Search This Blog

Wednesday, January 25, 2023

SITASAHAU JINSI MZUNGU ALITUTUMIKISHA KINGONO MIMI NA MUME WANGU - 4

   


Chombezo : Sitasahau Jinsi Mzungu Alitutumikisha Kingono Mimi Na Mume Wangu 

Sehemu Ya Nne (4)



 Baada ya kuweka vitu pale hotelini hatukupoteza muda moja kwa moja tulielekea hospitalini ambapo tulipokelewa vizuri sana na tukawapatia madaktari wa pale majibu ya vipimo vya moyo vilivyofanyika muhimbili basi moja kwa moja mwanetu alipelekwa kwenye vipimo vingine ili madaktari wajiridhishe kwanza na vipimo vyetu. Baadaye Nesi alitufata tukiwa tumekaa kwenye benchi mimi,Mume wangu na Mzungu kutuambia kuwa tunaruhusiwa kuondoka wote au abaki mtu mmoja kwaajili ya uangalizi. Kauli hiyo ya Nesi ilitoa mwanya kwetu tuweze kuondoka ila baada ya kauli hiyo Mzungu alifungua mkoba wake na kutoa kidiary chake kisha kutuambia. "Samahanini nisubirini kidogo" Kwa kuwa nilikuwa nahofu mara mbili huku ugenini,hofu ya kwanza ni mtoto na hofu ya pili ni huyu mzungu je ni mwema kweli au shetani.Hivyo nami nikamuaga mume wangu kuwa naenda chooni maramoja. Nikaanza kumfatilia Mzungu anaelekea wapi na kile kidiary chake. Mzungu alitoka na kile kidiary chake kwenye lile jengo linalohusika na maswala ya moyo na kuelekea kwenye Jengo lingine. Jengo lilikuwa limeandikwa kwa maandishi makubwa "Reconstrutive Urogy department" Sikuelewa maana yake kwasababu lilikuwa ni neno gumu la kingereza kwangu Licha ya baadaye nilikuja kugundua hiyo department inahusihana na mambo ya viungo vya ngono ninaposema viungo vya ngono si maanishi mfumo wa uzazi bali hii department inajihusisha mambo ya kuvibadilisha viungo vya ngono kwasababu wakati namfatilia Mzungu kwa nyuma nilijaribu kusoma kila mlango ambapo ndo ilikuwa sub department ili niweze kuelewa hiyo department inahusu nini ndipo nikaona vitu kama "Transgender health and Surgery" yahaani hiki kidepartment kinahusika na wale jamaa madume jike lakini mzungu alikipita hiko kidepartment,Vipo videpartment vingivingi Ila Mzungu akaingia kwenye department moja imeandikwa "Penile implant surgery" yahaani inahusu mambo ya uume tu kukuza na vitu vingine hapa Mzungu aliingia ndani nami nikapata hofu anaenda kufanya nini huyu. Basi ikanibidi nami niingie ndani nimuone huyu Mzungu anaelekea wapi akaingia Kwa daktari mmoja na kuanza kuongea naye huku akiwa amekitoa kidiary chake. Baada ya maongezi yao yaliyodumu kama dakika tano hivi Mzungu akatoa peni yake na kuandika vitu fulani alafu akachukua simu yake kupiga mahesabu. Mimi muda huo nilikuwa Kwa nje namchungulia tu ,uzuri wenyewe mlango ni wa kioo hivyo ni rahisi kuona yanayoendelea ndani. Baada ya kumaliza kuandikaandika Mzungu alitoka nami nikawa siwezi kukimbia ili asinione hivyo ilibidi nijifiche palepale karibu na mlango. Basi alitoka huku akipiga kichwa chake na mkono wake huku akijisemea "Woow,So expensive I didn't expect it,But it will pay me back". (Woow ni gharama mno sikutegemea lakini itanilipa) Mzungu alitoka nami nikamfata nyumanyuma na kunasehemu aliamua kusimama ili kupiga simu mimi nikampita nikarudi kwenye wodi yetu. Mzungu alirudi tulipokuwa tumekaa nasi tukamsikiliza maana yeye ndo muamuzi wa kila kitu pale. "Frank ,utabaki na mtoto sawa, Acha sisi twende tukanunue baadhi ya mahitaji ya mtoto tutarejea kesho" Mzungu akazama kwenye pochi yake nakutoa takriban Dola elfu tatu na kumkabidhi mume wangu. "Hii itakusaidia Kwa mahitaji yako binafsi kama chakula na kadhalika, Chakula cha mtoto hospitali yenyewe itashughulikia". Mume wangu alikipokea kile kiasi na kushukuru kisha Mimi na Mzungu tukaondoka njiani nikamuuliza Mzungu "Hukuona kuwa mimi ndo nastahili zaidi kubaki pale hospitali Kwa kuwa ni mama". Mzungu akatabasamu huku akiniangalia kwa jicho la huba na kusema maneno utafikiri kabanwa pumzi "Nikuwa natamani tu ,Leo tuogeshane tena mpenzi wangu"


