Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

MAHABA NIUE SEHEMU YA 6/10



MAHABA NIUE
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 6 KATI YA 10
*******
 *******

Asubuhi kulivyo kucha haku muona Josephine alijua alikua kwenye msiba bado ivyo ana muachia
maagizo Hamida kuwa amwambie alitoka kwenda kariakoo.

alienda mpaka kwenye kabati na kuchagua funguo moja kati ya nyingi iliyoandikwa BENZ na kutoka nje na kuchukua gari aina ya benz na kuli tia moto na kuondoka kuelekea dukani k,koo.

baada ya dakika arobaini tayari alifika dukani kwake, ila katika hali ya kushangaza alivyotaka kuingia ndani ana ona polisi wanne wamemfuata na kumshika mkono,
"wewe ndo Ramsey?"
"ndi ndio ndio ndo mimi"

Ramsey alibabaika sana na kuishiwa nguvu kuliko maelezo.
"una hitajika kituoni sasa hivi"
aliongea polisi mmoja kati ya wengi


Ramsey alishusha pumzi nzito sana iliyo changanyika na uwoga, kweli alihisi haja kubwa imem-bana maana alijua kivyovyote vile yalikua ni mahojiano kuhusu kifo cha Doreen. Watu wa pale walianza kumshangaa na prosper aliyekua ndani dukani alitoka nje na kushindwa kuelewa nini kime tokea,

jasho jembamba lilianza kumtoka Ramsey na kuanza kupata picha jinsi gani atakavyo kwenda kuozea rumande au pengine jela kabisa,

ila alibaki akitoa macho na kushangaa baada ya kumuona ESta ana shuka kwenye piki piki huku mwendesha piki piki ile alikua ni yule mwana ume aliye muona kamshika kiuno siku chahe zilizo pita maeneo ya stendi, sura ile haikuweza kumtoka kichwani kamwe.

"baby mtu mwenyewe ndo yule pale"

ESta alikua akija upande alipo huku akiongozana na mwanaume yule aliye kuwa mweupe sana kama albino,
jamaa yule alienda pale mbele ya Ramsey na kumtandika ngumi ya tumbo
"wewe una mpiga huyu una mjua"?
aliongea jamaa yule kwa jazba na Esta kusogea karibu.
"tena askari, alinitishia na kisu kabisa, alitaka kuniua ni kawaida yake kunipiga kila siku, Dullah baby ume fanya vizuri sana kumuitia polisi"

Ramsey alianza kupata picha kumbe polisi wale walisababishwa na Esta, alitamani amfuate Esta na kumtandika ngumi moja ya taya ili atoe meno yake yote ili kama kufungwa aka fungwe vizuri, ila hakutaka iwe ivyo kutokana na angeongeza ukali wa kesi ile,
"yaani wewe una mpiga mwanamke?, una kesi kubwa sana, twende huku"
aliongea polisi huyo huku akimshika kwa nguvu.
"afande taratibu, usinishike ivyo, mi sio jambazi"
"una semaje wewe"?
"nasema ivi mimi sio mwizi usini shike ivyo"

Ramsey aliutoa mkono ule ambao ulikua juu ya shati lake na kuutoa kwa nguvu
ESta alimfuata na kumpiga kibao cha shavu Ramsey kilicholia kwa nguvu.
"ESta"
Ramsey aliita akiwa mnyonge sana
"koma wewe, wewe una nijua mimi?"
"sitaki kuamini kama wewe leo una nifanyia haya, wewe wa kuniitia mapolisi leo"?
"askari mpeleki huyo akanyee debe"

Aliongea Dulla akiwa na ESta pembeni, wakati huo prosper alikua ana shindwa cha kuongea, na kubaki akikaa kimnya huku akimuonea sana huruma Ramsey
"Prosper shika simu yangu hii mta fute Joylah . mpigie alafu amwambie Kway nipo polisi aje msimbazi pale"
"kwanini sasa Ramsey nimpigie yeye?"
"wewe mpigie nina maana yangu"

Kweli Prosper alichukua simu ile. na Ramsey kuingizwa ndani ya Deffender akiamini kuwa Kway ata msaidia kivyovyote vile sababu alikua ana ndugu yake mkuu wa mapolisi mkoa wa Dar es salaam IGP willson Kamuhanda. ivyo alitoa namba ile makusudi ili aweze kusa idiwa. hakutaka kumshirikisha JOsephine katika swala hilo sababu hakutaka ajue lolote lile .

wakati mwingine alitoa wasi wasi na kujua kesi hiyo haitokua nzito kuliko alivyodhani kuwa ni kuhusu kifo cha Doreen
"harooo una mpiga mwanamke yaani wewe ni kifungo tu bwana mdogo, jina lako nani"?
aliongea askari huyo huku akimwangalia Ramsey ambae alikua amekaa kimnya muda wote,
"huongei sio, uko unapoenda lazima ukakalie chupa, na utaongea tu"

kutokana na ukaribu wa kituo iko cha polisi kuwa karibu, walifika msimbazi na kushuka ndani ya Deffender na Ramsey kuingizwa ndani,
"vua mkanda"
"afande sija fanya kosa naomba, unge nisikiliza namimi upande wangu"
"embu vua mkanda wewe, fanya haraka weka mkanda hapo na suruali fanya haraka na shati hilo"
"lakini afande mimi"
"usilete ubishi fanya upesi"

mabishano yale yaliishia baada ya Kway kutokea akiwa na joylah na kumfanya Ramsey awa geukie kwa huruma
"bratha vipi nini tatizo"?
"kaka acha tu"
"wewe mtu humiwa embu vua mkanda kabla sija chukua hatua jingine"

alizidi kuongea askari yule,
"afande za kazi, naomba tuongee kuhusu huyu kijana mara moja, "
aliongea Kway huku akimsogelea askari yule
"uongee nini na mimi wewe, kwanza tokeni nje haraka sana, nawewe utaingia ndani, yaani huyu ndani moja kwa moja, hakuna mjadala"

