Search This Blog

Monday, March 23, 2020

ABEE SHEMEJI SEHEMU YA 9/10


ABEE SHEMEJI
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 9 KATI YA 10
*******

Mapenzi ya kweli aliyokuwa nayo moyoni ilimfanya ndani ya sekunde tatu afike mshindo lakini hilo halikufanya mechi hiyo iishe!Hajrath alikuwa bado mwenye kiu ndiyo maana akashika koki ya bomba vizuri na kuendelea kukizungusha kiuno chake ili afike tena kileleni.Lakini kabla ya kufika
akahisi ni lazima Ahmed angemuishia njiani alichokifanya ni kuanza kujitomasa chuchu mwenyewe,akageuza shingo na kuomba mdomo,jambo hilo halikuwa na kipingamizi kabisa wakaanza kulana madenda!Alikuwa ni kama ametabiri,Ahmed akaanza kuguna ndani kwa ndani, dalili hiyo akaijua nayeye akazidi kukizungusha kiuno chake zaidi huku akitaja maneno kama ‘Baby don’t leave me,ilove you’hazikupita hata sekunde tatu,Ahmed akamganda Hajrath kwa nguvu zake zote kisha kutulia!
“Thanks baby”(Ahsante Mpenzi)
Hajrath akasema kisha wote wakarudi kati ambapo hapo bomba la mvua lilikuwa linatoa maji,wakaoga na kurudi chumbani ambapo huko pia Hajrath alianza uchokozi wake,bado alikuwa mwenye mizuka!Alichokifanya ni taratibu kuanza kuchua tango,akaona haitoshi akajisogeza taratibu na kuanza kulilamba!Hakutofautishwa na mtu anayelamba koni,hazikupita sekunde nyingi tango taratibu likaanza kusimama hapo akapata nafasi ya kuliingiza mdomoni na kulinyonya!
Hiyo ilimpa tabu sana Ahmed,akawa hajiwezi kabisa mwili wake umekufa ganzi sababu mdomo wa Hajrath ulikuwa laini na hakuelewa ni kitu gani anafanya sababu aliihisi tango lake kama lipo ndani ya kitu chenye joto kali sana,hiyo ikamuongezea mizuka!Hata hivyo,hakutaka kuonekana mzembe alichokifanya ni kuchukua mkono wake na kuupeleka kwenye mgodi wa Hajrath ambapo baada ya kugusa akaona umelowa yaani kuna kama vimajimaji vyepesi na laini,akajua nini maana yake!Akamvuta Hajrath kwake,wakaanza kupigana mabusu,hakutaka kuchelewa akampandia juu yake,akachukua mguu wake mmoja akauweka begani kwake,mashambulizi yakaanza!Haikujulikana kama Hajrath alikuwa anafanya kusudi ama ndiyo utamu kunoga kwani alipiga kelele nyingi huku akilalamika Ahmed kwanini alimuacha!
“Ahmeed..Nakupenda…Please usinisalitiiiii,usiniache tena aaah shss aaaah”
Hajrath alijikuta anaropoka mwenyewe,kila kitu kwake kilikuwa burudani na jinsi Ahmed alivyomkunja alimkubali sababu alikunwa ipasavyo!
“Siwezi Baby,nakupenda”
“Hata Mimiii Ahmed,yeees yeees”
Mambo yalikuwa aste aste na kila mtu,alifurahia siku hiyo!Ndani ya dakika arobaini na tano wakawa wamekata kiu zao ingawa hawakuwa na uhakika kama wangeendelea kwa mara nyingine!
“Nakupenda Ahmed”
Hajrath alizungumza akiwa kifuani kwa Ahmed,alijihisi ni mwanamke mwenye bahati sana!Akiwa kitandani,aliwaza vitu vingi sana hata hivyo kuna kitu alitaka kumueleza Ahmed lakini akaupiga mdomo wake ‘Stop’ kwanza!
“Hata mimi mke wangu”
“Nahitaji kuishi nawewe,for the rest of my life”
“Napenda iwe hivyo”
“Kuna jambo nataka nikwambie”
“Jambo gani?”
“Upo tayari lakini?”
“Nipo tayari mpenzi wangu”
Hapo Hajrath alitulia,akitafakari jinsi ya kuliweka wazi, hakuelewa Ahmed angelipokea vipi, akatulia kidogo na kushusha pumzi nzito!
“I’m pregnant”(Nina mimba)
Mapigo ya moyo ya Ahmed yakapoteza uelekeo,hakuelewa afurahi ama achukie lakini jambo hilo halikumshtua sana!Akabaki anamtizama Hajrath kana kwamba kaambiwa kitu cha kawaida kabisa.
“Una mimba?”
“Ndio baby”
“Ya nani?”
Swali hilo halikumuumiza sana kichwa Hajrath alishaelewa nini maana yake,bado Ahmed alikuwa ameathirika kisaikolojia baada ya kubambikiwa watoto sio wake,hivyo ilihitajika nguvu kubwa kumuaminisha!
“Tangu niachane na Dokta sikuwahi kufanya mapenzi kwa miezi kumi sasa mpaka nilivyokutana nawewe”
“Ukiwa una maanisha nini?”
“Ni mimba yako baby”
Hapo Ahmed hakutia neno lolote lile,alichokifanya ni kutizama juu,akitafakari vitu chungu mzima!Aliwaza jinsi alivyokuwa analelea watoto mapacha Faad na Faisal,akiwapa mapenzi yote wakati mwingine akijinyima lakini mwisho wa siku akaja kugundua uhuni wa Yusrath,bado alilikumbuka pigo hilo la kigaidi!Hata hivyo,hakutaka kuamini moja kwa moja akawa vuguvugu,sio baridi sio moto.
“Hongera Mke wangu,ya muda gani?”
“Wiki tatu”
“Inabidi tujipange”
“Ndio kitu ambacho nilitaka kukwambia”
Hajrath akaanza kuweka mikakati ya ujasiriamali,akatoa nyenzo zote na mipango itakavyoenda!Alivyochomekea biashara ya ufugaji wa Kuku Ahmed akakunja sura.
“Hapo umesema Kuku?”
“Ndio Baby”
“Asa ndio biashara gani kichaa hiyo?”
“Sio biashara kichaa Mme wangu”
“Utawafugia wapi?”
“Nitatafuta sehemu”
“Wapii?Wapi?Waaapi?Sema”
“Kuna binamu yangu ana shamba kubwa,nitamuomba aniazime kwa muda”
“Ayaa”
Ahmed hakuwa na jinsi zaidi ya kukubali lakini kishingo upande hivyohivyo!Kutokana na kelele za Hajrath na ubishi wake ikabidi akubali tu ili mambo mengine yaende.
“Mungu wangu,maharage yanaungua”
Hajrath akachomoka,akavuta kanga na kutoka kwa kasi mpaka mlangoni ambapo alipitiliza mpaka jikoni,akaongeza maji kwenye maharage!Akarudi kwa Ahmed na kuendelea kumueleza mikakati yake tangu atakavyoanza mpaka kumaliza!
“Kila la kheli baby”
“Ahsante”

*******
Hali yake ilihimarika tayari,akarudi katika ukakamavu wake kama hapo awali ingawa mara ya kwanza ilimpa shida kidogo kwani alihisi maumivu kwenye mkono wenye jeraha la risasi,hata hivyo aliendelea na mazoezi na baada ya wiki moja kukatika akaruhusiwa kurudi ofisini!Jambo alilolifanya ni kulichukua faili la Florian Fredrick akaliweka mezani kwake,bado alikuwa mwenye usongo naye akiamini kwamba nyuma yake kuna watu hatari ambao walitumwa kumuuwa, hivyo bila kuwathibiti ingegharimu maisha yake yote!Hakutaka kupoteza muda akachukua bastola yake iliyojaa risasi na kuiweka kiunoni,akafunika na shati kisha kuingia kwenye chumba kimoja kilichofanana na maabusu ambapo humo Florian Fredrick aliingizwa kwa ajili ya mahojiano maalum kwani kesi yake ilikuwa ya kiusalama zaidi.
“Meki,nipishe kidogo”
Mzee Kajeme alizungumza akimwambia mlinzi aliyesimama kumlinda Mtuhumiwa Frolian Fredrick!Mzee Kajeme alikuwa ni mzee mrefu,mwenye mvi chache kichwani,katikati alikuwa ana uwalaza siku zote mzee huyu alijipenda ndiyo maana alizichonga nywele zake vizuri,siyo hivyo tu.Kwenye kuvaa alijua kujipangilia,shati zuri la kijivu ambapo kwenye mfuko aliweka peni,saa kali ya gharama na suruali ya kitambaa iliyonyooka vizuri,iliendana na moka iliyochongoka aliyovaa na muda wote ilipigwa kiwi!Kitendo cha kufika na kumtizama Frolian Fredrick kilimpandisha mashetani ya kwao!Taswira ya mbaya ya kupigwa risasi na kuvamiwa kwake ilimfanya amuangalie mtuhumiwa huyo kwa macho makali kama chui,hakuongea kitu zaidi ya kukaa kiti cha pembeni!
“Leo,sitaki kuuliza vitu vingi.Nachotaka kujua,nani yupo nyuma ya tukio la mimi kuvamiwa mpo wangapi,nani anawapa oda?”
“Nilishakwambia sijui chochote kile”
“Wenzako wote,wameniambia wewe unajua!Sitaki kukufanya nilichowafanya,niambie kwa hiyari yako”
“Sijui”
Florian Fredrick,alijibu kiburi akaangalia chini.Hiyo ilimfanya Mzee Kajeme asimame na kutoka nje,ambapo alivyorudi alikuwa ameshika sindano tano za kushonea nguo!
“Utaniambia leo”
Kuendelea kumchekea Frolian Fredrick,ingekua ni hatari kubwa alichokifanya ni kumvuta na kumtoa kwenye kiti akamzabua kofi moja la shavu,akamuweka sawa na kumvua mkanda akamvua suruali!
Kwa mara ya kwanza hakuelewa ni adhabu gani inaenda kutokea lakini aliogopa zaidi baada ya boxa yake kuvuliwa,kwa kuwa alikuwa ana kamba mikononi hakuweza kuleta upinzani wa aina yoyote ile!Akavutwa karibu na meza,koki yake ikashikwa Mzee Kajeme akachukua sindano na kuanza kupenyeza katikati ya tundu dogo linalotoa mkojo,kelele alizopiga Florian hazikuwa na mfano wake,alilia kama mtoto mdogo mzee huyu alikuwa ni mnyama mwenyewe roho ya kipekee!Kuna mateso mengi Florian alishawahi kupitia lakini hiyo ilikuwa kubwa kuliko,sindano ikazidi kuingizwa kwenye haja ndogo!
“Naaasemaaaa,Sporah treveeeeez”
“Ndio nani?”
“Madam,ndiyo anafan…ya kila kitu”
“Anapatikana wapi?”
“Yupo South Afri…..ca”
“Nataka aje hapa Tanzania”
Kuendelea kukaa kimya ilimaanisha sindano nyingine ziingizwe,hiyo ilimfanya atoboe siri zote!Sindano ikachomolewa akakalishwa juu ya kiti huku bado akihisi maumivu makali mno kwenye mfumo mzima wa kutoa haja ndogo!
“Sio rahisi”
Hapo Mzee Kajeme,alisimama!Akatembea mpaka kwenye moja ya draw kisha kutoa simu ya Florian Fredrick,akaiwasha na kuiweka mezani!
“Mwambie aje Tanzania,upo huru Umetoroka kituo cha polisi”
Simu ilivyopigwa,ikawekwa loudspika!Haikuchukua muda mrefu ikaanza kuita,ilivyopokelewa upande wa pili sauti nyororo ikaenea chumba kizima!Florian Fredrick,akazungumza kwenye simu kwa sauti ya chini.Sporah Trevez,alibabaika kidogo kwani licha ya kufanya kazi wote lakini walikuwa ni wapenzi.
“Baby please njoo,siwezi kutoka sina pasipoti!Nimetoroka”
“Tiger yupo huko,namwambia aje kukufata”
“Naomba uje wewe Darling”
“Upo sawa?”
“Yes,nipo sawa!Ilove you”
“Nitakuja kesho,tutaondoka na Meli sawa mpenzi”
“Nakupenda”
Hakua na jinsi lakini moyo ulimuuma kwa kitendo cha kumuuza mpenzi wake,baada ya maongezi hayo simu ikakatwa akarudishwa maabusu,kilichofuata hapo ni Mzee Kajeme kupiga simu kwa watu wake wa kazi ili awapange watege mitego uwanja wa Ndege kesho yake,wamtie chini ya ulinzi Sporah Trevez!

*******
Hajrath hakukata tamaa,ndoto yake ilikuwa palepale kufuga kuku wa mayai na nyama.Kilichomfanya apate changamoto ni jinsi ya kupata mtaji wa kuanza biashara hiyo!Aliamini siku zote haba na haba hujaza kibaba,kupitia biashara yake ya kuuza chapati aliweza kukusanya shilingi elfu sabini,akaona bado akaendelea tena kila siku!Kwa kua alitaka pesa ya haraka,ilibidi aanze kusambaza mitaani asubuhi na mapema!Alikutana na visa vingi sana vya wanaume kumtongoza na wengine kumshangaa iweje mrembo kama yeye auze chapati!Hakujali wakati mwingine alikutana na marifiki zake aliosoma nao,hakuona aibu kusema ndiyo biashara yake huku moyoni akijuwa ni kitu gani anakifanya!Wengine walimcheka na kumbeza,wakamdharau wakiita ni biashara ya kimaskini na anapoteza muda wake bure!Kwake akaichukulia kama changamoto ikawa ni sawa na kumpiga chura teke.
Ndani ya mwezi mmoja akafanikiwa kupata kiasi cha shilingi laki na sabini,pesa hiyo ilikuwa ni siri kubwa sana kwake hata Ahmed hakujua lolote!Na ili asisumbuliwe na wazazi wake kurudi rudi nyumbani ilimbidi adanganye kwamba amesafiri hayupo mkoani Dar es salaam,akawa huru na biashara hiyo!Siku moja,akiwa varandani asubuhi na mapema Ahmed ameondoka akasikia mziki mkubwa wa redio,nje ya geti bila shaka mziki huo ulilia ndani ya gari,ghafla ukazima geti likaanza kugongwa!
“Kariiibu”
Hajrath,akasimama akaweka kanga vizuri kwa kuwa walipanga nyumba nzima peke yao hakuwa na sababu ya kuvaa manguo mengi mengi,ndani alivaa chupi na kanga nyepesi basi!Akatembea mpaka getini,akalifungua!Macho yake yakakumbana na kijana mmoja mrefu wa wastani,mweupe sharobaro,shingoni amevaa cheni,jeans ya kumbana na fulana ya kijivu.Sura hiyo haikuwa ngeni,akajaribu kukumbuka aliiona wapi lakini hakupata jibu la harakaharaka!
“Mambo”
Jamaa huyo Sharobaro,akasalimia huku akimthaminisha Hajrath kwa mtindo wa kumpandisha juu mpaka chini.
“Safi”
“Broo,yupo?”
Hapo ndipo akapata jibu la swali lake mtu huyo alikuwa na undugu na Ahmed,lakini bado hakupata jibu alimuona wapi.
“Ametoka”
“Nimeongea naye,kasema yupo njiani anakuja”
“Karibu”
Hajrath akafungua geti ili sharobaro apite,alivyoingia akapata muda wa kumuangalia vizuri,alikua ni kijana anayejipenda msafi na anayeenda na wakati lakini kitu kilichomkera kutoka kwa jamaa huyo ni kushusha suruali kwenye makalio yaani ‘kata k’ Hajrath hakupendezwa kabisa na mtu wa namna hiyo,licha ya hilo hakutaka kuhoji chochote.
Wakatembea mpaka varandani,akawa wa kwanza kupita,hiyo ilimfanya sharobaro huyo agune kidogo kwani garika aliloliona nyuma ya Hajrath lilimfanya apigwe na bumbuazi,akahisi kama koo limemkauka!
“By the way,naitwa Kassim!Sijui,wanakuitaje wenzako?”
Kassim,alizungumza kwa swaga huku akiwa amebenua mdomo analamba ‘lips’ kwa mikogo ya kinyamwezi.
“Hajra”
“Una jina zuri,alafu sura yako sio ngeni.Kuna mahali nimekuona!Hospitali,broo alivyokuwa anaumwa.Uongo, kweli?”
Hapo ndipo Hajrath akapata jibu la kitendawili chake,ni kweli sura hiyo aliiona hospitalini kipindi Ahmed anaumwa.
“Ndiyo mimi karibu ndani mwaya!Napika pika chapati hapa”
Hajrath akachangamka kidogo,akampita Kassim kwa mbele mpaka kwenye rimoti,tukio hilo lilimfanya Kassim ameze mate ya uchu,akakiri tangu azaliwe hakuwahi kuona msichana aliyeumbika sekta zote kama Hajrath!


