Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

BEDROOM PROFESSIONALS SEHEMU YA 4/10



BEDROOM PROFESSIONALS
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 4 KATI YA 10 MWISHO
*******

Alihisi mwili mzima hauna nguvu,kitu kama chenye ubaridi kinapita nyuma ya mgongo wake.Habari
alizopewa upande wa pili wa simu kwamba mama yake mzazi amefariki dunia zilimshtua kupita kiasi,japokuwa aliamini kwamba binadamu ipo siku moja lazima ataonja umauti lakini hakufikiria hata siku moja kama atapewa taarifa kama hizo tena siku hiyo aliyojifungua mtoto wake.
“Ha..lloo halloo Mjo.mba Luca..s”
Alianza kusema kwa kwikwi, hali hiyo ilimshtua Mzee Ngowi na mkewe kuna dalili ambazo zilionesha kwamba kuna habari mbaya,Marietha alianza kububujikwa na machozi,akashindwa kabisa kuendelea na mazungumzo, simu ikaporomoka mpaka chini,akaanza kumwaga machozi.
“Marietha kuna nini?”
Mzee Ngowi akauliza.
“Marietha nini kimetokea?”
Mama Rebeca nayeye akaibuka na swali lakini Marietha hakujibu,aliendelea kulia machozi huku akitaja jina la Mama yake kuwa ameondoka mapema sana.
“Marietha, kuna tatizo gani?”
“Ma..ma yangu am..efariki”
Hatimaye akajikaza na kusema,Mzee Ngowi na Mkewe wakatizamana kwa muda hata wao walionekana kuguswa sana na habari hizo mbaya zilizotokea ghafla, walimsikitikia sana Marietha na kutamani wayapindue mambo lakini haikuwezekana kwani kifo ni mipango ya Mungu.
Walibaki hospitalini wakimpa pole kwa kufiwa na mwisho walihitimisha kwamba wangempa nauli ya kusafiri mpaka Tanga na pesa za rambirambi kama pole ya msiba.
“Hii elfu hamsini utafanya nauli na chakula,hii laki tano ni rambirambi na utanunua nguo za mtoto.Pole sana Marietha.Mungu ana makusudi yake”
Mama Rebeca alimkabidhi Marietha pesa za pole ingawa zisingeweza kubadili chochote lakini zingemsaidia kwa mambo mawili matatu kama nauli na chakula njiani.
***
Mpaka jioni ya siku hiyo inafika Deo hakuonekana hospitalini japokuwa alipigiwa simu.Kutokana na kujihisi ana nguvu na alijifungua salama hivyo alitaka kusafiri siku hiyohiyo,Mzee Ngowi hakuruhusu hilo litokee alichofanya ni kumshauri aanze safari kesho yake nayeye ndiye atakayempeleka stendi ya mabasi.
“Lakini si usubiri kidogo mpaka upate nafuu”
Mama Rebeca nayeye alijaribu kutoa ushauri ingawa alijuwa fika kwamba Marietha asingekubali.
“Hapana.Ningependa kushuhudia mazishi ya Mama yangu”
“Itabidi uwende kesho,tuondoke na wewe mpaka nyumbani”
Hapo Marietha hakuwa ana kitu cha kuongea.Madaktari walivyopelekewa taarifa ya kuombewa ruksa kwa Marietha waligoma na kudai kwamba ilibidi akae hospitalini hapo kwa siku nyingine mbili.
“Lakini mama yake amefariki jambo hilo halitowezekana”
Mzee Ngowi alijaribu kumshawishi Daktari na kumuelewesha kila kitu.
“Mnafanya jambo la hatari mjue ana mtoto mdogo”
“Naelewa dokta lakini huyu binti inabidi aende,hakuna namna”
“Anyway,nitamuandikia dawa za maumivu ili ziweze kumsaidia”
“Ahsante”
Kuhusu matibabu yote ya kujifungua kwa Marietha yalisimamiwa na Mzee Ngowi na Mkewe na ndiyo hawa waliolipa gharama nyingine za dawa.
“Hizi atameza kutwa mara tatu,zinaitwa Iburofne,vidonge viwili asubuhi mchana na jioni zitamsaidia kupunguza maumivu.Na hii ni Glucose itampa nguvu.Make sure anakula ndiyo anakunywa hizi dawa.Otherwise poleni sana”
Dokta Jonathan Satara akahitimisha mazungumzo yake kisha kuwapa dawa.
Hakukuwa na haja nyingine ya kubaki ndani ya hospitali.Wakamchukua Marietha na mwanaye kisha kuingia ndani ya gari na safari ya kuelekea nyumbani kuanza.Njia nzima ilisikika sauti ya Kwikwi ingawa alikuwa ana furaha ya kupata mtoto lakini alikuwa mwenye huzuni pia,bado hakuamini kwamba Mama yake amefariki kweli.

**
Kama ilivyopangwa na ndivyo ilivyokuwa,Marietha aliamka asubuhi na mapema siku iliyofuata na wakati huo Mzee Ngowi na Mkewe walikuwa macho tayari,wakaweka kila siku sawa kwa ajili ya kumsindikiza Marietha kituo cha mabasi,’Ubungo terminal’.
Ndani ya dakika thelathini walikuwa nje ya geti la ubungo wanaingiza gari ndani mpaka karibu kabisa na mabasi ya RAHA coach yanayofanya safari ya Kwenda Korongwe ambapo baada ya hapo Marietha alitakiwa achukuwe usafiri mwingine mpaka Lushoto.
“Marietha”
Kabla ya kushuka ndani ya gari,Mama Rebeca alimuita.Marietha akageuka.
“Kuwa makini na mtoto,safari njema”
“Ahsante,Ahsanteni kwa kila kitu.Mungu awabariki”
Akatoa shukrani za dhati, akashuka ndani ya gari,akapiga hatua tatu akaingia ndani ya basi,kisha kutafuta siti ya katikati akaketi.Ilivyogonga saa moja kamili basi likaanza kuondoka,likatoka nje ya geti na safari ikaanza.
Ni kweli,Marietha alibadilisha matatizo kama nguo,leo hili kesho lile dunia kwake ilikuwa kama jehanam!Alivyokuwa ndani ya basi alikuwa akitafakari mambo chungumzima kuhusu maisha yake kwa ujumla,alijaribu kurudisha mambo nyuma akamuona Issa jinsi walivyokuwa wenye furaha,mwanaume huyo hakustaili kusalitiwa sababu alimuonesha kila aina ya mapenzi ingawa alikuwa kabwela!Alivyofikiria hayo alihisi wenda Mungu ndiye amefanya mambo kama hayo ili ampe adhabu,hakutaka kuyapeleka mawazo yake mbali sana.
Mtoto wake alianza kulia akavuta t-shirt yake kwa juu na kuanza kumnyonyesha.
Basi lilizidi kuchanja mbunga,walifika Korogwe baada ya masaa manne mbele, hapo ndipo Marietha alishuka akiwa na tiketi yake mkononi aliyopewa baada ya kulipa nauli, mtoto wake mikononi.
Akatembea mpaka stendi na kutafuta Magari yanayoenda eneo linaloitwa Soni,akapata siti na kukaa,alimuonea sana huruma mtoto wake ambaye hakuwa na siku hata tatu lakini lawama zote alimtupia Deo sababu ndiye aliyefanya hayo yatokee.
Basi linaloelekea Soni lilivyojaa abiria, dereva akalipiga moto safari nyingine ya kuelekea Lushoto ikaanza,basi likaanza kupanda juu ya milima wakafika mpaka eneo linaloitwa Bumbuli, hapo Marietha akashuka na kutafuta usafiri wa Pikipiki ambapo alipelekwa mpaka Maduda,eneo hilo ndilo alikuwa akiishi na Mama yake kabla ya kwenda mjini Dar es salaam ingawa waliondoka miaka mingi lakini alipakumbuka,alikumbuka vitu vingi sana.
Kila alipozidi kupiga hatua mbele ndipo alipohisi uchungu ajabu,akakata kona ya kwanza,mbele yake aliona kuna turubai kubwa kwa juu.
Hapo ndipo alipokuwa anaishi na Mama yake mzazi,kulikuwa kuna mkusanyiko wa watu wengi sana.Picha aliyoiona ilimfanya alie,akazidi kusogea karibu.
“Mariethaa,jaamani Marietha yule pale”
Mwanamama mmoja aliyejifunga kanga mwili mzima alipaza sauti na kuanza kumwaga machozi,ilikuwa kama ndiyo amemwambia Marietha aanze kulia,alimanusura amdondoshe mtoto wake chini sababu alihisi kuishiwa nguvu.

***
Kichwa chake kilikuwa kama kimepigwa shoti ya umeme alihisi kama akili yake haifanyi kazi sawasawa,alikuwa mwenye mawazo chungumzima! Hakujuwa ni kitu gani akifanye,marafiki zake wa karibu ambao alitegemea wampe ushauri,walimtema hawakutaka kumsikiliza hata kidogo, hakuelewa shida zake ampelekee nani ndiyo maana siku hiyo hakutaka kurudi ofisini kwake,alinyoosha moja kwa moja nyumbani kwake na hata alipofika, alijitupa kitandani ili atafute usingizi lakini wapi!
Usingizi kwake ulikuwa ni kitu hadimu kupatikana, mawazo yalichukuwa nafasi kubwa ndani ya ubongo wake,alitafakari vitu vingi sana vilivyokuwa vinaendelea katika maisha yake hususani ndoa yake ambayo tayari ilikuwa imeyumba vibaya sana,bado aliendelea kutafakari ni kitu gani akifanye akiwa kitandani alimkumbuka sana Marietha.
Akatulia kidogo baada ya kusikia geti linafunguliwa kwa nje,akasikia muungurumo wa gari,akajuwa ni Leila ndiyo anaingia,akazidi kusikilizia mpaka mlango wa seblen unafunguliwa, alisikia.
“Yes baby nimefika salama,namimi nakupenda sana.Sio siri nime enjoy much,unayajua. Who taught you?Maana unayajua sio siri”
Alikuwa ni Leila anazungumza simuni,tena ameufungua mlango wa chumbani bila kuangalia kitandani akazidi kujiachia akiongea na awala wake Rashid Tengeza tena akiwa mbali kihisia, alikuwa akimkumbusha jinsi gani mchezo wao wa ngono ulivyoenda vizuri,alivyopiga jicho kitandani ilikuwa kidogo adondoke kwa mshtuko,hakutegemea kama Deo angekuwepo muda kama huo nyumbani.
“Darling,umefika saa ngapi?”
Leila akajifanya kuuliza akakata simu haraka haraka lakini Deo alikuwa kimnya kitandani,amelala chali anamtizama. Hakuelewa ni kitu gani amfanye mwanamke huyu malaya mchafu!
“Baby nilikuwa naongea na rafiki yangu Naike,she is from Ghana.Na anakusalimia sana,aliingia jana”
Leila akaanza kujiongelesha mwenyewe hata kabla hajaulizwa chochote,alijihami.
“Darling upo sawa?Mbona leo umewahi kurudi,ulikula?”
Leila akazidi kuuliza maswali.
“Sina njaa, ahsante”Deo akajibu,sura yake ilionesha ukauzu kama dagaa!
Leila akabaki kimnya hakuelewa kitu gani kingine akiseme.Akatembea mpaka karibu na meza ya vipodozi akavua cheni na saa akaviweka mezani,akawa anamwangalia Deo kupitia kioo kilichokuwa mbele yake,jicho alilokatwa lilimfanya aogope, Deo alimtizama kwa hasira za waziwazi.
“Simu yangu ilizima”
Leila akaanza kujiongelesha tena.
“Nikaichaji kwa rafiki yangu ili nikupigie nikifika nyumbani,alafu Baby kesho nataka twende outing kuna house part ya rafiki yangu ana birthday yake Bagamoyo,msalabani Beach”
Leila alivyoona ajibiwi akageuka na kumtizama Deo,aliyekuwa bado kitandani anamwangalia kama simba mwenye njaa kali,chochote kilikuwa kinaenda kutokea siku hiyo kutokana na Deo alivyokuwa, ndiyo maana Leila alijihami kwa kujielezea kama yupo kizimbani.
“Lakini Sweetheart,kuna kitu nat..”
“Umetoka wapi?”
Deo aliuliza sura yake ilikuwa makini sana anamtizama Leila machoni tena bila kupepeza kope.
“Nilikuwa Kawe Club”
“Una uhakika?”
“Yes baby,I’m very sure”
“Nani alikuruhusu uchukuwe pesa ofisini kwangu,without my permission?”
“Lakini ba..”
“Hakuna cha lakini.I have asked you straight question i need straight answer”
Deo akafoka kwa hasira, akachanganya na kimombo ndani yake akimaanisha kwamba aliuliza swali lilinyooka na alitaka jibu lisilokuwa na maelezo yoyote yale,gubu alilokuwa nalo akalihamisha kwa Leila,kila sekunde moja iliposogea ndipo hasira zilizidi kumpanda maradufu,akawa kama masai aliyepandisha mori!
“I had an emergence.I couldn’t call you Honey,it was sudden”(Nilipata dharura,sikuweza kukupigia mpenzi,ilikuwa ghafla)
“It was sudden!?Are you insane.Hivi unajuwa ni pesa ngapi nimezikosa leo?Unajuwa ni kiasi gani cha pesa nimekosa kwa ajili ya upumbavu wako wewe kenge?”
Deo aliongea akiwa anatetemeka kwa hasira,macho mekundu. Akashuka kutoka kitandani,hapo ndipo Leila akajuwa tayari mambo sio mambo na kinachofuata ni makofi kwa kwenda mbele,akaanza kurudi nyuma.
“Nakuuliza wewe Kenge mweusi,unajuwa ni kiasi gani cha pesa nimekosa?”
Mapigo ya moyo ya Deo yalikita kwa nguvu kama kitenesi mpaka moyo wake ukataka kutokeza nje ya kifua,alishikwa na hasira ajabu.
“Deo I’m so sorry.Lakini, what have i done?”
Leila akaanza kujihami huku akirudi kinyumenyume kama gari.
“Nani ulikuwa unaongea naye kwenye simu?”
“Ni rafiki yangu”
“Leta simu”
Hapo ndipo kimbembe kilipoanzia,Leila hakutaka kutoa simu akairudisha kwa nyuma ili Deo asiikwapue.Deo alimsogelea na kutaka kuichukuwa kwa nguvu.
“Leta simu”
“Deo,please simu yangu siwezi kukupa.Unataka ya nini?”
“Nigee simu yako”
“No..paaa”
Hapohapo Deo akarusha kibao kikatua shavuni kwa Leila na kilimuingia vizuri,Leila nayeye hakutaka kukubali akarusha kibao,kikamfikia Deo shavuni ikawa ‘tiit for tat’hiyo ndiyo ikawa kama imempandisha Deo maruwani yake,kwa hasira akamzaba kofi zito Leila,likamfanya ayumbe na kudondokea juu ya stuli, chali.Deo hakuishia hapo akamuinua na kuanza kumzaba makofi usoni yasiyokuwa na idadi kamili.
“Leo utanieleza,wewe malaya”Deo akazidi kufoka.
Sijui Leila alipata wapi upenyo,akachomoka mikononi mwa Deo na kuingia bafuni akajifungia kwa ndani.
“Fungua mlango wewe Leila,nitauvunja ujuwe,Sawa subiri nikuoneshe kitu”
Kwa hasira Deo akaingia kabatini ili kutafuta funguo nayeye afunge kwa nje ili Leila abaki ndani bafuni lakini alivyofungua ‘draw’ la tatu alishtuka sana,mambo aliyoyaona yalimsisimua mwili,ndani ya kabati kulikuwa kuna kibuyu kilichokuwa na kitambaa chekundu kwa juu,pembeni kuna mafuta kwenye kikopo cheusi.
Akafungua 'draw' lingine,alichokiona kilizidi kumtisha yalikuwa ni majimaji meusi,pembeni chini kulikuwa na unyoya wa jogoo na usinga.Jibu alilopata ni kwamba Leila ni mshirikina!


Japokuwa hakuwahi kuujuwa uchawi ama kushiriki mambo ya kishirikina katika maisha yake tangu azaliwe lakini alijuwa vitu hivyo ni nini,kwanza alishtuka sababu hata siku moja hakuwahi kuviona vitu kama hivyo nyumbani kwake.Akarudi nyuma kwa kama hatua mbili hivi,mapigo yake ya moyo yakaanza kupiga kwa kasi mno.Hakuelewa ni kitu gani akifanye.Hakuna mtu mwingine ambaye angeweza kuingiza vitu hivyo nyumbani kwake isipokuwa Leila, sababu waliishi wawili tu mbali na hapo walitumia chumba kimoja hiyo ilimaanisha moja kwa moja ni Leila,taa nyekundu ikawa imewaka kichwani kwake ikimaanisha kwamba amerogwa, alishindwa kuelewa Leila uchawi kautoa wapi.
“Leilaaa”
Deo akaita na kwenda kupigapiga mlango wa bafuni lakini Leila hakufungua,bado alihofia kupigwa na Deo.Alikuwa bafuni yupo nyuma ya mlango jasho linamtoka,kufungua mlango kulimaanisha kipigo.Akiwa bafuni alipata wazo,haraka akachukuwa simu yake na kuanza kufuta meseji za kimahaba walizokuwa wanatumiana na Rashid Tengeza,alivyohakikisha kamaliza anachokifanya,hapohapo akatuma meseji.
‘NAOMBA USINIPIGIE MPAKA NITAKAPOKUTAFUTA MIMI’
Akamtumia meseji Bwana ake Rashid kumuonya sababu kivyovyote vile alijuwa Deo angetaka simu.
‘OKAY’
Ulikuwa ni ujumbe uliorudishwa kutoka kwa Tengeza,Leila akashusha pumzi na kufuta meseji hizo.
“Leila fungua,kukuku”
Deo alizidi kuita na kupigapiga mlango kwa nguvu kama mlango ungekuwa mwepesi basi ungevunjika siku hiyo.
“Deo nini lakini?”
“Wewe Malaya fungua mlango”
Deo hakutaka kuropoka vitu alivyoviona,hata hivyo Leila hakuwa ana habari kuwa vitu vyake vya kishirikina tayari vimeonekana,alikuwa akidhani bado Deo anataka simu.
Deo aliogopa kukaa chumbani peke yake,vitu alivyoviona vilimtisha, akatoka mpaka seblen na kwenda kukaa juu ya sofa akiwa mwenye hofu,bado hakutaka kuamini kwamba ndani kwake aliishi na mchawi tena alikuwa analala naye mbali na hapo alikuwa akifanya naye tendo la ndoa.
AKIWA bafuni bado alijishauri mara mbilimbili,atoke ama abaki.Ilikuwa ni lazima achague kitu kimoja kati ya hayo mawili,kuendelea kubaki aliamini kwamba kungemtia Deo hasira zaidi,ndiyo maana akachagua jibu la kwanza.Aliamini kwamba akifungua mlango na kujitokeza Deo ataongea na yataisha tu hata kama angempiga,akaweka sikio lake mlangoni ili kusikilizia kama bado Deo yupo.
“Deo”Akaita!
Kulikuwa kuna ukimnya,hiyo ilimtia wasiwasi zaidi.
“Deo”
Akaita tena alivyoona hakuna mtu anayejibu.
“Deo ninatoka tafadhali naomba tukae chini tuongee Darling,nakupenda”
Hakuelewa kuwa anaongea mwenyewe sababu Deo alikuwa yupo Seblen.
Leila akajifanya kama anafungua mlango,akatingisha kitasa ili kupima maji lakini kulikuwa kuna ukimnya!
“Deo najua unanisikia,lakini naomba unisamehe.Nafungua mlango ili tuongee baby”
Akazidi kujiongelesha mwenyewe,akanyonga kitasa ‘lock’ikaachia.Akafungua taratibu mlango mithili ya mwizi anayetaka kuiba,akatoa kichwa chake nje.
“Deo”
Kitandani hakukuwa na mtu yoyote yule,mlango ulikuwa wazi.Bila kuangalia nyuma akachomoka kama mkuki.Lakini akapiga breki kama fuso baada ya kumuona Deo ametanda seblen,anamkata jicho kali.
“Deo mpenzi wangu,I’m sorry.Chukuwa simu hii hapa.Kama huamini”
Deo alimkata jicho kali lakini lililojaa hofu mno sababu aliogopa uchawi kuliko ukoma.
“Leila naomba uchukuwe vitu vyako uondoke,sasa hivi”
Ilikuwa ni kauli kutoka kwa Deo.Bado Leila alidhani wenda mwanaume huyo anatania,hivyo alimsogelea karibu.
“Usinisogelee.Leila panga nguo zako.Toka kwangu”
“Deo kwenye simu hakuna kitu”
“Leila lini umeanza mambo ya uchawi?Ndiyo maana siku ile nikaona vitu vya ajabu umevidondosha ofisini kwangu.Ningekuwa najua kuwa ni uchawi wala nisi… Leila toka kwangu”
Moyo wa Leila ukapiga paa! Kwa mshtuko,sio kwamba habari hizo zilikuwa ngeni kwake la hasha!Bali hakuelewa Deo kazijuwa vipi.
“Lakin…”
“Toka kwangu”
Kwa ujasiri Deo akasimama na kutembea mpaka chumbani ambapo alianza kufungua makabati akatoa nguo za Leila akatupa chini,akaingia bafuni akatoa chupi na blazia zote na kuzitupa chini,akavuta begi la Leila.
“Deo unataka kufanya nini?”
Leila akauliza baada ya kufika chumbani na kukuta hali hiyo,mambo yalikuwa tayari yameharibika vitu vyake vilitupwa chini.
“Deo what are you doing?”(Deo unafanya nini)
Lilikuwa ni swali ambalo lina jibu la wazi kabisa kwasababu alichokuwa anakifanya Deo kilionekana waziwazi.
“Deo stop”
Akamshika Deo mkono lakini alisukumizwa mbali, alimanusura adondoke hapo ndipo alipojuwa kwamba Deo hakuwa na utani hata kidogo.
“Toa uchawi wako humo kabatini”
Deo alivyomaliza kusagula vitu vya Leila akasema huku akimuangalia Leila machoni.
“Hujanisikia au?”
Akarudia tena.
“Una maanisha nini?”
“Ondoka na uchawi wako,utoe kabatini sasa hivi kabla sijakujazia watu”
Mwisho wa ubaya siku zote ni aibu!Mambo yalikuwa tayari yameharibika kwa upande wake,hakuwa na namna nyingine ya kujitetea sababu kila kitu kilikuwa wazi.
“Deo tangu lini umeanza kuniita mchawi,umenichoka?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Leila uso wake ukiwa mkavu,amekasirika,anatingisha kiberiti kama kina njiti.Deo alishindwa kulifafanua swali hilo lina maana gani sababu kila kitu kilikuwa wazi.
“Unasemaje wewe?”
“Mimi sio mchawi”
“Kumbe nani?Mimi?”
“Hapana,ni mkeo Marietha al…”
“Ishia hapohapo,tena ufunge mdomo wako”
“Ndiyo nakwambia ukweli”
“Mpumbavu wewe.Najuta”
Leila alijaribu kumtingisha Deo lakini wapi!Maamuzi yalikuwa ni yaleyale na aliendelea kusema kwamba Leila atoke na hataki tena kumuona.
“Leila toa uchafu wako kabatini kabla sijakujazia watu nimesema,nadhani hunijui subiri nikuoneshe”
Deo akatembea mpaka jikoni akatoka nje na kubeba fagio la mti akarudi nao chumbani na kuanza kuvitoa vibuyu akitumia fagio,vitu vyote vikawa vinapasuka chini.Leila aliogopa mno sababu alielewa nini madhara yake endapo vitu hivyo vitapasuka.
“Deo! Deo! Deo! stop”
Leila akainama na kuokota kitu kama kimpira kidogo, ilionekana ndiyo ulikuwa kama uhai wake aliambiwa na mganga kwamba kitu hiko kikipasuka angekuwa mwendawazimu ndiyo maana akakiokota haraka,Deo akaendelea kusambaratisha.
“Mchawi mkubwa wewe,nani alikufundisha huu upuuzi sijui”
Deo alikuwa amechemka kwa hasira.
“Na uondoke,sitaki kukuona”
Hakukuwa na namna ya kuyabadili mawazo ya Deo ambayo tayari alikuwa ameyatoa tayari ilikuwa ni lazima siku hiyo Leila aondoke kwa njia moja ama nyingine!
Ni kweli alianza kuokota nguo yake moja baada ya nyingine alivyoona mambo yameharibika alisikia aibu sana,akaweka vitu ndani ya begi lake akachukuwa na nguo zake za ndani kama chupi na blazia,akaviweka vizuri huku akimuangalia Deo kwa macho ya huruma.
“Deo I’m so sorry na…”
“Sitoweza kukusamehe,sahau.Kuna makosa binadamu tunapaswa kuyasamehe lakini sio hili”
“Deo ni vishawishi tu,nilifanya hivi sab…”
“Leila ondoka bwana”
Alikuwa akijaribu kuomba msamahaa lakini ilishindikana,aliweka vitu vyake ndani ya begi na kutoka nje.
“Nina mshukuru Mungu Marietha kajifungua!”
Kauli hiyo ilimfanya Leila ageuke na kumtizama Deo kwa macho yasiyokuwa ya kawaida kabisa,akahisi kuumia moyo.
“Hongera lakini naomba nikwambie kwamba mimi ndiyo Leila,nimeishi Uingereza karibia maisha yangu yote.Nitakuonesha”
“Embu toka basi na hii chupi yako unamuachia nani hapa”
Chupi nyeupe ilikuwa chini Deo akamsogezea kwa mguu,Leila akainama na kuichukuwa.
“Ahsante De..”
“Shut the fuc** up and leave!Sitaki kukuona”Deo akasema kwa sauti ya hasira.
Kama alivyoingia ndani ya nyumba hiyo ndivyo alivyotoka,mabegi yake mkononi akatoka mpaka nje kibarazani.
“Wewe,mfungulie geti huyu aende”
Deo alimuita mlinzi wa getini.
“Na sitaki kumuona anakanyaga hapa tena”
Mlinzi alishangazwa sana na kitendo hicho cha tajiri yake,mwanamke ambaye anampenda kuliko kitu chochote leo hii anamfukuza, alitamani kuuliza kitu gani kinaendelea lakini alikaa kimnya sababu halikuwa swala lake kujua mambo ya bosi wake,alichofanya ni kufungua komeo la geti.Leila akatembea mpaka getini kisha kugeuka.
“Tutaona”Akasema.
“Toka bwana.Biko mtoe”
Mlinzi alivyotaka kumshika Leila alikatwa jicho kali.
“Usinishike mpumbavu wewe”
Biko akaogopa na kurudi nyuma,Leila akatoka nje na kuondoka zake.
“Biko,sitaki kumuona tena huyo mwanamke hapa.Umenisikia?”
“Ndio bosi”
Deo akarudi ndani na kujitupa juu ya sofa seblen,kitu cha kwanza kumpitia kichwani kwake ni Marietha,mkewe wa ndoa.Alikumbuka vitu vingi walivyofanya kabla ya Leila kutokeza.Hakuwa ana uhakika kama angesamehewa kwa unyama alioufanya,akapiga moyo konde na kuchukuwa simu yake.
Mtu wa kwanza kumtafuta ni Mama Rebeca,alimuogopa Mzee Ngowi ndiyo maana akaanza kumpigia mkewe ili aweze kuongea na Marietha.Lakini mbaya zaidi simu haikuwa hewani akamtafuta pia Mzee Ngowi mambo yakawa hivyohivyo.Hofu ikamtanda, alitaka kuongea kwanza na wazee hao ili aombe radhi Marietha arudi nyumbani waishi kama zamani walee mtoto wao,upande mwingine alijisikia furaha sana kupata mtoto jambo ambalo lilikuwa kama ndoto kwake!Siku hiyo hakuwa na raha kabisa hata usiku ulivyoingia alilala hapohapo seblen,alikiogopa chumba chake kutokana na mambo ya Leila, bado vibuyu vilimtisha!
***
Asubuhi siku iliyofuata,alifanya kama alivyopanga akamtafuta Mama Rebeca hewani.Simu ikaanza kuita,moyo wake ukaanza kupiga kwa nguvu hakuelewa angeanzia wapi endapo simu ingepokelewa,alianza kuogopa mwenyewe ingawa hakujuwa ni kwanini!
“Halloo Mama Rebeca shikamoo”
Deo alianza kutoa salamu baada ya upande wa pili wa simu kupokelewa.
“Marahaba! Hujambo Deo?”
“Sijambo Mama,vipi huko kwema?”
“Huku tunamshukuru Mungu”
“Upo na Marietha hapo karibu Mama,naomba nizungumze naye”
“Hapana sipo naye”
“Basi ukifika hospitali,ningependa kuongea naye kama itawezekana,samahani jana sikuweza kuja hospitalini nilikuwa mbali sana”Deo akaanza kujielezea.
Kuanzia hapo ukimnya ukatawala,kwa mbali alisikia Mama Rebeca anazungumza na Mumewe.
“Ndio mwambie ukweli”
Hivyo ndivyo alivyosikia kutoka upande wa pili wa simu,Mzee Ngowi ndiyo alikuwa amejibu ilielekea kuna swali aliulizwa.
“Halloo Deo”
Mama Rebeca akarudi kwenye laini!
“Naam Mama”
“Marietha amefiwa na Mama yake,ndiyo tunatoka Ubungo sasa hivi kumsindikiza.Amepanda basi,ameenda Tanga”
Deo alihisi kuishiwa nguvu,alihisi kama mwili wake umepigwa na ubaridi.
“Mama. Una una sema ukwe.li?”
“Sina sababu ya kukudanganya”
“Okay ahsante”
Deo akakata simu,bado hakutaka kuzipitisha habari hizo moja kwa moja,akaingia kwenye orodha ya majina na kuchambua mpaka alipolifikia jina la Mama Marietha,akapiga simu ili kujaribu, cha kushangaza simu ilianza kuita.

Akashusha pumzi ndefu,moyo wake ulikuwa ukipiga kwa nguvu mno ingawa alipiga simu hiyo lakini hakuelewa angesema nini endapo atakuta Mama Marietha yupo hai sababu alimkosea sana,akiwa anatafakari simu ikapokelewa lakini sauti ilikuwa ya kiume.
“Halloo,naomba niongee na mwenye simu”
“Mwenye simu amefariki dunia,pole kwa msiba”
“Ahsante!Naomba unielekeze msiba ulipo tafadhali”
Deo akajikaza kisabuni!
“Upo Lushoto hapa Maduda”
“Wanazika lini?”
“Kesho”
Deo ilibidi aombe kuelekezwa kinagaubaga ili afike sababu alisema yupo Dar es salaam na anataka kuudhuria msiba,moyoni aliumia sana na aliamini huko ndipo atakutana na Marietha.
Baada ya maelekezo mazuri akachomoka na kuingia chumbani akiwa kama mtu aliyechanganyikiwa.
Hakukumbuka hata kuoga,akabeba ‘power bank’ na kuchukuwa funguo za gari kubwa ‘Nissan Murano’ hiyo ndiyo gari yake ambayo ilitoka ‘service’ siku chache.Akavaa viatu harakaharaka na kutoka nje.
“Biko fungua geti”
Akaongea huku akifungua mlango wa gari, alionekana alikuwa mwenye haraka kuliko kawaida,akaingia ndani ya gari na kulipiga moto,akarudisha kinyumenyume.Lilivyokaa sawa akafika mpaka getini na kushusha kioo.
“Shika hizi elfu hamsini,mimi nasafiri naenda Tanga.Tafadhali kuwa makini,alafu nakuomba kitu kimoja,ufanye usafi chumbani kwangu”
“Sawa Bosi”
Biko mlinzi wa getini alikamata shilingi elfu hamsini lakini hakuelewa ni za nini,ilibidi aulize.
“Zako za kutumia.Sasa utakula nini?”
“Sawa ahsante bosi,safari njema.Safiri salama”
Kufuatia hapo kioo cha gari kikapanda Juu,Deo akatoa gari nje kwa safari ya kuelekea Tanga,Lushoto!
Ilikuwa ni safari ndefu kiasi,alivyoingia barabarani alivuta mkanda kwa ajili ya usalama wake,akakanyaga mafuta gari likazidi kuteleza.
Lisaa limoja na dakika hamsini baadaye alikuwa Chalinze anakata kona,wamachinga hususani wauza mikate na vigoda walikimbiza gari lake ili nao wapate riziki zao lakini Deo hakusimama,alizidi kuendesha gari wala hakutaka kupumzika sehemu yoyote ile.
Kutokana na kuwa katika mwendo wa kawaida ilimchukuwa masaa mawili na nusu kuufikia mto Wami,akapunguza mwendo kwa ajili ya matuta,akapandisha kilima na kukunja kona,safari ikaendelea.
Deo siku zote barabarani alikuwa makini mno,aliogopa kusababisha ajali.
Ni kweli alifika Korogwe saa sita kasorobo mchana,kazi ikabaki moja tu kuitafuta bumbuli, sehemu hiyo aliijuwa vizuri sana sababu alishawahi kufanya biashara siku nyingi sana ya viatu na wagosi,alivyofika hapo akasimamisha gari na kuliweka kando,akashusha kioo.
“Kaka,samahani nakuomba Mara moja”
Akamuita kijana mmoja aliyekuwa anauza mahindi ya kuchoma kandokando ya barabara.
“Habari sha shaishi?”
Kijana aliongea kwa rafudhi ya kwao baada ya kulisogelea gari.
“Nzuri.Samahani naomba kuuliza”
“Ulisha tu”
“Naulizia shule moja inaitwa Maduda”
“Shasha unaona,inko kibarabara kyembamba.Unaingia nayo,utanyoosha moja ka moja.Utan’kuta mwembe n’kubwa,hapo ndiyo kuna shule”
“Ahsante”
“Sasa mimi Ng’osi unaniachaje shasha”
Deo akaelewa maana ya sentensi hiyo,akaangalia mfuko wa shati lake na kutoa noti ya shilingi elfu tano,akamkabidhi.Na kuondoka zake,alifuata maelekezo mpaka kwenye shule ya Maduda,nyuma ya shule hiyo ndipo kulikuwa na msiba.
Akaendesha gari,alivyokunja kona tu.Akaona kuna turubai juu,hapo ndipo alipokuwa anaishi Marehemu Mama Marietha.Deo akashuka kwa unyonge na kutembea mpaka kwenye mkusanyiko wa watu,akaanza kuwapangua ili apite mbele,waliokuwepo nje hakuna aliyemtambua.Kitendo cha kuingia ndani,macho yake yakatua kwa Marietha aliyekuwa amezungukwa na wakina mama wengi wanampa pole,analia kama mtoto mdogo!


Ulikuwa ni msiba uliogusa watu wengi,hakuna mtu aliyeamini kwamba ndiyo ulikuwa mwisho wa Mama Marietha duniani, mbaya zaidi alifariki ghafla baada ya kichwa kumuuma.Marietha aliumia kupita mtu yoyote sababu Mama yake alikuwa ni zaidi ya rafiki yake,katika siku ambazo hatokuja kuzisahau katika maisha yake basi ni hiyo,siku hiyo ndiyo alijuwa nini maana ya kufiwa na mzazi.Kila alipotaka kukubaliana na hali kwamba hatomuona Mama yake mzazi alishindwa kabisa,pembeni walikuwa wakina mama wanne wanamtuliza lakini wapi!
“Pole Marietha,Mama Haruna.Mchukuwe huyu mtoto mtoe nje”
Mtoto wa Marietha ilibidi achukuliwe apelekwe nje sababu ndani kulikuwa kuna kelele za vilio vya akina mama.
“Marietha jikaze ndiyo kazi ya Mungu”
Mama mmoja wa pembeni alijaribu kumfariji lakini haikuwa kazi rahisi,Marietha aliendelea kulia tu mpaka machozi yakamkauka.Alikumbuka vitu vingi sana walivyokuwa wakizungumza na Mama yake na leo hayupo tena.
“Nani atanipa ushau…ri nani jamani..Mama a..ngu kwanini um..eondo..ka mapem..a kiasi hic..ho ungesu..biri basi an..galau umuone mju..kuu wa..ko”
Hayo ndiyo yalikuwa maneno ya Marietha akilia na kusaga meno,kamasi zinamtoka puani macho yake yamevimba sana.
“Inabidi ukubaliane na kazi za Allah,muombee apumzike salama”
“Marietha jikaze,ndiyo kazi za Mungu.Usikufuru”
Ndugu jamaa na marafiki walikuwa wakimfariji ili kumpa moyo lakini alijuwa maneno yao yasingeweza kubadilisha kitu chochote na alitamani iwe ndoto ashtuke,akainama chini na kuzidi kutafakari.

Ghafla kuna kitu alikihisi puani, ’perfume’ ya Deo,harufu ya Deo aliijuwa lakini hakutaka kuamini moja kwa moja kuwa atakuwepo mahali hapo sababu hakuwa yeye peke yake mwenye manukato hayo,hivyo ndivyo alivyokuwa anawaza ndani ya kichwa chake hata hivyo hawakuwa na maelewano mazuri.Ni kweli pua zake hazikumdanganya,alivyotoa kanga yake usoni mbele yake alikumbana na miguu ya kiume chini ina moka,moyo wake ukapiga paa.Akainua shingo macho yake yakatua usoni kwa Deo!Aliyekuwa mbele yake nayeye anamtizama kwa huruma bado alishindwa kuelewa hiyo ni ndoto au kweli.
“Marietha pole kwa msiba mke wangu”
Deo akasema kwa sauti ya chini huku akitoa mkono wake kwa nia ya kumuinua, hakuwa ana uhakika kama swala lake lingezaa matunda sababu aliamini kwa vitendo vya kinyama alivyofanya hakustahili msamaha kirahisi,lakini katika hali ya kushangaza Marietha akatoa mkono nayeye akasimama, akamrukia Deo,akamkumbatia akaanza kulia machozi.
“Mama a..mefari..ki Deo”
Ilikuwa ndiyo kama aliambiwa aanze kulia upya,alikuwa akimwaga machozi kifuani kwa Deo mpaka yakamlowanisha.Mikono ya Deo ikapita migongoni kwa Marietha akazidi kumkumbatia kwa nguvu.
“Pole sana Mar..ietha”
“Po..le wakati we..we ndi..o umesababisha haya yo..te”
Marietha alijibu kwa uchungu na kwikwi huku akimpiga piga Deo kifuani kwa matendo aliyofanya Deo siku chache zilizopita, aliviona na bado alivikumbuka.
Ni kweli alilijuwa hilo lakini aliamini kwamba kwa wakati huo hakuwa na muda wa kusuluisha vitu kama hivyo,hata hivyo moyoni aliumia sana,hata yeye hakuamini kuwa Mama Marietha amefariki na hatoonekana tena kwenye uso wa dunia.Katika watu waliosimama kifua mbele kutetea penzi lake basi Mama huyo aliyekuwa tayari ametangulia mbele ya haki.

Maombolezo yaliendelea kama kawaida na Deo alishiriki akiwa nje na wanaume wenzake tena walivyojuwa ni mume wa Marietha walimchangamkia kama walishawahi kuonana naye kabla,hata hivyo kabla ya kumuona walishawahi kulisikia jina ‘Deo’ na waliambiwa sifa za mwanaume huyo tajiri mfanyabiashara, ndiyo maana walikaa naye karibu wenda labda alikuwa mwenye wadhifa.
“Shemeji,pole na msiba.Mimi naitwa Pius mtoto wa Mama yake mdogo Marietha, Marehemu alikuwa ni Mama yangu mkubwa,ninaishi Morogoro.Pole sana na msiba”
Alikuwa kijana mwingine aliyefika mbele ya Deo na kumpa pole usiku huo wa saa saba wakiwa nje wanaota moto huku wanapiga stori,Deo alionesha uchangamfu sababu walimchangamkia pia!
***
Hakuna siku waliyopiga kelele za yowe kama walivyoona gari aina ya ‘pick up’ ya rangi nyeupe nyuma ina jeneza na msalaba juu yake,pembeni wamekaa wanaume wanne.Kabla hata haijasimama wakina Mama waliangua vilio,Marietha akadondoka chini puu!hapohapo akapoteza fahamu zake.
“Jamani fanyeni juu chini aamke,mtoto wake analia.Hajanyonya tangu saa sita”
Mwanamke mmoja alishauri,Marietha akabebwa na kupelekwa chumbani ambapo huko walimpepea na kumpa hewa kama huduma ya kwanza,hazikupita hata dakika kumi na tano akawa amezinduka lakini alivyokumbuka alianza kulia machozi.
Jeneza la Mama yake lilikuwa tayari lipo seblen kwa ajili ya heshima ya mwisho na mazishi hayo yaliongozwa na Mchungaji Ezekiel kutoka parokia ya Ngamiani kati,walitowa heshima za mwisho kwa marehemu.Kila mtu alikuwa akipita na kuutizama Mwili wa Mama Marietha uliokuwa umelala ndani ya jeneza,Marietha alikuwa mbele Deo nyuma amemshika mkewe wanaongozana kitendo cha Marietha kushuhudia mwili, alimwaga machozi.Deo akapata kibarua kingine cha kumtuliza,hivyo ndivyo ilivyokuwa. Ilivyofika saa tisa ya alasiri mwili wake ukachukuliwa na kufukiwa katika makaburi jirani na nyumbani hapo,huo ndio ukawa mwisho wa Mama Marietha duniani,jina lake likabaki kama historia!
***
Deo hakutaka kubanduka mkoani Tanga bila mkewe na hicho ndicho kitu kilichotokea, muda wote alikuwa na Marietha,akimfariji na kumwambia kwamba ndiyo mipango ya Mungu.
“Haapana Deo wewe ndiio umemuuwa Mama yangu”
Hilo ndilo neno alilokuwa anasema Marietha kila wakati akilirudia.
“Usiseme hivyo Marietha ni kazi ya Mungu”
“Sio kweli”
“Sawa mnyonyeshe mtoto”
Deo hakutaka kuendelea kubishana na Marietha sababu alielewa kwa njia moja ama nyingine yeye ndio chanzo japokuwa ilikuwa kazi ya Mungu.
Marietha bado alikuwa ana machungu na macho yake yalikuwa mekundu,akaanza kumnyonyesha mtoto wake.
“Umempa jina gani?”
“Bado sijampa jina”
“Kwanini sasa?”
“Nilipata msiba wa ghafla”
“Mpatie jina”
Marietha akafikiria kwa kitambo,akamuangalia Deo.
“Abraham,nitamuita Abraham”
“Abraham Baba wa Imani?”
“Huyohuyo”
“Aya sawa Mama Abraham,lini tutaenda nyumbani?”
Swali hilo lilimfanya Marietha ageuke ghafla na kumtizama Deo,ilionekana kama hakusikia vizuri kile alichoulizwa.
“Unaongea namimi?”
“Ndio mke wangu”
“Mimi sio mkeo,Mkeo umemuacha nyumbani kwako.Kwanza alikuruhusu vipi utoke mpaka uje huku?”
“Marietha ni stori ndefu,nitakuhadithia.Twende nyumbani”
“Siwezi kurudi,hapa ndio nimefika tena sahau”
Marietha akawa amebadilika ghafla,sura yake ikajikunja kama mtu aliyelamba ndimu!Kwa mambo aliyofanyiwa na Deo bado aliyakumbuka,kurudiana naye tena ilikuwa ni sawa na kurudi Jehanam!
“Marietha usiseme hivyo wewe ndio mke wangu wa ndoa na itabaki kuwa hivyo”
“Mimi?”
“Wewe ndio”
“Na Leila?”
“Leila hayupo tena”
“Deo tafadhali niache kwanza,kwa sasa siwezi kuzungumza hayo mambo”
Ni kweli kwa jinsi hali ilivyokuwa na msiba walioupata hawakupaswa kuzungumzia maswala hayo mahali hapo.

