Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

MCHACHUKO SEHEMU YA 10/10 MWISHO



MCHACHUKO
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 10 KATI YA 10
*******
 *******


Nyimbo ya ‘Power of Love’ ndiyo iliyowafanya watu kweli waamini kuwa Jovvana ana kipaji cha
kuimba hapo shuleni, lakini siku zote wanafunzi walipenda kumshindanisha Jovvana na msichana mmoja aliyeitwa Natasha Edward.
Huyu alikuwa akiimba nyimbo za Shania Twain na nyimbo ya ‘Forever and for Always’ ndiyo ilizidi kuinua hisia za wanafunzi na kushindwa kujua nani ni zaidi ya mwenzake.
“Natasha naye noma”
“Ah wapi hajamfikia Jovvana”
“Toka zako,tuandae tamasha”
“Kweli?”
“Ndio”
Wavulana wa kidato cha tano walibishana na siku hiyo ilibidi waombe liandaliwe shindano maalumu la kuimba, lakini iwe nje ya shule.

Jovvana na Natasha walikuwa wakitaka kushindanishwa ili kujua nani zaidi.Gibson alivyosikia habari hizo alifurahi sana na kuanza kupanga njama batili za kumnasa Jovvana.
“Huyu lazima nimpe pombe huko alewe hapo nitamla kiurahisi sana”
Jovvana na Natasha walikuwa gumzo katika uimbaji na kusababisha fujo kubwa shuleni hapo wengine wakijiita Team Jovvana na wengine Team Natasha,ushabiki ulikuwa mkubwa na mpaka hapo hakuna aliyejua ni nani angeshinda kwenye uimbaji ili kutoa mzizi wa fitina.

Shindanio liliandaliwa liwe tarehe kumi na mbili mwezi wa sita baada ya mitihani kuisha.Lakini siku zote Jovvana hakutaka kuwaambia wazazi wake juu ya swala hilo alihofia sana na alijuwa asingeruhusiwa hiyo ilimfanya abaki na siri hiyo kifuani.
“Huyu mtoto lazima nimpe pombe na bangi. Siku hiyo nimdinye ili niweke historia kwenye shule hii”
Aliwaza Gibson huku akimtizama Jovvana aliyekuwa anapita mbele yake.


***

Hakuna kijana aliyekuwa maarufu nchini India kama Raul, utajiri aliouacha Marehemu Ahsan Abrahman ulifanya jina lake livume kama upepo wa kimbunga!Raul alikuwa ni kijana wa miaka kumi na Saba na tajiri namba moja nchini India.
Nyuma yake kulikuwa kuna watu wenye akili waliomfanya awe tajiri na kuziongeza mali za Marehemu Ahsan Abrahman.Mambo yalimnyookea ghafla, mbali na kuwa tajiri alikuwa ni mvulana mtanashati na mzuri, pengine lingetokea shindano la wavulana watanashati angekuwa nambari moja.Wasichana wengi walikuwa wakimtaka kimapenzi hata wakati mwingine wake za watu, kifupi Raul alikuwa gumzo midomoni mwa Watu.
Ratiba yake siku zote ilijulikana, shuleni alikuwa akisoma Marekani katikati ya jiji la Los Angeles na likizo peke yake ndiyo hurudi India Mumbai kufanya kazi.Hata alivyokuwa Marekani wasichana mbalimbali walijipitisha na kujigonga kwake, lakini siku zote jibu lake lilikuwa ‘no’.Alivyoteremka na ndege yake Mumbai siku hiyo alivyofunga shule kwa ajili ya likizo ndiyo ikawa kasheshe.
“welcome back boss”(Karibu tena tajiri)
Mwanamke mmoja wa kihindi alimuwekea Mwamvuli juu Raul na kumpokea Begi baada ya ndege yake kutua uwanja mdogo,
alikuwa ana walinzi kila kona na wakati anatembea alipita juu ya kapeti jekundu akiwa amevalia suti nyeusi,huku wafanyakazi wakiwa wamejipanga pembeni yake wakimsujudu mtoto huyu mdogo aliyewazidi umri.
Moja kwa moja aliingia ndani ya gari ya kisasa aina ya Rolls Roise na baada ya hapo safari ya kuondoka ikaanza,Msafara ulikuwa mkubwa nyuma na kukikomea kwenye ngome yake, hapo gari ilitembea kama kilomita moja na mmoja wa walinzi kuufungua mlango wa nyuma kisha Raul kushuka na kuingia ndani ya ngome hiyo kubwa iliyofananishwa na ikulu ya Raisi.

“Nikifikisha miaka kumi na nane nataka nipate msichana mrembo sana aendane namimi niliambiwa asili yangu ni Afrika,lazima nipate msichana kutoka huko aje kuishi namimi huku”
Hayo yote yalipita kichwani mwa Raul akiwa anaoga bafuni akijisugua,baada ya hapo alitoka na taulo mpaka chumbani kwake kulipokuwa na meza kubwa,alikaa juu ya kiti ambapo teyari kulikuwa na msosi juu yake.Alikula na kujitupa kitandani akitafakari maisha yanavyokwenda.
Kilichomuamsha Asubuhi siku hiyo ni simu yake iliyokuwa inaita mfululizo alivyoiangalia aligundua kuwa ilitoka kwa msichana wa kimarekani aliyeitwa Clara aliipokea na kuiweka sikioni.
“Tsup Raul?”(Habari Raul)
“Am cool”(Niko poa)
Kuishi sana Marekani kulimfanya aweze kuongea kidogo kama wao.
“Hope you have reached safely?”(Natumai umefika salama)
“Yeah yeah Clara”
“But Raul”(Lakini Raul)
“Yes”
“You know how much I love you,I love you Raul,please don’t make me suffer like this,try to think about it, what should I do to prove my feelings to you?give me a chance in your heart I will make you happy for the rest of your life”(Unaelewa ni kiasi gani nakupenda,nakupenda Raul,tafadhali usinifanye niteseke kiasi hiki,jaribu kufikiria kuhusu hilo,kitu gani nifanye ili uziamini hisia zangu?nipe nafasi kwenye moyo wako,nitakufanya uwe na furaha katika maisha yako yote)
“Clara”
“Raul”
“Am sorry.. I cant be with you.I know how much it hurts but to be sincere I cant,I think this conversation is over.And am sorry once agin.Lets be friends”(Niwie radhi,siwezi kuwa nawewe.Naelewa ni kiasi gani inauma lakini kusema ukweli siwezi.Nafikiri haya mazungumzo yameisha.Nisamehe kwa mara nyingine.Tubaki kuwa marafiki)
Raul alimaliza na kukata simu.Clara hakukoma aliendelea kupiga simu mfululizo na Raul akaizima simu yake na kuitupa kando kitandani.
****
Adrian na Jaqlin walizidi kumpenda mtoto wao Jovvana kila siku iendayo kwa Mungu.Lakini Jovvana hakuruhusiwa kutoka nje ya geti hata siku moja, Adrian ndiye aliyeweka huo mkazo kwa walinzi, kifupi alikuwa mtoto wa geti kali!Ratiba yake ilieleweka kama hayupo ndani basi shuleni kama siyo kati ya sehemu hizo mbili basi viwanja vingine vikubwa na wazazi wake,hata siku moja hakuwahi kutoka nje ya geti akiwa peke yake,rafiki yake mkubwa alikuwa ni Rahma ni kwasababu tu wazazi wake walikuwa wana urafiki mkubwa na wazazi wa Jovvana yaani ‘family friend’ na ndiyo maana Rahma aliruhusiwa kuingia nyumbani kwa akina Jovvana na mara chache Jovvana kwenda kumtembelea Rahma.

Utajiri na Jina la Adrian Mwangenya lilizidi kuvuma.Jaqlin alifungua saluni pamoja na maduka ya vipodozi makubwa katikati ya mji huko Kariakoo na kufanya jina lake likue.Kila mtu alimtambua Mrs.Adrian Mwangenya au Mama Jovvana, gari lake likipita kila mtu alilinyooshea kidole.Jaqlin alikuwa tishio sio kwa pesa tu hata kwa uzuri,alikuwa ni mwanamke wa kujipodoa na uso wake ulizidi kung’aa, mbali na hapo alimpenda sana Mume wake na siku zote mwisho wa mwezi walikuwa wote kwenye saluni na maduka wanazunguka kupiga hesabu.
Range rover spot pamoja na Bmw x6 zilikuwa zimepaki pamoja nje ya saluni kubwa iliyoandikwa JJ beauty saloon kwa juu ikimaanisha kuwa Adrian nayeye alikuwepo anafanya hesabu siku hiyo.
“Mtu na mke wake wapo hapa leo”
Kijana mmoja mfanyakazi alimsemesha mwenzake.
“Nani? Chif Mwangenya?”
“Sasa kumbe nani?”
“Nimeona ndinga yake hapo nje,alafu sikuwahi hata kumuona mtu mwenyewe, leo sitoki hapa mpaka nimuone”
“Utamuona subiri”
“Poa poa,hapa hapa nakaa kwenye benchi,sogea huko ili nione vizuri macho yangu leo hayatoki kwenye ule mlango wa saluni”
Kijana alitaka kumuona Adrian Mwangenya anafananaje,hakuchezesha kope zake,macho yake yalikuwa kodo mlangoni.
Adrian Mwangenya alikuwa ni miongoni mwa kijana tajiri namba moja nchini Tanzania.Mpaka hapo alikuwa ana umri wa miaka thelathini na nane.Lakini ungemuona ungethani ni kijana mdogo mwenye miaka ishirini na tano hivi.Pesa ilikinga umri wake.

“Umesema ni shilingi ngapi?”
Jaqlin alimuuliza Mfanyakazi wake wakiwa ndani ya saluni.
“Milioni saba bosi”
“Kivipi?”
Aliuliza Tena akitaka kujua zaidi.Wakati huo Adrian alikuwa kimnya anabonyeza simu yake amekaa anachati!
“Juzi ulimtuma Mussa aje kuchukua Milioni moja ukasema ya kutengeneza gari”
“Okay nimekumbuka enheee”
“Hii nyingine ni Expenses chakula pamoja na usafiri”
“Sasa kwanini hukuandika pembeni?”
“Samahani Mama”
“Vitu vingine mnaweza kupata matatizo wenyewe,usingekumbuka hapa kazi ungekuwa huna Husna.Siku nyingine uwe una rekodi.Mali bila daftari huenda bila habari”
Mfanya kazi aliyeitwa Husna alikabidhi pesa za mahesabu na Jaqlin kuziweka kwenye pochi yake.
“Baby,tayari tuondoke”
Jaqlin alimwambia mume wake Adrian.
“Tayari?”
“Ndio”
Wote wakainuka na kutoka nje na kulikuwa kuna watu wengi, ilionekana walikuwa wakiwasubiri na hata baadhi ya waandishi wa habari walikuwepo.Hawakutaka kuongea nao sababu walishawazoea.
“Mimi naenda msasani kule,wewe unaelekea wapi?”
Adrian alimsemesha Mke wake kabla ya kuingia ndani ya magari yao.
“Napita benki kuweka pesa kisha nitaenda nyumbani,nikupikie mchana?”
“Hapana nitachelewa kurudi leo”
“Okay poa,baadaye Sweatpie take care”
“Poa”
Kila mtu aliingia ndani ya gari lake.Mwingine akaelekea Magharibi na mwingine Mashariki.
****
“Sasa Rahma mimi nimekuja hapa kwenu nina tatizo,naomba unisaidie”
“Tatizo gani?”
“Si unajua navyobaniwa pale home”
“Ndio naelewa”
“Nataka tucheze mchezo”
“Enheee mchezo upi?”
“Leo njoo nyumbani zuga unakuja kuniombea ruksa tunaenda kwenye Birthday party,mimi nina show leo Diamond Jubilee pale ya kuimba,nikiomba ruksa nitakataliwa”
“Mhhh”
“Naomba unisaidie”
“Sasa nikikuombea Ruksa,alafu wakija kuniuliza mimi baadaye?”
“Mimi nitawahi kurudi,Saa kumi na moja jioni nitakuwa hapa nyumbani,hakuna kitakachoharibika”
“Sawa nitafanya ivyo”
“Ahsante Rahma”
Ilikuwa ni lazima Jovvana akashiriki shindano lililoandaliwa na wanafunzi wenzake, siku zote alijiamini na alitaka kumuonesha Natasha Edward kuwa hamuwezi hata kidogo,

hiyo ilifanya mpaka wasiongeleshane kutokana na mashabiki wao kuweka ushindani mkubwa na kuanzisha chokochoko!
Ni kweli shindano hilo alilipania vibaya mno.Kukubali kwa rafiki yake Rahma kulimfanya afurahi mno.Alivyotoka hapo alikimbia mpaka nyumbani kwao na kujitupa kitandani.Aliweka nyimbo ya Celine dione iliyoitwa ‘Power of love’ akiwa anaifanyia majaribio.Ni kweli aliimba kama msichana huyo mpaka sauti zilikuwa zinakaribia kuwa sawa.
Alikaa chumbani nusu nzima akimsikilizia Rahma afike lakini haikuwa ivyo mpaka zinapita dakika Arobaini.
“Huyu demu vipi,mbona anataka kuniletea zogo”
Kitendo cha kumaliza sentensi hiyo alisikia geti linagongwa na alivyochungulia dirishani alimuona Rahma.Aliruka ruka na kusubiri tena ili Mama yake asije kujua kuwa wamepanga njama!
Mazungumzo aliyokuwa anaongea Rahma seblen na Mama yake yalipenya mpaka chumbani kwake na kuyasikia.
“Jovannaaaaaaa!”
Mama yake alimuita kutokea Seblen akatoka mbio kwa furaha.
“Abee Mama”
“Rafiki yako amekuja hapa sijui kuna Birthday Party Mwenge, amekuja kukuombea ruksa muende pamoja,nachokuomba uwahi kurudi chondechonde sitaki maneno na Baba yako kabisaa,Saa kumi kamili nione miguu yako hapa,Baba yako asijue kama umetoka akijua yatakuwa mengine”
“Sawa Mamii nakupenda, yaani saa tisa nitakuwa hapa,ngoja niende nikavae harakaharaka”
“Sasa una pesa?”
“Ndio,hapana..ndio”
“Sasa nikuelewe vipi?kaniletee pochi yangu ya brown nyuma ya mlango niliyokuja nayo leo,nikupe pocket money na uchukue Taxi,dereva leo hayupo”
Jovvana alipanda ngazi mbili mbili mpaka chumbani kwa mama yake na kurudi na pochi, alikabidhiwa noti tatu za elfu kumi na kushukuru.Kilichobaki hapo ni kujiandaa.

Nguo alizopanga kuondoka nazo zilikuwa ni tofauti na alizovaa.Ndani ya mkoba alibeba gauni fupi na alipotoka chumbani alikuwa amevaa sketi ndefu na shati, ikimaanisha kuwa akifika ukumbini atabadili nguo.Walitoka nje wakiwa na Rahma.
“Sasa Rahma wewe chukua hii kumi weka mfukoni,wacha mimi niwahi”
“Naomba uwahi kurudi Jovvana,usiniletee shida baadaye”
“Nitawahi kurudi saa tisa nipo hapa”
“Poa poa”
Jovvana alitembea hatua kumi na tano mpaka zilipokuwa Taxi na kuamuru apelekwe Diamond Jubilee haraka iwezekanavyo.
***
Ukumbi ulikuwa umejaa wanafunzi, wakizidi kulipia kiingilio cha shilingi Elfu tano ili kushuhudia tamasha hilo la kukata na shoka.Ilikuwa bado nusu saa shindano lianze Natasha Edward alikuwa teyari amefika na wapambe wake walimshangilia.
Baada ya dakika kumi Taxi aliyokuwemo Jovvana ilifunga breki nje ya ukumbi na kelele kuzidi maradufu, hakuna mtu aliyemsikiliza mwenzake ilikuwa vurugu mtindo mmoja.
“Nickii, Nickkiiii,Jovvanaaa Jovaanaaaa”
Kila mtu alimshangilia na Jovvana akaingia ndani.Kilichokuwa kinafanyika hapo ni kuwekewa mdundo bila sauti kisha wanapewa maiki kuimba.Ukumbi ulikuwa kimnya mno,Wa kwanza kupanda alikuwa ni Natasha Edward na nyimbo iliyoitwa ‘From this moment’ ya Shania Twain.
Aliimba vizuri na alienda na mdundo wa nyimbo hiyo.Wengi walianza kuingiwa na wasiwasi kuwa Jovvana Adrian Mwangenya hamuwezi Natasha,alivyomaliza nyimbo hiyo kelele zilisikika.
Alivyoingia Jovvana likawa tatizo lingine, kwanza alipendeza kigauni alichovaa kilikuwa gumzo.Hiyo Ilimfanya Gibson azidi kutoa udenda.Ukimnya ulitawala.Beat lilianza la ‘power of Love’ Jovvana alikamata maiki vizuri na kuanza kuhesabu kimoyo moyo Moja.mbili Tatu..
“The wispers in the Morning.. of lovers sleeping light,Are rolling by like thunder now,As I look in your eyes I hold on to your whole body,And feel each move you make,your voice is warm and tender.A love that I could not forsake.
Cause am you are lady…and you are my Man..Whenever you reach for me…I’ll do all that a can….”
Jovvana alizidi kuimba huku akitembea jukwaani.Karibia nusu ya wanafunzi walikuwa wanalengwa na machozi, lakini hawakuelewa ni kwanini.Asilimia za ushindi zilikuwa ni zake kipindi watakapo tangaza majibu shule ikifunguliwa.Kitendo cha kumaliza kuimba ukumbi uligubikwa na kelele nyingi mno kuliko za mara ya kwanza.

Jovvana alishuka ukumbini kwa sababu ilikuwa imefika saa tisa na nusu tayari,saa kumi alitakiwa awe amefika nyumbani kwao.Kabla ya kuufikia mlango kwa kutokea Gibson alimkamata mkono.
“Nick Minaj umetisha mno”
Gibson alimsifia.
“Ahsante Gibson,naomba niende”
“Hapana naomba nikupe ofa leo tafadhali,nakuomba najua una haraka sana mrembo,acha basi leo nisafishe nyota kuwa nimekununulia japo soda”
“Nina haraka kweli”
“Nakuomba Nick japo soda moja tu”
“Poa soda moja tu niwahi kurudi”
Gibson na Jovvana walitembea mpaka ndani ya gari aina ya Noah, ndani kulikuwa kuna wanamme watatu.Mmoja alikuwa ni kaka yake na Gibson hata yeye alipomuona Jovvana alishtuka hakutegemea kama msichana aliyezungumziwa angekuwa mzuri kiasi hicho.
Ndani kulikuwa kuna soda mbili moja ilikuwa teyari imewekewa madawa makali ya Valium ya usingizi na ndiyo hiyo aliyopewa Jovvana na kuanza kuinywa haraka haraka kwa nia ya kuimaliza ili awahi kwenda nyumbani kwao Oyseterbay.
Kitendo cha kumaliza soda alihisi kichwa chake ni kizito mno,alivyotaka kutoka ndani ya gari alishindwa usingizi ulikuwa umembana, Gibson aliwasha bangi na kuanza kuvuta.
“Mtoto tayari yupo kibra washkaji,washa gari twende magetoni”
Alisema Gibson huku akimpulizia Moshi wa Bangi Jovvana usoni.
“Gibs…on niru…udishe nyumbaaaaaaani”
Jovvana alisema huku akiyarembua macho yake.