Moyo wa Kassim ulimdunda na kupoteza uelekeo kabisa,baada ya kukiona kiumbe hiki kilichoumbwa vizuri na Mungu,mbali na kutembea na wasichana wengi kingono lakini siku hiyo alikiri mwenyewe na kukubali waziwazi kwamba Hajrath ni moto wa kuotea mbali!Kwanza,aliumbika na katika uumbaji wa Mungu alimpendelea na kumuwekea udongo mwingi kwa nyuma, pili akampa na hips!Hiyo ikasababisha umbo lake lifanane na kibuyu cha maziwa!Hata hivyo kiuno chake kilikuwa chembamba kilichobeba tumbo zuri lililonyooka hakuwa na kitambi kama warembo wengine!Kiuno chake kilikuwa kama dondora,akapandisha macho yake kwa juu na kuona jinsi maziwa ya mrembo huyo Hajrath yakiwa na chuchu saa sita,hapo ndipo alipodata zaidi kwani Hajrath mbali na kuvaa blauzi lakini ndani hakuvaa sidiria hiyo ilifanya kwa mbali chuchu zake nyeusi zionekane!Shingo yake ilikuwa nene kiasi iliyobeba mashavu manene kimtindo,yakafanya kidogo macho yake yaingie ndani kama mchina!Kassim alikuwa mbali kihisia na alitokea kuvutiwa ghafla wakati mwingine alifikiri kusema endapo ingetokea angempata Hajrath angetulia na kuacha umalaya wake ingawa hakuelewa ilikuwa ni kweli ama tamaa za ngono zilimpeleka pupa!
“Kwahiyo,broo anakuja saa ngapi?”
Kassim akavunja ukimya baada ya Hajrath kupita mbele yake,kanga aliyovaa ilisababisha mtikisiko mkubwa bado!
“Si umesema umeongea naye?”
Hajrath akarudisha swali.
“Naona anachelewa,ngoja nimcheki”
Kuonana na Ahmed halikuwa jambo alilolipa kipaumbele kwa wakati huo,alichotaka yeye muda wote amtizame Hajrath,udenda ulimtoka kama fisi aliyeona mfupa!
“Chapati bei gani?”
Akashindwa kuvumilia,akaanza mazungumzo kwa niya ya kumzoea kwanza!
“Mia tatu”
“Unauzia hapahapa au?”
“Napeleka madukani”
“Kwanini usimtafute mtu wa kukusaidia?”
“Ela yenyewe iko wapi ya kumlipa huyo mtu?”
“Inaelekea mbahili sana wewe?Mchaga nini wewe?”
“Hapana”
“Kumbe nini sasa?”
Hapo Hajrath hakutaka kujibu tena kitu kingine chochote kile,akaendelea kuwa bize na kukanda chapati bila kuelewa huku nyuma anaunyanyasa mtima wa Kassim,mbaya zaidi alikuwa mara ainame achukue mafuta mara aweke kanga vizuri ikawa mateso yanazidi kwa Kassim,kutokana na mlango wa mbele kuwa wazi ilimfanya Kassim aone kila kitu.
“Chai inakaribia,utakula chapati ngapi?”
“Mbili tu”
“Sawa”
Alivyohisi Chai tayari imechemka,akaingia ndani huku akiwa na ‘hotpot’ ambalo ndani aliweka chapati!Akanyoosha moja kwa moja mpaka jikoni, ambapo huko alianza kuweka kifungua kinywa sawa,kila kitu kilivyoenda vizuri akatenga mezani na kumuita Kassim!
“Ulijuaje kama nina njaa?Hee,alafu hizi chapati gani?”
“Chapati za Saladi hizo”
Zilikuwa ni chapati kubwa zenye rangi ya njano kwa mbali na laini,harufu yake ilikuwa nzuri ya kutamanisha!Hiyo ilimfanya Kassimn aanze kufakamia,hazikupita dakika mbili wakasikia honi ya gari nje!
Moja kwa moja Hajrath akajua ni lazima atakuwa Ahmed,alichokifanya ni kukimbilia chumbani,akavua kanga na kuvaa dera. Alielewa ni jinsi gani Ahmed anachukia tabia yake ya kuvaa kanga peke yake akiwa seblen,hakutaka maneno na kumkera ndiyo maana akavaa dera kwa haraka na kutoka!Alivyokatiza seblen Kassim akaanza kupata tabu upya, ilikuwa kama garika limepita mbele yake mbaya zaidi Hajrath alikuwa akitembea kwa haraka ikapelekea mtikisiko wa makalio yake uzidi,akatoka mpaka nje akafungua geti!Gari la Ahmed likaingia akafunga geti,akatembea mpaka kwenye gari karibu na mlango.
“Baby,pole”
“Ahsante,chai tayari? Maana nina njaa”
“Yes ipo tayari,kuna mgeni wako”
“Nani…?”
“Simjui lakini anadai ni ndugu yako al..”
“Atakuwa Kassim”
Walikuwa ni wenye furaha mno!Ingawa hawakuwa na mali wala pesa lakini waliishi kwa upendo na amani!Macho yake yalikumbana na Kassim akiwa mezani anakula,kwa adabu akasimama na kutoa salamu kwa kaka yake!
“Marahaba dogo,hujambo?”
“Sijambo!”
“Vipi home wazima?”
“Wote wazima”
“Nakuja sasa hivi”
Haikujulikana Ahmed kaingia chumbani kufanya nini hasa lakini alivyotokeza seblen alikuwa tayari amebadili nguo, wakaungana mezani kupata kifungua kinywa na stori zilizoendelea hapo zilikuwa za familia yao na mambo yalivyokwenda!Japokuwa walipiga stori lakini akili ya Kassim haikuwa hapo hata kidogo,alimuwaza Hajrath aliyekuwa jikoni na mara kadhaa alimtupia jicho pembe!
“Mambo mengine vipi broo?”
“Safi tu,Mungu anasaidia”
“Sasa hapa nina mzigo wako,maza amenipa kaniambia nikupe”
“Kitu gani?”
Kuanzia hapo Kassim hakutaka kutia neno lolote lile,alichokifanya ni kuingiza mkono mfukoni na kutoa bahasha ya kaki!
“Laki mbili hizi”
Moyo wa Ahmed ulijawa na furaha na hilo lilionekana waziwazi, kiasi alichopewa kwake alikifananisha na mamilioni ya pesa,akamtizama Kassim na kushindwa kupata jibu la kumpa!
“Mwambie mama ahsante sana,nitampigia simu baadaye kumshukuru”
“Mimi naenda,utaniagia kwa rafiki yangu hapo!”
“Nani?”
“Aliyenipikia chapati”
“Sawa,nitamwambia”
“Ndio shem nini?”
Swali hilo lilimfanya Ahmed,ababaike kidogo siku zote alikuwa ni msiri sana,ilikuwa ni mapema mno kutoa utambulisho hakuelewa kwamba Kassim tayari ameanza kummezea mate na alitaka apate mwanya kidogo tu ili achukuwe namba za simu kisha amueleze ya moyoni.
“Tutaongea wala usijali,tutawasiliana alafu ndio umekuja na hiyo ndinga hapo nje?”
“Yes”
“Ya nani?”
“Anti Sekella,yupo home”
“Msalimie sana”
Kassim aliondoka roho ikiwa inamuuma,alijilaumu sana kuondoka patupu pasipo kumuaga Hajrath wala kuchukua walau namba zake za simu lakini aliapia ipo siku atamrudia na kuyajenga ikiwezekana amtoe watoke mbali kabisa na eneo hilo,moyo wake ulitokea kumpenda sana japokuwa hakuelewa kama amemtamani ama anampenda kweli.
Katika siku ambayo alikuwa mwenye furaha ni hiyo,hakuelewa pesa hizo azifanyie nini,akajishauri kama amshirikishe Hajrath wazipigie hesabu ama akae kimya azitumbue taratibu!Nafsi ya pili ilimuonya kufanya hivyo kwani isingekuwa na maana yoyote kubaki kimya na kuwa msiri licha ya hivyo akatizama huku na kule,akachomoa noti tano za elfu kumi,yaani elfu hamsini na kuziweka mfukoni!Iliyobaki akaenda kumkabidhi Hajrath ili akidhi mahitaji ya nyumbani na mambo mengine!

******
Mapenzi ya Hajrath na Ahmed yalizidi kuchepua siku hadi siku,mwishowe yakakomaa kabisa!Upendo ukazidi kupalilia penzi lao,hakuna mtu aliyekuwa msiri wakageuka wakawa marafiki wakubwa wakishirikiana kwenye kila kitu!Kwa kuwa Hajrath alijua kabisa Ahmed ni mwanamme mwenye wivu uliopitiliza alichokuwa anakifanya ni kuepuka mazoea na wanaume ama mazingira yoyote yale yatakayohatarisha penzi lao na kumfanya Ahmed akasirike,akajitahidi kwa kadri ajuavyo kuwakataa wanaume wanaomtongoza!Wengine wakijaribu kumlaghai kwa pesa na kumuhaidi zawadi nyingi!Kwake yeye hivyo havikuwa kitu kabisa,kwa kuwa simu yake ilikua imepasuliwa akajichanga na kutafuta simu ndogo ya tochi tena ya bei rahisi kabisa kwa ajili ya mawasiliano ya hapa na pale!
“Kwanini hutaki kunipa jibu langu Hajra?”
Siku hiyo alikuwa simuni,anatongozwa na kuimbishwa na mwanamme mmoja aliyefahamika kwa jina la Yassin!Katika wanaume waliomganda alikuwa ni huyo cha ajabu zaidi na kilichomfanya ashangae ni nani aliyempa namba zake za simu!
“Yassin,sikutaki.Usijisumbue!Kwanza wewe ni kama mdogo wangu”
“Naelewa,umri ni namba tu”
“Sasa kuwa mwelewa,mimi ni dada yako”
“Hatujazaliwa tumbo moja lakini”
“Kwaheri”
Hajrath akakata simu,kuendelea kubishana na Yassin kungempotezea muda wake wa kufanya mambo mengine!
Licha ya hayo hata siku moja katika kutongozwa kwake hakuwahi kumueleza Ahmed akiamini kwa kufanya hivyo ungekuwa ni utoto wa hali ya juu,hata hivyo alijitahidi sana meseji za mapenzi anazotumiwa anazifuta,hiyo ndiyo ilikua sifa ya msichana huyu mrembo!Miezi mitatu ilipita,tumbo la Hajrath likaanza kuonekana kiasi,hiyo ilimfanya Ahmed apate akili nyingine mpya akiamini muda mfupi ataenda kua baba ingawa hakuwa ana uhakika kama mtoto aliyekuwa tumboni ni wake ama anachezewa mchezo,ilikuwa ni wazi kwamba mambo aliyofanyiwa na Yusrath bado yalimuathiri kisaikolojia!Ndio maana swala la mimba ya Hajrath halikumshtua sana moyoni,alilichukulia ni jambo la kawaida.
“Mpenzi wangu”
Siku hiyo usiku Hajrath,aliita wakiwa kitandani baada ya kula na kushiba!
“Naam”
“Kuna jambo nataka kukwambia”
“Jambo gani?”
“Nataka nikupeleke nyumbani wakujue,Mama keshaanza kuhisi nina mimba!Sitaki ajue nina mimba kabla hawajakujua nyumbani”
“Yaani kwa wazazi wako,unipeleke?”
Ahmed,akajibu hoja hiyo kwa swali.
“Ndio kwa wazazi wangu”
“Je,watakubali?”
“Kukubali nini?”
“Mimi kukuoa?”
“Kwanini wakatae?”
“Hali yangu bado sio nzuri kiuchumi,sitaki kuelezea unajua hali halisi”
“Baby,hayo mengine ni maajaliwa tu.Inshu,ni mapenzi na furaha mapenzi sio pesa”
“Unataka kunipeleka lini?”
“Hata leo,sasa hivi”
Hiyo ilimfanya Ahmed,atabasamu kidogo akamtizama Hajrath!
“Unanipenda sana eeh?”
“Ndio baby”
“Kuliko nini?Kuliko pesa?”
Hapo Hajrath akatabasamu na kumpiga ngumi fulani hivi ya kichokozi kifuani,akamsogelea karibu na kumbusu mdomoni!
“Ilove you Ahmed wangu”
“Hata Mimi Hajrath”

*********
Hajrath hakutania hata kidogo,kile alichokiongea alikimaanisha ndiyo maana asubuhi na mapema kulivyopambazuka akamtafuta shangazi yake!Anayeitwa Chiku,akakaa naye kitako na kumueleza kila kitu kuhusu uhusiano wake na tayari keshapata mchumba, zaidi na hilo anatarajia kufunga naye ndoa!Hiyo ilimaanisha shangazi yake asichelewe apeleke taarifa hizo moja kwa moja kwa Kaka yake,Mzee Mpilla!Hilo halikuwa tatizo lolote,siku hiyohiyo taarifa zikamfikia Mzee Mpilla, kwa mara ya kwanza alikuwa mkali lakini alitulizwa,hata hivyo hakupoa alitaka kuonana na Binti yake Hajrath kwanza ili waongee uso kwa uso!
Jioni ya saa kumi,Hajrath akawa amefika!Alionesha hofu kubwa sana,hakuwa ana uhakika kama baba yake angemkubalia ama angeweka mgomo kwani alielewa ni namna gani baba yake alivyokuwa mtata na kauzu!
“Nasikia unataka kuolewa?”
Mzee Mpilla,hakutaka kuzungusha zungusha swali akaenda moja kwa moja kwenye mada,pembeni aliketi mke wake ambaye ni mama Hajrath!
“Ndio Baba”
Akaitikia akiwa mwenye hofu kubwa!
“Nakwambia hivi,hakuna ndoa hapa.Hakuna ndoa wala cha nini na nisikusikie”
“Lakini Bab…”
“Hakuna cha lakini,au umesahau kilichotokea? Sitaki kupata presha tena!Usiniweke roho juu juu!Sitaki kusikia huo ujinga kwani unakosa nini hapa nyumbani?”
Moyo wa Hajrath uliuma na kuchoma kama pasi,hakuelewa atumie kitu gani kumshawishi baba yake ambaye tayari alikua anawaka na kufoka hovyohovyo,hiyo ikamfanya aishiwe pozi na kuanza kulia mfululizo.




Katika siku ambayo Mzee Mpilla alitibuliwa ilikuwa hiyo,macho yalimtoka pima uso ukajikunja mithili ya mtu aliyelamba ndimu hakujali anazungumza na binti yake isitoshe pembeni yupo mkewe,mateso aliyopitia kipindi Hajrath amepotea katika mazingira ya kutatanisha bado aliyakumbuka akawa kama anayatizama kwenye kioo,akakumbuka jinsi alivyoteseka na mkopo benki ikapelekea mpaka nyumba yake itake kupigwa mnada,kuna makosa ya kufanya lakini sio kurudia yaleyale msemo huo ndio ukamjia kichwani.
“Baba Haj…”
Mama akaingilia kati alivyoona mzee anatoa povu!
“Sitaki,umtetee maana ndio kawaida yako”
“Sina maana hiyo”
“Sitaki kusikia chochote kile,nadhani nimeleeweka.Nishaamua na nishasema”
Ukali wake ukawafanya wote wanyamaze,hakukua na mtu yoyote kati yao ambaye angeweza kubadili msimamo wa mzee huyu,wakabaki wanamtizama!Hasira aliyokuwa nayo isingekuwa rahisi kubishana naye kwani ingemuongezea mori ndiyo maana wakabaki kimya mpaka alivyomaliza na kuingia chumbani.
“Ngoja nikaongee naye”
Mama akamwambia Mwana kwa namna ya kumfariji,akasimama na kumfuata kwa nyuma!Kitendo cha kuingia chumbani alikumbana na maneno ya mzee Mpilla,ambaye bado alionekana mwenye gubu!
“Sitaki kusikia,sitaki kusikia kabisa”
“Ungemsikiliza basi mtoto mpaka mwisho”
“Ili iweje?Siwezi, hivi umekuaje?Mara hii umesahau?”
“Sijasahau,ina maanisha asiolewe tena ama asilete mchumba”
“Kwani lazima?”
Bado mzozo uliendelea na sauti zao zilienea mpaka seblen na kumfikia Hajrath aliyekuwa kwenye kochi,hiyo ilimfanya aangue kilio kikubwa sana, ndoto yake ikawa imezima mithili ya mshumaa uliopulizwa na upepo mkali,wakati mwingine akaenda mbali zaidi na kujuta kuzaliwa na mzazi kama huyo ambaye anamnyima raha ya maisha!
“Huyu sio baba yangu,nina uhakika”
Hajrath aliwaza,akasimama kwa kasi na kuingia chumbani kwake ambapo huko alijikita kwenye mawazo mengi sana,kichwa chake kizima kilijaa Ahmed tu,sio kitu kingine!

*********
Shirika la ndege ya KLM ilikanyaga ardhi ya Tanzania jijini Dar es salaam,uwanja wa ndege wa kimataifa Mwalimu Nyerere saa 4;19 Asubuhi,ikatingishika kidogo na kukaa sawa!Ikakimbia kwa kasi ya kimondo kisha kusimama kwenye maegesho yake maalum!Magari yaliyobeba ngazi yakasogea taratibu mpaka mlangoni kisha ukafunguliwa,abiria mmoja baada ya mwingine akaanza kushuka!Sporah Trevez alishukuru Mungu kufika salama ni safari ambayo alitamani afike mapema na wakati mwingine alitamani amwambie rubani aongeze mwendo ili amuwahi Florian jijini Dar es saalam!Hakuwa na mizigo mingi,mgongoni alibeba begi dogo! Mkononi aliweka pochi alimaarufu kama kipima joto,nywele zake alizibana vizuri kwa nyuma huku akiwa na miwani nyeusi ya jua!Kutokana na kukaa sana nje,kulimfanya awe na tabia za huko,nguo aliyovaa kama Basata wangemuona wangemfungia ama kumrudisha alipotoka!Alivaa kaptula fupi ya kitenge huku juu yake akiwa na topu yenye rangi nyekundu iliyoendana na raba aina ya ‘Nike’ mguuni,urefu wake na mavazi aliyovaa vilifanya watu wadhani ni mwanamitindo!Alikuwa ni msichana mrembo,pengine ungemuona ungebisha kwamba bado duniani kuna warembo wa namna hiyo!Alivyofika kwenye kidirisha cha kugonga passipot akafanya hivyo,akapenyeza pasipoti yake!
“Welcome to Tanzania”
Afsa mmoja akashindwa kuvumilia,aliyekuwa ndani ya kidirisha mwenye kazi ya kugongesha mihuri passpoti,uzuri wa Sporah Trevez ulimzuzua!
“Thank you”(Shukrani)
Akashukuru na kuiweka pasipoti yake ndani ya begi,akachomoa simu yake na kitu cha kwanza kufanya ni kumtafuta Tiger hewani ili amtaarifu kwamba tayari amewasili nchini.
“Nipo Airpot”
“Ndio naingia hapa”
“Uliwasiliana na Florian?”
“Bado simpati”
Kulikuwa na uwezekano mkubwa sana wa Sporah Trevez kuwapita askari bila kutambulika endapo asingevua miwani nyeusi aliyovaa!Kosa alilolifanya ni kuvua miwani,hapo ndipo alionekana! Taarifa ikapelekwa moja kwa moja kwa Mzee Kajeme ambaye ndiye alikuwa mkuu kwenye operesheni hiyo!Walichokifanya ni kutulia kwanza kwani walikuwa wana kila sababu ya kujua ni nani anawasiliana naye kwenye simu!Askari wanne walikuwa ndani ya Diffenda,watatu walikaa nje!Pembeni kulikuwa na gari aina ya Noah,humo ndimo mzee Kajeme alikaa na askari wengine wawili.
“Ndio yule pale!Picha yake sindo hii hapa?”
“Ni mwenyewe,tusubiri kidogo kuna mtu anaongea naye kwenye simu”
Dakika kumi mbele wakashuhudia,gari aina ya Landcruiser mkonge linasimama kandokando ya miguu ya Sporah Trevez,akaingia gari likaondoka!Askari hawakutaka kuchelewa wakawasha magari na kuanza kulifukuzia kwa nyuma!
“Kacha kacha”
Ulikuwa ni mlio wa sauti kuashiria kwamba bastoka imekokiwa,risasi imepanda kwenye chemba tayari kwa kufanya mashambulizi,hiyo ilimfanya Sporah Trevez amuangalie Tiger na kushindwa kumuelewa!
“What is it?Where did you get the gun?”(Kuna nini,umetoa wapi bastola)
Akauliza kwa mshangao,Tiger alikuwa na bastola mkononi akaiweka katikati ya miguu yake huku akitizama vioo vya ubavuni.
“Polisi,Frolian yupo kituoni bado!Ulikuwa ni mtego wa kukukamata”
“Whaaaaaaat”(Nini)
“Ndio hivyo,lakini tulia nishajua cha kufanya”
Kwa mwendo wa kawaida Tiger aliendesha gari mpaka alivyofika getini na kuweka kadi kwenye mashine maalum,ikamezwa geti likafunguka alivyotoka nje akanyoosha na kukunja kulia,hakuwa mgeni sana wa jiji hilo lakini njia zilimchanganya,alivyopita barabara ya kuingilia Kyembe Mbuzi,akachepuka huku akiangalia vioo vya ubavuni bado!Nyuma yake kulikuwa na magari matatu,aliyaona vizuri akiamini kivyovyote vile asingeweza kuwathibiti askari wote alichokifanya ni kuichukua simu yake ili kulitafuta kundi lake la Kimafia lililofahamika kwa jina la BLACK MAMBA lilikuwa ni kundi linalotisha,lililotokea kulisumbua jeshi la polisi miaka ya tisini na ilisadikika wengi waliokuwa ndani ya kundi hilo ni wanajeshi waliostaafu na askari,lilikuwa ni kundi kubwa lililokuwa pia na matawi yake mengine Shinyanga,Mtwara,Lindi na Zanzibar!Hapo ndipo Tiger aliamua kujichanganya nao,alivyowapigia simu tu ikapokelewa hapohapo!
“Kuna nini?”
Upande wa pili wa simu ulisikika,ilikuwa ni sauti nene ya kukwaruza na kutisha.
“Kazi”
“Wapi?”
“Nakimbizwa na askari”
“Wapi?”
“Nipo Kyembe Mbuzi”
“Unaendesha gari gani?”
“Cruiser Mkonge”
“Hakuna shaka,pitia Segerea!Ukifika kwa bibi,nipigie”
Walikua ni watu wa kazi na simu hiyo ilipokelewa na mtu anayefahamika kwa jina la Koboko,jina hilo alibatizwa kutokana na roho yake mbaya kama nyoka huyo hatari!Alikuwa ni mwanamme aliyekomaa mwenye kifua cha mazoezi,kimegawanyika mara mbili mithili ya makalio ya mtoto mchanga!Mkono wake ulikuwa mnene kama paja la ng’ombe!Simu hiyo alipokea akiwa ndani ya geto lake,anavuta bangi!Hakutaka kuchelewa kwa kuwa ilikuwa ya kazi,akawataarifu wenzake wasogee eneo la tukio ili kazi ianze wakiamini baada ya hapo kuna mzigo wa pesa ndefu kama ujira ya kazi hiyo!Koboko hakutaka kulaza damu,akaingia bafuni ambapo huko kulikuwa na kabati dogo,akalivuta kwa mbele nyuma kulikuwa na tobo,akatoa bastola yake na kuiweka kiunoni tayari kwa ambush!

