Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

MAHABA NIUE SEHEMU YA 10 MWISHO



MAHABA NIUE
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 10 KATI YA 10
*******
 *******


Baaada ya gari lile kuja ribu kukwepa mbwa Yule aliye katiza barabarani, gari lile ambulance
lilionekana kumshinda dereva na kuhama bara bara liki poteza uelekeo na kuingia bondeni ambapo kuliku na korongo kubwa na kuanza

kubiringika kama mpila, mlango wa nyuma wa gari hilo uli funguka na Ramsey kuchomoka juu ya kitanda kile na kutoka nje akiwa hana fahamu yoyote ile, alibiringika akielekea chini kwa kasi na kudondoka juu ya gari kubwa aina ya canter lililo kua lina safirisha magodoro mkoani MOROGORO, alidondoka juu ya magodoro yale bila dereva wa gari lile kujua lolote lile,

Dereva Yule alizidi kuondoa gari bila kujua chochote kitu, baada ya kufika MSAMVU mkoani MOROGORO aliegesha gari ili ashushe magodoro yale, ila nusura akimbie baada ya kumkuta mtu akiwa juu ya magodoro huku akiwa na bandeji nyingi usoni. Haraka haraka ali waita wenzake na kuanza kumtoa,ndani ya gari

Walienda hospitali ili yokua karibu na hapo ili wampe matibabu ya haraka sana, baada ya kumkabizisha kwa madaktari wale, wao waliondoka na kuendelea na safari yao.

Wiki mbili zili pita,na mwezi kuka tika bila Ramsey kuzinduka kitandani, jambo hilo lina muogopesha sana Dokta Leila, ambae alikua ana faili la Ramsey na kila kitu kuhusu matibabu yake, tangia alivyo toka kufanyiwa upasuaji na kushonwa nyuzi leo hiiii akiwa juu ya kitanda na dripu, hakuelewa chochote kina choendelea duniani,

Siku iyo Dr, Leila akiwa na bomba la sindano pamoja na chupa ya dawa, alivuta dawa huku pembeni akiwa na muuguzi mwingine, alivuta dawa ndani ya chupa ile. Ghafla alisitisha kidogo baada ya kumuona Ramsey ame fumbua macho, DOKTA Leila aliachia tabasamu, huku akimuangalia Ramsey machoni,
“kaka una jisikiaje”?
“mimi ni nani, haapa niii waaapi? Nime fika fikaje”?

Dokta Leiala alimuangalia mwenzake na wote kuti kisa vichwa,
“kapoteza kumbukumbu, nili jua tu,,. Haku mbuki kitu!.”

Aliongea Dokta Leila huku akionekana ana sura ya masikitiko sana.


“Imeakuaje, mbona nina bandeji hizi, mbona siku mbuki kitu chochote kile”

Kweli Ramsey alijiona hayupo katika hali ya kawaida
hakujua chochote kile, hakuelewa kuwa leo hii yupo kitandani kutokana na kipigo kikali alichpokea kutoka kwa Mwasha, kisa Josephine hakuelewa kuwa aligongwa na gari, kweli hakuwa anaelewa lolote lile , nayeye alilijua hilo ila hakuelewa kwanini.

“niambieni basi”
“pumzika kwa sasa KAKA”
“hapana, nipumzike siwezi, nini kili tokea, mimi ni nina itwa nani, na kwanini siku mbuki kitu”?

Lili kua ni jambo la hatari sana kwa hali ya kawaida bina damu kupoteza kumbukumbu na kutojua hata moja, hicho

ndiko kili tokea kwa Ramsey, hakuwa anaelewa lolote, alitulia kwa muda ili avute walau kumbu kumbu, lakini hakuwa ana kumbuka chochote kile, kweli alijiona tofauti kabisa.!

Dokta Leila kuona hali ile alivuta sindano ya dawa ya usingizi na kumdunga nayo Ramsey, baada ya dakika kadhaa Ramsey alitulia kutokana na dawa zile kumuingia ndani ya damu.

“huyu mgonjwa ita kuaje Leila, hana ndugu, kapoteza kumbukumbuku”!
“hata sielewi, ila mimi naona kumbu kumbu zake zita rudi tu, kwa sababu gani, alikua ana internal bleeding ndani ya ubongo wake, hilo tu,okay, cha kufanya akiruhusiwa mimi nita mchukua , nikakae nae kwangu, nita msaidia kwa kila kitu”
“ita kua vizuri sana Dokta”
“zile dawa za Yule mgonjwa nili yemfanyia upasuaji wa kichwa jana usiku, zipo wapi,?, alafu naomba na faili lake,”
“zipo hapo mezani, sawa na kuletea faili lake”

Kweli ndani ya moyo wa Leila alikusudia kumsaidia Ramsey mpaka hali yake ita kapo kuwa sawa, hakuelewa kwanini anamsaidia, japo kua hakua anajua ametokea wapi, alichojua yeye ana toa msaada kama bina damu mwenzake ivyo ndivyo ilivyo kua.

***********

TAYARI UPANDE WA PILI wakizani kuwa Ramsey alifariki dunia baada ya boti ya AZAM kuzama majini ikiwa inaenda Zanzibar, baada ya watu ambao wali mfananisha siku ya safari wakijua kuwa ni Ramsey pia alikua kama msafiri,

kumbe haikua ivyo, hawa kujua kuwa Ramsey yupo hai na
huko alipo ana pigania kumbu kumbu ku zake zirudi, bado wakiwa katika hali ya uzuni baada ya kumaliza arobaini ya Ramsey kila mtu alirudi katika majukumu yake, wakiamini kweli Ramsey Alisha fariki dunia na hakuna mtu aliye weza kubadili ukweli huo halisi!, lakini hakukuwa na jinsi yoyote ile.

“sasa prosper ina kuaje kuhusu hili duka”?
Aliuliza Loydah siku hiyo akiwa dukani kwa Ramsey
“sija kuelewa”!
“ina kuaje kuhusu hili duka, nataka kuelewa, ina kuaje, nijue mapato yote, ili mimi niwe nakulipa, ukiwa unaendelea kufanya kazi hapa kama kawaida!”
“kwani wewe ndo mmiliki wa hili duka”?
“sina maana hiyo, mmiliki alikua mdogo wangu,marehemu Ramsey,kwaio yeye hayupo, mimi ni dada yake,nina maana ya kwamba, hakua na mke wala mtoto, mimi nita kua msimamizi wa hili duka”
“hahahahahahahahahaha”

Prosper alicheka kicheko cha dharau huku akimuangalia Loydah, hakuelewa hila za prosper kichwani mwake hata

kidogo, hila za prosper zili kua ni kutaifisha duka la Ramsey , na hiyo mipango tayari alishaanza kuifanya, na kupata hati miliki bandia, haku taka kuku mbuka tena fadhila za RAmsey ambae alimtoa IRINGA mafinga akiwa muuza mahindi ya kuchoma leo hii ana taka kuchukua mali zake, haku taka kuku mbuka kuwa RAmsey ali msaidia kumlipia pesa ya chumba kwa miezi takribani sita, leo hii hakujua fadhila zote,LAITI ange jua kuwa Ramsey yupo hai asinge

hata fikiria kile anacho taka kuki fanya. ali fanya hayo yote kutokana na kujua RAmsey ame fariki Dunia, Ramsey hayupo tena katika sura ya dunia, ivyo ndivyo akili yake ili mtuma.
.
“wewe mwanamke unachekesha sana. Una sema hili duka la nani”?
“prosper, embu acha hayo maswala yako, nina mambo mengi ya kufanya”
“sikia nikwambie Loydah Ramsey hana chake hapa,. Hili duka mimi aliniuzia muda sana, hakukwambia, basi alifanya makosa”
“una semaje”?
“subiri nikuoneshe”

Prosper alitoka na kuingia ndani chumba kidogo na kurudi na makaratasi, kweli Loydah alihisi kuchanganyikiwa hasa aliipoona maandishi ya Ramsey, juu ya karatasi ile mpaka sahihi ya Ramsey ili kua chini, hakuelewa nini kime tokea, alimuangalia Prosper bila kusema chochote kile,

“aya sasa sikia, naona umeelewa hapo, ili duka ni langu”
“no hapa kuna mchezo, hapa kuna mchezo, Ramsey ange niambia, ni mdogo wangu, ange niambia , ili kuaje akaniambia habari za shamba ,then ashindwe kuniambia hili, Yule ni mdogo wangu, sasa kama una hila, huto fika popote uta ishia jela, naomba niku hakikishie hilo,”

Loydah aliongea akionyesha hasira za wazi wazi
Prosper jasho lilianza kumtoka hasa alipo gundua kuwa Loydah ana jua habari za shamba, wakati alikua kasha pata dalali na kutangza kuliuza kwa shilingi milioni hamsini
“toka nje”
“natoka ndio naenda kwenye shughuli zangu, ila kaa ukijua,uta ishia kubaya”

Loydah alitoka nje na kuingia ndani ya gari na kuondoka kwa hasira, huku nyuma akimuacha prosper aki tafakari akiwa na mawazo mengi sana.
“huyu sasa ana taka kuleta habari zake, nita mkomesha, “
Aliwaza prosper huku akikaa juu ya kiti, kweli alikua na mawazo mengi hasa Aliwaza prosper huku akikaa juu ya kiti, kweli alikua na mawazo mengi hasa juu ya shamba la Ramsey, tamaa izo hakujua zili tokana na nini, kweli shetani alimuingia ndani yake, bila kuelewa Ramsey aliyedhani amekufa yupo hai.

*****

KILA KUKICHA JOSEPHINE ALIKUA NI Mtu wa kulia sana, siku yake ya hukumu ili fika na kuhu kumiwa kifungo cha maisha kwa kosa la kuumuwa Doreen, majambazi wote wali kamatwa na kutoa siri hiyo baada ya mateso makali sana
kutoka kwa RPC MKUMBO, Josephine alilia kwa mengi na hasa baada ya kupata habari kwamba Ramsey ame fariki dunia kutoka kwa Bertha,alilia sana, alihisi mkuki wa moto ume tua ndani ya moyo wake, hakujua angeanza maisha gani jela, hakuwahi kufikiria hata siku moja kama maisha yake yote ange tumikia jela.


alijutia sana sababu alikosa vyote alimkosa Ramsey na kumuuwa Doreen rafiki yake kipenzi kisa mapenzi, aliji kuta ana jilaumu sana, ali tamani japo siku zirudi nyuma, akiwa mwenye furaha na mume wake Mwasha, hakuelewa nini kili mkuta mpaka akaaamua kutembea na Ramsey, alikua akijuta sana na kuona dunia ime binuka juu chini ila kwa wakati huo kulikua hakuna jinsi nyingine ya kubadilisha ukweli wa mambo!

Kara ndinga lilikuja na kuwa chukua wafungwa akiwemo pia Mwasha ambae alihukumiwa jela miaka kumi kwa kosa la kuteka nyara, kila mtu alikua na majonzi ila lawama zote alimtupia mke wake, kwa kitendo cha usaliti. Ivyo ndivyo mambo yalivyo waendea,

*****

“SAM VIPI LEO ULI ENJOY eeeh”!?
“yah kiasi chake, nata mani turudi tena kwa kweli, “
“tutaenda next week(juma lijalo) sasa hivi nenda kaoge, alafu usi sahau kumeza zile dawa zako!”
“wewe huogi sasa hivi”?
“noo nacheki movie kwanza , nitaanda chakula, then nikaoge”
“nakuja nije tumalizie ile movie ya jana”
“fanya upesi upesi, alafu tuliishia patamu sana, ili kua pale jack Bauer ana mpeleka president Heller uwanjani aka lipuliwe na Yule Mama nani tena jin..”
“AL HARAZ,”
“yes fanya uka oge uko, na uji sugue Sam. sio una jimwagia tu maji!, “

“hahaha sawa sista Leila, ”

Yalikua ni maongezi kati ya Ramsey na Leila , kweli Leila aliamua kuishi na Ramsey wakiishi kama mtu na dada yake, ndani ya nyumba hiyo waliishi peke yao, kweli Ramsey alianza maisha mapya akiwa ana jua jina lake ni Sam,ambalo jina hilo alipewa na Docta Leila,ivyo ndivyo ilivyo kua walikua siku zote wenye furaha sana kupita kiasi,

Siku iyo usiku wakiwa wame toka kula chakula cha usiku Ramsey alifurahi sana, ki ukweli alifurahia maisha yale bila kujua nyuma ya pazia walikua wana jua amekufa duniani na washa fanya mazishi, hakua ana elewa lolote,

Baadae Ramsey ana rudi huku akiwa na tishirt mkononi huku akiwa kifua wazi sababu alikua ana wahi na kumfanya Leila akishangae kifua chake kilivyo jigawa vizuri na kutuna, japo alikua akiumwa muda mrefu ila kilirudi na kukaa tena sawa, alimuangalia Ramsey kifua chake na damu kuanza kumchemka

“mbona una niangalia ivyo”?
“naangalia hayo makovu yako, mabaka mabaka kama gari la jeshi”

Wote walicheka na Ramsey kujiangalia kweli alikua na mabaka ambayo hata yeye kwa wakati huo hakujua yalitokana na nini, ukweli ni kwamba yali sababishwa na kipingo cha Mwasha

Na ajali mbaya aliyo pata baada ya kutoroka kwenye mikono ya Mwasha.
Ramsey aliji tupa juu ya sofa na kushika remote na kuuiweka movie ya 24 ambayo starring wa picha hilo aliitwa Jack Bauer, kweli wote wawiili walitokea kuipenda season hiyo.