Askari yule alionekana kukaza na kuanza kumfukuza Kway na Joylah nje ya kituo, ila Kway alitoa simu na kuiweka loud spika huku ikiwa inaita
"eeeh Kamuhanda ,"
"niambie Kway, ndo upo kituoni sasa hivi, ulisema binamu yako amekamatwa"?

askari ayule kusikia vile ili bidi atulie
"ndio Ndugu yangu, nipo hapa kuna askari ana niletea shida kidogo"
"jina lake nani nisomee namba yake"?
asakri yule kusikia vile alianza kubabaika na kuonekana mwenye wasi wasi mwingi kuhofia kupoteza kibarua chake.
"huyu hapa ongea nae"
Kway alimkabidhi ASkari yule simu na kuanza kuongea,
"una jua unaongea na nani?
"ndio mkuu najua"
"aya naomba uyo kijana atoke hapo sasa hivi, "
"sawa mkuu"

simu ile ili katwa na ASkari yule kutoongea chochote kutokana na aibu kubwa kumpata pale. alimruhusu Ramsey atoke mara moja na Ramsey kuachiwa huru.

alimshukuru sana Kway kwa kitendo kile ambapo bila yeye sasa hivi ange kua ananyea debe.
"twende nimepaki gari huku, Prosper alivyo mpigia simu Joylah, nili kua nae huku k,koo, ndo maana nika fika haraka, pole sana, bila shaka ni yule msichana aliye fanya fujo siku ile"?
"ndo huyo huyo ndio"
"nili jua tu, mi nakwambiaga kila siku yule mwanamke wako mswaili sana, achana nae Ramsoo"

walitembea mwendo wa dakika kama kumi na kuingia mtaa wa Agrey ambapo walipanda ngazi na kuingia ndani ya ofisi moja,

ambapo ndani yake alikua mwanaume mmoja mnene kiasi, mikononi alikua amevaa dhahabu hata cheni zilikua za dhahabu, na kuonekana kuwa hakuwa mtu wa mchezo,
"Ramsey huyu meneja wangu anaitwa Sunday John Muna, ndo katika kazi zangu za uandishi yeye ndo ananipangia kila kitu, ungewahi kuja ungeonana na Erick Shigongo hapa leo, na Marry wa Mamito nili kua nao wote"
Ramsey alimpa mkono Sunday Muna na kukaa juu ya kiti kile kilicho kua pembeni,
"kaka mambo yako sio madogo, shemeji una faidi sana"
Ramsey alimgeukia Joylah ambae muda wote alikua akichat
"hahahaha kawaida Ramsey si unajua tena, mke wa mtunzi, alafu haja kwambia very soon tuna enda Moshi?"
"hapana akuniambia bwana"
"aaaaah Ramsey , alafu nili taka kusahau kukwambia mwezi ujao naenda Moshi , kumtambulisha huyu shemeji yako, sasa naomba twende wote nataka kampani yako"
"poa hakuna shida tutaenda kunywa mbege "

"sasa Kway, hiii story ina bidi urushe kesho jioni tena, alafu naona tupandishe dau mwezi ujao, na kile kitabu chako kipya kisha toka, kesho uta kipata kwa Marry wa Mamito"

Aliongea sunday Muna akiwa makini sana juu ya komputa ile.

************

tayari msiba wa Doreen uliisha na kuzika kila kitu, ivyo Mume wa Doreen Emmanuel Raymond siku iyo akiwa na mawazo mengi ana muua kupanga panga kabati la nguo, kweli ili kua majonzi kwake kubaki mpweke,

akiwa ndani ya kabati aliona kitu kama bahasha kubwa na kuitoa, taratibu aliifungua na kuona picha na kukaa juu ya kitanda akiizidi kuta fakari juu ya mwana mke yule aliye muona juu ya picha,
"Mama Enock"!

aliji semea Mume WA Doreen akizidi kuangalia picha ile ambayo walikua wame kombatiana na RAmsey kimahaba. aliangalia picha ile hasa macho yake kuganda kwa mwana ume yule amabapo ana vuta kumbu kumbu kama alisha wahi kumuona lakini ana shindwa kuku mbbuka alimuona wapi.

"huyu izi picha alizitoa wapi?"

alijiuliza Emma Raymond na kutoa simu yake ya mkononi kitendo kile cha kuona Rafiki yake Mwasha ana ibiwa kina muuma sana na kuanza kuta futa namba yake kwa nia moja tu ampigie na kumueleza kila kitu

ila baada ya kupiga ana kuta haipatikani,
"lazima nimwa mbie hili swala, siwezi kuli fumbia macho"

aliwaza Emma Raymond na kuji tupa kitandani

*************

"bwana yesu asifiweeeeeeeee"
zili kua ni kelele ndani ya kanisa la magomeni ambapo watu wengi walifurika miongoni mwa WAtu hao alikua Ramsey baada ya Prosper kumuomba sana aende nae kanisani jumapili hiyo jambo ambalo lina mchukiza sana.