*****
Msafara wa Mzee Kajeme na askari ulikuwa sambamba kabisa,wakilifuatilia gari alilopanda Sporah Trevez,walitaka kujua mwisho wa safari yao ili kama ikiwezekana wawaweke chini ya ulinzi,watu wote walio karibu na Sporah Trevez!Safari iliendelea mpaka walivyofika Sanene,katika hali ya kushangaza gari aina ya Pickup ikawapita kwa kasi ya ajabu!Hawakukaa sana,gari ingine aina ya Toyota Surf ikawa ovateki na kusonga mbele ikifuatana na Pickup,wakapuuzia wakidhani wenda ni watu wenye haraka ama madereva walevi kumbe kundi hatari la Black Mamba,lilikuwa tayari lishafika maeneo ya Segerea kwa kasi wakayapita magari ya polisi ili watande kwa mbele,ndani kulikuwa na vijana walioshiba wenye mafunzo,ilikuwa kama sinema ya kuigiza,hatari iliyokuwa inaenda kutokea haikuwa ya kawaida!Tiger,alivyofika Segerea mwisho akaingia kwenye barabara ya vumbi,hapo ndipo Pick Up ikapenya kwa mbele kama mchezo wa kimafia, likapiga msele na kuwaziba njia magari ya askari.
“Piii piiiiiiiii”
Diffenda iliyokuwa mbele,ikapiga honi!Dereva aliyekuwa anaendesha gari aliyefahamika kwa jina la Kamanda Philipo,akachukizwa sana na dharau hiyo!Akateremka kwa jazba bila kujua anachoenda kukifata kilikuwa ni kifo,hakuelewa watu waliokuwa ndani ya pickup ni hatari kiasi gani.
“Anakuja,usipoteze risasi!”
Hiyo ilimaanisha risasi moja inatakiwa imdondoshe chini,yalikuwa ni maagizo yaliyomfanya Killa ashike bastola vizuri mkononi, akimtizama askari anayekuja kupitia kioo cha ubavuni akajiandaa na kupitisha kidole chake kwenye kilimi cha kufyatulia risasi!Askari kwa mikwara na jazba akasogea mpaka karibu na kioo,alivyoinamisha kichwa chake ili achungulie kuwaambia wapishe njia,hakuomba maji!Kilichosikika hapo ulikuwa ni mlio mkubwa wa risasi,ubongo wa Kamanda Philipo ulimwagika chini ukatapakaa, risasi ikatokea upande wa pili,haikuwa maiti iliyotakiwa kutizamwa mara mbili kwani ilitisha vibaya sana,wapiga debe waliokuwa eneo hilo na wakina mama wauza samaki,walikimbia mpaka miguu yao ikagusa visogoni ili tu kuyanusuru maisha yao!

******
Mguu wa Kassim,haukukauka kwa Kaka yake!Kila siku alimtembelea akizuga kumjulia hali kumbe alikuwa kwenye mawindo yake!Hajrath,alizidi kumchanganya akawa kama teja aliyekosa unga kwa kipindi kirefu,kifupi alikuwa ana arosto ya mapenzi!Licha ya kutambulishwa kwamba Hajrath ni shemeji yake lakini hilo halikumfanya asitishe hesabu zake!Aliendelea kumtamani Hajrath walau hata ampige denda lakini ilikuwa ni vigumu sana,ki ukweli alitokea kumpenda!Alishawahi kutembea na wasichana wa dizaini tofauti lakini kwa Hajrath ilikuwa omega,akakiri kwamba msichana huyo anafaa kuwekwa ndani!Alijishangaa sana na tabia yake ya kupenda shemeji zake hasa alivyokumbuka namna alivyompenda Yusrath pia!Ambaye kwa wakati huo hakujua ni wapi alipo,sio siri alikubali kwamba Hajrath ni kifaa na mzuri wa kuvutia!
“Hajrath”
“ABEE SHEMEJI”
“Wewe ni mrembo sana,unalijua hilo?”
“Kawaida mbona,wala sio mzuri”
“Mimi ndio nakwambia,ulijiumba mwenyewe?”
Siku hiyo walikuwa mezani,wanakunywa chai asubuhi na mapema Ahmed hakuwepo kama kawaida, alitoka kwenda kutafuta ajira maofisini,huo ndio ulikuwa muda wa Kassim kufika na wakati mwingine alimkuta Ahmed jambo lililomfanya achukie kwani anamnyima uhuru wa kuzungumza na Hajrath,barafu wa moyo wake!
Hajrath hakuwa mwenye raha hata kidogo,aliwaza mambo yanavyoenda kwenye familia yake jinsi walivyomkatalia kuolewa na Ahmed,chai haikupita mawazo yalikuwa mengi akafikiria jinsi wazazi wake watakavyomchukulia kwani alitoroka nyumbani kwao!
“Unawaza nini?”
“Amna kitu”
“Mbona umeshika tama?”
“Nipo sawa tu,nimechoka sana”
Kassim,akamtizama vizuri kisura huyo ambapo alisimama wima dera alilovaa,likaenda upande!Moyo wake ukapiga paa!Baada ya kuona tumbo limetokeza kwa mbele kidogo,uhakika aliokuwa nao asilimia mia moja ni kwamba Hajrath ana mimba,jambo lililomfanya achukie na kupata wivu kwa wakati mmoja!
“Haiwezekani”
Kassim,akajikuta anaropoka kwa sauti na kusimama akimuendea Hajrath kwa kasi,usawa wa mdomoni akitaka kumpiga denda akashindwa kuzuia hisia zake!




Hisia zilimpeleka puta,akashindwa kujizuia kabisa!Moyo wake ulikosa utulivu mbele ya Hajrath kwani alikiri msichana huyo amekamilika kwenye kila idara,ndiyo maana alikurupuka na kumsogelea kwa kasi,hiyo ilimfanya Hajrath ashtuke na kurudi nyuma kwani kitu kama hiko hakukitarajia lakini alikuwa tayari amechelewa,kitendo cha kufumba na kufumbua Kassim alikuwa karibu yake kaishika mikono yake yote miwili, anataka kumvaa mdomoni ili ampige denda jambo lililopelekea Hajrath akwepeshe mdomo wake pembeni,kitendo hiko kilimshangaza ajabu sababu hakutegemea hata kidogo kwa mtu kama Kassim kujaribu tukio hilo ambalo kwake alilifananisha na udhalilishaji wa kijinsia!Hakujua afanye nini lakini alijihami akaokota uma kwa kasi uliokuwa mezani na kuushika huku akimsukuma Kassim asiendelee kufanya zoezi ambalo alijua angeendelea kucheka naye angebakwa!
“Unataka kufanya nini wee mpumbavu?”
Hajrath akauliza kwa hasira huku akiwa na uma mkononi mwake,anahema juu juu akiwa tayari kukabiliana na Kassim anayetaka kumfanyia jambo hilo la kikatili.
“Shemeji”
Alikuwa kama amezinduka na kupata fahamu,akatulia kidogo na kumtizama Hajrath aliyekuwa mbele yake anahema kwa hofu,haikujulikana kama ametandwa na hofu ama amezidiwa nguvu na jaribio alilotaka kulifanya,sababu alirudi kinyumenyume mithili ya gari bovu lililofeli breki kilimani,akageuka nyuma na kuona mlango akachomoka kwa kasi kama mwizi aliyefumaniwa huku nyuma akimuacha Hajrath ashindwe kulitafakari jaribio hilo lililotaka kutokea muda mchache uliopita!Ki ukweli bado tukio hilo lilimsumbua likamfanya asitake tena kuendelea kunywa chai,mudi yote ikakatika hapohapo, akatamani Ahmed arudi amueleze ushenzi aliotaka kufanyiwa!
Lakini baadaye akajionya asifanye hivyo sababu angewagombanisha ndugu hao wawili waliozaliwa tumbo moja!Jasho jingi lilimtoka na moyo wake ulipoteza utulivu kwa ujumla, bado hali ile ilimshangaza na kumuogopesha kwa wakati mmoja,kuna kitu akakumbuka akasimama wima na kutembea mpaka seblen ambapo huko alifunga milango yote ili Kassim asirudi tena,akaapia hatokuja kumsemesha tena wala kuongea naye na kuanzia siku hiyo ushemeji umekufa!

******
Siku hiyo nzima,alikesha kuzunguka kwenye maofisi mbalimbali akitafuta vibarua,vyeti vyake vilikuwa vizuri tena vya kuridhisha lakini akagundua kwamba bila ‘Connection’ asingepata ajira yoyote ile,hata hivyo hakutaka kukata tamaa kabisa!
“Vyeti vyangu hivi hapa mama angu”
Mama mnene kiasi,aliyevalia nguo ya kitenge alikuwa nyuma ya kiti kikubwa cha kuzunguka,ndani ya ofisi kubwa yenye samani za gharama,mezani kulikuwa na kompyuta kubwa!Kwa haraka alikuwa ni Mama mwenye uwezo kwa kumuangalia tu kwani shingoni alivaa mikufu ya dhahabu inayowaka sana!Kichwani alijifunga tenge zito la gharama,ngozi yake ilikuwa laini sana hiyo ilitokana na kupulizwa na kiyoyozi kila wakati akiwa ofisini kwake,katika kuchunguza vizuri na kupepesa macho Ahmed akaona picha kubwa mezani iliyomuonesha Mama huyo akiwa mbele ya Mwanamme mmoja wamekumbatiana pembeni kuna watoto wawili wazuri mno wakiwa katika tabasamu,akajipa jibu la swali lake kwamba Mama huyo ana uwezo tena mwenye familia bora.
“Unaweza ukaniita sista Veronica,unadhani nina uwezo wa kukuzaa wewe?”
Mama huyo alizungumza huku akitabasamu upande,Ahmed akashindwa kuelewa sentensi hiyo ilimaanisha nini,haraka akajiongeza akidhani wenda mwanamke huyo asingependa kuzeeshwa kama wanawake wengine wa mjini walivyo,akamezea na kutabasamu kuonesha kwamba amekubaliana na hoja hiyo!
“Sawa,sista Veronica!Nimekuelewa”
“Ahsante kwa kunielewa,nipatie vyeti vyako”
Mwanamke huyu au mwanamama aliyejitambulisha kwa jina la Veronica akachukua vyeti vya Ahmed na kuanza kuvitizama kwa namna ya kuvihakiki kwa umakini zaidi,baada ya hapo akashusha pumzi ndefu kana kwamba ameona jambo zito!
“Ushawahi kufanya kazi Trans continental?”
“Ndio Mam..Ndio sista Veronica”
“Kama nani?”
“Nilianza kama Marketing Manager baadaye nikawa Assistance director”
“Matokeo yako,sio mabaya sana!Ni mazuri,Cv zako nimezipenda”
Veronica kama alivyojitambulisha kwa majina,akasimama wima hapo ndipo Ahmed akapata wakati mzuri wa kumuona,kuanzia juu mpaka chini!Kama alivyobashiri ndivyo ilivyokuwa,alikuwa ni mwanamke mwenye umbo kubwa kiasi,mweupe mno!Kitenge alichovaa kilikuwa cha heshima kilichovuka magoti yake lakini hiyo ilifanya umbo lake lionekane kidogo,haikujulikana kama ni umbo lake ama sketi aliyovaa aliibana!Veronica,akatembea mpaka kwenye meza kubwa ya kioo iliyokuwa na mafaili mengi sana,akachomoa moja wapo na kulitizama kwa namna ya kukagua!Haikujulikana ni kitu gani,anatafuta lakini baada ya hapo,akamsogelea Ahmed karibu!
“Nenda uandike kitu kama hiki,hapa editi!Weka jina lako.Hii ni Application letter,yako umeikosea kidogo!Naomba niipate kesho kutwa before saa nne asubuhi Mr Ahmed Kajeme”
“Ahsante Mama”
“Nimekwambia usiniite Mama!Jina langu nimekutajia”
Safari hii Veronica alizungumza kwa ukali akifoka kwa sauti kidogo,hiyo ikamfanya Ahmed aogope lakini akajiuliza kwanini Mama huyo angependa kuitwa jina lake na sio Mama, hata hivyo jibu lake lilirudi palepale alikuwa ni Mama wa mjini,hivyo hakupenda kuzeeshwa haraka namna hiyo!
“Sawa dada Vero”
Ahmed akajibu kwa utulivu huku akipitia karatasi aliyopewa,akaikagua ambapo aliona kwa juu imeandikwa sanduku la posta kichwa cha habari kilihusu kuomba kazi.
“Naweza kwenda nayo?”
“Leta niitoe kopi”
Veronica akasimama na kuiendea printa kubwa iliyokuwa kandokando yake kisha kutoa kopi,akamkabidhi.
“Kama nilivyokwambia,kesho kutwa”
“Kwahiyo nitapata kazi?”
Ahmed akaibua swali kwa kihoro kikubwa kwani namna alivyosugua gaga kwenye ofisi mbalimbali ilimfanya aanze kukata tamaa na Veronica kwake akamuona kama Malaika!
“Fanya kama nilivyokwambia”
“Ahsante”
Shukrani alizotoa Ahmed,hazikuwa na mwisho!Alijipa matumaini kwani maneno aliyoambiwa tafsiri yake ilikuwa ni kazi hivyo ndivyo alijifariji kwani ofisi alizotoka nyuma ilikuwa kazi ngumu kukaa hata kwa dakika kumi kabla ya kuambiwa aende lakini hapo,alikaa karibia nusu saa lizima na kupewa mbinu ya kupata kazi,alivyosimama akaweka tai yake vizuri na kuaga mara mbilimbili.
“Mungu akubariki sana sista Veronica”
Akazidi kuongea kwa furaha na kushukuru kwa Mema yote aliyofanyiwa na Veronica, kuanzia uchangamfu mpaka ukarimu wa Mama huyo,mwenye utajiri wa roho nzuri!

*****
Baada ya kutoka ndani ya ofisi hiyo kubwa aliyokaribishwa vizuri kama mtoto wa mfalme na Veronica,aliingia ndani ya gari lake huku akiligeza tai shingoni ambayo ilionekana kumkereketa!Saa yake ya mkononi alimuambia tayari ilifika saa tisa ya alasiri,hiyo ilikuwa sahihi sababu njaa ilianza kumtafuna kwa mbali hata hivyo hakua na jinsi zaidi ya kuendesha gari mpaka Mabibo mwisho,alivyovuka reli akakumbana na kibao kilichoandikwa IBUNGU kandokando kulikuwa na baa kubwa nje ina uwazi wa kuegesha magari,bila shaka akajua kabisa hapo pangekuwa na mlo utakaoendana na pesa yake mfukoni hata angeamua kushushia na bia sita ama kumi angemudu!Kitendo cha kuteremka ndani ya gari na kuketi kwenye kiti,msichana mmoja akafika akiwa na tabasamu zuri la biashara!
“Karibu kaka”
“Niitie wa jikoni”
“Ndio mimi”
“Kuna nini?”
“Kuna ugali samaki,maharage nyama!Kuna wali pia,biliani na pilau na ndizi”
“Ugali wa dona na samaki”
“Sawa”
Dakika kumi hazikuwa nyingi,chakula kikawa mezani akawa anakula,akaona haitoshi akaagiza na Coca cola ya baridi ili apooze koo lake!Hata hivyo haikuchukua muda sana,akamaliza na muhudumu akasogea meza ikafutwa!Muda ulishaenda na alivyotupa macho yake kwenye saa akagundua ni saa kumi na moja kasoro dakika kadhaa!Akatulia kidogo ili muda usogee,hiyo ilitokana na shibe aliyokuwa nayo hivyo akawa anahisi kama usingizi fulani kwa mbali.Alivyotaka kuondoka,nafsi nyingine ikamwambia anywe walau bia moja akate kiu!Hakupingana nayo,akaagiza akanywa ikaisha akaletewa nyingine!Ilivyofika ya tatu,akaomba aletewe na glasi kabisa!
“Psiiiii psiiiiiii”
Sauti yake ya mluzi ikamfikia mhudumu wa vinywaji,aliyevalia sketi fupi nyeusi na shati jeupe,akampungia mkono kama ishara ya kumuita!
“Niletee glasi na bia nyingine moja”
Bia nyingine ikaletwa,ilivyofika nusu!Sasa akawa amechangamka kiasi,akatamani aingie kati acheze mziki lakini alijionya kufanya hivyo akiamini angejichoresha ukizingatia alikuwa baa ya ugenini.Baa ya Ibungu ilichanganya ilivyofika saa moja ya jioni,mziki uliongezwa na taa za vimuli muli,ziliwaka nje ya miti ikafanya ivutie zaidi.Kadri masaa yalivyozidi kusogea ndipo palizidi kuchangamka,magari yalipaki nje hiyo ilimfanya Ahmed azidi kubaki na kuongeza vileo!Pombe siku zote sio chai na udhaifu wake siku zote ulijulikana kwamba huamia chini na mara kadhaa akaanza kumuangalia muhudumu aliyemuhudumia kwa macho fulani yasiyokuwa ya kawaida,damu ikaanza kumuenda mbio kwani karoti yake ndani ya suruali ilianza kufurukuta.
“Psiiiii”
Akapiga tena kimluzi,muhudumu akageuka!Ghafla akaanza kumuona namna alivyokuwa mzuri akitembea kwa mikogo ya kisista duu,mpaka alipomfika!
“Sogea nikwambiee,unaitwa nani kwanza kisura?”
Ahmed akaanza kuchombeza!
“Imma”
“Naniiii?”
“Immaculatha”
“Una jina zuri,vipi leo ukimaliza hapa.Utaenda wapi?”
“Kwa Mume wangu”
“Umeolewa?”
“Ndio”
Hapo Ahmed akatulia na kumuangalia kidoleni,akaona kabisa anadanganywa akakusanya tena maneno kisha kumgeukia!
“Nahitaji tuondoke wote”
“Hapana,nipo kazini!”Akagoma huku akibetua mabega kisha kuondoka zake!