“duuu, sijui Heller kafa, una ona uwanja ulivyo lipuka, mmh patamu hapo,”?
Aliongea Ramsey lakini Leila alikua bado katika mawazo mengi na kukaa kimnya.
“Sam”
“naam, nime kuuliza umeona hapo kwenye huo uwanja ulivyo lipuka”?
“wapi”?
“hap…”

Kabla ya Ramsey kumalizia maneno yake dokta Leila al alimvutia mdomoni mwake na kuanza kumnyonya mdomo na kuanza kumpiga denda Ramsey, hakukuwa na sababu ya Ramsey kukataa sababu ya uzuri wa dokta huyo hasa weupe

wake na mapaja yake yaliyo beba mguu mzuri mnene wenye supu huku nyuma akiacha lawama akitembea alikua na makalio makubwa kiasi ambayo hata akivaa gauni refu kalio lako hutoka nje na kuzidi off side,

Ramsey nayeye alihisi damu ina mwenda mbio sana, haikua hali ya kawaida tena, udada aliuweka pembeni kabisa, aliendeleza nayeye masha mbulizi na kuidondosha Rimoto ile chini, kutokana na mchezo ule kuto ufanya siku nyingi

na kuwa na kiu ana ji kuta akicheza rafu zote, aki mfakamia dokta Leila kwenye maziwa na kuanza kuya nyonya.
ndani ya sekunde kadhaa, wote walikua watupu kama walivyo zaliwa, nguo zao zikwa chini juu ya malu malu

Hisia za kufanya mapenzi zili tawala ndani ya bongo zao wote wawili kila mtu alikua mbali kihisia, na kuonekana kila mtu alikua ana taka mchezo ule siku nyingi ila walikua wakiogopana..

“mmmh

SSAAAAM”
Alilalamika dokta Leila huku akirembua sana macho hasa baada ya Ramsey kumnyonya maziwa huku mkono wake ukiwa juu ya ikulu ya dokta Leih



Japo kua alikua hana kumbukumbu ila alihisi kitu tofauti ndani ya mwili wake, alihsi damu inamwenda mbio sana huku kwa kasi ya ajabu KOMBOLA lake likiwa lime simama kama mti mkavu, Docta Leila taratibu akitumia viddole vyake laini alianza kuichukua koombola hiyo taratibu sana huku Ramsey akianza kutoa migunio ya raha,

Kama umeme Ramsey alimbinua Dokta Leila na kumuweka chini, na kuanza kumnyonya maeneo tofauti na kumlamba hususani kwenye masikio yake huku aki tumbukiza ulimi wake ndani ya sikio la kushoto la Leila
. Alishuka mpaka juu ya shingo yake na kuinyonya huku kwa mbali akitumia pumzi kuipuliza, hakuishia hapo alishuka chini na kuanza kukilamba kitovu cha Leila kilicho kua cheupe kupita kiasi, na kuki fanya mpaka kikawa chekundu, raha alizo kua akizipata Leila hakika hazikuweza kuelezeka, kuna kipindi alikua
akitokwa na machozi huku aki katika na kuji pinda pinda na kumshika shika Ramsey kichwani kwa kuhisi raha izo, hakika alikua sayari nyigine sayari ya mapenzi ambayo alijihsi aanapaa angani bila mabawa, alichukua vidole vyake na kuviweka mdomoni huku akitoa miguno ya raha kupita kiasi, hakika siku hiyo alihisi raha,

Ramsey alivyopeleka mkono wake kwenye ikulu ya Dokta Leila alihisi kama kuna utepe utepe na kujua muda muafaka ume fika wa kucheza mechi, ila haku taka kuanza mechi, aliendelea na zoezi la kumuandaa huku akizidi kupima oil ya Dokta huyo ambapo alitambua kabisa kuwa docta huyo hakuwahi
kufanya mchezo huo siku nyingi sababu, ikulu yake ili kua ime bana sana, huku na kule Docta Leila aliomba mechi ianze lakini Ramsey alimsukumiza nay eye kuendelea na shughuli yake ya kumuandaa, kweli alimuandaa vilivyo mpaka alivyo muona Dokta Leila aki tetemeka na kuibana miguu yake,
huku aki hema juu juu na kupiga kelele za raha.
Pale pale alimuwahi na kuipanua miguu yake na kuichomeka KOMBOLA ile taratibu sana sababu ili kua ime bana ivyo , ili bidi aingize taratibu akipima kimo cha mgodi huo,

“aaaah SAAAAM ssshs taaraaati…bu aaah”

Alilalamika Dokta Leila huku akitoa sauti ile puani, kweli Ramsey alifanya kazi ile taratibu na kuingiza MASHINE mpaka mwisho, baada ya kuridhika na urefu wa mgodi huo alianza kuchimba kila upande ili ajue sentiminta za duara ilo , alipiga kila upande
huku MASHINE yake ikiwa ime banwa sawa sawa kutokana na mgodi huo kuwa mdogo, alimbana vizuri Leila na kumpelekea mashambulizi kidogo ya spidi arobaini huku akimla Denda hakika zili kua raha za ajabu sana, ambazo

haziwezi kuelezeka

“Sam”
“naam Dokta”!
“ujue sija wahi kufanya mapenzi tangu marehemu mume wangu afariki dunia”
“kwaio mimi ndo nime kukumbushia”?
“ndio, ila unayaweza sana SAM, sikutegemea hata kidogo”
“aaah, siio kweli”
“Sam. Nikuombe kitu”?
“niombe tu”
“nataka uwe mume wangu halali, yaani tufunge ndoa kialali”
Yalikua ni maongezi ya Dokta Leila na Ramsey wakiwa juu ya sofa wame lala bado wakiwa kama walivyo zaliwa

baada ya shuguli pevu ili yowafanya wote wawe hoi bin taaban, hakika kila mtu hakuwahi kuufanya mchezo ule siku nyingi sana
“mimi sina tatizo, lakini mbona mapema sana”?
“mimi nakupenda , au una mwanamke, usha mpata”?
“hapana,”
“kuna mambo Fulani yaki timia ina bidi, twende msikitini, tufanye iyo ndoa,”

Baada ya hapo Dokta Leila, alimchukua Ramsey na kwenda nae chumbani na kumwambia kuwa kuanzia siku hiyo wata kua wana lala chumba kimoja kama mume na mke wa hiali, kweli jambo lile lili fanyika sababu Ramsey na Leila waliingia bafuni lililoopo chumbani humo na kuoga tena huku waki fanya tena mchezo ambao uli pendwa na watu wengi duniani, hakika wawili hao walikua na furaha sana siku hiyo, walirudi kitandani na kuji tupa .,

Waliongea mengi sana siku iyo hususasi juu ya penzi lao bichi lililo anza kuche pua, na kuongea jinsi mipango yao ya mapenzi ita kavyo kua,

WAKIWA kwenye mgahawa siku ili yo fuata Ramsey na Leila waliagiza juisi na kuanza kunywa kila mtu alijua walikua wapenzi sababu dalili zote zili onesha, walikua wakinyweshana juic huku wakati mwingine waki pigana mabusu hadharani hawa kujali macho ya watu, hakika walionekana wenye furaha sana,
“Ramsey, Ramsey, sitaki kuamini”!

Jina hilo lili kua likitwa kwa sauti ya juu sana hakuna mtu aliye geuka sababu hakuna hata mmoja aliye itwa Ramsey ndani ya mgahawa ule, mpaka Ramsey alipo shikwa begani na kugeuka. Na kushangazwa na mwana mke alimshika begani, huku akiita jina ambalo halijui.
“Ramsey!, “
“dada vipi, ? mimi sio Ramsey, ume ni fananisha, itakua”
Ramsey alimuangalia msichana huyo ambae alikua bado akisisitiza jina hilo la Ramsey wakati ana jua jina lake yeye ni Sam na wala sio Ramsey, hakika hakuelewa lolote lile,
“dada samahani ume mfananisha, huyu sio Ramsey huyu ni Sam”
“Noo, nita wafananisha wote lakini sio mdogo wangu, mimi ni dada yake,”

Ramsey alimuangalia dada Yule, na kushindwa kuelewa kabisa nini anacho ongelea ki ukweli hakujua lolote lile lina loongelewa hata kidogo,
hakujua kua aliye kua mbele yake ni dada yake wa damu,
“Ramsey mimi Loydah dada yako, niangalie vizuri, mimi Loydah”
“mimi sina dada, tafadhali niache , ume ni fananisha”

Leila kuona vile alimuinua Ramsey mkono na kuanza kutoka nae nje sababu aliona tayari isha kua kero, huku waki msukimiza Loydah pembeni

“Ramsey mimi ni dada yako, kama una bisha fungua mgongoni una tattoo ya simba pembeni umeandika L AND R, Loydah na Ramsey, !“

Maneno yale yalipenya ndani ya ngoma za masikio ya Ramsey akiwa ana toka nje akiwa na Leila ila alipuuzia na kutoka nje, ghafla ana kutana na kijana mwingine aliye shika kisu kirefu, huku aki mfuata kwa jazba nyingi sana
“kumbe haukufa, usi pokufa wewe uta niletea shida sana, ndani ya nchi hii sito ishi kwa raha, naanza nawewe ata fuata dada yako”

Kijana Yule alitumbukiza kisu kile tumboni mwa Ramsey na kufanya damu nyingi zita pakae mwili, na kumuona kijana Yule akitokomea huku akitembea taratibu, sura ile haikuwa ngeni kila alipo jaribu kuvuta kumbu kumbu alishindwa,
alihsi maumivu makali sana
tumboni huku akiwa ameshika kisu kile kilicho kua juu ya tumbo, Leila alilia kama mtoto mdogo, hakuelewa nini kime tokea na kuka tisha furaha yake, aliyokua nayo muda mfupi

“prrrrooo,,,,,,s……”

Aliita kwa mambli huku akihisi ukungu mzito una funika macho yake, hilo alilielewa sababu alijua ndio ana kufa, hakuku wa na jinsi jingine ya kuka taa umauti, alibaki akimwangalia Leila huku kwa mbali akianza kuona giza na chozi moja kumtoka, hakika alijua siku yake ya kutoweka duniani ime fika na si vinginevyo, maumivu makali moyoni yaki ambatana na maumivu makali vili zidi sana, alimuangalia Leila na pale pale kuhisi giza nene mbele kila alipo jaribu kuya fumbua macho yake, hakuweza tena.,

********

“SAM SAM, SAM”

Ramsey alikurupuka kitandani huku jasho jingi liki mtoka alikua katika ndoto ya kutisha sana, alitoka mbio mbio na kuwasha switch ya taa huku akiangalia tumbo lake, mapigo ya moyo yalizidi kumwenda mbio sana, huku akimtolea macho Leila, ambae wakati huo hakujua nini kili ,mpata Ramsey,
“Sam una nini”?
“hakuna kitu,”
“hakuna kitu wakati, uli kua una weweseka, una nini Sam wangu, mbona una nitisha, una umwa
”?
“nipo sawa Leila wangu”

Ramsey alirudi tena kitandani lakini bado alikua ana tafakari ndoto ile ina maana gani.
Haku pata hata lepe la usingizi hata kidogo.

ASUBUHI KULIVYO KUCHA wote walikua mezani wakinywa chai ili yoandaliwa na Leila

“Ramsey mimi ni mdogo wako, kama una bisha fungua mgongoni una tattoo ya simba pembeni umeandika L AND R, Loydah na Ramsey, “

Maneno aliyoota usiku wa jana alikua akiya kumbuka kichwani na kusitisha zoezi la kunywa chai, alifungua shati lake na kujiangalia mgongoni kupitia kioo na kuona tattoo ile ya simba pamoja na herufi , moyo ulizidi kumwenda mbio sana, hakuelewa nini kime tokea, na kuzidi kuikumbuka ndoto ile.
“Ra Raaa, Loooo!”
“una tatizo gani”?
“kuna kitu naja ribu kukumbuka, ila basi tuendelee na chai”
Baada ya hapo Leila alienda kazini hospitali ambapo ili kua karibu na nyumbani kwake
kwa kuwa ili kua wik end siku iyo Leila aliwahi kurudi na kuamua kwenda kukaa na Ramsey nyumbani ili waweze kuzoeana.
“BABY nataka kununua kiwanja nime sikia Dar es salaam kule kuna shamba lina uzwa,”
“Dar es salaam, Dar es salaam, nili kua huko jana”
Kauli ile ili mshangaza sana Leila ambapo aliona kweli kwa mbali Ramsey ana rudiwa na kumbu kumbu
“toka zako muongo wakati jana tuli kua wote juu ya hili kochi tuna sex”
“basi itakua juzi,nakumbuka Dar es salaam, kuna wapi hapa, ubunge, sijui ubunga.”
“lione, labda miaka mingi iliyo pita,, ni ubungo”
Kwa mbali sana Ramsey alianza kurejewa na kumbu kumbu ila zili kua zina kuja na kupotea pale pale na kupoteza channel.

Baada ya kula chakula cha mchana walitoka nje na kuelekea kwenye moja ya super maket iliyo kua jirani na happo. Ili waweze kununua vitu tofauti vya jikoni,

“enhee Sam, una muona Yule mtoto”?
“yuko wapi”?
“Yule pale, nawewe una aangalia wapi bwana.”
Leila aili bidi ashike kichwa cha Ramsey na kumgeuza kwa mtoto Yule mdogo ambae alikua akitembea tembea ndani ya supa maket hiyo,
“ndio nime muona, kafanya nini”?
“ana fanana nawewe, ile siku ulivyo kua hospitali nili juaga wewe ndo baba yake ujue, kaone katoto kazuri, wewe mtupu”
“kwani una mjua”?
“ndio, mama yake ni jirani yetu, mtaa wa nyuma ule, we Catherine”
Leila alimuita mtoto Yule na kugeuga, hakika ali fanana na Ramsey hasa macho yaliyo kua makubwa, japo kua alikua mdogo sana ila uzuri wake ulionekana, weupe wake wa kung’aa uli mfanya azidi kuwa maridadi. Alionekana alikua ana matunzo mazuri kutoka wazazi wake.

