hakuna siku iliyomuuma kama siku hiyo,alihisi moyo wake umechanwa chanwa na viwembe ukawekwa spirit,kitendo cha Sonia kuachwa uwanja wa ndege kilimuuma kupita kiasi na kitu kilichomchanganya zaidi ni kukataliwa kutoka,jambo hilo likapelekea awatukane mpaka wazazi wake.
“Listen to your father Sebastian”(Msikilize baba yako Sebastian)
Mama akadakia alivyoona malumbano.
“Screw you,I hate you Mom”
Sebastian akapandisha ngazi mbili mbili kwa hasira, kama zingekuwa ni laini basi angezivunja kwa namna alivyokuwa anapanda iliogopesha,akaingia mpaka chumbani kwake na kuubazima mlango kwa nguvu.
Akajitupa kitandani na kuanza kulia kwa hasira huku akiilaani familia hiyo kwa kitendo walichokifanya.
“Sebastian,open the door”(Sebastian fungua mlango)
Mama aliita lakini Sebastian hakuitika,ulikuwa ni usiku mnene.
Mawazo yake yote aliyatupa kwa Sonia,hakuelewa ni kwa namna gani angempata,aliendelea kuamini kwamba kama kuna jambo lolote baya lingemkuta yeye ndiye angebeba kapu la lawama zote kichwani!
***
“Griii griiii”
Simu ya mezani ya Mzee Aidan iliita,ilikuwa ni asubuhi sana.Sababu ndiyo alikuwa anajiandaa kuelekea kibaruani.Akatembea mpaka mezani na kuchukua mkonga wa simu,akauweka sikioni.
“Ni mimi Michelle bosi,habari za asubuhi”
“Salama Michelle,mbona asubuhi sana kuna nini?”
“Kuna simu yako,kuna mtu anataka kuongea nawewe”
“Sasa si anisubiri nifike”
“Hapana amesema ni muhimu”
“Sawa,muunganishe”
Mr.Aidan Wyatte alisubiri simu,akakohoa kidogo ili kuweka sauti sawa.
“Nani mwenzangu?”
“Hallo Mr.Aidan habari za asubuhi.Mimi naitwa Sonia”
Sauti ya upande wa pili wa simu ilisikika.
“Naam nikusaidie nini binti?”
“Samahani,hapo ndiyo nyumbani kwa Sebastian”
“Ndiyo,ulikuwa unamuhitaji?”
“Ndio,kama ikiwezekana”
“Wewe ni nani yake?”
“Ni rafiki yake”
“Sawa subiri kidogo”
Mzee Wyatte akatoka chumbani na kupandisha ngazi mpaka chumbani kwa Sebastian na kugonga mlango,aligonga kwa dakika mbili nzima bila kufunguliwa.Alivyofungua mlango hakumkuta,akaita lakini hakuitikiwa.
“Huyu mtoto atakuwa wapi?”
Sebastian akaanza kutafutwa nyumba nzima lakini hakuonekana mahali popote.
***
Sonia hakuelewa ni njia gani nyingine aifanye lakini akabaki kuamini kwamba ipo siku ataonana na Sebastian na kuongea naye.

WATU WENGI WALIFURIKA uwanjani kila mtu alitaka kushuhudia mechi hiyo iliyokuwa kubwa,sio Marekani peke yao,hata Tanzania kila mwenye televisheni siku hiyo aliangalia na mwenye redio aliwasha.
Tanzania ilikuwa kimnya kwa ujumla wenye kuomba Mungu walifanya hivyo.Sonia nayeye hakutaka kupitwa na tukio hilo la kipekee,tayari alikuwa ametafutiwa kiti ambacho angeweza kuona kila kitu kinachoendelea.
Wachezaji mmoja baada ya mwingine walianza kupita kuingia uwanjani,wakaimba wimbo wa taifa.
Baada ya kila kitu kufanyika filimbi ilisikika na mpira ukaanza.
“HII NI AFRIKA SEHEMU GANI?”
“MR.WYATTE UMEFIKA MUDA GANI HAPA?”
“SI UNAJUA MIMI STAREHE YANGU NI MPIRA”
Siku zote MR.Aidan Wyatte alipenda mchezo wa mpira na alikuwa mdau mkubwa wa mchezo huo,hakutaka kupitwa nayeye alikuwa katika viti ambavyo angeweza kuona kila kitu kwa urahisi.
Sonia aliyekuwa mbele yao aliyasikia mazungumzo hayo lakini hakutaka kujihusisha nayo kwasababu hayakumuhusu.
“Gooooooooooooooooal”
Tanzania walikuwa washapigwa moja tayari,wazungu walishangilia kupita kiasi wakazidi kuwazomea,walibaki kuamini kwamba ushindi ni wao.
****
Sebastian alikuwa amewanunia wazazi wake,hakutaka kumsemesha hata mmoja wapo na alitumia muda mwingi kujifungia ndani ya chumba chake cha kusoma kama library, akitafakari mambo mengi sana.
Siku hiyo ya mechi kubwa ilibidi aombe aongozane na baba yake akiamini kwamba huko angepata mwanya wa kutoroka,aende mpaka uwanja wa ndege kumtafuta Sonia,siku hiyo wakaongozana na baba yake mpaka LOS ANGELES Stadium,baada ya kukaa tuu,akasimama.
“Baba naenda msalani”
Sebastian akamuaga baba yake,akatoka nje kabisa ya uwanja.
Akasubiri kama dakika tano nzima akitizama mpira kupitia kioo kikubwa kilichokuwa nje,alitabasamu baada ya kuona tayari goli la kwanza limefungwa.
****
“Partson,Partson,Partson,Partson”
Haikuwa kawaida kumuingiza kiungo huyo ndani kipindi cha kwanza, lakini kutokana na kuzidiwa ilibidi wafanye hivyo.
Kelele zilisikika nyingi.
Waliokuwa Tanzania wanashuhudia mpira huo nao walisimama kwenye viti na kuanza kushangilia.Partson alikuwa ni kipenzi cha watu,akaingia kwa mbwembwe huku akikimbia taratibu mpaka uwanjani,kitu cha kwanza kukifanya ni kuangalia mashabiki,akapepesa macho yake na kumwangalia Sonia,akampungia mkono.
Hapo hapo mpira ulianza.Hakuna kilichofanyika hapo zaidi ya kupewa pasi ambayo alichomoka nayo vizuri na kuanza kupiga mikasi akiwapita wapinzani wake,akatoa pasi kwa Fredy yeye akatangulia mbele,ambapo alitanguliziwa pasi ya juu.
Hakuchelewa alijikunjua kwa nguvu kitendo cha kupiga shuti kali,Mpira ukachomoka kwa kasi ya risasi na kugonga besela la juu.
Ukarudi uwanjani, hapo hakupoteza wakati,akaumalizia na mguu wa Kushoto mpira ukaingia nyavuni,tayari alisawazisha goli kwa muda mchache alioingia,ulikuwa ni kama muujiza.
Alichofanya ni kuserereka mpaka upande aliokuwa Sonia na kumpiga busu la mbali.
Kamera ilianza kumvuta na mapaparazi wakataka kujua busu hilo alimpiga nani,hapo ndipo kamera ikadondoka kwa Sonia,kioo kizima kikajaa sura yake iliyokuwa inaonesha tabasamu,uzuri wake ukaonekana maradufu.
“Sonia!”
Sebastian aliyekuwa nje anaangalia kioo kikubwa alishtuka,hakutaka kuyaamini macho yake,haraka akaingia ndani ya uwanja akaanza kuangaza macho yake huku na kule.
“Soniaaa,Soniaaaa”
Sebastian aliita na kuanza kusukuma watu waliokuwa wamesimama mpaka alipomfikia na kumshika bega.
“Soniaaaa”
“Sebastian!”
Wote wakakumbatiana, wakati hayo yanatokea Partson alishuhudia kila kitu.


Kelele zilizokuwa zinaendelea mpirani zikawafanya wasiweze kusikilizana,Sebastian ilimbidi amvute Sonia,wakatoka mpaka nje ya uwanja, huko waliendelea kukumbatiana kwa furaha,wakagandana kama 'super glue'.
“Samahani kwa yaliyojitokeza Sonia”
“Usijali,cha muhimu nimekuona tena”
“Samahani sana”
Sebastian alikuwa ana kila sababu ya kuomba msamaha,hakutaka tena kuendelea kubaki kuangalia mpira, haraka akachukua taxi,ikawapeleka ndani ya jumba lao kubwa la kifahari.
Kazi ya Sonia ilikuwa ni kushangaa mandhari ya jumba hilo kubwa lililojengwa kisasa mno.Taxi ilivyosimama mtu maalumu aliyevaa suti nyeusi akafungua mlango, wote wakashuka na kutembea mpaka ndani,wakapanda ngazi.
“Mamaaaaa”
Sebastian akaita.Mama aliyekuwa seblen anaangalia televisheni akageuka.
“Baba yako umemuacha wapi?”
“Ah!nimemuacha huko mpirani,Mama huyu anaitwa Sonia..Ni ni ni rafiki yangu ninasoma naye,ndiyo huyu ambaye nilitaka kwenda kumchukua juzi hapa”
“karibu,sema ukweli, ni mkwe au rafiki wa kawaida acha kuzunguka zunguka hapa”
“Ah Mama,bado mapema kukuambia hayo mambo lakini sasa hivi jua ivyo,ni rafiki yangu”
Sonia kwa heshima zote akasalimia huku akitabasamu,uchangamfu uliotokea ukamfanya ajisikie amani.
“Mkwe,pita kwanza ule jamani”
Mama akaweka utani bila kujua kuwa kimoyomoyo Sebastian anafurahi.
“Eti Sonia una njaa?”
Sebastian akauliza.
“Mwanangu huo ni uchoyo,tangu lini mgeni akaulizwa kuwa ana njaa”
“Mama, nitakula baadaye usijali”
“Sawa,jisikie upo nyumbani”
“Ahsante”
Hakukuwa na haja ya kukaa seblen,Sebastian akamchukua Sonia na taratibu wakaanza kupanda ngazi kuelekea juu chumbani kwake,walivyofika Sebastian akajitupa kitandani.
“Karibu hapa ndiyo najiegesha,sema nipo rafu kidogo.Sitandikagi kitanda wala nini,friji lile pale”
Sebastian alianza kujivuta taratibu mpaka kumfikia Sonia aliyekuwa anapepesa macho yake huku na kule, akamshika kiuno kabla ya kufanya lolote alijishtukia tayari midomo yake imemezwa,akahisi nguvu zimemuishia mwilini akabaki anahema ndani kwa ndani.Kitu alichohisi mwilini mwake ni kama shoti ya umeme inatembea,hakuelewa hali hiyo inatokana na nini.
Sebastian alizidi kuuzungusha ulimi wake ndani ya mdomo wa Sonia huku taratibu akimvuta kitandani,wakadondoka puuu.Mikono ikateremshwa mpaka juu ya maziwa ya Sonia,hapo ndipo ilikuwa kasheshe kwa jinsi alivyokuwa akihisi akajikuta anayafumba macho yake.
“Se...bastia...n Sto...p pleas.....e”
Sauti aliyotoa Sonia,haikuwa na nguvu.Ilikuwa kama ya staki nataka,kwanza hakuelewa ni kitu gani anazungumza.
Akili yake ilihama,ilikuwa ndiyo kwa mara ya kwanza kuisikia hali hiyo ya ajabu ndani ya mwili wake,kila alipojaribu kuitoa mikono ya Sebastian juu ya maziwa yake,ilishindikana akabaki ametulia anasubiri kinachofuata,siku hiyo kwake ilikuwa ni sawa na mbuzi kupelekwa machinjioni.
Sebastian akazidi kucheza na maeneo anayojua yeye yanayomfaa.
Akanyonya Shingo ya Sonia na kuupitisha ulimi wake ndani ya sikio la mrembo huyu.
“Ahhhh Mhh”
Hizo ndizo kelele za puani alizotoa Sonia.Sebastian akauchukulia huo ni kama ushindi.Akazidi kucheza na mwili wa Sonia adoado,akampindua na kuipitisha mikono yake mgongoni mwake,akafungua zip ya blauzi na kuiweka pembeni.Weupe wa Sonia ungeambiwa kuwa ni chotara wala usingebisha,alikuwa ni mweupe sio masihara hasahasa kifuani,Sebastian akazidi kupata midadi, weupe wa Sonia halikuwa swala lake.
Ugumu ulikuwa kuitoa sidiria,ilichukuwa kama dakika mbili nzima,Sonia hakuwa tayari maziwa yake yaonekane sababu hakuwahi kufanya kitendo hicho kabla,hakuwahi kumvulia mwanaume nguo yake na kama ingetokea basi hiyo ingekuwa ndiyo mara yake ya kwanza na kwa jinsi alivyokuwa hajiwezi hakuwa na uhakika kama angetoka salama.
Sebastian alifanikiwa kuitoa Sidiria ya Sonia lakini kwa tabu sana.Hapo ndipo alipofakamia maziwa ya Sonia na kuanza kunyonya chuchu zake.Hakuna siku aliyokuwa na hali mbaya katika maisha yake kama hiyo,alihisi mapigo yake ya moyo yanataka kuacha mwili, raha alizohisi hazikuweza kuelezeka kiwepesi,akajikuta anazidi kuweka njonjo,akamvuta Sebastian mdomoni huku akianza kumshika vizuri mgongoni,kumaanisha kuwa mambo yaendelee,Sebastian akajitoa mdomoni mwake na kurudi juu ya kifua chake,alianza kumnyonya maziwa taratibu sana tena huku na kule,mkono wake mmoja taratibu akaanza kuushusha mpaka chini ya kitovu,ukafikia suruali ya jeans aliyovaa,alivyotaka kuupenyeza mkono wake ukazuiwa.Hapo ndipo nguvu zilianza kutumika.Akatumia mchezo alioufanya mwanzo,lakini wapi.
Hapo Sonia alitumia nguvu zaidi kushindana na Sebastian,swala la kuingiza mkono wake sehemu za siri likawa ni kazi kubwa.Akili ya sebastian ikafanya kazi kwa kasi ya risasi,akaendelea kumlegeza kwa kumnyonya maziwa akachukua mkono wake mmoja taratibu na kuanza kufungua kifungo cha jeanz ya Sonia,mpaka hapo hakujielewa mpaka Suruali inatolewa miguuni, kwa jinsi alivyonogewa akajikuta mwenyewe anatoa msaada kujivua nguo.
Akabakiwa na boxa peke yake ya rangi nyekundu na vidoti vya chuichui.Sebastian akaweka tiki,ivyo ndivyo alivofanya kwenye boxa pia.
“Sebast...i..an NO NO NO”
Sonia alipiga kelele baada ya kupanuliwa miguu,akatumia nguvu ili kuibana.Kitu kilichomshangaza Sonia ni muda gani nguo yake ilitolewa.Akashtuka sana alivyomuona Sebastian katoa nguo ya juu,mwili wake umejaa michoro kama gazeti.
Alivyotaka kuuliza tayari alivamiwa mdomoni mwake,Sebastian akatoa Jeans yake akaitupa pembeni.Hapo ndipo timbwili la kuipanua miguu ya Sonia ilipoanza,nguvu zake zilikuwa miguuni na swala alilotaka kufanyiwa lilikuwa ni gumu kwake.
“Seb..Please Dont....Seba..sti.a..n”
Siku hiyo Sebastian hakuwa na utu hata kidogo wala hakutaka kusikiliza somo,akafanikiwa kumuweka vizuri sonia akaseti mitambo,akaweka tayari karoti yake,alivyotaka kuiingiza iligoma ilikuwa ngumu,ilikuwa kama imekutana na kitu kilichozibwa, akajaribu kutumia nguvu,Jinsi alivyokuwa anatumia nguvu ndipo kelele za Sonia zilikuwa zikisikika,katika siku aliyosikia maumivu siku hiyo ilikuwa mojawapo.
Sonia alilia machozi huku akijitahidi kumsukumiza Sebastian asiendelee kuikandamiza karoti yake kwa ndani kwani kila alipozidi kuichomeka ndani ndipo maumivu yalizidi kiasi kwamba raha zikageuka kuwa karaha,puuf!,ulisika mlio kwa mbali kama wa kifuko cha icecrim kimepasuka.
Sebastian alihisi kama analowana, kwa mara ya kwanza hakuelewa maji hayo yametoka wapi lakini alishtuka sana baada ya kuangalia kwenye shuka na kuona limelowana damu,aliogopa kupita kiasi.
Hata siku moja hakuwahi kuwaza kuwa Sonia angekuwa bikra,uzuri wa Sonia haukuweza kutafsiri jibu alilokuwa nalo.
“Soni...a”
Machozi ya uchungu yalimtoka Sonia akabaki analia mfululizo.Zoezi likawa limeishia hapo.Maumivu aliyosikia Sonia yalitisha.
“Soni..a”
“Seba..stian niache,niache nakwambia.Naomba niende”
“Sasa uwende wapi?”
“Kwani umenikuta wapi?”
“Sonia”
“Usinishike,kaa mbali na mimi,UMENISIKIA NIMEKWAMBIA USINISHIKE”Sonia aliongea kwa ukali.
“sawa”
Sebastian akasimama na kwenda kukaa juu ya sofa huku akimtizama Sonia,kichwani hakutaka kuamini kuwa Sonia ni bikra na yeye ndiye angekuwa mwanaume wake wa kwanza.Upande mwingine wa pili ulimwambia kuwa huo ulikuwa ni usanii tu.
“Sonia,acha kuniletea maigizo basi”
“Maigizo gani?”
“Hayo unayoniletea,unataka kuniambia wewe hujawahi kufanya mapenzi”
“Usiniulize maswali yako ya kijinga”
Damu iliendelea kuchuluzika mapajani mwa Sonia.
Sebastian ilibidi achemshe maji na kuanza kumfuta,akatoa shuka lililokuwa na damu na kuliweka lingine.Jinsi alivyokuwa akihisi maumivu hakuweza hata kutembea hatua mbili sawasawa,akalazimika kulala hapohapo,walilala na Sebastian chumba kimoja mpaka kunakucha,akaletewa chai na kunya.
“Sasa hivi unajisikiaje?”
“Niko poa”
“Kumbe ulikuwa bikra?”
“Ndio”
“Kwanini hukuniambia?”
“Ningekwambia,usingeniamini hata ivyo hukuniuliza na sikuwa na sababu ya kuku..”
Kabla ya kuendelea,Sonia akapigwa denda la nguvu na kilichofuata hapo ni kushikana shikana kila sehemu ya miili yao,siku hiyo Sebastian alipania aitoe kisawasawa bikra ya Sonia,kufa au kupona.
Akamshika kila sehemu aliyohisi atalegea ndipo taratibu akaanza kumvua nguo japo kwa ubishi na aliamini asingefanya ivyo hakuna kitu chochote kingefanyika,ilimbidi atumie nguvu,dakika tano nzima alitumia kumuandaa ndipo akafanikiwa kumvua nguo.
Hapo ndipo ugumu mwingine ulipoanza,kila alipotaka kupitisha karoti alisukumizwa,kwa nguvu alimkamata na kumvuta.
Akaitumbukiza na kujikandamiza mwili mzima.Sonia akaachia ukelele mkali mno lakini Sebastian hakujali akazidi kufanya anayojua yeye,alianza kuzungusha kiuno chake bila kujali ni kiasi gani Sonia alipata maumivu,ni wazi alijua ni kiasi gani anampa maumivu lakini hiyo ndiyo ilikuwa njia pekee ya kumuonesha usichana wake,kelele za chura hazikuweza kumzuia tembo kunywa maji!
***
Mpaka siku ya tatu ilipofika Sonia akawa amezoea,hakusikia tena maumivu mambo yakawa bomba.Yeye ndiye akawa msumbufu ilikuwa hapitishi masaa matano bila kutaka kufanya ngono,akawa teja wa penzi la Sebastian, akapata ugonjwa ulioitwa Arosto,kila alipotembea Sebastian basi Sonia yupo pembeni yake.
Wazazi wa Sebastian wakampenda sana Sonia, wakafurahi kupata mkwe mzuri mpole na mchangamfu.Familia ikawa ina furaha sana.Baba akawapa dereva na moja ya gari la kifahari la kutembelea.
Maisha yakawa yamenyooka, siku zote Sebastian aliamini kama yeye ni chanda basi Sonia ni pete.wakawa wanafuatana kama yangayanga au kumbikumbi.Walitoka asubuhi na kurudi usiku kulala tena kitanda kimoja.
“Baby”
“Mhh”
“I love you”
Sonia alisema maneno hayo akiwa amevaa night dress,umbo lake namba nane likajichora,jinsi macho yake yalivyolegea ni wazi kuwa alikuwa akitaka chakula chake cha usiku,akajisogeza taratibu kwa Sebastian na kuanza kushika ndizi yake,adoado akaanza kuichua mpaka iliposimama,hakuna kilichofuata hapo zaidi ya wawili hawa kufanya mambo ya kikubwa.
**
Penzi lilimkolea kisawasawa kama piko kichwani,akawa hakohoi kwa Sebastian ni wazi kuwa alizama mazima akawa ana wivu uliopitiliza.
Kila simu iliyoita kwa Sebastian ilipitia kwanza kwake ndiyo ampe Sebastian,wivu ndiyo uliokuwa unamuendesha.
“Ndio amelala,wewe ni nani yake?Nattu?Nattu gani? Sawa nitamwambia akiamka.Siku njema”
Sonia alikuwa simuni kapokea simu ya Sebastian,akawa kama Sekretari wake sasa,hata mambo yasiyomuhusu akataka kujua.
Hayo ndiyo maisha waliyokuwa wakiishi mtu na mpenzi wake, walijiachia wanavyotaka.