******
Mpaka inafika saa tano ya usiku Hajrath alikuwa yupo macho,anamsubiri Ahmed ili wale chakula cha usiku kisha walale kama siku zote lakini matokeo yake hakukuwa na dalili yoyote ya mtu kurudi,alivyotaka kupiga simu akasita kidogo na kujipa subira wenda yupo njiani!Dakika ishirini zikapita uvumilivu ukamshinda akachukua simu na kuanza kupiga,matokeo yake iliita bila kupokelewa akapiga kwa mara nyingine,hapo ilipokelewa!
“Nipo njianiii mkee wanguuu,sasa hivii nafikaa hapa Riversideee”
Kwa mwenye akili timamu alielewa kabisa upande wa pili, mtu anayezungumza alikuwa amelewa pombe!Hiyo ilimchukiza na kumkatisha tamaa, akajiuliza maswali mengi sana hususani hali waliyokuwa nayo kiuchumi iweje Ahmed anywe pombe wakati walikuwa wenye shida na pesa,alichukia na kukasirika kwa wakati mmoja,hakukaa sana akasikia honi getini!Kwa kuwa hakukuwa na mtu mwingine zaidi yake,ikamlazimu atoke nje na kufungua geti,ambapo gari la Ahmed liliingia na kusimama nje kwenye maegesho!Tayari alikuwa amenuna ndiyo maana badala ya kumfuata kwenye gari ili ampokee akanyoosha mpaka ndani,huko alisimama wima na kumsubiri kwa kihoro!
“Kumbeee bado hujalalaaa mamito?”
Ahmed alizungumza kwa sauti ya kilevi huku akipepesuka,alimtizama Hajrath kwa kama sekunde tatu kisha kutabasamu!
“Nishapataa kaziii,bebii wangu ndio maana nina furaha kubwa sanaaa hapa nilipoo!I’m happy,twende tulale,mbona unaniangalia kama nina kesiiii?”
“Umetoka wapi Ahmed?”
Kwa umakini mkubwa akauliza bila kucheka,akimkazia macho usoni hiyo ilimfanya Ahmed aangalie chini na kucheua kidogo!
“Kwa washkaaaaji”
“Washkajii,mpaka sasa hivi?Usiku wote huu?Una akili wewe?”
“Naomba nipiteee,please call me!Nipishe nipite,tukaongee chumbani!Alafu unaulizaaa kwa sautii kuuuuuubwa,majirani watanionajeee bebiiiii?”
“Waache wajue wewe ni mlevi,unarudi usiku umelewa!”
“Nisamehee mke waaaangu,sitorudiia tena!Haki ya Mungu,naacha pombe leoleo”
Ingawa alikuwa amelewa lakini kile alichokiongea alikitambua,akajua kabisa kwamba amefanya kosa kubwa,akazidi kuomba msamahaa akaingia bafuni, akaoga na kupata nguvu mpya,ambapo pombe ilipungua kiasi,akavaa taulo bila kitu ndani na kupitiliza mpaka kwenye meza ya chakula!Baada ya kufungua bakuli la mboga,akatulia kidogo na kumtizama Hajrath!
“Isijee ikawa kisa cha Mpembaaa”
Akatia neno baada ya kuona kuku waliorostiwa vizuri na pembeni kuna matunda,pesa aliyoacha na chakula alichokuta mezani vilikuwa vitu viwili tofauti.
“Leo,biashara imeenda vizuri Mme wangu”
“Hongera sana namimi nadhani nitapata kazi kuanzia next week”
“Mungu mkubwa”
Hajrath akaonesha tabasamu la waziwazi huku akimpakulia Ahmed chakula.
“Kinatosha?”
“Ongeza kijiko kimoja”
Kuanzia hapo,kilichosikika zilikuwa ni kelele za vijiko na sahani kugongana kila mtu alikuwa bize kula,wa kwanza kumaliza alikuwa Ahmed akamiminiwa maji ya kunywa,akashushia na kunyoosha mpaka seblen ambapo hapo alichukua rimoti na kuwasha televisheni,hakukaa sana Hajrath akatokeza na kukaa kando yake!
“Leo hulali?”
“Nitakuja kulala,tanguliia tu”
Hajrath kwa kudeka,akajishika tumbo lake na kujisogeza karibu akamsogelea kando kabisa,akachukua mkono wake na kuanza kupapasa juu ya karoti ya Ahmed,taratibu kwa vidole vyake laini!Hakukuwa na upinzani wa aina yoyote ile,karoti ikaanza kusimama kwa Hajrath ikawa ushindi mkubwa nayeye akachukua mkono wake mmoja na kuanza kumpapasa Hajrath kifuani,akashuka chini mpaka kwenye mapango,hapo Hajrath akaguna kidogo macho yake yakabadilika rangi.Hakutaka kuchelewa akatoa taulo la Ahmed akajisogeza karibu na kutanua miguu yake huku na kule,akampandia kwa juu na kukalia karoti,mikono yake akaizungusha shingoni mwa Ahmed!Damu zao zikaanza kuchemka,akaanza kupanda juu taratibu na kushuka huku akisikilizia raha za ajabu kutoka sayari ya huba!




Kama makochi yangekuwa yanasema siku hiyo yangeongea,Hajrath alikuwa juu ya Ahmed yupo uchi wa mnyama ameizungusha mikono yake shingoni mwa Ahmed,anapanda juu ya kushuka asteaste,huku akinyonga kiuno chake chepesi kilichofanya Ahmed nayeye atoe miguno ya ndani kwa ndani!Sio siri zilikuwa raha za ajabu mno.Hakuishia hapo,alikuwa mara amlambe Ahmed masikio mara amnyonye shingo ilimradi mahaba niponde ponde kama nyanya!
“Bebiii ilov..e you yesss aaaah aaashsssss”
Haikujulikana kama anafanya kusudi ama anatoa sauti bila kujijua,hiyo ilimfanya Ahmed azidishe kasi ya kuzungusha kiuno akiwa hapohapo chini,alichokifanya ni kuanza kumuuliza maswali Hajrath kama nikushike wapi?Nifanye nini?ili mradi wanazungumza katikati ya mechi hiyo ya kukata na shoka!
“Nishike haaapa bebiiii”
Hajrath alitoa maelekezo kumaanisha chuchu zake zitomaswe,hakuishia hapo akadai kwamba anyonye maziwa,Ahmed akafata maelekezo mpaka Hajrath alipoanza kupiga kelele na kuongeza kasi ya mashambulizi hakika alikuwa tayari anaenda kufika mlima Kilimanjaro kileleni ndiyo maana akazidisha kasi,ilikuwa mara amnyonye Ahmed mdomo mara shingo,hakutofautishwa na mtu anayetolewa mapepo,kelele ya mwisho aliyopiga iliambatana na kubana miguu kisha akatulia, hapo Ahmed akazidi kupeleka majeshi kisha wote wakatulia juu ya kochi.
“Tulale hapahapa”
Ahmed akatoa wazo,lakini Hajrath akampiga ngumi ya kifua ile ya mahaba!
“Muone vilee,kwani kitanda hakuna?”
“Siwezi kutembea”
“Toka zako,twende tukaoge tulale mme wangu”
Hakukuwa na kipingamizi chochote kwa kuwa walikua tayari wamekula,wakafunga milango vizuri wakaingia kuoga kisha kujitupa kitandani, ambapo walijifunika shuka moja,Hajrath akageuka upande wa pili Ahmed akawa nyuma yake amemkumbatia!

*****
Mama Yusrath na ndugu zake wote kumi na mbili,walisota rumande kwa takribani mwezi mzima na kilichotakiwa hapo ni shilingi milioni mia tano taslim zipatikane ndio waachiwe huru, katika swala hilo Bilionea George Charles, aliweka ubinadamu pembeni sababu alishajifunza ukicheka na nyani utavuna mabua!Hata wangejikusanya ndugu wote,majirani na marafiki wasingeweza kufikisha kiasi hicho kingi cha pesa na kila Bilionea George Charles alivyotafutwa ili alegeze kamba akajifanya yupo bize, hataki kuzungumza na mtu,sio siri Mama Yusrath alilia na kusaga meno,akajuta na kujilaumu sasa akagundua kwamba malipo ni hapahapa duniani,jambo hilo lilikuwa kichwani baada ya kukumbuka jinsi alivyokuwa mstari wa mbele kumuweka Ahmed Kajeme ndani,leo hii kila kitu kikageuka upande wake!
“Nimesema,niko bize sitaki kuonana na mtu yoyote yule Prisca”
Siku hiyo Bilionea George Charles alikuwa ndani ya ofisi yake kubwa,ugeni uliokuwa nje aliuona kupitia tv iliyokuwa ndani,ambayo iliungwa na CCTV kamera kwa nje!
“Wamesema pesa wanazo”
“Waambie wapite”
Walikua wazee wawili wenye umri usiopungua miaka 50-60,jambo lililowaleta hapo lilijulikana waziwazi,ndiyo maana George Charles hakutaka kumuona hata mmoja kati yao,lakini alivyosikia pesa imepatikana, ilibidi awaruhusu!
“Habari kijana”
Mzee mmoja akasalimia,alikuwa amevaa kanzu na kibaragashea kichwani,mwenzake alivaa suruali ya marinda na shati kubwa,amechomokea puto mpaka juu ya kifua yaani mayenu!Hakuwa ana uhakika kama wazee hao walikuwa na uwezo wa kufika na milioni mia tano ama wamefika kumtia kiswahili!
“Nawasikiliza”
George akajibu ili kuruhusu maongezi mbaya zaidi hakutaka salamu,akaifumbata mikono yake na kuiweka chini ya kidevu akiwa makini kuwaangalia.
“Tumekuja na pesa kidogo hapa,nyingine tutamalizia”
“How much?Namaanisha kiasi gani?”
“Milioni nne na laki mbili”
George akatabasamu,haikujulikana ni dharau ama pesa zilikua ndogo na alichekea upande upande!
“Mnajua nawadai shilingi ngapi ndugu zenu?”
“Ndio Baba angu,tuhurumie”
“Jihurumieni wenyewe,rudisheni pesa zangu!Sina mjadala!Ahsante,naomba muende”
Hakuwa George yule wa kipindi cha nyuma mwenye roho nzuri ya ukarimu,moyo wake ulibadilika ghafla ukawa hauna huruma tena, ndiyo maana akasimama na kunyoosha mpaka mlangoni,akaufungua na kuwataka waondoke!
“Hamtaki kutoka?James niitie security”
Hilo ndilo lililotokea,walinzi wakaitwa na wazee kutolewa bila kuamini wanachokiona!Wakati Wazee hao wakihangaika huku na kule kutafuta pesa Yusrath alikuwa mtaani,anazurura huku na kule, kila alipoenda kwa marafiki zake walimfukuza na wengine wakampa pesa kidogo iliyotosha kwa mlo mmoja,aliogopa kurudi nyumbani sababu alielewa ni jinsi gani angekuwa anatafutwa,kazi yake ilikuwa ni kujificha huku na kule!Wakati mwingine,alitamani kurudi kwa Bilionea George Charles ili aombe msamahaa lakini akasita, hakuelewa kwamba wakati huo anatafutwa kwa wudi na uvumba!
“Pii piii”
Ni gari aina ya Nissan Murano,iliyomshtua kutoka katika mawazo,alikuwa kandokando ya mataa ya Mwananyamala,akatulia kidogo ili kutafakari kama ni yeye ndiye kapigiwa honi,alivyoliangalia gari akaliona linapaki karibu yake!Mtu,aliyemuona alitamani kukimbia sura hiyo haikuwahi kumtoka hata kidogo,alikuwa ni Kassim Kajeme, shemeji yake!
“Yusraaath!”
Kassim,akaita akawa kama mtu asiyeamini anachokiona kwanza alidhani amemfananisha pili isingewezekana hata kidogo kumkuta katika mazingira kama hayo machafu,akakumbuka namna msichana huyo alivyokuwa anamringia kila akimtongoza,namna alivyokuwa anamtolea nje kipindi alivyokuwa na Ahmed,fununu alizosikia ni kwamba kwa wakati huo anaishi na bilionea George Charles, jambo lililomfanya atake kujua ni mkasa gani ulimkuta mpaka akawa mahali hapo!
“Kassim”
“Umepatwa na nini?”
“Ni maisha tu”
Ingawa alikuwa amefubaa na kukongoroka mwili lakini uzuri wake,ulionekana.Mfano angeoga na kuvaa nguo mpya kisha kupaka mafuta mazuri angerudi kwenye chati,Kassim akaanza kulifikiria hilo akawaza ampandishe ndani ya gari waende hotelini ampe chakula waoge kisha amtumie kingono ili ndoto yake itimie,akafikiria kwa muda kabla ya kuchukua hatua hiyo.
“Ebu,kaa hapo unihadithie kilichotokea”
“Kassim,Mungu anisamehee sana!Nimemkosea sana kaka yako”
“Yashapita hayo,usijali”
“Naomba pia unisamehee sana”
“Kwa kosa gani?”
“Nimewakosea wote,bora nife tu”
“Usiseme hivyo unakufuru!Ingia ndani ya gari twende”
“Wapi?”
“Nikupeleke ukaoge na ule,uvae nguo nzuri”
Kassim hakutofautishwa na mchungaji anayemkatia majani mbuzi kisha baadaye amchinje!Yusrath hakuwa na chaguo lingine,maringo yote yakamuisha hakua na chaguo zaidi ya kukubali msaada ambao hakujua mwisho wake ungekuwa kuvua nguo na kufanya ngono,kabla hajapanda ndani ya gari akahisi kuna mtu kamshika begani,alivyogeuka moyo wake ukapiga paaa, kwa mshtuko!

******
Siku zote,atafutaye hachoki na akichoka ujue keshapata tayari!Mihangaiko ya Ahmed kupata kazi,ilizaa matunda na ilionekana wazi kabisa kwamba angeenda kuajiriwa sababu alipeleka Cv zake,akiwa kazirekebisha kama alivyoambiwa na Mama aliyemkuta ofisini aliyejitambulisha kwa jina la Veronica,alimshukuru sana Mungu kwa jambo hilo na kwa wakati huo,alichokuwa anasubiri ni simu kutoka kwenye ofisi ambayo alipewa moyo kwamba angepata kutokana na taaluma na elimu yake!Mungu sio Athuman,siku ya Alhamisi saa saba mchana akapokea simu ikimwambia anatakiwa aanze kazi siku ya Jumatatu,furaha aliyokuwa nayo ilimfanya apige kelele na kumrukia Hajrath,akampiga mabusu mengimengi ya mdomo,kichwani,mashavuni na kila mahali hiyo yote ilitokana na furaha aliyokuwa nayo!
“Nimepata kazi mpenzi wangu,Mungu mkubwa Mungu mkuuubwa jamaaani…Uwiiiiiiii yeuwiiiiii”
Ahmed,akawa kama mtoto mdogo anakimbia huku na kule,mara aingie jikoni mara chumbani ili mradi furaha ndani ya nyumba,hata Hajrath alionesha furaha isiyo kifani kwani Ahmed akiwa na furaha nayeye hua na amani na nyumba inakuwa na upendo pia!

*****
Kuanzia siku hiyo masaa yalijivuta taratibu na Jumatatu kwake akaona kama Mwaka mzima,akawaza jinsi atakavyokuwa ofisini afanye kazi kwa bidii anunue kiwanja na kujenga kwa haraka, hata hivyo wazo hilo alivyolifikisha kwa Hajrath akamshauri na kumwambia ni bora waanze na vitega uchumi kwanza ili taratibu mambo mengine yaende,halikuwa wazo baya lakini hakutaka kulitia maanani sana sababu aliamini hisia zake!Jumatatu haikua mbali siku hiyo,aliamka asubuhi na mapema,nguo tayari zilikuwa mahali pake zimepigwa pasi usiku uliopita na Hajrath, akazivaa akanywa chai na kuingia ndani ya gari,safari ya kwenda kuanza kibarua kipya ikaanza hapohapo!Njia ilikuwa nyeupe na ndiyo jambo alilokuwa anaomba litokee,ndani ya dakika hamsini akafika tayari,akaweka gari na kuingia ndani ambapo huko aliambiwa aonane na mtu anayeitwa, Gipson Paul!
“Yupo,pita ndani mlango wa tatu”
Ahmed,akakaribishwa akanyoosha mpaka ndani ya ofisi hiyo ambapo alikaribishwa na upepo mzuri wa kiyoyozi,ofisi ilikuwa kubwa na yenye hadhi!Meza kubwa yenye upana mrefu,pembeni kuna makochi ya gharama,jamaa aliyekuwa mbele yake mweusi mwembamba alitoa ishara ya mkono akimruhusu akae huku akiendelea kutupa macho juu ya kompyuta!
“Ahmed Kajeme,right?”
“Yes,ndio mimi”
“Karibu sana,una bahati sana!Hii ndio itakuwa ofisi yako!Mimi nahamishwa,nadhani maelezo mengine atakupa bosi”
Moyo wa Ahmed ulikosa utulivu,kutokana na ofisi hiyo kuwa kubwa kwa kiasi cha kutosha,ilipangilika vizuri na kando kulikuwa na kabati kubwa ndani yake kukiwa na mafaili yaliyopangwa vizuri kabisa!Akiwa katikati ya dimbwi zito la furaha mlango ukafunguliwa,akageuka na kuona sura ya Veronica,siku hiyo akiwa katika vazi la dera la gharama hiyo ilimfanya asimame kwa heshima mikono nyuma!
“Shikamoo sista Veronica”
“Kumbe umefika?”
Akauliza na kuipiga chini salamu yake!
“Bosi,shikamoo”
Aliyekuwa ndani ya ofisi,akasalimia lakini cha ajabu salamu yake iliitikiwa hapohapo kisha Veronica,akamgeukia Ahmed akiwa katika tabasamu, kipande cha jino la dhahabu kilichokuwa kwenye jino la juu,kikaonekana!
“Gipson,ushandaa huo mkataba?”
“Tayari boss,huu hapa”
Veronica akakabidhiwa bahasha kubwa,akamgeukia Ahmed!
“Nifuate”
Akasimama,wakatoka nje ambapo huko waliingia ndani ya lifti, ikabonyezwa namba 5,ikaanza kupata taratibu na kilichosikika hapo ulikuwa ni muungurumo wa mashine ya lifti, mpaka ilipofika gorofa namba tano na kufunguka,wakatembea mpaka kwenye ofisi ya Veronica!
“Karibu”
Akapita mbele,akachukua rimoti ya kiyoyozi na kubonyeza ikawaka, ubaridi ukaenea ofisi nzima!
“Keti”
“Ahsante”
Bahasha ikawekwa mezani,Ahmed akaambiwa afungue na asome kwa makini zaidi,ilikuwa ni barua ya mkataba ambayo ilionesha mshahara wake pamoja na kanuni za kazi!Alivyohakikisha vizuri,akachukua kalamu na kusaini kwa chini kukubali kila kitu kilichoandikwa.
“Karibu sana,unaweza kwenda kwa Gipson,akupe maelekezo vizuri.Uanze kazi,feel free!Ukiona huelewi,uliza ama nipigie simu!Uzembe katika kazi,sitoruhusu!Wewe ni mtu mzima,sitopenda kukufuatilia fuatilia!”
“Ahsante bosi”
“Unaweza kuniita Sista Veronica kama nilivyokwambia”
Ahmed,akasimama wima suruali yake aina ya kadeti ikamfanya aonekane maridadi sana,ukiacha hiyo alivaa shati jeusi lililombana kiasi, ndevu zake alizikata vizuri zikazunguka na kuchora herufi O mdomoni.Alivyofika Mlangoni,Veronica akaliita jina lake,akageuka na kumtizama!
“By the way,you are very smart!”(Hata hivyo umependeza)
Veronica,akamwaga sifa akitoa tabasamu mwanana akimuangalia Ahmed kwa macho fulani hivi,yasiyokuwa ya kawaida.