Mtoto huyo alikimbia mpaka kwa Leila, kwa haraka haraka ili onekana kama wana juana kwa kipindi kirefu, kutokana na mtoto huyo kumkimbilia Leila
“Mama yuko wapi”?
“mama yuu po kuleeee, ana nunua achi crim yangu, na saa ya ben ten”
“Sam huyu mtoto sio siri ka fanana nawewe kila kitu, angalia hata mashavu, mfano baba yake akitokea hapo, ata kuletea kash kash”
“kwani baba yake ni nani”?
“mmh hata sijui”

Ramsey aliji kuta anamchukua Yule mtoto na kumbeba, hakika wali kua wame fanana kwa kila kitu hata unge waona usinge bisha, Leila alichukua simu na kuwa piga picha,

Ila gafla mtoto Yule alitoka mikononi mwa Ramsey na kumkimbilia mwana mke aliye kua akitokea mbele yake,
“MAMA, Mama bebe, bebe, achi crim yangu iko wapi?”!

MTOTO Yule alimrukia mama yake, baada ya hapo alionesha kidole upande aliopo Ramsey, na mwanamke Yule kuonekana kupigwa na butwaa taratibu alianza kuishiwa nguvu na kudondoka chini , hakuelewa kwanini mwana mke Yule kadondoka chini Ramsey na Leila wali mfuata na kuanza kumpa huduma ya kwanza huku mtoto Yule akiwa an

alia, baada ya kumuona mama yake kadondoka chini.
Walikuja watu wengine na kuanza kutoa huduma ya kwanza, waki mpepea. Mwana mke huyo ali fumbua macho na kubaki akimuangalia Ramsey kwa uwoga sana.

“, wewe ,Ramsey,”!

ALIIITA mwana mke huyo akiwa katika hali ya uwoga sana na pale pale kuzirai TENA kila mtu hakuelewa kwanini mwana mke yule alizirai baada ya kumuona Ramsey,,


MTOTO Yule alimrukia mama yake, baada ya hapo alionesha kidole upande aliopo Ramsey, na mwanamke Yule kuonekana kupigwa na butwaa taratibu alianza kuishiwa nguvu na kudondoka chini , hakuelewa kwanini mwana mke Yule kadondoka chini Ramsey na Leila wali mfuata na kuanza kumpa huduma ya kwanza huku mtoto Yule akiwa an alia, baada ya kumuona mama yake kadondoka chini.

Walikuja watu wengine na kuanza kutoa huduma ya kwanza, waki mpepea. Mwana mke huyo ali fumbua macho na kubaki akimuangalia Ramsey kwa uwoga sana.

“, Ramsey”
ALIIITA mwana mke huyo akiwa katika hali ya uwoga sana na pale pale kuzirai,,

TWENDE KAZI.

Hakuna mtu hata mmoja aliye eelewa nini kili mfanya Mwana mke Yule azirai kwa kitendo cha kumuona Ramsey kila mtu alimshangaa Ramsey na kumwangalia mara mbili mbili ,

“Tumpelekeni hospitali jamani,, wewe mama una mfahamu huyu dada”?
Alihoji mfanyakazi mmoja kati wa wanne walioikuwa ndani ya supa maket, huku wakimbeba
“ndio ni jirani yangu Mama Catherine, na mtoto wake ndiye huyu hapa”
“huyo ni mumewe”?
Aliongea mfanyakazi huyo huku akimtazama Ramsey kutokana na kufanana na Mtoto, moja kwa moja alijua ndiye baba wa mtoto Yule, bila kuuliza
“hapana huyu ni mume wangu”
“sawa tusaidiane tumpeleke kwenye gari,”

Wote wali mbeba MAMa Catherine bila kujua nini chanzo cha yeye kuzirai, baada ya kumuingiza ndani ya gari wote na wao waliingia na safari ya kuelekea hospitali kuanza,
“Mama uchifee, MAMA MAMA amka basi”

Catherine alilia huku akipaza sauti kweli alijua mama yake yupo katika matatizo na hakujua nini chanzo, gari lilizidi kuchanja mbunga huku Ramsey akiwa na kazi ya kumbembeleza mtoto yule ambaye muda wote alikua akilia sana,
“nyamaza Catherine mama atapona”

Alizungumza Ramsey huku akiwa ame mbeba mtoto Yule hakika wali fanana kwa kila kitu
“au ita kua ana kifafa”?
Alihoji dereva huku akiwa makini na usukani
“hana kifafa mimi namfahamu siku nyingi sana, ”

Baada ya dakika ishirini tayari ali fikishwa hospitali na haraka haraka wauguzi kutoka nje, kweli mama Catherine alikua hajielewi hata kidogo, hakuelewa lolote lile,

Baada ya kufika ndani ya chumba cha wagonjwa alichomwa sindano ambayo ili weza kuamsha seli zake, na kufumbua macho ila alianza tena kulia baada ya kumuona Ramsey tena kambeba Catheline mkononi.
“Ra…m sey”
“una jisikiaje”?
Alidakia Leila huku akimsogelea
“nipo vizuri tu Leila, huuu huu ni mzimu wa Ramsey au”?
Mama Catherine aliuliza huku aki toa macho na kutoamini Yule aliye muona mbele yake,.
wakati mwingine alidhani anaota,alikua ni Ramsey hakika alikua ni yeye sababu alidhani ali kufa, leo hii hakuamini kumuona mbele yake tena na catherine mtoto wao, , ni kipindi kirefu sana hawa kuonana walipotezana na Ramsey na siku chache alipokea taarifa kuwa ame fariki dunia iweje leo amuone, maswali hayo alijiuliza kichwani na kumfanya aanze kububujikwa na machozi
“sija kuelewa”
“huyo ni Ramsey!,”
“hahaha huyu ni Sam, ni mume wangu sasa hivi, ita kua ume mfananisha Mama Catherine”

Mama Catherine alizidi kumwangalia Ramsey na kumkagua kila eneo kuanzia juu mpaka chini hakika haku mfananisha, alimtazama kucha zake, japo kua wali potezana kwa muda mrefu hakuweza kumsahau, ila wakati

mwingine alidhani labda wana fanana ila haku taka kuyapa nafasi mawazo hayo, sababu hadi sauti pia ili kua ni ile ile, haikuweza kumpotea hata kidogo.
Ili kua ni picha ya kutisha sana kwake, alimuangalia macho yake yalivyo kua makubwa, kweli alijua ni yeye na si vinginevyo,
“Ramsey, mimi Sabrina”!
“mimi sio Ramsey, ume ni fananisha”
“Ramsey no, siwezi kuku fananisha ndo wewe”
“acha mimi niende, motto wako huyu hapa”

Leila alihisi wivu sana kuona hali ile, ali mshika Ramsey mkono na kutoka nae nje
“Ramsey huyu ni mwa….”
“Mama catherine tuta kuja kukuona siku nyingine, nita kuja kukuona kwako, wacha sisi tuka pumzike”

Leila alimkatisha kile ana cho taka kuongea na kutoka nje na Ramsey, hakika Ramsey alikua na mawazo sana njia nzima, hakuelewa kwanini wana muita Ramsey, hakuelewa kuwa Yule ni Sabrina mpenzi wake mwanamke aliye

mpenda kuliko wana wake wote duniani, na kuko sana na wazazi wake kisa Sabrina. Nakusababisha wazazi wa pande mbili wawindane kama kuku na mwewe, yote hali yasahau kutokana na kupoteza kumbu kumbuku zake zote, hakujua kuwa Catherine ni mtoto wake wa kumzaa mwenyewe,

“kwanini wana niita Ramsey”?
“ita kua wame kufananisha na Yule muiguizaji wa Nigeria Yule, ujue mme fanana kimtindo, hata rangi zenu”
“Yule jamaa, tuliye kuwa tunaangallia movie yake ina itwa TRUE LOVE”?
“huyo huyo Ramsey Noah”

Leila alimpoteza Ramsey hakutaka akumbuke chochote kile alijua kivyovyote vile kumbu kumbuku ziki mrudia hatokua nae tena, hakika alitokea kumpenda sana Ramsey, aliamini kuwa ndie ata kuja kua mwanaume wake wa ndoa, alikua yupo radhi apoteze chochote kile katika maisha yake lakini sio Ramsey mwanaume ambae alitokea kumpenda muda mchache uliopita, hakujua kwanini alimpenda vile
“nita fanya juu chini kumbu kumbu zisi mrudie, sito kubali nimuache”
Aliwaza Leila, hakika alimpenda sana Ramsey na kuapia kuwa ata hama nae hata mji wowote ule ili asirudishe kumbu kumbu zake, kweli swala hilo ali taka kulifanya kwa gharama yoyote ile, na kuanza mikakati hiyo mara tu wali pofika

nyumbani, na kuanza kufikiria vidonge vya kumpa ameze ili kumbu kumbu zake zisirudi .

“Sam nikuulize kitu”?
“ndio mke wangu”
“unanipenda”?
“sana tu mbona”!
“upo radhi kwenda namimi popote?”
“popote nitaenda nikiwa nawewe”

Docta Leila kusikia vile alimfuata Ramsey na kuanza kumnyonya mdomo pale pale huku akitoa ulimi wake na kuuingiza ndani ya mdomo wa Ramsey na wote kuanza kubadilishana mate, lili kua ni denda la dakika mbili nzima.
“sam nakupenda sana,”
“namimi pia”
Waliongea mengi siku hiyo na Leila kuingia jikoni kwenda kupika chakula cha mchana, kilipo iva alikiweka mezani na wote kuanza kula, mara nyingine wakilishana kima haba hakika yalikua ni mapennzi ya kweli ambayo sio rahisi kwa yoyote Yule kuwatenganisha.

“Saaam,, aaaashhss aaaah in,,giza taratibu ivyoo ,, ivyoo.. hapo haaapo”

Zili kua ni kelele za mahaba kutoka Kwa Docta Leila ambae wakati huo alikua ame kunjwa vizuri huku Ramsey akimpelekea masha mbulizi ya kufa mtu, alifata maziwa ya Leila na kuanza kuyanyonya huku akiendelea kukinyonga kiuno na kuzidi kumpagawisha Leila, kweli alikua na haki ya kutomuacha Ramsey kwa gharama yoyote
ile kutokana na kufikishwa vizuri, alimbinua na Leila kupiga magoti huku Ramsey akiwa ameshika kiuno cha Leila kwa
mikono yote miwili na taratibu kuendeleza masha mbulizi zili kua ni raha za ajabu sana, ambazo tangu azaliwe haja wahi kuzipata, Ramsey alifunga goli pale pale ila refa hakuona na kuweka
mpira kati tena huku masha mbulizi yakiendelea bila kutoa sub, ili kua ni mechi ya kukata na shoka, sababu Ramsey aliunganisha bila kuruhusu mapumziko yoyote na kumfanya Leila ashindwe kuelewa ni mchezo wa aina gani ule maana ulikua ni zaidi ya bundasiliga au chandimu,
“Sam”
“mmmmh”
“inaaatosha”
“mhhh”
Ramsey alizidi kuendelea na masha mbulizi,na safari hii Leila alikua kasha shinda magoli sita, magoli ambayo hakuwahi kushinda hata siku moja, baada ya mechi kuisha wote waliji tupa hoi, kutokana na uchovu kila mtu alipitiwa na usingizi mzito na kulala fofofo.,

Mwanga ulio tokea dirishani uliwaamsha na kufanya waamke wote wawili, ambapo Leila alikua juu ya kifua cha Ramsey akimtekenya na kumkwaruza na kucha.
“unaanza uchokozi, alafu nikianza una omba poo”
“weee nani aombe poo”
“huku mbuki jana”?
“mmhh ila jana, sija elewa ile mechi, ulicheza rafu jana, maana?” .
”hakuna lolote una jitetea hapa!”
“ila Sam sitaki nikuache, nakupenda sana, nataka kesho, twende Dar, nataka nika nunue kiwanja,”
“sawa hakuna tabu, mama ushaamua mimi napitisha tu”
“okay”
Leila aliendelea kulala juu ya kifua cha Ramsey huku akikwaruza kifua chake na kucha zake ambazo zilikua ndefu kidogo, na mkono wake mmoja kuupeleka kwenye MUWA wa Ramsey, na kuanza kuuchua.

*******

TAYARI LOYDAH alifungua kesi mahakamani kuhusu mali za mdogo wake Ramsey akimshtaki Prosper hakutaka mali za ndugu yake ziondoke, alikasirishwa sana na Prosper kwa kitendo cha kutaka kuzurumu duka la Ramsey ambalo lilikua linaingiza kipato

kikubwa cha pesa hakujua nini kili mpata Prosper,mpaka atake kufanya vile rafiki yake ambae walipendana sana.
Kesi ile ilipelekwa mahakamani na kufunguliwa faili ambapo mshtakiwa alikua Prosper, bado hakutaka kuonesha kushindwa alikataa kata kata kuwa lile Duka sio la Ramsey alimuuzia akiambatanisha na makaratasi yote kama kithibiti,

Kweli Loydah aliona kesi ile ina weza kumshinda sababu hakua na usha hidi wa kuonesha kuwa duka lile halikuuzwa, jambo lile lili mchanganya sana akili na kumkumbuka wakili mmoja aliye kua mkoani Morogoro na kuamini kua huyo ndiye angeweza kumsaidia na wala si vinginevyo.

Asubuhi ya kesho yake aliwasha gari kimnya kimnya na kuelekea Morogoro ambapo baada ya maasaa manne tayari alikua msamvu na kumta futa wakili huyo ambae alienda mpaka nyumbani kwake ila, bahati mbay aaliambiwa kuwa ana umwa, hakutaka kuondoka bila kuonana nae, alicho fanya alimsubiri kwa siku mbili ili aruhusiwe hospitali ambayo haikua mbali na hapo.