 Ilikuwa kama Mungu siku hiyo Adrian akawa amefika nyumbani kwake mapema, saa kumi kasoro mbili, ilikuwa ni tofauti kama walivyokubaliana na mke wake kuwa atachelewa kurudi na kitendo cha kuweka mguu wake ndani akamuulizia Mtoto wake Jovvana baada ya kumkuta mke wake Jaqlin Seblen.
“Mh hata salamu”
“Nimechoka kweli,Yule Massawe hana akili nzuri, mimi namdai Milioni tatu ananiambia anaanza kunilipa elfu Hamsini,kichefuchefu kweli yulee Mzee”
“Ndiyo kilichokufanya uwahi kurudi?”
“Kanikera sana Yule Mchaga kanitia na hasira,kukopa sawa ila kurudisha pesa anaona tabu,Jovvana yuko wapi?”
“Alikuwa hapa sasa hivi”
“Mwambie Baba yake nimefika”
“Sawa”
Ki ukweli Jovvana hakuwepo ndani,Ilibidi Jaqlin asimame na kuzuga kwenda Chumbani kwa Jovvana ilihali alijua alipo, kitendo cha kumwambia Adrian ukweli kingezuwa ugomvi mkubwa na hakutaka hilo litokee.
Aliingia chumbani kwa Jovvana na kuanza kutafakari ni kitu gani akamwambie Mume wake.Ubongo wake ulianza kufikiria ni jinsi gani angemdanganya Adrian na kumtetea mwanaye.Baada ya dakika mbili alirudi seblen.
“Anaoga”
“Akimaliza, mwambie nahitaji kumuona”
“Kuna nini kwani?”
“Likizo yake sindo imeanza leo,ile safari tuliyopanga kwenda ndiyo nataka kumwambia ajiandae”
“Sawa nitamwambia”
“Yuko wapi kwani?”
“Anaoga”
“Okay”
Adrian alikuwa ndani ya giza nene na kupandisha ngazi kuelekea chumbani akimuacha Jaqlin akikimbia getini ili Jovvana akitokeza amwambie jinsi ya kufanya.

Lakini mpaka nusu saa inapita Jovvana hakuonekana,zikapita dakika arobaini hali ilikuwa ivyo ivyo,kwa wakati huo alishaanza kujuta,aliomba Mungu sana huko alipo Jovvana asipate matatizo yoyote yale kwa maana lawana zote zingemdondokea.
“Mama Jovvanaaaa”
Sauti ya Adrian ilisikika kutokea ndani kwa sauti kubwa.
“Abeeee”
“Njooo”
Hakuna kitu kingine alichouliza zaidi ya kumuulizia tena binti yake safari hii sura ilibadilka na kuweka makunyanzi.
“Jovvana chumbani kwake hayupo,yupo wapi?”
“Naomba nikwambie ukweli”
“Enhee.. yuko wapi?”
“Leo alikuja Rahma,akamuombea ruksa waende kwenye Birthday party,nikamruhusu lakini nikamwambia awahi kurudi,nashangaa mpaka sasa hivi bado hajafika”
“Kwamba nini?Alikuja nani?”
“Rahma! waliondoka na Rahma”
“Rahma huyu binti wa Mzee Bobarn?”
“Ndio”
“Mbona nimepishana na huyo binti hapo anaingia getini kwao!”
“Basi atakuwa amerudi yupo hapo jirani”
Bila kuuliza kitu kingine Chochote, Adrian alitoka nje na kunyoosha mpaka nyumbani kwa Mzee Bobarn,Maelezo ya mke wake Jaqlin ndiyo yalimfanya azidi kuingiwa na Mashaka.Baada ya kugonga alifunguliwa na bahati nzuri alimkuta Mzee Bobarn akiwa seblen anaangalia tamthilia.
“Karibu Mwangenya”
“Nashukuru,lakini mimi siyo mkaaji sana,Jovvana amefika mahali hapa leo?”
“Jovvana?”
Mzee Bobarn nayeye aliuliza kwa mshangao wa waziwazi.
“Ana wiki hapa sijamuona”
“Kweli?”
“Ndio,labda nimuulize Rahma”
Maongezi ya Adrian pamoja na Baba yake yalipenya mpaka chumbani kwa Rahma na alisikia kila kitu.
Alihisi mkojo unaanza kumpenya,hakuelewa ni kitu gani akijibu endapo angeulizwa Jovvana ni wapi alipo.Sauti ya Baba yake iliyokuwa ikimuita ilimshtua na kukaa kimnya akiwa anazunguka chumbani kwake akitafakari.
“Abeee Baba”
Bado alizidi kujishauri na kuanza kuelekea Seblen ambapo alimkuta Baba Jovvana,Mama Jovvana pamoja na Baba yake Mzazi.wote wakatupa macho kwake.
“Eti Jovvana umemuacha Wapi?”
Jaqlin akawa wa kwanza kuuliza.
“Jovvana,Jovvana..Jovvana aliniambia yupo kwenye Birthday”
“Wewe sindo ulienda naye?”
“Mimi nilighairi akaenda peke yake”
“Hiyo Birthday ipo wapi ulisema?”
“Mwenge”
“Mwenge sehemu gani?”
“Mwenge nyuma huku kama unaenda kwenye duka la Makoba,kuna nyumba moja hivi ya kijani ukiwa unakaribia kama Sinza”
“Unaweza ukatupeleka?”
“Naona sasa hivi atakuwa njiani anarudi”
Jaqlin alikuwa ana maswali mengi kama Polisi.
“Yeye alipajuaje?”
“Mimi nilivyoenda nikawahi kurudi,nikamuacha huko”
Rahma akawa amejikanyaga tayari,Adrian alikuwa makini kama yupo bungeni kuyasikiliza majibu ya Mtoto huyu Rahma anayesema uwongo na tayari alikuwa ameshajikoroga,amechanganya mlenda na kachumbari!
“Ebwana wewe mtoto sisi watu wazima sio watoto wenzako! Mbona hueleweki ulisema hujaenda kichwa kilikuwa kinakuuma,alafu sasa hivi unasema kuwa ulienda ukawahi kurudi.Embu ongea ukweli usitupotezee wakati”
Adrian aliingilia kati akiuliza swali akionesha hasira za waziwazi.Ni wazi kuwa alishaelewa kuna mchezo uliochezwa na Jovvana hakuwa kwenye Birthday.
“Wewe Rahma,Sema ukweli”
Mzee Bobarn nayeye akaingilia kati.
Njia ya Muongo siku zote ni fupi!Rahma alibanwa na akawa hana ujanja ilimbidi aweke kila kitu wazi huku akiomba msamaha.
“Umesema yupo wapi?”
Jaqlin aliuliza Swali.
“Anafanya nini?”
Adrian nayeye akaibuka na swali kabla ya Rahma kulijibu la kwanza,akawa anashindwa aanze kujibu swali lipi.
“Yupo Diamond jubilee anafanya mashindano ya Kuimba,mimi ndivyo alivyoniambia”
“Una uhakika?”
“Sina sababu ya kuwadanganya,huo ndiyo ukweli”
Hakukuwa na Jinsi ya kuzuia hasira za Adrian,japokuwa alimpenda Mtoto wake Jovvana lakini jambo hilo lilimkera kupita kiasi.Alisimama bila kusema chochote na kutoka nje akitembea harakaharaka nia yake ikiwa afike nyumbani kwake awashe gari Mpaka Diamond Jubilee, hakuelewa angemfanya nini Jovvana, aliomba Mungu hasira zake ziwahi kuisha kabla hajamfikia huko alipo.Jaqlin nayeye alikuwa nyumanyuma kama mkia.Wote wakaingia ndani ya gari na safari kuanza.
“Mwanao keshaanza umalaya”
Adrian aliongea huku akiwasha gari,Alirudi taratibu kinyumenyume na kukaa sawa kisha kulitoa nje.
“Nawewe utakuwa chanzo,nani aliyekwambia umruhusu atoke nje?”
“Lakini Baba Jovvana mimi sikujua haya yote”
“Mimi siyo mjinga kumkataza huyu mtoto asitoke nje,na kama mwanangu akipata matatizo huko utawajibika,Wallahi Nakwambia”
Jaqlin akawa hana la kujibu.Hakutaka tena kumjibisha Adrian maana alijua kingefuata hapo ni makofi sababu tu Mumewe alikuwa ana mkono mwepesi,kuongea sana kungemzidisha hasira na kungesababisha matatizo mengine zaidi!
ilibidi akae kimnya.

Ndani ya dakika ishirini alikuwa amepaki gari nje ya ukumbi wa Diamond Jubilee na kweli aliona mtawanyiko wa wanafunzi wakiwa wamezagaa huku na kule.Alivyotaka kushuka Jaqlin akawa amemshika mkono.
“Nini?”
“Naomba silaha yako”
“Wewe ya nini?”
“Tafadhali,Naiomba”
“Unadhani kuwa nitampiga mtu risasi?”
“Haijalishi,naomba bastola yako nikushikie”
Adrian akawa hana kipingamizi, aliweka mkono wake kibindoni na kuitoa bastola kisha kumkabidhi Jaqlin nayeye akaiweka ndani ya mkoba.Wasiwasi wa Jaqlin siku zote ulikuwa ni hasira mbaya za Adrian ambayo ingesababisha hata kumpiga risasi Jovvana kwa jinsi hali ilivyokuwa hilo lingewezakana kabisa.

Adrian alipangua pangua wanafunzi kisha kuingia ndani ya ukumbi na kuanza kupiga macho yake akimtafuta Jovvana.Alivyoangalia pembeni aliwaona vijana wakibishana.Wote walivyomuona walimtambua kuwa ni baba yake na Jovvana kwa sababu ya umaarufu aliokuwa nao nchini Tanzania,Adrian akawasogelea.
“Shikamoo Mzee”
“Marahaba, Jovvana yuko wapi?”
“Jovvana,Jovvana Muda mfupi alitoka hapa,sijajua ameelekea wapi”
“Jovvana si alikuwa na Gibson”
Kijana mmoja akaropoka, Adrian akamgeukia.
“Walielekea wapi?”
“Nilimuona anaingia kwenye gari yao,kisha baada ya hapo hilo gari sikuliona tena”
“Kwa huyo kijana unapajua?”
“Gibson kwao napajua,anaishi Chang’ombe ukifika pa…”
“Twende utanielekeza huko huko”
“Lakini Mzee mimi”
“Hakuna tatizo nitakurudisha”
Mwanafunzi pamoja na Adrian wakaongozana mpaka ndani ya Bmw x6 na safari ya kwenda Chang’ombe kuanza.
***
Japokuwa alikuwa ameleweshwa madawa ya usingizi aina ya Valium lakini kwa mbali aliweza kujitambua, kila Gibson alipotaka kumla Denda Jovvana alikwepesha mdomo wake.Gibson alitamani kufika mapema, lakini msongamamo wa magari ndiyo ikawa kikwazo kikubwa alichukia kupita kiasi akiwa viti vya nyuma na Jovvana anajaribu kumnajisi.
“Gi..bson nipelekee nyumba…niiiiii”
Jovvana aliongea kwa sauti ya puani huku kichwa chake kikiwa kizito kwenye hali ya usingizi.
Gari zima lilikuwa linanuka Moshi Wa bangi na wakati mwingine Gibson aliufungua mdomo wa Jovvana na kuupuliza Moshi huo ndani ya kinywa chake hiyo ilimfanya Jovvana azidi kulegea zaidi.
“Siamini kama naenda kumla huyu mtoto leo,kiulaini kabisa”
Gibson alijitamba kwa washkaji zake huku mkono wake mmoja ukiwa juu mapajani mwa Jovvana na kutamani wafike haraka Chang’ombe amle uroda.
“Oya hakuna uchocho hapo njia za panya tukwepe hii foleni jembe?”
“Hapa tumejipiga pini ndugu yangu,uchocho tumeuacha nyuma mwana,noma sana hii, lakini nasisi utuachie kidogo tumchachue huyo mtoto”
“Poa,mimi nitakuwa wa kwanza lakini”
Foleni ilisogea mwendo wa Kobe, lisaa limoja na nusu baadaye walikuwa wamefika Chang’ombe wakiwa wameegesha gari uchochoroni kandokando ya nyumba yenye geti jeusi,Gibson akamuweka Jovvana begani akawa anaingia naye ndani ya geti.
****
Kitendo cha Noah kufunga Breki zake nje ya geti jeusi na ndiyo ilivyokuwa kwa Bmw x6.Adrian alikuwa amepita njia za panya na ndiyo maana walifika sawa.Kilichompandisha hasira zaidi ni kumuona Jovvana amebebwa begani huku vijana watatu wakiwa wanamfuata nyuma.
Mavazi ya vijana hao na jinsi walivyonyoa viduku ikawa imemletea Adrian picha nyingine Mbaya zaidi.Na kudhani wenda ni wahuni na wanaenda kumpiga mtungo mtoto wake Jovvana anayempenda kuliko kiumbe chochote kile kinachoishi duniani na majini.Bila ya kusema lolote Adrian alikwapua mkoba wa Jaqlin na kutoa bastola yake.
“Kachakacha”
Hapo hapo aliikoki kwa hasira na kuteremka garini.


 Moyo wa Adrian ulichukia ajabu.Hasira zilimpanda na zikazidi kipimo na kwa kitendo cha hasira hizo lolote kulifanya mbele yake lilikuwa sawa.Kitendo cha kumuona Binti yake anaenda kufanyiwa kitu cha kinyama ndiyo kilichomfanya apandwe na hasira zaidi.Bastola ilikuwa mkononi mwake tayari ikiwa imekokiwa, risasi zipo tayari kuchomoka ndani ya chemba.
Alitembea kwa hatua mbilimbili huku akiwa anatetemeka sana kwa hasira na alikuwa yupo radhi kuuwa mtu na aliamini kuwa hata angefungwa ilikuwa halali, kwasababu tu alikuwa anaenda kumtetea Mtoto wake.
Aliingia ndani ya geti kwa hasira,alivyopita Seblen hakuona dalili ya mtu yoyote Yule,lakini alivyopiga jicho mlango wa kwanza aliona upo wazi na alisikia kelele.

Aliweka bastola yake sawa na kufungua kwa nguvu mlango.Hasira ilizidi kumpanda zaidi alipoona Jovvana yupo chali kitandani ndiyo anaanza kuvuliwa nguo zake.Bila kujifikiria aliinua bastola na kuachia risasi.
“Paaaaa”
Huo ndiyo mlio mkubwa sana wa bastola ulisikika kwa wakati huo na kufanya usambae chumba kizima.Jovvana aliyekuwa kitandani alikurupuka, ni dhahiri kuwa mlio huo ulimshtua kiasi cha kutosha, dawa za usingizi zilizokuwa kichwani mwake zote ziliyeyuka.Na kubaki akimtizama Gibson aliyekuwa chini sakafuni.Risasi ilikuwa imemkosa kosa,ilimpitia nyuma karibu kabisa ya kisogo chake, isingekuwa Jaqlin kutokeza na kufungua mlango ambao ulimtingisha Adrian mkono ulioshika bastola basi Ubongo wa Gibson ungekuwa tayari sakafuni.

Adrian alikuwa amemlenga sehemu mbaya nyuma kwenye kisogo chake, nia yake ilikuwa ni kumuuwa kabisa.Gibson alikuwa teyari amejikojolea na mwenzake alitoa kinyesi ndani ya suruali yake.Hakuna walichodhani zaidi ya umauti kuwakuta.Mtu aliyesimama mbele yao bado alikuwa anahema sana kwa hasira anawatizama.
“Baba Jovvana”
Jaqlin aliiita kwa sauti ya taratibu.
“Kaa kimnya umefuata nini huku?”
“Utapata kesi Baba Jovvana”
“Acha niue hawa kunguru ili niwe mwanamme wa kwanza kuuwa nikiwa namtetea binti yangu na wabakaji”
“Usifanye hivyo”
“Kaa pembeni”
Jaqlin hakuwa tayari kuona jambo hilo linatokea, alichofanya ni kukaa mbele ya bastola.
“Kwanza niue mimi”
“Jaqlin kaa kando,nitakuuwa kweli”
“Niue”
Kila mtu alikuwa ana hasira, Jaqlin alisogeza kichwa chake kwenye mlango wa bastola huku majasho yakimtoka.Ilikuwa ni kama sinema ya kusisimua, Jovvana alikuwa akilia kwa kwikwi sababu hakuwahi kuwaona wazazi wake wakiwa katika hali kama hiyo,chochote kingetokea kwa wakati huo aliamini kuwa yeye ndiye alikuwa chanzo.

Adrian alimsukumiza Jaqlin pembeni na kumuendea Gibson kwa hasira na kumuwekea bastola kichwani kwa nia ya kumfyatua,hakukuwa na namna nyingine tena ya kuzuia hasira za Adrian kwa wakati huo.Kidole chake kilikuwa teyari kwenye kifyatulio na risasi zipo kwenye chemba kitendo cha kuvuta nyuma kifyatulio kingemaanisha kumuondoa Gibson duniani na hilo ndilo lilikuwa mbioni kufanyika.
Jaqlin alikuwa akilia muda wote akiwa chini, alishaelewa nini maana yake baada ya Adrian kufanya mauaji hayo.Gereza peke yake ndilo lingemuhusu na alijiona ni kiasi gani ataenda kuwa mwanamke mpweke,aliomba Mungu afanye miujiza ili ayabadili mawazo ya Adrian ya kutaka kumuua mtoto wa watu.
“Nis….aehe Mze…wangu taf..adhali usiniue”
“Nyamaza,lazima nikuuwe tena leo hii hiii”
****
Partson Ngogo jr alikaa rumande takribani wiki nzima,alikonda ajabu na siku zote alitamani msamaha kutoka kwa rafiki yake kipenzi Adrian Mwangenya.Mateso aliyokuwa anayapata alistaili, kutokana na kitendo alichokifanya na kudanganywa kimapenzi na Marehemu Consolatha,alitamani mambo yarudi nyuma ayabadilishe lakini haikuwezekana,ni kweli Adrian alimsaidia katika hali duni aliyokuwa nayo na kumuweka kwenye mstari.

Hakustaili kumfanyia ubaya wowote ule.Alichoshangaa hakuna hata mtu mmoja aliyeenda kumuona rumande.Akiwa rumande alipata mateso mengi, alideki vinyesi vya maabusu wengine kila kukicha,kutokana na upole wake alionewa kila kukicha,sehemu yake ya kulala ilikuwa kwenye kona karibu na mikojo, ilikuwa ni sehemu chafu mno,kifupi aliteseka na kupungua uzito mara tatu yake.Mkataa pema siku zote pabaya panamwita, leo hii Partson Ngogo Jr alijifunza.Ratiba yake ilikuwa inajulikana, asubuhi ya saa kumi aliamshwa na nyapara aliyeitwa Gregory Kaibanda akimdekisha vinyesi na saa nne alipewa uji robo kikombe, hapo mpaka usiku wa saa tatu ndiyo hupewa mihogo miwili kisha kulala!