Ahmed alijisikia amani ya moyo akashukuru sana kwa namna bosi wake alivyomsifia tena kwa siku ya kwanza,kichwani akawaza siku inayofuata apigilie pamba awe mtanashati avunje kabati ili amwagiwe sifa kemkem,akavimba bichwa akabadili na miondoko kabisa mikono yake akaitanua kama mtu mwenye majipu ya kwapa!Furaha yake ikazidi kiasi kwamba muda wote alionesha tabasamu la waziwazi,alichokifanya ni kunyoosha kwenye lifti na kushuka mpaka ofisi aliyoelekezwa ya bwana Gipson Paul,alimkuta akiwa katika harakati za kupanga vitu ndani ya begi lake!Kwa kuwa maagizo yaliachwa hakukuwa na muda wa kupoteza,Ahmed akaelekezwa namna ya kufanya kazi akapewa ‘password’ ya Kompyuta na baadhi ya mafaili,akakaribishwa kiti na kutulia.Moyo wake ulikosa utulivu kwa sekunde chache,hakutaka kuamini kwamba amepata kibarua na yupo ndani ya ofisi kubwa, namna hiyo!
“Ukiripoti kazini,hakikisha unaweka kidole chako pale mlangoni.Kile ni kifaa maalum cha kutambua umeingia saa ngapi!Make sure saa mbili kamili asubuhi upo hapa,hii simu kuna maelekezo kwenye kitabu namba zake zipo humu”
“Nimekuelewa”
“Kama kuna swali lingine,usisite kuuliza!”
“Hakuna shaka Chif”
“Nadhani hakuna la ziada”
“Kama kuna chochote,nitauliza”
Kuanzia hapo Ahmed alikuwa bize hakutaka kuzungumza wala kuuliza kitu chochote kile,kazi yake ilikuwa ni kufanya ukaguzi wa mahesabu yalivyoenda katika ofisi hiyo,akachukua ‘invoces’ zote na nyaraka zilizoandikwa,akaingia kwenye kompyuta na kuanza kufukunyua kama moja ya kazi yake aliyopewa,aliapia kuitumikia kampuni hiyo kwa moyo mmoja tena mkunjufu, maisha aliyokuwa anaishi akiranda mitaani hakutaka kuyakumbuka wala kurudi tena!Hakuelewa ni ubize ama mcheche wa kazi kwani hata ilivyofika saa saba, wafanyakazi wenzake walivyoenda kula yeye hakubanduka ofisini akisingizia yupo sawa ameshiba!Ilivyogonga saa kumi jioni,mlango wake ukafunguliwa Veronica akaingia!
“Pole na kazi”
“Ahsante”
“Hivi,ulikula?”
“Hapana,nimeshiba tu”
“Okay,nakuomba mara moja!Njoo nikutambulishe kwa wafanyakazi wenzako ili wakujue”
Kufuatia hapo Ahmed alisimama,wote wakatoka nje ambapo huko walikumbana na watu sio chini ya kumi na sita,wavulana kwa wasichana!Ilielekea Veronica aliwaambia kitu hicho!Hakutaka kuzungumza maneno mengi zaidi ya kuwatambulisha Ahmed mbele yao kama msaidizi katika kitengo cha Manunuzi!
“Kwahiyo basi,naomba mumpe ushirikiano wa kutosha!Bado ni mgeni”
“Sawa Madam”
“Sawa Madam”
Wote waliitikia kwa adabu na heshima wakionesha unyenyekevu wa hali ya juu sana!Kila kitu kikawa shwari na alichoshukuru Ahmed ofisi hiyo hufungwa saa 11;30 ya jioni,alivyohakikisha kafunga baadhi ya hesabu akatoka nje na kumuendea mmoja wa wafanyakazi akimuuliza funguo anatakiwa kuweka wapi!
“Ondoka nazo tu,humu kila mtu ana funguo zake”
“Ahsante,tutaonana Kesho”
“Sawa,Kaka Ahmed”
Ahmed,akaondoka eneo hilo akiwa mwenye furaha zote!Hata alivyofika nyumbani kwake hakuacha kumuhadithia Hajrath kipenzi chake jinsi alivyoanza kazi na alivyopokelewa kwa furaha,wote wakamshukuru Mungu!Hatimaye furaha ikarudi upya,licha ya kuwa na furaha kubwa mioyoni mwao lakini Hajrath ilionekana aliilazimisha furaha yake kwa upande mwingine!Hilo Ahmed alilijua kabisa,akamfuata na kumuuliza!
“Nipo sawa mpenzi”
“Haupo sawa,niambie una nini Mke wangu.Mimi nakujua,ukiwa na furaha najua ukiwa na huzuni pia nakuelewa!Please,usinifiche”
“Baby”
Hatimaye akaita,akamuangalia Ahmed kwa macho fulani yaliyokuwa na wasiwasi mkubwa sana!Hakua ana uhakika kama angepata ufumbuzi wa tatizo lake ama msaada sababu alimuelewa Ahmed,alikuwa ni mwanamme wa kupotezea vitu wala havitili maanani,alichoshukuru mbali na kuwa mpenzi wake walikuwa ni marafiki wa kufa na kuzikana!
“Nimetoroka nyumbani,nilikwambia juzi!Ukapotezea sikupenda,nilichukia sana”
“Sikupotezea Darling,nilikuwa na usingizi”
“Mbona asubuhi hukuniuliza tena?”
“Nilisahau Laaziz,nisamehee”
Kufuatia hapo,ulitokea ukimya wa hali ya Juu!Hajrath alizidi kutafakari namna baba yake alivyokua mkali na siku ikigundulika yupo kwa Ahmed,itakuwaje?Alijua kabisa kama sio Ahmed kurudi tena kituo cha polisi basi angefanyiwa kitu kibaya ama angetukanwa matusi ya nguoni jambo ambalo hakuwa tayari kulishuhudia,hilo lilimfanya ainamishe kichwa chini na kuwaza sana!
“Baba,hajui nilipo.Hata Mama yangu”Akaongea kwa utulivu na kutia huruma!
“Kwanini ulifanya hivyo?”
“Kwa sababu nakupenda Ahmed”
“Unanipenda kweli?”
“Ndio maana nipo hapa nawewe”
“Kajiandae twende nyumbani kwenu”
Haikueleweka kwamba aliropoka ama alipelekwa na hisia lakini kile alichozungumza Ahmed alimaanisha jambo lililomfanya Hajrath, atetemeke zaidi,ilikuwa wazi kabisa kwamba hakujiandaa na jibu kama hilo kutoka kwa Ahmed ndiyo maana akauliza mara mbilimbili.
“Nikajiandae twende wapi baby?”
“Nyumbani kwenu”
“Nyumbani kwetu?”
“Ndio,sasa hivi”
Hajrath hakuamini ikabidi aulize tena na tena!Hata hivyo msimamo wa Ahmed ulikuwa palepale hata yeye alijishangaa siku hiyo ni wapi aliutoa ujasiri huo!
Hakukuwa na namna nyingine ya kujishauri, alichokifanya Hajrath ni kuingia chumbani,akaoga na kuvaa dera safi!Hakuwa na raha,alimuhofia baba yake kuliko kitu chochote kile,akaanza kujuta ni kwanini alitoroka nyumbani kwao,alishaelewa ni kwa namna gani wazazi wake wangekuwa wanamtafuta kila kona kwani alizima simu na hakuna hata mmoja kati yao aliyepajua kwa Ahmed,hisia nyingi za kuogopesha zikamiminika kichwani kwake akawa kama anatizama mkanda wa filamu!
“Wewe hubadilishi nguo?”
“Nitaenda hivi hivi”
“Hapana, kaoge ubadilishe nguo”
Sio kwamba Ahmed,hakupendeza bali Hajrath alitaka kununua muda na kutafakari kama maamuzi yake yapo sahihi ama anahitaji kufikiria upya,hata hivyo alipiga moyo konde na kutamani ajitokeze kwa wazazi wake ili mambo yaishe!Dakika arobaini baadaye Ahmed akatokeza akiwa amevaa kadeti na shati la mikono mifupi la rangi nyeupe,chini kavaa moka iliyochongoka kiasi!
“Twende,nipo tayari”
“Wapi?”
Hajrath akajikuta anauliza tena swali ambalo hakika lilimponyoka!Hata hivyo,hakuuliza tena akasimama wote wakatoka nje na kuingia ndani ya gari, safari ya kwenda Kimara Stop Ova,ikaanza mara moja!

*******
Dunia ilimpa kisogo,akahisi kama amebeba gunia la misumari kichwani.Mambo yote yalikwama kabisa!Hakuwa na senti hata moja mfukoni angalau angepata basi la kurudi mkoani kwao Kigoma,kila baya alilolifanya aliliona na alijutia dunia ikamfunza adabu!Baada ya kufukuzwa na Amney aliyempa hifadhi sasa akaingia mitaani,huko alikutana na kundi linaloongozwa na msichana mrembo anayeitwa Besta, hakutaka kumficha akamchana na kumwambia kazi yake ilikuwa ni kujiuza usiku kwenye makasino na ‘bar’ kubwa jijini Dar es salaam!Akaanza kuipigia debe kazi yake ambayo kwa siku alipiga mkwanja wa laki moja bila kutumia nguvu,kwa mara ya kwanza ilikuwa ngumu kwa Necka Golden kukubali lakini kwa kuwa alitaka kuishi na pesa aliipenda hakuwa na jinsi wala chaguo lingine!Hata hivyo alitaka apate pesa ya kurudi kijijini kwao Kigoma kwa wazazi wake, mjini kulimshinda.
“Ngoja nikupe mfano mzuri,mimi bila twenty.Siondoki na mtu,tena twenty yenyewe kimoja tuuu!Anapiga fasta,sasa piga hesabu vichwa kumi hapo!Una ngapi,changamka mjini hapa Necka”
Siku hiyo Besta,aliipigia debe biashara yake akawa kama dalali aliyepata mteja wa chumba!Walikuwa ndani ya chumba kidogo kilichofanana na geto,godoro lipo chini kando kuna meza ndogo iliyojaa vipodozi, ambapo chini kulikuwa na maboxi matatu ya kondomu!
“Ukipata mimba ujue kazi hauna,inabidi uwe mjanja sana”
Ilikuwa ngumu kwa Necka Golden kuamini msichana kama Besta,mrembo wa sura na aliyekamilika kila idara angekuwa dada poa yaani changudoa anayejiuza barabarani,mrembo huyo hakustahili kabisa, alipaswa kuwekwa ndani na kuolewa!Hata hivyo hakutaka kujishughulisha na wazo hilo sababu aliamini kuolewa ni bahati.
Usiku wa siku hiyo ulipofika,akapewa nguo avae kitendo cha kuziweka mwilini,alishtuka sketi ilikuwa fupi mno na juu alipewa topu ilioonesha kitovu chake, kilichoingia ndani,hata hivyo Besta alikuwa ana kitu cha kumuongezea,kikuku na shanga za kiunoni.
“Vaa hivi”
Mpaka hapo,akafanana na wao!Wasichana wengine wanne wakatokea,ambapo pikipiki ziliwafuata zikawapeleka Sinza, kwenye moja ya ‘bar’ kubwa inayojulikana, kila mwanamme aliyemuona Necka Golden alimchombeza na alimshobokea akitaka apewe penzi!

******
Hakuwa ana uhakika kama alikula chakula kilichoharibika ama kilichochacha kwani tumbo la kuharisha lilimbana sambamba nala kukata,hakuelewa kama ni uwoga ama kweli!Muda wote Hajrath alikuwa mwenye wasiwasi, akitamani safari iwe ndefu,sura ya baba yake ilivyokuja kichwani aliogopa mno!Saa kumi na mbili na dakika nne,walifika Kimara mwisho wakazidi kusonga mbele Ahmed hakuonesha wasiwasi wa aina yoyote ile,alimpenda Hajrath ndiyo maana alitakiwa kupeleka mambo kiume sio kuogopa ogopa, alijifika ujasiri wa Simba akakubali kama mbwai iwe mbwai tu!Mara ghafla akajifananisha na mnyama huyo Simba, mfalme wa Mbuga akiwa msituni anawinda!
“Baby,au turudi?”
Haikujulikana kama Hajrath anatoa wazo ama anauliza.
“Stop ova ndio pale,tunakunja wapi?”
Ahmed,akapotezea swali akauliza lake huku akiwa makini kusikiliza majibu ya Hajrath!
“Zilipopaki bajaji,linapotoka lile lori!Kunja hapohapo”
Ahmed akatii amri akiwa makini kabisa,alivyoifikia kona akaikunja taratibu na kuendelea kufuatisha maelekezo ya Hajrath ambapo aliingia barabara ya vumbi na kushusha kilima kidogo,akaambiwa asimame mbele ya nyumba, yenye geti jeusi!
“Ndio hapa Baby”
Alijibu kwa upole na kutia huruma, kifupi aliogopa na alitetemeka hofu ilimjaa.
“Sawa tushuke”
“Sasa nitaenda kusema nini?”Lilikuwa ni swali kutoka kwa Hajrath.
“Kusema ukweli”
“Ukweli gani Ahmed?”
“Hajra,tushuke tuingie ndani.Mambo mengine tutajua hukohuko”
Haikua rahisi kama Ahmed alivyochukulia ndiyo maana Hajrath,akajishauri kwa kiasi cha kutosha kabla ya kuteremka na kufungua geti akapiga ishara ya msalaba!

*****
“Polisi,mshatoa taarifa?”
“Ndio,kila sehemu leo Baba ake ameenda kwenye Redio”
“Mnahisi atakuwa wapi?”
“Hakuna anayejua,tushamtafuta kila sehemu”
“Upumbavu huu karudia tena?Mama ndio faida hizi za kumdekeza Hajra!Anawapanda kichwani”
“Hassan,mimi sijamdekeza”
“Kumbe nini sasa?Mara ya kwanza hivyo hivyo,hii mara ya pili!Mimi nikimpata,nitampiga nitaua”
“Usiseme hivyo”
“Kumbe niseme nini?Hii siku ya ngapi,tunamtafuta nimeacha shughuli zangu chungu mzima”
Amani ilitoweka ndani ya nyumba kila mtu alimsaka Hajrath kila mahali,walizunguka kwa kila ndugu,jamaa na marafiki kumulizia lakini hawakuambulia kitu chochote kile,ndiyo maana kaka yake mkubwa anayeitwa Hassan akaingilia kati akiwa mwenye hasira kama chui aliyejeruhiwa na mkuki!
Jazba ilikuwa kubwa sana,katikati ya majadiliano hayo mlango ukafunguliwa kila mtu akatupa macho yake mlangoni,wakashtuka kumuona Hajrath kilichowachanganya zaidi ni mwanamme aliyefika naye!Tayari tumbo la Hajrath lilikuwa kubwa kiasi,Mama Hajra badala ya kufoka,akamkimbilia mwanaye na kumrukia kwa furaha!Hiyo ilimfanya Hassan amuangalie Ahmed kwa uchu na hasira, ilielekea kuna kitu alikuwa anasubiri kwa mwanamme huyu mpumbavu anayemdanganya dada yake!
“Mama shikamoo”
Ahmed,akasalimia alivyoona hajibiwi akamgeukia Hassan na kumsabahi lakini hakuitikiwa pia,akaketi juu ya sofa na kumsubiri Hajrath aseme jambo!
“Mama,naomba mnisamehee kwa kila kitu kilichotokea!Huyu unayemuona hapo,anaitwa Ahmed ndiye yule mchumba angu nilikuwa kwake al….”
Hassan,hakuweza kumsubiri Hajrath amalizie kuongea sentensi yake ambayo kwake aliifananisha na utumbo wa bata,akamvaa Ahmed mzima mzima akamuinua na kumtwangwa kichwa cha pua,akamshindilia ngumi tatu za mbavu za haraka,kufumba na kufumbua kila kitu kikawa kimeharibika, Hajrath alivyotaka kuingilia akatulizwa na kibao kikali cha shavu akapepesuka na kupiga yowe kali!
“Tulia Malaya wewe,ngoja nimfunze adabu huyu mpumbavu wako”
Uwezo wa kujibu mashambulizi alikuwa nao lakini aliogopa kufanya hivyo ukweni kwani angeharibu,hiyo ilimfanya Hassan azidi kumshindilia ngumi na vichwa vingi,kimoja cha mdomo kikampasua na kumfanya Ahmed ahisi maumivu makali,uvumilivu ukamshinda akakunja ngumi nzito kwa nguvu zake zote,akamsukuma Hassan na kumtwanga ngumi moja takatifu ya shingo iliyomtupa juu ya meza,akadondoka mzobe mzobe kama embe dodo mtini,puu!