Siku zilizidi kusogea mbele watu wakaanza kutawanyika mmoja baada ya mwingine lakini Deo aliendelea kubaki matanga,alilala seblen na hiyo ndiyo ilikuwa sehemu yake licha ya yote hakuacha kumsumbua Marietha juu ya swala lake.Hakuwa mwenye uhakika kama Marietha atamsamehe ilikuwa ni sawa na kucheza karata dume,Marietha aliendelea kusimamia msimamo uleule.Kuna kitu ambacho wafiwa walikiona hakikuwa cha kawaida,kuna kitu walikihisi ndiyo maana mmoja wa Mama zake wadogo wakaingilia kati,siku hiyo Deo alivyoamka tu asubuhi alipelekewa chai na maandazi.
“Karibu chai”
Mama mdogo alimkaribisha lakini ndani ya moyo wake kuna maswali alitaka kuyahoji.
“Ahsante”
Deo alitoka nje na kuchukuwa maji ndani ya pipa,akanawa uso na kurudi seblen,akakaa chini kisha kuanza kunywa chai.
“Mimi naitwa Mama Steven,hujambo Deo?”
Mama alianza utambulisho,Deo akatulia kidogo akang’ata kipande cha andazi na kusindikiza na chai.
“Sijambo,poleni na msiba”
“Tushapoa.Vipi lakini kila kitu kipo sawa?”
Mama Steven alianza kumchimba Deo,alitaka kujuwa kwanza nini tatizo ili ajuwe ataanzia wapi.
“Ndio”
“Mpo sawa na Marietha?Nambie ukweli”
Deo akasita kidogo na kumtizama Mama Steven machoni,alitamani kuongea ukweli lakini aliogopa kutwangwa maswali,hakuelewa angejibu vipi endapo angeulizwa kwanini alimfukuza Marietha,alijisikia ni mkosaji sana!
“Ndio tupo sawa”
“Sio kweli Deo”
“Ndio hatupo sawa,tumepishana kidogo maneno”
“Kwanini?”
“Mambo tu ya kifamilia”
“Sawa nisubiri hapo”
Mama Steven alisimama na kumuacha Deo seblen.
Hakutokea tena kwa takriban dakika tisini nzima na alivyotokeza Seblen pembeni alikuwa amemshika Marietha,mkononi amem-beba Abraham.Deo akasimama haraka kama mwanajeshi,akawatizama kwa zamu.
“Deo,mkeo huyu amekusamehe.Unaweza ukaenda naye”
Sijui kama alikumbuka kuuliza imekuwaje na waliongea nini, alichofanya ni kutembea taratibu na kumkumbatia Marietha na kusema ‘NAKUPENDA SANA MKE WANGU’ wote wakatabasamu na kumtizama mtoto wao Abraham,wote waliamini kwamba yaliyotokea yalikuwa tu kama changamoto za ndoa kwani kanisani walikula kiapo,kitu kitakachowatenganisha ni kifo na wala sio binadamu kwa sababu walikuwa tayari mwili mmoja.
***
Siku iliyofuata saa tatu ya asubuhi walianza safari ya kurejea Jijini Dar es salaam ili kuanza mapenzi yao mapya kama mume na mke,Kila mtu alikuwa ana tabasamu usoni.Wakawaaga wanakijiji na kuwashukuru kwa yote.Deo akawasha gari na kurudi kinyumenyume kwa umbali wa kama mita ishirini, shingo yake ilikuwa inaangalia nyuma sababu hakukuwa na sehemu ya kuligeuza gari alivyofika karibu na shule akaona upenyo,hapohapo akalichekecha gari,alivyokaa sawa akaweka gia na safari ya kuondoka,ikaanza.
“Punguza AC, mtoto baridi”
Marietha ndiyo alivunja ukimnya,Deo akabonyeza kidude maalum kwenye usukani kiyoyozi kikapungua makali,wakazidi kusonga mbele.
“Marietha”
Deo akaita.
“Abee”
“Naomba usahau yaliyopita”
“Usijali Deo”
Kudhihirisha kwamba amemsamehe mumewe akasogea karibu na kumvuta karibu akamnyonya mdomo,hiyo ilikuwa ishara tosha kwamba wagange yajayo yaliyopita si ndwele!Safari ikazidi kuendelea,Abraham alivyoamka akanyonyeshwa.
Ilikuwa safari ndefu kiasi na walivyofika Chalinze waliweka gari kando, Deo akanunua chakula na vinywaji kisha kurudi ndani ya gari na safari ikaendelea,walianza kujichana huku safari ikiendelea.
Saa nane kasoro dakika mbili,ndipo walipofika, gari lilikuwa nje ya geti la Deo anapiga honi ambapo alifunguliwa na mlinzi Biko,akasogeza gari mpaka kwenye maegesho maalum.
“Karibu nyumbani mke wangu”
Deo akamwambia mkewe kisha kushuka ndani ya gari,kitendo cha Marietha kushuka ndani ya gari Biko alikurupuka kutoka getini.
“Mamaaaaaaa”
Alionesha furaha ajabu na kumsogelea.
“Karibu nyumbani”
“Ahsante Biko,mbona umekonda hivyo?”
“Hamna Mama,nipo poa”
Biko alipungua uzito kutokana na mateso ya Leila siku nyingine alikuwa hapatiwi chakula,kila siku alikuwa akimuomba Mungu Marietha arudi sababu ndiye alikuwa akimpa chakula kila wakati.
“Aya nimerudi”
“Karibu”
Ilikuwa shangwe sana.
****
Siku zilizidi kusonga mbele,Deo alionesha mapenzi mengi kwa mkewe kana kwamba wameanza mapenzi siku chache zilizopita,alimuheshimu na kumpenda pia.
“Love”
Siku hiyo jioni alitoka kazini na kuita.
“Yes Darling”
“Mwezi ujao tunaweza kwenda Paris”
“Paris?”
“Yes,Ufaransa”
“Kuna nini?”
“Nataka twende tukatembee tu,kuna pesa ninaisubiri nikilipwa tutaenda kwahiyo kaa mkao wa safari”
“Na Abraham je?”
“Usijali kuhusu yeye nitajuwa cha kufanya”
“Aya Dee,chakula kipo mezani.Alafu maziwa yake ya kopo yameisha”
“Nimekuja nayo,yapo kwenye gari”
Ilikuwa ni familia yenye furaha pengine kuliko yoyote ile,maisha yakazidi kusonga mbele na Abraham akaanza kukomaa taratibu,alikuwa ni mtoto mzuri mno na mwenye afya na kila Mwanamke alitamani kuwa na mtoto mzuri kama Abraham.Macho alichukuwa kwa Deo rangi kwa Mama yake na pua pia.Hilo lilianza kuonekana tayari.
****
“Ng’aaaa! ng’aaaa! ng’aaaaa!”
Ilikuwa ni usiku wa saa saba,Abraham alianza kulia,wa kwanza kushtuka alikuwa Deo,akamtingisha Marietha.
“Marietha,Marietha”
“Mmmmh”
Akaitikia kwa sauti ya uchovu wa usingizi.
“Mtoto analia”
Marietha akafumbua macho yake,kilio cha Abraham kilimuogopesha haraka akatoka kitandani na kusogea mpaka pembeni ya kitanda kidogo,akamchukuwa na kuanza kumnyonyesha,baada ya sekunde kumi alitulia na kulala.
Siku iliyofuata usiku alianza kulia tena.Tabia ya Abraham haikuishia hapo, alikuwa akilia kila usiku wa saa saba ukifika.
Hakuna siku iliyomchanganya Marietha kama siku hiyo usiku,Abraham alilia na mbaya zaidi alikataa kunyonya,alikuwa akicheua na kutapika.Hiyo ilimchanganya mpaka Deo mwenyewe.
“Abraham nyonya basi”
Marietha alisema lakini mtoto Abraham hakutaka kabisa,aliendelea kutapika tu.
“Marietha vaa twende hospitalini,Kwa dokta Amir,mtoto atakuwa anaumwa”
Deo alishauri,usiku huohuo wote wakavaa na kutoka nje wakaingia ndani ya gari na safari ya kwenda Kariakoo ikaanza kwa daktari bingwa wa watoto Dokta Amir,ndani ya gari Abraham alipiga kelele sio kawaida,hiyo ikafanya Mpaka Marietha amwage machozi.
“Mwanangu amekumbwa na nini tena?Eh Mungu.Mbona mimi tu”
Marietha alisema, hiyo ilimfanya Deo akanyage mafuta mengi na dakika thelathini baadaye walikuwa hospitalini.
Mtoto akachukuliwa vipimo vyote lakini hakuonekana na ugonjwa wa aina yoyote ile.
“Lakini mtampa hizi drops,itamsaidia kumpa hamu ya kunyonya maziwa”
“Ahsante Dokta”
Ni bora Abraham angekuwa ana uwezo wa kuongea hiyo ingekuwa rahisi kusema ana ugonjwa gani lakini bado alikuwa mtoto mchanga,walitoka hospitalini na kurudi nyumbani ambapo Abraham aliendelea kulia kwa sauti.
Deo alipungua uzito ghafla,akapata kibarua cha kum-bembeleza mtoto wake akitembea huku na kule nyumba nzima.
“Abraham nyamaza mwanangu”
Hiyo haikusaidia.kulivyopambazuka tu wakaanza kuzunguka mahospitalini lakini hakuna walichoambulia.
“Labda muende Aghakhan,kuna dokta wa kihindi anaitwa Khaila,anaweza kuwasaidia”
Kauli hiyo ilitoka kwa Dokta Jojjo Macha kutoka katika hospitali ya Lugalo,Deo akawasha gari wakaondoka na Marietha mpaka hospitali ya Aghakhan,kulikuwa na mkusanyiko wa watu wengi sana.Wakapita mpaka mapokezi na kusimama.
“Samahani tunamuulizia dokta Khaila”
Deo ndiye aliyeulizia,Marietha hakuwa na nguvu tena, alikuwa akilia tu.
“Mna mihadi naye?”
“Ndiyo..Hapana…Kuna mtoto anaumwa hapa”
“Jazeni hii fomu”
Deo akajaza harakaharaka kisha akaambiwa asubiri kwenye benchi.
Mapigo ya moyo ya Marietha yakapiga paa!Hakuelewa mtu aliyemuona mbele yake amemfananisha au macho yake yalimdanganya!

*****
Shuka lilibadilika rangi na kuwa jekundu,zilikuwa ni damu!Maumivu aliyohisi Katrina yalikuwa makali mno,akabaki analia machozi tu,akimlaumu Issa na kumwambia kwamba kwanini alifanya hivyo wakati alimwambia hayupo tayari kuendelea na tendo hilo,Katrina alikuwa tayari kapoteza usichana wake,hiyo ndiyo ilikuwa siku yake ya kwanza kufanya tendo hilo la ngono,tayari alikuwa kavunjwa bikra yake.Alimuangalia Issa kwa macho makali mno,kuna kitu kilikuwa kimem-bana kohoni hizo zilikuwa ni hasira.
“Ume..niumi..za”
Alisema kwa kwikwi.Issa alikuwa kandokando ya kitanda moyo wake unapiga kwa nguvu vibaya sana!Hata yeye aliogopa sana,Katrina alikuwa akivuja damu nyingi,ilionekana alipata jeraha lingine.Huyo alikuwa mwanamke wake wa pili kumvunja bikra lakini haikuwa katika hali kama hiyo.Alivyomfikiria Mzee Kapoor hofu ikazidi kumtanda zaidi,alielewa endapo Mzee huyo angegundua ana mahusiano na binti yake basi angezikwa mzimamzima akiwa hai!Kila alipojaribu kuongea kitu alishindwa,alibaki akimwangalia Katrina aliyekuwa analia pembezoni mwa kona ya kitanda,amejikunja!
“La..kini mbo..na nilikwa..mbia hukusik.ia Issa?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Katrina,sawa yeye ndiye aliyetaka kufanya tendo hilo na ndiye aliyelipia mpaka chumba lakini hakujuwa kwamba angepata maumivu makali kiasi hicho,ilikuwa ni tofauti na alivyodhani,alivyotupa macho yake juu ya shuka aliogopa zaidi damu alizoziona zilimtisha mwenyewe,akazidi kulia machozi.
Badala ya kufurahia tendo hilo sasa iligeuka na kuwa kama msiba,Issa ilibidi apate kibarua kingine cha kumtuliza mpenzi wake,akimwambia kwamba atapona.
“Issa na..hisi maumivu”
“Usijali,yatapoa tu”
Alimfariji.
“Kweli?”
“Ndio”
“Issa,tambua kwamba wewe ni mwanaume wangu wa kwanza kuuona mwili wangu”
Bado Issa alishindwa kumtafakari msichana huyu mzuri kuliko maelezo yaliyojitosheleza,bado hakuwa ana uhakika kama maneno ya Katrina niya Ukweli ama ni kanjanja tu za kibongo!
Haikuwezekana hata kidogo kwa msichana mrembo kama Katrina kuwa Bikira,wakati mwingine alidhani wenda Katrina alikuwa muhuni, akifanyiwa michezo mibaya ya kipemba yaani kuingiliwa kinyume na maumbile kwani wasichana wengi ndiyo hufanya hivyo,ili kutunza bikira zao!
“Naomba usije ukaniumiza tu”
“Siwezi Katrina,lakini ninaogopa”
“Unaogopa nini?”
“Wazazi wako”
Kauli hiyo ilimfanya Katrina anyong’onyee.Sio siri hata yeye aliwaogopa wazazi wake kuliko kifo!
Hususani baba yake mzazi Mzee Kapoor,mzee huyu alitisha. Bado hakupata picha itakuwaje siku hiyo atakapowafuma wanafanya mambo yasiyostahili,alivyotafakari hayo alianza kuogopa mwenyewe.
“Usijali kuhusu hilo”
Alijaribu kumtia Moyo Issa.
“Wazazi wako hawatopenda mimi kuwa nawewe.Mimi ni maskini wewe ni tajiri,hatuwezi kuendana.Ipo siku utapata mwanaume mwingine tajiri na kuniacha mimi”
Siku zote aliyeumwa na nyoka akiguswa na jani hushtuka!Hivyo ndiyo ilivyokuwa kwa Issa,kila alipojaribu kumkumbuka Marietha alivyomfanyia katika maisha yake aliumia moyo na alijuwa hicho ndicho kitakachokuja kutokea mbeleni.
“Issa”
Katrina akamuita na kumsogelea karibu,akamvuta na kumpa maneno ya kumfariji.
Bado hakuelewa ni kitu gani kimetokea katika maisha yake mpaka akampenda Issa kiasi hicho,bado alijikataa mwenyewe!Haikuwa kawaida yake kupenda kiasi hicho,sio kwamba hakuwahi kuwa na mpenzi kabla,La hasha!

Katrina alisimama kwa taabu,akashuka kutoka kitandani huku akichechemea na kuelekea bafuni ambapo Issa alimfuata nyuma,wakafungua bomba la mvua, maji yakaanza kuwamwagikia.Walivyomaliza kuoga wakavaa na kuanza safari ya kuondoka,jinsi Katrina alivyotembea hakutofautishwa na mgonjwa wa kisonono,aliitanua miguu yake huku na kule kama mwanaume aliyetoka kufanyiwa tohara!Hiyo ilizidi kumtia wasiwasi zaidi Issa.Kwa kuwa waliaga wanaenda kununua vitu vya chuo ilibidi wapitie Mjini Kariakoo kununua vitu viwili vitatu kama nguo mpya,mabegi na viatu.Katrina hakuwa na niya ya kwenda kufanya ‘shoping’alifanya hivyo ili kuzuga tu.
“Katrina”
Issa akamuita wakiwa ndani ya gari.
“Yes Baby”
“Ukiulizwa umefanya nini,utajibu nini sasa?”
"Usihofu kuhusu hilo,lakini ninahisi maumivu makali sana Mpenzi wangu”
“Usijali utapona”
Katrina akawasha gari na safari ya kurudi nyumbani kuanza mara moja! Pamoja na kuhisi maumivu mengi katikati ya mapaja yake lakini aliweza kuendesha gari,licha yote moyoni alifurahi sana kutolewa usichana wake.
“Issa”
“Naam”
“Nakupenda sana,leo usiku nataka tuongee”
“Leo usiku?”
“Ndio”
“Sawa”
Walifika nyumbani mchana wa saa nane,wakafunguliwa geti na gari likaingia ndani.
Wa kwanza kushuka alikuwa ni Issa,akafungua mlango wa nyuma na kuanza kutoa vitu ndani ya gari kisha kufuata Katrina.

Mlinzi aliyekuwa getini alimwangalia Katrina kwa umakini sana,mwendo aliokuwa anatembea ulimfanya ahisi kitu sababu alivyotoka asubuhi hakuwa katika hali hiyo,alimtizama Issa na kuanza kukusanya matukio mbalimbali baina ya watu hao wawili,kuna kitu alianza kukihisi ambacho hakikuwa cha kawaida.
“Lazima nimwambie bosi”
Mlinzi alijisemea Moyoni,katika wafanyakazi ambao waliokuwa wanajipendekeza kwa Mzee Kapoor basi ni mlinzi huyu aliyeitwa Mugisha,alikuwa ni mwanaume lakini alikuwa ana tabia za kike,hakuwa na koromeo!
Ndani hakukuwa na mtu yoyote yule isipokuwa wafanyakazi wa ndani ambao walimpokea Issa mizigo.Na kuipeleka chumbani kwa Katrina,mtoto huyu wa tajiri alikuwa kama malkia ndani ya nyumba hiyo ingawa hakuwa na walinzi.Mzee Kapoor na Mkewe kwa wakati huo walikuwa katika shughuli zao za utabibu hospitalini,Katrina na Issa wakaachana kila mtu akaingia ndani ya chumba chake.
***
Katrina alikurupuka usiku wa saa tatu baada ya kulala kwa masaa mengi,bado alihisi maumivu kwa mbali ingawa sio sana,akashuka kutoka kitandani na kutembea mpaka dirishani ambapo alivuta pazia akachungulia,hakuona magari ya wazazi wake kumaanisha kuwa hawajarudi bado.Akatembea mpaka seblen na kukuta chakula kipo tayari mezani kimetengwa, kazi yake ilikuwa ni kupakuwa tu na kuweka kwenye sahani!
“Issa keshakula?”
Akamuuliza mmoja wa wafanyakazi aliyekuwa anapita kandokando yake.
“Ndiyo”
“Sawa”
Katrina akabeba sahani ya chakula na kunyoosha moja kwa moja chumbani kwa Issa ambapo alimkuta bado hajalala ingawa yupo kitandani macho yake kayakodoa juu,anaangalia paa la nyumba.
“Vipi,hujalala mpenzi?”
Katrina akauliza,akiwa na sahani ya chakula mkononi.
“Unawaza nini Darling?”
“Hapana nipo kawaida,sina tu usingizi”
“Niambie ukweli”
“Kweli tena”
“Issa,please”
Haukuwa uongo,Issa kuna kitu alikuwa anakiwaza kichwani,hakuelewa mwisho wa maisha yake ungekuwaje na kilichomfanya atafakari zaidi ni jambo la hatari alilokuwa analifanya,kujiingiza katika mapenzi na mtoto wa Mzee Kapoor hiyo ilikuwa ni sawa na kujipeleka mdomoni kwa mamba.Kuna kitu alijifunza katika ulimwengu wa mapenzi kwamba pesa ndiyo kila kitu.
“Katrina,siwezi kuendelea nawewe naomba tusitishe”
“Issa,no! No! No! No! Tafadhali.Usifanye hivyo,kwanini sasa?”
“Wazazi wako wakijuwa?”
“Mpenzi hilo niachie mimi nakuomba”
“Katrina Mimi maskini,hatuendani”
Issa aliongea kwa uchungu ajabu.
“Mimi nimekupenda hivyohivyo”
“Naelewa lakini ipo siku utaniacha tu.Na ninachohofia ni wazazi wako”
“Hata wakijuwa nitahakikisha hawatofanya chochote.Nipo radhi kuwa nawewe mpaka pumzi yangu ya mwisho”
Yalikuwa ni maneno mazito kutoka kwa msichana huyu mdogo sana kutamkwa.Kuna kitu kilionekana ndani ya macho yake,mapenzi mazito na kweli katika maneno aliyokuwa anazungumza hakukuwa na punje hata moja ya unafki ndani yake.Na Issa aliliona hilo lakini hakuwa ana uhakika sababu alishawahi kutendwa kabla.
“Kula chakula Katrina”
“Siwezi kula tena Issa”
“Kula tafadhali,mimi nakupenda sana”
“Kweli?”
“Ndio”
Kulikuwa kuna uwezekano mkubwa wa Katrina kugoma kula chakula endapo Issa asingemtamkia maneno hayo.Katrina alianza kula,baada ya kumaliza alitoka na kuingia chumbani.

Usingizi siku hiyo ulikuwa kitu hadimu sana kwake kupatikana,Issa ndiyo alitawala ndani ya mtima wake na wala sio kitu kingine!Ilikuwa ni lazima usiku huo mzima akalale chumbani kwa Issa,alichokuwa anasubiri ni wazazi wake warudi ahakikishe wamelala kisha anyate na kuingia chumbani kwa Issa.
Ilivyogonga saa saba alisikia honi ya gari,alikuwa ni Mama yake na baada ya sekunde moja gari ya Baba yake nayo ikaingia.Kwake ilikuwa shangwe,hakufurahi kwasababu wazazi wake walirudi salama bali ili apate mwanya wa kulala na Issa siku hiyo mpaka asubuhi.Akasikia mlango wa seblen unafunguliwa,akajifunika shuka gubigubi, akajifanya amelala fofofo.Mlango wake ukafunguliwa,alikuwa ni Mama yake mzazi Dokta Khaila,akamtizama Mwanaye aliyekuwa amejifunika na shuka mwili mzima akidhani wenda amelala,akazima taa kisha kurudishia mlango.Katrina akalitoa shuka lake na kutoka kitandani,ambapo alipanga mito kitandani na kuweka mashuka vizuri,kitandani kukawa kama kuna mtu amelala.Akasimama ili kuangalia kama zoezi lake limekamilika,ni kweli ungeangalia kitandani ungedhani kuna mtu amelala lakini kulikuwa kuna mito na blanketi kwa chini!
Akavua nguo zake na kuvaa ya kulalia yaani ‘night dress’.Akanyata mpaka mlangoni kwa Issa,akafungua. Ilikuwa ni nyumba ya gorofa wazazi wake walikuwa wakilala chini,chumba cha Issa kilikuwa jirani yake,hiyo ilikuwa rahisi kwake.
“Katrina!”
Issa alishtuka kwani hakutegemea ugeni kama huo usikuusiku.
“Si nilikwambia nina mazungumzo nawewe usiku”
“Kwanini isiwe kesho?”
“Hapana”
Jinsi walivyokuwa wanaongea,hawakutofautishwa na wezi waliokuwa wanafanya mikakati ya kuvamia ikulu,waliongea kwa kunong’ona sababu usiku sauti ilikuwa inatembea kwa kasi sana.
Japokuwa alikuwa anahisi maumivu lakini aliyapuuzia sababu aliamini ipo siku atazoea,bila kuongeza neno lingine lolote akamvaa Issa mdomoni mwake,wakaanza kulana denda.
Haikuwa kazi rahisi kwa Issa kupinga sababu tayari Katrina alikuwa ameshika mwiko wake anaupapasa na kuuchuwa,hiyo ilimfanya Issa alegee hakuwa na nguvu tena za kujinasua,alikuwa kama ndege aliyenasa kwenye ulimbo.Wakazidi kulana denda kwa fujo huku wakibiringishana,Katrina akatoa nguo yake ya kulalia.Kwa kuwa Issa alikuwa amevaa boxa,haikuwa kazi ngumu kuitoa.Kufumba na kufumbua wakabaki kama walivyozaliwa mwiko wa Issa ulikuwa umesimama,kazi ya Katrina ilikuwa ni kuuchezea ingawa hakuwa fundi.Kitu alichohisi hakikuwa cha kawaida baada ya Issa kupitisha ulimi wake juu ya chuchu zake,tangu siku hiyo ndiyo alijuwa kwamba hapo ndipo udhaifu wake ulipo akawa hajiwezi tena,maumivu aliyokuwa anahisi yote yaliyeyuka ghafla.
Bwana Issa hakuishia hapo,aliikamata miguu ya Katrina akaipanua huku na kule,akapitisha ulimi wake katikati ya mgodi uliokuwa tayari una ladha ya chumvichumvi kwa mbali,hapo ndipo Katrina alipohisi raha zilizopitiliza,akahisi roho yake inaacha mwili, akiwa chali kazi yake ilikuwa ni kuvuta vuta mashuka,Issa alivyohisi kuna chembechembe za madini,akamuweka jogoo wake vizuri na kumuingiza shimoni.
“Aaaaaaaaaah!”
Katrina alipiga kelele kwa nguvu za raha lakini zilizochanganyika na maumivu hiyo ilifanya mpaka itoke nje ya mlango,Issa akamziba mdomo lakini alikuwa tayari keshachelewa kwani ilimfikia Mzee Kapoor na mkewe waliokuwa chumbani wanazungumza.
“Sio Katrina huyo?”
Mzee Kapoor akamuuliza mkewe,alionekana hakuwa mwenye uhakika.
“Ndiye yeye”
“Embu nenda kamuangalie”
Dokta Khaila akatoka kitandani,akajifunga kanga na kufungua mlango ambapo alipandisha ngazi mpaka mlangoni kwa binti yake,Katrina!Akanyonga kitasa na kuwasha taa.
“Katrina!”
Akaita baada ya kuona kuna mtu amelala kitandani.
“Wewe Katrina”
Akazidi kusogea karibu kabisa,kabla ya kukifikia kitanda akatafakari kwa muda kisha kuzima taa na kurudi chumbani kwake.
“Vipi?”
Mumewe akahoji.
“Amelala”
“Uliongea naye?”
“Hapana”
“Kamwamshe, ili ujue nini tatizo”
“Lakini mtoto amelala,kwanini tumsumbue?”
“Kamwamshe umuulize nini tatizo”
“Eh,aya”
Kwa Dokta Khaila huo ulikuwa kama usumbufu lakini hakuwa ana kipingamizi,ilibidi asimame tena kutoka kitandani,akafungua mlango na kupandisha ngazi,akanyonga kitasa na kuzama chumbani kwa binti yake,akawasha taa!Akanyoosha moja kwa moja mpaka kitandani.
“Wewe Katrina!”
Akatembea mpaka kitandani na kuvuta shuka,alichokiona kilimshtua!




Mdomo wa Katrina ulikuwa umezibwa, kelele alizotoa zilitisha kwasababu ilikuwa usiku na wasiwasi wao ulikuwa kwamba ni lazima ilisikika tu,wakasitisha zoezi lao.Ni kweli walikuwa ni kama wametabiri kwani walisikia mlango wa chumba cha chini unafunguliwa,hiyo iliwafanya waogope zaidi!Walivyosikia kishindo cha mtu kupanda ngazi ndiyo kabisa, ilikuwa ni lazima mtu huyo alikuwa Dokta Khaila sababu Mzee Kapoor hakuwa ana tabia ya kuingia ndani ya chumba cha binti yake,hayo ndiyo yalikuwa yanapita ndani ya kichwa cha Katrina.
Alijuwa nini kitatokea endapo Mama yake angefungua chumba chake na kumkosa,swala hilo lingefika moja kwa moja kwa Baba yake, Mzee Kapoor!Bila chenga.
Walikuwa wameganda kama barafu kila mtu anasikilizia kitakachoendelea,kati yao mmoja wapo mapigo yake ya moyo yalikuwa yakipiga zaidi kuliko mwenzake,alikuwa ni Issa.Moyoni alikuwa akisali sala zake zote anazojuwa yeye.Kama siri hiyo ingevuja siku hiyo hakuelewa angekuwa wapi baada ya hapo.
“Ameondoka?!”
Lilikuwa ni swali lililochanganyika na mshangao,Katrina ndiye aliyeuliza baada ya kuhisi mlango wake umefungwa.Hapohapo bila kuongea kitu kingine chochote akatoka kitandani,akafungua mlango na kuchungulia, akachomoka moja kwa moja na kuingia chumbani kwake,ambapo alitoa mito na vitu alivyoweka na kuingia ndani ya shuka.Wasiwasi ulikuwa mwingi na hakujuwa angejibu nini endapo angeulizwa alikuwa wapi usiku huo,katika kutafakari kwake akasikia tena kishindo kwenye ngazi,akavuta shuka na kujifunika mwili mzima,akisikilizia ndani ya shuka.Taa ya chumbani kwake ikawashwa kutokana na shuka lake lilikuwa jeupe na jepesi alifumbua macho yake akiwa ndani ya shuka na kumuona Mama yake anatembea kumfuata alipo,akafumba macho yake.Shuka lake likatolewa yote hayo alisikia.
“Katrina”
Mama akaita lakini Katrina hakuitikia ingawa alisikia vizuri tu!
“Katrina,Wewe Katrina”
Katrina badala ya kufumbua macho akajigeuza upande wa pili,sio kwamba hakuwa ana uwezo wa kufumbua macho,alikuwa anafanya usanii ili kumshika Mama yake akili.
“Katrina”
“Mmmh”
Akaitikia kwa kuguna.
“Amka”
“Maa..maaa...kuna nini?”
Katrina akauliza akajifanya kufikicha macho yake kama mtu aliyetoka katikati ya usingizi mzito.
“Uko sawa?”
“Ndio Mama”
“Mbona ulikuwa ukipiga kelele?”
“Mimi?”
“Ndio”
“Nilikuwa naota lakini sidhani kama nilipiga kelele”
“Sawa pumzika,usiku mwema”
Mama akasimama,akazima taa na kutoka nje.
Katrina akashusha pumzi nzito ya kuchoka,hakuwa ana uhakika kama mama yake alihisi kitu chochote kile ingawa alijipa matumaini kwamba uwongo wake ulizaa matunda!Usiku mzima alikuwa akimfikiria Issa na alivyokumbuka kwamba anatakiwa kurudi chuo siku chache za usoni,aliumia moyo.Mapenzi yalikuwa tayari yamemkolea.
****
Wa kwanza siku hiyo kuamka alikuwa Issa na alitoka nje ili kusaidia kazi za hapa na pale kama afanyavyo kila kukicha,aliosha magari yote na kuweka kila kitu sawa.Mzee Kapoor na mkewe walivyotoka aliinamisha kichwa chini kwa wasiwasi.
“Shikamoo”
Akatoa salam kwa Dokta Kapoor huku kichwa chake kikiwa chini,Mzee huyo akampita na kuingia ndani ya gari lake bila kumjibu chochote hiyo ikamfanya aogope zaidi,alijishtukia akajuwa tayari kile alichokuwa anakifanya jana na Katrina hakikuwa siri tena.
“Shikamoo”
Akatoa salamu nyingine kwa Dokta Khaila.
“Marahaba, jambo Issa?”
“Sijambo”
“Vipi mbona wewe iko hivyo?Unaumwa?”
“Hapana Mama”
“Tayari futa gari yangu wewe?”
“Ndiyo”
Badala ya Dokta Khaila kuingia ndani ya gari lake akanyoosha mpaka kwenye gari la mumewe,akagonga kioo.
“Kuna shida yoyote?”
Mzee Kapoor akamuuliza Mkewe baada ya kushusha kioo cha gari.
“Ndiyo”
“Kuna nini?Mimi nachelewa kwenye kikao”
Hakuna mtu yoyote aliyeelewa wanachozungumza sababu walitumia lugha ya kihindi!
“Issa amekusalimia,mbona hujamuitikia?”
Issa aliyekuwa pembeni alivyosikia jina lake kinyesi kilimbana,akajua tayari amekwisha!Alimuangalia Mzee Kapoor,aliogopa zaidi kwani jicho alilokatwa halikuwa la kawaida hata kidogo.
Kitu kilichomfanya atamani kukimbia ni baada ya mzee huyo kushuka na kumuendea.
“Kijana,samahani mimi sisikiaa salam yako bwana,wewe salimia kwa sauti ya chini sana,Jambo?”
“Sijambo Mzee”
“Haya,mimi enda kazini sasa.Hakikisha unakaa na dada ako vizuri”
Mzee Kapoor hakuelewa kwamba Issa na Katrina wameanza michezo michafu ya mapenzi na laiti angejuwa hilo sijui angemfanya nini Issa.Ni bora ucheze na sharubu za mzee huyu ama pesa zake kuliko kucheza na binti yake.
Alivyomaliza kuzungumza maneno hayo,akatembea mpaka ndani ya gari na kutimua zake,nyuma yake likafuata gari la Dokta Khaila, japokuwa walikuwa wanafanya kazi sehemu moja lakini kila mtu alitumia gari yake binafsi sababu ya mizunguko ya hapa na pale.
“Issa”
Sauti hiyo ilimshtua kutoka kwa Mlinzi wa getini,aliyeitwa Mugisha.
“Vipi?”Issa akauliza sababu namna aliyotumia Mugisha kumuita ilimuogopesha.
“Njoo nikwambie kitu”
Issa akasogea,jambo hilo lilimshangaza sana sababu hakuwa ana mazoea na mlinzi huyo wa getini ingawa walikuwa wakisalimiana juu juu kila siku.
“Nambie”
“Ngoja nikwambie ukweli ndugu yangu,achana na Katrina.Kabla mambo hayajaharibika.Utajiingiza kwenye matatizo makubwa sana”
“Mbona sikuelewi?”
Sio kwamba Issa hakuelewa kitu anachoambiwa ila alijifanya hajui chochote hakutaka kuweka wazi mahusiano yake na Katrina,hakuelewa Mugisha amejuaje.
“Wewe jifanye huelewi lakini yatakayo kukuta,utasimulia dunia nzima.Huyu mzee ana roho ya kinyama.Mimi muafrika mwenzako nakwambia”
“Hapana mimi na Katrina ni marafiki tu”
“Marafiki eeeh! Yule mtoto najuwa jana mmetoka kugongana,sasa mimi ninakuonya achana naye kabla sijamfikishia Mzee Kapoor hizi habari,akutoe korodani hizo”
Yalikuwa ni maneno ya kutisha mno,Issa alianza kuogopa kupita kiasi.Na Mugisha alizidi kumwambia huku akiyatoa macho yake kwa msisitizo.
“Mimi nakwambia,achana na yu……”
“Issaaaa”
Aliyemkatisha ni Katrina aliyetokea kibarazani na kumuita.Issa akageuka kwa kusita huku kichwani akiyatafakari maneno ya Mugisha!
“Naam”
“Njoo Mara moja”
“Sawa”
Wakati huo Mugisha alikuwa anazuga getini anaangalia huku na kule.Issa akatembea mpaka kwa Katrina.
“Njoo ndani”
Wote wakaingia ndani,kitendo hiko kilishuhudiwa na Mugisha roho ilimuuma kupita kiasi.
***
“Umekunywa chai?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Katrina tena kwa Kiswahili kilichonyooka.
Kama ungebahatika kusikia sauti yake kwenye simu ungedhani ni Mtanzania halisi kumbe alikuwa muhindi,kuzaliwa Tanzania kulimfanya ajuwe Kiswazi!
“Hapana”
“Kwanini sasa?Chai iko hapo,ngoja nikuwekee”
Kile alichokifanya Katrina kwa wakati huo alikuwa kama Mke,akamtengea Issa kila kitu na kumuwekea soseji juu ya kisosi na mayai ya kukaanga,akavuta sahani nyingine iliyokuwa na kuku wa kuchoma akamuwekea,ulikuwa ni msosi wa kishua ambao hata Issa katika maisha yake hakuwahi kuota kama angekuja kula kama hivyo.
“Ulikuwa unaongea nini na Mugisha?”
Katrina akatupa swali.
“Sio kitu,kuna mambo yetu tulikuwa tunazungumza”
“Issa,umeanza lini kuongea uwongo?Issa mimi nakujuwa ukidanganya.Alikuwa anakwambia nini?”
“Kuhusu Mzee,alisema kwamba nimwagilie bustani,yale maua ya kule uwani”
Issa alidanganya,hakutaka kuuweka ukweli wazi.
“Usikae naye karibu,ana mambo ya kike sana”
Waliendelea na kifungua kinywa, walivyomaliza kula vyombo vikatolewa mezani na mfanyakazi.Meza ikasafishwa.Issa akasimama na kuelekea chumbani kwake,ambapo baada ya dakika tano Katrina nayeye akafungua mlango kisha kuufunga kwa ndani na ufunguo!
***
“Aaah aaaah aaaah Iss..a aaaah sshss aaah aaaah aaah ssshss Issa”
Zilikuwa kelele zilizosababishwa na raha ya tendo hilo.Sauti hiyo ilitoka kwa Katrina bila kujijua,hata yeye mwenyewe hakuelewa kwamba anatoa sauti,miguu yake yote miwili ilikuwa imetanuliwa huku na kule,Issa yupo juu yake ananyonga kiuno, nyoka wake yupo ndani ya shimo huku akimnyonya Katrina shingoni aliyekuwa amelala chali yaani kifo cha mende!Issa hakuishia hapo,akampindua na kumuweka kwa mbele yake,yeye akawa nyuma mambo yakawa yanaenda asteaste.Siku hiyo Katrina aligeuzwa geuzwa kama pilau,mara staili hii mara ile,mwisho akapewa maelekezo kuwa ashike mbao ya kitanda,makalio yake yakawa yamebinuka kwa nyuma yaani chuma mchicha,Issa akamuingiza nyoka wake wakaendelea kufanya tendo hilo la kuzini!Siku zote alikuwa akihadithiwa utamu wa tendo hilo lakini siku hiyo alikumbana nalo na kukiri kweli mchezo huo mtamu kuliko asali,hakuweza kuufananisha na kitu chochote duniani.Kadri sekunde zilivyozidi kwenda mbele ndipo Katrina alizidi kuhisi raha zaidi,akajiona kama ameota mbawa yupo juu angani vitu vyote anaviangalia kwa chini.Kuna vitu vilikuwa vinatembea ndani ya mwili wake, hakuelewa ni vitu gani lakini alihisi burudani.
“Aaah aaaah sshhsss”
Katrina alianza kupiga kelele tena kwa sauti,bila kutegemea akaanza kukinyonga kiuno taratibu.
“Aaaaaaaaah”
Hiyo ndiyo sauti ya mwisho aliyotoa Katrina,akaishiwa nguvu za mikono na kudondoka kitandani kifudifudi hiyo ilimaanisha kwamba tayari amefika mlima kitonga,Issa alikuwa bado,akazidisha kasi baada ya sekunde tano,akapasua yai la bata,akadondoka nyuma ya mgongo wa Katrina,wakatulia tuli!
“Issa”
Aliyeanza kuita ni Katrina baada ya kama dakika tano kupita.
“Naam”
“Naomba usije ukanisaliti,nitaumia sana”
“Sina sababu ya kukusaliti mpenzi wangu”
“Kweli?”
“Ndio Katrina lakini bado ninaogopa”
“Unaogopa nini?”
“Baba yako”
“Nilishakwambia hilo niachie mimi, kwanza hatoweza kujuwa”
“Mh”
Issa akaguna.
“Mbona umeguna?”
“Mugisha anajuwa tayari”
“Nani kamwambia?”
“Sijui,ulivyoniona asubuhi pale.Ndiyo alikuwa ananiambia kuwa atamwambia Baba yako la sivyo niachane nawewe”
“Nilijuwa tu,Mugisha ni mmbeya sana”
Katrina aliongea maneno hayo kisha kukaa kimnya,baadaye wakaingia bafuni na kujimwagia maji.
****
“Hivi wewe Mugisha,utaacha lini Umbeya?”
Katrina tayari alikuwa amewaka yupo nje anapayuka,ilikuwa ni lazima ampe Mugisha vipande vyake siku hiyo.
“Katrina nini tena?”
“Nini hujui?Mwanaume mzima mmbeya,ulifanya hila zako Husna akafukuzwa kisa ulimtaka kakukataa.Sasa naona unanitafuta”
“Katrina mbona sikuelewi”
Mugisha ilibidi ahoji,akimuangalia mtoto wa tajiri yake.Aliogopa sana sababu hata siku moja hakuwahi kumuona akiwa katika hali hiyo!
“Hunielewi?Hunielewi sio?Uache umbeya,wanaume wenzako wataku pumulia kisogoni.Watakupakata ukiendelea na tabia yako hiyo.Wewe kazi yako ni kufungua geti na kufunga mambo mengine hayakuhusu,mtizame lisura libayaaa”
Katrina alitoa matusi ya rejareja,kuishi sana Bongo kulimfanya ajuwe maneno ya kihuni.Mugisha alitulia kimnya akawa mdogo hakuwa ana neno lolote la kuongea,aliogopa kumjibu mtoto wa bosi wake,alijuwa angefanya hivyo kibarua chake kingeota nyasi.
Baada ya Katrina kumaliza dukuduku lake akarudi ndani na kutulia akiwa ana hema kwa hasira sio siri hata yeye alikuwa anaogopa,hakuelewa baba yake angemfanya nini endapo angegundua kwamba ana mahusiano na Issa,mwanaume mwenye ngozi nyeusi!Desturi na mila zao hazikuruhusu swala hilo.
***
Kama kawaida siku hiyo ilikuwa siku ya Jumamosi na ilikuwa ni lazima muda wa chakula ukifika,wote wanakula kwa pamoja mezani.Kilichokuwa kinasikika hapo ni migongano ya sahani na vijiko.
“Dad”
Katrina akamuita baba yake,kuna kitu ilielekea anataka kumweleza.
“Maliza chakula kwanza”Mzee Kapoor akajibu,Katrina hakuweza kuongea ilibidi atii amri.
“Grii griii”
Simu ya mzee Kapoor ikaita,bila kusita akaipokea na kuiweka sikioni.
“Yes Araphat.Umefikia wapi?”
“Ndiyo hivyo nishamkamata yule mjinga”
Upande wa pili wa simu ulisikika ingawa ilikuwa sikioni lakini sauti ilipenya nje.Na walikuwa wanatumia lugha ya Kihindi,meza nzima walielewa isipokuwa Issa,hakuelewa ni kitu gani kinazungumzwa kifupi aliachwa solemba!
“Sasa umechukuwa hatua gani?”
“Wewe unanishauri nini?”
“Mfunze adabu kwanza.Yaani alikuwa anatembea na binti yako?Ni mtu mweusi,huo ni mkosi.Yaani huyo adhabu yake ni kumkatakata vipande vipande”
“Wacha nimfunze adabu”
“Mimi waafrika ni kama ndugu zangu lakini sipendi mbegu zao zijichanganye na zetu,nuksi tu.Wazandiki hao,laana kabisa.Hata mimi nikijuwa binti yangu anatembea na Muafrika,sijui nitamfanya nini?Nahisi nitaandikwa kwenye vitabu vya historia”
“Basi subiri nimfundishe adabu huyu”
“Sawa siku njema”
Mzee Kapoor akakata simu cha kwanza kukifanya ni kumtizama Issa kwa macho makali,Katrina aliliona hilo hofu ikaanza kumtanda!



