Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

MAHABA NIUE SEHEMU YA 9/10



MAHABA NIUE
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 9 KATI YA 10
*******
 *******

"nakuhakikishia nita fanya ivyo, kwani mta mfanya nini"?!
"hili swala, sio kazi yako"

"sawa"

gari lili egeshwa mbali kidogo na pakistani huku waki angalia huku na kule pande zote na kumwambia Naike apige simu kwa Ramsey,
kweli jambo lile lili fanyika huku akiwa amewekewa bastola shingoni, ki ukweli alitamani sana amwambie RAmsey ukweli kuwa kitendo cha kukubali kuja waonane kinge mgharibu maishani, pengine angepoteza uhai wake, ila hakuwa na jinsi ya kufanya zaidi ya kutekeleza amri ambayo iliambatana na bastola shingoni,

"sawa Naike baby wangu, mimi nisha fika nakusubiri mrembo"
"poa poa nakuja sasa hivi"
"usi chelewe sasa, nita fute Room"?

swali lile aliuliza Ramsey ambapo sauti yake ili sikika na kila mtu ndani ya gari lile mpka kwa Josephine vile vile, mr, mwasha ali mkata jicho kali Naike baada ya kumuona ana sua sua, na kumpa ishara ya kutingisha kichwa kuwa akatae,

"NOO usi tafute, tafuta baa yoyote ile nzuri, mimi nita kuja baby, fanya ivyo my boo"!
"okay Love, nipo hapa MANDELA PUB, njoo ukiulizia uta elekezwa"
"sawa , nita kukuta hapo"

simu ile ili katwa na kuanza kupanga mikakati ya kumnasa Ramsey..roho ya huruma ili muimgia sana Josephine maana alimpenda sana kutoka moyoni licha ya kwamba alikutwa na mwanamke mwingine lakini, alimuonea huruma sana sababu alimjua sana mume wake ni kiasi gani ana hasira mbaya sana.

alijua tayari umauti wa Ramsey una kalibia na wala si vinginevyo, hakuwa na matumaini tena juu ya maisha ya RAmsey, alimkumbuka vizuri kijana Matto ambae aliuwawa na mwasha kwa kitendo cha kumtaka kimapenzi baada ya kukuta meseji ndani ya simu yake.

huyo alipigwa risasi tatu za utosi na askari kuhongwa pesa nyingi sana kuzima kesi ile wakisingizia kuwa alikua ni jambazi,

aliamini vile vile kwa Ramsey ndicho kitakacho enda kutokea na wala si vinginevyo

"kacha kacha"

Mr mwasha alikoki bastola yake na kuiweka kiunoni na kushuka na Naike ndani ya gari,

"Abubakari shuka, nenda na huyu binti, kuwa makini nae, binti Naike, sijui Naiko what ever, kama tulivyoongea maisha yako unayo mikononi, USINIJARIBU, NITAKUUA NA sito pelekwa popote pale, umenielewa?"
"ndio!"

yalikua ni maneno ya kutisha sana kwa Naike,NA kumfanya AANZE kulia tena machozi,

"Abubakari, akifanya ujinga, piga piga sana, alafu nakuja kumaliza mimi, Namtaka huyo kunguni Ramsey nakuhesabia"
"sawa bosi, nipe dakika sifuri hiyo ni kazi ndogo kama , kuua kunguni"

kweli aliloliongea mwasha lili fanyika hakuwa katika sura ya utani hata kidogo, alicho taka siku zote kili tendeka mara moja, Abubakari na Naike waliongozana wote..

*********

Ramsey akiwa amekaa kwenye kiti na bia ya Serengeti mezani akimsubiri Naike kwa muda mwingi sana.bila kujua kina choendelea. aliangalia saa yake ya mkononi na kuona muda una zidi kwenda,, baada ya sekunde chache simu yake inaita na kuona ni prosper akipiga,

"oyaa yule demu yupo dukani hapa,"!.
"demu gani huyo tena P"?
", yule Martha ana taka simu yake, sasa sijui ulipo iweka"
"mwambie baadae au aje kesho"
"Ramsey njoo sasa hivi, mi ana ni sumbua, njoo mara moja ndo urudi uendelee na mambo yako"
"mwambie asubiri, kama hawezi arudi kesho"
"shika huyu hapa ongea nae"
"kaka jamani, naomba ile simu pesa yako nishaleta"
"sikia samahani dada angu, mimi nipo mbali sana nipo kibaha, njoo baaadae au kesho"
"jamaniiiii, jaamaaani"
"ndo ivyo, ile simu ipo home"
"basi nita kuja kesho, ila sija penda, sijapenda kabisa"
"njoo kesho"

Ramsey alivyoona vile alikata simu ili kuepusha kelele zile bila kujua kuwa ni Mungu au malaika alitaka kumnusuru katika balaa linalokuja mbele yake, laiti ange jua kuwa ana tafutwa sana ange inuka mara moja na kukimbia mbio,
za ajabu.

hakuelewa kina choendelea, yeye alicho fikiria kichwani ni kufanya ngono na Naike bila kujua kuwa demu huyo alitumiwa kama chambo na mr, Mwasha.ili yeye akamatwe,

kwa mbali sana alimuona Naike akija taratibu sana akiwa mnyonge na mpka kusogea meza yake ilipo.

"vipi Naike mbona mpole sana?"
"Ramsey"
"naam Beibe"
"kimbia,"
"mbona sikuelewi, nikimbie vipi tena, ?"
"ramsey kimbia, kimbia sasa hivi"
"wewe Naike ume changanyikiwa nini?!, upo sawa kweli, nisha tafuta chumba tayari, twende tukamalizie CONDOM tayari ninazo hapa, boxi tatu nime nunua"
"Ramsey naomba ukimbie tafadhali"
"una nini binti, au ndo mapepo, acha utani wako,"
Naike alizidi kusisitiza kwa sauti ya chini sana na kumfnya RAmsey asijue kina choendelea,
laiti ange msikiliza kwa makini na kuelewa wenda ange ruka huo mtego
"Naike, niangalie nikimbie wap..."

kabla ya kumalizia maneno tayari alishikwa shati na kijana ambae haku mtambua na kuinuliwa.
"blazza vipi, mbona tuna haribiana starehe?, mbona ivyo, mimi sitoki nae huyu,, blaza vipi tena, Naike huyu kaka yako au"?
"Twende"

Ramsey alipigwa kofi zito juu ya shavu na kumfanya atulie, ki ukweli hakuelewa kina choendelea alijua wenda ni kaka yake na Naike au bwana ake ila aliburuzwa kwa nguvu sana huku akijaribu kupambana na jitu lile,
ila kijana yule alimzidi nguvu

Naike alilia machozi alijua nini kinaenda Kumpata RAmsey, alijua ni umauti na wala si kitu kingine, ila alishukuru kuokoa maisha yake kwa wakati ule..
Licha ya kushukuru ila bado katika nafsi yake alisononeka sana kitendo cha kuumuza RAmsey, lakini hakuwa na jinsi zaidi ya kuokoa maisha yake ambayo yalikua mikononi mwake mwenyewe!

Ramsey aliburuzwa mpaka kwenye gari aina ya jaguar, gari hilo alili tambua sana nyuma ya gari hilo kulikua na BMW X5 aliya tambua magari hayo, haya kua mageni machoni mwake, licha ya kuya jua lakini bado hakuelewa nini kina endelea mpka alipoona sura ya mr, Mwasha iki tokeza ndani ya gari, na kuishiwa nguvu, kweli nguvu zili muisha na kujua si kitu kingine bali ni kifo ndo kina fuata,

Mr, mwasha alimfuata RAmsey na kumzaba kofi zito ambalo alimsindikiza na ngumi nzito ya tumbo,
"muingizeni kwenye buti, fanyeni haraka. Ramsey, naenda kukuuua, yaani wewe wa kumt*** mke wangu., leo ndo leo.?"

mr, Mwasha aliongea na kumpiga tena ngumi mdomoni nzito na kumfanya Ramsey avuje damu mdomoni kutokana na kuung"ata ulimi wake,



Tayari siku tatu zili pita nne tano mwishowe juma moja lili katika, bado RAmsey hakuweza kuonekana popote pale wala hakupatikana kwenye simu, wasi wasi una zidi kuwa tanda sana hasa prosper rafiki yake au bosi wake pia, hakujua

Ramsey alipo, wakati mwingine alidhani labda yupo kwa mwanamke ila bado roho ina zidi kumuuma na kuingiwa na wasi wasi mwingi, alipokea simu nyingi hasa kwa LOydah dada ake na rAmsey akimuulizia mdogo wake.