Haikuwa picha nzuri lakini hakuwa na jinsi,hivyo ndivyo alivyokuwa!Hata siku moja hakukubali kuonewa na ndiyo maana baada ya kushambuliwa kwa misumbwi nayeye akajibu bila kujali kwamba alikuwa ukweni,hata hivyo Hassan nayeye hakua tayari kutoa ushindi kirahisi akasimama na kujizoa akiwa chini,akamvaa Ahmed na bega wote wakadondoka kwenye sofa na kuanza kushikana mashati kwa wakati huo Hassan alipata mwanya wa kumshambulia Ahmed ngumi za tumbo na mbavu huku akiwa amembana vizuri mikono, hiyo ilimfanya Ahmed azidiwe nguvu lakini hakukubali,sikio la Hassan lilikuwa karibu yake,akafunua mdomo wake na kulitia jino kwa nguvu!Kilichosikika hapo zilikuwa ni kelele kutoka kwa Hassan akilalamika anaumia,hiyo haikufanya Ahmed amuachie alikuwa kama mbwa aliyeshikilia mnofu wa nyama!Hajrath alihisi kuchanganyikiwa mama yake ndiyo usiseme hawakuwa na jinsi,walivyotaka kutoka nje ili wakaite majirani wawape msaada,mlango ukafunguliwa,Mzee Mpilla akaingia!Jambo aliloliona lilimfanya ashangae sana!
“Kuna nini hapa?”
Mzee akauliza kwa hamaki akiwa bado mlangoni,anatizama kwenye kochi!Alimtambua Hassan lakini mwanamme mwingine aliyekuwa chini yake,hakumjua hiyo ilimfanya Hajrath ababaike!Kivyovyote vile akaamini Ahmed tayari ameunguza picha,akajuta kwanini alimleta siku hiyo.
“Nawewe ulikuwa wapi?”
Mzee akatupa swali lingine,Hajrath akashindwa kuelewa aanze kujibu lipi.Hali ilitulia baada ya Mzee Mpilla kuingilia kati,sikio la Hassan lilianza kutoa damu kwani meno ya Ahmed yalimchimba sana,akabaki analalamika na kutoa matusi huku akitaka Ahmed aondoke mahali hapo mara moja!
“Wewe ni nani?”
Mzee Mpilla aliuliza,akimtizama Ahmed vizuri anayehema juu juu kwa pupa!Hata hivyo sura hiyo aliifananisha ingawa hakua ana uhakika kama aliiona sehemu ama duniani wawili wawili.Badala ya Ahmed kujibu,akasimama wima akawatizama wote na kuanza kuufuata mlango kwa niya ya kuondoka kwani alishajua tayari kanyea kambi!
“Wee kijana si nimekuuliza”
Kwa sauti ya juu akauliza Ahmed kabla ya kufika mlangoni akageuka, hapo ndipo Mzee huyu aliyefura kwa hasira akaikumbuka sura hiyo vizuri sana!
“Wewe si mtoto wa Mr.Kajeme?”
Moyo wa Hajrath ukapiga paa!Hakuelewa ni kivipi Baba yake amemfahamu Ahmed!
“Ndio mimi”
“Ebu kaa hapa,unieleze kuna nini!Kwanini umekuja kunifanyia fujo nyumbani kwangu?”
Akiwa katika jazba kubwa na kujaribu kuunga matukio ya mambo fulani kichwani,ghafla akakumbuka siku moja akiwa kituoni anamtafuta Hajrath baada ya kumkosa chuoni Makumira,akamkumbuka msichana mmoja anayeitwa Mpangw’a alivyosema kwamba Ahmed alikuwa na mahusiano ya kimapemzi pia na Hajrath,mzee akamgeukia binti yake na kumtizama!
“Hajrath ulikuwa wapi?”
Lilikuwa ni swali la moja kwa moja ambalo lilihitaji jibu lisilokuwa na maelezo,Hajrath aliogopa akamtizama Ahmed aliyekuwa mlangoni kapigwa na bumbuazi,kubaki anataka kuondoka pia anatamani!
“Nilikuwa hapa hapa Dar”
“Nijibu swali langu,usiniletee mambo ya Kijinga hapa!Ulikuwa wapi?”
“Kwa Ahmed baba”
Maji alishayavulia nguo ilikuwa sharti ayaoge, ndiyo maana akaropoka na kukubali kila kitu kitakachotokea mbele!
“Ahmed ndio nani?”
Mzee akauliza swali la kiwaki,ambalo jibu lake alikuwa nalo mwenyewe kwani Ahmed alikuwa mbele yake!
“Yule pale Baba”
Mzee Mpilla,akaishiwa nguvu ghafla na kunyong’onyea, fadhila alizopewa na mzee Kajeme mpaka Hajrath akapatikana bado alizikumbuka na zilikuwa zinamiminika kichwani kama maji,akakumbuka jinsi alivyokaribishwa ofisini kwa mzee huyo akapewa ushirikiano wa kutosha mpaka mwisho!Kitendo cha kufanya kitu kibaya kwa Ahmed, lisingekuwa jambo jema hivyo kwa heshima ya Mzee Kajeme akajikuta anakuwa mdogo kama kidonge cha pilton,akamuomba Ahmed akae kwenye sofa, jambo lililowashangaza mzee akawa mpole na mtulivu ghafla, akamtizama Ahmed kwa macho fulani hivi ya kirafiki!
“Baba yako ni rafiki yangu sana”
Mzee akaanza kutoa sera!
“Ni rafiki yangu wa muda mrefu mno,hata pale kwenu nishawahi kufika!Kwanini hukuja mapema kujitambulisha hapa?Huyu ni binti yangu!Ulichokuwa unakifanya ni hatari sana,mimi nilijua binti yangu ametekwa kumbe yupo kwako!Hilo sio jambo zuri hata kidogo”
Alijaribu kuonesha ukali kidogo lakini alifurahishwa kiasi kwa Ahmed kutoka kimapenzi na binti yake ingawa jambo hilo hakutaka kulionesha waziwazi,akamgeukia Hajrath na kumtizama akaliangalia tumbo lake la mimba kisha kumrudia Ahmed.
“Mambo haya yana utaratibu wake,tuna tamaduni zetu sisi wa Afrika na kimila pia,vijana msipende kupeleka mambo kiholela holela!”
Kwa akili ya ki utu uzima na jinsi Hajrath alivyochambua mambo akaelewa kabisa kwamba Baba yake hakuwa na kipingamizi,alichotakiwa kukifanya ni kumshawishi Ahmed apeleke mahali ili amchumbie kisha taratibu nyingine zifuate!
“Siku hizi upo wapi?”
Ahmed akatupiwa swali.
“Ubungo Kibangu”
“Sina maana hiyo,yaani unajishughulisha na nini?”
“Nipo kampuni moja inaitwa Jogra,PMU pale!Kitengo cha manunuzi”
“Hivi mzee yupo mjini au kasafiri?”
“Yupo”
“Kuna kipindi,alinisaidia sana!”
Kila kilichotokea kilikuwa kama muujiza mkubwa,hakuna mtu hata mmoja kati yao aliyeamini Mzee Mpilla angekua mpole namna hiyo,hatimaye baada ya Ahmed kuongea mawili matatu akaaga!Alivyotoka nje,Hassan akamfuata na kumsimamisha lakini Ahmed hakugeuka nyuma akaingia ndani ya gari, ambapo huko Hajrath alifika akiwa na furaha isiyo na kifani!
“Baby,Baba kakubali.Nije kuishi nawewe!”
“Whaaaaat”(Ninii)Akauliza kwa furaha!
“Nitakuja kesho Mme wangu,njoo unichukue basi”
“Sawa,nikitoka kazini nitakuja kukupitia”
“I love you”
Hajrath akaongea kwa mapozi huku akijishebedua na kuweka mapozi ya kikekike.
“I love you more,Kaka yako alinifuata al…”
“Achana naye,tuongee yetu!Pale najua kakasirika sana,mwache kama alivyo shauri yake!Baby nakupenda”
Ahmed akiwa ndani ya gari Hajrath nje,wakapigana mabusu ya mdomoni kupitia dirisha la mlango, lililokuwa wazi!

*******

Ushahidi wote ulikamilika,kuanzia wa maneno mpaka vitendo hivyo hakukuwa na njia ya Lissa Nzava kuepuka kikombe kinachomkabili,alijuta sana na kujilaumu kwa mambo yote aliyofanya bado alishindwa kuelewa kwamba alikuwa na mapepo ama akili yake kwani Bilionea George Charles alimpa kila kitu anachotaka lakini yeye akaendekeza tamaa mambo yote yakamtokea puani,tarehe 9 January kesi yake ilisikilizwa kwa mara ya tatu,hiyo ilimfanya Bilionea George Charles arejee kutoka Marekani ili kusikiliza hukumu hiyo itakayotolewa na Jaji Barnabas Kodende ingawa ilikuwa ngumu lakini hatimaye jaji akagonga nyundo mezani ili Lissa Nzava afungwe kifungo cha miaka ishirini jela,kwake alitamani iwe ndoto lakini haikuwa hivyo!Karandinga la magereza likafika wahalifu waliohukumiwa wakatolewa nje ili kupelekwa kwenye makazi yao gerezani.
“Georgeeeee”
Billionea George Charles aligeuka baada ya kuitwa,akamuona Lissa Nzava akiwa na pingu mkononi nyuma akiwa na maaskari, pembeni kuna gari kubwa la magereza!
“I’m so sorry”(samahani)
George Charles,akamtizama Lissa Nzava akitaka kumjibu lakini hakuelewa amjibu nini,akabaki ameganda kama sanamu.
“I love you my Husband”(Nakupenda Mme wangu)
Hapo George akatingisha kichwa kukataa kisha kuingia ndani ya gari lake,akaweka kichwa juu ya usukani na kusikitika sana,kilichomuinua ulikuwa ni ujumbe kupitia simu yake alivyoangalia akagundua umetoka kwa Dokta Baki,akaitizama vizuri na kusoma!Akatabasamu baada ya kupata uhakika wa kwamba watoto mapacha Faad na Faisal ni wake,hiyo ni baada ya DNA kutoa majibu hayo,hapohapo akawasha gari kwa niya moja tu, aende nyumbani abadili nguo na jioni hiyohiyo aende nchini Marekani kuwaona watoto wake mapacha!

******
Mshahara wa kwanza,kuingia benki uligawanywa mafungu matatu!Wakwe,Hajrath na nyumbani kwao kidogo!Kilichobaki,alimuita Hajrath ili kujadili kitu gani wafanyie!Hata hivyo haukuwa ushauri mbaya alichoshauriwa waweke kwanza akiba huku wakitafakari.
“Nataka tuifanyie kazi sasa hivi”
Ahmed,akaonekana kupinga hoja alichotaka yeye ni mawazo ya Hajrath na pesa hiyo itumike.
“Kuna vitu vingi,unaweza hata ukasubiri ijae jae ununue kiwanja”
“Eti eeeh?”
“Ndio”
Tumbo la Hajrath lilikuwa tayari kubwa,linaonekana na alihisi kuchoka ndiyo maana aliongea huku akihema!Mimba ilimfanya mashavu yake yavimbe yakawa kama mimba ya mbuzi,akanenepa mno miguu ikawa mikubwa na kuvimba kwa chini,mwendo wake ulikuwa wa kichovu na mara nyingi alipenda kulamba chumvi, kula mabungo na maembe mabichi.
“Ulikua unaongea na nani kwenye simu?”
Hajrath alilimwa swali baada ya kufika seblen na kukata simu,Ahmed alikuwa amevimba kwenye kochi kajitanua anaangalia tamthilia,swali alilouliza lilionesha kila dalili ya wivu.
“Nilikua naongea na Amney”
“Amney?”
“Ndio”
“Yule wa Makumira?”
“Ndio”
“Ana mpya gani?”
“We acha tu”
Ubuyu aliopewa Hajrath kutoka kwa Amney,ulikuwa wa moto na hakuwa tayari kumwambia Ahmed ukweli jinsi Necka Golden,alivyotembea na Nemesi akawafuma ‘live’ bila chenga wakiwa uchi wa mnyama,hata hivyo alikumbuka huyohuyo mshenzi Necka Golden alivyotembea na Ahmed kipindi wapo chuoni Makumira!
“Kafanya nini?”
Ahmed akaanza kumchimba!
“Ni mambo ya wanawake,ananiambia haoni siku zake huu mwezi wa tatu!Ameenda kupima mimba hana,sasa amechanganyikiwa”
Hapo Ahmed akashindwa kuongezea hoja nyingine,akabaki kimya anatizama televisheni huku wakishauriana ni kitu gani wakifanye ili kiwaingizie kipato huko baadaye!

*******
Kwa mara ya kwanza alichukulia kawaida lakini baadaye,akakosa raha kabisa visa havikuisha ofisini!Alikuwa mara aitwe mara aambiwe vitu tofauti na miiko ya kazi,Ahmed alikerwa lakini hakuwa na jinsi sababu aliogopa kufukuzwa kazi ama kupigwa lidandasi!Veronica alimsumbua kwa kiasi cha kutosha na kumfanyia vitimbwi,Ahmed hakuweza kukaa ofisini kwake zaidi ya masaa mawili bila Veronica kuingia ama kuitwa ofisini kwa Veronica,hilo lilimfanya akasirike lakini alionesha tabasamu ili kulinda kibarua chake!Siku hiyo ilikuwa kali ya mwaka,alivyoitwa na kuambiwa amfunge kifungo cha kwenye blauzi yake!
“Njoo unifunge hapa,kifungo kimeachia”
Ahmed,akabaki ameduwaa anamtizama Mama huyu mtu mzima!Ambapo siku hiyo alivaa blauzi ya rangi nyeusi nyepesi inayoonesha mstari wa sidiria kwa nje,isitoshe kifungo kimoja cha juu kilikuwa wazi ziwa lake nusu likawa nje!
“Lakini bo..si si ujifunge mwenyewe”
Ilikuwa ni kauli mbaya,iliyomfanya Veronica akunje sura na kukasirika kwa kiasi cha kutosha,akamkazia macho Ahmed.
“Unasema nini?Mimi ni nani yako?Naona umeota pembe Ahmed,okay sawa!Toka ofisini kwangu”
Ahmed,alitetemeka na kuogopa kwa wakati mmoja kwani hakuelewa ni kwanini bosi wake Veronica anafoka namna hiyo,tukio hilo lilimfanya abaki njia panda! Aombe msamahaa ama asimame na kuondoka zake!


Ahmed alikuwa katika wakati mgumu mno!Hakuelewa ni lipi kosa lake lililosababisha mpaka bosi wake Veronica amfokee kama mtoto mdogo tena kwa sauti ya juu,mbaya zaidi alikuwa ni mtoto wa kike jambo lililozidi kumchoma moyo!Alivyotaka kusimama akasita alivyotaka kukaa akasua,bado alikuwa mzito kutoa maamuzi ya haraka!
“Bosi naomba nisamehee”
Ahmed alijikuta akaiomba msamahaa bila kujua ni kosa gani kalifanya,hata hivyo ilibidi afanye hivyo kwani aliyekuwa mbele yake alikuwa ni mkuu wa kazi, kwenda kinyume na anavyotaka kibarua chake kingeota nyasi,hiyo ingepelekea asote na maisha jambo hilo hakutaka litokee, ndiyo maana akawa mpole ghafla!
“Ondoka ofisini kwangu,nimekwambia ondoka”
Veronica alifoka,bado alikuwa mwenye jazba na wakati mwingine alijaribu kutumia ukali huo ili kumuogopesha Ahmed,hata yeye kwa upande fulani alijisikia aibu kwa kijana kama Ahmed kumchomolea kumfunga kifungo,hakutaka kujifanya kwamba alikua na shida sana binafsi!
“Unadhani nakutaka sio?”
Veronica,akajihami!
“Hapana bosi”
“Ndio,unavyofikiria!Naelewa nyie vijana,mkiambiwa kitu kidogo mnafikiria vingine!Ondoka ofisini kwangu”
Hakukuwa na namna nyingine ya kuomba msamahaa zaidi ya kujizoa kutoka kitini na kusimama wima huku akimtizama Veronica kwa macho fulani yanayotia huruma,hiyo haikusaidia chochote kwani Veronica alikuwa bize kayatupa macho yake juu ya kompyuta anabonyeza ‘keaboard’,hakua ana habari yoyote na Ahmed mpaka aliposikia mlango wake wa ofisini umefungwa,akashusha pumzi ndefu na kutulia kidogo,akitafakari ni kitu gani akifanye sababu aliona siku hiyo angeshindwa kufanya kazi kabisa!
Hata hivyo Ahmed,hakutaka kuyaweka mambo kichwani,alichoamua yeye ni kujikita kwenye kazi,akawa bize muda wote mawazo yake yote yalikuwa kwa Hajrath alimfikiria kwa vitu vingi sana!Akapata muda kidogo kuwaza mambo mbalimbali ya kumfanyia ili asiwe mwanamke wa kula kulala,mara ghafla wazo la kumfungulia biashara likaja lakini hilo akaliweka kando kwanza sababu ilikuwa ni lazima ajifungue kwanza ndiyo mambo mengine yafuate!Akiwa katikati ya kazi ghafla sura ya Veronica ikamjia kichwani kwake,akakumbuka visa vyote alivyofanyiwa na mama huyo ambaye ni bosi wake,bado hakuelewa ni kosa gani kalifanya mpaka afokewe kama mtoto mdogo!
“Au ana yake?”
Ahmed,aliwaza na kujipa muda kidogo wa kutafakari mambo ya nyuma yaliyotokea,haikuwezekana hata kidogo eti kugoma kumfunga kifungo amfokee namna hiyo,hata hivyo aliyaacha mambo kama yalivyo, akajikita katika shughuli zake,mezani kulikuwa na karatasi nyingi za kutosha,hizo ilibidi ajaze na kuziingiza kwenye kompyuta!Akafanya kama inavyotakiwa,akiwa bize na jambo hilo mlango wa ofisini kwake ukafunguliwa alivyotupa macho yake mbele moyo wake ukapiga kwa nguvu kwenye kifua paa!Mbele yake alimuona Veronica,akabaki ameduwaa anamtizama jinsi anavyotembea mpaka alivyokaa kwenye kiti cha wageni,kulikuwa kuna kila dalili za kufukuzwa kazi siku hiyo kwani alimkera muda mfupi uliopita, hata hivyo alikuwa tayari kwa kila kitu.
“Umeshakula?”
Lilikuwa ni swali la kwanza kuuliza Veronica huku akimtizama Ahmed machoni,akakunja nne na kuegemea kiti kimwinyi!
“Hapana”
“Ukale,saa saba hii”
“Nitakula tu”
“Au upo kwenye Dayati?”
“Hapana,nitakula tu”
“Au ndio wanaume wa Dar,hampendi kula”
“Sina njaa,hata hivyo kuna kazi nataka kumalizia hapa ndio inaniweka”
“Hizo kazi huwa haziishi,kila siku zipo!Usipokula utapata ulcers”
“Ni kweli Mama aaah Dada Veronica”
“Kuna document hapa,unatakiwa kujaza!Usaini,ziende kwa Supplies Officer tupate kazi nyingine,kuna mradi fulani naufukuzia,ningependa nawewe uwepo”
“Hakuna shida”
“Kazi njema”
Haikueleweka Veronica,alifuata nini ofisini kwa Ahmed sababu alizungumza vizuri tofauti na mwanzo,zile hasira zote zikaisha,akawa kama rafiki yake ambaye hawakuwahi kugombana kabisa,hilo lilimshangaza sana Ahmed, akashindwa kuelewa ni sinema gani inachezwa siku hiyo,Veronica akatembea kwa mwendo wa madahaa mpaka mlangoni ambapo hapo aligeuka na kumuangalia Ahmed!
“Usisahau kula”
“Okay,nitakula”
Kwa Ahmed ilikuwa furaha kidogo,kwake akaamini mambo tayari yamekwisha akafanya kazi kwa amani na furaha tele,ilivyofika saa kumi ya jioni muda wa kuondoka,akafunga ofisi na kunyoosha mpaka nje ambao huko aliagiza mchemsho wa kuku na soda ya baridi aina ya Coca Cola,alivyohakikisha tumbo lipo sawa,akasimama lakini kabla ya kupiga hatua chache akashtuliwa na simu yake ya mkononi,alivyoangalia akashtuka na kutabasamu kwa wakati mmoja,akaipokea na kuiweka sikioni!
“Ngowiiiiiii,ndugu yangu”
“Ahmed,ndio naingia sasa hivi nipo Airport”
“Nikasema huyu jamaa kazamia nini?Ni muda umepita sana…”
“Naelewa,lakini nashukuru Mungu nimerudi salama!Naenda kupumzika,nitakupigia baadaye”
“Poa Ngowi,pole na uchovu”
“Nishapoa”
Ilikuwa ni furaha kubwa nyingine iliyomfanya Ahmed atabasamu baada ya rafiki yake kipenzi Ngowi kurejea kutoka nchini China,alikuwa ana mengi ya kumuhadithia wakikutana hata hivyo hakutaka kubaki eneo hilo tena,akaingia ndani ya gari na safari ya kurudi nyumbani kwake kuanza mara moja!

