Search This Blog

Saturday, February 6, 2021

RISE UP SEHEMU YA 7/10

  

RISE UP

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 7 KATI YA 10


“Ni saa moja asubuhi”

“Basi dakika kumi”

“Ngoja nikuchukulie mswaki hapo kwa Mangi”

“Nashukuru”

Shabani akatoka ndani hapa. Baada ya dakika kama tatu hivi akarejea akiwa na mswaki, nikajiandaa na tukaondoka nyumbani hapa.

“Shemeji hivi bado amelala?”

Nilimuuliza Shabani huku tukiwa ndani ya gari na leo yeye ndio anaye endesha gari hili.

“No alitoka asubuhi kama saa kumi na mbili ameenda Mabibo kununua vitu vya nyumbani”

“Ahaa sawa sawa”

“Tukirudi hivi tuna weza mkuta”

“Sawa sawa kaka”

Tukafika katika eneo la uuzaji wa tiketi za mechi, tukanunua tiketi tano za V.I.P huku moja ikiwa ya mama Shausiku kwani naye alihitaji kwenda kuangalia mpira. Tukapitia benki ya Standard Chartered.

“Hivi tumpatie mzee pesa ya Tz au dollar akabadilishe mwenyewe?”

“Dollar ata pata faida, tumpe kwa pesa ya tz”

Nikatoa kiasi cha shilingi milioni kumi na moja. Kisha nikatoa dola elfu tano.

“M moja hii yako kaka uta ita kusogeza sogeza siku mbili hizi.”

Nilizungumza huku nikimkabidhi Shabani milioni moja.

“Shukrani sana ndugu yangu. Mungu akubariki na azidi kukufungulia milango ya baraka.”

“Nina shukuru sana ndugu yangu”

“Poa poa”

Tukaondoka benki na kuelekea nyumbani kwa mzee. Tukamkabidhi kiasi cha pesa na akatukabidhi bunduki ambayo aliahidi kututafutia. Bunduki hii ni FR F2, bunduki yenye sifa ya kushambulia mtu kwa umbali mrefu pasipo kuwa karibu naye.

“Kijana naweza kukuuliza swali?”

Mzee Tumbo alizungumza mara baada ya kumaliza kuhesabu pesa tulizo mkabidhi.

“Ndio uliza”

“FR F2, hiyo una kwenda kuitumia kwenye nini kwa maana sio bunduki ya kawaida mwanangu”

“Usijali mzee wangu. Nina shukuru kwa hufuma yako”

Tukaondoka na brufacse ya bunduki hii, tukaingia ndani ya gari na kurudi nyumbani kwa Shabani.

“Tena nilitaka kuwapigia simu muda huu niwaambie kwamba chai ipo tayari. Umeamkaje shem?”

“Nimeamka salama shemeji yangu. Umetuandalia nini leo?”

“Nimewapikia chapati”

“Waoo nime miss sana kula hiki chakula”

“Kweli?”

“Kitambo sana yaani”

Kwa pamoja tukajumuika na mezani na kupata kifungua kinywa. Baada ya Sara kurudi kutoka shule tukajianda ana kuanza safari ya kuelekea uwanja wa Taifa kutazama mechi hizi. Japo foleni na watu ni wengi ila nasi tukafanikiwa kufika uwanjani na kuelekea zilipo siti zetu.

“Siku zote mechi za watani wa jadi huwa zina jaza sana”

Shabani alizungumza huku tukitazama wingi wa watu walio valia jezi nyekundu na njano.

“Eti ehe?”

“Yaa watu ni wengi mno. Hii ni saa tisa tu watu wengi kiasi hichi ikifika hiyo saa kumi nyomi la watu litakuwa kubwa sana”

“Naona raisi bado hajaingia.”

“Raisi huwa wa mwisho mwisho kuingia uwanjani”

Tukaendelea kusubiria hadi ukafika wakati wa raisi kuingia uwanjani hapa, wananchi wote wakamshangilia huku akwia ameambanata na mama Shamsa pamoja na mtoto mdogo wa kiume,

“Jini naona amemzalia yule mpuuzi”

Sheby alizugumza huku sote tukimtazama mama Shamsa pamoja na mtoto huyo wa kiume.

‘Mmm mbona kama nina endana naye kidogo yule mtoto?’

Nilizungumza huku nikimtazama mtoto yule.

“Yule mtoto ame postiwa kwenye mitandao?”

“Hapana huwa ni mara chache sana yule mtoto kuonekana.”

‘Ina bidi nipate ukweli kuhusian ana huyu mtoto’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikihisi hali ya tofauti sana kwa mtoto yule. Mpira ukaanza huku mechi ikiwa ya kasi sana. Macho yangu kwa muda mwingi hayafwatilii mechi hii, nina fwatilia namna ulinzi ulivyo imarishwa uwanjani hapa. Hadi kipindi cha kwanza kina kwisha hakuna timu iliyo pata goli.

“Nina eleeka chooni mara moja”

Nilizungumza huku nikinyanyuka kwenye siti hizi. Nikaeleka kwenye vyoo vilivyopo eneo hili, nikakuta baadhi ya mashanbiki wakijisaidia haja ndogo. Nikaingia kwenye moja ya choo, nikatoa simu yangu mfukoni kisha nikaanza kutafuta akauti ya instergram ya mama Shamsa. Nikatazama picha karibia mia mbili hamsini ila sijaona picha ya mtoto wake.

‘Ile siku niliyo mbaka hakupata mimba kweli?’

Nilijiuliza kimoyo moyo huku nikijaribu kukumbuka siku hiyo ilikuwaje. Ukimya wa chooni hapa ukanistua kidogo jambo lililo nifanya nikae niachane na simu yangu na nikairudisha mfukoni. Nikaanza kuhisi miguu ya watu wakinyata taratibu.

‘Kumesha kucha’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikianza kuona kwa chini ya mlango vivuli vya watu wawili wakiwa wana sogelea choo changu. Nikaufunga mlango huu kwa galfa, nikakuatana na wanaume wanne walio valia suti nyeusi kama walinzi wa raisi. Mmoja akatoa kitambulisho chake.

“Sisi ni usalama wa taifa tuna kuhitaji kwa mazungumzo zaidi”

“Nina kosa gani?”

Niliwauliza huku nikiwatazama.

“Tii sheria bila shuruti”

Nikawatazama walinzi hawa ambao wawili waweka mikono yao kiunoni tayari kwa kuchomoa bastola zao.

“Poa”

Wakaniweka katikati na nikatoka nao ndani hapa. Sikutaka kufanya jambo lolote kwao kwani nina tambua uwezo wangu wa sasa kwani kunikamata kwao hawawezi kunidhuru kwa lolote. Tukafika eneo la maegeso ya magari na tukaingia ndani ya moja ya gari nyeusi aina ya Toyota Land Cruiser.

“Tuna omba simu yako”

Nikatoa simu yangu mfukoni na kumkabidhi jamaa aliye kaa upande wangu wa kushoto.

“Nina elekea wapi?”

“Uta jua utakapo fika”

“Ila ni haki yangu kufahamu”

“Kijana uta jua utakapo fika”

Jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba funguo yagari nime muachia Shabani. Tukafika eneo la Masaki na tukaingia kwenye moja ya gereji. Wakaniamrisha kushuka, na nikatii amri hiyo. Tukatembea hadi kwenye moja ya kontena, wakalifungua kontena hili na wakawasha taa na sote tukaingia na kuanza kutembea ndani ya kontena hili na nikaona mlango mwengine, tukaingia ndani ya jengo na kukuta watu wengi wakiwa bize na kazi na watu hawawana onekana wana fanya kazi za siri kwani hata eneo nililo pitishwa sio rahisi kwa mtu kufahamu kama eneo hili lina nyumba au laa. Nikaingizwa kwenye moja ya chumba chenye rangi nyeupe huku viti viwili pamoja na meza vikiwa na rangi nyeupe.

”Kaa hapo”

Nikakaa kwenye moja ya kiti na watu hawa wakatoka na mlango ukafungwa. Baada ya dakika kama kumi hivi mlango ukafunguliwa na Caro akaingia ndani hapa. Macho ya mshangao yakamtoka, akanitazama kwa dakika kadhaa kisha akatembea kwa mwendo wa taratibu hadi katika kiti kilichopo mbele yangu na akakaa. Ukimya wa dakika kama mbili hivi ukatawala huku tukitazamana.

“Habari za masiku?”

Caro alizungumza kwa sauti ya unyonge.

“Poa”

“Ahaa…ahaa”

Caro alipatwa na kigugumizi kwa maana jinsi ninavyo muona ana jutia kwa kile alicho nifanyia.

“Nime kamatwa je mimi ni muhalifu au kuna kosa gani ambalo nime fanya?”

“Huna kosa”

“Basi nina omba niweze kuachiliwa au bado muna mashaka na mimi?”

“Rashidi”

Caro aliita kwa sauti ya unyonge.

“Nakusikiliza”

“Naomba leo usiku uje kwangu”

“Kufanya nini?”

“Nina kuomba sana nina mazungumzo na wewe ya umuhimu sana nina kuomba”

Nikamtazama Caro kwa muda jinsi alivyo mnyonge.

“Poa nita fika”

“Ila samahani kwa kukutoa kwenye starehe yako”

“Usijali”

“Watakurudisha hadi uwanjani. Nilihitaji kudhibitisha kwamba ni wewe kweli au ni mtu mwengine niliye muona”

“Usijali ni mimi, au siruhusiwi kuwepo nchini Tanzania?”

“Una ruhusiwa”

“Sawa naombeni simu yangu nahitaji kuondoka hapa”

Caro akatoa moja ya ishara na mmoja wa jamaa walio nikamata wakaingia ndani hapa, akanikabidi simu yangu kisha tukatoka ndani hapa.

“Sihitaji kurudi Taifa muda umesha kwenda muta niacha Ubungo”

“Sawa”

Tukafika mataa ya Ubungo, nikatoa simu yangu mfukonina kuiwasha. Moja kwa moja nina tambua ni wame hamisha baadhi ya data kutoka kwenye simu yangu na jambo la kumshukuru Munngu simu yangu haina chanzo chochote kinacho ashiria uhalifu. Mseji kutoka kwa Sheby ikaingia akiniuliza nipo wapi na ikabidi nimpigie.

“Kaka kuna kelele nitumie meseji”

Nilisikia kelele nyingi za mashambiki.

‘Aisee mimi ina tangulia nyumbani’

‘Poa ndugu yangu mpira umeongozwa dakika na zita kwenda hada hadi mia moja na ishirini.’

‘Poa poa’

Nikakodisha pikipiki na moja kwa moja nikaelekea Kimara. Nikafika nyumbani kwa Shabani, nikamuuliza funguo amaiweka wapi, akanielekeza alipo iweka. Nikaingia ndani na moja kwa moja nikajilaza kitandani. Nikaichunguza simu yangu kwa muda na nikahisi kitu ch utofauti.

‘Waseng** kweli hawa’

Nilizungumza huku nikiitazama simu kwani wame weka application yenye uwezo wa kurekodi mazungumzo yangu yote ya simu na ya nje ya simu ina maana chochote ninacho zungumza na hata mtu wa pembeni wana sikia na kitingine meseji zangu zote nazo zina wafikia. Nikaondoka nyumbani hapa huku nikifunga mlango na funguo na nikaondoka na funguo kuepuka wana usalama kuja kuchunguza nyumba ya Shabani na wakikuta hizi silaga basi kesi yake ina weza kuwa kubwa sana kwake. Nikafika kwenye moja ya duka la simu na nikanunua simu ya aina nyingine inayo fanania na simu hii ninayo itumia kisha nikarudi nyumbani kwa Shabani. Sikukaa muda mrefu Shabani na familia yake wakarudi. Ili kuwapoteza maboya wasisikie ninacho zungumza mimi na Shabani, nikaiweka simu katika glasi ya maji.

“Kaka simu ita kufa”

Shabani alizungumza kwa mshangao.

“Hizi ni water resistance. Haiwezi kufa ndani ya maji”

Nikamuelezea Shabani kila kiti kilivyo tokea mara baada ya kuelekea chooni.

“Sasa kaka una taka kwenda kuonana na Caro huoni kama ana weza kukudhuru?”

“Nina jiamini hana uwezo huo. Bado ana udhaifu kwangu”

“Usijiaminishe sana, wanawake bwana hawa wana badilika kama vinyonga”

“Najua wana badilika kama kinyonga ndio maana nipo makini sana na simuamini mwanamke yoyote duniani zaidi ya mama yangu”

“Sawa kaka kama hakuna tabu yoyote basi una weza kwenda”

“Poa poa”

Nikaitoa simu hii na nikatoa laini na kuhamishia kwenye simu mpya kisha majira ya saa mbili usiku nikaelekea nyumbani kwa Caro. Nikapiga honi getini na nikafunguliwa na mlinzi. Nikaingiza gari hili ndani ya geti hili na nikamuona Caro akiwa amesimama mlangoni huku akinitazama. Caro akanikaribisha vizuri na nikaingia ndani.

“Karibu mezani nilianaa chakula kwa ajili yako”

Caro alizungum huku akielekea mezani. Kitu kinacho nidatisha kwa Caro ni jinsi umbo lake lilivyo jigawanya vizuri. Ana shepu ya namba nane na ana fanya mazoezi na kuzidi kuonekana mrembo siku hadi siku. Nikaa kwenye moja ya kiti ambacho tuna tazamana.

“Karibu sana Rashidi”

“Sio Rashidi, sema gaidi Rashidi”

Kauli yangu ikalitoa tabasamu la Caro usoni mwake na kumfanya kuwa na simanzi.

“Gaidi ambaye ana uwezo wa kulipua meli ya jeshi. Hahaaa kwa muonekano wako una hisi mimi nina weza kuwa Al-Shabab sijuo nini eti?”

Nilimuuliza Caro kwa dharau na kumfanya machozi yaanze kumlenga lenga kwani yeye ndio mtu aliye nikamata na watu wake ndio walinikabidhisha kwa Don na kuyafanya maisha yangu kuingia kweye misuko suko mingi sana hadi nikashindwa kuikamilisha kazi yangu kwa wakati.



“Rashidi nime kuita kwa ajili ya mazungumzo mimi na wewe. Natambua kwamba mimi na wewe tume talifiana”

Nikamzuia kwa ishara Caro asizungumze. Nikamuandikia ujumbe kwenye simu niliyo nunua nikimueleza kwamba simu zina rekodiwa na akastuka kidogo. Nikabidhi simu ambayo vijana wake waliichukua, nikamuonyesha walicho kiweka na akaipeleka jikoni kisha akarudi.

“Washenzi sana niliwaambia wakulete na sio wakupeleleze”

“Naona ume zidi kung’aa au Obote ana kupendezesha”

“Mmmm niliachana na Obote kitambo sana na sasa hivi nina sikia kwamba ana mke wake”

“Ulijuaje kwamba nipo uwanjani?”

“Muda ambao raisi yupo uwanjani kamera zetu zilikuwa zina wamulika watu wote. Nilipo kuona nilhisi nime kufananisha hivyo niliamua ku zoom kamera na nikajua ni wewe na nikawajulisha vijana wangu na nikakufwatilia ulivyo ondoka kwenye viti na kuelekea vyooni.”

“Okay sipati picha ninge kuwa ni gaidi inge kuwaje?”

“Hahaaa, tuachane na hayo. Nimekuita hapa ili nikuomba msamaha wa dhati kutoka moyoni. Nilikosea na nina kiri kwamba nilikurupuka.”

“Mimi sina shida na wewe kwa maana nilisha sahau hayo maisha na niliamua kuishi maisha mengine mimi na familia yangu. Ila kutokana Tanzania ni nyumbani nime kuja kutazama namna gani ninavyo weza kuja kuwekeza kabla ya kwenda kuwachukua na kuja kuishi Tanzania”

Caro akaka kimya kwa sekunde kadhaa huku akinitazama.

“Hongera”

“Ya?”

“Kuwa na familia?”

“Kawaida”

Nilizungumza huku tukiendelea kula chakula.

“Sijui kwa nini ile siku nilifanya lile tukio. Kuanzia ile siku sikuweza kuishi kwa amani sana, ila kutoknana nime kuomba msamaha nina imani sasa hivi moyo wangu una weza kuishi kwa amani”

“Usijali. Asante kwa chakula chakula chako ni kitamu. Nahitaji kuondoka sasa”

Nilizungumza huku nikinawa mikono

“Rashidi una kwenda wapi jamani?”

“Nilipo fikia”

“No nina kukuomba sana Rashidi ukae nami kwa usiku wa leo. Nime kukumbuka sana, nime kumbuka misuguano yako. Tafadhali Rashidi wangu”

“Duu mimi mbona nimebadili maisha yangu sio mtu wa vile. Ngoja nikuambia jambo moja Caro, mimi huwa siwezi kurudiana na mwanamke msaliti siku hata moja. Wewe nichukie au nifanye chochote ila huo ndio ukweli siwezi kuwekeza penzi langu kwa mtu anaye jali sifa yake binafsi kuliko maisha yangu. Nashukuru kwa chakula chako”

Nilizungumza huku nikisimama, Caro kwa haraka akasimama na akanifwata, akasimama mbele yangu huku akiwa amejawa na huzuni kubwa sana.

“Nini?”

“Rashidi nime kukosea, nina kuomba msamaha. Mimi ni binadamu tafadhali nina kuomba unisamehe kwa hilo”

“Kusamehe nimesha kusamehe ila sinto kuamini hadi nina ingia kaburini. Mimi sina unafki kwa nini niwe muongo na kukuongopea kwamba ooohoo sijui nakuamini. Siwezi”

Maneno yangu yakamfanya Caro kuanza kumwagikwa na machozi.

“Niambie nifanye nini ili uniamini kwa mara nyingine heee?”

Caro alizungumza na kunifanya nimtazama kwa muda.

“Huwezi kufanya nitakacho kuambia”

“Nipo tayari kfuanya lolote, niambie”

Caro alizidi kunisisitiza na kunibembeleza nimueleze ukweli.

“Una mfahamu aliye nitapakazia kwamba mimi ni gaidi na kuitoa video ya askari wakinikabidhi kwao?”

“Hapana simjui”

“Muongo na mnafki mkubwa wewe. Dunia nzima ina mfahamu DON wewe ina kuwaje humjui. Gaidi anaye tafutwa na taifa kama Marekani, wewe Tanzania hapa una shindwaje kumfahamu?”

Nilizungumza kwa ukali huku nikimkazia macho Caro.

“Huyo mimi nina mjua tu kwa kuona picha zake na faili lake lipo ofosini na picha zake zipo, vyombo vyetu vya upelelezi vina shirikiana na mataifa makubwa hivyo tukimuona hapa nchini Tanzania tuna weza kumkamata”

“Ohoo kwa hiyo Tanzania hayupo?”

“Ndio hayupo wa nini niwe muongo”

“Una fahamu mdhamini wa kiwanja cha mpira kimya kinacho jengwa?”

“Ndio”

“Ana itwa nani?”

“Ana itwa Frendando Philipe. Ni raia kutoka Mexco na yeye ndio amedhamini kujenga kiwanja kwa kampuni yake iliyopo nchini Marekani na amepewa eneo Morogoro na amejenga makazi yake”

“Katika hayo makazi yake una fahamu ana fanya nini?”

“Sijui ana fanya nini ila ninacho jua ni kwamba yeye ndio anaye tupatia msaada wa kujenga ujenzi wa unja huo na kaka yangu ame idhinisha hilo”

“Naomba picha yake”

“Sawa, ila nakuomba usiondoke”

“Nakusubiria”

Caro akapandisha ngazi kuelekea gorofani huku nikibaki nikishuhudia uumbaji wa Mungu jinsi wowowo lake linavyo tetema.

‘Ila huyu mjinga ame umbika, sijui nimle. Ila ngoja nikaze hadi ninacho kihitaji nikipate’

Nilizungumza huku nikimsubiria Caro. Baada ya dakika mbili akarudi akiwa na laptop. Akaifungua na kuiweka mezani. Akaanza kutafuta tafuta na akanionyesha picha za mzee mmoja ambaye unene wake ni kama DON ila sura ni tofauti na DON.

“Huyu ndio tajiri ambaye amedhamini ule uwanja na ameiambia serikali yeye ata kuwa ana ingiza asilimia ishirini na tano tu ya mapato yanayo tokana na uwanja na asilimi sabini na tano iliyo baki yote ina kwenda serikali na umiliki wa unja una kuwa ni wa serikali kwa asilimia hizo sabini na tano”

Caro alizungumza huku akinionyesha picha hizo.

“Morogoro amepewa eneo sehemu gani?”

“Mvomero”

Nikaendelea kuzitazama picha kama kumi hivi za huyu Frenandes Philipe na nikagundua mchezo alio ufanya Don. Amebadilisha mfumo mzima wa sura yake pamoja na mashavu yake. Endapo mtu akifanyiwa oparesheni ya aina hiyo ni ngumu sana kumfahamu kwani hadi muundo wa kidevu chake na mashamvu hubadilika.

“Mumedanganyika”

“Una manisha nini?”

“Huyu mzee ndio DON”

“Don, hapana Rashidi ume kosea?”

“Nilikuwa ni mfanyakazi wa DON na nilikuwa nina pigana ngumi kwa udhamini wake. Huyu ndio DON niamini mimi”

“Picha ya DON ni hii hapa. Huyu na huyu wana fanania vipi?”