Hofu ina zidi kumtanda sana, baada ya kupewa majibu yasiyo mridhisha, prosper hakuwa tayari kuongea ukweli kuwa RAmsey alikua ame potea au haja onekana kwa siku saba, bila kujua upande wa pili wa shilingi kuwa ametekwa nyara , na mume wake Josephine,,

"Prosper hivi huyu RAmsey bado hajaonekana?"
lili kua ni swali kutoka kwa Loydah akiwa mwenye wasi wasi mwingi sana kupita kiasi!, siku hiyo aliacha shughuli zake zote na kuamua kwenda mpaka dukani hapo kwa mdogo wake, alimpenda sana Mdogo wake huyo kuliko kitu chochote kile hapa duniani au chini ya jua

"bado haja onekana, ita kua ame safiri ghafla tu, maana siku izi ana mambo mengi sana"
"NO, haiwezekani, hawezi kusafiri bila kuniaga mimi dada yake, kuna kitu hapa una nificha Prosper, mara ya mwisho ulikua nae wapi?"
"Ngoja nikwa mbie ukweli, mara ya mwisho aliniaga hapa, alikua anaenda kumuona dada mmoja hivi, kuna biashara fulani waliongea, ni wiki sasa"
"huyo dada una mfahamu"?
"hapana, kwa kweli simfahamu"

Loydah alishusha pumzi ndefu na kabla ya kuongea chochote, kijana mmoja mweupe mfupi wa wastani huku mkononi akiwa ameshika funguo za gari na mkono wa kushoto ameshika simu kubwa aliingia,

hakuwa mgeni machoni kwa Prosper, alikua ni Kway rafiki kipenzi wa Ramsey, alimkumbuka vizuri sana
"ebwana ina kuaje?..nina haraka sana, huyu jamaa nime mkuta"?

alihoji Kway akionekana na haraka sana. pia vile vile kwa haraka haraka ili onesha kuwa ali mtafuta Ramsey bila mafanikio yoyote yale, na kuamua kwenda dukani hapo

"yupo au hayupo,? nime paki gari njiani!."
"hayupo"!
"hayupo tena kivipi,? mbona ana kua mswahili sana, hapa tikani kwenye simu, wakati tulipanga safari ya kwenda Moshi, huna namba yake nyingine"?
'"daaah Kway ndugu yangu, we acha tu, una muona huyu dada hapa, ni dada yake, ana mtafuta pia, wiki hii sasa haonekani"
"haonekani"?
"ndio"

Kway alimuangalia LOydah na kuanza kusalimiana huku wakizidi kuulizana nani ata kua na Ramsey, hofu inazidi kuwa tanda sana,

Prosper alionekana kupata wazo na kutoa simu yake mfukoni,

"una mpigia nani?"
alihoji LOydah

"ESta, nampigia dada mmoja ivi anaitwa ESta, ana weza akajua alipo"

baada ya sekunde kadhaa simu kuita upande wa pili ulipo kea na sauti ya ESta kusikika
na Prosper kumuulizia RAmsey

"Ramsey yupi? mimi simjui,Ramsey ndo uchafu gani"?

maneno yale yalimshangaza sana Prosper na kumfanya aishiwe pozi
"sikia, jamaa hajaonekana wiki sasa, kama upo nae au una jua alipo naomba uniambie tafadhali"
"wewe mimi sijui una ongelea nini"
"sikia ESta, Ramsey haonekani, naomba niambie nipo chini ya miguu yako"
"hivi una sema ukweli?"
"ndio, yaani hapa nipo na ndugu zake wana muulizia"
"mmmh, nita jaribu kumtafuta,nita kupa jibu, si ajabu yupo na mahawala zake ninyi mna hangaika tu kumtafuta. ngoja nita kupa jibu"

hatimaye simu ili kata na kuzidi kushauriana,,

"jamani, hali isha kua ivi, Prosper, embu fikiria
kwa kina bwana, wapi hupenda kwenda Ramsey"?

Akili ya Prosper moja kwa moja ili mtuma kwa Josephine ila kwa bahati mbaya hakuwa na namba za mwana mke huyo hata kwake hakupajua,
hilo ndilo lilikua kosa kubwa sana, licha ya kuhisi kuwa ata kua kwa josephine lakini hakutaka kufungua mdomo wake kusema chochote kile sababu alijua hata akiulizwa hatakua na jibu la kutosha,

kwa upande mwingine alijua wenda Ramsey yupo OMAN kutokana na mara nyingi sana Ramsey kumtambia juu ya safari hiyo na Josephine. Prosper aliwaza sana kichwani mwake

"maskini mdogo wangu ata kua wapi sijui"

LOydah aliongea huku machozi yakianza kumlenga lenga kwa mbali

"Nani kway, ulisema una itwa kway, hivi ndo yule mwandishi wa vitabu"?
"ndio ndo mimi,"!
"huwezi kujua wapi rafiki yako ana weza kuwa"
"kwa kweli sijui, kuna msichana wake mmoja hivi anaitwa Monalisa, kama una mjua mta fute, anaweza kuwa nae si ajabu"

LOydah alimjua monalisa na bahati nzuri alijua namba zake , ila baada ya kumpigia ana pewa habari ambazo zina zidi kumkata maini,

kila mtu alizidi kuumiza kichwa chake, waliamua kuchukua jukumu moja tu, kwenda kumtafuta katika vituo tofauti vya polisi, wakitumia gari ya kway, walianza msimbazi kumtafuta ila hakukuwa na dalili ya RAmsey, walizunguka mpaka

buguruni, Urafiki, oysterbay,Mwananchi. mpaka ina fika jioni hakuna jibu lililo wapa matumaini, kila mtu alionekana kuchoka sana sio kway wala LOydah.

Baada ya kumaliza kula walianza kutembea ila ghafla simu ya Loydah ilianza kuita baada ya kuitoa mfukoni ana ona ni namba ngeni, aliiangalia kwa muda na kuiweka sikioni,

"naongea na nani?"
"Raaa,...mmseeyy. sist...a Loy..d..a..h n...akuffaaa"
"Ramsey, hallo, Ramsey upo wapi?"

Loydah alipayuka kwa sauti na kumfanya Kway asogee karibu baada ya kusikia vile
"uko wapi... uko wapi?"
"nn...iip..o Mi mi mi mik....."

kabla ya kumalizia maneno yale LOydah alionekana kuchanganyikiwa hasa baada ya kibaka kumpora simu ile na kukimbia nayo, mbio akiwa juu ya boda boda Kway alimuumganishia
ila boda boda ile ilizidisha kasi na kutokomea ,

bado walikua na hali ngumu sana kwao, kitendo cha RAmsey kupiga simu akiwa katika hali mbaya na simu kupokonywa alizidi kuchanganyikiwa

Loydah alikaa chini bila kuji jua huku akilia kwa sauti na kugala gala, kitendo cha kuibiwa simu ile katikati ya mazungumzo yale, kilimuuma sana. alicho jua yeye RAmsey yupo katika hali ya matatizo sana, kutokana na alikua ana
ongea kwa shida kupita kiasi, watu walianza kumzunguka na kumpa pole ila hawa kujua kilio kile kili sababishwa na nini. hawa kujua kiasi gani LOydah ana umia moyoni.

"LOydah, nisikilize, uliishika ile namba"?
"NOO, sija ishika uwiiii, RAmsey ana kufa, Ramsey mdogo wangu, ana hitaji msaada, tuka toe taarifa polisi Kway"

LOydah alilia sana kwa uchungu. ili bidi Kway, amuinue huku akisaidiana na vijana waliokuwa pembeni pale na kumuingiza ndani ya gari.

**********

sura yake ili kua nyang'anyang'a pengine unge bahatika kumuona usingeweza kumtambua kama alikua mtanashati,

alikua kama mzoga, damu nyingi zilizo mjaa usoni zili poteza kabisa muonekano wake,
usingeweza kuitambua tena sura yake hata kidogo, hata unge pewa picha yake na umuangalie alivyo kua sasa hivi, alikua ni kama ame gongwa na treni au gari,

kutokana na majeraha mengi aliyokua nayo, afya yake ilidhoofu mara dufu, hakuwa Ramsey tena, alikua kama mzoga wa MBOGO kutokana na kipigo kikali na mateso makali aliyo kua akiteswa sana

ki ukweli alitamani kufa kutokana na kuchoshwa na mateso aliyo kua akiteswa ndani ya nyumba ya Mr,Mwasha hakuna mtu yoyote aliye kua akijua lolote kuwa Ramsey alikua ndani ya nyumba hiyo akila mateso ya ajabu,ambayo bina damu yoyote yule asinge staili kuteswa.
huku josephine akiwa ame nyimwa kutoka nje ya geti na kunyang'anywa simu,
ili asiweze kuwa siliana na mtu yoyote yule, huku nayeye akisubiri hukumu yake,

Josephine alilia machozi siku iyo baada ya kumuona Ramsey akiwa katika hali ile, alienda na kudondoka pembeni ya Ramsey ambae alikua ame fungwa mikono juu huku miguu yake ikining'nia kama nyama buchani,
kweli alifanana na nyama ya Ngo'ombe ili yotundikwa buchani huku damu nyingi zikiwa zipo chini, nyingine zime gandiana huku nzi waki mfuata,

alikua nadni ya chumba kidogo kili chokua kama stoo.

"mwaaamb,,ie Mume..o aje kuni,,uaaaa"
"Ramsey, baba nisa mehe mimi, nisa mehee, nita fanya kila njia ili uweze kutoka haustaili , haustaili kuteseka kiasi hiki"
"Joseph..ne niletee kisu, nije nii,,jjiiuuue"

aliiongea Ramsey huku akiwa katika hali ya maumivu kupita kiasi, kweli alitamani kufa kutokana na majeraha katika mwili wake, jicho lake moja lili kua lime vulia damu kutokana na kupigwa chuma na Mr, mwisha, kweli alikua amechoka sana, na hakuna alicho subiri zaidi ya kifo...
chake na ndo hiko alicho jua si vinginevyo

Josephine alikimbia jikoni na kurudi na maji ya kunywa pamoja na chakula na kuanza kumlisha Ramsey taratibu, kweli
alionekana kuwa na njaa sana kutokana na kula kwa fujo sana, ili kua ni picha ya kuuuzunisha sana, kila mtu alikua akilia sio Ramsey wala Josephine.