******
“Ahmed,Ahmed…Wee Ahmeeed”
Ilikuwa ni katikati ya Usiku,mnene!Hajrath alikuwa akiita yupo kitandani, kando yake amelala Ahmed yupo hoi,anakoroma kwa mbali!
“Kuna niiniiiii?”
“Amka”
“Nini lakini?”
Hakuwa na chaguo lingine zaidi na kufumbua macho kwa kujilazimisha ingawa alihisi kero kubwa sana hata hivyo hakuwa na jinsi!
“Kaa kitandani”
“Hajrath,mbona unanisumbua? Nimechoka ujue”
“Kaa nikwambie kitu”
Hakukuwa na kipingamizi,Ahmed akajivuta na kukalia kona ya kitanda upande wa kichwa ili kumsikiliza Hajrath mama kijacho, ilielekea kuna jambo la msingi lilimkurupusha usiku huo mzito ndiyo maana akakaa kitako!
“Ujue sijapata usingizi kabisa tangu saa nne”
“Kwanini?”
“Sielewi”
“Okay,ulikuwa unataka kuniambia nini?”
“Tukae tupige stori”
Kwa kweli Ahmed alisikia hasira,kitu alichotegemea kilikuwa tofauti, mbaya zaidi akakumbuka usiku wa kuamkia juzi alivyokurupushwa usiku!
“Juzi,uliniambia kuna panya humu ndani amekufa ndio maana chumba kinanuka,tumemtafuta usiku kucha!Sasa leo unaniambia hauna usingizi,naomba nilale”
“Sasa utalalaje mimi nipo macho?Sina usingizi”
“Washa tivii,angalia”
Ndani ya chumba kulikua na televisheni ndogo iliyokuwa juu ya meza,Hajrath akawasha!
“Punguza sauti basi”
Ahmed akaongea,akionesha kukerwa na sauti ya tv iliyokuwa kubwa mno!
“Hapa ndio mwisho”
Kutokana na kero,akasimama akiwa na shuka akafungua mlango akaenda seblen huko alijitupa kwenye sofa na kulala,hata hivyo Hajrath alimfuata seblen hukohuko kifupi alikuwa ana kisirani cha mimba!
“Mimi nibaki na nani chumbani?Acha dharau”
“Nimekuacha uangalie tv,kesho naenda kazini mpenzi nionee huruma”
“Sawa basi twende tukalale”
“Naomba tulale kweli tukienda, please please”
“Usijali baby”
Wakarudi chumbani,Ahmed akajitupa kitandani lakini akiwa katikati ya usingizi,akasikia kama kuna mtu anaimba alivyofumbua macho yake akamuona Hajrath anaimba taarab,siku hiyo alipata tabu sana mpaka kunakucha hakupata tena usingizi!
Akatoka kitandani akiwa amenuna usingizi,upo kichwani macho mekundu hakua ana uhakika kama angefanya kazi vizuri siku hiyo!Hivyohivyo kwa tabu alifika ofisini na kukuta kazi zipo mezani!Alivyojaza karatasi mbili,akashidwa akaweka kichwa chake mezani ili apunguze usingizi kidogo!
“Wee Ahmed,hapa sio gest house wala kwako hapa ni kazini!”
Hakuelewa Veronica,ameingia mida gani mpaka akapata muda wa kukaa kiti cha pembeni,akakurupuka na kufuta udenda kidogo uliokuwa mdomoni akajifanya kuchukua karatasi zilizokua mezani na kuanza kujaza,macho yake yalikuwa bado mekundu ana uchovu mwingi sana kutokana na kukosa usingizi usiku wa jana yake!
“Ulikesha bar?”
“Hapana,uchovu tu”
“Shukuru Mungu,nimeingia mimi angeingia mwingine je?Angekuchukuliaje?Umechoka?”
“Nipo sawa”
“Sema ukweli,inaelekea bado una usingizi”
“Nitafanya tu kazi,namalizia malizia hapa”
Ahmed alijitahidi siku hiyo kufanya kazi huku akisinzia, hata hivyo alifanikiwa kumaliza mapema na kuondoka zake nyumbani,huko akakutana na usumbufu wa Hajrath!Hiyo ilimkera zaidi,akashindwa kujua afanye nini.
“Mabungo yameisha!Alafu pia niletee na maembe mabichi,ukikuta karoti pia ninunulie,usisahau matango!Alafu nimekumbuka kuna zile ice crim za ukwaju,naomba niletee pia napenda uchachu wake!Vitumbua vya asubuhi chai baby”
Ahmed alikuwa mlangoni,amechoka hoi hoi ana usingizi, anasikiliza maagizo hayo yenye mlolongo mrefu mno kwake!
“Sikia,niandikie kwenye karatasi vitu vyote”
“Vitu hivyo vichache tu baby,utakumbuka bwana”
Hakukuwa na namna ya kuepuka kero hiyo, zaidi ya kwenda kuzunguka magengeni,alivyorejea Hajrath akataka kitu kingine,Ahmed alikasirika lakini alimuonea Hajrath huruma kwa wakati mmoja kutokana na mimba aliyobeba hata hivyo alielewa hiyo yote ni kutokana na kisirani cha mimba hiyo iliyomfanya asumbuliwe kila wakati akamezea!Usiku huo ikawa kama siku zote,hakulala Hajrath usiku alimsumbua kwa kiasi cha kutosha alivyoamka asubuhi kwenda ofisini huko akakumbana na vitimbwi vya Veronica!
“Njoo unifunge zipu mgongoni”
Ahmed,aliogopa kufokewa,alitii amri Veronica alikuwa amesimama yupo ofisini kwake!Alichokifanya Ahmed ni kumsogelea mpaka mgongoni mwake,akavuta zipu mpaka juu kisha akatulia,Veronica akamgeukia wakawa wanatizamana kwa karibu zaidi!Ahmed alivyotaka kukaa akashikwa mkono na kuvutiwa karibu kabisa,aliogopa na kushangaa kwa wakati mmoja, mbali na hapo hakuelewa ni jambo gani litakalo fuata,kabla ya kutafakari akashtukia amevutwa kwa nguvu,Veronica akamrukia mdomoni na kuanza kumpiga denda ingawa mara ya kwanza alikwepa lakini hakuwa na jinsi kwani mkono wa Veronica ulianza kupapasa mkongojo wake,akatulia! Haikuishia hapo!Veronica,akajitoa akili na kuanza kufungua mkanda wa Ahmed, akamtoa nyoka aliyekuwa wima amesimama,akapiga magoti kama mtu anayeungama dhambi,akamshika nyoka vizuri aliyekuwa amesimama wima akamuweka mdomoni na kuanza kumlamba!



Lilikuwa ni jambo la kujivunjia heshima kwa mwanamama kama Veronica, kufanya kitendo hiko cha kihuni tena ndani ya ofisi yake,haikua picha nzuri hata kidogo endapo mfanyakazi yoyote angeingia na kukuta akiwa amepiga magoti ameshikilia tango analilamba,hakika ingekuwa kali ya mwaka!Ahmed alibaki akiwa ameduwaa,hajui kitu gani akifanye kujichomoa anataka lakini kuendelea kusikilizia utamu alipenda pia,akawa yupo njia panda!Ameyafumba macho yake tango lake lipo kwenye joto mdomoni mwa Veronica,mpaka hapo hakua na ujanja wala kukumbuka kwamba mlango walifunga au waliacha wazi!Mbali na kuwa na mwili wa kimama lakini Veronica alikuwa mtundu kwenye michezo hiyo kwani alishika goroli mbili za Ahmed vizuri,akaanza kuzilamba pia, hakutofautishwa na paka anayelamba maziwa juu ya kisosi,vitu alivyokuwa anahisi Ahmed mpaka kwa wakati huo havikuweza kuelezeka,akakishika kichwa cha Veronica vizuri kilichokuwa na rasta za kimasai,Veronica akajua nini maana yake akajiongeza, akapanua mdomo na kuanza kurudia zoezi la Mara ya kwanza mpaka Ahmed alipoanza kutoa miguno fulani ya ki utu uzima ndani kwa ndani huku akijinyonga nyonga,Veronica akaelewa maana yake akawa tayari kuzidaka risasi kwa namna yoyote ile,akazidi kulichua tango huku akililamba!Ahmed akajikunja ili amwage risasi hapo ndipo Veronica akajitoa na kukinga kifua chake,risasi kwa kasi zikaruka na kupiga kifuani, Ahmed akatulia na kushika meza huku akiwa mwenye aibu fulani,alichokifanya ni kuvuta suruali yake juu,akachomekea vizuri na kumuangalia Veronica kwa macho fulani yenye aibu,akili yake ikawa kama imerejea ilipokuwa!
“Pole Ahmed”
Veronica,akasema macho yake yakiwa mekundu anatembea mpaka mezani kwake ambapo hapo alichukua tishu na kuanza kujifuta kifuani, zilipomwagikia risasi!
“Za moto”
Akasema huku akitabasamu na kumkonyeza Ahmed ambaye kwa wakati huo alikuwa bado ameduwaa,haamini anachokiona hakuelewa aondoke ama abaki.Jambo lililomshtua ni mtu kupiga hodi, hapo ndipo Ahmed akapata wazo la kuondoka zake huku kichwani akitafakari kama ni kweli angefanya kazi kwa staili hiyo na bosi wake ambaye tayari washaanza kufanya mambo hayo ya usaliti.Ghafla sura ya Fetty ikamjia kichwani,akakumbuka namna alivyonusurika kuambukizwa ugonjwa wa Ukimwi,akatafakari kwa muda na kujua Veronica ndio walewale,akajionya na kumkemea shetani ambaye alitaka azime ndoto zake akiwa bado mdogo sana!Siku hiyo hakufanya kazi kwa raha,kichwani alitawala Veronica mama wa kitasha mwenye wadhfa mjini, hata hivyo alijua kabisa mwanamke huyo ni mke wa mtu,nafsi ikasita kuendelea kumfikiria sababu aliujua uchungu wa kumegewa mke!Kuanzia saa nane Veronica hakuacha kupiga simu akitaka waonane lakini alichokifanya Ahmed ni kutumia tekiniki za kumkwepa akizuga yupo bize.
“Kuna kazi namalizia Dada Veronica”
Ahmed,alikuwa simuni ameshika mkonga anazungumza na Veronica!
“Alafu nikuombe kitu”
“Naam”
“Ukiwa namimi hizo herufi nne zitoe”
“Zipi?”
“Dada”
“Lakini mara ya kwanza uliniambia nikuite hivyo”
“Kama mimi nilikwambia uniite hivyo basi mimi huyo huyo nakuomba usiniite hivyo pia”
Kibarua kingine cha ghafla kiliibuka kwa Ahmed,akashindwa kuelewa aandike barua ya kuacha kazi ama aendelee kuvumilia visa vya Veronica, ambavyo mpaka kwa wakati huo alishaelewa mwanamama huyo anahitaji nini kutoka kwake!
“Sawa”
“Naomba leo ukitoka ofisini tuonane”
“Leo?”
“Ndio”
“Sitoweza Sista Vero”
“Kwanini?”
“Kuna mgonjwa naenda kumuona Muhimbili”
Akadanganya ili kutengeneza hoja ya kumkwepa.
“Tutaenda wote”
“Nitakuchelewesha sababu nitapitia home kwanza alafu ndio niende”
“Najua,hutaki kuonana na mimi Ahmed!Hapo unanikwepa tu,mimi ni mtu mzima!Sawa nimekuelewa,lini upo free?”
Veronica,akang’ang’aniza na kuuliza swali la mtego ili Ahmed asipate sababu nyingine zaidi!
“Labda Ijumaa”
“Ijumaa?”
“Ndio”
“Ijumaa ni kesho kutwa lakini”
“Naelewa”
“Saa ngapi?”
“Saa moja jioni”
“Wapi?”
“Wewe ndio useme”
Kuanzia hapo maongezi yakaisha,Ahmed akashusha pumzi ndefu ya kuchoka,ilivyofika mida ya kuondoka hakutaka kuchelewa kwa niya ya kumkwepa Veronica,asimsumbue akaingia ndani ya gari lake na kurejea nyumbani ili amuwahi Hajrath kwani msichana huyo alihitaji ukaribu mno kutokana na mimba yake!

******
Usumbufu wa Hajrath ulikuwa palepale mpaka akawa anaboa sasa!Kwa Ahmed alichukulia kama ni makusudi na wakati mwingine waligombana chumbani.
“No siwezi kwenda,hivi nisipokuwepo nani anaenda gengeni?Usinizingue chukua time”
Ahmed,akajibu akiwa amekunja sura.
“Umeshasema usipokuwepo,upo sasa nenda!”
“Fanya kama sijarudi fanya kama hujaniona,huo ni usumbufu!Siwezi kwenda tena,nilikuuliza embe bichi ukasema ndio sasa hivi unasema lililoiva!Mama, I’m sorry niache nipumzike nimechoka,situmii injini”
“Kwahiyo umegoma?”
“Ndio,nimegoma nimechoka nishasema”
“Ahmed umegoma?”
“Nimechoka Hajrath tafadhali niache,nipumzike kuna vitu vinanisumbua kichwa!Sipo sawa leo,tusije tukaharibiana mudi buree”
Ahmed aligoma katukatu,hakuwa tayari kutoka kitandani na kwenda tena gengeni kwa mara nyingine ya sita,hiyo ilimfanya akasirike mno na kuchoka kwa wakati mmoja!Hata hivyo wazo likamjia aende sehemu akanywe bia lakini alijionya asifanye hivyo kwanza alale na apate utulivu wa kutosha!Sura ya Ahmed ilimtisha hata yeye akahisi ni kweli Ahmed,atakuwa amechoka alichokifanya ni kutembea ki uvivu huku ameshika kiuno mpaka seblen akajitupa kwenye sofa na kumuacha Ahmed chumbani amelala!

******
Saa 5;47 usiku,Ahmed alikurupushwa na kuamshwa na Hajrath kwani alilala zaidi ya masaa matano kitu ambacho hakikuwa cha kawaida hata kidogo!Hata hivyo Hajrath aliingiwa na wasiwasi ndiyo maana akamfuata chumbani na kumuomba aamke ale chakula!
“Kwani saa hivi saa ngapi?”
Ahmed akauliza huku akijinyoosha na kupiga mihayo ya uchovu,hakika alijihisi mwepesi na kichwa chake kimepata utulivu wa kutosha!
“Saa sita kasoro mme wangu”
“Ndio nimelala namna hii?!”
“Ndio baby,amka uoge ukale! Chakula kipo mezani!Au nikuletee?”
“Hapana nakuja mezani”
Ahmed,akajitoa kitandani akiwa hana nguo hata moja,hiyo ndiyo tabia aliyojizoesha tangu akiwa na Hajrath, kulala bila nguo. Akaingia bafuni akajimwagia maji na kuvaa taulo hivyohivyo mpaka seblen,ambapo huko alikuta chakula tayari pembeni kuna juisi nzito ya maparachichi!Alivyomaliza kula akashukuru na kumuangalia Hajrath wake,jinsi alivyokuwa mnene mno!
“Umenenepa sana”
“Nataka kuanza mazoezi”
“Ili iweje sasa?”
“Nipungue”
“Ukijifungua labda,sio sasa hivi”
“Alafu mwanao kaanza kunipiga mashuti tumboni”
“Si unapenda kumsumbua Baba yake”
“Ndio anipige hivi?”
Walimaliza kula lakini walizungumza kidogo kwa namna ya kupoteza muda,hata hivyo Ahmed hakuwa mwenye usingizi hata kidogo,alichokifanya ni kupitiliza seblen akawasha luninga na kutizama kama kungekuwa na kipindi chochote ambacho kingemvutia!Alivyoona hakuna la maana akazima na kuingia chumbani, ambapo huko alijitupa kitandani na kutulia akitafakari maisha yake pamoja na mipango yote!Akachukua muda kidogo kufikiria safari yake ya maisha itakavyokuwa kwani ndoto yake siku moja, alitaka kujiajiri mwenyewe kwani alichoka kutumwa na kunyanyaswa ofisini,hata hivyo aliamini haikuwa lelemama na ingemchukua muda mrefu kidogo akaapia kwamba angejipa uvumilivu!
Hajrath akafika akafunga mlango na kuvua dera lake,ndani hakuwa na kitu chochote,akapanda kitandani na kulala chali.Kwa kuwa Ahmed hakua na usingizi ilibidi atumie nafasi hiyo kupasha kidogo ndiyo maana akachukua mkono wake mmoja na kuanza kumpapasa Hajrath kifuani hususani maeneo ya chuchu zake,akapitisha mkono kwenye tumbo lililokuwa kubwa mpaka chini ya mapango,hapo taratibu alianza kupima oili mpaka alivyohakikisha kumelowana,akamvuta karibu na kuanza kupigana madenda!Vitendo vilisema,Ahmed akapanda juu ya Hajrath kwa uangalifu mkubwa sana,akaiweka miguu yake huku na kule!Hapohapo akaanza kupeleka majeshi,alifanya hivyo akiwa makini sababu aliogopa kulalia tumbo la Hajrath ndiyo maana kwa sekunde tisa nzima, alimuweka kifo cha mende kisha kubadilisha,Hajrath akalala ubavu yeye akawa kwa nyuma!
“Ashsassh aaaah ashhh aaaah aaaah aaah mmmmh aaaaah Ah…med hiv…vyoo ye…s aaaah aaaah”
Maneno na miguno aliyotoa Hajrath ilileta chachu na kumfanya Ahmed azidi kujipinda kisawasawa mpaka wote walivyofika safari na kutulia,hapo sasa kidogo Ahmed alianza kuhisi usingizi baada ya kutoka kujimwagia maji!

*******
“Sikiliza Ahmed,usinihisi vibaya!Najua kichwani kwako ni kitu gani unafikiria sasa hivi, mimi nipo tofauti na unavyodhani”
Ndani ya ofisi ya Ahmed siku hiyo asubuhi alikuwa na ugeni,Veronica alikuwa mbele yake anajaribu kujitetea na kuweka mipango yake sawa ili amjaze Ahmed ndani ya anga zake,hata hivyo alianza kujielezea na kuongea ukweli kuhusu mumewe na familia yake kwa ujumla!
“Kwanini usitulie na mumeo sasa?”
“Ni mtu wa kusafiri Ahmed,mfanyabiashara!Nampenda mme wangu sana tu lakini wakati mwingine nahitaji kampani,nimetokea kukupenda wewe,nakuhaidi kitu kimoja sitokusumbua,mimi ni mtu mzima”
“Sijakuelewa hapo”
“Najua una girlfriend au umeoa sijui mimi naheshimu hilo,nachotaka kutoka kwako ni kampani tu.Nimetokea kuvutiwa sana nawewe”
Veronica alimwaga sera,siku hiyo alikuwa kama mwanasiasa anayepiga kampeni ili apewe kura na wananchi wake,hiyo ikamfanya Ahmed ashushe pumzi nzito na kutafakari kwa muda.
“Nina mke,hilo kwanza ulijue!Sitopenda kumsaliti”
“Sijasema umsaliti”
“Una maana gani?”
“Ukitaka kua naye,utaenda kwako!Mimi nikikuhitaji nakwambia siku mbili kabla,sitaki nikuharibie najua wewe ni muelewa”
“Ulikuwa unatakaje?”
“Naomba tuwe marafiki,friends with benefit”
“Lakini wewe ni bosi wangu kumbuka”
“Come on Ahmed,hatutoingiza kazi na mapenzi”
“Kwanza kwanini umenipenda ghafla?Hujui back ground yangu siku hizi magonjwa ni mengi”
Ahmed akauliza kwa niya ya kupima maji,hata hivyo alikuwa vuguvugu sio baridi sio moto!Alikuwa kama sitaki nataka hivi.
“Swali zuri,hapa kuna mawili.Kitu ambacho ningekifanya tutakuwa tunatumia kondom ama tupime afya zetu.Mimi najali afya yangu Ahmed,usinione hivi.Mme wangu akirudi kutoka safari lazima kwanza tupime”
Jambo hilo lilimfanya Ahmed ashindwe kuchomoka kwa hoja nzito kama hiyo,akamtizama Veronica Mwanamama huyo aliyekuwa msafi na mzuri kwa ujumla,hata hivyo pesa alizokuwa nazo zilimfanya azidi kuonekana maridadi zaidi,weupe wa Mama huyo ulifanana na wanawake wa kirangi,muda wote alikuwa ananukia marashi ya gharama!
“Tutaongea siku nyingine”
Ahmed hakutaka kujifanya amekubali moja kwa moja lakini kutoka moyoni,alikuwa amekubali mzigo kwani kwa hoja alizoingia nazo Veronica,aliamini wangeenda sambamba bila hata ya kuharibu uhusiano wake na Hajrath, hicho ndicho kitu alichokiheshimu kwanza!Veronica,akajiongeza akasogea karibu na Ahmed akatoa ulimi wake wakaanza kunyonyana ndimi!
“Bye my love”(Kwaheri Mpenzi)
Veronica akasema kimahaba huku akimtizama Ahmed kwa macho fulani malegevu ambayo muda wowote yangedondoka!