Caro aliniwekea picha ya DON halisi na huyu wa sasa na kwa macho ya kawaida hazifanani kabisa na ni watu mbali mbali kwani hata kipara alicho kuwa nacho ameotesha nywele na kuchana mchano wa kama raisi wa Marekani Donald Trump.

”Najua ni ngumu kuelewa na kuamini na hata ukipeleka hii kesi kwenye kitengo chako wata kataa kumsogela kwa maana ame fanya jambo kubwa kwenye taifa. Hilo eneo alilo nunua lina ukubwa gani?”

“Kama hekrani mia tisa”

“Alisema hizo hekari mia tisa ana zifanyia nini?”

“Hakuna aliye hoji kikubwa ni muwekezaji mkubwa hapa nchini na sasa ana jenga kiwanda cha Saruji mkoani Tanga ambacho kitakuwa ni kiwanda kikubwa kuliko viwanda vyote hapa Tanzania na Afrika”

“Hahahaa Mexco ime letwa Tanzania”

“Una maanisha nini?”

“Tuachane na hili. Tanga kuna majambazi walivamia hoteli moja hivi wakauwawa, je habari unayo?”

“Ndio tunayo na uchunguzi uan endelea”

“Okay”

“Ila kwa nini ume uliza hayo yote?”

“Nilikuwepo kwenye hiyo hoteli na nimi nikajifungia ndani kama ilivyo kwa wananchi wengine”

“Hahaaa kwa hiyo na wewe uliogopa kufa?”

“Hakuna anaye penda kufa”

“Mmm sawa. Ila huyu mzee wa watu yupo salama na hana shida yoyote. Tumemfwatilia rekodi ya biashara zake ni mtu salama kabisa na hana makosa ya aina yoyote”

“Haya, ile miili ya majambazi walio kufa ni Watanzania au?”

“Tulikuta baadhi yao ni wazungu ila hapakuwa na hata mmoja aliye na kitambulisho na tulijaribu kufwatilia taarifa zao kwa picha ila hapakuwa na hata mmoja aliye julikana”

“Sawa”

“Ila kwa nini ume sema huyu mzee ni DON?”

“Namjua”

“Kwa hiyo una taka kumpeleleza?”

“Sipo kwa ajili ya kumpeleleza mtu.”

“Niambie nita kusaidia mpenzi wangu”

“Sipo kwa ajili ya kazi hiyo. Nashukuru naomba niende”

“Rashidi jamani nime kukumbuka. Tafadhali nakuomba kidogo tu”

Caro alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Nikamtazama kwa dakika kadhaa kisha nikamshika mkono na nika mnyanyua. Nikamuinamisha katika meza hii, nikapandisha kijigauni chake kifupi alicho kivaa, juu. Kisha nikamvua chupi.

“Si unanitaka kidogo. Umenipata”

Nikavua suruali yangu na nikaanzisha mechi bila kumuandaa Caro. Haikuwa mechi ya kawaida na siku zote nilizo mzoesha kwani mechi hii ilikuwa ni kumkomoa. Sahani, glasi na jagi la juisi vyote vikaanguka chini na kupasuka pasuka kwani sio kwa varangati hili ninalo mpelekea moto, wenyewe watoto wa uswahilini tuna itwa mwana ukome. Caro akajitahidi kadri ya uwezo wake kurudisha mapigo ila akashindwa kwani nimepanga kumkomoa.

“Rash…..id naomba nipumzike”

“Sitaki”

Nilizungumza huku niimnyanyua. Nikamlaza katika sofa na nikaendelea kumpelekea moto wa gesi.

“Rashidi nakufa mimi jamani?”

“Hufi”

Nilizumngumza huku nikizidisha kasi na kwa jinsi nilivyo mwana mazoezi basi pumzi ni kama mkimbiaji maarufu Hussein Bolt. Hadi nina maliza goli la kwanza tayari Caro alisha fika kileleni kama mara sita hivi.

“Kuna waka moto mama yangu uwiiiii”

Caro alizungumza hukua kikimbilia jikoni. Ikabidi ni mfwate,

“Una fanya nini wewe”

“Niache bwane”

Caro akafungua friji akachukua chupa ya maji ya baridi na akaanza kujimwagika maji hayo katika kitumbua chake.

”Ulitaka kuniua au?”

Caro alizungumza huku akihema.

“Kwa hiyo nime fanya kosa kukutomb**?”

“Sio kwa staile ile yaani umenifanya nijisikie roho ikinichomoka yaani. Mmmmmm”

“Naenda kwa wenyeji wangu”

“Hulali hapa?”

“Najua nikilala nita hitaji tena na hapo ulipo fikia huna uwezo tena kwa kuendelea hivyo tukifanya tena nita kuua”

“Mmmm kweli uta niua. Sasa ina kuwaje?”

“Kuhusu?”

“Penzi letu”

“Tuta ongea siku nyingine. Acha niondoke”

“Huogi?”

“Nita kwenda kuoga mbele ya safari”

Nilizungumza huku nikirudi sebleni. Nikavaa suruali yangu. Caro akanikimbilia na akanikumbatia kwa nguvu na akaanza kulia.

“Rashidi nina kupenda?”

Nikashusha pumzi huku nikimsikilizia jinsi anavyo lia kwa uchungu.

“Naomba usiniache, nisamehe saba mara sabani. Nipo tayari kufanya utakalo, muda na wakati wowote”

“Poa nime kuelewa. Naonaomba niondoke”

“Mbona hujibu kama una nipenda?”

“Poa nakupenda”

“Ila ume izungumza kwa kujilazimisha”

“Caro nina kupenda, kingine nini una hitaji zaidi ya kukutomb** vizuri”

Nilizungumza huku nikimuachanisha mikono yake iliyo nikumbatia.

“Kesho nita kuja kulala, na jiandae kwa kichapo kama hichi usilegelege mtoto mzuri”

Nilizungumza huku nikimtomasa tomasa wowowo lake.

“Ume nielewa?”

“Ndio baby”

“Poa”

Nikamnyonya denda Caro kwa dakika kama moja hivi na nikamuachia.

“Waambie vijana wako waache kunifwatilia na nina omba simu yangu”

Caro akaingia jikoni na akaniletea simu yangu.

“Nilisha waambia na wametoa ile program”

“Mimi sina neno kwa maana yule Rashidi mpuuzi puuzi uliye kuwa naye kipindi kile alisha kufa. Huyu wa sasa hivi ni mwengine. Pia nenda kampatie hongera shemeji yako kwa kuwa na mtoto mzuri”

“Sawa zime fika”

Nikatoka nje, nikaingia ndani ya gari langu mlinzi akanifungulia geti na nikaondoka.

‘Siwezi kumuamini hata kwa bure’

Nilizungumza huku nikizidi kuuacha mtaa anao kaa Caro. Niampigia simu Shabani.

“Niambie ndugu yangu”

“Salama kaka, vipi naona hurudi?”

“Nipo njiani nina rudi muda huu”

“Nikahisi labda utalala kwani sasa hivi muda umesha kwenda”

“Usijali nina rudi”

“Poa kaka”

Nikakata simu na nikagundua sasa hivi ni saa saba na dakika ishirini na tano usiku.

‘Frenandes Philipe. Hahaaa Don nime kupata sasa’

Nilizungumza huku nikiwazia maelezo ya faili nililo lisoma kwani lilieleza kwamba DON yupo nchini Tanzania ila hawakunipa sura ambayo amebadilisha na nina imani kwamba ni watu wachache sana wana tambua juu ya kubadilisha kwake huko sura.

“Haloo umelela mke wangu?”

Nilimuliza Tina mara baada ya kumpigia simu.

“Ndio mume wangu, nilisubiria simu yako hadi usingizi ulinipitia”

Tina alizungumza kwa sauti laini ya kumtoa nyoka shimoni.

“Oho pole mke wangu. Hapa nina endesha narudi nilipo fikia”

“Ahaa ume kula lakini mume wangu”

“Ndio nime kula. Wewe ume kula nini?”

“Nilikaaga chips na maini”

“Waooo umeshiba”

“Yaa nimeshiba mume wangu nina tamani ungekuwepo na ukala mapishi yangu”

“Nikirudi nita kula”

“Sawa mume wangu kipenzi”

“Pumzika mke wangu”

“Asate mume wangu. Nakupenda sana”

“Nina kupenda pia. Msalimie Tina mdogo”

“Hahaaa….ana kusikia hapa amesikia sauti yako amesha lowana”

“Kweli?”

“Ndio amelowana ana hamu na wewe”

“Hahaaa usijali baade mke wangu”

“Poa baby”

Kitendo cha kukata simu tu. Gafla nikastukia gari yangu ukipaa angani huku mbamizo mkubwa ukiwa umepigwa upande wa dereva. Gari ikaanza kubingirika mara sita mfululizo na ikatulia huku matairi yakiwa juu. Kizungungu zungu kikali kikanitawala na huku airbag ya mskani ikiwa imenifunika kweye siti yangu. Nikiwa katika hali ya mawenge nikaona watu kama sita wenye silaha wakilisogelea gari langu. Wakafungua mlango wa uapnde wangu na wakanichomoa huku wakiniburuza. Mmoja akaipiga na kitako cha bunduki kichwani na giza zito likatawala mboni za macho yangu na nikatulia tuli.



“Ndio ni yeye”

Nilisikia sauti kwa mbali, nikajaribu kuitafakari ila nikakosa jibu kwani sitambui ni nani ambaye ana zungumza

“Hakikisheni muna muua na ushahidi haubaki mume nielewa”

Hapa sasa niliweza kuitambua sauti ya mama Shamsa.

“Sawa madame”

Taratibu nikafumbua jicho langu la kulia na kupitia kona ya jicho nikamuona mama Shamsa akiwa amesimama na walinzi wake kama kumi hivi walio valia suti nyeusi.

“Ina bidi tumpige risasi afe hapa hapa?”

“Sihitaji kuona damu yake hapa.”

“Sawa mkuu”

Mikono yangu ime fungwa kwa nyuma huku miguu nayo ikiwa imefungwa. Nikanyanyuliwa na watu wanne kama wana beba jeneza. Wakanitoa eneo hili na kuniingiza ndani ya buti la gari, kisha wakafunga buti hii. Nikajichunguza na kugundua hii niliyo fungwa kwa nyuma ni pingu.

‘Siwezi kufa kijinga’

Nilizungumza huku taratibu nikianza kujitafuta namna ya kuchomoa pingu hii ambayo ime nibana kisawa sawa. Nikajitengua kidole gumba cha mkono wa kulia na nikagugumia maumivu ndani kwani ili niweze kuchomoa kiganja changu ni lazima nijitengue kidole gumba ili kiganja kitoke kwa urahisi. Nikafanikiwa katika zoezi langu hili. Nikakinyoosha kidole ngumba changu vizuri. Nikajifungua kamba niliyo fungwa miguuni mwangu, kisha nikaendelea kusikilizia jinsi gari hili linavyo endeshwa.

“Kwani alikuwa ni nani kwake?”

Nilisikia sauti ya mwanaume aliyomo ndani ya hili gari.

“Hata sijui mimi”

“Mmmm anaonekana ni mtu anaye mchukia sana kwani sio kwa hasira zile”

“Tuache kuhoji, tutekeleze agizo tulilo pewa”

Mwendo kama wa nusu saa hivi gari hili kikasimama. Nikasikia wakishuka katika gari na wakifunga milango ya gari hili. Buti ya gari hili likafunguliwa, kama mshale nikajichomoa ndani ya gari hili na kumrukia aliye fungua buti hii. Kitendo hichi kikamfanya mwezake kupigwa na bumbuwazi kwani hakuna aliye tarajia tukio hili. Nikajinyanyua kwa kasi ya ajabu ndani ya sekunde tano tano tayari nimesha fnaya maamuzi mengine ya kumtandika teke la kifuani jamaa aliye simama na akaanguka chini mzima mzima. Nikamrudia niliye mrukia mara ya kwanza nikamshindilia kigoti cha kifuani na akagugumia kwa maumivu makali sana. Nikaiokota bastola iliyoa nguka pembeni yake, nikampiga mwenzake niliye mpiga teke, risasi mbili za kifuani na akakata roho kishanikamgekia.

“Nyanyuka”

Nilizungumza huku nikimnyooshea bastola jamaa huyu niliye anaye enaye endelea kugugumia kwa maumivu.

“Nyanyuka”

Nilimuamrisha kwa hasira. Tararibu jamaa akanyanyuka humu suti yake ikiwa imejaa vumbi jingi.

“Tupo wapi?”

Nilimuuliza huku nikutazama eneo hili la msitu huku kukiwa na maporomoko menngi.

“Niue kama una taka kuniua”

Jamaa alizujngumza kwa kujiamini. Nikampiga risasi ya mguu na kumfanya aanguke chini huku akilia kwa maumivu makali sana.

“Nani aliye waagiza kuniua?”

Nilimuhoji ili kudhibitisha kwama ni kweli eliye mtuma ni mama Shamsa.

“Sijui mimi”

“Ohoo hujui sawa”

Nikampiga risasi sita za kifuani na akakata roho. Nikashusha pumzi huku nikijichunguza mwilini mwangu. Nikampapasa jamaa huyu mifukoni mwwake na nikatoa kitambulisho chake nikakisoma na kumuona ni miongoni mwa walinzi wa raisi. Nimpapasa tena kwenye mfuko wa koti lake la suti, nikaona simu ndogo ya kawaida. Nikaichukua, nikamsogelea mwezake, nikampapasa na kumkuta na magazine mbili za bastola pamoja na bastola. Nikavichukua vyote kisha miili yao nikaisukumiza kwenye maporomoko makubwa ambayo miti yake una iona kwa chini sana.

“Saa kumi na mbili asubuhi.”

Nilizungumza huku nikitazama saa ya simu hii na tarehe imesha badilika ina maana toka nilipo tekwa jana usiku leo hii asubuhi ndio nime pata fahamu. Nikaingia ndani ya gari hii aina ya Toyota Premio. Nikajitazama kwenye kioo kilichopo mbele katika gari hili, nikaona jinsi uso wangu ulivyo jaa michirizi ya damu. Nikajishika kichwani mwangu na nikagundua eneo la paji la uso nime chanika kidogo. Nikawasha gari hili nikaligeuza na kwa spidi na nikaanza kuliendesha kutoka katika msitu huu ulio jaa miti mingi. Nikazidi kuifwata njia inayo onyesha gari hili lilipita lilipo kuwa lina ingia eneo hili na kama mwendo wa dakika kumi hivi nikatokezea barabarani, ambapo napo kuna miti mingi ya misitu hii.

“Nipo wapi hapa”

Nilizungumza huku nikisimamisha gari pembeni, nikashuka na kusimama pembeni ya barabara nikatazama nia inayo elekea kulia kwangu na njia inayo elekea kushoto kwangu. Nikasikia mlio wa gari ikanibidi kurudi nyuma na kuegemea gari hili huku nikijifanya kama vile nime pumzika. Nikaona basi likipita huku likiandikwa Tanga Mlalo. Basi hili likapita huku likielekea mkono wangu wa kushoto.

“Ina maana nipo Tanga?”

Nilitafakari, galfa kasimu haka kadogo kakaanza ku vibrate, nikaitazama namba hii kisha nikapokea.

“Mumemmaliza?”

Niliisikia sauti ya mama Shamsa, hasira ikanipanda na kutamani kuachia tusi moja zito ila nikajizuia.

“Haloo mbona hamzungumzi nyinyi?”

“Hivi ulihisi ni raishi kunia kama unavyo fikiria. Nisikilize mama Shamsa, ume vuka mipaka, mara ya kwanz auna tambua ni nini nilicho kufanya ila mara hii ya pili nita kuonyesha mimi ni mtu wa aina gani”

“Ra…s….h….”

Nikakata simu, nikaivunja vunja na kuitupilia mbali. Nikarudi ndani ya gari, na nikaanza kuifwata barabara lilipo elekea basi hili huku nikiliendesha kwa mwendo wa kasi.

‘Mwanamke mpuuzi sana, sasa amemshika shehe matak** Nita muonyesha nini maana ya kuwa mwanaume’

Nilizungumza huku hasira ikiwa imejiaa kisawa sawa. Nikalipita basi hili na nikafika kwenye moja ya mji, nikasoma bango kubwa lililo andikwa Karibu Wilaya ya Lushoto. Nikasimamisha gari kwenye moja ya duka, nikapekua pekua ndani ya gari hili kwa bahati nzuri nikakuta kibunda cha pesa, nikatazama usalama wa eneo hili kisha nikachukua kitambaa kilichopo pembeni yangu nikajifuta futa damu iliyo ganda usoni mwangu, kisha nikashuka. Nikaingia ndani ya gari duka hili la vitu vya rejereje.

“Naomba maji”

Nilizungumza huku nikimkabidhi muuzaji noti ya shilingi elfu kumi.

“Sawa boss. Ila kichwani ume fanyaje?”

“Ahaa. Kuna wapuuzi walikuwa wana dondosha dondosha mbao hivyo ika nipiga na kunipasua hapa”

“Aisee pole sana”

“Nashukuru sana”

Muuza duka akanikabidi chupa ya maji nikatoka nje na nikanawa uso vizuri kisha niakrudi ndani ya duka hili.

“Naomba soda ya baridi”

“Hakuna shaka”

“Naweza kuniazima simu nikampigia mtu?”

“Hakuna shaka ndugu”

Muuza duka huyu akankabidhi kijisimu kidogo cha Tenco. Nikaiingiza namba ya Shabani kisha nikampigia.

“Holloo”

“Kaka ni mimi”

“Aisee ndugu yangu, nime ona gari lako centrel lime gongwa. Nimezunguka hospitali zote nimekukosa, upo wapi aisee”

“Kaka nisikilize, nipo sehemu moja ina itwa Wilaya ya Lushoto, nilitekwa jana usiku”

“Mungu wangu nani amekuteka?”

“Kuzungumza kwenye simu sio jambo zuri ila ni yule malaya naamini ume nielewa?”

“Kum***ke zake. Ni yeye?”

“Yaa alitala niuliwe?”

“Ni mama Sham au huyu Caro?”

“Mama Sham. Sasa nimefanikiwa kuwatoroka, sasa andika namba ya Caro hapo alafu muambie mimi nime kuagiza kwake na umuembie sehemu ulipo na muje pamoja sawa ndugu yangu”

“Sawa sasa wewe uta baki hapo hapo Lushoto au?”

“Ndio nipo hapa haap Lushoto, nita tafuta hoteli, najua nikitembea hapa katikati wana weza wakaniwinda na siwezi kurudi Dar es Salaam kwa sasa”

“Poa ndugu yangu”

Nikamtajia namba ya Caro.

“Nitakupigia ndugu yangu nina nunua simu nyingine.

“Sawa ndugu yangu”

Nikakata simu na kumrudishia muuzaji simu yake.

“Nashukuru chenchi utachukua kama kiasi nilicho tumia kupiga simu. Nina hitaji kujua wapi kuna hoteli nzuri?”

“Njoo nikuonyeshe”

Mwenye duka akashuka na akanionyesha moja ya jengo linalo onekana bati tu huku likiwa limezingirwa na miti mingi sana.

“Ile pale ni hoteli nzuri sana mkuu nina imani ita kupendeza”

“Nashukuru sana.”

“Sawa”

“Samahani naomba simu tena”

Muuza duka akanipatia simu yake nikaifuta namba ya Shamabi kisha nikamrudishia simu na nikaondoka. Nikafika katika hoteli hii yenye mazingira mazuri, nikalipia chumba kimoja, kisha nikaondoka hoteli ni hapa, nikatafuta gereji na kuwapa mafundi kazi ya kubadilisha rangi ya gari hii kutoa nyeusi hadi kuwa rangi ya kijivu. “Hii kesho ita kuwa tayari”

“Nashukuru fundi”

Nikakagua gari zima, nikaona bastola moja ikiwa ime chomekwa chini ya kiti cha dereva. Nikaichomeka kiunoni mwangu pasipo yoyotekuona kisha nikamkabidhi fundi funguo na nikaondoka eneo hili. Nikanunua simu ya kawaida kwenye moja ya duka, nikasajili laini kupitia kitambulisho cha muuza line huyu hii ni baada ya kukosa kitambulisho.

“Kaka hii ndio namba yangu. Niambie ume fikia wapi?”

“Nipo naye na hapa tuna fanya utaratibu wa kupanda helicopter ya kitengo chake na kuja eneo hilo”

“Ume mueleza ni nani?”

“Ndio”

“Mpe simu”

“Mume wangu upo salama?”

“Sipo salama kwani muda wowote wifi yako ana weza kunia”

“Fanya hivi nenda kwenye kituo cha polisi hapo Lushoto, nina kusubiria, nina mpigia mkuu wa kituo hicho sasa hivi wakupokee na wakuweke sehemu salama”

“Simuamini mtu yoyote”

“No nisikilize mimi Rashidi tafadhali mume wangu. Fanya hivyo, hayo mengine tuta kuja kuyaongea huko”

“Nimechukua chumba kwenye moja ya hoteli muta nikuta hapo.”

“Basi sawa”

“Kaka mutanikuta hotelini”

“Hakuna shaka ndugu yangu”

“Poa”

Nikakata simu na nikarudi hotelini. Nikazichomoa bastola zote tatu kiunoni mwangu na kuziweka juu ya meza. Nikaweka magazine za bastola hizi pia mezani, kisha nikavua shati langu na nikasimama mbele ya kioo. Mikwaruzo michache ipo eneo la mgongoni. Nikaingia bafuni na kuoaga haraka haraka na nikarudi chumbani hapa.