Ghafla katika hali ya kusha ngaza mr, mwasha aliingia na kumpora Josephine chakula kile, na kuki mwaga pembeni.
"wewe hujafa tu"?

alihoji Mr, mwisha akimuangalia Ramsey
"mi nataka ufe hapo hapo, ila kabla hauja fa nataka niku tumie ili uniingizie pesa"

Ramsey hakuelewa nini maana ya maneno yale. mpaka baadae alivyona mijitu mingine yanye misuli ina kuja na kumfungua kamba,

walimbuluza mpaka sebleni na kumvalisha nguo na kumuweka chini, hakuna mtu aliye jua kinacho fuata hata kwa Josephine hakujua nini kinge fuata,

Mr,Mwasha alitoa simu yake na kubonyeza namba fulani kuiweka simu sikioni.

"halloo Don Chuwa"
"yes Mr, mwasha"
"bado una lile jibwa lako la kizungu, lile dume , nina jike hapa nataka nili pandikize mbegu."

maneno yalipenya moja kwa moja kwenye masikio ya Ramsey na kujua kivyovyote vile jike lina lozungumziwa ni yeye, na wala si vinginevyo, katika maisha yake hakuwahi kuwaza kuwa kuna bina damu wenye roho mbaya kama shetani, leo hii ana enda kufanya mapenzi na mbwa, na ndo hiko alijua kina fuata, jambo ambalo hakutaka litokee.

kwa josephine alijua moja kwa moja sababu mbwa wa Don hutumika kuchezeshwa filamu za ngono na wazungu ambao humfuata na kumkodi kwa pesa nyingi sana aliangua kilio tena. yalikua ni maneno mabaya sana tena ya kutisha..

Ramsey alilia machozi sana kama mtoto akiomba msamaha,
"NA...Omba uniiiiu...e"

kwa wakati huo aliona bora afe kuliko kuendelea kuteseka kweli leo hii alijua kuwa mke wa mtu ni sumu kali sana, alijuta sana.


TWENDE KAZI.

Usiku kucha, mchana kutwa bila kulala walizidi kumtafuta Ramsey bila mafanikio yoyote yale,lakini hawa kukata tamaa waliamini Ramsey bado yupo hai ila huko alipo ana pata shida sana, Loydah alikua ni mtu wa kulia kila siku, alili mlilia machozi mdogo wake kipenzi mtu aliye kua akimpa moyo si mwingine bali ni kway.

kila mtu alikua mwenye majonzi sana na simanzi pia mioyoni mwao, hawa kuamini kwamba leo hii Ramsey hawapo nae tena,

siku hiyo Loydah akiwa nyumbani kwa Kway baada ya kula chakula , waliingia ndani ya gari na safari ya kuanza kumuulizia Ramsey kuanza .

"subiri, nimepata wazo"!

alishauri Kway huku akimuangalia LOydah wakiwa ndani ya gari, ambae ali futa machozi na kumuangalia Kway machoni.
"wazo gani"?
"sikia, twende uka renew namba yako,"
"alafu sasa"?
"alafu, tuta enda TIGO makao makuu. tutaa nagalia namba hiyo ya mwisho iliyopigwa , hapo tuta mjua mmiliki wa simu hiyo, huyo ata tusaidia kumta futa RAmsey"
"twende sasa hivi"!

ushauri ule una muingia vizuri Loydah kichwani na kuanza kurudiwa na matumaini upya kwamba wata mpata Ramsey, mtu ambae wana mtafuta kipindi kirefu kama mtoto mdogo ,

SAfari ili geuzwa na safari ya kwenda makao makuu ya tigo kuanza, baada ya kufika hapo Loydah ana fanya kila kitu na kutengeneza namba yake , pale pale anaa mua kuwaa mbia wafanya kazi wa pale waweze kumtajia mmliki wa namba ile ya simu.

"anaitwa ABDULRAZAKI MAGUGU"

jibu hilo lili toka mdomoni mwa dada mmoja mfanya kazi wa hapo baada ya kuangalia juu ya komputa yake.

haraka haraka LOydah alichukua simu yake ndani ya mkoba na kuanza kuita futa namba ile hewani, ila kabla ya kufanya kitendo kile kway alimzuuia
"subiri kwanza, tusikurupuke, huyu tuta mkamata kirahisi sana"
"Kway nawewe usini changanye, huyu ni mdogo wangu, ni damu yangu, nadhani hujui uchungu ninao upata ndani ya moyo wangu"
"twende nje nika kwambie kitu"

wote walitoka nje na kumuomba lOydah apunguze jazba kwani ana lotaka kuli fanyab lina takiwa umakini wa hali ya juu sana, vinginevyo wana weza waka mkosa huyo mtu na kumpelekea akabadili namba.

"subiri"!

kway alitoa jibu hilo huku akiweka simu masikioni.
"Yes kamuhanda Willson"!
"naam bwana Kway"
"kuna tatizo kidogo hapa, naweza nika kuona"?
"upo wapi"?
"nipo sayansi"
"wahi haraka, nataka nitoke"
"sawa Wilson"

Baada ya Ramsey kukata simu alimchuka LOydah na kuingia nae ndani ya gari na safari ya kuelekea central kuanza
"huyo ni nani, uliye kuwa unaongea nae"?
"uyo ni IGP wilson Kamuhanda"
"weeee, una fahamiana nae"?
"tena sana, ni rafiki yaangu mkubwa sana!"
"sasa tutaenda kumwambia nini"?
"wewe subiri"

safari ili zidi kuendelea huku kila mtu akiwa kimnya,

baada ya kufika waliingia na kuomba waonane na IGP moja kwa moja walipita ndani ya ofisi hiyo na kukutana na mkuu wa kituo huyo Wilson Kamuhanda, baada ya kutoa maelezo yake,

zili tolewa Deffender mbili na kazi moja tu kuanza kumtafuta Abdul , ambapo baada ya kuingia katika mitambo yao waliweza kumuona alipo wakitumia kifaa maalumu cha GPRS ,shukrani ya Loydah kumpa Kway haikuelezeka,

******

Majibu ya Don CHuwa kuwa mbwa wake ana umwa yali mkera sana Mr, Mwasha kupita maelezo,
"hakuna jibwa lingine"?
"hakuna Mwasha, ila subiri mpaka kesho hivi, nita kua tayari nime kupa jibu"
"okay!."

Mr, mwasha alisogea karibu ya RAmsey na kumpiga na kitako cha bunduki cha kichwa na kumfanya damu zianze kumtoka tena sababu alimtonesha kidonda usoni ambacho, kilianza kuka uka. alimuangalia bila huruma alichukua chupa iliyo kuwa mezani na kumpiga nayo kichwani na kumpasukia kichwani na kufanya damu zizidi kutapakaa juu ya malu malu,kweli mwasha likua na hasira sana, na kufanya mwili wake uanze kutetemeka sana, na kufanya macho yake yawe mekundu, kweli hakuwa yeye wakati, zili kua ni hasira mbaya sana, ambazo zakuweza kuelezeka hata kidogo!
alimshika na kumpiga kichwa cha puani na kumfanya Ramsey aanze kuvuja tena damu puani,

maumivu aliyo kua akisikia Ramsey hakuwahi kuya sikia tangu azaliwe, hakuwahi kuyasikia wala kuota, kweli alistaili kufa ili pengine apumzike kutokana na kipigo kikali anacho pigwa.

Roho ya huruma ili muingia Josephine pale alipo alikuwa akilia machozi , hakuwahi kuumia roho kama siku hiyo,

hakuwahi kulia kama siku iyo, alihisi moyo una muuma sana, alitamani amvae mume wake ampige ila hakuwa na uwezo huo hata mara moja, alibaki tuu akibubujikwa na machozi, na kufanya kifua kizima kiloe machozi na lowanisha nguo yake ya juuu, yalikua ni machozi ya uchungu kupita kiasi,

"hivi sija kwambia kwanini na kupiga Ramsey, subiri"!

Mr, mwasha aliingia chumbani na baadae kurudi na baasha ya kaki ambapo aliifungua na kutoa picha wakiwa na jOsephine, wame kombatiana ki mahaba,,

japo kuwa alikua haoni vizuri kwa mbali aliweza kuta mbua zile picha., picha ya Doreen wakiwa wote kitandani inaanza kuji jenga kama mkanda wa filamu na kuanza kukumbuka maneno yake , hakuelewa zili mfikia vipi mr,

mwasha, alijiuliza maswali kichwani ila alishindwa kupata jibu kamili, licha ya kufiikria hayo yote hakujipa tena matumaini ya kuishi duniani alijua kifo ndo kina kuja na wala sio kitu kingine chochote kile, na kuamini kuwa muda

mfupi angeenda kuungana na Doreen huko alipo na kuanzisha tena mapenzi mengine, hilo ndilo alilowaza kichwani mwake.
na kuji kuta tena akilia machozi,

"una lia nini sasa KIDUME mzima"?
aliulza Mwasha huku akitupa baasha ile juu ya meza ya kioo.

