Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

MCHACHUKO SEHEMU YA 3/10



MCHACHUKO
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 3 KATI YA 10
*******
 *******


Akitumia kidole cha kati kati alizidi kukipapasa kidude hiko taratibu mno huku akiwa kifuani akinyonya maembe mawili tena kwa zamu,

alitoa ulimi wake nje na kuanza kucheza taratibu kama nyoka na kuinyonya shingo ya binti huyo, alijua ni jinsi gani mwanammke huyo sasa anapata tabu sababu ya kumuona anavyohangaika, ilikua ni zamu yake kumtesa yeye kwa wakati huo.
“AAhhhhhh mmmmmh aaaaishhhhhhaaaaaishhhhh”
Hizo ndizo kelele alizokua akipiga Mourine akiwa amelala chali juu ya kitanda hajiwezi tena, Adrian Alisha lijua hilo na kuzidi kupeleka majehi majeshi,
alikua kama ananawa vile, hakukaa hata sekunde tisa taratibu aliteremka chini na kuanza kudeki bahari akitumia ulimi wake huku bado mkono ukiwa juu ya maembe bolibo ukizidi kubinya binya ili kujua kama yameiva au bado,
Mambo yalikua yakiserereka sasa kama gari kushusha kwenye mlima na tayari sasa IKULU ya Mourine ilikua imevaa koti jeupe,
hakutaka kuishia hapo licha ya yote hayo kutokea! Alizidi kudeki bahari mpaka hapo alipoanza kushikwa kichwani akikandamizwa ndani yake na kujua teyari uchimbaji unaanza Mourine alilala mika sana huku akitoa sauti za puani,
sekunde mbili alianza kutetemeka na kuibana miguu yake huku akizidi kulitaja jina la Adrian hapo ndipo nguli huyu alipoipanua na kuvaa zana za maangamizi haraka haraka kama chizi,
Baaada ya hapo kilicho fuata ni kuvunja amri ya sita juu ya kitanda hiko!.
***

“za ASUBUHI BOSI! unahitajika ofisini sasa hivi, kuna watu wanakuhitaji hapa wamesema ufanye haraka sana”
Ulikua ni ujumbe wa simu kutoka kwa Martha secretary wake baada ya kuwasha simu asubuhi hiyo aliutoa mkono wa Mourine kifuani mwake na kukaa kitako akiwa bado yupo bila nguo!.
Na kuanza kupiga simu kwa sekretari wake ili ajue ni jambo gani hilo la muhimu.
“bosi ni maaskari wana sema uje”
Upande wa pili ulisikika
“wapo hapo ofisini?”
“ndio bosi”
“waambie nakuja sasa hivi nipo njiani kuna foleni”
Baada ya kukata simu alinyoosha mpaka bafuni na kujimwagia maji, kitandani bado Mourine alikua amelala chali haelewi kinachoendelea, hakutaka kumsumbua alivaa haraka haraka na kubeba funguo za gari tayari kwa safari.

Baada ya dakika arobaini alikua kasha fika ofisini kwake na kuwa kuta maaskari wanne ali wakaribisha mpaka ofisini kwake.

“unajua kuwa leo ndio siku ya ile kesi?”
Askari mmoja mweusi tii aliongea huku akikaza macho yake
“ndio afande”
“sasa ina kuaje?”
“hakuna shida nitaenda”
“sikia bwana mdogo embu kunjua mkono huo , usiji sumbue eeh bwana!”
Alidakia askari mwingine huku akijichekesha na kukenua meno yake. Kwa Adrian alikua teyari kasha elewa ni kitu gani ana takiwa kukifanya hapo,
hata yeye hakutaka kabisa kwenda kusimama kizimbani aliogopa sana kitu hiko alijua hiyo ndiyo fursa pekee,
Alivuta Droo na kutoa maburungutu ya pesa.
“sasa hizi mtagawana wakubwa, kamata hizo kila mtu laki mbili mbili. Kama kuna tatizo lingine msisite kuni pigia simu”
Hapo ndipo maaskari hao walipoondoka na kushusha pumzi ndefu sana, alimuita Martha ili amletee kahawa. ndani ya dakika chache teyari ililetwa na Martha kuketi juu ya meza.
“Adrian nime kumisi”
Alisema Martha huku akirembua macho yake na kujilegeza
“ahsante!”
“kwani wewe huja nimisi jamani?”
“ndio maana nimesema ahsante, naomba kaendelee na kazi”
Hakutaka mazungumzo au mazoea na mwanamke huyo tena Alisha mchoka sasa, sifa alizokua akimpa hapo nyuma siku zilizopita hakumpa tena sababu tu kasha iona nguo yake ya ndani,
“lakini…..! sawa wacha niende”
Martha aliitikia kwa shingo upande na kuondoka zake.
.Mawazo tele yalikua yakimjia juu ya akili yake kilichokuwa kina mtesa ni mwanamke Jaqlin aliye muona ndani ya ofisi za NSSF,
bado alikua akimuona ndani ya akili yake kila kukicha hakuacha kumuwaza, hata yeye hakujua ni kitu gani kime tokea, alisimama na kuchukua funguo zake za gari na kutoka nje,
aliingia ndani ya gari na safari ya kwenda Mabibo Hostel kuanza ili tu kwenda kumuona msichana huyo aliye kiri kuwa ni mzuri sana.
Aliweka gari uwanjani baada ya kufika na kushuka moja kwa moja alipandisha mpaka hostel za wasichana na kugonga mlango wa chumba hiko,
Aliye mfungulia mlango alikua ni Fetty na kumkaribisha chumbani kwao, lakini alipopiga jicho hakumuona Jaqlin ilibidi amuulizie sababu hiko ndiko kilicho mpeleka mchana huo.
“hayupo ila yupo njiani sasa hivi anarudi kutoka kampasi”
Alijibu Fetty
“lakini si naweza nika msubiri?”
“bila shaka pumzika tu, una tumia kinywaji gani?”
“hapana usijali nipo sawa, una album niagalie angalie?”
Fetty hakua na tatizo lolote lile alifungua begi kubwa na kutoa album ya picha na kumkabidhi Adrian ili apitie pitie picha akiwa ana msubiri Jaqlin,
Haikupita hata dakika mbili jaque alitokea na kumsalimia Fetty bila ya kumsalimia Adrian.
“ayaaaaaa! Fetty nimesahau pochi yangu kwenye gari ya Matthew, ngoja niwahi”
Alirudi mbio mbio na kutoka nje,
Adrian hakuona haja ya kukaa tena ndani humo aliinuka na kuaga kisha kuondoka zake, ila alipo fika nje moyo ulimuuma sana baada ya kumuona Jaqlin yupo ndani ya gari na mwanaume, tena wakipigana mabusu ndani ya gari hiyo ya gharama RANGE sport nyeusi,
Macho yake yaligongana na Jaquee na kumuona tena ana msogelea mwanaume huyo na kunyonyana ndimi zao, alijua dhahiri ilikua ni makusudi, aliji kuta moyo una muuma sana kupindukia.


MTUNZI EMMANUEL F. KWAY

****
Chakula kili kua hakipiti tena mdomoni, picha ya mwanamke mrembo jaqlin aliye kiri kuwa ni mzuri ndiyo ilikua ndani ya medulla oblongata yake,
kitu kingine kilicho mshangaza ni juu ya msichana huyo kutompa nafasi hata ya kukaa na kuongea nae, hapo ndipo aliona kuwa ana faa sana na kuwa mke wake wa maisha, neno ndoa ndilo lilikua ndani ya akili yake na wala sio kitu kingine,
licha ya kuwaza hayo yote hakuelewa amfate kwa njia gani, aliweka kijiko cha kwanza kinywani cha pili lakini cha tatu hakuweza tena usiku huo,
Alitembea ,mpaka chumbani na kujimwagia maji na kujitupa kitandani, katika akili yake bado alizidi kumfikiria Jaqlin kila sekunde aliji geuza kila upande lakini usingizi haukuweza kumchukua mpaka kuna kucha, kweli alikamatika kabisa,
Asubuhi na mapema aliwasha gari mpaka Sinza kwa Felister alivyofika tu ili bidi amuelezee shida yake akiomba msaada kwa binamu yake huyo sababu njia zote alizo tumia kutupa mawe zilishindikana.
“eeeh eeh eeh Adrian usinieleze huo upuuzi, sitaki kusikia hata kidogo, ishia hapo hapo, sitaki kabisa”
Alifoka Felister baada ya kukumbuka kuwa alishawahi kubakwa kwa sababu tu ya kumuunganishia wanawake Adrian, bado alikua na kumbukumbu hizo kichwani mwake
“Felister huyu msichana nataka nimuoe”
“yaani hata useme nini, ndio nimemaliza ivyo”
“Felister nisikilize wangu!, nipo chini ya miguu yako”
“sitaki ADRIAN embu nenda tu, mengine nitakusaidia ila ukitaka wanawake tongoza mwenyewe”
Kila aliloliongea Felister alilimaanisha na kumfanya Adrian ashindwe kutengua msimamo aliokua nao mwanamke huyo.

**
“Jaqlinnn, Jaqliiiin, njoo njoo njooo”
“kuna nini?”
“wewe njoo, njoo nje”
“jamani Fettty niambie,mbona ivyo?”
“vaa nguo upesi twende”
Fetty alizidi kupiga kelele akimharakisha ndugu yake huyo aweze kuvaa haraka haraka kwani kuna jambo anataka akamuoneshe nje,
alimvuta haraka haraka na kushuka ngazi hata yeye ndani ya moyo wake alishindwa kuelewa ni nini kilimfanya ndugu yake amvute kiasi hiko,
alijua tu ni lazima kutakua kuna jambo la muhimu, walishuka ngazi haraka haraka lakini alisua kidogo, baada ya kutoka nje na kumuona Adrian yupo mbele ya gari AUDI huku nyuma ya gari hilo kuna gari aina ya MARCEDEZ BENZ mpya haina namba za usajili,
hakuelewa nini kinaendelea, alimgeukia Fetty na kumkata jicho kali.
“Jaqliin!”
Aliita Adrian na kutabasamu, aligeuka nyuma na kumuita dereva aliyekuwa anaendesha gari hiyo benz na kumuomba funguo za gari.
“hili ni gari lako kama zawadi tu, naomba upokee”
Alizungumza Adrian huku akining’iniza funguo hizo za gari na kusubiri jibu,
alishampenda sana mwanamke huyo ki ukweli, ndani ya moyo wake alikua hajiwezi kabisa, njia zote alizo tumia zili gonga mwamba hazikuzaa matunda na kuamua kumnunulia gari ndogo saloon ya kutembelea hapo chuoni.
Fetty aliye kua mbele alimkanyaga Jaqliin ili aweze kupokea zawadi hiyo ya gari kutoka kwa Adrian .
“No ahsante sana!”
Kauli hiyo ndogo kutoka kwa Jaqlin na kurudi hostel ili kata maini ya Adrian na kumfanya aishiwe pozi hakutegemea hata yeye,
wana funzi wa kike waliokua karibu walibaki kuyatoa macho yao, hata wao walimshangaa sana Jaqlin kwa kitendo alichokua kakifanya cha kukataa usafiri huo wa gari.
Chuoni ilishaanza kuwa stori kila msichana alimlaumu Jaqlin kila mtu alimzungumzia mwanamke huyo
“eti kakataa gari, atakuja kujuta”
“mmmh mwenzangu, shutuuuu!”
“au anajionaje,. Mimi nataka namba ya Yule mkaka ili nimuoneshe, yeye si kamkataa?”
“subiri namba nita ipata tu shoga angu ”
Hayo ndiyo yalikua mazungumzo kati ya Natu na rafiki yake hapo Hostel kwao, kila mtu alimtolea Udenda Adrian
**

Mapenzi tele alimuonesha Mathew aliamini kuwa huyo ndiye mwanaume wake pekee na ndiyo huyo alikua akimpa jeuri hapo chuoni na kufanya awakatae wana ume wote hapo chuoni na sehemu nyingine zote,
Alisha fika tayari Masaki kwenye jumba kubwa la Mathew, baada ya Jaqlin kugonga geti alifunguliwa na mlinzi na kumkuta Mathew akiwa seblen ametanda juu ya sofa.
Pale pale alimrukia na kuanza kunyonyana midomo yao.
“baby wait leo nataka nikupikie ufurahi,”
Alizungumza Jaqlin kisha kusimama kwenye sofa na kunyoosha mpaka jikoni, aliandaa kila kitu na kupika baada ya chakula kuiva alikitenga mezani tayari kwa kula.
Kabla ya kuanza kula simu Ya Mathew iliita ilionekana kuwa ni simu ya dharura kwake, simu ambayo ina muhitaji ofisini mara moja, baada ya kukata simu alimgeukia Jaqlin na kumuelezea kile alichoambiwa.
“lakini mpenzi si ungekula kwanza ,nime kupikia chakula ili ule, nime kuja kwa ajili yakoleo”
Aliongea jaquee kwa unyonge na sauti ya chini ya upole
“baby sikia, nakuja sasa hivi nisubiri sasa hivi”
Aliaga Mathew na kumpa busu kisha kuanza safari yake haraka haraka akitoka nje ya mlango.
“poa baby take care”
Aliitikia kwa unyonge sana ila hakutaka kuonesha hali yoyote ile ya kukasirika, hakuona haja ya kula chakula alilala juu ya sofa kwa muda mrefu sana, alivyo shtuka ilikua isha fika jioni saa moja, alitoka nje na kumuulizia mlinzi wa getini kama Mathew alisharudi.
“bado hajarudi dada angu”
Jibu hilo lilizidi kumkata maini na kumfanya achoke mwili mzima.

 Alishindwa cha kufanya mawazo yote aliyahamisha kwa msichana mdogo mwenye uzuri asilia Jaqlin, hata yeye alikiri kuwa kasha kamatika, ila mpaka wakati huo hakujua ni mbinu gani atumie. Alisha jaribu kumpa mpaka zawadi ya gari lakini hakuweza kumnasa, jambo ambalo halikua la kawaida kwa mwanamke yoyote kuka taa kitu kama hiko,
akiwa ofisini kwake ameinamisha kichwa chake akiwa mbali kimawazo, hakuweza hata kuisikia simu ya mezani iliyokua ikiita mfululizo,!
Hata mlango wa ofisini kwake ulipo gongwa hakuusikia, hii yote ni kutokana na mawazo yaliyo jilimbikiza ndani ya kichwa chake na kuziba hata masikio yake.
“Bosi, Bosi!”
Aliita Martha akiwa anachungulia aliingia na kumtingisha.
“nakusikiliza”
Adrian aliitikia na kurudisha kichwa chake juu ya meza.
“kuna mgeni wako”
“mwambie nipo bize leo, sitaki kuonana na mgeni yoyote Yule”
“Ni Yule mkandar…..”
“Martha Kiswahili hauelewi au?, toka ofisini kwangu sitaki kuonana na mtu yoyote yule”
Adrian alifoka kwa sauti ya juu na kumfanya mpaka Martha aogope, hata yeye alijua ni lazima bosi wake ana matatizo makubwa sababu hakua katika hali ya kawaida kwa siku kadhaa zilizo pita hapo nyuma!
Lakini hakutaka kuuliza swali lingine lolote lile alitembea taratibu na kutoka zake nje.