Mzungu aliendelea kujichekesha huku mimi nikimuwazia mengi huyu mzungu ana nia gani? Kwanini aende kwenye kitengo cha mambo ya ngono hasahasa Ile department ya kukuza uume? Yeye ni mwanaume? hapana. Sasa kule kaenda kutafuta nini? Na kwanini baada ya kutoka akune kichwa kwa kudai kuwa ni gharama sana ila itamlipa.Kichwa changu kilijikuta kimetawaliwa na maswali mengi yasiyo na majibu wakati tunaelekea hotelini. Hotelini na hospitali sio mbali hivyo tulitembea Kwa mguu tu na haikupita dakika tano tukawa tushafika hotelini. Moyoni nilijua tukio linaloenda kutokea dakika chache zijazo ila sikuwa na jinsi wala ujanja wowote wa kuzuia hilo tukio lisitokee. Tuliingia chumbani ambapo kabla sijakaa vizuri Mzungu alinipa mate hapohapo na kuniangushia kwenye kitanda,Ambapo yeye akaja kwa juu kunyonya lita za kutosha za mate yangu. Kwakweli si kuwa na namna ya kumzuia mzungu bali nikumruhusu aendelee tu na kile anachokifanya ila roho iliniuma sana nikajikuta nadondosha machozi. Mzungu aliyashtukia Yale machozi akaniuliza. "Baby uko sawa kweli" Nikamjibu. "Niko sawa"

Mzungu aliacha kuendelea na zoezi lake kisha kupiga simu mapokezi watuletee chipsi kuku mbili na wine. Baada ya muhudumu kuleta vyakula. Nilifikiria kuwa tunaanza kula chakula kwanza ila chaajabu nilimuona Mzungu akivua nguo zake zote kisha akanifata na kunibusu usoni na kuanza kunivua nguo zangu,hapo ikabidi nimuulize "Ana Maria nilifikiri tunakula kwanza" akajichekesha huku akiniangalia Kwa macho ya huba akatoa ile sauti yake ya kama amekabwa na maji kooni. "Tunaoga kwanza baby we ulifikiria tunaanza kufanyaje" Aliniambia hayo huku akinisogelea na kuanza kuidondosha nguo yangu moja badala ya nyingine macho yake yalikuwa bado yananiangalia usoni yahaani ananitamani balaa. "Baby we ni mzuri sana" Alinisifia huku akiwa kashadondosha nguo zangu zote chini kisha akanivuta na kunikumbatia tukaelekea bafuni huku tumekumbatiana Kwa kweli sikupenda nifanye haya yote ila sikuwa na jinsi bali ni kumridhisha tu Mzungu na sikutaka kuonyesha upinzani wa aina yeyote kwake kwasababu nilitamani kujua huyu mzungu ana mpango gani na sisi. Nilijua wazi kuwa kama nitaonyesha hali ya kupinga basi ninaweza nikaharibu mambo yakawa mabaya zaidi yalivyo. Basi tulifika bafuni huku tukiwa tumekumbatiana vilevile huku Mzungu akizidi kuniangalia kimahaba. "Baby Leo tuoge kwenye jakuza" Mzungu aliniambia mara baada ya kufika bafuni alafu akafungulia maji ya uvuguvugu yakajaa kwenye jakuza kisha akachukua sabuni ya maji akamiminia kwenye jakuza.Jakuza lote likawa na maji ya mapovu kisha tukaingia ili kuoga.Jakuza lilivyo Kwa watu wasiojua ni kama beseni fulani hivi refu ambalo limetengenezwa na zege ,Urefu wake mtu anaweza akaingia na akalala hivyo Mzungu alikuwa wa kwanza kuingia kwenye jakuza nami nikamfata.Ila nilipoingia tu Mzungu alikuja kwa juu yangu huku akiniangalia kimahaba na kuniambia. "Baby tuogeshane". Taratibu nikamuona ananipapasa Kwa malengo ya kunisugua kwenye maungo yangu ya mwili nami pia sikutaka kumuangusha nilianza kumpapasa taratibu huku nikitumia mapovu ya kwenye jakuza. Mpapaso ulikuwa ni mkali mno ndani ya jakuza Mzungu alinishikashika kila sehemu hatarishi ya kuleta nyege huku nami nikijitahidi kujibu mapigo kwa kumshikashika naye kila sehemu hatarishi ya kumletea nyege mwisho wa siku nikajikuta siwezi hata kunyanyua mkono nimezidiwa mno na nyege basi Mzungu akanipiga mate hapo nikajisahau kabisa kama nipo ulimwengu huu kwa maraha. Mzungu alinitoa kwenye Jakuza huku nikiwa sijiwezi kwa nyege yahaani natamani hata kuanguka maana kutembea siwezi mpaka kwenye bomba la mvua ambapo alinimwagia maji ya kunitoa sabuni kisha naye akajimwagia maji ya kujitoa sabuni kisha tukarudi chumbani ambapo Mzungu hakunipa nafasi ya kukaa hata kula chakula kwani alijua nishazidiwa na nyege basi akanitupia kitandani alafu yeye akaja kwa juu alichokifanya moja Kwa moja nikutanua miguu yangu na kupitisha ulimi wake katikati hapo akanivuruga kabisa nikajikuta naanza kutoa vilio vya mahaba