Familia ya Sebastian yaani baba na mama yake walitaka kujua upande wa wakwe zao,ili mambo yaende harakaharaka na ndoa iwezwe kufungwa kwa namna yoyote ile.
Jambo hilo likawekwa wazi na kilichotakiwa kufanyika ni kufunga safari ya kwenda Tanzania wiki moja baadaye.
“Sebastian”
Sonia alimuita mpenzi wake katikati ya usiku wa manane siku hiyo.
“Naam Darling”
“Itanibidi kabla ya kwenda nimwambie Anco Dustan,kuhusu wewe”
“Sawa,lakini ningependa tumfanyie suprise.Wewe ni mtu mzima sijaona umuhimu wa kumpigia simu na kumueleza mapema”
“Sawa,mimi sina tatizo.Wewe ushasema sina kipingamizi chochote kile,hata hivyo inabidi ajue kuwa ninaenda”
“Hapo nakubaliana nawewe”
Hawakujali ni usiku sana wa namna gani,wakapigana madenda na kuanza kushikana shikana kila mahali,baadaye kilichoendelea walijuwa wenyewe.
Asubuhi kulivyokucha Sonia cha kwanza ni kutafuta simu,akampigia Dustan na kumuelezea juu ya yeye kutaka kurejea Tanzania lakini hakumuelezea chochote juu ya Sebastian.
**
Maandalizi ya safari yalisukumwa harakaharaka,tiketi zikakatwa za watu wanne yaani Wazazi wa Sebastian,Sebastian mwenyewe na Sonia.Nia ya safari hiyo ilikuwa ni kwenda ukweni,tena kujitambulisha na baadaye Sonia awe mkwe wao kihalali,walitokea kumpenda kupita kiasi.
Walitoka Marekani saa kumi jioni,Ndege ilitoboa anga mpaka Amsterdam hapo walishuka na kupakia ndege ingine.Ilikuwa ni safari ndefu iliyowachukua karibu siku nzima.Saa nane ya mchana ndege ya shirika la KLM lilikanyaga ardhi ya Tanzania.
Hawakutaka moja kwa moja kufikia nyumbani ilibidi watafute Hotel kubwa wapumzike, na hicho ndicho kilichofanyika,taxi waliyokodi iliwapeleka mpaka Posta Kilimanjaro HOTEL,hapo walipumzika.Sebastian na Sonia wao pia walikodi chumba.
“Karibu Tanzania mpenzi wangu”
“Ahsante,Tanzania ni sehemu nzuri sana”
“Sio kweli”
“Kwanini nikudanganye”
“Basi yaishe twende tukaoge”
Wote wakaongozana bafuni,wakavuana nguo kimahaba huku wakitaniana na kuanza kupigana mabusu,hakuna kitu alichokifanya Sebastian zaidi ya kunyonya maziwa ya Sonia yaliyokuwa yamesimama, madogo kiasi tena yamechongoka kama mchongoma,Sonia akaanza kujikunjakunja mara amshike Sebastian mgongo,ilimradi vurugu tupu.
Walivyofanya wanayotaka kufanya kila mtu alimsugua mwenzake na kurudi chumbani.
Kitu cha kwanza Sonia alichukua simu na kumpigia Dustan.
“Anco Shikamoo”
“Marahaba,nani Sonia?”
“Ndio Anco”
“Naona namba za Tanzania hizi,umeshaingia?”
“Zamaaaani”
“Ngoja basi nije kukuchukua hapo Airport”
“Hapana usijali,mimi nimefika tayari, anco kesho saa kumi unaweza kuwepo nyumbani?”
“Ngoja niangalie ratiba zangu hapa,subiri usikate simu......Kesho kesho kesho kesho nitakuwa nimebanwa labda keshokutwa,vipi kwani?”
“Kuna wageni wanataka kukuona”
“Wametoka wapi?”
“Utawajua Anco,ni habari ndefu kidogo”
“Okay sawa,keshokutwa sasa”
“Hakuna shaka.”Simu ikakatwa.
Umuhimu wa Dustan ulikuwepo kama mlezi, lakini mbali na hapo Sonia alikuwa ana hamu sana ya kwenda nyumbani kwao,akamuone mama yake,mara ya mwisho alimuacha ana hali mbaya sana.
Kulivyokucha asubuhi na mapema wakavaa na kuchukua taxi yeye na Sebastian.
“Twende ukapaone kwetu baby”
“Sawa”
Taxi ikaanza safari,baada ya dakika ishirini wakawa wamefika,Wakamlipa dereva na kushuka.
Kila mtu aliyemuona Sonia alimshangaa,alikuwa amenenepa kiasi, siyo yule ambaye aliyeondoka miezi michache iliyopita.Sonia alizidi kumelemeta.Waliongozana na Sebastian mpaka nje ya geti jeusi na kuanza kugonga.
“Habari zenu?”
Msichana mdogo wa makamo aliwasalimia baada ya kufungua geti.
“Salama tu dada”
“Niwasaidie nini?”
“Namuulizia Mama Sonia au Gloria”
Dada aliyefungua geti akawatizama kwa zamu,machozi yakaanza kumlengalenga,akashindwa kuyazuia akajikuta analia kwa uchungu.
Taa nyekundu kichwani mwa Sonia ilianza kuwaka kuashiria kwamba kuna jambo la hatari,ni kweli alimuacha mama yake akiwa katika hali mbaya lakini hakutaka afariki mapema kiasi hicho,kuondoka kwa mama yake duniani kulimaanisha yeye kubaki yatima.
“Mama..soni..a ame..mee...”
Dada akashindwa kumalizia sentensi,kwikwi ikambana.

*******
Karibu nusu ya mwili wake ulijaa vidonda vilivyotoa maji,vikaoza na kutoa usaha unaonuka.Hata kuinuka hakuweza tena,wanaume wote ambao alishawahi kutembea nao kingono kipindi cha nyuma wakila maisha,hawakuwepo tena.Aliteseka mwenyewe kitandani, alikesha akiwa analia na maumivu anayohisi.Kichwani hakuwa na nywele hata moja,mwili wake ulidhoofu,mashavu yote yakaingia ndani,akabaki kama fuvu,kama ungebahatika kumuona jinsi alivyokuwa au ungepewa picha yake na ungeambiwa kwamba huyu ndiye mwanamke aliyewahi kutingisha miaka ya nyuma kwa uzuri akawa anawachanganya wanaume kama pilau na kachumbari,habadani ungebisha.
Sura ya Gloria haikutambulika hata kidogo alikuwa tofauti kabisa,alikuwa kama Ismigo na aliongea kwa tabu sana,kutokana na maji ya usaha kutoka mwilini mwake yaliyosabisha vidonda vikafanya vigandane na shuka,ivyo alivyojigeuza nyama za mwili zilibaki juu ya shuka,maumivu aliyosikia hayakuwa na mfano wa kuyafananisha.
Ni wazi kwamba siku zake zilikuwa zikihesabika za kuvuta pumzi, japo alitamani afe ili aepukane na adhabu hiyo.
Siku zote majuto ni mjukuu,alijutia kila kitu kilichokuwa kimetokea kwenye maisha yake,akamkumbuka marehemu mume wake Nickson jinsi walivyokuwa wakiishi,alimtupia lawama zote shetani,wakati mwingine alimlaumu pia Nickson kwa kumleta mjini na kumwoa.
Akapagawishwa,akatamani muda urudi nyuma arekebishe kile alichokosea lakini haikuwezekana.
Ukweli ukabaki kwamba maji yalishamwagika hayawezi kuzoleka!
“Mt..ui,Nyagogooo,Pedesh..ee Kwa...y,Mchung..aj.i Patri..ck......”
Gloria alikuwa akiandika majina ya wanaume ambao ametembea nao,aliandika kwa tabu sana na akashindwa kumalizia,kalamu ikadondoka chini, alivyotaka kujigeuza akashindwa.

KATIKA WATU waliokuwa na msaada mkubwa kwa Gloria ni Dustan.Dustan alivaa majukumu yote ya familia ya marehemu rafiki yake Nickson.Na ndiyo maana muda wote alihakikisha Gloria anaangaliwa vizuri na madaktari.Ni muda wa siku nane alisafiri kikazi akamuachia Dokta Kamene ili awe anamwangalia Gloria afya yake na kumbadilishia mipira,harufu ya chumba alichokuwa analala Gloria ilitisha,iliumiza pua.
Hata nzi na uchafu wao wasingeweza kuhimili.
Kwa kuwa Dustan aliondoka, yeye hakumjali tena mgonjwa huyo,akawa anafika kwa manati wakati mwigine alikata mguu siku nzima,Gloria aliendelea kuteseka kitandani, hakupata tena matunzo hata chakula hakupatiwa.
Dustan hakutaka kufikia sehemu nyingine yoyote ile,moja kwa moja akanyoosha mpaka Sinza baada ya kutoka safarini.
Hali aliyomkuta nayo Gloria ilimuuzunisha.Akakasirika kupita kiasi.
“Dokta Kamene upo wapi?”
Dustan alipiga simu,bila hata ya kusalimia alitupa swali.
“Nipo bosi,nipo hapa kwa mgonjwa”
“Mgonjwa gani?”
“Yule Mgonjwa wako”
Dokta Kamene akadanganya,bado alidhani kwamba Dustan yupo safarini.
“Kama ulikuwa huwezi kazi ungeniambia,sawa?”
“Kivi...”
“Nipo hapa nyumbani,Mgonjwa hana mirija hajapewa chakula,alafu unaniambia upo nyumbani,kweli?mfano huyu angekuwa ndiyo Mama yako mzazi ungefanya unachokifanya?”
“Lakini Dustan si....”
“Siwezi kukusikiliza,unataka kujitetea tu hapo.Na nisikilize mimi ndiye nimepiga simu.Nitajie ni kiasi gani unanidai nikulipe nimtafute mtu mwingine”
Dustan aliongea kwa ukali kuliko kawaida na alichokiongea alikimaanisha.
Siku hiyohiyo tena kwa haraka akapiga simu kwa Dokta Amina Waziri wa Ocean Road, ili achukue jukumu la kumuhudumia Gloria kwa kila kitu na kitu kingine kilichomjia harakaharaka ni kumtafuta msichana mwingine wa ndani ili aweze kumwangalia Gloria.

Hilo likafanyika ndani ya siku mbili,gharama juu ya matibabu zilitoka mfukoni mwa Dustan,roho yake ingemsuta endapo angeitelekeza familia ya Marehemu rafiki yake Nickson ambaye walikuwa kama ndugu,bado hakuamini kama ni kweli Nickson amefariki.
“Sikiliza Zainabu,kazi yako ni kuhakikisha unanunuwa chakula,hakikisha hiki chumba kinakuwa kisafi,unabadilisha mashuka.Kitu kimoja kuwa makini sana,najua upo katika mazingira magumu sana,jifanye kama hujui lolote.Usioneshe hali yoyote ya kumtenga uchukulie huu ugonjwa kama wa kawaida tu,unanielewa?”
“Ndio,nimekuelewa”
Zainabu alifanya kazi kwa moyo wote,hakuonesha ubaguzi wa aina yoyote ule,akafanya usafi,akambadili Gloria nguo,akampa chakula.Na mara chache walipiga stori.
Gloria alipata nafasi ya kumueleza Zainabu juu ya maisha yake alivyoishi.Na jinsi alivyokuwa mwanamke mpumbavu siku za maisha yake,jinsi alivyokuwa MTUMWA WA NGONO.
“Ug.o.njwa wa UKI.MWI unate..sa sana,hapa nilipo nin..a umia ninachoku..omba,nadhani umejifunza vitu ving..i kupitia niliyokw..ambia..Huu muda tunaochezea haurud..i nyuma hat..a kidog..o,elewa kwamba haya mateso nay..opata ni uji.nga wangu na asikwa..mbie mtu mal..ipo ni hapahapa Duniani mbinguni ni hukumu tu..na..subiri siku za..ngu za mwis..ho za kwenda Jehanam”
Kipindi hicho chote Zainabu alikuwa analia machozi,alimuonea sana huruma Gloria,akaamini kwamba Ukimwi upo na unauwa vibaya sana tena kwa mateso.
Elimu aliyopata siku hiyo ilitosha kuyabadili maisha yake alibaki akilia machozi akitizama baadhi ya picha za Gloria alizopiga kipindi cha nyuma,akapangusa machozi baada ya kuhisi geti linagongwa.
***
Alivyofungua geti,alizidi kuangua kilio.
“Vipi,mbona unalia dada?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Sonia.
“Hapana,karibu..ni Ndani”
Sebastian na Sonia wakaingia ndani na kufika moja kwa moja Seblen.
“Dada samahani hukunijibu swali,Mama Sonia yupo, au Gloria”
“Ndio,wewe ni nani?”
“Mimi naitwa Sonia ni mwanaye”
Zainabu hakubisha,sura ya Sonia na picha za zamani za Gloria zilirandana.Akamuinua taratibu na kuongozana mpaka chumbani.
“Mamaaaa”
Sonia alimkimbilia mama yake na kumpiga mabusu mengi, hakujali lolote alimkumbatia huku akilia machozi bado hakuamini kwamba amemkuta mama yake bado hai,ulikuwa ni kama muujiza.
Walipata muda mwingi sana kuzungumza na mama yake mpaka akasahau kwamba kuna mgeni wake Seblen.
“Dada,embu mvalishe vizuri Mama yangu,nimletee mkwe wake amuone”
Hicho ndicho kitu alichokifanya Sonia,alitaka mama yake amuone Mkwewe,alivyovalishwa nguo vizuri Sonia akatoka mpaka Seblen na kumchukua Sebastian.
“Twende ukamuone Mama yangu,nikutambulishe”
“Sawa mpenzi”
Wakaongozana na Sebastian mpaka chumbani.Sebastian akashtuka alivyomuona mtu aliyekondeana kitandani,hakutaka kulipa nafasi swali lake kwamba huyo ndiye mkwe wake,akasubiri kwanza Sonia ndiye aseme.
“Sebastian,huyu ndiye Mama yangu.Lakini anaumwa sana”
Sonia akasema,badala ya Sebastian kuongea kitu alibaki amenyamaza kimnya anazidi kuyachuja maneno ya Sonia akimtizama mwanamke aliyeambiwa ndiye mkwewe.Bila kuongea chochote akatoa mkono wake kwa Sonia aliyekuwa amemshika, akageuka na kutoka nje.
“Sebastian Sebastian”
Sonia akaita lakini Sebastian akazidi kutembea akitoka nje,alivyokaribia geti Sonia akamshika mkono.
“Sonia,embu niache”
“Mbona sikuelewi?”
“Hunielewi nini?”
“Sasa kwanini umeondoka?”
“Kwanza subiri,sijawahi kukuuliza kuhusu familia yako,yule ndiyo Mama yako?bila shaka ana UKIMWI”
“Ndio ni ukweli,samahani kwa kutokukuambia nilitaka siku uje kushuhudia mwenyewe”
“Nia yako namimi niwe kama vile?”
“Sijasema hivyo,naomba ukae chini tuongee nikwambie ukweli!”
“Achana namimi”
“Sebastian nisikilize basi”
“Usinishike,embu niachie wewe,utaniambukiza ukimwi...Kwanza naomba unisikilize kama umeniambukiza ukimwi nitakuuwa,nitakuuwa.Niangalie vizuri NITAKUUUWA,tena kwa kukunyonga”
Sebastian aliongea kwa ukali tena kwa hasira,katika watu walioogopa ugonjwa wa Ukimwi yeye alikuwa namba moja,mambo yote yakabadilika baada ya kukutana na Mama yake na Sonia,moyo wake ukachefukwa kupita kiasi.
Ni wazi kwamba aliamini tayari ana ugonjwa wa ukimwi, aliogopa na akili yake ikamtuma aende kupima mara moja tena siku hiyohiyo.
“Sebastian...Seba...”
Sonia akasukumizwa mbali,moyo wake ukamuuma akajikuta analia machozi ya uchungu.
Alijilaumu sana ni kwanini hakumwambia Sebastian juu ya familia yake,kwa kitendo alichofanya Sebastian kilikuwa ni cha kinyama sana.
Kwa nguvu ya penzi akaamua kumtafuta hewani lakini bila mafanikio yoyote,Sebastian hakupatikana na alivyoenda kwenye hotel waliyofikia aliambiwa kwamba familia nzima iliondoka siku hiyohiyo.
Sonia akaangua kilio na kukaa chini bila kupenda,alikuwa ametendwa vibaya sana.
“Dada kwani vipi?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa muhudumu wa hoteli hiyo.
“Haku...na kitu”
“Nawewe pia nilikuona,si ulikuja nao?”
“Ndio”
“Sasa mbona wameondoka wamekuacha?”
“Kwani walivyo..ondoka ha..wajakuachia ujumbe wowote?”
“Hapana,yule mshkaji uliyekuja naye aliingia hapa,alionekana kama amechanganyikiwa baadaye nikawaona na wenzake wanatoka na mabegi wakakabidhi funguo wakaondoka zao”
Sonia akazidi kulia kwa uchungu,hakuna siku iliyomuuma kama hiyo.Hakuamini kama kufumba na kufumbua Sebastian amemuacha kwenye mataa.
“Lakini ataenda kupima,mimi sina ukimwi”
Sonia akajipa moyo,akajikuta anaongea kwa sauti na kuamini kwamba Sebastian ni wake tu.
“Dada upo sawa?”
“Ndio,naomba uniwekee mizigo yangu iliyokuwa chumbani,nitakuja kuifuata kwako”
Sonia akaondoka akiwa na majonzi mengi.

Vitu vingi alitafakari katika maisha yake,akashindwa kufanya vitu vingine,alijikita kwenye mawazo.Akajaribu kumuandikia Sebastian barua pepe lakini hazikujibiwa,hiyo ilimaanisha kwamba tayari amepigwa kibuti.Akajilaumu sana kumtambulisha kwa Mama yake.
“Lakini kosa langu liko wapi hapa?”
Sonia akajiuliza.
Siku zikazidi kusogea lakini Sebastian hakujibu chochote,akatamani chuo kifunguliwe ili apate kuongea na Sebastian ana kwa ana lakini siku zilijivuta kama kinyonga.
Siku moja akiwa kwenye kompyuta yake,aliona meseji imeingia na kwa juu ilionesha ilitoka kwa Sebastian,moyo wake ukapiga kwa nguvu akataka kujua ni kitu gani kiliandikwa,akashusha pumzi na kukaa vizuri.
Alihisi moyo wake unapigwa na joto baada ya kufungua ujumbe huo,alikumbana na picha moja ya msichana maji ya kunde na alivyofungua ya pili,ndio akahisi mapigo yake ya moyo yanapungua kudunda,alikuwa ni Sebastian amelala na msichana huyo chumbani kitandani,chini kulikuwa kuna ujumbe mzito sana.
Akahisi mashavu yake yanalowana na maji,yalikuwa ni machozi, Sonia alilia bila kutegemea tena kwa uchungu.