"okay, machozi yako haya tazuia kifo chako, nisikilize. mimi ni mtu wa watu,izi picha , nili pewa na mume wake Doreen, , HAKutaka kuku bali kuona ushenzi ushenzi una fanyika, lakini pia izi picha zili kutwa ndani ya kabati la Marehemu Doreen mke wake, Mungu ailaze mahali pema peponi roho yake, ina elekea kuna mambo mengi sana alitaka kuniambia, ila namimi nita fanya juu chini nijue hao majambazi walimfanyia huo unyama wa kumuuwa."

kwa mara ya kwanza Josephine kusikia kuwa picha zile zilikua kwa Doreen,aliingiwa na wasi wasi sana kusikia maneno yale kutoka kwa mume wake, alimtazama RAmsey na kuta mani

kuongea kitu ila alikaa kimnya, hakujua kwanini Doreen alimpiga zile picha na kumkumbuka mpiga picha aliye kuwa akiwa piga picha bichi, hakuelewa kwanini doreen alifanya kitendo kile, ila alielewa si kingine bali ni wivu wa mapenzi, ila kwa upande mwingine alifurahi sana na

kujiona mshindi kwa kitendo cha kumtumia watu wamuuwe,

Kwa Ramsey alijua vizuri zile picha alijua kila kitu na kuanza kujilaumu kwanini hata haku zichukua ile siku,
"Naaa....ombbaaa niiuuuue"
"uta kufa tuu, hilo usiombe, wewe jihesabie ni mfu,Abubakari niletee lile kopo la spirit kule stoo, au ukikosa leta ile chupa ya VALUER"

baaada ya dakika chache ili letwa chupa ya valuer pamoja na spirit na kumiminiwa Ramsey juu ya mwili wake ambao ulikua na vidonda donda, kelele nyingi zili sikika, hakika alisikia maumivu makali sana, alihisi kama mwili wake unakatwa katwa na viwembe, alipiga kelele nyingi, ila ili kua kama wana chochea moto, sababu Mwasha alizidi kumimina spirit ile juu ya mwili wa Ramsey, huku nyingine akimwagia machoni,

kopo la Spirit lilivyoisha alichukua chupa ya Valuer na kuanza kumimina tena, yalikuwa ni zaidi ya mateso ambayo bina damu yoyote yule ange omba aionje mauti, yaani afe aepukane na kikombe kile,

"grriiii griiii"

ili kua ni simu ya mwasha iikiita aliitoa mfukoni na kuiweka sikioni ambapo anaambiwa kuwa kuna dharura ivyo ana hitajika mara moja,

Ramsey alirudishwa stoo na kufungwa kamba, Josephine alizidi kulia sana, asijue la kufanya.

baadae kidogo alihisi mlango una gongwa hakutaka kuamini baada ya kumuona Abdul akiwa mlangoni alimfungulia mlango haraka haraka,

"MAMa mbona kimnya, hupatikani, ile pesa vipi sasa"?
"nita kumalizieni sasa hivi nina matatizo sana, kwanza naomba nisaidie na simu yako"
"subiri kwanza, kazi yako tume ifanya tayari, mtu uliye taka tumuuwe tayari kesha kufa, si nili kwambia mimi mtu wa kazi, piga mapanga sana,"
"nisaidie simu yako kwanza"

Maneno yale yalipenya moja kwa moja ndani ya ngoma za masikio ya RAmsey, tena kwa mbali sana akiwa stoo, sauti ile haikuwa ngeni kwake, alizidi kujiuliza maswali mengi, ila hakutaka kujiuliza sana sababu haya toweza kumsaidia kutokana na kifo ambacho alijua kita fuata muda mfupi,

"shika hiyo hapo"

Abdul alitoa simu yake na kumkabidhi Josephine, alikimbia moja kwa moja stoo na kumkuta Ramsey akiwa hana nguvu hata kidogo.

"Ram, Rammsey baba, taja namba yoyote una yo ijua kichwani"

JOsephine aliongea huku akimpiga piga Ramsey mashavuni ili aweze kumzindua.
"Lo..yydddaaah. m,,pig,,iie Loooydah dada nipe niongee nae kwa mara. yayaya mwiiii sho nimwambie nakuf,,,a"

Ramsey alitaja namba za LOydah, baada ya kufunguliwa kamba kwa kutumia kisu na Josephine, wana ongea machache na simu ile kukata, hakuelewa kwanini ime kata,

"na,,,omba kisu hiko"
"chanini"?
"niipe"

Ramsey alichukua kisu kile kilichokua chini na kuki shika vizuri kwa mikono miwili, huku akikiweka usawa wa tumbo, alishusha pumzi ndefu, na kuanza kuhesabu, hakutaka kuishi tena duniani, alilia sana, aliki vuta kwa juu huku ncha ya kisu hiko kikiwa

usawa wa tumbo, alivyo taka kuji choma josephine alimrukia na wote kudondoka chini na kisu kile kudondoka pembeni.

Hiyo ndiyo nafasi pekee JOsephine aliamini ata itumia kumtorosha Ramsey nayeye kutoroka pia,
alitoka mpaka seblen na kichuma kizito na papo hapo kumpiga nacho Abdul utosini na kumfanya adondoke chini, alimfuata Ramsey na kuanza kumkokota,

tayari giza lili kua limeshatanda , walivyo taka kutumia gari ili watoroke Ramsey alikataa katakata kweli Josephine alizungusha mkono mmoja wa RAmsey juu ya shingo yake, na kuanza kumkokota taratibu, sababu Ramsey hakuwa na nguvu tena.

Licha ya RAmsey kuokolewa ila bado kichwani alitaka kufa tu wala sio kitu kingine, walizidi kutembea na kufika bara bara kubwa ambapo magari yalikua yakienda kasi sana.

RAmsey japo alikua haoni vizuri alipiga hesabu huku akiyaangalia magari yaendayo kasi, Josephine hakuweza kujua nini ana cho fikiria RAmsey kwa wakati ule hata kidogo. alicho jua yeye ni kumtorosha RAmsey waende popote pale, sababu alimpenda sana RAmsey,

Ghafla katika hali ya kushangaza alimsukumiza Josephine pembeni na kuji tupa kati kati ya bara bara,kelele za matairi vikikwaruzana na lami vili sikika. kila mtu alishiika kichwa, wengine walishika midomo yao baada ya kumuona

Ramsey akitupwa hewani kama karatasi, na gari ambalo lili kuwa liki toka kasi sana aina ya NISAAN MURANO, ili kua ni ajali ambayo hakuna aliye amini kuwa Ramsey ata pona, kila mtu alibaki kushangaa na watu kuzidi kuku sanyika

JOsephine akiwa chini aliangua kilio na kukosa nguvu za kusimama aliishuudia Ramsey akitua chini na damu nyingi ziki mtoka, watu wengi walianza kumzunguka, na wezi kaunza kumsachi na mmoja wapo kuchukua simu iliyopo mfukoni mwa RAmsey ambayo ni ya Adul na kutokomea nayo,



Bado msako una zidi kuendelea , hawa kukata tamaa ya kuendelea kumsaka Ramsey ambae waliamini kuwa ame tekwa na watu wasio fahamika watu ambao ni wabaya kivyovyote vile!, bila kujua Ramsey amegongwa na gari na

kuumia vibaya mno, na kupata majeraha pengine yange weza kusababisha kifo chake mara moja!

, hakuna mtu yoyote aliepata taarifa izo, Kway ili bidi amtumie Binamu yake ambae alikua na mkono serikalini na mwenye cheo kikubwa JENNIFER KAUWEDI na jeshi kuzidi mara fudu,

hapo walita futiwa RPC wa mkoa wa Dar es salaam Cosmas MKUMBO, moja kwa moja taarifa za kupotea kwa RAmsey zili anza kuta pakaa katika vyombo vya habari mbali mbli.
mpka magazetini.

kila mtu aliji uliza mara mbili mbili Ramsey ana cheo gani, wengi walidhani wenda ni mbunge, kila kona na pembe ya mkoa ili bandkwa picha yake huku Mkumbo akitoa jeshi lake lingine ili kazi ya kum tafuta RAmsey aliye aminika ametekwa ifanyike mara moja bila kupoteza muda,
"Ramsey bado haja onekana"?

ili kua ni sauti ya Esta akiwa anaangalia habari na ghafla tangazo ilo kupita huku iki ambatana na picha yake
*****

askari walizidi kuifatilia ile simu kwa njia maalumu ya GPRS na kuzidi kuifatilia taratibu sana,
"huyu hapa,, yupo TANDALE Kwa TUMBO"
"lazima leo tumu weke ndani,"
"tuki shuka pale ina bidi , wewe MUdi uende sawa"
"sawa mkuu"

yalikua ni maongezi ya maaskari hao wakiwa ndani ya deffender yao, kweli walifanya kazi iyo kwa hali ya umakini wa juu sana kutokana na vitisho walivyo pewa kutoka ngazi za juu,
na kufanya waanze kuhaha kupita kiasi, huku nyuma kukiwa kuna deffender nyingine kweli ulikuwa msako wa kutisha sana ambapo nyuma ya msako huo kulikua na mkono mkubwa kutoka serikalini ,
nyuma ya gari hilo ili fuatiwa na gari ya kway akiwemo LOydah na Joylah.

gari zote zili simama pembeni ya kituo cha tandale kwa tumbo, na mmoja wa maskari kushuka na kifaa kidogo mithili ya simu, ambacho kilianza kumuongoza simu waliyokua wakiitafuta ilipo,

waliamini kuwa waki mpata huyo mtu wata jua kivyovyote vile Ramsey alipo. hayo ndiyo yalikua mawazo yao katika kila kichwa cha askari,
"oyaa mkush! umeona pila lile,"?
aliongea mmoja wa mateja huku akimwambia mwenzake, huku akiji kuna kuna mkono wake juu ya mshipa wa damu, walikua wamekaa juu ya magogo ya mti huku wakiwa wana vuta bangi.
.
"alafu jamaa ana kuja hii site yetuuuu, tuinue kisha nuu... kisha nuka, mi natoa nduki"

kweli baada ya askari yule kutaka kukaribia , wote walisambaratika na kuanza kukimbia huku na kule waki tawanyika kama kuku au vifaranga vilivyoona mwenye, kila mtu alikimbia kivyake, alipoona pana mfaa,

ila kwa askari yule alikuwa akimkimbiza mmoja tu kati ya wale, alivyo ruka ukuta na askari yule aliruka ukuta na kuanza kumkimbiza sambamba hakutaka kumkosa hata kidtogo!
, katika kitendo cha kushangaza alimuona teja yule ana vuka bara bara na kugongwa na basi kubwa lililokua lina toka kasi sana,

bila kujali alikimbia mpaka pale huku watu wakizidi kuku sanyika maeneo yale, moja kwa moja aligusa mapigo ya moyo ya teja yule na kugusa mshipa wake wa mkononi. na kuona hakuna kina choendelea
"vipi afande?"
"jamaa , kadanja"
"sasa ita kuaje?"
"nashindwa kuelewa"

tayari teja yule aliku fa pale pale na kufanya maskari wale wazidi kuchanganyikiwa, walichukua ile simu waliyo kuwa wakiita futa na kuondoka nayo, habari zile zina zidi kuwa umiza kichwa Loydah na Kway hawa kuelewa ni wapi watampata Ramsey, kila mtu alibaki akiwaza sana.