‘Haki ya Mungu mama shamsa, sasa hivi nina kula na wewe sahani moja’

Nilizungumza huku nikitafakari kauli alizo kuwa ana waambia walinzi wake. Baada ya lisa na nusu simu yangu ikaita, nikaipoke.

“Kaka tumesha fika”

Nikamuelekeza Shabani hoteli na chumba nilichopo. Baada ya dakika tano mlango ukagongwa. Nikachukua bastola moja mezani kisha nyingine nikazifunika na kitamaa, nikazima nyuma ya mlango na taratibu nikafungua kitasa.

“Ingia”

Nilizungumza.

“Kaka”

Shabani alizungumza huku akiingia ndani hapa. Nikaichomeka bastola kiunoni, Caro kwa haraka akanikumbatia kwa nguvu.

“Pole mume wangu”

“Nina shukuru”

“Hujaumia ndugu yangu?”

“Ni hapa kichwani nina hisi kwamba ni kutokana na ajali.”

“Ilikuwaje mume wangu”

Nikawahadithia kila kitu kilicho tokea usiku wa jana nilipo kuwa nina toka nyumbani kwa Caro.

“Kwa hiyo ni wifi yangu ndio aliye fanya hivyo?”

“Ndio”

“Ila niliwasiliana naye akaniambia kwamba yupo Ikulu na nikampigia simu kaka naye akaniambia kwamba yupo ikulu sasa nina shindwa kujua iimekuwaje hadi akuteke”

Nikaka kitandani huku nikimtazama Caro machoni mwake.

“Hujamjua wifi yako”

“Niambie ili nimjue Rashidi, kwa maana sielewi”

“Una kumbuka ulisha wahi kuniambia kwamba kaka yako alimpokonya mwanaume mmoja mke wake na akawa na huyo wifi yako sasa hivi”

“Ndio”

“Huyo mwanaume ni mimi sasa”

Caro akastuka sana kwani nina imani hakuweza kujua siri iliyo weza kutoka kati yangu ya kaka yake.

“Wifi yako ndio mama Shamsa na mateso yote niliyo pitia ni kutokana na ndugu yako”

Caro taratibu akaka katika sofa huku akiwa na bumbuwazi kwani habari hii ime mstua sana.

“Umasikini wangu na madaraka ya kako yako ndio yalinifanya nimpoteza mke wangu wa ndoa. Madaraka ya kaka yako ndio yalinifanya niingie jela na kuwa mtumwa wa kupigana katika mauling ya kifo. Na sikupigana kwa sababu ya pesa ila nilipigana kwa sababu ya kuhitaji kuishi. Leo hii nipo katika harakati zangu, wifi yako ana nisababishia ajali, nina gongwa na lori na ana nikamata. Nini nifanye eheee?”

Nilizungumza kwa uchungu huku nikimkazia macho Caro aliye anza kumwagikwa na machozi.

“Mama yangu na mwanangu wana ishi maisha ya uhamishoni kutokana na roho mbaya ya kaka yako na dada yako. Kaka yako alinikamata nikiwa Ufaransa na akanipeleka Congo kwenye gereza la kifo. Gereza ambalo ukiingia sio rahisi kuishi. Ila Mungu mwenyewe ndio alipenda niweze kutoka pale. Nikarudi Tanzania ili niweze kuishi maisha ya amani kabisa, nikakupata na wewe kwa hisia zako mbaya uka hisi mimi ni mkuu wa kundi la Al-Shabab. Okay jana wametaka kuniua niambie nini nifanye?”

Nilizidi kuzungumza kwa uchungu hadi machozi yakaanza kunichuruzika taratibu. Caro akaangua kilio cha sauti.

“Watu wenye nguvu ndio watu wanao wabadilisha watu wasio na nguvu. Hata kama mtu hujafikiria kuua ila una tamani kuua”

“Rashidi mume wangu, namba unisamehe mimi, sikujua hayo yote?”

“Uta juaje ikiwa ulikuwa una ufurahia uovu wa kaka yako”

“Hapana nilimshauri ila alikataa. Mtu kama huyo una mfanya nini?”

“Kaka”

Shabani aliniita huku akinitazama usoni mwangu.

“Naam”

“Kwenye hili hatuwezi kusamehe tena. Nipo na wewe bega kwa bega, tuna fanyaje hapa?”

“Laiti nisinge kuwa nina jimudu, sasa hivi ningekuwa nimesha fika mbinguni na maiti yangu musinge weza kuiona. Nahitaji kufanya jambo”

Nilizungumza kwa sauti iliyo jaa mikwaruzo mingi itokanayo na hasira.

“Una taka kufanya nini mume wangu?”

Caro aliniuliza kwa sauti ya majonzi na iliyo jaa unyonge mwingi sana.

“Nahitaji kumuua, wifi yako pamoja na kaka yako. Na nilazima niwaue sio wewe wala serikali au mlinzi yoyote atakaye nizuia kufanya hivyo. Tuna elewana?”

Caro akastuka sana huku akinitazama kwa mshangao kwani hichi nilicho kizungumza kina toka moyoni mwangu na nime maanisha na nilazima nita fanya.



Ukimya ukatawala ndani hapa huku kila mmoja akionekana akiwaza lake.

“Basi tuondoke na kurudi Dar”

Caro alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Nita hakikisha nina kulinda mume wangu na hakuna baya litakalo jitokeza juu yako”

“Sihitaji kulindwa ila kuna watu nina hitaji uwalinde”

“Watu gani?”

“Nahitaji familia ya rafiki yangu pamoja na watu walio mzunguka wawe salama muda wote na asitokee mtu akawagusa kwani akifanya hivyo nita dili na yeye hadi kufa.”

“Hilo nita litimiza kwa asilimia mia moja”

“Nahitaji kuishi kama mzimu. Nahitaji kupita njia yangu, Caro mimi na wewe ni kama maji na mafuta ya taa, kwani askari na muhalifu hawawezi kukaa eneo moja. Hivyo niache nipite njia ninayo iweza mimi kupita. Tuta kutana duniani au ahera”

“Rashidi usizungumze hivyo mume wangu. Tambua kwamba nina kupenda na kukuthamini na nina kuhitaji mume wangu. Tafadhali usinifanyie hivyo please”

“Sikufanyii hivyo ila mimi na wewe ni watu wawili tofauti kwani uliweza kunikama ulivyo sikia kwamba mimi ni muhalifu”

“Shem naomba uongee na rafiki yako, nimemuomba msamaha juu ya hilo ila ameshindwa kunisamahe kabisa”

Caro alizungumza huku akilia kwa uchungu.

“Naomba utupishe shem”

Caro akatoka ndani hapa huku akilia kwa uchungu sana. Shabani akafunga mlango huku akinitazama machoni mwangu.

“Aisee pole sana ndugu yangu”

“Nina shukuru sana”

“Ina kuwaje?”

“Najua ni kwa nini nilikuambia uje na huyu mwanake kwa maana yeye na kaka yake pamoja na yule shetani wote wapo mstari mmoja”

“Ila kaka namuona Caro hana tatizo lolote ndugu yangu. Jariku kuwa naye kwa muda na kupitia huyu uta weza kuwasogelea maadui zako kwa maana yupo kitengo nyeti na kina hbari ya mtu yoyote unaye muhitaji ndugu yangu.”

Shabani alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Usimukumu Caro kwa makosa ya watu wengine, ana kupenda kwani nilipo mueleza tu kuhusiana na wewe, alikuwa na safari ila alighairi na tukatumia usafiri wa helicopter kufika hapa”

“Simuamini, hivi una hisi ana weza kukubali nikapanga naye njama ya kumuua kaka yake?”

Shabani akashusha pumzi taratibu huku akinitazama usoni mwangu.

“Ukimya wako una maanisha kwamba hawezi kukubaliana na hicho kitu. Ndio maana nina kuambia simuamini, siku ambayo alinikamta, sikufikiria kama ana weza kunibadilika. Mimi mtu akisha ninyooshea bastola, bro huwa imani ina nipotea kabisa dhidi yake.”

“Ila Rashidi kumbuka kwamba ukimuweka huyu mbali na amesha jua kwamba una hitaji kuiteketeza familia yake basi ata hakikisha ana weka kila aina ya mitego kukukamata”

“Wewe una nishaurije sasa?”

“Nina kushauri uhakikishe kwamba una kuwa naye”

“Una jua hii ishu ni kubwa sana na nina hofia na wewe ukiingia ina weza kukuleta madhara ndio maana nina fikiria kwanza usalama wa familia yako”

“Najua hilo ndugu ila nime amua kukusaidia ni lazima nikusaidia. Ni mangapi ambayo tulisaidiana kwenye maisha yetu ehee?”

Shabani alihoji na nikajikuta nikikaa kimya huku nikimtazama usoni mwake.

“Ina bidi familia yako iondoke nchini Tanzania na ielekee nchini Ufaransa”

“Ila mke wangu na mwanangu hawana hati za kusafiria?”

“Tuta mtumia huyu huyu huyu mwanamke kuwasafirisha hadi Ufaransa”

“Sawa”

“Nitazungumza na Jackline pamoja na mke wangu wata pokelewa na wata ishi kwa muda kule hadi haya majanga yatakapo kwisha”

“Sawa”

Nikatoka nje na kumkuta Caro akiwa ameegemea ukuta wa kordo ya humu ndani.

“Nisikilize”

Nilimuambia Caro huku nikimtazama usoni mwake.

“Nita kuwa nawe ila kwa sharti moja”

“Sharti gani baby”

“Nahitaji familia ya rafiki yangu uishuhulikie na iweze kwenda nchini Ufaransa. Nina imani una uwezo wa kupata visa ya muda mrefu”

“Sawa si hilo tu”

“Ndio ni hilo tu”

“Hakuna shaka nita piga simu ubalozi wa Ufaransa na nina watu pale wana weza kunisaidia kwa haraka hilo jambo”

“Sawa fanya hivyo, ila ina bidi tuwatafutie hati ya kusafiri kwanza”

“Hilo ni jambo dogo sana”

Baada ya makubaliano hayo tukaondoka hotelini hapa na moja kwa moja tukafika gereji, nikawaonyesha gari niliyo ichukua kwa watu hao.

“Hii gari nisha waona nayo walinzi wa wifi”

Caro alizungumza kisha akalipiga picha kadhaa gari hili kwa maana bado hajaijaanza kushuhulikiwa kubadilishwa rangi.

“Nitaagiza kijana aje kulichukua na kulileta Dar”

Nilimuambia fundi nikachukua namba yake ya simu na nikamkabidhi ya kwangu kisha tukaondoka eneo hili kwa kutumia helicopter hii ya kitengo cha NSS. Tukarudi jijini Dar es Salaam, safari haikuchukua muda mrefu, tukafika kwenye moja ya gorofa la kitega uchumi, helicopter hii ikatua katika kiwanja maalumu kilichopo juu ya gorofa hili. Tukashuka na kuingia katika lifti na taratibu tukaanza kushuka chini.

“Muambie wifi yako nahitaji gari yangu inyooshwe la sivyo nita ata nitafuta ubaya”

“Usijali mume wangu nita kupa gari jengine?”

“Sihitaji gari la kupewa, wewe muambie nahitaji gari yangu kunyooshwa”

“Usijali nita fikisha ujumbe ila ata nitambua. Asiniletee ujinga kwa furaha yangu”

“Hayo ni yenu wenyewe.”

Lifti ikafunguka na tukatoka nje ya gorofa hili. Tukamkuta dereva wa Caro akitusubiri.

“Tuna elekea wapi?”

Niliuliza huku nikimtazama Caro machoni mwake.

“Ina bidi twende nyumbani kwangu tukapate chakula cha mchana?”

“Hapana nahitaji kuelekea nyumbani kwa Shabani”

“Ahaa kaka huhitai tupate ma[ishi ya shemeji”

Shabani alizungumza kwa utani.

“Muambie shem, twende bwana tukale kwangu”

“Kaka wengi tupewe. Shem tuna kwenda kula kwako na baada ya hapo tuna elekea nyumbani”

Shabani alizungumza na ikabidi nikubaliane nao kwa maana wamenizidi kwa kura. Tukafika nyumbani kwa Caro moja kwa moja nika elekea chumbani huku Caro akinifwata kwa nyuma.

“Siku hizi mlango wako ni wa kufunguwa namba za siri?”

Nilimuuliza Caro huku nikimtazama usoni mwake.

“Yaa ni jina lako namba za siri”

“Mmmm”

“Ndio”

Tukaingia ndani na Caro akanikumbatia kwa nyuma.

“Yaani kila nikiuona mwili wako, kisim** kina nicheza”

“Zile nguo zangu zipo wapi, nahitaji kubadili nguo”

“Ahaa….nilizitoa?”

“Ukazipeleka wapi?”

Caro akaniachia na akazunguka na kusimama mbele yangu.

“Kipindi kile nilikuwa na hasira hivyo nilizichoma zote”

“Poa”

Nilizungumza huku nikitoka ndani hapa. Ila Caro akaniwahi mkono.

“Baby sasa una kwenda wapi jamani?”

“Niliingia humu ili nibadili nguo, ila hakuna nguo hakuna haja ya kuendelea kukaa”

“Jamani Rashidi nina kuomba mume wangu utulie, swala la nguo ni la kununua tu nyingine.

“Ngoja kwanza hivi mali zilizokuwa kwenye ile nyumba niliyo panga zimekwenda wapi?”

“Niliziuza uza na nyingine niligawa”

“Kwa hiyo uliuza kabla sijakufa?”

“Ila Rashidi wewe mwenyewe una tambua hali halisi ya kipindi kile. Mimi ningefanyaje, kila nilichokuwa nina kitazama nilijisikia vibaya na jinsi lilivyo kuja swala la kutangazwa kama gaidi ndio kabisa likazidi kunichanganya tafadhali mume wangu. Najua nina kurupuka kwenye baadhi ya maamuzi yangu mengine ila nina omba unisamehe na tufungue ukurasa mwengine”

“Ni kweli una kurupuka ndio maana ile siku pale hotelini ulitaka kujiua kisa kuacha na mshamba mshamba yule. Kapike chakula, nina njaa toka nile jana usiku hapa kwako bado sijakula”

“Ohooo pole mume wangu basi ngoja nikaandae chakula cha fasta fasta. Uta kula nini?”

“Chakula chochote”

“Sawa mume wangu”

Caro akapiga hatua hadi kwenye kabati la nguo. Nikatazama makalio yake jinsi yalivyo banwa na suruali ya jinzi aliyo ivaa. Akavua jinzi yake na akabakiwa na skin taiti, akajifunga tenge.

“Kwa hiyo una vaa mavazi ya kumtega shemeji yako au?”

“Jamani mume wangu, una taka nikapike na jinzi kweli. Hahaa kumbe una wivu na mimi”

Caro alizungumza kwa furaha.

“Likaze vizuri tenge lako”

“Sawa baba watoto”

Nikaanza kutoka chumbani hapa na nikamkuta Shabani akicheza games kwenye tv.

“Aisee kaka hili jumba lote ni la huyu mtoto?”

“Ndio”

“Aisee ukisikia watu wanao ishi ndio hawa, sisi wengine tuna sindikiza”

“Hahaa ni maisha ya kawaida tu hayo ndugu yangu.”

“Mmmmm aise huna haja ya kumuacha mtoto ana maisha mazuri”

“Shem ngoja niwaandalie chakula”

Caro alizungumza huku akipita na kuelekea jikoni.

“Sawa shemeji”

“Kuna soda, bia, juisi, wyne na wisky niwaletee nini?”

“Mimi shem niletee bia moja hapa nichambe koo kidogo kwa maana ni kitambo sijayanywa hayo maji ya dhahabu”

“Hahaa bia moja kweli?”

“Jua kali hili shem nisije nikapata wenge na nipo kwa watu”

“Haahaa hapa ni kwako pia bwana shem. Una tumia bia gani?”

“Mimi yoyote nina shusha”

“Sawa shemeji. Mume wangu una kunywa nini?”

“Sinywi chochote”

“Sawa”

Caro akamletea Shabani bia mbili za baridi kisha akeelekea jikoni kupika.

“Ndugu yangu mbona una mawazo sana?”

Shabani aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Kichwa changu kimeyumba kidogo”

“Pole sana”

“Aise kuna mtu nime msahau sana”

“Nani?”

“Yule binti wa Tanga aisee”

“Duu nahisi atakuwa ana kupigia kwenye ile namba nyingine ila ana kukosa”

“Tukitoka hapa nita mpigia”

Nikanyanyuka na kuingia jikoni.

“Vipi bado?”

“Namalizia mume wangu, nimepika ugali maini si rafiki yako ana kula?”

“Hakuna Mtanzania mmero asile maini”

“Hahaa ina maana shem ni mmero?”

“Namjua mimi. Aisee una jua njaa ina nisumbua balaa”

“Pole mume wangu kula basi matunda, kuna ndizi, machungwa, kila aina ya matunda yapo”

Nikafungua friji, nikatazama matunda yote yaliyomo humu kisha nikachukua apple moja na nikaegemea moja ya meza huku nikimtazama Caro jinsi anavyo endelea kupika.

“Jiandae kuzaa”

Nilizungumza huku nikitafuna apple hili.

“Una maanisha nini?”

“Kwani wanapo kutana mwanamke na mwanaume wasipo tumia kinga na mwanaume akamkojolea mwanamke ndani wana tegemea nini?”

“Jamani mume wangu nime uliza kwa wema tu. Yaani siku hizi ume kuwa mkali hata unijibu kwa kunibembeleza.

“Je upo tayari kuzaa?”

“Ndio nipo tayari kuzaa na wewe na nina shukuru sana mume wangu.”

Caro alizungumza kwa furaha, akanikumbatia na kuanza kuninyonya denda.

‘Nina kuzalisha ili kumkomesha kaka yako’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikitabasamu.

“Una unguza”

“Ohoo”

Nikarudi sebleni, baada ya muda mfupi, Caro akaandaa chakula na kwa pamoja tukaanza kula. Majira ya saa kumi jioni, Caro akatusindikiza na gari lake hadi nyumbani kwa Shabani, tukamtambulisha Caro kwa mke wa Shabani.

“Pole sana shemeji”

“Nashukuru shemeji yangu”

“Ila una endeleaje?”

“Namshukuru Mungu nina endelea vizuri.”

“Aisee nahisi maumivu ya mwili sasa”

Nilizungumza huku nikisikia maumivu ya ndani kwa ndani ambayo kwa muda fulani niliyahisi ila nilikuwa nina yachukulia kadawaida ila kadri muda unavyo zidi kwenda nazidi kujihisi maumivu.

“Maumivu ya wapi?”

Caro aliniuliza huku akiniatzama usoni mwangu.

“Kifuani na katika mbavu”

“Ina bidi twende hospitali mume wangu”

“Ni kweli, una jua toka muda ule nilikuwa nina jisikia maumivu ila nilikuwa nina yahisi kwa mbali mbali sana ila kwa sasa ndio nayasikia jinsi yalivyo chachamaa”

“Shem vipi?”

Mke wa Shabani aliniuliza mara baada ya kufika sebleni hapa.

“Najisikia kuumwa”

“Ina bidi uende hospitalini”

Kutokana na hali ninayo ihisi hatukuwa na muda wa kusubiri kujadilia mambo. Tukaondoka hospitalini hapa na moja kwa moja tukaelekea hospitali ya Muhimbili. Nikaingizwa kwenye chumba cha matiba nika piga X-rays ya mwili mzima na tukasubiria majibu ya daktari.

“Nahisi lile tatizo lita kuwa lime rudi”

“Nilizungumza kwa sauti ya maumivu kidogo huku nikijishika kifuani mwangu”

“Tatizo gani mume wangu?”

Caro alizungumza huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana.

“Kuna kipindi nilikuwa nina pigana ulingoni hivyo kwenye maeneo ya kifuani hapa nilipata itilafu hivyo nahisi kama tatizo lime rudi tena”

“Muna weza kuingia”

Daktari alizungumza, nikasimama na tukaingia ndani hapa wote watatu huku mke wa Shabani tukiwa tume muacha nyumbani.

“Tume weza kuchukua vipimo vyote. Tume weza kugundua eneo la kifuani hapo kuna shida ambayo endapo isipo tatuliwa kwa uharaka sana basi ina weza kuleta madhara makubwa sana.”

“Shida gani dokta?”

“Amechomwa sindano ya sumu ambayo ina fanya kazi taratibu na ndani ya masaa arobaini na nane toka alipo chomwa sindano sumu hiyo basi atapoteza maisha na sumu kwa sasa ina anza kunyemelea maeneo ya kifuani mwake na ikifika kwenye moyo basi stori ya kaka yetu hapa inaishia hapo”

Watu wote tukastuka, kajasho kembaba kakanza kunitoka na mwili ukazidi kunyong’onyea hata kale kanguvu niliko kuwa nako kakaniishia na kujikuta nikiona mawenge mawenge ya ajabu ambayo toka kuzaliwa kwangu sikuwahi kuyaona.



“Rashidi, Rashidi”

Nilisikia sauti ya Caro kwa mbali sana huku akinishika nisianguke katika kiti hichi.

“Ndugu niitie nesi hapo”

Niliisikia sauti ya daktari na nikasikia kurupushani za jinsi Shabani anavyo toka ndani hapa.

“Tumlaze chini taratibu”

Nikalazwa chini taratibu. Wakaingia manesi wawili.

“Kitanda haraka kileteni”

“Mume wangu, usiniache tafadhali Rashidi wangu usiniache”

Caro alilia kwa uchungu sana, nikatamanini kumjibu ila kinywa changu kika shindwa kabisa kumjibu. Nikatamani kumshika mkono ila mikono yangu ikashindwa kabisa kumshika. Kila kiungo cha mwili wangu ni kama mtu aliye paralaizi. Nikapandishwa juu ya kitanda na kuanza kusukumwa kwa kasi huku nikiwa sijui ni wapi ninapo pelekwa.

“Kaka huto kufa nina jua uta pona. Pambana, wewe ni mpambanaji”

Niliisikia sauti ya Shabani huku akiwa amenishika mkono wa kulia. Caro naye hakuwa mbali zaidi ya kuwa upande wa kushoto kwangu na wote wamenishika mikono yangu.

“Tunaomba muishie hapa”

Daktari alizungumza huku nikiingizwa ndani ya chumba hichi. Nikawaona madaktari na manesi jinsi wanavyo miminika ndani yachumba hichi. Wakaniandaa kwa haraka haraka kisha nika nikachomwa sindano ambayo taratibu ikanilaza usingizi wa nusu kifo.

***

Taratibu nikafumbua macho, nikatazama mazingira ya chumba hichi jinsi yalivyo na kumbukumbu zangu zipo sahihi kwamba hapa nilipo nipo chumba cha wagongwa mahututi kwani kuna mashine za kunisaidia kupumua huku nikiwa nimewekewa oksijeni maalumu maeneo ya puani hadi mdomoni. Kumbukumbu zangu za mwisho zina kumbuka jinsi tulivyo ingia ndani ya chumba cha daktari na kuelezwa kwamba nina sumu ambayo ita niua taratibu.

‘Sijakufa?’

Nilizungumza kimoyo moyo. Nikatazama saa ya ukutani na ina onyesha sasa hivi ni saa tano asubuhi. Baada ya kama lisaa hivi mlango ukafunguliwa na akaingia nesi akiwa amebeba kisinia chenye vichupa vya dawa.

“Woo bwana Rashidi ume amka?”

Nesi aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu. Nikamjibu ndio kwa kutingisha kichwa.

“Ni jambo la kumshukuru sana mwenyezi Mungu. Ina bidi nikuchome sindano mbili”

Nesi alizungumza huku akiendelea kunionyesha tabasamu la ukarimu. Sindano ya kwanza akaichoma katika mshipa wa kumko wangu wa kulia na sindano yangu ya pili akanigeuza kidogo na kunichoma katika kalio langu. Nikamuonyesha kwa ishara kama nina weza kuvua kifaa hichi cha oksijeni ili nimuulize swali.

“Hapana bado hali yako haijaimarika. Una hitaji oksijeni ya kutosha”

Nikamjibu kwa kumnyooshea dole gumba nikimaanisha kwamba sawa. Baada ya muda mchache akaingia Caro huku akiwa ameongozana na nesi. Machozi yakaanza kumtiririka Caro machoni mwake huku akiendelea kunitazama kwa uso ulio jaa masikitiko.

“Mume wangu”

Sikumjibu chochote Caro zaidi ya kumtazama kwa kutabasamu.

“Nita hakikisha nina watia nguvuni wote waliohusika na hili jambo”

Nikamtazama Caro kwa muda na sikumjibu chochote. Baada ya dakika tano kuisha akatoka ndani hapa. Akaingia Shababani na shemeji huku wote wakiwa katika usimamizi wa nesi. Wakanisalimia na baada ya dakika tano kuisha wakatoka ndani hapa kwani kama taratibu za kuwaona wagonjwa mahututi walipo katika chumba cha Sadaruki(I.C.U) haziruhusu watu wasio kuwa wagonjwa kukaa kwa muda mrefu. Nikakaa ndani ya chumba hichi cha wagongwa mahututi kwa siku nne kisha nikarudishwa kwenye chumba cha wagonjwa wa kawaida. Nikaka hospitalini hapa wa wili mbili na nikarihusikwa kurudi nyumbani huku nikiwa na afya nzima.

“Ume fikiawapi mke wangu kumpata muhusika?”

Nilimuuliza Caro mara baada ya kufika nyumbani kwake tukitokea hospitalini.

“Kusema kweli bado uchunguzi una endelea kufanyika na hatujamtia nguvuni mtu hata mmoja”

“Na huwezi kumtia nguvuni yoyote”

“Kwa nini una sema hivyo mume wangu”

“Aliye nichoma hii sindano ya sumu ni wifi yako. Mke wa kako yako na uta kuta mume wake ana jua hili swala ndio maana mume amua kulifaunika funika tu ili mradi liishie hewani”

“Ila mume wangu hakuna ushahidi wowote unao onyesha kwamba ume tekwa na wifi”

“Ile gari kule Lushoto ilikuwaje, si gari ya walinzi wa wifi yako una hisi ile gari nime ipataje, au nimevamia walinzi na kuiiba?”

Nilizungumza kwa ukali kidogo huku nikimkazia macho Caro.

“Sio hivyo”

“Ila?”

Caro akashindwa kunijibu chochote zaidi ya kukaa kimya.

“Kaka usiwe na hasira sana. Hali yako bado haijakaa sawa na pia ile gari nilikwenda kuichukua na ipo nyumbani kwa sasa”

“Gari yangu kubwa imesha toka?”

“Ndio pia ipo nyumbani”

“Ime nyooshwa au?”

“Ipo vizuri sawa na mpya kabisa”

Shabani aliendelea kunijibu huku akinitazama machoni mwagu. Nikajitazama kifuani mwangu huku nikitazama kovu hili nililo pasiliwa hospitalini.

“Madaktari wamesemaje kuhusiana na hiyo sumu?”

“Ahaa waliweza kukufanyia upasuaji ili kuiwahi isifike kwenye moyo wako. Kiti kingine walicho weza kukigundua ni kwamba kuha mbavu iliweza kuhama kidogo ndio maana walikufanyia upasuaji na kwa sasa wamenieleza kwamba usifanya mazoezi magumu kwa muda mrefu”

**OFA OFA

Kwa wale ambao hamujamaliza X. Leo ofa ni sh 1500

Ofa hii itaisha saa sita usiku na baada ya hapo utarudi kwenye bei yake ya sh 250 kwa episode moja**

Caro aliniazungumza huku akinitazama usoni mwangu.

Siku zikazidi kusonga mbele huku nikizidi kusonga mbele hadi nikapona kabisa. Safari hii sihitaji mchezo wala msamhaa kwa mtu yoyote ambaye tayari alisha nionyesha nia ya kunia.

“Kesho asubuhi nina kwenda Tanga”

“Kufanya nini?”

“Kuna mambo yangu nina hitaji kwenda kuyashuhulikia”

“Twende wote basi mume wangu”

“Hapana nina kwenda mimi mwenyewe.”

“Nikupatie gari lipi?”

“Nita tumia bmw yangu. Ni safari ya siku mbili kisha nita rudi”

“Sawa baby”

Gafla Caro akaweka mdomo wake mdomoni. Hata glasi ya juisi aliyo kuwa ameishika akaiachia na kuanza kukimbilia bafuni. Nikaingia bafuni, nikamkuta akiatapika.

“Una nini?”

“Hata sijielewi, japo juisi nime iweka ndimu nyingi sana ila bado nina hisi kichefu chefu”

Nikamgusa Caro shingoni mwake na joto la mwili wake lipo kwa kiwango kikubwa sana. Nikamtazama kwa muda kisha nikatabasamu.

“Bee yaani una furahi mimi kutapika?”

“Hapa ila kume kucha”

Nilizungumza huku nikirudi chumbani.

“Una manisha nini?”

“Naamanisha hizo ni dalili za mimba”

“Mmmm mimi malaria zangu huwa zina nianzaga hivi hivi”

“Hiyo ya sasa hivi sio Malaria. Shahaw** zangu huwa haziendi bure”

“Hahahahaa haya bwana, ngoja nimuagize dereva aniletee kipimo”

Caro akamuagiza dereva wake na akamletea kipimo kidogo. Akapima na kweli akakuta ana ujuuzito. Furaha ikatawala kwetu sote huku nami nikijipongeza namna nilivo timiza malengo yangu.

“Asante sana mume wangu”

Caro alizungumza huku akilia kwa uchungu sana.

“Usijali mke wangu. Nina amani sasa”

“Kweli?”

“Ndio baby nina amani sasa”

“Nashukuru kwa kuwa na amani”

Caro akampigia simu daktari wa kina mama na akafika nyumbani hapa na kuanza kumshauri namba ya kuhakikisha ana ilinda mimba yake isitoke kwani hekaheka za kazi yake ni ngumu sana na zina weza kuhatarisha maisha ya kiumbe kilichopo tumboni.

Asubuhi na mapema nikaianza safari ya kuelekea jijini Tanga huku nikiongozana na rafiki yangu Shabani.

“Aisee kale kademu sijui kama nita kakuta kwa maana nimiezi minne sija wasiliana naye”

“Duuu kama ana kupenda ata kusubiria. Si umemuachia nyumba na pesa ya kutosha?”

“Yaa nilimuachia kitu kama milioni tatu hivi, kama atakuwa amezila basi ita kuwa ni uzembe wake kwa kweli.”

“Ita kuwaje kwa Caro siku akijua una mwanamke?”

“Shauari yake. Alafu sija kuambia ndugu yangu. Caro ni mjamzito”

“Weee umesha sababisha mambo”

“Ohoo kitambo, nimesha mjaza ila hii ia nisaidia sana kunilinda”

“Una maana gani?”

“Una jua mambo yametulia tulia hivi hii ni kutokana na yeye kunikingia kifua kwa kaka yake. Aliniambia endapo nita kufa au kutekwa basi ata jiua. Hivyo kaka yake ana liogopa sana hilo jambo. Ndio maana nina ishi hadi sasa”

“Aise eila maisha yako ni ya kuunga unga ndugu yagu. Ina bidi hawa tuwaondoe wasiwepo kabisa duniani. Una jua kumsamehe adui anaye iwinda roho yako ni dhambi”

“Najua hili kaka”

“Basi hakuna kuwasame ni lazima walipe kwa madhambi yote waliyo fanya”

“Nime kuelewa kaka”

Tukafika jijini Tanga moja kwa moja nikaeleka ilipo nyumba yangu.

“Hembu simamisha gari hapa”

Nilimuambia Shabani kwani tulipokezana njiani katika kuendsha gari hili. Akasimamisha eneo la karibu kabisa na nyuma yangu.

“Vipi?”

“Nahitaji kuingia pasipo yule mwanamke kuweza kujua chochote”

“Una hisi nini?”

“Wala sihisi kitu”

Nikachomeka bastola yangu kiunoni mwa nyuka kisha nikashuka katika gari hili. Kutokana mtaa huu ume tulia, nikapanda ukuta pasipo watu wengine kuniona. Nikaingia ndani ya nyumba uzio wa nyumba yangu kimya kimya. Mazingira ya nyumba yangu yana onekana ni masafi sana. Nikafika eneo la sebleni, nikachungulia ndani na nikamuona jamaa mmoja akiwa amekaa na pensi, miguu akiwa ameiweka juu ya meza huku mkononi mwake akiwa na simu huku akichati chati. Nikachomoa bastola yangu taratibu huku nikiendelea kumtazama jamaa huyu.

“Baby”

Niliisikisa sauti ya Tina.

“Yes baby”

“Vipi nikutegenezee soseji?”

“Ndio mke wangu”

“Mamae walai kwa hiyo kaingia mwanaume kwenye nyumba yangu”

Nikanyata hadi eneo la jikoni, nikachungulia, nikamuona Tina akiwa amevaa bikini pekee huku akianza kukaanga soseji hizo. Nikamfwatilia kimya kimya pasipo kugundua kitu chochote. Akamaliza upishi wake kisha akarudi sebleni huku akiwa amebeba glasi ya juisi pamoja na soseji hizo. Wakaanza kulishana kwa mahaba huku kwa mara kadhaa wakinyonyana denda. Nikazunguka katika mlango wa siri wa kuingilia ndani. Nikaufungua taratibu na nikaingia ndani. Nikatemba kwa kunyata sana hadi sebleni. Glasi aliyo ishika Tina ika mponyoka na ikaanguka chini na kupasuka kwa mstuko mkubwa alio upata.

“Wee ni nani unaye inga ndani kwa watu pasipo kubisha hodi”

Jamaa huyu alinyanyuka huku akitunisha kifua chake. Nikachomoa bastola na kumfanya awe mpole na kurudi chini pasipo hata kumuambia arudi chini.

“Malizieni kula”

Nilizungumza huku nikikaa katika sofa linalo tazamana nao. Tina mwili ukazidi kumtetemaka huku jasho likimwagika. Nikatoa simu yangu mfukoni na nikampigia simu Shabani.

“Kaka”

“Ndio kaka”

“Ruka ukuta na fungua geti na uingize gari”

“Sawa kaka”

Nikakata simu na kuendelea kuwatazama.

“Nime waambia endeleeni kula”

“E…d…..e.dy u….m…e.r…r.r…udi”

Tina alizungumza kwa kigugumizi kizito sana.

“Sijarudi bado”

Nilizungmza kwa sauti ya upole huku nikiendelea kumkazia macho Tina.

“Nimewaambia endeleeni kula. Muna shangaa shangaa nini?”

Mlango wa sebleni uka gongwa.

“Kaka ingia nahisi mlango upo wazi”

Shabani akaingia ndani hapa, akashangaa kukuta fumanizi hili.

“Ebwana ndugu wewe kijukuu cha mtume aise. Ulicho hisi ndio hichi”

“Kaka yaani nina machale kama mbwa wa polisi”

“Kweli aisee. Ehee huyu ndio shemeji uliye kuwa una niambia?”

“Yaa ndio shemeji yako bwana naona ameletwa mzee baba ndani”

“Daa wanawake sijui ni nani amewaroga nyinyi. Jumba kubwa kama hili halijakutosha tu kumuheshimu aliye kuweka ndani nawe una lete boya tu huyu”

Tina akapiga magoti huku akilia kwa uchungu sana.

“Tina kaa bwana. Endeleeni kula, mzee baba yaani alijiachia miguu juu ya meza kama nyumbani kwake. Aisee hivi una jua hiyo meza ni sh ngapi wewe?”

Jamaa akakosa hata ujasiri wa kunijibu macho yakamtoka huku naye akitetemeka.

“Kaka acha tuwae”

Shabani alizungumza huku akichomoa bastola yae.

“Usituuse usitue, tuna omba masamaha”

Tina alilia sana huku akiendelea kupiga magoti.

“Ngoja kwanza Sheby. Nahitaji kuona kitu kimoja”

“Kitu gani?”

“Labda nilivyo kuwa nina mtomb** huyu demu labda nilikuwa nina kosea. Dogo hembu anza kupiga mechi iliyo mpagawisha demu wangu hadi akaamua kukuleta humu ndani”

“Hapo ume nena kaka. Alafu sikuwahi kushuhudia X za bure bure. Ehee pigeni mzigo tuone jamani”

Shabani alizungumza kwa furaha huku sote tukiwatazama Tina na mwanaume wake.

“Dogo usibung’ae bung’ae macho aisee. Nita kukula mzigo mimi mwenyewe”

Shabani alizungumza kwa msisitizo.

“K…aka. M…mi huyu demu sik…ujua ka….ma an.aaa….mume wak….e wake. Lai…ti ning….ej….ua nisi…nge ku…wa ha”

“Ohoo ulihisi ana fanya kazi gani hadi amiliki jumba kama hili?”

“A….ali….n..ia…ambia……aa ye…ye ba…..a….ba ya..ke ni ta…ji..ri hu…ko…….Aru….sha ana mil….iki migodi ya madini”

Jama aliendelea kuzungumza kwa kigugumizi kizito kiasi kwamba nikabaki nikitabsamu.

“Wewe baba yako ana migoni ya madini wewe?”

Nilimuuliza Tina huku nikimtazama usoni mwake.

“Dogo una itwa nani?”

“O…m…arii….m…mi….mi ni….mpak….a ra…..ngi…kucha”

“Kaka kun mpaka rangi kucha mmoja mara kwa mara alikuwa ana kuja home kumpaka wife rangi kipindi ambacho mimi nina kwenda kwenye mihangaiko yangu. Kumbe jamaa alikuwa ana tega kabisa sehemu nikitoka yeye ana ingia na kijidai ana mpaka wife kucha. Kumbe alikuwa ana mtongoza. Sasa si una jua mtaa wetu hauna siri ule. Bwana wee nika tonywa kwamba kuna kajamaa kanaingia kwako kila ukitoka. Siku nika tegesha mtego wangu, nikajifanya kama nime toka kisha nika rudi. Nikabana dirishani nikakisikia jinsi kinavyo mwa verse kwa wife. Wife akawa anachomoa, uvumilivu ukanishinda nikaingia ndani, ebwana nilikapiga na nikampokonya vitendea kazi zake vyote na kumfukuzia mbali. Sasa hawa wapaka kucha kazi yao ni kutongoza wake za watu na wana penda sasa wake za watu. Hembu niruhusu nimle kiboga ili akawaadithie wezake huko.”

Shabani alizungumza huku akisimama na kuanza kuvua mkanda wa suruali yake na kumfanya Omary kuanza kulia kwa uchungu kwani tamu leo imeingia shubiri.


“Rashidi nakuomba unisemehe tafadhali”

Tina alizungumza huku akitembea kwa magoti hadi hapa nilipo. Akanishika miguu yangu huku akiniinamiia na kuendelea kulia kwa uchungu.

“Dogo vua boksa, nikule mzigo”

“Aha…kaka nakuomba unisamehe, tafadhali nisamehe jamani. Laiti kama ninge jua huyu ni mke wa mtu haki ya Mungu vile nisinge lala naye. Kweli nina kuapia kaka yangu nisinge kuwa hapa.”

Omari alizungumza huku akiia kwa uchungu sana.

“Sheby”

“Ndio kaka”

“Tumsamehe hana koda dogo. Jini ni huyu mwanamke hapa”

“Ila kaka acha nimzindue kidogo akome kutembea na wanawake za watu”

“Hapana tumsamehe. Dogo uta rudi kumtongoza demu wangu?”

“Hapana kaka, yaani nina kuapia kaka yangu sinto rudia. Haki ya Mungu vile”

Omari aliapa huku akiendelea kulia kwa uchungu.

“Ila Rashidi una msameje hata makofi mawili matatu. Haikubaliki”

Msemo huu wa Shabani ukanikumbusha kipindi tukiwa wahuni wa mtaani huwa kama nimekoseana na mtu alafu nika msamehe ni lazima Shabani alikuwa akimzaba makofi hata mawili. Shababu akamnyanyua Omari na kumtandika makofi mawili ya mashavuni hadi Omari akayumba kwani sio makofi ya mchezo mchezo. Akambamiza ngumi mbili za kifua na zilizo shiba na Omari akaanguka chini.

“Kaka uta niua kaka”

Omari alilalama.

“Sasa nio ujue utamu wa wake za watu shenzi. Kimbia kabla sijakumwaga ubongo”

Nilimuambia Omari, akasimama na kutoka ndani haba baru. Nikafungua dirisha na kumtazama jinsi anavyo kimbia kwa kasi na akatoka getini na kutokomea.

“Kaka naomba masaada wa kufunga geti”

“Poa ndugu yangu”

Shabani akatoka ndani hapa, nikamshika mkono Tina na kwa kasi nikaanza kumvuata kuelekea chumbani kwetu. Nimasukumia kitandani huku akilia, nikatazama jinsi shuka lilivyo changuliwa na nguo za jamaa zime jaa kabatini. Nikachomoa mkanda wangu wa suruali na bastola nikaichomkea kiunoni mwangu.

“Nataka kukuonyesha jinsi mali ya mwanaume anaye toa jasho isivyo tumiwa kipuuzi.”

Nikaamza kumchapa Tina kwa mikanda na kumfanya alie sana.

“Kwa nini umeingiza mwanaume ndani kwangu?”

Niluzungumza kwa hasira huku nikiendelea kumchapa na mikanda hii.

“Nisamehe mume wangu. Naomba unisamehe”

“Ulihisi pesa ya kununua hii nyumba niliokota si ndio?”

Nilizidi kuzungumza kwa ukali kiasi cha kumfanya Tina ajikunyate kwenye moja ya kona ya kitanda.

“Nina kuuuliza malaya wewe?”

“Naomba unisamehe mume wangu. Nipo chini ya miguu yako”

Nikamtazama Tina kwa macho ya hasira kiasi cha kutamani kumuua ila nikajizuia sana. Ina kuwaja Jackline nina achana naye kwa miaka ila hanisaliti ila huyu mpuuzi ni miezi tu ila ameingiza mwanaume ndani.

“Umetomb*** na wanaume wangapi ehee?”

Nilifoka sana.

“Ni huyu tu”

“Ohoo ni huyu tu ehee?”

“Ndio”

“Chukua kilicho chako na nguo za mseng** wako na uondoke ndani kwani. Una dakika ishirini tu la sivyo uta nifanya niione damu yako. Kama niliweza kuwaua majambazi mbele yako, sishindwi kukua wewe na kwenda kukupoteza kusipo julikana”

Nilizungumza kwa ukali sana. Mlango ukagongwa.

“Ingia”

Shabani akaingia ndani hapa.

“Aisee chumba kizuri, kuliko hata changu ninacho lala na mke wangu. Kwa hiyo yule boya alikuwa ana kula mzigo humu ndani?”

“Ndio hivyo”

“Hizi nguo ni zako?”

“Hapana si za yule mpuuzi. Yaani jama alihamia hapa kabisa”

“Duu”

“Mume wangu naomba unisamehe. Haki ya Mungu nina kuomba unisamehe, sito rudia tena. Nina kuapia haki ya Mungu vile sinto rudia tena kukusaliti”

Tina alilia kwa uchungu sana.

“Yaani mke wangu wa Ufarnsa nilikaa miaka miwili bila hata kumpigia simu ila dada wa watu hakunisaliti zaidi ya kuendelea kunitafuta na kuamini kwamba ipo siku ata niona. Ila hawa wanawake wa Kitanzania sijui wamepewa nini. Mama Shamsa majanga, Caro alinisaliti, huyu kunguru naye msaliti. Hivi ni gundu au?”

“Kaka waafrika tuna penda sana chini. Sikia kumfukuza humu ndani sio suluhisho la tatizo ila muache akae hapa”

“Kaka huyu ni msaliti?”

“Ndio nina jua hilo Chidi. Nina imani hato rudi tena, yaani zile sifa zote alizo kuwa una nipa una taka kuziacha ziondoke hivi hivi. Msamehe bwana, ona ume mvimbishaa kwa kumpiga. Kaka mwanamke hapigwi kwa mkanda mwanamke ana pigwa kwa upande wa kanga bwana”

Shabani alizungumza huku sote tukimtazama Tina jinsi alivyo jikunyata kwenye kona ya kitanda.

“Shem chukua shuka hili jifunike, nisije kuona nisivyo paswa kuona bure”

Shababi akamrushia Tina shuka na akajifunika kwani muda wote alikuwa maziwa wazi pamoja na bikini tu.

“Kaka hawa wanawake ndio hutuletea maradhi humu ndani”

“Sawa ila kama vipi mchukue sasa hivi. Tumpeleke hapo Bombo, akapatiwe matibabu kisha apimwe Ukimwi na mangonjwa mengine. Akikutwa anao si una achana naye tu”

“Eti ehe?”

“Ndio kaka. Una pima HIV akiwa nayo una piga chini. Una vuta mwengine wa kuja kuchukua nafasi yake kwa maana alijitakia mwenyewe”

“Vaa nguo twende hospital”

Tina taratibu akashuka kitandani huku mgongoni, na mapajani akiwa amejaa alama za mikanda niliyo mchapa. Shabani akatoka ndani hapa ili kumpisha Tina ajiandae.

“Kwa nini unefanya hivyo?”

Nilimuuliza Tina kwa sauti ya upole huku nikikumbuka wema wote alio nifanyia kuniokoa kutoka mikononi mwa majambazi walio panga kuniua.

“Nisamehe mume wangu ni shetani. Nilikutafuta sana kwenye simu sikukupata. Nilikata tamaani nikiamini umenitelekeza kumbe bado upo hai. Samahani sana mume wangu”

Tina alizungumza kwa sauti iliyo jaa majonzi mengi sana hadi nikamuonea huruma.

‘Ila nimemuonea mtoto wa watu. Mimi mwenyewe si mchepukaji?’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama Tina jinsi anavyo jianda kwa shida kwa maana mikanda nilimchapa kisawa sawa.

Tukaondoka nyumbani hapa na kuelekea hospitali ya Bombo madaktari wakampokea kwa ukarimu na akapatiwa huduma ya kwanza.

“Ume fanya nini dada?”

Daktari alimuuliza.

“Vibaka walinivamia wakanipiga mikanda”

Jibu la Tina likanifanya nimtazem usoni mwake kwa sekunde kadhaa huku nikiona ni namna gani anavyo ficha aibu yangu kwani kwa dunia ya sasa kumpiga mwanamke ni jambo la aibu kubwa sana kwa mwanaume.

“Pole sana dada”

“Asante”

“Ahaa je majibu yako ya HIV niyatoe mbele yako au mbele ya mume wako?”

“Zungumza tu dokta mume wangu hana shida”

Daktari akanitazama na kwa ishara nika mruhusu kuzungumza.

“Tume mpima magonjwa yote. Damu yake ipo salama na haina virusi vya aina yoyote ila kwenye mkojo kidogo ndio kuna shida. Tumekuta na UTI”

“UTI haina shida”

Nilijikuta nikifurahi kimoyo moyo. Baada ya matibabu tukarudi nyumbani na nikapata wasaa wa kumtambulisha Shabani kwa Tina na kwa jinsi ninavyo zungumza kwa furaha kana kwamba hakuna kilicho tokea hadi Tina akajikuta akishangaa.

“Mbona muoga. Yamesha pita hayo mke wangu sasa hivi tuangalie afya yako ikipona basi mambo yata kuwa sawa”

“Sawa mume wangu”

Nikamuadithia Tina namna nilivyo pata ajali mara baada ya kumaliza kuzungumza nyae, nikamueleza jinsi nilivyo tekwa na kuchomwa sindano ya sa sumu.

“Hivyo kipindi ulivyo kuwa una nitafuta nilikuwa hospitalini”

“Nisemehe sana mume wangu kwa kunifikiria vibaya nilihisi ume kwenda zako Ufaransa kwa mke wako”

“Siku nyingine usipende kudhani”

Kutokana na majeraha ya Tina ikatubidi mimi na Shabani tuingie jikoni kuandaa chakula.

“Ila haka kademu bro ni kazuri aise”

“Eti”

“Yaa nime kaelewa sana. Fanya mpango nako uka tundike mimba”

“Ngoja kwanza Caro akae sawa na mimba yake kisha na huyu nije kuwekeza. Nimfungulie miradi aiendeshe hata siku nikiwa sipo basi mambo yana weza kuwa mazuri”

“Hapo ume nena kaka”

Tukaanda chakula hichi na kwa pamoja tukala. Muda wa usiku mimi na Tina tukaingia chumnbani kulala na Shabani akaingia chumbani kwake kulala. Sikutaka kumgusa kabisa Tina kwa maana hapa kama jamaa ameacha mbegu zake tumboni mwa Tina nami nikipandikiza zangu basi kuna uwezekano mkubwa sana wa kubambikiwa mtoto. Majira ya saa nane usiku, nikaanza kuhisi vishindo vya kama watu wanao ruka kwa ndani. Kutokana na machale yangu kuwa na nguvu sana ya kuhisi mambo kwa haraka. Nikachomoa bastola yangu chini ya mto kisha nikashuka. Nikavaa tisheti na kuchungulia dirishani. Nikaona watu nane wenye bunduki wakiingia nyumbani hapa kwa tahadhari kubwa sana.

“Shiti”

Nikamnyanyua Tina kwa haraka na kumuingiza bafuni.

“Kaa humu hadi nitakapo toka kuja kuna majambazi. Funga mlango kw andani”

“Majambazi”

“Shiiiii”

Nikatoka ndani hapa, nikampigia simu Shabani.

“Kaka ume waona?”

“Ndio ndugu yangu tena nilikuwa nina anadika meseji hivi”

“Upo vizuri”

“Ndio”

Nilizungumza kwa sauti ya chini sana.

“Ndio ndugu yangu”

Nikaikoki bastola yangu kisha nikatoka chumbani hapa kimya kimya. Nikakutana na Shabani kwenye kordo. Tukajibanza kwenye sehemu ambazo tuna amaini kwamba hawa jamaa nilazima wataingia kupitia mlago wa jikoni ma mlango wa mbele. Kitendo cha mlango wa mbele ambapo ndipo nilipo mimi kifungulia, aliye tangulia hakuwa na bahati. Nikamtandika risasi ya kicha na kuwafanya walipo nyuma yake kurudi nyuma. Nikasikia eneo la jikoni Shabani naye akifanya kazi yake ya kuwashambulia jamaa hawa. Shambulizi hili hakika ni bay asana kwa upande wao kwani kila mmoja hakutarajia kukumbana na shambulizi kama hili. Hatukuruhusu hata mmoja aweze kutoka na wote nane tukafanikiwa kuwau. Tukaanza kufunua vinyago walivyo vaa vichwani mwao. Watano ni wazungu halisi huku watatu walio salia wana asili ya Kimarekani. Kila mmoja kwenye mkono wake wa kulia ana chata ya mnyama Chui.

“Hizi alama zina maanisha nini?”

Shabani aliniuliza huku tukizitazama mati za watu hawa.

“Watu hawa ndio walio nivamia nilipo kuwa hotelini. Ina onekana ni watu wa DON”

Tukasikia vilio vya gari za polisi vikisimama nje ya geti la nyumba yetu. Nina imani kwamba majirani waliweza kupiga simu polisi.

“Naomba bastola yako”

Nilimuambia Shabani na akanikabidhi.

“Wewe nenda ndani mimi nita malizana na polisi”

“Una taka kuwavamia?”

“Hapana nita zungumza nao”

“Sawa kaka”

Shabani akakimbilia ndani na kuniacha hapa nje. Nikawoana askari jinsi wanavyo ruka ukuta na wakafungua geti. Gari mbili zikaingia kwa kasi na askari wakajifanya kuruka.

“Wana mbwembwe hawa. Muda wote walikuwa wapi”

“Nyoosha mikono yako juu”

Askari mmoja alizungumza huku akiniyooshea bunduki. Nikatii amri huku askari wakinisogela.

“Mimi ndio mwenye nyumba nilivamiwa”

Nilijihami kwa kuzungumza na askari hawa hawakutaka kuniamini kwa haraka. Wakapiga pingu na kuniamrisha niaelekee kwenye gari lao.

“Wewe ndio ume waua?”

Askari mmoja alizungumza.

“Ndio wamenivamia nyumbani kwangu wakiwa na silaha ila bidi nijilinde na hichi ndio kilicho wakuta”

“Hembu mfungueni pingu”

Askari huyu mwenye cheo ya RPC alizungumza na nikafunguliwa pingu hizi.

“Sura yako sio ngeni”

RPC alizungumza.

“Naamini hilo”

“Mkuu huyu ndio yule gaidi tuliye kuwa tuna mtafuta kipindi kile na serikali ikaja kukanusha kwamba sio gaidi”

Askari aliye kuwa amenifunga pingu alizungumza.

“Hapa ndani kwako una ishi na nani?”

“Na rafiki yangu pamoja na mke wangu”

“Wapo salama?”

“Ndio”

“Kawatoe”

Nikaongozana na askari wawili hadi sebleni.

“Nisubirini hapa”

Nikamgongea Shanani chumbani kwake.

“Ni mimi”

Shabani akafungua mlango huku akichungulia nje.

“Toka tu, ngoja nimchukue Tina”

Nikaingia ndani kwangu, nikagonga mlango wa bafuni.

“Tina fungua ni mimi”

Tina akafungua mlango, akanikumbatia huku akilia kwa woga.

“Nimesha waangamiza mke wagu hivyo tulia sawa”

“Kweli mume wangu”

“Ndio”

“Mimi nina ogopa”

“Usiogope mke wangu ni salama tutoke tu nje”

Tukatoka nje huku nikiwa nimeongozana na Tina na tukamkuta Shabani akizungumza nammoja wa askari.

“Bastola zako zina kibali?”

RPC aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Ndio mkuu zina kibali ila nimekiacha nyumbani kwangu Dar es Salaam kwa maana ninaishi Dar na Tanga”

“Sawa kwa usalama ina bidi tunongozane kituoni nami kisha vijana wangu wata dili na hii miili na pia tukupongeze kwa kazi nzuri sana uliyo ufanya”

“Nashukuuru sana mkuu”

Tukaingia ndani ya gari moja la polisi na tukaongozana na gari ya RPC kuelekea kituoni.

“Una jisikiaje baby?”

“Hofu bado ina nitawala”

“Usijali, ita isha tupo sehemu salama”

“Kwa nini mume wangu hawa watu wana kundama, siku zile ni pale hotelini leo hii nyumbani, una nini chao ulicho kichukua na kama kipo basi warudishie na wakuache ushi kwa amani mume wangu”

Tina alizungumza kwa sati iliyo jaa uchungu na wasiwasi.

“Una jua nini wanacho kihitaji”

“Hapana?”

“Wanahitaji roho yangu na hawato acha kunifwatilia hadi pale watakapo ona nime kufa hivyo jiandae kwa lolote, siku yoyote na wakati wowote mume wako nita kuwa marehemu”

Nilizungumza maneno yaliyo mstusha sana Tina na akabaki akichuruzikkwa na machozi kwani hakutegemea nilichomueleza kwani nina imani akilinimwake alihisi labda nimeiba kitu kwa jamaa hawa ila sivyo alivyo fikiria, kinacho windwa hapa zaidi ni roho yangu na wanahitaji kunipoteza duniani ili DON awe na amani ya kuishi.



“ROHO!!?”

Tina aliuliza kwa mshanago mkubwa sana huku akinitazama usoni mwangu.

“Ndio roho. Ila viti vingine sio vya kuzungumzia hapa. Tutazungumzia nyumbani”

Tukafika kituo cha polisi, moja kwa moja tukaelekea katika ofisi ya RPC huku naye akiwa ameongozana na vijana wake wawili.

“Bwana Rashidi Pinda kama sija kosea”

“Ndio ni mimi”

“Jeshi letu kwa ujumla nchini Tanzania lilikuwa lina kusaka kwa udi na uvumba. Wananchi kadhalika walileta taarifa za sehemu ulipo ili mradi wawe ni miongoni mwa watakao pata zawadi nono ya kiwango cha pesa kilicho kuwa kime tangazwa na serikali. Ila kesi na msakao ule ulifungwa baada ya kujulikana kwamba wewe sio gaidi. Labda nikuulize kwa nini ulipakaziwa juu ya kashafa kubwa kama ile?”

Swali la RPC likanifanya nishushe pumzi taratibu huku nikimtazama usoni mwake.

“Ina maana hadi leo hii hamjafahamu ni nani ambaye alikuwa ni muhisika wa uzushi ule”

“Tulisikia na tuka jua ila tuna taka kujua kutoka kwako”

“Muheshimiwa RPC. Don ndio alikuwa ni muhusika wa tukio hilo. Aliweza kutengeneza video hiyo na kunipakazia ndio maana ukweli ulivyo kuja kufunguka kila kitu kimekwisha hewani. Isitoshe yeye ndio anaye endelea kuwatu ma watu wake kuja kuniangamiza ila kwa hili sinto kaa kimya ni lazima na mimi nihakikishe nina muwinda”

“Ina maana una uwezo wa kupambana na huyo DON. Muuza madawa ya kulevya mkubwa Duniani?”

“Ndio nina weza”

“Ila kwa rekodi nilizo zisoma DON, sio mtu rahisi kihivyo?”

“Nimekaa na DON meza moja, nime kula naye na nime kunywa naye ndani ya nyumba yake. Amenitumia kuwa mpiganaji wake ulingoni. Nilipigana mechi za vifo huku yeye akitengeneza mamilioni ya Dollar huku mimi nikitengeneza siku za mwisho za kuishi kwangu duniani. Hivyo siongopi na sihofia na nina jua kwamba DON yupo hapa nchini Tanzania. Nikuahidi tu bwana RPC nita idhihirishia dunia nzima kwamba nime muua DON na wewe pia uta kuwa ni miongoni mwa watakao Tazama hiyo Clipp ume nielewa mzee”

RPC akanitazama kwa muda kisha akatabasamu.

“Laiti katika jeshi langu ninge kuwa na kijana mahiri kama wewe, ninge furahi sana. Ni kijana unaye jiamini na kujua kile unacho kifanya. Nikuulize una mafunzo ya kieshi au kwamaana zile maiti zote zime uwawa na mtu ambaye ana ujuzi. Na hili tukio lina fanania sana na wale watu walio kufa pale hotelini. Nina imani huyu binti hapa alikuwa ni mfanyakazi wa ile hoteli si ndio binti?”

“Ndio”

Tina alijibu kwa sauti ya unyonge.

“Ni nani alihusika kwa maana wote walio uwawa wana chata ya chui kwenye mikono yao”

“Mimi ndio muhisika. Niliwaua kwa sababu ukishambuliwa ni lazima ujilinde”

“Sasa kwa nini ulikimbia?”

“Nilijeruhiwa vibaya na sikukimbia ila niliokoa maisha yangu”

RPC akashusha pumzi nyingi huku akinitazama usoni.

“Naombeni mutupishe”

Watu wote wakatoka ndani hapa na nikabaki mimi na RPC.

“Nina itwa RPC Jofrey. Ni mtu wa mikoa ya kusini mwa Tanzania”

“Nashukuru kukufahamu”

“Najua una nia na hamu kubwa sana ya kumpata huyu DON. Ila nikuibie siri moja ambayo watu wengi hawaifahamu ila mimi nina ifahamu”

RPC akasimama kisha akasogelea dirisha la ofisini kwake hapa, akatazama mazingira ya nje kisha akarudi na kukaa kwenye kiti chake.

“Don yupo nchini Tanzania”

“Nalifahamu na yupo Mkoani Morogoro na amebadilisha sura yake na ame dhamini utengengenezajiw a kiwanja kipya cha mpira”

RPC macho yakamtoka huku akinitazama machoni mwangu.

“Ume juwaje?”

“Unapo kuwa una msaka adui yako huwezi kukaa kimya wala kubweteka ukisubiria akuvamie. Ni lazima uhakikishe una msaka na una mpata na ukimpata basi una dili naye”

“Ina onyesha uwezo wako wa upelelezi ni mkubwa sana. Ume yapatia wapi haya mafunzo?”

“Sio kila jambo ni la kulizungumza. Una elewa hilo muheshimiwa”

“Yaa nime kuelewa. Ila nina hitaji mimi na wewe kuunda timu. Timu itakayo msaka huyu DON, nime choka kukaa kwenye hichi kiti, nina imani ukinisaidia kumpata kwa kutimia mgongo wangu basi nita pata cheo. Cheo kikubwa zaidi ya hichi”

“Nimeikataa ofa yako kwa sababu. Don ana kula sahani moja na viongozi wa juu kuanzia raisi, wakuu wa mikoa na ma RPC kama nyinyi. Hivyo ni ngumu sana wewe kutoka kwenye mkono wa DON, kwani tayari umesha kula pesa zake zaidi ya bilioni moja na nusu za Kitanzania ndio maana nikiwa mkoni mwako ime kuwa ni rahisi sana mimi kushambuliwa na na watu wake wasio na uweledi na uwezo. Vijana wako wana kuja mwisho wa tukio kabisa.”

RPC macho yakamtoka kwa maana nahisi alihitaji niinigie kwenye mtego wake kirahisi ila mambo yakagoma.

“Weee wee ni nani amekuambia?”

RPC alizungumza kwa kujing’ata ng’ata.

“Kuanzia raisi hadi kiongozi wa chini anaye kula na DON nina taarifa zenu na ninazo hapa kichwani mwangu. Sijajua kwa nini nchi kubwa kama hii ina muhifadhi mtu muhalifu aliye husina na vifo vya watu wengi kisha ninyi muna shangilia tu”

“Kijana huko unapo elekea unacho kitafuta uta kipata. Una vuka mipaa kama raia wa kawaida hapaswi kuvuka”

RPC alinichimba mikrwa huku akinitazama usoni mwangu.

“Mzee simama kwenye cheo chao. Usivuke mstari kwa maana ukivuka mstari ukaingia kwenye mstari usio kuhusu, nita kupiga kadi nyekundu”

“Una nitisha mimi?”

RPC alizungumza kwa ukali huku akisimama. Nikasimama huku nikimkazia macho.

“Una taka kunifanya nini. Una nipiga, vijana ingieni”

RPC alizungumza kwa sauti ya juu huku nikiwa hata sijamgusa. Vijana wake wawili wakaingia ndani hapa huku wakiwa na bunduki.

“Mkamateni na mukamuweke chumba cha giza”

Askari hawa kidogo wakashangaa kwa maana huyo anaye sema ana pigwa yupi mbali kabisa na mimi.

“Musinishike”

Niliwaambia askari hawa na hapakuwa aliye nishika kwani walicho kiona kwneye zile maiti nina imani wame jifunza kitu.

“Kaka vipi?”

Shabani aliuliza huku akinyanyuka kwenye benchi alilo kuwa amekaa.

“Wasiliana na Caro, muambie nipo hapa, ondoka Tanga na Tina rudi naye Dar”

“Poa kaka”

“Baby kimetokea nini?”

“Uta ondoka na Shabani, hatuna muda wa kuongea sasa hivi”

Askari hawa wakaniongoza hadi chini ya kituo hichi ambacho kuna mahabusu za zenye giza totoro. Nikaingizwa kwenye moja ya mahabusu.

“Muambieni bosi wenu ana jichanganya na mtu ambaye siye”

Askari hawa hawakunijibu chochote. Baada ya dakika kama kumi wakarudi tena wakafungua mlango wa chumba hichi ambacho kina mbu wengi sana.

“Una weza kutoka, upo huru”

Tukatoka eneo hili na nikakutana na RPC eneo la mapokezi, akanitazama kwa macho ya hasira huku akiwa kama haamini anacho kiona.

“Una simu yako”

RPC alizungumza kwa sauti ya upo huku akinikabidhi simu yake.

“Mume wangu hao wapuuzi wame kupiga?”

Niliisikia sauti ya Caro.

“Hapana mke wangu”

“Washenzi sana haiwezekani uwaue majambazi walafu wakuweke ndani. Yaani wana bahati sijakuja ninge mzaba vibao huyo mpuuzi sana, yaani askari muda mwengine sijui wapoje. Yaani ameniboa na usingizi wangu hapa umekatika”

“Usijali mke wangu mimi nipo salama.”

“Una rudi lini Dar?”

“Tuta zungumza kwenye simu yangu”

“Sawa mume wangu, kama uta hitaji chochote nipigie simu”

“Usijali mke wangu na usijisumbue, angalia afya ya mtoto aliyopo tumboni”

“Yaani huyu ndio amenifanya nishindwe kutoka. Laiti ingekuwa sio hivyo sasa hivi ninge kuwa hapo Tanga”

“Basi badae”

“Poa nakupenda sana mume wangu”

“Nina kupenda pia mke wangu”

Nikakata simu simu huku askari wakiwa wananitazama kwa macho ya mshangao.

“Kama nina mla mdogo wa makamu wa raisi na mkuu wa kitengo nyeti cha serikali. Una hisi una weza kuniweka ndani hata nusu saa. Mzee uta vuliwa vyeo vyako hivyo badala ya kupanda uta shuka na nita mueleza ulaji wako kwa DON jinsi ulivyo”

“Ahaaa Rashidi kama huto jali nina kuomba tuzungumze ofisini kwangu”

RPC alizungumza huku akijichekesha chekesha.

“Mimi na wewe tumesha malizana”

“Hapana bwana naomba sana tuongee”

Nikamtazama RPC jinsi anavyo zungumza kwa unyenyekevu wa hali ya juu. Nikajikuta nikitabasamu kwa maana ujanja wote ume muishia na jeuri yote imemuisha.

“Sawa”

Tukaingia ofisini kwake kwa mara nyingine.

“Sasa tuzungumze kama wanaume na sio kuleta maigizo ya kipuuzi”

Nilimuambia RPC huku nikimtazama jinsi alivyo jawa na uso wa huzuni.

“Rashidi nina imani una jua jinsi maisha yetu sisi askari yalivyo. Mishahara tunayo pokea haitutoshelezi ndio maana tuna hadaika sana na hizi rushwa ndogo ndogo”

“Bilioni moja na nusu kweli ni rushwa ndogo. Niambie kitu cha kueleweka mzee mbona una taka kunivuruga ikiwa sihitaji kuvurugwa”

“Nakuomba usinichongee kwa huyo binti tafadhali nita poteza kazi yangu”

“Mimi mwanaume na sio snich kama unavyo hisi. Sasa nina ondoka na ole wako nivamiwe tena nikiwa hapa Tanga uta isoma namba”

“Sawa nime kuelewa”

“Naombeni simu yangu na bastola zangu”

Nikakabidhiwa vitu vyangu na wakanipa lifti hadi nyumbani kwangu. Nikakuta wakimalizia kuondo maiti za majambazi hawa. Nikampigia simu Shabani.”

“Kaka wapi hiyo?”

“Aisee ndugu yangu hapa nipo kabuki”

“Duuu umetembea”

“Hii gari si una ijua. Mwendo wa farasi”

“Ni kweli ni mwendo wa farasi, mpe simu huyo”

“Haloo baby”

“Nimetoka, una kumbuka dawa ulizo andikiwa hospitalini unywe?”

“Ndio”

“Basi muta nunua huko huko Dar. Sawa?”

“Sawa mume wangu. Upo wapi?”

“Nyumbani”

“Sawa, je uta kuja?”

“Ndio kwa nini sije”

“Sawa mume wangu nakusubiria”

“Usijali”

“Ndio niambie mzee baba”

“Safi aise, nimeingizwa chumba ina mbu balaa. Wanang’ata sio mchezo”

‘Hahaaa pole ndugu yangu. Mama aliwaka sana nilipo muambia ume wekwa ndani.”

“Wee”

“Yaani sipati picha RPC yupo kwenye hali gani sasa hivi”

“Amenywea balaa. Sasa ndugu yangu badae una endesha sasa”

“Poa ndugu”

Nikakata simu. Majira ya saa kumi na mbili, askari wakaondoka eneo hili. Nikawasilianana moja ya kampuni ya wafanya usafi, nikawapa kazi ya kusafisha nyumba yangu kwani kuna damu nyingi zilitapakaa eneo la nje huku kukiwa na maganda ya risasi. Majira ya saa nne asubuhi wakamaliza kazi, nikawagawia nguo za Omari zilizo kuwa zime achwa nyumbani hapa, kisha wakaondoka. Nikampigia simu Jackline, simu yake ikaita kwa muda kisha ikapokelewa.

“Niambie mke wangu”

“Salama mume wangu, nime kukumbuka sana mume wangu”

“Hata mimi nime kukumbuka sana, majukumu ya kazi ya hapa na pale kidogo yamekuwa ni magumu sana kwenye mawasiliano”

“Ohoo pole mume wangu”

“Nashukuru. Watoto wapo wapi?”

“Watoto wame lala mume wangu, huku ni usiku sasa”

Sikutaka kumpa presha mke wangu juu ya matukio matabaya yaliyo nikuta.

“Ume vaa nini mke wangu”

“Hapa nilipo nipo kama nilivyo zaliwa”

“Hembu nione”

Jackline akanionyesha mwili wake jinsi usivyo na nguo hata moja.

“Mmmm umenifanya mbo** inisimame”

“Hembu nione mume wangu”

Nikavua nguo na kumuonyesha Jackline jogoo wangu jisi alivyo simama wima.

“Mmmm aissiii”

Jackline alitoa miguno ya kimahaba huku akinionyesha jinsi anavyo jishika shika kitumbua chake. Ndani ya muda mfupi tukajikuta tukizama katika penzi zito, penzi la simu. Japo tupo mbali ila kila mmoja akajitahidi kumridhisha mwenzake hadi sote tukamaliza mtanange huu.

“Oohoo asante mume wangu. Yaani uta nifanya nije Tanzania”

“Usijali mke wangu uta kuja. Ngoja nimalize hii kazi iliyo nileta huku”

“Yaani nina hamu sana na wewe mume wangu”

“Hata mimi, goja nikaoge”

“Hujanionyesha kifua chako mume wangu”

“Ohoo ngoja nikuonyeshe”

Nikavua tisheti yangu na kumuonyesha Jackline kifua changu.

“Ngoja kwanza hapo kifuani ume fanya nini mume wangu?”

Swali la Jackline lika nigutusha na kutambua kwama sikumueleza juu ya huu mshono wa oparesheni niliyo fanyiwa.

“Ahaa kuna ajali ndogo nilipata mke wangu”

“Ajali. Mume wangu una pata ajali halafu humiambii chochote.”

“Mke wangu nilikuwa kwenye hali mbaya kidogo na simu nilipoteza na hii ni simu mpya”

“Hata kama mume wangu. Mimi ni mke wako na nina haki ya kujua kila kinacho tokea katika mwili wako. Hii unayo ifanya sio sawa”

Jackline alizungumza kwa ukali kidogo.

“Nisamehe mke wangu kwa hilo, nakiri kwamba nilikose”

“Mume wangu. Tambua mimi nimke wako wa ndo au huko una m wanamke mwengine ambaye ana jua kila nilicho kuwa nimepaswa kujua mimi?”

“Hapana mke wangu. Huko una fika mbali, siwezi kuwa na mwamamke ikiwa najua nina mke mzuri na watoto wazuri. Siwezi kufanya kitu kama hicho. Haya matukio mengine ni ya kawaida kikubwa ni mimi kuimalizia kazi yangu iliyo nileta huku”

“Sawa, uwe umamaliza au huja maliza nina kuja nchini Tanzania kesho asubuhi na nita hitaji unipokee uwanja wa ndege. Tutaifanya kazi pamoja na tuta imaliza pamoja na tuta rudi nyumbani pamoja kama tulivyo fanya nchini Somalia.”

Jackline alizungumza kwa msisitizo na kunifanya macho yanitoke huku nikimtazama usoni mwake, nikawafikiria Tina na Caro nita waweka wapi endapo Jackline ameamua kuja nchini Tanzania na ita kuwaje akijua nina wanawake wengine zaidi yake.



“Jack mke wangu”

Nilimuita Jackline kwa sauti ya upole kidogo.

“Bee”

“Mimi ni nani yako?”

“Mume wangu”

“Toka lini umeanza kuto kuniamini?”

“Sio kama sikuamini mume wangu”

“Ila…..?”

“Ila naona kama una nificha baadhi ya mambo muhimu kama hayo.”

“Nisikilize wewe ni mke wangu wa ndoa halali ya kiislamu. Una lea wanangu na nina pambana huku kwa ajili ya kuwaondoa maadui wetu. Una taka uje huku ili watoto wetu waweze kupata maisha ya shida tukiuwawa”

“Sio hivyo mume wangu ila….”

“Ila nini?”

Nilizungumza kwa upole ila kwa msisitizo.

“Nipo Tanzania una jua fika DON yupo hapa, una jua fika kwamba mambo yanavyo kwenda. Hembu acha niifanye hii kazi, sihitaji matatizo zaidi kwenye familia yangu wala kumpoteza yoyote. Tafadhali niamini mume wako na sikwenda Beirut kutalii, najua nilicho kifwata kule mke wangu”

“Sawa mume wangu naomba unisamehe pia kwa kukufokea?”

“Nimekusamehe na nina jua umuhimu wako. Ila nikiwa nina kueleza hata mchubuko ninao upate, nina jua wewe na watoto muta kuwa katika wakati wa wasiwasi. Tafadhali bwana mke wangu nielewe kwenye hilo, mimi ni mwanaume na nita fanya kila linalo wezekana ili muishi kwa amani”

“Sawa baby nime kuelewa”

“Nakupenda sana mke wangu”

“Nakupenda pia mume wangu”

“Watoto wakiamka naomba uweze kuwasalimia”

“Sawa mume wangu kipenzi nita wasalimia ila kuwa makini bwana. Utazidi kunipa wasiwasi”

“Usijali mke wangu, hakuna baya litakalo kwenda kunipata tena”

“Nashukuru mume wangu. Basi ifanye kazi kwa uharaka urudi nyumbani. Tume kukumbuka mume wangu”

“Usijali mke wangu nita rudi hivi karibuni. Ngoja nikuache upumzike.”

“Sawa baby”

Tukapigana mabusu ya hewa kisha nikakata simu na kushsah pumzi nyinngi kwani nimeweza kumaliza janga ambalo Jackline alitaka kulibabisha kwani laiti kama angekuja sijui inge kuwaje kwa Caro na mwenzake Tina.

‘Don sikuachi safari hii’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiingia bafuni, nikaoga haraka haraka, nikavaa nguo nyingine na nikatoka nyumbani hapa. Nikapanda pikipi hadi eneo moja linalo itwa Forodhani. Nikakaa kwenye moja ya kiti ambacho kina niwezesha kuona eneo hili zima. Simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni na kuona namba ya Shabani.

“Kaka”

“Ndugu yangu tayari tumesha fika na kula juu”

“Mungu ni mwema asiee. Huyo manzi yupo poa?”

“Yaa yupo fresh nime toka nje kidogo ili tuweze kuzungumza ndugu yangu. Sasa tume kuja na huyu bibie hapa, ita kuwaje kama Caro akija eneo hili huoni kama wata weza kugombana”

“Aisee hilo sikuliwazia kabisa. Ila fanya hivi jaribu kutafuta nyumba ya kununua mpya kwa siku ya leo yenye hadithi nzuri. Tuna inunua nyumba hiyo kisha wewe na familia muna hamia huko nina imani Caro hato weza kuwa ana kuja kuja na pia nna hitaji kuanza kanzi ndugu ndio maana nahitaji wewe na familia yako nzima muhame hapo ili mambo yasije kuharibika na maadui zako wakaja hapo”

“Ahaa sawa kaka nyumba ya garama gani?”

“Nyumba hata ya dola laki sita saba mwisho nane”

“Kwa pesa hiyo kweli tuta pata nyumba nzuri. Basi acha nifanye mchakato wa nyumba hiyo basi kwa maan anina wajua madalali wote wakubwa na wadogo”

“Fanya hivyo ila zile silaha zangu najaribu kufikiria ni namna gani zita weza kunifikia hapa Tanga kwa maana nina hitaji kuwa mbali kwa muda na kuikamilisha kazi yangu”

“Huitaji msaada wangu?”

“Nauhitaji sana ila kwa sasa una watu wa kuwatazama hilo ndio jukumu lako kwa sasa”

“Ngoja kuna rafiki yangu mmoja ana endsha basi, kutokana hizi bunduki zipo kwenye begi na zime gawanywa gawanywa nita mpatia mzigo leo hii hii na ata kukabidhi yeye mwenyewe hapo Tanga”

“Una muamini?”

“Sana ni mtu wangu wa karibu. Ana endesha basi linalo toka huku saa nane na nilikuwa nime ongozana nilipo kuwa nina kuja huku kwani alinikuta pale Lugoba asubuhi. Basi lake lina toka Tanga asubuhi na kugeuza saa nane mchana na kurudi huko Tanga”

“Sawa basi ukimkabidhi mzigo uta niambia na kumbuka kumuwekea Laptop yangu”

“Poa poa ndugu”

“Shukrani sana kaka usijali ndugu yangu”

Nikakata simu mara baada ya kuona simu ya Caro ikiingia na tayari nilisha maziliza kuzungumza vitu vya muhimu na Shabani.

“Niambie mke wangu”

“Safi mume wangu. Nime ingia Tanga sasa hivi upo wapi?”

“Ume kuja Tanga?”

“Ndio, ulihisi nita weza kukaa kweli nikatulia pasipo kukuona mume wangu upo kwenye hali gani jamani”

“Mmmm!!”

“Mbona una guna?”

“Hizo suprize zako ipo siku uta kuja kunikuta sipo”

“Najua kama unge ondoka unge nipigia. Niambie basi upo wapi?”

“Nipo Forodhani una pajua?”

“Napajua ndio”

“Basi nipo hapa”

“Dakika tano nita kuwa hapo”

“Sawa”

Kweli baada ya dakika tano nikamuona Caro akiingia katika uzio wa eneo hili huku akiw aamevalia jinzi nyeusi, tisheti nyeupe na miwani yeusi huku miguuni akiwa amevaa raba nyeupe. Kila alipo pita wanaume karibia wote waligeuza macho yao na kumtazama kwa jinsi alivyo umbika. Kwa bahati nzuri akaniona kabla hajanipigia simu kwani tayari alisha shika simu kwa ajili ya kunipigia. Akanifwata hadi sehemu nilipo nikasimama, akanikumbatia kwa nguvu, hakujali wingi wa watu eneo hili, akaninyonya denda la nguvu kisha akaka katika kiti kinacho tazama na kiti changu.

“Ume kuja na nani?”

“Peke yangu, nimeendesha gari kutoka Dar hadi hapa”

“Na hiyo hali yako kweli mume wangu”

“Nilizungumza na dokta mwengine akaniambia kwamba hakuna shida kikubwa niwe nina endesha kwa kupumzika, hivyo nime fanya hivyo na sijaona chochote kilicho tokea mume wangu. Pole kwanza kwa mambo ya jana”

“Nashukuru mke wangu”

“Nimepita hapo makao makuu ya polisi nilipo kupia nilikuwa hapo ndio nilikuwa nina malizana kuzungumza na RPC ili anipatie faili la tukio la jana. Nimeona picha za maiti zile ulizo ziua asiee upo vizuri sana mume wangu”

“Nashukukuru, una jua hadi sasa hivi siamini kama ume kuja?”

“Hii mume wangu si nimekunyonya denda kabisa uweze kujua kwamba ni kweli nime kuja jamani. Au una taka nikunyonye tena kwa maana naona wanaume wezako wana wame ingiwa na wivu si una ona mimacho yao ilivyo kuwa ina nitazama”

“Hahaaa, vipi agiza chakula”

“Sina hata hamu ya kula. Wewe malizia kunywa hiyo juisi yako tuondoke hapa. Nahitaji twende bomu tukazione hizo maiti kisha tutate muhisika wa tukio”

“Muhisika mbona ana julikana”

“Ni nani?”

“Ni Don”

“Mume wangu una msema DON ila huyo Don Tanzania hapa hayupo”

“Yupo na ana patikana, wewe subiri uone kun amzigo wangu nita upokea leo niinze kazi”

“Kazi gani?”

“Kazi ya kumsaka. Wewe una hisi nikiendelea kubweteka nita jikuta nime uwawa mke wangu”

“Mmmmm sawa”

Nikamalizia kunywa juisi yangu kisha tukanyanyuka hapa na kuondoka eneo hili. Tukaingia katika gari la Caro na moja kwa moja tukaelekea Hospitali ya Bombo. Caro akaonyesha kitambulisho chake kwa daktari mkuu na tukapewa idhini ya kwenda kuzitazama maiti hizo. Tukaongozana na daktari mkuu na hadi katika jengo la kuifadhia maiti. Daktari mkuu akamueleza msimamizi wa maiti hizi kutuonyesha miili ya majambazi walio letwa usiku wa kumkia leo.

“Mbona maiti zilisha tolewa muheshimiwa kama lisaa moja lililo pita”

Mzee huyu alizungumza na kutufanya tushangae kidogo.

“Zimetolewa na nani?”

“Kuna gari mbili za askari polisi zilikuja hapa na wakiwa askari, wakazibeba maiti zote na wakaondoka”

“Kwa kibali cha nani?”

“Cha kwako ni nina kopya ya kuidhinisha hilo. Ngoja nikuonyeshe”

Mzee huyu akafungua moja ya faili na akatoa karatasi ya kuidhinisha kuchukuliwa kwa miili hiyo ya majambazi na kuna sahii yake pamoja na muhuri wa ofisini kwake.

“Ila mimi sija idhinisha hichi kitu. Mbona sielewi”

Daktari mkuu alilalama, nikatazama eneo hili na kuona kamera kadhaa za ulinzi.

“Hizi kamera si zina fanya kazi?”

“Ndio zina fanya kazi”

“Dokta tupeleke chumba cha kutazamia hizo kamera”

“Sawa madame”

Tukaondoka na daktari huyu hadi chumba maalumu cha kufwatilia kila kinacho endelea hospitalini kupitia kamera zilizo fungwa karibia hospitali nzima. Tukawakuta vijana wawili wakiwa makini na utendaji wa kazi yao.

“Tuna hitaji kuona rekodi ya masaa mawili yaliyo pita katika eneo la Mochwari kule”

“Sawa dokta”

Kijana mmoja akaanza kurudisha kila kilicho fanyika ndani ya masaa mawili katika eneo la Mochwari.

“Hii ndio rekodi ya masaa mawili ni play au ni forward”

“Forward ila taratibu”

Nilizungumza na tukaanza kufwatilia kilicho tokea kwa masaa haya mawili ila tukazidi kushangaa kuona kwamba hakuna chochote kilicho rekodiwa.

“Nyinyi ndio mlikuwepo ndani ya masaa haya mawili?”

Caro aliuliza.

“Ndio, toka asubuhi tupo humu ndani”

“Vijana wenu hawana ujuzi dokta, hizi kamera walizi hack na tazama huyu mtu aliye kuwa amesimama hapa. Ndani ya lisaa zima amesimama bia hata kusogea na wao wamekaa tu hawajui kinacho endelea”

Nilizungumza huku nikimuonyesha mmoja wa watu walio kuwa wamesimama eneo la karibu na Mochwari hiyo. “Ila kweli, hata majani ya mti yana tingishika vile vile ikiwa eneo lile lina upepo mwingi sana kutokana na lipo karibu sana na bahari”

Dokta aligundua nilicho kizungumza.

“Ina onyesha hawa watu walijiandaa hadi kutumia gari za polisi na sare za polisi na muhuri wa huyu daktari pamoja na sahihi yake sio jambo dogo. Dokta mara ya mwisho kuidhinisha kutolewa kwa miili ya majambazi ilikuwa ni lini?”

“Kipindi kidogo. Wale majambazi walio uwawa kwenye ile hoteli pale barabara ya nagapi…..?”

“Ile miili yao ilichukuliwa na NSS”

“Ndio na nina kukumbuka hata wewe ulikuwepo”

“Ndio nilikuwepo. Ila hawa wamecheza mchezo. Sawa daktari asante kwa muda wako”

“Asanteni nanyi pia. Tuta jitahidi kuhakikisha ujuzi kwa vijana una ongezeka”

“Sawa sawa”

Tukatoka ndani hapa huku nafsi yangu ikiwa haikubaliani kwa uharaka na hichi nilicho kiona hapa.

“Mke wangu ngoja kwanza”

Nilizungumza huku nikisimama.

“Ina kuwaje sahihi iwe ya dokta na muhuri uwe ni wa kwake alafu afanye kama hajui chochote na isitoshe ina kuwaje kamera zidukuliwe na wajifanye wasijue una jua hapo ina niumiza kichwa”

“Una hisi nini wewe?”

“Hapa nina hisi kwamba kuna mchezo ume chezwa kati ya dokta, vijana wake pamoja na polisi”

Caro akajifikiria kwa muda huku akionekana kutafakari nilicho mueleza. Simu yangu ikaaza kuita nikaitoa mfukoni na kuipokea.

“Kaka”

“Ndugu yangu nimesha upakiza mzigo kwenye basi by saa nne hivi usiku gari litakuwa limesha fika Tanga”

“Ahaa, sawa sawa ndugu yangu shukrani sana. Naomba namba ya dereva”

“Ata kupigia muda si mrefu”

“Sawa ndugu yangu, baadae kidogo”

“Poa”

Nikakata simu.

“Nani huyo?”

“Shabani, kuna mzigo wangu ameutuma kwenye basi. Fanya hivi omba CD ya tukio hilo kisha uta nipatia nita ishuhulikia”

“Sawa ngoja niombe copy”

Caro akarudi kwenye chumba cha waongoza kamera. Nikaipokea simu yangu ambayo ime ingia namba mpya.

“Habari yako ndugu nina itwa Swalehe ni dereva nimepewa mzigo wako”

“Ohoo sawa sawa ndugu. Hii ndio namba yako ehee?”

“Ndio kaka”

“Hadi saa ngapi muta kuwa mumeingia Tanga?”

“Hadi saa mbili au tatu tuta kuwa hapo. Ila leo naona foleni hii ya Kibaha kidogo ime shika tuna weza kuchelewa kidogo”

“Sawa ndgu utanijulisha ukifika”

“Poa poa kaka”

Nikakata simu, Caro akatoka ndani hapa akiwa na CD.

“Ndio yenyewe?”

“Ndio baby”

“Nahitaji twende Mochwari tuka kague kwanza kwa maana tume ishia nje usije ukakuta maiti zipo ndani mule”

“Sawa”

Tukaelekea mochwari na tukakagua friji moja baada ya jengine na hatukuziona maiti za majambazi hao, Tukaondoka eneo hili na kuanza safari ya kuelekea nyumbani kwangu.

“Hivi una jua maswala ya kuagalia angalia maiti bila ya kuogopa, zina weza kumfanya mtoto akawa na sura mbaya”

“Hahaaaaaa…..”

Caro akacheka sana.

“Wewe cheka tu uje kuzaa mtoto mwenye sura kama ile maiti tuliyo ambiwa ni bodaboda amepigiza kichwa nyuma ya lori”

“Yaani imeniogopesha ile ila nilijikaza kisabuni tu”

“Ohoo uwe makini mke wangu”

Tukafika nyumbani kwangu, nikamuonyesha Caro eneo la mapambano yalipo tokea, Nikamtembeza eneo zima la nyuma hii.

“Kuna mwanamke alikuwa ana ishi humua au?”

Caro alizungumza hukua kitazama nguo za Caro ndani ya kabati.

“Yaa”

“Ni nani yako?”

Caro aliuliza kwa hasira kidogo itokanayo na wivu.

“Kuna mdogo wangu alikuwa ana ishi na mpenzi wake. Baada ya tukio la kuamkia leo ina bidi aondoke hapa na Shabani na kuelekea Dar kwani hakuna usalama tena. Siku wakia wakimkuta peke yake au na mume wake ambaye ni mtu wa kawaida tu asiye jimudu kiuwezo wa mapambano. Una hisi wata fanywa nini?”

“Wee yaani mapigo ya moyo yalisha anza kunienda kasi kwa wivu. Yaani Rashidi nisisikie una mwanamke yaani nita kufa kwa presha”

“Acha hizo”

“Sasa tuta lala kwenye chumba hichi au?”

“Ndio, kwani kuna tatizo gani”

“Sawa”

Caro akaandaa chakula cha usiku kwani ndani ya friji kuna kila kitu cha kula. Tukala kwa pmoja ana majira ya saa tatu usiku tukaeleka kwenye kituo cha basi ambalo mzigo umepakiwa, tukasubiri kwa dakika kama ishirini na sita hivi basi likafika, nikasalimiana na dereva akanikabidhi begi langu ambalo ndani lina bunduki zilizo gawanyishwa vipande vipande. Pamoja na latop yangu.

“Hilo begi lina nini?”

Caro aliniuliza hukua kigeuka nyuma na kutazama behi hili nililo liweka siti ya nyuma.

“Lian bunduki zangu. Ni wakati wa mimi kurudisha mashambulizi kwa DON na safari hii nina kuapia haki ya Mungu nita muua na hato amini kama nita muua”

Nilizungumza kwa msisitozo huku nikiwasha gari hili na kuondoka eneo hili na kuelekea nyumbani kwangu kwa ajili ya kuanza kupanga mipango ya kumuwinda Don na watu wake.



Ukimya ukatawala ndani ya gari hadi tukafika nyumbani. Nikashusha begi hili na tukaingia ndani huku muda wote Caro akinitazama tu.

“Nini?”

Nilimuliza Caro mara baada ya kuona ana zidi kunikazia macho.

“Yaani bado nina jiuliza huyo Don wako unaye mzungumzia yupo wapi hapa Tanzania ikiwa mimi ndio mkuu wa kitengo nyeti, kitengo ambacho kina habari ya kila mtu hapa Tanzania. Sasa sijui mwenzangu una fanya kazi na mataifa mengine au?”

“Ina maana umesha anza kunishuku?”

“Hapana sikushuku, ila kusema ukweli Rashidi nina shindwa kukuelewa, Don yupo wapi?”

“Huyo Frenandez Philipe ndio DON, kama huniamini unagana na mimi uta amini siku ila kama huniamini niache nifanye kazi peke yangu”

Nikaanza kutao vipande vya bundukiz angu hizi na kuziweka mezani.

“Umezipata wapi hizo silaha?”

“Caro una nichunguza au?”

“Hapana ila ni silaha zenye uwezo ambazo raisi wa kawaida hawezi kuzipta. Hembu niambie ukweli umezitoa wapi?”

Nikakaa kimya huku nikimtazama Caro machoni mwake, nikaendelea kutoa silaha hizi na nikaanza kuziunga kwa uharaka ambao hata Caro mwenyewe akabaki ametokwa na macho ya mshangao. Mara baada ya kumaliza zoezi hili fupi, nikafungua laptop yangu.

“Naomba hiyo CD”

Caro akaeleka chumbani na baada ya dakika mbilia karudi akiwa na CD tuliyo ichukua hospitalini. Nikaiweiingiza katika laptop yangu na kuanza kuyakagua matukio ya video yanayo yaliyo fanyika hospitali hususani eneo la Mochrwani. Simu yangu ikaanza kuita, nikaitazama kwa muda na kuona private namba. Nikachukua waya wa USB nikauunganisha kutoka kwenye simu yangu na laptop hii, nikaweka program ya ugunduzi wa namba kama hizi na sehemu ambayo namba ina tokea. Nikafanikiwa kuona namba halisi pamoja na eneo namba inapo tokea.

“Haloo”

Nilizungumza huku nikitazama kijialama cha eneo ambalo simu hii inatokea. Nikaona ina tokea nchini hapa hapa tena mkoani Morogoro.

“Ni muda mrefu sijazungumza mimi na wewe Malcom”

Niliisikia sauti ya DON na kwa sauti ya chini chini nikamueleza Caro kwamba huyu ninaye zungumza naye ni DON.

“Najua lazima uta nikumbuka tu kwa maana si kwa kuwaua hivyo punda wako. Je una mpango wa kuwatuma wengine ili niweze kuwaua”

“Hahaa siku hizi una jiamini sana ehee?”

“Toka siku ya kwanza nina ingia ulingoni nilijiamini na nina uwezo wa kuendelea kujiamini kama mwanamume halisi hivyo naamini una nijua uwezo wangu”

“Nataka kutanganaza amani mimi na wewe”

“Waooo, amani ipi, ya kumkata Brian miguu, kutuma vijana wako kule Mexco kunia. Kuua askari nchini Brazil, kuiteka familia yangu na mke wangu kwa ajili ya kunipata mimi. Au unahisi kwamba nime sahau kila kitu”

Nilizungumza kwa hasira kidogo.

“Hahaahaaa ila kumbuka makubaliano yako mimi na wewe na kipi kilitufikisha hapa”

“Ngoja nikuambie jambo moja DON umejisahau na ume ingia kwa mtu ambaye ni hatari. Ume jua nipo Tanzania ukanitumia watu hotelini. Ukazidi kufika mbali uka tuma watu nyumbani kwangu. Hivyo basi jipange kwa maana masaa arobaini na nane hayaishi uta kuwa umeonana na mimi uso kwa uso. Ufe wewe au nife mimi”

Mara baada ya kuzungumza nikakata simu huku nikiusikia mwili ukichemka kwa hasira. Caro macho yakamtoka na akaamini nilicho kuwa nina muambia muda mfupi ulio pita.

“Hii signal ina onyesha hapa ni Morogoro”

“Ndio maana nikakuambia hiyo muwekezaji wenu amewapiga changa la macho”

“Sasa una fanyaje”

“Rudi Dar es Salaam na ndege ya kukodi. Mimi niachie gari hiyo nina kwenda Morogoro”

“Hapana Rashidi siwezi kukuacha ukaingia kwenye hatari wewe peke yako. Twende wote”

“Hatuwezi kwenda wote. Angali mwanangu tumboni. Mbona humthamini huyo kiumbe aliyopo tumboni mwako. Huyo ndio atakaye badilisha historia ya maisha yako. Huyo ndio atakaye kuita mama na huyo ndio atakaye badilisha jina lako la Caro hadi kuwa mama fulani”

Nilizungumza kwa msisitizo huku nikizidi kuisikia jinsi hasira yangu inavyo nichemka .

“Rashidi mume wangu punguza hasira. Kumbuka oparesheni kama hizi haziwezi kupelekwa ukiwa na hasira kama hivyo. Tulia mpenzi wangu, firikia na ujipange vizuri”

Caro alizungumza kwa hasira nyororo huku akinipapasa kifuani mwangu.

“Ila nilazima nimuue DON kwa mikono yangu mimi mwenyewe”

“Najua mume wangu ila tuliza akili, mimi nipo tayari kukusaidia umpate adui yako”

“Uta nisaidiaje?””

“Nitakupa full details za eneo hilo. Ukihitaji kwenda uta kwenda kwa muongozo wa details nilizo kupatia. Ila sasa hivi ni sawa upo gizani. Sawa hii signal ime soma yupo Morogoro na muda mwengine ina weza kusoma ipo eneo jengine ukajikuta una changanyikiwa. Ila pia kuna weza kuwa na uwezekano kwamba signal ina soma Morogoro kumbe mtu yopo labda Arusha au hata hapa Tanga. Watu kama hawa wana akili sana na sio rahisi kwa wao kujua eneo lipi na wapi yupo kiurahisi namna hii”

Caro aliendelea kunibembeleza huku akiendelea kunipapasa papasa kifua changu.

“Una nisaidiaje?”

“Nisikilize mume wangu. Sasa hivi jambo la kufanya ni wewe kuhakikisha kwamba unatiliza akili. Baada ya hapo tuna chora oparestion structure. Tukisha imaliza hiyo, una weza kuingia kazini ukiwa unajua ni wapi na wapi una kwenda”

“Ila huyu mtu namba yangu ya simu ameitolewa wapi?”

“Sijui kwani namba yako ume iweka kwenye mtandao?”

“Hapana”

“Kuna mtu ulimpatia simu?”

Nikakumbuka wakati nina ingizwa mahabusu nilikabidhisha simu yangu na bastola zangu kwa askari.

“Kituoni pale kuna mtu amechukua namba yangu na nina uhakika wa asilimia mia moja ata kuwa ni RPC kwa maana katika watu wanao fanya kazi na DON naye yupo”

“Ume juaje mume wangu?”

“Watu wote wanao fanya kazi na DON na wana mtambua kwamba ni DON nina wajua, kaka yako akiwemo”

“Ka….k…aka yangu mimi?”

“Usipate kigugumizi Caro ikiwa una jua uhalifu wa kaka yako, ndani na nje ya uraisi wake. Yeye na Don hawakuanza kujuana leo wala jana kwa maana kwenye mapambano makubwa ya ngumi ya watu wa Don aliudhuria vizuri sana kipindi ni makamu wa raisi. Au una taka kujisahaulisha”

Caro akakaa kimya huku akiwa ametahayari.

“Kabla ya kurudi kwa mara nyingine Tanzania nilihakikisha nina ijua kwanza Tanzania halisi ambayo wananchi wa kawaida hawaishi na hawaijui. Najua una jua nini na maanisha”

“Rashidi sasa nina anza kukuogopa”

“Kwa sababu…”

“Umebadilika sana na Rashidi yule niliye mjua siku ya kwanza?”

“Wewe ndio ulinifanya nifike hapa. Ila pia nina shukuru. Laiti kama tungeendelea kuambiana baby baby. Leo hii ningekuwa nimesha kufa”

“Mmm haya”

Nikaanza ku hacke satelaite za Tanzania jambo lililo mfanya Caro kushangaa kwa maana NSS wao ndio wana zimiliki Satelaite zao.

“Mfumo wenu mulio uweka wa kizamani sana. Yaani hadi nime weza kuhack aisee ina bidi mubadilike”

“Rashidi una nichanganya, wewe ni nani kwani, mbona una jua mambo ambayo sikuyatarajia kuyaona kwako”

“Tatizo nyinyi watoto wa kishua muna wadharau watu wa chini na kuwaona ni kama watu wasio na uwezo wa kujifunza au hawana mbele wala nyuma. Ila nikuambie jambo moja Caro. Hakuna watu wenye akili na ubidii wa kujifunza mambo kama wale watu wenye uhitaji wa jambo fulani hususani maisha. Nina fanya hivi kwa sababu kaka yako ni adui yangu, haito badilika hata uzae leo. Wifi yako naye usiseme, huyu mzee naye pia yumoa hivyo basi usije ukahisi upo na boya boya. Na ninakueleza hivi ili ujue jinsi nilivyo, endapo uta nisaliti kama mara ya kwanza basi tambua uta ingia kwenye listi yangu ya mtu wan ne”

Caro akajawa na woga ulio ambatana na wasiwasi. Nikapiga picha eneo zima ambalo DON amejenga makazi yake mkoani Morogoro. Nikaanza ku scan nyumba nzima na kuangalia idadi ya vyumba vilivyopo katika nyumba hiyo na eneo ambalo lina milango ya dharura. Kutokana na uchovu wa mizunguko ya siku nzima, Caro akapitiwa na usingizi na akalala pembeni yangu huku kichwa cheke akiwa amekizala katika paja langu la mguu wa kulia. Karibia usiku mzima nika utumia katika kuchunguza eneo zima la Don hadi nikajiridhisha.

‘Masaa 48 hayawezi kuisha mzee nipo kwako’

Nikamtazama Caro, taratibu nikamnyanyua na kumpandisha gorofani, nikamlaza taratibu kitandani. Nikarudi sebleni na nika toka nje kabisa. Nikafungua mlango wa nyuma wa gari hii ya Caro aina ya Range Velar. Nikakuta jaketi la kuzuia risasi lililo andikwa NSS. Nikaona brufcase maalumu ya kuhifadhia silaha, nikaifungua na kwa bahati nzuri nika kuta bastola mbili na magazine zilizo jaa risasi kumi na mbili.

‘Caro uta ondoka asubuhi’

Niizungumza huku nikirudi ndani. Nikapandisha hadi gorofani, nikavaa buti zangu(American buti), tisheti nyeusi , jinzi nyeusi kabla ya kutoka Caro akafumbua macho.

“Jamani mume wangu ndio una taka kuondoka pasipo kuniaga?”

“Ina bidi upumzike”

“Hapana Rashidi usinifanyie hivyo. Hutaki hata kuniaga kwa goli moja”

“Muda upo wapi Caro?”

“Muda upo wa kutosha mume wangu”

Caro alizungumza huku taratibu akinishika mkono wangu na akanivutia kitandani.

“Nitomb** baby mara moja nikate kiu yangu.”

‘Wanawake kama hawa jamani wana kera sana’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama Caro jinsi anavyo fungua zipu ya suruali yangu. Akaingiza kiganja chake cha mkono wa kulia ndani ya boksa yangu na kumtoa jogoo wangu aliye anza kusimama. Taratibu akamuingiza mdomoni mwake na akaanza kumnyonya taratibu.

“Ila mke….wangu nipo vitani”

“Najua baby nipe haki yangu ndio uende”

Caro alizungumza kwa sauti ya mahaba, nikamvua jinsi yake huku nami nikivua jinsi yangu na mtanange ukaanza huku nikihitaji kupiga mechi hii haraka haraka iishe ili niondoke zangu. Ila kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo utamu na mautundu yanavyo zidi kuongezeka kwa mtoto huyo wa Kingoni hadi nikaanza kuisahau safari yangu. Tukamaliza mzunguko wa kwanza na na nikajikuta nikihitaji mpambano zaidi jambo ambalo Caro hakuwa na kipingamizi nalo. Biringe biringe za kitandani, nikajikuta saa mbili ikinikuta kitandani huku sote tukiwa tumechoka sana kwani ni mizunguko minne tume kwenda kuanzia saa nane usiku.

“Una ondoka mume wangu”

“Ahaha….tulale kidogo”

Nilizungumza huku Caro akiwa amekilza kichwa chake kifuani mwangu akisikilizia jinsi mapigo yangu ya moyo yanavyo dunda kwa kasi.

“Sawa mume wangu, atakaye kuwa wa kwanza ata muamsha mwenzake”

“Poa”

Usingizi fofofo ukatupitia. Harufu ya chakula nincho kipenda ikanifanya nifumbue macho yangu, nikatazama pembeni yangu, simuoni Caro. Nikavaa boksa kisha nikatoka ndani hapa huku nikiwa na makini. Nikamkuta Caro sebleni jikoni akiwa amejifunga tenge.

“Umeamkaje mume wangu”

“Salama”

“Nimevaa tenge la wifi yangu japo nime libaka ila limenitosha tosha”

“Hahaa”

‘Laiti ungejua ni la mwanamke mwenzako wala usinge dhubutu kulivaa’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama Caro jinsi tenge hilivyo ishia mapajani mwake.

“Hakuna aliye ingia humu?”

“Hakuna kwani una tegemea mgeni?”

“Watu wa Don ndio wageni wangu”

“Ahaa hao hawajafika, naandaa chakula hapa ule na tujue nini kina fwata kwa maana hichi ndio chakula unacho kipenda”

“Na ndio kime niamsha na hapa nina njaa balaa”

“Fasta tu mume wangu chakula kita kuwa tayari.”

Caro akaanda chakula hichi kwa pamoja tukala, majira ya saa sita mchana tukaondoka nyumbani hapa na moja kwa moja tukaelekea ofisini kwa RPC.

“Mkuu karibu sana”

“Nashukuru”

Tukaka katika viti viwili vilivyopo mbele ya meza ya RPC.

“Bwana Rashidi una endeleaje?”

“Vizuri”

“Ni jambo la kumshukuru Mungu kwa kweli”

RPC alizungumza huku akijichekesha chekesha.

“Namba ya mume wangu uliitoa kwa nani?”

“Na…namba!!?”

“Ndio namba mzee wangu. Ulipeleka kwa nani?”

RPC macho yakamtoka kama mjusi aliye banwa na mlango. Tukaanza kumuona namna jinsi jasho likimchuruzika usoni mwake ingali ndani hapa kuna A/C tena kali si mchezo, hii ni kutokana na joto kali la mkoa huu wa Tanga.

“Namba gani?”

“Namba ya simu, vipi una kisukari? Mbona una mwagikwa na jasho hivyo?”

“Aha…hapana mkuu, una jua hii A/C kidogo haifanyi kazi vizuri”

“Kweli?”

“Ndi….o mkuu”

RPC alitetemeka hadi nikaanza kumuonea huruma.

“Pole. Mulimkamata mume wangu ingali alivamiwa na majambazi na akawaua. Ila namba mukampatia mtu ambaye aliwatuma hao majambazi kwa nini lakini una kuwa hivyo mzee wangu. Au una taka kustafu kwa kufukuzwa kazi?”

“Aha…haap….ana mkuu”

“Sasa?”

“Ni…ni?”

“Nini?”

Caro alizidi kumbana kwa maswali mkuu huyu wa polisi.

“Ni ni ni ni…..”

“Mzee nina safari muda wangu una utafuna ni nini?”

“Ni yule yule mkuu”

“Mkuu gani?”

RPC akavuta pumzi nyingi kisha taratibu akazishusha ili kupambana na hofu inayo mtetemesha na kumuondolea kujiamini kwake.

“Una kumbuka jana nilikuambiaje mzee wangu?”

“Na…nakumbuka”

“Kwa nini muna fanya hivi. Una mpatiaje simu Don na kumpigia mume wangu na kumpa vitisho vya ajabu ajabu. Sasa ipo hivi, endapo mume wangu akivamiwa, kuuwawa au kujeruhiwa na mtu yoyote. Wa kwanza kudili naye ni wewe. Mzee una nijua sitanii na mimi ni mtu mbaya sana kuliko unavyo nifikiria si nalitambua hilo ehee?”

“Nd…io mkuu”

“Sasa mpe habari Don na umuambie kwamba huyu ni mume wa mdogo wake raisi. Endapo ata mgusa ata msumbua basi hata huo uwekezaji wake wa uwanja wa mpira utaisha kwa maana nimesha mfahamu huyo Frenandes Philipe ndio huyo huyo DON amebadilisha sura yake mazima. Sasa jivurugeni muone NSS yote ita wajia juu yenu kuanzia yeye hadi nyinyi munao hongwa hongwa vipesa vya kuwapa jeuri. Shenzi nyinyi”

Caro alizungumza kwa ukali na kwa kujiamini na kumfanya RPC kujawa na woga ambao sikuwahi kumshuhudia mtu mzima tena askari kama huyu mzee kukumbwa nao.



“Mke wangu tuondoke”

“Sawa, ila mzee zingatia nilicho kuambia sawa”

“Sawa”

Tukatoka ndani ya ofisi ya RPC na safari ya kuondoka jiji hili la Tanga ikaanza.

“Ina maana mume wangu ume dhamiria kabisa kumfwata DON alipo?”

“Ndio”

“Ila ni hatari mume wangu”

“Najua na umesha toboa siri kwa yule mpuuzi una hisi hato muambia Don?”

“Hata akimuambia hawezi kuni fanya chochote”

“Nani kasema?”

