Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

SLAVE SEX SEHEMU YA 1/10


SLAVE SEX
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 1 KATI YA 10
*******

 ******
Jasho lilizidi kumtoka Mzee Alex Mwandambo!hasira zilimpanda maradufu, mapigo yake ya moyo
yalimwenda mbio,kifo cha kuteseka ndicho kitu alichokuwa anakifikiria kichwani mwake huku akiwa katika kasi ya ajabu akiendesha gari lake usiku wa saa saba kurejea nyumbani kwake,alishaelewa nini maana ya ugonjwa hatari wa virusi vya UKIMWI unavyotesa kabla ya kukutowesha duniani,aliona bora afe haraka kuliko kufa na kifo kibaya kama hicho,

alijilaumu sana kuisaliti ndoa yake,alimlaumu shetani siku zote.Watoto wake Jamal na Mackline aliwaonea huruma sababu bado walikuwa wadogo mno kukosa mapenzi ya baba yao.Alifika nyumbani kwake Afrikasana na kuweka gari getini kabla ya kuingiza gari ndani.Geti likafunguliwa na mlinzi.
“Noo! Hapana lazima nikumalize Hafuani,siwezi kukuacha uendelee kuishi duniani”Alisema.

Hapo ndipo Mzee Alex Mwandambo alipogeuza shingo yake nyuma na kuanza kurudisha gari kinyume nyume na kulitoa kwa kasi kama mtu aliyechanganyikiwa,alitetemeka kwa hasira,Msichana mdogo aliyemuambukiza ukimwi hakutaka kumuacha hai,alitaka kumuua,hiyo ndiyo aliamini kuwa ingekuwa adhabu ya binti huyo ambaye atakaye ukatisha uhai wake.
Kifupi Mzee Alex Mwandambo alikuwa mfu aliye hai na hivyo ndivyo alivyoamini tangu apewe majibu hayo wiki nne zilizopita.
Alivyofika Mwenge mataa alikunja kulia na kuchukua barabara inayokwenda Ubungo baada ya dakika kumi baadaye alifika maeneo ya chuo kikuu cha UDSM bado alikuwa katika mwendokasi uleule,alivyofika kituo cha polisi alikunja kona na mbele kidogo kulikua kuna msitu wenye giza na miti mingi,aliweka mguu kati na kupiga breki za ghafla na kufanya vumbi litokee na kuonekana japokuwa kulikuwa kuna giza totoro,kutokana na hasira alizokuwa nazo alishuka garini bila ya kufunga mlango huku gari likiwa bado linawaka, linamulika! taa za mbele hazijazimwa.
“Wewe Malaya bado haujafa tu?”
Hilo ndilo swali la kwanza kulitupa kwa msichana aliyekuwa amefungwa kwenye mti na kamba za katani amezungushiwa mwilini.

Licha ya kufungwa kwenye mti huo kwa siku mbili bila kupata matunzo lakini bado alikuwa mzuri,alikuwa mweupe wa kung’aa mwenye midomo milaini pamoja na macho makubwa ya kusinzia.Kwa harakaharaka ungemtizama ungedhani wenda ni ‘Africast’
“Al…ex niu..e basi”
“Utafia hapo hapo mtini,kwanini lakini hukuniambia kama wewe ni muathirika,kwanini?hukujua kuwa nina familia?nakuuliza wewe Malaya mbwa?”
“Nilishawahi kukwambia nakumbuka,lakini kwa tamaa zako ukaamua kunibaka”
“Kukubaka?kwanini hukukataa sasa?hata ivyo lazima nikuue leo,baada ya hapo namimi natoweka duniani,siwezi kufa kifo cha mateso”
“Sawa niue,na naomba nikwambie ukweli kabla hujaniua,nishawaambukiza ukimwi karibia ndugu zako wote,na kuna wengine tisini na moja,kuna karatasi za wanamme niliyowaambukiza ukimwi”
“Unasema nini?”
“Baba yako ndiyo alitaka haya yatokee”
“Malaya unasema nini Hafuan?Baba yangu ni mtumishi wa Mungu,mpaka nayeye umeamua kumuambukiza?”
“Ndio ivyo sasa wewe hujui kitu,fanya unavyo taka,na kitu kingine jina langu sio Hafuani naitwa Sonia Nickson Shayo”
Sonia aliongea kwa hasira na katika mazungumzo yake hakukua na tone la utani hata kidogo,
hiyo ilizidi kumkera zaidi Mzee Alex Mwandambo aliyekuwa mbele yake anamtizama kama chui aliyeona kitoweo amevimba kwa hasira,hapo hapo alishindwa kujizuia na kumtandika kofi.
“Rudia tena”
“Ndio ha…ta ukinitesa hauwezi kuubadili ukweli,nishakupa ukimwi tayari na muda mfupi utaenda kuungana na wenzako waliotangulia Alex”
Jasho lilizidi kumtoka Mzee Alex na kupandwa na mori za hasira maneno ya Sonia yalizidi kumchoma moyoni sababu aliona ndoto zake zote zimepeperuka,tamaa za mwili zilimponza na kujikuta amenasa kwa msichana mrembo aliyekuwa mbele yake.

Hakutaka kujiuliza mara mbili alirudi ndani ya gari na kutoka na bastola kisha kumsogelea Sonia.
“Hiki ndiko kinakutia Jeuri sio?”
Mzee Alex Mwanadambo alisema huku bastola yake akiwa ameikandamiza sehemu za siri za Sonia.
“Nakuuliza hiki kidude chako ndiyo kinakufanya uwe kiburi wewe Malaya?haya ndiyo malipo ya wema wangu na leo ndiyo mwisho wako”
Baada ya kuongea hayo Alex alichomoa magazine na kukagua risasi ndani ya chemba kama zinatosha,alikasirika zaidi baada ya kukuta kuna risasi moja peke yake.
Nia ya kuchukua bastola ilikuwa ni kumuua Sonia kisha yeye ajimalize pia.Kitendo cha kukuta risasi moja ndani ya bastola kilimchanganya akili yake,lakini alivyogeuza shingo yake nyuma aliona gari lake aina ya Prado linaunguruma bado.
Akawa amepata wazo jingine jipya,alirudi ndani ya gari na kulirudisha nyuma kwa kasi.
“Huwezi kupona leo”
Kitendo cha kurudisha gari nyuma kwa kasi kilimfanya Sonia aelewe nini maana ya kifo anachoenda kukabiliana nacho,aliogopa zaidi!
Hapo ndipo alipoanza kulia kwa uchungu, aliliona gari la Mzee Alex linarudi nyuma kwa kama umbali wa mita mia moja na mbili,na kuanza kusali sala yake ya mwisho, aliamini kuwa aliyokuwa akiyafanya hakupenda!licha ya yote alikuwa yupo tayari kwenda jehanam!
Mapigo ya moyo ya Mzee Alex yalimdunda sio masihala, bastola yake alikuwa ameikoki ipo pembeni ya gia na katika mahesabu yake alikuwa ni lazima amgonge Sonia na gari lake aliyekuwa mtini.

Kwa umbali aliokuwa yupo, aliamini kitendo anachoenda kukifanya kingemuondosha duniani.Aliweka gia namba moja na kuachia clachi kisha kulitoa gari kwa kasi, lilivyochanganya alishusha gia namba mbili likazidi kwenda kasi zaidi.
Gari lilikuwa katika mwendo wa ajabu likitimua mavumbi na alivyoukaribia mti alipofungwa Sonia aliyafumba macho yake,hazikupita hata sekunde mbili alisikia kishindo na kelele za sauti kisha ukimya kutawala.
Aliyafumbua macho yake taratibu na kuona damu juu ya kioo cha mbele huku kichwa cha Sonia kikiwa kimelala juu ya boneti la gari akiwa anavuja damu.Hakutaka kupoteza wakati, hapohapo alichukua bastola yake na kujiwekea kichwani huku akitetemeka mno,aliipenda sana familia yake hasa alipomkumbuka mke wake Latifah,alielewa ni jinsi gani ataenda kuteseka akiwa mjane,
lakini hakuwa na chaguo lingine,machozi yalimtoka na taratibu kidole chake kikiwa kinasogea kwenye kifyatulio kinachoitwa triga.
“Paaaaaaaaaaa”
Ubongo wa Mzee Alex ukawa umemwagika chini na damu kuruka kwenye vioo,fuvu lake la kichwa likawa limefumuliwa na risasi, huo ndiyo ukawa mwisho wa maisha yake duniani.
*****
Ilikuwa ni tarehe ishirini na moja mwezi wa kumi na mbili saa kumi na moja ya asubuhi siku ya Jumatano,Ubungo kulikuwa kuna hekaheka na tarehe hizo wachaga ndiyo husababisha vurugu wakigombania mabasi ya kwenda mikoani kwao kula siku kuu ya chrismass na mwaka mpya.

Kipindi cha mwezi wa kumi na mbili hata nauli zilikuwa ghali,Magari ya Dar express,Meridian,Msae yote yalikuwa yakijaza, hata pengine wachaga walikuwa wapo tayari kukalia makreti ili mradi tu waweze kufika mkoani Kilimanjaro, Moshi!
“Oyaaa Nickson,umepata siti?”
“Ndiyo George”
“Mimi nasepa,safari njema ndugu yangu,wasalimie bibi na babu waambie mimi kazi zimenibana nitakuja wiki ijayo”
“Poa poa aisee haina mbaya”
“Poa Meku safari njema Mzee,ukifika nivutie waya”
“Aminia aminia”Sauti ya kijana aliyekuwa nje chini ilisikika akiwa ana muaga mwenzake.

Basi la kampuni ya Meridian lilikuwa teyari limeanza kupiga honi kuashiria kuwa safari inatakiwa kuanza, na ilivyofika saa kumi na mbili juu ya alama mabasi yakawa yameruhusiwa kuanza safari,kila basi likaanza kuchomoka kwa kasi ubungo terminal.
Nickson alivuta pumzi na kutabasamu,alikuwa anatamani kufika mapema mkoani kwao Kilimanjaro.
Nickson alikuwa ni kijana wa miaka kati ya ishirini na tano mpaka na saba.Ni mwaka mmoja tu tangu apokee shahada yake ya sheria na alibahatika kuajiriwa na serikali katika mahakama ya kisutu, alikuwa ni kijana mzuri mweupe wa kichaga, aliyechanganyika na damu ya kirangi.
siku zote Nickson alitamani kuja kuoa mapema pindi tu atakapopata kazi, siku zote alitamani kupata familia bora na yenye misingi imara ya kidini.
Hata siku moja hakutaka kuja kuoa nje ya mkoa wake,alitamani kupata msichana wa kichaga na kitu kingine kilichokuwa kinampeleka Mkoani Kilimanjaro siyo kusalimia wazazi wake peke yake tu,bali kutafuta kigoli arudi naye mjini Dar es saalam,
hakutaka safari hiyo arudi peke yake,kama sio kurudi na msichana basi awe keshapata tayari.

Basi lilizidi kusonga mbele na lilivyofika kimara mwisho likawa limesimama kupakia abiria wengine.
“Kaka samahani hiyo siti namba ngapi?”
Sauti ya msichana mrefu ilimshtua Nickson aliyekuwa kwenye mawazo ya kupata kigoli.
“Ahaa hii siti?”
“Ndio”
Nickson akasimama kidogo na kuchungulia namba.
“E-6”
“Basi ndiyo hapa,samahani kaka?”
“Bila samahani”
“Ninaweza nikakaa dirishani?”
“Hakuna shaka”
Nickson akawa amempisha jirani yake kisha akapita dirishani.Kila mtu akawa kimnya na basi likaendelea na safari yake.Mpaka wanafika sehemu ya kula chakula cha Mchana inayoitwa ‘Liverpool’ hakuna hata mmoja aliyemuongelesha mwenzake.
Nusu saa baadaye safari ikaanza tena.
“Dada yangu tukifika Marangu niamshe”
“Ndiyo unaposhukia?”
“Hapana”
“Unashuka wapi kwani?”
“Mwika,Mwika, Kishingoni”
“Wewe mchaga wa Marangu mwika?”
“Ndio”
“Shimbonyi”
“Nashcha Mae”
“Mimi naitwa Rebeca”
“Nickson Shayo”
“Ukoo wakina shayo umesambaa kumbe,mimi Kimaro,ila mama yangu ni mchaga wa huko kwenu”
“Nafurahi kukufahamu aisee,nawewe unaenda kuhesabiwa sio?”
“Ha ha ha ha ha haaaaa”
Huo ndio ukawa mwazo wao wa kufahamiana.
Baadaye Nickson akawa amepitiwa na usingizi mzito na alipofika Marangu kama alivyotaka iwe, aliamshwa na jirani yake Rebeca.
Waliendeleza stori,hatimaye Nickson akawa anakaribia kufika safari yake,alianza kusimama na kuchukua mabegi yake yaliyokuwa juu sehemu maalumu.
“Konda Kishingoni hapo niache”
“Sogea sogea karibu kaka”
“poa”
Gari liliposimama Nickson akashuka na akapokelewa na wazazi wake ambao walikuwa wenye furaha kumuona mtoto wao.

 Nickson alijisikia kuchoka, lakini alipowaona wazazi wake uchovu wote ukamtoka, aliachia tabasamu na kuwasalimia wote wawili,Wazazi walionekana kumchangamkia.
“Mzee twendeni japo mkapate mbili tatu”
Nickson alisema huku akianza kutembea kuelekea kwenye baa.
“Mwanangu si utakuwa umechoka sana,twende ukapumzike tutakuja baadaye”
Mama yake mzazi alisema.
“Kumkatalia mtoto ni mwiko,yeye amesema anataka tukapooze koo wewe unasema umechoka chaa”
“Wewe nawe ukishasikia bia mate yanakutoka”
“Sio ivyo,au nakosea Nickson?”
“Hapana Baba”
Wakanyoosha mpaka kwenye moja ya baa kisha wote kuagiza vileo,mpaka ilivyofika saa kumi na mbili wakainuka na kuingia ndani ya gari la Mzee Shayo na safari ya kuelekea nyumbani kuanza,Usiku wa siku hiyo walichelewa kulala sababu walikuwa na mazungumzo marefu, Nickson alikuwa ana mambo mengi ya kuwaambia wazazi wake tangu akiwa mjini.
“Huyu nani huyu Yona,yeye haji mwaka huu?”
“Asije?anakuja kesho kutwa ilibidi nije naye leo”
“Michael?”
“Yeye anaweza asije”
“Alafu uliongea na madogo wako Brian,yeye anakuja?”
“Anakuja na ndege ya kesho jioni hata yeye niliongea naye, kifupi huu mwezi hapa Mwika patakuwa hapatoshi,pia nina marafiki zangu wataingia hapa kesho”
“Aise”
“Ndiyo Ivyo Mzee,mwaka huu hatutaki mchezo”
Siku hiyo wote wakawa wamefurahi na nyumba ilijaa kelele za vicheko vya furaha kisha usiku ulivyokuwa mwingi wakaagana na kuingia vyumbani kupumzika baada ya kula.

Akiwa kitandani Nickson bado aliwaza ni jinsi gani apate kigoli mkoani hapo,ni kweli alijiapizia hatorudi Mkoani Dar es salaam bila ya kuwa na kigoli wa kumuoa.
“Joan angekua hajaolewa,ningemtafuta lakini kuna huyu mtoto mwingine anaitwa Haika,sema bado mtoto sana,lakini lazima nirudi na jiko tena nirudi na kisu kweli kweli,nataka nioe sasa”
Yote hayo yalitiririka kichwani mwa Nickson akiwa amelala chali anachambua kila msichana wa mtaani,kutokana na uchovu alipitiwa na usingizi hapohapo.
Asubuhi alivyoamka kitandani kwake alijisikia uchovu lakini alijizoa zoa kiuvivu na kutoa blankent mwilini, alienda bafuni na kujimwagia maji na kunyoosha seblen, huko aliwakuta tayari wazazi wake mezani,aliwasalimia na wote kujumuika kwa ajili ya kifungua kinywa.
Hata siku moja hakutaka kuwaeleza wazazi wake juu ya jambo jingine lililomleta la kutafuta kigoli, japo alielewa angelisema wazi angepewa ushauri ni wapi akaoe, lakini hakutaka kufanya ivyo.Nickson alilelewa katika misingi ya kidini na wazazi wake na hata siku moja hakuwahi kukosa ibada siku ya Jumapili kwenda kumshukuru Mungu na alitamani siku hiyo ifike ili aende kanisani walau akatoe fungu la Kumi.

Siku hiyo jioni wakawa wamepata ugeni mwingine,Mdogo wake aliyeitwa Brian Shayo akawa amerejea kutoka uingereza Masomoni likizo na hawakukaa sana ugeni mwingine ukawa umefika kutokea mkoani Mbeya, nyumba ikawa imezidi kelele maradufu.
Na ilivyofika Jumapili Nickson na Brian wakaenda kanisani misa ya asubuhi.
Macho ya Nickson yakawa yametua juu ya sura ya msichana mweupe wa kuvutia na kuanzia hapo hakumsikiliza tena mchungaji ni kitu gani anaongea mbele, akili yake ilihama,msichana aliyemuona alikuwa ana uzuri wa ajabu na kichwani kwake alipanga aongee naye ikiwezekana ndiye huyo awe Mke wake kama akitokea akakubali ombi lake, bado aliendelea kumtafakari na kumkagua kuanzia kwenye nywele mpaka chini miguuni,kwa hesabu za haraka msichana huyo alionyesha bado hakujua kuvaa na cha kwanza kukiwaza atakapo mpeleka jijini Dar es salaam ni kumkarabati kila idara.

Ibada ilivyoisha Nickson akatoka nje akiwa ana kazi ya kumtafuta msichana mrembo aliyemuona ndani ya kanisa, alitoka mpaka nje ya geti na kumuona ndiyo anaishia kukatiza kona,hakukubali alianza kutembea harakaharaka na kukunja kona.
“Dada,dada,samahani kidogo naomba usisame!”
“Nina haraka sana”
“Tafadhali kwanza,nimepotea njia, nataka kuelekea kwa mzee mmoja hivi anaitwa Kimaro, kwa Mzee Kimaro ndiyo huku?”
Sio kwamba alikuwa amepotea njia, Nickson alizuga ili aanze mazoea na msichana huyo.
“Mzee Kimaro?ni huko chini sio huku”
“Mbona nimeambiwa ni huku?”
“Mimi ndiye ninaye kwambia kama huniamini basi,naomba niende”
“Lakini”
“Nini?”
“Wewe ni mwenyeji wa huku?”
“Ndio”
Ni kweli msichana aliyekuwa mbele yake alikuwa ni mzuri na kwa mbali alivyofungua kinywa chake kuongea yalionekana meno ya kichaga yenye rangi ya dhahabu,alikuwa ana macho makubwa kiasi na mwenye sura ya kipole,
hata Nickson na ujanja wake wa kukaa mjini alijikuta anaishiwa maneno na kubaki akikuna kichwa chake.
“Unaishi wapi?”
“Hapo mbele,kwenye nyumba nyeupe”
“Haaaa! kwa mzee Urio?”
“Ndio”
“wewe ni binti yake?”
“Kaka mbona maswali mengi? naomba niwahi tutaongea siku nyingine,kwaheri”
“Basi nitajie jina lako”
“Siku nyingine”
Msichana huyo alitembea kwa haraka na kupotelea katikati ya mashamba ya migomba na kahawa.
Nickson mpaka dakika hiyo hakuamini kuwa kijijini Mwika kuna wasichana wazuri kiasi hicho, alitembea akirudi kanisani na kuwakuta watu wameshatawanyika,Mdogo wake Brian ndiye alikuwa akimsubiri na alivyofika waliingia ndani ya gari na kuanza akurudi nyumbani.

Nickson alitumia gari ya baba yake katika mizunguko ya hapa na pale na kitendo cha kurudi nyumbani hakukaa sana,aliliendea gari na safari ya kwenda kwenye nyumba ya Mzee Urio kuanza mara moja,haikuchukua hata dakika ishirini kutokana na ukaribu akawa amefika na kuweka gari nje ya nyumba ya Mzee Urio kisha kushuka na kugonga mlango.
Moyo wake ulimdunda sana na hakujua ni kwanini hali hiyo inajitokeza ghafla, alijihisi akitetemeka na jotoridi kumpanda.
“Kijana,kumbe ni wewe?”
Mzee Urio alimlaki Nickson.Kutokana na udogo wa kijiji hicho ilikuwa rahisi kutambuana mbali na kujuana Mzee Urio na Mzee Shayo walikuwa ni marafiki wakubwa.
“Ndio Mzee Shikamoo”
“Marahaba pita ndani,pita ndani”
“Ahsante”
“Umekuwa M-baba,watoto mnakuwa haraka nyie huko mjini mnakula nini?”
“Hatuli kitu zaidi ya ugali kisamvu”
Wote wakacheka na kufurahi.
“Gloriaaaaa”
“Imbeee”(Abee baba)
“Tengeneza chai vikombe viwili nina mgeni leo”
“Sawa Baba”
Mazungumzo ya Mzee Urio na Nickson yakaanza!
“Pangala”
Wote walishtuka baada ya kumuona Gloria kadondosha vikombe vya chai,alikuwa akitetemeka baada ya kumuona Nickson yupo mbele yake,alikuwa ni mwenye hofu na kuhofia kufokewa na baba yake endapo Nickson angesema kuwa alimfuata yeye.
Gloria alijawa aibu na alimuangalia Nickson kwa macho ya kuibia.
“Vipi?”
“Hapana Baba samahani”
“Sasa unatetemeka nini?kilichokufanya udondoshe vikombe ni kitu sasa?”
“Samahani baba”
****
Nickson hakukauka nyumbani kwa Mzee Urio na kila siku alikuwa akienda nyumbani hapo hata siku ya sikukuu ya Chrissmass ilivyofika siku nzima alikesha kwa Mzee Huyo,
kichwani kwake alikuwa na mahesabu makali,Mzee Urio alimzoea na hata siku moja hakuwahi kuhisi kama Nickson yupo kimawindo!

Baada ya kula sikukuu hatimaye Nickson akaaga na kumkuta Gloria nje ,siku hiyo hakufika kwa Mzee Urio na gari alitembea kwa miguu.
“Gloria”
“Abee”
“Naomba nisindikize basi”
“Usiku sasa hivi,Baba hapendi nitoke usiku”
“Mwambie unanisindikiza mimi”
“Mimi naogopa”
Nickson akavaa ujasiri na kumuendea Mzee Urio kuomba ruksa na bahati nzuri akakubaliwa,na alivyomwambia Gloria naye akashindwa kutoa sababu nyingine.wakaanza safari ya kukatisha katika mashamba ya Migomba.
“Dar es salaam unafanya kazi gani Nickson?”
“Mimi ni Mwanasheria,pia ni wakili wa kujitegemea”
“Kweli?”
“Kwanini nikudanganye sasa”
“Hongera yako”
Mpaka hapo ukimnya ukatawala na kuonekana kila mtu alikuwa akimtegea mwenzake aanze kuongea.
“Gloria”
“Abee”
“Unajua kuwa wewe ni mzuri sana”
“Hapana sijui”
“Mimi ndiyo nakwambia”
“Hata wewe mbona ni kijana mzuri,hivi umeoa eeeh?”
“Bado sijaona lakini nipo katika mipango hiyo”
“Wifi atafaidi,Wifi ni kabila gani?”
“Hapana bado sijampata lakini nipo mbioni kumpata,na akikubali nitamuoa mara moja niende naye mjini kuanza naye maisha nimechoka kuishi mwenyewe”
“Kweli?”
“Haswaa”
“Mimi nakutakia mafanikio mema”
Walizidi kukatiza katikati ya mashamba ya migomba na Kahawa,Nickson aliamini hiyo ndiyo siku muafaka ya yeye kumwambia Gloria ukweli juu ya hisia zake,alifafanua kila kitu kinagaubaga na safari aliyofunga kutoka Dar es salaam ya kutafuta mke.

Kwa mara ya Kwanza Gloria alionesha kusua lakini kadri siku zilivyozidi kwenda Nickson alizidi kupigilia misumari swala la hisia zake.
Hata ingemchukua Mwaka mzima aliapa hatokata tamaa, Gloria alizidi kuwa mzuri machoni mwa Nickson kila kukicha na alichokifikiria ni ndoa kichwani mwake.
siku hiyo ya mkesha wa Mwaka mpya ndiyo walihaidiana kukutana baada ya misa ya usiku na ndiyo ilivyokuwa, baada ya misa kuisha wakashikana mikono mpaka migombani.
“Nickson utanioa kweli?”
“Ndio,nitakuoa kama upo tayari”
“Nipo tayari”
Hapo hapo Nickson akapeleka mdomo wake kinywani kwa Gloria na kuzifunika lips zake na kuanza kulana denda kwa furaha,mapigo ya moyo ya Nickson yaliruka sarakasi kwa furaha, hakuamini kama tayari amepata kigoli,ndimi zao ziligusana midomoni na miguno kuanza kusikika,kila mtu akawa amelegea, Nickson taratibu alipandisha mkono wake juu ya maziwa ya Gloria na kuanza kuyashika, hapo ndipo Gloria alianza kuyafumba macho yake.
Nickson hakuishia hapo alimsogeza taratibu Gloria na kumuegemeza kwenye mti huku akiendelea kumtomasa Maziwa, alivyoona haitoshi aliitoa blauzi yake na kuanza kunyonya maziwa ya Gloria,ulikuwa ni usiku mnene.
Gloria alikuwa anaguna asijue ni kitu gani akifanye alihisi raha za ajabu mno.Mkono wa Nickson ukashuka chini ya kitovu na kuingia chini, aliivuta chupi ya Gloria kwa juu na kuzidi kuupenyeza mkono wake ndani, alivyotaka kuishika ikulu ya Gloria mkono wake ukazuiwa!

 Gloria aliuzuia Mkono wa Nickson ulivyotaka kugusa ikulu yake, lakini bado waliendelea kulana denda.Kwa upande wa Nickson hakuwa na tatizo kabisa na aliiona ni sawa tu kwa Gloria kumzuia, sababu ndiyo siku hiyo ilikuwa ya kwanza kukubaliana wawe wapenzi,hakutaka kujali sana kuhusu hilo na hata mpaka wamefikia kitendo cha kupigana mabusu kilitosha kabisa kudhihirisha mambo mengine yangefuata taratibu, kwani aliamini ndege ni wake hakua na haja yoyote ya kushika manati, mbali na hapo aliheshimu hisia za msichana huyo,waliishia kushikana huku na huku na walivyoridhika kila mtu akamuaga mwenzake.

Nickson akabaki akimsindikiza kwa macho Gloria na hata msichana huyo alipofika mbali aligeuka ma kumpungia mkono.
Nickson hakuamini kama amemmpata msichana mzuri kama Gloria na aliondoka akiwa mwenye furaha moyoni mwake.Tangu siku hiyo mapenzi yakawa motomoto, waliongozana kama kumbikumbi wakiwa pamoja na kila jioni walikutana chini ya mti mkubwa wakishikana shikana.
“Gloria nakupenda sana,nakupenda kutoka ndani ya moyo wangu, sijui niseme nini,kungekuwa kuna neno jingine zaidi ya hili ningesema lakini hakuna,nakupenda sana”
Alisema Nickson akiwa katika hali ya hisia kali akionesha msisitizo huku mikono yake ikiwa juu ya mashavu ya Gloria anamtizama msichana huyu jinsi alivyokuwa mzuri mno.
“Hata Mimi Nickson,lakini usinione mshamba”
“Kwanini unasema ivyo?”
“Mimi bado bikira”
“Gloria?”
“Abee”
“Unasema ukweli?”
“Nakwambia ukweli,sijawahi kuguswa na mwanamme yoyote Yule,nilitaka mume wangu ndiye awe mwanamme wa kwanza kunifungua”
“Basi ndiyo mimi hapa”
“Bado hujawa mme wangu lakini”
“Sawa,sikatai lakini ndiyo nitakuwa hivi karibuni”
“Nakupenda Nickson”
“Hata mimi Gloria,wewe ndiye mwanamke wa maisha yangu,Mungu amenipa wewe na sitokugusa mpaka nitakapokua kama unavyotaka iwe”
“Ahsante Nick”
Kila mtu alimtamkia maneno matamu mwenzake usiku huo wakiwa chini ya mti ambao wanakutana kila siku,walisogeza midomo yao karibu na kuikutanisha kama wafanyavyo siku zote, basi ndivyo ilivyokuwa walinyonyana midomo yao kama njiwa huku wakichezeana huku na huku.Kiungo cha Nickson kilisimama na kufanya suruali yake itune mbele na ndiyo ivyo ilivyokuwa kwa Gloria, hisia zilimpanda ajabu na kutamani kufanya jambo baya la kuzini! Shingo ya Gloria ilinyonywa na Nickson akazidi kuupandisha ulimi wake na kuupitisha masikioni mwake, hapo ndipo msichana huyu alipagawa zaidi alitamani avue nguo lakini alijikaza kisabuni,kutokana na hali hiyo ilibidi Nickson achukue mkono wa Gloria na kuuweka juu ya mashine yake huku akifanya kama anajichua.
Gloria aliogopa na kuutoa mkono wake.
“N…ini Gloria?”
Nickson aliuliza taratibu huku macho yake yakiwa mekundu yamelegea.
“Mimi naogopa kukugusa huko”
“Jaribu leo,mimi siwezi kulala hivi usiku,nitateseka sana”
“Mhhh”
“Tafadhali”
Gloria akakubali akaingiza mkono ndani ya boxa ya Nickson na kumtoa nyoka wake aliyekuwa ametuna kisha akasaidiana na Nickson, wakaanza kumchukua nyoka huku wakiendelea kupigana madenda kwa fujo.kadri sekunde zilivyozidi kwenda mbele ndipo Nickson alipozidi kusikia raha zaidi,na kumvuta Gloria upande wake,hazikupita hata sekunde kumi Nickoson akamganda Gloria akawa amemkumbatia kwa nguvu,teyari alikuwa ametupa risasi na kushusha pumzi ndefu.
“Pole”
Gloria alisema huku wakitizamana.
****
Halikuwa jambo la utani kwa Nickson kuhusu kumuoa Gloria, baada ya wiki moja baadaye akawa ameweka mambo wazi kwa wazazi wake juu ya Msichana aliyempata,Mzee Shayo akainua mikono juu na kushangilia kutokana na mwanaye kuoa mtoto wa rafiki yake,hata walivyopeleka taarifa hizo kwa Mzee Urio ndiyo akaonesha furaha zaidi.Mambo yalipelekwa harakaharaka sana na vikao kuanza kufanyika maramoja! wazee wa kichaga waliitana mashambani na kuchinja mbuzi ili kujadili swala hilo zito.