*****

Tangazo la kupotea kwa RAmsey lina zidi kumchanganya Mr, Mwasha akiwa ofisini kwake jioni hiyo, alichukua bastola yake na kuikoki kwa nia moja tu, kumpiga risasi RAmsey ili amuuwe na kumtupa baharini ili

kupoteza usha hidi pia alitaka amuuwe na jOsephine ili kupoteza usha hidi, kweli alijua kesi ile ita kua ya moto sana, sababu ya watu wazito kuuingilia kati,

hakuwa na lingine zaidi ya kuwaza kuwauwa Ramsey na JOsephine mke wake akiamini kuwa kufanya jambo lile ataishi kwa amani sana rohoni, aliingia ndani ya gari haraka haraka na vijana wake, na safari moja tu kuanza, kumfata Ramsey ili akamuuwe na wala si vinginevyo.

kweli roho ya ukatili ilimuimgia na kutaka kuuwa, alikimbiza gari kupita kiasi na tayari kufika nyumbani kwake na kutoa bastola, ila cha kushangaza alivyoingia stoo hakumkuta RAmsey wala Josephine ndani.

"Dully vipi?"
"aah sielewi, shemeji kani piga na chuma, sikuelewa kinachoendelea"
"shiit"

Mwasha alionekana kuchanganyikiwa sana, aliiingia ndani ya gari kulitoa nje kama mwenda wazimu, akiwa bara barani kwa mbali anaona jopo la watu hakuelewa nini kime tokea,ila alichoelewa yeye kulikua kuna ajali, alisimamisha gari na kuanza kupepesa macho

*******

"Gebo una taka kufanya nini?"
"kusepa Raymond, nisha ua. mi naamsha!"
"si una jua ume gonga mtu tayari?"
"kwaio tubaki au"?
"sio tubaki, kuwa muungwana broo, ina bidi tumpeleke hospitali, hata kama ame kufa,!"
"hapana, mi nawahi kwenye harusi uki taka shuka, mi nasepa,yaani hapa tuki shuka tuna kufa"

yalikua ni maongezi ya watu wawili ndani ya gari hiyo aina ya NIssan Murano, watu hao walionekan kama wana wahi sehemu au wana enda kwenye harusi usiku huo, sababu walikua wame vaa suti nyeusi na kunyonga tai shingoni,
zilizo wakaba vizuri kooni

"kaka Gabriel, naomba tuka msaidie, sio kitu kizuri"

sauti ya kike ili sikika kutoka kiti cha nyuma ya gari hilo, kwa haraka haraka, walikua ni ndugu wa damu, sababu walikua waki fanana, wote watatu hata unge bahatika kuwaona, usinge bisha kwa lolote lile.
"nawewe Florence una taka tushuke"?
"ndio, just imagine, mimi ndo nime gongwa mdogo wako, alafu mtu aliye nigonga ana kimbia,. unge furahi kaka"?
"sikieni, nyie shukeni, mi nawahi kwenye harusi, SWAI kasha piga simu mara kibao, ana uliza tume fika wapi, alafu na nyie mna taka kuni changanya nyie shukeni, mi naamsha"
aliongea Gabriel alionekana yeye ni mkubwa kuliko wote, ivyo alifoka huku akipiga piga usukani,
kwa hasira.

kitendo cha kumgeuka vile mdogo wake, Raymond ambae alikua siti ya mbele kushoto alichomoa funguo za gari na gari kuzima baada ya kuona hawa elewani, jopo la watu lilianza kuzunguka gari lile na kuanza kulizonga huku wengine wakianza kugonga gonga vioo vya gari hilo.

kwa ujasiri wa ajabu, Raymond alishuka na kuanza kuwa tuliza huku akiomba wamsaidie kumpakiza mtu waliye mgonga mara moja, kweli kitendo kile kili fanyika mara moja huku Ramsey akiwa anavuja damu nyingi sana kupita kiasi.

"huyu sidhani kama ata fika hospitali"

aliongea mmoja wa wasamaria kati ya wengine ishirini, kila mtu alitamani kumuona RAmsey kama unavyo jua wabongo! hawa kubali kuadithiwa, matumaini ya kupona kwa Ramsey hakuna hata mmoja alidhani, kila mtu hakufikiri kama Ramsey ange pona .
alikua kama nyama, uso wake haukujulikana tena hata kidogo, sababu alilowa damu nyingi sana, huku nyingine zikiwa zina mtoka puani na mdomoni, hakika haikuwa picha nzuri machoni mwa watu!

"sogea niendeshe, kaa kushoto Gabriel"

alifoka RAymond huku akilegeza tai yake iliyo kua shingoni, alipakiwa ndani ya gari na watu wengine watatu kuingia wakiwa kama wasaidizi,

kwa kasi ya ajabu sana huku taa za mbele zikiwa FULL huku honi iki pigwa kwa fujo, kitendo kile kilia shiria kuwa gari hiyo ina dharura, bahati nzuri magari yalikua yakiwa pisha bara barani na kumfanya Raymond Masue azidi kutoa kasi, ili awaishe maisha ya Ramsey ambae alikua hamfahamu,

ila aliamini kuwa ata pata baraka kutoka kwa Mungu, hiko ndicho alicho funzwa kutoka kwa MAMA yake mzazi kuwa siku zote awe na moyo wa huruma na kuwa saidia wengine hasa wakiwa na shida, ndo ndilo alilo lishika kichwani.

alizidi kutoa kasi, na kufanya ndani ya dakika ishirini kufika hospitali . walishuka haraka haraka na kumshusha RAmsey, kila muuguzi alibaki kushika mdomo baada ya kumuona RAmsey akiwa ameshushwa ndani ya gari, walimvamia na kumuweka juu ya machela,
na kuanza kuitembeza machela ile,

"huyu vipi,?kagongwa na gari?"
alihoji nesi mmoja huku akimuangalia RAymond
"ndio"
"gari gani"?
"lile tuli lokuja nalo"
"haiwezekani hata kidogo"

Kweli jambo lile lilizidi kuwa shangaza wauguzi wale, ambao walioinekana kuwa na haraka huku wakiikimbiza machela ile aliyo lala Ramsey, pengine walihani aligongwa na LOri kubwa la matera au mafuta

RAmsey kwa wakati huo alikua haelewi nini kina endelea chini ya jua, hakuelewa alipo,
kila mtu hakuweka matumaini kuwa RAmsey angepona, sio wauguzi hata watu waliomleta ila jambo hilo walimuachia Mungu, Florence Masue,
aliji kuta analia kwa uchungu, alilia machozi japo hakuelewa kwanini analia, japo alikua mtoto mdogo wa miaka kumi na mbili, ila alijua fika kwamba mtu aliye gongwa na kaka yake aliikua katika maumivu makali sana ambayo yasiyo ya kawaida!

*******

"Mimi nadhani, mkatafute, huo mwili MONCHWARI , kwa sababu gani ujue, kuna ajali zili tokea hapa kati kati, ndo maana na waambia ivyo, jaribuni kumtafuta mahospitali mbali mbali, huku sisi tukiendelea kufanya kazi yetu"

sauti ya upande wa pili kupitia simu ili sikikika, RPC MKumbo ndiye aliye towa wazo hilo baada ya kusumbuliwa sana na LOydah, dada yake na Ramsey.
"ina maana kwamba ata kua amekufa,?"
"sija sema ivyo mwanangu, ila nime kushauri"

LOydah alijikuta ana lia machozi tena, alikata simu huku akilia na kumta futa Kway, aliamini huyo ndiye ata kua msaada pekee, kweli alimpa taarifa zile na kupanga kesho yake asubuhi sana waonane ilii waanze kupita monchwari zote,

asubuhi ya kesho yake kuli kucha na kuaanza kila hospitali kuulizia, walizunguka hospitali zote na mwisho kufika hospitali ya AMANA , Kway aliingia chumba hiko maalumu kwa ajili ya kuifadhia maiti, huku pembeni akiwa na daktari

wakiwa wana fungua mafriji ya maiti za watu, kweli aliji vika roho ya ukatili, kitendo cha kuangalia maiti hakikuwa cha kawaida kiliiihitaji moyo sana wala si vinginevyo, hakuwa na jinsi alichotaka yeye ni kujua jambo moja tu kupata uhakika kama rafiki yake RAmsey kweli alifariki dunia,

mafriji yalizidi kuvutwa huku LOydah akiwa nje , hakuthubutu kuingia hata mara moja,
sababu aliogopa sana.