“Issa,kula bwana.Ule shiba wewe na pia sitaki michezo ni binti yangu,kama umeona yeye ana tabia mbaya wewe sema.Sio kaa kimnya”
Mzee Kapoor alizungumza na Issa kwa Kiswahili kibovu akimwambia kuwa awe mlinzi wa binti yake hakuelewa kwamba,Issa ni mkia wa fisi!Waliendelea kula na baada ya hapo vyombo vilitolewa, kila mtu akashika njia yake ya kwenda chumbani.
Katrina alipolifikiria swala la kurudi chuo alikosa raha kabisa,alimuwaza Issa hakuelewa angeishi vipi bila mwanaume huyo ambaye alitokea kumpenda kwa dhati katika kipindi cha muda mfupi tu,hakuelewa ni upendo wa aina gani sababu hata yeye alijishangaa.Kitu kimoja ambacho kilikuwa kinamsumbua akili ni asili ya Issa,tangu waanze mahusiano hakuwahi kumuuliza kitu kama hicho,aliamini kwamba wakati wake sasa umefika.Kulikuwa kuna umuhimu mkubwa sana wa kujuwa historia yake ingawa hakujuwa kama ina faida kwake sababu aliamini ipo siku moja baba yake angegundua mahusiano yao ingekuwa hatari kubwa,alivyokumbuka kitu kama hicho moyo wake ulinyong’onyea ghafla.Ni kweli, alitamani Issa ndiye awe mume wake na siku moja wafunge ndoa wajenge familia wazae watoto yeye awe Mama Issa aitwe Baba.Wakati anatafakari hayo alikuwa amelala kitandani kwake,usiku mzima siku hiyo alimuwaza Issa na maana ya mapenzi kwa ujumla.
***
“Katrina chuo wiki ijayo,upo tayari?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Dokta Khaila siku hiyo asubuhi alivyotokeza Seblen.
“Hapana Mama”
“Wewe!Ulikuwa hujui kama chuo ni wiki ijayo?”
“Mama mimi bado nataka nivute kidogo”
“Ngoja Baba yako akusikie”
Dokta Khaila alikuwa tayari amechelewa sababu mumewe alikuwa anatokeza chumbani na alisikia mazungumzo.
“Shikamoo Baba”
“Marahaba,nishalipa ada tayari ya Chuo.Kesho naenda kukukatia tiketi”
“Lakini Baba bado sipo tayari”
Mzee Kapoor alivyosikia sentensi hiyo kutoka kwa binti yake kwanza aliganda,alimtizama bila kum-maliza hakuelewa ampe jibu gani,akamsogelea karibu.
“Una Maana gani?”
“Nitaenda wiki hiyo inayokuja”
“Usinieleze huo upuuzi wako,tena usinijaribu kabisa.Nadhani umenisahau,nakuuliza umenisahau?”
Mzee Kapoor alikuwa mkali kama pilipili siku hiyo!Alikuwa ana haki ya kumfokea binti yake kiasi hicho sababu alikuwa ni mzee msomi na alipenda sana binti yake apate elimu bora ndiyo maana akamgharamia kumsomesha nje ya nchi.Alijuwa kwamba elimu ndiyo msingi wa maisha.
“Narudia tena utaenda chuo,Mjinga wewe.Usiniletee mambo ya kipuuzi”
“Lakini Baba Katri…”
“Nawewe unataka kusema nini?”
Dokta Khaila alivyotaka kuingilia alikatishwa hapohapo,akabaki kimnya.Mzee Kapoor akatembea mpaka mlangoni na kugeuka.
“Na ninaenda kukata tiketi leoleo.Uwende chuo,eti haupo tayari.Wewe ndiyo unaepanga?”
Mzee Kapoor bado alikuwa ana kisirani akaondoka huku akiwa ananung’unika.Katrina alikuwa ana tabia fulani ambazo hakuna mtu yoyote aliyejuwa ni wapi alipozitoa,alikuwa ana tabia za kususa,hapohapo akasimama na kuondoka zake huku nyuma akimuacha Mama yake anamuita lakini hakugeuka nyuma alipanda ngazi na kuingia chumbani kwake,akajitupa kitandani na kuanza kulia machozi,kitendo cha kufokewa alichofanyiwa na baba yake hakikumpendeza hata kidogo.Na siku zote Mama hakupenda binti yake awe katika hali hiyo, alichofanya nayeye alipandisha ngazi na kumfuata mpaka chumbani.
“Katrina”
“Katrina!”
Mama akaita tena lakini wapi,kilichosikika ni kilio cha kwikwi, sio kwamba Katrina alipigwa hiyo ilitokana na malezi ya kulelewa kama yai yaani malezi ya kishua ndiyo maana kitu kidogo tu alisusa na wakati mwingine ilimfanya asile.
“Katrina mwanagu”
“A..bee”
“Usijali,baba yako leo hayupo sawa”
“Nae..lewa Mama la..kini ndiyo ani..seme kama vile.Sasa si angeniamb..ia kistaarabu,kwani mimi mtoto mdogo mpaka anigombeze”
Dokta Khaila hakuwa na budi zaidi ya kum-bembeleza binti yake.
***
Kuanzia siku hiyo masaa yalienda harakaharaka,siku zikakatika upesiupesi jambo hilo lilimchukiza sana Katrina hakupendelea kabisa kwenda Chuo na sababu kubwa ilikuwa ni mapenzi.Issa alichukuwa nafasi kubwa sana katika maisha yake,hakuwaza tena masomo yake hilo lilikuwa wazi sababu kila wakati alikuwa naye beneti,hiyo ilifanya mpaka wakati mwingine mama yake ahisi kitu fulani kisichokuwa cha kawaida.
“Punguza mazoea na Issa na kama mmeanza mahusiano ya kimapenzi tafadhali acha kabla baba yako hajagundua”
Yalikuwa ni maneno yaliyomshtua sana Katrina kutoka kwa Mama yake siku hiyo alivyorudi kutoka kazini ghafla na kuwakuta katika mikao ya kimahaba,Mguu mmoja wa Katrina ulikuwa juu ya miguu ya Issa wamejiachia kwenye sofa kana kwamba wapo ufukweni,ilibidi Mama amuite Katrina pembeni amkanye.
“Hapana Mama hakuna kinachoendelea”
“Mimi nimesema tu”
Alivyomaliza sentensi hiyo akaondoka zake hakutaka kuendelea tena.
***
Kila Issa na Katrina walipopata nafasi waliitumia vizuri kwa kutomasana na mwisho wa siku waliishia kushiriki tendo la ndoa tena ndani ya nyumba ya Mzee Kapoor kitendo ambacho kilikuwa hatari kupita kiasi,ni bora ukachezee nyaya za transfoma wenda unaweza ukabahatika kupona kuliko kucheza na mtoto wa Mzee Kapoor hicho ndicho alichokuwa anafanya Issa.
“Baby,hivi nyumbani kwenu ni wapi?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Katrina siku hiyo wakiwa kitandani,kichwa chake kipo kifuani kwa Issa wamejifunika shuka moja.
“Mimi?”
“Ndio,nataka kujuwa historia yako kwa Ujumla”
Hata siku moja hakutegemea kama angeulizwa kitu kama hicho tena na Katrina lakini hakuwa na namna yoyote ile,kwa jinsi mambo yalivyokuwa ilibidi aseme kila kitu,akamtizama Katrina kwa kitambo kidogo na kushusha pumzi.
Hapo ndipo alipoanza kuhadithia historia yake ya maisha tangu alivyozaliwa kwa shida mpaka akafika jijini Dar es salaam,hakuacha kitu hata kimoja nyuma!
“Ilikuwaje ukapata ajali?”
Kitu kingine kilichokuwa kinamsumbua Katrina ni hiko tu,ajali aliyopata Issa alitaka kujuwa pia.
“Ni stori ndefu kidogo”
“Nihadithie tu”
Hakukuwa na haja ya Issa kuweka mambo ndani ya kifua chake,kila kitu akakianika wazi.Akasimulia jinsi alivyompenda Mwanamke anayeitwa Marietha na jinsi gani alivyokuwa muaminifu kwake lakini baadaye akapokonywa tonge mdomoni na washika dau!Alivyofika hapo akasita kidogo kuendelea.
“Issa endelea”
“Kumbe alichumbiwa tayari bila mimi kujuwa,mpaka vikao vyote vya harusi vinaendelea mimi sijui.Sikuamini siku hiyo anakuja kunitamkia hanitaki.Ikafika siku ya harusi nikaenda Kanisani ili kushudia,aliolewa sikutaka tena kuendelea.Nikawa kama nimechanganyikiwa nikatoka nje,nachokumbuka nilikuwa navuka barabara,nikagongwa na gari.Hapo tena sikujuwa kinachoendelea”
Issa alihitimisha simulizi yake, kama ungekuwa nje unamsikiliza ungedhani wenda ni tungo tu za kubuni kumbe kila kilichotokea kilikuwa ni ukweli kabisa na mpaka anamaliza kusimulia, Katrina alikuwa analengwa na machozi,alisikitika sana.
“Mfano huyo mwanamke akitokea leo akitaka mrudiane,utakubali?”
“Hapana,sitoweza”
“Kweli Issa?”
“Ndio niamini mimi”
Siku hiyo waliongea vitu vingi sana,Katrina nayeye akapata nafasi ya kusimulia historia yake tangu alivyozaliwa mpaka amekuwa msichana mkubwa,maisha yake alilelewa kimayai.Shida alizisikia kwa majirani na alisoma tu kwenye historia za vitabu lakini hata siku moja hakuwahi kuzipata,nayeye akasimulia kuhusu mpenzi wake Hemed ambaye walikutana chuoni,akamtenda!
“Wanaume wana tamaa sana,Hemed alitembea na rafiki yangu”
“Pole Katrina”
“Issa unanipenda kweli?”
“Ndio..lakini..”
“Lakini nini?Lakini nini?”
“Wazazi wako,sisi ni watu wawili tofauti kabisa”
“Kivipi?”
“Mimi siyo hadhi yako”
“Issa nimekupenda wewe kama ulivyo,alafu pia nakuomba kitu kimoja”
“Kitu gani?”
“Unipeleke ulipokuwa unaishi zamani”
“Wapi?Manzese?”
“Ndiyo”
Katrina hakuwa ana uhakika kama atamkuta Issa endapo akirejea kutoka masomoni India,hiyo ilimuumiza kichwa chake kuliko kitu kingine chochote kile,alitaka siku moja hata akimkosa ajuwe wapi ataanzia.
“Sawa”

***
“Bosi,Bosii,bosiiii”
Ilikuwa ni sauti ya mlinzi wa getini,Mugisha.Baada ya kumuona Mzee Kapoor anatoka asubuhi na mapema anaingia ndani ya gari lake kuna kitu ilielekea anataka kumueleza,akatembea mpaka karibu naye kabisa.
“Mugisha,taka sema nini wewe?”
Mzee akasitisha kufungua mlango wa gari akamgeukia Mugisha.
“Shikamoo Bosi”
“Jambo?”
“Sijambo”
“Vipi bwana,mimi nitakupa mshahara yako kesho bwana,sijali hiyo nitamupatia Mama akupe”
Ulikuwa unakaribia mwisho wa mwezi na kivyovyote vile alijuwa Mugisha alitaka kumkumbusha.
“Hapana bosi sio kuhusu mshahara”
“Unataka sema nini?”
“Kuhusu Issa”
“Issa fanya nini?”
“Issa,Issa na Katrina”
Mzee Kapoor alikuwa ameshika mlango wa gari, kwanza akauachia na kuifumbata mikono yake,akamuangalia Mugisha kwa umakini.
“Unataka zungumza nini?”
“Issa na Katrina wana mahusiano ya kimapenzi bosi,wanapendana na mimi nimeona sio vizuri kukaa kimnya”Mugisha akatoa unoko!
Mpaka hapo Mzee Kapoor alibaki kimnya,alimtizama Mugisha mara mbilimbili.
“Ndiyo bosi huo ni ukweli”Akasisitiza.
Bila kusema chochote Mzee Kapoor akazama ndani ya gari akaliwasha na kulirudisha nyuma.
“Fungua geti,fungua geti”
Mugisha akaruka,geti likafunguliwa.Jinsi Mzee Kapoor alivyolitoa gari nje haikuwa kawaida.Hapohapo akakwapua simu ya mkononi,akawa anatafuta namba fulani.
“Halloo,Khaila upo wapi?”
Alimuuliza mke wake alipo.
“Nipo kazini”
“Wapi?Hospitali?”
“Ndiyo”
“Upo na Katrina?”
“Wameondoka sasa hivi”
“Na Issa?”
“Wameondoka pamoja”
Mzee Kapoor hapohapo akakata simu.
***
“Aaaaah Issaaa weeeeee,naona upo na toto la kihindi,choli choliii.Kuchi kuchi hotae”
Chogo ndiye alikuwa akipiga kelele baada ya Issa kutia maguu maskani Manzese,pembeni alikuwa na Katrina,wamefika kwenye nguo za mitumba.
“Acha zako Chogo,Kishipa yuko wapi?”
“Yuko kaka,naona shavu dodo.Kweli wewe jamaa una zali,siku nyingi mwana hatujaonana,vipi mpango mzima?Ndiyo shem nini?”
“Kausha basi kwanza”
“Oyaaaaa Kishipaaaaaa,Wewe Kishipaaaaaaa”
Chogo akapaza sauti ya juu baada ya kumuona rafiki yao mwingine Kishipa kwa mbali anakatiza katikati ya mabanda ya nguo.
“Njoo njoo njooo,Issa huyu hapa”
Kishipa alivyomuona Issa akasitisha anachokifanya,akaanza kutembea harakaharaka,akamfikia Issa wakakumbatiana kwa furaha.
“Issa umenenepa,sasa huyu mtoto anajuwa Kiswahili.Hii,halloo,Hallooo,My my my Kishipa is name me”
Kishipa aliongea akimsalimia Katrina akijaribu kumuongelesha kizungu cha kuunga na gundi.
“Mambo”
Katrina hakutaka kujifanya anaringa akatoa salam,japokuwa hakuwahi kuwa katika mazingira kama hayo lakini hakuonyesha maringo kama watoto wengine wa kishua!
“Kumbe anajuwa Kiswahili,Poa Mimi naitwa Kishipa.Wewe unaitwa nani kisura?”
“Katrina”
“Katrina,Katrina huyu Issa mimi mshkaji wangu kinoma noma yaani,hapa Manzesee kuanzia Tip top kule darajani mpaka kule mbele Kagera kote kule mimi wananifahamu kwa jina la Kishipa”
Kama kawaida ya Kishipa maneno mengi na angepewa nafasi ya kuzungumza hata mwaka mzima asingemaliza ndiyo maana Issa akamkatisha.
“Ushaanza kanjanja,nataka kumuonesha mtoto mazingira ya hapa”
“Kwanza Issa subiri,huyu mtoto vipi?Ndiyo shemeji ama?Maana mimi binafsi sijaelewa.Eti Chogo wewe umemuelewa?”
“Bado,ndiyo nasubiri hata mimi.Issa ndiyo shemeji huyu?”Chogo nayeye akatia neno lake hata yeye alikuwa anataka kujuwa.
Issa akasita kujibu swali hilo, hakuelewa kama angejibu NDIO Katrina angefurahi ama la, ndiyo maana akamgeukia.
“Ndiyo mimi ni shemeji yenu”
Katrina ndiye alijibu swali hilo.Kitendo cha kutamka sentensi hiyo simu yake ikaita,alikuwa ni baba yake mzazi anapiga,Mzee Kapoor!
“Issa Dad anapiga,ngoja nikapokee”
“Sawa”
Katrina akatembea umbali wa hatua tano ndipo akapokea simu na kuweka sikioni.
“Uko wapi?”
Swali hilo lilitoka upande wa pili wa simu kutoka kwa Baba yake.
“Baba nipoo,nipoo njiani..”
“Uko wapi?Mbona kuna kelele nyingi?”
“Nipo hapa Manzese kuna foleni”
“Unaenda wapi?”
“Kufanya shoping”
“Shoping?Shoping gani?Njoo Aghakhan sasa hivi”
“Okay Dad”
Sauti ya Baba yake ilikuwa ya ukali lakini hilo halikumpa shida sababu alijuwa wenda bado ana hasira naye,akamfuata Issa na kumuambia kila kilichotokea.
“Sasa Washkaji,wacha mimi niende sema siku yoyote nitatimba maskani”
“Poa Issa,sasa unatuachaje mkubwa!”
Katrina alivyosikia hivyo akajuwa nini maana yake,akatoa noti saba za elfu kumi na kuwaambia wagawane.
“Kwaherini”
“Poa poa shemeji………Hivi Issa ana kizizi au?Mbona ana bahati ya kupata mazari namna hiyo”
Kishipa akateta na mwenzake baada ya Issa na Katrina kuondoka huku akizifinyanga pesa mfukoni.
“Nimeona misimbazi hiyo,hapo pasupasu”
“Poa nawewe kwani nimebisha”

****
Mtu aliyemuona mbele yake hakuelewa kwamba alimfananisha ama ni kweli,alikuwa ni Issa kapita harakaharaka nyuma yake akafuata msichana mrembo wa Kihindi kabana nywele zake kwa nyuma,akamgeukia Deo ambaye alikuwa ameweka kichwa chake chini.Moyo wake ulimwambia asimame amuendee na mwingine ulimwambia atulie, hakuelewa afanye kitu gani,mtoto wake aliyekuwa analia hakumsikia tena akili yake ilihama.
“Deo,naomba niende msalani mara moja”
Hakubanwa na chochote alitaka tu kumuona Issa hakuelewa kwanini na hata mfano wakionana hakujuwa ni kitu gani watazungumza,akamkabidhi Deo mtoto kisha akasimama na kuanza kutembea kuelekea alipoenda Issa.Aliwapangua pangua watu,akakatiza kona ya kordo,akamuona Issa amesimama.
“Issaaa”
Marietha akaita kwa sauti ya chini,moyo wake ukapiga paa!Issa alivyogeuka,hakuwa Issa yule wa zamani,alikuwa amebadilika amenawiri na mwenye afya nzuri.
“Mariethaaa”
Issa nayeye akaita,ilionekana hata yeye alipigwa na butwaa.
“Darling,Dad anakuita”
Katrina nayeye akatokeza kwa nyuma!



Pembeni yake alikuwa amesimama Marietha, Mwanamke aliyempenda kuliko wanawake wote chini ya jua la Mungu na alishawahi kupigwa risasi ili kuyaokoa maisha yake kwa mapendo yote aliyompa lakini shukrani ikawa ya punda,Mateke!Akaamua kumsaliti na kuolewa na Mwanaume mwingine tena mbele yake akishuhudia kanisani,Kushoto kwake alisimama binti mwingine mrembo aliyekuwa ana asili ya Kihindi huyu ndiye alikuwa ana mahusiano naye ya kimapenzi kwa wakati huo,aliwatizama wote kwa zamu huku akiwa anatafakari vitu vingi sana,hakutofautishwa na mtu anayetizama filamu, vitu vingi vikawa vinamiminika kichwani mwake kama maporomoko ya maji!
“Issa!Uko sawa?”
Ni sauti ya Katrina ndiyo iliyomzindua kutoka katika mawazo.
“Naam”
“Nimekwambia Dad anakuita”
Issa alimgeukia Marietha na kumtizama kwa kama sekunde tatu nzima bila kujibu chochote akaongozana na Katrina huku nyuma wakimuacha anawasindikiza kwa macho,bado hakuweza kuelewa hiyo ni ndoto ama mambo yaliyotokea yalikuwa halisi kabisa.Alihisi kuumia sana mtima lakini hakuelewa ni sababu gani kutokana na tayari alikuwa mke wa mtu.
“Mariethaa…Mariethaaaa”
Ni Deo ndiye alikuwa anamuita ametokea kwa nyuma yake,ilibidi aite kwa mara nyingine sababu bado Marietha alikuwa katika dimbwi la mawazo.
“Abe abee”
“Vipi?Unaitwa na dokta”
“Mtoto yupo wapi?”
“Kwa daktari”
Mawazo yakahama tena akaanza kumfikiria mtoto wake mchanga, Abraham.Alivyoingia ndani ya chumba cha Dokta,bado alimsikia akilia kwa sauti hiyo ilimuuma kwa kiasi cha kutosha.Baada ya dakika thelathini kukatika majibu yalikuwa tayari yametoka lakini cha ajabu zaidi hakuna ugonjwa ulioonekana, hiyo ilizidi kumchanganya Deo akili, hata Dokta Khaila mwenyewe ilimuumiza kichwa sababu tangu aanze kazi yake ya utabibu miaka ishirini iliyopita hakuwahi kuona kitu kama hicho,ni kweli mtoto alikuwa ana joto kali lakini mashine hazikuonesha kwamba ana ugonjwa wa aina yoyote ile.
“Mtoto ni muzima nyinyi patia hii dawa kisha Mama nyonyesha”
Hayo ndiyo yalikuwa maelezo ya Dokta Khaila kwa Kiswahili kibovu,Deo na Marietha walisimama na kuondoka zao.
“Deo kuna kitu hapa”
Marietha alisema wakiwa ndani ya gari akionekana kukata tamaa kabisa ya kupona kwa mtoto wao,hakuelewa amefanya kosa gani kwa Mungu sababu kila kukicha alikuwa akibadili matatizo, likiisha hili linaibuka lile.
“Kitu gani?”
“Nina amini huyu mtoto kuna mtu ana mchezea”
“Ana mchezea?Kivipi?”
Deo alionekana kushtushwa na maneno ya mkewe,kabla ya kuwasha gari akamtizama vizuri ili apate jibu la swali alilouliza kiundani.
“Madaktari wanasema hakuna tatizo lakini mimi nina amini hapa kuna nguvu za giza”
“Ukiwa una maana gani?”
“Deo hujanielewa mme wangu?Mtoto atakuwa amerogwa”
Jicho alilomkata mkewe halikuwa la kawaida hata kidogo sababu kwanza hakuamini mambo ya ndumba alafu hakutegemea kama mke wake angesema maneno kama hayo,kutokana na elimu yake ya juu hata siku moja Deo hakuamini kama kuna nguvu za giza duniani na kama ulikuwa ukitaka kumtibua basi zungumza habari za mambo ya Imani potofu,hicho ndicho alikuwa anasema Marietha,alijikuta anameza fundo zito la mate.
“Tangu lini umeanza kuamini vitu kama hivyo?Unataka kuwa kama mwenzako?”
Deo akauliza kwa sauti iliyosindikizwa na ukali kidogo.
“Lakini Darling mimi nimeshauri tu”
“Hukunishauri, umeniambia kwamba mtoto atakuwa amerogwa.Wewe unaujuwa uchawi?Nakuuliza unaujuwa uchawi?Sitaki tena kusikia kauli yako hiyo,tutakosana.Nitahangaika mpaka dakika ya mwisho nitazunguka mahospitalini kote ili kujuwa suluisho nasiyo kuamini imani potofu”
Kauli hiyo ilimfanya Marietha ashindwe kujitetea sababu hata yeye mwenyewe uchawi hakuwahi kuuona ingawa alikuwa akiusikia tu kwa maana hiyo hakuwa ana ushahidi wa kutosha ili kupigilia swala lake msumari,gari liliwashwa na safari ya kurudi nyumbani ikaanza.Walifika wakiwa hoi bin taaban!Kazi yao ilikuwa ni kum-bembeleza Abraham alale.
***
Kulikuwa kuna uwezekano mkubwa sana wa mtoto mchanga Abraham kupatiwa suluisho endapo Deo angemsikiliza mkewe, Marietha.Swala kushindwa jambo kwake lilikuwa ni mwiko kwa Mwanamke huyu Leila, hakutaka kukubali hata siku moja kuonekana ameshindwa kitu na hiyo ndiyo ilikuwa kasumba yake tangu alivyozaliwa,upande wa pili wa shilingi hata darasani alikuwa hivyohivyo pia hakukubali kushindwa katika masomo hata kama angepata alama za chini basi angekichimba kitabu usiku na mchana ili kuongoza darasa.
Na hivyo ndivyo alivyofanya kwa Deo mpaka akampata na baadaye akafukuzwa baada ya kujulikana kwamba anatumia kizizi ama ndumba!Swala hilo lilimuuma kupita kiasi na alitaka kumkomoa Deo hata ikiwezekana amfanye mwendawazimu aokote makopo ama ndondocha!
“Wale waganga wa Chanika wezi,ngoja nitafute wengine”
Tangu alivyofukuzwa kwa Deo,hakuwa ana kazi nyingine zaidi ya kusaka waganga wa Kienyeji kwa wudi na uvumba.Leila kila alipoona kibao kilichoandikwa Mganga wa Kienyeji ilikuwa ni lazima asimame achukuwe namba kisha awatafute waganga hao.Alienda kwa Mganga wa Kwanza aliyeitwa Mzuazua huyu alimpatia shilingi laki tisa lakini alivyorejea siku inayofuata hakumkuta,tayari alikuwa ametapeliwa.Hakutaka kukata tamaa sababu alikuwa ana pesa za Kimarekani za kutosha na alizitumia kwa kutafuta waganga wengine.
“Embu dereva simamisha gari mara moja”
Dereva taxi akaweka mguu kati,gari ikasimama baada ya abiria wake kutoa kauli hiyo.Ni baada ya kuona kibao kilichoandikwa ’MGANGA OMOTOLA KUTOKA NIGERIA LAGOS,ANATIBU MAGONJWA SUGU KAMA UKIMWI,NGILI,KUMRUDISHA MPENZI,KUMTEGA MPENZI,KUPATA PESA ZA FREEMASON,NGUVU ZA KIUME .N.K MAWASILIANO NAMBA 0750 765432’
Leila alikuwa ameganda anasoma kibao hiko kilichokuwa juu ya nguzo ya umeme,akatoa simu yake na kuanza kuingiza namba za simu kisha kurudi ndani ya gari.
“Twende dereva,nipeleke salasala”
“Kwahiyo hatuendi tena Mwananyamala?”
“Kaka nimekwambia twende Salasala”
“Sawa lakini pesa inabidi uongeze”
“Naelewa”
Dereva Taxi hakuwa ana tatizo lolote lile kwa kuwa alikuwa kazini hakuwa ana jinsi ilibidi ageuze gari na kuchukuwa barabara ya ‘Jommo Kenyata’ safari ya kwenda salasala ikaanza mara moja.
“Eh Halloo,Mimi naitwa Jasmine.Ninaongea na mganga Omotola?”
Leila ndiye alikuwa simuni na alidanganya jina sababu hakutaka lijulikane.
“Sasa,nilikuwa nina matatizo nitakuona vipi?Ndio upo wapi?Sasa mimi nitakuja kesho asubuhi.Sawa Ahsante”
Leila akakata simu.Dereva aliyekuwa anaendesha gari ilibidi aweke kioo cha mbele katikati vizuri ili kumuangalia vizuri aina ya mteja aliyempakia ndani ya gari lake sababu mambo aliyokuwa anazungumza simuni na jinsi alivyokuwa vilikuwa ni vitu viwili tofauti,Leila alikuwa ni mwanamke mrembo mwenye umbile dogo yaani ‘English figure’kwa lugha ya kimombo!Dereva taxi ilielekea kuna jambo alikuwa anataka kuzungumza lakini alisita.
“Umesema Salasala sista?”
Dereva akavunja ukimnya lakini niya yake ilikuwa ni kuanzisha maongezi.
“Yeah,ukifika pale Okobil nitakwambia pa kwenda”
“Sawa,lakini sista samahani naweza nikakuuliza kitu”
“Uliza”
“Wewe Kabila gani?”
“Sasa hilo sio swala lako,kabila langu wewe la nini?”
“Nataka tu kujuwa,unajuwa nini wewe ni mrembo sana.Nimependa rafudhi yako ndiyo maana”
Dereva Taxi alikuwa ni mjanja wa kucheza na maneno akabadili mada haraka.
“Oh Thanks”
“Sikia Sista kama unatafuta mganga,hao watakutapeli”
“Unasemaje wewe?”
Leila akauliza kwa ukali kidogo.
“Nakwambia hivi,hapa mjini.Utatapeliwa hayo mabango ya waganga ni matapeli kila siku watu wanalizwa”
“Kwahiyo?”
“Kama una shida ya kutafuta watu kama hao mimi nitakusaidia”
“Kivipi?”
“Kuna mtu mimi ninamjua atakusaidia”
Ni kweli Leila alivyotafakari kwa kina na jinsi alivyotapeliwa pesa zake mara ya kwanza ilibidi aungane mkono na dereva taxi.
“Umesema yupo wapi huyo mganga?”
“Yupo Bunju”
“Unaweza ukanipeleka?”
“Labda kesho asubuhi”
“Ahsante sana maana mara ya kwanza nilitapeliwa”
“Pole”
Kuanzia hapo dereva Taxi aliyefahamika kwa jina la bwana Agweo na Leila wakaanza kuwa marafiki,wakabadilishana namba za simu.
****
Siku iliyofuata walionana na safari ya kwenda Bunju kwa mganga wa kienyeji kuanza mara moja.
“Yes Baby naenda Mikocheni Mara moja,I’ll be back as soon as possible Sweatheart.Yes i promise you.Okay love you”
Leila alikuwa simuni anazungumza na mpenzi wake Rashid Tengeza asubuhi hiyo,siku zote mambo aliyokuwa anayafanya yalikuwa ni siri kubwa sana ndiyo maana hakutaka kupasua jipu akisema ukweli,wakaagana na kukata simu.
Safari iliwachukuwa takribani dakika arobaini nzima ndipo wakafika Bunju B,hata hivyo walizidi kuingia ndani ndani,wakaiacha barabara ya lami.Dereva akaweka gari kando kisha wote wakashuka na kuanza kutembea kwa miguu,haikuwa mbali sana kama kwa mganga aliyemtumia mara ya kwanza Chanika kwani walitembea hatua chache na kuona kijumba kidogo cha nyasi,nje kulikuwa na mti mkubwa wa mnazi!
“Usiogope kabisa,matatizo yako yote yataisha”
Dereva akamtoa wasiwasi Leila.
“Okay”
Dereva akaingia wa kwanza Leila akafuata nyuma.
Ndani kulikuwa na vichupa vingi vya dawa na chini kulikuwa na kitambaa chekundu kimetandikwa,Leila akaanza kukagua kitu kimoja baada ya kingine.Chumba kilikuwa kimejaa irizi za kila rangi katika kila pembe ya kona.Haraka akarudisha macho kwenye mlango wa mbao ambao ulikuwa ukifunguka,akatokeza Mwanaume wa rangi ya kunde alikuwa ni kijana mdogo tu.Hiyo ilimfanya Leila ajuwe ndio walewale matapeli.
“Mkuu”
Dereva Taxi akasema lakini mwanaume huyo hakuongea chochote akamtizama Leila kwa macho makali sana.
“Semeni shida yenu”
“Nimekuletea huyu dada ana shida”
“Sawa tupishe”Dereva taxi akatoka nje.
Leila alibwaga shida zake kwa Mganga wa Kienyeji na kuhitimisha kwamba Deo akomeshwe na amfunze adabu.
“Ndio, nimfanye nini?”
“Mgeuze awe hata mwendawazimu aokote makopo”
Mganga akamtizama mwanamke huyu anyetamka maneno hayo mazito kisha akaingia ndani ya chumba chake,alivyorudi alikuwa ameshika beseni lenye maji ndani yake.Akasimama na kuchukuwa moja ya dawa na kuzimimina.
“Jina lake nani?”
“Deo Karekezi”
“Andika jina lake kwenye hilo karatasi,tumia hii”
Leila akapewa kitu kama kucha nyembamba na karatasi ya kaki.Akaanza kuandika jina la Deo,wino uliokuwa unatokea juu ya karatasi ulifanana na damu kisha akamkabidhi mganga.
“Naweka humu ndani ya maji,hilo ndio jina lake?”
“Ndio”
“Una uhakika?”
“Ndio”
“Aya”
Dawa zikazidi kumiminwa ndani ya maji mpaka yakabadilika na kuwa ya rangi nyeusi.
Kitu kilichomshtua Leila ni vitu kama matone ya damu kudondoka juu ya maji lakini hakujuwa yanatokea wapi,kila kilichotokea hapo kwake ilikuwa kama mazingaombwe.Akasubiri kwa kama dakika kumi nzima maji yakabadilika rangi tena.
“Ndio huyo?”
Mganga akauliza,sura zilizotokea juu ya Maji zilifanya Moyo wa Leila upige kwa nguvu,alikuwa ni Deo,Marietha pamoja na mtoto mchanga,hapo ndipo alipoanza kujenga imani na mganga huyo.
“Ndiyo huyo”
“Nakusikiliza”
“Nimebadili mawazo”
“Unatakaje?”
“Nataka umuuwe huyo mtoto wao”
Leila akasema kwa hasira huku akiangalia ndani ya beseni kwa hasira za waziwazi.


Katika maisha yake na kuishi kote ughaibuni hakuja kudhani kama mapenzi yangemfanya afanye mambo kama hayo ya kichawi mbali na hapo alitaka kukiuwa kiumbe kisichokuwa na hatia,ukweli ni kwamba bifu lake na Deo halikumuhusu mtoto huyo mdogo aliyetaka kumtoa duniani, hilo alilijuwa dhahiri lakini alitaka tu kumkomoa Deo Karekezi na amfanye ajute katika maisha yake yote.
“Nimeishi Uingereza miaka mingi sana,nimekaa sana magenge ya Black Americans.Nitamkomesha”
Leila alikuwa akiwaza ndani ya kichwa chake mwenyewe,ilikuwa ni lazima atekeleze alichokipanga na aliamini kwamba hakuna mtu yoyote atakaye kuja kumteteresha.
“Leila”
Mganga akamuita.
“Abee”
“Umesema kwamba unataka kumuuwa huyu mtoto?”
“Ndio”
“Una uhakika?”
“Nina uhakika ndiyo”
Mganga huyu alikuwa tofauti na fikra zake,kwanza alikuwa ni kijana mdogo tu mwenye umri kati ya miaka 27-35 hivi!Lakini alikuwa anafanya mambo makubwa yaliyomzidi umri.
“Kuna masharti machache inakubidi ufanye,upo tayari?”
“Ndiyo”
Mganga akamtizama machoni kwa kitambo kidogo.
“Kwanza nitafutie shilingi mia tano kwenye hiyo pesa ninahitaji sarafu ya shilingi tano moja,sindano mbili.Lakini kabla ya hapo inabidi nikufanyie tambiko la Jua”
Ni kweli kilichotokea hapo ni Mganga huyo kutoka nje akiwa na Leila,mkononi alikuwa ameshika kibuyu cheusi juu kimefungwa kitambaa chekundu.
“Vua Viatu”
Leila akatii kila kitu na kuambiwa akanyage juu ya mchanga mweupe.Na kupewa maelekezo kwamba asubiri kwa muda wa dakika kumi na tano.Baada ya hapo mganga huyo akaanza kuongea maneno yake ambayo aliyajuwa mwenyewe kisha kumgeukia Leila.Akatoa karatasi nyeupe yenye Maandishi ya rangi nyekundu kisha akaambiwa atizame jua huku akitamka maneno hayo kwa sauti.
“EWE JUA MIMI NAWEWE NI KITU KIMOJA SASA,HAKUNA MTU YEYOTE YULE AWEZAYE KUTUTENGANISHA.EWE JUA TANGU UANZE KUWEPO HAUJAWAHI KUISHIA NJIANI.KAMA WEWE JUA UMEWAHI KUISHIA NJIANI BASI MIMI PIA NITAISHIA NJIANI.NA KAMA MTU ANAWEZA KUKUZUIA WEWE JUA,BASI NAMIMI NAWEZA KUZUILIKA”
Leila alimaliza kusema maneno hayo lakini aliambiwa ayarudie tena kwa mara nyingine,akarudia tena.Hakuishia hapo akaendelea kutamka maneno yaliyokuwa juu ya karatasi mpaka mara arobani ilipofika.
Hivyo ndivyo ilivyokuwa na baada ya hapo wakarudi kilingeni.Leila alipewa masharti ya kufanya na ilibidi aseme majina yake yote.Mpaka hapo Leila akaruhusiwa kuondoka huku nyuma akimuacha mganga anafanya kazi yake,ilikuwa ni lazima amuuwe Abraham kama ilivyotakiwa iwe hata hivyo kwenye mambo ya kichawi mtoto alikuwa ni dili kubwa sana kwao,viungo vya mtoto mchanga kama kitovu,kichwa na macho vilikuwa ni vitu vinavyohitajika kwa wudi na uvumba na pia viliongeza nguvu ya uchawi,hiyo ilimfanya mganga huyu afurahi kupita maelezo yaliyojitosheleza.
Usiku wa siku hiyo alichukuwa ungo wake na kujipaka vitu kama masizi usoni na kujifunga irizi kichwani na mkononi,akabeba mwiko na kupakia juu ya ungo ambao ulikuwa ni kama usafiri wake kisha kupaa kama ndege ya abiria,usiku kama huo binadamu wenzake walikuwa wamelala lakini yeye alikuwa yu uchi wa mnyama juu angani.Wachawi na wao kwenye nyungo zao walikuwa na kitu kinachoitwa rada hiyo iliwaonesha ni wapi wanapoenda,alizidi kusonga mbele akipishana na wachawi wenzake angani waliokuwa katika shughuli zao.Usiku kwa wachawi kwao ulikuwa kama mchana,ghafla akajikuta ametokea juu ya paa la nyumba na hapo ndipo alipotakiwa kufanya kazi yake.
Alivyotua tu akaanza kumwaga dawa katika kila pembe ya nyumba ambayo iliweza kufanya upofu na hata kama mtu angetokea asingeweza kuonekana.Alivyomaliza kazi yake akapotea na kutokea chumba alichokuwa amelala Deo na Marietha,akamwaga dawa zake.Alivyoangalia pembeni akaona kitanda kidogo alichokuwa analala mtoto mdogo mchanga.
“Ng’aaa ng’aaaa”Abraham akaanza kulia
Siku zote watoto wadogo ni kama malaika na wanawaona wachawi na ndiyo maana zilisikika kelele,Mganga alilijuwa hilo akazidi kumsogelea karibu na kila alivyopiga hatua ndipo Abraham alipozidi kupaza sauti.Akamsogelea mpaka karibu kabisa na kum-beba ambapo alimpaka dawa usoni na kumnyunyizia majimaji ya rangi nyeusi juu ya paji lake la uso hayo yalikuwa maji ya kuoshea maiti,Marietha na Deo ndipo walipozinduka lakini hawakuona kitu chochote kutokana na dawa iliyokuwa imemiminwa ndani ingawa walimbeba mtoto lakini wapi, aliendelea kulia huku akimuangalia mchawi aliyekuwa ana mpaka vitu usoni.Na huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa mganga huyo kumchezea Abraham kila ikifika Usiku wa manane.