Baada ya wiki mbili kutimia Mzee Shayo wakishirikiana na wazee wenzake wakawa wametengeneza pombe ya asili iliyoitwa mbege,ikanyweka kama mila zao.Nickson hakutaka kubanduka mkoani Kilimanjaro bila Gloria na ndivyo ilivyokuwa,walipanga harusi yao ifanyike jijini Dar es salaam.Hakukua na kipingamizi, safari ya kuelekea mkoani Dar es salaam ikaanza.
Na Nickson alivyofika tu kitu cha kwanza alichofanya ni kumpeleka Gloria saluni ili wakaufanyie ‘service’ mwili wake na alivyotoka saluni kila mtu alimkodolea macho.Gloria alibadilika ghafla, kichwa chake kilikarabatiwa na nywele zake zikawekwa sawa,ungemtizama na kupewa picha yake jinsi alivyokuwa kwenye mashamba ya kahawa ungekataa katakata.

Hata Nickson alipomuoma alionesha mshtuko wa waziwazi na kuweka mdomo wake kinywani!
“Ndiyo wewe Gloria?sijawahi kuona msichana mzuri kama wewe lazima niwaite leoleo wakina Faris na Jongo niwaoneshe kuwa Moshi kuna vifaa,si walikuwa wananicheka eti naenda kuoa kijijini,ngoja sasa”
Maneno hayo yalimtoka Nickson huku akizidi kumuangalia Gloria juu mpaka chini asiye amini mtu anayemuona mbele yake.
Walivyotoka sinza walichukua Taxi iliyowapeleka mpaka Buguruni Malapa na ndiyo hapo Nickson alikuwa amepanga .Alivyofika tu akatoka nje mbio mbio.
“Oyaaaa Jongo, wewe Jongo hunisikiii au?,njoo njoo njoooo,Faris yuko wapi?”
“Yuko kule juu,vipi kwani?”
“Enhee Yule pale,Faaaaris”
Namna aliyotumia kuwaita wenzake kuliwatisha na wote wakasogea karibu kumsikiliza rafiki yao.
“Mwenzenu nataka kuoa,kama nilivyowaambia kuwa nilienda Moshi sio kuhesabiwa peke yake,nimekuja na kifaa na ninaoa mwezi ujao”
“Kumbe ndiyo ulichotuitia hiko?”
“Twendeni mkaone, sio mnasema hivyo, kifaa hamjakiona ndiyo maana,lakini msipige kelele,twendeni mkamuone shemeji yenu”
Wote wakatembea Jongo na Faaris walikuwa wana hamu ya kumuona msichana aliyekuwa akisifiwa na Nickson,wote wakafika ndani.Ni kweli msichana waliyemuona nyumbani kwa rafiki yao alikuwa ana uzuri usio wa kawaida, waliyatumbua macho yao na hawakutaka kuuliza kitu kingine zaidi,Gloria alikuwa kivutio kwao.
****
Kutokana na mambo kupelekwa haraka na wazee wa kichaga, kadi za harusi zikawa zimesambazwa,hatimaye siku ya ndoa ikawa imekaribia lakini mpaka siku hiyo Nickson na Gloria hawakuwahi kushiriki tendo la ndoa.Na Nickson alitamani siku hiyo ifike na ndiyo maana alikuwa ana mcheche wa siku ya harusi yake iwadie!alipiga siku hiyo baada ya ndoa watakuwa kitandani na Gloria.

Siku hazigandi,hatimaye siku ya harusi ikafika, Nickson Shayo akawa amemuoa Gloria,wazee wakafurahi na kunywa.Ikawa kama utani kumbe ndiyo kweli,na siku hiyo akapewa nyumba ya kuishi na gari la kutembelea kama zawadi na ofisi.Ulipofika usiku wa saa sita,gari la maharusi likawachukua mpaka Rombo Hotel ili kupumzika.Hapo Nickson hakufikiria kitu kingine zaidi ya kufanya tendo alilokuwa akilisubiria siku nyingi zilizopita nyuma,kitendo cha kufunga mlango alimvuta Gloria karibu na kuanza kunyonyana midomo yao wakilana denda, wakatupana kitandani.Nickson alilivua shela la Gloria nayeye akavuliwa Suti, wakabaki kama walivyozaliwa.
Nickson alipagawa zaidi,hakuamini kama ndiyo anaenda kula tunda lake aliliolisubiri kwa kipindi kirefu,hakua na papala alienda kimjini, alielewa jinsi ya kumuandaa mtoto wa kike na ndicho alichokifanya na kila alipojaribu kuweka mkono ndani ya mgodi wa Gloria alishikwa mkono,
hakutaka kuwa na haraka sababu alielewa mke wake ni bikira na alijisikia ni mwanamme lijali kumtoa bikira msichana mzuri kama Gloria!
Aliyanyonya maziwa ya Gloria mpaka alivyolainika kabisa na kuanza kuyafumba macho yake.Hapo ndipo alipomchukua nyoka wake na taratibu kumuingiza shimoni kwa tahadhari sababu alielewa nini maana ya bikira.Lakini moyo wake ulimdunda baada ya nyoka wake kupita ndani bila tatizo,alimtoa na kumuingiza tena lakini hali ilikuwa vilevile.Akili yake ilichanganyikiwa na kugundua teyari ameuziwa mbuzi kwenye gunia!


 Hali ya kutokuwa kwa ubikira wa Gloria ilimshtua sana Nickson, lakini hakutaka kuuliza kwanza, jambo alilofanya ni kumaliza alochokianza kwanza!Alimpindua Gloria na kumlaza vizuri chali ili amalize hamu yake,damu yake ilimuenda mbio na mapigo yake ya moyo kuzidi kumdunda.Gloria alikuwa ni msichana mzuri na bado aliamini kuwa yupo ndotoni na muda mfupi ataenda kushtuka.
“Assshhh Nickiiii tar…atibu”
Gloria aliigiza kwa kutoa sauti hiyo puani.Nickson alimgeuza huku na kule na safari hii akauweka mguu wa mke wake begani kwake huku akizidi kuendeleza mashambulizi.

Gloria alizidi kupiga kelele za raha na hapo ndipo alipomfanya Nickson azidishe kasi,alipeleka ulimi wake kifuani na kuanza kunyonya maembe huku akizidisha mashambulizi,sekunde tano baadaye alikuwa amelala kifuani kwa mkewe akiwa anahema juu juu,ametulia haongei chochote,Gloria alijifunza kitu kutokana na ukimnya wa mme wake.
“Mme wangu”
“Naam”
“Ume enjoy?”
“Ndio”
“Mbona kama huna raha?”
“Hapana kawaida tu”
“Kweli?”
Gloria aliuliza tena.
“Ndio”
“Naomba unisamehee Nickson,najua kuna kitu umegundua ambacho kinakufanya unifikirie vibaya”
“Kitu gani?”
“Hujanikuta kama ulivyotaka niwe,ki ukweli mimi sikua bikra na ninaomba unisamehe kwa hilo,nisamehe saba mara sabini”
“Sasa kwanini hukutaka kuniambia ukweli? ulidhani sitokuoa?”
“Nilitaka nije kukwambia ukweli siku moja lakini sikupata nafasi hiyo,lakini ki ukweli hii isikufanye upunguze mapendo kwangu,Nickson nakupenda kutoka ndani ya moyo wangu ndiyo maana nikakubali kuolewa nawewe”
“Hata mimi nakupenda Mke wangu kuhusu hilo swala usijali,mimi nakupenda kweli,na mpaka nimekuoa nilikuwa nipo tayari kukabiliana na kitu chochote kile”
“Kweli Mme wangu?”
“Niamini mimi,nakupenda Gloria,nakupenda sana,nataka uishi kama malkia,nachokuomba uwe mwaminifu”
“Kwa hilo ondoa shaka”
Nickson aliinua kichwa chake na kupeleka lips zake mdomoni kwa Gloria kisha kuanza kulana denda,hakuna kilichofuata hapo zaidi ya kuanza kushikana huku na huku na kubebana mpaka bafuni, huko kilichoendelea ni kutomasana,bomba likafunguliwa la mvua kila mtu akawa anamsugua mwenzake huku wakiwa kama walivyozaliwa.

Kila Nickson alipomuangalia mke wake kiungo chake cha mwili kilimsimama.Gloria alikuwa ni msichana mweupe na mwenye mwili wa kutamanisha, maziwa yake yaliyosimama wima ndiyo yalizidi kumpandisha Nickson midadi aliyekuwa mbele yake anapitisha mikono katikati ya matiti yake huku akiyasugua,alipeleka kinywa chake na kuanza kuyanyonya kama mtu anayevyonza embe dogo,taratibu huku mkono wake ukipita chini ya ikulu, kazi ya Gloria ilikuwa ni kumkwaruza Nickson mgongoni huku mara kadhaa akipiga kelele za raha na kutetemeka, raha alizokuwa akizisikia hakuweza kuwahi kuzipata kabla katika maisha yake.
walinyonyana midomo na kurudi chumbani huku wakiwa wamelowana ivyoivyo puuh kitandani, kisha kuzidi kuendeleza mashambulizi.
Hakika fungate lao walilitumia vizuri.Na baada ya siku tano,ilibidi warudi katika nyumba yao mpya waliyopewa na ofisi kama zawadi,
ilikuwa ni furaha sana,kazi aliyoifanya Nickson siku iliyofuata ni kukodi gari kubwa mpaka Buguruni Rozana, alipokuwa amepanga kipindi anaanza maisha ili kuchukua baadhi ya vitu vyake,alivyofika hakusahau kuwatafuta marafiki zake kipenzi, bwana Jongo na Faaris.Wote walisahabiana wakiwa wenye furaha.
“Naona kampani yetu ya ubachela inaanza kupungua sasa!”
Alisema Faris akikitizama kidole cha Nickson kilichokuwa na pete ya ndoa.
“Sio kweli,lazima tuwe tuna kutana mara moja moja tupige mbili tatu sana tu!”
“Wewe unasema,wife akigoma hutosema kitu chochote,tena kile kisu cha kichaga, akikohoa tu upo ndani,mimi si nakwambia”
Bwana Jongo nayeye hakukosa neno!
“Mwambie huyo Jongo,lakini poa sisi tuna kutakia kila raheli,tutatembeleana kama kawaida Mangi”
Faaris nayeye akapigilia msumari.
“Mimi sitowasahau washkaji zangu,lazima nije Buguruni hapa,maana ndiyo maskani”
Waliendelea kupiga stori wakiwa wenye furaha na gari lilipomaliza kupakia mizigo, Nickson alimtafuta mzee mwenye nyumba na kumkabidhi funguo zake kisha kuingia ndani ya Canter huku akiwapungia marafiki zake mikono ya kuwaaga.
Katika maisha yake, Nickson alijua teyari amekamilisha hatua ya kwanza nayo ni ya kuoa na alichokuwa akikiwaza kwa wakati huo baada ya mwaka mmoja, awe tayari keshaitwa Baba,alikuwa ni mwenye hamu sana ya kuyavaa majukumu ya kuwa na familia.
“Broo ulisema Segerea majumba sita?”
Aliuliza Dereva wa gari wakiwa wamefika Tabata liwiti.
“Ndio!kuna sehemu inaitwa migombani”
“Sawa,napafahamu”
“Okay”
Gari lilizidi kwenda na walipofika kwenye nyumba yanye geti la rangi jekundu, gari likawekwa sehemu nzuri.Nickson akawaita vijana waje kumsaidia nao wakafika.

Siku nzima wakasaidiana na Gloria kupanga nyumba na ilivyofika jioni ya saa kumi na mbili kila mtu alikuwa hoi bin taaban!kutokana na uwingi wa vitu kupangwa.
“Mme wangu utakula nini usiku?”
“Hapana usipike,si umechoka sana”
“Nani amekwambia?”
“Pumzika,leo tunanunua chakula nje”
“Sitaki ule chakula cha nje Darling wakati mimi nipo,sasa nini uwepo wa mimi hapa ndani?”
“Basi sawa pika chochote tu,wale samaki wa jana si bado wapo?”
“Ndio”
“Basi pika hao na wali”
“Aya baba,alafu maji tayari yapo bafuni ukaoge”
“Nitakusubiri,ukimaliza tukaoge wote”
“Mhhh,sawa”
Kila mtu alimpenda mwenzake kwa dhati na chakula kilivyotengwa mezani,kwa pamoja wakanyoosha mpaka chumbani ili kwenda kuoga,nyumba waliyopewa ilikuwa nzuri na kubwa tena ya kisasa.Wote waliipenda, bafuni kulikuwa pa kisasa kulikuwa kuna yakuza iliyojaa mapovu wote wakavua nguo zao kisha wakaingia ndani ya sink lililokuwa na maji ya uvugu uvugu ndani yake.

Kilichoendelea hapo ni kila mtu kuanza kumchokoza mwenzake,walipigana madenda mfululizo na kilichofuata ni tendo la ndoa,kila mtu alikuwa ana hamu na mwenzake.Baada ya kutoka ndani ya sink walitembea mpaka chumbani na kuvaa nguo.
“Baby vaa hii night dress,tuko wenyewe ndani”
“Naona aibu”
“Hapana vaa tu,si tutakuja kulala sasa hivi”
“Sawa”
Wote wakanyoosha seblen kula chakula cha usiku kisha kurudi kulala.
****
“Griiii griiiii,Griiii griiiiiiii”
Ni Simu ndiyo ilikuwa ikiita katika ‘vibration’ juu ya meza kubwa na wa kwanza kuisikia alikuwa ni Gloria asubuhi hiyo ya saa moja, alimtingisha Mme wake Nickson aliyekuwa mbali katika usingizi mzito.
“Mhhhhhhh”
Nickson aliitikia katika hali ya uchovu huku akipiga miayo!
“Simu yako Darling,inaita”
“Naomba”
Nickson alishtuka na kukaa sawa kitandani baada ya kuona jina juu ya kioo cha simu yake Boss Magugu.Alikaa kwa adabu na kukohoa kidogo ili kuondoa sauti ya usingizi.
“Halloo bosi”
“Za kwako Nickson?”
“Salama tu bosi,sijui huko kwako”
“Huku njema,upo ofisini?”
“Hapana,nitaingia kesho bosi”
“Sawa,sasa nilikuwa nakuomba kitu kimoja,nipo Arusha hapa KIA, baada ya dakika arobaini na tano uwepo mwalimu Nyerere tafadhali,wewe ndiye mtu wa karibu nimekupigia ambaye utaweza kufika kwa haraka”
“Sawa bosi,utanikuta hapo,hilo ondoa shaka”
“Okay”
Simu ilikatwa ikimuacha Nickson akimruka Mke wake kitandani na kunyoosha mpaka bafuni,sekunde moja baadaye alikitoa kichwa chake nje kikiwa na mapovu.
“Njoo uoge,leo twende ukamuone bosi wangu,siwezi kukuacha mwenyewe Gloria”
“Sawa,nakuja”
Wote wakaingia kunawa pamoja na kuoga, walivaa na kutoka nje mpaka kwenye gari aina ya Rav 4.
Na safari ya kuelekea uwanja wa ndege kipawa mwalimu Nyerere kuanza,kwa mwendo wa kawaida alioutumia Nickson, ndani ya dakika ishirini na tano wakakunja kona kushoto kuingia uwanja wa ndege.

Nickson akazungusha gari mpaka sehemu aliyoona inafaa kupaki gari, kisha kuliegesha vizuri na kuteremka akiwa na Gloria wake pembeni,wakatembea mpaka sehemu ya watu wanaopokea wageni wao,kisha kujumuika nao wakimsubiri mgeni wao.
Haikupita hata dakika kumi,sura ya Mzee mwenye rangi ya maji ya kunde aliyevaa suti nyeusi ilitokeza .Na Nickson akapunga mkono wake hewani baada ya kugundua kuwa ni bosi wake Mr.Omari Magugu.
“Pole na safari Bosi”
“Ahsante vipi za fungate?”
“Salama bosi”
Kitendo cha Magugu kumtizama Gloria moyo wake ukamdunda na kumwenda mbio,ilikuwa ni tofauti na alivyomuona kwenye harusi,Gloria alizidi kuwa mzuri siku hiyo na walivyopeana mikono ya salamu akamtekenya kwenye kiganja chake,na kumkonyeza bila ya Nickson kujua lolote.

 Moyo wa Gloria ulipigwa ganzi ya ghafla hakuelewa ni kitu gani akifanye,Mr.Magugu alizidi kuutekenya mkono wake huku akimkonyeza, alishindwa kuvumilia kwa nguvu zake aliutoa mkono wake mpaka ukamgonga Nickson aliyekuwa anaangalia pembeni.
“Vipi Gloria?”
Nickson aliuliza lakini badala ya Gloria kujibu alikaa kimnya,kuna kitu alijifunza lakini hakua ana uhakika nacho.
“Twende Nickson,nataka niwahi leo ofisini,lakini sijakusifia mkeo ni mzuri,huyu ni mchaga vile?”
“Ndio bosi”
“Basi umechagua,kama akihitaji kazi mimi nitamtafutia,asiwe anakaa nyumbani inabidi nayeye achakalike asiwe goalkeeper,kesho na kesho kutwa hautokuwepo,atashindwa pa kuanzia”
“Kweli bosi,utamtafutia kazi?”
“Hilo ondoa shaka”
Kutokana na Elimu ndogo aliyokuwa nayo Gloria kwa Nickson hiyo aliiona ni bahati kwake, hakutegemea kama bosi wake angekuwa mpole kiasi hicho tofauti na siku nyingine zote alizowahi kuishi naye.

Waliingia ndani ya gari na Nickson akampeleka bosi wake mpaka Mbezi beach sehemu anapoishi,wakaagana na Nickson akahaidi kuwa kesho yake atafika ofisini asubuhi na mapema.Kabla ya Nickson kutoka getini Bosi wake alimuita akawa kama ana kitu anataka kumwambia.
“Embu njoo mara moja”
Nickson alitembea kwa adabu.
“Kama nilivyokwambia,mimi ndiye nilifanya mipango ya wewe kupewa nyumba na gari sasa pia nitafanya mipango ya mkeo apate kazi nzuri”
“Lakini hana elimu sana”
“Bwana wee!hapa mjini kwani wanaokaa kwenye maofisi wote wana elimu?hilo swala niachie mimi nilishughulikie”
“Sawa bosi,hata ivyo nashukuru sana Mungu akuzidishie,ahsante kwa kila kitu”
“Anza kumwambia maana naona ni muoga kweli,hata nilivyokuwa namsalimia pale nikawa namshtua shtua akawa anaogopa,mchangamshe bwana”
“Ha ha ha haaa sawa bosi,hilo ondoa shaka bado mgeni wa jiji,atazoea tu”
“Haya usiku mwema kesho uwahi mapema”
“Sawa”
Nickson aliondoka akiwa mwenye furaha moyoni mwake, lakini alipoingia ndani ya gari na kumueleza habari hizo mke wake Gloria ili kuwa ni kinyume, hakuonesha furaha ya aina yoyote ile,jambo ambalo alishindwa kulielewa.
“Sasa mbona hufurahi?”
“Hapana,siwezi kufanya hiyo kazi”
“Sasa kwanini?”
“Basi sijisikii”
“Ngoja nikwambie mke wangu,sina maana mbaya kukuanzisha kazi, hapana,lakini nachotaka mimi uwe unajishughulisha, unajua haya maisha siku yoyote naweza nikatoweka alafu ukawa mzigo kwa watu”
“Nickson naomba twende nyumbani”
Gloria alilengwa na machozi, moyoni alikuwa ana sababu kubwa ya kukataa kazi aliyotaka kupewa na Nickson kupitia mgongo wa Mr.Magugu,alielewa nini maana yake,
kitendo cha kutekenywa mkono wake ndicho kilichomuuma zaidi,kwa kitendo hicho yeye alihesabia ni kama udharirishwaji,alimpenda mme wake na alisikitika sana na kumuonea huruma sababu hakuelewa nini maana ya kazi hiyo.
“Nickson”
Gloria alimuita Mme wake baada ya gari kuwashwa na kuondoka.
“Naam”
“unataka nifanye kazi kweli?”
“Ndio,lakini ukikataa sitakuwa na haja ya kukulazimisha”
“Mimi nipo tayari,lakini sio hiyo ninayotafutiwa na bosi wako”
“Sasa kwanini?yeye ndiye mtu mkubwa hapa mjini atakusaidia kwa kila kitu,na si ajabu ukapata kazi nzuri na ukalipwa vizuri”
“Hujaelewa Nickson wangu”
“Sijaelewa nini?”
“Unajua alinifanya nini pale uwanja wa ndege?”
“Alikufanya nini?”
“Alikuwa akinitekenya mkono wangu,mimi sikupenda na kanikera”
“Aaaah hicho ndicho kinakufanya ukatae kazi yake?iyo kawaida hapa mjini”
“Nickson ndiyo anikonyeze?”
“Kakukonyeza?”
“Ndio”
Hapo Nickson hakua ana haja tena ya kuuliza swali lingine,kwa umri aliokuwa nao alishaelewa nini maana yake,na alivyounganisha matukio alipata jibu kamili kuwa bosi wake kivyovyote anataka kumsogeza karibu mke wake,moyo ulimuuma,

akashusha pumzi nzito iliyochanganyika na wivu ndani yake.Ukimnya ulitawala wa kama sekunde tano.
“Alafu kwanini tusipite tununue vitu vya kupika vya wiki nzima?”
“Sawa”
Nickson hakupinga na kwa bahati nzuri walikuwa wameshafika Buguruni sheli, hapo alikunja kushoto na kunyoosha mpaka Buguruni sokoni,wakanunua vitu vya kupika ndani na kuviweka ndani ya gari.Nickson hakuwa na raha tena, mpaka hapo alikuwa mdogo.
“Gloria”
“Naam mpenzi”
“Nakupenda sana”
“Hata mimi”
“Kweli?”
“Ndio Mme wangu”
Safari ikaendelea na walipofika nyumbani Nickson akajitupa kitandani na kulala chali akitafakari maisha yake ya ndoa na alishaelewa kwa uzuri aliokuwa nao Gloria ni wazi kuwa angekumbana na changamoto nyingi, kama mwanamme ilibidi asimame imara.Akiwa anawaza hayo yote sura ya Mzee Magugu ikamjia kichwani na kujikuta anasonya.
“Baby vipi unawaza nini?”
Gloria aliuliza baada ya kutokeza mlangoni.
“Sio kitu mpenzi”
“Chakula kinakaribia kuiva,tukaoge sasa”
“Poa”
Mchaga Gloria alikuwa ni kama amefundishwa nini maana ya mume, alimpandia Nickson kwa juu kisha kutoa ulimi wake huku akimsogelea mume wake na kuanza kulana denda,sekunde tatu baadaye Nickson akawa amehama kihisia akamtupa Gloria upande wa pili yeye akapanda juu yake huku wakiendelea na mabusu.
“Baby”
“Mhhh”
“Tukaogee bwaaaana,alafu chakula nimeacha jikoni kitaunguaaaa aaaah”
Gloria alitoa sauti ya puani.
“Ahh baby kidogo tu”
“Mimi ni wako,tupo wote,tutafanya baadaye”
“Beebiii,kido….”
Gloria hakuwa na jinsi ya kufanya zaidi ya kumridhisha mme wake na ndiyo mambo aliyofundwa na shangazi zake kipindi anachumbiwa na Nickson,maneno hayakuweza kumtoka,
ilikuwa ni lazima awe tayari muda wowote kwa tendo la ndoa,alivyokumbuka hayo alimrukia Nickson wakaanza kushikana kila sehemu ya miili yao kila mmoja akimvua nguo mwenzake,

mpaka siku hiyo kila mtu alishaelewa ni wapi udhaifu wa mwenzake ulipo.Ugonjwa wa Gloria ulikuwa sehemu kuu mbili kwenye maziwa na ikulu ndiyo huko Nickson alipocheza napo,hakufanya makosa hata kidogo,dakika tano baadaye wakawa katika tendo la ndoa,baada ya kumaliza hali hiyo wakanyoosha bafuni kuoga kisha kwenda mezani!
“Unaona chakula kimeungua”
“Heee,sasa itakuwaje?”
“Nitapika kingine”
“Hapana,twende tukale nje”
“Nitapika usijali”
Huo ndiyo ulikuwa msimamo wake,Gloria aliingia jikoni na kupika tena, kilivyoiva wakaanza kula mezani,hakuna stori walizopiga nyingine zaidi ya kila mtu kumtamkia mwezake anampenda.
*****
“Hapo umependeza sana”
“Eti eeeh?”
“Ndio Mme wangu,vaa na hiyo tai sasa”
“Tai sipendi sana kuvaa”
“Vaaa kwa ajili yangu”
“Sawa”
Nickson alikuwa amesimama mbele ya kioo kikubwa asubuhi ya saa moja anajiandaa kwenda ofisini kwake, huku Mke wake akiwa bado kitandani anamsifia.
“Ona ulivyopendeza mpaka Napata wivu,huko ofisini hakuna visichana?”
“Hata wakiwepo hawawezi kunitingisha hata kidogo”
“Kweli Mme wangu?”
“Nakwambia ukweli,wacha mimi niwahi basi”
“Chai ipo mezani”
“Hapana, nitachelewa naomba niwahi”
“Okay mpenzi,sogea nikubusu”
Walipigana mabusu na Nickson akatoka nje na kuliendea gari.
Safari ya kwenda ofisini kwake ikaanza,kutokana na msongamano wa magari siku hiyo alichelewa kwa dakika kumi, na alivyofika akaweka gari kando na kushuka.

Wafanyakazi wenzake walivyomuona walifurahi na wengine kumpongeza kwa kurudi kazini tena, baada ya fungate kuisha.
“Alafu bosi kasema ukifika umuone”Alisema sekretari.
“Kwani keshafika?”
“Ndio kaingia sasa hivi, hamjapishana sana”
“Poa wacha niende”
Nickson akanyoosha mpaka ofisini kwa bosi wake,baada ya kugonga alikaribishwa na kuingia.Mzee Magugu alipomuona aliachia tabasamu na kupeana mikono.
“Kahawa?”
“Hapana bosi,niko poa”
“Vipi utokako huko?”
“Huko kwema tu”
“Sasa mkeo alikubali?”
Swali hilo lili mfanya Nickson akae kimnya kwa sekunde kama tano bila kujibu chochote.
“Mimi nataka nikusaidie na nimejitolea huo msaada”
“Bosi,Amesema kwa sasa hivi hayupo tayari”
”Kwanini?”
“Hata nashindwa kuelewa”
“Embu nipatie namba yake ili niweze kufanya naye mazungumzo mimi mwenyewe, kuna kazi tayari nishamtafutia anatakiwa kuanza kesho,nitajie namba zake za simu”
Hakuna siku aliyokuwa katika wakati mgumu kama siku hiyo,Nickson alikuwa akijishauri kichwani ni kitu gani akifanye.

 Kichwani mwa Nickson alielewa jambo moja tu, hakukuwa na kazi yoyote hapo, isipokuwa bosi wake anamtaka Mke wake Gloria kimapenzi,hilo alilielewa wazi baada ya kuunga matukio, aliumia zaidi hasa alipomfikiria mke wake alivyokuwa mzuri,alimeza mate huku akifatakari ni jambo gani alifanye,kitendo cha kutotoa namba za simu kilimaanisha kumuweka katika uhusiano mbaya na Mzee Magugu bosi wake, aliyekuwa nyuma ya meza anamsisitiza atoe namba huku akizugusha kiti chake.
“Hizi hapa bosi”
Alisema Nickson huku akimuwekea bosi wake simu mbele yake, ambapo tayari aliweka jina lilioandikwa ‘my lovely wife’ juu ya tarakimu.

Mzee Magugu hakuchelewa hapohapo alizichukua na kuanza kuzipiga ili kumtoa Nickson wasiwasi, akaweka ‘loudspika’haikuchkua hata sekunde tano upande wa pili wa simu ukapokelewa.
“Mama Shayo,hujambo?”
“Sijambo nani mwenzangu?”
“Oh rafiki yako mimi, umenisahau?”
“Usinipotezee wakati,huna jina?”
“Ah sasa mbona mkali?”
“Nina kazi za kufanya,kama huna cha maana usinisumbue”
Gloria aliongea kwa ukali kidogo,Mzee Magugu akajichekesha.
“Nipo na Mumeo hapa”
“Nickson?”
“Ndio huyo huyo”
“sasa ndiyo useme ivyo,hajambo kwanza mume wangu?”
“Hajambo sana,naona mpaka kanenepa ana kitambi,unampikia nini?”
“Chakula cha kawaida tu,mpo wapi kwanza?”
“Tupo ofisini hapa,ushanikumbuka mimi?”
“Hapana”
“Mlikuja kunipokea Airpot jana,mimi ni bosi wake”
Kusikia hivyo, Gloria hakujibu kitu kingine kwa karibu sekunde nane.
“Halloo Mama Shayo”
“Abee”
“Mbona kimnya?”
“Amna kitu”
“Sasa… nilikuwa nakwambia zile habari za kazi,nishakutafutia tayari na unatakiwa kesho uanze mara moja,ivyo uje hapa na Nickson ili nikupe utaratibu”
“Aya”
Maongezi kwa njia ya simu yakaishia hapo na simu ikakatwa, Moyoni mwa Mzee Magugu alishaapia kuwa, ilikuwa ni lazima amjaze Gloria kingi,na ni kweli mpaka hatua aliyofikia alijipa moyo,mbali na kuwa bosi wa Nickson Mzee Magugu alikuwa ana uwezo kifedha, hiyo ilimpa moyo zaidi!
Alimruhusu Nickson akaendelee na kazi huku akizidi kuvuta picha ya Gloria kichwani kwake.