Macho ya kway yalitua juu ya maiti moja, baada ya friji hilo kuvutwa, alihisi ana ishiwa nguvu hakuamini mtu aliye muona ndani ya jokofu lile, nguvu zili muishia na kutamani kutoa chozi, ila alijikuta akiji kaza kiume, moyo ulimuuma sana alihisi ume pigwa na ganzi ya ajabu kupita maelezo,

"ndo huyu"?

DAktari yule alimuuliza Kway, ila hakutoa jibu kutokana na kuishiwa nguvu hata alivyotaka kujibu alihisi mdomo ume pigwa na ganzi,



Tamaa za mali zili zidi kuusonga ndani ya ubongo wake, hakujua hali hiyo ili toka wapi, lakini tayari shetani alimuingia prosper na kuwaza kitu kimoja tu auze shamba ya Ramsey pamoja na duka lake alita ifishe au ikiwezakana aliuze kabisa, akimbie mbali, alitamani muda wowote asikie Ramsey ame fariki dunia, au hata akijua alipo aende akammalize kabisa,

siku iyo akiwa kitandani kwake amelala aliwaza sana juu ya mali za rafiki yake huyo, hasa alijua kivyovyote vile

shamba la Ramsey ili kua siri sana ambayo walijua watu wawili tu,yeye na ramsey, hivyo hali iyo haikumuumiza sana kichwa hata akiliuza hakuna atakae jua, kutokana na uwaminifu wa RAmsey juu yake aliji kuta ana muonesha hati zote zilipo, alimuamini sana rafiki yake prosper kuliko mtu yoyote yule duniani, hakuwaza hata siku moja Prosper atakuja kumgeuka,

hakuna kitu chochote cha RAmsey ambacho alikua hakijui, alikua ni zaidi ya rafiiki kwake pengine ni zaidi ya ndugu lakini leo hii hakuelewa kwanini ana waza yote hayo.

"potelea mbali nauza kila kitu nasepa, au ikiwezekana nimuuwe kabisa!"
aliwaza Prosper huku akiji funika na kugeuka upande wa pili hakika alisahau fadhila zote ambazo alifanyiwa na RAmsey , hayo ndiyo mawazo ambayo yalikua yakimtesa siku chache zilizopita.

****

Kway hakuamini alicho kiona ndani ya friji lile ili kua ni maiti ambayo ili umia vibaya sana, ili tolewa macho yote mawili na kubaki fuvu, kwa haraka haraka maiti hiyo ili kua imechomwa moto,
na kukauka kama mti

Kway bila kuuliza tena chochote ili bidi atoke nje mbio mbio, hakutaka tena kuendelea kubaki mule ndani, kweli alionekana kuogopa sana kupita kiasi ,

"vipi ime kuaje, Kway ime kuaje?"
'"tuondoke"!
"tuondoke kivipi tena"?
"RAm hayupo humu"

ALimvuta Loydah na kuanza kuondoka.
nea huku picha ya maiti ile iki mjia kichwani
******

"Doreen"

aliita RAmsey huku akimuangalia Doreen na kuanza kumka gua kila mahali kama ana majeraha
"vipi RAmsey, mbona una kua ivyo baby wangu"?

alideka Doreen huku akisogeza mdomo wake na kutaka kumpa denda
Ramsey
"Noo subiri kwanza, mbona sikuelewi elewi"?
"uni elewi kivipi"?
"wewe si ume kufa"?
"acha kuni chekesha,!"

RAmsey akiwa mwenye furaha sana alianza kumnyonya denda Doreen huku akishusha mkono wake chini ya ikulu ya Doren na kufanya miguno, alisogeza ulimi wake juu ya maziwa ya Doreen na kuanza kuya nyonya taratibu sana kwa zamu, huku mkono wake mmoja ukiya shika masikio ya Doreen,
na kuingiza vidole vyake ndani ya shimo la sikio moja na kumfanya Doreen abinue binue shingo akihisi kutekenywa

"aaassh Raamm..."
"Doreeen"
"abeee"
"naomba usiniache tena"
"siwezi mume wangu"

wakiwa juu ya kitanda kikubwa sana, Doreen kama kawaida yake hakutaka kuwa mzembe alifungua zipu ya RAmsey na kutoa AK 47 yake na kuiweka mdomoni huku akiinyonya kama koni au pipi kijiti, Ramsey akiwa amelala chali alihisi kweli yupo Dunia nyingine huku akiwaza ame fika fikaje maeneo yale , wakati muda mchache alikua akipokea kipondo kikali kutoka kwa mwasha,ila hakupata jibu,

akili yake ili mtuma kitu kimoja tu, aendelee kubaki pale pale, wakiwa kama walivyo zaliwa doreen alipanda juu ya kifua cha RAmsey na kuanza kulana denda taratibu sana kama njiwa! Ramsey alimtupa Doreen pembeni na kumpanua miguu yake na moja kwa moja kuingiza ulimi wake kati kati ya ikulu iyo akitumia ncha ya ulimi na kuanza kudeki bahari taratibu sana..

"Ramm mmmhh aaashhhass"

Doreen alihisi raha za ajabu sana huku akiya fumba macho yake na mkono wake mwingine ukiwa juuu ya ikulu yake akiji chezea mwenyewe na mkono mwingine akijishika chuchu zake,

"RAm subiri"

Doreen alisimama na kuchukua chupa iliyokua chini pale
"iyo nini"?
"asali"
"ya nini"?
"nataka nipake kwenye iyo kitu"

Doreen alimimina asali ile juu ya mashine ya Ramsey nayeyey kujimiminia juu ya maziwa na kufanya kila mtu aanze

kulamba sehemu iliyopo asali hiyo, zili kua ni raha za jabu sana, wali jihisi wapo dunia nyingine, dunia ya mahaba, dunia ya raha sana, hawa kutamani raha zile zziishe hata mara moja. pata shika liliendelea na tayari Doreen alifika kilelelni na kumfanya Ramsey aanze safari ya kuchimba mgodi huo,

alichimba mgodi kiufundi akimuweka kila aina ya staili na kumfanya Doreen azidi kuchanganyikiwa sana huku akipiga kelele nyingi za raha, Ramsey alimkunja na kupanda juu yake huku akiendelea na pata shika ile. baada ya dakika chache tayari walikuwa wame ji funika huku Doreen akiwa kifuani mwa Ramsey,
"RAmsey nikwambie kitu"?
"ndio baby"
"hivi mfano ukiambiwa urudi, duniani na ubaki na mimi huku uta chagua wapi"?

Ramsey alitoa macho yake , hakutaka kuamini kama duniani alikua amekufa, alibaki akimwangalia Doreen jinsi alivyo zidi kuwa mzuri, na damu yake kuanza kuche mka, kweli alikiri Doreen ni mzuri siku hiyo tena alizidi mara dufu, hasa alivyo kuwa akicheka huku akimwangalia, na kuamini kweli walikua dunia nyingine.
"kwani huku ni wapi"?
"huku tuko mbinguni"
"nita baki nawewe baby wangu, nakupenda sana Doreen, acha nibaki huku sitaki kurudi duniani, nime teswa sana acha nipumzike"

Ramsey alimvuta Doreen upande wake na kuanza kunyonyana ulimi tena, ila wana katishwa baada ya kumuona Josephine kaingia ndani ya chumba hiko, hakuelewa ameingia vipi, alicho jua yeye alipo ni mbinguni na duniani alikua ame kufa, josephine alifikaje, na kujua nayeye ame kufa tena aliuliwa na mwasha, baada ya yeye kufa,

baadae wana ingia watu sita walioshiba huku mikononi wakiwa na mapanga,

Josephine aliwapa Amri moja tuu wamuuwe Doreen, kweli watu wale wali mfuata Doreen , ila RAmsey alianza kupambana nao lakini baadae wana mzidi nguvu na kumtupa pembeni wakimpiga mapanga Doreen na damu nyingi kurukaa kila upande , Ramsey alilia sana
"Josephine kwa nini una fanya hivi"?
"sababu nakupenda RAmsey"
Ramsey alisimama na kwenda juu ya mwili wa Doreen huku akiita kwa sauti

*******

"Dor....eeen"

Madaktari walishangaa sana kusikia Ramsey anaongea na taratibu kuanza kutingisha vidole vya mikono yake kuashiria kua hali sio mbaya sana, japo kwa wakati huo alikua ana pumulia mashine ya hewa, matumaini yali warudia madaktari.

"ina bidi umuongeze sindano nyingine ya ANTI BIOTIC, ili sumu itoke,"
"ila doctor, si tayari iyo sindano?"
"naelewa ila mchome nyingine, alafu muongezee na dripu nyingine ya glucose"
alishauri daktari
kweli kitendo kile kili fanyika mara moja. huku Ramsey akiendelea kuli taja jina la Doreen,

*****

bado RPC Mkumbo alizidi kumiza kichwa na kuletewa simu ambayo waliiokota na kuanza kuipekua.
na kuingia uwanja wa meseji

"BOSI TAYARI TUSHA MUUA SASA INA KUAJE?"
"MTUPENI BAHARINI MARA MOJA, ALAFU MJE KUCHUKUA MALIPO, DULLY USINIANGUSHE"

ulikua ni ujumbe mfupi wa maneno ambao ulisommwa na Rpc mkumbo, na kujua wapi angeanzia, yalikua ni mazungumzo baina ya josephine na Abdul kupitia meseji, kipindi cha nyuma.

alicho fanya RPC Mkumbo aliandika namba zile pembeni na kuanza kuita futa mmilikia wa namba ilie.