Hakuna alicho waza zaidi ya kuinuka kwenye kiti baada ya kukumbuka Ofisi ya NSSF alipo mkuta Jaqlin mara ya kwanza, haraka haraka alivaa koti lake la suti na kuanza kutembea akitoka nje bila kusema chochote kitu na mtu,
alivuka bara bara na kuingia ndani ya lift, moja kwa moja mpaka kwa mzee mfupi kidogo mwenye mvi Emmanuel Kway, alikaribishwa na kuketi kiti cha kushoto cha wageni.
“shikamoo Mzee!”
Alisalimia Adrian
“marahaba karibu”
“ahsante sana”
“hivi Yule binti leo kafika?”
“binti yupi?”
“Yule jaqlin alikua anafanya field hapa kwako”
“ahaaa, mbona walishamaliza siku kama tatu zilizopita, vipi kwani?”
“hamna shida, hakuna tatizo”
Adrian hakutaka kufunguka na kuongea yaliyokua yana mtesa ndani ya moyo wake, walipiga stori za hapa na pale kuhusiana na biashara zinavyo kwenda na kuondoka zake.
***
BADO ALIENDELEA kumsumbua Jaqlin kila kukicha akienda mabibo hostel, lakini hakubahatika hata kumshika mkono, alikua akitolewa nje na kuambiwa maneno ambayo aliya vumilia, lakini ndani ya moyo wake aliamini ipo siku mwanamke huyo atamkubalia na waweze kuwa wapenzi lakini hakujua ni lini wala saa ngapi!.
“kaka, mbona una kua mgumu wa kuelewa, siwezi kuwa nawewe alafu ukome kuni tumia watu waje kuniambia upuuzi wako sawa, nielewe”
“naomba nisikilize japo kidogo, nielewe jaqlin”
“nishakusikiliza, nimekuelewa,SIKUTAKI wanawake mbona wapo wengi”
Alimaliza msichana huyo mwenye msimamo ambao hata kwa Adrian ulimshangaza sana, alitembea kinyonge sana mpaka kwenye gari lake.
“kaka samahani!”
Sauti ya kike ndiyo iliyo mshtua alivyo taka kuwasha gari, na kufungua mlango ili amsikilize vizuri,
Weupe kiasi midomo mipana na unene wa wastani wa mwanamke aliye muita uliendana na suruali ya jeans aliyo ivaa na kumbana na kufanya kwa pembeni vitokee vitu kama vibastola,
“naitwa Natu!”
Alisalimia mwanamke huyo huku akitoa mkono wake lakini Adrian hakutaka kutoa wake.
“niambie kilicho kufanya uniite”
“aaaaah well, nataka nikusaidie kumpata Jaqlin, ni simpo sana”
“umesema unaitwa Natu, ingia ndani ya gari kwanza”
Hiyo ndiyo nafasi aliyokua akiisubiri aliingia ndani ya gari haraka haraka na kuanza kumuhakikishia Adrian kuwa atafanya juu chini ili ampate Jaqlin, Moyo ni kichaka hakuelewa kuwa mwanamke huyo alikua anataka kumsogeza karibu.
“sasa kaka, niachie namba zako, tuwe tuna wasiliana”
“sawa subiri, nipe simu yako”
Adrian baada ya kupewa simu aliisevu namba yake kisha kumruhusu Natu akalale sababu usiku ulikua umesha ingia tayari nayeye kuondosha gari.
***
“oyaa inakuaje?”
“poa Hans”
“upo wapi mwana?”
“nipo job”
“oya sasa sikia, kuna party mwanangu leo saa moja jioni”
“wapi hapo?”
“huku Afrikana, kuna birthday party kuna watoto wa kumwaga, ni cheche, kama vipi ukitoka job nipitie hapa Buguruni twende”
“mimi sitoenda,”
“aah aaah nakuomba twende”
“basi poa, nipigie tena baadae simu”
Yalikua ni mazungumzo kupitia simu ya mkononi hakua na raha kabisa ya maisha, kupenda kulisha mtesa bado roho ili muuma,
“MBONA SIMU ZANGU HUPOKEI HUNITUMII TENA MESEJI NINI TATIZO DEE”?
Ulikua ujumbe mfupi kutoka kwa Mourine.
“NIPO BIZE”
“SASA SIO KIIVYO”
“SIO KIIVYO NINI? NIPO BIZE NIELEWE”
“SAWA TU”
Alishindwa tena kufanya kazi zilizokua mezani kwake na kulala juu ya meza. Alilegeza tai yake na kuzidi kutafakari kabisa, kulala sasa ilisha kua tabu usiku kwake.
Kilicho mstua ni simu yake ya mkononi kutoka kwa Hans na kumfanya achukue koti lake baada ya kuambiwa kuwa muda umesha fika tayari ivyo aanze kujiandaa, alitembea mpaka kwenye gari na kuliwasha kwa safari moja tu kuelekea Buguruni kwa rafiki yake Hans,
“yananyima furaha, yanakosesha raahaa, yananyimaa furaha, yanakoseshaa rahaaa, tena usiombe kupenda ulio mpenda ajue, usiombe kupenda uliompenda ajue, amani utakosa karahaa jamanii eeeh, dunia chungu kufa utatamani eeeh……”
Nyimbo ya rafiki yake Nassibu(diamond) ndiyo iliyokua ikiimba, na kuamini kabisa hiyo nyimbo ina mgusa yeye
“jama mapenzi mabaya(kizaizai),waweza kugombana na ndugu rafiki akawa mubaya, kazi ukaziona chungu nyie mapenzi karaha”
Nyimbo hiyo ilizidi kumuumiza sana mtima wake, huku sura ya msichana Jaqlin ikiwa ina pita mbele yake,
Alifika buguruni Rozana na kumkuta rafiki yake Hans kasha vaa teyari, hapo waliondoka gari mpaka Afrikana, walikunja kulia na kusimama kwenye ukumbi,
watu walikua wengi kiasi,walishuka na kuanza safari ya kutembea
“happy birthday Jaqlin”
Maandishi hayo aliyasoma ukutani na moyo kumlipuka lakini hakutaka kujiwekea ndani ya moyo wake kuwa ni jaq msichana anayempenda sababu jaq wapo wengi,
Alitembea mpaka mbele hakuamini alichokiona moyo ulizidi kumwenda mbio baada ya kumuona Jaqlin mwanamke anaye mpenda, alihisi anatetemeka pembeni yake alisimama na mwanaume mrefu mweupe akiwa amemshika kiuno chake,
moyo ulizidi kumuuma hasa alivyo waona wanalishana keki kwa njia ya mdomo,alijikaza kisabuni alikosa raha kabisa lakini hakua na la kufanya,
“baby simu yangu inaita naenda kupokea nje”
Jaquee alimwambia mchumba wake na kutoka nje ili kupokea simu, Adrian hakutaka kumuachia nayeye alitoka nje ili kumfuata,
“jaqlin?”
Aliita Adrian kwa sauti ya chini.
“hee, nani kakualika?”
“naomba unisikilize”
“naomba niende, nimemuacha boyfriend wangu”
Ila alivyotaka kuondoka, Adrian alimshika mkono aki lazimisha kuongea nae, hapo ndipo Mathew alipo tokea akiwa amekasirika sana,
alimfuata Adrian na kumkunja shati bila kuuliza chochote alimtandika ngumi ya tumbo kishaa baadae ya usoni ilibidi awe mpole hakutaka kurusha ngumi hata moja. Jaquee aliyekua pembeni alinyamaza kimnya bila kusema chochote.
“jamani kuna Mwizi huku”
Mathew alipiga kelele huku akiwa amemshika Adrian shati lake, kitendo cha Dakika mbili watu walikua wamesha mzunguka Adrian na kuanza kumpiga na wengine kuokota mawe wakimpiga nayo.
“Mathew jamani sio mwizi huyo”
Jaqlin alijaribu kupaza sauti lakini ilishindikana kutokana na watu kuzidi kupiga kelele na kumshambulia kama mpira wa kona!
Chupa zilirushwa nyingi na kumchana Adrian usoni, sekunde chache uso wake ulikua umelowa damu nyingi, alivyo muangalia Mathew mkononi vizuri aliona saa yake ya ROLEX sababu ndani ya saa hiyo kulikua kuna jina lake lililoandikwa na vidude vya dhahabu,
lakini hakua na ujanja tena walisha mpiga sana bila huruma yoyote ile, hapo ndipo Mathew alipookota chuma na kumpiga nacho kichwani.
Maumivu aliyoyasikia hayakuweza kuelezeka kabisa damu zili mvuja kila sehemu ya mwili wake na watu kuzidi kuongezeka, kweli alipigwa sana mpaka kupoteza fahamu zake.


 “Paaa, paaaa”
Mlio wa mtutu aina ya SMG ndio uliwa sambaratisha watu waliokua wana mpiga Adrian mpaka kupoteza fahamu zake chini haelewi tena kinachoendelea damu nyingi zina mtoka mwilini, ni baada tu ya kumshika mwanamke Jaqlin aliyekua Mrembo na kusingiziwa kuwa ni mwizi, hapo ndipo walipoanza kumpiga, aliye muokoa Ni mlinzi aliyevalia jezi zake mwilini akiwa katika lindo kwenye ukumbi huo,
Na hiyo ndiyo ilikua ponea ya Adrian na sio vinginevyo
“kuna nini?”
Aliuliza mlinzi huyo akiwa kashika mtutu mkononi mwake akijihami.
“huyu ni mwizi”
Alijibu Mathew
“Kaiba nini?”
“simu na pesa zangu”
“sasa kwanini msinge mpeleka kituoni, huoni kuwa mtaleta kesi hapa akifia eneo hili?”
“ndio tunaelewa”
Kupitia Redio upepo mlinzi aliweza kuwasiliana na jeshi la polisi usiku huo huo waliokua patro na defender, walifika eneo hilo na kumkuta Adrian akiwa amelala hasemi chochote,.
“hiri rijambazi rime kufa au”?
Aliuliza afande Chacha mmoja wao akiongea rafudhi ya kikurya
“sina uhakika sana kiongozi”
“embu turifanyie utaratibu turipereke hospitali kwanza”
Hapo ndipo walimchukua na kumpakiza ndani ya Deffender, bado alikua amepoteza fahamu zake hasemi kitu chochote, walimpeleka mpaka hospitali chini ya uangalizi maalumu wa jeshi la polisi.
**
“lakini Mpenzi Yule hakua mwizi”
“achana nae”
“kwani atakua amekufa au?”
“jaquee ingia ndani ya gari tuondoke”
“siendi popote, kwanini umefanya ivyo lakini?”
“kwani unataka kusema nini?”
“sio kusema nini, sio vizuri”
“au ni bwana ako?”
“tueshimiane Mathew, ushaniona mimi Malaya?”
“basi ingia ndani ya gari”
Maneno yaliyokua yakitoka kinywani mwa Jaqlin yalimaanisha japo kua hakumpenda Adrian ila aliamini kitendo kilicho tokea muda mfupi uliopita hakikuwa kizuri na kupelekea mpaka sherehe yake ya kuzaliwa kuharibia,
yeye alihesabia kuwa Mathew ndiyo chanzo cha mambo yote, moyoni alisikitika sana na kuumia mno huku akionesha hasira zake za waziwazi kwa Mathew mchumba wake,
ndani ya gari walinuniana mpaka alipo mfikisha mabibo hostel hakuna hata mmoja aliye msemesha mwenzake,

Alishuka na kushika pochi yake na kutembea haraka haraka akimuacha Mathew huku nyuma akiita jina lake lakini hakugeuka nyuma hata kidogo,
hiyo ndiyo ilikua sifa ya mwanamke huyo akinuna huwa hapendi kuongea tena, alifika mpaka kitandani na kujibwaga huku akiwa na mawazo tele kichwani mwake.
***
Maumivu aliyo yasikia hayakuweza kuelezeka kwa maelezo hata kidogo, alihisi kichwa chake kizito mwili mzima una muuma kupindukia, bado alikua haja yafumbua macho yake na kujaribu kuvuta kumbu kumbu nini kilitokea mpaka akawa kitandani tena mwenye maumivu,
taratibu kumbukumbu zilianza kumrejea , alikumbuka mara ya mwisho alikua na msichana Jaquee kisha mwanaume kutokea na kumtandika ngumi na baada ya hapo aliitiwa mwizi na watu kuanza kumshambulia na vitu vingi, kufikia hapo hakuweza kukumbuka kilichoendelea,
Taratibu aliya fumbua macho yake baada ya kusikia sauti ya msichana akilia kwa kwikwi karibu ya masikio yake, aliitambua sana sura ya msichana huyo alikua ni binamu yake Felista akilia kwa uchungu sana,
dalili zilionesha kuwa hata yeye aliguswa kwa hali aliyo muona nayo ndugu yake akiwa na bandeji kichwa kizima na sehemu za usoni akiwa ameumuka kama hamira,