Japokuwa msichana huyo alikuwa mchaga lakini alikuwa ana makalio kiasi na kufanya nyuma abinuke hiyo ndiyo ikamtia hamasa zaidi.
“Huyu mtoto lazima nimpate kwa gharama yoyote ile,Nickson hawezi kumiliki mke mzuri kuliko wa bosi wake,kwa kipi alichokuwa nacho”
Hayo yalimiminika ndani ya ubongo wa Mzee Magugu huku mara kadhaa sura ya Gloria ikipita kichwani kwake kama mtu anaye angalia sinema!
****
Nyumbani kwa Nickson kulizuka ugomvi mkubwa sana,kitendo cha Nickson kutoa namba za Gloria ndicho kilifanya nyumba nzima ijae kelele usiku huo wa saa mbili baada ya Nickson kutia maguu!
“Mimi sijapenda,nimekwambia sitaki kazi zenu,au unataka kuniuza kwa bosi wako?sema kabisa,nambie kama mna njama,maana sikuelewi,mimi nimekwambia nini kinaendelea wewe hutaki kunielewa,unachotaka nini sasa?unaomba msamaha wa nini?unaomba msamaha wa nini? wakati ushatoa namba,kwa kweli umenikera Nick,umeniudhi sana,niache usinishike,usinishike.. niache nakwambia”
“Gloria naomba unisikilize”
“Siwezi kukusikiliza tena,inaonesha ni kiasi gani una nidharau”
“Yule ni bosi wangu”
“Kwahiyo?”
“Ningekataa isingekuwa picha nzuri”
“Picha nzuri eeeeh!wewe si unamuogopa,mimi namtukana akianza kunieleza upuuzi wake”
“Utakuwa unakosea,utaniweka kwenye matatizo”
“Matatizo gani?”
“Yule ni bosi wangu,kumbuka ndiye ananilipa”
“Ndiyo maana hauna msimamo,labda umuwahi umwambie kuwa asinipigie lakini vinginevyo,ataipata freshi”
Gloria alikuwa katika hali ya ukali na kukasirishwa sana mpaka rangi yake ya mwili ikabadilika na kuwa nyekundu, mishipa ya shingo ilimtoka na Nickson akaogopa,
hakuwahi kumuona Mke wake akiwa katika hali kama hiyo hata siku moja,hiyo ilimchanganya akili,seblen pakawa hapakaliki tena.
Haikupita hata sekunde tisa ukimnya ukatawala baada ya simu ya Gloria kuita na Nickson alivyotambua kuwa anayepiga ni bosi wake akamkazia macho Gloria ambaye alikuwa keshaipokea simu na kuiweka ‘loudspika’ ili Nickson asikie.
“Ooh Mrembo”
Hiyo ndiyo sauti iliyosikika seble nzima baada ya kupokelewa.
“Abee”
“Sasa hivi unafanya nini?”
“Nipo na Mume wangu”
“Napenda sana ndiyo wakati wake huu,maana najua amechoka, inabidi umkande kidogo,si unajua tena”
“Naelewa”
“Vipi kuhusu kesho?”
“Kuhusu nini?”
Gloria alijibu kifupi kwa mkato.
“Tulivyoongea Mchana,Nickson hajakueleza?”
“Kanieleza lakini sipo tayari”
“Sasa kwanini?au Nickson ndiyo kakukataza?”
“Mimi ndiye nimekataa”
“Mpe simu Nickson”
Nickson akasogezewa simu.
“Halloo bosi”
“Habari za jioni?”
“Salama tu sijui huko?”
“Sasa mbona umemkataza mkeo kuja kufanya kazi?”
“Siwezi kufanya ivyo,yeye mwenyewe hataki”
“Umemkataza bwana usibishe!”
Mzee Magugu akaongea kwa sauti ya ukali kidogo.
“Siwezi bosi, nilijaribu kumwam…”
“Okay”
Hapo hapo simu ikakatwa, hiyo ilimtia mashaka Nickson, alishaelewa ni kiasi gani bosi wake amekasirika,alishusha pumzi na kumtizama mkewe kwa macho ya huruma.

Moyoni aliumia mno na alijiurumia sana,kukataa kazi kwa Gloria kulimfanya auzunike sana, alishaelewa kuwa yupo mbioni kufukuzwa kazi.Alishika tama huku akiwa mwenye mawazo.Gloria alivyomuona Mme wake katika hali hiyo alisikitika zaidi na kuguswa.
“Nickson”
“Naam Mke wangu”
“Una waza nini?”
“Sio kitu mke wangu”
“Nakupenda,nakupenda sana lakini sipo tayari kuona ndoa yangu inaingia kwenye matatizo,hiyo kazi sipo tayari naomba unisamehe”
Nickson alielewa wazi kabisa kuwa Gloria hatanii na alikuwa ni msichana mwenye msimamo mno pengine kuliko yoyote Yule aliyewahi kuwa naye kabla!

Kivyovyote vile hata kama angeendelea kumsihi kuhusu kukubali kazi ingekuwa ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa! Nickson siku hiyo hakula chakula kabisa na hata alivyofika kitandani hakuwa na hamu na tunda la mke wake, kifupi hakuwa katika Mudi!
*****
Mambo hayakuishia nyumbani tu, ilikuwa ni kama alitabiri, kwani alipofika ofisini siku hiyo hawakuongeleshana na Bosi wake na ilipofika majira ya saa saba mchana muda wa kwenda kula Nickson alisimama kuelekea nje na alivyofika mlangoni alikutana na Bosi wake akiwa ameukunja uso wake na kuonesha kuchukizwa baada ya kumuona Nickson mbele yake.
“Nifate ofisini”
Mzee Magugu alisema bila ya kumuangalia Nickson usoni kisha kumpa mgongo akiongoza mbele.
“Sawa bosi,lakini naenda kula mara moja”
Mzee Magugu aligeuka ghafla akiwa ameukunja uso wake huku macho yake yakionesha hasira na chuki.
“Tangu lini umeanza utovu wa nidhamu?mimi nakuita ofisini kwangu unasema unaenda kula!”
Mzee Magugu alifoka na sauti yake nzito kuenea ofisi nzima!

 “Samahani Bosi”
Nickson alisema huku akiwa mwenye hofu akitetemeka kutokana na jinsi bosi wake alivyokuwa akimuangalia kwa ukali,hata baadhi ya wafanyakazi wote waliwatupia macho na kushindwa kuelewa ni kosa gani alilolifanya Nickson,Ofisi nzima ilibaki kimnya.

Mzee Magugu alisonya na kupandisha ngazi akielekea ofisini kwake huku nyuma akimuacha Nickson akiwa njia panda, alishindwa kuelewa ni kitu gani akifanye aende kula chakula au afuate wito.
Chakula hakikuwa cha umuhimu kwa wakati huo, kutokana na uwoga alihisi njaa imemwisha, alichofanya ni kupandisha ngazi na kugonga ofisini kwa bosi wake kisha kuingia.
“Nickson toka ofisini kwangu”
“Bosi lakini si umeniita”
“wewe si ulisema unaenda kula chakula?nenda ukale chakula tuone hiko chakula kama kitakulipa mshahara”
“Bosi nisamehe”
“Nickson,GET OUT OF MY OFFICE”
Mzee Magugu alipandisha sauti kwa ukali huku akisimama kwa hasira,hakutaka kumuona Nickson mbele yake alichukizwa mno,kitendo cha Nickson kumkataza mke wake kufanya kazi kilimaanisha hakumueshimu tena,alimchukia Nickson kupita kiasi,lakini mbali na hapo alinuwia kuwa ni lazima ampate Gloria kwa gharama yoyote ile.
“Tuone mimi nawewe nani zaidi,nitakuonesha kuwa mimi huwa sishindwi kitu”
Maneno hayo alitamka Mzee Magugu baada ya Nickson kuufikia mlango.Nickson akageuka kwa upole huku machozi yakimlenga,maneno hayo yalipita ndani ya kompyuta ya akili yake na aliweza kuchanganua yana maana gani.
“Toka ofisini kwangu,digidigi wewe”
Nickson akafungua mlango na kutoka nje akiwa mwenye mawazo mengi mno.Hakuelewa ni kitu gani akifanye, kila alipomfikiria mke wake roho ilimuuma sana,alitembea taratibu mpaka ofisini kwake na kukaa huku akiwa ameshika tama na hata ulipogongwa mlango hakuweza kusikia.Mpaka ukafunguliwa bado alikuwa katika mawazo.
“Nickson, oyaa Niki”
“Naam Naam Tito”
“Vipi mwanangu,unaumwa au?”
“Hamna,yaaah ndio.. ndio kichwa kinanisumbua”
“Ushapata dawa sasa?”
“Usijali nitakunywa”
“Sasa kuna hii kazi hapa ya kesi,unakumbuka ile kesi ya Komakechi?”
“Embu naomba nikumbushe”
“Yule Mzee aliyemchoma kisu mke wake baada ya kumfumania na awala”
“Ndio”
“Unaikumbuka lakini au unaitikia tu?”
“Nakusikia,naikumbuka sana si kule Iringa?”
“Huko huko”
“Imekuaje?”
“Ile kesi bado ina utata”
“Utata gani?wakati mimi nishaimaliza”
“Kuna shemeji yake huyo marehemu amekata rufaa,anataka kuifungua upya”
“Lini?”
“Faili limeletwa juzi hapa na Sirgent Mugisha”
“Poa nitaifanyia kazi siku nyingine leo sipo sawa”
“Alafu,imekuaje wewe na bosi,mbona leo amekuwakia vile?”
“We acha tu mwanangu ni stori ndefu kidogo”
“Nimegee kidogo Nickson,kuna kitu ulimkwaza nini?”
“Si bora ningemkwaza,nitakuchana tu siku nyingine wala usijali wewe mwanangu”
“Poa kaka,tutachekiana basi”
Nickson na Tito mbali na kufanya kazi kwa pamoja walikuwa wote wana rika sawa na ndiyo maana hata wakikutana hutumia kiswahili cha mtaani kuzungumza,mbali na kufanya kazi kwa pamoja walikuwa ni marafiki tangia wanasoma na kubahatika kukutana tena,ilikuwa ni furaha kubwa sana,na siku zote Tito akipata matatizo ni lazima amshirikishe Nickson na pia Kwa Nickson ndiyo ilikuwa ivyo ivyo!

Siku nzima Nickson alishindwa kufanya kazi na hata alivyopigiwa simu kutatua baadhi ya kesi alimuomba Tito amsaidie.Saa kumi na moja jioni alifunga ofisi na kuingia ndani ya gari na safari ya kwenda kwake kuanza mara moja,ilikuwa ni tofauti na siku zote kabla hajaoa,tangu afunge ndoa Nickson hakuwahi kuchelewa nyumbani,ratiba yake ilieleweka, baada ya kufunga ofisi basi huwatafuta marafiki zake na kwenda kupata moja baridi moja moto!
lakini ratiba yake ilibadilika alivyopata jiko!
Kutokana na msongamano wa magari akawa amefika nyumbani kwake saa mbili kasoro tano na kuweka gari vizuri kisha kushuka,Mke wake Gloria alivyomuona aliachia tabasamu na kumpokea ‘briefcase’ kisha kumpiga busu la mdomo.
“Pole na uchovu honey”
“Ahsante”
“Mbona hauna furaha?”
“Hapana nipo sawa,nimechoka tu,kazi zilikuwa nyingi leo”
“Pole inabidi uoge kwanza kisha ule”
“Sawa”
Nickson akapitiliza moja kwa moja chumbani na kujitupa kitandani akiwa mwenye mawazo,hakuna alichotafakari zaidi ya maisha magumnu atakayo enda kuishi mbeleni,alishaelewa ni lazima afukuzwe kazi na alibaini kuwa mke wake ndiye angekuwa chanzo kikubwa kwa yeye kupigwa chini kazini.
“Nickson nenda kaoge basi”Mke wake alisema baada ya kufika chumbani.
“Nitaenda”
“Sasa hivi bwanaaa”
“Haya”
Nickson alikubali na kusimama kinyonge kisha kuanza kuvua nguo zake na kuzungusha taulo kiunoni mwake taratibu akanyoosha bafuni.
Mke wake Gloria alishaelewa nini tatizo na mme wake,kuishi naye kwa muda mfupi kulimfanya aweze kuelewa tabia zake, alijua wazi kuwa kuna jambo kubwa linamsumbua, hakutaka kumuuliza kwanza mpaka wawe mezani wanakula chakula.

Na ndivyo ilivyokuwa, Nickson alivyoweka makalio yake juu ya kiti kwenye meza ya chakula, Gloria alimtizama kwa macho ya kutaka kuuliza kitu.
“Nickson”
“Naaam”
“Mimi ni nani yako?”
“Mke wangu”
“Naomba usinifiche kitu chochote,naomba uniambie una tatizo gani baba?”
“Sina tatizo lolote”
“Ni kuhusu kukataa kazi ya bosi wako?”
“Ndio”
“Sasa kwanini huniambii”
“Hata nikikwambia hutokubali,hilo nalielewa”
“Nakupenda Nickson nina haidi kukupa furaha katika maisha yako yote”
“Bosi ananichukia sana siku hizi”
“Hata kama tambua kuwa una mke anayekupenda na nitakupa furaha,mwache akuchukie huko na akunyanyase lakini ukitoka huko tambua kuwa nipo wa kukutoa furaha,Nickson Mme wangu yote yana mwisho wake hayo.Mungu yupo Mpenzi,hakuna marefu yasiyokuwa na ncha”
Gloria alimpa Moyo Mume wake na maneno hayo yalitoka ndani ya mtima wake.
Nickson akawa amepata tumaini lingine kutoka kwa mke wake na kuanzia dakika hiyo akaanza kufurahi, Gloria akafurahi pia wakapigana mabusu na kubebana mpaka chumbani.

Mikono ya Nickson ikawa mashavuni kwa Gloria wakawa wanapigana denda kwa fujo na kutupana kitandani,Mkono wa Nickson ukakimbilia kwenye ikulu ya Gloria huku akiwa ana nyonya maziwa yake baada ya kuitoa kanga yake,hapo ndipo Gloria alishindwa kujizuia, alitoa miguno ya puani akihisi raha za ajabu, mambo yalikuwa mwanana kwa wanandoa hawa.
Habari za bosi ofisini, Nickson akaziweka kando, akili yake ilikuwa katika sayari nyingine ya huba,aliweza kumuandaa mke wake vilivyo na wote wakafurahia tendo la ndoa lililoisha baada ya masaa mawili mbele.
“Nickson nakupenda sana”
“Hata mimi Gloria”
“Nakupenda kutoka ndani ya moyo wangu”
“Mimi hunishindi”
Gloria aliongea huku kichwa chake kikiwa kifuani mwa Mume wake anakikwaruza na kucha zake zilizokuwa ndefu kwa mbali,
akashusha mkono wake chini na kuanza kushika tango la mume wake hapo ndipo alipoanza kulichua,midadi ikampanda Nickson upya na shughuli ikaanza tena.Dakika ishirini baadaye wakawa wamejifunika shuka moja wamelala!
****
Hakukua na maelewano mazuri tena baina ya Nickson na Bosi wake,Mzee Magugu alionesha chuki za waziwazi na hata baadhi ya wafanyakazi walilielewa hilo kuwa Bosi Magugu na Nickson hawapikiki chungu kimoja!
kila siku Nickson alipigiwa kelele kama mtoto mdogo hata kwa kosa dogo.
“Pumbavu nini wewe,nimekwambia nini Nickson unakuwa kama mtoto, kila siku nikupigie kelele wewe tu,hili swala lazima nilipeleke bodi ili ufukuzwe kazi haufai siwezi kukaa na mambulula mimi,Paulina”
Mzee Magugu alifoka kwa sauti mbele ya wafanyakazi wote na sauti yake kuenea ofisi nzima!,akaita jina la Sekretari.
“Abee bosi”
“Nickson asilipwe mshahara huu mwezi”
“Sawa Bosi”
“Umenisikia Paulina?”
“Ndio nimekuelewa Bosi”
Nickson alikuwa amesimama katikakati, Mzee Magugu alikuwa mbele yake anamfokea kama mbwa mwizi.
Nickson alijihisi hana thamani alikuwa mdogo na hakutaka kujibu chochote,alibaki tu akimtizama Mzee Magugu akipandisha ngazi kuelekea ofisini kwake, baada ya kumaliza kumfokea.

Nayeye bila kuongea kitu chochote akatembea hatua kadhaa mpaka ofisini kwake.Manyanyaso yalizidi kipimo, elimu aliyokuwa nayo kichwani aliamini kuwa hata bosi wake hakuwa nayo,iweje amfokee?
“Niki”
Aliita Tito baada ya kufungua mlango wa ofisi ya Nickson.
“Hapana Tito sio sasa hivi,tutazungumza baadaye”
“Niki mshkaji”
“Tito baadaye tafadhali”
Tito akageuka na kutoka nje.
Jioni alivyofika nyumbani kwake, Gloria alijitahidi kumpa furaha kama alivyomuhaidi hapo awali,ni kweli baada ya dakika kumi hakuwa ana kumbuka tena mambo ya ofisi,ivyo ndivyo ilivyokuwa mpaka miezi minne ikapita, Nickson akawa amezoea mateso ya bosi wake na akifika nyumbani yote yanayayuka.

Siku moja alivyorudi nyumbani kwake alipewa habari zilizomfanya achanue tabasamu.
“Una mimba kweli Gloria,au unanitania Mpenzi? Ili tu nifurahi”
Nickson aliuliza ili kupata uhakika zaidi!
“Ndio niamini nina mimba ya miezi mitatu Mme wangu,leo ndiyo nimeenda kupima hapo hospitali ya jirani”
“Siamini,embu twende tena sasa hivi”
Nickson hakutania, aliweka shati mwilini wakavaa nguo na kuingia kwenye gari usiku huo huo wakanyoosha mpaka hospitalini,ni kweli Nickson hakuamini kusikia kuwa Mke wake ameshika mimba,kwake jambo la kupata mtoto lilikuwa kama ndoto na ilikuwa ni lazime itimie!

 Nickson alikuwa katika hali ya furaha mno kuliko siku zote za maisha yake,alitamani siku ziende harakaharaka na miezi tisa ifike ili apate kumuona mtoto wake, habari za mke wake kushika ujauzito ziliufanya moyo wake ujawe furaha mno. Walivyo fika nyumbani aliinama kidogo na kulibusu tumbo la Gloria huku akitabasamu!
“Nitazidi kukupenda Gloria wangu,ahsante kwa kunipa zawadi hii ya mtoto”
“Usijali Nickson hata ukihitaji watoto mia mbili nitakuzalia ili mradi siku zote uwe mwenye furaha katika maisha yako”
“Nakupenda sana, nakupenda mara mia moja”
“Hata mimi”
Nickson alimvuta mke wake na kumfuata mdomoni taratibu,mpaka hapo Gloria alishaelewa ni kitu gani alichotakiwa kukifanya,alitoa ulimi wake ukakutana na wa Nickson kisha kuanza kulana denda!
Waliliheshimu tendo hilo, waliinuka kwenye viti huku ndimi zao zikiwa zimegandana mpaka chumbani,Nickson akajitupa chali kitandani Gloria akafuata juu yake huku akiwa amepanua miguu yake huku na kule na kuendeleza zoezi la kulana denda.
Kazi ya kutoa nguo za Nickson ikawa juu ya Gloria ambapo alimtoa shati la juu kisha vest kufuatia nayeye Nickson akafanya hivyo kwa mkewe,kila mtu akabaki kifua wazi, taratibu wakaendelea kupigana mabusu ya mdomoni huku wakinyonyana lips zao adoado!
Mikono ya Gloria taratibu ikawa ina papasa kifuani mwa Nickson kisha baadaye ikashuka mpaka kwenye mkanda,ukatolewa kimahaba na suruali ikashushwa mpaka chini miguuni ambapo Nickson alinyoosha miguu ili suruali itoke kiwepesi.

Ni wazi kuwa Nickson alikuwa mbali kihisia.Macho yake yote yalikuwa juu ya uso wa Mke wake aliyekuwa mzuri na mweupe kupita kiasi,hiyo ndiyo iliyomtia morari sana.Gloria alikuwa ni msichana mweupe wa rangi na mwenye sura ya duara,midomo yake mizuri ilibeba mashavu manene kiasi ambayo akitabasamu basi vishimo vya mashavu huingia ndani yaani ‘dimpoz’Macho ya Nickson yalizidi kumkagua Gloria yakatua kifuani, ambapo maziwa yalikuwa yamesimama wima ‘chuchu saa sita’kama waswahili wayaitavyo!
“Mhhh Asshhhs”
Gloria aliguna baada ya mkono mmoja wa Nickson kupita ndani ya ikulu yake ukiwa unatalii na wakati mwingine ukiwa unadadisi kwa ndani.Gloria alipindulia na kulazwa chini chali kisha Nickson akapanda juu yake,aliupeleka ulimi wake juu ya maziwa ya Gloria huku mkono wake mwingine ukiwa kwenye ikulu.
Kazi ya Gloria ikawa ni kuguna na kutoa mihemo ya puani.Hazikufika hata dakika tatu baada ya Nickson kuendeleza zoezi la kumpapasa mke wake akawa amedakwa shingo yake huku Gloria akiwa anazidi kukizungusha kiuno chake,aliomba mdomo na Nickson akampatia wakaanza kubadilishana mate tena!
“Nic…k aaaaah Nic…..k na..ku..pen.da saaanaa aaaaaah”
Gloria alisema kwa sauti ya puani,huku akihema juu juu,ni dhahiri kuwa alikuwa mbioni kufika mshindo,nguo zilivuliwa harakaharaka na hapo ndipo Nickson alipoingiza kadi yake kwenye mashine ya ATM ili kutoa salio la pesa zilizobaki kwenye akaunti.
kilichosikika hapo ni mlio wa kitanda kutingishika, wana ndoa hawa walikuwa wakifanya jambo ambalo liliwaleta duniani.
*****
Kikao chao cha ofisi kilichukua masaa mawili kukamilika,unoko wa Mzee Magugu haukuzaa matunda ndani ya kikao hicho cha bodi kilichokuwa na wanasheria kumi na tisa akiwemo Nickson Shayo ndani yake,kila Mzee Magugu alipojaribu kuongea habari mbaya juu ya Nickson ili tu afukuzwe kazi ilishindikana kabisa.
Sababu alizotoa hazikuweza kumshawishi Mr.Paul Kasera Mzee aliyekuwa na Mvi nyingi kichwani mweusi na ndiye huyu aliyekuwa mkurugenzi wao katika mahakama ya kisutu.Saa saba ya mchana wanasheria wote walitawanyika,Mzee Magugu alimkata jicho kali la hasira Nickson na kuachia msonyo,hiyo haikumshtua Nickson sababu alishamzoea, alipita mpaka ofisini kwake na kuketi.Hakufanya jambo lingine zaidi ya kuchukua mkonge wa simu na kubonyeza namba za simu ili kupiga nyumbani kwake akitaka kuongea na mke wake Gloria.
“Halloo”
Upande wa pili ulisikika baada ya simu kupokelewa.
“Mama kijacho!”
Nickson alisema huku akiweka utani, baada ya kugundua kuwa ni mke wake ndiye aliyepokea simu.
“Nambie baba kijacho”
“Hajambo huyo?”
“Huyu mzima wa afya,ana kusalimia”
“Nakumisi”
“Mara hii,si umetoka asubuhi tu?”
“Mimi kila sekunde nakumisi mke wangu”
“Hata mimi baba,vipi ushatoka kikaoni?”
“Nishatoka ndio,ushakula?”
“Bado ndio napika”
“Unapika nini?”
“Machalali”
“We mchaga kwa machalali”
“Ndio chakula chetu,nikupikie nini usiku wa leo baba angu?”
“Chochote tu,lakini leo usipike”
“Kwanini?”
“Nataka tukale nje”
“Hapana Nick,mimi sipendi bwana!au mimi sijui kupika?”
“Hapana sijasema ivyo,nataka nikutoe outing leo”
“Hapana,sio leo”
“Aya,hakuna tabu Mke wangu,nakupenda sana, wacha nikale kisha nirudi ili niendelee na kazi”
“Okay love,Mwaa mwaaaa”
“Ahsante, kuwa makini”
“Nawewe kuwa makini”
Maongezi ya Mtu na Mke wake kupitia simu yaliishia hapo yakamuacha kila mmoja wao akiwa mwenye furaha moyoni mwake.

Nickson na Gloria walipendana sio masihala na kila mtu aliamini kuwa kifo peke yake ndicho kitakacho watenganisha na wala sio kitu kingine,kila mtu alimuhaidi mwenzake atakuwa muaminifu mpaka pumzi ya mwisho!
****
“Nickson mme wangu,hii simu nitaiweza kweli?”
“Ndio”
“Inaitwaje?”
“Iphone four,hakuna mtu aliyekuwa nayo hapa Tanzania bado haijafika,nimekununulia wewe mke wangu,ni pesa nyingi sana iyo simu”
“Nickson ahsante sana,na hii nyingine nitampa nani?”
“Hiyo pia ni yako,utakuwa na simu mbili,hiyo ni kama zawadi yako mke wangu”
Ni kweli zawadi aliyompatia Mke wake siku hiyo ilikuwa ni ya gharama kubwa, karibia robo tatu ya mshahara wake aliolipwa uliteketea kisa kuagiza simu hiyo ya kisasa kutoka nchini Marekani, ili tu amfurahishe mke wake,kipindi hicho kuhusu swala la pesa hakujali ili mradi mke wake atafurahi, ndiyo maana baada ya kupokea mshahara wake aliharakisha kuiagiza simu hiyo.
Usiku kucha walikuwa wakiikorokochoa simu hiyo na Gloria kuelekezwa jinsi ya kuitumia,furaha iliongezeka maradufu,zawadi ikawa imeongeza furaha zaidi ndani ya ndoa yao,walifurahi na kuiburudisha miili yao wakifanya tendo la ndoa,na wote kujifunika na kulala usingizi.
****
Macho yalizidi kumtoka Nickson akiwa ameshika barua baada ya kuifungua.Alihisi kutetemeka na hakuelewa ataishi vipi,barua aliyokuwa akiisoma aliilewa dhahiri na chini ilikuwa imepigwa muhuri wa mahakama,machozi yalianza kumlenga hasa alipomkumbuka mke wake Gloria aliyekuwa mjamzito.Miezi mitano ilikuwa mingi mno kutenganishwa na mke wake kwenda mkoa mwingine kikazi,hakukaa sawa alihisi mlango wake unagongwa.
“Ingia”
Ndani ya ofisi yake aliingia msichana mnene kiasi mweupe, aliyevalia suti nyeusi.
“Vipi Isha?”
“Bosi amenipa tiketi yako,unatakiwa uanze safari leo saa tisa mchana”
Isha Alisema huku akiweka tiketi ya ndege mezani kwa Nickson kumaanisha kuwa jambo la safari yake ya kwenda mkoani Kigoma halikuwa mzaha.Ni kweli Nickson alitakiwa asafiri kikazi mkoani Kigoma siku hiyo mchana saa tisa alasiri!


 Barua aliyokuwa ameishika Nickson Shayo ilimtoa kijasho jembamba,akili yake ilimtuma ni lazima Bosi wake Magugu alifanya njama za yeye kupelekwa mkoani huko ili tu aweze kuwa mbali na mke wake,licha ya yote hakutaka kuumia sana moyoni kutokana na alimuamini sana Gloria,na alielewa kwa bosi kumsafirisha kikazi ilikuwa ni kazi bure tu.
“Sawa Isha,wacha nikajiandae.Mpango wa safari upoje?”
Nickson alimuuliza Sekretari.
“Utaenda na Morisi pamoja na Aziza”
“Okay sawa,wacha mimi niende home sasa hivi”
“Sawa,safari njema Nickson”
“Ahsante”
Kwa kuwa aliiheshimu miiko ya kazi yake ilimbidi tu asimame na kutoka nje kinyonge, ambapo aliingia ndani ya gari na safari ya kwenda nyumbani kwake kuanza mara moja!
Kichwani mwake picha iliyomjia ni ya mke wake Gloria jinsi atakavyokuwa mwanamke mpweke, aliamini fika kuwa habari za yeye kusafiri zingemshtua mno maana zilikuwa za ghafla.