“Bado mpaka siku arobaini zifike ndipo tutaweza kumuuwa”
Hayo ndiyo maneno aliyokuwa anamwambia Leila kila alipoenda kuuliza juu ya swala lake, aliona kama Mganga anachelewesha mambo ndiyo maana akawa msumbufu.
Siku zilizidi kusonga mbele na Mganga alizidi kufanya mambo yake ya kichawi ili siku arobaini ziwadie amtoweshe Abraham duniani,hicho ndicho pia alichokuwa anakisubiri mwanamke huyu katili,Leila.
***
Tangu alivyofukuzwa na Deo hakuwa ana sehemu yoyote ile ya kwenda alikuwa akiishi chumba kimoja Rashid Tengeza kama mme na mke yaani kupika na kupakuwa,walikula pamoja walilala pamoja na kufanya ngono asubuhi,mchana na usiku.Mambo aliyokuwa anafanya Leila yalikuwa ni siri kubwa sana.Kadri siku zilivyozidi kwenda mbele ndipo furaha yake iliongezeka kwani siku za kuishi kwa mtoto wa Deo zilikuwa zinafika ukingoni.
Na siku hiyo alikuwa ana furaha zaidi sababu siku ya thelathini na nane ilifika kumaanisha kwamba zilisalia siku mbili ili Deo na Marietha wapate msiba mkubwa na asingeishia hapo tu,alipanga amfanye Deo awe zezeta ama ndondocha,kifupi alitaka kumkomoa.Kutokana na furaha aliyokuwa nayo siku hiyo,ilimfanya usiku asilale na ilivyofika saa kumi na moja asubuhi,akachukua mkono wake na kuupeleka taratibu kwenye nyoka wa Tengeza sababu alikuwa pembeni yake,siku hiyo mashetani yake ya ngono yalimvaa na alitamani kufanya tendo hilo la kuzini siku hiyo asubuhi.Akazidi kumpapasa nyoka wa Tengeza taratibu na kujisogeza kwake,kwa kuwa walikuwa wamelala kama walivyozaliwa ngozi zao zikagusana,hapo ndipo Tengeza nayeye alipoanza kuhisi gari lake limewaka.Leila hakuishia hapo,akavuta shuka kidogo na kujisogeza karibu ambapo alimchukuwa nyoka na kumtumbukiza mdomoni akajaza mate mengi na kuanza kumlamba,hiyo ilimfanya Tengeza asitishe swala lake la usingizi sababu tayari nyoka wake alikuwa amesimama dede!Ilikuwa ni lazima atoe huduma hiyo asubuhi hiyo,Mkono wa Leila mmoja ukapita mpaka kifuani kwa Tengeza akaanza kucheza na ‘Garden Love’taratibu mpaka kwenye chuchu za Tengeza na kuanza kuteleza nazo,kucha zake zilikuwa fupi kiasi hizo ndizo alizotumia kumkwaruza nazo!Ilielekea siku hiyo aliipania vibaya sana,akarudi juu kidogo na kumuweka nyoka wa Tengeza vizuri kisha kupanua miguu yake huku na kule na kumkalia,nyoka akazama shimoni kiulaini kabisa,kilichofuata hapo Leila akawa kama juu ya farasi anamuendesha,Tengeza nayeye hakuwa mzito akashika kiuno cha Leila na kuanza kukoroga kiuno chake ambapo nyoka wake alikuwa akigusa kila pembe zote za mgodi,Leila akazidi kukizungusha kiuno chake kilichokuwa chembamba kama dondora.
“Aaaah aaaaah Dar..ling..Fuc** me hard..Ye…s ye..s aaaah fuc**me hard like that,.aah yes”
Leila akaanza kulalamika akitumia lugha ya kizungu, hiyo ilimfanya Tengeza aliyekuwa chini apate midadi na kufanya afate maagizo,akaongeza mwendo.

***********
Deo na Marietha walihangaika kila kukicha kwa madaktari,kila walipoenda waliambiwa kwamba mtoto hana matatizo yoyote yale hiyo iliwafanya wachoke kabisa,mawazo yalikula ubongo wa Deo na kumfanya apungue uzito mara mbili yake,hiyo iliwashtua sana marafiki zake waliomjua na kumfahamu.Alishatumia asilimia arobaini za pesa zake ili Abraham apatiwe matibabu lakini wapi, hata hivyo hakukata tamaa.
“Sasa atakuwa anaumwa nini?”
Marietha alimuuliza Deo lakini katika akili yake alijuwa kwamba hakukuwa na kitu kingine zaidi ya nguvu za giza licha ya kudhani hivyo lakini aliogopa kumwambia Mumewe sababu alihofia kumkasirisha,Deo hakuamini mambo ya kishirikina.
“Darling”
“Yes”
“Tumeshazunguka mahospitalini kote,mtoto anazidi kuteseka.Sasa tutafanyaje?”
“Wacha tujaribu tena”
“Hapana Deo,tujaribu kutafuta watu wa Mungu”
“Watu wa Mungu wakina nani?”
“Wachungaji”
“Hahahahaha,Wachungaji?Matapeli tu hao”
Deo alishauriwa lakini wapi, aliendelea kuweka matumaini kwamba ipo siku mtoto wake atapona tu,hiyo ilimuuma sana Marietha lakini hakuwa ana nguvu ya kusema chochote.Hakuna aliyeelewa kwamba Leila ndiye anafanya mambo hayo na kila usiku ukifika mtoto anachezewa kwa kupakwa dawa za kichawi ili auliwe.

**********
“Marietha kwanini msimpeleke huyo mtoto kwa Mchungaji hivi huwa una Sali usiku?Ushawahi kwenda kanisani?”
“Hapana”
“Kwanini sasa?Kwanini usiwe una mshukuru Mungu angalau kila Jumapili,nayeye Mungu atafurahi.Nina amini kwamba shetani bado yupo kwenye ndoa yenu.Chukuwa muda kidogo ukumbuke jinsi ndoa yako ilivyokuwa ina misukosuko”
“Lakini sio hivyo Lissa ni mume wangu,ndiyo ana tatizo”
“Kwenye Mungu hakuna cha Mume wangu,Muombe sana Mungu.Weka ndoa yako mikononi mwa Mungu,Mungu wetu sio kiziwi Marietha Mungu huyuhuyu wa Esaya,Mungu huyuhuyu wa waIsraeli.Atayasikia maombi yako na hakuna kitu kizuri kama kuwa karibu na Mungu,asikwambie mtu”
“Lissa,kwani wewe umeokoka?”
“Ndiyo na mpaka sasa hivi huyu Shetani hana mamlaka tena, mimi nina amini Shetani yupo kwenye ndoa yako,mkemee”
“Kivipi?”
“Sali sana lakini nitakupa namba za mchungaji wangu,Mchungaji Elisaria.Ni mchungaji mzuri sana,atakufungua”
Baada ya Marietha kuzunguka sana mahospitalini na Deo bila kupata jibu sahihi akaamua kuomba ushauri juu ya kitu gani akifanye,akaamua kwenda kwa rafiki yake aliyeitwa Lissa huyu alikuwa ni mama aliyeokoka,alikuwa mkarimu na mwenye ushauri mzuri na hapo ndipo Marietha aliamua kupeleka matatizo yake,akaeleza kila kitu kilichokuwa ndani ya kifua chake kinagaubaga!Akiwa ana mtoto wake mkononi.
“Simama tusali”
Lissa na Marietha wakasimama na kumuomba Mungu awape ulinzi.Baada ya sala kuisha wote waliitikia ‘AMEN’ na Marietha alijisikia mwepesi sana siku hiyo,akapewa baadhi ya mistari katika Biblia akasome.
“Lakini sina Biblia”
“Chukuwa hii yangu,Mimi nitatumia ya Mume wangu”
“Ahsante”
“Damu ya Yesu ikufunike”
“Nawewe pia”
“Sema Amen”
“Amen!”
“Alafu Marietha”
“Abee”
“Namba ya mchungaji hii hapa,mwambie mimi nimekupa anaitwa Mchungaji Elisaria”
“Ahsante sana”
“Karibu,pia usikose kuja Kanisani Jumapili”
“Sawa nitakuja”
Ingawa alipokea maneno yaliyomtia moyo lakini hakuwa ana uhakika kama angemwambia Deo angeyapokea.Akatoka nje ya geti na kuingia ndani ya gari ambapo aliwasha na kuondoka zake.

Alivyopaki gari ndani ya geti na kuingia ndani hakumkuta Deo,alichofanya ni kumnyonyesha mtoto harakaharaka na kumlaza,siku hiyo Abraham alilala takriban masaa matano bila kupiga kelele jambo hilo lilimpa faraja sana akaanza kuhisi kwamba nguvu za Mungu zinafanya kazi.Marietha hakutaka kukaa na swala hilo ndani ya kifua chake akataka kulipeleka moja kwa moja kwa mumewe lakini hakuelewa angeanzia wapi!
“Darling”
“Naaam”
“Leo nilikuwa na Lissa”
“Yule rafiki yako Mlokole?”
Hata Deo alimfahamu Lisa vilevile.
“Ndiyo”
“Alirudi kwani kutoka China?”
“Ndiyo siku nyingi kweli”
“Enhee anasemaje?”
“Anakusalimia lakini amesema twende Kanisani Jumapili labda tatizo la mtoto li…”
“Aaaah nilijuwa tu,lazima atakwambia hivyo.Marietha siku hizi hakuna vitu kama hivyo,hao ni wafanyabiashara tu.Abraham atapona usijali”
Marietha alikatwa maini akashindwa kumshawishi mumewe tena,hiyo ilimuuma sana!
***
Katika siku ambayo Abraham alilia basi ni hiyo,alilia mpaka akaanza kuharisha na mbaya zaidi alianza kukakamaa mwili,hiyo ilikuwa dalili mbaya sana.Ulikuwa ni usiku wa saa saba na siku ya Arobaini tangu azaliwe.
“Ng’aaa ng’aaaa ng’aaaaaa”
Kelele za Abraham zilisikika,Marietha alisikia uchungu ajabu machozi yakaanza kumtoka.
“Marietha vaa twende hospitali”
Deo alishauri lakini badala yake Marietha alikuwa akilia tu.
“Fanya haraka”
“Ha…pana Deo,nime..choka na Hosp..tali kila si..ku hospitali,tum..enda hosp..itali mara ngapi?Tu..naenda hospi…tali kufanya ni..ni waka..ti tunaenda ki..la siku na hali ya mtoto i..po vil..e vi..le embu tiza..ma alivyokuwa.Mtizame alivyokonda”
Marietha siku hiyo ilibidi apaze sauti,kwake ilikuwa lolote na liwe na aliongea kwa sauti ya hasira iliyosindikizwa na kwikwi,ki ukweli alichoka kumuona mwanaye kila siku anateseka.Alitetemeka siku hiyo kwa hasira, macho yake yalijaa machozi akiwa kitandani anafoka,rangi yake ya ngozi imebadilika rangi hiyo ilimfanya mpaka Deo aogope.Marietha hakutaka kupoteza muda,akakwapua simu.
“Unampigia nani?”
Deo akauliza lakini Marietha hakujibu,akaingia kwenye orodha ya majina na kumtafuta Lissa,akampigia usiku huohuo.
“Ngoja nimpigie Mchungaji simu tunakuja,si mnaishi palepale?”
Ulikuwa ni upande wa pili wa simu baada ya Marietha kusema shida ya simu hiyo usiku!
“Nd…io”
“Tunakuja Marietha”
Simu ikakatwa Deo bado hakuelewa kitu chochote.Bado Abraham aliendelea kulia na wakati mwingine kucheua maziwa aliyonyonya mbali na hapo aliendelea kuharisha mfululizo.

**********
Alikuwa ni mchungaji aliyeheshimika karibia jiji zima la Dar es salaam na mikoa jirani,kama ikitokea akipiga maombi basi ni lazima mwenye mapepo adondoke na kugalagala chini,wengi walimfananisha Mchungaji Elisaria na Yesu Kristo wa Nazareth sababu ya miujiza yake na alikuwa akifanya tamasha basi mamia na maelfu walikusanyika na kumsikiliza,viziwi walisikia na viwete walitembea kifupi mchungaji Elisaria alitembea na roho mtakatifu ndani yake,siku hiyo alivyotoka katika maombi ya Usiku na familia yake ghafla simu yake ikaita na aliyepiga alikuwa ni mmoja wa waumini wake,Lissa.
Simu hiyo ilimtaka mara moja akafanye maombi na hiyo ndiyo aliamini ndiyo kazi yake aliyoletwa kuifanya na Mungu, kuwakomboa waliofungwa.Akavaa haraka na kubeba Biblia yake kisha kumuaga mke wake.Akaingia ndani ya gari lake na kumpitia Lissa,safari ya kwenda nyumbani kwa Marietha ikaanza.
“Nyooosha Moja kwa moja,unaona kile kibao utakata kona”
“Pale kwenye Landrover?”
“Ndio Mchungaji”
Mchungaji Elisaria akafuata maagizo ya Lissa wakakunja kushoto na kufuata barabara nyingine.
“Hapo kwenye geti jeusi,ndiyo hapo”
“Sawa ngoja nipaki”
Mchungaji akaegesha gari nje ya geti lililokuwa na taa juu,wote wakashuka na kugonga geti.
Mlinzi akachungulia na kufungua,kitendo cha Mchugaji Elisaria kuweka mguu wake mmoja ndani,kulisikika mlipuko wa ajabu kama bomu,vitu vya ajabu vilianza kufumuka.
“Puuuuuu”
Kilikuwa ni kishindo kikubwa kilichosikika,mlinzi aliyekuwa getini akatoka nduki na kuingia ndani ya kibanda chake, mambo aliyoyaona yalimtisha.Mchugaji Elisaria hakusita akasimama imara na Biblia yake.
“KATIKA JINA LA YESU,SHINDWA”
Hayo ndiyo yalikuwa maneno ya Mchungaji,ghafla mbele yake kikatokea kiumbe cha ajabu chenye mguu mmoja na mkia mrefu na kilitisha kupita kiasi



Mambo yaliyotokea angetokea mtu na kukusimulia ungekataa,ilikuwa ni kama filamu ya kutisha tena ya Ki-Nigeria, mlinzi wa getini alikuwa anashuhudia kila kitu kilivyokuwa kinaendelea, hakuelewa kwamba alikuwa ndotoni ama ni kweli,vitu vilivyokuwa vinatokea mbele yake vilimuogopesha akabaki anatoa macho ndani ya kijumba chake,anatetemeka mkojo unataka kumtoka.Kitu cha ajabu chenye mguu mmoja na mkia mrefu kikaanza kubadilika, mapembe yakaanza kumtoka kichwani akafungua mdomo ambapo alikuwa ana meno marefu mithili ya tindo, akatoa ulimi wake mwembamba na mrefu.Hayo yote Mchungaji Emmanuel Elisaria aliyashuhudia lakini hakuonesha hofu yoyote,akaishika vizuri Biblia mkononi sababu alielewa tayari anaenda kupambana na nguvu za giza hivyo alitakiwa awe imara kiimani,kimoyomoyo akaanza kuliita Jina la Yesu Kristo sababu huyo ndiye alikuwa mkombozi wake kwa wakati huo!
“Ha!Haa!Haaaa!Haaaaa!Haaaaa”
Jitu hilo la ajabu likaanza kucheka na sauti ilikuwa inajirudia mara mbilimbili kama Mwangwi,akajizungusha, mkia wake ukaruka na kumchapa Lissa mgongoni akatupwa mbali na kujipiga kwenye geti.
Alivyotaka kufanya hivyo Kwa Mchungaji Elisaria akashindwa sababu alikumbana na Biblia,mkia ukadunda kwenye Biblia ambayo Mchungaji aliikinga.Jitu hilo la ajabu likarudi nyuma kidogo sababu lilielewa kwamba mtu anayeenda kupambana naye ni mtumishi wa Mungu tena aliyekuwa ana roho mtakatifu ndani yake hata yeye alihiitaji nguvu ya ziada.Akafanya anavyojua yeye, ghafla likaanza kutokea radi akalirusha lakini haikuwezekana kumfikia, Mchungaji Elisaria alikinga Biblia kifuani kwake,radi ikadunda.
“Baba katika jina Yesu nina amuru Motoo”
Sentensi hizo chache tu zilikuwa ni kama mishale yenye moto ndani yake,jitu hilo likandondoka chini na kuanza kujibadilisha wanyama wa kila aina,mara Mamba,mara Chui akageuka na kuwa Mjusi.Hapo ndipo Mchungaji Elisaria alipoanza kushusha maombi bila kukoma akiita malaika wa Mungu wampe nguvu,ni kweli kilichosikika hapo zilikuwa sauti za radi kisha jitu hilo likapotea katika mazingira ya kutatanisha.
Akamuwendea Lissa na kumuinua ambaye alikuwa ameumia, ilielekea kwamba hakuwa ana Imani thabiti.Mchungaji Elisaria na Lissa wakaingia ndani ya nyumba huko pia mambo yalikuwa hivyohivyo vitu vilianza kufumuka,Mchugaji akaelewa nini maana yake akaanza kushusha maombi huku akinena kwa ndimi,mpaka hali ilivyotulia.
“Lissa”
Wa kwanza kutoka chumbani alikuwa ni Marietha macho yake yakiwa mekundu.
“Bwana apewe sifa”
Mchungaji akasalimia.
“Amen,Mchungaji Mme wangu amedondoka anatoa mapovu sij…”
Marietha alishindwa kumalizia anachotaka kusema alifanya hivyo ili kuokoa muda ndiyo maana akamshika mkono mchungaji na kuingia naye chumbani na Lissa akafuata nyuma.Ni kweli Deo alikuwa akitoa vitu kama mapovu mdomoni na alikuwa akitetemeka kama mtu mwenye homa kali ya usiku hawezi kuongea chochote hiyo ilimtisha sana Marietha akawa ana haha,Abraham alikuwa kitandani bado analia kwa sauti,alichofanya Mchungaji Elisaria ni kuanza na sala,akakemea akilitaja jina la Yesu pamoja na Mungu wake.Vitu vikaanza kusikika juu ya mabati vikijigonga na sauti za ajabu pia,hiyo ilimuogopesha sana Marietha aliogopa kupita kiasi.
“Hutuwezi”
Hayo yalikuwa ni maneno ya Marietha,kutokana na uzoefu na kuwa na nguvu za roho Mtakatifu, Mchungaji Elisaria alielewa kwamba mapepo yamemuingia Marietha na kwake kuyatoa mapepo hayo ilikuwa ni sawa na kumsukuma mlevi kwenye mteremko.
“Lakini mchungaji Elisaria kwanini unapenda kuingilia mambo yetu, na tutakuuwa nakwambia tutakuuwa”
Marietha alikuwa anaongea kwa sauti ya kiume.
“Nani kawatuma?”Mchungaji akauliza.
“Tumetumwa na Lusifa kuja kumuuwa Abraham na ndiyo tumekuja”
Akaongea tena safari hii ilikuwa ni sauti nyingine.
“Sasa nitawaunguza kwa damu ya Yesu na nawatuma kwa Lusifa mwambieni kwamba hatoweza kufanya chochote.Nina amuru Motooo”
“Tunaunguaaaa tunaunguaaa”
“Katika jina la Yesuuu”
Mchungaji Elisaria alikemea kwa kujiamini kupita kiasi akaanza kushusha maombi kwa sauti huku akimnyooshea kidole Marietha ambaye alianza kuyumba huku na kule,akadondoka puu!Kama mzigo, licha ya mambo kutulia Mchugaji hakuacha kupiga maombi kwa ujumla na kumaliza.Wa kwanza kuzinduka alikuwa ni Deo Karekezi akawa anaangalia huku na kule bado ‘network’ zake hazikukaa sawa,mbele yake kulikuwa kuna sura ngeni alivyopiga jicho pembeni akamuona Marietha amelala chini,alivyotaka kusimama alishindwa hakuwa ana nguvu hizo.
“…TWAAKUABUDU MANAAA NIWEWE BWANAA,TUKUITAPO BWANAA UNASHUKAAA…”
Kilichosikika ni nyimbo za kusifu na kuabudu Mungu alikuwa ametenda muujiza wake ilikuwa ni furaha kubwa sana.Hapohapo wakaanza kumuombea na Abraham ambapo alianza kukakamaa na kuanza kutapika maji ya rangi nyeusi,akazidi kuombewa mpaka akanyamaza kabisa,Marietha akazinduka wote wakaungana katika kuimba nyimbo za sifa na kuabudu!

*** *******
Hakutofautishwa na mtu anayechuma mboga za matembele shambani, jinsi alivyokunjwa haikuwa rahisi kabisa kutoka,nyoka wa Tengeza alikuwa ameingia mpaka mwisho Leila alihisi raha zilizozidi kifani,akarudi juu kidogo na kushika magoti ambapo Tengeza alizidi kupeleka majeshi majeshi.
“Ah Aaaah ba…by aah ssshss ssshsss”
Leila alitoa sauti za puani na ilielekea alikuwa yupo karibu kufika mshindo ndiyo maana alikuwa akitoa sauti za huba.
“Have you cumm?”(Umefika mshindo)
Tengeza aliuliza kwa sauti ya chini akiwa nyuma yake.
“No baaaaby i don’t wan’t to cumm now,fuc** me”
Leila hakutaka kufika mshindo alitaka alifurahie tendo hilo ndiyo maana kila alipotaka kufika mshindo alihamisha mawazo yake,akainuka kidogo na kumgeukia Tengeza akatoa ulimi wakaanza kulana denda kama makinda ya njiwa.Tengeza akaangalia pembeni na kuona meza kubwa akam-beba Leila juu na kumuweka juu yake ambapo hapo walianza tena kufanya mchezo huo uliowaleta duniani,kila mtu siku hiyo alitaka kumuonesha mwenzake yeye ni bingwa ndiyo maana mechi hiyo ilidumu kwa kama dakika kumi na mbili hivi.Tengeza alishindwa kuvumilia kila aliporajibu kufanya anavyojuwa ili asifike mshindo ikashindikana sababu Leila alikuwa akinyonga kiuno kwa pupa ndiyo maana ikawa vigumu, hata hivyo alikuwa mjanja alivyofika mshindo akamuwahi Leila shingoni na kuanza kumyonya huku akizidi kujisugua ndani kwa ndani.
“Aaaaa aaaaaah”
Leila alilalamika huku akimdandia Tengeza shingoni, alikuwa tayari amefika mshindo,ulikuwa ni usiku wa saa tano ndipo walipomaliza kufanya tendo hilo la kuzini!
“Baby”
“Yes”
“To be honest,you don’t make Love.You Fuc** and you fuc** well.You are rough and i like it.Let me call you the animal”
Leila alianza kumwaga sifa kemkem baada ya mechi kuisha, bado walikuwa uchi wa mnyama nyoka bado yupo ndani yake wamelaliana juu ya meza.Sio siri siku hiyo Leila alikuwa ana furaha sababu ilikuwa siku ya arobaini,alijuwa kivyovyote vile mtoto wa Deo anakufa alisikitika lakini hakuwa na jinsi, ilikuwa ni lazima afanye alichokipanga.
“Bado yeye sasa”
Akajikuta ameropoka kwa sauti akasahau kwamba yupo na Tengeza.
“Bado nini?”
Tengeza akauliza.
“Amna baby”
“Bado nini love?”
“Achana nayo,ngoja nikachukuwe wine tunywe”
Leila akajitoa na kusimama akaliendea taulo na kuliviringisha mwilini,kuanzia kwenye maziwa mpaka juu ya magoti mapaja yake yote yalikuwa nje,Tengeza alivyoona hivyo akameza mate tena, sio siri Leila alikuwa amebinuka nyuma na alikuwa ana mwili ambao hata paroko akimuona basi ni lazima angemtamani kingono.
Akatoka na kufika seblen ambapo alichukuwa chupa kubwa ya dompo na kurudi nayo chumbani,kazi ya kuanza kunywa pombe ikaanza.Glasi ya kwanza ilivyoisha ikaongezwa tena.Baada ya hapo wakaanza kucheza michezo ya kimahaba, mara wanyonyane ndimi mara wapigane makofi ya kimahaba ili mradi vurugu tupu!
“Kuna rafiki yangu mmoja anaitwa Chimamy,nimemkumbuka sana”
Leila akavunja ukimnya akiwa katikati ya mikono ya Tengeza.
“Chimamy?”
“Yes,yupo Oman lakini.Anaongea huyo kama chiriku,nilikuwa naongea naye juzi kwenye simu.Akaniambia nikusalimie”
“Ananifahamu?”
“Ndio ba…”
Leila akaganda kidogo akashindwa kumalizia anachotaka kusema.
“Vipi?”
“Tumbo linaniuma”
“Mimi nilikwambia usiwe unakunywa pombe kali kabla haujala”
“Nimekula baby”
“Linaumaje?”
“Linakata”
Leila akajikunja kidogo na kuweka glasi ya pombe pembeni,akakaa kitako kitandani,akasikilizia kwa kama dakika moja nzima.
“Leila,vipi?”
“Tumbo linauma lakini linapoa now,subiri”
Ni kweli alihisi tumbo linamuuma sana lakini baadaye lilitulia, akaendelea kunywa pombe kama kawaida,ilivyofika saa tisa wote wakawa chakali na kulala.

**********
Wa kwanza kuzinduka kitandani alikuwa ni Rashid Tengeza akiwa hana nguo hata moja pembeni kushoto kwake alikuwa amelala Leila kamuwekea mkono mmoja kifuani,akamuangalia vizuri mgongoni lakini kuna kitu kilimshtua kidogo,vipele vidogovidogo vilivyokuwa mgongoni mwa Leila,hakuwa ana kumbukumbu kama aliviona usiku wa jana yake.Akachunguza vizuri, vilikuwa ni vipele vingi vidogo ambavyo vilienda mpaka chini juu ya makalio.
“Mh”
Akaguna na kutulia kidogo alitamani kumuamsha lakini alimsubiri kwanza aamke mwenyewe.Dakika kumi baadaye Leila alianza kujigeuza hapo ndipo Tengeza aliposhtuka zaidi,kifua cha Leila kilikuwa kimejaa vipele vidogo vyeupe ambavyo ndani vilikuwa na vitu kama usaa ama wadudu,akatoka kitandani na kusimama wima!
“Wewe Leila,Leila”
Akaita huku akimuangalia,kifua cha Leila kilitisha kilikuwa ni kama kina wadudu aina ya funza.
“Mmmh babyyy,viiiipi?”
Kiuvivu akaitikia lakini bado alikuwa amefumba macho yake.
“Vipi nini?Umekuaje?”
“Bebiiii nina usingiziiiii bwanaaaa”
“No,embu amka sasa hivi”
Leila akaanza kufumbua macho yake taratibu akamuangalia Tengeza aliyekuwa amesimama kama mlingoti.
“Viiiipi?mbooona unaniangalia hivyo?”
Leila akauliza.
“Embu jitazame ulivyokuwa”
Leila alivyojiangalia alimanusura ajikimbie,alipiga kelele kwa sauti ya juu sana!Hakuelewa ni vitu gani vimemuota mwilini na kila alivyojigusa alihisi maumivu makali mno,vipele vilimuuma na vilikuwa vikubwa kama majipu.
“Hiyo nini?”
Tengeza akauliza hiyo ilizidi kumfanya Leila alie kwa sauti, akateremka kitandani na kukiendea kioo,alichokiona kilimtisha kupita kiasi,kifupi aliogopesha!
Mwili wake ulibadilika na ulitisha kama angetoka nje siku hiyo akiwa hivyo basi watu wangegongana vikumbo na kukimbia mbali hata Rashid Tengeza alianza kuogopa, hakuweza tena kukaa naye karibu.Leila alizidi kulia akilalamika kwamba apelekwe hospitali,alichukuwa nguo zake na kuvaa kwa tabu sababu ya maumivu.
Safari ya kwenda hospitali ilianza mara moja na walivyofika madaktari walishangaa!
“Kunywa hizi dawa,hii nyingine utapaka mwilini hakikisha unaoga maji ya moto”
Hayo ndiyo yalikuwa maelezo ya daktari akitoa dawa.
“Baada ya wiki mbili utarudi tena ili tujue afya yako inavyoendelea”
Daktari akamaliza,Tengeza na Leila wakaanza safari ya kuondoka.Njiani Leila alilia kama mtoto mdogo sababu ya maumivu aliyohisi mwilini mwake.

Japokuwa alipewa dawa za kumeza na kupaka lakini ilikuwa ndiyo kama anaongeza sababu vipele vyenye usaa vikaanza kupanda usoni hiyo ndiyo ilimtisha zaidi na kila kipele kimoja kilivyopasuka kilitoa majimaji yanayonuka vibaya sana,sio hivyo tu na vingine vilitoa funza wanaotembea,chumba kizima kilianza kunuka.
“Wewe Rashid humu ndani kuna panya aliyekufa au?”
“Kwanini?”
“Nasikia harufu,panya sio panya yaani kama samaki waliooza.Embu uwe una safisha nyumba mshkaji wangu”
Hiyo ilikuwa ni kero kutoka kwa rafiki yake Tengeza sio kwamba Tengeza hakuelewa ni kitu gani kinatoa harufu alikuwa anajuwa sana ni Leila ndiye anayenuka,kitu hicho kilimkera sana siku hiyo.
Ilikuwa ni bora kukaa dampo ama jalalani kuliko ndani ya nyumba ya bwana Tengeza,nyumba ilitoa harufu kali na kuchoma pua.Siku hiyo mgeni alivyoaga tu Tengeza akasimama wima na kuingia chumbani ambapo pua zilikumbana na harufu kali kuliko kawaida.
“Leila…Embu amka kwanza”
Tengeza akasema huku akiwa amebana pua zake.
“Ab..eee”
“Nimepigiwa simu na daktari,amka nikupeleke”
Ni kweli Leila alisimama lakini kwa shida mno,funza wakaanza kudondoka chini.Akajifunika kanga usoni.
“Ushavaa?”
“Nd..io”
“Nifuate”
Hakukuwa na mapenzi tena Tengeza hakutaka tena hata kumshika Leila mkono,akatoka naye mpaka nje,akaita bajaj ikafika.
“Ingia”
Leila akaingia ndani ya Bajaj.
“Mh”
Dereva wa Bajaj akaguna harufu aliisikia.
“Wapi blaza?”
“Interchick hospital”
“Poa”
Dereva akawasha Bajaj na safari ikaanza mara moja lakini ilivyofika Salasala ikasimama.
“Dereva vipi?”
Rashid akauliza.
“Hapana kwa kweli,shukeni shukeni.Nikifika mpaka Interchick kwa hii hali nitakufa.Kaka shuka na mtu wako,shukeni bwana.Mmebeba vitu gani?”
Dereva alijaribu kuvumilia harufu lakini alishindwa ndiyo maana akasimamisha Bajaj,hiyo ilimuuma sana Leila hakuelewa ugonjwa huo ameutoa wapi, maumivu aliyokuwa anahisi hayakuwa na mfano wake.
“Kaka shukeni basi,mbona hivyo”
“Sawa broo tunashuka”
“Khaaa!Mamaaaa hao si funzaaa,Mtume Mohamad, wewe dada umeoza au?”
Dereva bajaj alisema huku akiogopa, Leila alimtisha sababu ya funza waliokuwa wanatoka mwilini.Hiyo ilimfanya Tengeza amgeukie.
“Leila nisubiri hapa”
Kumsubiri Rashid kurudi ilikuwa ni sawa na kusubiri meli uwanja wa ndege kwani hiyo ndiyo ilikuwa kimoja,Leila alikaa chini ya mti akimsubiri.Nzi wengi walimfuata na kila nzi alipotua mwilini mwake alihisi maumivu makali mno,alitia huruma kupita kiasi!Mpaka inafika usiku hakukuwa na dalili yoyote ile ya Rashid Tengeza kuonekana!



Ungeambiwa kwamba huyu ndiye mwanamke aliyekuwa anaringa na mwenye nyodo ungekataa na hata kama ungepewa picha na kuambiwa ndiyo huyo aliyekaa chini ya mti habadani ungebisha,sura ya Leila ilikuwa imebadilika na alitisha mbali na hapo alitoa harufu kali kuliko hata jalala,mbali na kuwa na muonekano kama huo maumivu aliyokuwa anahisi mwilini mwake hakuweza kuyafananisha na kitu chochote kile duniani,kifupi aliteseka mno na hakuelewa ni kwanini ugonjwa huo ulimpata ghafla,alibaki chini ya mti akilia machozi ya uchungu alitamani walau mtu atokee ili ampe msaada lakini hakutokea na aliwashuhudia watu wakipita huku wakiziba pua zao na alijuwa kwanini wanafanya hivyo.
Bado alikaa chini ya mti akimsubiri bwana ake,Rashid Tengeza!
Hakuelewa kwamba tayari ameshakimbiwa,akasubiri tena kwa kama dakika ishirini nzima lakini wapi,hakukuwa na dalili yoyote ile ya Rashid kutokeza kwa tabu na mateso akaanza kujivuta na kusimama,hakuelewa ni wapi aelekee, alivyokumbuka umbali aliopo na alipokuwa anaishi Tengeza ni karibu hapohapo akapata wazo na kuanza kuchapa mguu,akanyanyuka na kuanza kutembea kwa mwendo wa ajuza, kila alipoangalia chini alitamani kujikimbia mwenyewe sababu aliwaona funza wanadondoka mmojammoja,alivyojiangalia mikononi ndiyo usiseme,walikuwa wengi na alipojaribu kuwatoa alihisi maumivu makali,akabaki akilia machozi ya uchungu huku akisonga mbele.

Magari na pikipiki vilipita kandokando yake,akazidi kutembea akakunja kona kushoto na kunyoosha moja kwa moja ambapo mbele yake kulikuwa na transfoma ya umeme,akaifuata na alivyoikaribia akanyoosha barabara,hapo ndipo kwa mbali aliweza kuiona nyumba anayoishi Tengeza.
Zilikuwa zimebaki kama mita kumi na mbili hivi ili afike,akapata nguvu sababu alikuwa amekaribia,akajikongoja na kuzidi kuendelea kuchapa mguu mpaka alipofika nje ya nyumba inayowaka taa mlangoni,haikuwa na geti lakini ilikuwa na kibaraza!Akagonga mlango lakini hakujibiwa,akagonga tena na tena lakini wapi,dalili zilionesha kwamba mwenye nyumba hakuwepo lakini haikumfanya afikirie kuondoka mbali na hapo hakuwa ana sehemu ya kwenda.
Kitu kingine kilichomsikitisha zaidi mfukoni hakuwa na senti hata moja,pesa zote za kigeni zilikuwa zimeisha sababu alizitumbua akiwa na Tengeza na zilivyoisha tegemezi lake likawa kwa mwanaume huyo na siku zote ilifahamika kwamba mjini ni pesa na hilo alilijuwa,akatamani mambo yawe kama zamani lakini haikuwezekana,kutokana na maumivu makali mwilini ilibidi akae chini kitako,akaanza kutafakari mambo mengi yaliyopita katika maisha yake.
“Wewe”
Ilikuwa ni sauti iliyomzindua kutoka katika dimbwi la mawazo akatoa kanga yake usoni ili ajuwe ni nani aliyekuwepo mbele yake.
“Dar..ling nime….kusubiri sa…na,uli.kuwa wa..pi?”
Alikuwa ni Tengeza amerudi usiku sana hata yeye alionekana kushtuka alivyomuona Leila mlangoni kwake sababu alijuwa amempiga chenga.
“Unataka nini kwangu?”
Tengeza alihoji huku akiwa amekunja sura yake,harufu ilikuwa kali mno.
“Na..taka kula..la”
“Kulala wapi?Wewe una wazimu nini?Sitaki kukuona hapa.Ambaa ambaaa upesi”
“Lakini Ba…by..”
“Wewe mimi sio baby wako,I’m not your baby…don’t call me baby.Toka bwana kwanzaa mmmh unanuka”
Tengeza alibadilika siku hiyo hakuwa yeye hata kidogo, kadri sekunde zilivyozidi kukatika ndipo alipohisi hasira zinampanda na harufu ilikuwa kali mno,alitamani kumshika Leila na kumtupa kandokando ya barabara lakini alihisi kinyaa ajabu,funza aliokuwa nao Leila walimtisha na hiyo ilimfanya aogope mno.
“Inuka utoke hapo kibarazi tafadhali”
Tengeza akasema huku akiwa ameziba pua zake lakini Leila alibaki na kulia huku akisema kwamba anahitaji kuingia ndani jambo ambalo lisingewezekana hata kidogo,ulitokea mgogoro mkubwa sana usiku huo mpaka baadhi ya majirani wakaamka na kuanza kuchungulia madirishani,walichokiona kiliwaogopesha mno na harufu ilipenya mpaka kwenye pua zao hapo ndipo walipogundua nini chanzo cha harufu hiyo kali ilipotoka.
“Leila ondoka hapa kwanza”
Ilikuwa ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa acheze mziki kwani Leila aliendelea kubaki na kulia, hata kama angefukuzwa eneo hilo hakuelewa ni wapi angeenda,alichofanya Tengeza ni kutoa simu yake mfukoni na kuanza kutafuta namba fulani kisha kuiweka simu sikioni.
“Halloo Hamisi Mwanyangala,uko wapi mkuu?”
“Mbona usiku usiku?Kuna nini Chidi?”
Sauti ya upande wa pili ilisikika kwa kukoroma ilielekea mtu huyo alitoka katika usingizi.Hamisi Mwanyangala alikuwa ni rafiki yake mkubwa sana.
“Upo geto?”
“Unataka nini?”
Tengeza akajibiwa kwa swali.
“Nataka kuja kuangusha hapo”
“Sasa hivi?”
“Ndio”
“Upo wapi kwani?”
“Nipo mbali kidogo”
“Unafanya nini sasa hivi?”
Bwana Hamisi Mwanyangala alikuwa anahoji maswali kama polisi.
“Sasa nipo njiani nitakuelezea mkuu”
“Kwani umefika wapi?”
“Nipo kwenye daladala mkuu,mbona hivyo?”
“Sawa njoo basi,uje na mkate wa kesho asubuhi”
“Ah mkuu sasa hivi maduka yamefungwa,okay poa nakuja nao”
Simu ikakatwa na maongezi yaliyokuwa yanaendelea yalipenya masikio mwa Leila kumaanisha kwamba Rashid asingelala hapo siku hiyo,hilo lilikuwa lipo wazi kabisa!
“Nikirudi nisikukute”
Rashid akaacha maagizo nyuma na kuanza kudundika akiondoka zake kuelekea kwa rafiki yake!

***********
Mzee Kapoor alimuangalia Issa kwa macho makali kupita kiasi,alitamani amvae mzimamzima amtafune,habari alizopewa na mlinzi wa getini kwamba anatembea na binti yake kimapenzi zilimfanya achukie ajabu na kilichomfanya apandishe mori ni sababu ya asili ya Issa,alikuwa ni muafrika na katika tamaduni zao jambo hilo lilikuwa ni mwiko.Akapata muda kidogo wa kutafakari ni kitu gani akifanye.
“Daaad”
Katrina ndiye aliyemzindua kutoka katika mikakati yake.
“Umejiandaa na shule lakini?”
Mzee Kapoor akatuliza mori kidogo kuna wazo lilimjia kichwani ndiyo maana akapoa na mkakati huo kama ungefanya kazi basi Issa angeusimulia ulimwengu mzima jinsi atakavyomfanya.
“Ndio Dad”
“Issa...Mimi nataka ambia wewe uwe makini sana na dada ako,mwambie iende shule,maisha bila taaluma ni kazi bure ,mwambie yeye awaze masomo,wiki ijayo yeye aende.Wewe ndiye mtu yake ya karibu”
Mambo aliyokuwa anaongea mzee Kapoor yalikuwa tofauti kabisa kwani Issa alidhani wenda mzee huyo alijuwa kila kitu kinachoendelea,hiyo ilimfanya ashushe pumzi za ndani kwa ndani lakini licha ya yote kuna kitu alijifunza kupitia macho ya mzee huyo aliyekuwa mbele yake,macho yake hayakuwa ya kawaida yalikuwa mekundu wakati mwingine alianza kuhisi wenda kila kitu mzee huyo anakijua lakini anamuweka sawa lakini aliyatupilia mbali mawazo yake.Mzee Kapoor akawaaga lakini ndani ya moyo wake alikuwa ana kinyongo kupita kiasi.Alivyoona Katrina na Issa wametoka nje,akainua mkonga wa simu na kubonyeza namba fulani kisha kusikiliza upande wa pili wa simu upokelewe.
“Uko wapi?Ninahitaji kuongea nawewe.Jioni ya saa kumi,palepale kwa siku zote,aya sawa kazi njema”
Mzee Kapoor akaweka mkonga wa simu chini kisha kuyabana meno yake kwa hasira.

********
Bado alishindwa kutafakari itakuwaje siku akiondoka na kurudi nchini India kwa ajili ya kuendelea na masomo yake ya chuo kikuu,alijaribu kuwaza maisha yatakavyokuwa bila ya Issa.Kukosekana kwa Issa mbele ya mboni ya macho yake aliamini kwamba angepata ugonjwa hatari wa Arosto!
Kama kungekuwa na mzani wa kupima uzito wa mapenzi basi mzani ungevunjika,mapenzi yalikuwa mazito mno na hakuelewa ni kwanini alitokea kumpenda Issa kupita kiasi,alitamani kusimama na kuingia chumbani kwa Issa ili walale wote lakini hakuweza sababu alikuwa katika siku mbaya za hedhi.
“Hivi kwanini sikununua kondom”
Katrina aliwaza akiamini kwamba kufanya mapenzi pekupeku akiwa katika hedhi ingekuwa hatari kubwa kwa Issa hivyo alitamani walau condom ingekuwepo,wakati akitafakari hayo ghafla sura ya baba yake ikamjia kichwani, mchezo aliokuwa anaufanya aliamini kwamba ulikuwa ni hatari kupita kiasi hata yeye aliamini kwamba ni bora ungecheza na mtoto wa Simba kuliko mchezo mbaya waliouanzisha na Issa,aliwaza hayo kwasababu hakuelewa nini ungekuwa mwisho wa mapenzi yao,kulikuwa kuna tabaka kubwa sana kati yake na Issa hilo alilijuwa na lilikuwa wazi kabisa!