****

Hakuna kitu kilichomuumiza moyo kama kuona picha za utupu za mwanamke akiwa na Sebastian kitandani,hiyo ilimaanisha kuwa hatakiwi tena kimapenzi.Hakutaka kuamini kwamba ilikuwa ghafla kiasi hicho.
Akazidi kushuka baada ya kuona ujumbe chini ya picha.
SONIA,NAJUA NIMEKUUMIZA SANA LAKINI NAOMBA UJUE UKWELI KABLA YA MAMBO YETU HAYAJAFIKA MBALI,SITOWEZA KUISHI NAWEWE NA NINAOMBA TU MAMBO YETU YALIYOPITA YAWE KAMA HISTORIA.KATIKA MAISHA YANGU NAOGOPA SANA UGONJWA WA UKIMWI,NASHUKURU HAUJANIAMBUKIZA,NIMETOKA JANA KUPIMA NIKO SAFI NA LEO NINAFANYA BONGE LA PARTY LA KUJIPONGEZA,KAMA ULIKUWA UNA NIA YA KUNIAMBUKIZA UMESHINDWA.
NAOMBA HATA UKIFIKA CHUO USINIJUE JUE,YAANI TUSIJUANE,WEWE SHIKA HAMSINI ZAKO MIMI NAKULA MIA ZANGU.
NI MIMI CHEKI BOB, SEBASTIAN.
Alijikaza kupita kiasi ili kuimalizia barua hiyo na tayari machozi yalikuwa yamejaa machoni akawa anaona kama ukungu mbele yake,maji maji ya machozi taratibu yakatoka machoni na kuchuluzika mpaka mashavuni akabaki analia kwa uchungu bila kutoa sauti,moyo wake ulimuuma, hakuwahi kuyasikia maumivu ya mapenzi hiyo ndiyo ilikuwa mara yake ya kwanza.
Mwanaume aliyedhani ndiye kila kitu kwake na akawa faraja yake sasa ndiye anayemliza,ahadi zote zikayeyuka ghafla kama barafu.
Mbali na hapo hakutaka kuamini moja kwa moja kwa kitu kilichotokea,aliamini wenda akionana na Sebastian mambo yote yatakuwa sawa,ndiyo maana akatamani hata kesho arudi nchini Sweden,akaonane na Sebastian.
Zilikuwa zimebaki wiki mbili ili chuo kifunguliwe lakini yeye aliona ni kama miaka mia moja.Katika siku zote Sonia hakuwa na raha hata mara moja jambo hilo lilikuwa wazi kabisa,kwake yeye akaona ni bora angeumwa ugonjwa wa Malaria kuliko maradhi ya mapenzi,aliteseka na kuweweseka hata usingizi ukawa shubiri.

Kwa hali aliyokuwa nayo hata kutoka nje akashindwa mara nyingi alibaki nyumbani tena chumbani kwa mama yake akimuuguza.
“Mwa..nang..u Sonia nisa..mehe mi..mi Mama ya..ko najua nili..kukosea na nilimkosea baba ya..ko pia”
Yalikuwa ni kama maneno ya Mwisho kutoka kwa Gloria,aliongea huku akitetemeka kama aliyepigwa na shoti ya umeme mbali na hapo aliongea kwa shida,akimwangalia mwanaye.
Kwa hali aliyokuwa nayo kwa wakati huo ni wazi kwamba alikuwa katika hali ya mateso na muda wowote angetoweka duniani.
“Kabl..a sijafa naomba nikuee..leze ukwe..li mwanangu uki..mwi ni ugo..njwa mba..ya sana unate..sa.na..Mwana..angu wewe ni mzuri usije ukadanganywa na wanaume ni wao..ngo watakutaka ki.ngono tu,Mwan..aume yupo radhi kutumia hata mami..lioni ya pes..a ili akuvue nguo yako ya nd..ani na akikutumia anavyotaka,anakutema kama big gee inavyoisha uta..mu,mwanangu naku..pen..da”
Sonia aliyasikiliza maneno ya mama yake huku akilia kwa uchungu,maneno ya mama yake yalimwogopesha akamuonea huruma kupita kiasi,Gloria akaweka kila kitu wazi tangu Marehemu mume wake Nickson alivyomtoa mkoani Kilimanjaro,
akamwoa na vituko vyote akavianika.
Sonia alikuwa makini katega sikio, kila neno alilinasa na Mama yake hakusita kutaja mwanaume mmoja baada ya mwingine, wote aliotembea nao aliwaorodhesha.
“Ma...ma maamaaaaa”
Sonia aliita baada ya kumuona Mama yake yupo kimnya akamtingisha, daktari aliyekuwa nje akaingia haraka chumbani.
“Naomba upishe kidogo nenda nje”
Sonia alitoka nje akiwa amechanganyikiwa swala la Sebastian lilikuwa kando Mama yake mzazi kukaa kimnya kulimfanya apagawe,hakutaka kuweka imani moja kwa moja kwamba Mama yake amefariki dunia japokuwa hilo lilikuwa mbeleni kutokea!
“Mwache Mama apumzike kwanza”
Dokta alitoka nje na kumwambia Sonia.
“Hali yake vipi?”
“Hali yake ipo vizuri,anahitaji kupumzika kwa sasa”
“Lakini kila kitu kipo sawa?”
“Ondoa shaka”
Sonia akapoozwa,hivyo ndivyo ilivyokuwa.

Hali ya Mama yake ilikuwa mbaya tena ya kutisha lakini aliweza kuzungumza,kama akipata muda basi ilikuwa ni lazima amsemeshe mwanaye,alimpa kisomo cha kutosha kwa maana alielewa dhahiri siku zake zilifika ukingoni na malaika wa adhabu walikuwa wanamsubiri kwa hamu,kutokana na mambo aliyoyafanya alijua kabisa alistaili moto wa shetani na alikuwa yupo tayari kwa hilo.
***
Zilibaki siku chache tu ili chuo kifunguliwe na Sonia arejee masomoni Ulaya,siku hizo zote zilipita bila ya kufanya mawasiliano na Sebastian,kitu kilichochangia asifanye ivyo ni kutokana na ukaribu alikuwa nao kwa mama yake,aliamini kwamba Mama yake yupo katika hatua za mwisho za uhai wake,ukaribu wake ulihitajika kama mtoto wa pekee.
Mama ni mama siku zote hata kama alikosea lakini atabaki kuwa mama,hivyo ndivyo aliamini Sonia,akazidi kuwa karibu naye wakishirikiana na Dustan,Gloria alihudumiwa na kuangaliwa kwa jicho la tatu.
“Na..omba kabl..a sija..fa mnipeleke kwenye karibu la Mare..hemu mume wangu,nikamuombe Msama..ha.Nina ima..ni atanisamehe alaf..u nikifa pia,mnizike pembeni yak..e koho kohoooo.”Akakohoa.
Sio Dustan wala Sonia kila mtu alidondsosha chozi,kutokana na hali yake kuwa mbaya swala hilo lisingewezekana na lilikuwa gumu kufanyika.Kumtoa Gloria kitandani na kumsafirisha ilikuwa ni sawa na kumuuwa.
****
Maswala ya kulipa ada na malazi yalifanywa na Dustan,Sonia alilipiwa na akaunti yake ikajazwa pesa za kutosha ambazo zingeweza kumsaidia akiwa masomoni Sweden,ndani ya siku mbili kila kitu kikawa kimekamilika,viza yake haikuhitajika tena ku'renew' sababu ilikuwa ya miaka mitano.
“Hizi ni dolla mia nane,sijui utazificha wapi.Utaweka kwenye mkoba au kwenye account hiyo ni juu yako,sababu ushakuwa mtu mzima sina haja ya kukufundisha kutunza pesa,mimi nawewe tumemalizana.Sidhani kama tutaonana tena, keshokutwa nasafari kwahiyo nitamwambia Araphat akupeleke Airport”
Maagizo yalitoka kwa Dustan wakiwa ndani ya gari wametoka kufanya shoping ya mwisho,Dustan alimchukulia Sonia kama mwanaye siku zote na alimpenda akamjumuisha kama ni mtoto wake wa kumzaa pengine alimpenda kuliko hata wanaye.
“Ahsante Anco,nashukuru sana”
“Usome!siku hizi elimu ndiyo kila kitu,mimi nakwambia ukweli bila kwenda shule hamna kitu,siku hizi sio kama zamani,mambo yamebadilika sana.Wanaume siku hizi wanataka wanawake wasomi,hawaangalii sura sijui English figure,umenielewa mwanangu?”
“Ndiyo Anco”
“Zingatia hayo”
Kama mlezi ilibidi atoe ushauri kidogo,walivyofika nyumbani wakasaidiana kushusha mizigo.
“Hey.. nani Sonia”
“Abee”
“Nilitaka kusahau kitu kimoja,tiketi sijakukatia.Nadhani unajua wanapokata tiketi?”
“Si ni kule Posta”
“Ndio,pale karibu na Maktaba ya taifa,nyoosha moja kwa moja.Ukiuliza pale utaelekezwa nitakutumia pesa kesho”
“Sawa Anco,usiku mwema”
“Nawewe pia.”
Kama ilivyopangwa na ndiyo jinsi mambo yalivyoenda.
Tiketi ikakatwa kesho yake na Masaa ndiyo yaliyokuwa yanahesabika ili Chuo kifunguliwe na Sonia aanze masomo ya Muhula wa pili, yaani 'second semister'.
***
Shamra shamra za watu kusafiri uwanja wa ndege Mwalimu Nyerere hazikuwa nyingi kutokana na usiku kuingia.Ulikuwa ni usiku wa saa tatu,ndipo Sonia alipofika na alitakiwa kuondoka na shirika la ndege ya KLM usiku wa saa sita,alisikitika sana kumuacha Mama yake mzazi katika hali mbaya lakini hakuwa na jinsi ilimbidi aende chuoni akaendelee na masomo.
Ukaguzi wa kawaida ulipokamilika na ilivyogonga saa sita kasoro robo kila abiria alitakiwa kuwa ndani ya ndege,Sonia na abiria wenzake wakatembea na kuingia mpaka ndani ya ndege,akatafuta siti yake na kukaa.
Akafuata maelekezo ya kufunga mkanda kama ilivyotakiwa.Ndege taratibu ikaanza kuvutwa tairi na mashine maalumu ikakaa sawa kwa kutembea.
lkatembea kwa kasi na ilivyochanganya taratibu matairi ya mbele yakaacha lami na mengine ya nyuma kufuata,hatimaye ikaacha ardhi ya Tanzania,ikazidi kupanda juu kabisa,ilivyokaa sawa angani,Sonia akachomoa mkanda wa kiti hapo ndipo akapata nafasi ya kuchomoa kitabu ndani ya begi lake kilichoandikwa TANGA RAHA,akavuta pumzi na kujikita ndani ya kitabu.
“Dada mambo vipi?”
Sauti ya abiria mwenzake,ikamshtua.
“Salama tu”
Sonia akajibu huku akiendelea kutupa macho yake juu ya kitabu.
“Kumbe nawewe mbongo eeh?”
“Yap”
“Nafurahi kupata siti moja nawewe,angalau mdomo wangu usinuke,nimeona hapo unasoma soma kitabu”
“Najaribu kupoteza poteza muda,kabla taa hazijazimwa”
“Nani mwandishi wa hiko kitabu?”
“Huyu aliyetunga anaitwa EDDY MSULWA,huyu kaka namkubali sana”
“Vitabu vyake vingapi ulishawahi kusoma?”
“Hiki ndiyo cha kwanza lakini nilikuwa nikimfuatilia facebook mara chache”
“Ulishawahi kusoma kitabu cha BIKIRA YANGU?”
“Kinaitwajee?”
“Bikira yangu”
“Ndiyo jina gani hilo?hapana sijawahi lakini huwa nakisikia sikia tu”
“Basi kifuatilie,maana huyo Eddy na mtunzi aliyetunga hiyo BIKIRA YANGU wana utunzi fulani matata sana wana blog yao inaitwa www.mkpub.info wewe ukiingia humo utafurahi,hawa watu wanatisha kama njaa,kuna watu wana vipaji bwana!”
“Umenitamanisha sana,nikifika tu nitauliza,alafu sijalifahamu jina lako kaka angu”
“Mimi naitwa Ahmed,wewe je?”
“Mimi naitwa Sonia”
“Nashukuru kukufahamu,unaelekea wapi?”
“Sweden”
“Kweeeeli?”
“Ndio”
“Basi tupo safari moja,unaenda kufanya nini huko?”
“Ninasoma kule chuo,wewe je?”
“Naenda kusalimia tu,kuna ndugu zangu huko ndiyo nimealikwa sio mbaya tukawa marafiki”
Stori ziliendelea waliongea kama waliofahamiana siku nyingi zilizopita,wakacheka na kufurahi kwa pamoja kila mtu akapiga stori za kwao.Wakachangamkiana.
Walitua kiwanja cha Amsterdam saa moja ya asubuhi, hapo wakasubiri mpaka saa nne wakaingia ndani ya ndege nyingine,muda wote walikuwa pamoja mpaka saa saba mchana,mpaka wanatua Arlanda Airport nchini Sweden, walipata muda wa kutosha wa kuzoeana na kubadilishana namba za simu.
“Sawa tutaonana,nitakupigia simu mimi naelekea Vashta,kuna umbali kidogo masomo mema Sonia”
“Nawewe pia,nime enjoy kampani yako”
“Okay”
Wakakumbatiana na hapo ndipo walipoachana.
Sonia akaingia ndani ya Taxi,ghafla sura ya Sebastian ikamjia kichwani,moyo ukaanza kumuuma tena,aliwaza kitu kimoja tu baada ya kuweka mabegi amzukie geto kwake.
Hicho ndicho kilichofanyika,baada ya kufika Hostel,alioga harakaharaka na kubadili nguo bila kupumzika akaingia ndani ya treni za umeme mpaka Gulmarshplan,katikati ya mji wa Stockholm.
Akaangalia huku na kule na kutembea haraka,akavuka barabara na kuingia ndani ya mjengo mkubwa ambapo ndani yake kulikuwa kuna vyumba.
Humo ndipo alipoishi Sebastian hakuwa na uhakika kama angemkuta ama kama amesharejea nchini Sweden ili kuanza masomo.
Akafika na kugonga mlango lakini hakuitikiwa,ilibidi atembee mpaka mlango wa jirani na kumuulizia.
“Nani,unamuulizia Sebastian?”
“Ndiyo”
“Ametoka, nafikiri leo usiku atakuwa Bambataa pale”
“Bambataa ndiyo nini?”
“Kuna club inaitwa Bambataa ya wa Afrika,leo atakuwa hapo usiku”
“Unaweza ukanielekeza?”
“Mimi nitakudanganya,taxi yoyote ile itakupeleka ukiwaambia hapo utafika bila kupotea”
“Ahsante sana kaka yangu”
Mazungumzo yalifanyika kwa lugha ya kiingereza,Sonia akaondoka mpaka hostel.Akapanga vitu vyake sawa na kujiegesha kitandani,kutokana na uchovu mwingi, usingizi ukamchukua.
***
“Ahhh sssh ba..by like thaaaaat”
Sauti ya msichana ilikuwa ikitokea chooni,kimini chake kilikuwa kimepandishwa juu kidogo amekunjwa vizuri ndani ya choo cha wanaume.
Hakuna mtu ambaye angeweza kuingia sababu kilifungwa na 'lock'.Sebastian ndiye alikuwa akifanya ngono chooni ndani ya Bambataa club,Mikono ya msichana huyo ilikuwa shingoni mwake amempandisha ukutani miguu ipo kiunoni mwake huku karoti yake ikiwa imezama ndani ya ikulu ya mwanamke huyu aliyekuwa na midadi na kufanya akatike vilivyo huku wakipigana madenda yasiyokuwa na idadi kamili.
“Ba..by aah ssh aaaah baby ye..s aaah aaah aaah aaaah shsss aaaaah”
Alizidi kuhisi raha akizidi kukizungusha kiuno chake akisikiliza utamu wa karoti ya Sebastian,wakazidi kushikana shikana alimanusura wadondoke chini,Sebastian alizidisha kasi.Mpaka alivyofika Mshindo ndiyo akatulia na kumshusha.
“Have you enjoyed honey?”
“Yes baby”
Wakajiweka sawa,Sebastian akapandisha jeans yake na kufunga zipu,walivyohakikisha kila kitu kipo vizuri wakatoka nje,ambapo mziki ulikuwa ukipigwa kwa sauti.
Watu walikuwa wanacheza katikati,Club ilikuwa kubwa imegawanyika sehemu tatu,chini kwenye andaki, katikakati na juu.Sebastian na mpenzi wake walikuwa katikati kwenye club ya Walatino,wanakunywa mvinyo!
Maisha kwao yalikuwa raha mustarehe kabisa, katika akili yake hakuwepo Sonia hata kidogo.
**
Spika zilikuwa zinakita kupita kiasi,Sonia alikuwa katikati ya ukumbi wa Bambataa,tayari ameshaingia anamtafuta Sebastian ili japo waongee,isingewezekana kumpata kirahisi kutokana na umati wa watu,akazidi kutembea huku na kule huku akiwa na glasi yenye kinywaji cha kuzugia.
Kwa mbali aliweza kumuona Sebastian kaunta,ni kweli hakumfananisha.Akamsogelea mpaka karibu.
“Sebastian”
Sonia akaita, Sebastian akageuka.
“Haa!Sonia,vipi mambo,umeingia lini?”
“Nimeingia leo,nilikutafuta kweli”
“Nani amekwambia nipo hapa?”
“Jirani zako”
“Karibu kinywaji”
“Hapana nahitaji kuzungumza nawewe”
“Poa,ngoja niende chooni mara moja”
Sebastian akainuka akaelekea upande wa chooni, ghafla msichana mwembaba mrefu akatokea mbele ya Sonia.
“Vipi na mabwana za watu?”
Lilikuwa ni swali alilotupiwa Sonia,tena kwa shari.
“Kwani wewe nani?”
“Hayakuhsu malaya wewe”
“Mimi sio Malaya”
“Wewe Malaya,tena kaa mbali na hii namba embu potea”
Sonia hakutaka kujibu kitu kingine,akachukua pochi yake ili aondoke lakini kabla ya kufanya lolote akamwagiwa pombe usoni.
Hakutaka kukwepesha nayeye akachukua glasi ya pombe akam-mwagia mwanamke aliyekuwa mbele yake.
Kabla ya kuanza kushikana mashati Sebastian akatokea.
“Sonia sonia Sonia,acha upumbavu.Usitake kunifanyia fujo”
“Sebastian unasemaje?”
“Embu ondoka hapa,sitaki kukuona,potea sasa hivi usije ukanichefua.Muathirika wewe una ukimwi tayar...”
Kabla ya Sebastian kumalizia maneno yake chupa ya Wisky ilitua kichwani mwake,Sonia alipandwa na hasira kupita kiasi na ndiyo maana akainua chupa bila kutegemea na kumpasulia nayo Sebastian kichwani,damu zikaruka mithili ya chemchem.