Msongamano wa magari ndiyo ulizidi kumuumiza kichwa chake zaidi,alivyotupa macho juu ya saa yake ya mkononi ilikuwa imeshatimu saa nane na dakika saba,hakuwa na muda wa kupoteza tena ilibidi avunje sheria za barabarani na kupita kandokando, aliitafuta njia ya uchochoroni na baadaye akatokeza majumba sita, hapo aliinyoka mpaka kwake.Alizima gari kinyonge na kuingia ndani.
“Vipi?mbona mapema leo kuna usalama kweli?”
Gloria aliuliza baada ya kumuona Mume wake, hata yeye alishtushwa, sura aliyoingia nayo mumewe ilimfanya atake kujua zaidi.
“Nickson,kuna shida gani?”
“Hapana mke wangu,nina safari leo saa tisa,tafadhali naomba niandalie nguo zangu”
“Safariiiiii?”
“Ndio”
“Kivipi?mbona ghafla?”
“Ndio ivyo hata mimi nimeshangaa nachokuomba unipasie lile shati langu jeusi mimi naenda kuoga”
Nickson aliongea huku akitembea.Gloria mpaka hapo hakuamini, wakati mwingine alijua ni utani na alisubiri mume wake ageuke na kumwambia kuwa ni masihara, lakini haikuwa ivyo.Mpaka Nickson anatoka bafuni kuoga Gloria alikuwa teyari keshapiga pasi nguo tayari.
“Nickson safari ya wapi?”
“Kigoma kikazi mpenzi wangu”
“Utakaa siku ngapi huko?”
“Sio siku wala wiki mke wangu,ni zaidi ya Miezi mitatu”
Gloria alilengwa na machozi machoni, alimuangalia mume wake alivyokuwa mzuri na kichwani mwake alikuwa akikumbuka raha walizokuwa wanafanya kitandani,hakuelewa angeishi vipi.
“Ni mingi sana”
“Naelewa,naomba univumilie naa….”
“Piiii piiiiiiiii”
Nickson akashindwa kumalizia sentensi yake alivyochungulia dirishani aliona gari lao la ofisini kwake likipiga honi, alimkumbatia mke wake na kumpiga denda la sekunde tano.Gloria hakutaka kutoka mdomoni kirahisi mpaka Nickson alivyomsogeza.
“Gloria,naomba niende baki salama,nachokuomba tu uwe makini sana,tutaongea kwenye simu nikifika,wenzangu wameshafika wapo nje,I love you my wife”
Kila mtu alikuwa katika hali ya uzuni kupita kiasi moyoni mwake.Nickson akatembea hatua za taratibu kisha kugeuka nyuma,alimuonea sana huruma Gloria aliyekuwa analengwa na machozi.
“Nakupenda Ni….ckso..n na..kupenda sa…na”
Hayo ndiyo maneno aliyekua anaongea Gloria huku akiangua kilio,Nickson alivyotaka kumfuata honi ya gari illimshtua tena,hakuwa na jinsi zaidi ya kutoka nje na kuingia ndani ya gari la ofisi ambapo aliwakuta wafanyakazi wenzake wapo tayari na hapo hapo safari ikaanza.
*****
“Mambo vipi Ester”
“Pedeshee Kway..,papaaa Mujogoloo uko wapi? jamani nimekumisi”
“Nipo Kongo nakuja leo usiku nitakuwa hapo saa tatu”
“Mwongo,mwezi uliopita uliniambia ivyoivyo”
“Nipo Siriazi!siku ile Yule mzungu alinibana nikashindwa kuja,si unajua nilikuwa nalea,sasa mimi nakuja si unajua nimekumisi”
“Njoo njoo,tena siku izi kuna watoto wazuri haoooo asikwambie mtu”
“Sema ukweli?”
“Kweli tena,maana wewe unapenda sana michuchu”
“Ndio starehe yangu hiyo,niandalie mtoto mmoja mkali sana kuliko Yule wa siku ile”
“Pigia mstari Papaaa Kway,Mutu na pesa zakee”
“Weeeeee!”
“Ha! Haa!Haaa!Hahaaaa! hapo ndiyo unaponikosha,hujutii kutumia pesa, kwa hiyo wapi?”
“Chagua kiwanja”
“Nimekumbuka leo club E kuna show ya Fally Ipupa,anafanya show pale”
“Andaa mazingira,nitafutie mrembo mmoja wa bien sana”
“Bien Bien, Kway weee nilikumisije”
“Basi nakuja leo usiku uwepo Mwalimu Nyerere”
“Ondoa shaka”
Msichana aliyefahamika kwa jina la Ester alifurahi sana,kupokea simu ya Pedeshee Kway au Papaa Mujogolo kama Tanzania walivyozoea kumuita,alifurahi kwa mambo mengi,moja aliamini kuwa siku hiyo atavuna pesa nyingi, pili atapewa penzi na mwanaume huyo tajiri anayemiliki miradi mingi nje na ndani ya nchi na pia kitendo cha kumtafutia kigoli mwingine atazidi kuchuma pesa zaidi.

Hakutaka kupoteza muda asubuhi hiyo ya saa mbili alivaa haraka haraka na kwenda mjini kariakoo ili kununua mavazi mbali mbali ya siku hiyo usiku.kisha kupitia saluni kuweka nywele zake sawa.
“Mbona una furaha shosti?”
Rafiki yake alimuuliza baada ya Ester kufika saluni.
“Papaa Mujogolo anatua leo bongo”
“Mwongo”
“Wallah laazim”
“Sasa tunafanyaje?”
“Kanipa kazi ya kumtafutia mtoto mzuri si unajua yule mwanaume anapenda sana totoz”
“Mimi si nipo”
“Wewe hufai,kwa sura gani uliyo nayo,usinipotezee bahati,nishapata mtu wa kumpeleka”
“Nani?”
“Jirani yangu Yule Gloria”
“Haaaaaa”
“Nini?”
“Yule mchaga atakubali?”
“Usifanye mchezo na pedeshee Kway,papaa Mujogolo tajiri mtoto,Yule jamaa anapesa atii,subiri aje”
“Mhh MAKUBWA”’
Esta alivyomaliza kuseti nywele zake alipanda daladala mpaka nyumbani kwake, ambapo hapo hakukaa sana alinyoosha mpaka kwa jirani yake Gloria na kugonga mlango.
“Karibu Esta”
“Nishakaribia,vipi hali shoga angu?”
“Salama tu”
“Leta maneno pole na upweke”
“Acha tu,nishazoea mwenzio,mwezi huu ushapita inabidi nichukulie kama maisha ya kawaida”
“Kweli mwenzangu,huoni kuwa unachoka kukaa peke yako ndani kila siku?”
“Nishazoea Ester”
“Hapana kwa kweli,leo inabidi tutoke sina kampani mwenzio,nataka unisindikize mahali”
“Jamani, mimi huu mji sijawahi kutoka hata kidogo”
“Utakuwa namimi usijali shosti khaaa,yaani mjini hapa hujawahi hata kutoka nje,unanishangaza ujue, Nickson naye kazidi ubahili,leo siku bali shosti yangu leo sikuachi hata kidogo”
“Jamani Estaaa”
“Kweli nakwambia,twende ukalione jiji la Dar”
“Hapana siwezi”
“Sio vizuri ivyo nakuomba au nipige magoti?”
Ester alizidi kumshawishi Gloria na jitihada zake zikafanikiwa, akakubali watoke siku hiyo jioni.
“Nimwambie Nickson?”
Gloria alimuuliza Ester.
“Hapana,haina haja tutawahi kurudi”
“Sawa tuwahi kurudi kweli lakini”
Moyo wa Ester ulijawa furaha ajabu, mbele yake aliona pesa, kumkutanisha Gloria na Pedeshee Kway ilikuwa ni kama kuuza madini ya almasi.
*****
“Oza wapi?”(Upo wapi)
“Naza na Lumbumbashi”(Nipo Lumbumbashi)
“Nalingi voyajer na Tanzania”(Nataka kwenda Tanzania)
“Heure?”(Lini)
“Butu ya lelo”(Leo jioni)
Pedeshee Kway alikuwa simuni, pembeni alikuwa amelala mwanamke wa kizungu yupo uchi wa mnyama, mkono wake wa kulia upo juu ya kalio lake,alivyotupa simu alimsogelea mdomoni na kuanza kulana denda taratibu,huku Mkono wa Pedeshee Kway ukiwa taratibu unapita chumvini na kuanza kupima oil,Mzungu alipagawishwa na ndio maana alihama makazi yake kutokea nchini Canada mpaka Demokrasia ya Kongo kisa penzi la Pedeshee Kway.

Mbali na kuwa na pesa nyingi, Kway alikuwa fundi kitandani kama angekuwa uwanjani basi angepewa jina ‘Leone Merci’ mchezaji wa Barcelona kutokana na uchezaji wake,Mwanamke aliyekuwa kitandani alikuwa amemzalisha watoto wanne tayari.
“Ahhhhh Babyy aaaashhh Fuc**** me”
Mwanamke Kim! alilalamika baada ya pedeshee kway kupitisha ulimi wake ndani ya mgodi wake akawa kama anaufyonza taratibu mno,huku wakati mwingine akiwa anapima oil.
Kim alipagawa sio masihala,neno ‘baby’ ndilo lilikuwa likimtoka.Kwa kuwa Kway alikuwa anasafiri siku hiyo mechi hiyo aliifanya kufuru.Alimuendea kifuani na kuanza kumnyonya maziwa taratibu mno huku mkono wake ukiwa unacheza na kinyama cha juu kilichofanana na kiharage taratibu sana karibu na mgodi.
Kim nayeye hakukubali alimbinua Mpenzi wake na kumuweka chali kisha kushika mashine kubwa na kuiweka mdomoni akawa anainyonya taratibu kama koni.

Mambo yaliyokuwa yanafanyika hapo yalikuwa hatarishi,kila mtu alikuwa mtundu na mjuzi.Wachezaji walivyomaliza kupasha, filimbi ilipigwa na mechi kuanza, Kway akapanda kwa juu Kim chini, kilichosikika hapo ulikuwa ni mlio wa chaga kucheza,ilikuwa kila baada ya sekunde tatu staili inabadilishwa na baada ya dakika ishirini kila mtu alikuwa hoi.
“Baby I’ll miss you”
Kway alimwambia Mpenzi wake aliyeweka kichwa kifuani kwake huku akiwa anachezea nywele zake laini zilizokuwa ndefu.
“Mee too honey,when are you coming back?”
“I don’t know, but as soon as possible, I have to go back to my country, take care of your self baby”
Kway na Kim waliagana kisha kuingia bafuni huko walipigana mabusu na Kim kuanza uchokozi, Kway akamjibu wakafanya tendo ambalo halifai kwa watoto wadogo.

Walitoka bafuni na Kway akawa ana kazi ya kujiandaa,hakusahau vitu vyake vya thamani kama pete za dhahabu na cheni zake,kukaa sana Nchini Kongo kulimfanya awe kama watu wa huko,Shingoni alivaa cheni saba na pete nyingi vidoleni.Alimbusu Kim na kuanza kuongozana mpaka kwenye maegesho ya magari ambapo hapo walimkuta dereva keshafika tayari anawasubiri.
Gari liliwashwa na safari ya kuelekea uwanja wa ndege kuanza.
******
“Est-ce –que cava?”(Mko poa)
Kelele za fujo zilisikika ndani ya ukumbi wa club E, baada ya mwanamme mrefu kidogo aliyevalia nguo ya rangi nyekundu na suruali nyeusi akiwa jukwaani,kelele zilisikika kila pembe, alikuwa si mwingine bali ni Fally Ipupa ameingia jijini Dar es salaam kufanya ‘show’ kwa mara ya kwanza.
ukumbi ulijaza mpaka ukatapika watu.Wasichana wengi walikuwa mbele kabisa wamenyoosha mikono yao hewani wakimshangilia mwanamme huyu wa kikongo anayesifika kwa nyimbo za lingala na kukizungusha kiuno chake kama feni.

Watu walijaa kiasi kwamba hewa ikawa finyu,Matajiri mbali mbali walikuwepo katika ukumbi, mapedeshee wa Mjini hawakukosa ilikuwa patashika!,Pedeshee Kway nayeye hakukosa katika ukumbi huo, hata yeye alikuwa akimpenda sana Fally Ipupa.
Balaa lilianza baada ya kuanza kukatika kiuno chake na wimbo wa ‘Associe’.
“Vemaa zala Kiswahili mala boku zemaaa,zekolovoshii”
Fally Ipupa alisema huku bendi aliyokuja nayo kuzidi kutumbuiza alikuwa akifanya ‘live band’hapo ndipo alipowakosha mashabiki.watangazaji maarufu Ben Kinyaiya na Maimartha wa Jese pia walikuwepo hawakutaka kukosa.
Mziki ulichanganya wake za watu pamoja na wasichana walishindwa kuzizuia hisia zao walijikuta wakipanda na kucheza na Fally Ipupa bila haya yoyote!walijibinua na kumpagawisha Msanii huyu aliyekua anawashika viuno vilivyo.
“Nataka kuyoya bibi mumoja hapa,nataka kuyoya bibi mumoya hapa,one lady for me”
Fally Ipupa aliongea Kiswahili kibovu akimaanisha anamuhitaji binti mmoja,macho yake yaligongana na msichana mweupe sana aliyevalia shati jeupe na kumyooshea kidole akimaanisha kuwa apande jukwaani ili acheze naye.
“Gloria,jamaa anakuita”
Esta alimwambia Gloria.
“Hapana sio mimi”
“Ndio,kidole kakunyooshea wewe”
“Sitaki Ester turudi”
Gloria akagoma.
Mziki uliendelea kutumbuizwa matajiri mbali mbali walipanda kila mtu akitaka kuonesha uwezo wake kifedha.
“Nakombo nangai Pedeshee Kway,papaa Mujogolo Nakupesa yo mbongo Mingi,Okoza la rishe,pesa bambote nangai na koffi Olomide, lakisa bangoo quenga naza nambongo mingi”(Naitwa pedeshee kway,papaa Mujogolo,nakupa pesa nyingi uwe tajiri sana,mpe salamu zangu Koffi olomide,waambie hawa watu kuwa mimi nina pesa nyingi punda hawezi kubeba)
Pedeshee Kway ndiye aliyekuwa jukwaani ameshika kibunda cha dola mia mia,anam-mwagia Fally Ipupa akiwa karibu na sikio lake ana muongelesha kilingala.
“Paaaa Mujogoloo,Papaa Kway…Pakolate,piga makombo kwa Papaa Kway Mercii pedeshee kway merci”Fally Ipupa alisema.
Fally Ipupa aliogeshwa hela kisha papaa Kway akashuka. Mpaka kwenye meza ya V.I.P walipokuwa wamekaa Esta pamoja na Gloria.
“Esta,twendeni Billz”
Alisema Kway.
“Jamani mimi nirudishe nyumbani”
Gloria akawa hayupo tayari.
“Mimi nitakurudisha usijali”
Pedeshee Kway alitoa kibunda kingine cha noti za elfu kumi kilichovimba na kumkabidhi mchaga Gloria,Moyo wake ulimdunda kwa nguvu zilikuwa ni pesa nyingi mno kupewa.
“Nakuomba kamata hizi pesa,naomba tuongozane mimi nitakurudisha usijali upo na Ester”
Gloria bado alikuwa njia panda, Ester akamkanyaga mguu kumpa ishara kuwa akubali kuzipokea pesa hizo nyingi.


 Gloria alikuwa katika wakati mgumu, ndani ya moyo wake zilibishana nafsi mbili, moja ikitaka ichukue pesa na nyingine ilikataa katakata na kumwambia kuwa baadaye ingemuingiza kwenye matatizo makubwa kwani zamani alivyokuwa mkoani kwao Moshi alikuwa akisikia neno ‘mjini hakuna cha bure’.Alimtizama kila mmoja na alishtuka zaidi baada ya pedeshee kway kuingiza tena mkono ndani ya koti lake na kutoa kibunda kingine cha pesa,moyo wake ukapiga kwa nguvu,
alivyomtizama Ester alipewa ishara kuwa azipokee,nafsi ya kukataa pesa izo ikawa imezidiwa na nguvu za watu waliokuwa wakimshawishi!
“Au lete nimshikie”
Ester akakinga mkono ili apewe pesa na Pedeshee Kway.
“Hapana,nataka mwenyewe ashike,anaitwa nani umesema?”
“Anaitwa GLORIA”
“Gloria,kamata pesa nakuomba twende ukanipe kampani”
Ester aliona Gloria anachelewesha muda, alichofanya ni kuzichukua pesa hizo na kuvuta mkoba wa Gloria kisha kuziweka, akamvuta mkono wote wakasimama mpaka nje huku wakiacha mziki unapigwa na kelele nyingine,

ilikuwa imegonga saa saba ya usiku tayari.Wakaongozana mpaka kwenye maegesho ya magari na kulifikia gari aina ya Range Rover nyeusi hapo Pedeshee Kway alitoa funguo zenye rimoti na kubonyeza,likapiga kelele huku taa zikiwaka kuashiria kuwa milango imejifungua tayari.
“Gloria pita mbele”
Pedeshee Kway akawa amemfungulia mlango,wote wakaingia ndani ya gari na safari ya kwenda posta kuanza mara moja katika ukumbi wa Bill canaz.

Moyo wa Gloria bado ulikuwa mzito na alihisi kitu anachokifanya hakikuwa sahihi kabisa, muda mwingi alimuwaza mume wake Nickson,na alishindwa kuelewa endapo kama marafiki zake wangekuwepo na kumuona ingekuaje,ilikuwa ni lazima wangepeleka unoko kwa Nickson,hilo ndilo lilimfanya aogope zaidi.
“Esta”
Gloria aliita huku akigeuka nyuma na kumuangalia rafiki yake.
“Nambie shosti”
“Uliniambia tutawahi kurudi?”
“Ndio tutawahi,usijali upo na pedeshee hapo hilo ondoa shaka,mwenyewe utafurahi”
“Sawa”
Pedeshee kway akawa ana kazi ya kukanyaga mafuta na mara kadhaa akawa anatupa jicho la wizi kwa Gloria na kumkagua jinsi alivyokuwa mzuri,alikuwa ana uhakika alikuwa mbioni kwenda kumvua nguo yake ya ndani,weupe wa msichana huyo ndiyo ulimfanya apagawe zaidi na zaidi!

Nusu saa baadaye walikuwa katika maegesho ya magari katika ukumbi wa Bill canaz wote wakashuka,kila aliyemuona Pedeshee Kway alimsalimia hiyo ilimshangaza sana Gloria.
“Pedeshee pedeeshee Kway Papaa Mujogolo,pita huku”
Baunsa mmoja wa mlangoni alimpungia Pedeshee Kway mkono nayeye akamfuata, nyuma yake wakiwepo Gloria na Esta,wakafika na kulipia kiingilio kisha kuingia,ukumbi ulikuwa una kelele mno,wasichana kwa wavulana walikuwa wanacheza katikati kwenye ‘dance floor’ nguo walizovaa zilimfanya Gloria ashtuke,wasichana wengi walivaa nusu uchi huku vitovu vyao vikiwa nje!
“Twendeni huku”Pendee Kway alisema.
Wote wakapanda kwa juu na kutafuta sehemu ya V.I.P. kama kawaida pedeshee Kway alikuwa akisalimiwa na kila mtu,muhudumu alikuja na kuwasikiliza.
“Mimi nipe Red wine”
Pedeshee Kway aliagiza.
“Mimi Reds”
“Fanta”
Kitendo cha Gloria kuagiza soda kilimfanya Ester akunje sura na kumtizama kwa macho makali.
“We mshamba nini?Fanta ya nini? dada mlete Reds nayeye. asitake kuleta wazimu hapa”
“Ester”
“Embuu,Leo kunywa nawewe khaaa,kila siku masoda tu,Reds hata ivyo sio mbaya kwa afya yako moja tu kwa leo”
Ili kutomuabisha rafiki yake alikubali kishingo upande kisha Reds ikaletwa mezani,kila mtu akawa anakunywa kinywaji chake taratibu sana.
“Kunyweni kunyweni hapa nataka niteketeze milioni moja taslimu”
Aliongea Pedeshee Kway kwa sifa kisha kusimama na kuelekea msalani.
“Gloria mbona unataka kunitia aibu jamani,usinifanyie ivyo”
“Ester mimi ni mke wa mtu kumbuka”
“Najua kwani mimi sijui,huyu jamaa anapesa kazi kwako alafu kakupenda sasa”
“Ishia hapo hapo,kama umepanga kuja kuniuza umeshindwa,tena ushindwe katika Jina la Yesu,kama ndiyo njama zako izo,zimegonga mwamba, kwanza naomba nirudi nyumbani”
“Jaaamaniii yamekuwa hayo tena?”
“Hapana Ester sio siri,mimi najuta sana kukubali kuja nawewe”
“Usiseme ivyo”
“Sa….”
Gloria alinyamaza kimnya baada ya Pedeshee kway kufika mezani na kuketi.
“Psiii psiiii weita,ongeza vileo”
Pedeshee Kway akaamuru baada ya kuona vinywaji vimekaribia kuisha.
Vinywaji vikaongezwa, Ester akawa ana kazi ya kumlazimisha Gloria anywe pombe na kila ilipoongezwa alimdanganya kuwa ndiyo ya mwisho kisha wanaondoka.

Kichwa cha Gloria kilianza kuwa kizito mno,machoni aliona ukungu na kizunguzungu ni dhahiri kuwa pombe ilikuwa tayari ipo kichwani,licha ya kuhisi ivyo Ester alimchanganyia tena na Red wyn kwenye glass ya pombe.
“Nipelekeeee nyumbaaaaaaani Esteeerr”
Gloria aliongea kilevi huku akirembua,ilikuwa imetimu saa tisa tayari.Hapo ndipo walimvuta Gloria na kumuingiza ndani ya gari aina ya Range Rover la pedeshee Kway!
“Ester,kamata hii tafuta taxi tuwasiliane kesho”
Ester akapewa bahasha ya kaki iliyotuna ambayo ndani ilijaa noti za elfu kumi.
“Mhhhhh”
“Vipi?”
“Kesho basi”
“Poa”
Gloria alikuwa hajielewi,amelala hajiwezi tena pombe ikawa imemponza,hakuelewa kinachoendelea kuanzia hapo.
*****
Range rover ya pedeshee kway ilipiga honi nje ya geti jeusi kubwa kisha akatokeza mlinzi na bunduki na kuchungulia, baada ya hapo geti likafunguliwa na mlinzi na gari likawekwa sehemu salama,Pedeshee Kway akashuka mpaka upande wa pili na kumbeba Gloria ambaye alikuwa anayakaza macho yake kutaka kuyafumbua.

Wakaingia ndani na kupandisha ngazi mpaka juu gorofani,Gloria akatupwa puu! kitandani na Pedeshee Kway akapanda juu yake mpaka mdomoni mwa Gloria na kuanza kumla denda.
Reds alizokunywa Gloria zilikuwa zimempandisha hisia, bila kutegemea nayeye alianza kuonesha ushirikiano wakaanza kulana denda,habari za Nickson hakuzikumbuka tena kwa wakati huo.
walizidi kugusanisha ndimi zao,pedeshee Kway akaitoa nguo ya juu ya Gloria akabakiwa na sidiria peke yake,baada ya muda mfupi sidiria ikatolewa, Pedeshee kway akaanza kumnyonya Gloria Maziwa taratibu na hapo ndipo Gloria akapoteza ‘network’ zote na mkono wa Pedeshee Kway ulipofanikiwa kufika chini karibu na kitovu ndiyo kabisa alipoteza uelekeo, kwa jinsi alivyoshikwa sehemu hizo mbili hata iweje ilikuwa ni lazima atoe nguo zake mwenyewe.

Ni kweli taratibu alianza kutoa sketi yake mwenyewe bila kuambiwa na baadaye akatoa chupi yake akamvuta pedeshee Kway karibu yake kabisa huku akimvuta kwa nguvu karibu zaidi akiwa anamng’ang’ania huku akimtoa mkanda wa suruali,Pedeshee Kway hakua na papala hata kidogo alichofanya ni kumsogeza kidogo pembeni kisha kuichanua miguu yake huku na kule, akiwa ameishika na kuingiza kichwa chake katikati ya miguu akatoa ulimi na kuanza kudeki bahari,kwa mara ya Kwanza Gloria kufanyiwa ivyo alihisi kufa kufa,mwili wake ulipatwa na joto kali mno, alijiona ameota mabawa na alihisi raha za ajabu,mambo aliyokuwa anafanyiwa siku hiyo hakuwahi kufanyiwa kamwe,

kitendo cha kuguswa maziwa juu ya chuchu zake huku ulimi ukiwa ndani ya mgodi wake ndiyo ulifanya ahisi yupo juu ya dunia viumbe vyote anaviona kwa chini, damu ilimuenda mbio,alikikamata kichwa cha pedeshee kway na kukindamiza kabisa ndani ya ikulu yake huku akitoa sauti za puani.
Ghafla alianza kukatika huku akiwa amefumbua mdomo wake, alihisi vitu vinatoka ndani ya tumbo lake kwa ndani na raha kuongezeka na kuanza kutetemeka, hapo hapo aliibana miguu yake akawa amefika mshindo.Pedeshee Kway taratibu akapanda juu yake na kuanza kumnyonya mdomo huku akishusha boxa yake ilivyotoka yote,taratibu aliingiza mashine ya kuchimbia mgodi mahala pake na kuanza uchimbaji,Mguu wa Gloria mmoja ukawekwa begani na mechi kuanza mara moja.
Baada ya sekunde tano Miguu ya Gloria ikawa imeshikwa kwa pamoja imeelekezewa kwa juu na mechi ikaendelea,baada ya staili hiyo kuisha mbuzi kagoma ndiyo ikafuata na wakamalizia na staili ya kibaiskeli!
*****
“Hapa waaapi?”
Hilo ndilo swali la kwanza kuliuliza Gloria baada ya kulifunua shuka jeupe na kujikuta yupo uchi wa mnyama amechoka kichwa kinamuuma,pembeni yake alikuwa amelala Pedeshee Kway wapo juu ya kitanda kimoja kilichokuwa kikubwa.
“Kwangu”
Pedeshee Kway alijibu.
“Laki….”
Kabla ya Gloria kumalizia maneno aliyokua anataka kuongea aliisikia mlio wa simu yake inaita ikitokea ndani ya mkoba wake uliokuwa pembeni kidogo, akachukua na alipotoa simu yake moyo wake ukapiga paa!alivyoona juu ya ‘screen’ jina HUSBAND kumaanisha kuwa anayepiga ni mumewe Nickson asubuhi,alitetemeka kwa hofu.
Na harakaharaka kuipokea na kuiweka sikioni.
“Uko wapi?”
Hilo ndilo swali la kwanza kulitupa Nickson tena kwa sauti ya kukasirika bila salamu.
“Mimi..Mimi…nipo.. mbona”
Gloria alipata kigugumizi cha ghafla.
“Ndio upo,upo wapi?”
“Nipo nyumbani”
“Gloria acha uwongo,haupo nyumbani”

****

“Samahani kaka sijui nakufananisha au niwewe?”
“Umenifananisha na nani?”
“Kuna jamaa mmoja anaitwa Nickson,tulisoma wote Azania”
“Azania?ndiye mimi”
“Ahh Mimi Richard,Richard Mpogole”
“Acha utani bwana”
“Kweli tena Nickson,ujue nimekaa kwenye kona kule nikawa nakucheki navuta picha nilikuona wapi”
Nickson alisimama kwa furaha na kumpa mkono kijana aliyejitambulisha kwa jina la Richard Mpogole,kwa furaha waliyokuwa nayo walijikuta wanakumbatiana na kupigana migongoni,ni dhahiri kuwa kwa kipindi kirefu hawakuonana na siku hiyo walikutana baa,
walicheka kwa sauti huku wakianza kukumbushiana mambo yao ya shule ya sekondari AZANIA.
“Richard,asiee siamini macho yangu, niwewe au naota ndoto mshakaji wangu?Hiiii! siku nyingi zimepita enzi za mwalimu Kitalu wa hesabu”
“Aisee usinikumbushe bwana,Yule ticha nuksi kweli yaani”
“Siku izi upo wapi lakini?”
“Nipo nasimamia magari makubwa ya mshua napeleka mizigo Zambia,Zimbabwe yaani hapa navyokwambia nimekuja Kigoma Mara moja, napakia mzigo kesho napita Dar napakua mwingine kibati Mpaka Malawi”
“Aisee kweli wewe Jembe”
“Alafu sijaona Nickson naona kidoleni hapo,umeoa siku izi?”
“Ndio ndugu yangu ndoa yangu inakaribia mwaka sasa”
“Unanitania,wewe uoe?”
“Niamini nakwambia, Mke wangu yupo Dar hapa nipo kikazi nimeajiliwa serikalini kama mwanasheria,alafu bora unaenda Dar,nikutume kwa shemeji yako ili umjue,ningempigia simu sema hapo nilipopangiwa kuishi hakuna umeme simu yangu imezima chaji,mpaka nikachaji huko mjini”
“Nitume tu,tena itakuwa vizuri sana nimfahamu usijali kwa hilo”
Nickson Shayo na Bwana Richard Mpogole waliendelea na maongezi yao huku bia zikiongezwa, wote walikuwa wanywaji, ilikuwa teyari imetimu saa tano ya usiku na wote wakaagana kila mtu akaelekea upande wake!
****

KAMA WALIVYOHAIDIANA na Bwana Richard kuwa ataondoka siku inayofuata,na ilipofika wote wakaongozana mpaka kwenye maduka ya vyakula vya jumla, Nickson akanunua magunia mawili ya mchele na kumkabidhi Richard ampitishie mke wake endapo akifika jijini Dar es salaam.

Ni kweli jioni ilipofika magunia ya mchele yalipakiwa kwenye Scania na safari ya Richard ikawa imeanza baada ya kuelekezwa nyumba anayoishi rafiki yake,Nickson.kutokana na Gari kusumbua njiani ilimchukua siku mbili, hatimaye akafika asubuhi ya saa kumi na mbili, hakutaka kuishia juu kwa juu alinyoosha mpaka nyumbani kwa Nickson ili amkabidhi Shemeji yake magunia ya mchele aliyopewa na Nickson wakiwa mkoani Kigoma.