Wakati yeye anamuwaza Issa kwa ujumla Mzee Kapoor yeye chumbani alikuwa anawaza jinsi ya kuweka mitego yake,katika swala hilo hakutaka kukurupuka kabisa, alitaka kwenda adaado ili awashike ‘live’ hakuelewa ni kitu gani angemfanya Issa endapo angemfuma na binti yake Katrina wanafanya mambo ya kishenzi,aliapia kwamba atakunywa damu yake ikiwa mbichi hata hivyo alimuomba sana Mungu isiwe ukweli sababu jambo alilotaka kulifanya hata yeye aliliogopa.
“Mbona hulali?”
Mkewe,Dokta Khaila alihoji alivyomuona Mumewe amejifunika na shuka anaangalia juu ya bati.
“Sina usingizi”
“Kwanini?”
“Basi tu”
“Nikupe sleeping pills?”
“Usijali,lala tu”
“Upo sawa?”
“Ndio,nipo sawa.Ondoa shaka mke wangu”
“Aya mimi nimechoka alafu kesho asubuhi Katrina ameniambia anataka kutoka”
“Kesho asubuhi?”
“Ndio”
“Kwenda wapi?”
“Kwa anti yake Sada”
“Sasa ulikuwa unasemaje?”
“Atatumia gari yangu”
“Hakuna shida”
“Mimi sasa?”
“Any way tutaongea asubuhi”
Mzee Kapoor akajibu lakini kuna kitu ilielekea alisahau kuuliza,akamgeukia mkewe.
“Ataenda na nani?”
“Na Issa”
Hilo ndilo jibu alilokuwa anataka na alielewa tayari mtego wake ungeenda kufanya kazi.
“Sawa hakuna shaka,usiku mwema”
Ingawa alimuaga mkewe kuwa analala lakini haikuwa hivyo kwani alikuwa anatafakari mambo mengi sana kichwani kwake.

******

“Sawa, baba yako kasema utumie Marcedez benz”
“Ile nyeusi?”
“Ndio,kwani kuna ngapi?”
“Mh,leo makubwa”
“Hata mimi nimeshangaa.Ngoja nikupe funguo”
Katrina alikuwa mlangoni kwa wazazi wake anaomba funguo za gari ili akamsalimie shangazi yake aliyeitwa Sada hivyo ndivyo alivyowaambia wazazi wake,kumbe haikuwa hivyo kwani kichwani kwake alikuwa ameseti mipango mingi sana na Issa,alijiona mjanja sana kuwafunga kamba wazazi wake, hakuelewa kwamba ulikuwa ni mtego na tayari alikuwa anaenda kunasa.
Kilichomfurahisha zaidi ni kuambiwa kwamba anapewa funguo za gari aina ya marcedez benz ambayo baba yake aliiendesha kwa nadra sana na kama akiiendesha basi siku hiyo ilikuwa ni siku maalum kama sio kikao basi ni sherehe kubwa,akapewa funguo na kutabasamu kwa furaha,akatoka na kuingia chumbani kwake ambapo huko alioga na kujipodoa vizuri sana!Akavaa kaptula fupi na top kisha juu ya akavaa ‘ijab’ nyeusi,akampitia Issa kisha wakatoka zao nje na kuingia moja kwa moja ndani ya Marced benz.
Mlinzi wa getini akasogea na kufanya kazi yake,akafungua geti huku akiona aibu na alimuogopa Katrina lakini cha ajabu gari ilisimama karibu yake,Mugisha alivyoinua kichwa chake macho yake yakakutana na Katrina anamtizama,akamnyali na kumsonya kwa sauti ya juu.
“Kenge wewe”
Akatoa gari na kuondoka zake.

******

“AMETOKA NJE NADHANI BAADA YA DAKIKA MBILI UTALIONA NI MARCEDEZ BENZ ILE”
“OKAY NDIYO TUPO BARABARANI HAPA”
“SAWA,UTAKUWA UNANIAMBIA KILA KINACHOENDELEA”
“ONDOA SHAKA”
Ndani ya gari aina ya Alteza kulikuwa na wanaume watatu wa kiarabu hawa walikuwa watu wa Mzee Kapoor na walipewa maagizo kwamba walifuatilie gari aina ya Marcedez Benz mpaka mwisho,ndiyo maana walipaki gari yao kando.
“Mudrick gari yenyewe hiyo hapo”
“Hiyo nyeusi?”
“Ndiyo”
“Sawa”
Mwarabu aliyeitwa Mudrick ndiye alikuwa dereva, taratibu akaanza kulifuatilia gari aina ya marcedez benz kwa nyuma,walizidi kusonga mbele na kufuata gari hilo.
Kila lilipoenda wao walikuwa nyuma,mpaka wakatokeza Ilala Bungoni na kukunja kulia,wakanyooka mpaka walipofika mtaa wa shaurimoyo wakaona gari limepaki nje ya nyumba ambayo juu iliandikwa ‘SALLY GUEST HOUSE’na wao wakaweka gari kando umbali wa kama mita thelathini hivi,walichokiona kiliwatisha mpaka wao,alikuwa ni Katrina kashuka ndani ya gari na mwanaume na wakaanza kunyonyana midomo.Hapohapo mmoja wa waarabu akatoa simu yake na kuanza kuwapiga picha.
“Katrina hapa barabarani mpenzi wangu”
“Kwani nani anatujuwa huku baby?”
“Hata kama huoni watu wanapita”
“Achana nao”
Katrina akamvuta Issa karibu na kumnyonya mdomo hadharani bila kujali na niya yake kufika nyumba ya wageni siku hiyo alitaka achezewe na kutomaswa au ikibidi wafanye ngono lakini wakitumia kinga sababu alikuwa katika siku zake!
Hakuna hata mmoja kati yao aliyejuwa kwamba wanapigwa picha na sio kwamba gari aina ya Alteza hawakuliona,walilipuuzia sababu kuna magari mengine yalikuwa yamepaki pia.
“Mtumie Mzee Kapoor”
Mudrick akatoa amri baada ya picha kupigwa.
“Okay”
Picha zikaanza kutumwa kupitia mtandao wa ‘WatsApp’ kwenda kwa mzee Kapoor.Hazikupita hata dakika tatu mzee Kapoor akaanza kupiga simu,ikapokelewa.
“MPO WAPI?”
Hilo ndilo lilikuwa swali la kwanza kuuliza Mzee Kapoor tena kwa hasira,akifoka!


Ilikuwa ni dharau kubwa ambayo hakuweza kuifananisha na kitu chochote kile,alihisi kama amevuliwa nguo zake zote na ulimwengu mzima unamtizama.kumlea Issa ndani kwake akamuhudumia kila kitu mbali na hapo yeye na mkewe walimsaidia kwa kila kitu akawa anakula na kulala bure ndani ya nyumba yake, kumbe alikuwa akitembea na binti yake, Katrina!Alivyofikiria jambo hilo alipandwa na hasira ajabu.Mkononi alikuwa ameshikilia simu yake kubwa anatizama picha alizotumiwa na watu wake aliowatuma wamchunguze,hakutaka kukubali kabisa na alitamani jambo hilo liwe ndoto ashtuke.Hapohapo hakutaka kupoteza wakati akainua simu na kutaka kufika mara moja eneo la tukio.
“Umesema mtaa wa Shauri moyo?”
Mzee Kapoor aliuliza kwa sauti ya ukali tena ya juu.
“Ndio”
“Ninakuja,hakikisha hawatoki hapo”
“Sawa”
Mzee Kapoor akasimama,macho tayari yalikuwa yamebadilika rangi yakawa mekundu mapigo yake yakawa yanamdunda kwa nguvu hiyo ikapelekea mpaka damu izunguke kwa kasi kwenye mishipa na kufanya mwili wake uive kwa hasira,akabeba funguo zake za gari na kutoka ofisini kwake.
“Dokta kuna faili la yule mgonjwa hapa”
Alikuwa ni Nesi akitoa ripoti lakini hakujibiwa,sio kwamba Dokta Kaoor hakusikia hiyo ilikuwa ndiyo kawaida yake kama akishikwa na hasira,hawezi kuongea hivyo aliishia kutembea akielekea langoni.
“Dokta”
Nesi aliendelea kuita lakini hakujibiwa. Dokta Kapoor akaingia ndani ya gari na kuwasha,akakanyaga mafuta na kulizungusha kwa kasi.
Badala ya kunyoosha barabara ya kuelekea Ilala Shauri moyo yeye alikunja kushoto kuelekea kwake,kuna wazo lilimjia ilikuwa ni lazima apitie nyumbani kwake abebe silaha yake ingawa hakuelewa ni kitu gani anaenda kufanya nayo, hakuwa yeye bali aliongozwa na hasira,msongamano wa magari ulimkera na aliona kama unampotezea wakati,alitamani gari yake ipae juu.Ilivyoruhusu akachukuwa barabara ya Upanga,akaibuka Kariakoo Bakhresa, hapo akachukuwa barabara kubwa.Kichwa chake kilisongwa na mawazo hakuelewa amfanye nini Issa endapo atakutana naye uso kwa uso,kilichompa chachu zaidi ni rangi yake,wahindi na ngozi nyeusi vilikuwa ni vitu viwili tofauti hiyo ndiyo ilimfanya apandishe gia mpaka namba tano na kukanyaga mafuta mengi,dakika ishirini baadaye alikuwa nje ya geti lake.
“Piii piiiiiii piii piiiii”
Alipiga honi kwa fujo lakini hakufunguliwa akaona anapotezewa muda,akatoka ndani ya gari na kuanza kuligonga geti,mlinzi akafungua.
“Shikamoo Bosi”
Mugisha akasalimia,alishangaa kumuona tajiri yake karejea muda kama huo isitoshe sura ilimtisha, sio siri Mzee Kapoor alibadilika rangi akawa mwekundu kama nyanya.
“Shikamoo bosi”Akasilimia tena.
Mzee Kapor akanyoosha mpaka ndani bila kumsemesha mtu yoyote yule hata alivyofika ndani na kusemeshwa,hakujibu.Akapitiliza mpaka chumbani kwake,akachuchumaa na kuinama chini ambapo alivuta ‘draw’akatoa gobole kubwa,hiyo ilikuwa silaha ya kuulia wanyama pori,akaona haitoshi akavuta kabati na kutoa bastola yake ndogo aina ya ‘rivolver’ akakagua kama ina risasi,alivyoridhika akaiweka kiunoni na kuifunika na shati,akachukuwa gobole akaliweka ndani ya begi lake maalum.Akatoka nje akiwa bado mwenye hasira mpaka nje ya geti, akazama ndani ya gari.
“Bado mpo Ilala?”
Aliuliza simuni Mzee Kapoor huku akihema kwa ghadhabu.
“Ndio”
“Sawa”
Simu ilivyokatwa akaweka gia na kurudisha gari kinyume nyume,lilivyokaa sawa akaweka gia namba moja na kulitoa kasi.
**********
Issa hakuwa na habari,alikuwa chumbani na Katrina wanashikana shikana na mwishowe Katrina hakuwa ana uvumilivu ilikuwa ni lazima wafanye tendo hilo la ngono, damu yake ilikuwa inamwenda mbio na angeteseka sana siku hiyo kama angeondoka bila kunjunju!Hapo ndipo alipomtupa Issa chali na kumvua nguo zake zote, nayeye akazitupa nguo zake kando,akachukuwa kondom akamvalisha Issa na hapo hawakuchelewa mechi ikaanza baada ya kipenga kulia,mguu wake mmoja ukawekwa juu begani mwingine ukaanyooshwa varangati likaanza na alichohisi Katrina hakikuweza kuelezeka,siku hiyo Issa alikuwa akijitahidi kufanya kila analoweza ili amridhishe Katrina sababu aliamini kwamba hiyo ndiyo ilikuwa nafasi yake ya mwisho,zilikuwa zimebakia siku chache ili Katrina arejee masomoni India.Katika upande mwingine wa shilingi hakuelewa kama siku hiyo kwake ni siku ya kihama endapo Mzee Kapoor angefanikiwa kumuweka mikononi mwake na siku zake arobaini zingekuwa zimefika tamati!Katrina alisasambuliwa kama nguo mnadani,mara huku mara kule akawekwa kila staili na ndani ya dakika moja na sekunde tatu alikuwa tayari amefika mlima kitonga na hapohapo Issa alifika kileleni,akamlalia juu ya kifua, nyoka wake akiwa bado shimoni.
“Baby,nitakumisi sana”
Katrina alianza kusema akiwa chini,yupo chali Issa yupo juu yake wapo uchi wa mnyama.
“Hata mimi mpenzi wangu”
“Naomba usije ukanisaliti”
“Siwezi kufanya hivyo”
“Kweli Issa wangu?”
“Ndio”
Baada ya jibu hilo wakanyonyana ndimi!Walikuwa katika mapenzi mazito kupita kiasi chake.
“Baby una uhakika na anti yako Sada ku..?”
“Nina muamini Sada,hata Dad akimpigia simu nimemwambia aseme nipo kwake”
“Sasa akitaka kuongea nawewe?”
“Hawezi kufika huko”
“Una uhakika?”
Issa akawa kama amechezwa na machale.Nyumbani Katrina aliaga kwamba anaenda kumtembelea shangazi yake kumbe haikuwa hivyo, zilikuwa ni fix na alitaka kujivinjari na Mpenzi wake Issa kwa maana hiyo ilibidi ampigie Sada ampange ili likitokea lolote amkikingie kifua na hilo lilimfanya ajiamini mia kwa mia.
“Ndio baby,tena tukitoka hapa nataka twende mikadi beach na…”
“Ngo! Ngo! Ngoo!”
Sauti ya mlango kugongwa ndiyo iliyomkatisha Katrina sentensi yake,akasikilizia kidogo.Mlango ukaendelea kugongwa tena.
“Naniiii?”
Akauliza.
“Muhudumu”
Alivyosikia hivyo akashusha pumzi ndefu akasimama na kubeba taulo akaliviringisha kuanzia kifuani,akatembea mpaka mlangoni Issa alikuwa amelala chali uchi wa mnyama akavuta shuka na kujifunika.Katrina akanyonga kitasa.
“Vipi?”
Katrina akauliza baada ya kufungua mlango kidogo,kichwa chake kilikuwa nje lakini kiwiliwili kipo ndani.
“Muda wenu umekwisha,mtaongeza pesa au mtaondoka?”
“Hapana tutaondoka sasa hivi”
“Sawa ahsante”
Muhudumu wa gesti akaondoka zake,pesa waliyolipia ilikuwa ni ya lisaa limoja na dakika thelathini hivyo muda wao ulikuwa umekwisha wa kukaa chumbani.
“Issa tukaoge tuondoke”
“Sawa mpenzi”
Wakaingia bafuni na kuoga kisha kuvaa nguo zao,Katrina akavaa kaptula yake fupi na kitop ilikuwa ni tofauti na alivyotoka nyumbani kwao ambapo alivaa baibui,safari yao walitaka waende kwenye fukwe za bahari wakafurahi.
Wakatoka mpaka mapokezi wakiwa mameshikana viuno.
**********
Mzee Kapoor alipiga breki Ilala mtaa wa shauri moyo kandokando ya nyumba ya wageni mpaka vumbi likatimka,bila kuzima gari akateremka na kutembea mpaka upande wa pili ambapo lilipaki gari nyingine aina ya Alteza kwa vijana wake wa kazi aliowatuma,akagonga kioo cha mlango,kikashushwa!
“Wako wapi?”
Mzee Kapoor akauliza bila kutoa salam sababu hakuwa na haja nayo kwa wakati huo.
“Wameingia humo ndani”
Hasira alizokuwa nazo hakuelewa mwisho wake ungekuwaje,akapapasa kiunoni na kugusa bastola yake,akaichomoa hadharani.
“Mzee mbo….”
Mudrick alitaka kuingilia hata yeye alijuwa nini kitachotokea,aliogopa!
“Kimnya”
Mzee Kapoor akatembea kwa kama hatua mbili lakini kuna kitu kilimwambia asimame kwanza,ilielekea kuna wazo jipya lilimjia akarudi ndani ya gari lake,akavuta begi lenye gobole na kuliweka karibu.
Kitendo cha kufanya fujo mbele za watu kilimaanisha sheria ingeingilia na hivyo asingeweza kumtia Issa kwenye mikono yake hivyo alitaka kufanya mambo kimnya kimnya,macho yake yote yalikuwa nje ya mlango wa gesti wala hakupepesa macho.Baada ya dakika kumi kupita ndipo Issa na Katrina walikuwa wanatoka tena mbaya zaidi walikuwa wameshikana viuno wanapigana mabusu,hapohapo bila kupoteza muda akafungua mlango wa gari.
“Katriina”
Mzee Kapoor akaita,hakuna mtu aliyetegemea sio Issa wala Katrina kila mtu aliogopa,Issa alihisi tumbo linamuuma hakuelewa ni la kuharisha ama uwoga,alihisi kama nguo yake ya ndani inaanza kulowana bado hakutambua kama ni jasho au mkojo.Sura ya mzee Kapoor ilimtisha na alikuwa akiwafuata,bila kufanya chochote alipigwa kofi kali likamyumbisha.
“Da…”
Katrina alivyotaka kuingilia nayeye alitulizwa na kibao kutoka kwa baba yake,tayari mambo yalikuwa yameharibika.Watu waliotumwa kufanya kazi hiyo wakashuka kutoka kwenye gari.
“Pakia hawa kwenye buti,peleka nyumbani kwangu.Fanya haraka Mudrick”
Hiyo ndiyo ilikuwa kauli kutoka kwa Mzee Kapoor,alitaka hasira zake akamalizie akifika nyumbani kwake,Katrina na Issa wakabebwa na kuingizwa ndani nyuma ya boneti la gari aina ya Alteza.Magari yakageuzwa na kutoa vumbi mpaka likafanya watu wakohoe.Alteza mbele nyuma Pajero,zilikuwa zinaongozana kwa kasi na Mzee Kapoor alitamani kufika nyumbani kwake haraka iwezekanavyo,dakika arobaini na tano walikuwa getini gari zikaingizwa ndani.
“Mugisha,funga geti na kufuli.Malosha hakuna toka mtu wala ingia.Mpaka mimi kupa ruksa wewe”
Mzee Kapoor ndiye alikuwa wa kwanza kutoka ndani ya gari,akawaachia maagizo mlinzi wa getini na mfanyakazi mwingine wa kumwagilia bustani aliyeitwa Malosha.Hakuna mtu aliyejuwa nini kinaendelea mpaka boneti la gari lilivyofunguliwa,Issa na Katrina wakatolewa.Kitendo cha Issa kutolewa Mzee Kapoor alimfuata na kumtandika kibao ‘tasaaa’ cha shavu akampiga kingine.
“Peleka ndani,nawewe kahaba mdogo.Utanitambua”
Ilikuwa ni kauli ya kutisha kutoka kwa Baba yake,dalili za kuwa hai siku hiyo zilikuwa ni asilimia mbili kati ya mia moja.Issa na Katrina wakapelekwa mpaka seblen na kusimamishwa, Mzee Kapoor akatokeza akiwa na gobole akaliweka mezani,akaingia ndani ya friji na kutoa chupa moja ya pombe kali.Hakuwa mnywaji wa pombe ingawa zilikuwa ndani ya friji kwa ajili ya wageni, akamimina kwenye glasi na kupiga fundo la kwanza,akaweka glasi juu ya meza akamtizama Issa kwa macho makali,hakuelewa amfanye nini.
“Umeanza lini kutembea na Issa wewe Malaya?”
Mzee akatupa swali akitumia lugha ya kihindi.
“Ba..ba mi..m”
“Jibu swali kahaba wewe”
Katrina alianza kulia machozi hata kabla ya kufanywa kitu chochote kile,Issa alivyoangalia mezani na kuona gobole kinyesi kilimbana,hakuna kitu kilichomjia kichwani kwake zaidi ya kifo tu!Hapohapo akaanza kukitafakari kifo kinafanana vipi,hakuelewa akipigwa risasi na kufa ataenda wapi,akajaribu kukitafakari kifo na kushindwa kuelewa kinafafana vipi sababu hakuwahi kufa kabla!Mzee Kapoor kwa hasira akainuka na kofi akamzaba mwanaye,akamvuta na kumsukumiza kando.Akashika chupa ya wisky akamgeukia Issa na kumpasulia nayo kichwani.
“Piga hiyo takataka”
Ilikuwa kauli iliyofanya Issa apokee kipondo,alipigwa kwa kiasi cha kutosha.Vijana hao wa kiarabu hawakuwa na huruma hata kidogo wao walichowaza ni pesa na sio utu!Juhudi za kumpiga Issa ziliendelea,mpaka akawa anavuja damu lakini kipigo hakikukoma,Katrina ndiyo usiseme!Mzee Kapoor alivyogeuka kwa Issa hasira ikampanda upya,akachomoa bastola kutoka kiunoni bila kuuliza chochote akamuelekezea Issa aliyekuwa chini amelala anavuja damu.
“Paaaaaaaaa”
Mlio wa risasi ulisikika.



Haikuwa kazi rahisi hata kidogo kutuliza hasira za Mzee Kapoor ambaye leo hii alijuwa kwamba binti yake ana mahusiano ya kimapenzi na Issa isitoshe mwanaume ambaye alikuwa anatembea naye kimapenzi ni mwafrika ngozi ambayo waliichukia mno,hiyo ndiyo ikazidi kumpandisha hasira zaidi na zaidi.Ndiyo maana bila kufikiria akachomoa bastola na kufyatua risasi,isingekuwa Katrina kusimama ghafla na kumsukuma Baba yake wenda ubongo wa Issa ungekuwa umemwagika chini kwa kuchenguliwa na risasi ya kichwa,Mzee Kapoor alikusudia kumuuwa Issa hilo lilikuwa wazi kabisa.
“Daa..d ni.ni unafanya ye..ye hana ma..kosa niue mi..mi”
Katrina aliongea huku akijikaza, kwikwi ilikuwa imemshika damu zinamtoka mdomoni,alimuonea sana huruma Issa hata yeye pia alijisikitikia lakini hakutaka kujuta kwa kumpenda mwanaume huyo na kwa jinsi mambo yalivyokuwa alikuwa yupo tayari kufa,alimpenda!
“Kaaa mbali,Wewe Dully peleka hii takataka stoo”
Hilo ndilo lilikuwa agizo na ilimaanisha lifanyike mara moja,Issa akanyanyuliwa na kutolewa nje ambapo huko alitupwa ndani ya chumba ambacho hutumika kuwekea vifaa vibovu vya magari,chumba kikafungwa na kufuli.Mzee Kapoor hakuelewa ni kitu gani akifanye kwa wakati huo,akashindwa kutoa hukumu lakini ilikuwa lazima amfunze adabu Issa.
Kitendo cha Dokta Khaila kurejea usiku alimpasha habari na kumtupia lawama kwa kitendo cha kulifumbia macho swala hilo,alimuhukumu moja kwa moja na kuthubutu kumwambia kuwa alikuwa akijuwa uhusiano wa Katrina na Issa wa kimapenzi.
“Hapana nilikuwa sijui lolote”
Dokta Khaila akakana ingawa siku za nyuma alikuwa akihisi jambo hilo.
“Sio kweli,unajua kila kitu”
“Ningekuwa ninajua ningekueleza kila kitu,wewe umejuaje?”
Dokta Khaila akauliza,alitaka kuuona ushahidi.Akapewa simu na kuoneshwa picha, hata yeye alivyoona moyo wake ukapiga kwa nguvu.
“Wako wapi?”
“Katrina yupo chumbani kwake”
Bila kujibu chochote Dokta Khaila alipanda ngazi, tena mbilimbili mpaka alipofika mlangoni kwa Katrina,akanyonga kitasa na kuingia.Akamuona mwanaye amelala amejifunika na shuka analia kwa kwikwi,uso umemvimba kama amira!
“Katrina”
Mama akaita lakini Katrina aligeukia upande wa pili,hakutaka kujibu kitu chochote alihisi uchungu ajabu na alivyofikiria jinsi Issa alivyopigwa kama mwizi ndiyo ilimuuma zaidi.
“Katrina mwanaaangu”
“Katrina,si nakuita”
Mama akasogea karibu kabisa nayeye akaketi juu ya kitanda.
“Katrinaaa”
“Mama niachee”
“Sikiliza nikwambie Katrina”
“Sitaki kusikiliza”
“Kwanini umeamua kumuaibisha baba yako?”
Mama akauliza swali hivyohivyo japokuwa Katrina alikuwa amegeukia upande mwingine,aliamini kwamba anamsikia vizuri sana.
“Umeniaibisha mimi pia,umeuaibisha ukoo mzima.Kwanini lakini?”
Katika swala hilo Mama alijitoa kabisa hata yeye alihisi kuaibika mno,ilikuwa ni lazima awe mkali kupita kiasi.
“La..kini ninampe..nda”
Katrina akajibu kwa kwikwi.
“Unasemaje wewe?”
“Nina mpe..nda nasema,kwa..ni sio binada..mu”
“Nyamaza,tena baba yako asisikie unachokisema”
“Lazima niseme ukweli”
“Wiki ijayo uwende Chuo”
“Si..endi”
“Uendi eeh”
Katrina nayeye akajibu kwa hasira tena kwa kiburi hakujali kama aliyekuwa anamuongelesha ni mama yake mzazi,kwa jinsi mambo yaliyotokea alikuwa yupo radhi kufanya uamuzi wowote ule mbaya.
“Ndio siendi”
“Chuo utarudi nakwambia,mpuuzi wewe”
Mama nayeye akawa amepandisha sauti,kwa hasira akasimama na kufungua mlango,akateremsha ngazi mpaka seblen ambapo alimkuta mumewe yupo juu ya kochi kashika tama ana hasira kupita kiasi.
“Issa yuko wapi?”
Dokta Khaila akauliza,alikuwa ana kila sababu ya kujuwa Issa alipo.
“Parking yard”
Jibu hilo lilimfanya afungue mlango na kutoka nje,ambapo alizunguka uwani,alivyofika akaona kumefungwa na kufuli ilibidi arudi ndani na kuchukuwa funguo,akatembea harakaharaka na kufungua kufuli,akazama ndani na kuwasha taa.Issa alikuwa amelala juu sakafuni hana shati damu zimeganda mdomoni na puani,ana majeraha mwilini.
“Issa…”
Dokta Khaila akaita kwa sauti iliyochanganyika na hasira.
Maisha yake tayari yaliingia kwenye matatizo makubwa mno na kuanzia siku hiyo alijihesabia kwamba maisha yake yapo mikononi mwa Mzee Kapoor,alitamani siku zirudi nyuma abadilishe mambo yalivyokuwa na akae mbali na Katrina lakini haikuwezekana kwani siku hazirudi nyuma,alimtizama Dokta Khaila aliyekuwa mbele yake haraka vitu vikaanza kurudi nyuma,Mama huyu alimsaidia katika maisha yake hilo lilikuwa wazi kwamba bila Dokta Khaila Issa angekuwa marehemu tayari, fadhila alizopewa zilikuwa kubwa mno.
“Issa,kwanini umeamua fanya hivyo?”
Mama akauliza,Issa alikuwa ana majibu mengi ya kuyatoa lakini hakuelewa ni kitu gani akiseme hata angeomba msamaha isingesaidia chochote kile kwa wakati huo,maji yalikuwa yameshamwagika ni vigumu kuzoleka!
“Mama,na..omba nisamehe”
“Nikusamehee!”
“Ndio.Nao..mba niruhu..su japo nie..nde”
“Ende wapi?”
“Nyu…mbaniii”
“Ulianza uhusiano lini na Katrina wewe?”
“Ma..ma naomba nisameh..ee”
“Issa jibu swali langu,lini anza mahusiano na Katrina?”
“Sio siku nyin…gi”
“Lini?”
Dokta Khaila akauliza kwa ukali kisha kumsogelea Issa karibu mpaka masikioni mwake.
“Utajuta kuzaliwa”
Yalikuwa ni maneno ya kutisha kupita kiasi hiyo ilimfanya Issa azidi kuogopa mno bado hakuelewa hatma yake ni kitu gani baada ya hapo,alimshuhudia Dokta Khaila anatoka na lango kufungwa na kufuli kwa nje,hiyo ilimuogopesha zaidi.Kumbukumbu zake zikaanza kurudi nyuma kwa kasi ya kilomita mia kwa sekunde,akawaona marafiki zake wakina chogo na Kishipa,akachukuwa muda kidogo wa kuyakumbuka maisha yake ya nyuma,akamuona Marietha alivyokuwa kanisani kisha baadaye kutoka nje akiwa ana mawazo gari likamchota,akanusurika kufa.Mpaka hatua aliyofikia hakujitofautisha na mtu aliyekuwa mlango wa jehanam anasubiri mateso,misukosuko katika maisha yake yalitokana na mapenzi,wakati mwingine alidhani wenda ana mkosi mapenzi.
************
Usingizi kwa Katrina ulikuwa ni kitu hadimu kupatikana,mpaka inafika saa saba za usiku hakuwa na dalili yoyote ile ya kulala,alimtafakari Issa wake na aliamini kwamba kwa yote yaliyotokea yeye ndiyo chanzo,ilikuwa kivyovyote vile lazima ajitwishe msalaba wa Issa kichwani,hapohapo akili ikamjia ya kufanya ukombozi ingawa hakutaka kulipa tiki wazo lake moja kwa moja.Akatupa shuka pembeni na kutoka kitandani,akatembea mpaka dirishani akavuta pazia na kuchungulia kwa chini kijumba kidogo kilichokuwa kinahifadhiwa vitu mbalimbali,humo ndipo alipowekwa Issa kama mateka,kitendo alichokuwa anataka kukifanya hata yeye alikiogopa alitakiwa kuwa jasiri mno,akapiga moyo konde na kuanza kunyata kuelekea mlangoni kwake,ambapo alinyonga kitasa taratibu sana na kuanza kushuka ngazi,akafika mpaka seblen akachomeka funguo na kufungua mlango akatoka nje kabisa,akaangalia huku na kule kama kuna mlinzi anamuona,akatembea kwa tahadhali na kufika ‘parking yard’
“Issaa,Issaaa,Issaaaaa”
Akaanza kuita kwa sauti ya chini huku akiangalia pembe zote za kona, kama angeonekana usiku huo angejiingiza kwenye hatari nyingine zaidi.
“Issaaaa, Issaaa”
Akazidi kuita.
“Katrinaaa”
Sauti ikatokea kwa ndani,Issa akaitikia.
“Issa,zunguka kwa huku”
Mlango ulikuwa umepigwa kufuli kubwa la Solex, Katrina hakuwa ana uwezo wa kuingia ndani na Issa hakuwa ana uwezo wa kutoka nje,hivyo waliongea kutumia matobo madogo ya ukuta.
“Sikia,naenda kuchukuwa funguo nakuja kukufungulia”
“Katrinaaa”
“Nakuja”
Katrina akaanza kuondoka lakini alivyokunja kona,akakumbana na Mugisha mlinzi wa getini akiwa katika lindo lake,anavuta sigara.
“Vipi?mbona usiku usiku?”
Mugisha akauliza, kuonekana kwa Katrina usiku huo wa manane kulimfanya aanze usaili.
“Kutembea kwangu usiku inakuhusu nini?”
“Lazima nijuwe,sasa ukipigwa risasi je?”
“Achana namimi”
Katrina akaingia ndani na kuanza kufungua fungua makabati akitafuta funguo,akapanda juu ya kabati lakini wapi,kwa kawaida funguo hizo huwekwa mahali hapo lakini siku hiyo hazikuwepo hiyo ilimfanya azidi kutafuta.Kama Mungu vile alimwambia ageuke,akaziona juu ya sofa.Haraka akazibeba lakini kabla ya kutoka nje,akatembea mpaka dirishani akafungua pazia ili kumuangalia Mugisha,akamuona anatembea huku na kule,alivyokatiza kona akatoka nje moja kwa moja mpaka kwenye ‘parking yard’,akafungua kufuli na kuvuta mlango.
“Issa,tuondoke”
Katrina akaingia na kumshika Issa.
“Wapi?”
“Tutoke kwanza nje”
Jaribio walilokuwa wanataka kulifanya lilikuwa lina hatari sana endapo wangeonekana, mbali na hapo kutoka ndani ya jumba la Mzee Kapoor haikuwa kazi ndogo,ilikuwa ni kazi rahisi kutoroka mahabusu kuliko ndani ya jumba hilo lililokuwa linalindwa na walinzi wenye mitutu wakisaidiwa na ulinzi wa kamera za CCTV.Katrina alizijua kamera zote zilipofungwa hivyo alikuwa muangalifu mno,alivyotembea hatua mbili akasimama.
“Simama,kuna kamera pale juu.Tupite huku nyuma”
Katrina akashauri,siku hiyo Issa alikuwa kama kipofu anayeongozwa,Katrina ndiye alikuwa kama fimbo yake.Wakazunguka upande wa nyuma ambapo kulikuwa na geti dogo pia,ulikuwa ni usiku mnene na taa zilikuwa zinamulika kila kona.
Ghafla wakaona kivuli cha mtu kinatokea kwenye kona,wakajificha nyuma ya ‘tank’ kubwa la maji,alikuwa ni mlinzi mwingine kutoka katika kampuni ya KK Security,mkononi alikuwa ameshika mtutu,anatembea huku na kule,alivyofika mbele ya ‘tank’ la maji akasimama,hiyo ilimaanisha kitendo cha kugeuza shingo yake nyuma angewaona Katrina na Issa na huo ndio ungekuwa mwisho wa safari yao.
Mlinzi alikuwa mita kama nne hivi mbele yao,wakasubiri kwa kama sekunde tano ndipo akatoka mbele yao,wakasimama na kuanza kutembea kuelekea kwenye geti dogo.
“Mungu wangu”
Katrina alikema.
“Nini?”
Issa aliuliza akiwa mwenye wasiwasi mwingi mithili ya mtu anayeoga nje!
“Geti limefungwa na kufuli”
“Itakuwaje?”
“Turuke ukuta”
Katrina aliropoka ingawa hakuwa ana uhakika kama angeweza kufanya hivyo,ukuta ulikuwa mrefu kwenda juu.
“Hapana,funguo za hapa anazo nani?”
Issa akauliza.
“Walinzi”
Issa akaangalia huku na kule na kuokota jiwe kubwa lililokuwa chini.
“Unataka kufanya nini?”
“Kuchukuwa funguo,njoo huku”
Ilikuwa ni lazima watumie mbinu za kijasusi la sivyo isingewezekana kutoroka,Issa akamvuta Katrina.Wote wakajificha chini ya maua,wakasubiri mpaka mlinzi mmoja apite.Alivyowasogelea Issa akachomoka kama mkuki,akamtwanga mlinzi na jiwe la kichwa Puuu!
Mlinzi akadondoka chini,hakukuwa na muda wa kupoteza,wakaanza kumsachi mifukoni na kuchukuwa funguo.Zilikuwa ni funguo zisizokuwa chini ya thelathini kwa pamoja, hawakuelewa ni upi wa kufuli la getini,wakazichukuwa na kutembea mpaka getini.Kibarua kingine kikaanza cha kuanza kujaribu funguo,walivyochomoa hii wakachomeka ile.
“Katrinaaa”
Sauti hiyo iliwashtua,alikuwa ni Mugisha katokeza nyuma yao.