****
Damu ziliendelea kuruka kutokea kichwani kwa Sebastian kama mpira wa maji uliotoboka, kulikuwa kuna dalili kwamba chupa ilichana mshipa wa kichwa chake,alivyotaka kumvaa Sonia akaishiwa nguvu,akabaki ameshika kichwa chake ili kuzuia damu lakini haikuwezekana,akaporomoka mpaka chini ardhini,akaanza kuona giza kwa mbali na watu wanamzuia Sonia na kumvuta, hapohapo akaona ukungu na giza nene.
Candy msichana wa Sebastian hakutaka ushahidi, aliogopa kuisaidia mahakama baada ya kuona tukio hilo,alikimbia na kutoka eneo la tukio.
Sonia alibaki na hasira tayari mziki ulikuwa umezimwa watu walikuwa wamemzunguka, kwa wazungu lilikuwa tukio la kutisha,kila mtu alitaka kumuona msichana aliyevunja starehe ndani ya club hiyo.Muda wote Sonia alikuwa akilia machozi ya hasira.Bado alikuwa amebanwa na kitu kohoni.
Ndani ya dakika moja polisi wakawa wameingia,Sonia alivyoona hivyo akakinga mikono mbele kusalimu amri ili apigwe pingu huku akimtizama Sebastian aliyekuwa chini amelala,tayari alijua ameua na aliamini kwamba jela inamuhusu,hakutaka kujutia kwa jambo alilolifanya.
“Songa mbele”
Maaskari walimtoa mpaka nje wakamuingiza ndani ya gari la polisi huku Sebastian akikimbizwa ndani ya Ambulance.Magari yakaanza kuchomoka yakipiga kelele,gari lingine lilielekea hospitali na lingine polisi.Sebastian na Sonia wakagawana majengo ya Serikali!
****
Vyombo vya habari vingi vilitangaza juu ya mkasa uliotokea,japokuwa swala hilo lilikuwa dogo lakini wazungu walilikuza ni kwasababu tu Sonia hakuwa raia wao,uchunguzi ulifanyika na kugundua kwamba Sebastian alikuwa raia wa Marekani na Sonia ni Mtanzania,kesi ikazidi kuwa ya moto tena ilielemea upande mmoja wa Sonia.Kama Sebastian angekufa basi Sonia angeuwawa kwa njia moja ama nyingine.
Ubalozi wa Marekani ukaingilia kati wakatumwa mawakala watatu kwenda Ulaya kufuatilia kesi.
****
“Hapana haiwezekani nani..sebasti..an Mungu wa..ngu.Yu.ko wa..pi? sawa tuna..kuja”
Mama mzazi wa Sebastian alikuwa simuni kapokea taarifa za mwanaye,baada ya kukata simu aliangua kilio,akamkumbatia mume wake.
“Kuna nini?”
“Sebasti..ian amefari..ki”
Mama aliongea huku akilia kwa uchungu,Sebastian alikuwa ni kila kitu kwake.
“Hapana,Sio kweli..Nipatie simu”
Mzee Aidan Wyatte akachukua simu na kutafuta namba zilizompigia mke wake,akapiga akiwa amejikaza.Ki ukweli alikuwa ni kama mtu aliyechanganyikiwa.
“Halloo,embu niambieni kuna tatizo gani?”
“Kuna mambo yamempata mtoto wenu Sebastian”
“Kafanya nini?embu ongea haraka haraka nawewe”
“Anaumwa sana,njoeni Sweden Bromma hospital kama ikiwezekana”
Haraka simu ikakatwa Mzee Aidan akawa kama amechanganyikiwa.
“Jiandae haraka mke wangu,nampigia captain Norvan atupeleke huko”
“Mim..i nitaenda hivi hivi”
Hakukuwa na haja ya kujiandaa wala nini,Wakamtafuta rubani wao wa ndege,kila mtu alionesha hali ya kuchanganyikiwa kupita kiasi,wakatembea harakaharaka mpaka nje kwenye maegesho ya ndege zao binafsi.
Ilikuwa tayari imewashwa wakaingia na kuketi kila mtu alikuwa akilia machozi bado.
***
Sonia alikuwa akitoa maelezo yake kwa jinsi tukio zima lilivyotokea akaweka kila kitu wazi na mpaka Sebastian alivyofika nchini Tanzania,hakuficha hata kimoja akachimbua kila kilichokuwa ndani ya moyo wake,polisi akawa anaandika kila anachokizungumza kisha akarudishwa tena nyuma ya nondo.Kesi yake ilikuwa kubwa sana kwa mujibu wa sheria na jinsi mambo yalivyokwenda licha ya yote kilichokuwa kinamuweka matatani hakuwa raia wa nchi hiyo, ndiyo maana alikandamizwa.
Kwa jambo alilolifanya bado hakutaka kujuta na hakutaka kabisa Sebastian apone aliona ni bora afungwe kifungo cha maisha au kunyongwa kuliko kumuona Sebastian akiwa hai,muda mwingi aliopoteza nao aliona ulikuwa bure.Na alijua kivyovyote vile jela inamuhusu.
“Hata hivyo sijutii kwa nilichokifanya,hata akipona hatoweza kunisahau”
Sonia alijisemea tena akiwa anatabasamu usoni.
****
Mzee Aidan Wyatte na mkewe walitua na ndege yao usiku sana hawakutaka kupoteza wakati na kupumzika popote pale,wakatafuta taxi ikawafikisha mpaka Bromma hospital,haikuwa kazi ngumu kuelekezwa wodi alilolazwa Mtoto wao lakini hawakuruhusiwa kuingia ndani,waliishia kumuangalia kupitia kioo kikubwa,Sebastian alikuwa amezungukwa na mashine nyingi pamoja na dripu iliyokuwa inashusha maji taratibu ndani ya mishipa yake ya damu.Daktari alivyotoka Mzee wyatte akamuendea kwa kasi.
“Imekuaje?imekuwaje mpaka akafika hapa?nani kafanya haya?”
Yalikuwa ni maswali ya mfululizo aliyotupiwa daktari.
“Mwanangu atapona kweli daktari?”
Lilikuwa ni swali lingine kutoka Kwa Olivia,Dokta akashindwa kuelewa ajibu swali la nani kwanza,akabaki anawatizama.
“Njoeni ofisini kwangu”
Wote wakaongozana mpaka ndani ya ofisi ya dokta Christian,wakaketi wakiwa tayari kumsikiliza kwa kile anachokisema.
“Mtoto wenu ana hali mbaya,lakini madaktari wapo makini kufanya kazi yao”
“Imekuwaje?”
“Aliletwa hapa na maaskari inasemekana kwamba alikuwa club na sio siri kama isingekuwa juhudi za kumuwaisha hapa,tungekuwa tunaongea mengine”
“Mungu wangu!”
Mama alikema na kumwaga machozi.
“Nani kafanya hivi vitu?”
“Sijajua, lakini kama nilivyowaambia alikuwa club,mkitaka kujua zaidi mnaweza kwenda kituo kikubwa cha polisi Vashta ama hapo nje kuna askari yupo mnaweza kumuuliza mjue ilikuwaje.Lakini poleni sana”
Kabla ya Daktari kumalizia maelezo mengine yoyote yale Mzee Wyatte akasimama kwa hasira na kutoka nje mpaka kwa askari aliyeelekezwa kwamba anajua kila kitu,alikuwa ana kila sababu ya kujua nini kilimfanya mpaka mwanaye awepo hospitali tena akiwa katika hali mbaya ya kutisha.
******
Bado Sonia aliendelea kusumbuliwa,alishatoa maelezo yake karibia mara sita lakini yalikuwa yaleyale, alikiri kosa alilofanya kwa maana hiyo alikuwa akisubiriwa Sebastian atoe kauli yake ya mwisho,hilo peke yake ndilo lilichelewesha hukumu ya Sonia.
“Mbona ameshakiri kosa alafu mnamchelewesha?”
“Mzee wangu, inabidi twende kisheria,inabidi Sebastian awepo tukamilishe ushahidi ndio tumfunge vizuri huyu atanyongwa tu”
“Mi nataka anyongwe hata sasa hivi”
“Mwache avute pumzi kidogo,hilo ondoa shaka niachie mimi”
“Sawa,wacha tuone”
Mzee Wyatte alikasirika mno,alishajua tayari Sonia ndiye kafanya mambo hayo yote,aliomba Mungu Sebastian azinduke kitandani ili atoe maamuzi ya mwisho na Sonia afungwe ikiwezekana anyongwe kabisa.
****
Hakuna kitu kilichomchanganya Dustan kama kusikia taarifa za Sonia,hakupigiwa simu moja kwa moja kutokea Ulaya bali aliambiwa na marafiki zake ambao wapo nje,vyombo vya habari vilichachamaa na kumchafua Sonia vibaya sana,wengine walidiriki kumuita Malaya na jambazi wa kitanzania.
“Lakini sikupigiwa simu,wanafanya makosa.Embu subiri kidogo Boaz.Ngoja nipige simu chuoni kwao ndio nitajua kama ni kweli au ni uvumi”
“Sawa itakuwa vizuri,fanya hivyo sasa hivi Dustan”
“Okay ahsante kwa taarifa”
Simu ilivyokatwa,Dustan akapiga namba moja kwa moja Sweden tena kwa uongozi wa chuo hicho,akitaka kujua juu ya Sonia.Ni kweli taarifa alizopewa zilimchanganya akili yake,Sonia alikuwa amekamatwa na yupo rumande kwa takribani siku ya saba.
“Sasa mbona hukunipigia simu?”
“Nilishindwa kupata namba zako Mr.Dustan”
“Kwanini amewekwa ndani?”
“Ni ugomvi tu wa kawaida lakini nyuma ya hili kuna mapenzi ndiyo yalikuwa yanaendelea yaani kwa kweli sijui ki undani”
“Nitaingia kesho kutwa huko,nafikiri nitakuwa nimefanya jambo sahihi?”
“Ndio Mr.Dustan unaweza ukaja”
“Ahsante”
Dustan alishusha pumzi ya uchovu,ilikuwa ni lazima asafiri mpaka Sweden kutoa msaada kwa Sonia.
****
Sebastian alizinduka kitandani saa saba za usiku siku ya nane,kitu cha kwanza kukitamka ni jina la Sonia,tena kwa hasira.Bado alikumbuka chupa aliyopigwa nayo kichwani.Alisikia maumivu makali yaliyopitiliza.
“Maaaaaaam”
Sebastian alimuita mama yake aliyekuwa pembeni analia machozi,wasiwasi kwake ulikuwa mkubwa sana, kupona kwa mwanaye kulikuwa ni asilimia tatu.
Wanasheria wa Mzee Wyatte wakishirikiana na ubalozi wa Marekani walikuwa tayari wametia timu Hospitali,walikuwa wanamsubiri Sebastian azinduke kutoka usingizini ili wamuhoji.
Hapohapo wakamvaa na kuanza kumuhoji maswali wakiwa na vinasa sauti.
“Sebastian,tunaweza kuzungumza?”
Mwanasheria mmoja akauliza kwa lugha ya kiingereza.
“Ndi...o”
“Tueleze ilikuwaje?”
“Nahitaji kuzungumza na Son..ia siwezi kuongea sasa hiv..i”
“Sebasti..ian hatuna muda huo,naomba utujibu ili tujue cha kufanya”
“Mnataka kujua nini?”
“Kilichotokea”
“Ni ni ninahitaji Sonia awep..o nieleweni siwezi pia kuongea lolote lile”
Huo ndio ulikuwa msimamo wa Sebastian,kila mtu alishangazwa na jambo lililotokea.Yeye ndiye alikuwa akisubiliwa atoe kauli yake ya mwisho.
“Sebastian ongea ukweli,sheria ifate mkondo”
Baba mzazi akafoka kwa hasira,kitendo alichofanya mwanaye kilimkera.
“Baba.... sawa naongea, Ndio Sonia alinipiga chupa ya kichwa bila sababu,ninamtaka hapa mwenyewe ili nimuuwe kwa mikono yangu.Hajui mimi ni....”
kila nukta ya sentensi yake ilimfanya azidi kupandwa na hasira,akashindwa kumalizia sentensi yake, damu zikaanza kumtoka kichwani,alitetemeka kwa hasira kiasi kwamba alitamani kusimama kitandani achomoe dripu zote.
Alimchukia sana Sonia kuliko kitu chochote kile duniani hasa kwa kitendo alichomfanyia, kwake binafsi aliamini kwamba Sonia anastaili kunyongwa.
****
Dustan alifika uwanja wa kimataifa wa Arlanda nchini Sweden saa kumi na moja ya jioni,hakuhisi kuchoka hata kidogo.Alibanwa na uchungu ajabu!
“Taxiiiii”
“Yes sir”
“Take me to Stockholm,how much?”
“200 CRONA”
“No problem”
Taxi ilianza safari hapohapo,Dustan akachukua simu na kufanya mawasiliano na uongozi wa chuo ili ajue ni wapi ataanzia,ilikuwa ni lazima amkomboe Sonia,mbali na hapo alikuwa ni mwanasheria na sheria zote za Dunia alizijua alishangazwa na kitu kimoja tu,Sonia alikuwa raia wa Tanzania ilibidi simu ipigwe ubalozi wa Tanzania mara moja,lakini muda wote huo hawakufanya ivyo,hivyo akawa na usongo.Baada ya kufanya mawasiliano walipanga wakutane na Sir.Edmund Principle wa chuo mjini Hondol,na hivyo ndivyo ilivyokuwa.
“Nafikiri wewe ndiye Mr.Edmund niliyekuwa nazungumza naye kwa simu”
Dustan aliuliza baada ya kufika,tena kwa jazba macho yake yalikuwa mekundu kwa hasira.
“Ndiye mimi ndio”
“Tafadhali naomba uniambie ilikuwaje?”
“Sasa inakubidi upunguze hasira kidogo”
“Samahani kwa kukuuliza kwa ukali,ilikuwaje?”
“Kwa kweli nashindwa kuelewa hata mimi, cha kufanya inabidi twende hapo kituoni ili tukaulize”
“Sawa”
**
Walijua kabisa wanaenda kinyume na sheria,lakini hawakujali, Sonia alikuwa amekalishwa juu ya kiti chenye shoti ya umeme,kichwa chake kikawa kimevikwa kitu kama kibakuli cha chuma.
Alikuwa akipigwa na shoti ya umeme ndani ya chumba kidogo,nyuma ya mateso hayo alisimama Mzee Wyatte.Alimwaga pesa kwa maaskari ili wamsulubu vya kutosha.
“Ongeza kipimo,ongeza Watt”
Kitendo walichokuwa wanakifanya kilikuwa cha kinyama,wazungu waliwachukia sana waafrika.
Sonia alilia machozi ya uchungu akiwa juu ya kiti cha shoti,akakumbuka filamu ya SARAFINA jinsi alivyoteseka,akatokea kuwachukia wazunngu na kuichukia nchi hiyo pia,mateso aliyokuwa anapewa hakustaili kupewa binadamu.
'Switch'ikawashwa Sonia akaendelea kutetemeshwa na shoti ya umeme, maumivu aliyohisi yalizidi kipimo mpaka akapoteza fahamu,mwili wake ulikuwa umeiva ukabadilika rangi na kuwa mwekundu.
“Akizinduka tena washeni,nataka afie hapohapo juu ya kiti kisha nitatafuta madaktari,tutaandika kuwa alikuwa na shinikizo la damu”
Kauli hiyo ilitoka kwa mkuu wa kituo, Hafsa Benton


***
Maumivu aliyoyahisi mwilini mwake hayakuweza kuelezeka kiwepesi,isingekuwa rahisi kuamini kuwa Sebastian ndiye kasababisha mpaka ameingia kwenye matatizo makubwa kiasi hicho.Kuna mateso duniani lakini aliyoyapata Sonia aliamini kwamba hata mnyama hastaili kufanyiwa ukatili,mpaka masaa mawili yanapita akiwa juu ya kiti cha umeme alishapoteza fahamu karibia mara tatu,moto uliokuwa ukitembea mwilini mwake akahisi unamkausha.Umeme ndiyo uliokuwa ukipita mwilini,kibakuli alichowekewa kichwani kilimtetemesha akawa kama mgonjwa wa kifafa.
“Is she alive?”(Bado yupo hai)
Hafsa Benton alimuuliza askari mwenzake.
“Yes”(Ndio)
“Do it again”(Fanya tena)
Baada ya kauli hiyo tu,mashine iliwashwa. Sonia akazidi kuunguzwa na moto akipigwa shoti na kutetemeka.Alipiga kelele za maumivu lakini hazikumsaidia chochote na alilia machozi mpaka yakamkauka.
****
“Mna shida gani?”
“Mimi naitwa Dustan,ni mtanzania nimesikia mwanangu yupo hapa.Anaitwa Sonia Shayo”
“Sonia Shayo?”
“Ndio”
Maelezo aliyokuwa anatoa Dustan yakamfanya askari aliyekuwa zamu usiku aangalie kompyuta yake na kubonyeza keyboard'.Alivyomaliza alimtizama Dustan kwa macho yasiyokuwa ya kawaida.
“Ulisema anaitwa Sonia?”
“Ndio”
“Mbona alishatolewa hapa”
“Sijakuelewa afande”
“Nasema hivi,huyo Sonia hapa hayupo”
“Yuko wapi?”
“Kwa kweli sijui”
Lengo lilikuwa ni kumuuwa Sonia chini kwa chini na aliyekuwa anasubiriwa ni Sebastian peke yake na ndiyo maana askari alidanganya,ukweli ni kwamba Sonia alikuwa amefichwa chini ya chumba cha siri anakula mateso yasiyo ya kawaiada.
“Hamjui?Mr.Edmund au utakuwa umekosea kituo?”
Dustan akamgeukia mwenyeji wake.
“Sidhani, lakini wacha tufuatilie.Afande samahani kwa usumbufu”
Dustan na Principle Edmund wakaondoka zao,wakashindwa kuelewa ni kitu gani wakifanye.Dustan alionesha kuchanganyikiwa kupita kiasi.
***
“Mkuu”
“Sema”
“Kuna watu wamekuja wanafuatilia kesi”
“Wakina nani?”
“Mmoja katoka Tanzania na mwingine sijamjua vizuri”
“Ni hatari hii,angalie tusije tukagundulika”
“Nasubiri kauli yako”
“Fanya unavyojua,ili wasiendelee kutusumbua”
Sonia alikuwa akivuja damu mwilini,amechakaa vya kutosha, maongezi hayo yaliyokuwa yanafanyika kwa lugha ya kiingereza aliyasikia vizuri sana akajua tayari amepata ukombozi lakini hakujua ni nani aliyekuwa akitaka kumsaidia.Licha ya hayo kauli iliyotolewa na Hafsa Benton ilimtisha kupita kiasi,akaelewa kwamba kuna jambo la hatari litakalomfikia mtanzania mwezanke aliyetaka kumsaidia,hakuelewa hata kidogo kwamba alikuwa ni Dustan.
“Kuna watu wanataka kutia kitumbua mchanga”
Hafsa Benton alimsemesha mwenzake.
“Watu gani?”
“Wajinga wajinga fulani,naona binti ameshtuka washa mashine”
Hayo ndiyo mateso aliyokuwa anakula Sonia kila kukicha,alijikojolea hapohapo na kutoa haja kubwa pia,kifupi alikuwa tayari amekata tamaa ya maisha,aliamini kwamba kifo ndicho kilikuwa mbele yake.
***
“Mr.Edmund nina mashaka huku tunapoelekea ni kubaya”
“Kwanini?”
“Kuna kitu ninahisi,hapana kuna kitu ninahisi lakini sio mbaya.Naomba nipeleke ubalozi wa Tanzania”
“Sawa”
Principle Edmund alikuwa bega kwa bega na Dustan,akaweka gia sawa akazidi kusonga mbele kwa safari ya kwenda ubalozi wa Tanzania ili kupata msaada zaidi,Dustan hakutaka kufanya kitu chochote kile kuogopa sheria kumbana akiwa nchi za watu na ndiyo maana akachukua jukumu la kisheria la kwenda kuripoti Ubalozi wa nchi yake ili ajue ni msaada gani angeupata.
Ulikuwa ni usiku wa manane lakini mji ulikuwa umewaka, kila sehemu kulikuwa kuna taa zinamulika,haukutofautishwa na mchana.
“Hapa naweza nikapata choo kidogo nikojoe”
Dustan aliomba.
“Huwezi kuubana mkojo wako?tumekaribia kufika”
“Hapana,niliubana tangu kwenye ndege tafadhali dakika moja tu”
“sawa ngoja nipaki”
Dustan alivyotaka kushuka,akashikwa mkono.
“Shika hii crona kumi,utaingiza kwenye mashine ndiyo uingie chooni”
“sawa”
Dustan akashuka na kuingia ndani ya jengo kubwa lenye vioo tupu.
****
“Bado mpo nao karibu?”
“Ndio”
“Kuweni makini,mkipata saiti nzuri pigeni risasi angalieni kamera zisiwanase”
“Sawa”
Yalikuwa ni maagizo kupitia simu ambayo yalitoka moja kwa moja kituo kikubwa cha polisi kista,gari alilopanda Dustan lilikuwa katika hati hati ya kupigwa ambush na wauwawe mara moja ili kufungwa midomo.
Na ndiyo maana wakakodiwa watu wa kazi hiyo waliotoka katika kikundi cha SERIAL KILLERS ili kuhitimisha kazi hiyo walioifananisha na kuuwa mbu ndani ya neti.
Gari yao ilikuwa nyeusi aina ya Toyota Marruti,ndani kulikuwa kuna vijana wanne walijifunika nyuso zao yaani ninja.Waliweza kuifuatilia gari ya Principle Edmund kuanzia Stockholm wakawa nayo sambamba huku ndani wakiendelea kuweka sawa viwambo vya bastola zao,kazi hiyo ilitakiwa kufanywa kimnya kimnya na imalizike usiku huo huo kabla ya majogoo kuwika!
“Weka hapo pembeni gari”
“Sawa”
Toyota Marruti ikawekwa mita mia moja kutokea gari la Priciple Edmund lilipoegeshwa.
“Tuwamalize palepale?”
“Ngoja subiri,kuna kamera tatu pale nje chuna kwanza”
“Sasa muda unakwenda”
“Wewe usijali,zipo njia nyingi za kuwamaliza bila ya hata kupoteza risasi zetu”
“Hakuna tabu”
Majambazi kutoka kikundi cha Serial Killers yaliendelea kubishana.
***
Ndani ya jengo hilo lililofananishwa na ukumbi mkubwa kulikuwa kuna tamasha kubwa hivyo kulikuwa kuna mkusanyiko wa watu wengi,chooni kulikuwa kuna foleni ukasababisha msululu mrefu, kila mtu alionekana kubanwa na haja.Dustan alikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa katika msululu huo.
“Wewe Dada zamu yangu,si umenikuta hapa?”
“Kaka angu mimi nimebanwa”
“Hata mimi nimebanwa nina uharo”
Kuingia chooni ulikuwa ni mtihani mkubwa,Dustan akaona isiwe tabu akajibana na kutembea adoado akijaribu kujibana kiume.Akawa anaranda huku na kule.
“Mmh”
Akaguna,kitu kilichomshangaza ni kutokea kwa nyuma, akaona gari lililofanana na Hiace limepaki gizani,hakutaka kuhoji maswali mengi kwa sababu pia aliamini gari hilo ni moja ya magari ya watu waliokuwa ndani ya sherehe iliyokuwa ikiendelea ndani ya Hall.Akachukua simu yake na kumpigia Principle Edmund awashe gari ili amfuate nyuma alipo.
“Upo kwa wapi?”
“Nimetokea huku nyuma,leta gari huku”
“Ushakojoa?”
“Bado,embu njoo jinsi mkojo ulivyonibana mpaka nashindwa kutembea,kibofu kinauma ndugu yangu”
Baada ya kukata simu, Dustan akashangaa gari nyeusi la mbele yake nalo linawashwa na kuanza kutoweka taratibu sana,hakutaka kuwa na habari nalo.
“Griii griiii”
Simu ya Dustan ikaita.
“Halloo”
“Upo kwa wapi mzee?”
“Kwa huku nyuma”
“Huko one way,siwezi kuleta gari njoo kwa kushoto huku,kwenye hilo bango la Conviq”
“Sawa nishaliona...aya nimefika”
Principle Edmund akasogeza gari mpaka miguuni mwa Dustan,akaingia safari ikaendelea.