Damu ni nzito kuliko maji! Bado alihisi uchungu na kutaka kujua ni kitu gani kilicho mfanya mpaka Adrian yupo katika hali mbaya kiasi hiko,
Alichomoka mpaka mapokezi na kuuliza , hapo ndipo alipo shangazwa baada ya kuambiwa kuwa aliletwa hospitalini hapo na defender ya polisi wakimshuku kuwa ni mwizi.
“hapana sio kweli, mimi nakataa”
Alikataa kata kata Fiona huku akitingisha kichwa chake
“ndivyo ivyo, kilicho tusaidia kupata namba yako, ni baaada ya kumkuta na wallet mfukoni mwake ina karatasi, na hiyo karatasi ndiyo ilikua na namba zako, kwani wewe ni nani yake?”
“mimi huyo ni kaka yangu kabisa, ndio maanaa nabis…..”
Askari aliyekuja mapokezi ndiye aliyekatisha mazungumzo na kutaka kujua hali ya Adrian inaendeleaje,
hakutaka kufunga kinywa chake taratibu alimsogelea askari aliyesimama kando yake na kuanza kumuhoji maswali.
“rire ni rijambazi razima riripe, rimeiba milioni moja,”
Aliongea uwongo askari sababu Alisha kula rushwa kutoka kwa Mathew ili amkandamize Adrian
“hapana, sio kweli, ilikuaje?”
“sina huo muda wa kukuereza ofkozi nina mambo mengi ya kufanya so prizi, embu nipishe nipite”
Aliongea kwa Nyodo afande chacha
Bado alikua na hali ya butwaa na kushindwa kuelewa nini akifanye hakutaka kuamini kuwa ni kweli Adrian aliiba kiasi hiko cha pesa sababu hakua na dhiki ya aina yoyote ile,
akili yake ilimtuma ni lazima tu yata kua ni mambo ya wanawake na wala sio kitu kingine,
“samahani namuulizia mgonjwa aliye letwa hapa usiku wa jana na defender ya polisi,”
Sauti hio ili mfanya Felista asimame na kugeuka nyuma, alimuona msichana wa makamo mweupe na kutega sikio lake vizuri.
“Yule waliyesema ni mwizi?”
Alihoji dada wa mapokezi
“nadhani ndio huyo,”
“Anaitwa Adrian?”
“ndio!ndio! ndio huyo huyo”
“nenda wodi namba 30j, ndio amelazwa hapo”
Hakupiga hata hatua nne alisimamishwa na Felista.
“dada samahani, unaenda kumuona Adrian?”
“ndio”
“ulijuaje kama kalazwa hapa?”
Aliuliza tena Felista
“jana tulikua wote, nilienda kituo cha polisi ndio waka niambia hapa ndipo walipo mleta jana”
“kwani ilikuaje dada?”
“ngoja nikuhadithie dada angu ukweli kutoka Moyoni huyu kaka alikua…”
Hapo ndipo Jaqlin alipoanza kuelezea kila kitu tangu alipo fika Adrian na Mathew kutokea na kusababisha ugomvi mkubwa kutokea uliosababisha mpaka Adrian akapigwa kipigo cha mbwa mwizi,
Walinyoosha mpaka chumba alicholazwa Adrian na kumkuta amelala, roho ya huruma ilimuingia Jaqlin na kuhisi maumivu, ni baada tu ya kumuona Adrian alivyo zungushiwa bandeji mwili mzima hasemi kitu,
dripu ya maji ikiwa mkono wa kulia, hakika hakustaili kipigo alicho pigwa, kwa hatua za taratibu alisogea mpaka pembeni yake huku akiwa ameibana mikono yake kwa mbele akisikitika hata yeye.
“Adrian naomba unisamehe”
Aliongea Jaqlin kwa sauti ya chini.


 “uko wapi?”
“hospitali”
“ahaa!.. kwaio siku izi una kesha hospitali siku nzima, huna muda na mimi wala nini?”
“sio ivyo Methew”
“kumbe?”
“lakini…….”
“okay, hakuna tabu”
Wivu na hasira ndivyo vilimtesa sana Mathew ndani ya mtima wake mchumba wake alikua hawezi kupitisha siku bila ya kwenda hospitalini kumuangalia Adrian aliyekua hospitalini ana majeraha kila mahali,aliona jambo hilo lime kithiri sana,
“sasa subiri huyu demu hanijui vizuri”
Aliinua simu yake na kumtafuta rafiki yake mwanajeshi aliyeitwa Nyagogo .
“ndugu upo wapi?”
Aliuliza Mathew akiwa na simu sikioni
“nipo kazini”
“kuna kazi nataka uifanye”
“ipi hiyo?”
“njoo kwangu”
“poa nakuja”
Baada ya nusu saa mwanaume mrefu aliyevalia kombati za jeshi alikua amesimama mbele yake akitaka kujua nini alicho itiwa, hapo ndipo alipo ambiwa waongozane mpaka hospitali ya TMJ kwenda kumfanyia Fujo Adrian, alijua fika kuwa akitumia mwanajeshi huyo hakuna kitakacho haribika hata kidogo,
waliingia ndani ya gari na safari ya kwenda hospitalini kufanya fujo kuanza.
**
Ilikua furaha sana kwao kumuona Adrian ana weza kutembea na kuzunguka ndani ya wodi huku akifanya mazoezi,ilionesha hali ya matumaini kuwa sasa ataweza kurudi katika hali yake ya kawaida kama hapo awali,
alishaweza kutabasamu na kuongea vizuri lakini bado alikua anatumia magongo yakimsaidia kutembea,
Brigedia Generali Said Adam Sangu mkuu wa majeshi nchini Tanzania akiwa na magwanda ya jeshi yaliyo chafuka nyota nyingi mabegani alikuwepo pia siku hiyo akiwa na walinzi wake wanajeshi pembeni,
alifunga safari kutoka visiwani Comoro mpaka Tanzania kuja kumuona rafiki yake kipenzi Adrian,
Wasanii mbali mbali kama Nassibu Abdul(diamond), Christian bella, na A.Y pia walikuwepo pembeni yake, Adrian muda wote alikua mwenye furaha sana.,
mpaka wakati huo Jaqlin hakuelewa Adrian ni mtu wa aina gani mpaka akajuana na watu wakubwa tofauti tena wengine mpaka viongozi wa serikalini, kweli alikua ni mtu wa watu.
“usiwe kama mwanamke, gangamala”
Alizungumza Brigedia Sangu
“mguu bado unaniuma”
“achia magongo hayo”
“siwezi!”
“Adrian lakini tangu juzi unatembea na magongo, msikilize kaka yako”
Alidakia Jaqlin akiwa pembeni, hapo ndipo Adrian alipo pata kidogo moyo na kuanza kuyaachia magongo taratibu na kuanza kutembea sasa taratibu sana.

Mathew tayari alipaki gari yake nje akiwa na Nyagogo pembeni,walishuka na kunyoosha mpaka ndani wodini na kilicho mshangaza Mathew ni baada ya kumuona Nyagogo akichapa mguu wake chini na kupiga saluti kuashiria kuwa aliyekua mbele yake ni mkuu wake wa kazi aliye mzidi vyeo vingi sana,
ni baada tu ya kuona nyota na kumtambua kuwa ni mkuu wa majeshi Tanzania na jasho kuanza kumtoka huku akijiuliza atajibu nini endapo akiulizwa ni kipi kilicho mleta.
“vipi kijana?”
Alihoji Brigedia Sangu
“hakuna kitu mkuu”
“nipo na kijana wangu namfanyisha mazoezi kidogo,kuna wapumbavu wame mpiga, sasa mimi nakutuma wewe hapo uende pale tegeta kamata vijana wote wa mtaani, ili wakaone cha mtema kuni”
“ndio mkuu”
“anza kazi sasa hivi tafuta kikosi,, uniletee hao watu, na nina mtaka huyo aliye muitia Mwizi, ndio ninae mtaka mimi haswa haswa!”
“ndio mkuu”
Maneno yaliyo tamkwa na Brigedia Sangu yalipenya kabisa kwenye masikio ya Mathew na kufanya haja ndogo ikaribie kumtoka na kuanza kusali kimoyo moyo walitizamana na Adrian kwa uso wenye kutia huruma sababu alijua nini maana ya kwenda kambini, alielewa mateso yake akifika huko.
**
Siku zilizidi kukatika huku masaa yakisogea kwa Adrian hali yake ilikua nzuri kabisa na kuruhusiwa kutoka hospitalini partson ndiye aliyekuja kumchukua na kumpeleka nyumbani kwake tegeta mwisho siku hiyo jioni,
Lakini bado akili yake ilikua kwa Jaqlin akimuwaza muda wote alisahau kipondo alichopigwa alijipa moyo sana kutokana na hali aliyo kua akimuoneshea hospitalini,
harakaharaka alichukua simu yake na kumtafuta hewani.
“nashukuru Adrian unaendelea vizuri”
Upande wa pili ulisikika baada ya kupokea simu
“nashukuru kwa kila kitu, lakini bado nilikua nahitaji kuzungumza nawewe”
“mmh…kwa sasa hivi nipo bize kidogo sitoweza”
“tafadhali”
“hapana Adrian”
Bado msichana huyo aliweka mgomo na kukataa katakata na kusimamia msimamo wake, Adrian alishashindwa kuelewa ni kitu gani akifanye, aliumia sana moyoni mwake, katika maisha yake hakuwahi kusumbuliwa na mwanamke kiasi hiko,
“kaka embu achana na huyo demu au mpaka ufe?”
Alisema Partson jr
“Partson, niangalie, acha nife tu lakini nimpate huyu mwanamke”
“ha ha ha ha ha, kweli umepatikana ndugu yangu, hapo umekamatika kakupa nini kwani?”
“hata nashindwa kuelewa, lakini lazima nimpate, sitokata tamaa mpaka nazeeka”
Maneno aliyotamka aliyamaanisha kutoka ndani ya mtima wake, aliwaza mambo mengi juu ya mwanamke huyo, japokua alishatukanwa matusi mengi lakini hiyo haikumfanya akate tamaa,
ndani ya moyo wake aliamini kuwa ipo siku atampata na watafunga ndoa japo kua kikwazo kilikua kimoja tu mwanaume aliyeitwa Mathew.
“tutapambana tu, nita tumia mbinu zote”
Aliwaza Adrian,ni kweli kabisa alishazama kihisia alikua kama chizi mapenzi, marafiki zake walijua juu ya swala la yeye kupenda walishangazwa, wengine walimcheka na kustaajabu sana sababu tu ya tabia yake ya kubadilisha wanawake kama nguo walijua ndio atakavyo mfanyia Jaqlin.
“ha ha ha ha Adrian haiwezekani hata kidogo, mimi ninakujua wewe, hata kwa Latifah ilikua ivyo ivyo, ukabadili mpaka dini ili umtoe bikra, haya yako wapi, sembuse huyo”
Alim-beza Rafiki yake siku hiyo asubuhi alivyokuja kumuona sababu hata yeye alishangazwa na habari hizo kutoka kwa Adrian.
“mimi sio Adrian aliye pita, mimi ni mwingine, ndio nakwambia Yule binti nampenda”
“ah wapi, hata uongee kitu gani, siwezi kuamini mimi nakujua, Tabia ni kama ngozi huwezi kubadili, embu achana na izo stori maana najua unani fanyia maigizo”
“nampenda jaqlin”
“acha kuchekesha umati”
Hakuna hata mtu mmoja aliyeweza kuamini kuwa Adrian amebadilika, ilikua sio rahisi kubadilisha mawazo ya kila mtu aliye mjua.
Namba za wanawake wote alizifuta ndani ya simu yake, bado hakuchoka kumpigia simu kila siku mwanamke huyo akimjulia hali na mambo mengine,
Siku ziliyoyoma na sasa kurudi kibaruani, wafanya kazi wake walifurahishwa sana baada ya bosi wao kurudi kazini na kuendelea na kazi kama kawaida,
lakini kwa waliomfahamu walijua kua ana mabadiliko na kuna kitu kimempata sababu hakuonesha kuchangamka hata kidogo,
Alikua akitoka mapema kazini na kuondoka mpaka mabibo hostel akizidi kumsumbua jaquee, wakati mwingine alijua wenda ana kasoro lakini swala hilo hakutaka kulipa kipaumbele!.
“au nina kasoro gani jaqlin?”
Aliuliza Adrian kwa unyonge.
“wala hauna kasoro, wewe ni handsome, mtanashati una uwezo wa kuwa na mwanamke yoyote hapa duniani, lakini kama nilivyo kwambia siwezi kuwa na wewe”
“kwanini?”
“basi tu”
“niambie kwanini”
“nina boyfriend tayari”
“nipe nafasi hiyo, nikuoneshe jinsi gani mimi ninavyokupenda jaribu tu”
“hapana, nina mpenda nina mpenda sana”
Huo ndio ulikua ukweli wa mambo, hayo ndiyo majibu aliyokua akiambulia kila siku iendayo kwa Mungu, hata yeye mwenyewe binafsi alishindwa kuelewa na kumfata moja kwa moja Fetty ndugu yake mkubwa na Jaqlin aliamini wenda huyo ataweza kuwa ndiye msaada pekee kwake,
“jaribu kumuelezea ipo siku ataelewa”
Fetty alimjibu Adrian
“hapana miezi mitano sasa imeshakatika, tafadhali naomba umwambie ni jinsi gani navyo mpenda, nampenda sana,aniambie kitu gani nikifanye ili anikubalie mimi nitafanya”
Aliongea Adrian akitia huruma, hata Fetty ali muhurumia na kumuhaidi kuwa atajaribu kumuelezea rafiki yake juu ya jambo alilomwambia,
Siku hiyo hiyo Fetty alinyooosha mpaka kwa Jaqlin na kujaribu kumuelezea ni jinsi gani Adrian anavyoteseka juu yake.
“hapana, nimekwambia siwezi, unajua ni kitu gani kabisa kinacho nifanya nikatae umeshasahau au?”
“hapana sija sahau,”
“aya nenda kamwambie asijisumbue tena”
Maneno hayo tu machache ndiyo yaliyo mfanya Fetty aachane na jaqlin, na siku iliyo fuata kumtafuta Adrian ofisini kwake na kumuelezea kilichokua kinamfanya Jaqlin akatae kuwa nae kimapenzi.
“niambie tu, wewe niambie tu Fetty”
“sawa nakwambia usijali…….”