maana mara ya mwisho kwenda kanisani ili kua katika kipaimara chake alivyo kua darasa la sita,
"Ameeeen"

kelele za waumini zili sikika kutoka ndani ya kanisa hilo na kusababisha kama mti kisiko kutokana na mziki mkubwa ulio wekwa,

waimba kwanya ya vijana wali karibishwa kutoa burudani ya mziki, ila macho ya Ramsey yana ganda juu ya mwana mke mmoja ambae mzuri sana na alisha wahi kumuona sehemu fulani na kuto kuamini kama ni yeyey ana imba kwaya ya vijana alikua ni Naike mara ya kwanza kuku tana nae ili kua usiku Mikocheni tena walicheza wote nyimbo ya Fally ipupa, leo hi ana muona kanisani

"ndo maana mimi huwa sipendi kuja kanisani"

aliwaza Ramsey huku akizidi kumwangalia Naike ambaye alionekana kuvalia nguo ndefu kama wana kwaya wengine.

baada ya kwaya hio kuisha mchungaji alianza kutoa maombi na baadhi ya watu kuanza kudondoka, Ramsey alivyyona vile aliamua kutoka nje akitaka kumfuata NAIKE,
ila kabla ya kufika mlangoni bahati mbaya ana jikwaa na kudondoka chini baada ya kukanyaga kamba za viatu, na kufanya waumini wa pale kumfuata na kuanza kumuombea wakidhani ana mapepo,

"oooh BABA wa majeshi , naangamiza mapepo yote yaliyokua ndani ya huyu kijana,, katika jina la YESU KRISTO"
Ramsey alishindwa kuelewa hasa alivyoona kaekewa mkono kichwani.
"jamani eeeh mimi sina mapepo"
"shetani huna mamlaka ya kuji bishana na mimi, pepo la kiburi toka katika jina la YESU, huna mmlaka juu ya nguvu za Yesu"
"embu niacheni niende mimi sina mapepo bwana"

Waumini wa kanisa lile walizidi kumzunguka Ramsey na kuzidi kumshushia maombi...


Ilimbidi Ramsey atulie kimnya maana alijua angendeendelea kubishana nao wangezidi kujaa na kudhani ana mapepo sugu, kweli alitulia kimnya na mwisho waumini wale waliacha kumuombea,
"una jisikiaje kijana"?
"najisikia vizuri"
"hakika bwana YESU kafanya miujiza, jina lake liimidiwe, kijana ulikua una teseka sana na sasa uumetakaswa kwa damu ya Yesu"

alizidi kuongea muumini huyo kati ya watano aliokuwepo wame mznguka Ramsey,

Ramsey alitoka nje akiwa anaaangalia huku na kule akionekana akimtafuta mtu, kweli alikua akimtafuta Naike, ana fanikiwa kumuona akiwa kwa mbali kidogo na kuamua kumfuata huku akimuomba watoke pembeni waweze kuongea mawili matatu.
"una jua sikuelewi,?"
aliuliza Ramsey
"unielewi kivipi, alafu ki ukweli kaka, sura yako sio ngeni kwangu ila nime sahau tulikutana wapi, naomba nikumbushe"
"ha! Ha! ha! ha! mi nakukumbuka sana Naike, tulicheza wote nyimbo ya Fally ipupa siku fulani ivi kwenye ba..."
"shhs shhssss"

Naike aliweka kidole chake kimoja juu ya mdomo wake kuashiria kua asiendeleze mazungumzo hayo.
"wewe unataka kuni haribia, mjomba angu ni mzee wa kanisa hili"
"sikia, nipatie namba zako, alafu mimi nita kutafuta Naike"

Ramsey aliongea huku akitoa simu yake na kumkabidhi Naike ambapo bila kipingamizi alichukua simu ile na kuandika namba zake za simu na kumrudishia Ramsey simu yake.

dakika mbili mbele tayari ibada ili kua imeisha na Prosper kutoka nje ambapo waliingia na Ramsey ndani ya Range iyo aliyo pewa na Josephine atembelee siku iyo,

"sasa Prosper sikia nita kupa laki nne, uende kwenye kile kiwanja changu, uta fute watu wafyeke yale majani yote"
"poa haina noma"

Ramsey alikumbuka kitu na kutoa simu yake ya mkononi na kuandika namba za ESta juu ya kioo cha simu.
"ESta , esta, najua ume shtuka kuniona uraiani tena, ila nataka nikwambie kitu kimoja, hakuna mahakama ya mapenzi"
"ramsey naomba uni samehe zili kua ni hasira tu nakuomba"
"ume chelewa sasa hivi, usha chelewa mbona"
"mimi sitojali Ramsey wangu. nisamehe mwenzio nime kuzoea"
"wewe si una kale kajamaa kako, baki nacho, mimi siku taki"
"no Ramsey"

Ramsey alikata simu na kuendelea kuendesha gari hiyo taratibu sana huku akimkabidhi Prosper shilingi laki nne zile ili aweze kutafuta watu waku fyeka shamba lake, baada ya kila kitu kwenda sawa, ana mtafuta Naike hewani na kuanza kuongea ambapo wana panga wakutane kesho yake ili waweze kuongea viizuri,

alimshusha Prosper magomeni mapipa na safari ya kuelekea kwa josephine kuanza ambapo baada ya nusu saa anaingiza gari hilo aina ya Range ndani ya nyumba hiyo ya kifahari na kushuka na moja kwa moja kuingia chumbani kwa josephine na kumkuta amelala,

hakutaka kumuamsha alicho fanya alitoka na kwenda kukaa sebleni, kabla ya kukaa sawa ana muona Hamida akimpa ishara ya kumuita chumbani kwake, Ramsey anaangalia huku na kule na kumfuata chumbani, ambapo Hamida ana mrukia na kuanza kumpa mabusu ya mdomoni akimnyonya Denda,