Ghafla siku hiyo aliamka tumbo likawa linamuuma mno, alishindwa kuvumilia aliiendea ndoo na kukaa hapo, alianza kuharisha!Kilichosikika ndani ya maabusu ni kelele zilizofananishwa na pikipiki aina ya Vespa.Sauti hiyo ilisikika mpaka mapokezi walikokuwa polisi.
“Nini hiko afande Machabe?”
“Sielewi,itakuwa pikipiki inapita nje”
“Hapana huo sio mlio wa pikipiki”
“Sasa unataka kusema ni nini?”
“Huko ndani kuna mtu anafanya mambo”
“Embu nenda kahakikishe”
“Kwanini wewe usiende?”
“Mimi nahisi ni pikipiki na nina enda nje kuangalia,wewe nenda ndani kaangalie sindo uliyesema sijui nini”
“Huo sio mlio wa pikipiki”
Polisi waliacha shughuli zao na kuenda mpaka maabusu.
“Vipi bwana?”
“Afande tumbo”
“Tumbo limefanya nini?”
“Nina harisha naomba dawa”
Partson alihisi tumbo linamkata mno.Na aliendelea kuarisha mfululizo na kuzidi kupoteza maji mwilini, alipoteza uzito mno aliharisha mara sitini na mbili kwa wiki.
Maaskari walishaanza kuhofia uhai wake.Alipoteza uzito, alikonda mno na alikuwa mbioni kupoteza maisha kama asingepata matibabu.Hapo ndipo Polisi walipomtoa na kumuwahisha hospitali ya Wilaya.Partson Ngogo alishaelewa kuwa siku zake zinaenda kufika ukingoni na kamwe hakutaka hilo litokee kabla ya kumuomba Msamahaa swaiba wake,akiwa juu ya kitanda na dripu iliyopita kwenye mshipa wake mkononi aliomba simu ili apigiwe Adrian kisha azungumze naye.
*****
“Griiiii griiiiiiiiiiiiii”
“Griiiiii griiiiiiii”
Simu ya Adrian iliita ikitokea ndani ya mfuko wa jeans aliyovaa akiwa yupo mbioni kusogeza kidole chake kwenye triga ili amuuwe mbakaji Gibson.
Simu iliyokuwa mfukoni ilimfanya ashushe bastola na alivyoiangalia ilikuwa ni namba ngeni.
“Ongea harakaharaka”
Kitendo cha kupokea simu Adrian aliongea kwa hasira.
“Adri….an mimi Partson na..omba nikuombe msamaha kwa mara ya mwisho na sidhani kama kesho n..itafika nikiwa ha..i nakufa Chiiif,nia ya kukupigia simu hii ni kukuomba msamaha ili hata nikifa muda wo..wote kuanzia sasa niwe nimeenda huko mweupe”
Partson Ngogo aliongea akiwa analia machozi,alikuwa katika hali ya mateso kiasi kwamba alikuwa akiongea huku akikatakata.

Adrian alikuwa akimsikiliza kwa umakini na kitu kama mkanda wa filamu ulipita kichwani mwake,aliiona sura ya Partson kichwani mwake kipindi cha miaka ya nyuma wakiwa wanaponda mali wakigonga chiazi wakiwa wenye nyuso zenye furaha.
Alijikuta akilengwa na machozi.
“Upo wapi?”
“Nipo Hospitali hapa Mbe…ya naomba uniambie kama umenisamehe chif”
“Upo hospitali gani ili nije leoleo,Partson nimekusamehe kwa moyo wangu wote,nakuja kukuona”
Simu ilivyokatwa alimgeukia Gibson.
Mawazo ya Adrian yakawa yamebadilika,simu iliyopigwa ikawa imeokoa maisha ya Gibson.
Alichofanya ni kuwapigia simu Polisi,dakika tano baadaye Polisi walifika na kuwachukua Gibson na wenzake.Adrian,Jaqlin pamoja na Jovvana walirudi ndani ya gari na kuelekea Kimara kumrudisha mwanafunzi waliyemchukua Diamond Jubilee.
Hakuna hata mmoja aliyeamini kwa kilichotokea, ilikuwa ni kama muujiza kwa Adrian kubadili maamuzi.
“Dad naomba uni…..”
“Nyamaza Jovvana”
Adrian alitoa jibu kwa ukali huku akiwa makini juu ya usukani akiendesha gari, alivyoegesha gari nyumbani alimtaka Jaqlin ajiandae kwa safari ya Kwenda Mbeya na ndege ya siku hiyo hiyo.
“Sawa nitafanya ivyo,kuna nini?”
“Rafiki yangu Partson anaumwa vibaya mno,inabidi niende fanya haraka vaa”
Jaqlin aliingia kuoga harakaharaka Adrian nayeye akafuata kisha safari ya kwenda uwanja wa ndege kuanza mara moja.
*****
Waliingia Mkoani Mbeya uwanja wa ndege wa Songwe saa tatu ya usiku, hapo walikuja kuchukuliwa na wafanyakazi wa Hotel yao Mpaka JJ HOTEL,hakuna mtu aliyekaa wote waliongozana mpaka Hospitali ya jirani ili kumuona Partson.
Adrian aliumia moyo mno, kitendo cha kumuona Partson Ngogo akiwa taaban.Na kufanya awaombe madaktari wampatie huduma ya haraka iwezekanavyo.
Madaktari walimshambulia baada ya pesa kuongea.Baada ya siku tatu kupita hali ya Partson ikawa imeonesha afadhali tofauti na alivyokuwa amefikishwa hospitalini hapo siku ya kwanza.
“Vipi Jr?”
Adrian siku hiyo alifika asubuhi akiwa na mapochopocho mkononi kwa ajili ya swaiba wake.
“Safi tu chif,ahsante kwa yote”
“Ah!usijali,tusahau yaliyopita tufanye mambo mengine,yaliyopita yatabaki kuwa historia katika maisha yetu,sisi ni marafiki wa kweli,lini unaruhusiwa?”
“Nafikiri kesho”
“Basi nitakuja kukuchukua hapa hiyo kesho”
“Nashukuru kwa kila kitu”
Partson alipata faraja upya.Adrian akarudi hotelini na moja kwa moja kupanda ngazi gorofa ya juu na kumkuta Mke wake Jaqlin yupo kwenye ‘dressing table’ anajiangalia kwenye kioo, alichofanya ni kwenda kumtekenya kwenye nyonga.
“Uhhhhh”
Jaqlin aliruka na Adrian akamvuta karibu yake.
“Baby”
“Abeee”
“Nakupenda sana”
“Namimi pia,naomba basi niwahi naenda hapo counter kupiga hesabu”
“Sio wakati wa….”
Kabla Adrian hajamaliza sentensi yake lips zake zilifunikwa na mdomo wa Jaqlin wakaanza kulana denda taratibu mno.Safari ya Jaqlin ikawa imetupwa kando.kulikuwa kuna baridi la kizushi na kuongezea AC iliyokuwa ndani ya chumba hiko, ilitosha kabisa kuendelea kushikana shikana huku Adrian akifungua zipu ya Sketi ya Jaqlin iliyokuwa nyuma.
Zipu ilipofika mpaka chini Sketi ilidondoka,Jaqlin nayeye akawa ana kazi ya kufungua vifungo vya shati la Adrian huku wakizidi kupigana mabusu kwa fujo.Ndani ya dakika moja baadaye nguo zao zilikuwa chini na kutupana kitandani.
“Baby”
“Naaam”
“Nipo kwenye siku za hatari”
“Naelewa”
“Upo tayari?”
“Ndiyo maana nikataka leo, nahitaji mtoto mwingine”
“Nakupenda sana sa….”
Waliendelea kupeana madenda kwa fujo.Adrian akawa ana kazi ya kunyonya maziwa ya Jaqlin taratibu mno.Mechi ya siku hiyo ilikuwa ya malengo, ilikuwa ya kumtafuta Mdogo wake Jovvana.
Mambo yalikuwa Mukidemukide,Mnara wa Adrian ulikuwa tayari umesimama imara lakini hakuwa na papara, kama kawaida yake, ilikuwa lazima amuandae mke wake sababu ndege ni wake.
Jaqlin siku zote alimuona Adrian ni mpya na kila siku alipata vionjo tofauti, alihisi raha zilizozidi baada ya Adrian kugusisha ulimi wake ndani ya mgodi wake.Hiyo ilimpagawisha kupita maelezo yaliyojitosheleza!
Adrian alianza kupima Oil Taratibu huku Miguu ya Jaqlin ikiwa imechanuka huku na kule.Miguno ya Jaqlin ndiyo iliyosikika peke yake huku neno ‘I love you my husband’ kutawala ndani ya chumba hiko zikitokea puani.
Alianza kunyonga kiuno chake kwa kasi kumaanisha kuwa anafika kileleni, Adrian alizidi kuulamba mgodi na kufanya Jaqlin aanze kutetemeka kama aliyekuwa anapigwa na Shoti kisha kuanza kuibana miguu yake.Adrian alimuwahi na kuingiza Kombola tayari kwa vita.
Aliinua miguu ya Jaqlin na kuiweka mikononi mwake kisha kuichukua Mikono ya Jaqlin na kuizungusha shingoni mwake.Baada ya zoezi hilo kukamilika walitoka kitandani mpaka ukutani.Jaqlin akawa ameweka mgongo wake ukutani huku Adrian akiwa amesimama wima wakiendelea kupigana madenda huku Adrian akiwa anaendelea na Mashambulizi,asingekuwa na nguvu za miguu basi zoezi hilo lingeshindikana.Jaqlin alionekana kupata raha sana na kuanza kupiga kelele nyingi.
“Asssh aaaaaah Adr……in aaaaaa,I I I I I I I I lov…..e you aaaaaah aaaaaah aaaaaaaah uuuuuuuh aaaaaashhhs aaaaaaaah hiv…..yo hiv……yo”


*****

Jaqlin alihisi raha za ajabu na siku zote hakuwahi kumchoka Adrian tangu aanze kumjua katika maisha yake, mpaka alipoolewa naye,alijiona ni Mwanamke mwenye furaha katika ndoa yake pengine kuliko yoyote yule aliyewahi kumjua,angejuta sana asingemkubalia Mwanamme huyu ambaye kwa wakati huo alimuweka ukutani huku akizidi kumpa haki yake ya ndoa,hapo hakuwa na ujanja tena zaidi ya kuikamata vizuri shingo ya Adrian huku akizdi kutoa kelele Puani.
Adrian alikuwa ana kazi ya kumnyonya maziwa huku akiendelea na zoezi la kuzungusha kiuno chake kama Fally ipupa.Katika swala la ngono Adrian alijituma sio masihala.Na alihakikisha mke wake hata siku moja hatokuja kujuta katika maisha yake hata siku moja.Kama ukuta ungekuwa na mdomo basi ungesema kutokana na mambo yaliyokuwa yakiendelea.

Mihemo ndiyo ilikuwa inasikika ndani ya chumba hiko Jaqlin alizidi kuhema mno huku akitoa ulimi wake akitaka denda na Adrian akaupokea vizuri kisha kuendelea kunyonyana midomo kama njiwa.
Mambo hayakuishia Hapo Adrian alimchukua Jaqlin na kumuweka kitandani akitumia staili ya chuma mboga kama waswahili wanavyosema.Hapo ndipo Jaqlin hakuchukua hata sekunde moja akawa amefika mshindo,sio kwamba Adrian angeshindwa kufika kileleni mapema, aliweza kujizuia na alitaka kuhakikisha kwanza mke wake ameridhika kisha ndiyo akazidisha kasi ya mashambulizi.Alizidisha kisha baada ya kufika alimkumbatia Jaqlin na kuanza kunyonyana midomo.
“Mume wangu”
Jaqlin alimuita Adrian.
“Mhhhh nambie Mama”
“Nakupenda sanaaa,nikukumbushe kitu?”
“Nikumbushe”
“Unakumbuka kipindi nipo chuo ulivyopigwa kwa ajili yangu,nilivyokuitia mwizi?”
“Nakumbuka vizuri sana,kwanini ulifanya vile?”
“Mimi nilikuwa sitaki mazoea”
“Ungeendelea kunikataa”
“Ahhh wapi,mimi mwenyewe nilikuwa nakupenda sema sikutaka kuwa mrahisi kiasi kile,mara ya kwanza nilikuwa nakuchukia vibaya sana”
“Enheeee”
“Siku ile maskini ya Mungu ulivyopigwa ndiyo nikajawa na huruma,maskini mkaka wa watu akifa hapa nitapata kesi”
“Ndicho ulichokuwa unawaza?”
“Ndiyo!na nilianza kukupenda siku ile ulivyokuja kituoni kunitoa baada ya demu wako Yule Natu kuniletea visa”
“Hakua demu wangu.Mimi nilikuwa nishakata tamaa ya kukupata ujue”
“Wee ningekutafuta nakwambia”
“Ahh wapi,siku ile ya harusi kidume nilivyoingia kama Akshay,umesahau au?bila mimi ungeolewa na Yule mchaga”
“sio kweli,ningekataa,siku ile ulivyotokea nilidhani naota,alafu nilikuwa nakuwaza ndani ya gari”
“Basi ndiyo ivyo nishakupata Jaqlin na umenizalia mtoto nashukuru sana”
“Hata mimi nakushukuru sana”
Kwa Adrian ndoto yake ilikuwa imetimia na kwa Jaqlin mipango yake ilikuwa imekamilika ni siku nyingi sana alitamani kuja kuwa Mwanamke mwenye uwezo kifedha na familia yake iishi vizuri.

Ni kweli bila Jaqlin Adrian angekuwa maskini wa kutupwa,ni dhahiri kuwa alistaili pongezi na ndiyo maana siku zote Adrian humueshimu Mke wake kwa kila kitu.Historia ya mambo waliyopitia ilifaa iandikwe kitabu.Kila mtu alimpenda mwenzake kuzidi kifani.
“Mume wangu nakupenda sana”
“Hunizidi mimi”
“Ah wapi mimi ndiyo nakupenda zaidi yako”
“Sio kweli”
“Kweli nakwambia,naomba unipende sawa na ninavyokupenda mme wangu nipo radhi kufanya kitu chochote kile kukufanya ufurahi nitakuzalia hata watoto mia moja”
“Ahsante Jaqlin”
Walikumbatiana na kubebana mpaka Bafuni,kilichoendelea huko ni kushikana na mechi kuanza upya,kifupi kila mtu alimuona mwenzake mpya.

***
Wakiwa jijini Dar es saalam tangu mwezi mmoja kupita walivyotokea Mkoani Mbeya,Jaqlin alijihisi ana hali ya utofauti hakuziona siku zake kama inavyokuwa tarehe za Ishirini na mbili mpaka na tano,kwa mara ya kwanza alijua wenda ni kawaida na siku zimebadilika,mwezi mwingine ulivyokatika hali ilikuwa hiyohiyo.
Kwa akili aliyokuwa nayo alishaelewa ni kitu gani kinafanya hali hiyo, lakini hakutaka kuhisi alitaka aende mpaka hospitali kuhakikisha ni kweli mjamzito.Siku hiyo asubuhi bila kumwambia Adrian kuwa anaenda Hospitali kuangalia hali yake, yeye alinyoosha mpaka hospitali kubwa ya Agakhani na kufanya vipimo vya ujauzito.
Majibu aliyopewa kutoka kwa daktari wa kihindi yalimfanya azidi kufurahi alirukaruka akiweka mikono yake hewani na haraka akaingia ndani ta gari mpaka Msasani ofisini kwa Mume wake Adrian ili kumpa taarifa alizosikia.
Hakutaka kumpigia simu kama siku zote anazofanya akifika ofisini hapo,aliweka gari pembeni na kuteremka.Wafanyakazi wa Adrian walimtambua na wote wakasimama kumsalimia kama Mke wa bosi wao.
“Nimemkuta?”
“Yupo lakini ana mgeni”
“Mwambie mke wake nimefika”
“Sawa”
Jaqlin alikaa kwenye kochi akisubiri jibu,Uwezo wa kuingia alikuwa nao lakini aliweka usomi mbele na kufuata Protocol za kazi.
Ilipita kama nusu saa zima alikuwa bado yupo juu ya kochi.Wasiwasi ulizidi kumuingia na kutaka kuingia lakini kitendo cha kusimama na kutaka kupiga hatua alimuona Msichana anatokeza Ofisini kwa mume wake huku akiwa anafunga vifungo vyake vizuri vya maziwa macho yake yakiwa mekundu,dalili zilionesha kuwa kuna kitu kibaya msichana huyo alifanyiwa,kitu usaliti ndicho kilikuwa kinapita ndani ya ubongo wake.

Alizidi kupiga hatua na kuufungua mlango wa Bosi Adrian ambaye ni mume wake wa ndoa.Swali la kwanza kulitupa ni kuhusiana na msichana aliyemuona anatoka ofisini kwake.
“Hata salamu mke wangu,Yule dada ametoka TRA amekujakuchukua kodi yake tangu juzi alikuwa akija hapa kunitafuta sikuwepo”
“Ndio atoke afunge funge vifungo vya shati?kwani hukuwa unajua nipo nje nakusubiri?”
“Amosi aliniambia kuwa upo nje hapo”
“Eti eeh?”
“Ndio mke wangu,umesema alifanya nini?”
“Alikuwa anajifunga funga na kuyashika maziwa yake, ulikuwa unamfanya nini binti wa watu?”
“Camera izo hapo juu,njoo uangalie maana ushaanza kuleta mambo ya wivu”
“Sio wivu hujamuona alivyotoka,au anakutaka?”
“Mimi sielewi,leta mpya mamito”
Jaqlin hakutaka kuongea zaidi,litoa mkoba na kuuweka mezani kisha kutoa karatasi za hospitali na kumkabidhi Mume wake.
“Mimi sielewi,ndiyo nini?”
“Tayari”
Aliongea Jaqlin huku akilishika tumbo lake.Adrian alielewa maana yake na kufanya uso wake uchanue tabasamu,alifurahi kwa kuwa Jaqlin alikuwa mjamzito, alisimama na kumkumbatia kwa fuaraha.
***
Jovvana alipotimiza Umri wa miaka kumi na minane alizidi kuwa tetemesho na kivutio kwa Mwanamme,alikuwa tishio la jiji,uzuri wake ulizidi kun’gaa na kumfanya aanze kupata umaarufu ukizingatia alikuwa ni mtoto wa tajiri nambari moja nchini Tanzania.
Katika umri aliokuwa nao alijihesabia kuwa ameshakuwa mtu mzima na sheria inahesabia kuwa ana uwezo wa kujitegemea,lakini alikua bado mtoto wa geti kali,

Baba yake hakutaka kumruhusu atoke nje ya geti hata siku moja,kipindi ana subiri majibu ya kidato cha nne yatoke ndipo alipokabidhiwa simu ya mkononi na Baba yake.Na kijana mmoja aliyeitwa Cosmas ndiye aliyebahatika kuipata namba yake siku hiyo akiwa na wazazi wake shopping na ndiyo alikuwa anamuweka bize usiku wakipiga stori mpaka saa tisa,maneno aliyokuwa akisema Cosmas yaliusisimua mwili wa Jovvana, yalikuwa ni maneno ya kikubwa.
“Umevaa nini?”
Cosmas alimuuliza Jovvana simuni usiku.
“Night dress”
“Ndani je?”
“Sijavaa kitu”
“Mhhh”
“Mbona umeguna?”
“Hapa nimekupigia picha jinsi ulivyo na hiyo shepu,mimi tayari huku mambo yangu yapo ovyo,nije?”
“Njoo tu”
“Sawa nipo njiani”
Huo ndio mchezo waliokuwa wakicheza Jovvana na Cosmas simuni, waliishia kuongea kwenye simu na kila mtu kujichezea,Jovvana aliishia kuyagusa maziwa yake pamoja na ikulu huku Cosmas akichezea uume wake na kumuweka Jovvana kwenye fikra zake.Mpaka wakati huo Jovvana hakuwahi kuujua utamu wa Mwanamme, bado alikuwa ajawahi kuingiliwa kimwili,alitamani siku moja iwe ivyo lakini alimuhofia baba yake.
“Jovvana”
“Mhhh”
“Unajisikiaje?”
“Vizuri”
“Naomba nikuone kesho”
“Haitowezekana,si unajua navyobaniwa kutoka!”
“Wewe kesho zuga unaenda kununua vocha japo nikuone”
“Sawa nitajaribu Cosmas”
“Poa usiku mwema,usisahau kuwa nakupenda”
“Haya”
Jovvana aliingia bafuni kujimwagia maji na kujitupa kitandani huku bado akiwa na fikra za maneno ya kimahaba yaliyomuamsha hisia zake,ilikuwa imetimu saa saba ya usiku ndipo alipolala usingizi.