 Kiukweli alinivuruga sana alipogusa eneo hilo kwa ulimi hasa ukizingatia toka nizaliwe sijawahi kabisa kuguswa eneo hili kwa ulimi basi nikajikuta nakishikilia kichwa cha mzungu kisitoke eneo lile maana nilijikuta nimepagawa kwelikweli. Haikupita hata dakika tano nikajikuta nishafua dafu na hapo ndo akili yangu ya ubinadamu ikaanza kunijia nikakumbuka kuwa hapa tuko ulaya na huyu Mzungu anachokiwaza kichwani mwake sikijui hivyo yapaswa kuwa makini,Ila sikutaka kumuonyesha hali ya utofauti huyu Mzungu nami niliamua kumpa burudani aliyonipa huku nikiongezea mbwembwe kidogo kwa kumnywesha mvinyo wa wine uliyoletwa na muhudumu. Mambo yalikuwa ni bambam na Mzungu naye akawa ameridhika na huduma niliyompatia. Baada ya hapo tulikula huku mimi nikijaribu kumuonyesha mahaba zaidi Mzungu Kwa kumnywesha wine. Nilihakikisha kalewa chakali huku mimi nikiwa mkavu sijaonja hata glass moja ya wine. "Baby mbona hunywi?" Sauti ya ulevi ya Mzungu akiniuliza kwanini sinywi pombe nami nikamjibu. "Nakunywa ,Sana kwani huoni,Alafu" Kabla sijamaliza nikamuangalia Mzungu ,kumbe alikuwa kashapitiwa na usingizi basi nikamlaza kitandani alafu kazi ikawa ni moja tu kukitafuta kile kidiary chake kwenye mkoba wake. Zoezi la kutafuta diary ya mzungu halikuwa gumu kwani mara moja niliipata kwenye mkoba wake na kuanza kupekua ndani ya Ile diary yake. Diary ya Mzungu ilinishangaza kidogo kwasababu alikuwa akirekodi kila aina ya gharama anayoitumia yahaani Mzungu anaishi Kwa mahesabu makali kwani ndani ya hiyo diary nilishangaa kuona amerekodi nusu dollar gharama ya usafiri kutoka chakechake kwenda chakechake uwanja ndege hii ilinishangaza kuhusu huyu Mzungu maana yeye ana pesa nyingi Ila chaajabu anarekodi mpaka shilingi elfu moja ya kitanzania. Hivyo nikajikuta nipo very interested kuhusu kile kidiary chake na kuanza kuacha kumfikiria mabaya hata nikikutana na matumizi yetu aliyoyarekodi ,ndani ya hicho kidiary kunasehemu aliandika future expenses (Yahaani gharama zijazo) basi nikaanza kupekuwa katika zile gharama zijazo pia katika zile gharama zijazo nikakuta kunazingine kazipigia tiki yahaani kashazifanya. Ila kunagharama ambazo zilianza kunishangaza kuhusu huyu Mzungu ni gharama ambazo alizitabiria miezi miwili kabla ya safari yake kuja Zanzibar (Sex with four Blackman ,tall and handsome) hii aliipigia tiki alafu akajumuisha Kwa pamoja akaandika Fail to get suitable (Yahaani amefeli kumpata anayefaa) Basi nikazidi kusonga mbele nikakuta nikaangalia tarehe za alipoandika fail to get suitable na tarehe aliyokutana na mume wangu zimepishana tarehe mbili hivyo nikapata picha kidogo nikarudi kule kwenye matumizi ya kawaida nikakuta "Unexpected black handsome not in my plan" kaorodhesha gharama kidogo nikarudi huku kwenye future baada ya wale blackman nikakuta (Sex with Bigboot and beautiful lesbian in Zanzibar) yahaani (Kufanya ngono na msagaji mzuri na mwenye makalio makubwa Zanzibar) Ila kwa mbele kaandika Fail to get suitable (Amefeli kumpata anayefaa). Nilipozidi kusoma nikakuta "Unexpected beautiful lady with Bigboot but not lesbian" (Mwanamke mzuri mwenye makalio makubwa ila sio msagaji) Kwa mbele nikakuta sasa ameanza kuorodhesha gharama zangu hadi zile za muhimbili ,mpaka Ile milioni moja na gharama zingine kibao ikiwemo operations ya moyo. Hii ikanipa wasiwasi kuhusu huyu Mzungu nikazidi kupekuwa nikakuta "micro camera installment cost" Yahaani gharama za kufunga kamera ndogo hii ikanipa mshtuko inamaana hizo kamera zimefungwa wapi maana ameshapiga tiki katika hizo gharama nikajikuta nairudisha Ile diary harakaharaka Kwa kuhofia naonekana na kulala huku nikijifunika shuka gubigubi. Kwa kweli siku hiyo sikufanikiwa kulala vizuri kwani kichwani nilijawa na mawazo tele kuhusu huyu Mzungu ana mipango gani na sisi maana kwa mujibu wa diary yake inaonyesha alitoka ulaya kuja Afrika Kwa mpango maalum kabisa.Kututafuta watu kama mimi na mume wangu hivyo mambo yote yanayoendelea sio kwamba Mzungu anatusaidia bali anatekeleza mipango yake. Niliwaza sana siku hiyo na nikajikuta nakosa usingizi ikabidi niigugudue ile chupa ya wine ndipo nikapitiwa na usingizi