Ramsey haraka haraka aliipandisha sketi ya Hamida na kuanza kumshika mapaja yake laini ambapo alipanda mpaka juu na kidole kuki tumbukiza ndani ya ikulu,pata shika ilizidi kuendelea huku Ramsey akiwa mdomoni mwa Hamida akiwa ana mla denda mwishowe Hamida afungua zipu ya Ramsey na kuitoa mashine na papo hapo kupiga magoti na kuitumbukiza mdomoni huku akiichua taratibu na kumfanya Ramsey anze kupata stimu.

mwanamke yule alimtupa kitandani Ramsey na kutoa chupi yake haraka haraka huku akiipanua miguuu yake ili aingize mashine ndani ya ikulu yake ila kabla ya kufanya kile ana hisi anaitwa,
"weee HAMIDAAAA"

ili kua ni sauti ya josephine ambayo ili penya ndani ya ngoma za Ramsey pamoja na Hamida na kuwafanya wote wakkurupuke kama waliotoka kwenye usingizi au askari aliye kua amelala kwenye lindo na kukurupushwa na mkuu wake, wote walishtuka na kubaki waki tazamana kwa woga hasa walivyo sikia Josephine ana kuja chumbani mule,
"WE Hamidaaaa, ina maana huni sikii"?
"Abee MAMA NAKUJA"
"Embu fungua mlango"
"navaa MAMA"

Ramsey kusikia garika lile haraka haraka alienda nyuma ya mlango na kujificha, mlango ule uli funguliwa na kumfanya Ramsey aombe mungu josephine asigeuze shingo
"huyu Ramsey yuko wapi"?
"ata kua kule nje, swiming pool"
"karudi muda mrefu?"
"sio muda mrefu sana"
"naomba nirudie tena kukwambia tena ole wako umwambie baba , kinachoendelea mimi na RAmsey, nita kukata hayo masikio yako"
"siwezi MAMA"

Baada ya hamida kuitikia vile JOsephine alitoka nje akielekea maeneo ya SWimming pool alipo ambiwa kuwa Ramsey yupo.

Ramsey alichungulia huku na kule alivyo taka kutoka Hamida alimshika na kumvuta mdomoni kwake na kumpa Ramsey Denda ila RAmsey ana msukumiza pembeni,

"acha wazimu wako wewe"
"wazimu gani sasa"?
"embu niache usini tafutie balaa hapa"

RAMSEY alimsukumiza Hamida na kutoka nje akielekea swiiming

**********

tayari Mr, Mwasha alikua katika uwanja mkubwa wa kimataifa wa mwalimu NYerere ambapo alikuja kimnya kimnya sana akitokea malasia kutokana na kusikia habari zili zomkera sana kutoka kwa Emma Raymond, kwamba mke wake ana mahusiano na kijana mwingine, ila hakujua ni nani kijana huyo,

alifika mwalimu nyerere uwanja wa ndege na kuingia ndani ya chumba kidogo na kuchukua bastola yake, hii ni kitokana na kuto kuruhusiwa kuondoka nayo nje ya tanzania kama sheria za nchi yoyote ile inavyo sema .

kimnya kimnnya kweli aliingia ili akamilishe upelelezi wake, aliye kuja kumpokea ni rafiki yake mume wa Doreen
"pole sana EMMA kwa msiba"
"asante nishapoa broo"

WAliiongea huku wakielekea kwenye maegesho ya magari ambapo Emma Raymond alili fuata gari lake na wote kuingia, kabla hajawasha gari alitoa baasha ile yenye picha na kumkabidhi Mr,Mwasha,
"nini hiki"?
"wewe fungua broo, fungua ujionee mwenyewe"

Mr,Mwasha alifungua baasha ile na taratibu kuanza kukunja sura na kumtazama Emma RAymond kwa jicho la hasira sana.
"namfahamu huyu kijana, mshenzi huyu, yaani nilianza kuhisi, washa gari nipeleke kwangu nika muoneshe kazi"
"noo Mr, mwasha, usiwe na papara, huyu tunamkamata kirahisi sana, na inavyosemekana siku iizi ana lala pale kwako, usikurupuke uta mkosa Mwizi, cha kufanya wewe tulia"
"wewe uliipata wapi izi picha kwani"?
"ndani ya kabati langu la nguo, itakua marehemu Doreen ndo aliyeziweka, sasa nashindwa kuelewa."
"ume sema ana lala nyumbani kwangu?"
"haswaa"
"subiri"

Mr, mwasha litoa simu yake ya mkononi na kumtafuta mtu kwenye simu yake na kuiweka simu sikioni
huku akiwa mwenye hasira sana.

**********

"baby dozi ya jana usiku si mchezo"
aliongea Josephine kwa uchovu asubuhi hio bada ya kufanya mapenzi na Ramsey usiku kucha bila kupumzika
"mbona kawaida"
"sio kawaida, thubutuuu"
"hahahahaha"

RAmsey alicheka na kumpiga busu Josephine mdomoni na kuingia bafuni kuoga, ambapo baadae josephine nayeyey anaingia kuoga na wote kuelekea sebleni kunywa chai.

baada ya hapo Ramsey ana muaga Josephine kuwa anaenda k,koo na kuingia ndani ya benz na kutoa gari nje, ila Josephine ana toka nayeye nje akikimbia akimfuata Ramsey.
"baby umesahau simu yako"
"oooh LAAZIZ asante sana."
alimpiga busu la mdomoni kama dakika moja nzima na kumruhusu Ramsey aende,

"ndio bossi nisha muona tayari"
"sasa mfuatilie mpaka anapoenda taratibu alafu, mlete nyumbani hapo mimi nakuja kudeal nao wote wawili, fanya upesi mimi nipo njiani"

yalikua ni maagizo kutoka kwa Mwasha upande wa pili ambapo gari ingine ili kua ina mfuatilia RAmsey bila yeye kujua.