Ilikuwa kama Mungu, akageuza shingo yake nyuma akaona gari nyeusi inawafuata kwa nyuma.Akatafakari kidogo huku wasiwasi ukimuanza,taa nyekundu kichwani mwake ikawaka ikimaanisha kuna jambo la hatari linatokea.Gari lao likatembea mpaka kwenye daraja kubwa.
“Kuuuuuh”
Ulikuwa ni mlio uliowafanya gari lao linyumbe,walikuwa wamegongwa kwa nyuma na Hiace,haikushia hapo Hiace iliendelea kuwagonga kwa nyuma,hapo ndipo Dustan akapata jibu la swali lake kwamba tayari ameingia kwenye matatizo makubwa,wakati Principle Edmund anaendelea kuweka usukani sawa ili gari lisipoteze uelekeo, Dustan alikuwa akitafuta njia ya kujitosa ili ayaokoe maisha yake,gari likazidi kuyumba barabarani likaanza kupoteza uelekeo.
Hiace ya majambazi ikawapita kwa mbele wakawa sambamba, mmoja wa majambazi akafungua mlango mkubwa na kuchomoa mtutu na kuanza kulimiminia risasi gari la Principle Edmond matairi yote yakapasuka,gari likapoteza uelekeo likagonga daraja la pembeni, ili kupoteza ushahidi wakaligonga gari la Principle Edmond likatumbukia ndani ya daraja lenye maji mengi.
“Lets goo,Lets go,Lets gooooo”
Jambazi akapiga kelele akimtaka mwenzake aingie ndani ya gari.
Kama mwanajeshi jambazi huyo akaingia ndani ya gari,jinsi gari lilivyotolewa kwa kasi, ilitisha.

****
Isingekuwa ujuzi wa Dustan kupiga mbizi basi angekufa kwa kutapatapa ndani ya maji yenye kina kirefu tena ya baridi kupita kiasi,akiwa ndani ya maji aliipiga miguu yake akayakata maji akichezea mikono yake,akaibuka juu akavuta pumzi na kutizama usalama juu ya daraja,aliweka kichwa chake juu ya maji kwa kama sekunde kumi hivi.
“Edmund,Edmund”
Dustan akaita huku akitizama huku na kule, lakini hakukuwa na dalili ya Principle Edmund popote pale,akaingiza kichwa ndani ya maji na kuanza kuogelea chini kwa chini,asingeweza hata kidogo kutoka peke yake bila ya Principle Edmund awe hai au mfu.
Chini kwa chini aliyakata maji huku akiyalazimisha macho yake kuona mbele,aliliona gari likiwa chini kabisa ya mchanga akazidi kupiga mikono kiufundi mpaka akalifikia,akavuta mlango kwa nguvu akamuona Principle Edmund anaelea huku akiwa anavuja damu,akamvuta na kuipitisha mikono yake tumboni mwake kisha kupanda juu mpaka vichwa vyao vikatokeza nje.
Adoado akamsogeza mpaka nchi kavu.
Alichofanya ni kusikiliza mapigo ya moyo,alichoshukuru Mungu Principle Edmund bado alikuwa hai,hapo ndipo akaanza kumkandamiza kifuani akianza kumpa huduma ya kwanza,dakika moja nzima alikuwa akifanya ivyo, akatafuta gogo na kuliweka chini kisha kumlaza juu yake kifudifudi.
Principle Edmund akaanza kucheua maji kisha kuanza kukohoa.
“Ndugu vipi?”
“Koho koho kohoooo,Nik..o fresh”
“Pole sana ngoja nitafute simu nipige hospitali”
“Hapana usifanye hivyo,ni hatari kwa sasa hivi.Tafuta simu mpigie mke wangu aje kutuchukuwa.
“Sawa,nipe namba”
Maumivu ya risasi mbili moja mkononi nyingine mguuni zilimfanya Principle Edmund ashindwe hata kusimama,alichofanya ni kumtajia namba Dustan ambaye hata risasi moja haikumpata.
Akatembea mpaka kwenye kibanda cha simu,akatumbukiza coin aliyokuwa nayo mfukoni na kuzungusha namba.
Simu iliita lakini haikupokelewa,Dustan hakuchoka akazidi kupiga huku akiwa ametandwa na hofu bado alikuwa ana mashaka,maisha yake yalikuwa bado hatarini,hakutofautishwa na ngedere aliyekuwa shambani anaiba mahindi,alikuwa akitizama huku na kule mara ajifiche akiona gari ili mradi kuiokoa nafsi yake.
“Halloo.. halloo.. halloo..”
Dustan akaanza kuongea harakaharaka baada ya simu kupokelewa.
“Nani mwenzangu?”
“Mimi naitwa Dustan,nimepewa namba hii na Edmund tunahitaji msaada wako tafadhali”
Dustan akaanza kujielezea kwa lugha ya kiingereza,kila kitu kilivyokwenda mpaka Principle Edmund kupigwa risasi.
“Mungu wangu,mpo wapi?sasa nitakuamini vipi kama upo na Mume wangu?”
“Usikate simu,nakupa uongee naye sasa hivi”
Haraka Dustan akatembea na kum-beba Principle Edmund mpaka karibu na mkonga wa simu,akaongea na mke wake na kumueleza kila kitu.
“Nakuja hapo sasa hivi Edmund,kuwa mwangalifu.Naomba nitumie Adress Mpenzi wangu”
Adress ikatumwa.
Principle Edmund na Dustan wakajificha nyuma ya chuma kubwa wakisubiri kuokolewa na Melisa, mke wa Principle Edmund.
****
“Kwahiyo unasemaje Sebastian mwanagu?”
“Vyovyote tu sawa.Lakini kwanza naomba nimuone kwa mara ya mwisho kabla hamjachukua maamuzi ya mwisho”
“Hilo ondoa shaka mwanangu”
Mzee Aidan Wyatte alikuwa yupo na mwanaye Sebastian,mikakati yao ilikuwa ni kumuondoa Sonia duniani,kitendo alichokifanya kwake kilikuwa cha udhalilishaji tena kwa familia kubwa kama hiyo,Sebastian hakutaka kumsikia hata kidogo binadamu anayeitwa Sonia katika maisha yake,alikuwa bega kwa bega na baba yake mzazi.
Sonia aliitajika auwawe haraka sana tena achomwe sindano ya sumu,kila kitu kiliwekwa sawa na alipachikiwa kesi mbaya tayari ya miongoni mwa wanawake waliondamana kupinga sheria ya usagaji nchini Finland na kufanya watu wauwawe.
Kutokana na ngozi yake kuwa nyeusi yaani muafrika, hakuna mtu aliyethubutu kumtetea kila mtu alimchukia,wazungu walikuwa wabaguzi kupita kiasi na ndiyo maana kesi yake haikufuatiliwa kiundani.
“Usimwambie mama yako kuhusu hili jambo”
“Hana sababu ya kujua,sababu najua atamtetea ni mu Afrika mwenzake”
“Sawa mwanagu vaa twende”
Sebastian na Baba yake wakatoka nje na kuchukua gari mpaka kituo cha polisi ambapo walitaka waonane na Sonia,wakapelekwa mpaka alipo.
“Seb...astian.Afadhali umekuja naom..ba uongee ukweli ili niepukane na haya mate..so tafadhali nimeshasingiziwa kesi nyingine tayari.Nateseka sana,sawa basi hata kama hunipendi waambie waniruhusu nirudi nyumbani kwetu Tanzania ninakuhaidi kuwa sitokusumbua tena nitakuacha na maisha yako.Waambie ukweli hich..o tu”
Sonia aliongea huku akimwaga machozi,hakuelewa kuwa Sebastian yupo hapo ili kumuona kwa mara ya mwisho.
Sebastian ndiye alikuwa ni Israel katika maisha yake,alimtizama Sonia na kumtemea mate usoni.
“Ha! Haa! Haaa! Haaaa! Haaaa! Haaaaa! Haaaaaaa! Malaya mbwa!nani akusaidie? nimekuja tu kukuaga kwa mara ya mwisho wewe ni marehemu,lakini kitu kimoja nataka nikusifu,wewe ni mtamu kitandani saaaaaaana,nilienjoy ile siku nakuvunja bikra yako.Lakini nimetokea kukuchukia ghafla sijui kwanini,any way wasalimie ahera”
Sebastian aliongea maneno ya kejeli,yalikuwa ni matusi ya hali ya juu sana.
Sonia bado hakutaka kuamini kuwa mwanaume aliyemtoa bikra yake ama kumuonesha usichana, ndiye yupo mbele yake anatamka maneno hayo,bado alidhani yupo ndotoni tena anaota ndoto ya kutisha na baadaye angeshtuka lakini mambo yaliyokuwa yanatokea yalikuwa yana ukweli.
“Najaribu kuifuta hii tatou shingoni lakini haitaki kutoka,itakuwa kumbukumbu sio mbaya,tchao”
Baada ya maneno ya kebehi kutamkwa na Sebastian,akaingia askari akiwa na wenzake huku mikononi wakiwa na chupa ya sumu kali,walisogea karibu na Sonia na kuchomeka sindano ndani ya chupa ya dawa wakavuta sumu kali.
Sonia aliendelea kumuangalia Sebastian akakumbuka kila walichokifanya kitandani akakumbuka raha zote,bado haikumbuingia akilini kwamba ndiye huyu mwanaume anayetaka kuutoa uhai wake,kosa lake hakulijua, yote alibaki kumuachia Mungu wake aliye juu mbinguni.
“Pole sana”
Mzungu aliyeshika sindano ya sumu alimwambia Sonia kwa dharau huku akijichekesha.
***
Makomandoo kumi na moja walikuwa tayari wamekizunguka kituo cha polisi vasta,jinsi Dustan alivyojielezea Ubalozi wa Tanzania na ushahidi aliopeleka moja kwa moja akapewa makomandoo wa kutosha,kibali kilichapwa harakaharaka ruksa ikatoka ubalozini.
Vifaa vya kisasa vilikuwa vimepitishwa ndani ya andaki alilowekwa Sonia,kila kitu kikawa kinaonekana ubalozini mpaka maneno waliyokuwa wanasema,ilikuwa ni lazima wayawahi maisha ya Sonia mtanzania mwenzao.

Kilichowasaidia kufika kituoni hapo sio kitu kingine bali ni uchunguzi wa kamera.
Makomandoo walikuwa wana usongo, kitendo walichokuwa wanamfanyia Sonia kilizidi kuwapandisha Mori.
“Tunaingia kimnya kimnya,bila kufanya kelele yoyote ile Captain Moses utaingilia upande wa nyuma,mimi na timu yangu tutaingia mlangoni,hii ndiyo ramani ya kufika huko chini kwenye andaki”
“Sawa mkuu”
“Sawa mkuu”Wote wakaitikia kwa hasira huku wakibana meno yao.
Maelekezo yalikuwa yameeleweka,kila mtu akachukua nafasi yake wakakiweka kituo cha polisi katikati,kila kitu kikawa kimetegeshwa ikawa inasuburiwa amri kutoka kwa Captain Mkabi, aliyekuwa makao makuu anawaona kupitia 'scrin' kubwa.
“We are all set sir,waiting for your command”
“May day, may day Alpha two you ready to move”
Maneno waliyokuwa wanaongea waliyajua wenyewe,mmoja baada ya mwingine wakaanza kuingia ndani,wakamuweka chini ya ulinzi askari mmoja aliyekuwa mapokezi.
Wakazidi kuingia ndani wakashuka ngazi taratibu.
Wakamvuta Mzee Wyatte aliyekuwa mlangoni akazibwa mdomo na kuwekwa kando.Wakazidi kusonga mbele bila kelele, Sebastian akavutwa na kupigwa kichwa puani.Kabla ya Sonia kuchomwa sindano tayari Makomandoo wakamfikia askari aliyekuwa na Sindano tena taratibu mno huku wakimpa ishara Sonia asishtuke wala kuonesha kama amewaona.
Askari akaguswa bega alivyogeuka akatulizwa na kitako cha mtutu kichwani, akadondoka chali.
“Nyamaza Usilie Sonia,tunaenda nyumbani kila kitu kipo sawa,nyamaza tumekuja kukuokoa kuanzia sasa upo huru”
Sonia alilia machozi akashindwa kuzungumza chochote akafunguliwa kutoka kwenye kiti, haraka akatolewa nje, gari la wagonjwa likaja na kumuwaisha hospitali ili akapatiwe matibabu.
“Mission accomplished,i repeat Mission Accomplished.She is okay”
Taarifa kwa njia ya redio upepo zilikuwa zinatumwa makao makuu kuwa tayari wamemaliza kazi na Sonia ni mzima.
Ilikuwa ni kama sinema ya kuigiza kumbe ndiyo kweli.
***
Sonia alipatiwa matibabu ya haraka sana,tena aliangaliwa kwa jicho la tatu kila kitu kiliendeshwa na serikali ya Sweden ilikuwa ni kesi kubwa ambayo ilifunguliwa na ubalozi wa Tanzania, ndiyo maana gharama zote zikawa juu yao,nyuma ya kesi hiyo alikuwepo Dustan,alihakikisha anapambana mpaka anapata haki, japokuwa mara nyingi walijaribu kumnunua na kutaka kumpatia pesa nyingi ili kesi hiyo isimamishwe lakini alidai usawa, hakutaka kupokea rushwa na ndiyo maana kesi ikafufuliwa.
Hiyo ikamfanya Sebastian akae nyuma ya nondo,pesa za baba yake hazikuweza kufanya chochote kutokana na serikali kuchachamaa.
“Unajisikiaje Sonia mwanangu?”
Dustan alimuuliza Sonia lakini hakujibiwa,kilio ndicho kilikuwa kinasikika tu.Sonia alilia kwa uchungu, bado hakuamini kwamba anapumua.
“Usilie,kila kitu kipo sawa nitakuwa nawewe bega kwa bega”
“Naomba nirudi Ta..nzania Anco Dust..an”
“Utarudi usijali”
Sonia aliendelea kupatiwa matibabu huku kesi ikizidi kuunguruma.
Ni kweli Sonia alifanya kosa la kumpiga Chupa Sebastian lakini kilichochukuliwa kwa wakati huo ni kuteswa kwake na kutaka kuuliwa,kila ushahidi uliwekwa, mpaka video kesi ilikuwa ya moto na ilitangazwa kila chombo cha habari mpaka CNN na ALJAZEERA,kila mtu aliyemuona Sonia alimuurumia magazeti yalimwandika, wengine walimwaga machozi.

***

Muacheni Mungu aitwe Mungu tu,Sonia alishinda kesi na kulipwa kiasi cha dolla milioni kumi kama fidia, zilikuwa ni pesa nyingi kupita kiasi,Mzee Wyatte alifilisiwa asilimia ishirini za hisa katika kampuni zake na kupewa kifungo cha nje,hakuruhusiwa kusafiri kwenda nchi yoyote ile, passpot yake ikashikiliwa.
Baada ya miezi miwili kupita Sonia alikuwa ana ridhisha kiafya, akaruhusiwa kutembea hakuwa na sababu ya kubaki nchini Sweden,aliichukia nchi hiyo kupita kiasi.
***
Uwanja wa ndege mwalimu Nyerere kulikuwa kuna shamrashamra kila mtu alitaka kumuona Sonia,habari zake zilisambaa karibia nchi zote za Africa,watu wengi walifunga safari ili kufika Tanzania kumuona,waandishi walijazana langoni.
Waandishi mbalimbali wakubwa wa tungo kama Hussein O Molito nayeye alikuwepo, alitaka kumuhoji Sonia na kuandika juu ya maisha aliyopitia.
Alivyotokeza tu.Kelele zilipigwa kila mtu alimfuata huku wengine wakiwa wameshika vibao na mabango yaliyoandikwa, HERO DUSTAN AHSANTE SANA WEWE NI MFANO WA KUIGWA.
ilikuwa sio rahisi kuzituliza gasia bila ya msaada wa polisi,hivyo ndivyo ilivyokuwa.Askari wakasogea karibu na kusukumiza watu.
“Mimi ni Amor Pretty kutoka kituo cha ITV NAOMBA Utueleze kilichokukuta nchini Sweden kwa kifupi”
Mmoja wa waandishi wa habari,alisogea karibu na Sonia akaweka Maiki karibu kabisa na mdomo wake.Badala ya Sonia kusimulia aliangua kilio, ilikuwa ni kama katoneshwa kidonda.