 “kwani Yule jamaa ni nani?”
“usiniulize shukuru Mungu umetoka, unacheza na watu usiowajua Mathew, usifanye mchezo Yule mtu ni hatari Hapa mjini”
“mmh…ni nani kwani?”
“Yule ndiyo Adrian au Msauzi, ni maarufu sana hapa Dar, yaani umeanzisha vita na mtu ambaye hatari, alafu usinishirikishe”
“kwanza bora umekuja kunitoa, maana hayo mateso niliyo pata humo kambini, ona nilivyo umia”
“usinishukuru Mimi, kamshukuru jamaa, ndiye karuhusu wewe utoke, nili mbembeleza sana”
“aaah siwezi kufanya ivyo”
“shauri yako”
Mathew alishakua huru tayari baada ya kupata mateso kutoka kambi ya jeshi Gongo la mboto, kila siku alikua ni mtu wa kulia kama mtoto dhidi ya mateso aliyopata, vichura chura alivyo rushwa siku nzima vilimfanya miguu yake yote ife ganzi,
ni kutokana na kumsingizia Adrian kuwa ni mwizi,
Habari fupi aliyopewa kuhusu Adrian hata yeye ilimtisha sana, alijua ameanza vita na mtu hatari mwenye kujuana na watu wengi wakubwa, licha ya yote hayo hakutaka kumfata na kuomba msamaha hata kidogo, kaka yake Johnson Masangula ndiye aliyemfuata Adrian kila kukicha akimuomba msamaha aweze kuliruhusu jeshi limuachie mdogo wake,
sio yeye tu HATA Jaqlin pia alimsumbua sana Adrian aweze kumuachia mpenzi wake huru ili awe na furaha, hapo ndipo alipolegeza uzi na kumpigia simu Brigedia Sangu.
“nipeleke nikale, mpigie simu jaqlin mwambie nipo huru nimkute home”
Alisema Mathew akiwa kushoto kiti cha mbele ya gari amechoka sana kwa mateso.
“sawa nitafanya ivyo”
Walifika kwenye moja ya mgawaha na kuanza kula kisha baadae kurudi mpaka kwake na kumkuta Jaqlin kisha fika anamsubiri walikombatiana na kuanza kuombana msamaha wote wawili, sababu waliamini kila mmoja alimkosea mwenzake na hapo ndipo ukawa mwazo wa kushikana shikana kila mahali wakipigana mabusu ya midomoni kama njiwa,
Mambo yalikua haraka sana ilielekea kila mtu alikua na hamu na mwenzake, walivuana nguo zao huku wakizidi kushikana, Jaqlin alikimbilia sehemu moja tu kwenye Mtalimbo wa Mathew na kuanza kuuchuwa kwa mikono yake laini sana huku wakipigana madenda,
Mathew alizidi kumshika Jaqlin chuchu taratibu na kufanya spidi ya kuchuliwa TANGO izidi maradufu, cha kushangaza risasi ziliruka kumaanisha kuwa mwanaume huyo kasha fika mshindo na hiko ndiko kitu pekee ndiko kilikua kina mkera jaqlin kuhusu mpenzi wake kuwahi kufika mshindo!,
licha ya yote hayo hakutaka kumwambia mpenzi wake ambae wakati huo alikua yupo hoi amelala chali juu ya sofa amechoka anahema juu juu.
“nakuja baby”
Jaqlin alisema na kuingia bafuni hapo ndipo alipovua nguo zake zote na taratibu kuanza kuyashika maziwa yake huku akivuta sura za wanaume mbali mbali,
ni kweli tangu aanze kuwa na Mathew kimapenzi hakuwahi kufurahia tendo la ndoa hata siku moja iendayo kwa Mungu,
siri hiyo alibaki nayo yeye mwenyewe sababu aliridhia kuwa nae aliamini ipo siku atakuja kubadilika na kumridhisha, hakuwahi hata siku moja kufikishwa kileleni na kumaliza safari yake, hapo ndipo hujisugua ili kujiburudisha mwenyewe kimwili!
Aliya fumba macho yake na mkono wake mwingine kuupeleka kwenye ikulu yake akiisugua na kutumia kidole chake kukiingiza ndani ya ikulu yake,
Picha ya Adrian ghafla ilimjia kichwani bila kujua imekuja vipi ilikua ni kama mkanda ambao unapita kichwani mwake wakiwa kitandani wanafanya ngono huku akimnyonya IKULU yake,
“AAaaaah mmmmh aashhh”
Aliguna mwenyewe huku akizidi kulegea na kuwa mbali kihisia hapo ndipo alipohisi raha sana baada ya vitu kama utepe kutokea, alijimwagia maji na kuvaa nguo zake,
Alinyoosha mpaka jikoni na kuchemsha maji ya moto na kuanza kumkanda Mathew mgongoni na kila mahali alipo hisii maumivu.
Alivyo maliza kazi hiyo aliiendea pochi yake na kutafuta vidonge na kumezea na maji
“vipi una umwa?”
Alihoji Mathew
“kichwa kina nisumbua mpenzi wangu”
“pole baby”
Aliitikia jaqlin na kuingia jikoni kupika ili baadae arudi Hostel.
**
Alibaki kinywa wazi na kupigwa na bumbuazi baada ya kusimuliwa hadithi fupi tu juu ya maisha ya Jaqlin anavyoishi, hata yeye alishindwa kuelewa, aliyatoa macho yake akimuangalia Fetty aliyekua ameketi mbele yake kushoto, aliweka mkono juu ya shavu lake yaani tama,akiwa mbali kimawazo
“ndio ivyo Adrian kwaio kuwa makini sana”
Alisisitiza Fetty
“sawa, sawa hakuna shida, wacha nikupeleke hostel”
Walisimama na safari ya kumrudisha Fetty hostel kwao kuanza hapo hapo, baada ya dakika thelathini walifika mabibo hostel na Fetty kushuka ndani ya gari.
Wanafunzi wa hostel walishamzoea Adrian kuwa ni kila siku lazima afike eneo hilo, gari lake la kifahari alilokua anatembelea lili mfanya apate umaarufu sana hasa kwa wasichana,
kila mwanamke alitamani alale nae hata usiku mmoja, walishangazwa sana na Jaqlin kumkatalia kata kata na kutamani nafasi hiyo wazipate wao,
hakuna mwanamke ambaye alikua hajui juu ya Adrian walikariri mpaka muda wake wa kufika hapo, ilikua kila jioni ya saa kumi lazima aegeshe gari yake, kama sio JEEP basi AUDI gari za gharama, hata muonekano wake na nguo alizovaa alionekana ni mtu wa matawi ya juu sana,
“Natu, Natu, amka amka, Yule mkaka amekuja!”
Sauti hiyo ilitoka kinywani mwa Rose akihangaika kumvuta rafiki yake kitandani aliyekua amelala jioni hiyo, ni baada ya kuona gari la Adrian JEEP lipo nje.
“Rose, unasemaje jamani?”
“Yule mkaka, Adrian amefika”
“unasema ukweli?”
Natu alikurupuka kitandani kwake na kuingia mpaka bafuni kujimwagia maji haraka haraka, alivaa kanga peke yake na juu kuvaa nguo ambayo inaonesha kidogo sehemu ya maziwa yake,
aliya fanya hayo makusudi kabisa alibeba simu yake na kuanza kumtafuta Adrian kwenye simu,
“nipo kwenye gari ndio nataka kuondoka”
Alijibu Adrian upande wa pili huku akiwa amewekwa loudspika na kufanya Rose na marafiki zake wengine wasikie, alifanya makusudi ili kuosha kwa wenzake.
“jamani Adriiii…… sio vizuri hata kuniona, nina habari njema sana”
Aliongea huku akilegeza sauti yake.
“njoo kwenye gari”
Hapo ndipo alipokata simu na kumgeukia rafiki yake Rose.
“shoga, hapa hatoki, mimi ndio Natu mwenyewe, hapa hatoki leo”
“fanya kweli mamiiii,, halloo haloooooo, Natuu weee, wahi mama, wewe unasema chanini wenzako wanasema watakipata lini”
“shosti, hapa vipi unahisi atatoka hapa?”
“thubutuuuu,na ulivyokua mzuri, hilo tako mtoto wa kike,”
Waliongea huku wakicheka, haraka haraka alishuka ngazi mpaka nje na kufungua JEEP nyeusi kisha kuingia na kumkuta Adrian amevimba kwenye usukani , amevaa shati jeupe kanyonga tai iliyo mkaa vizuri kooni na kufanya misuli ya mkono ibane vizuri shati alilovaa,
kweli alipendeza hata Natu alimsifia hapo hapo.
“Ahsante, umesema jina lako…”
“Natu,mara hii umenisahau?”
“hapana mambo mengi, niambie umefikia wapi?”
“aaah Adrian, ngoja nikwambie ukweli, sitaki kukufanya baadae ujute wewe ni kijana mtanashati alafu bado unalipa sana”
Alizidi kubwabwaja Natu akizidi kumlegezea macho Adrian aliyekua mara chache anaibia ibia kuangalia kifua chake, Natu Alisha lijua hilo, alishajua kuwa anaangaliwa kifuani na mtego wake ulifaya kazi sasa, moyoni alijiona mshindi na kuanza taratibu kupandisha kanga yake.
“nambie, Nambie Natu”
“Jaqlin ana virusi vya UKIMWI,na anatumia vidonge”
Moyo ulimlipuka kama bomu la nyuklia lililokuwa limetegwa jasho jingi lilianza kumtoka mwilini mwake japo kua ndani ya gari kulikua kuna AC kali,
maswali mengi yaliyokosa majibu ndiyo yalikua yakigonga akili yake na kumfanya atetemeke sana.
“ una…unasema?”
“Yule demu ana ngoma., alafu kicheche ile mbaya yaani”
Alizidi kupigilia msumari wenye moto ndani ya moyo wa Adrian, Natu peke yake ndiye aliye muona Jaqlin akija kwa mbele na kufanya makusudi na kumshika shika Adrian tai yake.
“tai yako nimeipenda sana”
Alijisogeza mdomoni mwake na kumbusu, hayo yote aliyokua akifanya alihakikisha Jaqlin anaona na kweli alifanikiwa kufanya anachokitaka,
Adrian alikua kwenye mawazo mengi sana na kupigwa na butwaa.
“kwa heri Adriii, ila fikiri mara mbili bado tuna kuhitaji”
Alishuka ndani ya gari na kutizamana na Jaqlin huku akimnyali na kumpandisha juu mpaka chini kwa dharau zote..

 “ndio baby, nakupenda sana Adrian, nitakuja ndio kwako nakupenda pia! Mwaa mwaa”
Natu ndiye aliyekua akizuga akiongea na simu ikiwa sikioni mwake nyuma ya Jaquee, alihakikisha yote anayo fanya na kuyasema yalimfikia mlengwa,aliongea maneno mengi ya kimahaba kisha kuweka simu mfukoni akipandisha ngazi kuelekea Chumbani kwake, hatua aliyo fikia wakati huo alijiona mshindi sana, moja kwa moja alimuelezea rafiki yake Rose kile alichokifanya na kupongezana kwa ushindi!,
Hakutaka kumkosa kijana huyo, mawazo yote yalihamia kwake sasa, ilikua ni lazima amteke na atumie njia yoyote ile ili mradi aonje japo penzi la Adrian.
“lazima nimpate, kwani nina kasoro gani!”
Aliwaza Natu akiwa mbele ya kioo asubuhi hio na mapema akijiandaa kwenda kwenye masomo yake chuo kikuu cha Mlimani,
alishuka ngazi na kutafuta dala dala huku bado akimuwaza mwanaume huyo mtanashati, wakati yeye anaumia moyoni mwake kumuweka Jaqlin mbali na kumpata Adrian awe mpenzi wake, Adrian alikua akiteseka na penzi la Jaqlin kila kukicha, japo maneno aliyoambiwa kuhusu mwanamke huyo haya kufanya yeye akate tamaa.
“hata kama ana ukimwi acha nife tu”
Hata yeye aliwaza akiwa ofisini kwake siku iyo akiwa na kikombe cha kahawa mdomoni mwake, alichukua simu na kumpigia Jaqlin ili amjulie hali, lakini alichojibiwa ilikua tofauti kabisa na siku zote.
“usinipigie tena simu”
Alifoka jaq
“kuna nini kwani?”
“achana na mimi, mnafki wewe, mnafki sana, tena umenikera sana kuliko siku zote”
“jaqlin mbona sikuelewi?”
“achana namimi wanaume wote nyie ni sawa tu”
Maneno aliyoongea Jaqlin aliyamaanisha sana, alikumbuka sana yeye na Natu walivyokua wote ndani ya gari tena wana pigana mabusu kisha baadae kuongea kwenye simu, iyo aliitafsiri kama usanii na anajaribiwa tu, moyo ulimuuma sana hakujua ni kwanini, alianza kuhisi wivu wa ghafla na kusababisha hasira za wazi wazi, Adrian hakua anaelewa lolote hakujua kuwa mchawi wake ni Natu na ndiye anakoroga vitu.

Alishashindwa kumalizia kuongea chochote na simu kukatwa alijaribu kuipiga lakini haikupatikana hewani, moyo ulimuuma sana na kushindwa nini afanye, alichukua mkonga wa simu na kumpigia msaidizi wake wa kazi.
Aje kuendelea na kazi kwani yeye amechoka sana.
“endelea na hii kazi hapa, nimeishia kufunga hizi stock za jana!”
Alisema Adrian
“sawa bosi”
Baada ya kuacha maagizo hayo alishusha ngazi na kuelekea ofisi za NSSF akimuulizia mkurugenzi Kway kama yupo bahati mbaya hakumkuta, hapo ndipo alipomtafuta kwenye simu na kumwambia kuwa wanahitaji kuongea jambo la muhimu sana.
“nikukute nyumbani kwangu, sasa hivi nipo kwenye kikao”
Kway alijibu
“sasa mzee, nyumbani nita mkuta nani?”
“Mama Brian yupo,”
Hapo hapo aliwasha gari na kunyoosha na kuanza safari, baada ya dakika arobaini alikuwa mwenge alinyoosha bara bara ya Cocacola na kukunja kulia akiwa anaendesha gari mwenye mawazo mengi sana, nia ya kumtafuta Mzee Kway ilikua ni kitu kimoja tu kumuelezea hisia zake juu ya Mwanamke Jaqlin aliyekua akiutesa sana mtima wake, aliamini kuwa ni lazima atakua anajuana nae kiundani, sababu tu kwa mara ya kwanza alimuona ndani ya ofisi yake ya NSSF posta, na ndo hapo alipoanza kumuelezea hisia zake lakini hazikuzaaa matunda,
alikata kona kama anaingia AL HASSAN mwinyi na kukutana na bara bara ya vumbi alizidi kusonga mbele mpaka alipo fika nje ya nyumba mikocheni B yenye geti kubwa na kupiga honi.
Geti lilifunguliwa na mlinzi na kushuka ndani ya gari, mwana mke mnene kiasi aliye valia nguo za vitenge alisimama nje ya mlango wa seblen na kumkaribisha.
“shikamoo Mama Brian!”
“Marahaba Adrian Haujambo?”
Aliitikia Mwanamke huyo aliye itwa Jesca, alikua ni mkarimu, alishajua ujio wa kijana huyo Adrian ivyo alinyoosha mpaka kwenye friji na!kumletea juisi ya machungwa, hakukaa sana, alisikia muungurumo wa gari, kisha baadaye kidogo mzee Kway kuingia, aliwahi kurudi siku iyo sababu alijua ana ugeni nyumbani kwake.
“nambie kijana wangu”
“shikamoo Mzee”
“marahaba”
“ulikua una shida namimi?”
“ndio mzee”
“tuongelee hapa hapa au tutafute sehemu nyingine?”
“hata hapa panatosha tu”
Hapo hapo Adrian alianza kusema shida yake kuhusu jaqlin, aliongea huku akitia huruma, japo kua ilikua ni aibu kwa mwanaume mkubwa kama huyo kuelezea shida kama iyo mbele ya kadamnasi lakini yeye hakujali ili mradi apate msaada kwa Mzee huyo,

hata angepata namba za wazazi wake ingekua tayari kuwafuata na kuwaelezea ni jinsi gani ana nia na binti yao.
“Mhhhhhh!…..sasa mwanangu, kabla ya kukupa namba za wazazi wake, huyu binti ana shangazi yake anaishi kinondoni kwa Manyanya pale, kwanini usimfuate huyo kwanza ili muongee kabla huja wafuata wazazi wake”
Alishauri Mzee Kway
“hakuna tabu Mzee wangu, kwani wazazi wake wapo wapi?”
“wapo Arusha, baba yake ni rafiki yangu sana sana, hata wiki iliyopita nilivyokua Arusha nilikua nae, ikishindikana kwa Huyo shangazi yake basi nitakufanyia utaratibu wa kukupa mawasiliano ya wazazi wake ili ujue cha kufanya”
“sawa nashukuru sana, naweza nikapata namba za huyo shangazi yake?”
“Mama Brian!”
“Abee”
“kaniletee dayari yangu chumbani ile kubwa yenye namba za simu”
Alishaamua sasa kutulia na mwanamke huyo Jaqlin aliamini kua ni mke mwema atakae kuja kuishi nae hapo baadaye!