"NAIKE USHA FIKA ROMBO HOTEL"?
"YAH MUDA SANA"
"OKAY NIPO NJIANI"

ulikua ni ujumbe mfupi waliokuwa wana chat na Ramsey ili wakutane ROMBO hotel maeneo ya shekilango bila kujua nyuma yake kuna watu wa Mr, Mwaasha wana mfuatilia,



RAMSEY alikua makini sana juu ya usukani akiendesha benzi hiyo aliyo pewa na josephne ambae alimdanganya kuwa anaelekea k,koo
kumbe haikuwa ukweli hata kidogo, alikua na nia moja tu kwenda kumvua chupi mtoto wa kilokole naike, iko ndicho alichokua akikiwaza kichwani kwake, baada ya dakika thelathini na tano tayari aliegesha benzi nje ya hotel IYO ambayo ili kua maalumu kwa ajili ya paking za magari yatakayo ingia.

baada ya dakika tatu verosa nyeusi nayo ilipaki pembeni ya Benz na watu watatu wa mr, mwasha kushuka huku

wakiwa wamevalia miwani nyeusi, walikua makini sana waki mfuatilia Ramsey kama walivyo ambiwa na Mwasha ndivyo walivyo fanya, walimuona amekaa kwenye meza
moja na mwana mke na wao kukaa pembeni yao, huku mara kadhaa wakiwa wana mpa taarifa mr, mwasha kile kina choendelea.

"sasa wewe Naike, mbona hukuagiza kinywaji chochote kile."?
alikua ni Ramsey akimuhoji mrembo huyo ambae alikua akionekana mwenye aibu muda wote, macho makubwa ya Naike na weupe wake ulizidi kumpagawisha Ramsey ambae wakati huo alikua ana fuatailiwa bila kujua chochot,
"nili agiza juice nime kunywa tayari, nikaone bora nikae tu, hata ivyo sikutoka na pesa nyingi sanaaa, alafu hii sehemu sio nzuri, unajua mimi si nili kwambia mjomba angu mzee wa kanisa"
"najua ume niambia sana, alafu kuhusu kinywaji, upo na mimi, wala usijali, kwani wewe hutumii kilevi chochote kile wangu"?
"aaah we noo, mwiko, mimi situmi kabisa"
"mmmh! acha utani, ila kitu kimoja nashindwa kukuelewa wewe NAIKE ilikuaje siku ile sasa, tukacheza ile ngoma ya Fally ipupa kwenye ile baa alafu leo una niambia sijui mjomba wako mzee wa kanisa, alafu nika kuona kwenye kwaya, ujue nyie mna cheza sana na Mungu"
"hahahahahahahahahahahaha Ramsey bwana, sasa kama mjomba wangu mzee wa kanisa nisicheze mziki, nipishe hapa, sema unajua siku ile niliaga naenda kwenye mkesha jangwani unajua, ndo ikawa vile, ukani kuta pale, "
"uko vizuri , lakini tuachane na hayo, una soma au una fanya kazi ?"
"yaah nasoma hapo ustawi"
"ustawi,? kuna binamu yangu mmoja pale ana itwa Pendo, upend Mranda, Mrangu sijui, kitu kama hiko"
"upendo mrangu, namjua sana, best yangu nipo nae pale kumbe binamu yako?"
"yah"

waliendelea kupiga stori huku Ramsey akizidi kudanganya , baadae ana msha wishi Naike waagize chumba maana sehemu hiyo haikuwa nzuri,

kwa Naike ana jaribu kuweka mkazo akiogopa na kuhofia sana, ila Ramsey ana mhakikishia kuwa hakuna kitu chochote kibaya kitakacho tokea.

***********

"heee Mume wangu jamani mbona ghafla ivyo, kimnya kimnya hata kuniambia, una taka kuni fanyia suprise"?
lili kua ni swali kutoka kwa josephine baada ya kumuona mume wake seblen.
"hapa ni nyumbani kwangu, Josephine muda wowote ule naingia, wala usiwe na wasi wasi"
"lazima niwe na wasi wasi maana sio kawaida yako"
"basi ita kua kawaida yangu kuanzia leo"

Mr, mWASHA alitoa bastola yake kiunoni na kuiweka mezani na kutoa simu yake mfukoni.
"ndio vijana, bado mpo nae?,"
"ndio, naona ameingia sijui chumbani hotelini"
"hapo ndo patamu sasa, mna weza kwenda kumchukua, mumlete hapa, wala musi mpige, nataka mwenyewe nimuadabishe"
"sawa bosi"

upande wa pili uli kata simu amabpo Josephine mpaka wakati huo hakujua nini kina endelea
"kuna nini lakini mume wangu"?
"una taka kujua kuna nini"?
"ndio mume wangu sababu una nitisha sana"
"oakay nisubiri hapo hapo"

Mr, Mwasha alisimama na kwenda chumbani, ila Josephine ana chukua mwanya ule na kuanza kuipekua simu ya mume wake ili ajue nini kinaendelea, aliingia kwenye uwanja wa meseji na kukuta sms walizo kua waki tumiana na watu wake juu ya mipango ya kumkamata Ramsey.

"Mungu wangu, RAMSEY!"
alijisemea Josephine huku akiweka mkono mdomoni,

haraka haraka alitoa simu yake mfukoni na kumtafuta ramsey hewani ili ampe habari kuwa akimbie mara moja, kita kacho fuata ni kifo, ila simu ya ramsey ina ita bila kupokelewa, ana jaribu tena na kukuta haipatikani kabisa, na kumfanya azidi kuchanganyikiwa NA kuanza kuandika ujumbe mfupi haraka haraka ili hata akifungua simu Ramsey aukute.