"mmiliki wa namba hii ana itwa DOREEN DAVID MWASHA, ni mkazi wa oysterbay, nina uhakika ame fanya mauaji, kipindi cha nyuma, na nina aamini pia, ata kua ana jua Ramsey alipo,fanyeni iyo kazi mara moja."

haikuwapa shida maaskari sababu baadhi yao walimjua Mwasha, ivyo walianza safari ya kuelekea oysterbay.

Mr, Mwasha baada ya kuona JOsephine kagoma kutaja Ramsey alipo aanamua kumpiga vibaya sana huku akimvuta nje akiwa na bastola mkononi kwa nia moja tu amuuwe, sababu aliamini kufanya ivyo, ndipo ata poteza usha hidi ila kabla ya kufanya lolote, wana hisi geti lina gongwa na kufunguliwa kwa nguvu na askari nane kuiingia,

"weka silaha chini , kabla ya yote"

mr, mwasha aliweka silaha yake chini na kusalimu amri sababu mbele yake aliona mapolisi hao wakiwa na SMG mikononi wakiwa tayari kumfyatua endapo ataenda kinyume ,
"Ramsey yuko wapi wewe mama"?
"Ramsey, RAmsey, huyu hapa ndo alimteka,mimi najua alipo twende nika wapeleke"

MR, mwasha alipigwa pingu kwa nyuma na wote kutoka nje,

"nawewe mama upo chini ya ulinzi"
"kwa kosa gani"?
"kwa kosa la kushiriki kuuwa"
"hapana sio mimi, nime muuwa nani?"
"utaeleza kituoni"

wote waliingizwa ndani ya deffender na safari ya kuelekea kituoni kutoa maelezo kuanza,,,



ndani ya defender iyo sio Mwasha wala josephine kila mtu alikua akitetemeka kwa hofu!. ndani ya fikra zao waliona milango ya gereza ikifunguka na kutupwa ndani wakihukumiwa vifungo vya maisha. lakini katika upande wa pili ndani ya akili ya Mr.

Mwasha aliwaza juu ya mke wake ni mauaji gani ambayo aliyo shiriki na kukosa majibu.
"Ramsey yuko wapi?"
swali hilo lilitoka mdomoni mwa askari mmoja aliyeshika kirungu,

kweli aliuliza kwa hasira za waziwazi sababu hakuna kazi iliyowapa shida kama kazi hiyo. huku nyuma wakipewa vitisho mbalimbali kutoka ngazi za juu, hususani RPC Mkumbo ambaye aliwafanya polisi hao wakeshe usiku na mchana bila kulala.

"usinitumbulie mimacho, nijibu swali langu"
"mimi sijui"
"unasemaje?"
askari huyo aliyeonekana anahasira aliinuka na kumpiga Mwasha kirungu cha mguu, alivyotaka kuendelea na zoezi lile wenzake walimshika.

"shane punguza hasira, unaenda kinyume na sheria huyu ataeleza kila kitu kituoni usiwe na wasiwasi".

ilibidi afande shane atulie . deffender hizo zilizidi kuchnja mbuga na safari ya kuelekea kituoni kukaribia,
muda wote huo Josephine alikua akilia machozi ya uchungu na hakuona kingine zaidi ya kujua sheria ingefuata mkondo wake.
kiukweli hakuelewa mwisho wa maisha yake ungekuaje, hakujua pia kama Ramsey alipona au alikufa japo alitamani kujua habari hiyo lakini hakuwa na uwezo, kichwani alimlaumu sana Doreen kwa kitendo kuwa piga picha licha ya hayo alijipongeza kwa kitendo cha kumuuwa.

**********

zilipita wiki mbili sasa ilienda ya nne hatimaye kukamilisha mwezi Kway na Loyda hawakuacha kumsaka Ramsey ila majibu ya RPC Mkumbo yanazidi kuwachanganya akili, sababu
kwa wakati huo hakuwa tayari kutoa jibu kamili.

"bado tupo katika uchunguzi, kila kitu kikienda sawa tutawajulisha"
hayo ndiyo majibu ambayo walipewa wakina Loyda na Kway kutoka ka RPC Mkumbo. kila siku iendayo kwa Mungu, bila kujua tayari Mwasha na Josephine mikononi mwa polisi, kweli waliamua kufanya siri ili wakamilishe upepelezi wao!

*******

"naomba ufanye juu chini uende hospitali zote, nataka Ramsey afe maana nitafungwa"
maneno hayo yalitoka mdomoni mwa Mr. Mwasha akiwa ndani ya nondo (mahabusu) akiwa anaongea na kijana wake KIKUNDANKYALO ambae kweli anafanana na jina hilo, sababu alikua ana sura mbaya yakutisha iliyobeba makovu ya kila aina usoni na mwili mzima.

"consider it done (tegemea imekwisha)"

kweli yalikua ni maneno ya uhakika kutoka kwa KIKUNDANKYALO huku akikaza macho na kutunisha misuli kwa ujasiri

mkubwa kupita kiasi. maneno yale yalimfariji sana Mwasha, hakika alimuamini sana kijana wake huyo kuliko vijana wake wote,hakuwahi kuaribu kazi yake hata siku moja iliyoenda kwa Mungu, kweli alimuamini kupita maelezo yaliyo jitosheleza. alimuhakikishia kwamba ndani ya masaa ishirini na nne kazi yake itakua tayari.

*****
"chukua hii milioni mbili ukamilishe nilivyokuagiza"
alisikika akisema KIKUNDANKYALO huku akitoa burungutu la hela.

baada ya kutoka mahabusu na kumuacha Mr. Mwacha, KIKUNDANKYALO ALIELEKEA MOJA KWA moja kijiweni kwenye
makambi yao ambapo aliwatafuta vijana wa kazi ambao walipita kila hospitali na sehemu zote walizoamini Ramsey anaweza kuwepo. baada ya masaa ishirini kupita bila ya mafanikio na wote wakiwa wamekata tamaa, kijana mmoja alikumbuka hospitali ya misheni ambayo ilikua nje ya mji umbali wa maili mia mbili hivi. wote walifunga safari na kuelekea katika hospitali ya St. theresa wakijipanga nini cha kumwambia bosi kama wakimkosa Ramsey maana asingeshindwa kuwaua kwa ukatili bila kufikiria mara mbili, na huo ulikua ukweli halisi maana Mr. Mwasha hakua mtu wa mchezo au kuchezea hata mara moja!

kweli wali fanya kazi kwa kuhaha sana wakitumia umakini wa hali ya juu sana, japokua KIKUNDANKYALO, alikua katili ila alimuogopa sana mwasha sababu alikua katili wa chini chini.

"aisee tukimkosa huku sijui itakuaje!..."
alisika akisema kijana mmoja liyekua akiendesha gari hilo.

"ni lazima tumpate"
KIKUNDANKYALO alisema kwa ghadhabu kubwa huku akitoa mimacho, ilionesha alipania kumuua Ramsey kwani hakutaka kumuangusha bosi wake aliyemuweka mjini.

walifika hospitali hapo na kufanikiwa kumkuta Ramsey aliyekua amelazwa hapo. pia walifanikiwa kumuhonga daktari mmoja aliye waahidi kuwapatia mavazi na vitambulisho vya kidaktari ambavyo vingewawezesha kuingia hospitali kwa urahisi na bila kuulizwa na mtu yeyote.

wakati yule daktari akishughulika na kufoji vyeti vya kumhamisha Ramsey hospitali uroho wa hela ukiwa umemjaa kama fisi ajavyo mate aonapo mzoga, vijana wale walienda kutafuta ambulance ya kukamilishia kazi yao.

"saini fomu hii ya kumhamisha mgonjwa wodi namba 11 kwenda hospitali nyingine"

dokta Godbless aliongea huku akimwekea zile fomu mezani dokta aliyekua zamu usiku ule.
"haiwezekani, huyu mgonjwa ana hali mbaya na haruhusiwi kuhamishwa ndio maana ameletwa hapa"
"hivi unajua unaongea na nani?
nitakuharibia kazi sasa hivi. kama unataka kibarua kisiote nyasi saini hizo fomu, sasa hivi!"

ilibidi dokta Godbless afoke maana aliona dokta yule anamwekea kiwingu na kutaka kumuondolea dili la hela ndefu. baada ya kutishiwa aliogopa na kusaini zile fomu bila kuuliza swali au kitu kingine chochote kile.

"mipango yote ipo tayari njooni mchukue mzigo wenu, "

alisikika akiongea dokta Godbless kwenye simu. baada ya dakika ishirini KIKUNDANKYALO alifika hospitali pale, na vijana wake, akiwa na ambulance,

walipewa makoti ya hospitali na vitambulisho vya madaktari huku wakielekezwa alipokua amelazwa Ramsey. walimchukua Ramsey huku akiwa hajielewi kwani fahamu zake zilikatika kipindi alipopata ajali. moja kwa moja
kweli hakua ana elewa lolote lina loendelea duniani, laiti angeelewa wenda angekurupuka na kutoa mbio ndefu.

walimwingiza kwenye ambulance hiyo huku ikitoa mlio kuashiria kuwa wana dharura na kuondoka hospitalini hapo kwa spidi ya ajabu kuelekea kusikojulikana ili kumtokomeza kabisa Ramsey.
kweli wali panga kumuaa.

"si tumkabe na mto tu huyuu, maana hawezi hata kupigana ni kama mfu"

kijana aliyekaa kilipo kichwa cha Ramsey alisema kwa majigambo makubwa. wote walikubaliana na kuamua wafanye hivyo, baada ya kuchukua mto huku akijiandaa kumkaba nao juu ya mdomo na pua .
ghafla mbwa alionekana akikatiza barabara mbele ya gari ambapo ilisababisha gari lile kupoteza uelekeo...........