Sio Issa wala Katrina kila mtu alitandwa na hofu,Mugisha alikuwa nyuma yao na walijuwa nini maana yake,haikuwezekana hata kidogo kwa Mugisha kulifumbia macho swala hilo na hiyo ndiyo ilikuwa tabia yake.
“Mnaenda wapi?”
Mugisha akauliza huku akiwatizama.
“Haaa!”
Alivyomuona mlinzi yupo chini akashtuka pia,ilikuwa ni lazima atie unoko kwa bosi wake.Na ndiyo maana kabla ya yote akageuka, niya yake ikiwa ni kutembea mpaka dirishani kwa Mzee Kapoor agonge na kutoa unoko lakini alivyopiga hatua tatu kulifuata dirisha alihisi kitu kizito kimetuwa juu ya kichwa chake,hapohapo akadondoka chini kama papai!Issa ndiye alikuwa ameshika jiwe hakuelewa ujasiri huo ameutoa wapi,ila alichotaka kukifanya ni kujaribu kuyaokoa maisha yake,alijuwa nini kingetokea endapo Mzee Kapoor angeamshwa na kumkuta, pengine safari ya maisha yake duniani ingeishia hapo siku hiyo.Badala ya kuanza kukimbia akabaki anamshangaa Mugisha aliyekuwa chini amelala chali.
“Issa,tuondoke”
Katrina ndiye aliyemzindua.Haraka wakatembea mpaka getini na kuanza kusaka funguo ya kufuli,kwa staili ya kujaribu moja baada ya nyingine.
“Kachaa”
Kufuli likaachia.Hapohapo wakapalamia geti kwa nguvu.
Kulikuwa kuna uwezekano mkubwa wa geti kutopiga kelele endapo wangetoka taratibu,hiyo ndiyo ilifanya Mzee Kapoor akurupuke kutoka kitandani,akasikilizia kidogo kwa kama sekunde tano.Akamtizama mke wake,kuna kitu alikihisi kisichokuwa cha kawaida,akasimama kutoka kitandani na kuwasha taa.
“Vipi?”
Dokta Khaila akauliza alivyomuona Mume wake amesimama wima!
“Hujasikia kelele za geti la uwani kubamizwa?”
“Hapana lala bwana,walinzi si wapo”
“Ndio”
“Basi lala”
“Okay sawa”
Sijui ni kitu gani kilimfanya achungulie dirishani,kitu alichokiona kilimshtua,geti lilikuwa wazi isitoshe alimuona mtu amelala chini chali,alivyomuangalia vizuri aligundua ni mlinzi wake wa getini, Mugisha!Kwa hofu ya uwoga akachukuwa bastola yake na kuanza kujihami.Hisia za kwamba amevamiwa ndizo zilikuwa zinapita kichwani kwake.Mbali na kuwa mkali kama pilipili lakini mzee Kapoor alikuwa ni muoga kama mwanamke,alitamani kuingia chini ya uvungu ili kuokoa maisha yake.
“Boss”
Sauti hiyo ilimtisha kutokea dirishani alimanusura amwage mkojo,alitetemeka kwa hofu,alijuwa tayari amekwisha.
“Boss,Mzee”
Ingawa aliijuwa sauti hiyo lakini hakuthubutu kufungua kinywa chake kuitikia.
“Si unaitwa”
Mke wake Dokta Khaila ndiye aliyedakia,hapo ndipo Mzee Kapoor akajifanya kujitutumua.
“Samofi,sema nini wewe?”
“Kuna kitu kimetokea”
“Namna gani?Kitu gani?”
“Katrina ametoroka”
Kitendo cha Samofi kuzungumza hivyo kilifanya mpaka Dokta Khaila akarupuke kitandani,Mzee Kapoor akatembea kwa haraka mpaka dirishani,ilikuwa ni kama amesikia vibaya ndiyo maana akasogea!
“Samofi,sema nini?”
Mzee Kapoor akauliza.
“Samofi nani katoroka?”
Dokta Khaila nayeye akaibuka na swali,Samofi akashindwa aanze kujibu swali lipi,hakuelewa ajielezee vipi lakini alielewa kwamba siku hiyo kibarua chake kingeota nyasi.Mzee Kapoor na Dokta Khaila wakatoka nje na kuzunguka nyuma ya nyumba,Samofi akawaelezea kila kilichotokea kinagaubaga,walivyokiendea kibanda alichokuwa amefungiwa Issa kilikuwa wazi hiyo ilimaanisha kwamba Katrina ametoroka na Issa.
“Toka nje tafuta wao,kamata piga risasi”
Mzee Kapoor alifoka kwa hasira mno hakutaka kuamini kwamba mtoto wake ametoroka na alitaka kupata maelezo yaliyonyooka ilikuwaje.
“Inabidi tumtafute mtoto kwanza”
“Hapana nataka wanieleze kivipi,wametoroka.Sa­sa wanalinda nini?”
Mzee Kapoor aliendelea kufoka na wote kutoka nje ya nyumba kuwasaka Katrina na Issa,ulikuwa ni usiku mnene tayari lakini haikuwafanya wasitishe zoezi lao.Walinzi walitangulia mbele wakiwa na mitutu mikononi mwao huku nyuma wakifuatiwa Mzee Kapoor na Mke wake.
****************
Issa na Katrina walizidi kusonga mbele bila kusimama kwa kufanya hivyo waliamini ingekuwa salama yao,ilikuwa ni lazima wajikomboe.Wakatembea bila kujali chochote mpaka barabara kubwa ambapo hapo hawakuweka kituo, walizidi kutembea mbele zaidi,kwa kitendo walichokifanya waliamini ni jinsi gani walimkera Mzee Kapoor, hivyo kupatikana kwao ingekuwa habari nyingine mbaya zaidi tena ya kutisha,hawakutaka hilo litokee ndiyo maana wakasonga mbele zaidi mpaka walipofika Oysterbay polisi,wakasimama na kupumzika ili baada ya dakika moja wasonge mbele.
“Hatuwezi kuendelea mbele zaidi,inabidi tuombe msaadaaaa”
Katrina ndiye aliyeibuka na ushauri huo akiwa ana hema mno,alikuwa amechoka sababu alitembea mwendo mrefu kupita kiasi.
“Msaada gani?”
Issa akataka kujuwa!
“Hata wa gari,ikiwezekana tupande daladala”
“Kwani tunaenda wapi?”
“Mimi sijui ila nataka tutoke eneo hili”
“Sawa tutembee kwanza kidogo”
Hivyo ndivyo ilivyokuwa,wakaanza tena kusonga mbele huku wakiangalia nyuma magari na yalikuwa yanapita lakini walipojaribu kusimamisha kwa staili ya kupunga mkono yaliwapita,hawakuchoka walizidi kujaribu kila walipoliona gari.Walivyopiga hatua kumi wakaona mwanga wa taa za gari tena,Katrina akatokeza barabarani na kupunga mkono lakini gari lilipita,cha ajabu lilivyofika mbele likasimama lilikuwa ni gari la kifahari aina ya Vogue,wakalishuhudia linarudi kinyumenyume,mpaka likawafikia.
Kioo cha gari kikashuka.
“Hamjambo?”
Alikuwa mzee wa makamo akiwa ndani ya gari peke yake na alijisikia kuwasaidia ndiyo maana akasimamisha gari.
“Hatujambo mzee shikamoo”
Issa akasalimia kisha baadaye Katrina.
“Mna shida gani?Mbona usiku usiku?”
“Tumetoka kwenye sherehe”
Issa akadanganya.
“Kwenye sherehee?!”
Sentensi aliyoongea Issa na jinsi alivyokuwa vilikuwa ni vitu viwili tofauti kwani sura yake ilikuwa imeumuka na isitoshe hakuwa na shati mwilini.
“Ndio kwenye sherehe”
“Shati lako liko wapi?”
Mzee akahoji swali, bado hakuridhishwa na majibu.
“Tulikuwa kwenye sherehe kuna ugomvi ulitokea ndio maana unaona tunatembea kwa mguu mzee wangu,naomba utusaidie”
Katrina ndiye aliyeingilia kati mazungumzo,akajibu swali la Issa huku akimtizama mzee huyo machoni akiwa ndani ya gari.
“Sasa mnaelekea wapi?”
“Msasani”
Katrina akaropoka niya yake ilikuwa ni kutoka eneo hilo, basi!
“Ingieni kwenye gari”
Wakafungua mlango wa nyuma na kuingia ndani ya gari,safari ikaanza.Hawakuelewa ni kwa namna gani wamshukuru mzee huyo kwani alikuwa ameyaokoa maisha yao.
“Msiwe mnatembea usiku ni hatari sana wanangu”
Mzee akashauri na kuweka kioo cha katikati sawa ili aangalie magari ya nyuma vizuri,ghafla akagandisha macho yake kwenye sura ya Katrina kupitia kioo.Sura hiyo haikuwahi kumtoka hata kidogo,alikuwa ni mtoto wa rafiki yake Dokta Kapoor na kwa jinsi malezi aliyolelewa haikuwezekana hata kidogo usiku kama huo awe nje,taa nyekundu ikawaka kichwani kwake alijuwa dhahiri kuna tatizo na ilikuwa ni lazima amwambie mzee Kapoor.
“Mmesema mnashukia msasani?”
Akauliza tena.
“Ndio Mzee”
“Okay”
Ilikuwa ni sawa na kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi,hawakuelewa kwamba mzee aliyewabeba ni rafiki mkubwa wa Mzee Kapoor.
“Wanangu,ngoja nipaki gari hapa niende supamaket”
Gari likawekwa kando ya sheli ya mafuta ambapo ndani kulikuwa na ‘supermarket’Mzee akaingia moja kwa moja na kutoa simu yake,hapohapo akamtafuta Mzee Kapoor hewani lakini cha ajabu simu iliita bila kupokelewa,hakuacha alizidi kupiga tena na tena.
Hatimaye akakata tamaa na kuyaacha mambo kama yalivyo,alinunua vitu kadhaa ili kuzuga.Alivyotoka nje kabla ya kulikaribia gari lake simu yake ikaita,akaitoa mfukoni na aliyekuwa anapiga alikuwa ni mke wake,akapokea.
“Nipo njiani,ndio nimetoka kumuona mgonjwa sasa hivi.Nimepitia supermaerket.Sawa,ok­aya.Nitakuletea”
Ilibidi baada ya kukata simu arudi tena ndani kwani ilielekea aliagizwa kitu na mkewe.
Simu yake ikaita tena safari hiyo aliyekuwa anapiga si mwingine bali ni Dokta Kapoor,haraka akapokea na kuiweka simu sikioni.
“Kaijage,Vipi?”
Sauti ya upande wa pili wa simu uliuliza,alikuwa ni Dokta Kapoor,anahoji.
“Salama tu”
“Mbona piga simu usiku,nini tatizo?”
“Kuna mtu nimemuona nadhani nimemfananisha”
“Naniii?”
“Katrina”
Alivyotamka jina hilo ukimnya ukatawala kidogo kisha Mzee Kapoor akarudi kwenye laini.
“Umeona wapi?”
“Nipo naye”
“Upo naye?Wapi?Una hakika?”
“Ndiyo yeye nipo hapa sheli ya Okobil,Galaxy supamaket”
“Yupo na nani?”
“Yupo na kijana mmoja”
“Oh,sawa fanya vizuri sana.Ujue toto yangu anaumwa.Sasa usiondoke,naomba usiiwambie kwamba tumeongea”
“Sawa hakuna shaka,mimi ninakusubiri”
“Ahsante”
Kitendo cha kukata simu tu,Mzee Kapoor alitembea kwa kasi mpaka juu ya meza na kunyakua funguo za gari,hasira alizokuwa nazo ziliongezeka na hazikuwa na kipimo chake hata kidogo,mke wake alivyotaka kumfuata alimzuia.
“Baki”
“Namimi nataka kwenda”
“Hapana”
“Siwezi kubaki,twende wote”
Kitu alichotaka kwenda kukifanya Mzee Kapoor alikiogopa mwenyewe,hasira za kumuuwa mtu ndizo zilimvaa.
“Kuna mtu atakufa leo”
Mzee Kapoor aliongea kwa hasira mpaka mishipa ya kichwani ikamsimama,akatoka na mke wake na kuingia ndani ya gari,safari ya kwenda Sheli ya Okobil ikaanza mara moja.
Hazikupita hata dakika tano akawa amefika tayari,gari ya Mzee Kaijage aliitambua na ndiyo maana akapaki kandokando na kushuka kama mwanajeshi,akamuendea Mzee Kaijage kwa kasi.
“Wako wapi?”
Hilo ndilo swali la kwanza kulitupa bila salamu.
“Ndani ya gari”
Hapohapo Mzee Kapoor alianza kutembea na alivyolifikia gari,akafungua mlango lakini cha ajabu hakukuwa na dalili ya mtu yoyote yule.
“Wako wapi?”
Mzee Kapoor akageuka kwa hasira na kuuliza swali kwa ukali.Mzee Kaijage akaingiza kichwa ndani ya gari hata yeye alihisi kupagawa,Katrina na Issa hawakuwepo.

Maisha ya Marietha na Mume wake Deo Karekezi yalikuwa ya raha mustarehe baada ya kukubali kumpokea Yesu Kristo awe kiongozi wao,upendo uliongezeka na furaha ikazidi mara mia yake.Mambo yaliyopita kwao sasa yalikuwa kama historia tu,ilikuwa ni lazima wasahau yaliyopita na wagange yajayo na ndiyo hicho kitu walichokuwa wanasoma kwenye Biblia wakiwa katika ibada kila Jumapili iendayo kwa Mungu,Sio siri kwa furaha waliyokuwa nayo ilifanya wanawiri na kunenepa na kilichowapa furaha zaidi ni mtoto wao Abraham aliyekuwa tayari ana miezi kumi na moja,alishaanza kutembea na kuongea maneno ya kitoto.
“Ta….ta”
Siku hiyo Abraham aliita huku akimkimbilia baba yake alivyotoka kazini jioni,Deo akamkumbatia na kumbeba.
“Oh My lovely boy!My King.How have you been?”(Oh mtoto wangu kipenzi,umeshindaje)
Deo alimuongelesha mwanaye huku akiwa amekenua meno yake nje,Marietha alikuwa kwenye kochi akasimama na kumpokea mumewe begi dogo la mgongoni.
“Pole Baba Abraham”
“Ahsante nishapoa,kwenye gari kuna matunda alafu nimekuletea viatu vyako”
“Ahsante,milango umeloki?”
“No”
Marietha akatembea mpaka nje ambapo alifungua gari na kutoa mifuko ya matunda pamoja na mfuko mwingine uliokuwa na viatu,akarudi na kumshukuru mume wake.Ni kweli Deo alijihisi ni mwanaume kamili sababu moja ya ndoto kubwa katika maisha yake ilikuwa ni kuja kuitwa Baba.
“Mama uliongea naye leo?”
Deo alimuuliza mkewe.
“Ndio”
“Amesemaje?”
“Hawezi kuja,amekataa”
“Sasa inabidi niende Bukoba”
“Darling”
“Yes”
“Nenda Bukoba ukamuombe Mama msamahaa”
“Ndio itabidi nifanye hivyo”
Ilikuwa ni lazima aombe msamahaa kwa aliowakosea na awasamehe waliomkosea sababu Mungu husamehee kwa wale wanaosamehee pia.Kitu kilichokuwa kinamkosesha raha Deo siku zote ni mama yake mzazi ambaye hakutaka hata kumsikia,ni wazi kwamba alimkosea kupita kiasi na alihitaji msamaha lakini haikuwa rahisi kama alivyodhani kwani Mama yake hakutaka kuzungumza naye na hakutaka kumsikia tena mbaya zaidi alisema kwamba Deo sio mtoto wake na asahau kama alishawahi kuwa na Mama kama yeye,hilo lilimfanya Deo atake kusafiri mpaka Bukoba ili akaonane na Mama yake ana kwa ana.
Usiku mzima akiwa na mkewe alitumia muda huo kuomba ushauri juu ya jinsi gani amuingie Mama yake.
“Inabidi uwende na Mchungaji”
“Hapana,wacha niende mimi mwenyewe kwanza.Mimi ninamjua Mama yangu,ni mtu wa hasira sana”
“Atakusamehe Deo,Mungu wetu ni mwema.Tumuombee”
Marietha akamtia Moyo mumewe!
“Sawa,tusali basi ili tule. Chakula kitapoa”
Walikuwa mezani na chakula kilikuwa kimetengwa tayari, walisali na kumshukuru Mungu kwa kuwapa chakula cha usiku kisha wote wakaitikia ‘Amen’.Abraham alikuwa mikononi mwa Marietha analishwa chakula,walikula na walivyomaliza walimshukuru Mungu kwa kusali.
“Mimi natangulia Chumbani,mlete Abraham niende naye”
Deo akaomba akamchukuwa mwanaye na kuingia naye chumbani,akamuweka kitandani ili alale.Akavua nguo zake kisha kuingia bafuni na kujimwagia maji ili atoe uchovu,alivyofika chumbani akajitupa kitandani na kuanza kutafakari juu ya maisha yake yanavyokwenda kwa ujumla,alijaribu kufananisha maisha ya zamani na aliyokuwa nayo kwa wakati huo,kulikuwa na mabadiliko makubwa sana na aliamini ni kwasababu tu alibadili mienendo na kuwa mchaMungu, japokuwa watu ambao waliokuwa marafiki zake walimpiga majungu na kumtenga lakini yeye hakujali,aliweka masikio pamba.Kutokana na kuwa mlokole pombe aliacha kabisa na baa aliyokuwa ana miliki aliiuza na pesa alitumia kukarabati kanisa.
“Deo”
Marietha alitokeza mlangoni na kuita.
“Yes”
“Nafunga mlango”
“Funga”
“Hutoenda seblen?”
“Hapana funga tu”
Marietha akafunga mlango na ufunguo,akanyoosha moja kwa moja mpaka bafuni huko alivua nguo zake zote na akufungua bomba la mvua,maji yakawa yanamiminika mwilini mwake.Alivyomaliza bila kujipangusa alichukua kanga na kuingia chumbani.Deo alivyogeuka udenda ulianza kumtoka.Mwili wa Marietha na umbo lake vilijichora vizuri.Ni wazi kwamba Mungu katika uumbaji wake alimpendelea Marietha,alimuwekea udongo mwingi kwa nyuma,mwili wake ulikuwa umejichora kama nambari nane na haikuwa hivyo tu,alibarikiwa kuwa na mapaja yenye supu nyingi.Kanga moja aliyovaa ambayo ilimfunika kifua na kuishia juu ya magoti ilimfanya Deo aanze kumkagua mkewe.
“Usiniangalie hivyo Deo”
“Mke wangu wewe ni mzuri sana”
“Naona umenitamani”
“Wewe ni mke wangu,nitakutamani vipi?Embu njoo nikwambie mara moja,njoo kitandani”
“Mmh”
Marietha aliguna sababu alivyoangalia boxa ya Deo aliona kirungu kimesimama, alishaelewa hapo hakuna cha kuambiwa bali kulikuwa kuna jambo lingine la ziada,licha ya kujuwa hivyo akasogea na kupanda kitandani.
“Niambie”
Macho ya Deo yalikuwa yamelegea kama mtu aliyekula kungu,akaishiwa pozi akabaki anahema ndani kwa ndani,alihisi damu yake imeacha kutembea.Alikuwa ni mke wake wa ndoa lakini hakuelewa siku hiyo ni kwanini hali hiyo imejitokeza ghafla,akabaki anaangalia mapaja ya mkewe.Hakutaka kuongea kitu kingine zaidi,akamshika shingo na kumvuta karibu yake,akamsogeza mdomo kisha kutoa ulimi,Marietha akajua nini kinachotaka kuendelea akatanua mdomo wake,ulimi wa Deo ukazama ndani wakaanza kulana denda kama njiwa.Hawakuwa na papala yoyote ile sababu hawakuwa wanaiba walikuwa ni mke na mume halali ndio maana walinyonyana ndimi kwa dakika mbili nzima ndipo Deo alishika upande wa Kanga begani kwa Marietha na kuivuta,akamuweka sawa na kuanza kumnyonya shingo,sio hivyo tu mkono wake mmoja ulikuwa chini unachambua mgodi na alitumia kidole cha katikati kufanya hivyo.
“Mmmh aaah!”
Sauti hiyo aliitoa Marietha puani huku akiwa ameyafumba macho yake,vitu alivyoanza kuvihisi havikuweza kuelezeka kiwepesi,akili yake hakutaka kuipeleka popote pale aliishia kutoa miguno tu.Kitu kilichomchanganya alihisi kama kuna joto kwenye ikulu yake,Miguu yake ilikuwa imetanuliwa huku na kule,alivyofumbua macho yake na kuchungulia alimuona Deo yupo katikati ya Miguu yake anadeki bahari,Siku hiyo Deo hakutofautishwa na Paka anayelamba maziwa juu ya kisosi.Hakuelewa kwamba raha anazopata Marietha zilizidi kifani,aliendelea kuulamba mgodi bila kukoma mpaka alivyohisi kuna madini yanaanza kutoka,hiyo ilimaanisha kwamba aanze kazi ya uchimbaji,akapanda taratibu na kumlalia Marietha kwa Juu,akampenyeza nyoka wake vizuri ndani ya shimo akauchukuwa mguu mmoja wa Marietha na kuuweka begani kwake,tayari kwa kuanza uchimbaji.
“Aaaah aaaah aasshhss aaah aaaah aaaah”
Marietha alitoa sauti puani na kazi yake ilikuwa ni kuvuta vuta mashuka na kujinyonga huku na kule!
*******************
Siku zote Marietha alikuwa wa kwanza kutoka kitandani,kama mwanamke ilibidi afanye usafi wa kudeki na kuandaa chai kwa ajili ya mumewe,alifanya hivyo na kuingia ndani ya kabati akachagua nguo za Deo za siku hiyo,akazipiga pasi,alivyohakikisha kila kitu tayari.Alimuamsha Mumewe,wote wakaanza kusali na kumshukuru Mungu kwa kuwaamsha salama!Wakaingia bafuni kuoga kisha kuvaa nguo na baada ya hapo walinyoosha mezani kwa ajili ya kupata kifungua kinywa!
“Mwezi ujao kuna safari jiandae”
“Safari gani tena?”
“Mara hii umesahau!”
“Ndio,nikumbushe Love”
“Safari ya Paris”
“Hivi ulikuwa serious?”
“Khaaa!Ulijuwa nakutania.Inabidi nikufanyie utaratibu wa Passport,inabidi utafute birth certificate yako kisha leo uwende kwa mjumbe akuandikie barua”
“Barua ya nini?”
“Ya kuomba passport”
“Leo?”
“Ndiyo leo,nikirudi iwe tayari.Nataka nika apply passport yako na Abraham pia”
“Sawa nitafanya hivyo”
Maisha kwa Marietha yalibadilika ghafla,Deo alijuwa kumuhudumia na akazidi kunawili.Na wakati mwingine aliyafananisha maisha yake kama ‘movie’hata siku moja hakuwahi kuota kama ataweza kwenda nje ya nchi,alitamani siku ziende harakaharaka ili nayeye akanyage ardhi ya Ufaransa ambayo alisikia ni jiji la starehe.
“Lakini Darling”
Marietha alimsimamisha Mumewe alivyotaka kutoka nje.
“Yes”
“Mjumbe wa nyumba kumi hapa simjui”
“Huyo mzee hapo nyuma,ukiulizia Mzee Abdallah Utaoneshwa ni hapo nyuma,ukitoka nyumba ya Mama Charles sasa geti la kwanza kushoto ndiyo hapo,Mwambie hata Biko anapajua”
“Sawa,nitaongea na Biko”
“Okay baadaye”
Marietha aliachwa akitafakari jinsi nchi ya Ufaransa inavyofanana, akaenda kimawazo na kuyaona magorofa marefu,pamoja na wazungu wanapita kando yake,Kifupi alikuwa ufaransa jijini Paris, kimawazo.
“Sasa nitaongea lugha gani?Kiingeereza sijui”
Alijiuliza swali mwenyewe na kushindwa kupata jibu.
***********************
Maisha ya Leila yalizidi kuwa ya shida kila kukicha,mbali na kutoa wadudu aina ya funza wanaonyevua alianza kuota majipu na yalizidi kutoa harufu kali kuliko jalala,kila alipoenda nzi walimfuata nyuma.Hakuna hata mtu mmoja aliyemsogelea karibu,hakuelewa ni mambo gani yamemtokea katika maisha yake lakini hisia za kwamba amerogwa ndizo zilianza kumiminika katika kichwa chake,siku moja alikuwa barabarani amekaa nzi wapo usoni kwake akaona gari limesimama mbele yake umbali wa kama mita kumi hivi,gari hio halikuwa ngeni machoni kwake lakini hakutaka kulipa wazo lake kipaumbele kwamba mmiliki wa gari hilo kama ndiye anayemdhania,akabaki analitizama.
“Marietha,nimekwambia ondoa gari”
“Hapana Deo,yule ni Leila inabidi tumsaidie”
“Hapana”
“Deo niangalie,sisi ni watu wa Mungu”
“Kwahiyo?”
“Tunapaswa kusamehe”
“Siwezi”
Marietha alikuwa nyuma ya usukani anaendesha gari siku hiyo wametokea ofisi za uhamiaji kuchukuwa passpot,kushoto kwake alikuwa mume wake Deo.Kilichomfanya asimamishe gari kando ni kitu kimoja,alikuwa amemuona Leila,mwanamke ambaye alimtesa kipindi cha nyuma, licha ya yote alijisikia kumsaidia.
“Marietha rudi ndani ya gari”
Marietha alivyotaka kushuka Deo akamshika mkono akimzuia asishuke,alikuwa amekasirika kupita kiasi sababu katika maisha yake hakutaka kumsikia binadamu anayeitwa Leila.
“Deo,acha tumsamehee”
“Nimekwambia washa gari tuondoke”
Deo akafoka kwa hasira huku akimkazia Marietha macho.
“Hapana mimi nashuka”
Marietha nayeye alishikilia msimamo wake,akafungua mlango na kuteremka kutoka ndani ya gari,harufu aliyokumbana nayo haikuwa ya kawaida lakini hakutaka kulionesha swala hilo kwa Leila sababu alijuwa ndiye yeye anayetoa harufu hiyo,hakutaka kumnyanyapaa.
“Leilaaa”
Haikujulikana ni namna gani Marietha alimgundua Leila kiurahisi sababu sura yake ilijaa majipu na vidonda,Marietha aliingiwa na huruma.
“Mar…ietha nao..mba nisa..idie”
Leila akasema kwa uchungu huku funza wakimtoka,kwa wakati huo alihitaji msaada na sio kitu kingine.
“Sawa,nitakusaidia inuka twende kwenye gari”
Marietha akainama kidogo,hakujali harufu wala funza wanaotoka mwilini kwa Leila,akauchukuwa mkono mmoja na kuuzungusha begani mwake na kuanza kutembea kuelekea kwenye gari.Kitendo cha kufika karibu,walishuhudia gari linaondoka kwa kasi ya ajabu,Marietha alijuwa kitendo hiko kilifanywa na Deo sababu alikuwa ana hasira bado!


Ingawa alikuwa MchaMungu lakini moyo wake ulisita na kugoma kabisa kumsamehe Leila na hilo aliapia,ndiyo maana alivyokuwa ndani ya gari alimzuia Marietha asiteremke!Hakuwa na sababu ya kubaki tena eneo hilo alivyomuona Marietha yupo na Leila, haraka akahamia siti yenye usukani akawasha gari na kuondoka zake huku nyuma akimuacha Marietha na Leila wamepigwa na butwaa.Tukio lililotokea wakazi wa eneo hilo walishuhudia.
“Dada vipi?”
Kijana mmoja aliyekuwa anauza maji kwenye deli akauliza.
“Jamaa vipi mbona kaondoka?Alafu wewe Kimti hivi huko nyuma kuna gari la mavi au?”
Harufu ilikuwa imeenea eneo zima, hakuna mtu aliyejuwa kama inatoka kwa Leila sababu isingewezekana hata kidogo kwa binadamu kutoa harufu kama hiyo,ndiyo maana moja kwa moja wakadhani kwamba kuna gari la mavi lipo mtaa wa nyuma,Leila alivyosikia hivyo alimwaga machozi,alijisikia vibaya mno!
“Leila usilie tafadhali”
“Mari…eth..a naomba unisa..mehe”
“Leila sio mahala pake hapa”
“Mar..etha nisa..mehe”
Leila alililia msamaha,bado aliamini kila kilichokuwa kinatokea katika maisha yake sio halisi bali ni ndoto ya kutisha na alitamani iwe hivyo kwani haikuwezekana hata kidogo kwa mtu aliyemfanyia unyama na kutaka kumuuwa akimuendea kwa waganga leo hii ndiyo huyo anamsaidia,kwake jambo hilo alilifananisha na kiini macho.
“Mar…etha”
“Leila subiri hapa,nitafute taxi”
Marietha alisema kisha wote kutembea mpaka kandokando ya mti.Marietha akaondoka kwa nia ya kwenda kutafuta taxi ampakie Leila ndani ya gari na safari ya kwenda nyumbani ianze,alikuwa ana kila sababu ya kufanya hivyo sababu aliamini msemo unaosema lipa ubaya kwa wema sio ubaya kwa ubaya,licha ya yote alikuwa mtumishi wa Mungu tayari,kusamehe kwake lilikuwa jambo dogo sana.Akatembea mpaka kwenye maegesho ya Taxi.
“Kaka habari”
Akatoa salamu kwa dereva mmoja aliyekuwa juu ya gari anasoma gazeti amevaa kibalagashee.
“Nzu nzu nzu nzuuuuuri”
Dereva taxi akaitikia salam.
“Nataka twende Kimara Mwisho ni bei gani?”
“Kikikiki mamamama raa mwishoo Sesesehemuu gaagagani?”
Dereva aliuliza,alikuwa ana kigugumizi ndiyo maana aliongea kama mtu anayeyatafuta maneno,Marietha alilijuwa hilo.
“Palepale Kimara Mwisho”
“Nininininini elfu ishishishiriniii”
“Sawa twende,tutapitia pale kwa yule dada.Tumchukuwe”
“Popopopoa”
Dereva akaingia ndani ya gari,Marietha nayeye akafungua mlango wa nyuma na safari ya kwenda kumfuata Leila kuanza mara moja.
“Mmmh”
Dereva aliguna na kusugua pua zake,harufu aliyoanza kuisikia ilimtisha kupita kiasi na kadri alivyozidi kusogeza gari mbele ndipo harufu ilivyozidi.
“Inanananaelekea hahahapa kuna kikikitu kimeoza”
Dereva alimuongelesha Marietha,hakujuwa kwamba mtu anayekwenda kumpakia ndiyo huyo aliyeoza.Akasimamisha gari kandokando ya mti ambapo chini alikuwa amekaa Leila kajifunika na kanga mwili mzima.
“Kaka nisubiri”
Marietha akasema na kushuka ambapo alienda na kumshika Leila mkono,akaanza kumpakia ndani ya Taxi.
Hiyo ilifanya dereva azibe pua zake hakuelewa harufu hiyo kwanini inazidi kuwa kali namna hiyo.Sijui kitu gani kilimwambia ageuke nyuma bila kutegemea alifungua mlango na kushuka,akafungua mlango wa nyuma upande wa Marietha.
“Ha.ha.hapana shushukeni.Shushukeni.Sisisisiwezi”
Ni wazi kwamba asingeweza kuendesha gari kutokana na harufu hiyo kuwa kali kuliko kawaida,dereva Taxi akakomaa na alitaka abiria aliowapakia washuke mara moja.Wadudu aliokuwa anatoa Leila walimtisha kupita kiasi,walimtia kichefuchefu cha kutapika.
“Shushukeni”
Dereva akazidi kuongea kwa sauti,akawavuta na kuwatoa nje.Akarudi ndani ya gari na kulitoa mbio.Hiyo ilikuwa mara ya pili kwa Leila kushushwa ndani ya usafiri, alijisikia vibaya kupita kiasi.Licha ya yote Marietha hakutaka kuonesha hali yoyote ile,ilibidi atafute ufumbuzi mwingine sababu ilikuwa ni lazima amfikishe Leila nyumbani kwake,hapo ndipo alipopata wazo la kumpigia Mke wa Mzee wa Kanisa aliyeitwa Maria Magiti!
“Bwana Yesu asifiwe”
Marietha alitoa salam baada ya Maria Magiti kupokea simu.
“Amen Marietha”
“Habari za uzima?”
Marietha alisalimia tena hakutaka kumuambia tatizo lake moja kwa moja.
“Mungu ni mwema”
“Ninahitaji Msaada wako”
“Msaada gani?”
“Nipo hapa Tegeta Jogoo,sasa nina matatizo kidogo”
“Matatizo gani?”
Maria akauliza sababu alitaka kujuwa.
“Nitakwambia lakini kwa sasa hivi nilikuwa naomba uje unichukuwe nipo na dada mmoja hivi”
“Dada gani?”
“Nitakwambia kila kitu”
“Sawa ninakuja,upo Jogoo sehemu gani?”
“Hapa stendi,kwenye bodaboda”
Ilikuwa ni lazima aombe msaada kwa Mama huyu ambaye alikuwa anamfundisha mambo mbalimbali kuhusu habari za ukombozi wa Yesu Kristo na Biblia kwa ujumla,mbali na hapo alikuwa akiishi maeneo hayo isitoshe alikuwa ana usafiri wake binafsi ndiyo maana aliomba msaada wake.
Kila Leila alivyokumbuka mambo aliyomfanyia Marietha alijisikia uchungu na aibu kubwa,bado aliamini kwamba hakustahili kusamehewa hata kidogo,ghafla sura ya mtu mwenye mapembe ikamtokea kwenye fikra zake na pembeni aliona tanuli la moto aliamini kwamba humo ndipo halali yake na malaika wa adhabu walikuwa wakimsubiri.
“Leila kuna mtu anakuja kutuchukuwa sasa hivi,usilie.Nitakupeleka kanisani utaombewa na utapona,Kuwa na Imani”
“Ahs…ante”
Akaitikia kwa kwikwi,hazikupita hata dakika ishirini gari aina ya Corola ikasimama kandokando yao.Alikuwa Mama Mangiti.
“Marietha”Akaita.
“Abee”
“Bwana Yesu asifiwe”
Wakasalimiana.
“Maria huyu ni rafiki yangu anaitwa Leila,tafadhali naomba tumsaidie ana matatizo makubwa sana na yupo tayari kumpokea Yesu Kristo”
Hakukuwa na haja yoyote ya kuuliza maswali zaidi,Wakasaidiana na Marietha wakamuingiza Leila ndani ya gari na safari ya kwenda Kimara kuanza mara moja,harufu ilikuwa kali lakini hiyo haikuwashtua kwa Imani zao waliamini kivyovyote kwamba Leila anasumbuliwa na mapepo wabaya hivyo anahitaji maombezi.
“Tunaenda nyumbani kwangu”
Marietha akasema.
“Sawa,lakini rafiki yako amekumbwa na nini?”
Maria akaibua swali hali ya Leila ilimtisha hata yeye!
“Hata sielewi ni hila tu za Shetani”
Nusu saa baadaye walikuwa nje ya geti wanapiga honi lakini hakuna mtu aliyefungua,ilibidi Marietha ashuke kutoka ndani ya gari.
“Bikooo..Bikooo”
Marietha akaanza kuita lakini wapi,akatoa simu na kuanza kumtafuta Deo hewani lakini simu haikupokelewa.
“Bikooo”
“Naaam! Abeee Mamaaa”
Sauti ya Biko ikitokea ndani ilisikika na geti likafunguliwa.
“Ulikuwa wapi?Muda mrefu nipo hapa getini”
“Nilikuwa uwani,tumbo linanisumbua Mama”
“Baba amerudi?”
“Ndio”
Marietha akaingia ndani ili kwanza akamtulize Deo alijuwa ni namna gani alivyokasirika.Hata alivyojaribu kumtuliza haikuwa kazi rahisi kwani Deo aliendelea kuweka msimamo wake uleule kwamba hataki kusikia jina la Leila.
“Lakini Deo una nini?Nipo na Maria Magiti hapo nje”
“Marietha,siwezi”
Marietha alianza kuhisi kwamba Deo tayari ana mapepo.
“Deo unahitaji kuombewa bado hauna Imani”
“Mimi?Kuombewa?”
“Ndio,una mapepo.Simama nikuombee”
“Mimi sina mapepo na tafadhali kama umekuja na Leila sitaki aingie hapa ndani,aishie hukohuko kanisani”
“Lakini De…”
“Lakini nini?Nimemaliza kuongea”
Kibarua cha kumshawishi Deo kiligonga mwamba na haikuwa kazi rahisi hata kidogo.
“Na ukijaribu kumuingiza humu ndani nitamuuwa”
Deo aliongea kwa hasira na hakuwa na punje hata kidogo ya masihara ndani yake!
********************
“Baby mkojo umenibana”
“Sasa hapa utakojoa wapi?”
“Hata kule nyuma”
“Ubane basi hata kidogo”
“Hapana siwezi”
Maongezi hayo yalifanyika ndani ya gari.Katrina na Issa waliamini tayari wametoroka na Mzee Kapoor hatoweza kuwakamata tena,ndani ya kichwa cha Katrina kulikuwa na vitu vingi sana, kuendelea kubaki jijini Dar es salaam ilikuwa ni sawa na kusubiri kifo chake mwenyewe hivyo aliamua kutoroka na Issa waende mbali kabisa ili kuukimbia mkono wa Baba yake.
Hawakuelewa kwamba Mzee aliyewapakia yupo ndani ya supamaket anazungumza na Mzee Kapoor!
“Twende nipeleke,mimi siwezi kwenda mwenyewe”
Katrina aliendelea kulalamika kwamba amebanwa na mkojo na kibofu chake kimejaa hakuwa ana namna nyingine ya kuuzuia usitoke!Wote wakashuka ndani ya gari na kuzunguka upande wa pili,ambapo huko Katrina alipandisha sketi yake juu ya kuchuchumaa,Issa alikuwa pembeni.
“Tayari?”
“Ndio,turudi kwenye gari”
Kitu alichokiona Katrina mbele yake kilimuogopesha,aliliona gari limesimama ng’ambo ya barabara moyo wake ulipiga kwa nguvu hasa alivyomuona Baba yake,akamvuta Issa pembeni ili wajifiche.
Kila kilichokuwa kinaendelea walikiona na walimuona Mzee Kaijage na Dokta Kapoor wanafungua ndani ya gari kuwatafuta.
“Wako wapi?”
Mzee Kapoor akauliza kwa ukali.
“Nilikuwa nao mimi”
“Ndio ulikuwa nao iko wapi wao?”
“Embu ngoja niende kule chooni,hawatakuwa mbali”
Kila kilichokuwa kinaongelewa kiliwafikia Issa na Katrina,walitamani ardhi ipasuke ili watumbukie ndani.Kurudi tena mikononi mwa Mzee Kapoor ilimaanisha kifo ilikuwa ni lazima watafute namna nyingine.Mr.Kaijage akaanza kuingia chooni kuwasaka lakini hakukuwa na dalili ya mtu yoyote yule kuwepo,kumwambia Mzee Kapoor kwamba kawakosa aliamini angechukulia swala hilo kama usumbufu mkubwa sana kwani ndiye aliyempigia simu,ndiyo maana alibaki eneo hilo la chooni akitafakari kwa kama dakika mbili nzima,Kama angegeuza shingo yake nyuma angewaona Issa na Katrina kwani walijificha nyuma ya pipa la maji.
“Vipi?”
Mzee Kapoor akatokeza.
“Hapana,hawapo”
“Ile Supermaket ina kamera enda ambia wao,waangalie”
Ni kweli nje ya supermarket hiyo kulikuwa na CCTV camera.
“Sawa”
Kulikuwa kuna uwezekano mkubwa sana wa kuwakamata Issa na Katrina endapo Mzee Kapoor angebaki eneo hilo.Hapo ndipo walipopata mwanya wa kuchomoka na kuanza kukimbia kusonga mbele wakijuwa kwamba hawakuonekana,Dokta Khaila ndiye aliyewaona akamwambia Mumewe,wakawasha gari na kuanza kuwakimbiza.Hawakuweza kufika mbali,wakakamatwa.
“Ingieni ndani ya gari”
“Dad laki…paaaa”
Katrina alipigwa ukofi mkali na Baba yake,wakaingizwa ndani ya gari!



Kwa jinsi walivyomtibua Mzee Kapoor hawakustahili kukaa ndani ya gari hata kidogo,kufanya hivyo ilimaanisha angewamaliza wakati huohuo.Ndiyo maana akafungua buti na kuwaingiza ndani,boneti likafungwa, mbele yao kulikuwa na giza nene sababu hakukuwa na mwanga wowote ule,kila mtu alikuwa akifikiria jinsi gani atakavyoenda kufa.Katrina bado hakuamini kwamba Baba yake ndiye anafanya vitu kama hivyo vya kinyama ni dhahiri vitu vilivyokuwa vinamtokea alidhani yu ndotoni.Kwa Issa nayeye ilikuwa hivyo hakujitofautisha na mbuzi anayepelekwa machinjioni,alianza kupiga picha jinsi atakavyozikwa, hata hivyo hakuelewa ni aina gani ya kifo anaenda kukumbana nacho ingawa alijuwa kingekuwa cha kutisha na kwa sababu hiyo alijuwa fika kwamba hakuna mtu atakayegundua ni wapi maiti yake ilipo.
“Issa naomba unisamehee”
Katrina ndiye aliyesema wakiwa ndani ya buti la gari lililokuwa na giza totoro,Issa hakujibu chochote badala yake alianza kububujikwa na machozi,maisha yake yalikuwa yameingia kwenye dosari kwa mara nyingine.Baada ya dakika kumi walisikia gari limesimama,boneti likafunguliwa lakini sura zilizokuwa mbele yao zilikuwa ngeni.
“Wewe shuka”
Jitu moja la miraba minne lilimuongelesha Issa.
“Nimekwambia shuka kabla hatujabadili maamuzi”
Kiswahili chake kilikuwa fasaha na alikuwa ni muafrika.
“Kaka mb…”
Issa alivyotaka kuongea alikatishwa na kuvutwa kwa nguvu na kutupwa chini,boneti likafunikwa tena ndani alikuwa amebakia Katrina gari likaondoka.
Issa alikuwa amezungukwa na wanaume watano wawili wanavuta sigara,miili yao ilikuwa imeshiba kama wapiganaji mieleka.Mtu aliyekuwa anamuongelesha alikuwa ana kifua kikubwa na mwili wa kutisha kama mchezaji wa filamu za kimarekani, Rambo.Issa alikamatwa shingo kwa mkono mmoja na kuinuliwa juu,miguu yake ilikuwa inaning’inia hewani.
“Wewe ndiyo Issa sio?Ndiyo ulikuwa unamtia Katrina mtoto wa Kapoor?”
Issa hakuelewa hilo lilikuwa swali au anaambiwa,Shingo yake ilikuwa imebanwa anashindwa kuhema vizuri.
“Jibu,ndiyo wewe?”
“Bro..oooo”
“Mimi sio broo wako.Jibu swali langu”
“Ni..samehee”
“Wewe kiburi,eti?”
“Ha…panaaa”
“Puuuu”
Issa aliachiliwa akadondoka chini kama papai mtini na kufikia mgongo,alihisi maumivu makali mno.
“Embu lete kisu Joel”
Mtu mwenye mwili uliofanana na Rambo akaagiza,kandokando kulikuwa na kijumba kidogo.Pembeni kulikuwa na nyumba nyingine kubwa.Issa alitetemeka kupita kiasi baada ya kuona kisu kirefu kinaletwa chenye makali kotekote, hakuelewa kina kazi gani kwa wakati huo lakini alielewa kwamba anaenda kuchinjwa kama kuku.
“Unataka kujiua mwenyewe au tukupe Kisu ujiue mwenyewe?Sisi ni waungwana tunataka ujichagulie mwenyewe kifo chako”
Yalikuwa ni maneno ya kutisha kupita kiasi na katika maneno aliyoyasikia hakukuwa na punje ya mzaha hata kidogo ndiyo maana alibaki ameganda chini anashindwa cha kujibu hata angejibu chochote aliamini kwamba angeenda kufa tu,kifupi siku hiyo alijihesabia ni mfu.
“Au ngoja”
Bado mtu huyo alimsemesha akachomoa bastola kiunoni.
“Bosi!Chagua kifo chako.Bastola ama kisu lakini mimi ningekuwa wewe ningechagua bastola,risasi moja tu ya kichwa.Kwisha habari”
“Israel mbona unamchelewesha huyo,embu muuwe tufanye mambo mengine.Tuna kazi za kufanya chungumzima,piga risasi”
Kauli kutoka kwa jitu lingine lililosimama pembeni ndiyo ilifanya ahisi kama mapigo yake ya moyo yanataka kutokeza nje ya kifua,machozi yakaanza kumbubujika lakini hiyo haikusaidia kitu chochote kile ilikuwa ni lazima apigwe risasi na kufa.
“Kamata bastola jiue mwenyewe”
“Kachakacha”
Bastola ilikokiwa kumaanisha kwamba chemba imefunguka tayari kwa risasi kutoka, akageuziwa mshikio ili ajiue mwenyewe,Issa alizidi kutetemeka.
“Shika,jiuwe mwenyewe.Sitaki kuchuma dhambi”
Ni kweli mbele yake kulikuwa na bastola.
“Au nikuuwe mwenyewe?”
“Ha…pana”
“Haya kamata”
Issa alikamata bastola huku akitetemeka kwa kiasi cha kutosha,mbele yake kulikuwa na watu wanamsubiri ajifyatue risasi,hakuamini kwamba hiyo ndiyo ilikuwa siku yake ya mwisho duniani.Kifupi maisha yake yalikuwa mikononi mwake mwenyewe,taratibu akapandisha bastola mpaka kichwani kwake na kuanza kuhesabu kimoyomoyo,alianza kukumbuka vitu vingi sana katika maisha yake.Aliwakumbuka marafiki na ndugu zake vilevile,bado hakutaka kuamini kama anaiacha dunia siku hiyo ingawa alitamani kuishi.Alikuwa akiuvuta muda akidhani kwamba watu waliokuwa mbele yake wangebadili maamuzi lakini wapi na badala yake walimkazia macho wakimsisitiza ajipige risasi na asipoteze wakati.
“Usipoteze muda bwana,fanya chapchap.Tunasubiri tukakuzike”
Walizidi kumsisitiza.Machozi ya uchungu ndiyo yalikuwa yanamtoka na alikuwa anajililia mwenyewe,alijihisi kama yupo kwenye msiba wake ndani ya kaburi!Kuna wazo la haraka lilimjia ghafla ambalo hakuelewa kama lingezaa matunda ama la!Yeye alikuwa ameshika silaha,kuna kitu kilimsukuma na kumwambia kwamba ajikomboe,hapo ndipo alipoanza kutetemeka zaidi, ilikuwa ni lazima apiganie uhai wake kwa njia moja ama nyingine,kwa kasi ya umeme akabadilisha mawazo na kumnyooshea mmoja wapo bastola na kuvuta triga ili risasi ichomoke!
“Karakacha karakacha”
Bastola ilitoa sauti hiyo kumaanisha kwamba haikuwa na risasi.
“Ha! Haa! Haaa! Haaaa! Haaaaaaa!Issaaaa!”
Watu wakaanza kumcheka huku wakipiga makofi.Hiyo ilimfanya Issa ahisi tumbo limamuua ingawa hakuelewa la kuharisha ama la uwoga wa kifo.
“Leo haikuwa siku yako,tulikuwa kidogo tunakujaribu kumbe unapenda kuishi eeh?”
Hapohapo wakamchukuwa na kumfunga kamba ambapo walimuingiza ndani ya gari lingine kubwa,likafungwa.
Safari ikaanza tena,hakuelewa ni wapi anapelekwa na mbaya zaidi ulikuwa ni usiku sana.Gari lilitembea kwa mwendo wa kilomita tisini na ilikuwa safari ndefu mno,aliamini kwamba yupo mbali tena nje ya mji,alivyotolewa ndani ya gari alikumbana na msitu wenye miti mingi tena uliokuwa unatisha.
“Songa mbele”
“Mimi ni mtanzania mwenzenu lakini”
Issa akajaribu kujitetea.
“Sisi tunafata kauli,ongoza mbele”
Walizidi kupita katikati ya miti ambapo walisimama na mbele kulikuwa na shimo lililokuwa tayari limechimbwa,futi nyingi kwenda chini.
“Hapa ndiyo tutakuzika,mzimamzima”
Ni kweli hakukuwa na utani hata kidogo,Issa alitupwa ndani ya shimo refu na kudondoka chini puuu!Mbaya zaidi alifikia miguu,kwa maumivu aliyohisi ni wazi kabisa ilikuwa imevunjika kutokana na shimo hilo kuwa kubwa.
“Utasubiri kifo chako hukohuko”
Alisikia sauti kutokea juu.
“Mpigie bosi mwambie tayari….Ndio sasa hivi.Unataka umpigie saa ngapi?”
Sauti zilikuwa zinamfikia Issa akiwa ndani ya shimo na zilikuwa zinazidi kupotelea kumaanisha kwamba watu hao wanaondoka zao,alivyoangalia juu alimwaga machozi,kutoka nje ya shimo haikuwezekana hata kidogo hiyo ilimaanisha kwamba kifo kingemchukuwa tena kibaya sana cha njaa na kiu,aina ya kifo alichokuwa anaenda kupambana nacho kilimtisha mno!
**************
“Dad niacheeee,nampenda ndioo kwanini unanifanyia hivii?Sitaki niacheni na maisha yangu.Kwanini iwe hivi lakini?”
Alikuwa ni Katrina anaropoka kwa sauti ya juu siku hiyo usiku baada ya kufika.Walikuwa wamemtibua kwa kiasi cha kutosha na hasira zake haikuwa rahisi kwa mtu yoyote yule kumtuliza ingawa baba yake alimpiga mikwara na kumtishia maisha lakini haikuwezekana.
“Mimi nampenda,mmempeleka wapi?Dad ni lazima nikakushtaki”
“Kelele kahaba wewe,ukamshtaki nani?Nasema hivi…Wewe ni mpumbavu wa mwisho,tena usinipandishie sauti.Mimi ni baba yako,Malaya wewe”
“Siwezi kunyamaza,Siwezi kunyamaza nakwambia.Mama ongea na mumeo.Naomba niondoke”
“Hapa ndani hakuna kutoka”
Ndani seblen siku hiyo kwa mzee Kapoor kulikuwa na kelele mtindo mmoja,Katrina aliongea kwa hasira na Baba yake akapandisha sauti na walikuwa wanatumia lugha ya kihindi,Dokta Khaila alikuwa pembeni hata yeye siku hiyo alifyanta mkia hasira za Katrina zilimuogopesha kupita kiasi.
“Katrina msikilize Baba yako yupo sahihi”
“Hakuna Mama hayupo sahihi,alafu nawewe ni mnafki sana.nishawaambia maisha yangu hayawahusu”
“Katrina,Katrinaaaaa”
Mama aliita lakini Katrina alizidi kutembea akaingia jikoni,Mama yake akamfuata kwa nyuma.
“Unatafuta nini?”
Mama akauliza lakini Katrina hakujibu badala yake alikuwa analia huku akivuta vuta makabati,alivyovuta ‘draw’ ya chini alikiona kisu kirefu na kukitoa,akakishika mikononi vizuri ncha ikaelekea tumboni mwake,akanyanyua mkono juu na kitendo cha kurudisha kisu ilimaanisha utumbo wake ungemwagika chini na huo ndio ungekuwa mwisho wa maisha yake,Katrina hakujifikiria mara mbili,alidhamiria kujiua.Akazidi kupandisha kisu juu zaidi na kukishusha tumboni!
“Kapooooooor”
Dokta Khaila akaita kwa sauti ya juu,Mzee Kapoor akashtuka, staili iliyotumika kumuita ilimtisha na kulikuwa kuna kila aina ya dalili ya hatari,haraka Mzee Kapoor akaruka na kuingia jikoni.Alichokiona kilimuogopesha,alikumbana na damu chini!