Asubuhi nilipofumbua macho tu nikakutana na uso wa Mzungu huku akitabasamu na kunishikashika nywele zangu. "Baby umenifurahisha sana Jana" Mzungu alisema hayo huku akinibusubusu.Mimi nikabaki namuangalia tu namshangaa. "Leo nataka unisindikize sehemu amka ujiandae twende" "Hatuendi hospitali?" Ilibidi nimuulize maana nilitarajia baada tu ya kuamka safari ingekuwa ya kwenda hospitali. "Tutaenda baadaye,Huku ni tofauti na kwenu huku muda wowote unaruhusiwa kwenda kumuona mgonjwa Ila wakiwa wanahitaji kumuhudumia mgonjwa ndo watakwambia ukae Kwa nje" Jibu lile la Mzungu lilinitosheleza ,basi tukajiandaa na kutoka

Tukatoka tukachukua usafiri wa taksi kuelekea huko anapotaka kunipeleka ,Sikujua ni wapi ila nilijitahidi kuangalia mazingira ya nje ili kusoma mazingira ya mji maana nilijua mbele ya huyu mzungu muda wowote mambo yataharibika. "Rosemary angalia,Umeiona Studio ya Hollywood" Mzungu alijifanya mchangamfu kunionyesha sehemu mbalimbali za jiji la Los Angeles. Basi hatimaye mwendo wa masaa mawili kupita tukiwa ndani ya taksi tulifika kwenye duka moja kubwa ilibidi nilisome hilo duka limeandikwaje. lilikuwa limeandikwa Amor Lingerie Sex shop bila shaka hili ni duka linalouza bidhaa za ngono namaanisha linajihusisha kuuza midoli ya ngono (Sex toys) nikajikuta najisemea kimoyoni. "Mama yangu balaa gani hili". Tulishuka mimi na Mzungu kwenye taksi huku mimi nikisoma baadhi ya maandishi mengine ambayo yapo kama tangazo la kuvutia wateja kuingia ndani ili kununua bidhaa maandishi yalikuwa yameandikwa (Good dream begin with organism) Yahaani ndoto njema huanza na kufika kileleni. Duka lilikuwa kubwa kwa kweli na wateja wengi walikuwa ni wanawake na wanaume wenye asili ya ushoga. "Rosemary nataka tukioana tufurahie maisha na hapa ndipo kuna bidhaa bora kabisa duniani za kufurahia maisha". Mzungu aliyasema hayo wakati tukiingia dukani huku mimi nikibaki na mshangao tu maana siamini kinachoendelea pale dukani. Wateja wengi niliwashuhudia wakichukua bidhaa moja tu na kuondoka ,Ila hali ilikuwa tofauti kidogo Kwa upande wetu kwani Anamaria alikuwa anachukua kila aina ya sample iliyopo hapo dukani hali hii ilinitisha kidogo