Wazo la kutoka na kuonana na Cosmas lilimjia alivyoamka asubuhi, alioga na kwenda seblen kunywa chai,walivyotoka wazazi wake aliwasalimia na wote wakajumuika mezani!Adrian na Jaqlin waliingia ndani ya magari, kila mtu lake kisha kuondoka kwenda kwenye shughuli zao za kila siku.
Jovvana alizidi kufikiria njama za kutoroka nyumbani, Cosmas alishatuma meseji kuwa yupo njiani kufika Oysterbay, bado hakuelewa atumie njia gani,aliingia chumbani na kuvaa harakaharaka kisha kwenda mpaka getini.
“Unataka kwenda wapi?”
Mlinzi wa getini aliuliza.
“Dukani”
“Dukani?,unaenda kununua nini?”
“Hee mpaka ujue ni mambo ya wanawake mpaka nikwambie”
“Baba yako kaniambia usitoke hapa”
“Sasa kama navuja pia mpaka nimpigie simu niombe ruksa?”
Jovvana alimshawishi mlinzi,kwa sababu aliyoitumia Mlinzi hakuwa ana shida, alifungua geti na kumsisitiza kuwa awahi kurudi.

Moyo wa Jovvana ulijawa na furaha mno,kichwani aliyafikiria mambo mengi na kitu pekee alichowaza ni jinsi gani ataenda kukutana na Cosmas,kijana ambaye kila siku humuamsha hisia zake.


***

Raul alifika jijini Los Angeles na ndege yake saa kumi na mbili kasoro jioni na kupokelewa na wafanyakazi wake mpaka nyumbani kwake.Siku hiyo hakukuwa na msongamano wa magari na ndiyo maana ndani ya dakika ishirini na tano akawa amefika nyumbani kwake na kupokewa mizigo yake.
Wafanyakazi wa ndani walitoka na kumvua koti alilokuwa amelivaa na kumkaribisha mpaka ndani mezani, kutokana na walishajua ujio wake,chakula kilikuwa teyari juu ya meza,alikula na kupandisha ngazi mpaka chumbani kwake kisha kujimwagia maji.

Kitendo cha kuweka makalio yake kitandani simu yake iliita na aliyekuwa akipiga ni msichana aliyeitwa Clara.Hilo hakutaka kujiuliza kuwa alijuaje kuwa amerejea sababu ujio wa mtoto huyo Raul hujulikana.
“Halloo”
Raul alisema baada ya kuweka simu sikioni.
“Welcome back Raul”
Alisema Babra upande wa pili wa simu akiwa mwenye furaha.
“Thank you Clara”
“Wats popin buddy?”(kuna mpya gani)
“Nothing popin just tired”(hakuna mpya nimechoka)
“Should I come and say hi to yah?”(naweza kuja kukusabahi)
“No you chill its late already”(hapana usijali,muda umekwenda)
“No! no! no! no! don’t mind about thaa.t. though its late, but it doesn’t matter,what matter is, I wanaa see you,I miss you,do you know that?”(Hapana hapana hapana,usiwaze kuhusu hilo,japokuwa muda umekwenda,haijalishi,natojali mimi nataka kukuona,nimekukumbuka,unaelewab hilo)
“Ohhh Clara comeon, okay!let me send you a car,see you in a minute”(Ohh Clara jamani,sawa.ngoja nikutumie gari,nitakuona ndani ya dakika)
Baada ya mazungumzo kuisha Raul aliinua tena simu kisha kumpigia dereva wake akimpa maelekezo akamchukue Clara sehemu anayoishi.

Kwa wazungu jambo hilo lilikuwa ni kawaida, tofauti na Bongo, watoto wakishafikisha umri wa miaka kumi na minane wazazi wanajua kuwa washakuwa watu wazima.Raul alijulikana kwa akina Clara na kitendo cha kuwaaga wazazi wake anaenda kwa mvulana huyo hakikuleta shida,aliruhusiwa na kujiandaa vizuri,baada ya dakika tano gari lililoagizwa limchukue lilikuwa teyari lipo nje.
Akaingia na kufunga mkanda na dereva akondosha gari mpaka ndani ya jumba kubwa la Raul lililofananishwa na bangaloo,nyumba hiyo ililindwa na mitambo ya umeme na kitendo cha gari kufika nje ya geti Raul aliyekuwa ndani kupitia skrin aliona kila kitu kupitia mitambo ya CCTV camera iliyofungwa juu ya geti,
gari liliingia mpaka kwenye maegesho na Clara akashuka na kutembea mpaka seblen ambapo alimkuta Raul yupo juu ya sofa akiwa anamsubiri kwa hamu akamrukia na wote kukaa juu ya sofa!
“Vipi? pole na safari Raul”
“Nishapoa Clara,vipi mji huu unaendeleaje?”
“Kama ulivyouacha,vipi India huko?”
“Huko kwema,pita mezani ukale chakula pale”
“Chakula gani?”
“Sushi na pizza”
“Kweli?wacha niende,napenda sana sushi wamechanganya na Mayonize?”
“Ndio ipo, ukitaka nyingine ipo mezani hapo”

Clara alikula na kushiba, alipomaliza alishukuru mno na kwenda kukaa moja kwa moja na Raul wakiwa wanaangalia movie ya kihindi inayoitwa KABIGUSH KABIGAM,ilikuwa imemteka sana Raul na hakutaka apitwe hata na kipande kimoja na ndiyo maana hata wakati mwingine Clara aliishia kujiongelesha mwenyewe,akili ya Raul ilikuwa imezama ndani ya televisheni sababu alielewa kihindi ndiyo maana alikuwa makini.
Hata Clara alivyoweka kichwa chake juu ya bega lake hakujishughulisha naye.

Ndani ya moyo wa Clara kulikuwa kuna mengi yaliyojificha,bado alimpenda sana Raul,msichana huyu alikuwa ni M-marekani piwa!alivutiwa na kila kitu kutoka kwa Raul rangi ya kijana huyo ilimpagawisha na uzuri ndiyo OMEGA!
Mkono wa Clara ulikuwa kifuani mwa Raul na ulikuwa ukimpapasa taratibu mno.
“Clara”
Raul aliita huku macho yake yakiwa kodo juu ya screen.
“Yes”
“Stop that please”(Acha tafadhali)
Clara alitulia na alimtizama Raul kwa macho malegevu, bado alikuwa akimthaminisha midomo ya kijana huyu mzuri, hapo ndipo alipopata miyemko ya ghafla hakuwa anawaza kitu kingine zaidi ya kufanya ngono.
Damu yake ilimwenda mbio mno, alitamani kushughulikiwa na Raul dakika hiyo hiyo, bila kusubiri alitizama huku na kule kama kuna mtu kisha kuuvuta mdomo wa Raul kwa nguvu na kuanza kumlazimisha kumpiga denda.

Clara alikuwa mjanja na alishaelewa udhaifu wa Mwanamme na siku zote alikuwa hodari wa kuangalia sinema za ngono, hapo ndipo mkono wake aliupitisha juu ya zipu ya Raul na kuanza kucheza na Mwiko wake.
Huku na huku Mwiko ukawa umesimama tayari kwa mapishi, Raul alikuwa teyari amelegea.Mzungu Clara alijua kucheza na Ulimi, kifupi alijua kupigana denda, alilegeza lips zake na kuanza kumnyonya Raul mdomoni,masikioni kisha kuifungua suruali ya Raul na kuanza kumnyonya sehemu yake ya uzazi!
Clara alikuwa ana mbwembwe na mwenye madoido, alikamata mwiko wa Raul vizuri na kuanza kuulamba.Raul akasahau ‘movie’ akawa yupo mbali kihisia kazi ikawa ni kuzishika nywele za Clara.
“Be..droom…”(chumbani)
Raul aliongea kwa shida akimaanisha zoezi hilo likafanyike chumbani.
“Mhhhh ok….ay”
Macho ya Clara yalikuwa yamebadilika rangi, mwili wake ulikuwa mwekundu,alikuwa amechemka mno.Walitembea huku wakipigana madenda na kupandisha ngazi mpaka kitandani puu!
Raul alikuwa kitandani yupo hoi bin tabaan kwa raha na burudani, alihisi roho yake inaacha mwili.
Clara alikuwa akishughulika na mwiko wake bado.Shati lake likatupwa kule na Boxa yake ikafuata akabaki kama alivyozaliwa huku akiwa chali.Clara nayeye akafungua vifungo vyake na kutoa suruali yake ya Jeans aliyokuwa ameivaa akabakiwa na chupi pamoja na sidiria,
bado alikuwa akicheza na Mwiko wa kijana huyu aliyekuwa ana hema kama mwenye ugonjwa wa kifaduro!
Clara alikuwa kama paka anamlamba Raul kila sehemu ya mwili wake,alimlamba shingoni,masikioni kifuani na mpaka kwenye goroli.
Kisha baadaye kumkalia Raul kwa juu akianza kukatika taratibu mno,hapo ndipo Raul alihisi mambo tofauti,hakuwahi kuhisi raha kama hizo tangu azaliwe,kadri sekunde zilivyozidi kwenda mbele ndipo alizidi kusikia raha zisizo kifani.
Ndani ya dakika mbili alihisi kuna vitu vinaanza kutoka na kumfanya aanze kutoa majasho na miguno kisha kuanza kumvuta Clara akitaka kumkumbatia.Clara alishaelewa nini maana yake, kwa nguvu alijitoa na kukinga mdomo wake kwenye mwiko ambapo maji ya nazi yalikuwa yanatoka na Clara kuyaweka mdomoni.
Raul alitulia tuli bado akawa haamini.
“Raul nakupenda”
Alisema Clara akiwa kifuani kwa Raul huku akitolea sauti za puani.
Raul alikaa kimnya bado akiwa anatafakari kwa kile kilichokuwa kimetokea dakika chache nyuma.

Huo ndiyo ukawa mwanzo wa mapenzi yao,Raul alinogewa na kamchezo, alikuwa kila akimuona Clara basi alipenda wafanye ngono iwe ndani ya gari,jikoni, chumbani hata seblen.Moyo wake uliridhia kuwa naye kimapenzi na wakaanza kupendana.Mahusiano yao yalifika mpaka kwa wazazi wa Clara na hawakuwa na tatizo lolote lile.
****
COSMAS ALIKUWA BARABARA YA Kinondoni sehemu iliyoitwa Studio anamsubiri Jovvana kwa hamu mno na mara kadhaa alipiga simu kuuliza amefikia wapi,ndani ya akili yake aliwaza kumvua nguo msichana huyu mrembo.Kumvua nguo ya ndani Jovvana kwake ilikuwa kama ndoto ni lazima itimie,tayari alishaanda gest maeneo hayo ya kinondoni Studio.
“Umefika wapi?”
Cosmas alipiga tena simu kwa mara ya kumi na mbili baada ya kuona dakika tano zimepita tayari.
“Nipo nakaribia hapa nadhani,kuna foleni”
“Huwezi kuchukua pikipiki?”
“Hapana Cosmas,mbona una haraka?”
“Hivi kweli upo njiani?”
“Kweli nipo njiani niamini”
“Sawa nakusubiri”
“Poa”
Haikupita hata dakika Ishirini, taxi aliyokuwemo Jovvana ilifunga breki kinondoni studio,kitendo cha kushuka tu Cosmas akatembea kwa hatua mbilimbili.
“Nillijua hautotokea”
“Nisingeweza kukufanyia ivyo”
“Tunaenda wapi sasa?”
“wewe twende hapo mbele”
Cosmas mbele Jovvana nyuma hao, waliongozana mpaka kwenye nyumba ya wageni iliyokuwa kichochoroni,Jovvana alisimama na kuonekana kusita.
“Vipi twende”
“Huko ni wapi?”
“Nimekodi room”
“Cosmas,ndiyo sehemu gani hizi,mbona papo loko?”
“Sio ivyo,tatizo ulisema una haraka sikuwa na chaguo twende basi”
“Sitokaa sana lakini”
“Ondoa shaka”
Wote waliingia ndani ya nyumba ya wageni na Cosmas alipofika alipatiwa funguo za chumba.

Jovvana bado hakupendezeshwa na mazingira ya chumba hiko,kilikuwa ni kidogo na chenye kitanda kidogo,alivyoingia chumbani aliishia kusimama akikitizama.Cosmas alifunga mlango na funguo na kumvuta Jovvana kitandani.
Mpaka Jovvana kuingia naye chumbani hakuyaamini macho yake alidhani anaota,pembeni yake alikaa binti mrembo na amefungasha nyuma,alianza taratibu kumpiga mabusu na kuanza kulana denda,Cosmas alipeleka mkono wake juu ya maziwa ya Jovvana na hapo ndipo likawa tatizo lingine,alipoguswa juu ya chuchu yake tena baada ya Cosmas kuingiza mkono ndani na kubenjua sidiria kisha kuanza kuzipekecha.
Hiyo ilimfanya Jovvana azidi kutoa ushirikiano.Kitendo cha Cosmas kuweka mkono wake juu ya ikulu ya Jovvana ulizuiwa na kusogezwa pembeni,mambo yaliendelea ivyoivyo mpaka dakika mbili zinapita Cosmas hakuweza kugusa kibibi cha Jovvana.
“Vipi Jovvana mbona ivyo?”
Ilibidi Cosmas aulize swali.
“Vipi kuhusu nini?”
“Mbona unakataa sasa nikuguse huko”
“Sipo tayari”
“Kwanini?”
“Sio ghafla ivyo”
“Kwani tuliongea nini jana?”
“Sawa,lakini nipe muda”
“Ahh jamani,kidogo tu sifanyi sana,sasa utaniachaje hivi mimi?”
“Sasa hapo mimi sijui nadhani umeridhika”
“Bado usinifanyie ivyo,tufanye kidogo”
“Mimi nataka niende”
“Hapana basi naomba nikubusu mara ya mwisho”
“Hapana nitachelewa tufanye siku nyingine, nimeaga naenda dukani,alafu ndiyo mida ya Baba kurudi hii,akinikuta nipo nje yatakuwa mengine”
“Kwani Jovvana,wewe hujawahi kusex?”
“Ndio,sijawahi na bado sijawahi kuguswa”
“Acha usanii,acha kunipiga kanjanja za bongo! Wapi wewe muongo,mimi nitaamini vipi?”
Cosmas alimtega kwa hilo swali akitingisha kiberiti.
“Ipo siku”
“Mi nataka leo”
“Siku nyingine”
Jovvana hakuwa tayari kuvua nguo zake na kumfanya Cosmas aone nguo yake ya ndani kumaanisha kuwa wafanye mapenzi,
sio sababu hakupenda ni kweli alikuwa bado bikira na hakumuamini, katika maisha yake alitaka mtu atakaye mtoa bikra yake awe amempenda mwenyewe kutoka moyoni na ndiye atakayekuja kumuoa.
Mawazo hayo yalimjia hapohapo akiwa amesimama anaweka blauzi yake vizuri.Hakuelewa ni kiasi gani Cosmas ana mizuka ya kufanya ngono.

 Msimamo wa Jovvana daima ulibaki kuwa uleule kwamba ‘sitaki’ alishabadilisha maamuzi na alichotaka kwa wakati huo ni kuwahi nyumbani,wasiwasi mkubwa ulimuingia na hakuelewa ni kitu gani angesema endapo angemkuta baba yake ameshawasili kabla yake.
Cosmas alizidi kumvuta akimlazimisha kumla denda!
Jovvana kwa nguvu alimsukumiza na kufungua mlango huku akianza kukimbia harakaharaka mpaka nje,ambapo alitafuta taxi kwa safari ya kurudi Oysterbay.
Taxi iliwashwa na safari ikaanza, moyoni alikuwa ni mwenye mashaka muda wote, taswira ya baba yake ilijitokeza ndani ya akili yake,akiwa bado anafikiria ni uwongo gani auseme endapo atakuta sura ya baba yake getini nusu baadaye aliwasili nyumbani.

Bahati nzuri siku hiyo alifika kabla ya baba yake, na kitendo cha kufika tu aliingia bafuni na kujimwagia maji kisha kujitupa kitandani.Hakukaa sana alisikia honi ya gari getini,alitambua sana alikuwa baba yake.
“Nimenusurika kidogo tu.Du kweli mimi kijukuu cha mtume”
Aliwaza Jovvana akiwa bado haamini.
Hazikupita hata dakika tano akawa ameitwa Seblen na baba yake.
“Pole Baba”
“Ahsante,Mama kesharudi?”
“Sina uhakika”
“Kwani haukuwepo?”
“Nilikuwepo lakini nilikuwa chumbani naangalia movie”
“Sawa jiandae na safari,wiki ijayo”
“Dad, safari ya wapi?”
“Marekani”
“Dad,real?”
“Kweli,fanya ujiandae”
Adrian alivyoacha ujumbe huo alipandisha ngazi mpaka chumbani kwake ambapo alitoa uchovu kwa kujimwagia maji bafuni kisha kujitupa kitandani.
Hakumkuta Mke wake ilibidi atoe simu na kumtafuta hewani.
“Baby vipi?”
“Safi tu,upo nyumbani nini?”
“Nipo nyumbani ndio,bado upo job?”
“Nipo njiani kurudi,nipo Magomeni mapipa,kuna kifoleni cha uzushi”
“Vipi bebee anaendeleaje tumboni?”
“Hana husemi anakusalimia,kesho ndiyo nataka nianze cliniki,baby tutaongea nikifika taa zimeruhusu”
“Poa wife,kuwa makini”
“Poa”
Maongezi yalivyoisha yalimuacha Adrian akijitupa kitandani huku macho yake yakiwa kodo kwenye skrini ya televisheni.Kwa mbali alianza kuhisi usingizi,macho yake yalikuwa mazito na kulala hapohapo fofofo.