Moja kwa moja aliongoza nyumbani kwa wakili huyo, baada ya kusikia tayari kasha ruhusiwa hospitali, kweli aliingia ndani na kuka ribishwa na kuanza kueleza kila kitu,
“ulisema mdogo wako, alifariki akaacha duka kubwa mjini, na shamba ambalo hujui lipo wapi”?
“ndio”!
“huyo ana etaka kumdhulumu ni nani”?
“rafiki yake kipenzi yaani sijui nini kime mpata huyo shetani , “
“dada ninge kusaidia, hiyo kesi ni ndogo sana, ila nita kuelekeza kwa mama mmoja hivi, naamini ata kusaidia sana”
“una sema”?
“nasema hivi, ngoja nibadili nguo nikupeleke kwa mwana mke mmoja hivi, huyo nina amini ata kusaidia, niamini mimi, hali yangu sasa hivi sio nzuri sana nina umwa,”
Mzee huyo alisimama na kuelekea chumbani ambapo baadea alirudi tayari kasha badili nguo na kuondoka na Loydah,

Loyda alioneshwa kuchukizwa sana na kauli ile kutoka kwa Mzee kodende ila haku taka kuji onesha, mwendo wa dakika arobaini walikua teyari wesha fika katika nyumba ndogo ya kawaida ila ili kua ya kisasa sana,
Walishuka na kuingia ndani, kweli wali funguliwa na mtoto mdogo wa kike mlango na kupita ndani,

Wakili Yule aliye fahamika kwa jina la Kodende alimkabidhisha Loyda kwa wakili mwenzake na kuondoka zake ili awaache waongee, ila Loydah alijikuta ana gadisha macho yake juu ya mtoto mdogo aliye kua akiangalia katuni kwenye t,v. alimuangalia sana kana kwamba ana mfananisha.
“dada”
Mwamke yule alimshtua Loydah baada ya kutokea jikoni
“samahani, huyu mtoto ni wako”?
“ndio, kwani vipi”?
“kazuri sana,nime mpenda”
“ naitwa Loydah Felix”
“niite MAMA CATHERINE au jina langu Sabrina. nakusikiliza”!

Loydah alianza kuelezea shida yake kila kitu kuanzia mwanzo mpaka mwisho, bila kuficha chochote, ila kila alipo zidi kuelezea Sabrina alizidi kusikiliza kwa makini sana, na kusogea karibu sababu marehemu aliye kua ana zungumziwa pale alikua akimjua,
“una sema mdogo wako alikua anaitwa nani”?
“Ramsey Felix kidhirwa”
Sabrina alibaki akitoa macho hakika hakutaka kuamini kua anae ongea nae ni dada yake na Ramsey, alihisi mkuki wa moto ume tumbukia ndani ya moyo wake, hakuelewa ni jambo gani afanye alitamani kulia ila alijikaza,
Alimuangalia mwanae ambae alikua hana habari, alirudisha shiingo yake kwa Loydah hususani alimuangalia machoni na kuona ni jinsi gani macho ya Ramsey na dada yake yalivyo fanana, hakutaka kubisha,

Aliji kuta akidondosha chozi na kutoka haraka mahali pale na kumfanya Loydah asielewe nini kime mkimbikiza, hakuelewa kwanini Sabrina kakimbia. Laiti ange jua ndiye mwanamke pekee aliyezaa na Ramsey angeshukuru sana Mungu , ila hakuelewa lolote lile, alibaki kumwangalia Catherine ambae alikua akiangalia katuni ya tom and jerry, alishindwa kuji zuia na kuji kuta ana muita

“una itwa nani”?
“cate”
“cate nani”?
“chijui,”
“baba yuko wapi”?
“Mama ame niambia sina baba. Aliniambia baba yangu hayupo hapa”
“yuko wapi”
“chi…”
“Loydah tuendelee”

Alifika Sabrina na makaratasi huku bado akiwa na kwikwi sababu ilionesha alitoka kulia muda mfupi uliiopita,
“mwanao kafanana na marehemu mdogo wangu Ramsey sana”

Sabrina alimwangalia Loydah na kutamani kumwambia kuwa alimuona Ramsey siku chache zilizo pita ila hakuwa na uhakika na kile anacho taka kukisema, Licha ya kutaka kusema ila nayeye alitambua vizuri kuwa Ramsey alikufa, alikaa kimnya ili ajue mwisho wake, hakutaka kufungua mdomo wake kuongea lolote lile,

Aliandika kila kitu na kumuhaidi Loydah kuwa ata msaidia kwa kila kitu, alimuhaidi kuwa kesi angeenda kushinda na wala si vinginevyo,

*******

TAYARI RAMSEY na dokta Leila walifika jijini Dar es salaam siku hiyo na kupumzika siku moja , na kesho yake kuamua kumta futa Dalali ili akawaoneshe kiwanja hiko alichodai kuwa kipo nje ya mji kidogo,
waliongozana na Dalali huyo, kwa Leila alikua mgeni ndani ya jiji hilo hakuelewa majina ya sehemu mpaka dalali huyo alipo sema kuwa kiwanja kipo BUNJU B,
“Bunju B, nishwahi kufika”
Aliropoka Ramsey na kuonekana akisha ngaa shangaa, baadae wali fika maeneo ya kiwanja hiko kilipo,
Na kuanza kuzunguka
“mhhhh”
Ramsey aliguna na kuki shangaa kiwanja hiko, alionekana kama ana kumbuka kitu sababu aliweka mkono wake mmoja mdomoni,
“nini sam”?
“hapa napajua, hapa napajua, ila siku mbuki nili fika lini”
“Sam acha kuni chekesha. Wewe uli fika lini huku?”
“huku nili fika”

Hakujua kuwa hiko kili kua kiwanja chake, ila alicho kumbuka yeye kuwa Alisha wahi kufika eneo lile, bado aliendelea kukumbuka hasa alipoona nguzo ya umeme na kuisogelea, hakuelewa kwanini yupo katika hali ile, ki ukweli alijua fika kuwa ana tatizo.
“naomba nionane na mwenye hiki kiwanja ili tuandikishiane kwa Mjumbe”
Aliongea Leila na Dalali Yule kupiga simu kwa mwenye kiwanja,

Kweli baada ya dakika hamsini tayari kijana mrefu kidogo mweusi alikua kasha fika kiwanjani hapo , ila alisita kidogo baada ya kumuona Ramsey,mbele yake , alifikicha macho yake sababu alidhani anaota au anauona mzimu. Hakutaka kuamini kuwa aliye kua mbele yake ni Ramsey ambae alitaka kuuza kiwanja chake akidhani kuwa ame kufa,aliogopa sana na kujua anaota,

Kweli hata kwa Ramsey pia alibaki kumuangalia kijana Yule na kuonekana kukumbuka kitu, alivuta kumbu kumbu mtu Yule ali muona wapi na moja kwa moja kukumbuka ndoto aliyoota, siku chache zilizo pita, hakika alishindwa kuelewa na kuji kuta ana rudi nyuma kwa hatua ndogo ndogo, akikumbuka jinsi alivyo chomwa kisu
“Sam njoo uongee na mwenye kiwanja uje kusaini huku, ili twende kwa mjumbe”
“mama nime ghairi kiwanja siuzi tena, nime pata mteja mwingine”
Maneno yale yalitoka mdomoni mwa Prosper na kumfanya hata Dalali Yule ashindwe kumuelewa bosi wake ame kumbwa na nini….



Prosper alitembea mwendo wa haraka haraka na kuonekana dhahiri kabisa kama ni mtu aliye changanyikiwa, alikua akigeuka nyuma mara mbili mbili mpaka aka jikwaa na jiwe na kudondoka chini
alijizoa zoa na kuendelea na mwendo wake, hakika alionekana kuchanganyikiwa hakua na uhakika kama aliye muona mbele yake alikua ni Ramsey mtu aliye jua ame kufa, alijua kivyovyote vile ana chezewa mchezo, licha ya kumuona Ramsey mbele yake ila nafsi nyingine ina mtuma kuwa wenda hakuwa yeye

na duniani kuna watu wanao fanana, aliweka kidole mdomoni huku akizidi kumuangalia Ramsey akiwa kwa mbali, alizidi kumwangalia na kuzani wenda ni mzimu.
“ina maana hapa duniani kuna watu wana fanana kiasi hiki”?!
Aliwaza prosper.
“bosi vipi sasa, mbona ume fanya ivyo?, Yule mama kaja na cash wewe mbona ume kimbia tena”?
“wewe Yule mama ume mtoa wapi”?
“Yule katokea Moro goro”
“na Yule msh kaji”?
“mimi sijui, twende tuka chukue mpunga ule”!

SABRINA AKIWA AMELALA KITANDANI usiku huo hakupata usingizi hata kidogio mawazo yote yalikua kwa Ramsey ambae aliamini ame kufa muda mrefu kidogo, hakika alimpenda sana na mbali na hapo alikua tayari kasha mzalisha na mtoto.
“au ita kua nime mfananisha,? Lakini hapana, mpaka sauti, Yule ni Ramsey, lazima nifanye kitu”
Aliwaza Sabrina huku akiwa amelala chali akitazama juu ya paa!, hakupata hata lepe la usingizi usiku huo, aliji lazimisha lakini ilikua kazi bure, alikumbuka vitu vingi walivyokua waki fanya na Ramsey, kweli alimpenda sana

Ramsey , na kufanya vitu vingi sana vya hatari ili mradi mapenzi yao yaende sawa, kweli alijiapiza kuwa ata fanya juu chini kama Yule ni Ramsey ata jua, na kupitia kesi ya Loydah alijua ndipo hapo ita kua rahisi kumsogeza karibu Ramsey.

KESHO YAKE ASUBUHI Loydah pamoja na Sabrina wali funga safari mpaka Dar es salaama ambapo baada ya siku moja kesi itaanza kusikilizwa, kweli wali fika jijini Dar es salaam salam salmin, na Sabrina kutafuta moja ya hotel nzuri na kupumzika kwa ajili ya kesho ata kavyo kabiliana na kesi hiyo.
Alitoa makaratasi yake, na kuanza kuandika kila kitu kwa ajili ya kesi itakayo somwa kesho, alitamani sana kesho ifike.

Kulikucha asubuhi na Sabrina kuanza kujiaandaa ambapo ana fuatwa na Loydah mpaka mahakamani kwa ajili ya kesi ambayo yeye alisimama upande wa Loydah kama mtetezi,
bila Loydah kujua kuwa Ramsey alishawahi kuwa na mahusiano na mwanamke huyo tena sio ivyo, bali alizaa nae mtoto, kweli Sabrina alibeba siri nyingine ya kumuona Ramsey hakutaka kusema chochote mpka pale uchunguzi wake uta kapo kamilika,

Alipanda wakili Joseph Kabogoza akitetea upande wa Prosper.
“mimi naona hakuna haja ya kusumbuana mpaka huku, kwa sababu gani, kuna usha hidi na vidhibiti vyote kuwa mali ya marehemu tayari ime uzwa muheshimiwa hakimu, kwanza mwenye mali kafariki tayari sidhani kama kuna kesi yoyote hapa”
Aliongea wakili huyo kwa kujiamini sana, aliongea yote na kukaa ambapo baadae na Prosper alipanda kizimbani na kuendelea kukaza kuwa aliuziwa duka kabla ya Ramsey kufariki, bado Loydah hakutaka kuamini kama Prosper

anaendelea kukazia msimamo wake,
haku taka kuamini kama leo hii Prosper ange kuwa vile, ali tamani japo walau Ramsey afufuke na kuongea lakini haikuwezekana, bila kujua Ramsey yupo hai huko alipo kapoteza kumbu kumbu, laity angelijua hilo, ange mtafuta mara moja.
“huyu mteja wangu ni dada yake wa damu,asingeweza kuuza bila kumtaarifu dada yake, isi toshe bado nashaangaa , hata biashara yoyote ile ina kua na masha hidi, je una weza kunionesha mashaidi walioshuhudia duka hilo kuuzwa, bwana wakili”?
“aaah aah masha hidi wa nini, hawa watu wawili walikua waki haminiana sana , hakukuwa na haja ya kuwa na mashahidi”
“sawa. Mbona haku sema kipindi hiko marehemu akiwa hai, naomba nione hayo makaratasi anayo dai kuwa ni kithibitisho, kuwa aliuliza hiyo mali”
Wakili Joseph alifungua begi lake na kumkabidhi sabrina ambaye aliikagua kwa umakini sana.
“muheshimiwa hakimu, naomba kesi hii isogezwe mbele kidogo, bado nina itilia mashaka hii hati anayo dai kuwa aliuziwa duka na marehemu, kuna vitu hapa zivioni, nita muachia, hii orijino yake mimi nitaondoka na copy yake”

Baada ya dakika moja nyundo ili gongwa mezani na kesi ile kuha irishwa na kurushwa .

Leo hii Ramsey alikua njiani ndani ya basi pamoja na Leila wakirudi Morogoro baada ya kukosa kiwanja kile na kuhaidiwa kuwa waende siku nyingine, kweli bila kujua kuwa kiwanja kile alicho taka kukinunuua ni cha Ramsey ambae yeye ali mpachika jina la Sam,

Baada ya masaa manne tayari walikua morogoro na kuta futa taxi ambayo ili ewapeleka mpaka nyumbani hapo wana poishi,

Waliingia ndani na kuoga wote na kula chakula cha usiku, Leila alianza uchokozi wake na kweli kutaka kupewa penzi la Ramsey hakika alimuona Ramsey ni kila kitu kwake, hakuwahi kuwaza kumchoka hata siku moja iliyoenda Mungu! Kweli Ramsey alikua ndiye mwana ume ana ye mkata kiu yake kupita wana ume wote aliowahi kutembea nao huko awali! Hilo alikiri.