Hata kama atamsumbua kwa miaka mingapi lakini ni lazima awe nae, baada ya kupewa namba za simu alishukuru sana na kufurahi moyoni, alishajua ni wapi angeanzia aliwasha gari na kurudi kwanza nyumbani kwake Tegeta ili abadilishe nguo na siku hiyo hiyo aende kinondoni kwa manyanya.

Aliingia bafuni na kujimwagia maji haraka haraka na kutoka nje kabla hajafungua gari lake simu yake ya mkononi iliita na kuona jina Natu,
aliiangalia kwa umakini na kusita kupokea lakini ilibidi aipokee ili ajue ni kipi angeambiwa alijua wenda ni taarifa nzuri.
“Adrian”
“Naaam”
“nipo Tegeta hapa, si ulisema unaishi tegeta, unaishi sehemu gani?”
“sasa hivi!.. sipo home utakuja siku nyingine”
“hapana nina Habari njema kuhusu Jaquee, nielekeze hata kwako utani kuta”
“ame ame semaje sawa mimi nipo njiani, naelekea home ukifika tegeta nyuki niambie”
Natu alishajua udhaifu wa Adrian teyari na hilo ndilo lilikua kosa namba moja kuliko mengine mia moja.
Alishajua kuwa akitaja jina hilo anakua dhaifu nia yake ilikua moja tu alale na mwanume huyo siku hiyo,
aliamini ni lazima swala hilo litatokea hakua na habari yoyote ile iliyo muhusu jaqlin, alitaka aharibu kila kitu na ilikua lazima afanye ivyo, Alisha fanya uchunguzi na kujua kuwa mwanaume huyo anaishi tegeta lakini hakujua ni wapi, kwa kuwa alikua yupo tegeta kwa Ndevu alipanda dala dala nyingine mpaka NYUKI na kushuka,
Hakukaa sana aliona AUDI nyeusi inasimama pembeni yake na kufungua mlango kwa madoido yote.
“nimekuweka sana?”
“hapana hata ivyo ndio nime fika”
“okay, ngoja ukapajue home ili uniambie jaquee amesema nini”
Adrian Alirudisha gari kinyume nyume na kuliweka sawa na kuvuta GIA mpaka kwenye herufi D tayari kwa kusonga mbele, ndani ya dakika tano alikua nje ya geti kubwa akipiga honi,!
Natu alizidi kuchanganyikiwa baada ya kuona jengo kubwa sana la gorofa mbele ya macho yake, pembeni aliona bustani iliyo jaa majani yaliyokatwa na kutengenezwa vizuri huku kirusha maji kikiwa kina rusha maji na kuzunguka.
Bado alishindwa kuelewa mwanaume huyo katoa wapi mali nyingi kiasi hiko na kumiliki nyumba ya kifahari ambayo humilikiwa na vigogo wa nchi yake.
“karibu home”
Alisema Adrian baada ya wote kushuka ndani ya gari
“ahsante, pazuri sana”
“kawaida, pita ndani jisikie upo nyumbani kuwa huru, t,v iko hapo Music system”
“Ahsante!”
“jaquee Alisha wahi kufika hapa?”
“hapana, kwanini unauliza?”
“aah no nataka nijue”
“naweza nika piga picha?”
“hakuna tatizo”
Natu alichukua simu yake kubwa na kuanza kujipiga selfie nyingi tofauti na huku nyingine akiwa na Adrian sehemu tofauti tofauti, walianza kupiga stori za hapa na pale.
“enhee nambie kuhusu jaqlin kasemaje?”
“mbona una wasi wasi wangu?, nita kwambia, hauna nyimbo nzuri kidogo tusikilize”
“zipo, zipo kibao tu,niweke zipi?”
“zozote zile nitafurahi”
Nyimbo iliwekwa na kuanza kutingisha kichwa chake, glass aliyokua ameishika ya Red wine ilikua imeisha na kumuomba Adrian aongeze nyingine hapo ndipo pombe za mchana huo zilianza kumpanda kichwani na kuanza kucheza nyimbo ya Koffii olomide iliyoitwa Tokou tokou,
alinza kujiachia na kuanza kuvua shati la juu alilovaa na kubaki na sidiria peke yake, kituvo na tumbo lake vilikua vyeupe, Adrian alivyoona vile aliangalia pembeni, alielewa kabisa Natu alikua katika hali ya kulewa sababu pombe sio chai,

Licha ya kumfikiria ivyo aliona mambo yana kua vibaya hata kwa upande wake taratibu suruali yake ilianza kutuna, hakutaka kuruhusu hisia zitawale mwili wake tena kwa wakati huo, alisimama na kupiga hatua mbili kabla ya kufikia ya tatu Natu alimshika mkono na kuivuta shingo yake hapo hapo na kumpelekea mdomo wake karibu yake, mara ya kwanza alijaribu kuleta ubishi,
“asomba tuku tuku, asomba nai nai”
Nyimbo ya koffii ilikua ikipigwa Nattu alijigeuza na kumpa mgongo huku kalio lake kubwa akilisugua juu ya mashine ya Adrian aliichukua mikono yake na kuizungusha nyuma ya shingo ya Adrian na kuanza kukatika taratibu kweli binti huyo alikua anayaweza sana,
alienda mpaka chini na kurudi juu, kutokana na sketi nyepesi aliyovaa alihisi kitu kigumu kilichosimama na kugusa makalio yake makubwa alishaelewa teyari Adrian amejaa ndani ya kumi na nane zake,
hapo ndipo alipozidisha kasi,

Ni kweli Adrian macho yalisha mbadilika rangi na kuwa mekundu, mchezo huo hakuwahi kuufanya siku nyingi sana alijikuta amelegea sana nayeye kuanza kuunga tera akicheza mziki huo, na ndo hapo ukawa mwanzo wa kupigana madenda midomoni kila mtu damu ili mchemka sana!.
Haraka haraka alimvua Adrian shati lake sababu alijua wenda anaweza akaghaili kufanya hilo tendo mara moja, huku nayeye akizivua nguo zake kama umeme, ndani ya dakika mbili alikua kwenye koki ya Adrian akiilamba kwa manjonjo ilikua ni lazima ampe penzi ambalo hakuwahi kulipata popote pale,
ilikua ni lazima afanye kitu chochote ili aweze kumsahaulisha Jaqlin, waliendelea kushikana kila mahali kwenye miili yao huku wakizidi kunyonyana midomo yao,
Adrian akiwa chini Natu akiwa juu aste aste wakizidi kushikana sana, alivyokua chini alichukua mkono wake taratibu mpaka chumvini na kuanza kucheza taratibu na ikulu ya binti huyo na kumfanya apige kelele, alimbinua na kuanza kudeki bahari akitumia ulimi wake huku mkono wake mmoja ukiwa juu ya chuchu ukizishika shika taratibu sana,
alipanda juu na kuanza kumnyonya maziwa akiyabana na kuyapa zamu kila baada ya sekunde mbili, alicheza na sehemu zote kumi nanne za mwili wa Natu.
Kipindi hayo yote yana fanyika Natu alikua hoi anatoa mihemo kama bata mzinga hata yeye alishindwa kufanikisha kile alichotaka kukifanya alishindwa kumpagawisha Adrian,
mambo yalikua kinyume nayeye ndiye aliye pagawishwa,
Kidole kilichoingizwa kwenye ikulu yake kili mfaya aanze kukatika taratibu sana huku akilitaja jina Adrian kimahaba sana bila kujielewa, alikua hoi hajiwezi tena, alikua keshalowa teyari na kuyafumba macho yake,
Adrian aliingiza mkono chini ya sofa nakutoa kiboxi cha kinga.
“unataka kutumia kinga?”
Aliuliza Natu kwa sauti ya puani
“ndio”
“aaah bwaaaaaaaaana, mi sipendi”
“mi siwezi kwenda kavu”
Alivaa haraka haraka na mashumbilizi kuanza, hapo ndipo mwanamke huyo alipoanza kukatika kama feni bovu alikua na mahesabu yake kichwani na alitaka yatimie siku hiyo hiyo, alizidi kuzungusha kiuno chake,
kwakua Adrian mchezo huo hakufanya siku nyingi alianza kuhisi raha baada ya dagaa au wazungu kuhisi wanaanza kutoka aliya fumba macho yake akiwa anasikilizia,
Natu aliibana miguu yake haraka haraka na kufanya condom ichomoke na hayo ndiyo yalikua mahesabu yake,
bado Adrian alikua akikatika bila kujua zana yake ya vita kaiacha nyuma ni baada ya kunogewa sana,
Alihema sana na kulala kifuani mwa NATU baada ya kufika kileleni na kumwaga risasi ndani ya ikulu. Ila baada ya sekunde chache alihisi kitu cha tofauti alivyo chunguza vizuri aliona condom iko pembeni na kushindwa kuelewa ime tokaje.
“Imechomokaje?”
Aliuliza Adrian
“mimi sijui”
NATU alijibu huku akiangalia pembeni alishajua kabisa yupo katika siku za hatari ivyo alijua hiyo ni lazima itakuwa mimba imeingia, hayo ndiyo yalikua mahesabu makali ya mwanamke huyo Natu.

 Kitendo cha kuvaa nguo zake na sketi yake laini akiwa bado na pombe kichwani ambazo alijiongezea mwenyewe alimtizama Adrian kimahaba ambaye bado alikua akiwaza kitu, ilikua tofauti kabisa nayeye kitendo cha kuuza mechi alijilaumu mno, Natu alikua ni mwenye furaha sana kitendo cha kushika mimba ya Adrian aliamini hiko ndiko kitawaweka karibu na pengine hata kuwa mama wa watoto wake baadaye!,
“unajua sana kumiliki mchezo mpenzi wangu”
Alisema Natu alijua teyari Adrian ni wake
“sikiliza nikwambie kitu binti, naomba tuliyofanya hapa usahau tena uyatoe katika akili yako, imetokea tu bahati mbaya kama ajali nyingine barabarani, kwaio huo mdomo wako uufunge na tueshimiane!”
“samahani”
“sawa niambie ulichokua unataka kuniambia kuhusu jaquee”
“nitakwambia siku nyingine, bafuni wapi nikaoge?”
“nyoosha moja kwa moja mlango wa kushoto kwako”
Baada ya kusikia maagizo hayo alienda mpaka bafuni na kuvua nguo zake zote na kufungua bomba la mvua, bado alikua mwenye furaha sana kupita kiasi moyoni alijisifu, alijiona ni mshindi sana.
“hakuna cha jaque wala nani”
Aliwaza Natu huku akijisugua ikulu yake taratibu. baada ya kuoga alitoka nje na kumuaga Adrian aliyekua bado juu ya sofa kaweka tama, alipita na kutoka nje kitendo cha kufika ndani ya dala dala alitoa simu yake na kuingia watsap katika grup lao la chuo la wasichana wenzake na kuanza kuchat.

“JAMANI, JAMANI KUNA WATU WANAJUA KUFANYA”
Alituma ujumbe huo na haraka kuingia kwenye namba za jaq na kumuona yupo online.
“KWANINI?”
Ujumbe uliingia kutoka kwa msichana mwingine akiuliza
“JUENI IVYO”
“SASA SI USEME NAWEWE NATU”
Haraka haraka aliingia garelly na kutuma gari ya ADRIAN jeep.
“NANI ANAMJUA HUYU MKAKA JAMANI?”
“MIMI,”
“HATA MIMI NAMJUA,”
“WOTE TUNAMJUA”
“JAMAAAANI ADRIAN, HUYU MKAKA MWENYE HILO GARI NAMPENDA SANA”
“SASA BASI MUMKOME NDIYE SHEMEJI YENU SASA HIVI NIME TOKA KUFANYA NAE, ANAYAJUA HUYO KULIKO SIJUI NINI, SIJAWAHI KUONA JAMANI, KWA KWELI JAMANI AMEBARIKIWA KWANZA ANA DUDU KUBWA”
Mambo aliyokua akituma jaqlin aliyaona yote na kuendelea kusoma bila kutoa comment ya aina yoyote ile.
“NATU KWA KUJISIFU, ACHA UONGO HUWEZI KUMPATA, HUYU ANAMTAKA DADA JAQUEE TU,ACHA KUJIGONGA”
“ALAFU WEWE MARRY mgwasu HUJUI KITU KAA KIMNYA SURA MBAYA KAMA KWATO LA MBUZI, SUBIRI NIKUONESHE”
Hapo ndipo Natu alianza kutuma picha wakiwa wote na Adrian wakiwa karibu sana nyingine kamuegemea kifuani wapo kwenye kochi, na kufanya wanagrup wote wakae kimnya bila kusema chochote, ilionekana walikua wanadownlod baada ya muda mfupi meseji zilifululiza wakimpongeza sana kwa kumpata mwanaume huyo,
hapo ndipo alipo weka picha waliyo shikana kama DP na kumblock Adrian ili asijue kina choendelea “ACHA KUJIPENDEKEZA WALA HAKUTAKI” iyo ndiyo status aliyoweka akituma kijembe kwa Jaqlin.

Ni kweli Jaquee aliumia moyoni mwake lakini alijikaza sana Alisha ona dp ya Natu na picha zote ila hakutaka kuongea wala kujibu chochote kitu, vitu alivyoambiwa na Adrian siku chache zilizo pita alivitoa kichwani mwake na kumuona ni Mnafki tena ni nyoka,
alitamani hata ampigie simu wakati huo huo amtukane matusi ya nguoni lakini alijua tu kivyovyote lazima ange pigiwa simu,
Aliingia bafuni kuoga akiwa na msongo wa mawazo, moyoni aliumia na kupatwa na wivu sana alivyorudi chumbani mwake alimkuta Fetty kasha rudi tayari na kuanza kumuhadithia kila kitu.
“sasa unachobisha nini Fetty, picha si hizi hapa, alafu kila siku una mtetea kwa upuuzi anaoufanya”
Alisema Jaquee
“Mamii wanaume ni waongo sana kwa kweli, jinsi alivyokua ananielezea juzi ofisini kwake nika muona mtu sana kumbe …….”
“ndio ivyo, na sitaki kusikia habari zake kuanzia leo Adrian, Adrian sitaki tena”
Hakukaa sana simu yake iliita aliichukua kwa hasira na kuangalia kwenye kioo cha simu baada ya kukuta ni shangazi yake Pili anampigia alishusha pumzi na kuipokea, hapo ndipo alipoambiwa aende nyumbani kwake kinondoni kwa MANYANYA kuna jambo ana taka kumwambia.
“sasa hivi shangazi?”
“ndio sasa hivi, sasa hivi uje mwanangu”
“sawa shangazi ngoja basi nivae”
Alivaa haraka haraka akijua kuwa kuna tatizo limetokea, baada ya kuvaa na kujiweka tayari alibeba pochi yake na kuanza safari ya kutafuta usafiri wa dala dala, baada ya dakika hamsini alishafika na kuanza kutembea kwa mguu lakini alivyoikaribia nyumba ya shangazi yake aliona AUDI ya rangi nyeusi sana yenye vioo vyeusi iliyokua inan’gaa ipo upande wa pembeni wa nyumba ya shangazi yake.

Aliitizama lakini aliipuuzia sababu aliamini kuwa magari yapo mengi na wenda anachofikiria sio kabisa sababu aliamini kuwa Adrian hatoweza kufika maeneo hayo au ni kama alikuwepo basi kwa mambo mengine na wala sio kwa shangazi yake.
Alitembea na kufungua geti kisha kuingia ndani, harufu ya perfume peke yake ndiyo iliyo mfanya azidi kupagawa, harufu ya Adrian aliijua hata kabla ya kufika seblen,
alitembea mpaka seblen na kusua kidogo baada ya kumuona Adrian amekaa kwenye kochi amevaa tishirt nyeusi lililomkaa vizuri na suruali ya jeans na kutabasamu.
“shikamoo shangazi”
Alisalimia jaqlin
“Marahaba mwanangu”
Alimtimzama Adrian bila ya kumuongelesha chochote
“za masomo?”
“salama shangazi, tena tuna karibia karibia na mitihani sasa hivi”
“ahaa.. kazana elimu ndio kila kitu, maisha ni magumu sana, una mfahamu huyo kijana?”
Jaqlin aligeuza shingo yake na kumkata jicho kali Adrian lenye hasira kwa takribani sekunde tano nzima bila kujibu chochote.
“simfahamu!”
“sio kweli Mwanangu”
“shangazi nimekwambia simfahamu mimi,”
“mbona anasema ana kufahamu?”
“eti kaka tuna fahamiana?”
Aliuliza Jaqlin akiwa hacheki wala kuonyesha sura yoyote ile ya mzaha.
“jaqlin, usinifanyie ivyo”
“nisikufanyie nini sasa, ndio umekuja kumwambia shangazi yangu, kwanza ulipajuaje hapa?, katika wanaume wapuuzi wewe nambari moja tena mpuuzi duniani, nilisha kwambia siku taki husikiii”
“mwanangu jaquee punguza jazba, punguza jazba mwanaume haambiwi maneno kama hayo, hayafai kabisa, kijana huyu ni mkarimu sana”
Alisema shangazi yake
“Shangazi huyu mwanaume ni muongo, ni mnafki sana, asikudanganye kitu chochote kile kuhusu mimi, ni muongo sana, ngoja ngoja nikuoneshe picha kwenye simu”
Alisonya na kuzidi kupekua pochi yake,
“utani amini tu subiri”
Alivyochukua simu yake alikuta imezima chaji alivyotaka kuichaji kulikua hakuna umeme hapo ndipo alipo shindwa kuongea kitu chochote.
“jaqlin”
Aliita Enock kwa sauti ya chini
“nakupenda sana, nipo tayari kufanya chochote ili niwe nawewe”
“achana na mimi, siwezi kuwa nawewe elewa Kiswahili”
Kulikua hakuna hata mzaha ndani ya maneno aliyozungumza Jaqlin hata Adrian alizidi kustaajabu alitegemea kuwa kufika kwa shangazi yake mambo yatakua rahisi sana kumbe haikuwa ivyo alimshuhudia akipita mbele yake na kutoka nje,
kweli Alisha teseka sana kumpata mwanamke huyo kama anaomba hajira ikulu, alitia huruma sana na kuinamisha kichwa chake chini akiwa mwenye simanzi, ni kweli alishazama kimapenzi kabisa,
“shangazi nashukuru sana, acha mimi niende shika hizi utatumia tumia”
Adrian alizama mifukoni na kutoa kiasi cha shilingi laki moja kama shukrani, kisha kuondoka zake akiwa mzito sana , aliwasha gari na kurudi nyumbani kwake,
Marafiki zake wote sasa waliamini kuwa anayoyasema yupo siriazi wanawake zake wote aliwakataa waliokuja kumuulizia kwake aliwatimua kama mbwa,
bado alimuwaza Jaqlin peke yake, lakini hiyo haikumfanya akate tamaa ya kufika kila siku mabibo hostel kumuulizia jaqlin, wana funzi wote sasa walishamjua kuwa kafa kaoza kwa mwanamke huyo, baadhi walimuonea huruma sana.
“embu niache niende darasani nina kipindi Adrian jamani, mbona unakua king’ang’anizi, mfano mimi ningekuwa wewe nisingejisumbua hata kidogo, maana sijawahi hata kukufikiria,”
Aliongea Jaqlin huku akishusha ngazi za hostel akiwa na madaftrai mikononi mwake huku Adrian akiwa nyuma yake ana mfuata,
ila alisita kidogo baada ya kuona Range spot nyeusi na mwanaume mweusi kidogo kushuka ndani ya gari, alinyong’onyea alishajua kuwa ni Mathew mwanaume wake, alisimama mlangoni akiwashuhudia wanapigana mabusu ya midomoni,
Moyo ulimwenda mbio na kutembea mpaka walipo,kisha kusimama mbele yao akiwatizama.
“hio saa umeitoa wapi?”
Aliuliza Adrian na kumtizama mwanaume huyo aliyevaa ROLEX yake mkononi, alikumbuka vizuri sana aliibiwa na mwanamke wakiwa gest na pesa zake nyingi pamoja na simu zake ivyo ilitakiwa ajibu mashtaka.
“saa nime toa wapi?, si zina uzwa madukani”
“hio saa huwezi kupata duka lolote lile hapa nitajie ulipoitoa, hio saa ni yangu angalia ndani imeandikwa jina gani”
Kweli maneno yale yalimfanya Mathew aanze kubabaika sana baada ya kuangalia jina la saa ndani yake na kuona vimaandishi vidogo vilivyoandikwa Adrian.
“kwani saa umeitoa wapi Mathew?”
Swali hilo kutoka kwa Jaqlin ndilo lilizidi kumchanganya akili yake, !

 “Baby nina zawadi yako”
“ipi tena hiyo laaziz?”
“subiri uone”
“aya, wacha nikae kimnya”
Mwanamke mrefu kiasi akiwa amevalia chupi aina ya bikini alisimama wakiwa wapo chumbani hotelin baada ya kutoka kufanya mapenzi na Mathew, alitembea mpaka mezani kwake na kufungua pochi kisha kutoa saa kubwa ya kung’aa yenye rangi ya madini ya dhahabu,
na kumkabidhi Mathew bwana wake kama zawadi ya siku hiyo,
“hii saa umeitoa wapi?”
Aliuliza Mathew akiwa haamini hata yeye, ilikua ni saa ya gharama nzito sana
“nimetumiwa na shangazi yangu kutoka U.K juzi, sasa mimi niipeleke wapi, nakupenda Mathew”
Baada ya kuongea mambo mengi kuhusiana na mapenzi yao walipigana mabusu kisha kuanza kushikana shikana tena,
Mapenzi yake na Stella aliya fanya kwa siri sana hata jaqlin hakuelewa kuwa anadanganywa hakuwahi kumfikiria kama ataweza kuwa na mwanamke mwingine, alimuamini sana mwanaume huyo na kumchukulia kama ndiye atakae kuja kuwa Mume wake hapo baadaye akimaliza masomo yake wafunge na ndoa wawe mume na mke!,
**
“hii saa nilipewa na rafiki yangu yupo Arusha”
Alidanganya Mathew akimwangalia jaqlin mchumba wake machoni ambaye hata yeye alionekana kusubiri jibu.
“khaa!, basi zitakua zime fanana, saa zipo nyingi bwana”
Jaqlin alijaribu kumtetea mpenzi wake.
“hapana hio saa yangu nina ijua, unaona lile gari pale ndipo niliponunua na hiyo saa, angalia na funguo zangu za gari na hiyo saa,nachokuomba pesa nilizoibiwa na simu zangu,”
Ki ukweli Adrian alitamani kuharibu na kusema ni nani aliye muibia saa yake lakini aliona hata yeye atajiharibia kwa Jaqlin, ushahidi huo tosha ulimfanya Mathew ashindwe cha kujibu na kubaki kubabaika aliona mchele unaenda kumwagika na siri kufichuka wakati huo huo,ili mbidi awe mpole sana.
“naomba tuongee badaaye”
“okay poa”
Walikubaliana ili waweze kuongea baadaye mafahali hao wawili ambao walijikuta wameganda kwenye penzi la mwanamke mmoja.
Aliingia ndani ya gari na kuanza kuondoka zake akiwa bado na mawazo mengi kichwani mwake mpaka anafika nyumbani kwake Tegeta bado alikua na mawazo mengi kichwani mno.
alijimwagia maji na kujitupa kitandani akiwa bado anatafakari sana juu waliyo fanya yeye na Natu muda mchache uliopita.

“griii griiii”
Simu ndiyo iliyo mshtua kutoka kitandani alivyaongalia alikuta anapigiwa na Partson jr rafiki kipenzi na kukurupuka kitandani.
“vipi p?”
“oya uko wapi Chif?”
“nipo kwangu vipi kwani?”
“unalala una umwa njoo kurasini tule bata, wacha kulala lala, nipo na akina Vanessa hapa nipo na shemeji yako njoo tule gambe,Skekh ommy yupo pia leo katoka OMAN”
“kaka nimechoka acha nipumzike”
“utaniangusha njoo broo nakuomba nipo chini ya miguu yako”
Hakua na ubishi alimuheshimu sana rafiki yake alijizoa zoa akiwa bado na msongo wa mawazo mpaka bafuni na kujimwagia maji baada ya hapo alichukua funguo za gari na safari ya kwenda kurasini kuanza,
Watu wengi walikua wamejaa sana ndani ya baa hiyo, kulikua kumechangamka alitembea mpaka kwenye meza ya marafiki zake waliokua tayari baadhi wapo chakari kwa pombe, meza ilijaa nyama choma na ndizi,
Japo alisalimiana na marafiki zake lakini hakua na furaha hata kidogo wenzake walishalijua hilo, kuwa Adrian anateswa na kunyanyaswa na mapenzi.
“paapaa Adrian, Mtu na pesa zakeee lakini ananyanyaswa na mapeenzi…oyaaaaaaa washkkaaaaji eeeeeeh”
Alizungumza Partson kwa sauti ya kilevi pombe zilikua teyari kichwani mwake zikimpeleka sana puta.
“sema partson”
“huyu jamaa boyaaa ile kinyaaamaaa yaniii, ana mfukuzia demu kama anaombaaa kazi”
“nani huyooo?”
“huyu Adrian, eti anajiita Chiiifff”
Maneno aliyokua akiongea Partson yalimuuma sana Adrian lakini alichukulia ni pombe ndizo zilikua zinamuendesha rafiki yake,
alizidi kurusha maneno makali sana mbele ya umati wa watu huku akisimama na kuongea kwa sauti ya kilevi.
“P kausha basi, washa kuelewa, piga chini jembe!”
Aliongea Adrian
“aaaah keep quityyyy, funga wewe Adrian boya tuuuuu”
Alizidi kuropoka Partson huku akizidi kupiga kelele za kilevi,
Adrian alishindwa kuvumilia alijikuta amesimama kama umeme na kumvaa partson na bega na kukamata chupa ya wisky iliyokuwa mezani mkononi mwake kabla ya kuirusha ilishikwa tayari na watu kumzuguka alikua na hasira sana.
“omari! Omi! Omi! eeh niache niache, niache nimuoneshe huyu bwege, kulewa gani huko anaongea ujinga au ndio mlikua mmeniwekea kikao?”
“kausha kaka, unaona jamaa kalewa”
“aa aaah kwani nani hajui kulewa?”
Haikuwa raisi kumtuliza Adrian alivyo kua akifanya fujo lakini baadaye alitulia na kukaa kimnya, hakuamini alivyotizama pembeni na kumuona mwanamke mweupe kavaa kitopu cha bluu huku kitovu chake kikiwa wazi,
chini aliva kisketi kifupi na kufanya mapaja yake kuonekana, kiunoni alikua na shanga,
Alimtizama vizuri na kumuona akivuta sigara, alikua ni Natu anajiuza picha ilionesha kabisa, sababu alizungukwa na wanaume wawili wakiwa wanamshika shika kisha baadae kuondoka nae.
“vipi Adrian, vipi upo sawa?”
Aliuliza Shekh Omary.
“hapana,sipo sawa kuna mwanamke nimemuona kama nime mfananisha”
“Yule changudoa?, Natu Yule namfahamu wala usifikirie kabisa ana ngoma, ana ukimwi pale alipo”
Mapigo yake ya moyo yalizidi kumwenda mbio, picha iliyojijenga kichwani kwake ilimpeleka mpaka juu ya kochi walivyofanya mapenzi na mwanamke huyo tena baadaye condom ilitoka,
alishajua nini maana yake jasho lilianza kumtoka hapo hapo, alipeleka siku chache mbele atakavyokua kitandani amekonda ana teseka na ukimwi,
aliwatizama marafiki zake na kutetemeka na kujua miaka michache tu atawaaga na kufa kwa ukimwi na kuziacha mali nyingi anazomiliki,
Hakutaka kuongea chochote kile aliinuka usiku huo huo na kuingia ndani ya gari moja kwa moja mpaka hospitali ili kujua afya yake kama ameathirika na ukimwi,
aliweka gari pembeni ya hospitali kubwa ya Temeke na kuingia moja kwa moja mpaka ndani, akiwa kama aliye changanyikiwa sana na kurukwa na akili zake, baada ya muda mchache alikua kwenye foleni akisubiri zamu yake ifike ili aingie akapime virusi,
Hakuelewa afanye nini mfano akijikuta ameambukizwa na virusi vya ukimwi, ndani ya mwili wake, alijua kabisa ugonjwa huo ni hatari, mbaya na unatesa sana hauna tiba,