*****
Hakuna kitu alichojutia katika maisha yake kama kutokutoa msamaha kwa Nickson,alitamani miaka irudi nyuma haraka ili walau amsamehe,lakini haikuwezekana. Nickson hakuwepo tena duniani na haikuwezekana kuubadili ukweli kwamba Nickson hatoonekana tena katika nyuso ya dunia.
Mawazo yalimkondesha Rukia,akatamani kwenda makaburini akamfufue Nickson japo amuombe msamaha lakini hilo halikuwezekana alikuwa tayari keshanyakuliwa mbinguni.
Kipindi alipokuwa anaombwa msamaha alidengua,akabaki tu kumtunza mtoto aliyemwamchia kama kumbukumbu,akamlea na akawa msichana mkubwa tena mrembo wa kuvutia.
Baada ya mtoto wake Nasra kumaliza kidato cha sita akaenda kuendelea na masomo ya juu jijini Dar es salaam akisomea ualimu.Kila mwanafunzi wa kiume alimzungumzia,rangi ya Nasra ya maji ya kunde iliwadatisha wanachuo na watu mbalimbali waliomuona.Chuoni akawa tatizo lingine, uzuri wake ukawanyanyasa wanaume wengi chuoni,rangi yake ilikuwa natural, hakutumia madawa yoyote yale kama carolite ili kujichubua kama wanawake wengine.
Nasra alichukua ufupi wa Mama yake na Macho ya Baba yake Nickson, japokuwa hakuwahi kubahatika kuishi naye,hilo aliambiwa mara nyingi na Mama yake.
Siku moja alivyokuwa anatoka Hostel alikuta watu wengi wamekusanyika wanaangalia taarifa ya habari ndani ya Hall.
Akajichanganya ili kuangalia kinachoendelea,akaangalia kesi ya msichana mrembo inayoendelea nchini Sweden na jinsi alivyokuwa anateswa.
“Baby”
“Embu subiri kidogo. Hivi Larry huyu msichana ni mtanzania au?”
“Ndio,tatizo baby nawewe nakwambiaga uwe unasikilizaga taarifa ya habari wewe mbishi huyu ni Mtanzania kesi yake inasomwa wiki ijayo.Nitakupa stori yake anaitwa Sonia Shayo”
“Sonia Shayo?”
“Ndio.Ukoo wenu wa Shayo mkubwa sana wewe nawe Nasra Shayo.Basi vurugu tupu,si unaona hata huyu nani huyu Mangia,hapa chuo kuna Mangia wengi.Ngowi ndiyo usiseme nyie wachaga nashindwa kuwaelewa”
“Tuachane na hayo,nisindikize pale kantin nikanunue chips”
Nasra alivyogeuka kila mtu alimkodolea macho,mguu wake wenye supu ulikuwa tishio na hakuna mtu aliyeweza kujua alifanya kusudi au ndiyo alivyo sababu alipenda kuvaa vimini au nguo fupi, mapaja yake manene yakawa yanaonekana,alijiachia sana,Mpenzi wake Larry ndiye alimpa kiburi na kumruhusu avae nguo hizo nayeye aliona sifa na ufahali.

Nasra na Lary walipendana kupita kiasi na hakuna hata mmoja wapo chuoni aliyekuwa na ubavu wa kuyatenganisha mapenzi yao.Hayo ndiyo yalikuwa maisha yao.
Wanaume wengi sana walimsumbua Nasra wakiwemo matajiri mbalimbali mjini, kila mtu alimtamani kingono akitaka hata kuwa naye kitandani kwa usiku mmoja lakini hakuna hata mmoja aliyeweza kuambulia chochote kile,wote walipigwa vibuti.
“Hapana si nilikwambia nina Boyfrend mbona unakuwa ivyo kama ruba,nina bwana angu nielewe basi”
“Hapana Nasra,hata kama. Mimi sitojali nitakuwa hata spea tairi”
“Acha kunifurahisha,embu nitolee mambo yako ya nyimbo.Sikutaki full stop alafu ukiendelea kunigasi nitamwambia rafiki yako”
“Basi yaishe”
Nasra ndiye alikuwa akitongozwa ndani ya mgahawa na mmoja wa wanafunzi wa chuo cha Dar es salaam,hakutaka kabisa kulegeza kamba.
****
“Ahh sshs aaah aaah aaaah aaaah aaah sshss”
Kelele za puani zilitoka mdomoni mwa Nasra akiwa juu ya kiuno cha Larry wakiwa chumbani wanafanya mapenzi,alijitahidi kukinyoga kiuno chake taratibu huku mikono yake ikiwa juu ya kifua cha Larry.
Nasra alipenda sana mchezo huo tena aliufurahia,hakuweza kupitisha siku mbili bila kufanya ngono,alijizoesha vibaya.
Akazidi kupanda juu na kushuka chini,akainama kidogo na kuanza kumla denda Larry aliyekuwa chini chali,mambo yaliendelea wakaenda asteaste.
Ghafla akapinduliwa upande wa chini mguu wake ukawekwa begani ikawa kama kifo cha mende,mambo yakazidi kuendelea.
Hawakuishia hapo alinyanyuliwa na kuambiwa ashike kitanda yaani mbuzi kagoma au dog stile kitaalam, kwa kuwa aliupenda mchezo huo kuliko kula, akakubaliana na kila kitu,kiuno chake kikashikwa vizuri, makombola yakazidi kusukumizwa.Kila mtu akawa anajitahidi kwa kadri anavyoweza ili kumridhisha mwenzake.
“Ahh aaah aaah sshs aah aaah aah ssh aaah mmmh mmhh”
Nasra akazidi kutoa sauti za chumbani,tayari alikuwa anakaribia kufika safari yake,akazidi kulalamika kupita kiasi.
Hapo ndipo Larry akazidisha kasi ya mashambulizi.Wote wakafika mshindo na kutupana kitandani.
“Honey”
“Naam”
“Nakupenda sana”
“Namimi pia”
Wote wakapigana mabusu ya mahaba baada ya mchezo huo kuisha.
****
Mapenzi yao yalivuma kama upepo uendao kasi,kila mtu aliyajua mpaka wakapachikwa majina Jay z na Beyonce.Kila sehemu walikuwa pamoja,Nasra alizidi kuonyesha msimamo wake kila kukicha, wanaume wengi walimtongoza lakini hakutaka kuziruhusu hisia zake ziende mbali na Larry, kifupi alimpenda na kumridhia ingawa alikuwa ni mwanafunzi mwenzake hilo hakujali sana,ili mradi tu alipata anachohitaji.
Akaamini siku zote Larry ndiye atakuja kuwa mume wake wa ndoa waliongozana kama kumbikumbi.

Kadri siku zilivyozidi kwenda mbele tabia ya Larry ilizidi kubadilika alikuwa mara nyingi yupo bize na hakumpatia muda hata kidogo Nasra,hilo likamuumiza sana kichwa, kwa mara ya kwanza alimuamini mbali na hapo alimpenda sana Larry, hakutaka kuwaza hata kidogo kwamba atakuja kuwa na mwanamke mwengine kimapenzi.
“We Nasra,mbona upo hivyo?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa mwanachuo mwenzake yaani 'roommate'.
“Larry ananitesa,simuelewi siku hizi”
“Kafanya nini?”
“Tabia zake zinanichosha,mara nyingi ananiambia yupo bize”
“Lakini...ila basi..”
“Niambie Ashura”
“Ah Shosti mimi sitaki umbea kabisa,ngoja nikae kimnya”
“Ashura”
“Abee”
“Niambie ukweli basi”
“Ukweli gani?”
“Kitu gani unataka kuniambia?”
“Si kuhusu huyo Larry”
“Kafanya nini?”
“Ni bora ushuhudie mwenyewe,mimi sitaki kukwambia lolote nitaonekana ninachonga sana”
“Ashura,mimi nawewe ni marafiki sana tena wa muda mrefu hata Mudi akifanya makosa huwa nakwambiaga,si ndio?”
“Ndio”
“Aya,nieleze”
“Una moyo lakini?”
“Ndio ninao”
“Sasa hivi saa ngapi?”
“Saa moja jioni”
“Ikifika saa tatu jiandae nikupeleke sehemu ukaone mwenyewe”
“Mbona unaniweka roho juu lakini?”
“Wala sikuweki shoga angu,nataka mwenyewe ushuhudie najua nikiongea nitaonekana mimi mbeya sana,inabidi uone kwa macho yako”
“Mh,lakini sawa”
Saa zilisogea kwa mwendo wa Kobe,Nasra alitamani asukume masaa mbele ili akajionee mwenyewe,mambo aliyoambiwa na rafiki yake Ashura yalimfanya apate kihoro.
Kila wakati alitupa macho yake juu ya saa yake ya mkononi akiangalia mshale wa sekunde unavyotembea taratibu,kichwani alikuwa mwenye mawazo mengi sana.Hatimaye saa tatu ikafika tena kamili, Nasra akakurupuka kitandani na kumuamsha Ashura.
“Muda ndiyo huu sasa”
“Jiandae,lakini shoga angu una moyo?”
“Ninao,moyo ninao kwani kuna nini?”
“Mimi sitaki kuongea wewe twende,vaa basi”
“Sasa nivae nini?kwani tunaenda wapi?”
“Wala sio mbali,kusema kuwa tutapanda daladala,ni hapo nyuma tu”
“Basi hivihivi, hikihiki kigauni naenda nacho”
“Nakuuliza tena kwa mara nyingine una moyo?”
“Ashura twende bwana”
Haraka wakatoka,Ashura akavaa viatu wakafungua mlango na kuanza kushusha ngazi za hostel,wakateremka mpaka chini wakaongozana tena wakiwa wameshikana mikono.Ghafla Ashura akasimama.
“Vipi?”
“Naomba usije ukanitaja tu”
“Ah twende,siwezi kukutaja”
“Aya”
Wakaendelea na safari mpaka walipofika karibu na kiwanja cha mpira ambapo kulikuwa kuna giza kwa mbali,wakamuona mtu kasimama.
“Yule si Larry?”
Nasra akauliza.
“Ndio,basi tulia si unataka kuona kila kitu,subiri picha lianze”
“Mbona sikuelewi?”
“Tulia utanielewa tu”
Nasra akawa makini sana kukaza macho yake mbele,akamuona msichana aliyevaa kanga akitembea kuelekea alipokuwa amesimama Larry.
Akazidi kutulia japo alihisi majasho yanamtoka mwilini,damu yake ikazidi kumwenda mbio.
Ikasukuma mapigo yake ya moyo kwa nguvu.Kwa macho yake mawili akawashuhudia wanapigana denda,hakuamini kwa anachokitazama hawakuishia hapo.Kanga ya msichana huyo ikatolewa akainama na Larry akashusha suruali yake chini.
Kitendo alichofanya Larry kilizidi kumuumiza moyo, alikuwa akimuingilia msichana huyo kinyume na maumbile yaani mlango wa nyuma.
Machozi yakaanza kumtoka, alivyotaka kuwafuata, Ashura akamshika mkono.
“Unataka kwenda wapi?”
“Ashura niachie”
“No siwezi”
Kwa nguvu za ajabu,Ashura akasukumizwa, Nasra akatembea mpaka walipo akamshika Larry bega,bado hakuamini alichokishuhudia,alibakia tu akilia machozi, kwikwi ilimbana akashindwa kufanya lolote hata sauti haikutoka kabisa.
Hapohapo akaondoka huku akikimbia bila kugeuka nyuma,hakuelewa ni wapi anaenda akakimbia mpaka barabarani,akavuka barabara huku akilia machozi tena bila kuangalia upande wowote ule.
***
“No yule demu mimi namjua,lazima nimuone leo.Sonia mimi namfahamu nilisoma naye Uganda Broo,am not Kidding Washkaji.Yule demu namfagilia ileile yaani”
“Sasa Partson ndiyo ukimbize gari kiasi hicho?hujabeba mikungu ya ndizi humu ndani umebeba wazawa umebeba wana,umebeba binadamu.”
“Ndiyo lazima niwahi Airport,saa nne kasoro atakuwa pale.Hii foleni ndiyo inatuweka”
“Sio kiivyo sasa”
Taa ya kijani iliwaka hapohapo, jinsi Partson alivyolitoa gari ilitisha,kila mtu alijishika vizuri kitini.
Ilikuwa ni lazima amuwahi Sonia uwanja wa ndege ili wazungumze machache,habari za Sonia ziliushtua moyo wake, ndiyo maana akaendesha gari kama kichaa,alikuwa akihama upande, mara kushoto mara kulia akijaribu kuyapita magari mengine.
“Partson eeeh,taratibu ndugu yangu.Keshokutwa tuna mechi kubwa ujuwe, usitake kuleta majanga”
“Embu tulia Jimmy Jizy ala..Kwanza embu ngoja niongeze sauti ya mziki hii ngoma naipenda..”
“Partsoooooon”
Sauti hiyo ilimshtua,alivyopiga jicho lake mbele akamuona msichana anakatiza ghafla, walikuwa wamefika mabibo Hostel tayari,akili yake ikacheza kwa kasi ya umeme akaweka mguu kati ili kupiga breki,tairi zikaanza kujikwaruza na lami na kusababisha kelele,kwa ukaribu aliokuwa binti huyo na jinsi gari lilivyokuwa linatembea kwa kasi ingewezekana kumgonga Nasra na kumuuwa palepale.


****
Isingekuwa kuuzungusha usukani na gari kupanda juu ya tuta la katikati basi Nasra angegongwa na kufa hapohapo,watu waliokuwa vituoni mikono yao ilikuwa kichwani, kila mtu alitegemea kinachotokea hapo ni ajali na wala sio kitu kingine.
Partson hakutaka kuyapoteza maisha ya binti mdogo, ndio maana akafanya uamuzi huo wa busara, gari likagota kwenye mti na kutulia hapohapo.Nasra alikuwa yupo chini kalala.
“Jamani,kaeni kando huyu dada apate hewa kidogo nadhani amezimia tu”
Mmoja wa wasamalia wema akasema lakini haikuwa rahisi kwa watu kusogea kando.
Bado waliendelea kumshangaa huku wengine wakitembea mpaka karibu na Mark II Grande nyeupe iliyokuwa imeharibika vibaya sana kwa mbele.
“Ndugu zangu vipi?Mpo salama”
“Tuko poa,tuko poa”
Partson alikuwa bado ameganda kwenye usukani hakuelewa ni kitu gani akifanye, alihisi kuishiwa nguvu, kwanza hakuamini kama amepona pili hakuwa na uhakika kama ameuwa ama la!

Mapigo yake yalikuwa yanadunda kwa kasi,safari ya kwenda kumuona Sonia uwanja wa ndge ikaishia hapo.
“Partson,Partson”
“Naam,Naam”
“Uko poa?”
“Hapana,hapana yule binti yuko wapi?nimeua au?”
“Ngoja nikamwangalie”
Mmoja wa marafiki wakubwa wa Partson Jimmy Geez, akashuka na kusogea mpaka kwenye mkusanyiko wa watu,akaenda na kumtizama.
Kwa roho aliyokuwa nayo akaomba Bajaj iliyokuwa pembeni.
“Nataka bajaj tatu”
Jimmy Geez akasema.
“Oyaa wee Dulla,njoo na Bajaji nyingine mbili”Wakaitana.
Haraka bajaji tatu zikasogezwa kandokando,Nasra akaingizwa wakisaidiana na Partson pamoja na wenzake kuingia kwenye Bajaj nyingine.
Safari ikaanza mara moja ya kwenda hospitali kwa ajili ya matibabu, ndani ya Bajaji hakuna hata mmoja aliyemsemesha mwenzake. Dakika ishirini wakawa wamefika kwenye hospitali ya rufaa Buguruni Malapa,wakamshusha Nasra ambaye bado alikuwa amezirai na kuingizwa ndani ya wodi kwa ajili ya matibabu.
“Imekuwaje?”
Dokta akamuuliza Partson lakini hakujibiwa kitu,kutokana na mawazo aliyokuwa nayo hakusikia swali.
“Dokta,ngoja nikwambie”
Jimmy akadakia na kueleza kila kitu kinagaubaga,kila alichokiongea Dokta Mwiba alikisikiliza kiumakini akawatizama kila mmoja kwa zamu.
“Inavyoelekea mgonjwa wenu kapata tu mshtuko wa kawaida,nisubirini hapo”
Dokta Mwiba akawaacha Partson na wenzake juu ya benchi kisha kuingia ndani ya wodi alilolazwa Nasra.
Mpaka masaa mawili yanapita Nasra hakufungua macho na tayari alikuwa amemaliza dripu mbili za maji,kitu ambacho kilimchanganya akili Dokta Mwiba,isingewezakana hata kidogo mgonjwa aliyeshtuka apoteze fahamu kwa masaa yote hayo,kwa utaalamu aliokuwa nao alijua kuna tatizo lingine ndani yake lakini sio la mshtuko peke yake,hilo alikuwa na uhakika nalo asilimia mia moja.
Haraka Nasra akachukuliwa vipimo kuanzia Presha na kila kitu.Wakamchukua na vipimo vingine tofauti na dokta kuingia maabara.
Majibu yalivyotoka yakamshangaza Dokta mwiba na pia aliamini kwamba inawezekana kabisa Nasra alikuwa na ugonjwa wa Sickle cell ya damu na mpaka kipindi hicho damu yake ilikuwa inahitajika kuongezwa.
“Embu niitie Dokta Ayambo Mara moja”
Dokta Mwiba akatoa maagizo,baada ya dakika tano walikuwa katika kikao kizito na Dokta Ayambo mtaalamu wa magonjwa ya mwili, ili kuhakikisha nayeye akafanya uchunguzi wake.
“Huyu binti anahitaji damu na hapa tumeishiwa,sijui tunafanyaje.Na ana Sickle cell kweli”
“Kwa kweli sijui,embu tujaribu kuongea na vijana hapo nje tuone itakuwaje kama wataweza kusaidia damu itakuwa heri”
“Wacha tuwajaribu”
Dokta Ayambo akasimama na kwenda mpaka kwenye mabenchi, kwa kuwa ulikuwa usiku sana wao ndiyo waliokuwa wenyewe wanasubiri matokeo ya mgonjwa kisha waondoke zao,ilikuwa ni lazima wahakikishe kwamba binti huyo yupo salama ndio wamwache,walikuwa wana roho ya kibinadamu.
“Dokta Vipi?”
Chibu akauliza baada ya kumuona Daktari.
“Kuna tatizo hapa lingine limetokea,nadhani tukilitatua kila kitu kitakuwa sawa”
“Tatizo gani? pesa?Mimi nitatoa sema Dokta”
“Hapana sio pesa”
“Enhe nini?”
“Mgonjwa wenu ana ugonjwa unaoitwa Sickle cell hivyo damu inahitajika”
“Unasema nini? damu?”
“Ndio”
“Sasa Dokta na huu mwili wangu hiyo damu natoaje labda?kama ndiyo ivyo bwana wapigie ndugu zake”
Swala la kutoa damu halikumwingia mtu yoyote yule.Kila mtu akakaa kando na jambo hilo.
“Dokta,mimi najitolea damu twende”
Kauli hiyo ilitoka kwa Partson,ikawashangaza marafiki zake, waliamini kwamba Partson anafanya jambo la hatari mno.
“Wewe Partson umevurugwa au?”
Mmoja wa wapambe akamuongelesha sikioni bila daktari kusikia.
“Hapana,wacha nitoe msaada”
“Utakufa ujue shauri yako,unatoa damu?alafu hata demu mwenyewe humjui.Una wazimu wewe.Utakuja kufa nakwambia mshkaji wangu”
“Elewa kitu kimoja,kila mtu atakufa.Wewe utakufa mimi nitakufa na kila mtu atakufa,kila nafsi itaonja umauti, sioni sababu ya kuogopa ni binadamu mwenzangu,isitoshe mimi ndiyo nilifanya haya yote”
“Jimmy unamsikia huyu,alafu keshokutwa tuna mechi,acha ubwege basi yaani keshaona chupi basi anajifanya kushoboka”
“Nishatoa uamuzi,kufa ni mipango ya Mwenyezi Mungu”
Partson akakomalia msimamo wake,akasimama na kuongozana na Daktari mpaka maabara ambapo alitolewa damu,ikapimwa kila kitu.
Kwa bahati nzuri ilikuwa safi na alikuwa na grup la damu O ambalo angeweza kumuongezea damu mtu yoyote yule.
“Ahsante sana Mr.Partson.Alafu hivi ndiye wewe yule mcheza mpira?”
“Ndio Dokta”
“Embu ngoja nije tupige selfie hapa”
Dokta akatoa simu yake,kibarua chake akakiweka kando, akatoa simu yake kubwa na kuanza kujipiga picha na mcheza mpira maarufu,Partson Ngogo.
“Nyingine mbili za mwisho,embu tukae hivi”Dokta akaweka mapozi ya picha.
Chumba kikageuka na kuwa cha kupigia picha.
Dokta Mwiba akafurahi, akachukua damu na moja kwa moja akaelekea Wodini ili kumuongezea damu Nasra.