“Mhh umeingia saa ngapi?”
Adrian alimuuliza Mke wake baada ya kuzinduka usingizini.
“Muda kweli,mpaka nishaoga nishakula”
“Sio kweli”
“Kweli tena,nikaona nisikusumbue,naona umechoka kweli”
“Sio masihala,nimechoka”
Jaqlin alipanda kitandani na kumkalia Adrian mgongoni aliyekuwa bado amelala kifudifudi kisha kuanza kumfanyia masaji mgongoni taratibu.
“Una vidole laini,usije tu ukaamsha majini yangu”
“Ndio maana nafanya hivi,kwani si ni wajibu wangu kuyatuliza hayo majini,au kuna mwingine?”
“Atoke wapi?Wewe ndiye mwanamke uliyefanya mpaka akili yangu yote ipararaizi,ujanja wangu wote hapo nimeshikwa na mpare”
“Wacha we”
“Ndiyo nakwambia.Alafu hapo hapo mgongoni nisugue ivyo ivyo”
“Kwenda huko,muone unapenda raha kama paka”
Maneno aliyoongea Jaqlin yakitokea puani yalizidi kumfanya Adrian asisimke mwili,ni dhahiri damu ilianza kumwenda mbio na jogoo wake taratibu kuanza kutuna.
Na hayo ndiyo yalikuwa mahesabu ya Mke wake Jaqlin alishalitambua hilo,alizidi kumfanyia masaji na kuanza kumkwaruza taratibu mgongoni na kucha zake zilizokuwa ndefu kwa mbali.

Hapo ndipo akashindwa kustahimili,haraka akajigeuza na kulala chali, alimvuta Jaqlin mdomoni na kuanza kulana denda.Jaqlin alishaelewa tayari na ndiyo maana alikuwa ‘standby’ kwa jambo hilo,walibiringizana kitandani na kuanza kushikana huku na huku kila mtu akiwa ana hema ana hamu na mwenzake,
hakukuwa na kitu kingine zaidi ya Jaqlin kuitoa vest ya mume wake na kuitupa mbali,Adrian nayeye akafanya ivyo ivyo alilivua shati la Jaqlin na kupitisha mkono wake nyuma ya mgongo kisha kupachua blazia.
Chuchu za Jaqlin zilizosimama zikawa zipo wazi,alizifuata na kuanza kuzinyonya taratibu sana akiwa juu ya Jaqlin huku mkono wake mwingine akiupitisha chini na kuuingiza mpaka ndani ya ikulu ya Jaqlin kisha kuanza kupalizi nyasi fupi fupi zilizokuwa zinaanza kuota.
Hapo ndipo ukawa mwanzo wa Jaqlin kuonesha ushirikiano kwa kuuzungusha ulimi wake ndani ya mdomo wa Adrian.
Mambo yalikuwa mwanyumwanyu!kila mtu alikuwa ana hekaheka, Adrian alishika jeans ya mke wake pamoja na Chupi kwa pamoja kisha kuzivuta na kuzitupa chini sakafuni.Kilichofuata hapo ni kutengeneza mazingira ya kutoa madini.
Starehe ya Adrian siku zote ilikuwa ni kuweka mdomo wake chumvini yaani kudeki bahari na siku zote huo ndiyo ulikuwa udhaifu wa Jaqlin na alishalijua hilo na ndiyo maana alianza na sehemu hiyo huku mkono mmoja ukiwa juu ya chuchu za Jaqlin.
Jaqlin alianza kuweweseka na kutoa sauti puani,alijihisi ni kama mwenye mabawa, alikikamata kichwa cha Adrian na kufanya kama anakikandamiza ndani ya mgodi wake.
Adrian alizidisha kuweka mate juu ya ulimi wake akawa bize na kibarua hicho.Mpaka pale Jaqlin alipoanza kukatika kiuno akitaka kufika mshindo.
“Ahh shhhhsss aaaaaah Aaaaaadr…iaan baaaaa…..byyyyy aaaashhhs iv….vyo…..ivyo hap….o ha……po”
Alilalamika Jaqlin akiwa hajiwezi tena.Hapo ndipo alianza kutetemeka kisha kuibana miguu yake,
Adrian aliipanua na kuingiza Mjegeja wake ndani ya Mgodi tayari kwa uchimbaji madini.Mambo yalianza na alianza kwa spidi ndogo ya taratibu huku akikizungusha kiuno chake huku na kule nia yake ilikuwa ni mjegeja wake kugusa kila pembe,alikuwa ni kama mtu anayepiga mswaki mdomoni.
Aligusa kila pembe mara kaskazini mara kusini hata Magharibi na kutokusahau Mashariki ya mbali.
Mambo yalienda taratibu mno Jaqlin akiwa amewekwa Kifo cha mende chali,mguu mmoja ukiwa begani mwa Mme wake,kazi yake ilikuwa ni kutaja jina ‘Adrian’.
Hiyo ilimuongezea Mzuka zaidi.Jaqlin alipinduliwa na kulala chali Adrian akalala juu yake,staili hiyo ilionekana haikufaa baada ya sekunde mbili ilibadilishwa, Adrian akawa amekaa kisha Jaqlin kumkalia, wakawa wanatizamana kama abiria kwenye treni au mabasi ya chai maharage yapatikanayo huko Zanzibar! kumbe ndiyo wanafanya mambo yao.

Hapo ndipo Jaqlin alikuwa akilia kwa sauti kubwa huku akizungusha kiuno chake taratibu akikatikia ‘fimbo ya Mussa’ Walipeana madenda huku kila mtu akionesha juhudi za kazi.Walipinduana pinduana huku na kule na wote kufika mlima Kitonga sawa.
Adrian akawa bado yupo juu kifuani kwa Jaqlin amemkumbatia baada ya kufika kileleni.
“Darling”
“Abee”
“Mtoto hatujamuumiza lakini?”
“Mhh sidhani,lakini wewe ndiye utakuwa umemuumiza”
“unanisingizia”
“Kweli nakwambia,umeridhika mume wangu?”
“Mimi niko poa,sijui wewe”
“Wewe ukiridhika basi mimi sina tabu,nakuuliza ivyo kwasababu umeenda round moja”
“Nyingine tufanye nimekusamehee”
“Thubutuuu!utamalizia nyingine bafuni baba watoto”
“Wacha,kwa mikakati sikuwezi”
“Alafu Baby…”
“Naaam kipenzi”
“Una mkumbuka yule Mzee uliyekuja naye siku ile ukasema sijui mkandarasi wa nyumba yetu ya Morogoro?”
“Ndio. Mzee Gingi?”
“Huyo huyo ana mvi mvi fulani hivi”
“Eeeh kafanya nini?”
“Tulia basi nikuchekeshe”
“Enhee”
“Eti ananitaka,ooh nitakujengea nyumba ooh mara mimi hodari kitandani nimpe kidogo sitojuta”
“Mzee Gingi huyu huyu au umemchanganya?”
“Huyu huyu,wewe sindo ulimpa namba yangu siku ile,hata leo kanitumia meseji anataka tuonane Sinza,Tindwa gest”
“Wewe ukamjibu nini?”
“Nimemuacha sikumjibu nikabaki kimnya,kale kazee mimi kanini sasa”
“Embu nipe simu yako”
Jaqlin alipapasa mkono mezani na kumkabidhi Mme wake simu.
Adrian aliingiwa na wivu na kuingia kwenye uwanja wa meseji,Jaqlin nayeye aliona akawa amelala kifuani wakiwa wanaangalia meseji kwa pamoja.
“MAMBO”
Adrian alituma meseji akimtumia Mzee Gingi kupitia simu ya mke wake.
“OOOH BINTI HUJAMBO,HUJALALA TU?”
Mzee Gingi nayeye akajibu,Bila kujua kuwa anachat na Adrian.
“SINA USINGIZI,WAPI UPO SASA HIVI JAMANI?”
“NIPO TU HAPA HAPA SEBLEN,NASOMA SOMA GAZETI,VIPI KWANI?”
“NAKUMISI TU”
“MASIHARA HAYO”
“KWELI NAKWAMBIA”
“FANYA KWELI BASI”
“KWELI VIPI?SIJAKUELEWA”
“KWANI UPO WAPI MREMBO?”
“NIPO KWANGU”
“VIPI JAMAA YUPO?”
“KASAFIRI LEO MCHANA SI UNAJUA MAMBO YAKE”
“HAPO SAFI SANA,NJOO BASI TUPUMZIKE ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO,NJOO NIKUPE VITU MOTOMOTO”
“MIMI NAOGOPA”
Adrian alitabasamu huku akiwa amejawa na hasira mno.Alipiga picha uzee wa Gingi na hata siku moja hakutegemea kama ndiye angeweza kuongea vitu kama hivyo.

Alimuheshimu sana Mzee huyo kama baba yake mzazi na ndiye aliyekuwa mkandarasi wa nyumba yao mpya wanayojenga mkoani Morogoro.
“Bastola yangu ipo wapi?”
Adrian aliuliza kwa hasira na kumgeukia mke wake.
“Ah ah. Adrian mume wangu,sasa huko unafika mbali,wewe mkanye tu hapohapo basi,mambo ya bastola utatafuta kesi”
“Huyu Mzee.Subiri…”
Adrian aliamua kumpandia Mzee Gingi hewani akitumia simu ya Jaqlin.

Akiwa anasoma Gazeti Seblen Mzee Gingi aliona ni kama bahati, embe kudondoka chini ya mti wa mpera,kitendo cha kuona simu inaita na aliyepiga ni Jaqlin alitabasamu.
“Huyu mtoto leo lazima nimuoneshe kuwa uzee mwisho chalinze”
Mzee Gingi alijisemea na kuipokea simu.
“Eeeh Mrembo”
“Sikiliza nikwambie kitu Mzee Gingi,nakuheshimu sana tena nina kuheshimu kama Baba yangu mzazi,naomba tafadhali ukae mbali na mke wangu,iwe mwanzo na mwisho.Na sitorudia tena,ilikuwa nikufuate huko huko,zoea kuwadandia wanawake wengine sio mke wangu.Tena naomba tueshimiane narudia tena tunaonana wabaya pumbavu mwili mzima”
Adrian alikata simu na kumtizama mke wake kisha kumbusu.
****
Ilikuwa ni siku ya Jumatano saa tisa ya alasiri Adrian,Jaqlin pamoja na Jovvana walikuwa wapo uwanja wa kimataifa Mwalimu Nyerere wanasubiri ndege kubwa ya shirika la Fly emirates.
Safari yao ilikuwa kwenda nchini Marekani na hiyo ndiyo ahadi aliyomuhaidi Jovvana siku nyingi sana zilizopita.

Jovvana hakuamini kuwa anaenda nchini Marekani.Muda wote alikuwa ni mwenye mcheche! Anatizama saa yake,na swali lake muda wote lilikuwa ni saa ngapi safari?akawa anaona kama wanachelewa.
“Leo ndege imechelewa sana mpaka sasa hivi!”
Adrian alimwambia mke wake.Na kitendo cha kumaliza sentensi yake walisikia kipaza sauti kikitangaza kuwa abiria wanaoondoka na fly emirates waweze kuingia ndani kwa ajili ya ukaguzi.

Jovvana akawa wa kwanza kusimama.Nyuma wakafuata wazazi wake kila mtu akiwa na hati ya kusafiria mkononi.Walipita ndani kwenye mashine za kuscan na kupita kwenye geti kubwa.Magari maalumu ya ngazi yalikuwa teyari yameweka ngazi kwenye mlango wa ndege, abiria wote waliingia ndani na magari kuondoka.
“Dad tutafika saa ngapi New York city?”
“Sijajua Jovvana mwanangu ila nafikiri kesho asubuhi ya saa nne”
“Mbona mbali?”
“Ndio hivyo,kwa sababu tutabadili ndege nyingine”
“Mama Jovvana”
“Abee”
“Vipi?”
“Poa”
Sauti ya kipaza sauti ilisikika kutokea kwenye spika ikiwataka wafunge mikanda kwa ajili ya safari nao wakatii.

*****

“Welcome to New York city”(Karibu mji wa New York)
Dereva Taxi aliwakaribisha Wateja wake baada ya kuwaona wamemfikia wakitaka huduma ya usafiri, ilikuwa majira ya saa kumi na moja jioni ndipo Adrian na familia yake walipotua ndani ya jiji hilo.Baridi lilikuwa kali mno na wazungu waliokuwa ndani ya mji huo walilazimika kuvaa masweta mazito.

Walitoka ndani ya uwanja wa ndege nusu saa baadaye na safari ya kwenda hotelini kuanza ambapo dakika ishirini na mbili walikuwa nje ya gorofa kubwa lililoandikwa KCC MOTEL wote walishuka na dereva taxi kuwasaidia mabegi yao mpaka ndani.
“How much?”(kiasi gani)
“Twenty dollar”
“Okay”
Adrian aliingiza mkono nyuma ya suruali yake na kutoa ‘wallet’ kisha kumkabidhi dereva taxi nayeye akaondoka zake,wahudumu wa KCC MOTEL walifika na kuwasaidia mizigo yao mpaka vyumbani ambapo walipewa kadi za elektroniki za kufungulia milango.
“Jovvana,hiko ndiyo chumba chako,sisi chumba chetu kile pale,vipi umeshiba?”
“Ndio Dad nimeshiba sana,labda maji ya kunywa”
“Huko chumbani kwako hakuna maji?”
“Nafikiri yapo naona kuna friji pale”
“Sawa kuwa makini,tutakuja kukuchukua baadaye twende tukatembee”
“Sawa Dad”
Jovvana aliingia chumbani kwake akiwaacha wazazi wake wanakatiza korido.

Walitoa kadi nyembamba zinazofanana na za bank ambazo kwa mbele zilikuwa zina vichuma kisha kupitisha kwenye mlango hapohapo mlango ulifunguka.Kilikuwa ni chumba kikubwa chenye kila kitu ndani kuanzia jiko,vitanda na seble mpaka televisheni kubwa.
“Hapa pazuri”
Jaqlin alimuambia mume wake.
“Saaana”
“Pole na safari mme wangu”
“Hata nawewe pole pia,vipi unapaonaje unalionaje jiji?”
“Sikuwahigi kuja huku, mimi nilikuwa naona tu muvi,New York,New York sasa nimeliona,wazungu ni watu wengine,tumeachwa mbali sana”
“Sio kweli,Miezi sita mizima ulikuwa huku New York,kipindi ulivyokuwa unaumwa”
“Sikumbuki,kipindi kile nilikata tamaa ya maisha sikuwa najua kama napona”
“Mungu ni mwema”
“Baby”
“Naam”
“Nikwambie kitu”
“Niambie”
“Kwanini usigombanie uraisi? siku moja natamani kuwa first lady wa Tanzania”
“Mimi na siasa wapi na wapi Mke wangu,kwanini umefikiria hilo swala?”
“Basi tu napenda Mme wangu uwe mwanamme mwenye mamlaka,hata ivyo kuna siku nilivyokuwa mdogo nipo darasa la saba,eti niliota mimi ni mke wa Raisi”
“Hizo ni ndoto”
“Baby nipo Siriazi,mi nataka ujiingize kwenye siasa”
“Tutaliongelea hilo baadaye,kesho nataka twende Los Angeles nataka kwenda kumuona rafiki yangu Peter Macklalen,nishakumbuka ngoja nimpigie simu nimwambie nipo hapa New York atafurahi sana”
“Ndiyo nani huyo?”
“Alikujaga Bongo na demu wake,alikuja kumnunulia Spea,alafu sasa huyo demu wake ni mchaga anaitwa Manka Kitlya.Huyo Demu….ana..”
“Baby,kwani huwezi kusema msichana mpaka useme demu,alafu nilishakukataza ushakuwa,acha maneno ya kihuni”
Jaqlin aliingilia kati na kumkatisha.
“Sasa huyo Demu,aah samahani Msichana, nilishawahi kufanya naye kazi muda mrefu akanitambulisha Kwa Peter,juzi ndiyo wamefunga ndoa Los Angeles,alinitumia meseji nikashindwa kwenda”
“Basi hiyo kheri,inabidi twende”
“Sawa”
“Lakini hujaoga kumbuka,unazuga zuga tu”
“Thubutuu na hili baridi lote,leo napiga deshi”
“Huwezi kulala namimi ivyo,utaoga Baba Jovvana”
Jaqlin aliingia bafuni na bahati nzuri kulikuwa kuna hita yaani bomba ambalo linatoa maji ya moto na baridi.
“Baby kuna maji ya moto pia”
“Kweli ukiamua kitu lazima kifanyike,aya Mama fungua bomba nakuja”
Jaqlin alifanya alichoambiwa kisha kupita mpaka chumbani pembeni ya Adrian na kuanza kuchojoa nguo moja baada ya nyingine mpaka alipobakiwa bila nguo hata moja.
Adrian alibaki akimwangalia juu mpaka chini.
“Mbona unaniangalia hivyo Baby?”
Jaqlin aliuliza na kumtupia mto.
“Unajua sikuwahi kukuangalia kwa umakini,kumbe Darling wewe ni mweupe kiasi hicho,alafu una mvuto nisingekuoa ningejuta,bado mbichiiiiiiii kama kamongo”
“Umeanza! Umeanza!,Umeanza uchokozi,vua nguo tukaoge,naona unataka kupiga chenga”
Adrian hakubisha alivua nguo zake na wote kuongozana mpaka bafuni ambapo huko kilichofuata walianza kupigana madenda na kilichoendelea waliishia kufanya tendo lililohalalishwa na wana ndoa.

Wote walitoka na kuvaa nguo zao na masweta mpaka chumbani kwa Jovvana kisha kumchukua ili wakale chakula cha Usiku.Walimpasha habari ya Kwenda kutembea Los Angeles na Jovvana akafurahi sana.
Siku zote alikuwa ni mtoto aliyejivunia kuwa na wazazi wenye uwezo kifedha.kila alilotaka alitimiziwa muda huo huo.
“Dad and Mom nataka tupige selfie,sogeeni huko”
“We mtoto si ule kwanza”
“Nataka kabla ya kumaliza chakula”
Wote walikaa mkao wa picha na Jovvana akaweka Simu yake ya Camera mbele kisha kuanza kujipiga picha mbali mbali.
“Zinatosha,Baba Jovanna inabidi tutafute Camera,tupige picha za kumbukumbu”
“Sawa tutanunua kesho tukiwa tunaenda Los Angeles”
“Hakuna shida,endelea kula”
wote walikula na kufurahi,Jovvana muda wote alikuwa bize kujipiga picha nyingi nyingi zisizokuwa na idadi kamili.Walivyotoka hapo walienda sehemu maalumu na kuagiza vinywaji.

“Nigee Takira”Adrian aliagiza.
Baada ya kuletewa glasi moja zikaletwa mbili.
“Hiyo ya nani?”
Aliuliza Jaqlin.
“Yako”
“Mimi sinywi pombe,nilishakwambia”
“Leo onja kidogo,kwani si upo namimi au?”
“Hapana siwezi”
“Kunywa kidogo,ina radha nzuri,ukizima mimi nakubeba uzuri upo namimi,shot moja tu”
“Sawa”
Jaqlin alipiga fundo la kwanza la pili alivyopiga la tatu alianza kuona nyota nyota na kuanza kuongea vitu vya ajabu,kweli pombe sio chai alianza kumla denda Adrian mbele ya Jovvana.