Damu zilitapakaa chini tayari,Kelele za Dokta Khaila alizopiga hazikuzaaa matunda kwani alikuwa tayari amechelewa sababu kisu kilikuwa tayari tumboni kwa Katrina na damu zilikuwa zinamtoka,Mzee Kapoor aliganda, mapigo yake ya moyo yakapiga mkambo,binti yake alikuwa chini anahangaika kutafuta hewa na alikuwa akikoroma kama kondoo aliyechinjwa.
“Da…d nina..kuf…a nin..ampenda Iss..a ni..nakuf…a”
Hayo ndiyo maneno aliyokuwa anayasema Katrina huku akiwa ameshika tumbo lake, hakutofautishwa na mtu anayetaka kukata roho.Haraka Dokta Khaila akarukia kabati ambapo kulikuwa kuna kitambaa kikubwa,akamsogelea binti yake na kukiweka kitambaa juu ya jeraha lililokuwa linavuja damu, alifanya hivyo ili kutoa huduma ya kwanza kwa kuzuia damu nyingi zisiendelee kutoka sababu ya taaluma yake ya Udaktari akafanya kila awezalo ili kujaribu kuyaokoa maisha ya binti yake kipenzi.
“Katrina tafadhali nyamaza usiongee mwanangu,Kapoor piga simu haraka Kapo..r Katr..ina atakuf..a na aki..fa utao..zea jela sito..kubali”
Yalikuwa ni maneno kutoka kwa Dokta Khaila akiwa anamwaga machozi, mikono yake ikiwa na kitambaa kilicholowa damu sababu zilikuwa zinatoka nyingi kutoka tumboni na kuendelea kubaki naye hapo ilikuwa ni sawa na kumuuwa.
“Katri…na mwa..nangu utae..nda kup..ona”
“Si..taki ku..pona na..taka kuf..a”
“Usi..seme hivyo mwana..ngu Katrina,Nakupenda sa..na”
“Na..taka kumfuata Issa n aka..ma ni mzima mwa..mbie mimi nimetanguli..a tutakutana ahera”
Kisu kilikuwa kimesimama juu ya tumbo la Katrina na anahisi maumivu makali yasiyoweza kuelezeka kiwepesi ni dhahiri kwamba Israel mtoa roho za watu alikuwa karibu yake,alihisi upepo wa kifo ndiyo maana hata akadiriki kutamka maneno hayo.
Mama yake alikuwa ameshika tumbo lake anamlilia machozi,akaanza kupiga picha jinsi atakavyokuwa analiliwa siku ya msiba wake,alivyokumbuka hayo akatoa chozi jicho moja,likachuluzika mpaka chini.Kadri sekunde zilivyozidi kwenda mbele ndipo alipozidi kuhisi maumivu,kwa mbali alianza kumuona mtu mwenye mapembe na mkia mrefu anamfuata na mabawa,alijuwa kivyovyote huyo ndiye Israel sababu alimsoma katika vitabu vya dini na alikuwa tayari kutoa roho yake,akawa ana jaribu kukaza macho yake ili kushindana na kifo lakini wapi,macho yake taratibu yalianza kufumba mithili ya jenereta, akamuona Baba yake Dokta Kapoor amefika na kumshika na watu wengine sita,kwa mbali akamuona Mama yake Dokta Khaila analia machozi,alitamani kuongea kitu lakini mdomo wake ulikuwa mzito akajuwa tayari mwisho wa maisha yake umekwisha alisikitika sababu alikuwa anaenda kufa bila kumuaga Issa,hapohapo akaona giza mbele yake.
“Twende twende”
Madaktari walikuwa tayari wamefika na gari la wagonjwa yaani ambulance,Katrina alikuwa juu ya kitanda chenye matairi anaingizwa nyuma ya gari ili awaishwe hospitalini.
“Twende twende tayari”
“Noriii noriii noriiiii”
Ambulance ilianza kupiga kelele huku taa zikiwa zinawaka kwa juu kumaanisha kwamba kuna dharura na kuna mgonjwa aliyezidiwa anahitajika kuwahishwa hospitalini.
Ndani ya gari hilo kulikuwa na madaktari wengine mabingwa na walishughulika na Katrina, wakamuwekea mtungi wa hewa ya oksijeni.
“Katri…na”
Mama aliita huku akimwaga Machozi,Katrina alikuwa ametulia kimnya wala hajitingishi, amefumba macho yake.
“Katrina mwanangu,usi..ende nita..baki na nani?”
Mama akasema tena lakini hiyo haikusaidia lolote lile kulikuwa kuna kila dalili mbaya mbeleni.Mzee Kapoor alikuwa pembeni,anaangalia chini alibanwa na uchungu ajabu hata yeye hakutegemea kama mambo yangekuwa mabaya namna hiyo,kifupi alijutia kupita kiasi.Kipindi Ambulance lipo barabarani kwa mwendo wa kasi ili kuwahi hospitali, ndani kulikuwa na madaktari wanajaribu kutoa huduma ya kwanza,Katrina alikuwa akichunguzwa na walijaribu kuangalia ni jinsi gani kisu kilichimba tumbo lake.
“Vipi?”
Daktari mmoja akamuuliza mwenzake.
“Sioni vizuri,lakini amepoteza damu nyingi”
“Kuna dalili za kupona?”
Lilikuwa ni swali lingine aliloulizwa na mwenzake,kila walichoongea Dokta Kapoor na mkewe walisikia.
“Kuna dalili za kupona kwa huyu binti?”
Badala ya kujibu akamtizama Dokta Khaila.Kuna kitu Dokta Khaila alijifunza machoni mwake kwamba hakukuwa na habari nzuri mbali na hapo hata yeye alikuwa daktari vilevile, alivyokiangalia kisu,aliogopa.
“Ndio atapona dokta,kisu hakijachimba sana”
Maneno ya Daktari kwa Dokta Khaila aliyachuja na kuelewa kwamba ni wanataka kumpa moyo, alivyotaka kuzungumza nao akashindwa mdomo wake ulikuwa mzito mno.
Gari likazidi kusonga mbele na baada ya dakika hamsini walikuwa nje ya geti la Hospitali ya Aghakhan,dereva alikuwa machachali sana,akaligeuza gari na kuanza kulirudisha kinyumenyume kwa kasi ya umeme mpaka lilipofika mlango wa hospitali,manesi wakatoka ndani mkuku mkuku na kufungua mlango,machela ikashushwa chini.Manesi walivyoangalia uso wa msichana aliyelala juu ya kitanda walishtuka,alikuwa ni mtoto wa bosi wao hivyo ilibidi apewe matibabu ya haraka sana,wakasukuma kitanda moja kwa moja mpaka ndani ya chumba cha X-ray ili kupiga picha,baada ya kupata vipimo kamili Katrina akaingizwa ndani ya chumba kingine cha upasuaji.
Dokta Khaila alivyotaka kuingia akazuiwa.
“Huyu ni mwanangu”
“Tunaelewa dokta lakini huruhusiwi kuingia”
“Mimi ni daktari pia nataka kuingia kumfanyia upasuaji mwanangu”
“Hapana,hatuwezi kukuruhusu”
“Kwanini?”
“Nadhani unajuwa ni kwanini,tafadhali dokta wacha tufanye kazi yetu.Pumzika pale”
Dokta Kaimar akaweka ngumu, kumruhusu Dokta Khaila kuingia ndani ya chumba hicho kingemaanisha kuharibu kila kitu sababu Dokta Khaila angelia na operesheni isingefanyika vizuri na kwa maana hiyo ilibidi azuiwe kwa namna yoyote ile.
“Sawa”
Hatimaye akakubali.
******************
Kilichokuwa kinaonesha kwamba Katrina bado ana uhai ni mashine zilizokuwa zinapiga kelele,ilikuwa ni lazima kisu kitolewe kwa umakini wa hali ya juu sana,kabla ya kufanya hayo walimuongezea damu nyingine ili upasuaji uendelee vizuri,Katrina alipoteza lita nyingi sana za damu.Zoezi la upasuaji lilianza baada ya dakika ishirini,tumbo la Katrina likachanwa kama kipande cha karatasi,utumbo wake ukawa nje.Madaktari waliobobea na kucheza na viungo vya binadamu wenzao walikuwa makini kwa kiasi cha kutosha,macho yao yote yalikuwa juu ya binti huyu mdogo ambaye alikuwa bado mdogo kufariki dunia.
“Nipatie huo mkasi.Hiki kisu nacho kinaanza kuleta shida.Pasua hapo ili tupate nafasi ya kukivuta”
Huyu alikuwa ni dokta Pintu mwenye asili ya kihindi,pua na mdomo wake vyote vilikuwa vimezibwa na kitambaa cha kijani anahaha kupita kiasi,jasho linamtoka.Mbali na hapo alikuwa daktari makini kupita kiasi na ndiyo maana katika operesheni hiyo madaktari walimuomba, wakihofia wangemwambia nini Dokta Khaila na Mumewe endapo Katrina angepoteza maisha ndani ya chumba cha upasuaji.
“Kata kwa chini,hapohapo”
Dokta Pintu alivyomaliza kutoa kauli hiyo,alikishika kisu vizuri kwa tahadhari na kuanza kukivuta taratibu ili akitoe kutoka tumboni,walichoshukuru Mungu ni kwamba hakikukugusa utumbo wowote ule na wala hakikuchimba sana,asilimia sabini za kupona kwa Katrina zilikuwepo,hatimaye kisu kikatoka na kazi iliyobaki ilikuwa ni kumshona Katrina tumbo.
“Muongezee dripu nyingine”
Kazi ilikuwa imekamilika baada ya dakika mia moja na ishirini.
****************
Macho ya Dokta Khaila muda wote yalikuwa nje ya chumba cha upasuaji huku akiwa anasali dua zote kwa Mungu wake,kama ingetokea Katrina angepoteza maisha siku hiyo basi yeye ndiye angekuwa amehusika kumuuwa,lawama zote alijitupia mwenyewe kwa kumkataza mwanaye kuwa na mahusiano na Issa kama angekubali wenda mambo yasingekuwa kama yalivyo!
“Imekuaje?”
Dokta Kapoor alitokea na kuuliza swali la kipuuzi.Dokta Khaila alikuwa nje ya chumba cha upasuaji,sasa angejuaje?Hiyo ilitokana na kuchanganyikiwa.
“Umempeleka wapi Issa?”
Dokta Khaila akatupa swali.
“Huu sio wakati wake ina..”
“Sio wakati wake?Sio wakati wake wakati wewe ndiyo umesababisha”
Dokta Khaila alianza kutupa lawama na aliongea kwa kupaza sauti.Kulikuwa kuna kila sababu ya kusema hivyo na ulikuwa ni ukweli mtupu.
Alitulia na kunyamaza kuongea baada ya kumuona Dokta Pintu katokeza kutoka chumba cha upasuaji,wote wakamfuata kwa haraka.
“Pintu,vipi huko?Binti yangu anaendeleaje?”
Dokta Kapoor akawa wa kwanza kuuliza.
“Mmefanikiwa?Operesheni imeenda salama?”
Kabla ya Dokta Pintu kujibu swali la Dokta Kapoor akadakwa na swali lingine,akashindwa kuelewa aanze kumjibu nani,akawatizama wote kwa kitambo kidogo.
“Operesheni imeenda vizuri,Allah ni mwema.Atatolewa sasa hivi ili akapumzike sababu bado ana nusu kaputi”
Kwao majibu hayo yalikuwa ni kama muujiza,wakati mwingine walidhani wenda Dokta Pintu anawapa moyo na kuwafariji hivyo hawakutaka kumuamini hata kidogo,hazikupita hata dakika mbili machela ikatolewa na Katrina alikuwa anapitishwa mbele yao kupelekwa chumba kingine,hapo ndipo Dokta Khaila na Mumewe wakapata mwanya wa kumuona na kuifuata machela nyuma nyuma mpaka ilipoingizwa ndani ya chumba kingine.Dokta Khaila muda wote alikuwa akimwaga machozi kama mtoto mdogo aliyefiwa na wazazi wake,alimlilia binti yake na kumuomba msamaha.
“Kat..rina nao..mba unisa..mehe mwana..ngu”
Alisema huku akimuangalia.
Katrina alikuwa juu ya kitanda amefumba macho yake,alikuwa katika usingizi wa kifo na wala hakuelewa kinachoendelea ulimwenguni,kifaa cha kupitisha hewa safi ya oksijeni ndicho kilikuwa puani mwake na dripu iliyowekewa madawa,hivyo ndivyo vitu vilivyokuwa na msaada kwake kwa wakati huo.
“Wapigie simu watu wako,namtaka Issa sasa hivi Kapoor”
“Lak..”
“Lakini nini?”
Dokta Kapoor alikuwa ana masikitiko makubwa sana,akatoka nje ya chumba na kuanza kutoa simu yake ambapo aliwatafuta vijana wake aliowatuma wakamtupe Issa shimoni.
“Mpo wapi?”
Hilo ndilo lilikuwa swali la kwanza kuliuliza Dokta Kapoor simuni.
“Sisiiiii tupo Bill canaz,kuna kaziii nyinginee unataka kutupaaaa?”
Iliyosikika ilikuwa ni sauti ya mtu aliyelewa pombe na kelele mtindo mmoja,ilikuwa wazi kwamba vijana hao walikuwa wanakunywa na kula bata.
“Issa yuko wapi?”
“Issaaaaa,Issa yupiiiiiii?”
“Usicheze na akili yangu,naomba popote mlipomfukia mkamlete sasa hivi”
“Unasemajeeee mzeee?”
“Kuna milioni ishirini,namtaka Issa sasa hivi”
Mzee Kapoor hata yeye hakujuwa ni wapi Issa alipo isipokuwa aliwaambia vijana wake wachimbe shimo na wamtupe.
“Milioniii ishiriniiii?kudadadakekiiii.Unamuhitajiiii lini?”
“Sasa hivi”
“Sawa,lakini kama tukimkutaaa hai shegaaaaa,tutamleta.Maana nipo na vijana wangu woteee hapaa”
Matobo alivyokata simu,aliwafuata marafiki zake na kuwapa dili hilo la mkwanja mrefu ingawa walikuwa na warembo siku hiyo club ya bill canaz waliwaacha, kwao ilikuwa pesa mbele.
Wakaingia ndani ya gari wakiwa chakali na safari ya kwenda Tegeta katika pori la Madale kuanza.Jinsi walivyolitoa gari ilitisha.
“Kwahiyo unasema kuna milioni Ishiriniii?”
Jamaa mmoja akauliza, bado hakuamini kama pesa hizo walikuwa wanaenda kupewa.
“Ndioooo,Milioni Ishirini taslimuuuuu”
“Kanyaga mguuu,nyoosha mguuuuu babake”
Gari ndogo aina ya Mazda ilikuwa katika kasi ya risasi na ilikuwa usiku sana,majambazi walikuwa ndani ya gari kwenda Madale walipomtupa Issa ili wakamtoe kisha wakabidhiwe kitita cha pesa.
“Kwaniniii huyu mzeee asiende mwenyewe kumfuataaa huyo Issa?”
“Hajuiii,tunajua sisi peke yetuu alipo”
Walizidi kusonga mbele,Walivyofika Mwenge mawasiliano waliona barabara ni nyeupe.Dereva akazidi kukanyaga mafuta.
Mbele yake Mwenge kulikuwa na taa nyekundu zimewaka kumaanisha kwamba wasimame lakini kwa kufanya hivyo waliamini kwamba wangechelewa,kilikuwa ni kitendo cha sekunde sifuri gari lililobeba makontena lililokuwa linatokea Ubungo kwa kasi ya ajabu,lilikuwa likiserereka ilionekana dereva aliona gari hilo ndogo na alijaribu kupiga breki lakini haikuwezekana, tayari alilifikia Mazda na kulipandia kwa juu,ilikuwa ni ajali mbaya tena ya kutisha.Mazda ilikuwa uvunguni imepondeka pondeka kama chapati!



Damu zilikuwa nyingi juu ya lami,vioo vilikuwa vimesagika kama unga,gari dogo lilikuwa limepondeka pondeka kama chapati,ilikuwa ni ajali ya kutisha watu waliokuwa wanapita usiku walishika vichwa na wengine waliweka mikono yao usoni.Mwenye roho nyepesi hakuweza kutizama.Vipande vya nyama vilikuwa pembeni.Katika historia ya eneo la Mwenge haikuwahi kutokea ajali mbaya kama hiyo,mmoja mmoja akaanza kusogea eneo la tukio,Kwa wezi na vibaka siku hiyo ilikuwa kama neema kwao wakaanza kuchomoa kitu kimoja baada ya kingine na kutokomea gizani.Dereva aliyekuwa ndani ya lori anaendesha kichwa chake kilikuwa nje ya kioo cha mbele,damu zinamtoka.Anapumua kwa mbali,hata yeye aliumia vibaya sana.Chini ya uvungu kulikuwa na gari ndogo.
“Aiseee!”
Mtu mmoja alikema huku mkono wake ukiwa mdomoni alikuwa ni mmoja wa mashuhuda walioshuhudia ajali hiyo mwanzo mpaka mwisho.Baada ya dakika tano watu walianza kujaa eneo la tukio,kila mtu alisikitika gari lililokuwa chini ndilo lililowaliza baadhi ya watu.Haikuwa rahisi hata kidogo kwa mtu kupona katika gari hilo.Saa kumi na mbili kasoro juu ya alama ndipo askari na polisi wa usalama barabarani walijitokeza.
Ilibidi simu ipigwe na gari kubwa yenye winchi isaidie sababu hakukuwa na namna nyingine ya kufanya.Baada ya dakika kumi gari lenye winchi likasogea na kuvuta gari kubwa,hapo ndipo watu walipoachia yowe, nyama zilikuwa zimeganda juu ya lami,mikono ya watu imekatika,vichwa vilikuwa pembeni.
“Mungu wangu….Naomba nipite niondoke,hii inatisha.Leo sili nyama”
Mmoja kati ya watu waliokuwa barabarani wanashuhudia tukio hilo uvumilivu ukamshinda,akawapangua watu na kuondoka zake.
Ilikuwa hivyo pia kwa askari hata wao waliogopa,Ni wazi kwamba wanashuhudia ajali mbaya lakini hiyo ilikuwa sio ya kawaida.
“Afande piga picha,Sirgent Simba vuta difenda karibu tupakie majeruhi”
Kitu alichoongea Kamanda Kidoletumbo hakikueleweka,hakukuwa na majeruhi bali nyama za marehemu.Hiyo ilifanya Sirgent ambaye alikuwa ndani ya Difenda ashindwe kuelewa endapo angesogeza gari angechukuwa majeruhi wapi ingawa dereva wa lori alikuwa anahema lakini kwa mbali,huyo ndiye waliyebahatika kumchukuwa na kumpakia ndani ya gari la wagonjwa lililokuwepo!
***************
Kazi ya mzee Kapoor ilikuwa ni kupiga simu bila kuchoka,vijana wake wa kazi hawakupokea na baadaye simu zao hazikupatikana hiyo ilimtia hasira sababu alilichukulia jambo hilo ni dharau kubwa.
“Issa umempata?”
Hilo ndilo swali alilokuwa anakutana nalo kila wakati akionana na mkewe,Dokta Khaila!Alijaribu kupiga namba zao tena na tena lakini wapi,akakasirika ajabu lakini hakuwa nacha kufanya.
“Mbona nikikuuliza swali,hunijibu.Issa yuko wapi?”
Dokta Khaila ilibidi amuibukie nje,apate jibu kamili.
“Yupo kwa akina Tyson”
“Anafanya nini?”
“Si unakumbuka tulivyopanga,ndivyo nilivyofanya”
“Tayari washampeleka?”
“Ndio”
“Waambie wakamtoe”
“Nawatafuta kwenye simu nashindwa kuwapata”
“Nenda kwa Tyson”
Hilo lilikuwa wazo jipya kutoka kwa Mkewe,akalipitisha moja kwa moja kichwani kwake.
“Subiri basi kupambazuke”
“Mtoto wa watu anazidi kuteseka shimoni”
“Kwahiyo niende sasa hivi?”
“Ndio”
“Sijabeba silaha na sasa hivi ni usiku”
Mzee Kapooor alisema na kwa hilo hakuweza kutembea bila bastola yake kiunoni hususani mida ya usiku,ilikuwa ni lazima kukuche kwanza ndiyo aanze safari.
Kulivyokucha na mwanga kutokeza aliingia ndani ya gari na safari ya kwenda kwa Tyson kuanza.Alivyofika Oysterbay Polisi badala ya kukunja kona kuelekea nyumbani kwake,alinyoosha mpaka nyumbani kwa Tyson na kupiga honi lakini geti halikufunguliwa,akajaribu tena na tena lakini wapi!Akatoka ndani ya gari na kuanza kugonga kwa mkono,akabonyeza kengele lakini hakukuwa na dalili yoyote ile ya mtu kuwepo ndani.
“Tysooon,Tysooon,Tysooon”
Akaita akijaribu lakini swala lilikuwa lilelile.Akachukuwa simu na kujaribu kumtafuta hewani namba haikupatikana,akasubiri kwa dakika nyingine thelathini.
“Griii griii”
Simu yake ikaita,akaitoa akaiangalia haraka akidhani wenda ni Tyson anampigia lakini alikumbna na namba ngeni juu ya kioo.Akaitizama tena kwa umakini na kuipokea,akaiweka sikioni.
“Dokta Kapoor”
Sauti nene upande wa pili ilisikika.
“Nani mwenzangu?”
“Omari,nina shida nawewe tafadhali.Upo hospitali?”
“Una shida gani Omari?”
“Mpwa wangu amepata ajali jana,naomba aje kwenye hospitali yako”
“Sawa mpeleke,haina shida.Mimi sipo lakini,utaonana na Dokta Pintu.Mwambie anipigie simu ukifika ili apate huduma ya haraka”
“Ahsante”
Simu hiyo ilivyokatwa ilimuacha Dokta Kapoor anashusha pumzi ndefu,hakuwa na cha kufanya kingine zaidi ya kurudi ndani ya gari na kwenda nyumbani kwake ingawa hakuelewa anaenda kufanya nini.
Ndani ya dakika kumi alipokea simu kutoka kwa mkewe akiuliza swali lilelile lakini hakuwa na jibu lililonyooka alibabaika.
“Ukimpata nipigie simu”
“Okay”
****************
Uchunguzi kutoka jeshi la polisi walivyopima ajali ndiyo iliwafanya igundulike mmiliki wa gari hilo ni nani,waliokota kipande cha kioo kilichokuwa na namba za usajili.Ndugu wa mmiliki wa gari wakatafutwa na hayakupita hata masaa kumi,taarifa za gari la Tyson kupata ajali zilimfikia Dokta Kapoor,alichanganyikiwa mbaya zaidi watu wote waliokuwa na siri ni wapi alipotupwa Issa walipoteza maisha kumaanisha walikufa na siri hiyo,kwake ulikuwa ni mtihani mwingine.Taarifa hizo alivyompelekea mke wake aliserereka chini na mgongo akiwa ukutani walikuwa ndani ya chumba cha wagonjwa,Katrina alikuwa juu ya kitanda.
“Da…d Issa yu..ko wapi?”
Fahamu zilimrudia Katrina akauliza swali hilo.Mzee Kapoor na Dokta Khaila hawakuwa na uhakika kama Katrina alisikia kile walichozungumza.
“Issa yupo..anakuja”
“Muo..ngo.Nataka nimu..one Issa”
“Sawa”
Katrina alikuwa juu ya kitanda,mkononi kuna mrija wa dripu uliopita kwenye mshipa wake.
“Kwa..nini nipo hapa?Ime..kuaje?”
Katrina akauliza swali bado kumbukumbu zake hazikukaa sawa,akatulia kwa muda akijaribu kuzikusanya kwa pamoja.Hapo ndipo alipoanza kukumbuka jambo moja baada ya jingine.
“Issa yuko wapi?”
Akapaza sauti huku akilia kwa nguvu,Dokta Khaila akamuendea kwa haraka.
“Issa yupo njiani mwanangu”
“Hapa..na namtaka Issa sasa hivi.Amekufa au?Mmemuuwa?”
Hakukuwa tena na maeleweno ndani ya wodi kwa hali ya kushangaza Katrina akachomoa dripu ya mkononi na kutaka kutoka kitandani lakini alizuiwa,fujo ziliendelea na alizidi kupayuka kwa hasira hiyo ikafanya mpaka nyuzi alizoshonwa tumboni zianze kufumuka,damu zikaanza kumtoka.Walijaribu kumtuliza lakini wapi mpaka akatokea daktari mwingine,hakukuwa na jinsi ya kufanya zaidi ya kutulizwa na sindano ya usingizi,hapo ndipo alipolala!
************
Shimo alilochimbiwa Issa lilikuwa ni refu futi nyingi kwenda chini kwa maana hiyo ilikuwa vigumu sana kutoka.Alikaa ndani ya shimo kwa takribani nusu saa lizima akitafakari hatma ya maisha yake na jinsi yatakavyokuwa shimoni,alivyoangalia juu aliona mwanga hafifu kumaanisha kwamba kunakaribia kupambazuka.Kuna wazo jipya lilimjia akilini baada ya kugusa udongo wa pembeni ingawa hakuwa ana uhakika kama zoezi lake lingeenda kufanya kazi,kwa kutumia mikono yake akaanza kuuchimba udongo wa pembeni,japokuwa alihisi maumivu makali lakini alijikaza, alitamani kuishi ndiyo maana akaamua kufanya hivyo,alivyomaliza kuchimba kishimo cha kwanza,akaanza kuchimba cha juu yake,kilivyofika cha nne akajaribu kuingiza mkono,hiyo aliamini ingetumika kama ngazi kumtoa nje ya shimo.
Jambo alilokuwa anajaribu kulifanya halikuzaa matunda kwani aliporomoka vibaya na kudondoka kama gunia,akajitonesha mguu wake ambao bado ulikuwa na maumivu.Alibaki chini akitafakari ni njia gani nyingine aitumie lakini hakupata jibu harakaharaka zaidi ya neno kifo,bado hakutaka kuamini kama kuna binadamu ambao wana roho za kinyama namna hiyo.
“Eh Mungu,ulisema umetuumba kwa mfano wako”
Alijaribu kulinganisha maneno ya kwenye vitabu vya dini na jinsi alivyofanyiwa na binadamu waliombwa na Mungu.Ni wazi kwamba kifo alichokuwa anaenda kupambana nacho kilikuwa kigumu mno,alijaribu kutafakari kifo cha kukosa chakula na maji kinafanana vipi na kushindwa kupata jibu.Alikaa ndani ya shimo maasa kumi mengine na hapo ndipo alipoanza kuhisi njaa kali na kiu,tumboni hakukuwa na kitu ni wazi kwamba utumbo wake ulikuwa umejinyongorota kama kaseti ya redio,hakuwa na jinsi zaidi ya kusali sala yake ya mwisho na kutubu dhambi zake zote alizozifanya duniani.
Nusu saa baadaye akahisi kama matone ya maji yanamdondokea,hakuelewa kama ni majasho ama mvua.Alivyotulia vizuri aligundua kwamba ni mvua na aliamini kwamba huo ndiyo ulikuwa mwisho wake,Mvua ikaanza kuongezeka taratibu na kuwa kubwa ikafanya udongo uanze kuingia shimoni na maji mengi,hiyo ikafanya ilegeze udongo.Issa akaanza kutitia chini taratibu udongo na maji vikamfunika mwili mzima,akaishiwa nguvu na kutulia akisubiri kifo chake!
************
Hakuna mtu yoyote yule aliyeweza kuyumbisha msimamo wake kwamba hatoweza kumsamehe Leila hata kidogo,hiyo ikapelekea mpaka awekwe vikao na baadhi ya wazee wa kanisa wakadiriki kusema kwamba Deo ana pepo la Kiburi.
“Mimi sina mapepo”
“KWA AJILI YA KUONEWA KWAO WANYONGE,KWA AJILI YA KUUGUA KWAO WAHITAJI,SASA NITASIMAMA,ASEMA BWANA NITAMWEKA SALAMA YEYE.Hii imetoka EBRANIA 4.12-14 Tusome na ZABURI Mstari wa 12”
Yalikuwa ni maneno kutoka kwa Muinjilisti Paul Kiluswa akijaribu kutumia mistari ya Biblia kumrudisha Deo kwenye mstari lakini hiyo haikufua dafu kwani alisimamia msimamo wake.
“Naelewa Mzee Kiluswa.Mungu atanisamehe kwa hilo,napenda kumsamehe lakini moyo wangu una sita hata mimi nadhani ni roho mtakatifu ana jaribu kuniepusha na kitu”
Deo nayeye akajenga hoja ya kumchomolea Muinjilisti.
“Sio, huyo atakuwa ni shetani tu,kataa hiyo roho.Simama tusali”
Nyumbani kwake kulikuwa na wazee watatu pamoja mke wake Marietha.Wote wakasimama na kumuombea Deo atokwe na pepo baya la kiburi,sala ilivyoisha wakaimba nyimbo za kusifu.
“Unajisikiaje Deo?”
Muinjilisti akauliza.
“Najisikia vizuri”
“Nina amini sasa hivi una roho mtakatifu.Nina Imani umeshamsamehe Leila”
“Hapana”
Jibu hilo likazidi kuwashangaza waumini wa Mungu waliokuja kutoa maombi.
“Deo Mume wangu,itabidi umsamehe”
Marietha akajaribu kuingilia kati ili kumlainisha.
“Nimewaelewa lakini nasema kwamba msamahaa siwezi kutoa.Hata kama Yesu ashuke leo aniombee mwenyewe na manabii wote,sitomsamehe”
Ilibidi tena wapate kibarua kingine cha kumuombea Deo lakini swala likawa lilelile,alisimamia msimamo wake.
“Kiluswa,sina mapepo.Mimi ni mzima kabisa na nina akili zangu timamu”
Deo alitamka maneno hayo wakiwa katikati ya maombi,alijisikia kuchoka kuombewa kila wakati kwa kitu ambacho hana.Hapo ndipo wazee hao wakakazana na kujuwa mapepo ndiyo yanaongea.
“Baba katika Jina la YESU wewe pepo huna mamlaka ya kujibu.Nasema pepo la kiburi toka kwa kijana huyu Deo.Toka,Shindwa,Toka,Shindwa”
Wakazidi kukemea lakini Deo aliishia kuwatizama.
“Amen”
Wote wakaitikia.Hiyo haikusaidia kupindisha msimamo wa Deo,ilibidi wazee hao washauriane kwamba Deo apelekwe Kanisani kwa msaada wa kiroho.
“Mimi ni mke wake,nitazungumza naye mtumishi”
“Usiache kuzungumza naye tafadhali.Na mnatakiwa mje kwenye semina Jumamosi”
“Sawa,tutakuja”
Marietha alivyojaribu kuzungumza na Deo chumbani ilishindikana na waliishia kugombana.
“Kama huna vitu vingine vya kunielezea,naomba ukae kimnya usinitoe kwenye mudi.Tuzungumzie safari yetu.Passport yako na Abraham zipo tayari.Kesho kutwa twende Embassy tuka jaze fomu za Viza”
Deo alisema na kujitupa upande wa pili wa kitanda hakukuwa na namna nyingine ya kumbadili mawazo.
*********
Shamrashamra za safari zilipelekwa mbiombio, Deo alianza kudai madeni yake na mwisho akafanikiwa kukusanya shilingi milioni arobaini,hakutaka kupoteza wakati akatafuta ofisi moja ya muhindi ya kubadili pesa na kununua dola.Alichokuwa anasubiri ni kugongewa Viza ya nchi ya Ufaransa,taratibu zote alizifuata na kujaza fomu zote yeye na mkewe.Jambo hilo hakutaka mkewe amwambie mtu wa aina yoyote ile kwanza mpaka mpango mzima wa safari utakapo kamilika, hiyo ilimfanya asitulie ofisini,akakumbwa na hekaheka na baada ya siku saba passpot zao zikagongwa viza ya Ufaransa.Na kilichobaki ilikuwa ni tiketi tu,hiyo haikumuumiza kichwa.
Siku hiyo asubuhi na mapema akabeba begi lililojaa dola mpaka ofisi za kampuni ya ndege,’British airways’ilikuwa ni lazima aunganishe ndege kwa kupitia kwanza Uingereza hapo akae masaa machache kisha aanze safari ya kwenda nchini Ufaransa jijini Paris.
“Tiketi ya watu wangapi?”
Msichana mrembo aliyevalia sare za kazi alimuuliza Deo.
“Watatu”
“Naomba passport zao”
“Sawa”
Kila kitu kilijazwa na Deo akalipia nauli za watu watatu yaani yeye,Mkewe pamoja na mtoto wake, Abraham!
“Sawa,safari njema.Unatakiwa kuwepo Mwalimu Nyerere Kesho kutwa Saa kumi jioni kwa ajili ya Boarding pass”
“Ahsante”
“Karibu tena”
Deo akanyanyuka akiwa amekenua meno yake nje,siku hiyo umbali wa kutoka posta mpaka kwake ulikuwa ni sawa na Dar es salaam na Kigoma.Alitamani afike dakika hiyohiyo ili ampashe habari mkewe.
Marietha alifurahi alivyopewa habari hizo njema na wakati huohuo hakuamini pia,kwenda nchini Uingereza kisha Ufaransa lilikuwa ni jambo ambalo hakuwahi kuliota hata siku moja.
“Weka mabegi tayari,kaa mkao wa safari”
“Nakupenda sana Deo,nina sababu milioni moja za kukupenda”
Marietha kwa furaha akasema akawa kama mtu asiyeamini.Kuanzia siku hiyo masaa kwake yalisogea tataribu mno.

************
Saa tisa na nusu tarehe 24 April, Deo na familia yake walikuwa uwanja wa Kimataifa Mwalimu Nyerere na mabegi yao baada ya kushusha kutoka ndani ya Taxi na kumlipa dereva,wakanyoosha mpaka kwenye mabenchi na kuketi.Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa Marietha kukwea pipa,moyo wake ulikuwa ukipiga kwa nguvu kupita kiasi.
“Hapa Deo tunasubiri nini?”
Marietha akauliza,aliona kama anacheleweshwa alichotaka yeye ni kuingia ndani ya ndege na kusubiri humohumo, hakujuwa kwamba kuna utaratibu.
“Naona ndege bado haijafika,tunaweza kwenda ndani lakini hatutoruhusiwa kutoka tena.Wacha tupunge kwanza upepo kidogo”
“Kwahiyo ndege itaingia saa ngapi?”
“Saa kumi na nusu lakini sina uhakika”
“Ikifika ndiyo tunaingia?”
“Watatangaza kwenye kipaza sauti”
“Alafu ndiyo tunaingia ndani ya ndege?”
“Hapana,inabidi tupite boarding pass ili tupewe seat ticket”
“Hee!Kumbe hatujapewa siti tiketi?Sasa si twende sasa hivi?”
“Tutaenda usijali Darling”
“Si tutakaa dirishani?”
Hilo lilikuwa ni zaidi ya swali la sita kwa Marietha kuuliza lakini Deo hakuchoka kumjibu mkewe.
“Hapana,tutakaa siti za katikati.Kaa vizuri tupige picha hapa,Mweke Abraham vizuri”
Deo akainua simu yake na kupiga ‘selfie’ Hapohapo akaiweka ‘DP’kwenye mtandao wa WatsApp na kuandika ‘status’ ‘OFF TO PARIS WITH MY LOVELY FAMILY’Dakika kumi baadaye wakasimama na kuanza kuburuza mabegi kisha kuingia kwenye kimlango kidogo cha wasafiri peke yao.
Huko wakafanyiwa ukaguzi na passot zao kugongwa mihuri.Hawakukaa sana ndege ya shirika la ‘British Airways’ ikawa tayari imetuwa,abiria wakatakiwa kuingia ndani.
Walichukuliwa na basi kubwa ambapo liliwapeleka mpaka nje ya mlango wa ndege kubwa, magari yaliyobeba ngazi yalikuwa tayari chini.
Vitu vyote kwa Marietha vilikuwa vigeni,kazi yake ilikuwa ni kushangaa huku na kule mpaka walipoingia ndani ya ndege na kutafuta siti kisha kuketi.Ilikuwa ni ndege kubwa mno,siti yao ilikuwa ya katikati na walikaa ili kusubiri taratibu nyingine.
“Comment tu t’appelles?”(Jina lako nani)
Swali hilo lilimlenga Marietha kutoka pembeni yake,ambapo alikaa mwanaume mmoja wa kizungu aliyejazia mwili,mweupe mno.Mkononi amejichora michoro ya ‘tatoo’katoboa pua na masikio.
“Ou est-ce que tu vis?”(Unaishi wapi)
Marietha akazidi kupigwa maswali,alielewa lugha hiyo ilikuwa ya kifaransa lakini hakujuwa cha kujibu alibaki tu anatabasamu ili kuuwa soo!Lakini macho ya mwanaume huyo hayakuwa ya kawaida hata kidogo,alikuwa akimuangalia Marietha kwa macho yaliyojaa matamanio,macho yake yakaganda kwenye kifua chake.
“On vient d’Afrique,precisement de la Tanzanie”(Tunatokea Africa,Tanzania)
Ilibidi Deo aingilie kati mazungumzo, lugha ya kifaransa aliisikia na aliijuwa kidogo ingawa alikuwa mtoro kwenye masomo ya lugha hiyo,akaanza kumuelezea kwamba wametokea hapohapo Tanzania na walipanda muda huohuo ndege,hiyo ilimshangaza Marietha na kubaki njia panda.Hakujua kinachozungumzwa.
“On vais a Paris,elle c’est ma femme”(Tunaenda Paris,huyu ni mke wangu)
Deo akaanza utambulisho na kumpa mkono Mwanaume huyo akiamini kwamba angekuwa mwenyeji wake,Ikawa hivyohivyo kwa Marietha,baada ya kupeana mikono Marietha akabinywa mkono kwa njia ya kutekenywa kwenye kiganja chake na mzungu huyu mfaransa!