Nasra akawekewa damu na baada ya nusu saa akazinduka,akatizama huku na kule na kuvuta kumbukumbu ni wapi alipokuwa,ghafla akamkumbuka Larry akaona tukio zima lilivyotokea na mpaka kunusurika kugongwa na gari.
“Nani amenileta ha...pa?”
Nasra akamuuliza Daktari kwa simanzi.
“Wasamaria wema.Na pia ulivyoletwa hapa tukakukuta una upungufu wa damu,tukakuongezea damu.Una ugonjwa wa Sickle Cell?”
“Ndio Daktari nina ugonjwa huo,nilizaliwa nao”
“Basi usijali”
Wakati maongezi hayo yanaendelea, Partson Ngogo alikuwa amesinzia juu ya benchi la kusubiria wagonjwa,wenzake wote walimwacha,hawakutaka kupoteza muda wao kubaki lakini yeye alitaka kubaki mpaka dakika ya mwisho na mgonjwa.
***
Akili yake yote ilikuwa kwa Mgonjwa hata kufanya mazoezi akasahau,simu nyingi alipigiwa na kocha wake lakini hakutaka kuzipokea.Bado alitaka kuhakikisha kwamba Nasra anakuwa salama ndiyo afanye mambo mengine.
“Partson,umechanganyikiwa wewe?”
Siku hiyo Kocha Msafiri alifunga safari mpaka hospitali.
“Hapana kocha”
“Embu acha ufala,una mechi kesho na unajua kabisa wewe ni nani au unataka nikubembeleze kama nakutongoza?”
“Naelewa kocha lakini.....”
“Lakini nini?wewe bwege nini”
“Siwezi kuondoka bila kuhakikisha huyu binti anakuwa salama,cha kufanya ile gari yangu ipelekeni gereji”
“Partson,tupo kwenye michuano ujue achana na mambo ya mademu,sasa wewe ni daktari,acha mambo yako bwana”Kocha Msafiri aliongea kwa ghadhabu.
“Naelewa”
“Sasa?”
“Siwezi kwenda”
Msimamo wake ulikuwa huo daima.Kwa hasira alizokuwa nazo Kocha Msafiri akaamua kuondoka zake,hakutaka tena kubaki hapo.

Siku nzima ilikatika, Partson alikuwa yupo na Nasra bega kwa bega.
“Mama yangu anakuja leo kutoka Mwanza,nadhani unaweza ukaenda kaka yangu,ahsante kwa kila kitu”
Nasra akasema.
“Hapana,mpaka afike ndiyo niondoke”
Partson alikuwa mkarimu,hakuelewa hata yeye ni kwanini anafanya hivyo.
Wakaendelea na Stori mpaka majira ya saa kumi na mbili ndipo Rukia akaingia, Mama mzazi wa Nasra.
“Mwanangu pole sana,unaendeleaje kwa sasa?”
“Naendelea vizuri Mama”
Baada ya kusahabiana wakatambulishana na Partson.Wote walifurahi kujuana na Rukia alitoa shukrani ambazo hazikuweza kuelezeka.
Hapo ndipo ukawa mwanzo wa kujuana, Partson na Nasra.
***
“Uko wapi?”
“Nipo kwa rafiki yangu”
“Njoo uangalie mechi leo”
“Mechi gani?”
“Uwanja wa taifa”
“Bado naumwa Partson”
“Nakuja kukuchukuwa,upo wapi?”
“Nipo huku Kijichi”
“Nielekeze”
Maelekezo yakatolewa,Partson akatafuta gari akaendesha mpaka Kijichi,alivyofika akamtafuta Nasra hewani.Hazikupita hata dakika tatu wakawa wameonana.
“Nasra jamani,kumbe una fahamiana na huyu mkaka?”
Rafiki yake mmoja aliyekuwa pembeni alimuuliza baada ya kumuona Partson anashuka ndani ya gari.
“Ndio kwani vipi?wewe ulimjulia wapi?”
“Huyu si mcheza mpira”
“Mcheza mpira?”
“Ndiyo,usijifanye hujui”
“Ndio kwanza unaniambia”
“Basi ndiyo nakwambia,huyu ni mcheza mpira hapa Tanzania ndiyo anatingisha,au sio huyu jamani”
“Itakuwa umemfananisha”
Partson alivyosogea karibu akawasalimia.
“Samahani wewe ndio Partson Ngogo,yule mcheza mpira?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Eve rafiki yake na Nasra.
“Ndio mimi”
“Jamani kaka,naomba tupige picha, khaa!”
Eve akatoa simu yake,akaanza kupiga picha.
Jambo hilo lilimshangaza sana Nasra,akashindwa kuelewa mambo yanayotokea.
Baada ya kupigana picha wakaingia ndani ya gari na kuondoka.
“Mbona hukuniambia kama wewe ni mcheza mpira?”
Nasra aliuliza.
“Ilikuwa nikwambie ukifika muda muafaka,ndiyo nacheza timu ya Taifa.taratibu utanijua usijali,inabidi niwahi. Leo nacheza tena kipindi cha kwanza”
Partson akanyoosha mguu akaongeza mwendo wa gari,alivyofika uwanja wa taifa akapaki gari kwenye maegesho,Kila mwandishi alimfuata lakini hakutaka kujibu lolote akanyoosha mpaka langoni na kuingia na Nasra.
“Shika hii tiketi nenda kakae V.I.P kule kwenye vile viti”
Uwanja wa taifa ulijaa kupita kiasi,ilikuwa ni mechi kubwa ya kukata na shoka kila mtu alitaka kushuhudia,kila mwananchi aliwasha televisheni, nchi ya Cameroon ilikuwa imefika kuchuana na Tanzania tena kwa mara ya kwanza.Kila mtanzania alikuwa na kitete cha kuona mechi hiyo.
“Leo tunapigwa mwanangu,hakuna cha Partson wala nini!”
Sauti ya Mzalendo mmoja ilisikika akiwa mwenye hofu ya kufungwa.
“Partson jembe wewe,subiri uone”
Watanzia walipeana matumaini.
Mpira ulianza mara moja,pasi zikapigwa na ndani ya dakika moja Tanzania walifungwa tayari goli moja,hawakukaa sawa wakafungwa lingine la pili,ikawa mbili bila.

Katika watu waliokuwa wanatizama mechi siku hiyo Sonia alikuwa mmoja wapo,nayeye alitaka kumshuhudia Partson uwanjani alikuwa nyumbani kwao kawasha televisheni.

“NDANI YA DAKIKA YA TANO CAMEROON WAMESHINDA MAGOLI MAWILI TANZANIA BILA,BADO MPIRA UNAENDELEA,PARTSON ANACHUKUA MPIRA ANAMPA NSAJIGWA,NSAJIGWA NSAJIGWA NSAJIGWA ANAPIGA CHENGA MBILI TATU ANAMPA PARTSON MPIRA, ANAKIMBIA KWA KASI ANAMPIGA TOBO BEKI,ALALALALALALALALALALA HADI GOOOOOOOOOOOL,WAPENZI WASIKILIZAJI TANZANIA MOJA CAMEROON MBILI,GOLI LIMEFUNGWA NA PARTSON NGOGO JR, NDANI YA DAKIKA YA KUMI”
Uwanja mzima ulifurika kelele, watanzania walirukaruka,Sonia akatabasamu alivyoona Partson ameshinda goli,alitamani aende uwanjani dakika hiyohiyo,akahisi kuna kitu moyoni mwake kinamsukuma,hali ya tofauti ikamkumba, mawazo yake yakamrudisha nchini Uganda walipokuwa wanasoma.
“Lazima namimi niende uwanjani nikamuone Partson”
Sonia aliwaza.
Nasra aliyekuwa viti vya V.I.P akashangilia kuliko mtu yoyote yule.
“Partson, I love youuuuuuuuuuu!”
Akasema kwa sauti,kila mtu akamgeukia.Partson aliyekuwa anateleza kwa furaha akitumia magoti macho yake yakagongana na Nasra aliyekuwa anashangilia huku akizidi kuonesha hisia zake waziwazi!

****
Tanzania nzima ilikuwa katika hali ya furaha matumaini yao yakarudi upya,hawakuwa na uhakika kama wangeshinda japokuwa Partson Ngogo alikuwa amefunga goli,hakuna mtu aliyeweza kumsikiliza mwenzake, fujo zilikuzokuwa ndani ya uwanja wa taifa zilizidi kipimo.
Mpaka mpira unawekwa kati bado kulikuwa na vurugu tu.
Hawakukaa sawa, Nsajigwa akacheza na nyavu akafunga bao lingine, hapo ndipo watanzania wakaanza kubebana juujuu,kulikuwa kuna shangwe za kufa mtu!
Tanzania walikuwa wamesawazisha goli ndani ya kipindi cha kwanza,ilivyofika dakika ya arobaini na tano filimbi ya mapumziko ikapulizwa!
“Sasa sikilizeni,Partson utacheza upande wa pili,Nsajigwa kushoto adoado kwenye pasi.Hawa wanacheza four four two,alafu wewe Tiko utarudi beki utakaza pale.Hawa washadata msiogope miili yao,nyama tu zile hata kwenye sambusa zipo,ukiona gozigozi wewe kwatua tu”
Maneno ya kocha Msafiri yakazidi kuwapa moyo.

Baada ya dakika kumi wakaingia tena uwanjani.Mpira ukaanza tena, mpaka dakika ya hamsini mpira ulikuwa bado mgumu.
Katika hali ya kushangaza Partson alipiga shuti kali, mpira ukachomoka kwa kasi ya risasi moja kwa moja ukazama nyavuni,kila mtu hakuamini hata refa aliyekuwa na kipenga hakuona vizuri, akamuangalia mshika bendera hapo ndipo akapiga filimbi ya goli,kidogo watu wafe kwa furaha.
Timu ya Cameroon ilikuwa imezidiwa mpaka basi,kuanzia hapo wakaanza kucheza pasi kama wachezaji wa Barcelona.Mpira ukiwa wa Partson mara upo kwa Nsajigwa hivyo hivyo wakawa wanagonga pasi mpaka mpira unaisha,Cameroon wakawa wameshinda magoli mawili Tanzania matatu!
***
Partson Ngogo Jr aliitwa ikulu na raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ili kumpa pongezi kwa jambo alilofanya,jambo hilo lilirushwa kila sehemu kuanzia instagram,facebook mpaka twitter na hakuwa peke yake, tetesi za kwenye magazeti zilimwanika mwanamke ambaye muda wote alikuwa akitembea naye kila wakati, hakuwa mwingine bali ni Nasra.
Hata alivyoalikwa ikulu alikuwa naye pembeni, jambo ambalo lililowafanya mapaparazi wazidi kupata cha kuandika.
“PARTSON AZAMA NA DEMU WAKE IKULU,HABARI KAMILI UK.2”
Magazeti mengi yaliandika habari hizo huku juu picha ya Partson akiwa na Nasra zikiwa zimeonekana juu ya magazeti,magazeti yalitoka siku hiyo na yaligombaniwa kama njugu!
Partson Ngogo Jr alikula chakula cha mchana ikulu siku hiyo akiwa na Raisi wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania,jambo ambalo lilimpa moyo sana.
“Muheshimiwa Raisi,napenda kukuhakikishia kwamba nchi yetu ya Tanzania itafika mbali sana,pia napenda kuwashukuru watu wote wanaotusapoti.Bado nchi yetu ni maskini lakini nitajaribu kuifanya ijulikane hasa katika swala zima la kabumbu sio mziki peke yake kama ulivyozoea”
Hayo ndiyo maneno aliyomuhaidi Rais siku hiyo,picha nyingi zilipigwa, jioni ilivyofika akamshika mkono Nasra na kuondoka naye.

*****
Ukaribu wa Partson na Nasra ulizidi kukomaa siku hadi siku,mwishowe haukuwa tena urafiki wakawa wapenzi wanaopendana.Hakuna siku iliyomchanga Partson kama kufumwa na Paparazi wakiwa ndani ya gari wanapigana denda,picha zake zilianikwa kwenye magazeti, kitu ambacho kilimchukiza kupita kiasi,katika maisha yake alichukia kuanikwa kwa kashfa kama hizo za kichumbani!
“Nani muhariri wa hili gazeti?”
Partson akamuuliza rafiki yake huku akiwa na gazeti lililokuwa na picha yake wakilana denda na Nasra.
“Abubakar Mohammed”
“Anapatikana wapi?”
“Hilo si gazeti la Kay-tallion?”
“wewe kwani huna macho?”
“Naona ndio,ofisi zao zipo Kinondoni Studio pale”
“Embu nipeleke”
“Partson..acha ukorofi”
“Ebwana nipeleke”
Kabla ya Partson kutaka kusimama simu yake ikaita na namba zilikuwa ngeni.Akaitizama namba na kuipokea simu, akaiweka sikioni.
“Halloo,nani mwenzangu?”
“Partson”
“Ndio mimi,nani mwenzangu?”
“Mara hii hunijui?”
“Napokea simu nyingi sana,kwa siku napokea sio chini ya simu sitini.Nakuwa napata shida kujua sauti na kuzikariri”
“Mh,mimi Sonia,Sonia Shayo”
“Sonia?”
“Ndio”
“Jesus!Upo wapi?”
“Nipo nyumbani,nilikuwa nikikutafuta sana kwenye simu bila mafanikio leo ni kama bahati tu,sitaki kuamini kama umekuwa super star kiasi hicho”
“Super star wapi,kawaida bwana.Kuna kipindi nilitaka tuonane sema sikuelewa nitakupata vipi,bora umenitafuta nimepata namba zako.Naweza nikakuona?”
“Lini?”
“Siku yoyote ukiwa free”
“Leo nipo frii”
“Poa nakuja,nielekeze home kwenu”
“Sawa”
Maelekezo yakatolewa.Partson jiji zima alilijua hasahasa Sinza,jinsi alivyoelekezwa na mitaa yote aliijua hilo halikumpa shida.
“Hapo kwenye hilo geti jeusi?karibu na Meeda Bar?”
“Ndio”
“Huyo muuza chips,anaitwa Mbwana ana mzuzu sindo karibu na hapo?”
“Partson kumbe unapajua nyumbani?”
“Dar nzima mimi naifahamu,utanidanya kote lakini sio hapa Dar es salaam.Poa nakuja sasa hivi”
“Sawa ukifika niambie”
“Poa”
Safari ya kwenda kwa mwandishi wa habari aliyemchafua ikaishia hapo.
Partson akawasha gari kuelekea Sinza.
Baada ya dakika kumi na sita alikuwa nje ya geti jeusi anapiga simu.Sonia akatoka getini.
Butwaa alilopigwa nalo Partson halikuwa la kawaida,hakuwa Sonia aliyemuacha Marekani,alizidi kupendeza akamtizama mara mbilimbili bila kum-maliza,akashindwa mpaka kuongea,uzuri wa Sonia ukawa umemduwaza kupita kiasi!
“Partson vipi,footballer”
“Poa,poa...Poa vipi mambo, za masiku?Umepotea sana ujue”
Partson akajikuta anaongea maneno mengi yasiyokuwa na idadi kamili,akawa ana kazi ya kumkagua Sonia kuanzia juu mpaka chini,kitu kilichompagawisha ni umbo la msichana huyu lililojichonga,kiuno chake kilikuwa chembaba lakini kilichojigawa vizuri,na jinsi sketi fupi aliyokuwa ameivaa ndiyo ikampa shida zaidi.
“Partson,vipi,karibu ndani”
“Embu ngoja kwanza,hivi unakula nini?mbona unanishangaza”
“Toka zako,acha kunichora nakuona kwenye magazeti na demu wako yule,umejuwa kuchagua,mtoto mzuri yule usimwache”
“Ushaanza”
“Tuingie ndani bwana,kuna mbu hapa nje”
Ndani hawakukaa sana,Sonia alibadili nguo na kumuomba watoke nje ili wakaongee mambo yao.
“Mama angu anaumwa sana,kwahiyo nisingependa tumpigie kelele”
“Acha basi nikamwone”
“Amelala usijali,siku nyingine, kwanza hongera.Siamini kama ndiye wewe tulikuwa wote Uganda leo mwenzangu unaingia mpaka ikulu sio jambo la kawaida,i'm so proud of you!”
Sonia aliyaanzisha maongezi wakiwa ndani ya gari wanaanza kuondoka zao.
“Sasa tunaenda wapi?”
Partson akauliza.
“Wewe si mtoto wa mjini,tafuta sehemu utakayoona inatufaa”
“Poa,twende dagaa dagaa Lego pale tukale nyamachoma huku tukisikiliza lingala”
“Sawa,lakini unajua sitopenda kuwe na fujo”
Partson akaweka gia namba mbili akazidi kutembeza gari huku akimtafakari Sonia kichwani mwake.
“Griii griiii griii”
“Embu punguza sauti kidogo,nipokee simu inatokea nyumbani”
Sonia akasema,Partson akatii na kupunguza sauti ya mziki ndani ya gari.Sonia akapokea simu.
Kila alipozidi kuongea macho yake yalikuwa yakibadilika rangi na kuwa mekundu,ghafla machozi yakaanza kumtoka.
“Hapana,mko wapi sasa hivi?”
Sonia akauliza simuni.
“Ndio tulikuwa tunaelekea hospitalini,Njoo Amana hospital, Sonia”
Simu ya dada wa nyumbani ilikuwa mbaya kuliko simu zozote zile alizowahi kupokea,ilikuwa ni simu ya kifo cha mama yake Gloria, ambaye aliteseka siku nyingi kitandani kwa ugonjwa mbaya na hatari wa UKIMWI na sasa alikuwa ameenda tayari.
“Na...na nanaaa kuja”
Simu ikakatwa.
Sonia akaanza kulia machozi ya uchungu hakutaka kuamini kwamba tayari mama yake amefariki dunia,kwake zilikuwa ni taarifa za kutisha mno,baba yake alifariki na sasa mama yake kafuata,kufumba na kufumbua tayari alikuwa yatima hana wazazi.
“Parts..on Part..on twe..nde Ama...na hospitalini sasa hi...vi”
“Kuna nini?”
“Mama,Mama yangu..Mama yan..gu amefariki twe.nde Amana”Sonia aliongea huku akimwaga machozi.
Partson akaingiwa na huruma,hakukuwa na aina yoyote ile ya kwenda Dagaa dagaa kwenda kuponda mali,safari ikageuzwa badala ya kwenda kufurahi sasa walienda kulia msiba.
***
“Mi...mi yati..ma sasa,sina baba wala Mama..Mungu nini nimekosa Kwako?Baba yangu ume..mchukua leo pia Ma..ma yangu..Bas..i nichukuwe na mimi vilevile”
Sonia alilia ndani ya gari alilokuwa anaendesha Dustan wakiwa wanasafirisha msafara wa msiba kwenda mkoani Kilimanjaro baada ya kuuaga Sinza siku mbili.

Kila mtu alikuwa katika majonzi,sio kwamba walimlilia Gloria,bali maneno ya Sonia yaliwagusa, walimuonea sana huruma.Alilia safari nzima. Msafara ulifika Mkoani Kilimanjaro asubuhi kesho yake,wakamzika Gloria pembeni ya kaburi la Marehemu mume wake Nickson,katikati ya mashamba ya migomba,watu waliomboleza akiwemo Partson Ngogo,yeye pia alikuwa bega kwa bega na Sonia, mpaka zinapita siku mbili alikuwa akijaribu kumpa maneno ya kumtia moyo kwamba Mungu ana makusudi yake.
****
“Hee,alafu Marehemu Nickson ujuwe ana watoto wengine wawili”
“Mh,nawewe acha uwongo”
“Wewe upo wapi?alimtiaga mimba beki tatu wake huko Dar es salaam,muda mrefu sana kipindi huyu Gloria walivyokuwa wametibuana”
“Wewe umejuaje?”
“Mimi nakupa siri sasa,embu ninunulie kata nyingine ya mbege,ninunulie kitochi kimoja mwambie Meju anipe kitochi kingine kisha nikupe mkanda mzima,huyu Gloria katolewa bikra mdogo sana huko migombani na kijana mmoja alikuwa anaitwa anaitwa anaiitwaaa nani tena mtoto wa Mzee Pesambili, jina limen-toka”
“Wewe unamsemea Rona?”
“Sio,huyu mwingine sasa Meku,anajifanya machinoo yewomiii chaa humkumbuki? alikuwa anapenda sana kukata majani kwenye kichumi cha mzee Urasa?”
“Anhaa yule Kidodi”
“Yesuuuu,huyo huyo sasa huyo miaka hiyo ndiyo alikuwa anafanya michezo michafu kwenye migomba na huyu Gloria,zamani lakini.Nilishawahi kuwakutaga mara kama tatu hivi kwenye mikahawa ya mzee Elirehema pale kwa Mangi,sasa yule Kidodi alimwambia kuwa atamwoa,alivyomchezeaa akapotea.Akaenda zake Arusha”
Ndani ya kilabu cha pombe ndipo sauti hizo zilisikika wazee wakiwa wamelewa wanamwaga siri hizo nzito za Nickson na Gloria tena baada ya siku nne kupita za msiba wa Gloria,maongezi hayo yalipita moja kwa moja kwa Sonia aliyekuwa dukani ananunua vinywaji vya wageni,pembeni alikuwa amesimama na Partson Ngogo,wazee wakazidi kupiga soga!
“Sasa huyo beki tatu,alikuwa msukuma alizaa na Nickson mtoto wa kike anaitwa Nasra,nisikilize hapo nikwambie ikaenda enda,akapata msichana mwingine huyu namjua vizuri anaitwa Pendo,akazaa naye tena, Marehemu Nickson nayeye alikuwa nuksi yule,Mungu amrehemu tu”
Wazee wakazidi kumwaga ubuyu, hawakuelewa kuwa mbele yao kasimama Sonia, kutokana na alivyovaa kanga iliyomfunika mpaka usoni hawakuweza kumgundua kirahisi,akabaki tu kuendelea kusikiliza, habari za Baba yake kuwa na watoto watatu zilimtisha,zilikuwa mpya kwake yeye alifahamu kuwa wapo wawili yeye na mtoto mwingine ambaye baba yake alizaa na Pendo Jonas, lakini huyo mwingine hakuwahi hata kusikia habari zake.