Jovvana naye alikuwa ‘sharp’ hapohapo alikaa mbele yao kisha kujipiga Selfie huku wazazi wake wakiwa wanapigana denda.
“Ba…by take meee kitandanni please,nimechoooooka sana,mimiiii nakuppeeenda sanaaaa mumeeee wangu,twende twende twende Jovanaa nenda ukalaleee usiku huu umeingia mwanangu kesho shuuleeee eeeeh Mama.”
Jovvana alitabasamu.Na kuondoka akiwaacha wazazi wake wanaendelea kula mvinyo viti virefu, mpaka inafika saa saba ya usiku Jaqlin alikuwa bwii haelewi anachokiongea.
“Baby hizi ngapi?”
“Ahhhhh aaaaaaah sioniii sioooni siooooni,twende zetu bwanaaaaaaaaa aaaaaah”
Aliongea huku akirembua, Adrian kazi yake ilikuwa ni kumrekodi huku akimcheka, kifupi walifurahi.Walikokotana kilevi mpaka chumbani na kujitupa puu kitandani.

******
Asubuhi ya Saa tano chumbani kulisikika vicheko,Adrian alikuwa ana kazi ya kucheka huku akiangalia video za usiku wa jana jinsi alivyomrekodi mke wake, alicheka mpaka kudondoka chini na kupiga piga malumalu.
“Haa! Haaa! Haaaa! Haaaaa! Haaaaaa!”
“Kinachokuchekesha nini?”
“Hapa hapaa Haaa ha Ha ha ha ha ha haaaaa, hapa ulivyokuwa unasema Jovvana anapita kwenda chooni sasa baby Jovvana ulimuona wapi hapa?angalia ulivyokuwa unarembua”
Hata ivyo Jaqlin hakuchukia, alifurahi hasa alivyomuona Mme wake anacheka akiwa mwenye furaha na kumfanya mpaka yeye acheke pia.
“Ehh Basi iweke hiyo video,ukijisikia kucheka uiangalie”
“Hii siifuti Ng’ooo”
Wote waliingia kuoga na Adrian alivyotoka tu alienda moja kwa moja kwenda simu ya mezani na kumtafuta Manka Kitlya simuni.Alichukua namba na kuziweka kisha kuweka mkonga sikioni akisubiri upande wa pili wa simu.
“Haalloo samahani naongea na Manka Kitlya?”
“Ndiye Mimi sijui nani mwenzangu?”
“Adrian,Adrian Mwangenya”
“Oooh My God,Realy?Aisee upo wapi?”
“Nipo hapa New York city”
“Aaah you are joking, sio kweli,unanitania chif”
“Nakwambia ukweli,nipo na familia yangu”
“Umekuja kufanya nini tena huku wewe Mwanamme?”
“Kula maisha,nimekuja kula bata,vipi bado upo Los Angeles?”
“Ndio nipo Los Angeles na kama upo New york tafadhali naomba uje hata leo”
“Ndio maana nikakupigia hii simu,nipe Adress ya nyumba yako”
“Sawa,subiri kidogo”
Ukimnya ulitokea wa dakika tano,na Manka Kitlya alivyorudi kwenye laini alikuwa ana kazi ya kumwambia sehemu anayoishi,akimsisitiza kuwa awahi kufika Los Angeles.
“Nafikiri saa kumi na mbili jioni nitakuwa nawewe”
“Sawa safari njema Adrian,niwapikie nini?”
“Macharari”
“Ha ha ha haaa huku sio Moshi bwana,hujaacha vituko vyako!”
“Pika chochote,kumbuka nakuja na familia yangu”
“Ondoa shaka”
Simu ilivyokatwa,ilimuacha Adrian anajiandaa na Mke wake kisha kwenda chumbani kwa Jovvana nayeye akawa anajiandaa,
Nusu saa baadaye baada ya kupata kifungua kinywa walitafuta taxi iliyowapeleka uwanja wa ndege, hapo walichukua ndege ndogo mpaka Los Angeles. Hakukuwa kuna umbali mkubwa, baada ya masaa mawili na dakika kumi na saba walikuwa wapo ndani ya jiji hilo.
Na hapo walitafuta Taxi mpaka jiji la ‘Beverly Hills’ hali ya hewa ilikuwa ni centigredi hamsini na moja,kulikuwa kuna joto kali tofauti na New york na wazungu walibadilika rangi na kuwa wekundu.

TAXI ilifunga breki nje ya geti kubwa na wote kushuka,hawakukaa sana, Mwenyeji wao Manka Kitlya akatokeza getini wakakumbatiana na Adrian kisha kusalimiana na Mke wa Adrian pamoja na Jovvana kisha kuwakaribisha Ndani kwa ajili ya kula chakula.
“Poleni na safari,aise mmekuja miezi mibaya sana,ni kuna joto kweli kweli”
Manka alizungumza huku akiweka uma mdomoni uliokuwa na yai.
“Hata mimi nimeliona hilo.Lakini hili afadhali hakuna jua kivile kama bongo jua kali, joto, tabu tupu”
“Upo sahihi,Wifi mbona huongei?”
Manka kitlya alimuuliza Jaqlin.
“Nipo nawasikiliza,nikimaliza kula nitaongea mimi ni muongeaji kwelikweli”
Wote walifurahi na ilipofika usiku Peter Macklalen Mme wa Manka Kitlya akawa amefika,
alifurahishwa sana na ugeni huo.Hapo hapo kabla ya kufanya lolote aliwaomba watoke kwenda kutembea kushangaa jiji katikati ya mji.
****
Raul na Clara walikuwa kama kumbikumbi kila alipokuwa Raul basi Clara yupo nyuma yake kama siyo mkono wake wa kuume,siku hiyo jioni waliwasha gari yao mpaka kwenye ukumbi ulioitwa Bright Hall,kulikuwa kuna maonesho ya watu wenye vipaji.

Na ndiyo hapo Peter Macklalen Alitaka kuwapeleka wageni wake, walivyofika waliwahi viti vya mbele ili kusubiri maonesho ya watu wenye vipaji.
Jovana akawa amekaa kushoto, pembeni waliketi Wazazi wake huku nyuma yake akawa ameketi Manka Kitlya na mme wake.
“Jovvana unakumbuka gari lilipoachwa?”
Jaqlin alimuuliza Jovvana.
“Ndio,si kule juu?”
“Huko huko,nimesahau camera ndani ya gari,ngoja niombe funguo ukachukue camera tuje tupige pige picha hapa”
“Sawa Mama”
Jaqlin alisimama mpaka kwenye meza ya Akina Peter Macklalen na kuomba funguo za gari kisha kumkabidhi Jovvana.
Jovvana akasimama mpaka kwenye maegesho ya magari kisha kuchukua camera,
lakini katika harakati za kurudi alikuwa ni mwenye haraka na kumfanya aanze kukimbia taratibu,katika kukunja kona akagongana kikumbo na Raul aliyekuwa ameshika pop corn mkononi wote wakadondoka chini kila mtu upande wake.

 Jovvana alikuwa yupo chini ameanguka upande wa pili chali.Hata Raul pia lakini yeye akawa wa kwanza kusimama na kumuendea Jovvana aliyekuwa chini anajizoa zoa kusimama.
“Are you okay”
Raul aliuliza akitaka kujua kama Msichana aliyedondoka yupo salama.
“Yeah”
“Are you sure?”(una uhakika)
“yeah,It is okay”
Jovvana alijibu na kubaki kumtizama Raul usoni,hakuelewa ni kwanini damu yake inamuenda mbio kiasi cha kupelekea mpaka mapigo yake ya moyo yamuende kasi sana.
Ilielekea kichwani alikuwa ana maswali anajiuliza, ni kweli alijua wanafanana na Mvulana waliyegongana naye kikumbo karibia kwa kila kitu, hata kichwani kwa Raul ndiyo alikuwa akiwaza hayo, kifupi wote walikuwa njia panda wamekaa kimnya wanatizamana.
“Hey baby watsap?”(mpenzi vipi)
Clara Mpenzi wake na Raul ndiye aliyewashtua Raul na Jovvana waliokuwa bado wanatizamana.
“Nothing,lets go”(hakuna kitu tuondoke)
Raul na Clara wakashikana mikono na safari ya kuondoka ikaanza hapohapo.Akili ya Raul haikuwa hapo hata alipofika ndani ya ukumbi, ilikuwa imesafiri kilomita nyingi mno, haikuwa na Clara,alikuwa akimuwaza msichana mrembo aliyegongana naye kikumbo nusu saa lililopita, uzuri wa msichana huyo ulimpagawisha sio masihara na muda wote macho yake yalikuwa waluwalu kumtafuta Jovvana katika kila pembe ya ukumbi huo ambao watu wenye vipaji walikuwa katika maonyesho yao mbele ya steji kubwa.

HATA Alivyoongeleshwa na Clara hakusikia.
Kuwa na msichana wa kiafrika ndiyo ilikuwa moja ya ndoto zake na kukutana na Jovvana aliamini kuwa ndoto yake itatimia,alimsikitikia sana Clara ambaye alikuwa amezama katika penzi lake!
Hisia zake hazikumdanganya, katika kupitisha macho yake ni kweli yalitua juu ya sura ya Jovvana aliyekuwa anapiga makofi,moyo wake ukapiga paa!
“Baby wait let me come”(mpenzi subiri,nakuja sasa hivi)
Raul akasimama kutoka alipokuwa ameketi na kuanza kupangua pangua watu mpaka alipofika karibu na meza aliyokaa Jovvana na Wazazi wake.
Alivyomwangalia mwanamme aliyeketi pembeni ya Jovana alishtuka mno,sababu alikuwa amefanana naye karibia kila kitu.
“Ina maana binadamu tunafanana kiasi hiki?,huyu mzee kafanana na mimi Yule ndiye atakuwa baba yake bila shaka hapa lazima nimtoe Yule binti pale,lazima nimwambie leoleo kuhusu hisia zangu,kwa gharama yoyote ile,katika zunguka yangu yote sijawahi kuona msichana kama Huyu, huyu ndiye nitakaye muoa”
Raul aliwaza,alivyopita muhudumu mbele yake alimzuia na kumuomba peni na karatasi kisha kuandika ujumbe mfupi na kumkabidhi muhudumu apeleke ujumbe huo kwa Jovvana.Muhudumu alicheza kama ‘pele’ uwanjani, alimpa kikaratasi kidogo Jovvana bila ya wazazi wake kugundua.
“PLEASE, CAN YOU COME OUT SIDE”
Huo ndiyo ujumbe uliosomeka juu ya karatasi ndogo aliyoshika Jovvana baada ya kuifungua,ikimuomba atoke nje,alivyotupa jicho kando yake alimuona kijana aliyegongana naye kikumbo muda mfupi uoliopita.
Raul akamuonesha ishara ya kutingisha kichwa kuwa watoke nje.

“Unaenda wapi?”
Adrian alimtupia swali mwanaye baada ya kumuona anataka kusimama.
“Naenda chooni”
“Uwahi kurudi,ukichelewa tutakuacha”
“Sasa hivi narudi”
Jovvana akawa ametoka nje na alivyofika nje Raul akamshika mkono na kumvuta kwenye kona.
“Mambo vipi mrembo”
“Safi”
“Samahani,kwa yaliyotokea nusu saa lililopita”
“Usijali nishasahau”
“Mimi naitwa Raul”
“Jovvana”
“Una jina zuri sana kama wewe mwenyewe,ulivyo wewe ni Mmarekani?”
“Hapana”
“Kumbe?”
“Mimi ni Mtanzania,ni mtu wa Tanzania”
“Tanzania?Tanzania ndiyo wapi?”
“Bara la Africa”
“Nishakumbuka Kwa Nyerere kule mzee wa Ujamaa?”
“Ndiyo hukohuko,wewe je?”
“Mimi muhindi ila nimekulia sana hapa Marekani”
“Sio kweli”
“Kwanini?”
“Mbona kama tumefanana fanana”
“Hata mimi nimeshtuka,nimeliona hilo,ni mambo ya Mungu hayo,kabla sijaongea sana naomba ukamate kadi yangu ya simu”
Raul alitoa kadi ya simu na Kumkabidhi Jovvana nayeye akaiweka ndani ya mfuko wake wa suruali.
“Tafadhali naomba usiache kunipigia simu,nina mazungumzo nawewe muhimu mno”
“Sawa”
“Usiku mwema”
Roho ya Raul ikawa imeridhika akarudi kwenye kiti wakaungana na Clara kuangalia maonyesho,bado akili yake haikuwa hapo,
mara kadhaa alimtupia jicho Jovvana na kugonganisha macho wakaishia kutabasamu na mara nyingine Raul alimkonyeza Jovvana.
Mpaka Jovvana anasimama bado macho yake yalikuwa kwa Raul.

“Jovvana embu tembea basi,mbona unashoia”
Mama yake aliongea kwa ukali baada ya kumuona ameduwaa anatembea kwa kusuasua.Wakatembea mpaka kwenye maegesho ya magari kisha kuondoka zao!
Mpaka wanafika nyumbani kwa Peter Macklalen ilikuwa imegonga saa saba ya usiku,Jovvana akaoneshwa chumba chake cha kulala na kwenda kujimwagia maji.
Katika maisha yake tangu akuwe na ajilielewe alikiri mwenyewe kuwa hakuwahi kumuona Mvulana mzuri kama Raul na picha ya sura yake ilipita ubongoni mwake,hakuelewa hisia hizo zimetokana na nini, kwani ilikuwa ni ghafla mno,alihisi kumpenda Raul.
“Yule kaka ni mtanashati sana,Lakini mbona tunafanana kiasi hiki?,nimeamini sasa duniani wawili wawili,lakini mmhhh”
Aliwaza Jovvana na kujitupa kitandani.Asubuhi kulivyokucha alienda mezani na kuungana pamoja na wazazi wake pamoja na Manka Kitlya na Mme wake ili kupata kifungua kinywa,baada ya hapo alirudi chumbani kwake na kukumbuka jana usiku alipewa kadi ya simu na Raul, hapo ndipo alipoichukua na kuiendea simu ya mezani.

Alizungusha namba huku mkonga wa simu ukiwa sikioni mwake,zilivyotimia simu ilianza kuita.
“Halloo”
Sauti nene kidogo ilisikika upande wa pili wa simu baada ya kupokelewa.
“Raul”
“Ndio,wewe nani?”
“Jovvana,tulikutana jana usiku kwenye mao….”
“Nishakukumbuka chaurembo,nishakukumbuka sauti yako haiwezi kunitoka,vipi upo wapi?”
“Nipo nyumbani”
“Nyumbani wapi?”
“Sijui kwa kweli”
“Lakini upo Los Angeles bado?”
“Ndio”
“Fanya kuuliza ili uniambie”
“Sawa ngoja kidogo”
Simu ilikatwa na Jovvana akaenda mpaka seblen kuulizia mtaa wanaoishi unaitwaje. Katika kuuliza akagundua kuwa yupo sehemu inayoitwa ‘Beverly hills’alirudi tena simuni na kumueleza Raul.
“Upo karibu na nyumbani kwangu,naweza kuja kukuchukua?”
“Hapana,hutoweza sidhani kama nitakuona,lakini ngoja nahisi kesho tutatoka tena kwenda kutembea labda tutaonana huko”
“Fanya ujue ni wapi,ili tuonane”
“Sawa nitakujulisha”
Maongezi hayo yalifanyika kwa lugha ya kiingereza na simu ilivyokatwa ikamuacha Raul akitabasamu meno yake yote yakawa nje huku akiweka mikono hewani kwa ushindi.

“Yeeeeeees!”Alisema Raul.
Tangia anaanza Maongezi na Jovvana kwenye simu, Clara aliyasikia,alikuwa mlangoni ametega sikio lake moja akitaka kujua ni nani anazungumza na Mpenzi wake,mpaka wanahaidiana kesho wakutane alisikia.
Hakutaka kuweka jambo hilo moyoni ilibidi amuulize.
“Ni balozi wa Uswizi Yule,anataka kuniona kesho”
“Kweli mpenzi?”
“Ndio,kuna mambo Fulani Fulani nataka kuzungumza naye ndiyo kesho amepata nafasi”
“Sawa mimi nipo jikoni,si unajua tuna kipindi leo mchana”
“Ndio naelewa”
Ndani ya masaa kadhaa Raul alikuwa amebadilika, Clara alishaligundua hilo na hisia zake zilimpeleka kwenye simu aliyokuwa akiongea nayo,siku inayoitwa ‘kesho’ ndiyo alikuwa akiisubiri ili afanye utafiti wake na hakuelewa ni kitu amfanye msichana ambaye anataka kula naye tunda moja!

Siku hiyo walienda darasani kama kawaida na walivyorudi nyumbani Raul akawa anaonyesha tabia za ajabu,mapenzi akawa ameyapunguza kwa kiasi Fulani.Mpaka unafika usiku wa siku hiyo alishaelewa kuwa Jovvana atakuwa katika ukumbi uliyoitwa ‘Camprinch Mall cinema’.Raul alipajua sana na siku iliyofuata alitumia ujanja kumdanganya Clara.
“Sawa mimi nitabaki”
“Mimi ndiyo naenda kama nilivyokwambia,ndiyo naenda kuonana na huyo balozi”
“Sawa mpenzi,lakini uwahi kurudi si unajua nitakumisi”
“Aaaah hilo ondoa shaka,sikupenda niende peke yangu lakini ndiyo ivyo jamaa kasema niende mwenyewe,si unajua mambo ya watu wazima”
“Sawa”
Walipigana mabusu na Raul akatoka nje mpaka ndani ya gari lake.Clara hakuwa msichana zumbukuku! alikuwa ni mjanja na machachali,alivyoona gari ya Raul imetoka nje nayeye akatoka na kutafuta Taxi.Nia yake alitaka kujua ni wapi Raul anakwenda,hisia zake zilimtuma kuwa ni lazima atakuwa anaenda kwa msichana mwingine.