Aliaanza kumpapasa kifuani na kushika chuchu za Ramsey na kuanza kuzinyonya huku mkono wake mmoja ukiwa unachuwa chuwa SWITCH ya Ramsey na kufanya ipate moto na kusimama, alishuka chini taratibu na kuanza kuinyonya KONI ya Ramsey huku akiwa na mate mengi sana mdomoni Ramsey alivyo taka kuinuka Leila alimtuliza chini,
“leo niachie mimi uwanja”
Alizungumza Leila huku akiendelea na kibarua kile ambapo aiingiza KOMBOLA hilo mdomoni na kuanza kulamba taratibu sana huku mara nyingine akishika shika GOROLI za Ramsey taratibu hakika siku iyo alimpania sana, alichukua Rimoti na kuwasha tv ya chumbani humo na kuweka CD moja ya X ya wana wake wa kijamaica alimuona mwana mke huyo kwenye tv akinyonya KOMBOLA la mwana ume aliye shiba nayeye kufanya ivyo ivyo kwa Ramsey,

Alienda sawa sawa na dada huyo.
“kwaio leo una kopi na kupesti”?
Aliuliza Ramsey baaada ya kuona Leila ana iga miondoko ile kwenye tv
“ndio SAM, tulia tuli”

Kila kilicho fanywa kwenye tv ndivyo Docta Leila alifanya vivyo ivyo, mpaka waana nza mechi, hakika aliji sikia Raha sana.

Kulivyo kucha asubuhi Leila alimuacha Ramsey kitandani nayeye kwenda hospitali ambapo aliapia kutafuta vidonge vya BRAIN CLOTTER ambavyo vina uwezo wa kuzuia mtu asiweze kukumbuka vitu haraka sana, na hata kupelekea asikumbuke kila kitu, vidonge ivyo baada ya kufanyiwa uta fiti vilizuiwa

visiuzwe ila Dokta Leila aliviiba kwa lengo moja tu kumpa Ramsey ili asiweze kuku mbuka kitu chochote kile aliamini kuwa akifanya vile na kumpa vidonge vile kila siku, angepelekea Ramsey asikumbuke kitu chochote kile, alichukua vidonge mia moja na kuvieweka vizuri ndani ya pochi yake,

Alikua mwenye furaha sana siku hiyo, baadae ilivyo fika jioni muda wa kutoka hospitali alitoka na kurejea nyumbani, ila alianza kupata wasiwasi hasa baada ya kuingia nyumbani kwake na kuto mkuta Ramsey nyumbani, alizunguka kila sehemu na kumkossa. Hakuelewa alikua wapi, sababu alikua ni mgeni ndani ya mkoa huo wa Morogoro.
“Sam. SAM.”
Aliita biila kuji biwa.

SABRINA akiwa tayari kasha fika morogoro aliapia kweli amfuate Ramsey ili ajue ukweli kuwa ni yeye, haku taka kuli fumbia jambo lile ,macho, alianza kupeleleza chini kwa chini , ambapo alipewa jibu na moja wa madakatari anaye fanya kazi na Leila.
“ndio Yule mgonjwa aliletwa na watu hapa., alipoteza kumbukumbu zote, Leila akamchukua ila sasa mwenzangu kamfanya ndo awala ake”
“hao watu waliomleta ni akina nani”?
“walidai wali mkuta ndani ya gari lao la magodoro”
“alafu”?
“alafu kitu kingine, nime sikia tetesi kuwa dokta Leila anataka kufunga ndoa na Yule kaka, kampa mpaka jina Sam, “
“Mungu wangu”!
“kwani vipi dada?”
“noo hakuna kitu nashukuru DOKTA acha mi niende”

Sabrina alitoka haraka haraka na safari ya kuelekea kwa Leila kuanza aliamini kabisa hato mkuta Leila ivyo alienda kwa nia moja tu, kuonana na Ramsey , na kujaribu kitu chochote anacho weza ili kurudisha kumbu kumbu zake. Ali fika na kugonga mlango bahati nzuri a lifunguliwa na Ramsey, moyo ulimuenda mbio sana na kuanza kutetemeka kwa hofu
na kushindwa kuanzia wapi kuongea, alihisi mdomo ni mzito sana kuliko kawaida,
“Leila hayupo dada, labda uje baadae”
Aliongea Ramsey baada ya kumuona Sabrina haongei kitu.
“hapana sija mfuata Leila”
“ume mfuata nani”?
“wewe hapo”
“aya karibu ndani”
“noo sitaki tukae humu nataka tutoke kidogo nje na hapa nataka kuongea na wewe, vitu muhimu sana”
“haitowezakaa bila kumtaarifu Leila, isitoshe mimi huku sio mwenyeji”
“haina haja ya kumwambia Leila, mimi nitaongea nae, hatutochukua muda asana. Tafadhali nakuomba”
“ uwahi kuni rudisha, ngoja basi nikavae viatu”

Baada ya kuvaa viatu waliongozana na Sabrina , walikodi taxi na kuelekea sehemu ambayo hakika Ramsey hakuweza kuifahamu kulikua na miti miti mingi kiasi ambayo ili jipanga kwa namna yake, ilikuwa ni sehemu yenye upepo .,
“Ramsey, mimi ni Sabrina mpenzi wako”
“ndo ulicho niitia mimi sio Ramsey, mimi sio Yule muigizaji, mimi ni SAM”
“hapana wewe ni Ramsey,”
Sabrina alimshika mkono na kwenda nae mpka kwenye mti mkubwa sana na kukaa chini, alianza kumkumbusha zamani kidogo miaka ya nyuma walivyokua wakitoroka shule na kuja kukaa chini ya mti huo mkubwa, Sabrina alifungua pochi yake na kutoa picha nyingi tofauti walizokua wame piga na Ramsey.
“una ona hapa, tulivyo kua shule, hapa, nilivyo kua nina mimba yako, nilivyo taka kuitoa uka kataa nisiitoe hii mimba,. Angalia mkono wangu,nili pigwa na baba kwa ajili yako, ”
Ramsey alibaki kama amepigwa na bumbuazi akiwa bado haielewi nini kina endelea, hakika alikua kama ame changanyikiwa sana, hakuelewa nini kili tokea katika maisha yake. Na kubaki kumwangalia Sabrina bila kuongea chochote, hakika alionekana kuku mbuka kitu.
“Ramsey una alama mgongoni, uli nionesha kuwa baba yako, aliwahi kukupiga na mikanda, kisa alisema ulikula ada, na hio ada ulinipa mimi ili nika jifungue hospitali. Kumbuka Ramsey, ,”
Sabrina aliongea huku akifungua vifungo vya shati vya Ramsey kweli bada ya Ramsey kuangalia ana kutana na kovu lile kwenye kiuno chake nyuma.
“baba,! Mwaaasha”
“Mwasha ndo nani”?
“Usiniue Mwasha, Mwasha usiniue”
Alizungumza Ramsey huku akiangalia huku na kule akiwa na wasi wasi sana, kweli kumbbu kumbu zilianza kumrudia na mtu wa kwanza kumkumbuka ni Mwasha ambapo picha yake iki mpiga sana ili jijenga kichwani kwake.
“wewe ni Ramsey na sio Sam”
“Ramsey Ramsey”
“una tatooo mgongoni ya Simba hii hapa”
Kweli kila aliloongea Sabrina lilikua la kweli kwa Ramsey, alibaki akimtazama Sabrina kiumakini sana, na kutokuelewa bado nini kinaendelea.
“Mama nangaa eeeh! naneli motooo, mammaaaa nangaaa e naleli moto”
Sabrina alianzaa kuimba taratibu nyimbo hio ya Fally ipupa na OLIVIA huku akimshika Ramsey mashavu akijaribu kumbusha nyimbo aliyo kua akiipenda sana. Hakika ili kua ni kazi ngumu kwa Sabrina siku iyo
“Ramsey hii nyimbo ulikua unapenda sana kuniiimbia Ramsey, ya Fally ipupa, ulikua ukicheza kama Fally, come on Ramsey, RAUL RAUL WAKE UP, jina LA Raul nili kupa mimi sabrina”

Ramsey alitabasamu na kumtazama Sabrina huku akiwa kama ana taka kuongea na kushindwa kuongea.
“I like the way you listen to me”

Aliiimba kidogo Sabrina kipande cha mstari wa kwanza cha Olivia. Ila bado Ramsey hakuonesha hali yoyote ya kukumbuka kitu chochote kile, Sabrina alikata tama kabisa, na kugeukia upande wa pili akita fakari kitu kingine cha kufanya.
“sherii oyobokwi, izalela yutu elengi baki namakaleli elay Motema nangai… mama nangai naleli moto”
Sabrina aligeuka haraka baada ya kusikia Ramsey akiiijibu kiitikiio kile kutoka KWA Ramsey alifurahi sana na kumkombatia Ramsey.
“Ramsey”
“Sabri….na”
Sabrina alilia machozi ya furaha, hakika alifurahi sana kurudisha kumbu kumbu za Ramsey na kuji kuta an alia mwenyewe bila kuelewa kilicho mliza wakati huko, walibaki waki kombatiana huku wakilia wote wawili.
“nakupenda sana Ramsey”
“nakupenda pia Sabrina”
Sabrina alimvuta Ramsey na kuanza kumpiga denda kwa furaha sana, hakika alikua na furaha sana.
“SAM UNAFANYA NINI”?
Sauti hiyo ili sikika na kuwa fanya wote washtuke baada ya kumuona Dr, Leila nyuma yao, hawa kujua kafika fikaje mahali pale


Roho ya chuki na wivu vilifura ndani ya moyo wa Dokta Leila kitendo cha kuwashuhudia Ramsey na Sabrina wana pigana mabusu hakika kilimuuma sana. Bila kumsemesha Sabrina ali mfuata Ramsey na kumvuta mkono ila Ramsey alionesha hali ya kutokua tayari kuondoka eneo lile na kumuacha Sabrina mwana mke ambae alimpenda sana kupita kiasi na kurudiwa na kumbu kumbu, hakika hakuwa tayari kukubali swala lile,
“tuondoke Sam”
“twende wapi”?
“nyumbani”
“kwani hapa ndo unapoishi Sam, acha makusudi yako basi”
“kwanza mimi sio Sam, mimi ni Ramsey.”
“hapana wewe ni Sam. Twende nyumbani,”

Ramsey aligeuka na kumuangalia Sabrina ambae alimpa ishara kuwa aende tu na kila kitu kitaenda sawa, kweli Ramsey alisimama na kuongozana na Leila, ndani ya moyo wa Leila alihisi kuna kitu kina endelea na kujua teyari Ramsey kasha rejewa na kumbu kumbu ivyo asipo angalia ata mpoteza mazima

Ndani ya moyo wake hakutaka kumkosa Ramsey hilo ndo lili mfanya atake kumbukumbu zake zisirudi kabisa.
“ulijuaje kua nipo huku”?
“dereva texi alini ambia upo huku”
“Leila asante kwa kila kitu naona nime pona , naomba niende nili pokiua naishi”
“Sam hutaki tubaki wote”?
“hilo swala ni gumu kulijibu Leila”

Ndani ya gari ukimya uli tawala sana, mpaka walipo fika kwa Leila, Ramsey hakuonesha tena hamu ya kuwa na Leila mambo waliyo panga yote yali futika ndani ya akili yake na kumuwza mwana mke mmoja tu Sabrina, mkanda wa

filamu wa picha mbali mbali ulikua ukipita ndani ya ubongo wake , alikumbbuka mambo mengi sana waliyo kua wakifanya na Sabrina, hakika kumbu kumbu zili mrudia na kuwa kumbuka
watu wengi, alimkumbuka Prosper rafiki yake kipenzi na kutamani kurudi Dar ili aka onane nae na kuendela kupiga stori kama kawaida bila kujua kuwa Prosper yupo katika harakati za kuuza mali zake, angelijua hilo hakika asinge taka hata kumfikiria mtu huyo,ambae alipaswa kuwa adui wake mkubwa
“chukua dawa izi meza”
Alizungumza Docta Leila huku akiwa ameshika vidonge vya kumpoteza Ramsey kumbu kumbu zake, pembeni ya mkono wake wa kushoto alishika glass ya maji.
“dawa za nini izo”?
“hizi ni dawa nyingine nimetoa hospitali, zita kusaidia kurudisha hali yako vizuri kabisa”

Bila kujua vidonge vile ni hatari sana na vinge mpotezea tena kumbukumbu alivichukua na kuvimeza huku akinywa na maji aliyo pewa na Leila, baada ya muda mfupi kidogo ALijihisi hana nguvu na kulegea kabisa, na pale pale kulala huku dawa ile ikiendelea kufanya kazi, akiwa usingizini jasho jingi sana lilianza kumtoka kuashiria kuwa dawa zile zina nguvu sana kupita kiasi.

Aliendelea kumpa dawa izo za kupoteza kumbu kumbu siku mbili mfululizo bila kukoma akiamini kuwa kumbu kumbu zake hazitorudi tena, alipania sana hakutaka Ramsey arudi katika hali ya kawaida, mapenzi tele moyoni yalijaa juu ya Ramsey na kutotaka kumpoteza hata kwa sekunde moja.alikua yupo radhi hata kumpa dawa izo zote kwa siku moja ili mradi kumbu kumbu zake zisirudi,
Dawa zile zlikua na nguvu sana na kuanza kkumdhoofisha Ramsey na kumfanya aanze kuopooza mwili wakati mwingine alishindwa hata kuongea chochote.

Loydah tayari alifika Moro goro nyumbani kwa Sabrina, bila kuficha chochote kile Sabrina anamiuua kumuelezea kila kitu Loydah, na kuamua kuweka wazi swala lake juu ya mtoto aliyezaa na Ramsey, hakika hakukuwa na sababu ya kubisha kutokana na Loydah tangu awali alimuwekea mashaka Catherine mtoto wa sabrina.