Alifika na kuanza kugonga nyumba aliyoelekezwa lakini hakukua na dalili ya mtu yoyote yule kuwepo ndani,hakutaka kukata tamaa aligonga kwa masaa takribani mawili akizunguka na kurudi lakini hali ilikuwa hiyo hiyo, Richard alichukia kwa kupoteza muda mahali hapo na kuamua kumpigia simu Nickson amwambie kinachoendelea.
Nickson alionesha hali ya mshtuko sana.
“HAKUNA MTUUU?”
Nickson aliuliza.
“Nadhani, maana nimegonga zaidi ya lisaa limoja sasa. Mimi naondoka nimeona kuna duka hapa pembeni nitaacha huo mzigo hapo maana nishachelewa Nickson”
“Sawa hakuna tabu wewe uache hapo utakuwa umefika nyumbani,ahsante kwa kila kitu na samahani kwa usumbufu”
“Usijali Nickson”
“Safari njema”
Nickson alikerwa, hasira ilimkaba shingoni hakutaka kufikiria kuwa mke wake hayupo nyumbani, aliamini kuwa hakuna sehemu yoyote anayoijua na ndiyo maana hakutaka kumfikiria kitu chochote kibaya licha ya yote alikasirika sana na kumtafuta hewani,akimuuliza ni wapi alipo.
“Haupo nyumbani Gloria acha uwongo”
“Nipo nyumbani”
Gloria alizidi kukazia msimamo wake,ilibidi adanganye, maana alijua kusema ni wapi alipo kitendo hicho kingemuumiza moyo Nickson na hata siku moja hakutaka jambo hilo litokee,hata ivyo alijilaumu sana kutoka na Ester katika moyo wake,kifupi alijuta.
“Mbona kuna mtu alikuja kugonga hapo nyumbani haukufungua mlango?”
“Mtu?”
“Ndio”
“Bado yupo kwani?”
“Keshaondoka tayari”
“Sasa Nickson mume wangu,unataka kunilaumu bure, hapa mjini mimi simjui mtu isitoshe nipo mwenyewe ningewezaje kufungua mlango?”
Gloria alipata cha kujibu na kujitetea hapo kwa hapo na hakuelewa jibu hilo lilikujaje mdomoni kwa haraka, alijishtukia amepata jibu la ghafla.
“Samahani sana Gloria,hapo mimi nina makosa sikukupa taarifa,umefanya jambo la maana sana kutokufungua mlango,any way kuna mzigo hapo kwa mangi umeachwa ni magunia mawili ya mchele,uyachukue hapo”
“Sawa Mume wangu nitafanya ivyo”
“Nakupenda”
“Mimi pia”
Simu ilivyokatwa Gloria alikurupuka kitandani na shuka na kuzichukua nguo zake chini, haraka akapita bafuni kwenda kuvaa,alivyotokeza alikuwa amekunja sura.
“Nataka kwenda kwangu”
“Punguza jazba mtoto mzuri”
“Nipeleke bwana nyumbani”
“Mimi sipajui,nielekeze”
“Hata mimi sipajui pia”
Suluisho lililofanyika hapo ni Pedeshee Kway kumpigia simu Ester ili kumpa maelekezo ya wapi Gloria anaishi.

Penzi alilopewa na Gloria lilimpagawisha kiasi kwamba muda wote alikuwa akimuwaza kichwani mwake na aliapia atatumia gharama yoyote ile kumvuta karibu hata kama atatumia nusu ya utajiri wake.
Ni wazi alijua kuwa Gloria ni mke wa watu lakini hakutaka kujali hilo yeye aliona ni haki kutembea naye kimapenzi.Gloria alifikishwa nyumbani Saa saba ya mchana na kukabidhiwa kiasi cha shilingi laki sita kama shukrani.
“Hii Yanini?”
Gloria aliuliza kabla ya kushuka garini.
“Lunch”
“Ahsante”
Pesa ni sabuni ya roho, Pedeshee Kway kama alivyopania kumuweka karibu Gloria na ndivyo ilivyokuwa, alifanikiwa kwa asilimia Fulani,baada ya wiki moja alimtafuta na kupanga naye safari ya kwenda visiwani Zanzibar wakafurahie maisha.
Gloria akakubali, alishaelewa kuwa jambo hilo halikuwa sahihi katika ndoa yake, Pesa za Pedeshee Kway zilimdanganya na akajiona yeye ndiye yeye jijini Dar es salaam,kufumba na kufumbua alikuwa amebadilika kiasi cha kutosha,
Gloria alijua kuzitumbua pesa za pedeshee Kway,wakiwa Visiwani walikula bata watakavyo, walikunywa na kulewa na kufanya ngono kila sehemu watakayo,Mapenzi kwa Nickson yakawa yanaanza kupungua taratibu ndani ya moyo wake hakumuwaza tena na kwa wakati huo kichwani kwake alikuwa ametawala pedeshee Kway, alimuona ndiyo kila kitu katika maisha yake.
Hata wakati mwingine Nickson akimpigia simu alikuwa akimjibu atakavyo yeye.
“Mke wangu nimekumisi”
“Ahsante”
“Kwani wewe hujanimisi?”
“Kawaida tu”
“Unasemaa?”
“Kwani hujanisikia Nickson,nipo Bize kidogo nipigie baadaye”
Gloria alikata simu na Nickson alipojaribu kuipiga akaizima ili kutoa usumbufu hakutaka kumsikia binadamu anayeitwa Nickson tena masikioni mwake kwa wakati huo.
“Nani alikuwa anakupigia?”
Pedeshee Kway alimuuliza Gloria wakiwa ufukweni mwa bahari wanaponda mali.
“Si yule mbwa kasoro mkia”
“Ha ha ha ha,mwambie asikupotezee time”
Gloria ghafla alisahau alipotolewa na alisahau pia tumboni alikuwa ana mtoto, wakati mwingine aliwaza kumtoa amuuwe,sababu aliamini ndiyo angemfanya asiweze kutanua vizuri na pedeshee huyu aliyekuwa na pesa nyingi,tangu siku hiyo Nickson hakukumbukwa tena.
“Mpenzi wangu”
“Abee baby wangu”
“Ulishawahi kufika Uingereza?”
“Hapana”
“Nataka twende huko wiki ijayo”
“Kweli?”
“Niamini”
Moyo wa Gloria ukapiga paa! Kwa mshtuko, nchi hiyo alikuwa akiisoma tu kipindi yupo shule ya msingi kwenye ATLAS,mambo yaliyokuwa yanamtokea katika maisha yake yalikuwa kama ndoto, kamwe hakuwahi kudhani kama atakuja kutanua kiasi hicho,Gloria alifundishwa kunywa pombe na akawa anavaa vinguo ambavyo ungemuangalia usingethubutu kusema huyu ni mke watu au huyu ndiye aliyetoka kijijini Mwika akiwa anapasua kuni migombani.

Gloria alizidi kuwa mzuri siyo masihala, japokuwa alikuwa mchaga lakini nyuma alikuwa amefungasha,ana mzigo yaani wezere!
Pedeshee Kway alizidi kuitanua mikono yake kila alipopita na msichana huyu mzuri mke wa watu,aliwatambulisha kwa marafiki zake kila alipokwenda.Wiki moja baadaye wakawa wamerejea mkoani Dar es saalam kwa miadi ya kuwa ajiandae na baada ya siku mbili waruke waende uingereza wakale,kuku kwa mrija!
“Sasa mimi nakuacha hapa,ujiandae Malkia wangu”
“Sawa nakupenda Kway”
“Mimi zaidi yako”
Gloria alisogeza mdomo wake ukakutana na wa Pedeshee Kway waakaanza kulana denda huku wakiwa wameyafumba macho yao,
baada ya hapo waliagana na Pedeshee kway alitoa gari mbio akimuacha Gloria nyuma amesimama analiangalia,bado hakutaka kuyaamini mambo yanayomtokea katika maisha yake yalikuwa ni kweli.
***
Nickson alibakia akiwa ameshika tama machozi yanamtoka analia mfululizo, hakuelewa mke wake amekumbwa na shetani gani,alipojaribu kujiuliza alikosa jibu la harakaharaka na kuzidi kulia zaidi,ni kweli mke wake alibadilika kiasi cha kutosha,moyoni aliumia vibaya sana!
kengele ya kusalitiwa ndiyo ilikuwa inagonga kichwani kwake,
lakini upande mwingine wa sauti ulimwambia kuwa jambo hili Gloria hawezi kulifanya kamwe kwasababu alikuwa ni mwanamke mwenye msimamo kimaisha,siku hiyo haikuwa kawaida yake kushinda nyumbani.

Alipokea simu kutoka kwa rafiki yake akimtaka waende sehemu kunywa pombe naye akakubali kwasababu alitaka kuomba ushauri.Jioni walikutana na Bwana Lukundo na kuanza kupiga mvinyo,moja baridi moja moto!
“Ndugu yangu Lukundo mimi ndugu yako nina matatizo makubwa”
“Matatizo yapi hayo tena?”
“Mke wangu”
“Kafanya nini?”
“Simuelewi hata kidogo,amekuwa akinijibu kwa mkato siku hizi nashindwa kumuelewa,sio kama hapo zamani,sasa hivi amekuwa kiburi”
“Nawewe umechukua hatua gani?”
“Mimi sijui cha kufanya,ndio nakwambia wewe unishauri”
“Au kuna kitu umemkosea?”
“Hapana sijawahi hata siku moja,Mungu ndiye shahidi,lakini ngoja nikuulize swali?”
“Ndio niulize”
“Wewe mke wako alivyoshika mimba alikuwa akikujibu ovyo?”
“Mimba ya kwanza?”
“Ndio maana yake”
“Kwani mkeo ana mimba?”
“Ndio”
“Basi ndiyo maana,wanakuwa wasumbufu sana mimba ya kwanza inatesa,yaani mimi mke wangu alikuwa ananichukia vibaya sana,mara aniambie sijui nanuka kama beberu,nanuka kama kuku nikaoge,Daa! ikafika kipindi nikataka kumuacha,alikuwa hataki hata kuniona kwa mara ya kwanza nilidhani wenda ana kimwanaume nikaanza kufuatilia lakini nilivyokuja kuchunguza vizuri na kufanya utafiti nikagundua ndiyo matatizo ya wanawake wengi sana,itakuwa tatizo ndiyo hilo”
“Kweli eeeh?”
“Ndiyo ndugu yangu,lakini inakubidi ukakae karibu naye omba ruksa kazini mimi nitakusaidia,unajua mwanamke mwenye mimba anahitaji ukaribu sana,ulimuacha na nani nyumbani?”
“Peke yake”
“Haipendezi hata kidogo,Omba ruksa ukakae naye japo siku mbili,tatu,mtafutie msichana wa kazi,sasa akipata matatizo nani atamsaidia unadhani?”
Wazo la Lukundo likawa limejenga picha mpya kichwani kwa Nickson,hakuchelewa kesho yake aliandika barua ya ruksa ofisini na akakubaliwa akakae mkoani Dar es salaam kwa muda wa wiki moja kisha arejee Mkoani Kigoma aendelee na majukumu ya kazi,
alifurahi mno na hakutaka kumwambia Gloria juu ya yeye kurejea kwake mkoani hapo.
“Kweli nitaweza?hii mimba ndiyo inafanya anichukie kiasi hiki lakini nitajitahidi,ndiyo mambo ya ndoa haya,naomba unisamehe Gloria kwa kukuwazia mabaya”
Aliwaza Nickson akiwa ndani ya ndege na alipotua Mkoani Dar es salaam uwanja wa wa kimataifa, Mwalimu Nyerere, alitafuta Taxi mpaka nyumbani kwake Tabata segerea, ilikuwa tayari imefika saa kumi ya jioni.

Ila Ghafla alivyofika na kufungua mlango alikutana macho kwa macho na Gloria aliyekuwa ameshika begi kubwa mkononi akitaka kutoka nje huku akiwa na hati ya kusafiria mkononi mwake,alimkagua na kuona kimini alichovaa kilichoonyesha mapaja yake nje,ndicho kitu kilichomfanya Nickson apigwe na bumbuazi zaidi!
Gloria hakushtuka alivyomuona Nickson, japokuwa hawakuwahi kuonana kwa miezi mingi.
“Mke wangu wapi sasa hivi?”
Uzalendo ulimshinda Nickson ilibidi aulize swali huku akimuangalia mkewe kuanzia kwenye nywele mpaka chini miguuni.
“Nipishe nina safari,unanichelewesha bwana, toka mbele yangu NICKSON”
Gloria aliongea kwa ukali na kuyafanya mapigo ya moyo ya Nickson yazidi kwenda kwa kasi na jambo hilo kumshangaza sana Nickson na kudhani wenda anaota ndoto!


 Butwaa alilopigwa Nickson halikuwa na kipimo chake,alimtizama mke wake mara mbilimbili aliyekuwa mbele yake akisema kuwa anampotezea muda tena kwa ukali,alihisi mgongo wake umepigwa na ubaridi,alihema ndani kwa ndani na mapigo ya moyo yakamdunda akiwa haamini yale anayoyasikia kutoka kwa Gloria.
“Sogea basi,au?”
Gloria alizidi kusema, safari hii alisimama na kuanza kumuangalia mume wake kuanzia juu utosini mpaka kwenye miguu kwa dharau,hakutofautishwa na mtu anayetizama kinyesi!
“Gloria”
“Ndio jina langu,unasemaje?”
“Embuu kaa kidogo tuongee”
“Labda nikirudi”
“Kwani unaenda wapi mke wangu?”
“Sio lazima ujue lakini tambua kuwa nina safari,tena ya maana”
“Gloria,tafadhali baki na mimi”
“Nickson embu nipite basi,unanichelewesha,kaa kando”
Katika maneno aliyoongea Gloria hakukua na masihala ndani yake,ulitokea mzozo mkubwa sana kwa sababu Nickson hakuwa tayari kumruhusu Mke wake atoke nje isitoshe hakujua ni wapi anaenda mbali na hilo pia alikuwa ni mgeni wa jiji hilo.

Dakika moja baadaye simu ya Gloria ikaita na kuitoa mfukoni huku akitabasamu na kuiweka sikioni ili kuongea na upande wa pili wa simu.
“Ndio….natoka nje hapa..kwahiyo tukutane wapi?…hapo Airpot?. Sio kwako tena?..sasa mimi sipafahamu, itakuaje?nikodi gari eeh.ahsante baba,aya sawa.Namimi pia”Gloria akakata simu baada ya kuhitimisha mazungumzo yake na Pedeshee Kway.
“Umeona hii simu,naomba nipite sasa”
“Ni nani huyo?”
“Huyu wewe hakuhusu,unachotakiwa kukifanya wewe hapa ni kunipisha nipite sasa hivi,nitaachwa na ndege”
“Ndege?”
“Nickson ,usinipotezee muda hapa”
Katika purukushani, Nickson akasukumizwa kwa nguvu kando na Gloria akatoka nje,moja kwa moja akaingia ndani ya taxi moja wapo kati ya nyingi zilizokuwa nje.
“Dada wapi?”
Dereva taxi aliuliza baada ya kumpokea mizigo mteja wake.
“Airpot”
“Hapo wekundu wawili sista”
“Wekundu wawili ni nini?”
“Elfu ishirini”
“Sawa twende”
Dereva akaingia kwenye usukani safari ikaanza mara moja.
Nickson alivyotoka nje alimshuhudia mke wake yupo ndani ya taxi na ikawa imeshaondoka,hakutaka kukubali japokuwa moyo ulimuuma mno,alirudi ndani kwa kasi ya mwewe na kubeba funguo za gari,ilikuwa ni lazima afukuzie taxi na azuie safari aliyotaka kuifanya Gloria.
Mkanda kama wa video ulitiririka ndani ya kompyuta yake ya kichwani akarudi mpaka kijijini Mwika alivyokuwa na Gloria wakiwa wenye furaha kisha kufunga ndoa wakiishi wakiwa wenye amani tele ndani ya ndoa yao.

Aliwaza jinsi alivyomtoa Gloria kijijini kwa wakati huo alikuwa bado anavaa magagulo akamfundisha kuvaa vizuri nguo za dukani,lakini leo hii ana mjibu ovyo kwa dharau,hiyo ikawa haitoshi akakumbuka jinsi Gloria alivyokuwa amevalia kimini kilichoonesha mapaja yake nje,Nickson akapata uchungu zaidi,akazidi kukanyaga mafuta na gari ikaongeza kasi,katika maongezi aliyoyasikia kwa mke wake katika simu alisikia neno ‘AIRPORT’ alilijua eneo hilo japokuwa kwa wakati huo hakuiona Taxi aliyokuwemo mke wake,

ilibidi anyooshe mpaka Airpot na kupaki gari katika maegesho ya magari akashuka na kuanza kuangalia huku na kule akimtafuta mke wake,Gloria.
*****
Pedeshee Kway alikuwa amefika tayari uwanja wa ndege Mwalimu Nyerere na haikuchukua muda mfupi wakawasiliana na Gloria, wakaonana.
“Baby safari bado?”
Gloria aliuliza akiwa katikati ya mikono ya Pedeshee Kway.
“Bado kama dakika hamsini Fulani hivi”Pedeshee Kway akajibu huku wakianza kutembea.
“Nitafurahi sana niki fika huko ala….”
“Gloriaaa!”
Gloria hakuweza kumalizia sentensi anayotaka kuongea akakatishwa na mtu aliyekuwa akimuita jina lake,sauti hiyo aliweza kuitambua ilikuwa ya Nickson,Mume wake.Akageuka kwa mikogo ya kisistaduu!
“Unasemaje?”
Namna alivyomjibu Nickson,ilikuwa ni kama anamjibu mtu wa kawaida kwake, sababu bado alikuwa amegandana na Pedeshee Kway aliyekuwa kimnya anamtizama Nickson kuanzia chini mpaka juu.
“Gloria,nini nimekufanya lakini?mbona unakuwa hauna shukrani mama angu,tafadhali usiniache,nakupenda Gloria wangu,nakupenda sana tafadhali rudi nyumbani,japo chukua hata sekunde mbili tu ukumbuke wapi nilipokutoa”
Nickson aliongea kwa uchungu,picha aliyoiona mbele yake ilizidi kumtia wivu zaidi,alishaelewa tayari hana chake.
“Ha!Haa!Haaaa!,eti nikumbuke nilipotoka wewe mpumbavu nini,tena uache kuniimbia ngonjera hapa”
“Gloria usiseme ivyo,mimi nakupenda bado”
“Wewe utampenda nani sasa hivi? Hata ivyo sijakutambulisha huyu ndiye mwanaume wangu”
“Mwanaume wako kivipi?”
“Kusoma hujui hata picha huoni? Wa wapi wewe!”
Kipindi hicho cha malumbano ya Gloria na Nickson yakiwa yanaendelea Pedeshee Kway yeye alikaa kimnya alikuwa ni kama anayeangalia maigizo ya jukwaani.

Alivyoangalia saa yake ya mkononi aliona ni dakika thelathini teyari zimekatika,hakutaka tena kuendelea kupoteza muda,akamshika Gloria kiuno na kumvuta .Ghafla Nickson akamshika Mkono Pedeshee Kway ili asiweze kuondoka.
“Kijana! hunijui,sikujui,hatujuani…!”
Pedeshee Kway akageuka akisema huku sura yake ikiwa imejikunja.
“Jaribu kuwa na ustaarabu kidogo,usijitafutie matatizo ya kujitakia,UNANICHAFUA”
“Anco tafadhali usinifanyie hivyo”
Nickson akasema kwa uchungu.
“Embu kwanza niachie,hivi nyie vijana mtaacha lini kuvuta bangi?wewe unamfahamu huyu binti?”
“Ndio ni mke wangu”
“Wapi ameandikwa kuwa ni mke wako?”
“Ni mke wangu Anco”
“Embuu kaa mbali,unanuka jasho! Una uwezo wa kuwa na mke kama huyu wewe?potea mara moja usije ukajitafutia mabalaa bwana mdogo”
“Gloria ala…”
Nickson hakuamini macho yake na kusita kuongea baada ya kuangalia kidoleni kwa Gloria na kutoona pete ya ndoa,hapo ndipo alichanganyikiwa zaidi,alimuachia Pedeshee Kway na kuanza kumvuta Gloria.
“Nickson niachie nakwambia”
“Mke wangu tafadhali,usinifanyie ivy…o nipo chini ya miguu yako,bado nakupenda kwa dhati.Anco naomba uniachi..e mke wangu,niurumie nimemtoa mb…….ali.”
Nickson alishindwa kuyazuia machozi yake yaliyokuwa tayari yameshaanza kulowanisha mashavu yake,badala ya Gloria kuuzunika yeye alicheka.
“Ha!Haaaa!Haaaaaa sasa unalia nini?kisa naondoka?tafuta mwanamke mwingine Nickson, mimi sio type yako kwa sasa hivi,achia ngazi”
Gloria aliongea maneno ya dharau huku akitaka kumtoa Nickson mikononi mwake aliyekuwa bado analia machozi kama mtoto mdogo.
“Baby,huyu mvuta bangi bado unampenda kwani?”
Pedeshee Kway alimuuliza Gloria.
“Nimpende kwa lipi?”
“Basi nisubiri nakuja”
Baada ya Pedeshee Kway kuondoka.Ghafla Nickson akaona maaskari sio chini ya kumi wamemfikia na kumzoa huku wakiwa wameishika suruali yake kwa nyuma wakimsukuma mbele yaani Tanganyika jeki!
“Jamani nini nimefanya mimi?Yule ni mke wangu”
Nickson alijaribu kuongea huku miguu yake ikiwa inaelea juu juu.
“Aroo twende,unareta habari za bangi hapa,songa mbere wewe,utaeleza ukifika kituoni”
Askari mmoja wa kikurya aliyefahamika kwa jina la Mwita alisema.
“Jamani sio ivy…”
Nickson hakumalizia sentensi yake akatulizwa na ukofi mkali wa uso na kutupwa ndani ya diffenda ya polisi.


*******

“Vua mkanda”
“Lakini af….”
“Ebwana vua mkanda na viatu weka pale”
“Nini kosa langu?”
“Unamuuliza nani?”
Nickson alifikishwa kituo cha polisi tabata Mwananchi akiwa tayari ameumizwa usoni vibaya mno, kutokana na virungu alivyokuwa akipigwa bila kosa lolote,aliumia sana moyo,hakujua ni kosa gani amelifanya mpaka akapigwa kama mwizi, kilikuwa ni kitendo cha udharirishaji kutokana na elimu aliyokuwa nayo, isitoshe alikuwa ni mwanasheria,alielewa sana kuwa maaskari walikuwa wanaenda kinyume na sheria lakini alitulia kimnya na kutii amri.
Alivua mkanda na viatu na kutupwa maabusu.Kila alipomkumbuka Gloria alizidi kuumia zaidi,mpaka anafikishwa ndani alijua bado yupo kwenye njozi ya kutisha na muda mfupi atashtuka na kumkuta Gloria pembeni yake, lakini mambo yaliyokuwa yanamtokea yalikuwa yana ukweli ndani yake!
“Gloria nimekukosea nini?”
Alijikuta anasema kwa sauti.
“Oyaa vipi bwana mdogo, unaziba oxygen embu toka hapo”
Sauti nzito ya kukwaruza iliyotokea nyuma yake ilimshtua akiwa amesimama kwenye nondo,alivyogeuka alimuona mwanaume mwenye misuli na mwenye sura mbaya ya kutisha.Usoni alikuwa ana mabaka kama kenge,akili yake ikampa jibu kuwa alikuwa ni kibaka,aliyeshindikana.Hakutaka kubishana alisogea mpaka kwenye kona na kukaa kitako.
“Nani kakuruhusu ukae huko?”
Jitu hilo lilizidi kuuliza ki utemi.
“Naongea nawewe bwana mdogo,embu sogea hapa”Jitu hilo lilizidi kuamuru.
Ndani ya chumba hicho kulikuwa kuna harufu kali ya vinyesi na mikojo kutokana na dirisha moja dogo lililokuwa juu, hewa ilikuwa finyu.
Nickson alikuwa yupo mahabusu kimakosa na aliyesababisha hayo yote alikuwa ni mke wake waliohaidiana kanisani kuwa watapendana katika maisha yao yote duniani,lakini ilikuwa kinyume.
“Jina lako nani dogo?”
“Mimi naitwa naitwa Nickson”
“Ongea kwa ukakamavu”
“Naitwa Nickson”
“Embu nivulie hiyo pete yako fasta fasta”
Swala la Nickson kutoa Pete yake ya ndoa lilikuwa bado gumu na bado alimpendsa sana Gloria japokuwa alimtenda vya kutosha,kwake pete hiyo ilikuwa na maana kubwa sana.
“Hapana kaka,labda kitu kingine lakini sio hii pete”
“Unasema nini wewe fala!”
Nickson alipigwa ukofi mkali na kudondoka chini,hapo hapo alivuliwa pete na ikachukuliwa.Lakini baada ya pete kuchukuliwa mtu huyo mwenye miraba minne alimtizama Nickson kwa macho yasiyo ya kawaida.Nickson alitafsiri kitu kupitia macho ya Mwanaume huyu mwenye mwili mkubwa kama mcheza mieleka wa marekani aliyeitwa ‘UMAGA’.
“Inabidi usiku tuongee vizuri”
Hapo ndipo Nickson akapata picha ya nini kilitakiwa kifanyike baada ya kusikia maneno hayo ya kutisha,aliogopa sana na machozi kumlenga.

Nickson alihitajika kuingiliwa kinyume na maumbile kutokana na uzuri wake wa sura.
Kitu alichokifikiria kichwani ndicho kilichotokea usiku ulipofika Mwanaume aliyekuwa naye ndani ya mahabusu moja aliyejitambulisha kwa jina la Tompoo alianza kumsumbua Nickson akimfanyia vitendo vya ajabu.
“Tulia,ili jambo hili lifanyike kiwepesi,hata ukipiga kelele haitokusaidia Mimi ndio Tompoo,tulia kisura”
Alisema Tompoo huku akishusha nguo yake ya Ndani na kufanya maumbile yake makubwa kuonekana huku akiwa anamsogelea Nickson aliyekuwa anarudi kinyume nyume na kufika kwenye pembe ya ukuta, jambo hilo hakutaka lifanyike lakini hakuwa na uhakika kama ataweza kushindana nguvu na Tompoo ambaye uume wake ulikuwa teyari umesimama imara na mkononi alikuwa ameshika kikopo chenye mafuta.

Nickson alijaribu kupiga kelele lakini alikamatwa kohoni na kupigwa ngumi ya tumbo iliyomfanya ajikunje mpaka chini.Hapo ndipo Tompoo alipoanza kulipaka Kombola lake mafuta akamgeuza Nickson na kumvua Suruali yake kwa nguvu zote,alichomfanyia hapo ni kitendo ambacho kilicho sababisha Mungu aiteketeze Sodoma na Gomola.Nickson alilia kwa uchungu wakati wa tendo hilo likiwa linafanyika aliomba msaada kwa askari lakini alisikia tu wakicheka!
***
Wakati Nickson akisota mahabusu yeye Gloria alikuwa Afrika Kusini jijini Cape town usiku huo yupo na Pedeshee Kway uchi wa mnyama, wanafurahia maisha katika hotel ya nyota tano iliyoitwa Swein Hotel,iliyokuwa na kila kitu ndani yake,Gloria alizidi kulewa na maisha mazuri akasahau alipotolewa na Mume wake Nickson Shayo, Moshi kijijini Mwika akampendesha na kumpa mapenzi yote,katika akili yake hakuwepo tena mtu anayeitwa Nickson,pesa za Pedeshee Kway zilifanya kazi kisawasawa!
sio pesa tu hata kitandani mwanaume huyu tajiri hakuwa gogo, aliweza kumpagawisha vizuri Gloria.
Ambapo kwa wakati huo alikuwa ameweka ulimi wake ndani kabisa ya mgodi wa Gloria huku mkono wake mmoja ukiwa juu ya chuchu za mrembo huyo.Gloria alidata, akili yake haikuwa hapo tena,ilisafiri maili nyingi zaidi,mpaka wakati huo alikuwa yupo katika mzunguko wa nne.
Pedeshee Kway alivyohisi kuna maji maji ndani ya mgodi alipanda juu yake na kuanza kulana denda kwa fujo huku kidole chake kikipita kwenye masikio ya Gloria kikashuka na kupapasa maziwa na taratibu kwenye kitovu kisha mgodini hapo ndipo Gloria alipoanza kukatika taratibu mno akitoa miguno ya puani.
Ilionesha kuwa mambo hayakuwa mazuri kwake,bila kuulizwa alishika tango la Pedeshee Kway na kulitumbukiza shimoni,ilionekana uzalendo ulimshinda na alihitaji huduma ya haraka sana.
Hapo ndipo Pedeshee Kway nayeye alianza kujituma kwa kasi, alizungusha kiuno chake na yeye kwa madoido akikatika juu ya kiuno cha mke huyu wa mtu aliyekuwa mzuri mno,mikao mbali mbali ilibadilishwa na baada ya dakika arobaini na mbili Pedeshee Kway alikuwa ametulia juu kifuani kwa Gloria wakiwa wamekumbatiana wamechoka.
*****
Kelele za gari la wagonjwa iliyosikika asubuhi hiyo kwenye barabara ya Mandela Road likitokea kituo cha polisi Tabata mwananchi likiwa katika mwendo wa kasi isiyo ya kawaida lilizidi kuchanja mbunga!kama sheria za barabarani zinavyotaka magari yote yalilipisha gari lililokuwa limewasha taa zake juu huku dereva aliyekuwa ndani ya gari hilo akijitahidi kuomba njia na kuzidi kukanyaga mafuta.
Ndani ya gari alikuwa amelala Nickson hana fahamu kabisa,damu zinamvuja nyuma ya makalio yake na kufanya mashuka yachafuke,ni baada ya kufanyiwa kitendo kibaya na Tompoo cha kuingiliwa kinyume na maumbile yake.Kutokana na Mwanaume huyo kuwa na maumbile makubwa alimchana vibaya sana, tena bila kujali alikuwa akirudia raundi nyingi tofauti,hapo ndipo Nickson akapoteza fahamu zake,hakuelewa ni kitu gani kinachoendelea ulimwenguni baada ya hapo.

Spidi mia ishirini gari la wagonjwa likakunja kona barabara ya kuelekea Tabata na kuiacha inayoenda Buguruni,likashusha kilima likapandisha na kukunja kidogo kushoto,likafunga breki za ghafla katika Hospitali iliyoandikwa Madona.
Haraka haraka manesi wakashuka garini,wakiwa na machela,kila aliyemwona alitingisha kichwa.
“Ilikuwaje huyu?”
Muuguzi mmoja alimuuliza Mwenzake aliyekua akishuka ndani ya gari.
“Amefanyiziwa”
“Ndio najua,imekuaje?Ni shoga au?”
“Sidhani,embu muwahishe ndani mara moja,dokta yupo?”
“Ndio yupo na alikuwa anawasubiri”
“Basi fanya apatiwe huduma ya haraka”
“Duuu!”
Nesi alizidi kustaajabu,japokuwa Nickson alikuwa amepoteza fahamu lakini damu nyingi zilizidi kumtoka makalioni, picha ilioneha kuwa alijeruhiwa sana na hiyo ndiyo picha iliyoonekana hata kwa manesi waliokuwa wanapita kandokando.
Machela ilisukumizwa harakaharaka mpaka chumba cha wagonjwa,kisha dokta akatoka mbio mbio.
“Mmemuandikia dawa?”
Dokta Muna alimuuliza nesi baada ya kutokeza mlangoni.
“Hapana tulikuwa tukikusubiria wewe hapo,ili umuangalie kwanza,maana hali yake sio nzuri”
Alijibu Nesi na kumpisha Dokta Muna.
“Mungu wangu”
Dokta Muna alisema kwa Mshtuko wa waziwazi baada ya kumchunguza Nickson.Moyo wake ukadunda kwa nguvu kutokana na kuona kitu ambacho hakukitegemea katika maisha yake tangu aanze kazi yake ya Udaktari.
“Kuna tatizo kubwa hapa,Suzi embu njoo ofisini”


 Kitu cha kwanza kukifanya baada ya Dokta Muna na Nesi Suzi kuingia ofisini walichukua bomba na kurudi nalo mpaka chumba alicholazwa Nickson hapo waliburuza kitanda chake mpaka chumba kingine cha jirani,wakamvua nguo zake zote kisha kupitisha bomba nyuma ya makalio yake ili kutoa uchafu uliosababishwa na kuingiliwa kinyume na maumbile, baada ya kitendo hicho kufanyika alipelekwa kwenye chumba cha operesheni na kushonwa nyuzi tano,akachomwa sindano ya anti biotic kisha wakamuacha.
“Inabidi apumzike mpaka baadaye atakapo amka ili tujuwe tutafanya nini, sasa hivi saa ngapi?”
“saa sita”
“By saa nane akiwa bado hajapata fahamu uje ofisini kwangu”
“Sawa dokta”
“Endelea na kazi,mimi nipo ofisini kwangu usisahau kumuandikia dawa Yule mgonjwa aliyepata ajali ya pikipiki”
Dokta Muna akaacha maagizo na kuondoka zake.
****
Kitu cha kwanza kukihisi yalikuwa ni maumivu makali sana chini ya mgongo wake ndani ya makalio yake, alihisi kuumia mno, maumivu aliyokuwa akiyasikia hakuweza kuyafananisha na kitu chochote kile,kumbukumbu zake zilianza kurudi nyuma taratibu akaangalia pembeni yake na kuona vitanda na watu wakipishana wamevalia nguo nyeupe,haraka akagundua kuwa yupo Hospitalini.
Kitendo cha kwanza kukikumbuka ni kuingiliwa kimwili kinyume na maumbile, sura ya Gloria ikamjia kichwani kwake akaanza kulia machozi ya uchungu bila kutegemea.

Hakika hakustaili adhabu hiyo, ilikuwa ni aibu kubwa sana kwa kitendo alichofanyiwa hakuwa na uhakika kama tayari watu walikuwa wanajua kitendo alichofanyiwa cha kulawitiwa.
“Kaka unajisikiaje?”
Nesi alimuuliza baada ya kupita kandokando yake.
“Na..jisiki..a vizuri,vi.pi kuna watu walikuja kuniona?”
“Nafikiri wapo njiani walipigiwa simu na ndi…”
Kabla ya Nesi kumaliza kuongea mlango ukafunguliwa akatokeza Dokta Muna akiwa na kijana mrefu maji ya kunde,Nickson alimtambua kuwa alikuwa ni Tito rafiki yake kipenzi,alishindwa kuvumilia na kujikuta analia tena, machozi yakamtoka kama maji yakapita pembeni ya mashavu na kulowanisha kitanda.
“Nickson,vipi rafiki yangu,imekuaje tena kaka?”
Aliuliza Tito akiwa katika hali ya uzuni.Hali aliyomkuta nayo rafiki yake ilimtisha kupindukia.Akasogea karibu na kumshika bega.
“Nickson nini tatizo ndugu yangu?”
“Ni.. st..ori ndefu Tito ndu..gu yangu lakini sasa hivi naumwa sana”
“Usilie sasa mbona kuumwa ni sehemu ya matatizo,vipi Nesi imekuaje huyu yupo hapa?”
Ilionekana Tito hakujua lolote.
“Tafadhali naomba utoke nje,kwa sasa hivi mngonjwa apumzike”
“Sawa”
Tito akatoka nje.
Kadri siku zilivyozidi kukatika ndipo hali ya Nickson ilizidi kuonesha matumaini japo alitembea kwa tabu huku miguu yake akiwa ameitenganisha huku na kule, hakutofautishwa na mtu mwenye ugonjwa mbaya wa kaswende au Gono.Kila mfanyakazi mwenzake aliyekuja kumuona alitingisha kichwa.

Lakini katika watu wote waliokuja kumuona Nickson, Mke wake hakuonekana hata mara moja,hilo likazua maswali mengi kila ndani ya kichwa cha mtu.Lakini hawakutaka kuhoji maswali.
“Nickson mbona wife sijamuona tangu ulivyokuwepo hapa hospitali?”
Tito aliuliza siku hiyo wakiwa ndani ya gari baada ya Nickson kuruhusiwa siku ya nne.
“Yupo kwao Moshi”
Nickson alidanganya hakutaka kabisa kuanika mambo yake ya ndoa kwa kila mtu.
“Pole sana,lakini hukunihadithia ilikuwaje”
“Acha tu nitakuhadithia siku nyingine usijali”
“Okay”
Walizidi kusonga mbele mpaka Tabata Segerea wakiwa ndani ya gari mpaka walipofika nyumbani kwa Nickson akashuka Tito akamsindikiza swaiba wake kisha kuondoka.
“Gloria,Gloria…”
Nickson alijaribu kuita ingawa alijua Gloria hakuwepo ndani,hakutaka kuamini kuwa bado hajarudi nyumbani,alijikuta akilengwa na machozi hasa alipofika kitandani na kukuta hayupo Gloria, nyumba ilikuwa kimnya.
Picha ya Gloria ikapita kichwani akaangalia kitandani akamuona jinsi alivyokuwa ana kanga moja na kumuita,alizidi kuvuta kumbukumbu akakumbuka walivyokuwa wakifanya starehe za kitandani mchana na usiku.
Akashindwa ni kitu gani akifanye.Bado alidhani anaota ndoto ndefu ya kutisha ambayo angeshtuka muda mfupi na kumkuta Gloria wake.

Hakuelewa ni kitu gani kilimkumba,alienda bafuni na kujimwagia maji kisha kujitupa kitandani.Kwa kuwa siku hiyo ilikuwa Ijumaa na kesho yake kulikuwa hakuna kazi ivyo alitumia muda huo kutafakari juu ya maisha yake.
*****
“Baby”
“Yes”
“Huyu nani?”
“Yupi?”
“Huyu aliyetuma meseji,sijui anashukuru kwa penzi ulilompa”
“Rafiki yangu”
“Kivipi?”
“wewe jua ni rafiki yangu,acha maswali”
Mapigo ya moyo ya Gloria yalimwenda mbio kupita kiasi, meseji aliyoiona kwenye simu ya Pedeshee Kway ilimkosesha amani na kujikuta anaingiwa na wivu akazidi kuuliza tena.
“Nipatie simu yangu,kuna mtu nataka kumpigia”
Pedeshee Kway akachukua simu kwa nguvu na kuitupa pembeni.
“Hujanijibu lakini”
“Achana na hiyo meseji,unanipenda?”
“Ndio”
“Sasa tatizo lako nini?”
“Sina tatizo”
Gloria akajibu kishingo upande wakiwa bado wapo kitandani asubuhi,safari ya kwenda uingereza ilighairishwa, Pedeshee Kway aliamua kula maisha na mke huyo wa Mtu Afrika Kusini wakawa wanazunguka kila mahali.
Mara ghafla Gloria akatoka kitandani mbio na kuelekea bafuni akimuacha pedeshee Kway kitandani anamtizama kwa mshangao,alivyorudi alitabasmu.
“Vipi?”
“Hakuna kitu”
“Mbona umetoka ghafla?”
“Tumbo linanisumnbua”
“Ahaa”
Wakasogeleana wakaanza kulana denda,hazikupita hata sekunde tano Gloria akasimama wima na kukimbia tena Bafuni,hapo ndipo Pedeshee Kway akamfuata nyuma.
“Mbona unatapika,tatizo nini?”
“Sijui mpenzi”
“Itakuwa Malaria,pole sana”
“Ahsante baby”
Sio kwamba Gloria hakujua nini tatizo, alielewa wazi ilikuwa ni mimba ndiyo inasababisha jambo hilo litokee,hakuelewa pedeshee Kway atamfikiria vipi endapo atasema kuwa ana ujauzito tena siyo wa kwake.
Kadri siku zilivyozidi kusogea mbele hali ya Gloria ilizidi kuwa mbaya,alitapika mara nyingi hapo ndipo Pedeshee Kway alipomchukua na kunyoosha mpaka hospitalini.

Majibu yalivyotoka yalimshtua Pedeshee Kway akasimama na kuondoka huku akimuacha Gloria akiwa ofisini kwa daktari.Alichukia ajabu alivyosikia Gloria ana ujauzito, akaingia moja kwa moja ndani ya gari lake, kabla ya kuliwasha Gloria akatokeza akagonga kioo na kikashushwa.
“Unataka nini?”
Pedeshee Kway akauliza kwa Jazba huku sura yake ikiwa imejikunja.
“Mbona umeondoka ghafla?”
“Wewe mpumbavu nini? Tena usinizoee toka kwenye gari langu,usilitie nuksi zako”
“Kway jamani”
“Embu wewe..usinishike Malaya,Tena ukome kuliita jina langu,naomba fanya yako namimi nifanye yangu,hunijui sikujui,siwezi kulea mimba za wanaume wenzangu”
Hayo ndiyo maneno aliyoongea Pedeshee Kway huku kioo cha gari kikipanda juu,hakutania alitoa gari kwa kasi na kumuacha Gloria akiwa hospitalini asijue wapi aelekee kwa sababu alikuwa bado mgeni wa jiji la Afrika kusini.

 Jambo lililokuwa limemtokea Gloria bado hakuliamini kama lilikuwa ndoto au kweli,hata siku moja hakuamini kuwa Pedeshee Kway angemgeuka kiasi hicho na kumuacha kwasababu ya mimba aliyokuwa nayo,ghafla akajiangalia tumboni na kuchukizwa na mtoto aliyembeba,alimuona ndiye aliyetia dosari katika maisha yake ya raha mustarehe.Alitamani kitu kinachotokea kisiwe cha ukweli bali ndoto ili ashtuke.Ni kweli alilishuhudia Landcruiser V8 linatoka nje ya geti likikunja kona na kutokomea, hapo ndipo aliposhtuka kama mtu aliyetoka usingizini,aliweka mikono yake kichwani na kujikuta akilengwa na machozi hofu ilimtanda,hapo ndipo picha ya mume wake Nickson ikamjia kichwani na kujiona jinsi gani alivyokuwa mwanamke mpumbavu.

Gloria alijutia na kutamani siku zirudi nyuma lakini haikuwezekana alikuwa ameshachelewa, alitamani arudi nyumbani haraka ili akamuombe msamaha Nickson ili warudiane ingawa hakuamini kama angesamehewa kutokana na unyama aliomfanyia wa kumuweka kituo cha polisi.
“Lazima nimuombe msamaha Nickson wangu”
Aliwaza Gloria huku akiwa amekaa chini.Wakati tukio zima linatokea la kuachwa na Pedeshee Kway na gari kuna Mzee Mmoja aliliona na alitaka kujua nini hatma yake.Alisogea karibu na Gloria kwa huruma na kumshika bega la kulia.
“Hallo”
Mzee huyo Mweusi tii alimsalimia Gloria,huku akimtizama usoni.
“Sorry for what happened”(samahani kwa yaliyotokea)
Mzee huyo alisema huku akizidi kumsogelea Gloria karibu nayeye akajikuta amechuchumaa.
“Am Mr.Zuma”
Alijitambulisha Mzee huyo lakini Gloria hakusema lolote.
“Can you speak zulu?so that you tell me”(Unaweza kuongea kizulu ili uniambie)
“No tafadhali go”
Gloria akachanganya kiswahili na kuongea kwa hasira na kwa wakati huo hakutaka kuongea na mtu yoyote Yule,alichokuwa anafikiria kichwani kwake ni kuitoa mimba ya mtoto huyo,aliamini kuwa ndiye aliyemzibia sterehe yake aliyoonjeshwa kidogo.
Ghafla akasimama na kurejea hospitalini ili kuzungumza na daktari juu ya kutoa mimba,kwa kiingereza kibovu alichokua anazungumza kilieleweka.
“Why are you aborting?”
Daktari alimuuliza tena swali Gloria kwa mara nyingine,akitaka kujua ni kwanini anataka kuitoa mimba kubwa kama hiyo.
“Because me mmhhh, I hate children is me and Father of the the children don’t like me,okay”
Gloria alizidi kuunga unga na kuvuta maneno ya kiingereza akijaribu kuyaunga na gundi ili afanikiwe.Lakini daktari alimuelewa japo kwa shida.
“Are you sure?” (Una uhakika)
“Yes,Yes my doctor”
Gloria akajibu kwa ujasiri kwa bahati nzuri alikuwa anapochi na ndani yake alikuwa na Dollar elfu mbili, hiyo aliamini ingetosha kabisa kuuwa kiumbe chake kilichokuwa tumboni kilichomsababishia asitishiwe huduma.
Dokta akatoka nje baadaye alirudi na vifaa vya kazi.Jambo la kutoa mimba katika nchi ya Afrika Kusini lilipigwa vita na jambo hilo lilikuwa ni kosa la jinai,lakini kutokana na tamaa ya pesa Dokta Vunga akajikuta amepatwa na tamaa.
Dola elfu moja ikamfanya atake kuuwa mtoto aliyefikisha miezi mitano tumboni.Ghafla baada ya Gloria kupanda kitandani akaingia mwanaume mweusi.
“Vipi bwana mbona unaingia bila utaratibu?,hapa sio chooni”
Dokta Vunga akauliza kwa Jazba.Gloria akageuka na kuona sura ya mzee aliyekutana naye muda mfupi uliopita.
“Naomba jambo unalotaka kulifanya uliache mara moja,.kwa sababu nitakushtaki sasa hivi”
“Jambo gani?”
“Unajifanya hujui,unataka kumfanyia nini huyu Mwanamke aliyelala hapo kitandani?”
“Nampima tu Malaria naomba utoke nje”
Mabishano hayo yalifanyika kwa lugha ya kizulu.
“Unampima Malaria na mikasi?sasa subiri nipige simu polisi ili….”
“Ngoja kwanza basi”
Dokta Vunga aliogopa mno kusikia habari za polisi,alihisi kinyesi kinambana, Mwanamke aliyelala juu ya kitanda ameipanua miguu yake alikuwa mbioni kwenda kufanya kitendo cha kuuwa mtoto tumboni.
Ilibidi aghairi ghafla baada ya kusikia neno polisi,akakumbuka ndugu zake na wadogo zake waliokuwa wakimtegemea na aliamini kitendo cha kushtakiwa kingemfanya afungwe kama sio kunyongwa.
“Nachotaka mimi huyo binti umuache kama alivyo”
“Hilo?hilo ondoa shaka”
Dokta Vunga akabadilisha msimamo wake.Mr.Zuma alijikuta anaingiwa na huruma na kutaka kujua nini chanzo cha Mwanamke huyo kutaka kuuwa kiumbe kisicho na hatia,akamshawishi watoke hospitali ili watafute sehemu waongee.Gloria kwa shingo upande akainuka na wote wakatoka nje mpaka kwenye gari la kifahari Lamborghin,lilikuwa gari la kisasa Mr.Zuma akawasha gari hilo na kuligeuza huku akianza kumzoea Gloria taratibu.
“Tell me,why are you crying?”(Nambie kwanini unalia)
Mr.Zuma akamuuliza Gloria ambaye badala ya kujibu akazidi kulia zaidi,hii ikamfanya Mr.Zuma azidi kutaka kujua kiundani,picha ya mwanaume aliyekuwa anamfokea na kuondoka na Landcruiser v8 ikamjia kichwani.
“Who was that Man,is he your husband?”(Yule mwanaume ni nani,ni mumeo)
Mr.Zuma alizidi kuuliza wakiwa wanazidi kusonga mbele.wakapita barabara ya Kuelekea Stellenbosch wakanyoosha wakafika mpaka paar,gari lilizidi kutembea kwa kasi, urefu wa kilomita nyingi mpaka wakafika Hermanus,wakaacha lami na kuingia kwenye barabara iliyochongwa vizuri ikiwa na majani mazuri pembeni yake,urefu wa mita mia mbili arobaini gari la kifahari likasimama nje ya geti kubwa.

Mr.Zuma akatoa Rimoti na kubonyeza, lango likajifungua lenyewe.Gloria alistaajabu mno,hasa baada ya kuona mbele yake jumba kubwa kupita kiasi, nje kulisheheni magari tofauti ya kifahari,Kichwani kwake alikuwa ana vitu vingi sana anavifikiria,vitu alivyokuwa anaviona vilimchanganya akili yake akabaki na kazi ya kugeuza shingo yake,kwa mbali kidogo aliona kuna uwanja mkubwa kiasi huku ndani yake wakiwemo Farasi weupe wanatembea huku na kule.
“Welcome home”(Karibu nyumbani)
Mr.Zuma alizungumza na kushuka garini akamfungulia Gloria mlango wote wakashuka na kutembea,namna alivyopokelewa Mr.Zuma alizidi kustaajabu ghafla akajihisi yupo peponi,lilikuwa ni jumba kubwa la kisasa.Wakaingia wote ndani wakakaribishwa kwenye kiti na wafanyakazi wa ndani baada ya muda mfupi Juisi ililetwa.Mr.Zuma akawa ana kazi ya kumsaili Gloria akimuhoji maswali mawili matatu,alifurahi mno alivyojua ni mtanzania.
“Bongo,nilishawahi ishi kule ujue,nimekaa Tabata pale jijini Dar es salaam,Arusha sakina nimekaa sana, Moshi Marangu,nikaendaga mpaka mulima Kilimanjaro,nikapanda mpaka juu Kibo na Mawenzi”
Mr.Zuma alizungumza Kiswahili, Gloria akashangazwa.Na wakaanza kuongea.
“Hukuniambia ilikuwaje,pale hospitalini,Yule jamaa ni nani? Mumeo?”
“Ndio,ni mume wangu kaikataa hii mimba na isingekuwa wewe ningesha muuwa huyu mtoto”
Gloria hakuona haya yoyote, aliyoongea hayakuwa na ukweli hata kidogo.
“Usijali kabisa,mimi nitakusaidia”
“Sawa,nitashukuru”
Hapo ndipo mazoea yakawa yameanza.Uzuri wa Gloria ulizidi maradufu siku hadi siku,kila alipopita mbele yake Mr.Zuma alibaki akishindwa kuelewa ni kitu gani akifanye,katika maisha yake ni kweli hakuwahi kuona mwanamke mzuri kama Gloria.
Uzuri wa Gloria uliunyanyasa Moyo wa Mr.Zuma.Pamoja na kusaidiwa na Mr.Zuma na kupewa msaada lakini hakuacha kumkumbuka Mume wake Nickson na alitamani kurudi Tanzania dakika hiyo hiyo ili akamuombe msamaha mume wake,alijiona mkosaji na alistaili moto wa Sheteni.Siku hiyo usiku Mr.Zuma alirudi akiwa amelewa chakali, akangia chumbani kwa Gloria na kuufungua mlango akamkuta amelala.
Gloria akashtuka kutoka usingizini na kuwasha switch ya kitandani.
“Vipi?”
“Viiiipi Nini,tulia ivyo ivyoooo”
Mr.Zuma alivua nguo zake na kumsogelea Gloria karibu akimlazimisha kufanya naye ngono huku akimuhaidi angempa pesa nyingi endapo atakubali tendo hilo litokee.
“kiasi gani?”
Gloria aliuliza kwa sauti ya puani huku akirembua,udenda ulimtoka.
“Dollar elfu kumi”
“Ni ndogo mbona”
Gloria akatingisha kiberiti.
“Dollar laki tano”
Moyo wa Gloria ukapiga paa! Dola laki tano hazikuwa ndogo kwake japokuwa hakuelewa ni kiasi gani cha pesa endapo akizibadilisha, bila kuuliza akajikuta anamsogelea Mr.Zuma na kuutoa ulimi wake nje,ndimi zao zikagusana wakaanza kulana denda.

 Dolla laki tano ilikuwa imehaidiwa kutolewa endapo tu Gloria atakubali kulala na Mr.Zuma,zilikuwa ni pesa nyingi mno kwake, kwa hesabu za haraka haraka ilikuwa sio chini ya milioni sabini na tano za kitanzania,kwake kupanua miguu na kufanya ngono ilikuwa kazi ndogo,akavua nguo zake huku akiendelea kupigana mabusu ya ndimi na Mr.Zuma aliyekuwa teyari yupo sayari nyingine, haelewi ni kitu gani kinaendelea ulimwenguni,damu yake ilimwenda mbio akashusha suruali yake ya Jinsi kama umeme na kuipanua miguu ya Gloria, hakujali kumuandaa, kwake ilikuwa ni mwendo wa kijeshi.
Haraka akaingiza karoti yake na kuanza kufanya tendo baya la kuzini.
Pesa ikawa imenunua penzi la Gloria,Mpaka Mr.Zuma anamaliza mzunguko wake wa kwanza hakuamini, alitamani aanze tena upya, lakini alikuwa yupo hoi bin taaban!hakujali kuwa anafanya ngono na mwanamke aliyekuwa mjamzito ili mradi amekidhi haja zake, hayo hayakumuhusu na halikuwa swala lake,huo ndio ukawa mchezo wake kila akirudi usiku, alihitaji penzi kutoka kwa Gloria na akapewa mara moja kwa mihadi ya kumpatia pesa nyingi.

Gloria akawa mtumwa wa Ngono!Lakini mbali na hapo alipakumbuka nyumbani Tanzania na mara kwa mara alimgusia Mr.Zuma juu ya yeye kurejea Tanzania.
“Usijali wiki ijayo utaenda,nitakufanyia mipango ya pasipoti mpya ili urudi Tanzania”
Alisema Mr.Zuma siku hiyo asubuhi wakiwa wote kitandani,tumbo la Gloria lilishaanza kuwa kubwa teyari na likatokeza mbele, akawa kama wamama wengine wapatapo ujauzito.
“Nitafurahi sana,na nikijifungua tu,nakuhakikishia nitakupa mapenzi ambayo hukuwahi kupata katika maisha yako yote,utajuta kunifahamu nakwambia”
Gloria alijitapa mbele ya Bwana Zuma.
“Nitafurahi kusikia ivyo,mimi nakupenda kweli ujue,ujifungue tu mapema ili nijilie vyangu,wao wanasema vya nini, sisi tunajiuliza tutavipata lini”
kuishi kwa Zuma muda mwingi Tanzania kulimfanya ajue mipasho ya kibongo!
“Hee,kumbe nawewe una maneno!”
“Ukisusa sisi twala,na ukijifungua tu uniambie ili nije huko kukuona kichuna wangu”
“Hilo ondoa shaka”
“Nakupenda Gloria”
“Mimi pia Zuma”
Kila mtu alimtamkia maneno matamu mwenzake,Zuma alimpenda kweli Gloria na alitaka aishi naye hata ikiwezekana amlee mtoto atakaye zaa.Penzi la mchezo mchezo likawa limezaa mizizi ndani ya moyo wa Mr.Zuma, akakolea na mwanamke huyu mzuri wa kichaga, na alielewa kuwa yupo kwenye matatizo ya kuachwa na Mume wake,na hivyo ndivyo alivyoambiwa na Gloria,kumbe ulikuwa ni uwongo mtupu!
Hatimaye wiki moja ikakatika Mr.Zuma akawa tayari amemfanyia mipango ya pasipoti na kumkatia Tiketi inayoondoka siku ya Jumamosi saa kumi ya Jioni.Gloria alionekana ni mtu mwenye uzuni siku hiyo ya Alhamisi alivyokabidhiwa hati ya kusafiria vikiambatanishwa na tiketi ya ndege.
“Mbona umekuwa mnyonge kiasi hicho mpenzi wangu?”
Mr.Zuma akajitosa kuuliza swali.
“Nimekuzoea sana,sijui nitaishi vipi bila ya wewe”
“Mimi ni wako mbona,ondoa shaka na nipo tayari hata kukuoa”
“Kweli?”
“Ndio”
“Siamini kwa kweli”
“Niamini nayo sema,kwanini usiniamini au unanichukuliaje,unanichukulia mimi yoyoo sana tatizo lako”
“Sio ivyo Baby”
“Kumbe nini sasa?amini ninayo kwambia nakupenda kweli,na ukijifungua tu mimi nitaarifu ili nije Tanzania”
“Sawa nitafanya ivyo”
Gloria alishamsahau tena Nickson, raha alizokuwa akipewa kama malkia ziliweza kumbadili akili yake, akasahau tayari maumivu yote yaliyompata katika maisha yake,alimuona Mr.Zuma ndiye kama Mungu wake wa pili.
“Kumbe kuna watu wana uwezo kiasi hiki hapa duniani,Kway, Kwaaay umeula wa chuya,ulidhani umenikomoa,shenzi wewe”
Hayo yalimiminika kichwani Kwa Gloria akiwa anatizama Jumba kubwa la kifahari,kila alichokitizama kilikuwa ni kitu cha Thamani kwake.Siku hiyo Jioni ilipofika Mr.Zuma akamchukua wakaenda kushangaa jiji la Capetown,jiji liilikuwa zuri na ndiyo likamfanya Gloria apagawe zaidi.Mr.Zuma alimpitisha Gloria kwenye ma’casino’ ya wacheza uchi.
Huko alikutanishwa na matajiri wakubwa wa nchi hiyo yaani ‘mataikun’ wa mji.Usiku wa siku hiyo Gloria akapewa sigara avute kidogo.
“Mimi siwezi sijawahi kuvuta sigara katika maisha yangu, naogopa sana”
“Vuta watakuona mshamba,weka mdomoni kama hivi alafu toa moshi nje”
Gloria akapewa maelekezo akajaribu, kwa mara ya kwanza akakohoa mfululizo baada ya kuvuta Moshi mwingi ambao ulimpalia,akaambiwa ajaribu tena na tena, mwishowe akaweza. nayeye akawa miongoni mwa gari Moshi!

Sigara na pombe zikanyweka siku hiyo,Gloria hakujali kuwa ilikuwa ni hatari kwa kiumbe alichokuwa nacho tumboni,yeye aliona ni sawa kwake,ilimradi tu Mr.Zuma afurahi,baada ya kulewa wote walibebana mpaka ndani ya gari aina ya Escelard lililokuwa la Mr.Zuma,wakaingia na safari ya kurudi nyumbani ikaanza,ulikuwa ni usiku mzito,hakuna walichokuwa wakifanya ndani ya gari zaidi ya kunyonyana ndimi zao na kufanya matendo machafu,mpaka wanafika wakamalizia haja zao kitandani kisha kulala.
****
Ni kweli Gloria alitakiwa kusafiri siku ya Jumamosi na ndiyo maana alikuwa teyari ameshawasili uwanja mkubwa wa ndege akiwa kushoto na Mr.Zuma,Gloria alionekana kukosa raha ya maisha.
“Bila kusahau ukijifungua tu naomba tuwasiliane”
“Sawa mpenzi”
Waliagana mara ya mwisho mwisho huku wakipigana mabusu ya mdomoni,Gloria alikuwa teyari ametengeneza pesa ya kutosha, alishafunguliwa akaunti ya bank na Mr.Zuma na ndipo alipoziweka pesa zake humo.
***
“Nenda wewe ushapigwa nyuma,hauna uwanauwe wowote ule, sitaki kuamini kuwa nafanya kazi na mabwabwa,hiyo kazi ya kupakuliwa umeanza lini?Eti..”
Bosi Magugu alikuwa akiongea maneno ya shombo na yasiyo faa mbele ya Nickson tena kwa sauti kubwa mbele ya wafanyakazi wengine.
Nickson aliumia moyo, swala la yeye kufanyiwa kitendo kibaya cha kuingiliwa kimwili hakuelewa bosi wake alilijua vipi,ukizingatia hakupenda iwe ivyo.Alichukia zaidi hasa bosi wake alivyokuwa akimuita bonge la shoga.
“Nakuuliza wewe bonge la shoga anti Nickson,umefikia wapi na ile kesi?”
“Tayari bosi,imeshapelekwa mahakamani na anaisimamia Angelina Masawe”
“wewe ilikushinda kwani?”
“Hapana”
“Kaza sauti shoga,mimi usinilegezee sauti mimi situmiagi mlango wa nyuma”
Nickson alijikaza,japokuwa maneno hayo yalipita kwenye pina ya masikio yake na kuuchoma moyo wake, siku zote alimlaumu Gloria kwa mambo yote,licha ya hayo alimuachia Mungu, kwake alihesabia kama changamoto ambazo zinakuja na kuondoka.
“Haikunishinda bosi,bali alisema nimuachie tukakubaliana ndiyo ikawa vile”
“Sawa unaweza ukaenda,lakini kama ukijisikia namna gani uje basi nikupe huduma”
Hilo ndilo neno la kejeli alilosema Bosi wake Magugu.
Nickson alikuwa mpole alikuwa hana tabia za kumjibu mtu vibaya hata kama ungemtukana vipi,watu walimshangaa na kumshauri aache kazi lakini yeye alikataa,maisha hayo yakaendelea kama kawaida, Nickson akiendelea kudhalilishwa kila kukicha,lakini hata siku moja hakufanya malipizo.
Siku hiyo ya Jumamosi hakukuwa na kazi ivyo walihaidiana na rafiki yake kipenzi Tito watoke kidogo waweze kuongea mambo mawili matatu.
“Oyaa we Nickson”
Tito aliita baada ya kufika nje mlangoni kwa Nickson, asubuhi.
“Tito”
Nickson aliitikia akiwa ndani.
“Vipi umelala?”
“Nilale wapi rafiki yangu karibu ndani basi,unywe hata chai”
Aliongea baada ya kufungua mlango.
“Mimi sio mkaaji jiandae basi,twenzetu kwa mfojo hapo tukapate supu kidogo na mbili tatu baridi”
“Poa,ingia basi ndani,ukiwa unanisubiri hapa nioge chap,twenzetu”
“Poa usiwaze”
Nickson akaingia ndani na kujimwagia maji,alivyotoka alikuwa amevaa tshirt ya kaki na suruali nyeusi,wakaingia ndani ya gari la Tito na safari ya kwenda kwenye baa ya mfojo aliyekuwa maarufu kwa kuchoma nyama ikaanza,watu walitoka Mbagala,Kimara hata Yombo ili kuja kwa mfojo mchoma nyama.
Japokuwa ilikuwa asubuhi lakini palichanganya watu walikuwa wamejazana madirishani wakitaka supu asubuhi.
“Nickson nisubiri hapa,nikaagize supu”
“Poa mimi utanikuta”
NUSU SAA BAADAYE kila mtu alikuwa na mchemsho wa supu na nyama choma.Wakaagiza pombe na kuanza kushushia.
“wewe dada embu njoo na kisichana kimoja”
Haraka muhudumu akaleta kichupa kidogo cha konyagi.
“Tito,leo umepania”
“Leo ni kugambeka tu”
“Wacha bwana”
“Nataka leo tulewe mpaka basi,kwani kesho kuna kazi?”
“Hapana”
“Kumbe nini?”
“Kanisani kesho”
“Kwenda zako,hakuna cha kanisani hapa,tunarudi asubuhi”
Pombe zililetwa ikawa kata mti panda mti na kweli pombe zilianza kupanda kichwani.
“Nicki eeeeeeee”
“Vipi Jembeeeee”
“Embu niaaambiee tatizo ni kiitu gani,mbona Bosi anakuleteaa gozigoziii kiasi hicho,samahani lakiniiii kama nitakuwa nakuudhiii,kama hutojali,just tell me my friend!.au nakoseaaa? kama nakosea Mungu anirehemu aaah anisamehee,Wewe ni rafiki yangu mkubwaaa saaaana,Embu niambie ukweli wa moyonii,ili nijue nikushauri vipi,sijalewa hapa lakini nipo kamili gado”
Tito aliongea kwa sauti ya kilevi pombe zikiwa tayari kichwani, hata kwa Nickson habari ilikuwa hiyo hiyo nayeye amelewa,walikuwa wamesha kunywa kiasi kikubwa cha pombe kali walizochanganya na bia.Nickson akamuangalia rafiki yake kwa kitambo,lakini badala ya kuadithia Nickson alianza kulia machozi.
“Tii….to ina…niuma sa……naaaaaaaa!”

 Yalikuwa ni maumivu yasiyoweza kuelezeka kiwepesi,Moyo wake ukawa kama umechomwa na mkuki wenye moto,akamkumbuka Gloria alivyokuwa amebeba mkungu wa ndizi huko Mashambani kijijini Mwika,akamtizama Tito na kufuta machozi yake akitumia kiganja chake,akavuta pumzi na kuanza kumuhadithia kila kitu tangu alivyoenda kijijini na kurudi na Gloria,kila kitu alikiweka bayana.
Historia yake ilitumia kama dakika arobaini nzima sababu ya kulia kwake.Tito alijaribu kumbembeleza swaiba wake asilie machozi.
“Em…bu nishauri..kitu gani nikifanye rafiki yangu?”
Nickson aliuliza baada ya kumaliza kuhadithia huku akibubujikwa na machozi.Tito alimuonea huruma mpaka machozi yakamlenga, akavuta picha kama ingekuwa yeye angefanya nini,simulizi ya Nickson ili mpandisha hasira akahema juu kifua chake kikawa kinapanda na kushuka.
“Bosi anaishiiii wapi kwani?Anaishi waaaapi huyo Mamake zakeeeeeee,Nickson niambie nikaue haiwezekani akutese mimiii nipo haii blood fool”
Tito huku akijipiga piga kifua chake alisema, alivyotaka kusimama Nickson akamshika mkono na kumrudisha chini, kitini.
“Kaaa jembee,kaaa ndiyo maana sikutaka kukwambia nilijua tu utaharibu,funika kombe mwanaharamu apite,naomba usijaribu kufanya chochote”
“Huyo Malaya unampenda kwanza?”
“Malaya gani?”
“Gloria”
“Gloria sio Malaya”
“wewe fala nini?kumbe nani,Gloria Malayaaa tu,hana maana piga chini huyo demu asikupe stress”
“Kumbuka ni mke wangu,nimekula nae kiapoo kanisanii”
“Bogasi wewe,Eti mke wangu,ona alichokufanyia mpaka akuuwe sio?,wewe mshkaji wangu isitoshe bado nataka uishi bado kijana mzuri,wanawake kibao wapo,leo nataka twende sehemu ukajionee mwenyewe”
“Acha tu Tito”
“Psiiii psiiiiii wewe muhuduumuuu,wewe muhudumuuuuuuuuuu”
Tito akapaza sauti na muhudumu akafika.
“Mbona nakuita muda wotee huo hauji,ulikuwa unashikwa shikwaaa au?”
“Hapana sikusikia,Niwaongeze vinywaji?”
“Leta kreti la bia moja hapaaaaaa,uliweke hapa pembeni”
“Bia gani na gani?”
“Kama unavyotuona nusu kwa nusu,fanya upesi fanya upesi”
Sekunde tano hazikupita Kreti la bia likawekwa kandokando yao,ni kweli siku hiyo walikunywa kupita kiasi,mpaka baadhi ya wateja wakawashangaa, mpaka inafika saa moja jioni walikuwa bwiii!,tilalila.
“Sasa hapaaaaa,Embu tuwashe gari twende Mandela Club mabibo mwisho twenzeetu babakeee”
Tito alisimama huku akiyumba huku na kule, hatua moja mbele kumi nyuma,akamuinua Nickson wakaingia ndani ya gari.

Tito akaingia kilevi safari ya kwenda mabibo kuruka majoka ikaanza.Saa mbili na dakika tano wakawa wamefika mabibo mwisho,wakapaki gari pembezoni mwa grocery,hapo wakashuka.
“Sasa hapaaa Nickson subiriii hapaaaaaa,nimpigieeee Simu mchepuko wangu Neema,huku ndiyo najificha na na na na sitaki aje mwenyewe aje na rafiki yake,mzuri huyo wapoo hapo juu mabibo hostel,ukimwangalia vizuri kama Wema sepetu,mtoto mweeupeeee ana chooo hiko, huyo ninaye taka kukupa sasa”
Tito aliongea huku akiyumba kilevi na mikono yake akaiweka nyuma kumaanisha kuwa msichana atakayekuja na Neema ana makalio makubwa.Wakatafuta kiti wakakaa.
“Titooo,mimi siongezi haapa nilipo nipo Topu topuuuuu yaaani,lakini ninampenda Gloria”
“Acha ufala,usiniletee za kuleta, leo lazima uondoke na mzigooooo haiwezekani”
Tito alimshawishi wakaendelea na pombe huku akiendelea kupiga simu.Namna alivyokuwa anaongea na simu kana kwamba alikuwa anaongea na mtu aliyekuwa amesimama naye mita mia tano,aliongea kwa sauti ya juu.
“wewe Neema,nimekwambia tuupoo hapa kaaribu na Mandela Club,kwenye baa ya Nzota,pale kwa siku zote,alafuuu nisikilize sasa kwa makini uje na Yule rafiki yako Pendoo…ndio Pendo Jonas,nipo na Nickson Shayoooo,.Ndio atalala uje ujeee fanya upesi,chukua hata boda boda mpenzi wangu,nakupendaaaa mwaaa mwaaaaa”
Tito akamaliza kuongea na kurudi kwenye kiti ambapo walizidi kupiga stori na nyama choma ya mbuzi ikaagizwa,nusu saa baadaye Pembeni yake walisimama Neema na msichana mwingine mrembo kupita kiasi,urefu wa msichana huyo na weupe ulimfanya ang’ae,macho madogo kama ya kichina yalibeba mashavu makubwa kiasi, midomo yake ilikuwa laini na mipana na ilikuwa imepakwa rangi nyekundu.Nickson alimkazia macho akizidi kumkagua kwa juu na kila idara.
“Ah,Wema sepetuuu!”
Tito akaita baada ya kugeuka, ni kweli msichana huyu mrembo alifanana na mcheza filamu wa kibongo Wema sepetu, hata miili yao, usingebisha ungeambiwa kuwa ni ndugu yake,chuo cha UDSM alifahamika kwa jina hilo.
“Kaeni sasa,karibuniiiiiii Neeeema mpenzi”
Bila aibu yoyote Tito alimsogelea Neema na kuanza kumla denda hapo hapo, Pendo na Nickson wakabaki kuangaliana.
“Sasaaa Nickson sijawahi kukutambuliiiisha my friend,huyu unayemuonaaa hapa ndiye anayenipunguzia stress,wife akizingua kidogoooo,wala siongei nakuja kwa Neema wangu mambo yanakwishaaaaaa,wala siwaziii sijuiii nini….wife yupooo aaaaaah yanini,maishaaa yenyewe mafupi haya,kuna msemo unasema usinipe stress am still young!”
Mazungumzo yao hayakuwa mengine zaidi ya Tito kumpigia debe Pendo, alikuwa kuwadi siku hiyo,kila alichoongea Tito Neema alitia neno lake.
“Pendo au Wema sepetu what ever,huyuuuu rafiki yangu,he is my buddy,he is my friend.Nakwambia yaani ukimuoneaa huyu mimi nauaa mtu,sasa pendoo embu muongee vizuriiii basi mama”
“Kweli shoga angu,chakalika,leo wawili wawili”
Neema akamuunga mkono bwana ake!
Ilivyofika saa tano usiku walichukuana na kuvuka barabara mpaka upande wa pili, hapo wakalipia na kuingia Mandela club.
Mziki ulikuwa unatumbuizwa, siku hiyo alikuwa Dj Maarufu aliyeitwa ‘Dj Choka’ na kufanya watu wajae ukumbini,wasanii mbali mbali kama Professor Jay na A.Y walikuwepo pia ndani ya club hiyo,watu walirindima wakiserebuka ikawa mshikemshike.Wasichana warembo walikuwepo,hii ilimchanganya akili Nickson akamuona Gloria hakuna kitu kabisa.
“Kumbe kuna watoto wazuuuuri namna hii kuliko hata Gloriaaa,ebwana weeee duniani hapa kuna warembo”
Nickson aliwaza huku akiingia taratibu ,Pendo Jonas au wema Sepetu kama walivyozoea kumuita nayeye alikuwa nyuma yake wanaongozana mpaka kaunta, wakaagiza pombe kali.

Disco lilichanganya wakati wa kuingia kati ukafika Pendo akamshika mkono Nickson,alishaambiwa kuwa Nickson ana pesa, hivyo kwake alikuwa amepata buzi la kumchuna!
Walifika kati na kuanza kucheza mziki wa pamoja jinsi walivyokuwa wakicheza walikuwa ni watu kama waliokuwa wamefahamiana masaa sabini na mbili yaliyopita, kumbe walikutana siku hiyo hiyo.Kwa makusudi Pendo alikuwa akikatikia mwiko wa Nickson na akawa anapitisha mkono wake na kuushika.Nickson taratibu akaanza kupandwa na midadi.Hilo pendo aliligundua.
“Nicksooon”
Pendo aliita akiwa sikioni mwa Nickson.
“Niambie chauremboooo,unajua sana kucheza,wewe ni mjamaica nini?”
Nickson akaweka utani,pendo akacheka meno yake yaliyojipanga na meupe yakaonekana uzuri wake ukachanua.
“Tunaweza tukaenda nje kidogoo”
“Kufanya nini tena?”
“Nina mazungumzo nawewe Nickson”
“Sasa si uniambie hapahapa”
“Hapana sio hapa,kuna kelele”
“Sawa,tweenzetu”
Wote wakavutana, Pendo akapitisha mkono wake kiunoni mwa Nickson wakatoka nje,kitendo cha kufika gizani kama umeme Nickson akavutwa mpaka mdomoni mwa pendo,wakaanza kulana denda,kutokana na Pombe nyingi alizokunywa Nickson hakuweza kufanya lolote alitoa ushirikiano,pendo akazidi kucheza na ndimi ya Nickson akapitisha mkono wake mpaka kwenye zipu na kutoa tango la Nickson lililokuwa teyari limekakamaa.Hisia zake zilikuwa mbali, ghafla akaiona sura ya Gloria mbele yake.
“Nakupenda,nakupenda sana kwaniniiii ulinifanyia ivyo lakiniiiiiiii Mke wangu?”
Nickson aliongea huku akizidi kupata raha za ajabu,akidhani pendo ndiyo Gloria.
“Mimi,nakupenda pia Nickson”
“Tafadhali usiniache”
Pendo akapiga magoti na kuliweka Tango la Nickson mdomoni huku akilinyonya kama koni,macho ya Nickson yakabadilika rangi,nayeye hakufanya makosa akapitisha mkono wake juu ya maziwa ya Pendo akaanza kuyachezea na kuyapekecha taratibu sana.
“Oyaaaa Nicksoniiiiiiii,eeeh samahaaaniii jamani”
Tito ndiyo aliyewashtua kutoka katika dimbwi la raha,Pendo akawa ameona aibu akafunga blauzi yake haraka na kuangalia chini.
“Vipiii Mzee?”
Nickson akauliza.
“Basi,endeleeni”
“Mimi nirudishe nyumbaniiiii bwana”
“Sio sasa hivi,wewe endelea tu,au mkachukue room”
“Titooo eeeh nimechooka nirudishe tafadhali”
Nickson akang’ang’ania arudishwe,hapo hakukuwa na kipingamizi,wakaingia ndani ya gari na safari ikaanza,wote walikuwa chakali.
Nusu saa baadaye walikuwa wapo Segerea majumba sita,Nickson akashuka na kuwaaga wenzake akaingia ndani.
Kitu cha kwanza alivyofungua mlango alishtuka baada ya kuona taa zimewashwa,akasita kutembea baada ya kuhisi kama kuna mtu anatokea chumbani,akawa amejiandaa kwa kukimbia akidhani wenda ni majambazi.
“Gloriaaaaaaa”
Nickson aliita kwa sauti, alibaki ameganda haamini mtu aliyemuona mbele yake.

 “Gloria ni wewe kweeliii au naota ndoto jamaniii?Gloriaaa ni wewe mama ulikuwa wapi mke wangu?nilibaki mpweke sana,maisha bila wewe siwezi nimekozea tafadhali usiniache mwenyewe”
Nickson alikuwa akiongea Mwenyewe huku akimsogelea Gloria na kumkumbatia, lakini yeye Gloria hakuonesha ushirikiano wa aina yoyote ile alibaki tu amenyamaza.
“Au itakuwa pombe,naomba unisamehe mimii leo nimechelewa kurudi,nilikuwa na marafiki zangu,sikuweza kukaa mwenyewe ndani bila wewe mke wangu,ndio maaanaaa nikachelewa leo, na ni leo tu basi”
“Sawa”
Hatimaye Gloria akajibu na kutabasamu,kitu kama roho ya huruma vikamuingia ndani ya moyo wake, akamuhurumia Nickson jinsi alivyokuwa akiomba msamaha huku machozi yakimlenga machoni.
“Za hapa?”
“Hapa nzuri tu"
"mtoto huyo ajambo?”
“Huyu ajambo,za siku nyingi nilikumisi sana”
“Hata mimi”
“Twende basi ndani”
“Sawa lakini nilihangaika kweli kupata funguo,nisingeangalia kwenye maua leo usingenikuta hapa”
“Uzuri umefika salama”
Nickson hakutaka kujua ni wapi Mke wake alipotoka,kitendo cha kurudi kwake kilimfanya awe na furaha isiyo kifani,tofauti na fikra za Gloria hakurudi nyumbani kwa mapenzi yake bali kujifungua mtoto, mimba yake ndiyo iliyomrudisha nyumbani ajifungue na kuondoka akaendelee kula maisha na Mr.Zuma huko Afrika kusini,hakutaka kabisa kubaki Dar es saalam,akiuita mji wa kimaskini.
“Alafu mbona huku chumbani kuchafu namna hii Nickson?”
Aliuliza Gloria baada ya kupiga jicho chini.
“Mimi nitawezaje kufanya usafi mke wangu?”
“Nawewe umeshaanza kuwa mchafu bwana aaaah,unashindwa hata kupangusa pangusa meza,embu angalia mavumbi pale,angalia nguo zilivyokuwa shagala bagala,mimi sitaki wachafu”
“Hee Gloria leo unaniambia ivyo?”
“Umezidi bwana,nakwambia ukweli”
Nickson hakutaka kuongea zaidi,kilichomuuma tena ni jinsi Gloria alivyokuwa ana ongea huku akiwa anabenua mdomo wake kama wanawake wa Kiswahili,aliumia zaidi!
Asubuhi kulivyokucha Nickson akawa wa kwanza kuamka, akaenda jikoni akandaa chai na kuiweka mezani kwa kuwa ilikuwa siku ya Jumapili, alioga haraka haraka na kuvaa tayari kwa kwenda kanisani kuabudu,japokuwa alichukia misa ya pili lakini hakuwa na jinsi.
“Gloria chai ipo mezani,mimi naenda kanisani,baki salama”
Alisema Nickson na haraka kutembea mpaka kwenye gari lake mpaka kanisani kwao usharika wa K.K.K.T karibu kabisa na anapoishi,nia na dhumuni lingine la kwenda kanisani lilikuwa ni kuiombea ndoa yake,ilibidi amuombee Gloria na alihaidi kuwa endapo misa ikiisha atanyoosha mpaka ofisini kwa mchungaji na kumueleza shida zake.

Ni kweli saa nane kasoro ya mchana misa ikawa imeisha,Nickson akanyoosha mpaka ofisini kwa mchungaji.
“Bwana asifiwe”
Nickson akasalimia baada ya kufika ofisini.
“Milele Amina”
“Mchungaji, mimi nimekuja hapa nina matatizo makubwa sana na ndoa yangu,acha nisipoteze muda,ndoa yangu haijafikisha hata mwaka nadhani, lakini imekuwa inavisa sana”
Nickson alianza kujielezea, lakini kadri alivyozidi kuelezea machozi yalikuwa yakimlenga mwishowe akajikuta analia bila kutegemea,ki ukweli alimpenda Sana Gloria na Mchungaji aliyekuwa mbele yake aliamini kuwa ndiye atakuwa msaada wake na wala sio kitu kingine.
Mchungaji huyo aliyefahamika kwa Jina la Mchungaji Patrick, alikuwa kimnya anamtizama muumini wake jinsi anavyolia.
“Kijana”
“Naaam Baba mchungaji”
“Tatizo lako limekwisha kuanzia sasa,hilo pepo baya sana,tutalikemea katika JINA LA YESU WA NAZARETH ALIYE HAI,je upo tayari Mr.Nickson Shayo?”
“Ndio Mchungaji nipo tayari hata sasa hivi”
“Simama tusali”
Nickson akatiii na maombi yakaaanza maramoja,mchungaji alikemea huku akitaja mara nyingi ndoa ya Nickson Shayo iweze kufunguliwa.
“BABA WA MAJESHI,BABA WA MAJESHI,NAOMBA UWEZE KUIFUNGUA NDOA YA NICKSON,BABA ULISEMA TULIITE JINA LAKO NAWE UTAITIKA,NAOMBA MAPEPO YASHINDWE KATIKA JINA YA MWANAO YESU KRISTO,KATIKA JINA LA YESU FUNGUA NDOA YA NICKSON SHAYO NA GLORIA,AMEN”
Mchungaji Patrick alimaliza na wote wakafungua macho,Moyo wa Nickson ulihisi furaha sana aliamini kuwa Mungu angetenda miujiza na hilo ndilo aliambiwa na mchungaji kabla ya kutoka ofisini kwake.
Akaingia kwenye gari lake na kuondoka kurejea nyumbani kwake,ambapo alimkuta Gloria yupo kwenye kochi Seblen anaangalia Televisheni,Siku hiyo wakaongea kama kawaida Gloria hakuonesha dharau yotote ile,Nickson akaanza kuweka matumaini juu ya mchungaji Patrick,
akaamini huyo ndiye kila kitu na ni mtumishi wa Mungu,na alitaka siku moja amuambie Gloria juu ya kuhudhuria kanisani.
“Gloria”
“Abee”
“Jumapili inayokuja naomba twende kanisani”
“Kanisani?”
“Ndio”
“Kufanya nini?”
“Kumuomba Mungu na pia kumuombea mtoto wetu awe na afya,si unajua lakini tumuweke mikononi mwa Mungu baba”
“Mhhhh”
“Mbona umeguna?”
“Hapana,sina shida nitaenda kanisani”
“Nashukuru sana,kesho utaanza kliniki”
Maongezi hayo yalifanyika siku hiyo usiku wakiwa meza ya chakula,walikula vizuri na kwenda chumbani,huko hakuna mazungumzo yoyote yale yaliyoendelea zaidi ya kila mtu kulala.

Ni kweli siku iliyofuata Nickson Shayo akamuandaa mkewe kwa ajili ya kwenda hospitalini,wakafika na kupewa dawa,akamrudisha nayeye akaanza safari ya kwenda kazini,ratiba zikaendelea kama kawaida,Nickson akarejewa na furaha upya,na akaanza kunawiri kama kawaida.
“Driii driiiii driiii”
Siku hiyo akiwa ofisini kwake simu yake ya mkononi ikaita, na namba zilikuwa ngeni.
“Baby?”
Nickson akashtuka na kuitoa simu sikioni ili kuangalia namba kwa umakini,sauti haikuwa ya Gloria.
“Wewe nani?”
“Jamani mara hii ushanisahau,mimi pendo”
“Pendo gani?”
“Pendo jamani,rafiki yake Neema,tulikutana Mandela Club tukacheza mziki wote”
“Niambie Pendo,vipi?”
“Nimekumisi”
“Ahsante”
“Vipi naweza nikakuona leo?”
“Hapana”
“Lini nitakuona?”
“Hautoweza kuniona tena,mimi na wewe biashara yetu iliishia kule kule,kwahiyo tafadhali”
“Kwanini sasa?”
“Mimi ni mume wa mtu,na siku ile ilitokea tu bahati mbaya,kwaheri”
Nickson alikata simu,hakutaka mazoea kabisa na msichana huyo Pendo,.alishaamua kupendana na Mke wake Gloria na huyo ndiye aliamini kuwa ndio chaguo lake kutoka kwa Mungu,na ndiyo ivyo hata mchungaji Patrick humwambia kila siku.
***
“Mke wangu,hizo ndio nguo gani umevaa tena?”
“Si nguo kama nguo zingine,kwani zipoje?”
“Tunaenda kanisani kumbuka”
“Kwani inahusu nini?”
“Ndio uvae kinguo kifupi namna hiyo?”
“Joto bwana”
“Nakuomba,hatukai kanisani sana,vaa lile dera lako,isitoshe ndio itakuwa vizuri na hiyo mimba uliyokuwa nayo”
“Basi siendi kanisani”
“Mke wangu Gloria,mbona unakuwa ivyo?nipo chini ya miguu yako,nilimuhaidi Mchungaji Patrick kuwa nitaenda nawewe”
“Sawa,tunawahi kurudi lakini”
“Ndio”
Gloria akarudi na kubadili nguo,ambapo alivaa dera na kitambaa kichwani wakaongozana mpaka kanisani,Mchungaji Patrick alikuwa teyari yupo kanisani anahubiri neno la Mungu,wakaingia mtu na mke wake na kuketi viti vya nyuma kutokana na umati wa watu uliofurika siku hiyo ya Jumapili.


 Siku hiyo ilikuwa furaha kubwa sana kwa Nickson Shayo,kufanikiwa kumpeleka mke wake Gloria kanisani ili tu akasikilize neno la Mungu,Mchungaji Patrick mtumishi wa Mungu alikuwa mbele ya madhabau anahubiri neno la kiroho,aliongea mambo mengi sana hususani swala zima la ndoa.
“Bwana apewe sifa”

Mchungaji Patrick alisema na waumini wakaitikia kwa sauti “AMEEEEN” kisha kuendelea,
“Mathayo mtakatifu sura ya kwanza mstari wa kumi na nane; kuzaliwa kwake yesu kristo kulikuwa hivi.Mariam Mama yake alipokuwa ameposwa na Yusufu,kabla hawajakaribiana alionekana ana mimba kwa uwezo wa Roho mtakatifu,Haleluyaa,Bwana yesu asifiwe sana”
“Ameeeeen”
Waumini waliitikia na Mchungaji Patrick akaanza kuelezea maana ya neno hilo la Mungu.
Mchungaji Patrick alikuwa ni mwenye jina kubwa sana alikuwa ni kipenzi cha watu, sababu ya roho yake nzuri ya kuwasaidia wasiokuwa navyo,aliwasaidia maskini na kila baada ya mwisho wa mwisho alikwenda mahospitali kutoa misaada na kupita vituo vya watoto yatima,jina lake likavuma zaidi na hata alipoomba msaada nje ya nchi kuhusiana na pesa alipatiwa mara moja,
alikuwa akitembelea gari la kifahari aina ya HAMMER III original, mbali na hapo alikuwa akiishi katika nyumba kubwa ya kifahari aliyojengewa na usharika.
Wanawake wajane walimpenda na kila walipomfuata basi hawakulalamika tena,baada ya neno kuisha alitembea mpaka ofisini kwake, huko aliketi na mlango wake ukagongwa baada ya kuweka makalio yake chini.
“Ingia”
Mchungaji Patrick alisema na hapo sura ya mwanamke mnene kiasi aliyevalia dera zito kuingia.
“Mama Isack karibu,bwana asifiwe”
“Hakuna cha bwana asifiwe hapa,juzi nimekuja hapa nikakuta foleni au na wengine unawafanya kama unavyonifanya?”
Mama Isack alijibu kwa swali, huku akimsogelea Mchungaji Patrick karibu.
“Lak.....”
Kabla ya kumalizia neno lake akashtukia Mama Isack kashamvaa mdomoni na kutoa ulimi wake, wakaanza kulana denda,mbali na kazi ya utumishi wa Mungu, Mchungaji Patrick alikuwa anapenda ngono kupita kiasi,aliwalaghai wanawake wajane kisha kufanya nao uzinzi,hakuna mtu aliyeweza kujua siri hiyo kuwa mchungaji anayeaminika karibia jiji zima anajiusisha na mambo yasiyompendeza Mungu,hakuna mtu hata mmoja angekuamini endapo ungemshtaki, kutokana na sura ya upole wake.Mchungaji Patrick alikuwa ni simba aliyejifika ngozi ya kondoo.
“Umefunga mlango lakini?”
“Achana naooo bwanaaa pati”
“Hapana ngoja nikafunge kwanza”
Mchungaji Patrick bila haya, akatembea mpaka mlangoni na kufunga mlango kwa funguo,akafungua redio na kuweka kanda aliyojirekodi anaomba na kuimba ili atakaye pita ajue yu kwenye maombi kumbe anafanya tendo baya la umalaya.
Mchungaji Patrick alimsogeza Mama Isack mpaka karibu kabisa na meza na kumpandisha juu yake, hapo alimnyonya mama huyu Shingo yake huku mkono wake kupita chini kabisa ya pango akiwa kama anatafuta kitu,
dera likapitishwa shingoni likatolewa na kutupwa chini Mama Isack akabakiwa na chupi,waliendelea kulana denda mfululizo na Mchungaji Patrick akatoa fimbo ya Musa nje, ikiwa imesimama Wima, hapo hapo akamuweka Mama huyu sawa mikono yake akaizungusha kiunoni mwake akawa anamvuta karibu yake zaidi,Mambo yakawa tayari mchungaji alishika miguu ya MAMA huyu Mjane na kuanza kumsulubu vya kutosha.
“Ahhhssss Mchungaji...Mhhhh aaaah haaa...po haaa...po mmmh aaaah mhhhhhh”
Hizo ndizo kelele za puani alizokuwa anatoa Mama Isack akiwa sayari nyingine, macho yake anayazungusha huku na kule anakatika juu ya Meza,alikishika kichwa cha Mchungaji Patrick Vizuri kabisa huku akiwa anamng’ang’nia shingoni,akaachia ukulele wa nguvu.