Baada ya Mwasha kurudi alirudi na Magazine inayokaa risasi na kuweka tena mezani

"Mume wangu mbona sikuelewi, eti DAvid, KUNA nini"?
"leo nataka kuuwa mwizi nampiga risasi zote ziishe iizi, nataka nimtandike mtu risasi mbele yako ukiona,"
"laki.."
"nyamaza, , kaa KIMNYA fungua iyo baasha hapo, na utoe maelezo juu ya izo picha Josephine, leo nakuuwa humu ndani, malaya wewe, malaya ,tena narudia malaya wewe, tena nita kuua wewe na huyo malaya mwenzio, "

Mr, mwasha aliweka ile bahasha ya kaki juu ya meza ya kioo na kumruhusu JOsephine afungue.

***********

kila alilo jaribu kufanya RAmsey kumshika Naike ili alegee na amle uroda lina shindakana kutokana na Naike kutokua tayari kufanya mapenzi na Ramsey,
"ila Ramsey, hatu jakubaliana tuje kufanya mapenzi humu, ulisema tuna kuja kuongea"
"Naike usiwe kama mtoto sasa, kwani wewe kuingia humu kwa akili yako, unandhani kuna stori humu, hapa ni chumbani, jiongeze"
"ila wewe uliniambia tuna kuja kupiga stori"
"sasa si nili tumia tafsida,sasa uli taka nikwambie tuna kuja kufanya tendo la ndoa?"
"mimi sipo ta...."

kabla ya Naike kumalizia maneno RAmsey alimrukia shingoni na kuanza kumnyonya shingo huku akimlazimisha kwa nguvu kumlamba mdomo Naike bado ana kua mbishi sana kuku baliana na Ramsey.

aliibana mikono ya Naike juu ya kItanda nayeyey kumlalia kwa juu ambapo anaa nza kumnyonya masikio na kumfanya naike aanze kufumba macho akihisi raha na kumfanya RAmsey ajue tayari kesha shinda na kwenda kumla mtoto huyo wa kilokole,

aliomba tena mdomo wa mrembo huyo na safari hii Naike kutoa ulimi na kuanza kubadilishana mate yaani denda, huku ramsey akianza kumshika matiti Naike na kumfanya mrembo huyo aanze kutoa mihemo ya puani.
"griii griii"

ili kua ni simu ya rAmsey ikiita, ila aliipuuzia na kuendelea na shughuli pevu ile ambapo mpaka wakati ule Naike alikua hana nguo ya juu,

Ramsey alizidi kudata hasa alivyyona jinsi gani mrembo huyo alivyo kua mweupe pee, na mwenye kitovu kizuri.
"R,,,AMs,,ey"
"naaam"
"pokea siii..mu"
"hapana , tuendeleee tu,"
"pokea simu mimi nipo tayari kufanya mapenzi nawewe"

ili mbidi ramsey asimame pale kitandani na kuangalia simu ambapo aliona ni Josephine ana piga, aliipuzia na kuizima simu ile bila kujua ilikua na umuhimu sana katika maisha yake, na laiti angejua ange ipokea haraka sana,

kutokanna na kujua kuwa Josephine ata muharibia mipango yake ana izima simu na kuitupa chini, ambapo alimuendea Naike na kuanza

kumnyonya mdomo huku mkono wake mmoja ukiwa kwenye ikulu ya Naike akiichezea vizuri,na kumfanya mrembo huyo aanze kukatika taratibu huku akisikia raha na taratibu kwenda kuishika, switch socket ya Ramsey na kuitoa na kuanza kuichua,
"Ram"
"naam"
"una condom"?
"hapana sina"
"nenda katafute"
"aaah yanini sasa?"
"mimi siwezi kufanya mapenzi bila mpira, siziamiini siku zangu"
"no sitouza mechi"
"hata kama, kata fute condom kwanza ndo tuje tuendelee please nakuomba, tena fanya upesi"

kweli Naike alimaanisha,Ramseya litoka chap chap na kubeba simu yake na kuvaa nguo zake, ambapo tishrt lake alianza kulivalia akiwa ana shuka ngazi za hotel hiyo na kumfanya agongane kigombo na watu wawili, ila aliwapuuzia na kuendelea na safari yake, sababu alikua na moto sana,

"RAMSEY KIMBIA UWE ZAVYO MPENZI WANGU, MWASHA KARUDI NA KAJUA KILA KITU KUHUSU SISI, UKIIPATA HII MESEJI KIMBIA, INA WEZEKANA HII NDO IKAWA MESEJI YANGU YA MWISHO KUKU TUMIA, NAKUPENDA SANA RAMSEY, NAKUOMBA KAJI FICHE POPOTE PALE"

ulikua ni ujumbe mfupi wa maneno kutoka kwa josephine baada ya kuwasha simu ambapo Ramsey aliusoma mara mbili mbili, huku akifikicha macho yake kana kwamba ana ona vibaya, aliangalia huku na kule na macho yake kugongana na mzee mmoja wa makamo ambae alikua mwana jeshi tena mkubwa ambae begani alikua na nyota kadhaa,

na kumfanya mwanajeshi yule amfuate sababu alimtambua vizuri sana na kujua kivyovyote vile amekwisha
na ndo anaenda kuuwawa
*********