*******
Hakuwa mwanamke mwenye utajiri wa kutisha lakini uwezo wa kutoka na kupata mlo mmoja kwenye hoteli yoyote ile ya nyota tano,alikuwa nao!Zaidi na hilo mumewe alikuwa mfanyabiashara hiyo ilimfanya apete sababu hakukosa kitu chochote kile ndani ya nyumba isipokuwa ukaribu na joto la mumewe ambalo mara nyingi ilimuia vigumu na kumpa tabu sana!Mbali na mumewe kumwambia alimuheshimu na kumpa taarifa zote za mizunguko yake ya kila siku,hiyo ilifanya ndoa yake idumu kwani alimpenda na kumjali mumewe kuliko kitu chochote kile!Ndiyo maana siku hiyo jioni alimpigia simu akimwambia kwamba angetoka usiku lakini angewahi kurudi.
“Nitapita kwenye kitchen party ya rafiki yangu Mme wangu”
“Usijali,kuwa makini gari lako lina mafuta?”
“Ndio Darling”
“Hakikisha unatembea na pesa kwenye gari”
“Nitafanya hivyo”
Veronica,alikuwa simuni siku hiyo anamseti mumewe kwamba ataenda kwenye Kitchen party kumbe haikuwa hivyo,alikuwa na mihadi na Ahmed tena ilikuwa ni lazima wakutane hotelini kama walivyopanga!Veronica hakutaka kuonekana hovyo barabarani alielewa ni namna gani mumewe anajuana na watu hivyo ingekuwa rahisi kwake kuonekana,alichokifanya ni kuendesha gari mpaka Mikocheni kwa Warioba kwenye moja ya Ukumbi,hapo akaliacha gari na kupanda taxi iliyompeleka Pikolo Hotel,alivyofika akapewa chumba kisha kumpigia simu Ahmed ambapo simu iliita bila kupokelewa!
Wakati simu inapigwa ilimkuta Ahmed anaoga,kaiacha kitandani Hajrath yupo pembeni yake, akaitizama simu kwa makini!Machale yakaanza kumcheza kidogo,jina la kwenye simu usiku huo na namna Ahmed alivyoaga ilikuwa ni vitu viwili tofauti!Katika Hajrath kujishauri sana akachukua simu na kuisubiri mpaka ikate,kuna kitu alitaka kuchunguza!Hapohapo ikaita tena,ikakata bila kupokelewa ujumbe ukatumwa,hapo Hajrath hakutaka kulifumbia swala hilo macho akaingia kwenye meseji ‘CHUMBA NAMBA 13,PIKOLO HOTEL’ Moyo wa Hajrath ukapiga kwa nguvu,taa nyekundu ikawaka kichwani kwake,neno usaliti ndilo lilikuwa linapita kichwani kwake,jazba ikampanda!Alivyosikia Ahmed katoka bafuni,akairudisha simu haraka kitandani.
“Kwahiyo ndio unatoka?”
Hajrath akauliza kwa kumsanifu,akiwa siriazi meseji aliyoiona ilimuumiza mtima usiku huo wa saa moja!
“Ndio mpenzi,hawa jamaa watani maindi sana,nimechelewa mno baby wangu!Ilikuwa tukutane saa kumi na mbili nikawazingua”
Ahmed alizungumza lakini kwa Hajrath alitafsiri maneno hayo kama upumbavu,ndiyo maana akasimama wima mpaka mlangoni,akafunga mlango na funguo akachomoa na kuushika!
“Nikwambie kitu Ahmed,leo huendi popote!Tutabaki humuhumu Pikolo Hotel ndio hapa na utaniambia huyo Veronica ni nani yako, Malaya wewe”
Butwaa alilopigwa Ahmed halikuwa na mfano wake,kigugumizi cha ghafla kikamshika akashindwa kujibu akabaki ameduwaa hana la kusema,mbele ya msichana huyu Hajrath aliyetanda mlangoni kavimba kama chura kwa hasira!


Moto aliouwasha Hajrath haukuwa rahisi kuzimika,alichachamaa na kuzungumza kwa hasira zilizochanganyika na wivu ndani yake,mbaya zaidi aliapia hata Ahmed angemuwekea kisu shingoni asingetoa funguo ampe!Haikuwezekana hata kidogo,aage anaenda kuonana na washkaji usiku huo alafu aone meseji kutoka kwa Veronica ikimuelekeza hoteli aliyopo na chumba alichofikia,hakua mtoto mdogo, alielewa fika kivyovyote vile siku hiyo Ahmed anaenda kuonana na Veronica ili wafanye mapenzi,kichaa kikampanda ndiyo maana akaanza kuongea hovyohovyo huku akizunguka huku na kule.
“Veronica ni nani?”
Lilikuwa ni swali lilelile kwa mara nyingine,ambalo kwa wakati huo lilikosa majibu!
“Veronica yupi?”
Kufuatia jibu hilo,Hajrath akaiendea simu ya Ahmed kitandani na kuifungua upande wa meseji,akamsogezea simu karibu ili asome jambo lililomfanya Ahmed apigwe na mshtuko ambao alijitahidi kuuficha lakini alishindwa!
“Huyu Kahaba wa Pikolo,mnayeenda kukutana!Ndiyo maana umevaa mpaka boxa mpya al..”
“Veronic…Hajrath naomb..”
Ahmed badala ya kuita jina la Hajrath akajikuta ameropoka na kumtaja Veronica!
“Unaona,umeniita jina la Malaya wako,Ahmed Veronica ni nani?”
“Veronica,Veronica huyo atakua kakosea namba”
“Ahmed mimi sio mtoto mdogo,akosee namba vipi?Umesevu mpaka jina lake,hapa naona mlikuwa mnapigiana simu!Ngoja nikuoneshe kumbe hunijui vizuri nampigia hapa sasa hivi”
Katika siku ambayo Ahmed alikuwa mdogo ni hiyo,aliogopa na kutetemeka kwa wakati mmoja!Hajrath alichachamaa akitaka maelezo yaliyonyooka na sio porojo za alinacha!Kitu kilichomchanganya akili na kumfanya aogope zaidi ni baada ya kumuona Hajrath anaanza kumpigia simu Veronica,hakutaka swala hilo litokee sababu aliamini kibarua chake kingeota nyasi kwani Veronica alikuwa bosi wake!Ndiyo maana akampora Hajrath simu,akajifanya kuvimba kwa hasira na kufoka!
“Hajrath nitakupiga sasa hivi”
Bora angekaa kimya,hiyo ndiyo ilimfanya Hajrath apandishe mashetani ya kwao!
“Ahmed,unataka kunipiga?Nipige,nipigee,nipige mpaka uniue!Ahmed nipigee Ahmed nipigee,nipigeee”
“Hajrath,nitakupiga kweli”
“Niueee,nipige mpaka uniue”
Hasira za Hajrath zilipanda kwa kiasi cha juu sana,damu yake ikamwenda mbio na kufanya mapigo yake ya moyo yadunde kwa kasi,anamwambia Ahmed ampige mpaka amuue!Moyoni alijihisi anaonewa sana,ilikuwa ni haki yake kuuliza kila kitu chochote kibaya kinachoendelea kwenye penzi lake lakini matokeo yake Ahmed alimuonesha ubabe na utemi,pasipo kujali kama ana mimba hilo ndilo lilmfanya Hajrath aangue kilio cha kwikwi huku akiongea maneno mengine yasiyoeleweka,katika hali ya kushangaza akadondoka chini puu!
Hiyo ikamfanya Ahmed,apigwe na butwaa na agande kama barafu,akaenda chini mdogo mdogo na kuanza kumgusa mapigo ya moyo kama yanafanya kazi,bila kupoteza wakati alichokifanya ni kuchukua funguo,akafungua mlango kwa kasi!Akambeba kwa tabu sana huku akimkokota kutokana na uzito aliokuwa nao,hivyohiyvo mpaka ndani ya gari akafungua geti na safari ya kwenda hospitali iliyokuwa karibu kuanza!

*****
Damu yake ilimuenda mbio,alitamani wakati huohuo Ahmed atokee watupane kitandani wafanye ngono!Mbele yake kulikuwa na kitanda kikubwa cha sita kwa sita,kando kuna jokofu zuri tena kubwa, ndani kuna pombe!Chumba kilikuwa kikubwa,ambapo kulia kulikuwa na Sofa kubwa!Akapiga picha jinsi Ahmed atakavyokuja,waanzie kwenye sofa kisha mwisho wamalize kitandani!Akiwa katika tafakari hizo,akampigia simu lakini haikupokelewa,akamtumia na meseji kumjulisha ni wapi amefikia kisha akaingia bafuni kujimwagia maji,huko alipata muda mzuri wa kujiangalia kwenye kioo jinsi Mungu alivyompa uzuri wa kipekee,akiwa uchi wa mnyama aliweza kuukagua mwili wake ulivyokuwa mweupe pee!Alivyoangalia ukubwa wa bafu,wazo lingine likamjia kwamba waanze na Ahmed kufanya huko huko bafuni,akawaza jinsi atakavyomnyongea viuno huku akiwa ameshika sinki kainama,hiyo ikamfanya damu yake imwende mbio na kutamani Ahmed afike mahali hapo mara moja ili akate kiu yake ambayo kwa muda wa miezi miwili alikua na ukame,alivyomaliza kunawa akajifunga taulo moja lililofanya mapaja yake yawe nje kwani alilifungia kuanzia juu kifuani!Uhakika wa kwamba Ahmed kajibu meseji,ulikuwa moyoni mwake ndiyo maana akajifuta maji ili kuangalia lakini hakukua na majibu yoyote yale,hiyo ilimchukiza na kujaribu tena kumpigia lakini matokeo yake yakawa yaleyale!Simu,haikupokelewa wala meseji kujibiwa, hali aliyokuwa nayo ilimfanya ahisi kulia machozi kwani chini kulikuwa tayari kumelowa kumaanisha alitakiwa kuguswa kidogo ili afike kileleni,angekuwa na uwezo wa kujisugua na kujitomasa angefanya hivyo lakini aliamini hilo lisingemsaidia ndiyo maana alimuhitaji Ahmed kwa wudi na uvumba!Wakati akipiga simu kwa wakati huo saa tatu ya usiku,Ahmed alikuwa hospitalini,ana hangaika na madaktari huku na kule ili afya ya Hajrath irudi sawa!
“Imekuaje?”
Dokta akamkaribisha na swali baada ya kumuita ofisini kwake!
“Amedondoka ghafla”
“Huyu ni mkeo?”
“Ndio ni mke wangu,kuna nini dokta?”
“Kuna vitu nataka kujua,huu ugonjwa wa kudondoka ulianza leo?”
“Ndio leo naona”
“Kliniki hua,anahudhuria?”
“Mara chache sana”
“Sasa kwanini?Hujui ni jambo la hatari hilo kwa afya yake na hali yake ilivyo!Mkeo kilichomdodosha ni presha ya kupanda,presha yake ipo juu sana!”
“Mungu wangu!Kwanini imepanda?Sijawahi kumsikia ana presha lakini”
“Hua inatokea kwa watu wenye hali kama yake ama akiwa na hasira”
Jambo la pili,alilosema daktari lilikuwa la kweli kabisa!Kwani kabla ya Hajrath kudondoka walikuwa wakigombana na mara ya mwisho alipandwa na hasira za ajabu!
“Kwahiyo atakuwa sawa?”
“Umefanya vizuri kumuwahisha,vinginevyo yeye au mtoto ama wote ungewakosa”
Ahmed akahisi kama amepigwa na ubaridi kwenye uti wake wa mgongo,jasho la pua lilimtoka na alijilaumu sana kwa kitendo alichokifanya,kwa lolote baya ambalo lingetokea lawama zote angejitupia yeye na kumuhukumu moja kwa moja Veronica kwani aliamini kwa njia moja ama nyingine, ndiye angekua mkandarasi wa kila kitu kilichotokea,ghafla akawa mpole na kumuangalia Dokta kwa macho yaliyojaa majuto makubwa sana!
“Naweza nikamwona?”
“Subiri baada ya dakika kumi na tano”
Shauku ya kutaka kumuona mpenzi wake ilikuwa kubwa na alitaka kumuomba msamahaa kwa kosa alilolifanya nyuma,kila kitu kilikuwa kimegeuka akajiona namna alivyokuwa mjinga akiyumbishwa na Veronica, hata hivyo aliapia angeacha kazi endapo Veronica angemletea za kuleta,alivyokumbuka miyadi waliyopanga na Veronica usiku huo,akashtuka lakini hilo halikumfanya atoke na kwenda kwenye gari ili akaangalie simu yake aliyoiacha!Dakika kumi na tano zilivyofika,kama daktari alivyotaka iwe akaruhusiwa kuingia ndani ya wodi,kwa upole na hatua zilizopwaya akasogea mpaka pembeni ya kitanda alicholala Hajrath!
“Unaendeleaje mpenzi?”
Ahmed akauliza kwa sauti ya chini,iliyokuwa na hofu!
“Naendelea vizuri”
Hajrath akajibu huku macho yake yakiwa juu ya dari,hana mpango wowote na Ahmed!
“Naomba unisamehee”
“Usijali Ahmed,nimekusamehee kua na amani”
“Hapana mke wangu”
“Nimekusamehee Ahmed,nakupenda sana!Usiwe na wasiwasi”
Bado hakuamini kama ingekuwa rahisi namna hiyo,utata wa Hajrath na msimamo wake vilimfanya adhani wenda huo ni mtego na bado Hajrath ana visasi moyoni,walikaa hospitalini mpaka saa saba ya usiku ndipo wakaruhusiwa kurudi nyumbani ambapo Ahmed alinunua zawadi nyingi na kadi za kuomba msamahaa kama ishara ya mapenzi!
“Nimekusamehee Mme wangu,nimeipenda hii zawadi hata hivyo!Hii nitavaa nikijifungua”
Hajrath akawa amerudi kwenye hali yake baada ya Ahmed,kumnunulia zawadi usiku huohuo na ilikuwa bahati kubwa kukuta baadhi ya maduka yapo wazi!
Ghafla akasahau kila kitu kilichotokea,akawa mpya kabisa!Mpaka asubuhi Ahmed hakulala wala kushika simu yake sababu alijua kivyovyote vile angekutana na meseji za Veronica ambazo zingemtolea mudi siku hiyo,hata hivyo alijua kivyovyote vile ni lazima angekutana na kimbembe ofisini kwani alijua ni kiasi gani Veronica angekua amekasirika,bila shaka alijiandaa kwa lolote lile!Kulivyopambazuka vizuri kama kawaida akavaa vizuri nguo safi na kuchomokea!
“Ahmed”
Akiwa mlangoni,Hajrath akamuita!
“Naam”
“Nakupenda mme wangu,kama nina kosa lolote nisamehee au kama kuna sehemu nakosea niambie”
Kwa upole na unyenyekevu Hajrath akasema huku akimsogelea Ahmed,akamkumbatia na kumbusu mdomoni!
“Kumbuka nina kiumbe chako tumboni,chochote unachofanya tukumbuke tunakupenda”
Maneno hayo yalimuingia Ahmed vizuri,akaumia na kujikuta anajilaumu kwa kosa alilotaka kulifanya la usaliti!Akamtizama Hajrath na kumbusu kwenye paji la uso wake.
“Nakupenda mke wangu”
Wakaagana na Ahmed akaondoka zake!

*****
Ahmed alifanya kazi kwa mashaka mno!Wasiwasi wake ulikua juu ya Veronica angemwambia nini endapo angefika na haikuwa kawaida hata siku moja,mpaka wakati huo mwanamama huyo asimpigie simu wala kufika ofisini kwake,saa mbili ilipita,saa tatu ikakatika ilivyofika saa nne simu yake ya mezani ikaita!Akaiangalia bila kuipokea,ikakata!Dakika kumi na tano baadaye,mlango wa ofisi yake ukafunguliwa,moyo wake ukapiga kwa nguvu baada ya kumuona Veronica ameingia,mbaya zaidi hakua Yule aliyemzoea. Siku hiyo aliingia akiwa amekunja sura,kulikuwa kuna kila dalili mbaya siku hiyo ya kufukuzwa kazi!Akamshuhudia anatembea mpaka karibu na meza yake na kusimama wima bila kukaa kwenye kiti kama siku zote,hiyo ilimfanya Ahmed aangalie chini.
“Ahmed”
Veronica akaita,Ahmed akainua shingo yake akiwa na wasiwasi mkubwa!
“Una miaka mingapi?”
“Thelathini na moja”
“Mbona una mambo ya kitoto?!Alafu nikiongea nawewe niangalie usoni”
“Jan…”
“Nyamaza bado nazungumza,ungekua hutaki ungeniambia!”
“Kuna mambo jana yametokea nikashindwa kufi…”
“Mambo gani?Huo ni utoto na upumbavu umenielewa,mimi sio kama unavyonichukulia.Mimi sio kahaba,umenielewa wewe bwege?”
Kuanzia hapo Ahmed,aliogeshwa matusi makali ya kudhalilishwa bila kujua kosa lake ni lipi,hasira zilimpanda na machozi yalianza kumlenga!
“Vero,imetosha sikia nikwambie bora ugali dagaa kwa amani kuliko wali maharage vitani,kuanzia leo sitaki kazi!Na usiniburuze unavyotaka,mjinga mwenyewe mshenzi mwenyewe huna adabu nakuheshimu naona sasa unataka tuvunjiane heshima, kama inshu ni kazi nitatafuta pengine”
Ahmed akapandisha mori,akaamua kumtolea uvivu Veronica anayempelekesha kama gari bovu!Hakutania,akasimama wima na kubeba funguo zake za gari tayari kwa kuondoka mazima kama mbwai iwe mbwai lakini sio mateso ya kutukanwa kama mtoto mdogo!Akatembea mpaka mlangoni lakini alisimamishwa na Vero kwa kumuita!
“Ahmed,unaenda wapi sasa?”
“Naondoka zangu, unataka niende wapi?Baki na ofisi yako”
“Kwanini tusikae chini tuongee kama watu wazima”
“Siwezi,sitaki”
Hakua tayari kumuacha Ahmed aondoke zake,ndiyo maana akawa mdogo na kumsihii atulie ofisini ili afanye kazi kama kawaida,hiyo ilimfanya Ahmed apoe na kurudi kwenye kiti chake akiwa bado na jazba anahema juu juu hata yeye alijishangaa ujasiri huo wa kumtukana bosi wake kautoa wapi, Veronica akatumia lisaa limoja kumtuliza na kumuomba msamahaa kwa kila kitu kilichotokea na kuapia asingemsumbua tena!Siku hiyo alifanya kazi bila kusumbuliwa wala kupigiwa simu hovyo hovyo kama siku zote!Wiki ikapita,Veronica akawa ametulia wanaheshimiana kama wafanyakazi wote ofisini, hiyo ilimfanya Ahmed awe huru na kufanya kazi kwa amani!Hakuna siku aliyochanganyikiwa kama siku hiyo mchana anapigiwa simu nyumbani kwamba Hajrath ameshikwa na uchungu!
“Mko wapi kaka?”
“Ndio tunaenda hospitali”
“Hospitali gani?”
“Hapa Ubungo”
“Nakuja hapo”
Alichokifanya Ahmed ni kutoka ofisini,akawaaga wafanyakazi wake juujuu kwa kasi akaingia ndani ya gari na safari ya kwenda hospitalini kuanza,njiani akimuomba Mungu Hajrath ajifungue salama, hakuacha kuwapigia baadhi ya ndugu wa Hajrath kuwapa taarifa hiyo!

******
Manesi walivyomuona hawakutaka kupoteza muda zaidi ya kumuingiza katika chumba maalum cha wakina mama wanaotaka kufanyiwa huduma hiyo ya kujifungua,wakamvua nguo zake zote kwa haraka madaktari wakafika pamoja na manesi,miguu ya Hajrath ikatanuliwa huku na kule!Manesi wakakinga mikono tayari kwa kumdaka mtoto!Hajrath alilia, majasho mengi yalimtoka mwilini,anapiga piga mapaja yake!
“Dada,nikisema sukuma unasukuma…SUKUMAAAA”
Hajrath akajikamua kwa nguvu.
“SUKUMAAA TENA,usiache”
Zoezi likaendelea!
“Sukuma,kichwa kinatoka sukuma usiache”
Hekaheka zilikuwa nyingi ndani ya chumba hiko,chenye joto kali!
“Ng’aaaa ng’aaaa ng’aaaa ng’aaaaaaa”
Sauti ya mtoto mchanga,ikasikika hatimaye Hajrath akawa amejifungua tayari mtoto mwenye afya!
“Ni wa kike,hongera sana”
Nesi mmoja akasema huku akimuweka mtoto kifuani mwa Hajrath!

*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)


0 comments:

Post a Comment

BLOG