“Baba ni katika jina la Yesu,naomba umfungue huyu Mama kuanzia leo,na ujidhihirishe leo kuwa wewe ndiye simba wa Yuda.....”
Hayo ndiyo maneno yaliyokuwa yakisikika kutokea ndani ya chumba cha Mchungaji Patrick.Hakuna hata mmoja aliyejua kuwa ilikuwa ni kanda na Mchungaji Patrick alikuwa ofisini kwake ana fanya mambo yasiyo staili endapo angekutwa na waumini wake.
“Leo mchungaji atakuwa ameshukiwa na roho mtakatifu”
Muumini mmoja alimuuliza mwenzake.
“Ni kweli,hawa ndiyo watu wa Mungu bwana,Mchungaji Patrick ni mtu mzuri sana tangu nimlete hapa mke wangu,aisee imekuwa miujiza sana,hatimaye ananiheshimu yaani ikifika tu Jumapili huyo mwenyewe ananihamsha,Kwa kweli bwana apewe sifa”
“Amen”
Watu wengi walifurika nje ya mlango wa mchungaji Patrick,hasa hasa wanawake wajane na wake za watu,jambo hilo halikuwashtua watu sababu walisema kuwa wanaenda kuombea waume zao watulie na Mchungaji Patrick ndiye alikuwa mwenye miujiza hiyo,
kuna wengine walidiriki hata kumuita Mesiya wakijaribu kumfananisha na Mungu.
Katika kundi la watu waliokuwa nje wanasubiri huduma ya Mchungaji Patrick alikuwepo Nickson na Mke wake Gloria.Nickson alitaka kwenda kumuonesha Mchungaji Patrick mke wake ili waombewe na amuombee kiumbe kilichokuwa tumboni mwa Gloria,alijisikia faraja sana kwenda katika nyumba ya ibada na aliamini miujiza ingetokea,
alishasikia kwa watu miujiza ya Mchungaji Patrick.
Ghafa mlango wa mchungaji ukafunguliwa akatokeza Mama mweupe mnene akiwa amevalia dera.
“Bwana Yesu asifiwe”
Mama Isack alisalimia.
“Ameeen”
Waumini waliokuwa nje wakaitikia kwa pamoja,akaingia mwingine kuomba msaada wa kiroho, msichana huyo naye alikaa kwa mchungaji nusu saa lizima,ivyo ndivyo ilivyokuwa lakini wakiingia jinsia ya kiume hata dakika kumi zilikuwa haziishi.

Zamu ya Nickson na Gloria ikawa imefika wakaingia na kufunga mlango.Macho ya mchungaji Patrick yakatua juu ya uso mzuri mweupe wa kung’ara ambao ulipakwa mafuta ya kunukia,Mchungaji Patrick alipagawishwa na Uzuri wa mke wa mtumishi wake Nickson.
“Bwana Yesu asifiwe mchungaji”
Nickson alisalimia na kumshtua Mchungaji Patrick aliyekuwa ameduwaa.
“Ameen,Wewe ndiye Mr.Nickson,si ndo wewe?”
“Ndiye mimi baba Mchungaji”
“Bwana asifiwe sana”
“Amen mchungaji”
Hakuna kitu kingine zaidi alichofanya Nickson,alimtambulisha Mke wake kwa mchungaji Patrick wakapeana mikono,Nickson akazidi kumshukuru mchungaji Patrick kisha baada ya hapo wakafumba macho wakasali kwa pamoja.
Katikati ya maombi Mchungaji Patrick akafumbua macho yake ili kutathmini uzuri wa Gloria,akawa ana kazi ya kumkagua kuanzia juu mpaka chini, tamaa ikamuingia ya kimwili,pepo baya la ngono likaanza kufanya kazi yake,akazidi kurefusha maombi ili azidi kumkagua Gloria zaidi na zaidi.
“Katika jina la Yesu mwanao mpendwa tunaomba na kukushukuru AMEEEN”
“Ameen”
Mchungaji Patrick alimaliza na wote wakaitikia,Nickson akahisi moyo wake umekuwa mweupe na ameutua mzigo.Hakuelewa ni kitu gani kinaendelea ndani ya mchungaji wake.
***
Maisha yalizidi kuendelea kama kawaida nyumbani kwa Nickson huku mimba ya Gloria ikizidi kuwa kubwa na tumbo lake kutokeza mbele,Nickson alikuwa akisubiri kwa hamu sana siku ya kujifungua kwa Mke wake,alikuwa akiomba ruksa mara kwa mara ofisini ili awahi kwa mke wake,hilo alikubaliwa.
Kwa ajili ya msaada zaidi Nickson akaamua kumpigia Mama yake simu aliyekuwa mkoani Kilimanjaro ili aweze kufika Dar es salaam mara moja,na hiyo ndiyo ilikuwa mila na destuli.
Mama akawa ameingia siku ya Jumanne Nickson baada ya kutoka ofisini akanyoosha mpaka Ubungo Terminal kwenda kumpokea Mama, walivyoonana wote walifurahi sana.
*****
Kila kilichoendelea nchini Tanzania Mr.Zuma alipewa taarifa,Gloria aliwasiliana na Bwana Zuma kisiri sana.
“Najifungua mwezi ujao,utakuja?”
Gloria aliuliza akiwa simuni.
“Nitakuja,kwanini nisije?”Mr.Zuma akajibu kwa swali.
“Nitafurahi sana kukuona”
“Sio kuniona tu,nitakuja tutakaa kisha tuondoke sote kuja Afrika Kusini”
“Nitafurahi mno”
“Sawa utaniambia hospitali utakayo fikia na kila kitu”
“Ondoa shaka”
Gloria akakata simu.Ivyo ndivyo ilivyokuwa licha ya kukaa na Nickson lakini hakuwa na mapenzi naye hata kidogo,hakutaka kulionesha swala hilo wazi wazi.
Alivyokuja Mama yake na Nickson akajifanya kumchangamkia kumbe moyoni alichukia vibaya sana.
“Subiri,hawa dawa yao ngoja aje Zuma,wataipata freshi shenzi zao,nawaachia mtoto mimi nasepa zangu”
Mambo hayo yalitiririka ubongoni mwa Gloria akiwa mezani na Nickson pamoja na Mama yake mkwe!

Hatimaye miezi tisa ikawadia, na siku za Kujifungua kwa Gloria zikafika,Nickson hakutaka mke wake apate shida, mara moja akamuwaisha hospitali ya Aghakhan hata kabla hajajifungua mtoto.Hakuacha kumuomba Mungu siku zote ili mtoto wake wa kwanza azaliwe salama,Siku hiyo yeye na Mama yake walisali na walimuweka Gloria katika Mikono ya Mungu.
***
“Ng’aaaaaa ng’aaaaaa ng’aaaaaaaaaaa”
Ilikuwa ni sauti ya kichanga kutoka ndani ya chumba ambacho wanaume hawaruhusiwi kuingia,wakunga wakigongana vikumbo huku na kule,usiku wa saa saba.
“Embu mwangalie mtoto wa kike au wa kiume?”
Mkunga alimuuliza mwenzake.
“Huyu wa kike na ana afya nzuri,hongera Mama umejifungua mtoto wa kike”
“Ahs....ante”
Gloria alipatiwa mtoto wake akambeba, aliachia tabasamu na kumnyonyesha hapo hapo.
Alijifungua salama salmin, tena bila operesheni ya aina yoyote ile.
Asubuhi yake Gloria akaamishwa chumba kingine, akapelekwa kwenye wodi la akina mama waliojifungua.Nickson na Mama yake walikuwa teyari wamefika hospitali.
Na Mr.Zuma alikuwepo Tanzania aliingia siku mbili kabla,na ndiyo hapo Gloria alipompigia simu ili aje kumshuhudia mtoto wake.
Naye mara moja akawasha gari ya kukodi, akielekea hospitali ya aghakhani,akaulizia ilipo nayeye akafika.Nickson,Mama Nickson na Mr.Zuma wakafika chumba alicholazwa Gloria kwa pamoja.
“Gloriaaaaaa,Real?”
Mr.Zuma aliruka kwa furaha mpaka kwenye kitanda cha Gloria na kuanza kumpiga mabusu mengi mfululizo,jambo hilo likashuhudiwa na Nickson pamoja na Mama yake, wote wakabaki vinywa wazi!

****

Kitendo cha Zuma kummiminia mabusu yasiyo kuwa na idadi mke wake kiliufanya moyo wake udunde kwa kasi, lakini sio yeye tu hata mama yake mzazi alishindwa kuelewa na kupata jibu sahihi.Nickson akatembea taratibu kwa unyonge karibu na Mke wake hakutaka kuharibu furaha yake,mtoto aliyelala karibu na mke wake aliufanya moyo wake uachane na mwanaume aliyekua akishughulika na mke wake.
“Hongera sana”
Alisema Nickson kwa unyonge.
Mr.Zuma akamuachia Gloria na kusimama wima pembeni,kichwani nayeye alikuwa ana mengi ya kuuliza lakini hakutaka kukurupuka.
“Ahsante”
Gloria alijibu bila kuonesha furaha yoyote,hakufurahi ujio wa Nickson na Mama yake hata kidogo,moyoni alichukia kupita kiasi lakini alimuheshimu mama yake mkwe,hakutaka kuivua ngozi yake kwa wakati huo,ilikuwa bado mapema kuonesha makucha yake.
“Kaka habari yako,naona hatufahamiani,mimi naitwa Nickson”
Nickson alianza kusema na kumgeukia Mr.Zuma.
“Mimi niite Zuma,Zuma”
Wakapeana mikono na Nickson.
“Nickson”
Gloria akaita.
“Naaam”
“Huyu ni rafiki yangu,nitakuambia kila kitu tukiwa nyumbani”
Gloria alimuwahi Nickson na aliongea ivyo kwa makusudi yake binafsi.
“Sawa,naomba mtoto nimbebe”
“Huyu hapa,mchukue”
Nickson moyo wake ulifurahi, akakaa juu ya moja ya kitanda huku akiwa na kichanga mikononi mwake, pembeni alisimama mama yake mzazi akionesha furaha ya ajabu baada ya mjukuu wake kuliona jua.
“Hongera sana”
Mama naye akatia neno,Muda wote Gloria alionesha sura yenye wasiwasi mno.Mr.Zuma ilibidi atoke nje ili awape faragha.Hakuna kilichozungumziwa zaidi ndani Ya wodi hilo isipokuwa Gloria kupewa Hongera nyingi,Licha ya hapo Nickson alimuhaidi Gloria zawadi kubwa mno siku za usoni.
Siku zikaenda huku wakihangaika kutafuta jina la kumpa mtoto, wote wakahafiki kwamba mtoto aitwe Sonia.
“Kwahiyo umekataa aitwe Brenda?”
Nickson alimuuliza Mke wake siku hiyo wakiwa nyumbani baada ya kuruhusiwa.
“Aitwe Sonia,Sonia ndiyo jina zuri lina swaga”
“Duu! Swaga tena”
“Ndio,au hujui maana ya swaga?”
“Naelewa lakini sielewi hilo neno umelitoa wapi”
“Jamani,si nasikia kwa watu”
Sonia alipendwa kupita kiasi,hasa hasa na Nickson, baba yake.Alikuwa akilia kidogo moyo unamuua mno.
****
“Ng’aaaa ng’aaaaaa”
Mtoto alilia usiku wa saa tano.Siku hiyo Nickson alichelewa kutoka kazini, kutokana na kesi nzito kumkabili alikuwa amekodiwa kama wakili, hivyo kutetea kesi nzito ya mauji iliyokuwa ikimkabili Mwanamke tajiri wa kireno aliyekutwa na kesi hiyo, Nickson alikuwa bize siku mbili mfululizo na kusababisha arudi usiku sana na wakati mwingine kurudi asubuhi kabisa,kitendo cha kushinda kesi hiyo angeipa Mahakama jina kubwa sana na hilo ndilo alilotaka litokee na ndiyo maana hakutaka kulala hata siku moja akitaka kuipa jina Mahakama ya kisutu.
Kitendo hicho kilimpa mwanya kwa Gloria kufanya sterehe zake, Nickson akitoka basi nayeye hufuata nyuma,Mama alilishuhudia hilo lakini hakupata muda wa kuzungumza na Mwanaye Nickson sababu ya kurudi usiku.

Sonia alilia sana mpaka kichwa chake kikabadilika rangi,Gloria hakujali yeye alikuwa akivaa nguo ili atoke usiku,alimtizama tu mwanaye wa kumzaa na kumpuuzia.
“Nawewe funga bakuli lako,unalia lia nini,ovyoo”
Gloria alisema maneno hayo kwa mtoto ilihali hakuelewa lolote,alikiendea kioo na kutafuta wanja ulipo,alichukua mascala na kutinda nyusi,akachukua poda akapaka usoni, mwisho akaweka na ‘Make up’kinguo kifupi alichovaa kilionyesha nusu ya maumbile yake,mgongo wake ulikuwa wazi,hakutofautishwa na wanawake machangudoa wanaojiuza.
Mr.Zuma alishampigia simu kuwa wakutane siku hiyo waende disco kucheza mziki.
Gloria hakujali kuwa ana mtoto mdogo mwenye kuhitaji malezi na maziwa ya mama, yeye aliona anayoyafanya ni sawa,hakuumia roho hata punje.Ili kumzuga Mama Yake mkwe akambeba Sonia na kuanza kumnyonyesha Maziwa haraka haraka,Sonia alinyonya maziwa mpaka akalala na Gloria akamlaza kitandani.
Akafungua mlango wa chumbani taratibu ili atoke nje,akanyata kwa hatua za paka au kama mtu aliyekuwa anataka kuiba,akapita mpaka seblen lakini alivyofungua mlango wa Seblen akakutana na Nickson uso kwa uso nayeye anaingia,hiyo ikawa ni mara ya pili kukutana kwa namna hiyo.
“Vipi mwenzangu usiku usiku?”
Nickson aliuliza huku akiwa amepigwa na butwaa anamtizama mke wake aliyetoka kuzaa siku chache zilizopita.Nguo alizotupia zilimuogopesha zaidi.
“Wewe mbona una kuwa kama mchawi,kila nikitaka kufanya mambo yangu unatokeza,au mwenzangu machawi?”
Gloria aliongea akionesha chuki na badala ya kujibu aliuliza swali.
“Gloria unaenda wapi sasa hivi?”
“Wacha kuniuliza maswali yasiyokuwa na miguu wala kichwa,hivi kwa akili yako jinsi nilivyo vaa hivi kwa akili ya kawaida hujajua ni wapi naenda,naenda kuruka majoka”
“Majoka?Majoka ndio nini?”
“Naenda kuwashuhudia Twanga Pepeta”
“Gloria”
“Naomba nipite basi,mtoto yupo ndani,akilia utampa nyonyo”
Gloria aliongea akiwa siriazi.
“Hii tabia tena umeianza lini?ulishasahau maneno ya mchungaji?licha ya yote umetoka kuzaa tu juzi”
“Embu nipishe wewe mi….”
“Pii piiiiiiiiii”
Kabla ya Gloria kumalizia sentensi yake,mlio wa honi wa gari ukasikika, ukamfanya na Nickson naye afungue mlango akijua wenda ni marafiki zake,kumbe haikuwa ivyo, lilikuwa ni gari ambalo hakuwahi kuliona kabla, lilikuwa ni BMW x5,akajaribu kuvuta kumbukumbu ni rafiki yake gani anatumia gari ya gharama kiasi hicho, lakini hakupata jibu la swali lake.
Mpaka Gloria alipomsogeza na kumpita Nickson, akaingia ndani ya BMW x5 ya rangi nyeusi na vioo vilivyokuwa vigumu kuwaona watu waliokuwa ndani yake.
“Tuondoke Zuma,binamu yangu mnoko sana hapa hakutaka nitoke,sijui yupoje”
Gloria aliongea bila aibu akiwa ndani ya gari na Mr.Zuma,na hivyo ndivyo Mzee huyu alijua, kuwa Nickson ni Mtoto wa Shangazi yake,na aliishi hapo kwa kunyanyasika,kumbe ilikuwa ni danganya toto na alitaka tu tiketi ya kurudi Afrika Kusini.
Angewezaje kuondoka bila kudanganya?
“Zuma twende baby”
Mr.Zuma hakuwa na tatizo kabla ya Nickson kulifikia gari akawa ameliondosha kwa kasi isiyo ya kawaida.
“Sasa itakuwaje ukirudi nyumbani?”
Mr.Zuma akamuuliza Gloria huku akiwa kwenye usukani anaendesha gari.
“Wananinyanyasa sana,yeye na shangazi yake kisa Mimi yatima, Mume wangu kanikimbia,nakupenda zuma naomba usije kunikimbia”
Hata ungekuwa mwanaume mjanja kiasi gani usingeweza kuamini kuwa Gloria anapiga fix,kwa asilimia mia moja Mr.Zuma alimuamini na kumuonea sana huruma,akimuhaidi kuwa ataishi naye kwa hali yoyote ile,
alishajitolea kumsaidia, alishindwa kuelewa mwanamke huyu Mzuri kwanini akimbiwe na mwanaume.Gloria akafanikiwa kununua wema wa Zuma.
**
Bado Nickson alikuwa ni mtu asiye amini kile kilichotokea mbele ya macho yake,aliweka mikono yake kichwani na kuchuchumaa chini,alishindwa kuyazuia machozi yaliyokuwa yanamtoka na kulowanisha mashavu yake,ndoa yake ilishaanza kuwa chungu kwa mara nyingine,moyo wake ulimuuma kupita kiasi,kamwe hakuamini kuwa ndiye huyo mwanamke aliyemtoa kijijni Mwika amechoka,yeye mwenyewe ndiye aliyemleta mjini na kumpamba leo hii ndiyo yalikuwa malipo.
Jambo lililomshtua kutoka kwenye mawazo ni mkono uliowekwa begani kwake.
“Nickson nini tatizo mwanangu?”
Mama yake ndiye alitokeza kwa nyuma,akauliza kwa simanzi.Haraka Nickson kabla ya kugeuka nyuma akafuta machozi yake akitumia viganja vyake,ili Mama yake asielewe kilichotokea, hakuwa tayari kuweka kila kitu chake wazi.
“Hakuna kitu mama napunga punga tu upepo hapa,ndani kuna joto sana”
Nickson alisema kwa sauti iliyochanganyika na machungu,akakohoa kidogo ili kuweka sauti yake sawa.
“Nickson Mwanangu”
“Naam Mama”
“Kuna tatizo kubwa unalo baba,naomba uniambie kitu gani kilitokea, nini umemfanya Gloria mpaka anaondoka usiku wote huu?ndiyo maisha mliyokuwa mnaishi haya,nambie baba angu,bado mapema”
Mama aliongea kwa uchungu,tabia za Gloria zilimchosha na alitaka kuufahamu ukweli.

 Historia aliyohadithia Nickson ilikuwa ya kuumiza moyo mno,alishindwa kuyazuia machozi yake yaliyokuwa yanamtoka na kumbubujika mashavuni.Mama yake alijikaza ili amfariji, hata yeye alimuonea huruma,Nickson hakuacha kitu chochote, kila jambo baya alilofanyiwa na mke wake aliliweka wazi alishindwa kuwa mwanaume,Mbali na kuwa huyo ni mama yake upande mwingine wa shilingi alikuwa ni rafiki yake wa karibu,Nickson alimpenda Mama yake kuliko baba yake na kila kitu kilichokuwa kinatokea ilikuwa ni lazima amueleze mama yake kabla hakijafika kwa Baba yake.

Siku zote mtoto hakui kwa mama yake,alinyanyuliwa na mama yake akiwa bado analia kwa uchungu, wakaingia mpaka ndani ili waongee vizuri!
“Mwanangu usilie,ipo siku atakuja tu na atakupenda,mvumilie, hayo ndiyo mambo ya ndoa, sisi wakristo tumefundishwa kusamehee,hilo ni pepo tu linamsumbua”
Mama alijaribu kumfariji mwanaye akiwa pembeni yake amemshika bega, lakini Nickson yeye hakunyamaza aliendelea kulia machozi.Mama akawa na kazi ya kumbembeleza mwana wala hakuchoka.
“Mama inauma,nampenda Glori…a nampenda sana,kwani..ni anifanyie hivi lakini”
“Ndio naelewa jua kwamba atarudi na ipo siku moja atakuja kukuomba msamaha,vumilia mwanangu,hata siku ile mchungaji alivyowafungisha ndoa alisema kuwa mtapendana kwenye shida na raha,inakubidi uwe jasiri na haina haja, mambo yako ya ndoa kila mtu ayajue”
“Ahsante mama yangu”
“Mimi nitakuombea kwa Mungu najua yote yatakwisha siku moja,huyo ni shetani tu na mapepo ambayo kwa Yesu wetu kristo yatashindwa, nachokuomba uzidi kusali usiache kwenda kwenye maombi hata siku moja,iombee ndoa yako,ivyo ndivyo tulivyoishi hata na Baba yako,ndiyo maana unatuona mpaka sasa hivi tupo pamoja”
“Kwahiyo ipo siku atabadilika?”
Nickson akauliza akiwa na matumaini.
“Ndio atabadilika tu,zidi kumuonesha upendo wa kweli”
“Sawa Mama”
Maneno ya mama yakawa yamemuingia akilini, Nickson akaacha kulia.
****
Gloria hakuwa na habari yoyote tena usiku huo ,ndiyo kwanza alikuwa akicheza katikati ya ‘dancefloor’huku mkononi akiwa na kipande cha sigara na chupa ya wisky, maisha kwake yalikuwa ya raha mustarehe,alikuwa amelewa pombe na hakua anajua kuwa amemuacha mtoto mdogo nyumbani.
Alikuwa akikatika viuno akiyumba kutoka huku kwenda upande ule,uzuri wake ukawa gumzo lingine ndani ya club, kila mwanaume aliyemuona alimkata jicho la matamanio,
kinguo alichovaa kilizidi kuwatamanisha vijana wengi waliokuwa wakicheza mziki katikati,ulikuwa ni usiku wa saa sita, taa za rangi rangi zilizokuwa zikimulika zilimfanya azidi kung’ara.Yeye Mr.Zuma alikuwa amekaa kwenye masofa anakunywa pombe na kuvuta sigara.
“Dada naomba tucheze mziki”
Kijana mmoja wa makamo aliyevalia hereni masikioni na kofia alimuongelesha Gloria akiwa nyuma yake baada ya kuvumilia kwa muda mrefu.
“Hapaaaaana nina mtuuuu tafuta mtu mwingine kaka yangu, nipo na Bwanaaa angu”
“Poa tu,tunacheza kidogo,nitafurahi sana”
Kijana alizidi kusisitiza huku tayari akiwa amekishika kiuno cha Gloria,taratibu akamsogelea karibu kabisa na mikono yake akawa ameiweka kiunoni kwa Gloria, akawa yupo nyuma yake,wamebanana kabisa hata ungejaribu kupitisha kiwembe kisingepita kwa jinsi walivyokuwa wamenatana kama gundi.
Mziki uliendelea kuchezwa huku mkono wa kijana huyo ukizidi kupita taratibu mwilini mwa Gloria,
ukapita tumboni kwenye kitovu cha Gloria taratibu,mpaka hapo mkono haukutolewa, Kijana akazidi kupandisha mkono wake,mpaka juu ya Maziwa hapo alipitisha mkono ukagusa chuchu za Gloria.Hapo ndipo udhaifu wa Gloria ulikuwepo, ilionekana kijana huyu alikuwa mtundu kiasi,hakuchelewa hapo hapo akiwa nyuma yake alianza kumnyonya shingo,kidogokidogo akamsogeza mpaka kwenye kona gizani yaani chobingo!
kama umeme akamzungusha na kumuendea mdomoni,kutokana na pombe alizokuwa amekunywa Gloria na kuchanganya na kushikwa sehemu za msisimko kwenye mwili wake,alishindwa kabisa kushindana na hisia hizo,akasahau mtu aliyemleta, akajikuta yupo mikononi mwa kijana mdogo ambapo walianza kulana denda kwa fujo,kijana akazidi kumnyonya Gloria mdomo bila kusita huku mkono wake mmoja akiwa ameupitisha chini na ukapachua chupi ya Gloria na kupenya mpaka chini ambapo ulikutana na nyasi fupi fupi,kila Gloria alipoguswa chini aliumia.
“Mhhhh”
Gloria aliguna huku akijaribu kuutoa mkono wa kijana,kwa mbali alisikia maumivu kutokana na siku chache alizotoka kuzaa.
“Naitwa Adaaaaaaaam,sijui mwenzaangu wanakuitaje mrembo?”
Kijana alijitambulisha huku akiwa amemuweka Gloria ukutani vizuri,msichana huyu alimzidi umri lakini yeye hakujali hilo.
“Mhhhh mimi?”
“Yap,jina lako nani?”
“Gloriiiiiia”
“Naomba namba zako za simuuu basi”
Kijana aliomba namba,Gloria akawa ana kazi ya kumtajia bila matatizo yoyote yale.Katika kupiga jicho lake pembeni alimuona Mr.Zuma anamtafuta huku na kule,moyo wake ukaogopa endapo Mr.Zuma angemkuta hapo hakuelewa ni jambo gani lingetokea,hakutaka iwe ivyo, akachomoka kwa Adam na kuingia chooni.Alivyotoka akajifanya alikuwa chooni na tumbo linamsumbua.
Saa moja asubuhi ya kesho yake ndiyo alirudi nyumbani akiwa ananuka pombe na harufu ya sigara mdomoni,akajitupa kitandani bila kuvua nguo,Nickson kwa kuwa alikuwa yupo bafuni anajiaandaa,alimvua nguo zote na kumlaza vizuri mke wake bado alikuwa na mapenzi naye,alisikitika moyoni lakini aliamini kuwa,ipo siku Gloria atakuja kubadilika na kuja kuwa mke mwema.
*****
Maisha yalizidi kusonga mbele, Nickson akawa anafanya kazi kwa bidii,jukumu la kumlea mtoto wao akalichukua yeye mwenyewe,SONIA alikuwa bado mtoto mdogo sana na alitakiwa kunyonya maziwa ya mama yake, lakini Nickson alikuwa akimpatia maziwa ya kopo kutokana na Mama yake kutoshinda nyumbani,yeye ndiye akawa mama.
Alimpenda sana Sonia na upendo wote ukaamia kwa mtoto wake mchanga, akawa hana habari tena na Gloria,mambo yote akamuachia Mungu.
“Nickson mwanangu”
Mama alimuita mwanaye siku hiyo usiku wakiwa mezani akiwa ana mpa mjukuu wake maziwa ya kopo.
“Naam Mama”
“Mimi naondoka kesho kutwa,sasa huyu mtoto inakubidi umtafute msichana wa kazi,kama unavyoona hali ilivyokuwa,hata mwezi mmoja bado hajafikisha”
“Sasa nitampata vipi Mama?”
“Subiri,nina rafiki yangu yupo Mwanza nina imani atanisaidia,kesho nitaongea naye afanye huo utaratibu mara moja,ili mimi niondoke siwezi kukuacha hivi”
“Sawa Mama nitafurahi sana”
Alishauri Mama yake na Nickson akamuunga mkono,kesho yake simu ikapigwa Mwanza kwa Mama Happy ili aanze kufanya mipango ya msichana wa ndani,bahati nzuri alipata na nauli ikatumwa siku hiyo hiyo ili msichana huyo aweze kufika jijini Dar es salaam kesho yake.
****
“Hapa ndiyo jikoni,hili ni jiko la gesi unawasha hivi..njoo huku ni stoo,hiki ndiyo chumba chako”
Nickson ndiye alikuwa anatoa maelekezo ya ziada kwa msichana wa kazi aliyefahamika kwa jina la Rukia,alikuwa ni msichana mdogo wa umri,mfupi kiasi maji ya kunde,nyuma alikuwa amebinuka na makalio yake yakachomoza kwa nyuma, alikuwa ni msukuma,wakati Nickson akiwa anatoa maelekezo yeye alikuwa nyuma yake akimfuata na kuyasikiliza kwa umakini.
“Umeelewa lakini Rukia?”
Nickson alimgeukia na kumuuliza.
“Ndio Baba”
Msichana alijibu kwa heshima akipiga goti moja chini,Nickson akashangazwa na adabu hiyo ya hali ya juu!
“Na huyu ni mtoto wangu anaitwa Sonia,sasa hapa ndiyo unisikilize kwa umakini au tega sikio lako kwa maana nyingine”
“Ndio Baba”
“Unaona hii chupa ya maziwa,angalia hapa kuna namba utakuwa unaweka maziwa hapa,ukishaweka utaweka chupa kwenye maji ya uvugu uvugu”
“Hili lichupa Sasa?”
Rukia aliuliza kwa rafudhi ya kwao.Akitaka kuelewa zaidi.
“Sikiliza,unaweka hii chupa ndani ya maji yenye uvugu uvugu,yakipata moto kidogo ndiyo unampa,vitu vingine nitakuelekeza taratibu taratibu sasa hivi kapumzike,na huku ni bafuni utaingia kuoga hiki ndiyo chumba chako kama nilivyokwambia”
Maagizo aliyotoa Nickson yakawa yameeleweka vizuri,Rukia akaingia chumbani akabadili nguo na kuingia bafuni kujimwagia maji ili atoe uchovu.
Mara ghafla akasikia mlango wake unagongwa,akavaa kanga hata kabla hajajikausha vizuri akafungua mlango.Alijisikia aibu sana baada ya kuona sura ya Nickson mbele yake,akatetemeka mpaka kanga yake ikadondoka chini akabaki kama alivyozaliwa!


*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)

0 comments:

Post a Comment

BLOG