Search This Blog

Monday, March 23, 2020

ABEE SHEMEJI SEHEMU YA 8/10


ABEE SHEMEJI
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 8 KATI YA 10
*******

******

Nyumba ya bilionea George Charles,ilizingirwa na gari mbili moja Landcruiser V8 nyingine gari ndogo aina ya Corrola!Ndani ya magari hayo walikuwemo maaskari sita!Wote waliteremka ndani ya magari wakiwa na jezi zao!Miongoni mwa maaskari waliokuwemo ni Kamishna wa polisi wilaya ya
Ilala O.C.D Philipo Nyagabona,hakuwa mtu wa kucheka ndio maana akawa mstari wa mbele akitaka kuonana na Bilionea George Charles!Hata hivyo haikuwa kazi ngumu,kuingia ndani sababu mlinzi alipewa taarifa juu ya ujio wao,akafungua geti wote wakaingia ndani na kupitiliza mpaka sebleni ambapo huko walikaribishwa na George Charles mwenyewe!
“Karibuni,wakuu”
George Charles,akasema akipachika tabasamu la uwongo na kweli!
“Ahsante,sisi hatukai sana!Kama tulivyoongea kwenye simu!”
“Nawasikiliza”
“Yule kijana,inabidi faili lake tulichome moto,vinginevyo.Sheria,inafuata mkondo wake”
“Faili gani?”
“Kila kitu,tunakifahamu!Tunavyoongea nawewe kijana yule yupo hai na muda wowote,anaweza kuongea kila kilichotokea na waandishi wa habari”
“Kuongea nini?”
“Usijifanye hujui!Kila kitu kipo wazi,mchezo uliofanyika unafahamika.Wakuu wanataka kifunga mdomo,hujaelewa nini?”
OCD,alifoka kidogo baada ya kuona George Charles,mgumu kuelewa!
“Nini nifanye?Tusizunguke”
“Inahitajika milioni mia tano tuchome faili moto”
Mapigo ya moyo ya Bilionea George Charles,yalipiga kwa nguvu akaelewa nini wanachotaka kufanya askari hao na hilo alianza kulijua tangu walipoanza kumpigia simu na kumsumbua,ndiyo maana akajifanya haelewi!Hata hivyo,alikuwa keshaharibu tayari hakuwa na ujanja zaidi ya kukubali kila anachoambiwa,akiamini kwamba ni lazima askari hao wangemfanya shamba la bibi, kutokana na Kesi ya Ahmed,waliyoifufua kwa makusudi na maslai yao binafsi ili wachote pesa za burebure!


Hakuna mtu yoyote aliyekuwa na aibu,isipokuwa Benjamin Ngowi pamoja na mzee ambaye mpaka kwa wakati huo hawakulijua jina lake!Hisia zao zilikuwa mbali sana,iliwezekana kabisa kimwili walikuwepo eneo hilo lakini kiakili hawakuwepo,fikra zao zilisafiri maili nyingi mno!Wakafika hadi kwenye sayari nyingine ya mapenzi,mbaya zaidi damu zao ziliwaenda mbio wakitamani kitanda kingekuwepo muda huo ili wajivinjari,maumivu na mawazo yaliyokuwa kichwani mwa Ahmed yote yaliyeyuka ghafla!Akasahau shida zote alizopitia,ndio maana akazidi kuuzungusha ulimi wake kinywani mwa Hajrath!Jambo lililomfanya Hajrath afumbe macho yake,mambo yaliyotokea hakuyaamini hata kidogo ni wazi kwamba hakuonekana anajali,hisia kali zilimuongoza ndiyo maana akajihisi ni mzungu!Jambo lililomfanya atulie na kujitoa taratibu mdomoni mwa Ahmed ni baada ya mzee huyo kujikoholesha!
“Karibuni wageni”
Mzee akajikuta anawakaribisha kwa mara nyingine lakini niya yake ilikuwa ni kuwashtua, wasiendelee na jambo hilo!
“Ahsante”
Sauti ilitoka kwa Hajrath,akiangalia chini macho yake yalikuwa yamelegea kabisa na mekundu,hiyo ilikuwa wazi kwamba alikuwa mbali kihisia na alitaka kufanya tendo la ngono mara moja,hata hivyo alijikaza na kurudi nyuma!
Bado macho yake yalikuwa chini,akiona aibu za kike kike!Kuanzia hapo,hakukuwa na maongezi marefu zaidi ya kumpa pole Ahmed.
“Nini kimetokea? Ulikuwa wapi?”
Benjamin,alikuwa wa kwanza kuuliza swali hilo akitaka kujua kilichomfanya Ahmed asionekane siku kadhaa zilizopita.
“Siku ile walikupeleka kituo gani?”
Kabla ya Ahmed kujibu swali la kwanza,akatupa lingine!Hiyo ilimfanya Ahmed ashindwe kujua aanze kujibu swali la kwanza ama la pili.
“Ahmed,mkononi umefanya nini?”
Hajrath nayeye,akahoji.Muonekano wa Ahmed uliwafanya wamuonee huruma na kutaka kujua kilichomsibu mpaka kujeruhiwa namna hiyo!
“Nimeumia tu”
Kauli ya kitisho na mikwara aliyopigwa,bado aliikumbuka na kwa wakati huo uhai ulikuwa kila kitu kwake,kitendo cha kuropoka na kutaja alipokuwa tafsiri yake ilikuwa ni kifo sababu alielewa watu waliomchukua,wana mkono mrefu mbaya zaidi wengine ni kutoka serikalini.
“Sasa,umeumia kivipi?Siku ile ilikuwaje?Nilifatilia difenda ile nikakukosa,sikulala nilikutafuta vituo vyote bila mafanikio,ilikuwaje?”
Benjamin,akazidi kuuliza akitaka kudadisi!
“Ahmed,sema”
Hajrath nayeye akasisitiza,alichotaka kujua yeye ni nani aliyemjeruhi!Msichana huyu alikuwa ana hasira na alichotaka yeye ni kusikia ni kituo gani walimshikilia ili aanze kufatilia,licha ya kuelewa kwamba askari wanakingiana vifua lakini alitaka kuanzisha varangati,ikiwezekana awafungulie mashtaka,Ahmed alitia huruma na hiyo ilimfanya azidi kuumia mtima!
“Baada ya pale,sikuelewa chochote kinachoendelea”
“Haiwezekani,walikuwekea madawa ya kulevya ukasinzia?”
“Sina maana hiyo”
“Asa una maana gani?”
“Naomba tuachane na hizo habari,nachoshukuru nipo salama”
“Ahmed,trust me!Hili halijaisha,labda sio mimi Hajrath,nitaanza na yule mkeo ataniambia walikupeleka wapi, nina uhahika anajua kila kitu”
Sentensi hiyo ilimfanya Ahmed amuangalie Hajrath machoni,kuna kitu alijifunza kwamba msichana huyo hatanii hata kidogo na alichokiongea alikimaanisha.Licha ya kumlazimisha na kumchimba ili aseme ni wapi alipelekwa mpaka asionekane lakini ilikuwa vigumu,Ahmed hakuwa tayari kutoboa siri na jibu lake lilikuwa ‘Tutaongea siku nyingine’!Hawakutaka kumlazimisha sana,wote wakakubali lakini Hajrath alionekana kutoridhika na majibu ya Ahmed,akaapia kwamba ni lazima amsake Yusrath popote pale alipo,wakati mwingine alidiriki kusema hata kama alikufa yupo radhi kuifukua maiti yake na kuihoji.
“Nakwambia ukweli Ahmed,najua unanifahamu vizuri.I don’t stop when i’m tired,i stop when i’m done”
Hajrath alizungumza na kusukumizia maneno yake na kimombo akitilia mkazo, akimaanisha yeye hasitishi jambo akiwa amechoka bali mpaka akilimaliza!
“Funguo za nyumbani kwako ziko wapi?”
Hajrath akauliza,akawa tayari kukubali mada ibadilishwe.
“Sijui hata ilipo,labda umtafute dada yule”
“Sasa nitampata vipi?”
“Namba zake nitakupa,unataka funguo za nini?”
“Nikafanye usafi”
Kufuatia hapo,Ahmed hakujibu kitu chochote kile akabaki akimuangalia Hajrath,akashindwa kuelewa ni msichana mwenye mapenzi ya aina gani,ghafla akahisi hali ya utofauti ndani ya moyo wake hali hiyo akakumbuka ilishawahi kumtokea akiwa chuoni Makumira,kipindi mapenzi yao yalikuwa motomoto akamtizama Hajrath kwa macho yasiyokuwa ya kawaida,hisia zikampanda ghafla, akatamani kuzungumza kitu lakini akasita sababu pembeni yake alikuwepo Benjamin,hiyo ilimfanya atulie.Kimya cha kama sekunde tisa nzima kilipita ndipo Mzee akarudi, akiwauliza kama wangependa kula ili chakula kiandaliwe.
“Hapana,usijali mzee sisi sio wakaaji.Tunaondoka sasa hivi”
Jambo hilo lilikuwa ni kweli,Benjamin hakuwa na sababu ya kuendelea kukaa tena sababu alishamuona swaiba wake akiwa na afya yupo salama salmin,lakini ilikuwa tofauti kwa Hajrath kwani alitamani kubaki na Ahmed siku nzima,ikiwezekana alale hapohapo!Kutokana na aibu aliyokuwa nayo,akashindwa nayeye akajifanya kuaga.Huku kimoyo moyo akitamani wabaki wawili ili aweze kumpiga tena denda Ahmed kama ishara ya kumuaga vizuri.Benjamin akawa wa kwanza kusimama,akampa mkono Ahmed wa kumuaga,akatembea mpaka kwa mzee akafanya hivyo hivyo!Ilivyofika zamu ya Hajrath,ilikuwa ni mtihani kidogo akatamani amkumbatie kwa nguvu na kumbusu lakini alivyoangalia mazingira yalivyo akaogopa kiasi,alichokifanya ni kumpa mkono lakini hakuutoa kwa kama sekunde tano nzima, akamtizama usoni!Kuna mambo mengi yalipita kichwani kwake,kuna kitu akakigundua!Ahmed alipungua kwa kiasi cha kutosha,ule unene na mashavu havikuwepo tena hiyo ilimuumiza zaidi mtima,akaelewa kwamba ni lazima Ahmed yupo kwenye ‘stress’ na kilichomfanya apungue ni matatizo aliyokumbana nayo siku za nyuma,hata hivyo alijihaidi kwamba angefanya jitihada zote ili mwili wa Ahmed urudi tena kwenye chati.
“Nakupenda”
Ilikuwa ni sentensi,iliyomponyoka kinywani bila yeye kutarajia!Akajishangaa na kuanza kutetemeka ingawa hakujua kwanini hali hiyo inamtokea,akamuaga na mzee aliyekuwa pembeni,akatembea mpaka mlangoni lakini akasimama na kumgeukia Ahmed, ilielekea kuna kitu alitaka kumueleza.
“Namba za yule dada?”
“Yupi?....Ah okay,nakupa”
Kilichofuata hapo ni Ahmed kutoa namba za simu!Wakaagana akiwa haamini bado kinachoendelea,alivyotulia mwenyewe taswira za mikiki mikiki ya kukimbizwa na kuteswa vikaanza kumjia kichwani,akamkumbuka msichana Ruth jinsi walivyokutana naye katika msitu alioufananisha na Jehanam,alisikitika sana sababu hakujua hali yake huko alipo maana hakuelewa mpaka siku hiyo ni muujiza gani ulitokea mpaka akaachiwa huru.Akazidi kutafakari,akatumia muda mchache kuwaza maisha yake yatakavyokuwa,bila kazi,bila mke,bila familia,bila furaha!Bado hakutaka kukubali kwamba amelala tajiri na kuamka maskini,fikra zake zikamrudisha nyuma kwa kasi ya kimbunga,akakumbuka jinsi alivyoishi na Yusrath kwa raha mustarehee akidhani wenda watoto mapacha ni wake,moyo ulimuuma zaidi alivyokumbuka namna Yusrath alivyotoa ruksa ya yeye kutekwa,siku hiyo kichwa chake kilifikiria vitu chungu mzima,hakuelewa ni wapi aanzie kwani hakuwa na kitu chochote cha kuanzia!
Siku hiyo,aliwaza sana kiasi kwamba usiku alivyolala,akaota ndoto mbaya za kutisha zilizofululiza ikawa bandika bandua mara aote anakimbizwa na viumbe vya ajabu mara yupo makaburini!Katikati ya usiku,alikurupuka jasho likiwa linamtoka usoni!Kuanzia hapo,hakupata usingizi tena mpaka kunapambazuka!

*****
Mchakato wa kumtafuta hewani mdada wa kazi,aliyekuwa anafanya kazi za ndani kwa Ahmed ulianza mara moja bila kupoteza muda!Kitendo cha kufika nyumbani kwao,akapiga simu lakini iliita bila kupokelewa,hilo halikumsumbua.Akaingia bafuni na kujimwagia maji ili atoe uchovu na majasho,akiwa na kanga mwilini.Akatembea moja kwa moja mpaka kitandani na kujitupa,hapo alipumzika na kutabasamu mwenyewe akalamba ‘lips’ zake kwa furaha,bado hakuamini kama Ahmed yupo hai.Alimshukuru sana Mungu kwani uwepo wa Ahmed duniani ulikuwa na maana kubwa mno!Hakuelewa kwanini moyo wake umekufa na kuoza kwa Ahmed,mbali na kutongozwa na wanaume wa kila aina wenye sura nzuri na pesa lakini alijishangaa na kuyatafakari mapenzi!
Ingawa alitendwa kwenye mapenzi na kuapia hatopenda tena lakini alijikuta,amenasa tena kwa Ahmed mwanamme wa ndoto zake ambaye kwa siku nyingi waliwahi kuwa pamoja chuoni Makumira,wakiwa na ndoto waje kuwa mke na mme!Lakini ghafla ndoto zao zilizimika mithili ya mshumaa uliopulizwa na upepo!Hayo yote,hakutaka kuyakumbuka sana sababu aliamini angeumia sana moyo,alichokitaka yeye kwa wakati huo ni kuwa na Ahmed mpaka mmoja wapo afukiwe mavumbini, yaani mpaka kifo kiwatenganishe!
“Griii griiii”
Simu,ilimshtua akiwa katika dimbwi la mawazo!Alivyoitizama aliipokea kwa haraka sababu mpigaji alikuwa ni muhimu sana kwake!
“Habari yako?”
Hajrath,akaanza kuongea yeye!
“Salama,naongea na nani?”
“Hajrath,huwezi kunijua lakini nimeagizwa na bosi wako Ahmed”
“Mimi mbona nilishaondoka muda sa…”
“Nilichokuwa nataka ni funguo za nyumbani”
“Funguo,nilimuachia Mama Mudi”
“Mama Mudi?Ndio nani?”
“Pale jirani,nyumba inayofuata”
“Ahsante,nitaifuata”
Hapo,Hajrath alikata simu!Akili yake ikafanya kazi kwa kasi ya risasi baada ya kumkumbuka rafiki yake Happy Richard.Hakutaka kuchelewa,akampigia simu akionekana kuna jambo nyeti anataka kumshirikisha!
“Happy…”
“Abee”
“Upo wapi?”
“Nipo nyumbani napika”
“Nisikilize,naaga hapa nyumbani nakuja kwako”
“Alafu unaenda wapi?”
“Nitakwambia lakini ukipigiwa simu na Mama mwambie nipo kwako”
“Akitaka kuongea nawewe”
“Hawezi,kufanya hivyo”
“Mmmh,Hajra!Baba yako mtata,mimi sitaki kesi usinitafutie balaa shoga angu”
“Hayupo, kwanza amesafiri”
“Hapo sawa,lakini hujaniambia unakoenda”
“Nitakwambia,Mama akikupigia mwambie hivyo”
Japokuwa alikuwa ni mdada mkubwa lakini haikumaanisha atoke kienyeji,wazazi wake walikuwa wakali na walijali usalama wake,hiyo ilitokana na kipindi cha nyuma alivyopotea katika mazingira ya kutatanisha!Hakutaka kulala wala kupumzika,sura ya Ahmed ilivyomjia kichwani akapata nguvu za ghafla akasimama na kutafuta nguo za kuvaa kabatini,akazitia mwilini na kutoka zake!Kutokana na haraka aliyokuwa nayo,hakutaka kupanda daladala,akatafuta pikipiki ili awahi.Ambayo,haimkufanya achelewe safari yake!
“Hapo kwenye hilo geti”
Hajrath,akatoa maelekezo akiwa nyuma ya pikipiki huku akinyoosha kidole lilipo geti,dereva akapunguza mwendo na kusimama kando kando ya geti kama alivyopewa maelekezo na abiria wake!
“Huna ela ndogo sista?”
Dereva akauliza baada ya kupewa noti ya shilingi elfu kumi, hiyo ilimaanisha chenji ingekuwa changamoto!
“Ngoja niangalie”
Bahati nzuri ikawa kwao wote,pesa ndogo ikapatikana dereva akalipwa ujira wake na kuondoka zake huku nyuma akimuacha Hajrath akiitafuta nyumba ya Mama Mudi,maelekezo aliyopewa bado aliyakumbuka,akatembea taratibu mpaka kwenye nyuma ndogo!Nje,ina kibaraza na watoto wadogo walikuwa wakicheza mchezo wa mdako,wakamsalimia!
“Hapa ndio kwa Mama Mudi?”
“Ndio,Mama yupo ndani!Anakula lakini huwa hapendi kusumbuliwa akiwa anakula,atanichapa”
Mtoto mdogo kati ya miaka 4-5 alitoa utetezi huku akiendelea kucheza mdako na mwenzake!
“Mwambie,kuna mgeni.Nina shida naye mara moja”
“Akuuuu”
Mtoto,akabetua mabega kuashiria amegoma hiyo ilimfanya Hajrath atulie kidogo!Hakutaka kulazimisha mambo,alichokifanya ni kukanyaga tofali lililotumika kama ngazi ya kupanda kuingia mlangoni!
“Hodiii”Akagonga mlango!
Mama,aliyetoka ndani alikuwa mnene kiasi,mkononi ameshika tonge la ugali mdomoni,anatafuna!Kupitia uso wake,ilionekana wazi kabisa amechukia,hapo Hajrath akagundua ni kwanini mtoto aliyemuomba amuite Mama Mudi, aligoma!
“Karibu”
“Ahsante,mimi sio mkaaji sana!Nimeagizwa hapa na Ahmed,kuna funguo ali…”
“Subiri hapo”
Mama hakutaka maongezi marefu sana,alichotaka yeye ajue shida ya mgeni huyo wa ghafla kisha arudi kula,ndani ya dakika moja akatoka akiwa na funguo!
“Ahsante”
Hajrath,akashukuru nayeye hakutaka mambo yawe mengi!Alichokifanya ni kunyoosha mpaka getini,alivyolisukuma akagundua limefungwa akajua ni kitu gani akifanye,akachukua funguo na kulifungua!
Baada ya geti kufunguka,mbele yake akakutana na gari aina ya Verosa!Lina vumbi na majani mengi kwa juu,picha iliyoonekana ni kwamba gari hilo halikutembea kwa kipindi kirefu,akarudishia mlango wa geti na kupiga hatua akielekea kwenye nyumba,hapo ilimlazimu achukuwe tena funguo,akafungua mlango!
Alichokutana nacho kilimfanya apige chafya tatu mfululizo,kulikuwa na vumbi kali mno!Japokuwa,makochi yalipangwa katika mtindo mzuri ambao aliamini kivyovyote dada wa kazi kabla hajaondoka,alifanya hivyo!Chafya,ilikuja nyingine baada ya kuingia jikoni.Hiyo ikamlazimu,aweke kitambaa puani,alivyotoka jikoni akaingia chumba cha katikati akakikagua!Sio siri,moyoni alimpongeza sana Ahmed kwa jitihada alizofanya kwani nyumba ilijitosheleza ingawa ilikuwa ya kupanga!Alivyotokeza,akaona mlango mkubwa kiasi,akajua ni lazima ilikuwa ni ‘master’ na humo ndimo Ahmed,alikuwa analala!Akafika na kunyonga kitasa,vumbi alilokumbana nalo halikuwa la kawaida,japokuwa aliweka kitambaa puani lakini lilipenya,akapiga chafya moja kali!Na kuzidi kusonga mbele.Kulikuwa na kitanda kikubwa,sita kwa sita!Shuka halikutandikwa,mto upo chini!Kando kando akaona mkanda na michirizi ya damu imeganda ukutani akaogopa kidogo,akafungua mlango wa bafuni,juu ukutani akaona chupi na baadhi ya boxa zimeanikwa, hakutaka kujiuliza sana kwani alielewa nini maana yake!Alichoshukuru bafuni,kulikuwa na maji!Akarudi haraka seblen na kufunga mlango kwa funguo!Alichokifaya ni kuvua nguo,akabaki na chupi kwa kuwa aliamini yupo mwenyewe, akatembea mpaka kwenye mkoba wake,akachukua kanga na kuvaa kwa ajili ya kuanza kazi ya kufagia nyumba nzima na kupiga deki kila sehemu!



Usafi uliendelea kama kawaida,Hajrath alijitolea kufanya kazi hiyo kwa moyo wote bila kinyongo!Japokuwa aliamini kwamba halikuwa jukumu lake lakini alitambua kwamba ipo siku moja,Ahmed angekuwa mumewe wa ndoa!Hata hivyo mpaka anafanya hayo yote alijipa asilimia zote mia kwa mia tayari Ahmed ni Mumewe,kilichomfanya afurahi zaidi ni kukumbuka kua alishampa talaka Yusrath hivyo kwa wakati huo ni ‘single boy’mambo mengi sana yalipita kichwani kwake,akaanza kuvuta picha mbalimbali jinsi watakavyoishi kwa furaha na Ahmed,kisha wafunge ndoa uhakika huo alikuwa nao sababu dini zao ziliruhusu kabisa,akalipitisha jambo hilo moja kwa moja!Lakini kitu kilichomfanya,aumie na kusononeka ni baada ya kumkumbuka Necka,alivyokuwa hospitalini na Ahmed ukaribu wao ulifanya azue maswali mengi sana kichwani kwake!Hata hivyo hakutaka kuwaza sana,alijiamini!Akapata muda kidogo wa kukumbuka visa vya Ahmed na tabia yake ya wivu tena mwenye mkono mwepesi,hilo lilimfanya aishiwe nguvu lakini baadaye akagundua wenda Ahmed amebadilika na ule ulikuwa ni utoto kwani alikumbuka jinsi alivyopigwa vibao na Ahmed walivyokuwa chuoni,kisa tu alimkuta anajadili masomo na mwanamme!
Alivyomaliza kufagia,chumba kizima akachukua tena fagio na kuanza kutoa utandu wa buibui uliokuwa ukutani,zoezi hilo lilivyokamilika akachukua maji na kuanza kupiga deki!Akapita kwenye kordo akafanya hivyo na kuingia jikoni pia,alivyomaliza hapo akanyoosha mpaka seblen na kuendelea na usafi!
Ndani ya dakika arobaini na tano,nyumba ilikuwa safi!Akarudi tena chumbani na kuchukua mashuka, akayaloweka na kuanza kuyafua!Urembo wa Hajrath na usafi wake viliendana,pengine hilo lilichangia kwake kuwa maridadi,Hajrath alijipenda na alipenda sana usafi, kwa siku alioga mara nne ama tano.Hiyo ilifanya ngozi yake iwe laini na nzuri,licha ya hayo muda wote alikuwa akinukia kama uwaridi!Alivyomaliza kufua na kuanika mashuka,akaingia bafuni na kujimwagia maji ambapo huko alipata muda mwingine wa kumfikiria Ahmed,jinsi atakavyomwambia ukweli, ikiwezekana wafunge ndoa haraka iwezekanavyo awe wake peke yake!Akaapia hatokuja kumuachia na kumruhusu kiumbe yoyote ampokonye utamu wake,kwa kuwa siku hiyo alipania kulala akaingia jikoni na kutafuta mkaa ulipo,hivyo hivyo kwa kubahatisha akafanikiwa kupata masufuria!Akabandika maji na kuvaa nguo,akachukua pesa kidogo na kutoka nje!Gengeni alinunua,nyanya,vitunguu,karoti,matembele,dagaa,chumvi na hoho.Alivyohakikisha kila kitu kipo sawa,akarudi ndani na kuufunga mlango kwa funguo!Kama mwanzo,akavua nguo zote na kuvaa mtandio ambao ulimuonesha nusu ya maumbile yake, kuanzia mapajani kushuka chini!Akapika,akapakua akala kisha kuingia chumbani,ambapo huko alijitupa kitandani na kulala fofofo!

*****
Kila kitu katika maisha yake,kilivurugika!Mambo yakawa,yaghalabaghala.Hakuweza kufikiria zaidi ya kukaa kimya,akawa kama mkiwa,muda wote mkono shavuni kashika tama.
Hakuelewa maisha yake yangekuwaje na angeyaendesha vipi,matatizo yaliongozana kiasi kwamba akaanza kuhisi ni lazima kutakuwa na mkono wa mtu,wazo hilo alilipa kipaumbele na kuanza kuwahisi baadhi ya ndugu zake kuhusika na mambo hayo,akamkumbuka shangazi yake Mwajuma Ndalandefu na tabia zake za kishirikina kutwa kwa waganga,akaamini wenda ndiye yeye aliyemuendea kwa Sangoma ili avuruge maisha yake,lakini alivyomkumbuka Mama yake mdogo Mwantumu,akachoka zaidi huyo alikuwa ni mchawi wa kutupwa na alitengwa mpaka na ukoo wao!Sio siri Ahmed alionekana kuchanganyikiwa,kila ndugu yake alimuwazia mabaya.
Suluisho lililomjia haraka kichwani ni kwenda kwa mganga wa kienyeji ili amjue mchawi wake ni nani.
“Lazima niende kwa mganga!”
Ahmed aliwaza na kuipigia mstari hoja yake,lakini alivyofikiria mazingira ya dini aliyokulia na usomi aliokuwa nao,vilikuwa ni vitu viwili tofauti.Kama msomi alitakiwa atengeneze hoja za kisomi sio ushirikina.
“Kwani usomi kitu gani bwana?Wasomi kibao,wanaenda kwa waganga”
Kifupi,alikuwa anaongea na kujijibu mwenyewe!Kichwa chake hakikuwa sawa hata kidogo,ilihitajika nguvu ya ziada ili kumrudisha katika akili yake ya mwanzo!Usiku mzima siku hiyo,alifikiria vitu vingi sana!Akapata fursa ya kukumbuka watu waliofirisika wakaenda kwa waganga na baadaye wakafanikiwa!Akapapasa,kitandani na kuchukua simu yake ndogo ya tochi ambayo ilinunuliwa kwa ajili ya kufanya mawasiliano,mtu wa kwanza kumtafuta hewani alikuwa ni Benjamin Ngowi,niya yake ikiwa ni kumshirikisha hatua anayotaka kuifanya.
“Ahmed,unaendeleaje?”
Lilikuwa ni swali la kwanza kutoka kwa Benjamin Ngowi.
“Niko poa,nahisi nafuu.Benjamin…”
Ahmed,akaita ilionekana kuna jambo anataka kuzungumza!
“Nambie”
“Nahisi nimerogwa”
Kufuatia hapo,ukimya wa kama sekunde mbili ukatokea!Benjamin Ngowi, hakujibu chochote!
“Halloo Benjamin,umenisikia?”
“Nakusikia,unahisi nani kakuroga?”
Benjamin,akaibua swali.
“Walimwengu tu”
“Kwanini urogwe?”
“Hawapendi maendeleo yangu”
“Ahmed,hakuna mtu yoyote aliyekuroga!Achana na fikra potofu”
“Benjamin,nahitaji msaada wako”
“Upi?”
“Hamna mganga yoyote unayemfahamu,maana wengi ni matapeli”
“Mimi na vitu hivyo,wapi na wapi Ahmed?!Achana na hayo mambo ya Kiswahili”
Benjamin,akajaribu kutoa ushawishi lakini ilionekana kazi bure!
“Nitawatafuta kesho,kama huwezi kunisaidia”
“Uwezo wa kukusaidia ninao,lakini sio kwa waganga ala…”
“Usiku mwema!”
Simu ikakatwa,Ahmed alichukia sababu alitegemea sapoti kutoka kwa Benjamin akiamini kwamba angeunga mkono hoja yake lakini ilikuwa tofauti kabisa,fikra za kurogwa zilizidi kumuumiza kichwa chake,alichokifikiria kwa wakati huo kukipambazuka aende nyumbani kwake Ubungo Kibangu,achukuwe gari ili aanze kazi ya kusaka waganga ndani na nje ya mji,japokuwa aliamini kazi hiyo isingekuwa rahisi kwani matapeli walikuwa wengi,licha ya hayo aliapia angezuka hata mikoa jirani ama afunge safari mpaka Sumbawanga kwenda kutafuta Mganga wa kienyeji,hivyo ndivyo akili yake ilimtuma!

Saa kumi na moja asubuhi,akakurupuka kutoka kitandani akaingia bafuni kujimwagia maji!Bila kunywa chai,akatafuta usafiri wa bodaboda ili umuwahishe Ubungo,Kibangu!Alivyofika tu,akampa dereva ujira wake na kuanza kutafakari ni wapi angezipata funguo lakini alivyoangalia juu ya geti akaona taa inawaka kumaanisha kuna mtu ndani,akasita kidogo lakini alivyokumbuka mara ya mwisho alizungumza na Hajrath kwamba angechukua funguo,akajipa matumaini akatembea mpaka kwenye geti na kulisukuma likafunguka!Hofu ilianza kumuingia ingawa hakujua kwanini,mawazo yake yakamtuma wenda watu wasiojulikana wapo ndani na wanamsubiri, hata hivyo hakutaka kuyapa mawazo hayo kipaumbele lakini akachukua tahadhali akakumbuka wasiwasi ndio akili,akaacha geti wazi ili likitokea la kutokea atoe mbio za kipepe!Akapiga hatua mpaka mlangoni na kuugonga.
“Ngo!Ngoo!Ngoooo!”
“Ngo!Ngoo!Ngooo!”
Akagonga kwa mara nyingine tena,kwa mbali akahisi mlango wa chumbani kwake unafunguliwa,jambo hilo likazidi kumtia hofu akarudi nyuma hatua mbili ili ajiandae kukimbia endapo angeona jambo la tofauti,akatulia kidogo!Kabla mlango hujafunguliwa kupitia dirishani akaona pazia limefunguliwa kwanza, ilielekea mtu wa ndani,alikuwa anataka kumjua ni nani aliyekuwa nje,mlango ukafunguliwa!
“Ahmed!!”
Hajrath akaita kwa furaha kama mtu asiyeamini,akaachia tabasamu pana ambalo hakuweza kulificha kabisa,akamsogelea karibu Ahmed na kumkumbatia kwa nguvu!
“Karibu Ahmed”
“Ahsante,umefika lini?”
“Nilikusubiri tangu jana”
“Tangu jana?!”
“Ndio,karibu ndani”
Hakuwa na kitu kingine cha kuongea,hakuelewa ni kwanini ameshtuka kumkuta Hajrath ndani ya nyumba yake!Hata hivyo hakutaka kuhoji sana,alivyoingia alishangaa jinsi nyumba ilivyokuwa safi imepigwa deki kila kitu kipo mahali pake,kwa kuwa alihisi kuchoka alinyoosha mpaka chumbani, ambapo huko pia alikuta mazingira mapya,kitanda kimegeuzwa na kuwekwa kwa mtindo mwingine,yaani upande wa kichwa umesogezwa ukutani!
Moyoni alifurahi,hakukaa sawa Hajrath akatokeza kwa nyuma, wakatizamana!
“Ahsante kwa kila kitu”
“Ni wajibu wangu Ahmed!Ahsante kwa kushukuru”
Kuanzia hapo ukimya ulitawala,hakuna hata mmoja kati yao aliyemuongelesha mwenzake isipokuwa Hajrath ndiye akawa wa kwanza kuvunja ukimya!
“Chai,vipi?Nikuandalie?”
“Sina mudi”
“Tafadhali jitahidi”
“Sidhani kama nitaweza,nataka nitoke kwanza”
“Uende wapi sasa hivi?Asubuhi yote hii”
“Kuna mtu nataka nikamuone”
“Hapana,kunywa chai kwanza”
“Chai na nini?”
“Na mkate,nilinunua jana!”
Hapo Ahmed,akabaki kimya akijaribu kujishauri kama abaki ama achukue maamuzi ya kuondoka kuelekea kwa sangoma ama wadau mbalimbali ambao wangeweza kumsaidia kupata waganga wa kienyeji,wakati mwingine alitamani kumshirikisha Hajrath juu ya wazo lake lakini moyo wake ukasita kidogo.
“Nitakunywa”
“Uoge pia kabisa”
Hakukuwa na kipingamizi,bila ubishi Ahmed akaingia tena bafuni kuoga huko alipata nafasi ya kukumbuka vitu vingi sana vilivyopita nyuma!
Haikuchukua dakika nyingi,akatoka akiwa na taulo, ambapo alinyoosha mpaka seblen,huko alikuta chai tayari.
“Kahawa ipo?”
“Yes,ipo hapa.Najua unapenda kahawa,ndio maana nilinunua pia”
“Ahsante”
Vitu hivyo kwake hakuwa ana uhakika kama vingekuja kutokea tena,ghafla akaanza kujisikia amani na faraja alivyomuangalia Hajrath,namna anavyomjali kwa hali na mali.Chai ilikuwa ngumu kupita lakini alijitahidi kufikisha nusu kikombe na kumaliza silesi tatu za mkate!
“Nimeshiba”
“Malizia,kipande hiko kimoja Ahmed.Alafu,ukapumzike!Vipi unaendeleaje?”
“Naendelea vizuri lakini bado shingo inaniuma”
“Ngoja,nikachemshe maji.Nikukande”
Kufuatia kauli hiyo,akasimama na kwenda jikoni ambapo huko aliweka sufuria maji na kuiweka juu ya jiko la gesi,kila kitu alichokifanya alifanya kwa mapenzi tele aliyokuwa nayo!
Alivyomaliza,Ahmed akawa tayari ameingia chumbani,akaweka maji kwenye kibakuli kidogo na kitambaa laini akaingia navyo chumbani ambapo huko alifunga mlango!
“Lala,kifudi fudi”
Hajrath,akatoa maagizo!Ahmed,akatii bila ubishi akalalia tumbo na kunyoosha shingo kidogo!Mikono laini ya Hajrath ikaanza kupita taratibu shingoni,akaingiza kitambaa kwenye maji na kuanza kumkanda shingo taratibu kwa nyuma!
“Unaniumiza taratibu,Hajraaa”
Ahmed,alilalamika lakini kwa sauti ya kudeka kwa mbali.Hajrath alilijua hilo,kama mtoto wa kike ilikuwa ni lazima ajiongeze,akazidi kumpapasa shingoni,akaingiza vidole kwenye sikio la Ahmed mpaka hapo utulivu uliendelea kuwepo!
“Pangalaaaaa”
Kibakuli,kikadondoka chini Ahmed akashtuka na kugeuza shingo macho kwa macho na Hajrath,wakabaki wanatizamana kwa hisia,mdomo wa Hajrath ukaanza kusogea taratibu mpaka midomo yao ikakutana,kwa hiyari yake Ahmed akatoa ulimi ambao ulidakwa vizuri wakaanza kunyonyana ndimi kwa fujo.
Kwa kuwa Ahmed,alikuwa na taulo peke yake haikuwa tabu kwa Hajrath kulitoa na kuliweka kando,akakutana na mwiba uliosimama imara,hiyo ilimfanya apandwe na midadi,akatoa nguo zake kwa kasi na kusogea kitandani,wakazidi kupigana madenda huku wakishikana shikana kila sehemu ya miili yao,sio siri damu zao zilienda mbio na hisia zao zilipanda kwa kiwango cha juu lakini waliendelea kupigana madenda huku taratibu mkono wa Ahmed ukishuka chini ya kitovu cha Hajrath,ukashuka kabisa mpaka chini uvunguni.
“Aaaaahm…ed,ilove youuuuu”
Akitolea sauti ya Puani,Hajrath akajikuta ameropoka bila kutarajia,akiwa hajiwezi baada ya ikulu yake kupapaswa, tena mbaya zaidi mkono mmoja wa Ahmed,uligusa chuchu zake hapo ndipo akahisi kama ameota mbawa!


Haukuwa utani,hisia zao zilikuwa mbali kuliko kawaida!Kilichosikika yalikua ni mabusu na miguno ya hapa na pale,aliyeonekana kuzidiwa zaidi ni Hajrath kwani alihisi joto kali sana kwenye ikulu yake!Alivyojitahidi kufumbua macho,akaona kichwa cha Ahmed hiyo ilimaanisha yupo bize kupiga deki bahari.Hakutamani Ahmed,amalize ndiyo maana akatumia mikono yake akizidi kumkandamizia huku akitoa miguno ya puani.
Sio siri ilikuwa ni raha iliyozidi kifani,kwa mara nyingine kufanya tendo hilo baada ya miezi mingi kupita!Haikujulikana kama alijielewa ama anafanya kusudi sababu kazi yake ilikuwa ni kukunja kunja mashuka, akiyavuta huku aking’ata ‘lips’ zake mara apanue mdomo ilimradi anahisi raha,kila pozi alibadilisha!Kuna vitu alianza kuvihisi vikitokea kwenye miguu,akavifananisha kama utitiri!Akahisi kama anataka kusimamia ukucha!
“Ahm…ed aaashsss aaaaah mmmmh aaaahsss aaaah aaahmeeed”
Kelele kama hizo,zilisikika.Ahmed,akajua nini maana yake akazidi kulamba kibuyu cha asali kwa kasi mpaka Hajrath alipopiga kelele za kikubwa na kubana miguu,huo haukuwa mwisho kwani ndo wakati wa Ahmed kuanza mashambulizi,baada ya kuhakikisha tayari Hajrath amefika kileleni.
Akachukua mguu wake mmoja wa kulia,akauweka begani kwake,akapanda juu kidogo yale maumivu ya shingo na mkono yakayeyuka ghafla,kichwa chake kikatawaliwa na tendo linaloenda kufanyika wakati huo!Akaseti mitambo na kuingiza gunzi kwenye ikulu,alishtuka kidogo baada ya mnara wake kuingia kwa kuulazimisha, hiyo ilimaanisha Hajrath hakuwahi kufanya mapenzi siku hiyo.
Kutokana na utundu wake wa kutembea na wasichana kwa wanawake tofauti alielewa na alilijua hilo,jambo hilo lilimfurahisha sana!Sababu mnara wake ulibanwa kama anayefanya tendo hilo na msichana Bikira,kitendo cha kuinuka na kwenda chini kilimfanya Hajrath apandwe upya na midadi, asteaste akaanza kunyonga kiuno chake!Mambo yalizidi kuwa matamu mno,kilichosikika hapo zilikuwa ni kelele za chaga!Mikao mbalimbali ilibadilishwa,wakamalizia na staili ya Kifo cha mende, ambapo miguu ya Hajrath ilichanuliwa huku na kule!
“Mmmh aaah mmh aah Aaaamed,Mmmh aaaahss aaah aaaah aaaha mmm”
Hajrath alilalamika kitandani,akitoa miguno ya raha akaanza kumkwaruza Ahmed mgongoni huku akizidisha kasi ya kunyonga kiuno chake!Kama ruba akamganda huku akipiga kelele nyingi sana,hiyo ilimfanya Ahmed azidishe mbwembwe kwa kunyonga kiuno chake,haikuchuwa muda mrefu nayeye akatoa sauti fulani ya bezi,akatulia kifuani kwa Hajrath huku majasho kwa mbali yakimtoka!
“You so sweat”(Wewe ni mtamu)
Hajrath alisema akiwa bado chini,gari ipo kwenye paking!
“Hata wewe”
“Sijakuzidi”
Kwa kuwa alikua juu,akajitoa taratibu na kulala chali,kwa aibu akavuta shuka. Hajrath akamsogelea karibu na kumlalia kifuani, wote wakajifunika na shuka.
“Ahmed,nakupenda sana”
“Kwanini,unasema hivyo?”
“Sielewi,lakini tambua hilo.Naomba unitimizie ndoto zangu”
“Zipi?”
“Kuolewa nawewe”
“Hajrath…”
Kitendo cha kuita,alishika kichwa cha Hajrath na kumtizama,ilielekea kuna jambo zito alitaka kumkumbusha!
“Bado sijasahau”
“Kusahau nini?”
“Florian”
“Naomba usinikumbushe”
“Acha usanii”
“Ahmed…..”
Baada ya Hajrath kusema hayo,akageuka kwa mbele hiyo ilimfanya Ahmed atizame mgongo wake kwa umakini,kuna alama za makovu mithili ya matundu aliona.
“Nini hiki?”
“Subiri”
Hajrath,akajigeuza tena usawa wa tumbo,ambapo kulikuwa na alama za mishono mishono ya nyuzi kuanzia juu kwenye kitovu.
“Ulifanya nini?”
“Florian,sio binadamu.Ni mnyama”
“Bado sijakuelewa”
“Huku mgongoni,ni makovu ya risasi.Hapa mbele ni mishono!Alikuwa akinitumuia kama punda wa kubeba madawa ya kulevyaa”
“Mungu wangu,whaaaat!”
Mshtuko wa Ahmed,ulikuwa wa waziwazi kabisa!Aliendelea kumtizama Hajrath huku akikumbuka matukio yote yaliyotokea nyuma, akiwa na Florian!
“Ilikuwaje?”
Hakukuwa na sababu ya kukaa na kitu kifuani,Hajrath alisema kila kitu kilichotokea nyuma, jinsi alivyotoroshwa akafanywa kama kontena la kubebea madawa ya kulevya na baadaye kupigwa risasi akiwa nchini Afrika Kusini,hakuishia hapo!Akaenda mbali zaidi na kumueleza alivyokutana na Dokta Sajjo,wakawa wapenzi na mambo mengine yote!Licha ya kusimulia kila kitu,alijikaza na mwisho akahitimisha kwa kusema ‘Nakupenda Ahmed’ machozi yalimlenga,hakuweza kujizuia tena, akajikuta analia!
“Yote uli..taka wewe Ahmed”
“Hapana”
“Huku..taka kuniamini”
“Nilikuamini,lakini kuna jambo liliniumiza”
“Lipi?”
“Siku ile hostel,nilivyomuona yule jamaa anatoka anafunga zipu”
“Ahmed,usinikumbushe!Siku ile nilitaka kubakwa”
Kuanzia hapo Hajrath,alilia mfululizo akilalamika ni kwanini Ahmed hakumpa nafasi ya kumsikiliza hata kwa sekunde mbili.
“Ah..med,nilitaka kufa kwa ajili yako!Nilitaka kujiua,nakupenda Ahm..ed!Na..kupenda”
Chumba kikageuka na kuwa kilio kikubwa,Hajrath alimwaga machozi kama mtoto mdogo,historia aliyohadithia ilimtonesha vidonda!
“Ah..med nakupenda kweli,niambie kama unanipenda ili nijue!Usinitese,please tell me”
“Hajrath….”
“Ahmed please”
Kuanzia hapo,Ahmed akawa vuguvugu sio baridi sio moto!Alitamani kusema ‘Nakupenda pia’ lakini alisita.
“Ahmed nakupenda”
Japokuwa neno nakupenda halikuwa swali lakini lilihitaji jibu,ndiyo maana Hajrath alisisitiza hilo.
“Hope,unajua.Kila kitu kilichotokea,mimi na mke wangu”
“Ndio,najua.Nilisoma kwenye gazeti!Unahisi nitakuwa kama mkeo?”
“Sio hivyo tu,kuna mambo mengi kanifanyia”
Ahmed,alikumbuka jinsi Yusrath alivyochepuka na Samir!Mbaya zaidi kiwanja chake,alichopigwa changa la macho,akajuta na kujilaumu kwa kumuamini akijua kwamba isingekuwa Yusrath wenda angekuwa mbali kimaendeleo,hayo yote yalimshangaza Hajrath hakutaka kuamini kama Yusrath msichana mrembo angekuwa na roho ngumu namna hiyo!
“Pole Mpenzi wangu”
“Nishapoa”
“Ni changamoto,kila mtu hupitia”
“Lakini zangu,sio changamoto!Sijui niseme nini,laana ama nimerogwa”
Ahmed akajaribu kupenyeza hoja yake,ili amsikilizie Hajrath angemwambia nini.
“Mungu yupo,atakusaidia.Kila kitu kitakuwa sawa”
“Sijui Hajrath,kazi pia nimefukuzwa”
Ulikua ni kama mshumaa uliokosa mhimili wa kusimama,Ahmed alikosa matumaini na alikata tamaa kabisa,siku hiyo walizungumza vitu chungumzima wakataniana na kufurahi kama watu waliokuwa kwenye mapenzi zaidi ya miaka mitano!
Mchana,ulivyofika Hajrath akaingia jikoni na kupika madiko diko!Wote,wakala na kuendelea na stori ambazo hazikuisha.

****
Kwa kuwa alikuwa anaishi kwa wazazi wake bado na aliliheshimu hilo,alikuwa akienda kumsabahi Ahmed asubuhi na kuondoka usiku.Akafanya kama mazoea,haikupita siku bila kumtia Ahmed machoni,penzi lao likazaliwa upya,wakapendana kama watoto mapacha!
“Ushafikiria kutafuta kazi?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Hajrath siku hiyo wakiwa mezani.
“Sasa hivi,nitapata wapi kazi unadhani?”
“Mzee anasemaje?”
“Anaumwa!Kwenye hili sitaki kumwambia,kwanza ananiambia nirudi home!Mimi sitaki”
“Sasa kama hutaki kurudi nyumbani,tafuta kazi”
“Nitajitahidi”
“Ahmed,please!Fanya hivyo,kama huwezi mimi nitafanya kwa ajili yako”
“Hapana usijali,by the way nataka kujiajiri mwenyewe”
“Hiyo ni baadaye,mtaji utapata wapi?”
“Nitauza hata gari yangu”
“No please,hiyo ni plan B mpenzi”
Wazo hilo likamuingia kichwani akaanza kufikiria ni wapi vyeti vyake alipoviweka,kilichotakiwa baada ya hapo ni utekelezaji na sio porojo!

*****
Kichwa cha Bilionea George Charles,kiliwaka moto!Tayari alijikuta ameingia kwenye shimo refu ambalo hata angepewa ngazi,asingeweza kupanda!Skendo aliyokuwa nayo ilimuogopesha kama ingefika mbali na Ahmed angezungumza kila kitu,akiwa kwenye sofa chumbani kwake alihisi kujuta kumkaribisha Yusrath nyumbani kwake kwani ndiye aliyemsihi na kumshawishi afanye maamuzi hayo yaliyomuingiza kwenye matatizo!
Milioni Mia tano,zilikuwa pesa nyingi kutoa burebure bila kuzalishwa!Na licha ya hayo,aliamini polisi,wasingeacha kumgasi wakimgeuza shamba la Bibi.Akiwa katikati ya mawazo,Yusrath akatokea na kumpiga busu juu ya paji la uso!
“Una nini?”
Yusrath,akahoji.
“Hakuna kitu”
“George,haupo sawa.Nini tatizo?!”
“Kwanza,unajua kua Ahmed yupo hai”
“Unasema niniiiiii?”
Yusrath akashtuka na kuhoji kwa wakati mmoja.
“Ndio hivyo”
“Kwanini?”
“Mbona nilishakueleza,walikuja wanajeshi hapa.Sikukwambia?”
“Sasa,uliwaogopa?!Wale si binadamu tu”
Hapo George hakujibu,alimtizama mwanamke huyu mpumbavu anayeropoka hovyohovyo, bila kujielewa.
“Ujue,nipo siriazi”
“Namimi nipo Siriazi”
“Polisi,wamekuja juzi.Wanataka Milioni mia tano,ili wafute faili”
“Shilingi ngaaaaaaapi?”
“Five hundrend million”(Milioni mia tano)
“Yaaani,million kumi,ishirini thelathini, arobaini…Mpaka mia tano!Wanaomba kirahisi hivyo,wanajua zinapatikana vipi?Mme wangu usiwape”
“Unajua nini maana yake lakini?”
“Hata kama ni ela nyingi,bora unipe mimi tu.Kuliko kuwapa wale vibwengo”
“Lazima tuwape,hakuna njia nyingine Yusrath.Na wanahitaji kesho jioni!”
George Charles,hakuwa na ujanja alikuwa tayari kashikwa pabaya!Hakutaka kupoteza muda,akachukuwa simu na kumtafuta Nipael Mshunga,C.E.O wa viwanda vyake!
“Yes madam”
“Shikamoo boss”
“Marahaba!Are you busy?”
“No”
“Nahitaji,kukupa maagizo!Nipael…”
“Abee boss,nakusikiliza”
“Nenda kwa basa,mwambie akupe Milioni mia tano!Nampigia simu sasa hivi,nitamwambia na dereva aje kukufata uje nazo hapa nyumbani kwangu”
Kufuatia hapo,utekelezaji ndio jambo lililotakiwa kufanyika!Yusrath,aliyasikia mazungumzo yote, jinsi George Charles alivyoomba aletewe Milioni mia tano kirahisi yaani ilikuwa ni sawa na mtu anayenunua pipi dukani,hiyo ilimshangaza sana Yusrath, ghafla tamaa ikamuingia, baada ya kusikia ya kwamba mzigo wa pesa nyingi kama hizo unaletwa, ndani ya nyumba hiyo!



Milioni Mia tano zilikuwa ni nyingi na bila shaka hakuwahi kuzitia machoni tangu azaliwe,taswira ikaanza kujijenga ndani ya kichwa chake pesa hizo zingetoshea kwenye mabegi mangapi ama zingehifadhiwa kwenye mtindo gani,akaenda mbali zaidi na kujaribu kuzipima kwa mzani zingekuwa ni sawa na kilo ngapi!Tamaa ikamjaa na kuzigawanya kwa urefu kwamba zikianza kupangwa chini elfu kumi kumi kuanzia Dar es salaam zingefikia wapi?Hakika zilikuwa ni pesa nyingi kutamkwa kirahisi namna hiyo,haraka akaanza kuchora ramani ya jinsi atakavyotoroka nazo na kwenda mbali kabisa!Alivyowakumbuka watoto wake moyo wake ukasita,angewezaje kutoroka bila watoto wake mapacha!Alivyojiuliza hivyo tu,akaishiwa nguvu na kujikuta anazipuuza fikra hizo potofu,akaziita za kishamba kwani kwa George Charles,hakukosa kitu chochote!
“Hapana,lazima nifanye kitu.Hawezi kuwapa pesa zote wale mbwa”
Yusrath,akazidi kutafakari kwa kina akijiuliza maswali mwenyewe na kujijibu wakati huohuo!Hali ya George Charles haikuwa nzuri kifikra,muda wote alifikiria jinsi ya kuzima mambo,alihisi kujuta kuruhusu kuburuzwa kwa kushikiwa akili na Yusrath,matokeo yake akamuingiza kwenye shimo refu,ambalo hakujua ni kwa namna gani angetoka!Hakukaa sana,akatoka nje!
Mpaka kwa walinzi,kwa jinsi mambo yalivyoenda akasahau kwamba ana simu ndani na alitakiwa kutoa maagizo akiwa humohumo chumbani.
“Kuna mgeni wangu,atakuja!Naomba,asisumbuliwe”
George Charles,akatoa maagizo akiwa karibu na kibanda cha mlinzi,hakuongeza neno lingine lolote lile badala yake akarudi na kunyoosha moja kwa moja kwenye friji,akatoa glasi ndogo na chupa kubwa ya ‘Whisky’ akamimina nusu na kuchukua vipisi vinne vya barafu,akatia kwenye glasi kwa niya ya kupunguza makali,George Charles hakuwa mnywaji wa pombe isipokuwa akipata ‘stress’ hunywa glasi moja ya ‘wisky’ ili kuweka akili yake sawa!Alivyomaliza,akanywa nyingine na kukunja sura kidogo hapo akahisi mabadiliko kwenye mwili wake,akahisi kuchangamka kidogo akiwa katika kutafakari,akasikia mlio wa honi getini!Akatulia kidogo,alivyofungua pazia akaona gari aina ya Prado,akajua ni lazima atakuwa ni Nipael Mshunga amefika kwani gari hilo huendeshwa na Edga Mapunda mara nyingi,dereva ama msaidizi wake aliyemtuma kufanya kazi hiyo siku hiyo!Hakutaka kuchelewa,akafungua mlango macho kwa macho wakaonana na Nipael Mshunga,mwanamke wa kipare ambaye alikuwa ana cheo kikubwa kwenye kampuni zake zote,alikuwa ni mwanamke makini mno mwenye msimamo katika kazi yake!Nipael Mshunga aliaminika kutokana na uaminifu wake,hiyo ilifanya ampandishe cheo kutoka Afsa manunuzi mpaka CEO yaani ‘Chief Executive officer’ licha ya hayo walifanya kazi kwa miaka mingi sana bila kampuni kuingia hasara!
“Shikamoo bosi”
Nipael Mshunga,akasalimia kwa adabu akitoa mkono huku akipeleka goti moja chini kidogo kuashiria heshima,mbali na hapo alionesha tabasamu mwanana!
“Marahaba,mzigo upo?”
“Ndio,upo ndani ya gari”
“Good”
Hakukuwa na neno lingine la kujazia isipokuwa George Charles,kutembea mpaka kwenye gari na kutizama mabegi nane makubwa,akafungua moja wapo na kuona noti za elfu kumi kumi,zilizopangwa kwa mtindo wa kufungwa na raba bendi.
“Zimetimia?”
“Ndio zimetimia bosi,nimehakikisha”
Kilichofanyika hapo ni George kubeba mabegi mawili na yaliyofuatia,akasaidiwa lakini alivyoingia ndani Nipael Mshunga na dereva bwana Mapunda wakamsubiri seblen huku yeye akipanda ngazi kuelekea chumbani kwake kuziifadhi,alivyorudi akachukuwa mabegi mengine na kuyaweka chumbani kwake!
“Mnaweza mkaenda,nitakupigia simu.Incase kama kuna tatizo!Kuna jipya gani ofisini?”
“Kuna wakandarasi walikuja,wale wagiriki walileta LPO”
“Deadline lini?”
“Wametoa ten days”
“Shughulikia”
“Sawa bosi”
“Kuna cha ziada?”
“Hapana bosi,likitokea tutawasiliana”
Mazungumzo yakaishia hapo,George Charles akaingia chumbani huko akasikia gari liwashwa geti linafunguliwa kisha kufungwa,alimkuta Yusrath amekaa kitandani anayatizama mabegi yaliyokuwa chini.
“Vipi?”
George Charles akahoji,kwa maana ya kutaka kujua kwanini Yusrath kaduwaa namna hiyo kama mtu anayesoma tangazo kwenye bango!
“Hapana,nipo sawa.Hizi ni pesa?”
“Yes,ela!Naenda kuwapa askari ili wanyamaze,niishi kwa amani”
“Ni nyingi sana”
“Ndio,ni nyingi mno!Sasa nitafanyaje?Sina jinsi,natakiwa niwape”
Ilikuwa ni kama Yusrath haamini kile anachokiona,akasimama na kutembea mpaka yalipo mabegi akafungua moja wapo,butwaa alilopigwa halikuwa na kipimo chake,akahisi kama koo lake limekauka ghafla hakuelewa kwanini hali hiyo inamtokea kwa wakati huo,akafungua mabegi kwa zamu na kutoa mabunda bunda ya pesa!
“Baby…”
“Zirudishe ela,principle ya pesa hairuhusiwi kuoneshwa oneshwa hovyo”
George Charles,hakuwa mwenye furaha alizungumza kwa upole na unyonge huku akionekana kabisa kitendo cha kutoa pesa hizo hakikumfurahisha kutoka moyoni lakini alijitahidi kupachika tabasamu la plastiki usoni.
“Utatoka leo?”
Yusrath,akahoji.
“Sidhani,lakini nitatoka!Kuna sehemu nitaenda mara moja”
George Charles,hakuelewa maana ya swali hilo yeye alichukulia kawaida tu.Alichokifanya Yusrath ni kumsogelea karibu na kumkalia mapajani,akamshika mashavu na kumbusu juu ya paji la uso!
“Usiwe na mawazo sana mme wangu,yote yataisha haya!Kila kitu,kina mwisho wake siku zote!”
“Ahsante”
“Sijakuzoea ukiwa hivyo George”
“Ki ukweli sipo sawa”
“Naelewa,jitahidi kua sawa!”
“Usijali”
Yusrath,alijaribu kila namna kujifanya anatoa faraja lakini kichwani alikuwa mwenye mahesabu makali ya kutokomea na pesa hizo pasipojulikana,hakuelewa angekimbilia wapi ili asionekane kirahisi, huko angetumia pesa hizo taratibu sana!Kilichomfanya Yusrath,afurahi zaidi ni baada ya kumuona George anapokea simu iliyomuhitaji muda mfupi kuanzia huo, kwake ikawa Ahsante Mungu.
“Lakini baby…”
Yusrath akataka kuzungumza kitu.
“Yes”
“Nahitaji kutoka leo”
“Wapi?”
“Naenda kwa Mama”
“Ungekuwa unajua ku drive,ningekupa gari.Lakini,nitakupa dereva”
Ilikuwa kidogo Yusrath,akatae lakini akajitahidi kutofanya hivyo sababu alielewa ingezua maswali mengi sana kichwani kwa George na pengine angetiliwa mashaka na mpango wake ungefeli.
“Hakuna shida”
“Saa ngapi?”
“Jioni,saa kumi”
Hakukuwa na kipingamizi chochote,bila kujua mpango hatari wa Yusrath kichwani wa kutaka kukomba pesa zote na kukimbia nazo,alichokifanya George ni kuingia bafuni huko alijimwagia maji na baada ya hapo alitoka na kuvaa kwa kasi,akionekana mtu mwenye haraka kuliko kawaida yake!
“Baadaye,alafu ningependa uje na watoto kwa ajili ya ule mchakato”
“Mchakato upi?”
“Mara hii umesahau?”
“Naomba nikumbushe”
“DNA”
“Oooh,nimekumbuka”
Bila kupoteza muda George akaondoka zake huku nyuma akimuachia maagizo dereva akitumia simu kwamba ikifika saa kumi,awe amefika kumchukua Yusrath amzungushe popote anapotaka kwenda ndani ya jiji la Dar es salaam!
Bila kuelewa,anafanya kazi ya Yusrath iwe rahisi kuliko kawaida.Ilikuwa ni lazima arudishe pesa iliyopotea kirahisi ndiyo maana akajiandaa haraka ili akaonane na mfanyabiashara anayeitwa Yusuph Yakubu,akiamini kwamba angepata dili lingine la mamilioni ya pesa!
“Utatumia Volks wagen,natoka na Vogue!Funguo ziko wapi?”
Akiwa anavaa shati lake vizuri na kufunga vifungo harakaharaka akamuuliza swali hilo Yusrath,ambaye alionekana kubabaika kidogo!
Akatembea mpaka kwenye draw humo kulikua na funguo nyingi za magari.
“Vogue ndio gari gani?”
“Range Rover,niliendesha jana”
“Iko juu pale kwenye kochi”
Hakukuwa na muda wa kupoteza,alichokifanya George Charles ni kuzama kwenye wallet akatoa shilingi laki nne.
“Kamata hii,utakula lunch mchana!Msalimie Mama”
Katika kutoa pesa George Charles,hakuwa mwenye mkono mfupi wala bahili.Alijua kuhudumia ndiyo maana akampa Yusrath pesa ambayo angeweza kula mlo mmoja kwenye hoteli yoyote ile ya nyota tano,akishushia hata na kinywaji.
Alivyohakikisha kila kitu kipo sawa,akatoka kwa kasi mpaka ndani ya gari huko aliwasha bila kupoteza muda huku nyuma akimuacha Yusrath akitafakari namna ya kuingia mitini na pesa hizo nyingi!
Katika kutafuta mbinu akasimama na kutembea mpaka kwenye mabegi yenye pesa kwa namna ya kujiridhisha kama ni kweli zipo,sio siri bado aliendelea kupigwa na bumbuazi kwa kutoamini kama siku moja angeenda kuokota embe chini ya mpera!Ghafla akajiona yupo jijini Paris,nje ya gorofa kubwa anayomiliki pembeni kuna ndege yake binafsi kifupi akajiona tayari amefanikiwa!Dakika sabini baadaye akapigiwa simu kutoka kwa George Charles akiambiwa ajiandae kwani dereva yupo karibu kufika!
Kwa haraka,akaingia bafuni akaoga kwa kasi na kujiandaa vizuri!Muungurumo wa gari,ulimshtua. Akatembea mpaka dirishani na kutoka kibarazani, kupitia juu gorofani chini aliliona gari aina ya Volks wagen,iliyovimba yenye rangi nyeusi!Hapohapo,akapigiwa simu kutoka kwa George Charles!
“Dereva keshafika?”
Lilikuwa ni swali la moja kwa moja aliloulizwa Yusrath,hiyo ilimfanya apate kiwewe kidogo!
“Ha..Hapa tayari Mme wangu,ndilo hili gari jeusi?”
“Yes,nimeongea naye.Anakusubiri hapo nje”
“Sawa,love”
“Nakupenda sana Yusrath,nahitaji tufunge ndoa so soon!Tulee watoto wetu,mambo yakiwa vizuri”
“Insha Allah Mme wangu”
Baada ya kukata simu,Yusrath alianza kulia bila kujua ni kwanini hali hiyo inamtokea!Alimsikitikia George Charles lakini alijililia mwenyewe kwa jambo alilotaka kulifanya,hata hivyo maneno ya George hayakumfanya arudishe moyo wake nyuma hata kidogo!Alichokifanya baada ya hapo ni kubeba mabegi mawili na kuanza kushuka nayo ngazi kwa kupepesuka kwa maana ya kuwa yalikua ni mazito,akatoka mpaka nje!Akafungua mlango wa gari na kuyatoa ndani.
“Narudi tena”
Dereva hakuitikia kitu,akabakia akimtizama Yusrath akirudia tripu nyingine tatu mpaka kufanikisha zoezi na kumaliza pesa zilizokuwa kwenye mabegi.
“Tunaweza tukaenda sasa”
“Tunaelekea wapi?”
Swali hilo lilimfanya Yusrath,ababaike kidogo hakuelewa ni wapi aelekee kwa wakati huo!
“Nipeleke Tabata,Kimanga”
Kuanzia hapo,dereva hakutoa jibu lolote zaidi ya kugeuza gari na kuondoka!
Hakuelewa kwamba anafanya usaidizi wa kutorosha pesa za bosi wake,sio kwamba hakuona mabegi.
Alitamani kuuliza lakini hakupenda kuingilia mambo yasiyomuhusu kazi yake yeye ilikuwa ni kumuendesha mke wa bosi wake kama alivyoagiza na sio kuhoji maswali.Kutokana na barabara kuwa nyeupe,ilikuwa rahisi sana kwake kutoboa na ilielekea dereva alikuwa mtoto wa mjini yaani ‘born town’ kwa lugha ya kimombo!Walifika Tabata,Kimanga na kukunja kona hapo dereva aliambiwa asimame na kupiga honi.Kulikuwa na geti kubwa jeusi mbele yake,likafunguliwa kukaonekana uwazi na nyumba nyingi za gorofa kumaanisha ndani kulikuwa na wapangaji wanaoishi kwenye ‘apartment’wakazidi kusonga mbele mpaka walipofika kwenye gorofa moja wapo,wakasimama!
“Nisubiri hapa”
“Sawa,Mama”
Yusrath akashuka na baada ya dakika mbili,akarejea akagonga kioo cha mbele dereva alikuwa anasinzia, akashtuka na kushusha kioo!
“Naona,nitachelewa kidogo!Sitaki kukuacha hivi hivi,inaonekana umechoka!Unatumia kinywaji gani?”
Yusrath,akaweka tabasamu ili kutengeneza urafiki na dereva!
“Pepsi ya baridi,itanifaa”
“Sasa hivi nakuletea”
Kitendo cha kuingia ndani na kutoka baada ya dakika tatu, alikuwa na chupa ya plastiki ya soda aina ya Pepsi,akampatia dereva!
“Narudi sasa hivi,sikai sana”
“Usijari Mama,usijali kabisa.Ndio kazi yangu hii”
Kuanzia hapo Yusrath hakujibu,akarudi ndani.Kwa kuwa dereva alikuwa na kiu na soda ilikuwa ya baridi inavuja majimaji ya ubaridi akapata kihoro,akaifungua na kuanza kuiguguda mdomoni, alivyoitoa ilikuwa nusu!
“Daa,ningepata na keki hapa mchana ungepita”
Akajisemesha mwenyewe na kushushia tena ili akate kiu,alivyorudisha chupa chini akaanza kuhisi kichwa kizito!Kizunguzungu kikali kikamshika,kila alipojaribu kushindana na hali hiyo,ikashindikana kwa mbaali akaanza kuona giza na vitu kama vinapinduka,gorofa lililokuwa mbele yake likawa lipo juu- chini, chini juu,macho taratibu yakaanza kujifunga akawa anaona giza,akaishiwa nguvu mwilini kichwa chake taratibu kikaanza kushuka mpaka kuegamia usukani,akapoteza fahamu zake!


Shilingi milioni mia tano zilimtoa mate Yusrath,akatamani ziwe zake zote tamaa ilimuingia!Wazo lililomjia la haraka ni kumtafuta rafiki yake kipenzi Martha Msoso,akiamini angemsaidia kwa kumpa mawazo ama kumshauri ni mbinu gani atumie ili waziteke pesa hizo nyingi sana!
“Uko api shoga?”
Akiwa ndani ya gari alianza kuchati na Martha Msoso,akitaka kujua ni eneo gani yupo kwa wakati huo!
“Nipo Kigogo,vipi?”
Ujumbe wa simu ukasomeka juu ya kioo cha simu ya Yusrath!
“Naelekea kwako,nikukute. Kuna mchongo,ni muhm sn!P’se p’se usiniangushe”
“Upi huo?”
“Wa pesa,panda boda nikukte nitalp”
“Hee Shoga,naja.Naja sasa hiv”
Dereva hakuelewa kwamba amelipakia joka kubwa na baadaye angeenda kumezwa,kifupi mikakati ya Yusrath hakuwa mwenye habari nayo!Alikuwa bize kuendesha gari, bila kujua chochote,walivyofika Tabata,Kimanga.Gari likaegeshwa,akashuka na bahati nzuri akamkuta Martha Msoso keshafika tayari,akatoa tabasamu!
“Nipe mipasho”
Martha Msoso,alikuwa ni msichana mdogo mwenye umri kati ya miaka 28-37, alikuwa ni mwingi wa maneno na mchangamfu,midomo yake ilikuwa midogo, mfupi wa kimo na mnene kiasi mwenye mguu wa bia,hata hivyo alipenda kuvaa sketi fupi sababu alijua ana mguu wa bia!Kwa kumuangalia usoni, usingebisha kuambiwa kwamba ni binti mjanja na mwenye maneno mengi!
“Kuna dili,la pesa”
“Ndio,maana nimeacha shughuli zangu!Nambie”
“Nadhani,unajua sasa hivi nipo na nani?”
Yusrath alizungumza kwa namna ya kujitapa!
“Shoooga,nilipewa ubuyu!Na kwenye gazeti nilikuona,nikasema shoga angu,umaskini kushnei”
“Hiyo tisa,kumi sasa….”
“Enhee”
Martha akawa tayari,kusikiliza jambo aliloambiwa.Jinsi Yusrath alivyoongea kwa umakini ilielekea kabisa lilikuwa ni jambo la kimaslai,hiyo ikamfanya Martha azidi kumtizama!
“Kuna milioni mia tano ninayo hapa”
Martha akatoa macho,kama mtu asiyeamini, kiasi cha pesa alichotaja Yusrath kilimfanya ashangae na wakati mmoja asiamini anachosikia.
“Acha utani basi,kuwa siriazi.Nambie ulichoniitia ujue sio kila muda unaleta masihara”
“Martha,nje kuna gari.Nina milioni Mia tano,nataka kutoroka nazo!Nipe njia”
Hapo Martha Msoso akawa makini kidogo!Kitendo cha Yusrath kutilia mkazo kilimfanya,achukulie jambo hilo kwa uzito ingawa hakuamini moja kwa moja,akalipa asilimia 45 tu.
“Najua,huniamini.Chungulia nje,kuna gari Martha tufanye haraka”
Hapo ndipo Martha akashtuka,akaliwekea maanani na kutembea mpaka dirishani na kufungua pazia,akaona gari linanguruma bado!
“Ndio umekuja na hili gari?”
“Kuna dereva,Martha….Mbona unakuwa mzito? Una nini leo?”
“Bado,sikuelewi”
Ilichukua muda kidogo kumfanya Martha Msoso aelewe somo,hapohapo akapata wazo, kabla ya yote akamshauri Yusrath aende kumuuliza dereva anatumia kinywaji gani!Akatekeleza,alivyorudi ndani akatoa jibu alichokifanya Martha Msoso ni kutoka na bomba la sindano pamoja na kichupa cha dawa ndogo,akachomeka kwenye kichupa na kuvuta dawa,hiyo ilimshangaza sana Yusrath,hakutaka kukaa kimya akauliza.
“Nini hiyo?”
“Wee subiri,utafurahia show”
“Ni kitu gani?”
“Shika,kampe anywe”
Bila kuuliza chochote Yusrath akatoka na chupa ya soda akamkabidhi dereva kisha kurudi ndani,ambapo hapo walisikilizia dakika tatu nzima ili kusubiri matokeo!Walivyotoka nje wakamkuta dereva kaegamia usukani hajitambui,wakafungua mlango wa nyuma alichokiona Martha kilifanya mapigo yake ya moyo yaende mbio,hasa alivyofungua fungua mabegi.
“Yusraaath!”
Akapigwa na bumbuazi akiwa haamini.
“Ndio hizo pesa,funga tuingie ndani haraka”
Hakukuwa tena na majadiliano,wakaanza na kuchukua mabegi na kuyaingiza ndani ambapo huko walifunga mlango kwa funguo, wakipanga mikakati ya kutoroka na pesa hizo nyingi.
“Twende Arusha kwanza,kule kuna ndugu yangu.Tukajifiche,kisha baadaye tunatafuta viza ya kwenda Ulaya”
“Umenena shoga na watoto wangu?”
“Watoto wa kazi gani sasa?Utakuja kuwachukua hali ikitulia”
“Kajiandae tuondoke”
Kila kitu kilienda kwa kasi sana,Martha akajiandaa !Maburungutu aliyoyaona yalimuacha kinywa wazi,akatamani muda huohuo apae na kupotea nchini.Ghafa akajiona tajiri na dunia yote,ameiweka mfukoni!Wakatoka nje,Martha akasimama akaonekana kama mtu mwenye wazo!
“Tutatumia usafiri gani?”
“Boda boda”
“Weee Thubutuuuu”
“Taxi basi”
“Hapana subiri”
Alichokifanya Martha kwa tahadhali ni kutoka nje mpaka kwenye gari,ambapo hapo alifungua mlango wa dereva,akatizama huku na kule kama kuna mtu anayemuona!Akamteremsha dereva kwa staili ya kumvuta,akadondoka chini puu!
“Twende”
Martha akapunga mkono kwa ishara ya kumuita Yusrath aliyekuwa pembeni anashangaa,wakasaidiana kuingiza mabegi ndani ya gari, Martha akakaa nyuma ya usukani,akageuza gari taratibu na kuanza safari ya kutoka nje!Zilikuwa ni pesa nyingi sana na hatma yake ilijulikana kwamba tayari wamekuwa matajiri,badala ya kuingia kulia wao wakachepuka kushoto niya yao ikiwa ni kufupisha njia!
Martha bize kwenye usukani,anaendesha gari huku mapigo yake ya moyo yakimwenda kasi,akafika kwenye mzunguko wa barabara, akazungusha gari na kushika barabara ya Mandela,akazidi kusonga mbele!Kuna vitu vingi alianza kuvifikiria kichwani,akamtizama Yusrath aliyempa mchongo huo wa pesa!
“Tunaenda Arusha!”
Mwili wa Martha ulikuwa ndani ya gari lakini akili yake ilikuwa mbali mno,kilichomjia kichwani ni kuchukua pesa zote lakini sio wagawane, ndio maana alitaka kumdadisi kwanza Yusrath.
Mpango wake aliamini ungefanya kazi kwa asilimia zote mia moja sababu ndani ya mkoba wake alibeba soda yenye dawa kali za usingizi wa nusu kaputi,hata hivyo hakutaka kufanya mambo hayo kwa pupa,ilikuwa ni lazima atumie akili nyingi sababu aliamini yeye ni mtoto wa mjini!
“Sasa mgao,unakuaje?”
Martha akaibuka na hoja,akitaka kujua mchakato mzima wa pesa zake!
“Nitakupa milioni kumi”
“Milioni kumiiii?”
“Ndio,kwani ndogo?”
“Sijasema hivyo”
“Nipe basi hata hamsini”
“Yaani milioni hamsini?Kwa kazi gani uliyofanya Martha?Mbona unakuwa hivyo?”
“Basi nimekutania nipe hiyo hiyo kumi”
Laiti angeelewa kichwani mwa Martha kuna nini,asingetumia ukali kujibu maswali yake.
Pengine angefikiriwa na kuonewa huruma,jazba yake ikamfanya Martha atake kupeleka mambo harakaharaka!Hakutaka kufanya pupa,alichokifanya baada ya kufika external akachepuka kulia akitafuta barabara ya Ubungo maziwa,shabaha yake ikiwa ni kupita makaburi ya uwanja wa Ufi.
“Soda,karibu”
Martha alizungumza na kutoa kopo la soda!
“Alafu nina kiu kweli,ulijuaje.Can you imagine tangu asubuhi sijaingiza kitu mdomoni”
“Shushia na soda,hapa inabidi tubadili gari.Nataka tukifika hata Chalinze,tuchukue taxi”
“Alafu una akili sana Martha,ndiyo maana nikakupa hili dili.Unajua kujiongeza”
Akaguguda pafu moja la soda kisha kurudisha tena,akapiga lingine!Hakuwa ana mawazo kwamba Kikulacho,kinguoni mwako!Hakufiria kabisa kama Martha anageweza kumgeukia ndiyo maana akajiachia bila wasiwasi wa aina yoyote ile!Hakufika mbali,akaanza kuhisi kizunguzungu kikali sana!
Mbele haoni kitu,alivyojaribu kuzungumza,akashindwa kichwa kikawa kizito mbele giza,akalegea na kuegamia kiti!Kwa Martha,ulikuwa ni ushindi mkubwa sana.Alichokifanya ni kuegesha gari pembeni na kulitembeza mpaka karibu na makaburi,akasimama na kujivuta kidogo kisha kufungua mlango wa pembeni,hakutaka kujipa shida ya kushuka.
Alichokifanya ni kumsukuma Yusrath nje mithili ya mtu anayeshusha kiroba cha mchele,kishindo cha Yusrath kikasikika akiwa amedondoka chini mzimamzima,hapohapo msichana huyu mjanja,akafunga mlango kwa nguvu na kukanyaga mafuta mengi,jinsi tairi lilivyozunguka na kutifua mchanga ilitisha akapotelea kwenye kona na kuingia barabara ya Shekilango!

******
Simu ya dereva,aliyefahamika kwa jina la Adam Ingo,iliita mfululizo bila kupokelewa!Bilionea George Charles,hakukoma!Aliendelea kupiga.Akiwa katikati ya mazungumzo na rafiki yake hakuwa na raha kabisa.Ilikuwa mara atoke mara arudi, moja haikai mbili haikai!
“Kuna shida gani?”
Swali hili aliulizwa na rafiki yake,Thomas Martin!Wakiwa katika mgahawa mkubwa wa nyota tano,hekaheka za George zilimfanya aibue swali.
“Thomas,subiri tena nakuja”
Bilionea George Charles,akasimama!Akaenda pembeni na wakati huo hakutaka kumpigia dereva,alimpigia moja kwa moja Yusrath lakini yakawa yaleyale!Akajaribu tena na tena,akaanza kupatwa na mashaka!Wazo lililomuingia la ghafla wenda dereva yupo hotelini wanafanya ngono na Yusrath ndio maana hawapokei simu,lakini hakutaka kulipa swala hilo kipaumbele akatupa mbali fikra hizo!Akatafakari kwa muda,hapohapo akapata jibu na kumuendea hewani Mama Yusrath,ambapo simu ilipokelewa muda huohuo!
“Halloo Mama shikamoo”
“Marahaba George mwanangu,hujambo?”
“Sijambo Mama,Yusrath keshafika huko?”
George hakutaka hadithi nyingi,akalenga moja kwa moja swali lake!
“Yusrath?Anakuja huku kwani?”
Mama badala ya kujibu,akauliza swali.Likawa swali juu ya swali.
“Ndio,kaniaga asubuhi anakuja kwako”
“Itakuwa yupo njiani labda”
“Nampigia naona hapokei simu,akifika kwako!Utaniambia”
“Aya baba angu”
Akili yake bado,haikukaa sawa!Akampigia tena dereva simu haikupokelewa,akatulia na kurudi kwa Thomas!
“Thomas,nitakuja baadaye.Kuna kitu hakipo sawa”
“George,talk to me!Kuna shida gani?”
“Hakuna kitu Kaka,I’ll get back to you”
Bilionea George Charles,aliingia ndani ya gari lake!Kabla ya kulipiga funguo,simu yake ikaita na aliyekuwa anapiga alikuwa ni dereva wake akaipokea simu kwa haraka!
“Uko wapi?”
Lilikuwa ni swali la kwanza kuulizwa na George Charles!
“Bosi,nimeibiwa gari”
“Please come again,unasemajeee?”
“Nimeibiwa gari”
“Mke wangu yuko wapi?”
Kuhusu gari,halikuwa tatizo!Swala la kwanza kwake lilikuwa ni usalama wa Yusrath,fikra zilizomjia haraka ni wenda majambazi waliwavamia na silaha.
“Hayupo”
“Adam,wameondoka na mke wangu?”
“No bosi,sijui sielewi”
“Yuko wapi?”
“Sijui alipo”
“Wewe uko wapi?”
“Hapa Tabata,Bima”
“Nikukute nyumbani”
“Bosi,sina hata nauli”
“Chukua pikipiki,nitalipa”
Mchanganuo na maelezo ya Adam Ingo,hayakujitoshelesha!Ndio maana George Charles akaamua kuwasha gari ili wakutane nyumbani,hapo wazungumze vizuri namna ilivyokuwa!
Kutokana na barabara kuwa nyeupe ndani ya dakika arobaini na tano,akawa tayari amefika!Mbele yake, akaona pikipiki kando amesimama Adamu Ingo,mwenye sura ya mashaka!
“Imekuaje?”
George Charles,kabla ya kuzima gari akashuka na kuuliza huku akiingia mfukoni na kutoa pesa,akampa dereva wa pikipiki na kumwambia abaki na chenji.
“Sijui,kilichotokea”
“Adam,mke wangu yuko wapi?Uliibiwaje gari?”
Kinagaubaga,akaanza kuelezea jinsi alivyokunywa soda aliyopewa na Yusrath na baadaye kuhisi kizunguzungu kikali baada hapo,hakuelewa kinachoendelea mpaka alivyoshtuka yupo kandokando ya maua!
“Ilikuwa Tabata,umesema?Kwa nani?”
“Sijui mimi”
“Ebu subiri”
Alikuwa kama amechezwa na machale,ingawa hakutaka kuzipa asilimia mia moja hisia zake, hata hivyo aliomba Mungu isiwe hivyo,wote wakaingia ndani kwa miguu.George akapandisha ngazi mpaka chumbani kwake,alichokiona kilimtisha!Akapigwa na butwaa la waziwazi na kuweka mikono kichwani mithili ya mchezaji wa mpira aliyekosa penati ya mwisho kwenye fainali,hakukua na begi hata moja la pesa chumbani!
“Son of a bitch”
Tusi kubwa likamtoka kinywani bila kutegemea,kilichotokea mbele yake bado hakuamini!Na moja kwa moja aliamini pesa hizo,zilichukuliwa na Yusrath tena kwa kushirikiana na Mama yake,wazo lililomjia ni kuifunza adabu familia nzima, pamoja na ukoo wao kwa ujumla,akabana meno yake kwa hasira!


Katika maisha yake tangu azaliwe hakuwahi kukasirika na kuumia namna hiyo,macho yake yakabadilika rangi ghafla akapiga meza kwa hasira!Licha ya Lissa mkewe wa ndoa kumfanyia vitimbwi vya ajabu lakini siku hiyo alijikuta anaumia na kushikwa na hasira kwa wakati mmoja,akashindwa kumtafakari Yusrath!Akafikiria vitu vingi sana juu ya mahusiano yake yanavyoenda, hakuelewa ni kwanini hakubahatika kupata msichana sahihi,kifupi aliamni yeye ni fungu la kukosa!Akaenda mbali zaidi na kukumbuka wahenga waliosema ‘Kwenye miti mingi hakuna wajenzi’Katika kutafakari kwake,akapata wazo la kumpigia OCS wa kituo cha polisi Ilala,Kamanda Wilson Tarimo niya ya simu hiyo ilikuwa ni kumuelekeza kila kitu na mwisho wa siku, ahitimishe ndugu wote wa Yusrath wawekwe ndani mpaka pesa zake zote zirudi.
“Nyumba namba ngapi?”
Kamanda Tarimo,aliuliza simuni akiwa na kalamu mkononi.
“Namba 11,mtaa wa Shaurimoyo”
“Umesema kesi gani?”
“Wizi na ujambazi”
“Watu wote wamehusika?”
“Ndio”
“Basi,nawatuma vijana”
“Mimi nitakuja kituoni”
“Hakuna shaka”
Kazi ikawa imefanyika,Kamanda Tarimo akiwa ndani ya ofisi yake akachukua redio upepo na kuanza kuwaita vijana wake,akawaeleza operesheni inayotakiwa kufanyika!
“Sasa hivi muende”
“Sawa,Mkuu”
“Sawa mkuu”Wote wakaitikia kwa pamoja!
Kitendo cha kauli hiyo kutoka kwa mkuu wa kazi, kilimaanisha utekelezaji ufanyike dakika hiyohiyo bila kupoteza wakati,ndiyo maana maaskari wote waakanza kutoka nje na kuingia ndani ya Difenda tayari kwa kwenda Ilala!

******
“Mpaka leo,lazima aniheshimu.Sijui yuko wapi siku hizi?”
“Nani? Ahmed?”
“Huyohuyo fedhuli”
“Nadhani ameshika adabu,lakini wewe kiboko shangazi.Sikuamini ulivyochachamaa,mpaka akawekwa ndani,kweli wee komando”
“Sasa hivi nasubiri harusi kubwa,kutoka kwa Mukweee Mupyaaaa”
“Lakini tuseme ule ukweli,jamaa ana pesa”
“Sio pesa,ni bilionea!Naye Yusrath kwanini hakuolewa mapema na tajiri kama yule,kaenda kwa yule msaga sumu Ahmed”
“Hahahahahaha…Eti msaga sumu,Shangazi bwana”
“Ndio msaga sumu,pesa hakana.Kajeuri yaani sikapendi sasa hivi”
“Yameisha lakini”
Mama Yusrath alikuwa kibarazani,amejiachia nyuma yake yupo mtoto wa kaka yake,anamsuka nywele!Siku hiyo walitumia muda mrefu kumjadili Ahmed na mambo yaliyotokea!Walifurahishwa sana na Yusrath kutoka kimapenzi na Bilionea George Charles, wakiamini shida ndogondogo za milioni moja ama mbili,zingetatuliwa kwani walimuelewa vizuri George Charles,jinsi alivyokuwa na pesa nyingi!Kitendo cha kuishi na Yusrath kwao ilikuwa ni sawa na kukaa karibu na uwaridi ni lazima utanukia tu!Siku hiyo kulikuwa na wageni ndani,ndugu jamaa na marafiki walifika nyumbani hapo kusalimia hiyo ikafanya nyumba ichangamke.
“Wifi,vitunguu viko wapi?”
“Hapo juu ya kabati”
Kitendo cha wifi mtu,kugeuza. Geti likagongwa!Jambo hilo likawafanya watu wote washtuke!Mtu aliyegonga hakuwa mstaarabu,aligonga geti kwa fujo mithili ya baba mwenye nyumba anayedai kodi ya mwaka mzima,ikawa kero!
“Huyo nani anayegonga hivyo,bila ustaarabu”
Mama Yusrath akauliza kwa ghadhabu.Hiyo ikafanya msusi aliyekuwa nyuma yake asitishe zoezi hilo,akatembea hatua kadhaa mpaka getini,akalifungua!Alichokiona kilimfanya apigwe na bumbuazi.Nje,kulikuwa na askari wapatao sita,pembeni kuna diffenda imesimama inaunguruma ambapo pia kulikuwa na askari wawili wakawa nane kwa ujumla!
“Hapa,ndio kwa mzee Suleiman?”
“Ndio hapa,shikamoo”
Akatoa salamu kwa uwoga lakini hakuitikiwa,matokeo yake akawekwa kando askari akaingia ndani,ambapo alitembea hatua chache!
“Tunamtafuta Mama Yusrath,tuna maagizo yake”
Afande,akazungumza kwa niya ya kumjua Mama Yusrath kwanza alafu mengine yafuate!
“Ndio mimi baba,kuna maagizo gani?”
Bila kutegemea tayari akawa amejaa kwenye kumi na nane!
“Humu ndani mpo wangapi?”
“Tupo tupo kumi na nne”
“Yusrath yupo?”
“Hapana,yeye hayupo yupo kwa Mme wake hakai hapa”
“Funga nyumba,wote mnahitajika kituoni.Afande Mjuni,ingia ndani chukua kila mtu”
Kufumba na kufumbua,shilingi ikawa imegeuka kutoka katika sura ya kirafiki mpaka sura ya kazi,hiyo ilimfanya Mama Yusrath adhani wenda utani lakini haikuwa hivyo kwani askari watatu wakaingia ndani na wengine kutanda getini,nyumba ikawekwa katikati na kilichotakiwa watu wote waliokuwa ndani waingie kwenye difenda!
“Afande,mimi nimekuja kusalimia tu hapa!Naomba niende nyumbani nimepigiwa simu mpwa wangu mgonjwa”
Ulikuwa ni utetezi wa shemeji mtu!
“Hapana,kaa chini”
“Kwani kosa letu nini?”
“Kelele”
Waliokuwa ndani wakatolewa nje!
“Mmoja mmoja,aanze kutoka nje mpaka kwenye diffenda bila ubishi”
Kila kilichotokea,hakuna mtu aliyeamini hususani Mama Yusrath, ambaye siku chache alitoka kumuweka Ahmed kituo cha polisi siku hiyo ikawa zamu yake,akaamini kwamba malipo ni hapahapa duniani,hata hivyo hakuelewa ni kosa gani kalifanya.
“Tumefanya nini?”
Hakukuwa na askari yoyote aliyeweza kujibu,maswali hayo.Nyumba ikafungwa na wote kupakiwa ndani ya diffenda tayari kwa kwenda kituo cha polisi,ili kujibu mashata!

*****
Kulikuwa na kibaridi fulani cha uchokozi asubuhi hiyo ya saa kumi na moja,lakini hakuna hata mmoja kati yao aliyehisi hali hiyo isipokuwa ni joto la huba,walikuwa uchi wa mnyama!Kilichosikika kwa mbali ilikuwa ni sauti ya mneso wa kitanda,Ahmed yupo kwa nyuma ameshika kiuno cha Hajrath kwa mikono miwili,anazungusha kiuno chake!Hiyo ilimfanya Hajrath aliyeshika kona ya kitanda kapiga magoti,ahisi raha za ajabu!Kila kitu kwake kilikuwa burudani,ilielekea staili hiyo ya mbuzi kagoma aliipenda sababu ndiyo ilimfanya apige kelele nyingi huku akinyonga kiuno chake kwa kasi,kuna vitu alianza kuvihisi vinatembea mwilini mwake!
Zilikuwa ni raha,zisizokuwa na mfano wake.Akahisi kama amesimama na ukucha,hata hivyo hakutaka kumalizia na staili hiyohiyo,alichokifanya ni kulalia tumbo,Ahmed akawa juu yake amemlalia mgongoni,wanaendeleza mashabulizi!
“Assshss aaaah mmh,aaah ssshss yesiii aah Ahmeeed,yeees aaaaah”
Sauti za puani alizotoa Hajrath,zilimfanya Ahmed azidi kunyonga kiuno chake,huku na kule!Haraka akampindua na kumuweka kifo cha mende ambapo hapo aliichukua miguu ya Hajrath yote miwili akaiweka begani kwake,akasogea karibu na kuanza kumnyonya shingo huku akimtomasa kifuani hususani sehemu za chuchu,jambo hilo lilimfanya Hajrath ahisi kama roho yake inaacha mwili,zilikuwa ni raha zilizozidi kifani mpaka akaanza upya kukinyonga kiuno chake,kelele zikazidi akaanza kumvuta Ahmed kwa nguvu huku akitamka maneno kama ‘Ahmed nakupenda,tafadhali usiniache’aliropoka na mwisho wa siku,akamganda Ahmed kwa nguvu, jambo lililomfanya Ahmed pia,aruhusu risasi zake ziruke!Hapohapo,wakatulia Ahmed akiwa juu kifua bado gari kalipaki gereji.
“Thanks baby”
Hajrath akavunja,ukimya!Huku akitizama pembeni,akiwa kama mwenye aibu fulani za kikekike!
“Nakupenda”
“Mimi pia”
Kuanzia hapo,wote wakajifunika shuka moja na kujitupa usingizini!
Licha ya Hajrath kuwa na uchovu kutokana na shughuli pevu lakini alijitahidi kukurupuka kitandani saa moja kamili asubuhi,ambapo aliingia bafuni kujimwagia maji na kunyoosha mpaka jikoni,huko aliandaa chai nzito na kuanza kutengeneza chapati za maji,kila kitu kilivyokuwa sawa!Akaanza kufanya usafi wa nyumba nzima,akadeki kila mahali kisha kurudi chumbani ambapo huko alimkuta Ahmed bado amelala,kwa tahadhari akamsogelea na kumuamsha!
“Baby,baby.Amka ukanywe chai,alafu kumbuka leo ndio siku ya kupeleka CV zako”
“Leo tarehe ngapi?”
Ahmed,akauliza kwa uchovu huku akipiga mihayo.
“Tarehe kumi na tano”
“Mungu wangu,sikua najua kabisa nilisahau”
“Fanya haraka”
Hiyo ilimfanya Ahmed,achomoke kitandani kama mkuki.Moja kwa moja mpaka kwenye kabati,akaanza kuvuta akitafuta makaratasi yake,alivyoona faili lake akalifungua na kuanza kukagua kila kitu.
“Hii inabidi ni edit”
“Ipi?”
“Kuna Cv hapa,lakini laptop yangu ina vairasi”
“Nenda internet Café,Mpenzi!Andaa kila kitu,hayo ni maisha please nakuomba,fanya unachojua leo upeleke hizo Cv.Mimi naenda kukupigia pasi nguo zako”
“Sawa,naenda kuoga”
“Fanya haraka”
Ilikuwa ni lazima afike TAZARA,kwenye shirika la reli kwani huko ndipo alipotakiwa kupeleka CV zake akaombe kibarua,haikuwa kazi ngumu kwake sababu kila kitu alikuwa nacho tayari kilichotakiwa ni kurekebisha vitu vichache tu.Alivyotoka bafuni,akastaajabu baada ya kukuta nguo tayari zimepigwa pasi vizuri,akavaa kwa kasi!Lakini kuna kitu,alikigundua mwilini mwake kwamba amepungua kilo kadhaa kwani shati alilovaa lilimpwaya,akajitizama kwenye kioo vizuri kisha kutoka mpaka seblen, huko alikuta meza tayari imependeza kuanzia chai na vitafunio!
“Nitachelewa”
“Hapana,kunywa kwanza chai.Umependeza sana Mme wangu”
“Ahsante”
Ahmed,akajihisi amani ndani ya moyo wake!Hakuelewa maisha yangekuwaje bila Hajrath,akanywa akashiba na kusimama akiwa na funguo za gari mkononi!
“Sasa baby sikiliza…”
Hajrath,akawa kama mwenye neno la kutaka kuongeza!
“Naam”
“Huko,unapoenda!Gari,acha mbali akti kama una shida kweli, ikiwezekana lia kabisa”
“Hahahahaha,nilie tena?”
“Ndio,tia huruma.Nakupa triki”
“Hapo nimekukubali jiniazi”
“Mimi sio jiniazi”
Wakapigana mabusu kwa namna ya kuagana,baada ya hapo Ahmed akaingia ndani ya gari na safari ya kwenda kujaribu bahati yake kwa mara nyingine kuanza mara moja!

*****
Aliingia ofisi za TAZARA-Tanzania Zambia Railway saa 4;43 asubuhi,hiyo ni baada ya kutizama saa yake ya mkononi!Akaangalia nyuma na kukagua kama alipoacha gari kulikuwa salama,alivyohakikisha akashika bahasha yake vizuri na kusukuma geti,humo alinyoosha mpaka kwenye jengo kubwa!Mbele yake alimuona msichana mrembo, aliyemkaribisha kwa tabasamu ndani ya kichumba maalumu juu kilichondikwa ‘RECEPTION’ hakuwa ana sababu ya kuuliza nini kinachotakiwa kufanyika,kwa kumfuata msichana huyo mrembo aliamini angefika anapopataka!
“Habari dada”
“Nzuri,za kwako?”
Msichana huyo,mrembo wa sura akaachia tabasamu lingine mwanana ambapo hapo,Ahmed alifanikiwa kuona mwanya wake,uliochongeka vizuri!Alikuwa ni msichana mzuri,kwelikweli na alipangalia nguo safi zikiendana na rangi yake ya maji ya kunde kichwani alikuwa amenyoa mtindo wa ‘lowcut’ hiyo ikamfanya azidi kuvutia zaidi kwa mwanamme yoyote yule kamili.
“Salama dada,naomba kuuliza”
“Uliza tu”
“Ofisi ya HR,iko wapi?”
“Nyoosha kwenye hiyo korido,chumba cha tatu kutoka mwisho”
“Ahsante”
“Subiri,unatakiwa kusaini hapa”
Ahmed akasubiri,akiendelea kumdadisi kisura huyo.Akazidi kuvutiwa zaidi baada ya mrembo huyo kuinama kidogo hiyo ikampa nafasi Ahmed chungulia kifua chake kwa ndani akaona matiti yake,mwili ukamsisimka kidogo na kushusha pumzi!Alivyoinua kichwa,akabaki ameganda!Msichana huyo wa mapokezi,akaweka shati lake sawa akiona aibu sababu aliona macho ya Ahmed yakiwa yameganda kifuani kwake.
“Andika jina lako,saini hapa”
“Ooh ahsante,unaitwa nani?”
Ahmed,akashindwa kuvumilia!Kujua jina la msichana huyo haikuwa na maana yoyote kwake lakini alijisikia tu,kumuuliza!
“Fetty”
“Una jina zuri”
“Ahsante”
Hakukuwa na maongezi mengine zaidi ya Ahmed,kurudisha peni na kuanza kutembea huku akihesabu milango,alivyofika wa tatu kutoka mwisho,akajiweka sawa na kugonga!
“Karibu”
Sauti nzito yenye madaraka,iliyotokea ndani ya mlango ikamkaribisha!Ahmed,akasukuma mlango ambapo alikumbana na hewa yenye ubaridi mkali wa kiyoyozi,mbele yake akaona meza kubwa iliyojaa vitabu juu kuna kompyuta,nyuma ya meza hiyo alikaa mzee mnene mwenye kitambi!Kichwani,amenyoa upala,kwenye kidevu ana mvi chache ambapo juu ya mdomo kulikuwa na sharubu!Kwa haraka haraka alikuwa ni mzee wa kisasa,alieenda na wakati kwani shingoni alikuwa amevaa mkufu mnene,shati alilovaa kaachia kifungo kimoja.Kwenye vidole,ana pete za urembo zenye rangi ya dhahabu!
“Pita ndani”
Mzee akasema,kisha kutupa macho yake juu ya kompyuta yake!Ahmed,akatembea taratibu kwa wasiwasi kisha kuketi kwenye kiti kimoja wapo!
“Shikamoo”
“Marahaba”
“Naitwa Ahmed Kajeme,nimeleta Cv zangu!Nilikuwa naomba kazi”
Ahmed,akahitimisha!Mzee huyo akamtizama kwa kama dakika moja nzima.
“Aliyekwambia,tunatoa nafasi za kazi ni nani?”
“Nimeona kwenye gazeti”
“Nafasi,hakuna!Unaweza ukaenda”
Yalikuwa ni maneno ya kuvunja moyo!Mzee huyo chekibobu,alizungumza kwa dharau.
“Mzee nina shida na kaz….”
“Kuwa mwelewa,hakuna kazi kijana”
Katikati ya majibu hayo,simu ya mzee huyo Chekibobu ikaita,akatabasamu na kuipokea!
“Yes Mr.Mwakalinga…..Naam nakusikia,nipo ofisini.Yes yes ilikuwa juzi nadhani,kuhusu Yule kijana wako?Ulisema ameishia form ngapi?.....Four?Mlete tu,nafasi zipo za kumwaga!Amepata ziro?Walaa usijali,wewe ni rafiki yangu bwana!Mlete hata kesho,mjini hapa bila connection hakuna kitu.Hata kwenye msiba bila connection huwezi kula,hahahahahaha!Tukutane leo,jioni kwenye kijiwe chetu!Ahsante”
Maongezi ya Mzee huyo Chekibobu,yalimuumiza sana mtima Ahmed!Akaumia sana moyo,mdogomdogo akasimama akiwa ameishiwa pozi na kufungua mlango kisha kuondoka,akiwa amekata tamaa kabisa!



Milioni Mia tano,zilikuwa tayari zimemtokea puani!Hakufika nazo popote badala yake Martha Msoso alimgeuka akatoroka nazo baada ya kumuwekea madawa makali ya kulevya kisha kumtupa karibu na makaburi ya uwanja wa Ufi huko Ubungo maziwa,yalikuwa ni mahesabu makali yaliyotakiwa kufanywa na watu makini sana lakini akili ndogo za Martha Msoso zikamfanya achote milioni Mia tano kirahisi namna hiyo tena bila kutumia silaha ya aina yoyote ile,tamaa ikawa imemponza Yusrath akalamba garasa ikawa ni sawa na mbuzi kulamba chuma cha reli.
Saa moja ya jioni,ndipo fahamu zilimjia,hakuweza kufumbua macho lakini alihisi kupigwa na ubaridi mkali na kwa mbali alihisi kuwashwa hiyo ni kutokana na kutupwa kwenye majani yaliyokuwa karibu na upupu,katika kurudisha kumbukumbu zake kwa kasi akakumbuka mara ya mwisho alikuwa na Martha Msoso wakipanga harakati za kutoroka na pesa,lakini baada ya muda mfupi hakuelewa kilichoendelea!
Wakati mwingine fikra zake zilimtuma wenda bado alikuwa ndani ya gari wanasafiri lakini alivyoyafumbua macho yake alipigwa na mshangao usiokuwa wa kawaida,kwanza alishtuka kuona makaburi pembeni yake kingine bado alidhani anaota ndoto ya kutisha,akajiinua kidogo kwa namna ya kutaka kuyatathmin mazingira ya eneo hilo.
Alivyojaribu kusimama na kujiweka vizuri akashindwa kwani alihisi kichwa chake ni kizito mithili ya ndoo ya zege!Kando kando yake aliona bodaboda zinapita mbili kisha ukimya ukatawala, bado hakuelewa amefikaje eneo hilo lakini alivyotuliza akili na kukaa sawa akagundua kwamba amezidiwa akili na Martha Msoso na kivyovyote vile amekimbia na pesa,akahisi kujuta na kujilaumu kwa wakati mmoja!
Uchungu na hasira vilimkaba kohoni akatamani kulia lakini machozi hayakutoka,mbaya zaidi hakuwa na simu yake!Kifupi,alipigwa changa la macho mchana kweupe, tena kizembe!
“Oyaaaa,njoo hivi tugawanee!Usiletee miyeyushoo Nyundo,nitakuzinguaa sasa hiviii.Sasa hivi,nitakuchenjia”
Sauti hiyo kavu ya kiteja ilimshtua,kutoka pembeni yake,yalikuwa ni kama mabishano fulani yaliyomfanya azidi kushikwa na hofu!Akajitahidi ili kugeuka hapo ndipo alipoogopa zaidi bada ya kuwaona vijana wapatao sita,kwa harakaharaka bila kuhoji walikuwa ni wezi wakabaji wa usiku na walikuwa katika mabishano baada ya kupora pochi,hivyo walikimbilia eneo hilo ili wagawane walichokipata!Mbaya zaidi walikuwa wanasogea upande wake!
“We boya,usizogoe!Mchongo nimechora mimi,kwahiyo usilete Use**!Ku** nini wewe”
“Nani Ku***?”
“Wewe Ku**”
“Unaniitajeeeee?”
Ghafla zoezi likabadilika,hakukuwa na maelewano tena baina yao,mmoja wao akachomoa bisibisi yenye ncha kali lakini hakufanikiwa kufanya anachotaka kwani walimshika. Katika purukushani mmoja wao akarudi nyuma na kumkanyaga Yusrath mgongoni!
“We nani Ku**** make?”
Teja aliyemkanyaga Yusrath,akauliza huku akimsindikiza na kiunganishi cha tusi zito!
“Naombeni msaada”
“Simama,ulikuwa unatuchora sio!Saula”
“Hapan..”
Yusrath hakuweza kumalizia sentensi yake badala yake alinyamazishwa na kofi zito la mdomo,akahisi maumivu makali,bila shaka akahisi mdomo wake umechanika kwani alihisi ladha ya chumvi chumvi baada ya kulamba lips zake!
“Nimesema saula,toa simu upesi”
“Sina jama…ni”
“Kiburi”
Bila kupoteza muda wakaanza kumpekua huku na kule kwa staili ya kumbinua binua!Hawakuambulia kitu chochote kile lakini kilichowashangaza ni kivipi msichana huyo mrembo kafika eneo kama hilo usiku.
“Tusepe,tuachane na huyo demu hana kitu”
Mmoja wao akashauri.
“Tuondokee?Mimi mwenzenuu nina ugwaduu nina ugumuu”
Kufuatia kauli hiyo,Yusrath akaanza kutetemeka sababu alishaelewa nini maana yake!Mateja waliomzunguka bila shaka hawakuwahi kukutana na mrembo kama Yusrath,ni kweli msichana huyu aliumbika hasa rangi yake ya kichotara ilibeba sura yake ya duara,midomo yake ilikuwa myembamba!Kilichowafanya mateja hao wapagawe zaidi ni kifua cha mrembo huyo kilivyotuna kidogo,mbaya zaidi nguo yake ya juu ilikaa vibaya hivyo nusu ya ziwa lake la kushoto likawa nje!
“Vua nguo, lala chali”
Ilikuwa ni amri sio ombi na ilikuwa kauli ya kutisha teja huyo mwembamba,mwenye sura mbaya iliyokomaa alimtia Yusrath biti na mkononi alishika bisibisi,kukahidi amri yake kulimaanisha maumivu makubwa mbeleni,hakuwa na nguvu za kupambana hata angeamua kukahidi agizo hilo wangemfanya wanachotaka kukifanya na wangemuumiza pia,hivyo lilikuwa chaguo lake wafanye yote kwa pamoja ama awe mpole,katika kujitafakari mmoja wapo akawa tayari amekamata blauzi yake,ikachanwa kama karatasi,akabaki na sidiria!Alivyojaribu kupiga yowe ili aombe msaada akatulizwa na kofi la shingo,akalala chali!Mmoja akaja chini,akashika chupi na suruali vyote kwa pamoja na kuvivuta,miguu yake ikatanuliwa huku na kule mmoja wao,akavua mkanda wake na kuteremsha suruali yake chini tayari kwa zoezi la ubakaji na ilikuwa ni lazima wafanye hivyo kwa zamu yaani wampige mtungo ama mande, bila huruma!

******
Ahmed,alichukizwa na maongezi ya mzee huyo kwenye simu.Swala la kupata kibarua katika shirika hilo la reli,likafa ghafla!Haikuwezekana hata kidogo msomi kama yeye aoneshwe dharau iliyozidi kipimo,alichukia na alisusa kwa wakati mmoja!Akaapia hatojaribu tena kitu kama hiko,akiwa katikati ya korido anatembea alijikuta ana sonya na kutoa tusi zito la nguoni.Lakini ghafla akajikuta,anapunguza hasira zake baada ya kukumbana na mrembo Fetty,ambaye kwa wakati huo alikuwa akitabasamu,hiyo ilifanya uzuri wa mrembo huyo uzidi kuchanua,zile hasira zote za kutoswa zikayeyuka wakati huohuo,akajikuta anatembea mpaka kwenye kidirisha.
“Vipi kaka?”
“Safi tu”
Ahmed,nayeye akarudisha tabasamu la kulazimisha ili kukoleza maongezi yao.
“Umefanikiwa?”
“Sijui niseme ndio au hapana,lakini sidhani kama nitarudi hapa!”
“Mmmh”
Fetty,akaguna kidogo na kubetua mabega yake huku akiukunja mdomo wake kwa mapozi fulani yaliyomfanya Ahmed,apagawe kwa kiasi chake!
“Mbona umeguna?”
“Kwani wewe,hutaki kuja kuniona?”
Lilikuwa ni swali lililomfanya Ahmed,apate kiwewe!Iweje mrembo huyo,amtamkie maneno kama hayo matamu kirahisi hivyo,lakini alichogundua ni jinsi alivyopendeza na kuonekana mtanashati,hiyo ilimfanya nayeye ajiongeze kidogo kama mtoto wa mjini!
“Kwani,vibaya tukionana nje ya ofisi?Niandikie namba yako ya simu hapa”
Bila hiyana wala upinzani wowote,Fetty akachukua karatasi na peni kisha kuandika namba fulani,akamkabidhi Ahmed!
“Isiwe ikawa ya treni tu”
Ahmed akaweka utani,mrembo akatabasamu meno yake meupe yaliyopangilika vizuri, yakaonekana!
“Siwezi kukufanyia hivyo”
“Aya,ngoja nijaribu”
Hakutaka kuondoka hivi hivi,hapohapo akaingiza namba ya simu na kuipiga katika namna ya kujaribu kama simu ya Fetty,ingeita!Kwake ikawa ushindi kwani simu iliita.
“Alafu,sina uhakika kama ulinitajia jina lako”
“Naitwa Ahmed”
“Una jina zuri”
“Kama lako”
Kilichowakatisha mazungumzo yao ni baada ya mgeni mmoja kuingia,akiwa anataka kuuliza!Hiyo ilimfanya Ahmed apige hatua tatu pembeni na kumtizama Fetty ambaye alimpa ishara kwa kuweka vidole viwili shavuni kimoja kikiwa usawa wa mdomo kingine sikioni,kumaanisha kwamba ‘Tuwasiliane kwenye simu’kwa Ahmed,lilikuwa ni kama zali la Mentali,akatembea mpaka nje ambapo huko alivuka barabara kulifuata gari lake,mafichoni.
Mbinu ya Hajrath kwamba aende bila gari ilifeli na pengine alijilaumu kufanya hivyo,bora angeenda na gari ili amvimbie mzee yule Chekibobu mwenye sharubu kama za panya mzee!
“Huwa sipendi dharau,katika maisha yangu!Mzee bwege sana yule”
Ahmed,alizungumza mwenyewe na kuachia msonyo mrefu wa mwendokasi,hata yeye alijishangaa tabia hiyo ya kusonya aliitoa wapi kwani hakuwa hivyo kabla, baadaye akagundua kwamba ni hasira tu.
Baada ya kufika mataa ya Buguruni,mawazo ya kwenda kwa mganga yakaanza kumjia tena,akaanza kuhisi amerogwa kutokana na mambo yalivyoongozana sambamba!Akasikitika na kulipuuzia jambo hilo badala yake akachukua simu na kumtafuta Hajrath hewani.
“Upo home?”
Lilikuwa ni swali la kwanza,kuuliza baada ya Hajrath kupokea simu.
“Ndio,umefanikiwa mme wangu?”
“Nakuja”
Badala ya kujibu swali,akakata simu na kuitupa kiti cha kando,akakanyaga mafuta na kusonga mbele!Kutokana na msongamano wa magari,ikamchukua lisaa limoja na nusu mpaka kufika,alivyofika tu akabadili nguo na kuvaa kaptula,akajitupa kitandani.Hakukaa sana Hajrath,akamfuata alipo chumbani!
“Pole na kila kitu”
“Nishapoa”
“Ngoja nikuletee maji ya kunywa”
Msichana huyu alikuwa mpole na mnyenyekevu akafanya kila jambo linalostahili kufanywa na mke aliyewekwa ndani,hiyo yote ni kutokana na mapendo aliyokuwa nayo ndani ya moyo wake!Alivyorudi chumbani alikuwa na jagi,pembeni kashika glasi,akapitiliza mpaka kwenye meza ndogo akaiweka kisha kumimina maji kwenye glasi,akachukua na kumpa Ahmed!
“Ahsante”
Kitendo cha kushukuru,akayaguguda maji yote kwa pupa na kumpa Hajrath glasi.
“Nikuongeze?”
Hajrath akauliza kwa unyenyekevu na sura ya upole,hiyo ilimfanya Ahmed atingishe kichwa kwa namna ya kukataa!Alivyoweka glasi juu ya meza ndogo,kandokando ya kitanda,akarudi kisha nayeye kuketi pembeni ya Ahmed.
“Umefanikiwa?”
“Bora nisingeenda tu”
“Kwanini?”
“Basi tu,nimekasirika sana”
“Imekuaje kwani?”
“Yule mzee amenikosea kishenzi yaani”
“Kakufanya nini?”
Hakukuwa na namna ya kuweka vitu ndani ya kifua,kila kitu akakisema tangu alivyofika isipokuwa alificha swala la kukutana na Fetty msichana mrembo wakapeana namba.Hakuacha kumtukana mzee aliyemnyima kazi na badala yake simuni alikuwa akimpa kazi mtu mwingine asiyekuwa na elimu yaani ana ziro.
“Baby,ndio ilivyo.Nachokuomba,usikate tamaa”
“Amenichukuliaje yule mzee,angesubiri kwanza niondoke!Ndio azungumze upumbavu wake”
“Hilo,lisikuumize mpenzi wangu,chukulia kama changamoto!Kazi zipo nyingi!Utapata tu”
“Leo,utalala?”
“Ndio,Mama amesafiri Baba nayeye hayupo!Au hutaki nilale?”
“Kwanini unaniuliza hivyo?”
“Kukuuliza vipi?”
Hapo hawakuweka utani,kila mtu alikuwa siriazi na kile anachozungumza!
“Kwamba,hutaki wewe ulale”
“Labda,hupendi mimi niwepo hapa”
Kuna kitu Ahmed,alitaka kuropoka lakini alijikaza!Kwa kuwa alikuwa na hasira za kunyimwa kazi na kuoneshwa dharau,ilibidi asimame na kuelekea seblen akiamini kuendelea kubaki chumbani na Hajrath,wangetibuana ili kuepusha shari akaenda seblen kuwasha tv!
“Nitatoka kidogo”
Hajrath,akafika nayeye huku akisema!Haikueleweka alikuwa anaomba ruksa ama anatoa taarifa.
“Wapi unaenda?”
“Naenda kuchukua baadhi ya nguo nyumbani”
Hajrath hakutaka kwenda nyumbani kama alivyoaga mawazo yake,yalikuwa kwa mwanamme mmoja anayeitwa Moses Mbaisi,hivyo ilibidi adanganye ili apate upenyo na nafasi hiyo kwa urahisi zaidi!Sio siri ni mwanamme ambaye alitokea kumpenda kutoka moyoni!
“Utarudi saa ngapi?”
“Jioni jioni ili nije kupika”
“Sawa,mimi nipo!Utanikuta”
Kufuatia ruksa hiyo Hajrath,aliingia bafuni na kujiandaa haraka,akajipulizia manukato na kusimama mbele ya kioo!Akajikagua vizuri jinsi umbo lake lilivyobarikiwa,akajikubali na kubeba mkoba wake!Akapita seblen na kumpiga Ahmed busu kama ishara ya kumuaga!

*****
Alikuwa ni mwanaume,mchakarikaji!Mwenye uwezo kifedha!Senti mbili tatu za kutatua matatizo yake alikuwa nazo,jambo lililomfanya azidi kupeta mjini ni baada ya kununua gari aina ya Prado new model,hakuwa mtu wa majivuno na hakuwa mchoyo kusema siri ya mafanikio yake!Watu wengi hawakuamini kama angetusua kimaisha baada ya kufukuzwa kazi.Mwaka mmoja baadaye akaanza ufugaji wa kuku wa kienyeji na kisasa,alianza kama utani baada ya kuuza simu yake ya gharama ili apate mtaji!Baada ya mwaka mmoja mwingine,majibu yakapatikana hatimaye akaongeza kuku wengine,akawa ana kuku elfu tatu na mia nane!Vifaranga ndio usiseme,alivyoona ameweka vizuri akajikita kwenye mifugo mingine kama mbuzi na Ng’ombe,akawakuza miaka mingine minne akawa ana Ngo’mbe mia moja na mbili mbuzi mia tatu tisini,hapo ndipo akaanza kufanya biashara ya kuuza mbuzi,Ng’ombe na kuku kwenye mabucha ya nyama!Mungu sio Athuman,miaka miwili mingine baadaye akanunua kiwanja na kuanza kujenga!Hakuna mtu aliyeweza kuamini miujiza hiyo wengine,walishirikisha jambo hilo kama ushirikina na nguvu za giza.
Akaweka masikio pamba na kusonga mbele kwani alielewa kwenye mafanikio ni lazima kila mtu ataongea lake!Jumba lake likaisha,akanunua kiwanja kingine heka tano maeneo ya Chanika,buyuni huko akaweka mifugo mingine na mabanda makubwa ya kisasa!Wazo lingine likamjia la kufungua ofisi na kampuni ya kusambaza nyama kwenye mahoteli makubwa,akiwa ndani ya ofisi yake siku moja alipokea ujumbe mfupi kutoka kwa rafiki yake wa siku nyingi sana aliyesoma naye shule ya msingi!
“Hajrath,upo?”
“Nakuja nipo njiani”
“Acha utani”
“Moses,upo wapi?Nina shida nawewe,nipo njiani kweli nipo siriazi ujue”
“Sawa,karibu.Uwahi lakini naweza kutoka sasa hivi”
“Umesema ni wapi tena?”
“Kinondoni,Moroco.Jengo la Airtel,floor ya nne”
“Nakaribia kufika nisubiri please”
“Aya”
Hajrath alishikwa na furaha isiyokuwa na kifani,safari ya kwenda kwa Moses Mbaisi aliita ya mafanikio sababu alitaka kumuuliza njia alizotumia mpaka akatoboa kimaisha,aliamini kwa kumsikiliza Moses angeenda pia kumwambia Ahmed waanze vipi kisha baadaye na wao wafungue kampuni,alimpenda Moses Mbaisi sababu alikuwa ni kijana mdogo mwenye mafanikio yaliyomzidi umri!
Kwa kuwa alikuwa tayari keshafika Magomeni,ilikuwa rahisi kufika!Akawasiliana na kumlipa dereva wa bajaji pesa kisha kuvuka barabara mpaka upande wa pili,macho ya wanaume wenye uchu hayakumuacha salama kutokana na garika lililokuwa nyuma yake,Hajrath alitembea huku akinesanesa kwa nyuma alikuwa na makalio makubwa na laini,hivyo hakuwa na namna ya kuyaficha,alivyozidi kutembea kwa kasi ndivyo yalivyozidi kutingishika ikawa kizungumkuti kwa wapita njia,mpaka anafika jengo la Airtel alifanikiwa kugeuza shingo za wanaume isiyokuwa na idadi kamili.
“Mambo?”
Alivyofika,mapokezi akasalimia.
“Safi”
“Floor ya nne,ni wapi?”
“Juu,ingia kwenye lifti”
Bila kujibu chochote akatembea mpaka kwenye lift,akabonyeza mshale wa kushuka chini ili lifti ianze kushuka,namba zikaanza kusoma pembeni kwenye kioo kidogo cha pembe nne 8,6,5,4,3,2,1 G ilivyofika herufi G mlango ukajifungua,Hajrath akaingia na kubonyeza namba nne!Akashusha pumzi,mlango ukajifunga!
Haukufunguka mpaka gorofa ya nne hapo alitoka na kutembea mpaka kwenye mlango wa kioo ulioandiwa ‘PULL’ kwa kuwa alikuwa ana shule kichwani alielewa maana yake,akauvuta na kuingia ndani!Kitendo cha kutupa macho yake,kandokando akakutana na wazee watatu waliokuwa ndani ya suti,hakuwa na habari nao!Alichokifanya ni kupitiliza mpaka mapokezi!
“Dada habari”
Akamsalimia dada wa mapokezi,aliyekuwa amevalia shati yenye rangi ya bluu na sketi nyeusi.
“Salama,nikusaidie nini?”
“Namuulizia Mr.Moses Mbaisi”
“Kikazi ama binafsi?”
“Kikazi”
“Jina nani?”
“Hajrath Mpilla”
“Sawa subiri pale”
Kama ‘protocol’ za ofisi zote zilivyo,simu ilitakiwa kupigwa kwanza kwa mkurugenzi,alivyopiga simu tu!Kitendo cha kuweka mkonga mezani,akampungia mkono Hajrarth kama ishara ya kumuita!Hakutaka kupoteza bahati hiyo akasimama na kutembea kwa haraka!
“Nyoosha,mlango wa pili kushoto!”
“Ahsante”
Akatembea akifuata maelekezo kisha kusukuma mlango wa kioo,uliokuwa mweusi kwa nje, haikuwa rahisi wa nje kuona ndani lakini wa ndani aliona nje vizuri,Hajrath alikumbana na hewa ya ubaridi,kushoto kulikuwa na viti viwili vya wageni,mbele yake kulikuwa na meza kubwa,ambapo nyuma aliketi bwana Moses Mbaisi.
“Bosiiiiiiii”
Hajrath akaita kwa uchangamfu huku akionesha tabasamu,hiyo ilimfanya Moses Mbaisi asimame kwa furaha na kumfuata wote wakakumbatiana kama marafiki ambao hawakuonana miaka mingi!
“Look at you Moses,umenenepa!Kweli nimeamini,duniani hakuna mtu mwembamba!Kuna mfupi na mrefu”
Wote wakacheka kwa sauti kubwa!
“Acha mambo yako Hajra,hujaacha”
“Ndio,nakumbuka ulivyokuwa mwembambaaa tunakuita Mbu,leo Mbu kawa nyangumi”
“Hahahahahaha”
Sifa ya Moses Mbaisi ilikuwa ni kucheka muda wote na safari hiyo alicheka mpaka machozi yakamtoka,hakika alifurahi sana kumuona Hajrath siku kama hiyo!kifupi wote walikuwa na furaha iliyozidi kifani,wakaanza kupiga stori za shule ya msingi waliyosoma ilimradi wapoteze muda.
“Unapenda sana kucheka Moses,tangu shule.Hivi ushawahi kukasirika?”
Hajrath akaibua hoja,hiyo ilimfanya Moses acheke tena kabla ya kujibu swali.
“Nakasirika ndio,lakini huwa hivi hivi nacheka.Watu wanasema nina dharau,huwa napenda kupuuzia vitu!Hata kama ukinikera,nacheka tu”
“Wifi basi ana rahaa sana”
“Umeanza sasa,by the way naoa mwakani”
“Whaaaaat,hongera aisee!Ole wako usinipe kadi”
“Nitakupa,tena afadhali nimekuona!”
Siku hiyo walizungumza vitu vingi sana,hususani maisha na changamoto zake!Walivyoona haitoshi wakatoka ofisini na kwenda kwenye moja ya mgahawa wa kifahari,Moses akaagiza mchemsho wa samaki, Hajrath yeye mchemsho wa Kuku.
“Kinywaji?”
Moses akauliza.
“Hapana,nitakunywa maji”
Saa ya mkononi ilisoma saa 12;47 jioni,giza lilianza kuingia jambo hilo lilimtia sana hofu Hajrath,alivyomkumbuka Ahmed. Alivyotaka kumpigia simu amtaarifu moyo wake ukasita!
“Naomnba niwahi”
“Nitakupeleka”
“Hapana Moses,nitachukua Bodaboda”
“Hajrath,naomba nikupeleke!Kwani unaishi wapi?”
“Ubungo Kibangu”
“Na shemeji?”
“Ndio na nimechelewa sasa hivi,ni mkorofi alafu ana wivu”
“Nitaenda kuonana naye,nitamwambia tulikuwa wote”
“Weeeee,yaani ndio utatibua kabisaa!Usithubutu”
“Malizia supu”
Hajrath hakuwa na chaguo zaidi ya kunywa supu kwa pupa ili awahi,alimuelewa Ahmed jinsi alivyokuwa na wivu licha ya kudhani amebadilika lakini ilitakiwa ajihami,hata hivyo isingeleta picha nzuri kuchelewa isitoshe alitakiwa kupika chakula cha usiku,alivyofikiria hayo yote, akakosa raha kabisa!

*****
Muda ulizidi kuyoyoma,saa kumi jioni ikafika na kupita hatimaye saa kumi na moja,saa kumi mbili ilivyogonga!Wivu,ukaanza kumpanda taratibu hata hivyo hakutaka kupiga simu!Mpaka muda huo, Hajrath alikuwa nje hajarudi,haikuwezekana hata kidogo huko alipokuwa angekuwa salama fikra zake zilimtuma ni lazima angekuwa na mwanamme tu anamegwa!Haikuwezekana hata kidogo kwenda kuchukua nguo Kimara,Stop over masaa mengi namna hiyo!Hiyo ilimfanya avimbe kwa hasira kama chura wa masika,ilivyogonga saa mbili na dakika saba,akasikia mlio wa kitasa cha geti,akapunguza sauti ya tv na kutega masikio yake vizuri,ambapo alisikia pia muungurumo wa gari kwa nje!Hakutaka kubaki kwenye sofa,akasimama wima na kufungua pazia kidogo, akamuona Hajrath kaingia ndani,lakini nyuma yake akaona mwanamme ameingia pia,hapo akarudisha pazia kidogo na kuacha uwazi mdogo ili asionekane!
“Usiku mwema,kesho Moses. Siku nyingine nitakukaribisha sio leo”
Kila kitu kilishuhudiwa na Ahmed akiwa dirishani,mpaka wanavyopeana mikono kisha geti kufungwa.Akarudi kwenye sofa haraka na kutulia kama hajaona kitu chochote,sekunde tano mlango ukafunguliwa Hajrath akaingia!
“Baby,nimerudi sorry!Foleni ilikuwa kubwa,nimechelewa.Alafu home hakukua na mtu,nikapitia kwa rafiki yangu..kuna jambo nataka kukwambia baby”
Hajrath alitokwa na maneno mfululizo bila nukta, yote kwa niya ya kujitetea baada ya kuona macho makali ya Ahmed mithili ya simba anayemtizama swala.
“Karibu”
Ahmed akajibu kifupi huku akibana meno yake kwa hasira,dharau aliyoonesha Hajrath haikuvumilika hata kidogo!
“Baby,usikasirike ngoja nik…”
“Ulikuwa wapi?”
“Kwa rafiki yangu”
“Wapiii?”
Kufuatia swali hilo Ahmed akasimama wima na kuanza kumsogelea taratibu,hiyo ilimfanya Hajrath atetemeke kwa hofu na kurudi nyuma kwa uwoga akadondosha mkoba chini bila kupenda.Kufumba na kufumbua Ahmed,akakwapua simu ya Hajrath kama vishandu wanavyofanya barabarani,hakutaka kupoteza muda akaingia kwenye uwanja wa meseji na ‘watsApp’ akitafuta watu aliochati nao siku hiyo!
“Moses ndiyo nani?”
“Baby al….”
Kilichosikika hapo ulikuwa ni mpasuko wa simu kwani ilirushwa na Ahmed,ikapiga ukutani na kupasukapasuka vipande,Ahmed akawa amepasua simu ya Hajrath, hakuishia hapo akamvuta na kumtandika kibao kikali cha shavu, kilichomfanya Hajrath apepesuke!



SIKU ZOTE,MKATAA PEMA PABAYA PANAMWITA!Maumivu aliyohisi Yusrath hayakuwa na mfano wa kuyafananisha,bado hakuamini amebakwa na mateja wavuta bangi wa mitaani na kumuachia maumivu makali mno sehemu zake za siri,alilia kwa uchungu akiwa chini lakini kwa wakati huo hakuna chozi lililotoka!Alivyotaka kusimama akashindwa kabisa,mwili wake ulikuwa mwekundu kutokana na kupigwa pamoja na kukabwa,mateja waliokuwa wanamfanyia kitendo hiko cha kinyama hawakuwa na ustaarabu hata kidogo sababu wengine walikuwa wanampiga na baadhi walimkaba shingoni katika namna ya kutimiza haja zao za kimwili,hawakujali ni maumivu kiasi gani walimsababishia Yusrath walichojali wao ni kukata kiu zao.Tangu walivyomaliza ilipita dakika kumi nzima ndipo Yusrath akarudiwa na fahamu,damu nyingi zilimtoka na alivyojigusa chini akahisi maumivu mengi zaidi.Kila kitu kwake kiliharibika na alihisi kujuta mno,akiwa katika maumivu makali akamkumbuka Bilionea George Charles jinsi alivyokuwa anaishi maisha ya kifahari akila kuku kwa mrija,akahisi kujuta na kujilaumu ni kwanini amefanya kitendo hicho cha kuiba pesa sababu bila ya hivyo wenda siku hiyo angekuwa ndani ya jumba kubwa la George Charles anakula bata lakini matokeo yake aliiba pesa na hakuambulia chochote badala yake alibakwa na kuumizwa,hata hivyo hakuwa ana uhakika kama afya yake ingekuwa salama sababu kupata maambukizi ya magonjwa ya ngono ilikuwa ni asilimia themanini chini ya mia kwani mateja waliombaka waliingia pekupeku bila ndala,hiyo ilimuuma zaidi ukizingatia alikuwa bado msichana mdogo kufa katika kifo cha mateso!Kuendelea kubaki eneo hilo,kusingemsaidia chochote!Kwa tabu na mateso akainua shingo yake juu ili ajue ni wapi alipo!Kumbukumbu zake hazikukaa vizuri,zilikuwa zinakuja na kupotea kama saa mbovu!Alivyotuliza akili akagundua yupo Uwanja wa Ufi katikati ya Makaburi,akashtuka zaidi!
Ghafla picha ya Ahmed ikamjia kwani njia hiyo hutumia mara nyingi kufupisha mizunguko yake!Kumaanisha kwamba hapo alipo na anapoishi Ahmed ilikuwa ni sawa na pua na mdomo,moyo ulimuuma baada ya kukumbuka visa vingi vya kishetani alivyomfanyia Ahmed wakati hakuwa na kosa lolote,Ahmed hakustahili kabisa kufanyiwa mambo aliyomfanyia,akajikuta anatamani kumuomba amsamahaa ingawa hakuwa ana uhakika kama angekubaliwa,hata hivyo moyo wake ulimtuma aende Ubungo Kibangu japokuwa hakuwa ana uhakika kama angemkuta kwake!
Kwa kujikaza na kujikakamua,akasimama na kuanza kutembea,akaweka nguo zake vizuri!Blauzi yake iliyochanika,akaivuta vizuri juu na kuanza kutembea huku akichechemea,jinsi alivyotembea kaitanua miguu huku na kule,hakutofautishwa na mwanaume aliyetoka kutahiriwa!Japokuwa watu walimuona lakini walisita kumsaidia wakidhani ni chizi,kwani nywele zake zilitimka vibaya sana,kichwani ana majani na michanga!
Hilo hakujali alichotaka yeye ni kufika kwa Ahmed Kajeme,amuombe msamahaa ikiwezekana warudiane wawe kama zamani.Umbali kutoka alipo mpaka Ubungo Kibangu,haukuwa mchezo kama anavyodhani kulikuwa na kipande kirefu cha kama kilomita tano nzima,alivyofika Shungashunga akapumzika kidogo,hali yake ikazidi kuwa mbaya ukichanganya na jua kali lililoanza kuchomoza lilimfanya ahisi kizunguzungu kikali.
“Kaka,naomba msaada”
Yusrath ilibidi asimame,baada ya kumuona kijana mmoja anapanga madumu ya maji, pembeni ana mkokoteni,jasho linamtoka usoni.
“Msaada?!”
Kijana huyo,akauliza swali kwa mshangao huku akisitisha jambo alilokuwa anafanya!
“Ndio kaka angu”
“Msaada gani?”
“Hata shilingi mia tano tu,nipande daladala”
“Unachekesha kweli wewe,nyie ndio mnatiaga nuksi nyie!Yaani hujaona koooote,mpaka kwangu?Ushindwe tokaa”
“Kak…”
“Sina cha kukusaidia sina msaada,sina ela kwanza!Usiniletee nuksi hapa,au umetumwa?”
Majibu ya shombo aliyokuwa anaogeshwa Yusrath yalimfanya akose nguvu na kuhisi uchungu wa ajabu,hata hivyo hakukata tamaa hivyo hivyo kwa mwendo wa kobe alijitahidi kutembea mpaka alivyofika mataa na kuvuka barabara upande wa pili!

****
Wivu ulimpelekesha vibaya sana,akahisi ni lazima Hajrath alichepuka akisingizia anaenda nyumbani kwao kuchukua nguo,kitendo cha kuona meseji kwenye simu ya Hajrath akichati na mtu anayeitwa Moses,kilimfedhehesha!Akajawa hasira akavimba kama chura bila kutaka kusikia maelezo yoyote wala utetezi akaanza kutoa kipigo, bila kujua Hajrath alikutana na Moses kwa niya ya kuzungumza biashara ambayo mwisho wa siku ingemsaidia kumtoa kimaisha!Siku hiyo Hajrath alipigwa makofi,akavunjiwa na simu!Baada ya hapo,Ahmed akaingia chumbani huku akiwa ana hema juujuu kama mwanariadha aliyetoka kufanya mashindano!Macho yake mekundu mno,kifua chake kinapanda juu na kushuka!Hajrath yeye alikuwa seblen,analia kwa uchungu kwa kitendo hicho cha kupigwa bila sababu ya msingi,ghafla akamchukia Ahmed na kuapia angeondoka nyumbani hapo dakika hiyohiyo!Usiku huo alilia kwa mengi sana,jambo lililomfanya alie kwa kwikwi ni kuhusishwa kutoka kimapenzi na Moses,kitu ambacho hakikuwa cha kweli,akaangalia simu yake jinsi ilivyopasuka akazidi kuumia zaidi na kumchukulia Ahmed ni limbukeni wa mapenzi!
“Kwa…nini ani..pige kwani nime..fanya nini?”
Hajrath alijiuliza kwa kwikwi,hakuna mtu aliyeweza kumjibu sababu alikuwa mwenyewe!Maumivu aliyohisi usoni yalifanya mpaka kichwa kimuume!
Akiwa katika hali hiyo,akasimama wima na kuiendea simu yake iliyopasuka,alichotaka yeye ni laini ya simu,alivyoichukua akaiweka mfukoni na kurudi chumbani kwa niya ya kuchukua nguo zake zote na kuondoka!Alivyoingia chumbani,hakuongea chochote na hakutaka kumuangalia Ahmed usoni,akapitiliza mpaka kabatini na kuanza kupekua nguo zake!
“Unaenda wapi?”
Sauti ya Ahmed ilihoji lakini hakutaka kujibu,akazidi kupekua nguo zake!Akabeba pochi yake kubwa na kuanza kuziweka ndani yake!
“Nimekuuliza swali!”
Ahmed,akasema tena lakini Hajrath hakujibu,akazidi kulia kwa kwikwi.Alichokifanya Hajrath baada ya kumaliza zoezi lake,akaweka mkoba wake sawa na kuuwendea mlango lakini alishindwa kutoka sababu Ahmed aliwahi na kutanda mlangoni kwa niya ya kumzuia asitoke.
“Unaenda wapi?”
“Kwa Moses”
Hajrath,akajibu kwa hasira na kiburi bila kutegemea huku akiwa mkavu anafuta machozi yake, akitumia kiganja chake cha kushoto!
“Kwa Moses?”
“Najua umenisikia,nipishe niende”
“Hapana siwezi”
Hapo Hajrath alitabasamu,haikujulikana kwa dharau ama jibu la Ahmed lilimfurahisha,lakini baada ya hapo alikunja sura tena!
“Ahmed,nipishe”
“Uende wapi?”
“Nilishakujibu,naenda kwa Moses.Si umesema ni bwana angu!Niache niende kwake”
Majibu ya Hajrath yalikuwa ya kuumiza moyo lakini hiyo haikumfanya Ahmed amruhusu, alichokifanya ni kuanza kuomba msamaha kwa kitendo alichokifanya dakika chache zilizopita nyuma!
“Noo Ahmed,niache!Hukutaka kunisikiliza ala..”
“Hajrath,nisamehee mkono uliteleza”
“Ahmed,please naomba niondoke!Nataka kwenda nyumbani kichwa kinaniuma”
“Siwezi kukuruhusu, sasa hivi usiku”
“Niache tu niende,siwezi kubaki hapa Ahmed!Naomba nipishe”
Ulikuwa mzozo mkubwa,Amed alihisi kujuta kwa kitendo alichokifanya akajiona ni mjinga na mpumbavu wa mwisho,akajitupia lawama zote na kujiita mwanamme mpumbavu.Ili kuepusha malumbano hayo,akafunga mlango na funguo kisha kuuweka mfukoni,hiyo ilimfanya Hajrath ashushe pumzi ndefu iliyochanganyika na hasira,akamkata jicho kali la hasira Ahmed kuonesha alichotaka alimaanisha.
“Nipe funguo”
“Sawa,nitakupa lakini naomba tuongee kwanza”
“Ungetaka kuongea namimi,ungefanya hivyo tangu mara ya kwanza,umechelewa”
“Nisamehee”
“Sawa, nipe funguo”
Hakuwa tayari kuingiza mkono mfukoni na kumkabidhi Hajrath funguo kwani ilikuwa ni sawa na kumpeperusha ndege wake,alichotakiwa kukifanya ni kuomba msamahaa na kumtuliza kwanza,hicho ndicho alichokifanya!IIichukua nusu saa lizima mpaka Hajrath kutulia.
“I’m so sorry baby”
Neno msamahaa halikukauka kinywani mwa Ahmed,alihisi bado hajasamehewa!Wakati huo Hajrath alikuwa pembeni kwenye kiti kidogo amekaa!
“Nimekusamehee”
“Ahsante Mke wangu”
Japokuwa alitoa msamahaa lakini hakuwa tayari kuingia kitandani,akidai kwamba angelala hapohapo juu ya kiti!Hilo halikuwa utani kwani mpaka inafika saa saba ya usiku Hajrath alikua juu ya kiti bado huku Ahmed akiwa kitandani.
“Njoo ulale kitandani”
Katikati ya usiku Ahmed,alikurupuka!
“Hapahapa,pananitosha”
“Please nakuomba”
Kwa shingo upande,akasimama na kwenda kitandani ambapo alivua nguo zake na kulala!Licha ya yote,haikuwa kama siku zote,Hajrath aligeukia upande wa pili wa kitanda yaani mzungu wa nne na kila Ahmed alivyomgusa aliutupa mkono wake mbali.Huo haukuwa utani,hapo Hajrath alionesha msimamo wake kwelikweli, kifupi bado alinuna!

*****
Kitendo cha kumkosa Hajrath kitandani asubuhi baada ya kushtuka,kilimfanya aumie mtima alivyoanaglia mlango,akakuta upo wazi!Hiyo ilikuwa dhahiri kabisa Hajrath alichukua ufunguo wakati yeye akiwa katikati ya usingizi mzito na kuondoka zake,akashuka kitandani kwa kasi na kutembea mpaka seblen,akapigwa na bumbuazi baada ya kukuta chai ipo mezani, pembeni kuna chapati za maji,alivyoingia jikoni akakuta tayari kumepigwa deki na kusafishwa vizuri.
Kilichomfanya ashtuke zaidi ni baada ya kuhisi kuna mtu anafagia nje!Akatoka kwa haraka na kumkuta Hajrath anafagia,akashusha pumzi nzito na kutabasamu!
“Za asubuhi”
Ahmed,akawa wa kwanza kusalimia.
“Salama”
“Nakusubiri tunywe chai”
“Anza tu”
“Hapana,nakusubiri”
Alichokifanya Ahmed ni kurudi chumbani ambapo huko alioga na kupiga mswaki,kisha baada ya dakika tano Hajrath akaingia bafuni kuoga,wote wakaingia mezani ili wanywe chai!Katikati ya mlo huo wa asubuhi wakasikia geti linagongwa.Wakatulia kidogo,geti likagongwa tena.
“Ngoja nikafungue”
Ahmed,akasema kwa niya ya kusimama lakini Hajrath akamzuia.
“Acha mimi niende”
Hapohapo Hajrath,akasimama na kutoka nje!Ambapo huko alichukua dakika mbili nzima bila kurejea ndani,hiyo ilimfanya Ahmed aingiwe na wasiwasi,alivyotaka kusimama ili atoke nje!Mlango ukafunguliwa,mbele yake akamuona Hajrath na msichana mwingine ambaye akuwa ana uhakika kama anamfananisha ama macho yake,yanamdanganya kwani anavyojua yeye duniani wawili wawili.
“Ahmed,Yusrath huyu!Anahitaji msaada wako!Ana shida”
Hiyo ilimfanya Ahmed,asimame na kumshangaa Yusrath aliyekuwa mbele yake nywele chafu,nguo zimechanika,ananuka kama beberu!Hakuelewa amfanye nini,amfukuze ama amsikilize mwanamke huyu mpumbavu tena mkandarasi aliyefanya maisha yake yameyumba na kuvurugika kwa wakati mmoja!



SONGA NAYO.
Kichwa chake kilikuwa kizito,alihisi kuchoka na miguu yake ilimuuma kutokana na kutembea umbali mrefu!Jua lote lilimuishia mwilini mwake,jasho lilimtoka likasababisha harufu mbaya kiasi!Kitendo cha kuingia seblen aliangua kilio na kudondoka kwa magoti hivyohivyo akatembea nayo na kumshika Ahmed miguu,sio siri alilia kiasi kwamba Hajrath aliyekuwa pembeni akahisi kulengwa na machozi!Hakuelewa ni mkasa gani umemkumba msichana huyu Yusrath ambaye siku chache nyuma alikuwa akiishi na bilionea George Charles!
“A…hmed,nisameh..e Mme wangu!Nita..kufa kat…ika hii duni..a nisamehee hukustahili kufanyiwa nili..yo..kufanyia Mme wangu,nahisi kufa”
Maneno hayo yalimtoka Yusrath akiwa analia kwa kwikwi,kashika miguu ya Ahmed!Anaomba msamahaa, kila kitu kilichotokea na mambo aliyomfanyia Ahmed yalikuwa kama mkanda wa filamu unaopita kichwani kwake,akaona jinsi alivyokuwa anamsaliti Ahmed akiwa na Samir,hakuishia hapo kiwanja walivyokula njama! Yakamtokea puani,kubwa kuliko kumbambikia watoto wasiokuwa wake,kilichomfanya aangue kilio kikubwa ni baada ya kukumbuka jinsi alivyowatuma watu wamuuwe Ahmed,hapo ndipo alilia na kusaga meno!Neno msamahaa halikukauka kinywani mwake.
“Yusrath….”
Ahmed akaita,haikujulikana kama alitaka kutoa msamahaa ama anataka kutoa ushauri,sababu aliishika mikono ya Yusrath kwa niya ya kumtoa miguuni mwake,lakini hilo halikuwezekana sababu Yusrath alimng’ang’ania akizidi kuomba msamahaa!
“Ahmed,nisa..mehee Mme wangu,ni..po tayari kubadilika”
Moyo wa Ahmed uliuma,ukachoma kama pasi!Hasira zilianza kumpanda taratibu matukio mengi mabaya aliyofanyiwa na msichana huyu aliyemfananisha na shetani aliyakumbuka na leo yupo mbele yake,wakati mwingine alitamani kuingia jikoni na kuchukua kisu amchome amuuwe!Akiamini kwa kufanya hivyo hata Mungu huko mbinguni angempongeza lakini alijitahidi kuzuia hasira zake,akatumia nguvu kumsukuma Yusrath pembeni!
“George kakufukuza au?”
Lilikuwa ni swali la kejeli kutoka kwa Ahmed huku akiwa amebenua mdomo wake, mithili ya mtu anayetizama kinyaa!
“Hapana Ah..med,nataka nirudi kwa..ko!”
Kuendelea kukaa kimya,kifua chake kingewaka moto alichokifanya Yusrath ni kuanza kuhadithia kila kitu kilichotokea kuanzia alivyokuwa anachepuka na Samir,mpaka alivyodhulumiwa pesa za kiwanja!Jambo lililomfanya Hajrath apigwe ganzi ni baada ya kusikia kwamba Yusrath ndiye aliyesuka mkasa wote wa Ahmed kutaka kuuliwa baada ya kutekwa.
“Nili..watuma watu wakuuwe,Eeeh Mun..ngu”
Kamasi nyepesi zilimtoka puani,akashindwa kuongea zaidi,akatulia huku akizivuta kwa ndani.
Taswira mbalimbali za matukio ya ajabu aliyoyaona ndani ya msitu mkali alioufananisha na Jehanam ulianza kujijenga ndani ya kichwa chake,picha mbaya za maiti zilianza kumsumbua, hakutaka kuamini kwamba siku kama hiyo angekuwa tayari amekufa na msiba wake ungekuwa hata bado matanga hayajaanuliwa,akahisi uchungu ajabu!Akamsukuma Yusrath kisha kutembea mpaka kwenye kochi hapo alijitupa kama mzigo na kuanza kulia kama mtoto mdogo ingawa hakuelewa ni kitu gani kinamliza!Kulikuwa kama kuna msiba ndani ya nyumba,kila alipotaka kuongea hakuweza tena akabaki anabubujikwa na machozi huku akimtizama Yusrath, aliyekuwa chini bado kapiga magoti,kaweka mikono yake kifuani kama mtu anayesali!
“Yusrath,toka”
Zilikuwa ni sentensi mbili tu,zenye ukali na vitisho ndani yake!Ahmed,akabadilika ghafla ingawa machozi yalimbubujika lakini alizungumza na alimaanisha kile anachokisema,mbaya zaidi alimuomba Mungu wake asifanye kitu anachotaka kukifanya kwa wakati huo,ili kuepusha hilo akamtaka Yusrath atoke nyumbani kwake!
“Yusrath,toka kwangu!Sasa hivi”
“Ahme…d Mme wangu al..”
“Toka,nisije nikakuua”
“Nipo ta..yari kufa,sioni umuhimu wa kuishi”
“Yus..rath ondoka”
Kulikuwa kuna kina dalili mbaya ya mtu kufa siku hiyo,hilo lilionekana wazi kwani macho ya Ahmed yalibadilika rangi,akaanza kutetemeka mikono, midomo yake inamcheza hiyo ilikuwa ni dalili mbaya ya hasira,Hajrath alivyoona hivyo akaogopa akajua nini maana yake!Ilikuwa ni lazima ajiongeze,akamsogelea Ahmed kwa karibu.
“Ahmed,punguza hasira msamehee ala..”
“Nawewe toka kwangu,usidhani kwamba nimesahau”
Kibao kikageuka tena kwa Hajrath,hiyo ilimfanya akae kimya akakumbuka kipigo cha usiku wake,akawa mpole na kurudi kinyume nyume mpaka kwenye meza,alishaelewa kinachofuata hapo kama sio kofi kurushwa basi ngumi!
“Yusrath,ondoka!Hutaki?”
Hiyo ilikuwa sentensi ya mwisho kutamka,akasimama wima na kunyoosha mpaka jikoni ambapo huko kilichosikika ni vyombo kudondoka chini,ilielekea kuna kitu alikuwa anakitafuta, hiyo ilimfanya Hajrath azidi kuogopa zaidi.
“Sasa leo nakuuuwa….”
Ahmed alitoka mzima mzima mkononi akiwa na mche wa kinu,kaushika kwa mikono miwili anamuendea Yusrath alipo,akaunyanyua juu ili ampige nao kichwani!Kama ngedere mtini Yusrath akajirusha upande wa pili,mche ukapiga malumalu chini.
Hiyo ilimaanisha bila Yusrath kuhepa ungemgonga utosini na kumpasua vibaya sana pengine angekufa,hapo ndipo akajua hakukuwa na masihara hata kidogo na akifanya mchezo atakufa siku sio zake!Hakutaka kuchelewa ilikuwa ni lazima aokoe roho yake,alichokifanya ni kusimama kwa kasi na kuuendea mlango,nguvu zikamjia upya hofu ya kifo ikamtanda!Akaparamia mlango na kutoka nje,huku nyuma Ahmed akiwa anamfuata mpaka alipotoka nje kabisa ya geti!Hapo ndipo Ahmed akatulia,mikono yake inamtetemeka kama mtu mwenye homa ya usiku!Kitendo cha Hajrath kuona hivyo,ilibidi nayeye atafute ustaarabu wake, ilikuwa ni lazima aondoke ndani ya nyumba hiyo kabla zamu yake kufika,alichokifanya ni kuanza kuufuata mlango lakini kabla hajaufikia Ahmed akaingia,akajua tayari amekwisha lakini cha ajabu!Ahmed alimpita na kunyoosha chumbani huku jasho likimtoka usoni!

*****
Upotevu wa shilingi Milioni Mia tano,ulimfanya Mama Yusrath aonje joto la jiwe,hakuelewa chochote lakini alishangazwa na maswali ya maaskari wakimuuliza upotevu wa pesa hizo!Akaambiwa ilivyokuwa na mara ya mwisho Yusrath aliaga anaenda kwake,kumaanisha kwamba yeye ndiye mtuhumiwa namba moja,hata hivyo majibu yake na maelezo yake hayakuwafanya maaskari wamuachie huru!Wakamrudisha ndani,wakawafuata ndugu wengine,wakahojiwa pia. Lakini maelezo yao hayakueleweka,wakarudishwa nyuma ya nondo!Waliumia kiasi kwamba wakamlaani Yusrath huko alipo kwa kuwaponza!Kila kitu kikabadilika kabisa,Bilionea George Charles alishikwa na hasira mno kwani maaskari waliotaka shilingi Milioni Mia tano walikaa shingoni kwake,wakimsumbua hakuwa na jinsi zaidi ya kupakua tena pesa lakini safari hiyo hakufanya makosa!
Akawakabidhi mwenyewe begi la pesa na mwisho wa siku akawaomba wakae kimya!Hata hivyo nayeye alikuwa mjanja mno,katika maongezo yake mfukoni alikuwa na kinasa sauti,hiyo aliamini ingemsaidia endapo askari hao wangembadilika mbele ya safari,kwani alijua ni kiasi gani binadamu wa namna hiyo walivyokuwa na njaa na si ajabu baada ya mwezi mmoja wangerudi tena!
“Pesa ndio hizi hapa,nisingependa mambo haya yafike mbali”
“Hilo ondoa shaka George,sahau kabisa!Hatoongea chochote”
“Nakubaliana na nyie”
Alikuwa chumbani kwake,akisikiliza kinasa sauti hicho ambacho aliamini kingemsadia baadaye ingawa alijua kivyovyote vile,angesumbuliwa na kesi hiyo endapo kila kitu kingekuwa wazi!Hata hivyo hakutaka kukubali, ndiyo maana aliwarekodi ili waende sambamba!Swala lililobaki ni kuwachukua watoto wake mapacha Faad na Faisal,alichokifanya ni kila mmoja kumtafutia hati maalum ya kusafiria alichokitaka yeye ni kuwapeleka nchini Marekani kwa binamu yake kwanza na mambo yakitulia awarudishe nchini Tanzania,utaratibu ukafanyika wa kukodi ndege ndogo ambayo alitoa mamilioni ya pesa!Ilivyofika siku ya tatu,akapelekwa uwanja wa ndege Terminal One ili asafiri ambapo safari hiyo ingemfanya akae huko wiki moja nzima!Pembeni yake kulikuwa na mfanyakazi maalum wa kizungu,aliyefahamika kwa jina la Melisa,kazi yake ilikuwa ni kuburuza kibaiskeli maalum kilichobeba watoto hao wachanga,mpaka walipoingia ndani ya ndege hiyo ya kukodi iliyobeba abiria wachache yaani Bilionea George Charles,Melisa pamoja na watoto mapacha!Hakukuwa na muda wa kupoteza,ndege ikatembea kwa kasi na kupaa angani huku nyuma akiwafikiria wazazi wa Yusrath jinsi alivyowasweka ndani,lakini aliamini ni namna moja wapo ya kuwafunza adabu,hilo halikumfanya ajutie maamuzi hayo hata kidogo!

******
Ahmed,hakuwa na mbele wala nyuma!Hakutofautishwa na Marioo mwanamme anayelelewa,kifupi alidondokea pua akafirisika,mfukoni hakuwa na senti tano kipande!Kuanzia chakula,maji na mahitaji mengine ya nyumbani Hajrath alisimamia,alikua akiamka asubuhi na mapema anakanda chapati na kuuza,hiyo ilifanya pesa ipatikane kisha baadaye jioni anapika sambusa na kuzipeleka dukani,msichana huyu hakutaka kudanga akitumia mwili wake kama kitega uchumi!Hakupenda kujirahisisha,aliuheshimu mwili wake kupita maelezo ya kujitosheleza!
Ingawa alitongozwa kila alipoenda lakini hakuwa tayari kuvua nguo yake ya ndani,alimuheshimu Ahmed na alikuwa tayari kulala njaa kuliko kufanya mchezo huo mchafu!Biashara kwake ilienda vizuri lakini changamoto pia zilikuwepo,wakati mwingine waliomkopa hawakumlipa kwa wakati!Hiyo ilimuuma sababu ilimrudisha nyuma kimaendeleo,hata hivyo hakukata tamaa!Ndani ya wiki mbili,mkono wake ulijaa makovu ya kuungua,lakini hakujali kabisa!Alihakikisha Ahmed anakula vizuri na hakuna kinachokosekana ndani,msichana huyu alijitahidi kujibana mno!
“Baby”
Siku hiyo wakiwa mezani mchana wanakula ugali na dagaa,Hajrath aliita alionekana kuna kitu anataka kuzungumza!
“Naaam”
“Nina wazo”
“Wazo gani?”
“Kwanini,tusitafute mtaji tufanye biashara ya kuku inalipa sana”
Jambo hilo lilimfanya Ahmed atabasamu kidogo,japokuwa haikueleweka lilikuwa la dharau ama kukubaliana na Hajrath!
“Kuku?”
“Ndio”
“Nani,kakushauri?”
“Nina rafiki yangu,alianza biashara hiyo sasa hivi ana uwezo,yupo mbali”
“Ujue,unachekesha sana!Yaani mimi nikafuge Kuku?Nianze kuingia bandani,kufagia mavi ya Kuku!Hahahaha,umejua kunichekesha.Anyway,ni mawazo mazuri lakini acha kuwa maskini wa fikra”
Ahmed,hakuafiki bado hakutaka kuamini biashara kama hiyo ingemrudisha kwenye chati!
Wazo hilo akalidharau na kulitupitilia mbali akamvunja Hajrath moyo.Ahmed akawa wa kwanza kumaliza kula,kwa heshima kubwa Hajrath akasimama na kumnawisha mikono kisha kumpa maji ya kunywa!Baada ya kushiba,akanyoosha chumbani ambapo huko alishtuka zaidi alivyochukua simu yake na kukuta ‘missed calls’ saba kutoka kwa Fetty,bila kuchelewa akarudishia mlango na kumpigia!
“Ahmed,simu uliacha wapi?”
Sauti nyororo ikapenya ndani ya sikio lake,sura ya Fetty jinsi alivyokuwa mrembo ikaanza kujijenga kichwani mwake,akakiona kifua chake kilivyokuwa na matiti siku moja alivyokutana naye ofisini,hiyo ilimfanya asisimke mwili na akili.
“Nilikuwa naoga”Akadanganya!
“Muda wote huo?Unaenda wapi?”
Kama desturi za wabongo mtu akitoka kuoga huulizwa ‘Unaenda wapi?’ hata hivyo kwakuwa ilikuwa ni Jumapili,ilikuwa ni lazima swali hilo lihojiwe.
“Kuna rafiki yangu naenda kumuona”
“Naomba nikuone leo,kama utapata muda”
“Wapi?”
“Njoo hata kwangu”
“Unaishi wapi kwani?”
“Kinondoni”
“Saa ngapi nije?”
“Muda wowote tu”
Ahmed,alisisimka mwili,jinsi Fetty,alivyozungumza kwa mapozi haikueleweka anafanya makusudi ama ndio sauti yake!
“Nitapita kwako kwanza”
“Sasa hivi?”
“Ndio”
“Karibu”
Alichokifanya Ahmed baada ya mazungumzo hayo,akatupa simu kitandani na kunyoosha mpaka bafuni kuoga!Alivyotoka tu,akaingia kabatini huko alitungua fulana nyeusi na suruali ya kadeti,akatembea mpaka pembeni na kuingiza miguu ndani ya sandozi,akabeba funguo za gari na kutoka mpaka seblen!
“Baby,niazime elfu hamsini,nitakurudishia”
Ahmed,akampiga Hajrath kizinga!
“Elfu hamsini?Ya nini baby?”
“Kuna sehemu naenda mara moja,nitakulipa lakini usijali”
“Ndio ipo hiyo tu,Mme wangu!Nikiitoa hiyo,ndani hakutakuwa na akiba yoyote ile”
“Nitakurudishia”
“Sawa baby,leo nitaenda nyumbani mara moja!Alafu baby..Kuna kitu nataka kukwambia”
“Kitu gani?”
“Ukirudi,nitakwambia”
“Si,uniambie sasa hivi”
“Nitakwambia ukirudi”
Baada ya Hajrath kuzungumza hivyo,akanyoosha mpaka chumbani ambapo huko aliingiza mkono kwenye mkoba wake na kutoa shilingi elfu hamsini,akampa Ahmed bila kujua pesa hizo zinaenda kuchezewa tu!
“Ahsante”
Ahmed akaaga na kuondoka zake,akaingia ndani ya gari na alichokiwaza ni kitu kimoja tu,kupitia sheli kuweka mafuta na kwenda Kinondoni.
*****
“Nipo hapa mataa”
“Ingia kulia,kuna barabara ya vumbi nyoosha nayo hiyo,utaona kuna mitungi ya gesi nje!Ukifika hapo,kata kushoto.Geti la kwanza la pili jekundu,utanikuta”
“Poa”
Ahmed alikuwa nyuma ya usukani,simu kashika mkononi kaiweka loudspika anafuata maelekezo kutoka kwa Fetty,msichana mrembo aliyetokea kuufanya moyo wake mateka!Ingawa hakuelewa alimpenda au kamtamani kingono,akaendesha gari taratibu huku macho yake yakiwa makini,akaona duka lenye mitungi ya gesi,akakunja kushoto kama alivyoelekezwa!Mbele yake akaona geti jeusi,alivyosogea mbele zaidi moyo wake ukapiga paa!Baada ya kumuona Fetty,sio siri alizidi kumvutia,sketi fupi aliyovaa ikachora umbo lake,mapaja yake yakawa nje yaliyojaa supu!Akameza fundo la mate na kuzidi kuutathmin uzuri wa msichana huyu,akasahau kwamba alimuacha pia msichana mrembo Hajrath nyumbani,kifupi akawa kama amepumbazwa kwa muda huo!Akatembeza gari na kumfikia mpaka miguuni,akafungua kioo cha gari!
“Chaurembo!”
Ahmed,akaita Fetty akashtuka hakutegemea kama ndani ya gari kulikuwa na Ahmed!
“Mambo”
“Poa,nipaki hapa?”
“No,sogeza mbele kidogo!Utaziba geti”
Ahmed,akafuata maagizo!Alivyoweka sawa gari,akateremka kutoka ndani na kutupa hatua chache!
“Karibu,mimi ndio naishi hapa!Nimepanga,usinicheke lakini ndio naanza maisha”
Fetty akaanzisha mazungumzo kwa namna ya kumzoea,huku nyuma akimuacha Ahmed akimkagua kuanzia juu mpaka chini,wakaingia ndani ya geti na kutembea mpaka chumba kimoja wapo!Ndani,alivyoingia akakumbana na friji kubwa kiasi,meza ya kioo! Juu ukutani kuna picha ya Fetty akiwa katika tabasamu!Ukutani kulikuwa na televisheni flati kubwa ya LG,masofa matatu!Kilikuwa ni chumba kidogo lakini chenye vitu vingi.
“Karibu,maji au Juisi!Ama whine?”
“Maji tu,nina kiu”
Hakujua niya Fetty ilikuwa ni kitu gani hasa,mpaka kumuita kwake!Yalikuwa ni mazoea ya ghafla mno kiasi kwamba akaanza kuhisi hatari mbeleni,hata hivyo akayatupitilia mawazo yake kule, akajipa moyo kwamba itakuwa ni swala kanasa kwenye tego la mtama!Akiwa katika fikra nzito, Fetty akafika na kuweka maji kwenye meza ya kioo.
“Karibu”
“Ahsante,hapa unaishi na nani?”
“Mwenyewe lakini mdogo wangu,hua anakujaga mara chache sana”
“Umejitahidi”
“Ahsante”
Sio siri,alikuwa ni msichana mrembo!Ahmed alikiri hilo,hiyo ni baada ya kumuona vizuri alivyosimama wima,kimini alichovaa mapaja yake wazi, kilifanya karoti yake ianze kufurukuta ndani ya kadeti yake akaanza kubadili mapozi ya kukaa!Hisia zake,zikahama kabisa,alichokuwa anafikiria kwa wakati huo ni ngono tu.


“Vipi?Hivi siku ile ulikuja kufanya nini ofisini kwetu!Mara ya kwanza nakuona”
“Nilikuja kuomba kazi”
“Kazi?Sio kweli”
“Sina sababu ya kukuongopea”
“Kwahiyo hauna kazi?”
“Ninayo”
Fetty,mkononi alishika glasi na jagi lililojaa maji ya kunywa,aliweka mezani huku akimuongelesha Ahmed kwa namna ya kumzoea kwanza kisha mengine yafuate,hakuelewa ni kwa jinsi gani anaunyanyasa mtima wa Ahmed,mbaya zaidi akainama kidogo ili kuweka maji juu ya meza ya kioo,macho ya Ahmed hayakuwa na pazia,yakapenya katikati na kuona maziwa ya binti huyu yalivyojazia vizuri,hapo ndipo mwili wake ukamsisimka zaidi!Siku hiyo Ahmed aliteseka kwa kiasi cha kutosha,hata hivyo aliyataka mwenyewe kwa kupeleka mawazo yake mbali yakawa yanawaza ngono tu!Damu yake ilimuenda kasi akatamani amrukie Fetty,amuweke juu ya kochi amsosomole!Lakini hilo lisingewezekana hata kidogo, ilikuwa ni lazima atumie nyimbo nzuri kumuimbisha ndege huyu mzuri aliyekuwa mbele yake,ndiyo maana hata alivyojibu maswali mengine alidanganya kwamba anafanya kazi,kumbe haikuwa hivyo alielewa sana viumbe hawa bila ya pesa hupati penzi!Akakumbuka ule msemo ‘Mwanaume kuwa tajiri ni sawa na demu kuwa mzuri’akajiongeza.
“Unafanyia wapi kazi?”
“Kuna kampuni moja,ipo Posta pale!Mambo ya Supplies”
“Good,sisi tupo tupo.Nipe basi japo ajira”
“Usijali,hayo mambo madogo”
Ahmed,akajikweza!
“Karibu maji”
Akasahau kwamba alitakiwa kunywa maji,urembo wa Fetty ulimpagawisha kabisa akawa kama zuzu!Alivyomaliza glasi ya kwanza akaongeza nyingine kisha akaweka mezani ikiwa nusu,ukimya ukatawala kidogo!
“Fetty…”
“Abee”
“Umesema humu unaishi peke yako?”
“Ndio”
“Shemeji yuko wapi yeye?”
Ahmed,akauliza swali la mtego hakutaka kuliinyoosha, jambo hilo akalizungusha likawa swali.
“Sipendi kuzungumzia saaana,mambo hayo lakini kifupi hayupo”
“Hayupo?Yupo wapi?”
“Nipo Single,wanaume wenyewe wako wapi?Waongo waongo tu, wanazingua kwenye sekta hiyo nimenawa mikono”
“Sio wote lakini”
“Wote tuu”
Hapo Ahmed,akatulia akitafuta mbinu ya kutetea hoja hiyo ili aingize gia zake lakini alijionya kwani ilikuwa bado mapema kwa kukurupuka ingemgharimu pengine angemkosa kabisa ndege wake!
“Mimi nakuombea kwa Mungu,upate Mme mwema!Msichana kama wewe mrembo,sio vizuri kukaa single”
“Nishazoea”
“Mambo haya,hayana mazoea lakini”
Vitu vingi sana vilipita na kuzunguka kichwani mwa Ahmed,damu yake ilichemka sio kawaida!Fetty alizidi kumchanganya akili mapozi na madoido aliyofanya yalifanya mpaka ahisi mapigo yake ya moyo yamesimama,damu yake imeacha kutembea!Sio siri Fetty alikuwa mchangamfu mno kwa masaa machache waliyokaa pamoja akajikuta amezoeana naye,ikawa mara ampige ngumi za bega mara wagogeshe mikono kama marafiki waliojuana muda mrefu sana!
“Reds zimeniishia kwenye friji alafu sina pesa”
Katikati ya Maongezi Fetty akachomekea tatizo lake,hiyo ilimfanya Ahmed avimbe bila kujibu chochote akajitutumia ili ajizolee pointi za burebure,hakutaka kuonekana boya akatoa pochi na kuchomoa noti mbili za elfu kumi,akampa Fetty akanunue anachotaka!Hata hivyo aliumia lakini alijikaza sababu pesa zenyewe zilikuwa za mawazo na alikopeshwa na Hajrath,ndani ya pochi alibakiwa na akiba ya shilingi elfu kumi na tano peke yake,hiyo ilitokana na kujaza mafuta sheli!
Moyo wake ulimwenda mbio baada ya kupigwa kizinga hiko cha kushtukiza!Ingawa alitoa pesa yake lakini alijipa matumaini kwamba angemla Fetty hivyo pesa yake isingekwenda bure!
“Nawewe utakunywa?”
Fetty,akauliza baada ya kupokea pesa!Hata neno ‘Ahsante’hakusema hiyo ilimfanya Ahmed adhani wenda katoa pesa kidogo sana!
“Mimiiii,nitakunywa chochote”
“Sasa hapa,inabidi tuongezee nyingine!Unatumia nini?”
“Dompo ama Drostoff”
“Itatosha pesa hii?”
Fetty,akatingisha kiberiti na kumsikilizia Ahmed niya yake ikiwa Ahmed ajazie pesa,hilo halikuwa tatizo,akachomoa salio lililobaki!Pochi ikawa haina kitu kabisa,hana senti tano kipande, Elfu hamsini yote imekata.Akashusha pumzi za ndani kwa ndani ingawa hakutaka kulionesha hilo waziwazi!
“Nakuja,naenda hapo nje dukani”
Fetty,akaingia chumbani na baada ya hapo akawa ametoka amevaa kanga,amebeba kapu mkononi hiyo ilimfanya Ahmed azidi kumdadisi na kujipa moyo siku hiyo lazima amvue nguo ya ndani ili arudishe machungu yake!
“Huyu mtoto lazima nimgonge”
Ahmed,akasema kimoyo moyo,akijipa matumaini!Dakika tano nzima,akawa peke yake anatafakari mambo mengi sana,hapo akapata muda wa kuchunguza seble hiyo kwa umakini,akasimama kidogo na kutembea mpaka kwenye 'draw' la kabati,akatizama vizuri na kutoa cd kwenye makasha,akaona cd moja nje kuna mwanamke na mwanamme wapo uchi wa mnyama,bila shaka ilikuwa ni filamu ya ngono,akaitizama kwa umakini na kugundua kwamba Fetty anapenda ngono,akajipa moyo zaidi kuwa siku hiyo lazima amuonje! Alivyogeuka nyuma,pembeni kulikuwa na kikabati kidogo chenye mlango,akauvuta ukagoma akagundua kwamba umefungwa kwa funguo,alichokuwa anakitafuta hakukijua lakini aliendelea na zoezi hilo la upekuzi kwa tahadhali,chini ya meza ya kioo kulikuwa na kitabu kikubwa juu yake kulikuwa na picha ya msanii wa Marekani 50 Cent,akakibeba lakini katikati ya kitabu hiko,picha ikadondoka!Alivyookota,akaitazama!
Akajikuta anaumia moyo,Fetty alikuwa amekumbatiwa na Mwanamme mrefu,wapo katika pozi la kimahaba,akaingiwa na wivu na kuhisi kujuta kwanini alifanya upekuzi,hiyo haikumfanya asitishe, akavuta shelfu la chini,meza ilikuwa ya kisasa!Humo alikumbana na makaratasi mengi,kilichomshtua zaidi ni kadi ya hospitali.Japokuwa mwandiko ulikuwa wa hovyohovyo lakini juu ya cheti hiko kulikuwa na neno HIV Moyo wake,ukalipuka kwa nguvu,akazidi kufanya upekuzi akakumbana na vidonge vya ARV,Hapo ndipo alipochoka zaidi.Hakuwa ana uhakika kama dawa hizo anameza Fetty lakini alivyokichunguza cheti akaona jina la mtumiaji ni Fetty,akarudisha kwa haraka na kujitupa kwenye kiti huku jasho la pua likianza kumtoka!
Bado hakutegemea kama Fetty ni muathirika na isitoshe alikuwa anatumia vidonge vya kuongeza maisha,kwa maana nyingine alikuwa ndani ya mtego ili aambukizwe nayeye!Aliumia moyo na kusikitika kwa wakati mmoja,akajionea huruma sababu angeenda kufa mzimamzima!Stimu zote zikakata,yale malengo ya kutaka kufanya ngono yakayeyuka.
“Vipi,umenisubiri sana?”
Fetty akaingia na sentensi hiyo huku akifungua mlango,Ahmed akamuangalia bila kumjibu kitu!Alitamani kumwambia jambo lakini akasita.
“Hapana,usijali”
“Maduka ya karibu yote yamefungwa,ilibidi niende kule ng’ambo”
“Pole”
Apetaiti ikamuisha yote,akaitikia kwa unyonge!Fetty akaingia ndani na alivyorudi tabu ikawa palepale!Nguo laini inayovutika, ilimfanya Ahmed,aanze kupagawa hisia zake zikaanza kumpanda taratibu na karoti yake ikacheza,hakuelewa kwamba Fetty anafanya kusudi ama ndio tabia yake,Fetty alitoka akiwa na Kanga laini peke yake,mbaya zaidi ndani hakuvaa kitu.Jambo lililofanya akitembea anesenese kwa nyuma.
“Karibuuu”
Glasi ndogo ya pombe ikaletwa,Dompo ikamiminwa!Udhaifu wa Ahmed siku zote ulikuwa ni pombe na ilikuwa ni lazima akinywa pombe zake zinahamia chini awaze ngono,hilo alilijua na aliamini siku hiyo angekunywa angejilaumu katika maisha yake yote.Yaani siku moja,ingemfanya ajutie milele tena kwa kiasi cha kutosha!
“Ooooh,Mungu wangu.Kumbe nina dozi,nimesahau.Leo sitoweza kunywa”
Ahmed,akatoa sababu kwa namna ya kujitetea ili asiingie kwenye kishawishi hiko kikali,yalikuwa ni maamuzi magumu ambayo hakuwa ana uhakika kama angeweza kuyamudu,kilikuwa ni kikombe kigumu kukiepuka.Kwani mbele,alisimama msichana mrembo tena kwelikweli,aliyekamilika kila idara lakini kikwazo ilikuwa ni mgonjwa!Ilikuwa ni sawa na mtu mwenye kiu Jangwani kupewa maji yenye sumu,maamuzi yalikuwa mikononi mwake,anywe afe ama aondoke na kiu.
“Unaumwa nini?”
“Malaria,dozi nimeanza leo alafu pia nina typhoid”
“Basi,nitakuwekea siku nyingine ukija”
Fetty,alimaliza kuongea lakini hakuonesha kufurahishwa na jambo hilo,Ahmed alilisoma hilo kupitia uso wake akahisi kwamba ni lazima msichana huyo alikuwa na ajenda yake binafsi na bila shaka alitaka kumuambukiza ugonjwa huo hatari usiokuwa na tiba.
Kwa kuwa hakuwa na mpango tena,akaanza kutafuta mbinu za kuaga ili aondoke zake akiapia kwamba hatorudi tena sehemu hiyo na kuanzia siku hiyo angekuwa muaminifu kwa Hajrath,hata hivyo bado hakutaka kuamini kwamba msichana mrembo kama huyo tena kanona awe na maambukizi ya ugonjwa huo hatari!
“Mimi naenda,tunaonana siku nyingine”
Akajikaza na kuongea huku akiwa kama sitaki nataka.
“Aya mwaya,siku nyingine”
Kufuatia hapo Ahmed,akasimama akitaka kuuendea mlango lakini katika hali ya kushangaza mkono wake,ukashikwa akavutwa karibu.Kwa kasi ya mwewe Fetty,akamdaka mikono yake akaizungusha nyuma ya kiuno cha Ahmed!
“Unaenda wapi Mpenzi?”
Aliuliza kwa sauti ya chumbani amejilegeza,Ahmed akahisi amepalalaizi ghafla.Mbaya zaidi mkono wa Fetty,ukapita taratibu juu ya zipu yake,hapo ndipo akahisi kufakufa!Akachemka sana,shetani akaanza kumzidi nguvu ilikuwa ni jaribio la hatari mno,kila alipotaka kujitoa alishindwa sababu ya Fetty alimshika nyoka wake tena mbaya zaidi mikono yake laini ilikuwa ndani ya kadeti,anamchua!Akili ya Ahmed ikahama,akashindwa kutoa maamuzi ya haraka akawa kama mlevi anayeendesha gari barabarani!Ni kweli kwamba wanaume wana vichwa viwili lakini kidogo kikishikwa kikubwa hakiwezi kutoa maamuzi tena,hicho ndicho kilichotokea!
Ubongo wa Ahmed,ukashindwa kutoa maamuzi kutokana na kichwa kidogo kudhibitiwa,bila kutegemea alianza kufumba macho yake!Huku kwa mbaali akijua kwamba Fetty alikuwa wakala wa kusambaza ugonjwa huo hatari,kutokana na uzuri wake!Kila apojaribu kujitoa ajinasue,akashindwa tayari alikuwa ameshikwa pabaya bila kutegemea akatupwa juu ya kochi,mkanda ukavuliwa na Fetty,mbaya zaidi na kilichomfanya apagawe ni baada ya Fetty kutoa kanga aliyovaa,ikadondoka chini akawa uchi wa mnyama!Zaidi na hilo akamshuhudia namna anavyojitomasa maziwa yake huku akirembua,kifupi alikuwa tayari kanasa!Baada ya kumaliza mchezo wa kujitomasa,akamsogelea Ahmed karibu akamvua kadeti yake,akamtoa na boxa!Akamshika nyoka mkubwa,aliyekuwa kasimama dede akamuweka vizuri ili amkalie juu yake kisha mechi ianze,ambapo kwa Ahmed lingekuwa pigo kubwa sana na siku hiyo moja,ingeghalimu maisha yake yote duniani.



Isingekuwa rahisi kwa binadamu aliyekamilika tena lijali kuchoropoka kwenye mtego huo hatari,ilikuwa ni ngumu mno sababu kwa Ahmed aliendeshwa na hisia ikapelekea mfumo mzima wa fahamu ushindwe kufanya kazi sawasawa,akili yake ilisafiri mpaka kwenye sayari nyingine ya huba!Huko akahisi kama ameota mbawa yupo angani vitu vyote anaviangalia kwa chini!Nguvu zilimuishia akawa sio yeye tena!Nyoka wake amesimama wima tayari kwa ajili ya kuingizwa pangoni,ghafla taswira ya picha ya marehemu mjomba wake aliyeitwa Mwisheshe ikamjia,akiwa kitandani amekondeana anapata mateso kabla ya kifo cha mateso ya ugonjwa hatari wa Ukimwi kumchukua!Akapata muda kidogo wa kutafakari jinsi nayeye siku moja miaka ya mbele ijayo,atakavyokuwa kitandani anateseka amekonda kama spoku,mbavu zipo nje mdomoni ana utandu mzito!
Akiwa katika mawazo hayo mikono yake ilikuwa imemshika Fetty kiuno asitishe zoezi analotaka kulifanya la kumuingiza nyoka kwenye shimo ingawa hakuwa na nguvu sana!Sijui ilikuwaje na alijishangaa kupata nguvu mpya,akamsukuma Fetty kwa nguvu pembeni, kitendo kilichofanya mrembo huyo ayumbe na kudondokea meza ya kioo,chupa za pombe zilizokuwa mezani zikapasuka pasuka zote!Ahmed akawa kama ametoka kwenye usingizi mzito,akamtizama Fetty huku akihema,hakutaka kusema chochote akavuta suruali yake na kubeba mkanda!
“Kaa mbali na mimi”
Ahmed alifoka kwa ukali huku akimyooshea kidole Fetty,ambaye kwa wakati huo hakuamini kinachotokea!Kitendo hiko hakukitarajia ndiyo maana akabaki chini uchi wa mnyama amepigwa na bumbuazi,haelewi!Kichwani akawaza vitu vingi sana,hakuelewa ni kwanini amesukumwa namna hiyo kama mwizi,hiyo ilimfanya ashindwe kuongea kitu!Ahmed,hakutaka kubaki tena eneo hilo,akiamini kwamba tayari amepona kwenye mdomo wa mamba,hivyo kuendelea kubaki hapo ilikuwa ni sawa na kusubiri kumezwa mzima mzima,akiwa ana hema bado macho mekundu akatembea na kuufungua mlango bila kugeuka nyuma,akatoka nje na kuliendea gari lake,akaingia kwa haraka na kuubamiza mlango kwa nguvu!
Mawazo yalikuwa mengi sana kichwani kwake,hakuwa ana uhakika kama tayari ameambukizwa Ukimwi ama bado,suluisho lilikuwa ni moja tu.Kupitia hospitalini kupima afya yake ili awe ana uhakika ingawa wazo hilo hakulipa sana kipaumbele kwani mapigo yake ya moyo yalimwenda mbio,hakuelewa angekuwa mgeni wa nani kama angegundulika ana maambukizi ya Ugonjwa huo hatari usiokuwa na tiba!Taratibu akawasha gari lakini kabla hajaondoka geti likafunguliwa,akamuona Fetty ametokeza!Hakutaka kumuangalia usoni,akageuza gari kwa kasi na kuondoka zake akamfananisha msichana huyo mrembo na shetani kutoka kuzimu,aliyekuwa anataka roho yake!Alishukuru sana kwa kitedo cha kufanya udadisi ndani ya seble yake,vinginevyo angekuwa tayari amejiingiza kwenye matatizo makubwa sana,alivyomkumbuka Hajrath moyo ulimuuma sana!Akavuta picha ingekuwaje angemuambukiza Ukimwi, msichana huyo aliyejitolea kuwa naye katika shida na raha,ilikuwa ni sawa na pigo la kigaidi.
Mapigo ya moyo ya Ahmed yalidunda mara mia moja kwa sekunde,jasho jembamba lilianza kumtoka puani,hakuelewa ni kwanini lakini alivyotuliza akili akajua ni kutokana na maamuzi ya kwenda kupima afya yake!Yalikuwa ni maamuzi magumu mno kuyachukua,hata hivyo alipiga moyo konde na kumkumbuka rafiki yake mmoja ambaye anaishi na ugonjwa huo kwa takribani miaka kumi sasa lakini bado yupo na ana afya njema,kifupi alijifariji mwenyewe!Akiwa katika kutafakari kuna hospitali moja iliyopo Mwananyamala,akaikumbuka sababu alikuwa karibu na eneo hilo,alichokifanya ni kukanyaga mafuta mengi,akaendesha gari mpaka hospitalini.Hata hivyo bado alikuwa mwenye hofu kubwa sana,alivyofika akaweka gari kwenye maegesho maalum kisha kushuka.Akaingia ndani akanyoosha mpaka mapokezi!
“Dokta,habari ya kazi?”
Ahmed,akamsalimia Mwanamke mmoja mtu mzima,aliyevalia koti jeupe yupo ndani ya kidirisha!
“Salama mwanangu,hali yako?”
“Nzuri,naomba kuonana na dokta”
“Dokta yupi?”
“Ndio mara yangu ya kwanza kufika,lakini nilikuwa na shida”
“Shida gani?”
“Nahitaji kupima,kujua afya yangu!Kupima damu kubwa”
Ahmed,alizungumza kwa unyonge na upole wa hali ya juu sana,akiwa na unyenyekevu na adabu!
“Sawa,toka nje.Kuna jengo limeandikwa Block H,humo humo”
“Sawa Mama, ahsante”
Hakutaka kupoteza muda,akafuata maelekezo aliyoambiwa!Baada ya kutoka nje,akaanza kutafuta jengo hilo,bahati nzuri halikuwa mbali sana!Akaliona na kuingia,lilikuwa ni holi kubwa kiasi,pembeni kuna watu wengi wamepanga mstari!Alichokifanya yeye ni kupitiliza mpaka mapokezi kwenye kidirisha na kusema shida yake!
“Unataka kupima? Ama dawa?”
Ahmed,akatupiwa swali.
“Kupima”
“Ndio mara ya kwanza?”
“Ndio”
“Unaona hiyo kordo,mlango wa kwanza wa pili.Hapohapo”
“Sawa”
Ahmed,akatoka akiwa bado mwenye mashaka na wasiwasi mwingi,akatamani kughaili na kurudi nyumbani lakini kwa kufanya hivyo aliamini angeidhulumu nafsi yake na asingeishi kwa amani hata kidogo!
“Unaona hao wote,wana ngoma wanaenda kuchukua dawa!Dunia,imeharibika chif tuwe makini”
Maneno hayo yalipenya masikioni mwa Ahmed baada ya kupishana na Vijana wawili,hiyo ilimfanya ageuze shingo aangalie foleni ya watu hao!Alishtuka mno,walikuwa ni vijana wadogo wavulana kwa wasichana!Watanashati,wamenawili na wenye afya njema,jambo hilo lilimshtua sana,kilichomuogopesha zaidi karibia asilimia sitini walikuwa wasichana warembo wa sura isitoshe wenye umri kati ya miaka 24-32!Akapigwa na mduao wa ajabu huku anatembea, kwa kuwa alikuwa haangalii mbele akashtukia amempiga kikumbo Nesi.
“Samahani sana”
“Angalia mbele, kuwa makini”
Nesi huyo akasema huku akifuata hamsini zake,hiyo ilimfanya Ahmed arudishe shingo mbele na kuingia mlango wa dokta alioelekezwa!Juu ya meza,kulikuwa na kimbao kidogo kilichoandikwa Dokta Joseph Mkupe,alikuwa ni Mwanamme mtu mzima,mwenye mvi chache kichwani!Mwili wake ulikuwa wa wastani na ngozi yake ilikuwa na nywelenywele nyingi,hususani mikononi.Ahmed,akapata hofu zaidi ule uwoga ukamuingia upya,kabla ya kukaa akasua kidogo akizidi kutafakari akae ama aondoke!
“Karibu”
“Ahsante dokta”
“Karibu kiti kijana!Mimi naitwa Dokta Joseph Mkupe,sijui mwenzangu unaitwa nani?”
Dokta alianza maongezi kwa niya ya kumtoa wasiwasi kwanza mgonjwa wake,ambaye kwa haraka aliamini amepatwa na ugonjwa fulani wa uwoga na hofu!Hiyo haikuwa mara ya kwanza kwa mtu kufika hapo akiwa na hali kama ya Ahmed,hivyo kwa taaluma yake alijua jinsi ya kucheza na binadamu wa sampuli hiyo.
“Ahmed Kajeme”
“Umefanya jambo la maana sana kuja hapa,ni mara yako ya kwanza?”
“Kufanya nini?”
“Kupima”
“Ndio dokta”
“Unahisi kwanini umekuja kupima?”
“Nimeamua tu”
“Umeoa?”
“Hapana”
“Una mchumba?”
“Nina girlfriend”
“Kwanini haukuja naye?”
Maswali ya dokta yakaonekana kuwa kero kwa Ahmed,akakunja sura kidogo!
“Hayupo hapa,amesafiri”
“Yeye alishawahi kupima?”
“Dokta Joseph,mbona maswali mengi kama tupo bungeni?Mimi nimekuja kupima tu,mambo mengine sijui”
“Hapana,nina maana yangu”
“Maana gani?Nipime bwana”
Dokta Joseph,akafanya kazi yake alichokifanya ni kutoa damu kubwa ya Ahmed akaingia maabara kuichunguza!
Sio siri hakuna siku iliyokuwa ngumu kama hiyo,Ahmed alihisi tumbo linamuuma na wakati mwingine alihisi mkojo na kinyesi vinataka kumtoka,masaa yalisogea taratibu jasho lilimtoka sio kidogo!Akawa hatulii,mara akae hivi mara akae vile jinsi alivyohangaika kwenye kiti hakutofautishwa na mtu aliyevaa chupi mbichi!
“Majibu yako tayari”
Moyo wa Ahmed,ulijipiga kwa nguvu ukataka kutoka nje ya kifua akatamani kutoka kwenye kiti aondoke zake,sura ya dokta ilimuogopesha kwani hakuonesha kucheka!
“Mimi naondoka dokta,tumbo linaniuma sana!Nahisi kuharisha harisha,nitakuja kuyachukua siku nyingine majibu nimeghaili leo,usinipime tena”
“Hapana kijana,inabidi uondoke na majibu yako!Lakini kabla ya yote ningependa kukupa ushauri na sahaa”
“Hapana,sitaki nasahaa nataka majibu yangu”
“Majibu yako hapa yanaonesha…..”
Dokta akaweka pozi na kuendelea kusoma mpaka akamaliza,kisha akaendelea kwa sauti!
“NEGATIVE”
Ahmed alipiga kelele na kuishiwa nguvu,majibu yake hakuamini hata kidogo!
“Nimeathirika dokta pima tena,Eh Mungu pi…”
“Kijana,unajua maana ya Negative?”
“Negative,madeni!Kwahiyo sina faida”
Alikumbuka kipindi yupo kidato cha kwanza hesabu za ‘Negative’ na ‘Positive!Alifundishwa kwamba Negative ni madeni Positive ni faida hivyo ni shida,akajaribu kuliweka jambo hilo kwenye majibu aliyosikia!
“Hapana,hauna maambukizi!Wew ni Negative,hauna maambukizi upo safi damu yako ipo bomba”
“Dok…”
“Cha kukusisitiza baada ya miezi mitatu urudi hapa upime tena maana kirusi hakiwezi kuonekana ndani ya siku moja pi.....”
“Sawa dokta,ahsante naondoka kazi njema!Salimia familia yako”
Ahmed aliondoka kwa furaha huku mikono yake ikiwa juu hewani kama shabiki wa mpira anayeshangilia timu yake kushinda,bila kuangalia nyuma akatembea kwa haraka, wakati mwingine alidhani wenda dokta angemuita na kumwambia majibu sio yenyewe hivyo ameathirika,ndiyo maana akakaza mwendo mpaka ndani ya gari lake!
Alivyoingia tu,akakuta simu inaishia kuita,alivyoangalia akakumbana na ‘missed calls’ kumi na saba kutoka kwa Fetty,akasonya kwa hasira akafuta namba za Fetty hapohapo na kuwasha gari kwa safari moja tu,kurudi kwake!
Siku hiyo aliendesha mwendo wa taratibu mno,akiwa makini barabarani na alijilaumu sana kutumia pesa zote mfukoni, laiti kama angekuwa nazo angetafuta sehemu akae na kunywa japo bia ama nyama choma lakini ndiyo hivyo,apeche alolo pangu pakavu!Kwa kuwa ilikuwa ni siku ya Jumapili watu wengi hupumzika,barabara haikuwa na msongamano wa magari ndani ya dakika arobaini akawa tayari amefika,akaweka gari kwenye maegesho akashuka akiwa mwenye furaha tele!
Akawa mwenye amani zaidi, baada ya kugundua Hajrath bado yupo sababu aliona sufuria jikoni lina maharage limebandikwa kwenye jiko la mkaa,kwa kuwa hakuwepo seblen akajua kivyovyote vile Hajrath angekuwa chumbani,hilo lilikuwa wazi kabisa kwani alivyoingia tu akasikia sauti ya maji kumwagika bafuni.
“Beibiiiiiii”
Akaita!
“Yes Daaarling”
Sauti ya Hajrath ikatokea bafuni.
“Unaoga?”
“Ndiooo”
“Nakuja”
“Karibuuuuu”
Ahmed,hakuchelewa!Akavua nguo zake zote,akabaki kama alivyozaliwa kwa kuwa alijua nini kinaenda kutokea bafuni ndizi yake ikawa tayari imesimama wima, misuli imetokeza kwa pembeni,akafungua mlango na kuingia bafuni ambapo huko alimkuta Hajrath amesimama kwenye bomba la mvua,alichokifanya ni kumsogelea karibu, akamshika makalio na kuanza kumnyonya mdomo!
“Mmmmmh beeeibiii ilove youuu”
Hajrath akaguna ndani kwa ndani,damu yake ilitembea kwa kasi, hasa pale mkono wa Ahmed ulivyoshuka na kuingia kwenye mapango,akahisi kupagawa zaidi ulimi wa Ahmed ulivyotua kwenye chuchu zake,hapo ndipo hakujiweza tena!Wakaendelea kupigana madenda kwa fujo,mpaka pale Hajrath mwenyewe alivyogeuka na kushika koki ya bomba,Ahmed akajua nini maana yake akiwa kapewa mgongo akamshika kiuno kwa mikono yake miwili,akashika ndizi yake vizuri na kuichomeka taratibu ndani ya mgodi!

*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)


0 comments:

Post a Comment

BLOG