Mambo yaliyokuwa yanatokea katika maisha yake aliyafananisha na ndoto.Bado hakuamini kwamba yupo ndani ya ndege na anaenda nchini Ufaransa na mume wake, Deo Karekezi!Kama asingekuwa naye wenda mambo hayo angeyasikia tu.Alijihisi ni mwenye furaha kuliko mwanamke yoyote yule duniani.Kitu kilichomsumbua katika akili yake ni mwanaume wa kifaransa aliyekuwa pembeni yake,amemtekenya mkono muda mchache uliopita,Marietha alikuwa mtu mzima kwa maana hiyo alishaelewa nini maana yake.Alitamani kufungua kinywa chake na kumueleza Deo kilichotokea lakini alisita.
Ndani ya ndege bado kulikuwa kuna hekaheka, abiria walikuwa wakizidi kuingia na baada ya dakika thelathini sauti ya kike kutokea katika spika za pembeni ilisikika ikisema kwamba abiria wote wafunge mikanda kwani ndege inakaribia kupaa,sauti hiyo ikaanza kujirudia tena kwa lugha tofauti.Marietha alikuwa akihangaika kutafuta mkanda wa siti ulipo.Mwanaume wa kifaransa aliliona hilo,akavuta mkanda na kumfunga.
“Merci”(Ahsante)
Deo alisema kwa niaba ya Marietha akimshukuru mzungu huyu bila kuelewa kwamba nini kilikuwa ndani ya kifua chake.
Magari maalum yalikuwa tayari chini ya ndege yanavuta matairi ndege ikaanza kurudi kinyumenyume,ikakaa sawa kwenye barabara yake.Taratibu ikaanza kutembea,kadri sekunde zilivyosogea mbele ndipo ilipokuwa inachanganya mwendokasi,hatimaye ikaanza kukimbia mithili ya risasi,kichwa cha mbele kikaanza kuinuka taratibu na matairi ya nyuma yakafuatia.Ikazidi kwenda juu zaidi na zaidi kisha kukaa sawa angani.
“Unaweza ukafungua mkanda Darling,ndege imekaa vizuri.Kama unataka kwenda chooni,ama kutembea tembea hakuna shaka”
Deo alivunja ukimnya ndege ilivyotulia.
“Nataka kwenda chooni ni wapi?”
“Kuna kule mbele na huku nyuma,nadhani mbele kule hakuna mtu”
Marietha alisimama Deo akampisha.
“Abraham amelala?”
“Amelala muda sana”
Sio kwamba alipenda kwenda chooni, Marietha alikuwa ana hesabu zake kichwani kwani hata alivyoingia hakufanya chochote kile,alinawa mikono na kutoka.
“Sogea huko”
“Pita tu”
“Hapana nataka kukaa hapa,wewe sogea huko”
Marietha hakutaka kurudi tena kukaa kwenye siti yake sababu kwake ilikuwa kama kero alitaka kumkwepa Mfaransa.Hapo hakukuwa na namna nyingine ya Deo kupinga,akajivuta pembeni Marietha akakaa, hapo alijisikia amani sana.
Baada ya kama lisaa limoja na nusu ndege ilitua nchini Kenya katika kiwanja cha Jomo Kenyata,hapo abiria wengine walipakia na baada ya hapo safari ikaanza mara moja.
Usiku mzima walikuwa angani mpaka inafika asubuhi ya saa nne ndipo walipotangaziwa kwamba baada ya dakika thelathini wangekuwa katika uwanja wa kimataifa Heatthrow Airpot jijini London,Deo alitabasmu sababu jiji hilo lilimkumbusha vitu vingi sana mbali na hapo alikuwa mwenyeji vilevile.
“Tunaingia London mke wangu”
Deo alimwambia mke wake.
“Ni safari ndefu sana”
“Bado hapo,saa saba tutapanda ndege nyingine ndio itatupeleka Paris”
“Kwahiyo bado tuna safari nyingine?”
“Ndio,funga mkanda.Umeona taa hizo hapo juu zimewaka”
“Ziko wapi?”
“Hizo nyekundu maana yake ni tufunge mikanda,ndege inakaribia kutua”
Kila abiria alianza kuvuta mkanda wa siti yake na Msichana mrembo alikuwa katikati ya kordo anatangaza na kuwashukuru abiria wote kwa kupanda ndege yao,alijuwa kuyapangilia maneno vilivyo.Ni kweli dakika thelathini baadaye ndege ilianza kuelekea chini,ilivyotua ikatingishika kidogo na kukaa sawa.Kwa kasi ya mwewe ikazidi kukimbia na taratibu kupunguza mwendo kisha kusimama kabisa.Abiria wote wakaanza kushuka.Hapo ndipo Deo alipolifahamu jina la mfaransa huyo kuwa anaitwa Amadour na alitabasamu alipogundua kwamba nayeye anaelekea nchini Ufaransa jijini Paris alifurahi kupata mwenyeji,Marietha alivyoambiwa habari hizo alijifanya kuweka tabasamu la plastiki lakini moyoni alichukizwa, alielewa nini maana yake huko mbeleni.
“Jina lake ni Amadour kama nilivyokwambia,alafu Paris mimi sina mtu yoyote ninaye mfahamu.Atakuwa mwenyeji wetu Darling”
“Sawa,mimi nimekubali”
“Nataka twende sehemu moja hivi inaitwa Lancaster.Nikamuone rafiki yangu”
Deo alishauri, mkewe hakuwa na kipingamizi chochote na kabla ya kuondoka eneo hilo ilibidi wakate tiketi kabisa ya Ufaransa na kuacha mizigo yao.
“Wapi unaenda rafiki yangu?”
Amadour aliwakimbilia na kuuliza alivyoona Deo na Marietha wapo langoni wanatoka nje.
“Tunaenda Lancaster mara moja”
“Unapafahamu?”
“Ndio”
Amadour hakufurahishwa na jibu la Deo niya yake ilikuwa nayeye ajumuike nao ili awe karibu na Marietha, sio siri alitokea kumtamani na alitaka kufanya naye ngono kwa gharama yoyote ile uzuri wake ulimnyanyasa mtima,akachukuwa sigara kutoka mfukoni na kuiweka mdomoni alivyotaka kuiwasha Deo akamzuia.
“Hapana,usivutie hapa sigara nina mtoto”
“Niwie radhi rafiki yangu.Samahani sana!Inabidi twende wote Lancaster”
“Sio mbaya.Wewe pia unaelekea huko?”
“Hapana lakini kubaki hapa mpaka mchana mwenyewe,nitakuwa mpweke.Naomba tuongozane”
Alichokuwa anaongea Deo na Amadour ilikuwa ni lugha ngeni kwa Marietha,japokuwa alikuwa pembeni yao lakini hakuelewa chochote kitu.Alichokiona yeye ni Amadour kuungana nao,wakaingia mpaka ndani ya taxi nje ya uwanja wa ndege!
“Take us to Lancaster,Centebury Street”(Tupeleke Lancaster,mtaa wa Centebury)
Deo aliongea akimwambia dereva taxi.
“Okay,seat belt please”
Kabla ya taxi kuanza safari dereva aliwataka abiria wake wafunge mikanda kwani nchi hiyo ya Uingereza kukamatwa kwa kosa la kuendesha gari bila kufunga mkanda ilikuwa ni lazima ulipe faini sio chini ya dola elfu nane,dereva aliogopa kupigwa bao.
Alivyohakikisha kila kitu kimeenda sawa safari ilianza mara moja.Kutoka mji wa London mpaka Lancet ilikuwa ni zaidi ya kilomita saba.Dereva ilibidi atumie njia ya Westminster ili kufupisha njia na kukwepa foleni ya magari,nchi hiyo ilikuwa imeendelea na kazi ya dereva ilikuwa ni kuangalia katika mtambo wake maalum ambao unaonesha njia gani hakuna msongamano wa magari yaani ‘traffic jam’.
Akazidi kuyapita magorofa marefu na kutokea mtaa wa Wales.Kazi ya Marietha ilikuwa ni kusafisha macho.
Macho yake yalikuwa kodo nje anaangalia magorofa marefu kupita kiasi,kila kitu kwake kilikuwa kama ndoto ya mchana,kila gorofa alilikagua na kushindwa kulimaliza.
“Hiyo njia inatokea Northen Island.Kuna kisiwa kizuri sana huko kama tukiwa na muda tutakuja Darling”
Deo alivunja ukimnya akimwambia mke wake.
“Huku kote ulifika Deo?”
“Yes,Ndio! Huku kote napajuwa kuna mtaa mmoja huo unaitwa Lord Mayors.Huko wanaishi magenster watoto wote wa kihuni wanakaa huko yaani kama ukisema Tandale kibongo bongo”
Deo akaanza kupiga Soga kazi yake ilikuwa ni kumuhadithia mkewe kila kitu alichokiona ikawa furaha tupu.Baada ya dakika chache taxi ilisimama Lancaster kama Deo alivyotaka iwe,dereva akalipwa ujira wake.
“Amadour,vipi?”
Deo akamuongelesha mwenyeji wake.
“Nina kiu ya kuvuta sigara”
“Sawa vuta hapa,sisi tunaingia ndani mara moja.Kuna rafiki yangu naenda kumuona”
“Aya mimi nipo”
Deo na familia yake waliingia ndani ya jengo kubwa la ‘Clock tower’ ili kwenda kumuona rafiki yake lakini ikawa bahati mbaya alimkosa.
“Hakijaharibika kitu,ngoja nifanye shoping mbili tatu.Njoo huku uchague vitu My Love”
Deo na Marietha waliongozana mpaka mlango mwingine ambapo kulikuwa na nguo,kazi ya Marietha ilikuwa ni kuchagua nguo na mikufu na baada ya kumaliza Deo alilipa wakatoka nje wakaingia ndani ta Taxi na safari ya kurudi uwanja wa ndege kuanza mara moja.
**************
Shirika la ndege la Turkish Airways ilituwa nchini Ufaransa ndani ya jiji la Paris katika uwanja wa Paris, Airport-Le Bourget! Majira ya saa nne za usiku,baridi lilikuwa kali kupita kiasi hii iliwafanya wakazi wa jiji hilo kuwa ndani ya makoti makubwa na mikononi kuvaa ‘gloves’ nzito za kupambana na baridi.Kwa Deo na Marietha ilikuwa shida mno,baridi ilipenya mpaka ndani ya mifupa yao,wakamfunika Abraham vizuri na kuburuza mabegi yao wakiongozana na Amadour.Deo alikuwa wa kwanza kulalamika kwamba anahisi baridi kali.
“Subiri nikawanunulie makoti,nisubirini hapa msiondoke”
“Sawa rafiki yangu”
Amadour aliondoka dakika hiyo na alivyorudi alikuwa ana makoti makubwa mawili ya manyoya,Moja la Deo na lingine la Marietha!Wakamfunika Abraham vizuri na shuka zito,hiyo haikusaidia lolote kwani baridi lilikuwa lilelile.
“Inaelekea hujazoea baridi?”
Amadour alivunja ukimnya akimwambia Deo aliyekuwa amejikunyata anatetemeka meno yake yanagongana.
“Hili ni kibokoo!”
Ndani ya nchi hiyo Amadour alikuwa mwenyeji ndiyo maana alikuwa mbele mpaka wakatoka nje ya lango la uwanja wa ndege,hapo walichukuwa taxi.
“Tupeleke Hotel Paris International”
“Zipo mbili,ipi?”
“Pale mkabala na PSR cinema Theatre”
Dereva taxi na Amadour walikoroga kifaransa sio mchezo na walivyopanda safari ikaanza mara moja,Safari hii ilikuwa sio Marietha peke yake,hadi Deo alikuwa akitoa macho.Magorofa ya jiji la Paris yalimpagawisha,lilikuwa ni jiji safi na lenye mazingira mazuri kupita kiasi.
“Ushawahi kufika Paris?”
Amadour alimuuliza Deo.
“Ndio mara ya kwanza”
“Karibu sana,Mimi ni mfaransa naujuwa mji wote huu.Nina hakika utafurahi sana”
“Ahsante”
Amadour alikuwa ana mahesabu yake makali mno kichwani na ilikuwa ni lazima amtongoze Marietha hata kama angekataa basi angekuwa wake kwa gharama yoyote ile,hilo aliapia moyoni mwake.
Safari ikazidi kuendelea wakakunja kona mtaa wa Luxes.Wakachukuwa barabara inayokwenda Chateux ambapo walikunja kona walipofika Relais street.
Hazikupita hata dakika arobaini na tano gari likasimama nje ya Hotel ndefu na kubwa kupita kiasi ambayo iliandikwa HOTEL PARIS INTERNATIONAL.Wahudumu wa hotel hiyo wakasogea harakaharaka na kuwapokea wateja wao mizigo,bila kupoteza muda wakalipia na kukabidhiwa kadi maalum za kufungua mlango.
“Sasa ndugu yangu Deo acha mimi niwaache na mkeo,nitarudi kesho asubuhi.
“Sawa ndugu yangu ahsante kwa kila kitu,usiache kuja kesho sasa”
“Sawa lala salama”
Amadour akamuaga na Marietha na mwisho akamkonyeza akitumia jicho moja,hiyo ilizidi kumuogopesha Marietha.
“Karibu Paris Darling”
“Siamini Deo”
“Inabidi uamini”
Tayari Abraham aliwekwa juu ya kitanda.
Marietha bila kuhoji kitu kingine chochote alimfuata Deo mdomoni na kutoa ulimi wake,ambapo ulipokelewa na kuanza kulana denda.Ingawa kulikuwa na baridi kali hiyo haikuwafanya wasitishe kuvua nguo zao,walitupa makoti kule na baada ya dakika mbili kila mtu alikuwa mtupu,Wakatupana kitandani wakizidi kunyonyana midomo yao kwa fujo tena kwa furaha iliyozidi kifani.Shingo ya Marietha ilinyonywa,mgodi wake ulikuwa unapapaswa vizuri tena bila papala yoyote ile.Ulimi wa Deo ukashuka taratibu mpaka kwenye chuchu za Marietha na kuanza kuzilamba na mkono wake ulikuwa chini kwenye ikulu,hapo ndipo Marietha alikuwa hajiwezi tena, damu yake ilimwenda mbio kama maporomoko ya maji!


Marietha na Deo walizidi kunyonyana ndimi zao kama njiwa na kuendelea kushikana sehemu mbalimbali za miili yao,haikuwa kazi ngumu kwao sababu kila mtu alijuwa udhaifu wa mwenzake ulipo.Deo alikwaruzwa mgongo na Marietha alinyonywa chuchu huku akiwa ameshikiliwa mgodi wake taratibu.Mwiko wa Deo ulikuwa umesimama imara kama mnara,Marietha akasogea chini kidogo na kuushika mwiko mkononi mwake,akatema mate kidogo na kuutumbukiza mdomoni, yote yaliyokuwa yanafanywa na Marietha yalisababishwa na furaha aliyokuwa nayo moyoni, ilikuwa ni lazima ampagawishe Deo kisawasawa,alivyotoa mwiko mdomoni mwake akapanda juu yake na kutumbukiza mwiko ndani ya kibakuli chake ili mapishi yaanze!Kila mtu alikuwa hoi bin taaban hajiwezi, walikuwa mbali tena sayari nyingine ya huba,kila mtu alikuwa kama anaelea juu ya maji.Marietha alizidi kuongeza mbwembwe na kufanya madoido yote,akiwa juu alikinyonga kiuno chake huku na kule huku akihema juu juu,akiwa ameachia mdomo wake wazi ameyafumba macho, ilionekana raha alizohisi zilizidi kipimo chake.Mwanamke huyu hakutaka kuishia hapo,alijisogeza mpaka kwenye pembe ya kitanda na kushika mbao.Kwa kitendo hiko Deo alielewa nini maana yake,akajisogeza karibu na kumshika Marietha kiuno chake akitumia mikono yake miwili,akapenyeza mwiko wake vizuri na kuanza kuukoroga ndani kwa ndani.Hiyo ilimaanisha ilikuwa ni zamu ya Deo kuonesha ufundi wake,alichofanya ni kumlaza Marietha kifudifudi yaani Marietha alilalia tumbo,usingeangalia kwa umakini ungedhani wenda Deo anatumia mlango wa nyuma lakini haikuwa hivyo,Nyoka wake aliingia kwenye ikulu akawa juu ya mgongo wake,anachekecha kiuno chake,hapo ndipo Marietha alizidi kutoa sauti za puani,ilielekea alikuwa anakaribia kufika mlima kitonga.
“Ahh aaah sssh De…o aaaah aaaaaah”
Hizo ndizo kelele alizokuwa anapiga Marietha na ni kweli,Deo alihisi Mwiko wake unabanwa na akahisi kama umelowana akajua tayari mambo mwakemwake.Hakuchelewa nayeye akazidisha kasi,akafika mshindo na kutulia juu ya mgongo wa Marietha kwa kama dakika mbili ndipo akaanza kumuongelesha.
“Nakupenda mke wangu”
Deo alisema huku akiwa anahema juu juu,Marietha alitingisha kichwa wala hakujibu kitu chochote ilionekana alichoka na mechi hiyo aliifagilia!
Kilichofata hapo ni kusifiana Marietha alikubali mapigo na Deo alifagilia mchezo,kifupi wote walifurahi.Ilikuwa tayari usiku sana.
“Nataka kujimwagia maji”
Marietha siku zote alikuwa ni mwanamke msafi,ilikuwa ni lazima aoge baada ya kufanya mapenzi ama baada ya masaa matano kupita,Deo ilibidi ashangae jinsi baridi ilivyokuwa kali hakutegemea kama mkewe angesema kitu kama hicho!
“Tutaoga asubuhi”
“Hapana baby,siwezi kulala hivi”
“Baby baridi sana”
“Nitaoga hivyo hivyo maji ya baridi”
“Mh!Lakini subiri nadhani kuna hita,Wait!”
Deo akasimama na kuingia bafuni.Alitabasamu baada ya kuona hita pembeni akawasha na maji yakaanza kuchemka taratibu.
“Lakini baby mimi sitooga,nitaoga kesho”
“Hapana Baby,huwezi kulala hivyo”
“Bwana baridi”
“Hapana,inabidi uoge.Amka Darling”
Hakukuwa na jinsi ya Deo kuweka mgomo, bila kupenda akasimama na kuongoza bafuni akiwa na mkewe,huko napo walianza kutekenyana na waliyoyafanya shahidi alikuwa ni Mungu peke yake!
***********************
Maisha ya Marietha yalibadilika na alijihisi mwenye furaha kupita kiasi,mambo kwake yalikuwa ya raha mustarehe.Ndoa yake aliifurahia, alivyokumbuka mambo yaliyopita alitabasamu na kuyachukulia kama historia tu na changamoto.Wakati anatafakari hayo alikuwa kitandani anajipiga picha kwenye simu yake na kuwatumia mashosti zake waliokuwa Nchini Tanzania.
“Best nakuona,wapi hapo jamani?”
Ilikuwa ni meseji kutoka kwa rafiki yake iliyosomeka juu ya kioo cha simu yake.
“Nipo Paris”
“Muongo Marietha,acha fix”
“Hutaki au?”
“Ndio”
“Subiri”
Alichofanya Marietha ni kutembea mpaka dirishani na kufungua kioo ambapo alijipiga ‘Selfie’ magorofa ya nyuma yakawa yameonekana,akaituma.
“Hee!Kumbe kweli?Ulienda lini jamani?nakuonea wivu.Umeendaje?”
“Nipo na Deo”
“Wacha weee”
“Ndio hivyo”
Marietha hakuishia hapo,alizidi kuwatumia marafiki zake wengine na alikumbana na maswali mengi mno.Ilivyofika saa tatu Deo aliingia chumbani na mifuko iliyokuwa na chakula.
“Abraham bado hajaamka?”
Aliuliza huku akiweka mifuko juu ya meza.
“Bado”
“Sawa,inabidi anyonye,Amadour kanifuata twende tukazunguke”
Marietha alivyosikia habari za Amadour alinyong’onyea ghafla, ilionekana hakufurahishwa kabisa na mwanaume huyo,picha ya kutekenywa katika kiganja cha mkono wake na kukonyezwa kilimnyima raha.
“Upo sawa Marietha?”
“Ndio nipo sawa,nipo sawa.Ngoja nimnyonyeshe mtoto”
Marietha hakutaka kuweka swala hilo wazi kwa mumewe sababu hakuwa ana uhakika kama Amadour alikuwa ana mawazo kama anayofikiria yeye,Marietha hakutaka kuhisi alitaka awe ana uhakika ndio amtonye mume wake.Hapohapo Abraham akaamshwa na kunyonyeshwa na baadaye wakaanza kupata kifungua kinywa,mambo yalivyoisha wakajiandaa na kumbeba Abraham safari ya kutoka nje ikaanza mara moja ambapo huko walikutana na Amadour,wakaanza safari nyingine ya kuzunguka mjini na kutanua katika maduka ya maonyesho na vitu mbalimbali vya thamani,Moyo wa Marietha ulichanua kwa furaha.Kila kitu alitamani kukichukuwa.
“Jisikie huru mke wangu,ukipenda kitu niambie.Wewe ndio umefanya tuje Paris”
“Sawa mpenzi wangu lakini naona kama pesa ni nyingi zitakuwa”
“Chagua mama”
“Hee!”
“Unashangaa,chukuwa huu mkufu ni zawadi yako”
Ilikuwa ni furaha kubwa kwa wanandoa hawa wawili,Deo akanunua mkufu mmoja wa dhahabu na kwenda kuulipia hapohapo,akamsogelea Marietha na kumuomba ageuke kisha kumvalisha ulikuwa unang’aa sana!
“Ahsante Mme wangu”
Wakati Deo na Marietha wanaonesha kila aina ya Mahaba yeye Amadour alikuwa pembeni anawaangalia kwa jicho pembe,sio siri Marietha alimvutia mno.
Umbile lake na rangi vilikuwa tatizo kubwa sana,alinyanyasika sana kiundani.Akatamani japo apate usiku mmoja na mke huyo wa mtu lakini hakuelewa ni wapi aanzie,ilielekea kwamba alikuwa amekolea kwa Mume wake hivyo haikuwa kazi rahisi kwake.
“Hata kama akinikataa nitatumia nguvu zangu zote”
Amadour aliwaza na aliamini swala hilo lisingeshindikana hata kidogo na hata kama angetoswa basi angetumia njia zake za kihuni sababu alijuana sana na watoto wa kihuni wa mji huo.
“Vipi rafiki yangu,wewe huchagui kitu chochote?”
Deo alivyomaliza kufanya malipo alimfuata Amadour na kumuongelesha.
“Hapana wewe endelea tu na mkeo,mimi ni mwenyeji huku”
“Kweli?”
“Kabisa,usiwe na wasiwasi.Nataka niwapeleke sehemu moja hivi mkaendeshe farasi”
“Ni mbali na hapa?”
“Hapana,hapo nyuma kwenye fukwe za bahari”
“Subiri basi niongee na Mama watoto kidogo”
Marietha alivyofikishiwa habari hizo aligoma kabisa na alivyoulizwa kwanini hakutoa sababu ya msingi,alijiuma uma lakini ukweli ni kwamba hakutaka kuongozana na Amadour moyo wake ulikuwa mgumu kukubali jambo hilo.
“Darling jamani,upo sawa?”
Deo aliuliza kuna kitu alikihisi kupitia uso wa Marietha kwamba hakuwa mwenye furaha hata kidogo!
“Nipo sawa Love”
“Sasa mbona hutaki kwenda?”
“Nimechoka tu,unaweza ukaenda mwenyewe”
“Siwezi kwenda mwenyewe”
“Kwanini sasa?”
“Sikiliza Marietha,hapa kuna mawili.Twende wote au tubaki wote”
Deo alipendekeza na ilionekana hakufurahishwa hata kidogo kwa mke wake kugoma,laiti angejuwa ni kwanini angemuunga mkono hakuelewa kwamba Amadour ana mpango na mkewe,kifupi Deo alikuwa nyuma ya kila kitu.
“Deo”
“Naam”
“Nimechoka sijisikii vizuri turudi hotelini”
Deo hakuwa na sababu nyingine ya kupindisha maamuzi ya mkewe kama alivyoambiwa na ndivyo alivyompelekea taarifa Amadour.
“Kwahiyo amekataa?”
Amadour akauliza.
“Hapana,hajisikiii vizuri”
“Sawa hakuna shaka,mimi nitakuja baadaye”
Amadour aliondoka wakati huohuo na aliapia kwamba angerudi jioni yake ili watoke tena,niya yake bado ilikuwa ni Marietha, uzuri wake ulitingisha moyo wake na hisia zake ki ujumla.Akawaza ni jinsi gani ya kumteka,alitabasamu baada ya kupata wazo kabambe la kufanya.
*****************
Jioni ya siku hiyo alifika kwenye hotel aliyofikia Deo kama alivyomuhaidi,nje alipaki gari la kifahari aina ya Ferrari,akaingia mpaka hotelini na kuonana na msichana mdogo wa Mapokezi.Simu ikapigwa,Marietha na Deo wakatokeza.
“Rafiki yangu,umebeba passport?”
Amadour alimuuliza Deo.
“Yanini sasa?”
Badala ya Deo kujibu swali nayeye akauliza swali,likawa swali juu ya swali.
“Tunaweza kurudi usiku na hii nchi kutembea bila Passport ni hatari sana,isitoshe nyie ni wageni huku”
“Kweli eeh?”
“Ndio”
Hiyo ilimfanya Deo arudi chumbani na kuchukuwa Passport yake pamoja na Marietha.
“Hapo sawa,twenzetu”
Safari ikaanza mara moja na walimuacha Abraham chumbani amelala wakihaidi kwamba wangerudi mapema sababu alikuwa peke yake.
Amadour alikuwa nyuma ya usukani anaendesha gari kwa mwendo wa kawaida kabisa.Kichwani kwake alikuwa ana mahesabu yake makali mno ndiyo maana akazidi kuendelea na safari, walipofika sehemu moja inaitwa Rexese akapunguza mwendo zaidi, mtaa huo ulisifika kwa starehe na anasa na fujo pia.Katika jiji la Paris sehemu hiyo iliongoza kuwa na uhalifu kupindukia.Amadour akazungusha gari upande wa nyuma wa gorofa lililoitwa de’ceger de plate.Hapo akasimamisha gari.
“Tunaingia club mara moja”
“Mimi club nimeacha kwenda rafiki yangu”
“Hata mimi pia lakini ningependa wote tuingie japo tusafishe macho”
Amadour alimshawishi Deo vya kutosha nayeye akamshauri mkewe ili waingie Club angalau washangae,Marietha alijaribu kugoma Deo alikunja sura na kuonekana kususa.
“Marietha unajuwa sikuelewi kabisa,hii safari ni kwa ajili yako.Mbona unakuwa kama mtoto?Kila kitu hutaki kila kitu hutaki.Ndiyo maana yake nini sasa?”
“Sio hivyo De..”
“Sio hivyo nini?Sio hivyo nini?Nashindwa kukuelewa kama hujapenda sisi tuje huku Paris sema”Deo aliongea kwa ukali kidogo.
“Nisamehe”
Marietha ikabidi awe mdogo,hakutaka kumtibua mume wake ilibidi akubali na wote kushuka kwenye gari kisha kuingia ndani ya Club.
Lilikuwa ni disco lililokuwa na umati wa watu,wazungu hawakuwa na aibu yoyote ile walikuwa wakinyonyana midomo bila haya yoyote,wanawake wengine walikuwa juu ya machuma uchi wa mnyama wanacheza hawa walijulikana kama ‘strippers’.
Ilikuwa ni hatari kubwa kwa watu kama hao wa dini kuwa eneo kama hilo,ilikuwa ni dhambi kubwa sana.Walitafuta siti kwenye kaunta na wote kuketi.
“Niletee chupa kubwa ya Takira”
Amadour akaagiza.Nia yake ilikuwa ampe Deo anywe pamoja na Marietha lakini kwenye swala hilo haikuwezekana hata kidogo.
“Naenda chooni mara moja”
Amadour aliaga na kuondoka ambapo hakutokea mpaka zilivyopita dakika ishirini.
“Vipi?Ngoja nimalizie hii takira alafu tuondoke”
Deo na Marietha walikuwa kimnya wanatupa macho yao huku na kule,kabla ya dakika kumi na tano kupita wakatokea askari wawili nyuma yao kisha kuwasalimia.
“Tunahitaji vitambulisho vyenu”
Askari walisema.
“Vitambulisho vya kazi gani tena afande?”
Amadour akauliza.
“Tunahitaji vitambulisho”
“Sawa vipo kwenye gari”
Wote wakatoka nje na maaskari walikuwa nyuma yao mpaka kwenye gari aina ya Ferari wakafungua, Amadour akatoa passport yake,Marietha nayeye akatoa yake askari wakaanza kuzikagua.Alibaki Deo peke yake ambapo alionekana kutafuta kwa muda mrefu bila kuipata,akazidi kupekuwa tena na tena!
“Vipi rafiki yangu?”
Amadour akamuuliza Deo.
“Passport yangu siioni”
“Angalia vizuri”
“Nimeangalia”
Hata alivyofungua begi lake dogo hakuiona,askari wakaanza kuingiwa na mashaka.Wakamtaka aweke mikono yake juu ili wamsachi,jambo hilo lilishuhudiwa na Marietha na alikuwa ana wasiwasi kupita kiasi!
Kwa kuwa Deo alijiamini aliweka mikono yake hewani na kugeuka nyuma,maaskari wakaanza kumsachi,wakatoa ‘wallet’ yake mfuko wa nyuma na kuendelea kumkagua.Mmoja wa askari alivyoingiza mkono ndani ya koti lake alikumbana na kitu kizito ambacho kigumu,akakitoa.Marietha akashangaa,askari akatoa kisu kidogo na kuchana kitu hiko kilichofungwa fungwa.Hawakuamini macho yao,walikumbana na ungaunga mweupe,walivyounusa waligundua ni madawa hatari ya kulevya aina ya Herroin.
“Upo chini ya ulinzi”
Askari walitoa bastola zao na kuizungusha mikono yake kwa nyuma,Deo akapigwa pingu kwa kosa la kukutwa na madawa ya Kulevya,Marietha alimwaga machozi.Amadour alivyojaribu kuingilia akatulizwa.
“Ingia ndani ya gari”
Deo akasukumizwa ndani ya gofu la polisi na kulalamika kwamba kilichokutwa ndani ya mfuko wake hakikuwa chake lakini hakuna hata askari mmoja aliyemsikiliza hata kidogo,akawekwa chini ya ulinzi na safari ya kwenda kituo cha polisi kuanza muda huohuo!



Haikuwa ndoto kama alivyotaka iwe,ukweli ni kwamba Deo alikuwa imepigwa pingu kwa nyuma kama muhalifu na kuingizwa ndani ya gofu la polisi,ilikuwa ni picha mbaya sana mbele ya macho yake tena akiwa nchi za watu.Mbali na hapo alikuwa mgeni wa jiji la Paris,hakujuwa be wala che!Siku hiyo alijifananisha na ndege aliyenyonyolewa mbawa zote,alihisi kuishiwa nguvu.Mbele yake alikuwa amesimama Amadour hata yeye alionekana kama mtu aliyechanganyikiwa kupita maelezo yaliyojitosheleza.Amadour hakuwa na cha kufanya zaidi alimwambia Marietha waingie ndani ya gari ili wafukuzie gofu la polisi na hicho ndicho kilichofanyika.Gofu la polisi mbele, Ferrari ya Amadour nyuma mpaka walipofika kituo kikubwa cha polisi Anjenour kilichokuwa katikati ya mji wa Paris.Bila kuongea chochote askari walimtupa Deo nyuma ya nondo.Hazikupita hata dakika mbili Amadour akapiga msele nje ya kituo akashuka kwa haraka na kuingia kituo cha polisi huku nyuma Marietha akifuata.
“Vipi?”
Hilo ndilo lilikuwa swali la kwanza kulitupa Amadour kwa jazba kama mtu aliyetaka kurusha ngumi.
“Vipi kuhusu nini?”
Askari nayeye akajibu kwa shari.
“Mmemchukuwa rafiki yangu”
“Ana makosa makubwa sana,nawewe usipoangalia tutakuweka ndani”
“Kwanini?Ana makosa gani?”
“Hana hati yoyote isitoshe ni muuza madawa ya kulevya”
“Unasemajeee?”
Amaodour na Askari walitumia lugha ya kifaransa kufanya mazungumzo yao,Marietha alikuwa pembeni yao lakini hakunasa hata kitu kimoja hata hivyo hakujuwa aanzie wapi,hakujuwa kifaransa na kiingereza ndio kabisa,hapo ndipo alipojuwa umuhimu wa shule!
“Nasema kwamba rafiki yako ni zungu la unga na unajua sheria za hii nchi.Ni lazima anyongwe tu hakuna mjadala mwingine”
Huo ndio ulikuwa ukweli,kukamatwa na kesi ya madawa ya kulevya nchini Ufaransa ilikuwa ni kosa kubwa sana na ilikuwa ni lazima upigwe kitanzi ama kudungwa sindano ya sumu,nchi hiyo ilipiga vita sana utumiaji wa madawa haramu ya kulevya aina ya Herroin na Coccaine, ilikuwa ni lazima Deo apigwe kitanzi tena bila kupoteza wakati.Habari hizo alifikishiwa Marietha,aliishiwa nguvu na kuanza kumwaga machozi kama maji,haikuwezekana hata kidogo swala hilo liwe kweli.
“Deo,Deooo.Eh Mungu wangu…..naomba u..fanye cho..chote Amadou..r”
Marietha alilia kama mtoto mdogo wa miaka mitatu,akimsihi Amadour afanye awezalo ili ayaokoe maisha ya Deo.
“What are you saying?Do you speak English?Calm down please,I will handle this”(Unazungumza nini?Unajua kiingeereza.Punguza jazba,nitalishughuli­kia hili)
Amadour alijaribu kumtuliza Marietha lakini wapi,haikuwa kazi ndogo hata kidogo kwani aliendelea kumlilia mume wake asije kuuwawa tena kwa kunyongwa!
Kuna kifo aliamini mtu kama Deo alistahili lakini sio cha kunyongwa tena akiwa ughaibuni.
“Where is my Deo…Pl..ease my Deooo”
Marietha alijikakamua na kuomba angalau azungumze na Deo lakini wapi,badala yake waliamriwa watoke nje sababu walikuwa wakipiga kelele.Huko ndipo Amadour alipopata nafasi ya kumuhoji Marietha juu ya biashara za Deo,kukamatwa kwa madawa ya kulevya kulimfanya adhani wenda Deo aliteremka nayo kutoka Tanzania.
“Ha..pana ni mfanyabia..ashara halali na analipa kodi”
“Una uhakika?”
“Ndio”
“Sasa iweje amekutwa nayo?”
“Atakuwa amesingiziwa”
“Na nani sasa?”
“Hapo mimi sielewi”
Amadour alimuhoji maswali mengi Marietha kama kachero, alitaka kujuwa kama ni kweli Deo anahusika na madawa ya kulevya na kama ni kweli ilibidi afanye himahima amsaidie kutoka katika kesi nzito iliyokuwa inamkabili.
“Kama ni muuza madawa ya kulevya kweli,tafadhali nambie ili nijue nitamsaidia vipi”
“Hauzi madawa ya kulevya”
Marietha aliendelea kukazia msimamo wake uleule,alikuwa ana sababu zaidi ya mia moja za kusema hivyo ingawa hakuwa mwenye uhakika asilimia mia moja.
“Sawa wacha nikurudishe hotelini,mimi nitarudi kushughulika na kesi.Nakukumbusha tena kukutwa na madawa ya kulevya hapa Paris ni kesi ya kunyongwa tu na kufa”
Amaodour alisisitiza maneno yake, hakuelewa ni kiasi gani anauchoma moyo wa Marietha,alichofanya yeye ni kumrudisha mpaka hoteli aliyofikia na kumsindikiza mpaka chumbani.
“Naomba unisaidie Amadour”
“Usijali,wacha nikamsaidie.Sali sana leo”
“Ahsante”
Amadour aliaga na kuondoka zake.
************
Usiku mzima Marietha aliutumia kumuomba Mungu wake atende muujiza wake,alishalia mpaka basi.Kwa wakati huo Deo alikuwa kama nguzo katika maisha yake,hakuelewa ataishi vipi akiwa kama mwanamke mjane.Alivyofikiria kitu kama hicho ndiyo alilia zaidi na zaidi, ndani ya masaa machache safari iligeuka na kuwa msiba!Wakati mwingine alianza kujilaumu ni kwanini alikubali kusafiri,jinsi alivyochanganyikiwa hata mtoto alivyoamka hakumsikia, yeye aliendelea kulia na kusaga meno lakini hiyo haikuweza kubadili chochote kilichotokea,matumaini yake yote yakaegemea kwa Amadour sababu ndiye aliyemuhakikishia kwamba atamsaidia mpaka sekunde ya mwisho.
*************
Saa moja asubuhi juu ya alama simu ya mezani iliita na alivyopokea ilisikika sauti kutokea mapokezi,tayari Amadour alikuwa amefika na alimtaka ajiandae ili wajuwe ni jinsi gani watamuokoa Deo Karekezi kutoka kwenye kitanzi.Bila kupoteza wakati akaingia bafuni akajimwagia maji na kumuogesha Abraham,akambeba na kutoka nje ambapo huko alikutana na Amadour anamsubiri.
“Inabidi tukaongee kidogo”
Amadour alisema baada ya salamu za hapa na pale.
“Sawa,ulizungumza na Mume wangu jana?”
“Ndio!Nataka kufanya mazungumzo nawewe pia”
“Wapi?”
“Popote pale”
“Sawa,Wewe ndio mwenyeji”
Amadour na Marietha walitoka hotelini na kwenda mgahawa mwingine wa Texas hapo wakakaa na Amadour alisema kile alichoambiwa na maaskari.Ni bora asingepewa taarifa hizo sababu zilimvunja moyo na dalili zilionesha kwamba Deo Karekezi kitanzi kilikuwa halali yake.
“Askari wamekataa,nimejaribu kuwapa dolaa elfu nne lakini wapi”
Amadour alizidi kuzungumza.
“Kwa.ni.ni lak..kini?Naweza kuonana naye?”
Marietha aliuliza huku kwikwi ikiwa imem-bana.
“Hapana,sababu hata nawewe una tafutwa.Ni mumeo, wanadai kwamba nawewe utashtakiwa kwa kosa la kukaa na muhalifu ndani”
“Yesu Wangu”
“Lakini nina wazo”
“Wazo gani?”
“Hii Kesi ngumu sana sababu amekamatwa na kithibiti mkononi mwake maana kwamba inabidi akubali anauza madawa ili tujuwe ni wapi tunaanzia,kitendo cha kukataa kwake kitawachukiza askari”
“Sasa nifanye nini?”
“Sikiliza sijamaliza,kingine Passpot hana”
“Passpot alikuwa nayo lakini”
“Sasa hawajaiona,jaribu kuiangalia hotelini vizuri”
“Sawa nitajaribu”
“Cha kukusaidia hapa inabidi ukiri kwamba Mumeo ni kweli anauza madawa ya kulevya ili umuokoe”
Maneno hayo yalipita masikioni mwa Marietha yalimshtua kupita kiasi,alimtizama Amadour mara mbilimbili bila kum-maliza.Ilionekana alikuwa bado akiyachambua maneno hayo.
“Naomba nikutoe wasiwasi katika hayo maamuzi,nipo upande wako”
Amadour akasisitiza na kumtoa hofu Marietha.
“Kwahiyo hawatomnyonga?”
“Ndio,hawatoweza kama utakubali kuwa upande wangu”
“Nitakuwa upande wako,nipo tayari”
Kauli hiyo ilimfanya Amadour atabasamu,kuna kitu Marietha alijifunza kupitia tabasamu la Amadour lakini hakutaka kuyapa mawazo yake kipaumbele,alichotaka yeye ni Deo atoke rumande na aepukane na kitanzi.
Hapohapo Amadour hakupoteza wakati,akatoa simu ya mkononi na kumpigia mtu fulani,lugha aliyokuwa anazungumza ilimfanya Marietha asielewe chochote sababu kilikuwa ni kifaransa.
“Nimeongea na askari,atakuja hapa sasa hivi.Kama tulivyoongea”
Amadour alisema baada ya kukata simu na hazikupita hata dakika kumi na tano,gofu la polisi lilikuwa kandokando ya mgahawa wa Texas akashuka askari mmoja aliyevalia sare za kipolisi,akasogea mpaka walipo Amadour na Marietha.
Alivyojitambulisha hakutaka kupoteza muda akaanza kumuhoji Mariertha kwa lugha ya kiingereza.
“Umesema kwamba Mumeo anauza madawa ya kulevya?”
“Ndio anauza madawa ya kulevya”
Marietha alijibu bila wasiwasi hakuelewa anafanya jambo hatari kiasi gani kwa mumewe,hii ilitokana na kutokuwa na elimu ya kutosha kichwani,laiti kama angeenda shule basi angekataa katukatu.Hiyo ikawa haitoshi akawekewa karatasi na kuambiwa aweke sahihi,hakujuwa ni kitu gani imeandikwa na anaweka sahihi kwa ajili gani.
“Ahsante kwa ushirikiano wako”
************

*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)

0 comments:

Post a Comment

BLOG