“Kobelo huyo bado hajataka kusema kitu chochote kile?”

Rpc MKUMBO aliuliza baada ya kupita maabusu pale na kumuona Mwasha anavyo pokea mateso ya kipigo kikali lakini bado hakuwa tayari kufungua mdomo wake kuongea chochote kile,ilibidi RPC Mkumbo aingie ndani ya maabusu

na kumuangalia Mwasha ambae bado alionesha sura ya kutotoa jibu lolote lile,

“Mr, naomba ushirikiano wako”
“ushirikiano gani, nisha ongea kila kitu,”
“mwasha nisikilize kwa makini, mkeo kaongea kila kitu, naomba nijibu swali langu moja tu, RAMSEY yuko wapi?”
“mimi sijui, mkamuulize huyo huyo, na nina muhitaji mwana sharia wangu, sitoongea chochote kile”
“okay”!

Rpc Mkumbo alitoka nje na baadae kurudi akiwa amekasirika sana sura yake ili onesha dhahiri kuwa ameka sirika sana , kweli alitaka kujua Ramsey alipo kwa wakati ule na wala si vinginevyo, maana vitisho vilizidi kutoka kwa JENNIFER KAUWEDI kutoka serikalini akipigwa mikwara kuwa endapo hawa to mpata Ramsey ita pelekea yeye

kushushwa cheo, alirudi ndani ya maabusu ile na kumvuta Mwasha akitupia nguvu nyingi.
“uta niambia tu,, nasema hivi uta niambia kile nacho taka kujua.
“kobelo, niletee huyu mtu ofisini kwagu”

Msobe msobe Mwasha aliinuliwa na kuingizwa ndani ya ofisi ya Rpc Mkumbo, ambapo pembeni ya ofisi iyo kulikua na chumba kidogo sana, moja kwa moja alitupwa humo ndani.

Muonekano wa chumba kile ulimfanya jasho jembamba lianze kumtoka, aliona pembeni yake kuna kiti cha umeme, alivyoangalia juu ya meza aliona nyundo, visu vidogo, na viwembe alikadhalika na vitu vingine vyenye ncha kali sana, alijua kivyovyote vile ana enda kupokea mateso makali sana, ila hakuwa tayari kuongea lolote lile aliapa,

Sababu jambo alilokua akisubiri muda mchacche ujao ni kupewa taarifa za kifo cha Ramsey kutoka kwa kijana wake na si vinginevyo, hilo aliamini lita tokea ,

Baadae ana ingia RPC Mkumbo akiwa na mkasi mkononi na kuka pembeni yake.
“una ona ivyo vifaa hapo pembeni yako”?
“nakuuliza una ona ivyo vitu?, hata kama haujibu, napenda kuku hakikishia , utasema, wapo waliiokua wabishi kama wewe, ila waki fika humu , wana sema, usijidanganye hata kidogo”
“mimi sijui chochote”

RPC mkumbo ambae mwenye sifa moja tu ugaidi, kweli alikua gaidi hasa katika swala la kazi yake, hakuwahi kutokea hata mtu mmoja kujaribu kuficha siri endapo ata fika mikononi mwa Mkumbo,
Alimvuta mwasha na kumfunga juu ya kiti cha umeme,

Na kuzungusha switch, na kumfanya Mwasha aanze kupiga kelele za maumivu sana kweli alipiga kelele sana huku jasho likianza kumtoka mwili mzima,
“sema Ramsey yuko wapi”?
“yuyuyupo yuyupo subiri”
“niambie yupo wapi”?
Mkumbo alifoka huku akizidisha kasi ya umeme ule na kumfanya Mwasha azidi kutetemeka, kwa hasira Mkumbo alizidisha tena mpaka mwisho na kufanya mpaka kiti kile kianze kutoa Moshi mwingi sana,
Sana pamoja na mvuke

Ukimnya ulitawala ndani ya chumba hiko Mwasha akiwa ametulia , mateso yale yali mfanya apoteze fahamu zake na kuzirai juu ya kiti kile, aliinuliwa na kulazwa pembeni, Maji ya baridi sana yali letwa na Mwasha kumwa giwa,
“amka amka amka, Ramsey yuko wapi, leo leo utataja KUNGUNI wewe”

“mimi sijui, mara ya mwisho, mara ya mwisho, aaa aaaah”
“una nitania naona”
RPC mkumbo alisimama na kuiendea meza hiyo iliyo kuwa na kila aina vitu vyenye ncha kali, alionekana kuta futa kile ana cho kitaka na kuona KOLEO ya kuka tia vitu vigumu, alimfuata moja kwa moja Mwasha na kufungua mdomo wake,
kwa nguvu sana alimfungua mdomo na kuingiza koleo lile ndani ya mdomo wa Mwasha na kumtoa jino moja la mbele bila ganzi, hakika yalikua ni zaidi ya maumivu sababu alivyo toa koleo, zili ruka na damu nyingi sana kutokea mdomoni
“nita fanya ivyo mpaka meno yote yaishe mdomoni. Ubaki kibogoyo!”
Mr, Mwasha alilia sana huku RPC akizidi kutoa meno yale mdomoni mwa Mwasha tena bila ganzi yoyote ile, hakika hakuna bina damu yoyote angeweza kustahimili mateso yale,

Alijitahidi kukaa kimnya ila aliji kuta uzalendo una mshinda hakika yalikua mateso ambayo hayakua na mwisho hata kidogo.

“KIKUNDIYANKALO,kikiiki kundyankalo”
Mwasha aliongea huku akilia machozi sana akiwa ame fungwa mikono nyuma. Huku damu nyingi zikiwa zina mtoka mdomoni kama mchuzi, RPC mkumbo ili bidi asitishe zoezi lile.
“ndo kilugha gani hiko, una zungumza una nitukana,”?
“kikikikundiyakyalo, ndo ndo nime muagiza, ameniambia Ramsey yyuuuupo st, Theresa,”
“una tudanganya”!
“siwezi kuku danganya afande, siwezi kusema uwongo”
“endelea kusema”
“nili watuma waka muuwe, naomba usiendelee kuni tesa ukweli wangu ndio huo, AFANDE naomba nisamehe mimi, “
Kweli Mwasha alilia kama mtoto siku hiyo, alihisi maumivu ya kifo
Hakuona sababu ya kukaa kimnya na kuendelea kupokea mateso yale kutoka kwa RPC ambaye alionesha hali ya kutokua na masihala wala mzaha hata punje,
“Afande Moza, chukua Deffender. Nenda st, THERESA sasa hivi”

Rpc Mkumbo alitoa agizo hilo huku akitoa simu akiwa pigia Kway na LOYDAH akiwaambia waende st, Theresa huko ndipo Ramsey alikua ana patiwa matibabu, bila kujua tayari Alisha tekwa nyara , kama
ange jua asingesema maneno hayo kutoka mdomoni mwake, upande wa pili Loydah na Kway walionekana kuwa wenye furaha kupita kiasi, na hapo hapo kuanza safari ya kuelekea hospitalini st Theresa iliyo kua nje kidogo na mji wa Dar es salaam,

*********

“para panda italia, paranda, wata kua wame kwisha nyakuliwa, kweeeenda kumlaki bwana yesu mawinguni, … tuonane paradiso, tuo tuonane para disooo, tuonane”
“uwii Ramsey mdogo wangu”

Ili kua ni nyumbani kwa Loydah dada yake na Ramsey, kili kua ni kilio chenye simanzi sana, hakuna hata mmoja aliye kua ana kubali kuwa leo hii Ramsey ame fariki dunia, kili kua ni kilio cha kuuzunisha sana,
Loydah, alilia na kuzimia mara saba, kila akizinduka ana zimia tena, hakika hakutaka kuamini kama leo hii Ramsey

kafariki dunia, alitamani iwe ndoto, alitamani jambo lile liba dilike, ali tamani japo kumuona Ramsey kwa mara ya mwisho, ila alikuwa kasha chelewa, watu walilia sana, hakika Loydah alilia mpaka sura yake ikabadilika rangi, machozi yote yalika uka kabisa.
“Ramseeey mdogoo waaaangu, ume niacha mwenyeweee, ume niacha eeeh Mungu weeee, eeeh Mungu wangu, mrudishe mdogo wangu”

Kway aliye kua pembeni yake wakisaidiana na mume wake Loyda walikua na kazi kubwa sana ya kumbeleza Loydah kwa wakati ule bil,a mafanikio yoyote yale ili kua ndo kama wana chochea azidi kulia, hakika ulikua ni msiba wa kuuzunisha sana, kila kona ya pembe zilisikika sauti za watu wakilia,
Hata Esta pia alikuwepo akilia kama mwenda wazimu, watoto wa kike wengi walilia sana , walilia kwa mengi ndani ya mioyo yao, Monanlisa nae alikuwepo na Fetty hawa kutaka kuamini kama kweli Ramsey katoweka duniani, katoweka kwenye sura ya dunia, hawa tomuona tena, hawa topewa penzi kama la Ramsey tena, hakika walikua na maumivu mioyoni mwao.

Kilikua ni kilio kikubwa sana watu walizidi kufurika katika msiba huo, na kwenda kumpa pole Loydah na kujumuika katika msiba huo.
“Loydah usilie sana, kwani hatuna uhakika kama Ramsey kafa kweli”!

Aliongea Kway huku akijaribu kumfariji Loydah kwa wakati ule
****


*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)

0 comments:

Post a Comment

BLOG