MIAKA NANE ILIYO PITA

Baridi lili zidi kutanda usiku huo na kufanya wana funzi wengi waende kulala mabwenini ndani ya shule FABIAN'S high school iliyokua Mkoani Morogoro, wana funzi wachache sana wali baki prepo kuji somea kama ratiba inavyo sema.
"ooyaa Ramsey, twenzetu tuka lale, kusoma kuelewa kaka, kukesha mbwe mbwe tu"

aliongea Salumu ambae tayari alikua ameshika madaftari yake mkononi tayari kwa kuondoka kwenda bwenini kulala.
"salumu eeh"
"sema bwana mi nasikia usingizi"
"uta nisindikiza bondeni kwa mademu basi, nataka nika onane na vero kaniambia nika muone kabla ya prepo kuisha"
"mwanangu umeanza sasa, we una jua kabisa hii wiki ya sir,LANG'O alafu unataka atukute huko kwa mademu"?
"mwanangu hatukai sana"
"poa twende basi sasa hivi"

kweli Ramsey aliweka vitu vyakea sawa na wote kushuka kwa chini ambapo wasichana husoma usiku muda wa prepo
"wewe nani, Rachel, naomba niitie Veronica Dennis"
"yupo darasa gani"?
"fom thrii hapo, mwambie namwita"
"poa poa,"

kweli vero aliitwa usiku huo na RAmsey kumuomba wakutane usiku kisimani ili waweze kuongea vizuri, vero hakuwa na kipingamizi chochote,

kweli wanarudi mabwenini kulala baada ya kengele kulia, kelele nyiingi sana zina tokea bweni la wavulana na ndio huwa kawaida hasa baada ya Prepo kuisha.

Ramsey alichukua Ndoo ya maji na kushuka kisimani ambapo kisima hiko kili tumiwa na wasichana pia, kutokana na kisima cha wavulana kuharibika,

kweli baada ya kufika kisimani ana kutana na Vero nayeye alikua na ndoo ya Maji, kila mtu aliweka ndoo chini na kuanza kunyonyana midomo ndani kimsitu hiko kidogo, na Ramsey kupandisha sketi ya vero juu na kuanza kucheza na chachandu yake amabpo wakati huo alikua haja vaa nguo ya ndani pata shika ile ina endelea ila baadae wana hisi miale miale ya tochi ikiwa ina mulika mulika maeneo waliyo kuwepo na kufanya hofu izidi kuwa tanda hasa baada ya kusikia sauti ya Mwalimu Lang'o ina kuja sehemu walipo Vero na Ramsey...


"Sogea huku"
Ramsey aliongea huku akimvuta Vero nyuma ya mti na kufanya miale ile ipite pite huku na kule, parakacha parakacha zile zilizidi kusogea mpaka nyumba ya mti ule waliokuwa wakina RAmsey,

jasho jingi sana lili lochangannyika na woga vilizidi kuwa tanda na kuwafanya waanze kutetemeka sana, hasa walivyo kumbuka sifa kubwa za mwalimu huyo Lang'o akiogopeka shule nzima.

baadae kidogo simu ya mwalimu Lang'o ina sikika ikiita, na ndo iyo ili kua ponea yao sababu aliondoka na kurudi alipo toka, huku akiwaacha vero na RAmsey.
"siku nyingine hapa isha kua soo, yule ana enda bwenini kupitisha rall call"
"aya Ramsey kesho, nakupenda sana"
"mimi pia"

RAmsey alimsogelea Vero na kumnyonya mdomo na baadae kuagana ambapo Ramsey alichota maji ili azuge kuwa alikua kisimani kweli, baada ya kurudi bwenini alikuta baadahi ya WAna funzi wenzake wamelala isipo kuwa rafiki yake Salumu ambaye alikua akimsubiri,
"oya wapi umetoka"?

alihoji Salumu huku akimwangalia Ramsey
"daa, nili kua na vero, si yule mwanga aka aribu kila kitu,"
"hahaha nani huyo"?
"si yule Lang'o"
"sasas ikawaje?"
"ndo ivyo mwanangu siku piga, ngoja nikaoge kwanza"

Moja kwa moja Ramsey alipitiliza bafuni na kuingia kuoga ambapo baada ya kurudi ana mkuta SAlumu keshalala,
nayeye baada ya hapo ana weka kitanda chake sawa na kujitupa kitandani.

************

kilicho wakurupusha asubuhi ilikua ni kengele ya paredi amabyo ililia na badhi ya wana funzi walikua wame chelewa, kutokana na hofu ya mwalimu wa zamu kuwa mkali wana funzi wengi wali kimbia mstarini bila hata kuoga, ila kwa Ramsey hakutaka kwenda popote bila ya kuoga, ivvyo bwenini ana baki peke yake.

"We Ramsey fanya upesi nafunga mlango"
"poa patron natoka"

Haraka haraka Ramsey alivaa unifom na kuji pulizia pafyumu huku akichana nywele zake vizuri alivyohakikisha kila kitu kipo sawa, alianza safari ya kwenda asembo, kwa mbali aliwaona wana funzi wengine wame piga magoti, alivyo taka kuji ficha tayari alionwa na kuitwa na yeye kuju muika na wenzake ambao wamepiga magoti.
"wafuatao watoke mbele,"

aliongea mwalimu Lang'o ambapo katika paredi hilo kulikua na utulivu wa hali ya juu sana kuliko kawaida, kulikua hakuna hata mnong'ono wowote ule, aliendelea kuita majina mwalimu Lang'o huku akitoa karatasi
"kanyika,Awam Tamba, Lazaro Saranga,Rodgers Mbita,Ibrahim MUssa na Martin Phares, njoeni mbele hapa upeshi upesh, yesh yesh, mwalimu KIpwate nipatie hiyo fimbo yako"
"hawa wana funzi jana walidoji prepo"
"yaani hawa mwalimu, hawa waka chimbe shimoo, yaani waende site, adhabu yao iwe hio"

aliongea mwalimu Kipwate huku akimsogelea Ramsey
"na huyu kijana huyu, ana adhabu yangu, embu simama"