ILIVYOFIKA MAJIRA YA saa kumi na mbili jioni baada ya mizunguko yake, Raul akawa anaegesha gari lake kwenye maegesho maalumu ya Camprinch Mall Cinema ukumbi ambao walihaidiana na Jovvana kukutana,alikuwa ni kama amemuotea vile, sababu baada ya kuzima gari aliona Marcedez benz nyeusi imepaki upande wa pili na Jovvana akashuka.
Nguo aliyovaa Jovvana siku hiyo ilizidi kumfanya Raul apagawe mno,Jovvana alikuwa nyuma ana mpindo na kusababisha vimlima viinuke, alivyokuwa akitembea ndiyo ilizidi kuwa hekaheka kwa Raul.
“Huyu mtoto kumbe sikumwangalia vizuri,kumbe amejaaliwa kiasi hiki,Tanzania kumbe wamejaaliwa Aah aah ah aah ah”
Raul alizidi kumsindikiza Jovvana kwa macho,nayeye aliwafuata nyumanyuma na kujipitisha mbele yao.
“Haaaa!”
Jaqlin akawa wa kwanza kushtuka alivyomuona Raul,moyo wake ukapiga paa mpaka akaangusha pochi kwa mshtuko.
“Nini?’
Adrian akauliza.
“Umemuona Yule kijana?”
“Ndio”
“Kafanana na Jovvana”
“Nawewe umezidi kuwafananisha watu,ndiyo mpaka unaangusha mkoba?”
“Hapana,nimeshtuka tu ghafla,sijui kwanini mapigo yangu ya moyo yanaenda mbio”
Jovvana alivyopiga jicho lake mbele alimuona Raul na kujipitisha kwake kulimaanisha kuwa amfuate,ilimbidi atumie ujanja wowote ule ili aweze kuwatoka wazazi wake.
Alivyowaona wazazi wake wamezubaa alipita pita na kuzunguka upande wa pili ili kumtafuta Raul,haikupita hata dakika mbili wakawa wameonana.
****
Adrian,Manka Kitlya na Jaqlin walimtafuta Jovvana kwa takribani lisaa lizima bila mafanikio yoyote yale,badala ya kuangalia sinema wakawa wana kazi ya kumtafuta Jovvana,wasiwasi mwingi uliwaingia na Adrian akawa ameshikwa na hasira,alivimba!,hakujuwa Jovvana alikuwa wapi ukizingatia walikuwa wapo ugenini.
“Umemwangalia ndani ya gari?”
Adrian alimuuliza mke wake huku sura yake ikiwa imejikunja.
“Hapana,hawezi kuwa huko”
“Sasa atakuwa wapi?”
“Mimi sijui,keshanitibua tayari”
Jovvana alitafutwa na wazazi wake ukumbi mzima lakini juhudi zikagonga mwamba walikuwa ni wenye presha,ilibidi watoke nje kwenda kwenye maegesho ya magari.

Hapo ndipo Adrian alipozidi kukasirika zaidi baada ya kumuona Jovvana amesimama na mvulana,hakutaka kujali kuwa yupo ughaibuni wala kujiuliza, alichofanya ni kumvuta Raul shati na kuanza kumtandika vibao vingi,hakuishia hapo alimburuza na kumsukumiza,Raul alidondoka chini na Adrian akaanza kumshambulia na mateke yasiyokuwa na idadi kamili ya tumboni.

 Adrian alikuwa amepandwa na hasira ajabu,macho yake yalizidi kuwa mekundu,kifua chake kilipanda juu na kushuka chini midomo ilimtetemeka,alizidi kumshambulia Raul kama anampiga mwizi,Jaqlin alivyoingilia na kutaka kumvuta alisukumizwa mbali na kudondoka chali.
Jovvana alilia kwa uchungu,mpaka sekunde kumi zinafika sura ya Raul ilikuwa haitamaniki, ilijaa damu.Adrian hakuwahi kukasirika kama siku hiyo tangu azaliwe na hakuelewa ni kwanini amekasirika mno.

Raul alivyoona hali kwake inakuwa tete alitaka kujaribu kujitetea na kurusha ngumi hapo ndipo Adrian alipopandisha Mori zaidi! Na kuzidisha kutoa kisago.

*******

HAKUNA KITU KINGINE kilichomzuia Clara kufuatilia gari la mpenzi wake Raul isipokuwa msongamano wa magari uliotokea ghafla,hapo ndipo gari la Raul aina ya Ferralli lilimpotea machoni mwake,hakuwa ana tatizo sababu alielewa kuwa Raul atafikia ukumbi ulioitwa Camprinch Mall cinema.Foleni ilisogea kwa mwendo wa ajuza.
Hatimaye akafika kwenye ukumbi huo na kumlipa dereva taxi pesa zake kisha kuteremka,kitu cha kwanza kukifanya ni kwenda kwenye maegesho ya magari ili kuangalia kama Raul bado yupo.
Kitendo cha kufika sehemu ya maegesho ya magari ndipo aliposhuhudia Raul yupo chini anapigwa vibaya mno huku akivuja damu.

Akili yake ilisafiri haraka mbali na kudhani wenda aliyekuwa anampiga alikuwa ni mwizi na anahitaji kumuibia,hakutaka kufanya kitu kingine chochote zaidi ya kupiga simu kituo cha polisi ili kuomba msaada.
“This is 911 what is your emergency”
Upande wa pili wa simu ulisikika ukitaka kujua nini dharura ya mpigaji simu.Clara alianza kujielezea na kutoa taarifa ya jambazi aliyemuona na alisema eneo gani alipo.
“Please I need your help now”(tafadhali nahitaji msaada wa haraka)
“Its okay miss”
Kikosi cha askari New York police department(NYPD),kilipewa taarifa mara moja na askari waliokuwa karibu na jengo la Camprinch walipewa taarifa kupitia redio upepo.
Askari wa kimarekani walifanya kazi kwa haraka, waliingia ndani ya magari yao kama umeme huku yakipiga ving’ora, ubavuni yaliandikwa kwa maandishi makubwa NYPD.Gari nne za polisi zilipiga misele umbali wa mita kumi alipokuwa Adrian anamshambulia Raul bila kujua ni mwanaye wa kumzaa.

Walifungua milango na kumnyooshea Adrian bastola tayari kwa kufyatua endapo ataleta ukaidi.
“This is NYPD put your hands where we can see them”
Askari mmoja aliongea kwa sauti huku akimuelekeza Adrian bastola.Jaqlin na Jovvana walizidi kuchanganyikiwa huku wakiwa wanalia machozi wao wakawa wa kwanza kuweka mikono yao hewani wakisalimu amri huku wakitetemeka.
Bado Adrian alikuwa mkaidi alizidi kumpiga Raul hakuwajali polisi.Hapo ndipo bastola zilikokiwa tayari kwa kufyatuliwa.

Mbali na askari kufika upande wa magharibi kikosi cha polisi cha NYPD kilikua makini kabla ya kufika upande huo, kulikuwa kuna maaskari wengine upande wa kusini,hawa walipita pembeni ya magari bila ya Adrian kuwaona walivyomfikia walimvaa na kumdondosha chini,hapohapo alipigwa pingu kwa nyuma.
“You are under arrest”(Upo chini ya ulinzi)
Adrian akaingizwa ndani ya gari la polisi,bila kupoteza muda ilipigwa simu na gari la wagonjwa kufika na kumbeba Raul aliyekuwa na hali mbaya mno anavuja damu puani na Mdomoni huku akiwa analia kwa uchungu.
“Baby are you okay?”(Mpenzi upo salama)
Clara alimuuliza mpenzi wake alivyokuwa juu ya machela anaingizwa ndani ya ambulance.
“No,Am no...t”(Hapana sipo sawa)
Raul akaingizwa ndani ya Ambulance huku Adrian akiwa ndani ya gari la polisi ana pingu nyuma, magari yakaanza kuongozana.
Jaqlin alichanganyikiwa mno,ilimbidi amtafute Manka Kitlya haraka mno na kumueleza.
“Unasema ukweli?”
Manka aliuliza kwa shauku.
“Ndio”
“Wameelekea wapi?”
“Kule”
“Poa twende”
Nao wakawa wanafuatilia gari la maaskari kwa nyuma.
****
Hakuna siku ambayo alikasirika kama siku hiyo alivyodhalilishwa na kupigwa kama mbwa, kwa wadhifa aliokuwa nao hakustaili kupigwa kama mwizi, Raul alikerwa kiasi kwamba damu yake ilimwenda mbio na mapigo yake kumdunda alilia kwa hasira,mpaka nyuzi alizoshonwa usoni zikaanza kuchomoka na akaanza kuvuja damu upya.

Moyoni aliwaza kulipa kisasi ilikuwa ni lazima amuweke ndani baba Jovvana na amfunze adabu, pembeni ya kitanda chake alisimama mpenzi wake Clara na mlinzi wake Brandon!
“Where is that son of a bitch? he can’t do this to me,I will make him suffer, I swear to my upon living God Fuuuuuuuuuuuc****,he doesn’t know who am I,is he in jail already?call my Lawyer please,make a call to my Lawyer Thomson,he is in Australia,here the number”(yuko wapi Yule mtoto wa Malaya,hawezi kunifanyia hivi,nitamfanya ajute,nina apia kwa Mungu wangu,hanijui mimi ni nani,yupo jela?mpigie mwanasheria wangu tafadhali,Mpigie mwanasheria wangu Thomson,yupo Australia,namba zake hizi hapa).Alifoka Raul kwa hasira.
Madaktari walivyoingia ilibidi wamtulize na kumchoma sindano kali za usingizi maana kumtuliza haikuwezekana.
***
Adrian alikaa ‘Lockup’ kwa masaa matatu usiku huo,Jaqlin alikuwa na Manka Kitlya wakiwa bembeleza maaskari waweze kumtoa lakini haikusaidia,hata Manka alipojaribu kupitisha hongo ya dollar mia moja askari walikataa.

Jovvana alilia zaidi sababu alielewa yote alisababisha yeye mpaka baba yake kufungwa na alilia machozi yakachuluzika mpaka kwenye shingo yake kama maji.
Akijaribu kumuomba mama yake amsamehe.
Jaqlin alishika tumbo lake lililokuwa lina mimba na kulia zaidi.Manka Kitlya baadaye alivyorudi alikuwa na habari mbaya zaidi zilizowashtua wote.
“Wanasema kuwa atafungwa”
“Yesu Wangu!”
“Mtu aliyempiga ni tajiri sana,tajiri mno ndiyo maana wanaogopa kupokea hata pesa,na wanasema kuwa huyo kijana amekasirika sana na kosa la kumpiga mtu Marekani ni zito mno,tena amemjeruhi vibaya sana,sijui itakuaje”
“Mimi nahitaji kumuona Adrian”
“Ngoja tukawaombe”
Walivyoeleza shida yao.
Askari hawakuwa na kipingamizi walipelekwa mpaka kwenye nondo Adrian akiwa ndani,Jaqlin alivyomuona alidondosha machozi ya uchungu na kuangua kilio,alijiurumia na alimuhurumia Mme wake.
“Usijali mke wangu,nitatoka naomba uongee na Lawrence Michael mueleze kila kitu”
“Sa…sa nimw..mbie nini Ad..rian wangu,si..ku zote nakwambia hasira mbaya,hasira zako zitakuweka sehemu mbaya huyo Lawrence hato..saidia chochote hapa”
Jaqlin aliongea akilia kwa kwikwi wakiwa wametenganishwa na nondo zilizokuwa katikati yao.
****
Ni kweli Raul hakutania na hakuwa na masihala,kitendo cha kupata nafuu baada ya siku mbili alitaka kesi hiyo isiishie hapo,faili lipelekwe mahakamani,na ndicho kilichotokea, japo Jovvana alimfuata na kumuomba msamaha lakini haikuwezekana hata kidogo.
Raul alisimamia msimamo wake,Wakili wake Thomson Curter alikuwa teyari ameingia jijini Los Angeles akiwa mwenye usongo na kesi hiyo,kwake ndiyo ilikuwa mara ya kwanza tangu aajiliwe na Bosi wake Raul, ivyo alikuwa ana moto na kesi hiyo.
Adrian nayeye alivimba akajitutumua kumtafuta wakili mwenye nguvu nchini Tanzania aliyefahamika kwa jina la Lazaro Pascal Saranga!
Mnamo tarehe kumi na tano mwezi wa sita ndiyo kesi ya Adrian ikawa inasomwa kwa mara ya kwanza katika mahakama ya Alameda, kwa kosa la kumpiga Raul na kumjeuri.
Ndani ya mahakama walijaa Wahindi na wazungu kwa umaarufu aliokuwa nao Raul ilifanya ajaze watu siku hiyo mahakamani.
Lakini kila mtu alibakia akijiuliza maswali baada ya Adrian kupandishwa kizimbani.Adrian alifanana na Raul kwa kila kitu,hata jaji alivyowatizama alishtuka kidogo lakini alimezea!

Raul alipanda na kuelezea kila kitu bila kuficha lolote,mahakama ilikuwa kimnya.
Adrian alivyopanda kizimbani aliongea ukweli na kukiri kosa,lakini alivyoingia wakili wake Lazaro Saranga alimtizama Raul na kuanza kumtwanga maswali.
“Wewe ni raia wa wapi?”
Wakili Saranga alimuuliza Raul.
“Uraia wangu wewe haukuhusu sawa,uliza mambo mengine”
“Raul unatakiwa kujibu maswali,punguza hasira.Wakili Saranga endelea na maswali”
Jaji aliingilia.
“Ni hadithi ndefu lakini haina haja ya kusimulia hapa”
“Muheshimwa jaji naona ni jinsi gani mshtaki alivyokuwa kiburi,inaelekea ndiyo maana alitaka kufundishwa adabu kidogo na mteja wangu,kule bongo hii ndiyo desturi yetu,mtoto mdogo kama huyu kunijibu mimi kama hivi angeshapigwa makofi na angekuwa hospitali ana P.O.P,na ndiyo maana mteja wangu alitaka kumnyoosha kidogo,inaelekea alimtukana na kumjibu ovyo ovyo”.Alisema wakili Saranga akitembea huku na kule kwa kujiamini.
Ili kuepusha shali Raul alianza kusimulia historia yake,tangu alivyokuwa akiishi na Marehemu Ahsan Abrahman,kisha baada ya kufariki akagundua kuwa sio wazazi wake,hakuficha aliweka mambo yote wazi.
Jaqlin aliyekuwa makini anasikiliza alizidi kuyatumbua macho yake mbele,pengine alidhani anaota njozi.
“Jovvan,Jovvan,hapana sio kweli,sio kweli,Ehh Mungu naomba isiwe ndoto”
Jaqlin alisema taratibu huku akizidi kumtizama Jovvan aliyekuwa kizimbani anazungumza,alimtizama na Jovvana vilevile aliyekuwa pembeni yake jinsi walivyofanana na kupata jibu la swali lake.

 Raul aliongea kila kitu na mpaka kutaja hospitali ya Apollo iliyopo India alipoibiwa.Hakuelewa hata kufikiria kwamba ndani humo ya mahakama kuna wazazi wake,ulikua ni kama muujiza.Alipomaliza Mahojiano na Wakili Saranga alipanda wakili wake Thomson na kuanza kupigana maswali,mzozo ulitokea mkubwa na ikawa vuta nikuvute, Saranga nayeye alikuwa vizuri mno pia Thomson ivyo ivyo.

Jaji aligonga nyundo mezani na kesi hiyo kurushwa mpaka mwezi ujao tarehe kumi na tisa.Mapigo ya Jaqlin yalizidi kumdunda hasa Raul alivyokuwa akipita pembeni yake,
hakutaka kusubiri nayeye alisimama kutoka kitini na kutembea haraka,Raul akawa ameingia ndani ya gari lake kabla ya Jaqlin kulifikia walinzi wakamzuia.
“Naomba niongee na Raul tafadhali”
Jaqlin alisema huku machozi yakimlenga.
“Hana muda huo”
“Tafadhali,kuna jambo muhimu nataka kumueleza”
“Hapana Mama wewe nenda,kama unataka kumbembeleza alegeze kamba haiwezekani,lazima tufate sheria”
Ndani ya gari Raul aliuona mzozo huo akiwa viti vya nyuma huku pembeni yake akiwepo Mpenzi wake Clara.
Alimtizama Jaqlin aliyekuwa akilumbana na walinzi wake kisha kushuka kwa hasira.
“Nimesema lazima mumeo nimfunge,hawezi kunifanyia mambo ya ajabu na usitake kunisumbua”
Raul alifoka na kurudi ndani ya gari.
“Raul mimi ni Mama yako mzazi,tafadhali naomba ushuke ndani ya gari Mwanangu”
Jaqlin aliongea huku akiwa amepiga magoti analia tumbo la uzazi lilimuuma,kauli hiyo ilimfanya Raul ashuke ndani ya gari tena, nayeye alishtuka kusikia habari hiyo iliyokuwa mpya kwake.
“Raul mimi ni Mama yako,Mimi ndiye Mama yak…o unaitwa Jovvan,ni kw…el..i uliibiwa hospitali ya Apollo,nay u..le uliye..mfung..ni baba yako mzazi wa kukuzaa si…wezi kudanganya kwa hilo”
Raul alihisi joto la ghafla mwilini mwake alitetemeka hakujua ni kitu gani akifanye,habari alizosikia kwa mwanamke aliyepiga magoti mbele yake hakuwa na uhakika nazo.
“Mama”
Jovvana aliita baada ya kutokea kwa nyuma,siyo waandishi wa habari wala walinzi, wote walishtuka walivyomuona Jovvana kisha kumuangalia Raul,walifanana kwa kila kitu.
“Jovanna huyu ni pacha wako”
Alimaliza Jaqlin huku akizidi kulia,waandishi wa habari walizidi kupiga picha, watu waliweka mduara mahakamani, lilikuwa ni jambao la kushangaza mno.
“Raul huyu ni pacha wako anaitwa Jovvana,niliwazaa mimi hapa hospitali ya Apollo India,nikajua kuwa ulifariki,na leo ndiyo nimejua ukweli”
Raul alijikuta akidondosha chozi na alilia kwa mengi,moja hasa alipogundua kuwa Adrian ni baba yake wa kumzaa pili alipokuwa akimtaka dada yake kimapenzi,lakini ghafla alibadilika.
“Hapana sio kweli,lazima tukapime vijinasaba,leo hii,hiyo ni mipango tu”
Raul alikataa na kuhitaji ufanyike uchunguzi wa kitaalamu wa DNA.

Na kweli utaratibu huo ulifanyika siku hiyo hiyo, Adrian akawa ametolewa damu na vile vile kwa Raul, damu zikapelekwa jimboni Carlfonia kwa uchunguzi wa kina maabara,baada ya siku mbili majibu yalivyoletwa Raul aliangua kilio cha uchungu,
hakuelewa uso wake atauweka vipi kwa baba yake na wakati mwingine ibilisi alimvaa na kumtuma ajiue ili akimbie aibu.
“Clara Mpenzi wangu,bora nife siwezi mimi”
“Hapana mpenzi,Mshukuru Mungu umewaona wazazi wako na pia mimi naamini ulikuwa ni mpango wa Mungu,yote yaliandikwa na Mungu kuwa ni lazima baba yako akupige ili apate kesi na mjuane amini ivyo,maana bila ya kutokea haya unadhani ungejuaje kuwa wale ni wazazi wako”
“Sio kiivyo lakini”
“Ndiyo ivyo mpenzi wangu,naomba umtoe baba yako rumande ili myamalize,nahisi nayeye atafurahi sana”
“Sijui nitaiweka wapi sura yangu”
“Raul,tafadhali piga simu wafute kesi,baba yako awe huru na familia yako ije hapa nyumbani”
Clara alisimama na kuiendea simu kisha kumkabidhi mpenzi wake.
Raul hakuchelewa alipiga simu mahakamani akitaka kesi ifutwe mara moja na Adrian atolewe,alichukua tena namba za simu alizopewa na Mama yake kisha kumpigia.
“Mama naomba ukamchukue Baba kituoni,yupo huru sasa,nawatumia gari itawaleta kwangu”
“La…titii”
Raul alikata simu akiendelea kulia machozi ya uchungu moyo ulimuuma mno,alijiona mkosaji na alistaili laana, hicho ndicho alichowaza kichwani kwake,alishika tama akizidi kutoa machozi ya uchungu na kuvuta kamasi.
“Si..jui nita..anzaje ku..omba msa..mahaa”
“Mpenzi mimi nitaongea kama wewe huwezi”
“Sa…..wa”
Kilichokuwa kinasubiriwa hapo ni dereva alete familia yake,Raul alikuwa ni mwenye mawazo na kufanya ngozi yake ibadilike rangi.
Ndani ya dakika thelathini alisikia muungurumo wa gari,hakutaka kujiuliza alishaelewa tayari familia yake imefika.
Mama yake alivyotokeza tu alianguka kwa magoti na kuanza kulia kwa uchungu,alitembea kwa magoti mpaka miguuni kwa Baba yake, Adrian!