Alisha wapoteza marafiki zake wengi sana na kuwashuhudia ulivyokua ukiwatesa kitandani, ndio maana katika maisha yake hakuwahi kufanya mapenzi bila kinga,
ila siku moja hiyo ndiyo itakayo mgharimu katika maisha yake yote, hakuelewa amfanye nini Natu endapo atajikuta na virusi ivyo mwilini.
Bado alikua na msongo wa mawazo mpaka alivyo itwa na daktari aliyevaa koti jeupe na kunyoosha nae mpaka ofisini kwake maabara.
“karibu sana Mr.Adrian”
Alisema Dokta.
“ahsante,, nimekuja kupima virusi vya ukimwi”
“kwanini umeamua kuja kupima virusi vya ukimwi?”
“nimelala na changudoa bila kinga”
“kwa mfano uki…”
“ebwana nipime ukimwi acha maswali, una nipima au unaendelea kuniuliza maswali yako?”
“inabidi kwanza nikupe ushauri na Saha”
“mimi sitaki ushauri wala nini, wala saha nipime ukimwi”
Damu yake kubwa ilitolewa kwenye mshipa hapo hapo na kupelekwa maabara kwa ajili ya uchunguzi, baada ya dakika thelathini daktari alikua teyari kasha fika na karatasi za majibu na kuketi akiwa tayari kusema matokeo,
Moyo wa Adrian ulizidi kumlipuka ulizidi kudunda huku jasho liki mtoka sana akimtolea dokta macho, kwa kuwa maji Alishaya vulia nguo ilikua ni sharti ayaoge tu.
“Mr. Adrian nasikitika kukwambia kuwa wewe ni muathirika wa ugonjwa wa ukimwi, lakini hii haikufanyi wewe ukate tamaa utaishi miaka mingi sana tuta kupa da….”
“dokta hapana, sio ukweli navyojua mimi ukimwi mtu hawezi kuupata kwa siku moja dokta ta…”
Hakuweza kumalizia maneno yake sababu ya hasira, alipanga hasira zote aende kuzimaliza kwa NATU , alitoka na kuubamiza mlango akiwa mwenye mawazo mengi sana. Alivuka barabara bila kuona gari linalokuja kutokana na mawazo mengi na kumchota mzima mzima!.
**
Jasho jingi lilimtoka baada ya kukurupuka kitandani, ndoto aliyokua anaota ilimtisha sana na kubaki kutoa macho, alivyotupa macho yake juu ya saa kubwa aliona imesha fika saa kumi ya jioni, alivyogeuza macho yake mezani aliona simu ikiishia kuita hakua mwingine isipokua ni Natu,

alivyoichukua alikuta kuna missed call kumi na moja za Natu, na kuufanya moyo wake uzidi kumdunda na kufanya hasira impande hasa kutokana na ndoto aliyokua akiiota iliyo endana na ukweli. na kumfanya azidi kuingiwa na wasi wasi sana juu ya afya yake!.

 Ndoto aliyokua akiota muda mchache ndiyo iliyo mshtua, bado alikua kapoteza Netwoki zake kichwani na kushukuru ilikua ndoto tena ya mchana ingawa aliyo ota yote yaliendana kabisa na matukio yaliyotokea muda mchache,
ilikua ni lazima achukue maamuzi magumu ya kwenda hospitali kujua afya yake sababu tu alilala na Natu na condom aliyokua akitegemea kama kinga kuchomoka, uwezekano wa kuambukizwa virusi vya ukimwi ulikua ni mkubwa sana endapo mwanamke huyo alikua navyo basi alijihesabia kuwa nayeye ni lazima atakua nao.
“Halloo!”
Alipokea simu iliyokua inaita kutoka kwa Natu.
“mbona kimnya jamani?”
“niko bize”
“hata salamu jamani, basi hata meseji, tusahau yaliyo pita basi tuwe marafiki tu wa kawaida hakuna shida yoyote ile”
“nikuulize kitu?”
“niulize tu”
“mara yako ya mwisho kupima afya yako lini?”
“afya kivipi?”
“mara ya mwisho kupima ukimwi ni lini?”
“sijawahi kupima, kwani vipi?”
“hakuna kitu, nimekuuliza tu”
“mmmh”
“baadae nitakucheki”
“poa”
Bado mawazo mengi yalikua yakipita ndani ya akili yake hususani swala la afya yake, alijizoa zoa mpaka bafuni na kujimwagia maji na kurudi kitandani, alikumbuka vizuri kuhusu saa yake kutoka kwa Mathew hapo ndipo alipo mtafuta kwa njia ya simu ya mkononi.
“njoo keko uchukue saa yako”
“sio saa tu namtaka na huyo demu aliyekupa hiyo saa namtaka mimi nimfunze adabu”
“njoo tuya malize basi kiume”
Hakua na chaguo lingine zaidi ya kuvaa nguo zake na kuingia ndani ya gari na safari ya keko kuanza mara moja, haikuchukua hata dakika sitini alikua teyari yupo keko na Mathew,
Ilibidi tu Mathew amueleze ukweli wa mambo hakua na haja ya kuficha juu ya mazingira alipo ipata saa yake ilibidi awe mkweli tu ili mambo yasije kuwa makubwa huko mbeleni.
“ila nikuombe kitu Mathew”
Alisema Adrian.
“niombe”
“nampenda Jaqlin, kama hauna malengo nae tafadhali usimpotezee muda wake”
“hata mimi nampenda nina mipango nae mingi sana, saa yako iyo hapo ila naomba usimwambie kuhusu stella mshkaji wangu”
“Hapana siwezi kufanya ivyo”

Hayo ndiyo yalikua maongezi ya mafahali hawa wawaili waliodondoka katika penzi la binti mmoja,
bado Adrian alikua na kazi kubwa sana, licha ya kuambiwa na Mathew yote hayo lakini bado hakukubali, hakutaka kuidhurumu nafsi yake,
majuma yalikatika na mwezi sasa kuisha bado alikua msumbufu sana akitumia njia tofauti za kumnasa mwanamke huyo bila ya kuzaa matunda,
Ilibidi tu amfuate Felista binamu yake amuelezee juu ya yeye kumpenda binti huyo ambaye alikiri kuwa ndiye atakae kuja kufunga nae pingu za maisha siku chache akiwa mpenzi wake.
“Adrian si nilisha kwambia mambo yako ya wanawake usinishirikishe?”
Aliropoka Felista na kukataa kata kata, alikumbuka jinsi alivyo bakwa kisa kumuunganishia wanawake Adrian, hata yeye hakua tayari kufanya kile anachoambiwa na Adrian kabisa,
alielewa ni jinsi gani ndugu yake alivyokua Malaya kila kukicha ana badilisha wanawake ivyo alijua kwa jaq ndivyo itakavyo kua,
hakuelewa kuwa alishateseka na mwanamke huyo kwa siku nyingi sana.
“Felista, nampenda sana huyu mwanamke niamini nayokwambia”
“Adrian sitaki sitaki sitaki, toka dukani kwangu kama hauna maswala mengine ya msingi ya kunieleza, kaka yangu hunionei huruma, unataka nife kwa ajili yako ndio ufurahi au?”
“hapana sio ivyo, nimeteseka sana na huyu mwanamke nilienda mpaka kwa shangazi yake nimeshafanya yote, Felister niangalie machoni nampenda huyu binti, tafadhali nenda kamueleze”
Huo ndio ulikua mwanzo wa kuanza kumsumbua tena Felister,
hakuacha kumsumbua mpaka wiki inakatika hakuchoka, kweli Alisha choka hata yeye na kuanza kukata tamaa ya kumpata mwanamke huyo, alijua wenda hakua fungu lake, kama karata basi hiyo ndiyo ilikua ya mwisho,
“akikataa kwa Felister basi, nina achana nae nifanye mambo yangu mengine tu, sababu nishachoka hata mimi”
Hayo ndiyo yalikua yakipita ndani ya ubongo wa Adrian siku hiyo jioni akitokea kazini kwake akielekea Sinza kwa Felister,
kweli alipiga hesabu ya miezi aliyo kua akimsumbua mwanamke huyo na kustaajabu ni kitu gani alichokua nacho mpaka akatae kuwa na mapenzi nae kama pesa anazo nyingi za kutosha,

hakuelewa hata yeye binafsi, aliweka gari pembeni ya duka la Felister na kushuka, moja kwa moja alienda mpaka kwa binamu yake Felister ili kumkumbushia kuhusu swala la yeye kumueleza jaqlin.
“sawa mimi nitaenda kumwambia leo. Umesema yupo zile hostel za mabibo?”
“ndio hapo hapo, nitakuelekeza, shika hii pesa ya taxi, ahsante sana Felister namba zake hizi hapa”
“usijali, naomba maamuzi nayo fanya nisije nikaya jutia, naomba ukimpata huyu mwanamke utulie nae, mimi najitoa muhanga kwa ajili yako Adrian”
“usijali kwa hilo”
Baada ya siku mbili kupita na jumapili kufika ilibidi Felister ata fute usafiri mpaka mabibo hostel na kuonana na jaq amueleze kuhusu hisia za Adrian, kweli alimpata na kuanza kujitambulisha, aliamini kuwa mambo yangekua rahisi sana lakini hayakuwa kama anavyodhani,
alijaribu kumshawishi mwanamke huyo bila kufua dafu.
“hapana siwezi kuwa nae, nilisha mueleza yote haya ila hanielewi, nilishamwambia kuwa nina mchumba tayari, nafikiri hata wewe unaelewa Kiswahili,”
“sawa sikatai jaribu hata kumfikiria na yeye”
“hapana mimi siwezi dada angu, acha mimi niende zangu, ila msalimie sana”
Hata yeye alikatwa maini kabisa, mambo haya kua mazuri kabisa, aliinuka na kunyoosha moja kwa moja mpaka kwa Adrian na kumuelezea yale aliyoambiwa, moyo ulimuuma hata yeye na kushusha pumzi ndefu za uchovu.
**
“dada samahani Mathew hayupo”
“sawa.. akirudi atanikuta ndani”
“yaani nina maana amesafiri”
“amesafiri?”
“ndio dada”
“ameenda wapi?”
“hata sijui”
Habari kutoka kwa mlinzi wa getini ziliufanya moyo wa Jaqlin upate ganzi kabisa na kunyong’onyea, walishafunga chuo tayari aliweka mabegi yake chini na kukaa kitako,
alipanga likizo hiyo ya wiki tatu abaki na mpenzi wake Mathew lakini mambo yalikua tofauti na alivyo dhani.
kitendo cha Mathew kuondoka na kusafiri bila ya kumuaga ndiko kili mkera kuliko vitu vyote,
alichukua simu yake na kumtafuta hewani lakini hakumpata hewani na kumfanya azidi kuchanganyikiwa sana.
Kwa shida na uchovu alibeba mizigo yake na kurudi hostel kwao akiwa haamini kilichotokea hakua na chaguo lingine zaidi ya kwenda kinondoni kwa manyanya kwa shangazi yake ili likizo yake aimalizie huko huko, hakutaka kurudi Arusha, kila kukicha alimtafuta Mathew hewani bila mafanikio yoyote yale.
Siku zilienda tu bila mafanikio,
Siku hiyo asubuhi hakuamka vizuri alijihisi amechoka sana nguvu zime muishia, kwa mara ya kwanza alipuuzia ila kadri siku zilivyo zidi kwenda ndipo hali yake ilizidi kuwa mbaya sana, alianza kutapika na wakati mwingine kutapika damu nzito,
hapo ndipo shangazi yake alipomchukua na kumuwaisha hospitalini, kwa hali aliyokua nayo ilibidi wamuingize chumba cha X ray kujua nini tatizo.
Wakati hayo yana fanyika alikua akilia kama mtoto mdogo alikua akipata maumivu makali sana ndani ya tumbo lake hakuelewa nini tatizo.
Majibu yalikua mabaya sana kutoka chumba cha x-ray.
“ana uvimbe tumboni, ivyo inabidi tumfanyie upasuaji mara moja la sivyo mta mpoteza, nashangaa sana sijui mlikua wapi muda wote mpaka tatizo likawa sugu?”
Alizungumza dokta.
“Mungu wangu Dokta, sijui itakuaje na wazazi wake hawapatikani, ni kiasi gani kwani huo upasuaji?”
“milioni nne pamoja na kusafisha utumbo wake na kutoa uchafu wote wa tumboni, huu uvimbe inaelekea alikua nao siku nyingi sana sasa umekua mkubwa na unakaribia kupasuka, nina maana kuwa ana siku chache za kuishi endapo huo uvimbe ukipasukia tumboni”
Zilikua ni habari nzito tena mbaya sana kutoka kwa daktari aliye mbele yake, pembeni pia aliketi Fetty na kuangua kilio hapo hapo, alitoka nje na kuanza kulia sio yeye tu hata kwa shangazi yake Jaqlin alibaki akibubujikwa na machozi zilikua ni pesa nyingi kwake hakuelewa atazitolea wapi hata yeye,
hiyo ilimaanisha kifo cha Jaqlin.