Ramsey alisamama huku akiji piga piga magoti ili kutoa mchaga ulioganda juu ya magoti yake,
"adhabu yangu ya shimo uli fanya"?
"hapana mwalimu siku malizia"
"sasa, utamalizia lile shimo, vile vile ujiunge na wenzako, hio ni hujuma, haiwezekani yaani nakupa adhabu usifanye, ukimaliza adhabu na unione ofisini kwangu"
aliongea kIpwate kwa sauti ya kukwaruza kwa mbali.
ambapo sauti hiyo wana funzi wengi hupenda kumuigilizia sana na kuwa kituko ndani ya shule hiyo

mwalimu Lang'o alianza kuwa chapa wana funzi wale wote fimbo tatu tatu na kubaki zamu ya Ramsey ndiye alikua wa mwisho, ki ukweli kitendo cha Ramsey kuchapwa kili wakera sana watoto wa kike ambao wali kua wana mpenda sana hasa alivyo kua smat na sura yake nzuri ili fanya kila msichana ndani ya shule ata mani kuwa nae karibu, ila ina shindikana kutokana na RAmsey hakutaka kujenga mazoea sana na watoto wa kike,
"shika hapo"

Ramsey alishika na kumiminiwa mvua za fimbo ambapo baadae ana ingia Kipwate kumuongeza fimbo nyingine na kupewa adhabu aifanye baadae muda madarasa ukiisha.

wana funzi wote wana ruhusiwa na Ramsey kuingia darasani moja kwa moja,

"pole RAmsey"

alikua ni Devotha Matimbe akimpa pole Ramsey, baada ya dakika chache vero nayeye alikuja na kumpa pole vile vile kutokana na fimbo alizopigwa,
"nenda kamuone matron akupe dawa"
"aaah nipo sawa vero"

masomo yaliendelea kama kawaida siku iyo na baadae kuisha ambapo Ramsey na wenzake walichukua majembe na kwenda kufanya adhabu waliyo pewa, baada ya kumaliza kufanya adhabu hiyo kengele ya chakula cha usiku ili gongwa na wanafunzi wote kupanga mstari wa chakula.

"ooyaa Ramsey uta pangaje mstari wewe staff bwana"

ILI kua ni sauti ya kiranja aliye itwa Barnabas Kodende, na kumfanya Ramsey apite bila kupanga mstari kitendo kile kina wachukiza watu wengi ambao walianza kunong'ona chini kwa chini,

baada ya kula chakula kengele ili gongwa tena na wana funzi kuanza kuelekea madarasani kuji somea usiku huo
"njoo na daftari langu la Geography Salumu"
"sasa mbona hukusema mapema njoo uli chukue mwenyewe"
"au sio, uta kuja tu niku fundishe fala wewe, namimi nita kukazia"
"basi kausha ngoja nisubiri hapo"

SAlumu alitoka na daftari la Ramsey na wote kuanza kuongozana huku wakipiga stori za hapa na pale,
baada ya kufika darasani Ramsey alita futa kona ya pembe moja ya mwisho na kukaa ili aanze kusoma. ila kabla ya kufungua daftari alitokea mwana funzi mdogo wa kidato cha kwanza kwa dirishani na kumuita
"kaka Ramsey nina ujumbe wako hapa"

mtoto huyo alitoa katarasi ndogo na kumpa Ramsey na yeye kuondoka zake,

"RAMSEY NAOMBA TUONANE BAADA YA PREPO, HUKU BONDENI KWENYE ULE MTI KARIBU NA CHOONI,
MIMI DEVOTHA"

ujumbe huo aliusoma Ramsey na kuuweka mfukoni huku akisubiri kengele ipigwe aka msikilize kile anacho taka kusema Devotha, kweli baada ya masaa matatu, kengele ililia na kimnya kimnya kushuka bondeni, ambapo wasichana hujisomeaga

alimkuta Devotha yupo peke yake darasani na kumwambia watoke nje Devotha alimshika Ramsey mkono na kwenda nae nyuma ya darasa hilo amabapo kulikua na meza ya kusomea hii ili onekana kabisa Devotha aliiweka ili kua pembeni kabisa na kulikua kuna giza ambapo mtu yoyote yule asingeweza kuwa ona kiurahisi,

bila kuuliza chochote Devotha alipanda juu ya Meza na kukaa na kuumvuta Ramsey karibu yake na kuanza kumnyonya mdomo, bila kupoteza wakati Ramsey alianza nayeye kucheza na ulimi wa Devotha huku akishusha mkono wake juu ya sketi na kuupitisha juu ya ikulu ya Devoth na kumfanya aanze kurembua,

Aliendea na zoezi lile huku akiendea kifua cha Devotha na kuanza kucheza na chuchu zake, alimshka kiuno vizuri na kumnyonya shingo Devotha ambae mpaka wakati huo alikua hajiwezi tena kutokana na kuwa na ugumu au ukame ndani ya shule iyo ya Boding,

puru kushani ziliendelea na Ramsey kumvua tishrt DEvotha na kuanza kumnyonya maziwa akitumia ncha ya ulimi tena akipokeza ziwa moja baada ya lingine,

"mmm..aaah Raaam fanya ni,,,fanyee,, upesi, muuuda"

Ramsey kusikia vile, aliipanua miguu ya Devotha na kufungua zipu yake na kutoa Switch socket na kuichomeka ndani ya CABLE ya Devotha na kufanya mtoto huyo aanze kuugulia juu kwa juu huku akimpa mdomo Ramsey
"Ramm aaah ing,i,za yote"



*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)

0 comments:

Post a Comment

BLOG