Bado alilia machozi ilikuwa ni picha ya kuuzunisha sana kwenye familia hii,Adrian alishindwa kuzuia machozi yake na kujikuta nayeye analia,hata yeye alistaili kuomba msamaha kwa mwanaye.
“Inuka Jovan,hustaili kuniomba msamaha”
Wote walijikuta wakilia, hakuna hata mmoja aliyeweza kumbembeleza mwenzake,wote walikumbatiana na Clara akaitwa naye akajumuika nao.
KILICHOKUWA kinasikika hapo ni kilio lakini kilichochanganyika na furaha,Adrian na Jaqlin walifurahi kujua mtoto wao yupo hai, walimshukuru Mungu kwa hilo.

Siku iliyofuata Raul au Jovan aliangusha sherehe kubwa iliyojaza watu wengi mno,hakusita kuelezea historia yake na alijivunia kujua asili yake kuwa ni Mtanzania.Baada ya wiki moja kukatika walikuwa njiani kurejea nchini Tanzania na walipanga kufikia jijini Dar es salaam na walitumia ndege binafsi ya Raul.
“Inabidi mnifundishe Kiswahili Mama”Alisema Raul wakiwa ndani ya ndege.
“Hilo usijali mwanangu,huyu ndiyo mkwe maana hujatutambulisha?”
“Ndio Mama”
“Mzuri na nitafurahi namimi kupata wajukuu wa kizungu”
Walifika Oysterbay saa tatu ya usiku na kuingia ndani ya jumba lao.
“Karibu hapa ndiyo nyumbani,karibu sana”
“Ahsante”
Adrian na Jaqlin muda wote walikuwa wenye furaha sana,walifika na kukuta chakula teyari kimeandaliwa na mfanyakazi wa ndani kutokana na alishajua taarifa za ujio wa ugeni mkubwa kutoka nchini Marekani.
“Mmejitahidi sema nataka niwajengee nyumba nyingine,kubwa mara mia ya hii”
“Mwanangu acha tu”
“Hapana nishasema”
Walivyomaliza kuoga Jovvan na Jovvana wakawa wamekaa karibu,Jovvana alifurahi kumfahamu pacha wake na hata kwa Jovan vile vile.
Kifupi nyumba ilijaa kelele za furaha na kilichosikika hapo zilikua ni kelele za vijiko na sahani kugongana.walikula na kushushia na juisi nzito ya maembe.
“Sisi tunawaacha mpige stori,maana najua tunawabana sana Jovan na Clara nadhani mnajua chumba chenu tayari,tunawapenda tunawatakia usiku mwema”
Jaqlin aliongea na kuvuta kiti kwa nyuma akamchukua Adrian na kuanza kupanda ngazi kuelekea chumbani kwao wakiwa wenye furaha sana,kitendo cha kufunga mlango wote wakarukiana na kuanza kunyonyana midomo yao kwa fujo.
Jaqlin alimvua nguo Adrian harakaharaka na Adrian akafanya ivyoivyo kwa Jaqlin.

sekunde ishirini wote wakabaki kama walivyozaliwa na kujitupa kitandani.
“Mhhhh”
Adrian aliguna.
“Nini?”
“Kumbe tumbo lishaanza kuwa kubwa eeeh”
“Ndio”
“Basi wacha nipanue njia leo”
“Ha ha ha haaaaaa”
Wote walicheka na kuanza kushikana huku na kule kila mtu alitambua ni wapi udhaifu wa mwenzi wake ulipo,baada ya kuridhishana Jaqlin akawa amelaza kichwa chake juu ya kifua cha Adrian.
“Baby”
“Naaam”
“Unakumbuka nilichokwambia?”
“Nini?”
“Kuhusu kuingia kwenye siasa”
“Kumbe ulikuwa siriazi?”
“Nipo siriazi,ingia bwana tena ugombee uraisi”
“Mimi nishawahi kuongoza wapi?hata shuleni sikuwahi kuwa kiranja,hata ivyo sina elimu”
“Hiyo haijalishi”
“Sawa nitajaribu”
“Usipuuzie hilo swala,ukikosa nafasi basi”
“Sawa baby”
Wote wakajifunika shuka moja na kulala.
****
Jovan hakuwa ana tania kesho yake asubuhi alivyowaona wazazi wake aliwakumbusha juu ya swala la kutaka kuwajengea jumba kubwa na tayari alishaongea na wakandarasi kutokea nchini China,siku hiyo waliwasha gari na kuanza kutafuta viwanja,lakini kila Jovan akioneshwa alikataa na kusema kuwa ni kidogo, mwishowe walienda mpaka Videte karibu na chanika huko walipata eneo kubwa mno,
hapo ndipo Jovan akafurahi na kweli kiwanja kilipimwa akaacha milioni mia sita kwa ajili ya kiwanja hicho na kufyekwa majani kwa ajili ya ujenzi.

Baada ya siku mbili wakandarasi walitua nchini Tanzania na kuonana na Jovan, walioneshwa kiwanja na kukipima.Ramani ya nyumba hiyo haikutofautishwa na ikulu anayoishi Raisi,na kwa haraka hilo ndilo lingekuwa jumba kubwa Tanzania nzima.
Jovan alishagundua kuwa Mama yake ni mjamzito sababu aliliona tumbo lake na kwa hesabu zake alitaka jumba hilo likamilike kabla mdogo wake hajazaliwa, KWA PESA alizokuwa nazo alileta magreda kumi na mitambo maalumu ili ujenzi uishe haraka iwezekanavyo,Wachina wakaingia kazini mpaka inafika miezi saba jumba lilikuwa linakaribia kuisha,fununu zilisha anza kusikika juu ya ujenzi huo,Adrian na Jaqlin walitolewa kwenye magazeti na jumba lililotaka kujengwa,
jumba hilo lilianza kuwa gumzo kubwa.Lakini haikuwezekana kwa jumba hilo kuisha kama Jovan alivyopanga, Jaqlin akawa amejifungua mtoto tayari tena wa kiume,ilikuwa furaha sana siku hiyo lakini katika kujifungua kwake Adrian hakutaka kusema ni hospitali gani alipo kuhofia fujo za waandishi wa habari.
“Huyu tumuite Johnson!”
“Unapenda sana J,hapana mimi leo sikubali huyu tumuite Aron namimi najipendelea leo herufi A”
“Wewe nawe,lakini una damu kali sana,ona mtoto alivyofanana nawewe mdomo,angalia macho yake”
“Acha uwongo,kazaliwa leo tu unaanza kumfananisha”
“Kweli baby”
Wote walifurahi,walivyoingia Jovan,Clara na Jovvana wakawa wameleta furaha zaidi wote wakafurahi kumuona ndugu yao kuletwa duniani.

Siku ya tatu ilipofika Jaqlin akaruhusiwa na wote kurudi nyumbani,Mzee Mwangenya alipigiwa simu akafika siku hiyo hiyo na ndege kutokea Mbeya Mwakaleli.
Baada ya kumuona Mjukuu wake alifurahi sana na kutoa Baraka zote,maisha yalizidi kusonga mbele,
Jumba kubwa lilikuwa linajengwa lilitimia ndani ya mwaka mmoja,lilikuwa ni jumba kubwa ambalo halikuweza kufananishwa na kitu chochote kile na ilikuwa ya kisasa uwanja wake uliweza kuingiza magari sio chini ya elfu tano,kwa nyuma kulikuwa kuna uwanja wa kupaki ndege na ndiyo hapo ndege ya Raul ilikuwa imewekwa.

Adrian akawa ametingisha tena kwa mara nyingine na hata alipoomba tiketi ya chama tawala cha DEMOCRATIC PEOPLE PARTY(DPP)alikubaliwa mara moja na aliomba tiketi ya kugombea uraisi,Mali zake na Jovan zikachanganywa, Adrian akapanda chati na kuwa tajiri nambari moja Afrika nzima.
Hilo likawa tatizo jingine,kila gazeti alikuwepo na Jovan alipomnunulia gari ndogo aina ya Porsh ndiyo ikawa gumzo.
Fununu zilisikika kwa waandishi wa habari kuwa awamu inayofuata Adrian Mwangenya atagombea uraisi.Adrian alikuwa mjanja harakaharaka alianza kujenga shule za msingi na sekondari,na mpaka miezi sita inafika alijenga shule za kata sitini na hospitali tisa akatoa ajira kwa watu elfu moja kwenye viwanda vyake, hii ikamuongezea sifa zaidi,
Jaqlin ndiye alikuwa nyuma yake akimshauri Jovan nayeye alimsaidia kiuchumi,Wote waliunga utajiri wao.

Hata wakati mwingine serikali ilidiriki kumuomba mkopo, akaunti yake ya kwanza ilikuwa na tirioni mia tisa,nyingine ikawa na Bilioni mia nane,ya tatu ndiyo usiseme pesa hazikuweza kusomeka, Jaqlin alishtuka zilikikuwa ni pesa nyingi mno.
Uchunguzi ulifanyika na aliweka mambo wazi tangu anaanza maisha na watu wakakaa kimnya Raisi Jacob Mtweve siku zote alitaka Adrian ndiyo achukue kiti chake cha Uraisi na alikuwa kila akienda kwenye ziara basi Adrian Mwangenya yupo kushoto kwake.
Adrian akawa beneti na Raisi wake na wakati mwingine alilala ikulu.

Wananchi walimpenda mno,wakati wa kampeni ulivyofika akawa amewekwa na mpinzani wake wa chama pinzani aliyefahamika kwa jina la Omari Haji Magugu.
Wote walikuwa wakitaka kiti cha uraisi.Aliposimama Adrian umati wa watu ulifurika watu sio chini ya elfu tatu walitaka kumsikiliza,kila Mtanzania aliweka matumaini na Adrian Mwangenya.
Kila sehemu zilibandikwa picha zake akiwa kwenye suti, kariakoo ndiyo usiseme posta ndiyo kabisa na mikoani waliandamana kabisa, wote walimtaka Adrian.Kifupi haikuwahi kutokea Tanzania.
Adrian alikuwa muongeaji na mcheshi vijana walimpenda, watoto wa kike ndiyo usiseme.
Walimuweka ‘DP’ kwenye watsap zao ”HUYU NDIYE MFALME WETU TANZANIA TUMEPATA JEMBE’
Hayo ndiyo baadhi ya maneno yaliyokuwa yameandikwa kwenye kila simu ya Mtu yenye mtandao wa Watsap, facebook ndiyo kabisa!
“Mwangenya! Mwanyenya! Mwangenya!”
Watanzania walishindwa kuzizuia hisia zao, walikuwa wakipita barabarani wakiwa na mabango huku wakiwa na picha za Adrian “HUYU NDIYE RAISI WETU MTAKE MSITAKE,HAINA HAJA YA KUPIGA KURA AMESHAPITISHWA”
Wahuni na mateja wa kariakoo walifunga barabara huku wakiimba ‘mchakamchaka chinja,adimselema khadija’
Adrian alizidi kuwa gumzo.Hatimaye siku ya uchaguzi mkuu ukafika, watu wakapiga kura na kurudi majumbani kwao,wakisubiri raisi atangazwe,kila mtu alitega sikio kwenye redio na wengine televisheni.

****

Tanzania nzima ilikuwa katika hali ya utulivu wa hali ya juu,kura zilihesabiwa na majibu yakatolewa baada ya siku kadhaa.
“RAISI WETU MPYA WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NI MH.ADRIAN BARNABAS MWANGENYA”
“oyooooooooooooo oyyoooooooooooooooooooooooo”
Baada ya mtangazaji kusema hayo kila mtu alishangilia wakiweka mikono yao hewani kama yanga inavyowafunga simba au simba kuwafunga yanga,kelele zilianza kusikika kila pembe watu walianza kupiga mavuvuzela.
***
“Hongera Mme wangu,kwa kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania”
Jaqlin aliongea na kumpiga busu mme wake huku akilia kwa furaha,ikulu kulikuwa kuna furaha kubwa sana isiyoelezeka watu waliserebuka na kunywa mvinyo.

Wananchi ndiyo usiseme wa kwenda kunywa pombe walienda na wenye wapenzi wao waliwatafuta hili wajiburudishe.
“Leo baby bao hizooooo tanooo,bila kupumzika”
“Kisaa?”
“Mh. Adrian Kashinda,jembe letu,sogea karibu”
Hayo ndiyo maneno yaliyosikika kutoka kwa bwana Richard Jackson!na mpenzi wake.
**
Kipindi cha mwaka mmoja ni kweli Tanzania ilibadilika kwa kiasi kikubwa na Raisi Adrian aliweza kuwasamehe wafungwa elfu moja kutoka gerezani.
Katika wafungwa walioachiwa huru, mmoja wapo alikuwa ni Zackaria Muriba rafiki yake na Adrian lakini walichukiana ghafla baada ya kufanya kosa la kuuwa sababu ya kumfumania na mpenzi wake, siku zote alimchukia Adrian na alivyosikia alipata uraisi ilimuuma zaidi,moyoni aliwaza kisasi, alichofanya baada ya kuwa huru aliingia nchini Kenya kujificha ilikuwa ni lazima amfunze adabu Raisi Adrian,kazi hiyo aliamini kuwa hatoweza kuifanya peke yake kutokana na madaraka aliyokuwa nayo Adrian.

Aliposikia kuwa kikundi cha Al shabab kina tawi lake nchini humo nayeye alijiingiza akifanya nao kazi bega kwa bega nia yake ikiwa ni kupandishwa cheo,miezi sita baadaye alipewa cheo na kutaka kufungua tawi lao jingine nchini Tanzania ili kufanya ugaidi.
Alikuwa ana hasira mno na alitaka kumfanya Raisi Adrian ajute katika maisha yake.
Kikosi cha Alshabab kiliingiza watu tisini nchini Tanzania kimnya kimnya na kitu cha kwaza kukifanya ni kutega bomu kubwa katika chuo kikuu cha UDSM.
Hapo ndipo walipoamua kuanzia,Zackaria Muriba alidhamiria kuua na alipomkumbuka mpezi wake Phiona roho ilimuuma na kutetemeka kwa hasira.
**
“Buuuuuuuuuuuuuu,Buuuuuuuuuuuuu,BUUUUUUUU”
Ulikuwa ni mlipuko mkubwa uliosikika kila pembe,bomu lililokuwa limetegwa chuo kikuu lililipuka na kusikika.
“Nini hiko?”
Kijana mmoja alimuuliza mwenzake.
“Sijui”
Moshi ulitapakaa, kifupi ardhi ilitikisika na moshi kutanda angani.Lilikuwa ni bomu kubwa, kelele zilisikika kila kona.
Kulivyokucha iligundulika kuwa bomu lilitegwa na wanafunzi mia mbili hamsini walipoteza maisha yao,Raisi Adrian alichanganyikiwa zaidi.
“Baby inabidi uongee na watanzania ili wasipaniki,naona umechanganyikiwa sana,wakitulia ndiyo ujue nini cha kufanya”
“Sawa natakiwa niongee kwenye hotuba leo inabidi Baitani Mugolozi aniandalie hotuba leo hii usiku”
“Sawa fanya ivyo mimi naenda hospitali leo,si unajua Aron bado anaumwa”
“sawa Mke wangu”
Haraka haraka, Raisi Adrian alivaa nguo zake na kumfata mshauri wake Baitani Mugolozi,ni kweli baada ya dakika tano karatasi ikawa imechapwa na Raisi Adrian akamezeshwa maneno ya kuongea.

Hofu ilizidi kutanda mioyoni mwa watu na kila mwananchi alimtizama Raisi Adrian kutaka kujua ni kitu gani atakifanya,Tanzania ikawa imeingia kwenye hofu sana.
Raisi Adrian alichanganyikiwa zaidi baada ya kupiga simu ya mke wake na kukuta haipatikani, alimpigia dereva wa Jaqlin lakini hali ilikuwa ivyo ivyo.
“Nini tena hiki?”
Alijiuliza Raisi Adrian.
“Mheshimiwa Raisi una dakika kumi za kujiandaa utakuwa hewani katika stesheni zote Tanzania”
“Sawa Mugolozi lakini naomba nitafutie mke wangu nijue wapi alipo”
“Hilo ondoa shaka”
Raisi Adrian aliweka tai yake sawa na zilibakia dakika tano tu,ili kipindi maalumu kianze sababu ilitangazwa kuwa Raisi Adrian alitakiwa kuongea na watanzania.
“Mh.Raisi kuna simu yako”
“Subiri nikitoka hapa Partson Ngogo,watanzania wanahitaji kunisikiliza,nitasahau sasa ninachotaka kuwaambia”
“Ni muhimu sana”
“Okay weka loudspika”
Ndani ya chumba hicho kulikuwa kuna watu kumi na simu ikawekwa mezani ili kila mtu asikie.
“Unaongea na Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,nani mwenzangu?”
“Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Haaa! Raisi Adrian Mwangenya,nafikiri sauti hii sio ngeni kwako,embu washa televisheni yako ya mawasiliano tuongee”
Raisi Adrian alitembea na kuwasha Televisheni,hakuamini alichokiona kwanza alimuona Mke wake Jaqlin akiwa anavuja damu usoni huku Jovan na Jovvana pamoja na Aron wakiwa wamefungwa kamba wapo pembeni,kisha sura ya mtu aliyevaa kitambaa usoni kutokeza.
“Ngoja nikitoe hiki kitambaa ili unione vizuri,nataka ujue nani anayefanya haya yote”
Mapigo ya moyo ya Adrian yakapiga Paaa! Baada ya kumuona Zackaria Muriba akiwa ana panga refu mno mkononi mwake.
“Ahsante kwa kunitoa gerezani,nimeanza vita rasmi nawewe unaelewa nini namaanisha,Tanzania itanuka damu na nitaigeuza kuwa machinjioni navyokwambia nimetega mabomu saba na bado masaa matano yalipuke na watu watakufa Mh.Raisi,lakini kabla sijafanya hayo nataka nawewe usikie uchungu kama nilivyosikia,Naenda kumkata mkeo mbele yako unaona,na sitanii nitakutumia kichwa chake kwenye boxi”
Raisi Adrian alihisi mkojo unambana na kinyesi kinampenya,Mkurya Zackaria Mruba alishakuwa gaidi, hakuwa na masihala hata kidogo,alivuta kichwa cha Jaqlin vizuri na kuinua panga tayari kwa kutoa kichwa cha Mke wa Raisi Adrian Mwangenya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
“Noooooooo”
Adrian aliachia ukulele mkali baada ya kushuhudia panga linashuka shingoni mwa mke wake Jaqlin na hapo hapo Televisheni ikajizima!

******* MWISHO***


*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)

0 comments:

Post a Comment

BLOG