Simu ya Partson ikaita alivyoitoa akaona jina NASRA CANDY, kumaanisha kuwa simu hiyo ilitoka kwa mpenzi wake Nasra, ili kutoa soo la kutotaka kugonganisha au kutaka kumkera Sonia, akaweka simu 'mute' ikawa inaita bila kusikika.
Partson alitokea kumpeda Sonia, tena tangu wanasoma wote nchini Uganda na pia alimpenda Nasra vilevile.
“Sonia,embu tuondoke”
Partson akasema na kumshika mkono.

***
Akili ya Sonia ilikuwa tayari imevurugika,hakutaka kuamini kwamba alikuwa ana ndugu yake.Isingekuwa rahisi kuamini kuwa muda wote alikuwa amefichwa siri hiyo nzito,kutokana na mambo aliyokuwa anaendelea kuyasikiliza, akatumia jicho pembe kumtizama mzee aliyekuwa akibwabwaja mambo yote juu ya wazazi wake ambao teyari walishafariki.
Kilichomkatisha kuendelea kuwasikiliza ni baada ya Partson kumvuta waondoke.
“Ujue unasubiriwa Sonia,lisaa lizima tupo hapa”
“Sawa twende”
Wote wakaanza kuongozana,moyo wa Sonia uliendelea kumuuma tu,hakuelewa ni wivu au kufichwa siri kubwa kama hiyo.Hata alivyofika na kukabidhi vinywaji kwa Mama zake wadogo na wajomba zake alienda pembeni na kuendelea kutafakari kila kitu kilichotokea katika maisha yake.
“Sonia,una tatizo gani?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Partson.
“Kuna mambo yananisumbua,sipo sawa kusema ukweli”
“Nini tatizo?”
“Tuachane nayo,ni mambo tu ya kifamilia na nisingependa kuyazungumzia”
“Pole kwa kila kitu,huku Moshi hali yake ya hewa ni nzuri sana”
Walipiga stori za hapa na pale,Partson alijaribu kufanya kila analoweza ili kumfanya Sonia asahau na kumtoa katika mawazo aliyokuwa nayo lakini moyoni mwake alikuwa ana kitu kinamsumbua,kila sentensi moja aliyokuwa anaongea ndipo Moyo wake ulizidi kuhisi vitu tofauti.Kimoyomoyo alikiri kwamba hakuna msichana mrembo kama Sonia,kama mabara ametembea mengi na baadhi ya nchi tofauti tofauti.

Siku hiyo usiku hawakulala walikesha wakiongea na watu waliokuwa matanga,mambo yalikuwa mengi baadhi ya watu waliokuwa wanamjua Partson kwa kumuona kwenye televisheni walimfuata ili kumuuliza maswali mawili matatu na wengine waliokuwa wanamsikia walitaka kumuona kwa macho.
Baada ya kuaminika kwamba kila kitu kimeenda sawa, wageni waliofika kutoka mikoa mbalimbali ili kuudhuria msiba kila mmoja alianza kutawanyika kurudi katika makazi yao,costa iliyokodiwa kwa ajili ya msiba ilirudi Dar es salaam baada ya siku tatu, lakini Sonia na ndugu wa karibu waliendelea kubaki mpaka ilivyofika siku ya arobaini ya msiba.
Kuanzia nyumba na Mashamba aliyokuwa anamiliki baba yake vyote vikawa chini yake,Dustan alizitoa nyaraka zote.
“Inakuwaje mali zote hizo arithishwe mtoto wa kike?haiwezekani”
Ndugu mmoja upande wa Nickson akasimama baada ya Dustan kumaliza kuongea kila kitu.
“Marehemu kabla hajafariki,aliandika hii barua hapa.Akanikabidhi mimi mwenyewe na hata ukiangalia hapa hati zote aliziandikisha kwa jina la mwanaye Sonia"
“Katika koo zetu sisi hilo hatuwezi kuliruhusu,wajomba wapo kwanini wasipewe hayo mamlaka”
“Labda sijaeleweka vizuri Mzee wangu,na pia hatujafahamiana mimi ni Mwanasheria vilevile haya mambo yanaenda kisheria.Marehemu Nickson yeye katika maandishi yake hajamwandika mtu mwingine yoyote yule hata mke wake hajamuweka hapa.Mbali na mimi kuwa Mwanasheria Marehemu Nickson alikuwa ni mtu wangu wa karibu sana ni kama ndugu yangu,Muulize hata Baba ha...”
“Bwana wee,mbona unatupa tena stori mimi ndiyo nimesema,hizi mali zitakuwa chini yetu”
Mzee mfupi mwenye mvi nyingi kichwani alizidi kuongea akiwa mwenye hasira huku akitema chembembe za mate kutokana na mapengo aliyokuwa nayo.Mzee Shayo akaingilia kati na kusimama.
“Embu kaa chini Mzee Ndesario,tufate utaratibu.Tuheshimu maamuzi yaliyofanywa na marehemu.Mimi naona mwanangu yupo sahihi haina haja ya kulumbana na isitoshe mimi nadhani kuwa alivyokuwa akiandika alikuwa na maana yake,kwahiyo naomba tusiingilie na kumchanganya mjukuu wetu Sonia, uamuzi upo juu yake yeye mwenyewe,kama akitaka mtu wa kusimamia mali za baba yake ana uhuru huo na sio tunakuwa tunagombania mirathi.Haijengi picha nzuri hata kidogo”
Mzee Shayo Baba wa marehemu Nickson alikuwa ni mwenye busara kupita kiasi na kila kilichokuwa kinazungumzwa yeye alikuwa amekiunga mkono, alimpemda sana mjukuu wake Sonia na hakutaka aje kupata shida ya aina yoyote ile,mbali na hapo alimchukulia Sonia ndiye kama kumbukumbu ya mwanae.
Mkazo uliendelea kuwa uleule kwamba Sonia amiliki mali alizoachiwa na marehemu baba yake,yeye ndiye aliyekuwa na maamuzi ya kumtaka nani asimamie.Kikao kilifungwa usiku wa saa tatu na walielewana kila kitu.
***
Sonia aliingia jijini Dar es salaam akiwa na Dustan saa moja ya Jioni kesho yake,kabla ya kupita Sinza Dustan alimpitisha Sonia nyumbani kwake ili kidogo akasalimie.
“Sonia karibu”
Mke wa Dustan alimkaribisha Sonia,nayeye vilevile alionekana kumchangamkia,familia ikaungana mezani kwa ajili ya kula chakula cha usiku.Sonia alijisikia furaha sana akatamani yeye ndiye angekuwa ni miongoni mwa familia hiyo hata hivyo alijumlishiwa moja kwa moja.
“Sonia mwanangu”
Dustan alivunja ukimnya baada ya chakula kumalizika mezani.
“Abee Anco”
“Naomba nikwambie kwamba,utuchukulie sisi kama wazazi wako.Kama una tatizo usisite kutueleza,sawa Sonia?”
“Ndi Anco”
Hayo ndiyo mapenzi waliyokuwa wakimpa mtoto huyu yatima,japokuwa alikuwa ana pesa nyingi kwenye akaunti yake,urithi wa baba yake lakini alihitaji ndugu wa karibu,aliamini kwamba mali hizo ni bure kama hana ndugu wa karibu wa kumsaidia kimawazo.
****
Kwa matatizo yaliyomtokea Sonia harakaharaka, tena sambamba hakuweza tena kurudi shule na kuendelea na masomo yake,kisaikolojia aliathirika akaamua kujiingiza kwenye biashara,kwa pesa nyingi alizokuwa nazo aliweza kukodi fremu Kariakoo na kuweka nguo za kike,pia Dustan alikuwa bega kwa bega nyuma yake akimsimamia kwa kila kitu.
“Sonia sikia”
“Ndio Anco”
“Swala langu lipo palepale,inabidi siku moja urudi shule ukamalizie upate digrii,kazi za baba yako zinakusubiri”
“Nitafanya hivyo Anco usijali”
“Kila lakheri,ukikwama niambie”
“Anco Dustan,ahsante kwa kila kitu,sijui nikupe nini?Lakini Mungu akubariki kwa kila jambo unalolifanya”
Hiyo ndiyo biashara aliyoamua kuifanya Sonia akitaka kuanza maisha yake kivyake bila kumtegemea mtu yoyote yule.
***
“Sonia”
“Yes Partson”
“Upo wapi?”
“Nipo job”
“Hee,wapi tena?”
“Kariakoo”
“Unafanya kazi siku hizi?”
“Ndio,nina duka la nguo huku Kariakoo nambie,umerudi lini kutoka Zambia?”
“Ndiyo nimeingia sasa hivi nimeona nikucheki”
“Poa,mimi nipo”
“Nitakuja basi hapo kariakoo,nielekeze”
“Mtaa wa Muheza,unapajua?”
“Napajua, sema anza kunielekeza kuanzia DDC”
“Aya,ukitokea DDC hapo unalijua duka la ISHA ALI?”
“Yule mfanyabiashara kutoka Mombasa?”
“Huyohuyo,sasa duka la kwanza la pili la tatu,ndio duka langu”
“Unafunga saa ngapi?”
“Saa kumi na moja na nusu”
“Nitakuja saa tisa”
“Karibu”
Partson alikuwa simuni anazungumza na Sonia akiwa bafuni,alimuacha Nasra yupo chumbani baada ya kutoka kuzini,moyo wake uliwapenda wasichana wote wawili,hata ingetokea siku angefumaniwa asingeelewa ni msichana yupi sahihi kwake,hakuwa tayari kumuacha Nasra na pia vilevile alimpenda Sonia kwa moyo wake wote.Alitoka bafuni akiwa na taulo mpaka kabatini.
“Baby”
Nasra alimuita mpenzi wake kwa sauti ya kudeka huku akiwa ndani ya shuka ndani hana hata nguo moja.
“Nambie mpenzi wangu,kuna sehemu nataka niende kufanya interview nimepigiwa simu nataka niwahi mara moja lile t-shirt langu jeusi liko wapi?”
“Kwani hatuwezi kwenda wote?”
“Honey,ushaanza najua utaboreka kwasababu hutumii pombe,unakumbuka last time ilivyokuwa na sitaki iwe ivyo”
“Njoo nikwambie kitu”
Kwa heshima ya penzi Partson akasogea karibu.Kama umeme akavutwa karibu kabisa na mdomoni,Nasra akatoa ulimi wake wakaanza kulana denda taratibu mno,akavutwa kitandani, ghafla akajikuta yupo juu ya kifua cha Nasra,damu zao zilianza kwenda mbio kupita kiasi,kila mtu alikuwa hana nguo hata moja shuka alilojiviringisha Nasra likatupwa pembeni,taulo alilovaa Partson likawekwa kando, wakaendelea kushikana kila sehemu ya miili yao,kwa wakati huo walishawahi kufanya mapenzi mara ya nne, kwa hiyo hiyo ilikuwa ni mara ya tano.
Na kwa wakati huo kila mtu alijua udhaifu wa mwenzake upo wapi, huku na kule wakaanza kushikana wakiwa uchi wa mnyama,waling'ang'aniana kama makinda ya njiwa wakipigana madenda,mkono wa Partson ukapita taratibu chini kwenye mapango ya Nasra hapo ndipo sauti za miguno zikaanza kusikika,filimbi ilivyopigwa mechi ilianza mara moja.
Ndani ya dakika kumi na sita kupita tayari Partson alionekana akiinuka kitandani na kuingia bafuni kuoga tena,kisha kutoka na kujiandaa.
“Baby narudi”
“Sawa,uwahi kurudi si unajua bado nimekumisi”
“Usijali”
Partson hakuwa anaenda sehemu aliyomwambia Nasra,safari yake ilikuwa aende Kariakoo kuonana na Sonia Shayo,ndani ya mtima wake alihisi bado kumpenda na hakuwa tayari kumuona ana mapenzi na mwanaume mwingine hata kama angekuwa naye angekubali kuwa kidumu chake.
Akawasha gari na kuelekea Kariakoo,alivyofika tu katika baa ya DDC akaweka gari kando akashuka na kumtafuta Sonia kwa njia ya simu.
****
Nasra alikuwa amekolea kabisa kwa Partson na kitendo cha kuvuna umaarufu kwa kutembea na mchezaji mpira aliyejulikana karibia nchi zote za Afrika likampa kiburi,aliona ufahari kuzungumziwa kwenye magazeti, chuoni akawa hakamatiki tena,mapenzi kwake na Larri yakawa ndiyo historia,hakutaka hata kumsikia katika mazungumzo yake, alikuwa yupo radhi kubadili njia endapo akimuona Larri mbele yake.
Alipigiwa simu na Larri za msamaha kila siku lakini alifunga vioo vyeusi na kuvaa miwani ya mbao!
“Kwahiyo ndiyo umeamua kuwa na yule mcheza mpira au sio?”
“Larri achana na mimi,sawa!nishakwambia siwezi kuwa nawewe mbona ivyo”
“Hapana nataka nijue kama ni kweli baasha ako”
“Ndio,ni boyfriend wangu”
“Kisa superstar?”
“Fikiria vyovyote lakini ndiyo ivyo,achana na mimi basi,mbona unakuwa hunielewi endelea na tabia yako hiyohiyo”
Hayo ndiyo mambo aliyokuwa anajibiwa Larri kila kukicha alivyokuwa akimuomba radhi Nasra amsamehe kwa yaliyopita warudiane wawe kama zamani,lakini kila alipotumia saundi zote za mjini hazikuweza kuzaa matunda,Nasra alishapata mwanaume mwingine tayari na hakuwa tayari kuachana naye kirahisi.
Wakati anamjibu hayo Partson alikuwa Mkoani Kilimanjaro kisha baada ya kurejea Dar es salaam akaenda kucheza mechi nchini Zambia.
Huko hakukaa sana alirejea baada ya mechi kuisha ndipo wakakutana.Kipindi chote tangu mara ya mwisho Larri aombe msamaha hakutaka tena kumsumbua alikuwa amempania Partson na alikuwa yupo radhi kumfanya chochote kibaya,hasira ilikuwa imemkaba kohoni, isingewezekana hata kidogo kuvumilia jambo lililotokea,kwake yeye akachukua kama ni dharau.
Hapo ndipo alipoanza kumfuatilia Partson kila kona,kipindi anarejea, taarifa zake zilienea katika vyombo vya habari.Kutokana na umaarufu aliokuwa nao Partson ilikuwa ni rahisi kupafahamu anapoishi.

Hakuamini siku hiyo anafika na kumkuta Nasra yupo nje tena wanapigana madenda,akaumia moyo kupita kiasi,akahisi kuchanganyikiwa ingawa aliona yote yanayotokea mbele yake lakini hakutaka kuchukua uamuzi wa harakaharaka akasubiri tu, baadaye akamuona Partson anatoka na kuingia ndani ya gari lake.
“Boda boda”
Larri akaita pikipiki moja wapo kati ya nyingi zilizokuwa pembeni yake.
“Sema kaka”
“Unaona ile ALTEZA?”
“Ndio”
“Naomba uifatilie”
“Sasa inaenda wapi?”
“Wewe ifatilie”
“Siwezi kuifatilia,kama inaenda Mtwara?namimi niende hukohuko?”
“Wewe wasiwasi wako nini?”
“Pesa,shilingi ngapi utanilipa?”
“Wewe twende,nitakutoa elfu kumi”
“Poa lakini itategemea”
“Twende bwana,mbona una maneno mengi mpaka gari itatupotea”
Pikipiki ikawashwa safari ya kumfatilia Partson ikaanza mara moja.
Wakaifuaitilia gari mpaka walipofika kariakoo DDC, ndipo Larri nayeye akashuka akamlipa dereva ujira wake na kuzidi kumfatilia Partson nyumanyuma.
***
Hawakuwa na mazungumzo sana dukani kutokana na muda ulikuwa umewatupa mkono,wakasaidiana kufunga duka, ilikuwa tayari imegonga saa kumi na mbili kasoro ya jioni.
“Twende kidogo,tunywe hata soda”
Partson alitoa ombi.
“Utanipeleka nyumbani?”
“Nitakupeleka”
“ sawa”
Wakatembea kwa mguu na kuingia ndani ya baa iliyokuwa jirani na DDC, wakatafuta kona ya mwisho iliyotulia.
“Karibuni”
Muhudumnu aliwapokea kwa bashasha akisubiri apewe agizo.
“Niletee Sprite”
“Namimi hiyohiyo”
Wote wakaagiza soda.
Taratibu vinywaji viliendelea na Partson akatumia muda huo kuingiza gia zake,akajifanya kuanzia mbali tangu wanasoma na mpaka Sonia alipofukuzwa shule,mambo yalivyochanganya ndipo akaingiza swala lake la maombi ya kimapenzi na Sonia.
“Sio kweli Partson,unataka kunidanganya tu.Yule demu jina lake nani,namuona kwenye magazeti upo naye”
“Yule ni rafiki yangu wa karibu tu”
“Mimi sio mtoto,mbali na hapo sitaki kujiingiza na maswala ya mapenzi utanisa...”
Kabla ya Sonia kumalizia maneno yake akatokea mwanaume mwenye mwili kidogo na kusimama mbele yao,hakuwa mwingine bali ni Larri.
“Mkubwa!”
Larri alisema huku akiwa ameyakaza macho yake kwa hasira.
“Vipi,mbona unakuwa sio mstaarabu?”
“Wewe ndio sio mstaarabu,mimi sikuja kwa shari ninachokuomba tu uachane na Nasra hilo ndilo ombi langu kiuugwana”
“Oyaa mwanangu eeh!embu nipotezee,niteme yaani,mimi sikujui wala hunijui,usitake umaarufu kijingajinga”
Partson aliongea kwa kujiami akijaribu kumzuia Larri asiongee lolote juu ya Nasra,aliamini kwamba angemuacha aongee anagempeperushia ndege wake.
“Nitakuitia mwizi ujue”
“Poa kaka,ila tutaoneshana wewe si mjanja.Utakuja kujuta siku moja”
“Embu nenda bwana,we kavu nini nyie ndiyo mnatafuta mtukanwe ili tuandikwe kwenye magazeti unatafuta kick wewe,mimi siwezi kukupa kizembe,pumbavu!”
Partson alimkana Nasra hapohapo,kutokana na mambo yalivyoenda hakutaka tena kubaki eneo hilo.
Akamshika mkono Sonia na kuondoka zao,wakaingia ndani ya gari kwa safari ya kuelekea Sinza,kulikuwa kuna foleni kubwa maeneo ya Kigogo na ilitembea kwa mwendo wa ajuza,hiyo ikawafanya waione Sinza saa tatu ya usiku.
“Karibu basi ndani”
Sonia alimwambia Parston baada ya kufika nje ya geti.
“Lakini sikai sana”
Hakuwa na kipingamizi akashuka ndani ya gari,Sonia akatoa ufunguo ndani ya mfuko wake wa suruali,Partson akawa amebaki nyuma yake anamwangalia na kulithaminisha umbo lake,udenda ukazidi kumtoka sehemu yake uzazi ikaanza kutuna.
Wote wakaingia ndani.Kabla ya Sonia kupiga hatua mbili, Partson akamkamata mkono na kumvuta karibu yake,alivyotaka kumnyonya mdomo Sonia akajitoa huku akikwepesha mdomo wake pembeni.
“Partson toka kwangu”
Sonia aliongea kwa hasira,kitendo alichotaka kukifanya Partson kilimkasirisha sana.


*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)

0 comments:

Post a Comment

BLOG