“naomba unipeleke kwa Ramsey sasa hivi”
“subiri Loydah, jambo hili, linahitaji utulivu sana,”
“kivipi wakati ume niambia tayari ana kumbu kumbu alafu kesho ndo siku ya kesi kusomwa, nataka Yule shetani aumbuke”
“Yule daktaria ana mahusiano naye ya kimapenzi, cha kufanya tumsubiri aende kazini ili sisi twende tumchukue ikiwezekana tuondoke nae kabisa “
Alishauri Loydah na wote kukubaliana na mawazo hayo, walikua wenye furaha sana siku iyo, kujuana hakika lilikua ni jambo la bahati, walimshkuru sana Mungu wao aliye juu mbinguni,
Baadae kabisa walienda nyumbani kwa Dokta Leila na kugonga mlango na kufunguliwa na Ramsey, Loydah alilia machozi kumuona Ramsey alimtazama mara mbili mbili hakuamini kama leo hii amemuona tena mdogo wake huyo ambae alidhani alikufa muda mrefu sana.
“Ramsey”!
“mimi sio Ramsey jamani”
“wewe ni Ramsey mimi ni dada yako Loydah”
Kila alipojaribu kuongea na Ramsey hakuonesha dalili yoyote ya kukumbuka kitu, jambo lilie lina mshangaza sana

Sabrina hakika alijua kuna kitu kimetokea hapo kati kati sio bure, waliweza kumsha wishi ili waweze kuondoka maeneo hayo, kwa bahati nzuri alikubali, bila kujua kuwa anaenda Dar es salaam.

Waliamini kitendo cha kupatikana kwa Ramsey kinge kua usha hidi tosha mahakamani kwaio walikua na kazi moja tu kufanya juu chini kurudisha kumbu kumbu za Ramsey, jambo hilo linakua gumu sana kwao, mpaka usiku unaingia hawa kuweza kufanya lolote lakini hawa kutaka kumruhsu aende kwa Leila,

Kesho yake asubuhi na mapema wali panda nae basi la ABOOD na kurejea jijini Dar es salaam huku bado wakiwa wana mkumbusha matukio mbali mbali yaliyo pita. Mwisho wana amua waende nae mahakamani ivyo ivyo na kuamini wenda ata kumba kitu chochote kile.
“huyu hapa Sophy, humkumbuki, mtoto wa baba mkubwa Molito Yule mwandishi, Ramsey kumbuka, mimi dada yako Loydah, angalia picha zetu hapa tulikua tuna mapengo na huyu MJOMBA HALFANI SUDI”
Kweli Ramsey kila alipojaribu kukumbuka kitu hakuweza hata kidogo,

Muda wa mahakamani ulifika na watu kuanza kukusanyika ndani, Prosper alitamani kukimbia alivyio muona Ramsey , ila hakutaka kuonesha hali yoyote ile ya wasi wasi, Ramsey alikua amekaa akisikiliza kila kitu, taratibu kumbu kumbu zilianza kumrudia baada ya kumuona Prosper akiongea ila bado hakukumbuka alimuona wapi.

Baadae alipanda Sabrina akisimama kama wakili , na kumpa Ramsey uwanja aweze kupanda na kuongea ukweli wote, japo hakuwa na uhakika kama angeweza kuongea lolote lile, mahakama ilikua kimnya sana kila mtu alitaka kusikia kile anacho taka kusema Ramsey ili hukumu itolewe,

Ramsey alipanda kizimbani na kuanza kumwangalia kila mtu, baada ya kuongea alianza kulia jambo amabalo lili mshangza kila mtu,
“Pr,,,,speer, mimi sija wahi kukuuuzia duk….”
Nguvu zilimuishia Ramsey huku akitetemeka sana kama mtu mwenye kifafa na pale pale kupoteza muhimili wa kusimama na kudondoka chini, hakuna mtu aliyeelewa kwa nini Ramsey kadondoka lakini kilicho washangaza ni baada ya kumuona anavuja damu puani huku akiwa chini, haraka haraka walimchukua na kumuwahisha hospitali,

Hakuna hata mmoja wao aliye jua nini kili mpta ramsey walimfikisha Hospitali ila majibu ya daktari yana zidi kuwa changanya akili zao na kushindwa kuelewa nini wafanye.
“mgonjwa wenu tume mkuta ana kansa ya UBONGO, kutokana na kutumia madawa makali sana, na kufanya mshipa wa nyuma ya MEDULA OBLONGAT kupata michubuko na majeraha ndo maana damu zina mtoka puani”
Loydah na Sabrina waliangua vilio hospitalini hapo sababu walijua nini maana na ugonjwa huo wa kansa, kuwa hauna tiba.


Kweli majibu hayo wana shindwa kuyapokea kwa wakati huo, yalikua ni majibu ya kutisha mno! Majibu ambayo yaliwa fanya kila mmoja wao aanze kulia, waliijua fika nini maana ya kansa ya ubongo, furaha waliyokua nayo ya kuwa na Ramsey duniani ilianza kuyeyuka kama barafu liliwekwa kwenye moto!. Waliamini Ramsey ni mtu wa kufa tu, na hato chukua siku nyingi.
“dokta jaribu kupima tena , wenda utakua ume kosea”
“siwezi kukosea, nime jaribu kupima mara mbili, na hayo ndiyo majibu , lakini kuna dawa pia vile vile ata kua ana tumia”
Hayo ndiyo majibu aliyo wapa daktari wakati huo, hakukuwa na namna nyingine yoyote ile ya kufanya majibu hayo yaweze kubadilika ukweli ulibaki kama ulivyo, yote walimuachia Mungu,

Hali ya hewa ina zidi kuwa mbaya sana katika nyumba hiyo iliyo kua magomeni, wengine walisikika wakisema kuwa wenda panya alikuwa amekufa,
kila siku ilivyo zidi kwenda ndivyo hali ya hewa ilizidi kuwa mbaya sana, na kuwaumiza majirani pua zao, taratibu za kuvunja mlango zina pangwa ambapo kabla ya kuvunja mlango huo ambao ndani yake kulisemekana kuwa ndipo harufu hio ina tokea wana amua kumshikirisha mjumbe wa nyumba kumi ili taratibu izo zianze,
kweli baada ya kuvunja mlango ule nyumbani kwa Prosper walikuta akiwa juu ya kitanzi amening’inia akiwa amejinyonga na kufa pale juu ya kitanzi, pembeni ya stuli walikuta barua iliyoandikwa na Prosper.

“KWAKO RAFIKI YANGU KIPENZI RAMSEY,
NATUMAINI UTAKUWA UMESHTUKA SANA KUSIKIA KUWA LEO HII HAUPO NAMI DUNIANI HAPA, UKWELI NI KWAMBA NAONA AIBU, SIONI PA KUFICHA SURA YANGU, NAONA FEDHEA SANA, KISA TAMAA ZANGU, ,LEO HII NIMEAMUA KUJINYONGA,NAJUA HATA NINGE KUOMBA MSAMAHA, BADO NAFSI YANGU INGEINI SUTA KWANI NAKIRI ULINI TOA MBALI SANA, MIMI SIKU STAILI KUFANYA VITU AMBAVYO NILI TAKA KUVIFANYA KWAKO, NAOMBA UNI SAMEHE SANA NDUGU YANGU, ENDAPO BARAU HII IKI KUFIKIA , JUA KUWA LEO HII NIME TOWEKA DUNIANI KISA FEDHEA, NAOMBA PIA UMWAMBIE DADA LOYDAH ANI SAMEHE SANA, RAMSEY NDUGU YANGU, SIKUWAHI HATA SIKU MOJA KUFIKIRIA KUJIUA ILA LEO HII IME NILAZIMU KUFANYA IVYO, KIWANJA CHAKO KIPO, NIME KIRI KWELI PIA NILI TAKA KUKUDHURUMU KWA KUCHONGA HATI BATILI, SINA MENGI YA KUANDIKA.
WAKO NDUGU PROSPER,

Barua hiyo ili somwa na mjumbe huyo wa nyumba kumi na kushusha pumzi ndefu alimtazama Prosper ambae alikua juu ya kitanzi huku ulimi wake ukiwa nje, na kutikisa kichwa akisikitika sana. Haraka haraka simu ili pigwa polisi na mwili ule kuja kuchukuliwa.

Siku mbili nzima zili pita bado Ramsey akiwa ndani ya hospitali hiyo akipatiwa matibabu huku pembeni akiwa Loydah na Sabrina hawa hawa kutaka kucheza mbali wakizidi kumkumbusha vitu mbali mbali ili kumbu kumbu zake ziweze kukaa kama zamani, kweli zilianza kurudi na kuwa furahisha sana wote, baadae analetwa Catherine na kuoneshewa Ramsey,
“Catherin Mwanangu”
“bee Mama”
“huyu ndio baba yako”

Catherine alimuangalia Ramsey ambae wakati huo alikua ameketi juu ya kitanda na kumchukua mwanae Catherine na kumbeba huku akiwa ame mkombatia, hakika ilikua ni furaha sana kwake, kuku tanishwa na mwanae ambae alimuacha akiwa mdogo sana alimuacha akiwa ana wiki moja tangu kuzaliwa leo hiii miaka takribani mitano ime pita, hakika hakuweza kuamini,
“baba”
Catherine aliita huku akimshika Ramsey kidevu.
“naam mwanangu”
“nakupenda baba”
“namimi nakupenda mwanangu”
Japokua alikua mdogo sana ila alijua nini maana ya neno hilo, Sabrina akiwa pembeni yao alishindwa kuji zuia na kuji kuta akilia machozi na kutoka nje sababu alijua vizuri ugonjwa wa Ramsey ambapo muda wowote ule anakufa na furaha yake kumuisha tena, alikua nje na kuegemea ukuta akilia Loydaha alikuja na kuanza kumbembeleleza, ki ukweli aliumia sana hakuelewa angeishi vipi baada ya kukatishwa furaha yake aliyoipata muda mfupi ulio pita.
“sikia wifi yangu, india kuna matibabu, tufanye harakati aende India”
Alishauri Loydah
“ila ni gharama sana Loydah”
“tuta changa au ikiwezekana tutakopa,”

Kweli wazo lile linaanza kuleta matumaini mappya ndani ya mioyo yao tena, na kuwa wenye furaha tena,

Baada ya siku mbili Sabrina aliamua kurudi Moro goro ili aanze kujipanga na kuta futa pesa za kuweza kumsafiriasha Ramsey india jjijini Mumbai akiamini huko ata patiwa matibabu na kupona kabisa, ila baada ya kufika ana kutaka na dokta Leila, ambae alikua ame fura kwa hasira sana.
“Sam yuko wapi”?
Aliuliza Dokta Leila huku akiwa na jazba nyingi sana,



******

“Sabrina nasikia una mimba”?
“nani. Mimi”?
“ndio wewe”
“hapana baba mbona sina”
“Sabrina nani kakupa mimba”?
“baba sina mimba,”
“usini ongopee nita jie sasa hivi”
“baba mi…”

Kabla ya kuongea chochote kitu kingine Sabrina alipokea kofi zito lililotua juu ya mdomo wake kutoka kwa baba yake huyo, ambae alimuhisi kuwa ana ujauzito, baada ya uongozi wa shule aliye kua akisoma kumueleza kila kitu, lili kua ni jambo la aibu sana kwa mzee huyo mwenye wadhiwa wake jeshini.
Alikua ana taka kujua jambo moja tu, muhusika wa mimba ile, Sabrina aliendelea kuchezea kipigo kama mwizi aliye kutwa ameiba kambini, sio kwamba alikua hajui mtu aliye mpa mimba hiyo ila aliogopa sana
kumtaja sababu alihofia kumuweka matatani, hakika hakutaka kufungua mdomo wake kumtaja kuwa ni Ramsey ndiye alimbebesha mimba hiyo, alimpenda sana Ramsey alikua yupo radhi hata apigwe na risasi lakini sio kumtaja Ramsey,
“uwiii baba ,uta niua”
“nita jie mtu aliye kupa hiyo mimba”
“simjui”
Kipigo kiliendelea mpaka mama yake Sabrina kuingilia kati lakini hakuweza kutuliza kipigo kile kikali alichokua akichezea Sabrina amabpo alianza kuvuja damu nyingi mdomoni.
“nawewe mama Sabrina akimaliza huyu mwanao nakuja kwako, msilitee upumbavu hapa”
“utamuua huyo mtoto sasa”
“afe tu, kuliko fedhea nazopata”
Kipigo kiliendelea bila kuwa na mwisho ila bado Sabrina hakuonesha dalili yoyote ile ya kutaja mpaka alipopoteza fahamu zake na kuzirai kutokana na kipigo kile kuzidi kipimo,

Hakika mama ni mama alimchukua mwanae Sabrina huku akiwa analia machozi na kumkokota mpaka hospitalini na huduma za matibabu kuanza , baada ya siku mbili aliendelea kuwa na hali nzuri huku
mama yake akitumia busara na upole ili Sabrina amtaje muhusika wa mimba ile, lakini bado haikuwa rahisi kwa Sabrina kufungua kinywa chake ilo aliapa.
“siwezi mama kumtaja, siwezi”
“kwanini sasa”?
“baba ata muuwa”
“hawezi niambie mimi siwezi kumwambia”
“kweli mama”?
“ndio mwanangu”
“ila hapana hata wewe siwezi kukwambia”
Sabrina aliongea huku akiangalia ukutani akiwa amelala kitandani , hakika hakuwa tayari kuongea lolote lile kuhusiana na mimba ile ambayo tayari ili kua na mwezi mmoja,

Baadae aliruhusiwa kutoka hospitali na kurudi nyumbani, ila bado vita kubwa sana iliendelea baina yake na baba yake, bado alikua akitaka kumjua muhusika wa ile mimba na kumu haribia binti yake masomo aliapia kuwa akimjua ata muuwa kama sio kumtoa macho au nyongo, ilikua ni kila siku ya Mungu Sabrina alikua akichezea kichapo,

Kufikia miezi mitano hali ya Sabrina ilidhofu sana uzuri wake wote ulipotea huku mashavu yakimwingia ndani, kutokana na mateso aliyo kua akiteswa na baba yake ili amtaje mwana ume aliye mpa uja uzito, licha ya mateso yote hayo hakuwa tayari kabisa kumtaja Ramsey,

Mateso yalivyo zidi aliamua kutoroka nyumbani na kiasi cha pesa cha shilingi milioni mbili ambazoba ba yake aliwekandani ya kabati, na kukimbia mbali sana ya mji huo na kuamua kupanga chumba .
hakuacha kufanya mawasiliano na Ramsey, ambae wakati huo alikua Dar ES SALAAM, alimuonea sana huruma Sabrina
“mwambie baba yako ukweli Sabrina sitaki uteseke kiasi hiko, tafadhali,acha nife tu”!
“siwezi Ramsey, namjua baba yangu vizuri, ata kuua, ila nili kwambia tangu mwanzo kuhusu kutoa hii mimba uka kataa , naomba usinilaumu kabisa”
“najua, nili kwambia usiitoe, mimi nita kuja kukuona kesho kutwa”
“sawa Ramsey nafanya hivi sababu nakupenda sana, kama ulivyo niambia hapo awali, nikutunzie mtoto wako, namimi nita fanya ivyo”
Yalikua ni maongezi kupitia mtandao wa simu ambapo Sabrina aliweza kumuelekeza Ramsey wapi alipo, siri hiyo wana baki nayo wawili tu! Baada ya siku mbili Ramsey aliingia morogoro na kumta futa Sabrina wali furahi sana siku iyo kuonana tena, ilikua ni kama hawa kuonana siku mia moja,
wali furahi na kunywa wote siku nzima , baadae Ramsey aliaga na kurudi Dar es salaam. Hakuna hata mmoja aliye jua kuwa Ramsey huenda moro goro na kurudi Dar es salaam.
Karibia kila mwisho wa wiki ili kujua hali ya sabrina,
“Ramsey pesa zile zina karibia kuisha , sijui ita kuaje na bado mwezi mmoja niji fungue”
“nita jua cha kufanya Sabrina wangu, usijali juu ya hilo”
“uta fanyaje Ramsey wakati bado una soma, pesa uta toa wapi”?
“baba ata nipa pesa za ada, tuna karibia kufungua shule, nita kutumia wewe”
“sasa wewe shule”?
“niachie mimi”
Baada ya wiki mbili kupita kweli Ramsey alitimiza ahadi yake na kumtumia Sabrina pesa nyingi , alizopewa na baba yake za mauzo ya biashara zake apeleke benki pamoja na ada ya shule ila yeye alimtumia Sabrina ili
aende hospitali akajifungue, mzee Felix baada ya kupokea habari za kupotea kwa pesa zile kutoka kwa Ramsey alimpiga na kumvunja mkono wake ila hakuwa tayari nayeye kutaja wapi alipeleka pesa zile nyingi za mauzo ya dukani, alicho mwambia baba yake kuwa aliibiwa . alificha siri nzito sana moyoni,

Miezi tisa ili fika na Sabrina kuji fungua mtoto wa kike hospitali hapo, RAMSEY hakucheza mbali alienda na kumuona mtoto wake, huku akiwa mwenye furaha sana.
“Sabrina rudi tu nyumbani kaombe msamaha alafu mimi nita kuja kwenu”
“uta kuja nyumbani”?
“ndio nitakuja kwenu”
“kufanya nini”?
“kuji tambulisha”
“, usije..RAMSEY, angalia huyo mtoto alivyo fanana nawewe, wewe mtupu”
“muongo wewe, bado mdogo sana”
“ndo nakwambia sasa”,
Waliongea mengi sana wakiwa wenye furaha sana,
Bada ya Sabrina kuji fungua salama salmin
Miezi sita ili pita yote na Sabrina kuamua kurudi nyumbani baada ya kupotea takribani mwaka mzima, alivyo fika nyumbani mama yake alimshangaa sana na kumrukia , sababu alipoteza kabisa matumaini ya kumuona mwanae, baba yake alitoka ndani na kutoamini kama aliye muona mbele yake alikua Sabrina alimfuata na kumkombatia ,

Hali ili endelea kuwa nzuri wakiishi vizuri na motto wa Sabrina ambae walimpa jina la Catherine, huku bibi yake akimuonesha kila aina ya upendo wote, kesho yake kimnya kimnya Ramsey aliiingia moro goro , kwa nia moja tu kwenda kwa Sabrina na kumuona mtoto wake, hakika yalikua ni maamuzi magumu sana,

Ili timu jioni na taratibu Ramsey alianza safari ya kwenda kwa Sabrina moyoni hakuwa na uhakika kama ange toka salama, alijua sana jambo alilokua akitaka kuli fanya lili kua la hatari sana, alipiga moyo konde na kujitosa,
baada ya kufika ali mkuta Sabrina akiwa na mama yake hakika ujio ule uli washangaza sana, mojakwa moja alini jitambulisha, baadae kidogo aliiingia mze huyo mwana jeshi ambaye Ramsey alimjua fika ni baba yake na Sabrina, alisimama na kumpa mkono aki msalimia. , ilikua ni kazi ngumu ni wapi aanzie ila taratibu alianza kujielezea kuhusu mtoto nayeye ndiye alikua baba wa mtoto aliye zaa na Sabrina, hakika lili kua ni jambo la kija siri sana.
“aaaah kijana, kumbe ndo wewe karibu sana nafurahi kuku fahamu”
Baba Sabrina aliongea vile huku akitabasamu na kumshangaza sana Sabrina hakuelewa kwanini baba yake alimpokea Ramsey kwa furaha, alijua wenda angeanza kumpa kipigo ilia ilikua kinyume,
Na alivyodhania
“karibu sana mwanangu hivi walikupa chakula ule”?
“hapana mzee nipo sawa”
“aya mi nipo chumbani, ila nakuja sasa hivi”

Mzee huyo aliondoka huku akiwa na tabasamu
“kumbe mzee mtu poa sana, hana tatizo kabisa”
Alizungumza Ramsey huku akikaa sawa na kuji tanua baada ya kupokelewa vizuri, aliona mambo yameenda vizuri sana kwa upande wake, lakini kwa Sabrina bado alikua na hofu sana, hakutaka kuamini kuwa baba yake alikuwa vile wakati alikua akimuwinda mwanaume aliye mpa mimba na leo hii kamuona, ana muachia kirahisi, .
Katika hali ya kushangaza Ramsey alimuona mzee huyo ametoka huku akiwa na bastola mkononi, ponea yake kwake ilikua sababu mlango ulikua wazi, alitoka kama mshale ulioachiwa kwa nguvu, na kukimbia mbio aliparamia geti bila hata kugeuka nyuma, alijua ange fanya ivyo, ange uwawa pale pale.

“PUMBAVU SANA. NA NINGE MUUWA, MWENDA WAZIMU. NA AMA ZAKE HAMA ZANGU, SHWAIN! “
Aliongea baba Sabrina akiwa bado na jazba nyingi sana baada ya kumkosa Ramsey, chini kwa chini Sabrina na Ramsey walikua wakionana bila wazazi wake kujua, habari izo zina mfikia baba Sabrina na kuamua kumuamisha nchi

na kumpeleka Uganda , ili akate mawasiliano na Ramsey, hapo ndipo walipo potezana na Rarmsey tangu siku hiyo hawa kuwahi tena kuwa siliana..

*******

“LEILA NAOMBA UNIACHIE Ramsey, nili teseka sana, hayo ni machache , mara ya mwisho nili umia sana, nilivyo sikia ame fariki dunia.”
Sabrina aliongea baada ya kumpa Leila stori fupi hiyo, huku akilia machozi na kumueleza ukweli kuwa alikua akisumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya ubongo,
“eeeh Mungu”
Dokta Leila alijikuta akianza kulia nay eye huku akimkombatia Sabrina, hakika ulikua ni msiba mwingine kwao, hakuwa na sababu ya kuendelea kumganda Ramsey ili mbidi achukue maamuzi magumu tu! Japo moyo wake

ulimuuma sana kukubaliana na mtokeo hayo, pia alimua kutoa mchango ili Ramsey aweze kusa firishwa kwenda india kwa ajili ya matibabu.

Wiki ili pita tayari Sabrina akiamini kuwa ame pata kiasi cha kutosha baada ya kukopa baadhi ya sehemu na kurudi Dar es salaam, alikuta hali ya Ramsey ikiwa bado ina zidi kuwa mbaya sana, aliweza kuongea kwa mbali sana.

Kway nae tayari alifika hospitali akitoa nchini Uganda baada ya kusikia Ramsey ameonekana, alifika moja kwa moja mpaka hospitalini na kumuona Ramsey ambae wakati huo alikua akimaliza kuiosma barua aliyokua imeandikwa na Marehemu Prosper,aliumia sana kusikia kuwa Prosper kajinyonga
“kway karibu sana”
“asante Ramsey, pole na kila kitu”
“nishapoa ndugu,”
Afya ya Ramsey ili dhoofu sana Kway aliligundua hilo, hakukuwa na sababu ya kuuliza mara mbili mbili kuwa Ramsey ana umwa sana, ila ili onekana ali jitahidi kuongea,
“vipi shem Joylah yupo”?
“aaah hapana,”
“hapana vipi wakati nakuona na pete ya ndoa hapo bwana Kway”
“tuliachana Ramsey, nimeoa mwana mke mwingine, ngoja nimuite umsalimie”
Kway alitoka nje na kurudi ndani akiwa na mwana mke mnene kiasi mwenye macho makubwa sana,
“huyu ndo mke wangu ana itwa Julia, ni mkongo”
“mkongo tena ana jua Kiswahili, au ndo mpaka tuanze, kuongea kilingala”?
“ndio Ramsey, ana jua Kiswahili kidogo”
“baby huyu ni frend wangu anaitwa Ramsey ni kama petit wangu(mdogo wangu), tullicheza wote na kusoma wote”
“merci, nafurahi kuku fahamu . utakua bien,”

Julia aliongea kwa rafudhi ya kikongo na Ramsey kumuomba atoke nje kidogo ili wawili hao waweze kuongea, kwa upande wa Ramsey alijua fika kuwa siku zake za kuishi zime karibia kutokana na hali yake

kuwa mbaya sana, wakati mwingine alikua akikohoa na kutoa damu, hakika alijua kifo chake kipo usoni. Ivyo nia yake ilikua ni kumuomba Kway aweze kumtunzia mali zake huku akiwa ana saidiana na familia yake,
“kway nakuomba sana, mimi nakufa muda wowote ule,. Wewe ni kama ndugu yangu, tume toka mbali sana, nina mtoto ana itwa Catherine, naomba umwangalie najua mama yake hatoweza kufanya jambo hilo peke yake, mtunze dada yangu Kway , nitunzie familia yangu”
“usiseme ivyo Ramsey, uta pona tu, niamini mimi, Mungu yupo, usisememaneno hayo”
“NO Kway,!, mimi ni mtu wa kufa, japo wame ni ficha ni ugonjwa gani naumwa, ila kupitia macho ya Loydah, najua sitopona kabisa. Nina kiwanja bunju prosper alitaka kuni tapeli, . ila naomba uhakikishe kina kua mikononi mwa

Sabrina na Catherine, kama iki tokea nikifa hata kesho, waambie jinsi gani nilivyo kua nawapenda, Kway naomba umfundishe mwanangu katika misingi ya kuipenda dini na kuwaogopa sana wana ume wana ume ni waongo sana.”
“Ramsey, usiseme maneno hayo”
Aliongea Kway huku machozi yakianza kumlenga hakika yalikua ni maneno ya kuuzunish asana , yalikua ni maneno ya kuogopesha na ya kutia simanzi,
“sikiliza sija maliza, sitaki waje kumdanganya mwanangu kama mimi nilivyo kuwa niki wadanganya wana wake wengine”
“kitu kingine Kway mw,,,”
Ramsey alishindwa kumalizia kuongea na kuanza kulalamika kichwa kina muuma sana hu ku akitupa tupa miguu na mikono kama mtu anae kata roho kushiria kua hali yake ni mbaya sana huku damu zikianza kumtoka puani..



Hali ya Ramsey ilizidi kuwa mbaya mno, na kumfanya Kway azidi kuchanganyikiwa hasa alipomuona Ramsey katulia asemi tena, moyo ulimuenda mio sana , mbio mbio alitoka na kugongana kikumbo na Loydah dada yakena Ramsey na wote kudondoka chini wazima wazima,
“kway vipi”?
“hakuna kitu”!
“hakuna kitu kivipi, mbona macho mekundu, ramsey anaendeleaje”?
“subiri kidogo”
Kway alitoka mbio mbio na baadae kurudi na daktari na kuingia nae ndani ya chumba alicholazwa Ramsey, walikua ni kama wame changanyikiwa loydah alianza kuangua kilio alivyomuona mdogo wake katulia tuli, alijua tayari mwisho wa maisha yake ume ishia hapo, kutokan na kuwa na hali mbaya sana
hapo siku za nyuma, ivyo kupona kwa Ramsey ilikua asilimia hamsini peke yake, na wala si vinginevyo, alilia machozi, madaktari wale waliwaomba watoke nje ili wao waweze kufanya kazi yao ya kujaribu kuokoa maisha yake,vile vile hata kwa madaktari hawa kua na uhakika kama mgonjwa wao huyo ataweza kuishinda hali hiyo ya umauti,

walichukua vifaa maalumu na mtungi wa gesi ya oxygen na kumuwekea puani huku wengine wakimvua shati na kumuwekea mashine nyingine ya mapigo ya moyo,

Mashine ile ilizidi kupiga kelele kuashiria kuwa mapigo ya moyo yana zidi kushuka chini,
“dokta, ana kufa huyu”
“leta hiyo mashine hapo”
“ipi hii”?
“fanya upesi. ndio hiyo hiyo”
Dokta huyo alikua akipambana kuokoa maisha ya Ramsey alichukua mashine hiyo zilizo fanana na pasi nakuzishika mashine izo ambazo husaidia kushtua mapigo ya moyo, alipasha mashine izo, na kuziweka juu ya kifua cha Ramsey
“puuu”
Ramsey alitupwa juu ila bado hali ilikua ile ile, hawa kukoma, walifanya tena, mashine ile iliyokua ikisoma mapigo ya moyo, ilianza kulia taratibu mwishowe kutulia kabisa, kuashiria kua mapigo ya moyo yame tulia hayaendi.
‘”ame kufa tayari”
Aliongea nesi huyo baada ya kuona mashine ile ime tulia, lakini daktari Yule aliipashaa tena mashine ile iliyo kua ina fanana na pasi na kuiweka juu ya kifua cha Ramsey, ila bado Ramsey alikua ametulia, tayari mapigo yake ya moyo yalikua yame simama alimuangalia nesi kwa macho ya uzuni sana, na kutikisa kichwa kuashiria kuwa tayari mgojwa wao kapoteza maisha, mapigo yake ya moyo yameasimama, maana kwamba tayari ame fariki dunia,
“jaribu tena”
Alishauri nesi kwa unyonge huku akiweka vifaa vingine pembeni na dokta Yule kutii amri ile bila ubishi japo hakua na uhakika kama kile anacho taka kuki fanya kita fanikiwa , ivyo ivyo alipasha tena mashine zile na kuzigusisha na kuzikandamiza ju ya kifua cha Ramsey.

“puuuuu , tiiii tiiiii tiiiii’”
Kwa hali ya kustaajabu sana na kushindwa kuelewa , ili kua ni kama miujiza baada ya kusikia mashine ile imeanza kutoa sauti kwa mbali kuashiria kuwa mapigo ya moyo yameshtuka hakika lilikua ni jambo la miujiza sana,
“ana maisha marefu sana huyu kijana”
“kweli dokta”!

***

Kilio kilizidi nje ya hospitali hapo kutoka kwa Sabrina hakika alijua kuwa kifo ndiko kitu pekee kitakacho mkabili baba wa mtoto wake Ramsey, licha ya kupewa moyo na Kway lakini ilikua kazi bure ilikua ni sawa na kutwanga maji ndani ya kinu, haikua kazi rahisi kumnyamazisha Sabrina wakati huo, alimuwaza sana mwanae Catherine ambae hapo baadae ata pata malezi bila baba,
“shemeji usilie, unakua una mkufuru Mungu , Ramsey atapona usijali kabisa, hawa ni madaktari bingwa”
“noo siwezi, najisikia vibaya, eeeh Mungu weeee,nini nime kukosea”
“nyamaza shemeji”
Wakati huo Loydah alikua amekaa chini sababu ya kulia na machozi yake kukauka, hakikal ilikua ni jambo la kuuzunisha sana, chumba alichokua Ramsey kilifunguliwa na daktari aliiyeeingia kumpa matbiabu hapo awali kutoka, wote walimvamia kama wana taka kumpiga.
“vipi hali yake, tuambie ukweli usitufiche Dokta”
Aliuliza Loydah
“ana hali mbaya sana, kijana naomba tuongee kidogo”
Dokta Yule alimshika mkono kway na kuingia nae ofisini kwake sababu hakutaka kuongea na wanawake wale alijua kivyovyote vile wasingeweza kuvumilia, kway alijua kuna jambo zito sana anataka kuelezwa,

Baada ya kufika ofisini mwa daktari huyo alivuta kiti kilicho kua pembeni yake na kuketi huku akifuatiwa daktari huyo nayeye kukaaa katika kiti chake, alivua miwani ya macho aliyokua amevaa na kuiweka mezani pale,
“una uhusiano gani na huyu mgonjwa”?
“ni kama mdogo wangu”
“sasa nime kuita hapa,wewe ni mwanaume, ndo maana siku taka kuwa ita hao wana wake, nikaamua kukuita wewe moja kwa moja,”
“ndio dokta”
“ngoja nikwambie ukweli huyu mgonjwa hapa hatuwezi kumtibu, huyu bwana labda msubiri miujiza ya Mungu,huo ndo ukweli, ana kansa ya ubongo, labda kidogo mumpeleke india kule kuna madaktari bingwa, wata msaidia tu kusogeza siku zake mbele, lakini hatoweza kupona nina uhakika asilimia mia, sina haja ya kukuficha kitu chochote kile, na nilijaribu sana kuokoa maisha yake.”
“umesema hawezi kupona kabisa”?
“sitaki kuku danganya, ndo maana nika kwambia labda itokee miujiza ya Mungu, lakini mimi na profesheno yangu nime nawa mikono”
Kway alishusha pumzi ndefu sana huku akiwa ana tetemeka hakutaka kuamini kuwa siku chache baadae Ramsey angeenda kufukiwa yalikua ni maneno mazito sana hakuelewa Loydah akiyasikia maneno yale angeli fanya nini, hakuelewa aanzie wapi kumueleza Loydah na SABRINA.
“lakini nakuomba, usi kurupuke kuwaambia hao wana wake, tumia busara sana”
“dokta asante sana”

Kway alitoka na kuweka tabasamu bandia ili kuwafariji Sabrina pamoja na Loydah waliokuwa wakilia hospitalini pale.
****

Baada ya wiki moja Ramsey aliruhusiwa hospitalini na kurudi nyumbani ambapo alikuaakiishi kwa dada yake loydah ki kukweli bado hali yake iliikua mbaya sana, wakati mwingine alikua akitapika damu, , daktari maalumu alikodishwa ili awe akimwangalia kila siku,

Walikaaa kikao kidogo ili waweze kuchanga pesa za kumpeleka Ramsey nchini india kwa ajili ya matibaubu, japokua kuwa Kway alikua na siri nzito lakini hakuwa tayari kuwaambia kuwa Ramsey hatoweza kupona alicho fanya nayeye alijumuika nao na kujitolea kiasi cha dolla mia nne kama mchango, Loydah na Sabrina wote walitoa milioni tano tano,na kiasi kingine cha pesa, kupewa na ndugu jamaa pamoja na marafiki..

Tayari utaratibu wa safari ulipangwa huku Ramey akitafutiwa hati ya kusafiria, kila kitu kilivyo kamilika siku hiyo, gari maalumu kwa ajili ya kubebea wagonjwa lili kua tayari lipo nje ya nyumba ya Loydah likiwa lina piga king’ola huku taa zake za juu ziki waka, Ramsey akiwa juu ya machela walimuingiza ndani ya gari hiyo na safari ya kwenda mwalimu nyerere uwanja wa ndege kuanza.
“sabri,,na”
“abee Mume wangu”
“nikifa leo naomba mwanangu umtunze vizuri, uwe jasiri. Najua uta kua na kazi ngumu sana, uli nipigania sana, nikiwa nina umwa,mimi sio wa kuishi tena, asije kudanganywa na wanaume, nakupenda sana Sabrina najua nime kukosea sana kwa kutembea na wana…..”
“usiseme ivyo baba Catherine, utapona huko una poenda kuna madaktari bingwa, wata kusaidia na utarudi katika hali yako ya kawaida”
“hujui maumivu nayo pata hapa Sabrina sitoweza kuishi, naomba kabla sijafa niongee na mwanangu”
“yupo kwenye gari la nyuma”
“sawa, tuki fika uwanja wa ndege, nataka niongee nae”
Yalikua ni maongezi ya kuuzunisha ndani ya ambulance hiyo, nyuma walikaa madaktari wengine huku pembeni akiwemo Sabrina, likizidi kuchanja mbunga kuelekea uwanja wa ndege , kwa bahati nzuri wali bahatika kupata nafasi katika shirika hilo la ndege la indian airways , ambayo ili kua inaondoka saa kumi jioni,

Magari yalizidi kupisha njia ili gari hilo linalopiga kelele liweze kuwahi kama sheria za barabarani zinavyo takiwa kufuatwa, na aliye takiwa kwenda na RaMSEY INDIA alikua ni Sabrina ambae alichaguliwa aweze kwenda nae nchini huko kwa matibabu,

Gari hilo likiwa linapiga king’ora baadae kidogo lilikua tayari kwenye maegesho ya uwanja wa ndege wa mwalimu nyerere huku wauguzi maalumu walio andaliwa kwa kazi hiyo ya kushusha machela walitokea huku wakiwa wamevalia sare zao nyepe, hakika walikua wakijua ujio wa mgonjwa huyo, Kabla machela ile kuanza kupelekwa ndani ya mlango maalumu kwa ajili ya kusafiri Ramsey aliomba kuongea na mtoto wake Catherine maneno ya mwisho sababu hakuwa na uhakika kama huko anapo enda angerudi, kutokana na maumivu makali sana aliyokua akiya sikia mwilini mwake.
“mwan..angu Catherine, nakupenda sana”
“baba kwani una umwa nini”?
“malaria mwanangu ila nita pona, ukiwa mkubwa mwanangu, mama yako ata kupa ujumbe wangu,”
“kwani wewe hautokuwepo?’, uta kua wapi, ?alafu anco kway kaninunulia saa ya BEN 10 nzuri hiyo nime iacha nyumbaniiii”
“hahaha mwanangu, kwanini hukuja nayo niione”?
“Mama kani kataza nisije nayo. Ila nawewe usi sahau kuni letea zawadi yangu, nataka zile nguo za BAT MAN zile”
“saaaaaawaa nitaaaakulee….”
Ramsey alianza kuongea kwa shida sana na kushindwa kutoa maneno vizuri mdomoni na kuanza kuhema kwa shida sana huku akionekana kuta futa pumzi na wakati mwingine kufungua mdomo ili avute pumzi,
“baba cathrine”
“naaaaaaaam”
Sarina alionesha hali ya kuchanganyikiwa sana, Ramsey alimshika mkono wa sabrina na kuubusu, kila mtu alidondosha chozi, walikua katika roho ya uzuni, hawa kujua kama ile ndo ishara ya Ramsey kuwaaga baada ya hapo ukimnya ulitawala,
jambo lili lowafnya wazidi kupata hofu, daktari mmoja wao alitoa kifaa cha kupima mapigo ya moyo, laikini alijikuta ana pima mara mbili mbili huku akiwatazama wenzake, bila kuuliza chochote kile macho ya daktari yalionesha wazi kabisa kuna hali nyingine mbaya kabisa na habari tofauti ya kutisha.
Daktari Yule alitingisha kichwa na kutoa ishara ya mkono kuashiria kuwa Ramsey amefariki dunia pale pale Sabrina aliishiwa nguvu na kudondoka chini., kutokana na habari zile kumshtua moyo wake.

Baada ya siku mbili taratibu za Ramsey kuzikwa ziliandaliwa na kuamua kuwa waka mzike makaburi ya kinondoni hakika kilikua ni kilio cha kutisha sana kwa Sabrina pengine alitamani kujiua ila hakuelewa akifa Catherine ange baki na nani na angeisi na nani,

tayari alikua amesha zimia mara tisa, alililia machozi yaka kauka yote, akiwa na cathrine wote walikua wakilia , japo alikua mdogo sana alielewa nini maana ya kifo alielewa vizuri kuwa baba yake hatomuona tena japo aliambiwa kuwa ipo siku ata kuja kumuona tena,

Safari ya kuelekea makaburi ya kinondoni ilianza huku msafara wa magari ukiwepo kwenda kuupumzisha mwili wa Ramsey katika nyumba yake milele, wana kwaya walio kodishwa kuomboleza walifanya kazi yao huku wakiwa na uzuni mwingi.
“tuli kuja kwa udongo na tuta rudi kwa udongo, ”
Aliongea mchungaji Patric huku akitupa mchanga juu ya kaburi la Ramsey, hakuna mtu aliyeweza kuamini kuwa leo hiii Ramsey amelala chini hatoamka tena
“uwiiiii Ramsey mdogo wangu, nime baki mwenyewe tulikua wawili tuuu , eeeh MUngu weee, Ramsey mdogo wanguuuu, kwanini mbona mapema ivyooo”

Kilikua ni kilio kutoka kwa Loydah huku wakipokezana na Sabrina kulia, katika hali yakushangaza Sabrina alichomoka na kuingia ndani ya kaburi na kulala juu ya jeneza la Ramsey, huku akilia na kutaka wamfukie nayeye,

vijana watatu walishuka na kumtoa ndani ya kaburi, kila mtu alimuonea huruma sana, macho yake yalikua yasha vimba na kuwa mekundu, taratibu za mazishi zili kamiliaka ila Sabrina hakutaka kuondoka, na kumuacha Ramsey akiwa amelala peke yake kaburini,
jambo ambalo hawa kutaka litokee, walimbembeleza mwishowe kukubali, ila baada ya kutembea hatua chache alichomoka na kuwa sukumiza watu waliomshika na kurudi tena kulala juu ya kaburi la Ramsey huku akilia sana…..

******* .MWISHO.********

USIKOSE MUENDELEZO WA HADITHI HIII ITAKAYO KWENDAKWA JINA LA BIKIRA YANGU…napenda kuchukua nafasi hiii kukushukuru sana


*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)

6 comments:

  1. maashallah!!!hakika hii ni story tamu miongon mwa story nilizosoma kwa kukusanya vipengele vinavyohitajiwa na msomaji ikiwemo furaha huzuni na kukusanya mafunzo lukuki ya maisha tunayoishi,hakika hii ni story kali na kwa kweli naahidi kuwa mfuatiliaji wako mtunzi kwa kila stiry utakayoitoa.thank you broo and big up for thisπŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘

    ReplyDelete
  2. dah!sijui niipe sifa gan story hii itakayoipa hadhi yake kuwa miongoni mwa stori kali zilizowahi kutungwa dunian,pongezi kwa mtunzi kwa kaz njema aliyoifanya,hakika ningepewa nafac ya kutoa tuzo kwa watunzi bac mtunzi wa stori hii ningempa nafac ya kwanza.hongera kwako broo na namuomba mungu abariki kipaji chako ili uweze kuelimisha jamii kama ulivyofanya kweenye story hii huku msomaji akiwa hatigemei kuyapata yaliojuwemo kama atatafsiri jina la stoory tuu....big up kwako mtunzii.......✋✋

    ReplyDelete
  3. Nikikaa kimya nitakua mchoyo wa fadhila,ni story nzuri sana iliotungwa kwa ufundi mkubwa sana yenye mafunzo mengi sana katika maisha πŸ™ŒkwayπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

    ReplyDelete
  4. hadithi ya kusisismua n inaelimisha oia

    ReplyDelete
  5. Jamani Mimi sio wakulia ivi dah

    ReplyDelete

BLOG