Walienda mpaka kitandani kwake kumuangalia jaqlin aliyekua akiongea kwa mbali akiwa na dripu mkononi mwake, Fetty alilia machozi lakini hakutaka kumwambia ni kwanini analia.
“Fe….tty unaaalia nini, nitaapona usija..ali”
Aliongea Jaqlin kwa shida sana huku majasho mengi yakimtoka.
“utapona usijali..ut…apona sawa, lakini wanahitaji pesa nyingi sana ili ufanyiwe upasuaje”
Alijaribu kumfariji Fetty.
“hakuna shida kama Baba na Mama hawapatikani,basi mtaaaafute Matthew ataaakuja kulipa,”
Hapo ndipo Fetyy alimtafuta Mathew kwenye simu lakini haikuwa hewani, alizidi kuchanganyikiwa zilipita siku mbili sasa hali ya jaqlin ilizidi kuwa mbaya ya kutisha sana,

walijaribu kumtafuta tena Mathew kwenye simu lakini hali ilikua ile ile hapatikani,
deni la hospitali lilizidi kuwa kubwa sana na kila mtu kusubiri kifo cha Jaqlin, sababu Alisha poteza mwili wake, alikonda sana na kubaki mashavu, midomo ime mkauka, hakua mrembo kama hapo siku za nyuma alivyo kua na afya yake, hata yeye alijihesabia kuwa ni marehemu mtarajiwa.
“Jaquee nampigia Adrian”
“hapaaaaana niacheee tu niifeeeee”
“Noo hapana, bora tumkope tu pesa maana nimeshahangaika nimekosa msaada”
****
“yeah, ndio ndio Becka, nita pitia sauzi Afrika hapo.. pesa zipo nitakaa cape town wiki moja tu.. sio ivyo sasa, nataka nikaanze maisha mapya Ghana, ndio sirudi tena viza ipo tayari.. mimi nasepa, sawa tuta wasiliana!”
Adrian teyari alikua kasha chomekea mkanda nje na begi lake dogo mkononi tayari kwa safari ambayo alitaka akaishi Nchini Ghana maisha yake yote akae huko huko, ikiwezekana abadili hata uraia,
hakutaka kukaa tena nchini Tanzania Alisha ichukia nchi yake kisa mwanamke tu, wala sio kitu kingine, alishakata tamaa ya kuwa na Jaqlin aliona kuendelea kumfuata au kumsumbua ni sawa na kusubiri meli uwanja wa ndege jambo ambalo halitoweza kutokea kamwe,
pesa alikua nazo nyingi tu za kutosha. Alishusha pumzi ndefu na kuweka passpot yake ya kusafiria vizuri ndani ya begi dogo.
“Felister upo tayari?”
“yaah, Adrian nitakumisi sana”
“hata mimi Felister”
Waliongea wakiwa ndani ya gari akiwa anaendesha kuelekea uwanja wa ndege, licha ya yote hayo alikua akiendesha gari huku akimuwaza Jaqlin mwanamke ambaye aliyempenda kupita maelezo yaliyojitosheleza!.

ndani ya dakika arobaini alikua tayari yupo Uwanja wa ndege Mwalimu Nyerere na kuagana na Felister akimkabidhi mali zake zote awe anaziangalia.
Alizima simu yake kabla ya kuingia ndani ya chumba maalumu kwa ajili ya ukaguzi wa mwisho kisha kukumbatiana kwa mara ya mwisho,
Felista alijikuta akilia machozi ya uchungu alimzoea sana Adrian kama ndugu yake,
moyo ulimuuma kutenganishwa nae alikumbuka vituko vingi sana na mambo waliyokua wakiya fanya hapo nyuma.
“kila la kheri ADRIAN Mungu awe nawe”
“Amen”
Taratibu alianza kuburuza begi lake kubwa la matairi mpaka mlangoni akipanga foleni kwa ajili ya ukaguzi wa mashine za kuskani,
ila kwa mbali alimuona Felista akija huku akikimbia na kumuita jina lake.
“Adrian simu yako”
Aliongea Felista huku akihema.
“kutoka kwa nani?”
“jaqlin, kuna habari mbaya sana tafadhali embu shika”
“halloo”
Aliongea Adrian.
“Adria…n tafa…dhali mimi Fetty njoo hospitali ya mwananyamala Jaqlin anakufa tunaomba msaada wako, niko chini ya miguu yako nasikia una safiri ila nakuomba sana”
Fetty aliongea na kusikika akiwa analia sana katika upande wa pili wa simu, dalili hizo zilionesha tosha kuwa mambo hayakuwa mazuri kabisa, bado Adrian alikua katika bumbuazi hakuelewa ni kitu gani achague kusuka au kunyoa, kuingia ndani ya ndege na kuondoka zake au kwenda hospitali kumsaidia mwanamke ambaye alimtesa sana moyo wake na kufanya mpaka apigwe nusu kuuliwa.

 Mwanamke aliyekua akimtesa sana Adrian aliyeitwa Jaqlin sasa hivi yupo hospitali hoi bin taaban anaumwa sana, ana uvimbe tumboni zinahitajika pesa nyingi sana ili kukamilisha zoezi hilo la upasuaji ili kutoa uvimbe uliokua unataka kuutoa uhai wake, hana msaada wowote ule wazazi wake walio kuwa mkoani Arusha hawapatikani kwenye simu,
Mpenzi wake mathew ivyo ivyo nayeye hapatikani, hana chaguo lingine zaidi ya kusubiri kifo chake,
Fetty ana mkumbuka Adrian na kumpigia simu hapo hapo ili kuomba msaada kifedha sababu ya mambo kuwa magumu sana na ndiyo huyo mwanaume waliyekua wakimtegemea, walishazunguka kwa ndugu jamaa na marafiki bila ya kupata msaada wa aina yoyote ule.
Moyo wa Fetty ulizidi kumuuma sana hasa alipo sikia Adrian hatoweza kuja na kasha kata tiketi ya ndege tayari kwa safari ya kuelekea Ghana.
“Mungu atamsaidia, usijali m-baki salama!”
Hilo ndilo jibu alilojibu Adrian na kukata simu yake ya mkononi, alishaamua kwenda kuishi Ghana akaanze maisha mapya ilikua ni lazima asonge mbele uamuzi aliouchukua ulikua teyari upo kichwani mwake.

Hata Felista aliyekua uwanja wa ndege alishtuka sana kusikia maneno ya Adrian hata yeye hakutegemea kauli hiyo.
“kweli una amua kuondoka bila kutoa msaada wowote?”
Alihoji Felister.
“ndio, nishakata tiketi, kwani si ana boyfriend wake Mathew, mimi sio mwanaume mpuuzi kiasi hiko, wacha niondoke zangu, nihudumie mimi alafu wengine wakamue maziwa,”
Maneno aliyoongea Adrian aliyaamanisha licha ya mapenzi aliyokua akimuonesha Jaqlin kipindi cha nyuma haikufanya yeye aghairi safari yake,
alivuta begi lake na kuingia ndani ya chumba maalumu tayari kwa kupiga muhuli pasipoti yake na kusita.
“kaka vipi?”
Alihoji Dada aliyekua kwenye kisehemu cha ndani baada ya kumuona Adrian kaganda hasemi chochote.
“nimeghairi kusafiri,”
Ghafla alibadili mawazo na kuanza kurudi nyuma na kutoka nje, ulikua ni uamuzi mgumu sana bado alihisi anampenda sana mwanamke huyo Jaqlin,
na aliamini kua maisha ya mwanamke huyo sasa hivi yapo mikononi mwake na wala sio kitu kingine na kubadili maamuzi, alikimbia mpaka kwenye gari lake na kumuona Felister ndiyo anageuza gari.
“kaa kushoto”
“Adrian vipi?”
“kaa kushoto sogea niendeshe gari,”
“sijakuelewa”
“tunaenda mwana nyamala”
Mwenyewe aliingia haraka haraka, alikamata usukani na kurudisha gari kinyume nyume kwa kasi ya ajabu alilitoa mbio sana kwa safari moja tu mwananyamala hospitalini,, alishasahau mpaka begi lake la nguo uwanja wa ndege,
Alikimbiza gari huku akipiga honi mfululizo kama kichaa kwa ajili ya kuwahi hospitalini.

Haikuchukua hata dakika arobaini alikuwa keshafika hospitali na kushuka haraka haraka kama mkuki nyuma Felister akimfuata,
ilikua ni lazima amuhudumie Jaqlin hata kwa pesa yoyote ile, lakini hakua na uhakika kama mwanamke huyo angemkubali hata angemfanyia wema gani.
Bada ya kufika mapokezi walielekezwa mpaka wodi alilolazwa mwanamke Jaqlin..
“Adrian”
Aliropoka Fetty huku akifuta machozi yake kwa furaha ali mfuata na kumkumbatia, Jaqlin alikua amelala hajiwezi, hakika alikua ana hali mbaya sana, hata Adrian alishtuka sana alivyomuona kitandani amekonda na midomo kumkauka.
“ana endeleaje mbona hapati matibabu?”
“pesa hakuna Adrian, wamekataa kumuhudumia”
“okay, nataka hii hospitali aamishwe mara moja, na kiasi gani anadaiwa?”
“sijui sijui Adrian nashukuru Umekuja”
Moja kwa moja alinyoosha mpaka chumba kidogo cha keshia ili kujua ni kiasi gani anadaiwa mwanamke anayempenda mpaka wakashindwa kumtibia.
“wapumbavu nyie, tena wewe dokta ni mpumbavu huna akili zako, yaani hiyo milioni tano na laki mbili ndio inakufanya usitishe huduma,?”
Alifoka Adrian kwa sauti huku akipiga piga piga meza, kweli alikerwa na kuzungumza kwa hasira za wazi wazi.
“sio ivyo, kuna uhaba wa dawa stoo”
“naomba mfanye utaratibu wa kumuhamisha hii hospitali mara moja, pesa natoa sasa hivi naenda benki,”
Adrian bado alikua na hasira sana, alitoka nje na kutafuta moja ya bank ili atoe pesa, alivyo rudi alikua na baasha mikononi mwake na kumkabidhi daktari kitita cha pesa,
na hapo ndipo alipo kodi gari maalumu la wagonjwa haraka haraka ili safari ya kwenda hospitali ya Aghakhan ianze, aliamini huko kuna madaktari bingwa wa kihindi,
Jaqlin alikua ndani ya gari la wagonjwa tayari akiwa hana fahamu zake kabisa alikua ni kama aliyekufa, dripu aliyotundikiwa ya glucose kwenye mishipa yake ndiyo iliyokua ikishusha maji hayo ili kujaribu kumpa nguvu,
Magari barabarani yalipisha Adrian alikua nyuma Na gari yake Audi hakutaka kucheza mbali kwa moyo mmoja alikubali kumsaidia mwanamke huyo ‘hasara roho pesa makaratasi’ aliwaza Adrian huku akibadili gia, alishaamua kujitolea tayari na kughairi safari yake ya kuruka kwenda Ng’ambo.
“wiu wiu wiu wiu!”
King’ora kilizidi kupiga kelele gari hilo maalumu lilizidi kuchanja mbunga kwa kasi huku magari mengine yakipisha barabarani,
dakika sabini zilikua nyingi walishafika hospitali ya aghakhani na wauguzi wa kike kutokea haraka haraka walio valia nguo zao nyeupe na kumuweka Jaqlin juu ya kitanda chenye magurudumu na kukitembeza kwa haraka haraka, moja kwa moja mpaka kwenye chumba cha upasuaji.
Hapo ndipo kila muuguzi alimshambulia kumtundikia dripu nyingine, walivyo mfungua macho yake hawa kuweza kukiona kiini cheusi cha macho yake, macho yake yalikua meupe,
hali hiyo ilizidi kuwashtua sana wauguzi.
Adrian,Fetty na Felister walizidi kuchanganyikiwa sana habari walizopewa zilizidi kuwachanganya akili zao hata wao hawakuelewa ni kitu gani kimetokea,
“Gonjwa wenu ana hali mbaya sana, kwanini mumemchelewesha yeye bana, ana uvimbe kubwa sana ndani ya tumbo lake, hapo kuna kitu moja tu, tufanyie yeye upasuaji ila kupona itakua ngumu sana”
Aliongea dokta Samir kwa Kiswahili kibovu cha kihindi.
“Fetty mimi nashindwa kutoa uamuzi hapo,”
Adrian hakua mzazi wake ivyo hakua na mamlaka ya kuchagua swala hilo litokee.
“wazazi wake hawapatikani Mungu wangu, sijui itakuaje…Mungu amsaidie”
“takiwa nyie mfanye maamuzi ya haraka sana muna saa mbili tu”
“sawa mfanyie upasuaji, Mungu atampigania”
Kauli aliyotoa Fetty ilimfanya Adrian moyo umwende mbio sana kulikua kuna mawili kufa au kupona,
japo jambo la kwanza alilolifikiria hakutaka kulipa kipaumbele kwenye akili yake, aliamini kuwa Jaqlin atapona na kurudi katika hali yake ya kawaida kama hapo awali,
Karatasi maalumu zililetwa ili waweke sahihi ya kufa au kupona, baada ya zoezi hilo kukamilika Dokta Samir alisimama na kuchukua vifaa maalumu tayari kwa kufanya upasuaji na kuutoa uvimbe uliokua tumboni mwa Mwanamke huyo Jaqlin.

Kitanda kiliburuzwa mpaka ndani thieta na madaktari wote bingwa kuingia ndani ya chumba hiko cha upasuaji,
kila daktari alikua makini sana kufanya kazi yao waliyo bobea ya kucheza na miili ya wanadamu,
Walimchana tumbo lake baada ya kumchoma sindano za nusu kaputi na kuanza kufanya upasuaji kwa umakini wa hali ya juu sana,
wakati hayo yana fanyika Adrian na Fetty kila mtu alikua akimuomba Mungu wake afanye miujiza itokee.
Ndani ya dakika arobaini walikua tayari wamesha kamilisha zoezi la upasuaji ila kili chozidi kuwashangaza ni Jaqlin kutorudi katika hali yake,
sababu waliamini dawa waliomchoma ya nusu kaputi ya lisaa limoja nguvu yake imesha isha.
“Mhhhhh”
Aliguna daktari mmoja wapo.
“vipi?”
“huyu hatopona, una kumbuka juzi ilikua hivi hivi, Yule mzee alifariki”
Alisema Daktari huyo na wote kusikitika, dalili zilionesha kuwa walishindwa na maisha ya Jaqlin yalikua asilimia thelathini kupona mpaka dakika hiyo. Walisubiri tena lisaa limoja mbele bila mafanikio yoyote yale jaqlin alikua kimnya hasemi tena wala kujitingisha.

Masaa mawili yalikatika Bado Adrian, Fetty pamoja na Felister walikua kwenye benchi wakisubiri majibu, kitendo cha daktari kutoka nje ya chumba cha upasuaji wote walisimama na kumsogelea kwa haraka!.
“Vipi Daktari,hali ya mgonjwa imekuaje?”
Aliuliza Adrian huku jasho liki mtoka.
“njoo nifuate ofisini, nyie wengine nisubirini”
Mguu kwa mguu Adrian na daktari waliongozana mpaka ofisini na kuketi.
“wewe ni mwanaume ndiyo maana nika kuita peke yako, sisi wanaume tuna roho za paka, tuna roho ngumu, tuna roho saba”
Maneno hayo machache tu ndiyo yalimfanya Adrian moyo uzidi kumdunda, kupitia macho ya daktari huyo wa kiswahili aliweza kugundua kitu ambacho hakikua cha kawaida, aliomba Mungu sana jambo analowaza lisiwe la kweli, alimshuhudia Daktari akitoa miwani yake kubwa machoni na kuiweka mezani huku akiyafikicha macho yake.
Dalili zilionesha kuwa kuna habari ya msiba!



*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)

0 comments:

Post a Comment

BLOG