
Chombezo : Jamani AnkoSehemu Ya Tano (5)"likuneeeeeeee""lile jimama niliowaambie linalompenda joshua, sasa anataka kumuoa joshua"Aliongea mama Kipenga"weeeee acha utani""haaaaaa mie tena nina utani na nyie toka lini""enheee, ndoa lini hio""bado nime waacha wanaelewana ila lile jimama lile, linaonekana limedata kwa joshua... Mana yupo tayari...