ikabidi niulize. "Mbona unachukua bidhaa zote sasa mi nilitegemea utachukua tu mdoli mmoja wa kiume na kuondoka?". "Kila moja ina raha yake,Kwa mfano hii inaitwa Complete le wand Pleasure set ,Hiki kiboksi unapata seti nzima ndani yake kuna kuwa na kimpira ambacho kama uume ukikingiza kingine kinabaki kusisimua juu ya uke ,pia kuna vibration ya umeme ambayo itakusisimua juu ya uke, Lazima ufurahie baby". Mzungu aliongea huku akitabasamu na kuichukua bidhaa kuipaki kwenye mfuko. Bado tukawa tunaendelea kuchukua bidhaa ,Ajabu nikamuona Mzungu anachukua toy za kike na kupakia kwenye mfuko ikabidi nimuulize. "Hizo toy za kike za kazi gani tena Anamaria?" Nikamuona anajing'atang'ata hana la kusema alafu akasema. "Hizi ni zawadi kwaajili ya binamu yangu". Nikamuangalia machoni alikuwa anajichekeshachekesha tu ni wazi huyu Mzungu ni muongo. Wakati tunaendelea kuchukua zile dildo (Midori ya ngono) ,Mara ghafla simu yake ikaita namba ilikuwa imeseviwa Manager akaipokea na kusogea pembeni ili nisisikie mazungumzo yake.Nami nikajiongeza kumfata alipo ilinisikie mazungumzo yake. "Yeah ,She is very cute,black beuty with Brazilian boot if you come to Amor shop you will see her"(Ndio ni mzuri,weusi wa kuvutia na anamatako ya kibrazili kama utakuja Amor shop utamuona) .Mzungu alisita kidogo kisha akaendelea "I was in Zanzibar I couldn't find suitable one ,black handsome man with long and fat dick atleast I have someone black handsome man with long dick but thin dick but don't worry I will convince him to do surgery"( Nilikuwa Zanzibar lakini sikufanikiwa kumpata anayefaa mwanaume mweusi mzuri mwenye uume mrefu na mnene lakini bora ninaye mwanaume mmoja mweusi mzuri mwenye uume mrefu lakini ni mwembamba Ila usijali nitamshawishi afanye operation). Hapo moyo ulilia paaha nusu nizimie yale maongezi ya Mzungu.Kwani maongezi yote alikuwa anatuzungumzia sisi mimi na mume wangu.Na huyu mume wangu ndo wamemkusudia kumfanyia upasuaji wa uume kabisa ili kumuongezea ukubwa wa sehemu zake nyeti, Yote hayo Mzungu anafanya Kwa kazi gani basi nilijikuta naenda chini kwa presha nakuzimia papopapo



ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG