Search This Blog

Monday, March 23, 2020

THE PAINFULL SECRET SEHEMU YA 10 MWISHO

THE PAINFULL SECRET MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176  SEHEMU YA 10 KATI YA 10 MWISHO Waziri mkuu kasanga akiwa chumbani alianza kuserebuka na kuanza kucheza kwa furaha sana, huku akiwa na glass ya wine, jambo hilo lina mshangaza sana mke wake. "Sasa nina Amani, Raisi amekufa" Aliji kuta anasema maneno...

THE PAINFULL SECRET SEHEMU YA 9/10

THE PAINFULL SECRET MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176  SEHEMU YA 9 KATI YA 10 "sasa ndo nini kusimama ivyo kama mshumaa wa pasaka? , si uje ulale" Ili kua ni sauti ya Flora akiwa kitandani baada ya kumuona Mume wake waziri mkuu Joseph Partson Kasanga akiwa dirishani amesimama kama namba moja akionekana...

THE PAINFULL SECRET SEHEMU YA 8/10

THE PAINFULL SECRET MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176  SEHEMU YA 8 KATI YA 10 Baadae wali fika Nyumbani kwa Amina , hawa kua na muda wa kupoteza Alfred alichukua begi lake dogo lenye silaha, na kuanza kujiandaa pamoja na Amney vile vile. walimshukuru sana Amina na kumwambia atoe taarifa polisi juu...

THE PAINFULL SECRET SEHEMU YA 7/10

THE PAINFULL SECRET MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176  SEHEMU YA 7 KATI YA 10 Maneno aliyo kua anaongea Flora haya kuendana na mwili wake mdogo , ambao hata akipigwa kofi moja anaweza akazimia mara moja, alikua na mwili mdogo ila mwingi wa maneno. Waziri mkuu kasanga alibakia kumwangalia tu na kutomjibu...

THE PAINFULL SECRET SEHEMU YA 6/10

THE PAINFULL SECRET MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176  SEHEMU YA 6 KATI YA 10 Alfred alivya tua risasi ingine ambayo ilipenya kati kati ya kichwa chake na Joyla kukata kauli pale pale, Alfred aliitazama kwa muda maiti ya Joyla na kuingalia saa yake ya mkononi ambayo ili onesha ni saa tano za usik...

THE PAINFULL SECRET SEHEMU YA 5/10

THE PAINFULL SECRET MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176  SEHEMU YA 5 KATI YA 10 Siku iyo alichelewa sana kutoka ofisini kwake mpka saa tano usiku ika mkuta. Ki uchovu aliisimama na kutoka huku akiiendea gari yake, Aliingia na kuanza safari ya kurudi nyumbani kwake, ila baada ya kufika jangwani anaona...

THE PAINFULL SECRET SEHEMU YA 4/10

THE PAINFULL SECRET MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176  SEHEMU YA 4 KATI YA 10 Mpka kuna kucha Alfred alizidi kumsaka Mujuni na kuingia katikati ya kipori kidogo, Ali mrukia Mujuni na wote kudondoka chini, Aliinuka haraka haraka na kumpiga ngumi puani, hakuchelewa ali mfuata na kumpiga teke aina ya...

THE PAINFULL SECRET SEHEMU YA 3/10

THE PAINFULL SECRET MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176  SEHEMU YA 3 KATI YA 10 Alfred alizidi kusikilizia kile kishindo mpka kilivyo fika karibu yake na kika tulia huku aki subiri kinacho fata, Ghafla tena alihisi mtu huyo anasogea tena safari hii aki zunguka upande alipo ili waweze kuonana uso kwa...

THE PAINFULL SECRET SEHEMU YA 2/10

THE PAINFULL SECRET MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176  SEHEMU YA 2 KATI YA 10 Alfred alikanyaga cluch na kubadili gia safari hii alibadili na kufikia gia namba tano, na gari hiyo kuwa katika kasi ya ajabu, kutokana na kutokua na magari katika bara bara hio ili mfanya iwe rahisi kutamba bara barani...

THE PAINFULL SECRET SEHEMU YA 1/10

THE PAINFULL SECRET MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176  SEHEMU YA 1 KATI YA 10 Giza totoro lilianza kuingia, hii ni kutokana na jioni kuingia na jua taratibu kuanza kuzama. Hali ya hewa ya mji huo wa Dar es salaam, kidogo ilikua nzuri kutokana na manyunyu ya mvua yaliyoanza kudondoka kuashiria muda mfupi...

ABEE SHEMEJI SEHEMU YA 10 MWISHO

ABEE SHEMEJI MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176 SEHEMU YA 10 KATI YA 10 MWISHO ******* Familia nzima na baadhi ya ndugu wa Yusrath waliendelea kusota rumande na walishafikisha siku kumi na mbili bila kuachiwa huru ama kupata dhamana,walilia na kusaga meno huku wakimlaani Yusrath popote alipo lakini hilo...

ABEE SHEMEJI SEHEMU YA 9/10

ABEE SHEMEJI MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176 SEHEMU YA 9 KATI YA 10 ******* Mapenzi ya kweli aliyokuwa nayo moyoni ilimfanya ndani ya sekunde tatu afike mshindo lakini hilo halikufanya mechi hiyo iishe!Hajrath alikuwa bado mwenye kiu ndiyo maana akashika koki ya bomba vizuri na kuendelea kukizungusha...

ABEE SHEMEJI SEHEMU YA 8/10

ABEE SHEMEJI MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176 SEHEMU YA 8 KATI YA 10 ******* ****** Nyumba ya bilionea George Charles,ilizingirwa na gari mbili moja Landcruiser V8 nyingine gari ndogo aina ya Corrola!Ndani ya magari hayo walikuwemo maaskari sita!Wote waliteremka ndani ya magari wakiwa na jezi zao!Miongoni...

ABEE SHEMEJI SEHEMU YA 7/10

ABEE SHEMEJI MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176 SEHEMU YA 7 KATI YA 10 ******* Kelele alizopiga Hajrath akiwa hospitali ziliwashtua wauguzi na wagonjwa waliokuwa kwenye benchi,hiyo ni kutokana na ndoto mbaya aliyoota kwamba Ahmed tayari amefariki dunia,akatizama wodi alilolazwa Ahmed akamuona daktari anatoka,akasimama...

ABEE SHEMEJI SEHEMU YA 6/10

ABEE SHEMEJI MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176 SEHEMU YA 6 KATI YA 10 ******* Muhimili wa maisha ya Ahmed uliyumba kwa kiasi cha kutosha,kila kitu kwake kilikuwa kimevurugika.Kuanzia maisha mpaka ndoa yake kwa ujumla,mwanamke aliyemuamini katika maisha yake yote, akaamua kumuoa na kumuweka ndani,ndiye aliyemuumiza...

ABEE SHEMEJI SEHEMU YA 5/10

ABEE SHEMEJI MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176 SEHEMU YA 5 KATI YA 10 ******* Mguu mmoja wa Yusrath,ulikuwa begani kwa Sameer!Yupo kama alivyozaliwa,anahema ndani kwa ndani huku akitoa miguno ambayo watoto wa kike hutoa wakiwa katikati ya mchezo huo,usiohitaji hasira.Kila kitu kwake kilikuwa kimebadilika,akasahau...

ABEE SHEMEJI SEHEMU YA 4/10

ABEE SHEMEJI MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176 SEHEMU YA 4 KATI YA 10 ******* Shinikizo la ndoa ya Ahmed lilipelekwa mputa mputa,nyuma ya yote haya kulikuwa na mwanamke huyu Yusrath ambaye hakutaka kujifungua akiwa nyumbani kwao.Licha ya hayo tumbo lake lilikua kubwa tayari,haikuwa siri kama ilivyokuwa...

ABEE SHEMEJI SEHEMU YA 3/10

ABEE SHEMEJI MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176 SEHEMU YA 3 KATI YA 10 ******* Uzuri na muonekano wa kuvutia wa msichana Yusrath ulizidi kuunyanyasa mtima wa Mtoto wa Bilionea George Charles,ambaye kwenye mamilionea waliokuwa kwenye chati pia kijana huyo mdogo aliwekwa.Lakini wachache sana waliijua sura...

ABEE SHEMEJI SEHEMU YA 2/10

ABEE SHEMEJI MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176 SEHEMU YA 2 KATI YA 10 ******* ‘Hi Ahmed,Mimi Hajrath.Usiku mwema,Love you’ Simu ya Hajrath,ilikuwa mikononi mwa Florian,alifanya makusudi kutuma ujumbe ili ategue kitendawili, kilichokuwa kinamtesa kwa siku nyingi,moyo wake haukuwa wa chuma.Alianza kuhisi...

ABEE SHEMEJI SEHEMU YA 1/10

ABEE SHEMEJI MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER) AGE…(18+) WatsApp…+255718 862176 SEHEMU YA 1 KATI YA 10 *******  ******* “No Kassim.Hapana!Si..wezi,Mungu wangu….” “Hajrath,nisikilize.Huwezi kufanya nini?Ndio ishatokea sasa” “Ni mme wangu lakini” “Namimi ni Kaka yangu,Hajrath.Niangalie usoni” “N..o Siwezi,Eeeh Mungu wangu.Ahmed Ahmed...

BLOG