“Mimi ndio nimekuambia”

“Nisikilize Caro sihitaji kukuingiza kwenye shida ambayo huto weza kutoka kirahisi”

“Mume wangu mimi Mafia usinichukulie poa”

“Mmmm haya”

Safari ikazidi kusonga mbele huku nikiwa makini sana barabara. Tukiwa maeneo ya kukaribia daraja la Wami, nikaanza kuona gari nne nyeusi aina ya Range Rover kama hii zikitufwata kwa mwendo wa kasi sana. Nikamtingisha kidogo Caro ambaye amepitiwa na usingizi kwani hekaheka za kitandani za jana usiku zime mshosha sana.

“Tume fika wapi?”

“Tuna ingia wapi ila umeona gari zinazo tufwata?”

“Gari”

Caro akageika nyuma na kutazama gari hizo.

“Ni kina nani?”

“Sijui ila ina onyesha sio watu wazuri, andaa bastola yako na fungua kwenye begi hapo nipatie bastola yangu”

Caro akafungua mkanda wa siti yake na kuhamia nyuma akafungua begi na kunipatia bastola mbili kisha akarudi.

“Hawa sio watu wazuri, gari hazina plate namba”

Caro alizungumza huku akirudi katika siti ya mbele. Jinsi ninavyo ongeza mwendo ndivyo nazo gari hizi zinavyo ongonza mwendo. Caro akakoki bastola yake tayari kwa lolote litakalo tokea. Mita kumi kabla sijalifikia daraja la wami ambalo ni jembamba na haliruhusu gari mbili kupita kwa pamoja, nikashuhudia mtu akijitoza kwenye kioo cha mbele huku akiwa ameshika bomu aina ya GPRS.

“Fuc*** GPRS”

Nilizungumza kwa nguvu huku nikishuhudia bomu hilo jinsi linavyo kuja kwa kasi sana, kitendo cha kulikwepa tu bomu nikajikuta gari ikinishinda uwezo na ikaacha barabara na kuanza kudumbukia katika mtu huu mrefu sana wenye sifa ya kuwa na mamba. Nikafungua mkanda wa siti yangu huku nikishuhudia jinsi gari hii inavyo zama ndani ya maji.

“Upo salama?”

Nilimuuliza Caro aliye kaa pembeni yangu”

“Ndio”

Caro alinijibu huku maji yakianza kuingia taratibu ndani ya gari hili huku likizidi kwenda chini.

“Hatuna jinsi ina bidi tutoke ndani ya gari”

“Sawa”

Caro alinijibu kwa ujasiri wa hali ya juu. Kila mtu akafungua mlango wa upande wake na tukaanza kutoka na kuogelea kuelekea mbele na jambo la kumshukuru Mungu sijui mamba wapo mapumziko au laa kwani tumeweza kufanikiwa kuogelea hadi nje ya mto pasipo mamba kututafuna. Tukajibanza kwenye miti iliyopo pembeni ya mto huu. Tukawaona watu walio valia nguo nyeusi kama nilio waua wakiwa wamesimama pembezoni mwa daraja ambalo limesha meguka upande mmoja kutokana na bomu walilo kusudia kutuu.

“Watu wa Don wale”

Nilizungumza huku nikiendelea kuwatazama namna wanavyo chunguza ndani ya mtu. Caro akajipapasa mifukoni mwake.

“Una tafuta nini?”

“Simu yangu”

“Si ulikuwa umeichomka kwenye chaji ya gari hivyo umeiacha ndani”

“Washenzi gari yangu nina ipenda ile. Haki ya Mungu wata ilipa, naomba simu yako”

Nikatoa simu yangu mfukoni, jambo la kumshukuru Mungu simu hii haiharibiki kwa maji. Caro akawapiga picha watu hawa wa Don kisha akazituma kwa kijana wake aliyopo makao makuu ya NSS.

“Ni mimi”

“Umeona hizo picha?”

“Hao watu wamenishambulia na nipo Wami sasa hivi na gari yangu ime zama ndani ya mto wami”

“Nahitaji tuma drone za silaha na uwashambulie”

“Mimi ndio nina idhinisha fanya hivyo”

“Sawa”

Caro akakata simu na kunitazama.

“Nataka kushuhudia jinsi wanavyo kufa, wapuuzi sana hawa na huyu Don ata juta”

Caro alizungumza kwa hasira. Tukashuhudia gari hizi zikigeuza na kuondoka kurudi zilipo tokea.

“Washenzi wana ondoka shiti naomba simu yako tena”

Caro akapiga tena simu.

“Mbona drone hazifiki una subiri nini wewe?”

Caro alizungumza kwa ukali sana.

“Zipo njiani wapi ikiwa majambazi wamesha ondoka”

“Niunganishe na video nione kwa hii simu”

Caro akakata simu na hata dakika moja akaunganishwa video inayo rekodiwa na drone hizo zinazo beba silaha pamoja na kamera. Tukatazama drone hizo mbili jinsi zinavyo zisogelea gari hizo, drone ya kwanza ikashambulia gari la mbele na likalipuka huku drone ya pili ikishambulia gari la nyuma na kuzifanya gari za katikati zikose kwa kupita. Muendesha drone aliyopo makamo makuu ya NSS ana onekana ni mtu mwenye ujuzi wa kazi yake kwani watu wa DON walijaribu kuzishambulia kwa risasi drone hizo ila hapakuwa na aliye fanikiwa kwani walisho kipata ni kulipuliwa wa mabomu.

“Wooooooooo!!”

Caro alizungumza huku akishangilia kwa furaha sana kwani kazi ime kamilika katika muda mufupi. Simu ikaanza kuita na akaipokea.

“Kazi nzuri kijana.”

“Ndio nitumie usifairi kwa maana daraja limesha meguka hili, gari zinato zoka Dar na Tanga haziwezi kupita hapa, labda wazunguke barabara ya Bagamoyo”

“Sawa mutatukuta hapo kambi ya jeshi”

Caro akakata simu na tukaanza kutembea kulekeka katika kambi ya jeshi iliyopo karibu kabisa na eneo hili. Tukafika getini na Caro akajitambulisha kwa kutoa kitambulisho chake. Tukaruhusiwa kuingia katika makazi haya ya wanajeshi. Moja kwa moja tukaelekea kwa mkuu wa kambi hii ambaye ni mwana mama.

“Caro vipi?”

“Salama shikamoo”

“Marahaba hii ni suprize au?”

“Sio suprize mama yangu ni matatizo”

Nikamsalimia mwana mama huyu wa makamu na akatukaribisha kwenye viti vilivyopo humu ndani ya ofisi yake.

“Ehee matatizo gani?”

“Bwana tume vamiwa na majambazi walitushambulia na bomu la RPG na mume wangu katika kulikwepa bomu lile tukajikuta tumedumbukia katika huo mto wa Wamii”

“Wee mume toka pale!?”

“Ndio, yaani ni Mungu mwenyewe ndio anaye jua nini alicho kifanya”

“Aisee poleni sana”

“Tuna shukuru aisee.”

“Majambazi wapo wapi sasa?”

“Muda mrefu vijana wangu wamesha washambulia kwa kutumia drone na sasa hivi wamesha kufa”

“Aise poleni sana. Huyu ume sema ni mume wako?”

“Ndio”

“Sura yake sio ngeni?”

“Yaa najua sio ngeni, ana itwa Rashidi, tulikuwa tuna mtafuta kama gaidi na baada ya hapo mambo yakabadilika na tuka gundua kwamba ameweza kusingiziwa”

“Ahaa, karibu sana kijana”

“Nashukuru”

“Ila mume pendezana”

“Hahaha nashukuru mama”

“Ndoa lini?”

“Siku yoyote tuta kujulisha”

“Jamani sitaki kuikosa. Kijana una jishuhulisha na nini?”

Swali la mwana mama huyu likatufanya mimi na Caro kutazamana.

“Mimi ni mfanya biashara”

“Biashara gani labda kwa maana mimi ni kama mama kwa Caro. Kwani nilimlea toka ni binti binti mdogo, kipindi hicho kaka yake yupo mafunzoni Cuba, hivyo usije ukawa una jiuliza maswali inakuwaje huyu mama ana niuliza maswali mengi”

“Hakuna tabu mama yangu. Mimi nina miradi yangu nchini Ufaransa na Marekani kuna uwekezaji nime uweka tu”

“Ahaa ina maana hapa Tanzania hujawekeza?”

“Sijabahatika kuwekeza japo nilikuwa nipo kwenye harakati hizo ila kwa mambo yalivyo tokea kipindi kile hata hamu ya kuwekeza iliniishia”

“Sawa sawa, japo hujaniambia ni miradi gani uliyo wekeza na kampuni zako zina shuhulika na nini”

“Mama mkwe ata anza kukuogopa sasa”

“Hahaha, ehee walio washambulia muna wafahamu?”

“Hapana”

Caro aliwahi kujibu.

“Au ni watu ambao una pishana nao huko kwenye kazi zao wameamua kukuwinda?”

“Nahisi hivyo mama ila nita fanya uchunguzi ili kugundua ni nani na nani wana husika”

“Fanya hivyo kwa maana kama ume weza kuwaangamiza hawa basi wana weza kurudi tena na tena ikawa shida kwako”

“Ni kweli”

Tukaa kambini hapa kwa masaa mnne na dereva wa Caro akafika. Tukaagana na mwana mama huyu na safari ya kuelekea Dar es Salaam ikaanza.

“Una mpango gani?”

Nilimuuliza Caro huku tukiwa tumekaa siti ya nyuma.

“Mpango wa nini?”

“Kwa hili lililo tokea leo”

“Ngoja kwanza tufike Dar”

“Yaani natamani sana tukifk Chalinze pale tukunje kulia na kuelekea Morogoro”

“Mambo hayahendi hivyo mume wangu. Wewe jiulize walijuaje tuna pita ile barabara?”

“Nilisha kuambia kitendo cha kumuambia yule RPC kwamba una mfahamu Don basi ni shida hiyo. Nilikuwa na hisia za jambo baya kutokea kwetu na ndio hivyo limetokea ni Mungu mwenyewe ndio ametusaidia tume fanikiwa kutoka salama.

“Ngoja nizungumze na bro”

“Umuambie nini?”

“Nimshirikishe hili jambo”

“Una uhakika ana weza kukusaidia ikiwa yeye na Don ni mtu na rafiki yake?”

“Sasa Rashidi ita kuwaje?”

“Itakuwaje nini ikiwa mimi nilisha fanya maamuzi ya kurudisha mashambulizi kwake, hembu tafakari hilo mke wangu. Hatuwezi kuishi kwa kutegemea kudra za mwenyezi Mungu, tuta uwawa, ukishambuliwa na wewe ina bidi urudishe mashambulizi mke wangu”

“Nilizungumza kwa msisitizo”

“Ngoja basi tufike nyumbani?”

“Yaani kusema kweli sitamani kabisa kufika Dar”

“So una taka kwenda kumshambulia don ukiwa na bastola moja, ikiwa una jua silaha zote, laptop yako vyote tumeviacha ndani ya gari. Mwenzako ana jeshi na ana miliki watu wenye uwezo wa kutimia GPRS. Hembu fikiria hilo mume wangu. Ina bidi tukajipange upya”

Caro alizungumza kwa msisitizo.

“Niahidi jambo”

“Jambo gani mume wangu”

“Tukifika Dar sinto hitaji unizuie”

“Siwezi kukuzuia kwa manaa nime jionea. Laiti lile bomu linge tupata pale sasa hivi tungekuwa tunaongelea kuzimu huko”

“Sawa na nina shukuru kwa kunielewa”

Majira ya saa nne usiku tukafika nyumbani kwa Caro. Sikuhitaji kulala, Caro akaniingiza katikachumba chake cha siri kilichopo chini ya ardhi ya nyuma yake. Katika chumba hichi kuna bunduki ya kila aina.

“Chagua bunduki unayo ihitaji kwa ajili ya kazi yako”

Nikasimama huku nikitazama silaha hizi zilizo wekwa kwenye makabati ya kuhifadhia silaha. Nikasogelea kabati lenye bastola.

“Hivi Rashidi mwalimu wako aliye kufundisha maswala ya kutumia silaha na mbinu mbalimbali, hakukufundisha zoezi la kuzuia muhemko”

“Una maanisha nini?”

“Mume wangu nina kuambia ukweli. Una ongozwa na muhemko kwenye hii kazi. Kwa nini hutaki kunisikiliza, mbona una kuwa kama mtoto ambaye ana hamu ya kuva nguo mpya za sikukuu siku moja kabla ya sikukuu”

Nikamtazama Caro kwa sekunde kadhaa.

“Ni kweli, mtoto ambaye ana nguo mpya na sikukuu ni kesho huwa ana kuwa na hamu kubwa ya kutaka kuvaa nguo hizo hata usiku. Kwa nini una kuwa hivyo?”

“Caro humjui Don. Don ni mtu hatari”

“Sasa kama ni hatari una hisi peke yako una weza kumtafuta na ukampata?”

“Naweza”

“Yaani unaniboa wakati mwengine na huo ubishi wako. Unacho kitafuta uta kipata, sikuzui kufanya kazi yako, wewe chukua silaha unazo zitaka magari yapo ni wewe tu”

Caro mara baada ya kuzungumza hivyo akatoka ndani hapa na akaniacha peke yangu. Nikachukua moja ya bastola, nikaiweka magazine yake kisha nika ikoki vizuri huku nikisikilizia hasira inayo nitafuna ndani ya moyo wangu.

‘Ukitaka kumshinda adui yako epuka hasira na kukurupuka, kwani ukikurupuka uta shindwa kabisa kushinda mapambano yako’

Niliyakumbuka maneno ya mzee Omari. Nikairudisha bastola hii sehemu niliyo itaoa. Kisha nikatoka ndani hapa. Nikamkuta Caro akiwa amekaa sebleni kwake akinisubiria,

“Umesha jiandaa?”

Caro aliniuliza huku akinitazama kwa macho ya udadisi.

“Hapana”

“Kwa nini?”

“Nahitaji kuunda timu ya vijana wawili ili tuwe watatu”

Caro kanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akatabasamu. Akasimama kabla hajapiga hatua nikamuona akisita kidogo huku akionekana kama akitazama nyuma yangu. Nikageuka nyuma kwa haraka, nikamuona raisi akiingia ndani hapa huku akiwa na walinzi wake na nikajikuta nikistuka sana kwani katika maadui zangu huyu naye ni adui yangu. Walinzi wa raisi wakachomoa bastola zao na kuninyooshea.

“Kaka una fanya nini kwangu na kwa nini ume kuja bila ya taarifa?”

Raisi akatazama nyumba hii ya Caro bila ya kuzungumza kitu chochote akanisogelea karibu yangu, akanipapasa kiunoni mwangu na akachomoa bastola yangu niliyo kuwa nimeichomeka kiunoni kwa nyuma.

“Gaidi siku zote huwa hawezi kukosa vitu kama hivi”

Raisi alizungumza huku akichomoa magazine ya bastola yangu na walinzi wake hawa wanne bado wame ninyooshe bastola zao.

“Kaka huko unapo eleeka sipo?”

Caro alizungumza kwa msisitizo.

“Ninapo zungumza uwe una funga kinywa chako”

Raisi alizungumza kwa ukali kidogo.

“Sisi tuna hangaika kumtafuta mtu huyu wewe una puyanga naye huku na huko ehee?”

“Nina kosa nililo fanya?”

Nilimuuliza raisi huku nikimtazama kwa macho makali”

“Yapo mengi sana uliyo yafanya ambayo hupaswi kuwa uraiani wala kuwa hai hadi sasa hivi.”

Raisi alizungumza kwa msisitizo kisha akarudi hatua mbili huku akichomeka magazine ya bastola yangu, akaikoki bastola na akaninyooshea kwenye paji la uso wangu huku akinitazama kwa macho makali sana yaliyo jaa hasira jambo lililo nifanya nianze kufikiria cha kufanya kabla ya ubongo wangu haujafumuliwa na huyu mpuuzi.



“Kaka ni nini unafanya. Nina mimba ya Rashid?”

Caro alizungumza kwa sauti ya ukali na iliyo jaa uchungu mwingi sana. Maneno ya Caro yakamfanya raisi kustuka kidogo huku akiendelea kuninyooshea bastola hii. Caro akasimama pembeni yangu huku akihema kwa nguvu.

“Nime fahamu kila kitu ulicho mfanyia Rashidi wewe na wifi. Ulimpokonya Rashidi mke wake na uka zidi kumuandama kwenye haya maisha na kumfanya apitie shida kubwa na kuonakena ni mtu mbaya mbele ya macho ya watu jambo ambalo silo. Rashidi ni kijana mwema, mwanaume wa ndoto zangu. Mwanaume ambaye amepandikiza mbegu ndani ya tumbo langu na baada ya muda nina kwenda kuwa mama kama jinsi mke wako alivyo kuzalia. Ukimuua, nina kuapia haki ya Mungu kaburi la mama yangu, nita mfwata mama kule alipo kwenda, sinto kubali kuendelea kuishi kwa mateso na manyanyaso yasiyo na tina kwenye maisha yangu”

Caro alizungumza kwa msisitizo hadi raisi akaanza kutetemeka. Ukimya ukatawala huku nikiwa nimejikausha kimya nikimtazama raisi na walinzi wake. Taratibu raisi akashusha bastola yake chini huku akinitazama usoni mwangu kwa macho ya hasira.

“Mimi na wewe bado hatujalimaliza hili”

Raisi mara baada ya kuzungumza akaanza kutembea kuelekea nje na walinzi wake wakamfwata. Caro akatembea kwa haraka hadi mlangoni, akaufunga mlango huu kwa ndani kisha akarudi kwa haraka na akanikumbatia huku akilia kwa uchungu sana.

“Nisamehe mume wangu”

Caro alizungumza huku akililia kifuani mwangu. Nikamkummbatia kwa mkono mmoja tu huku mkono mwengine wa kulia ukiwa na hamu na uchu mkubwa wa kufanya tukio la kikatili dhini ya raisi. Hakuna kitgu kinacho uma kwenye maisha kama kuibiwa mwanamke wako tena wa ndoa na mwisho wa siku mwizi huyo ana taka kukuua. Nikamuachia Caro, nikakaa kwenye moja ya sofa huku nikitetemeka kwa hasira na uchungu hadi machozi yakaanza kunimwagika. Caro taratibu akapiga magoti mbele yangu huku akiendelea kulia. Akaifumbata kwa pamoja vikanja vya mikono yake na kunitazama usoni mwangu.

“Samahani sana mume wangu. Natambua kwamba una pitia kipindi kigumu kwenye maisha. Nina kuomba unisamehe mimi”

Nikamtazama Caro kwa dakika kadhaa kisha nikamnyanyua na kumkalisha pembeni yangu.

“Hiiv vita hupaswi kuiingilia. Kaka yako amedai kwamba haijaisha, nina imani ana kwenda kujipanga upya hivyo tafadhali nina kuomba usije ukapata madhara kwenye hii vita baina yake mimi na wewe. Kaa nayo mbali.”

“Rashidi nina kuahidi jambo moja, sinto kaa mbali na wewe kwenye hili. Nita hakikisha kwmaba kila jambo baya linapo kwenda kutokea nipo nawe. Nita kuwa ni ngao kubwa kwenye makisha yako. Nita tumia kila linalo wezekana kuhakikisha kwamba una kuwa salama”

Nikamtazama Caro kwa sekunde kadhaa kisha nikaendela kukaa kimta kimya.

“Niamini Mume wangu nita zidi kukupenda haijalishi kuta kuwa na matatizo gani ila nita kuwa nawe milele”

“Nashukuru, nahitaji kwenda kulala”

Nilizungumza huku nikisimama.

“Chakula huli?”

“Kesho naomba nikalale mke wangu”

“Sawa twende tukalale wote”

Caro akakimbilia jikoni ambapo alisha anza kupika, nikapandisha gorofani na kuingia chumbani kwake. Nikavua nguo zangu zote na nikapanda kitandani huku kichwa kikiwa kime vurugika kwa kweli. Hazikuisha hata dakika tano Caro akaingia huku akiwa ameshika bakuli mkononi mwake.

“Mume wangu supu hii, jaribu hata kula kidogo”

“Sijisikii kula kabisa”

“Nakuomba sana mume wnagu. Natambua kwmaba hapo ulipo kichwa chako kime vurugika ila nina kuomba kidogo tu ule”

Caro aliendelea kunibembeleza hadi nikaamua kunywa supu hii. Kutokana na uchovu mwingi, sikuhitaji mbembe nyingi, nikapitiwa na usingizi mzito.

Asubuhi na mapema nikawa wa kwanza kuamka. Nikamtazama jinsi Caro alivyo lala kihasara hasara. Nikashuka kitandani na kuingia bafuni, nikaoga kisha nikaingia katika chumba cha mazoezi, nikaanza kufanya mazoezi ya viungo huku akilini mwangu sasa nikianza wapigia mahesabu watu wawili Don na raisi.

“Hawa wote ni lazima wafe”

Nilizungumza kwa uchungu huku nikiendelea kukimbia kwenye mashine hii ya kukimbilia. Nikafanya mazoezi ya nguvu kwa lisaa zima.

“Umeamkaje mume wangu?”

Sauti ya Caro ikanifanya nigeuke na kumtazama.

“Safi”

Caro akanifwata na akanibusu katika lispi zangu kisha akasimama pembeni yangu huku akiwa amejifunga tenge moja tu.

“Huendi kazini leo?”

“Hapana siendi, kichwa changu hakipo sawa kabisa”

“Pole sana”

“Asante mume wangu. Nahitaji kukusaidia jambo kabla mimba haijawa kubwa”

“Jambo gani?”

“Nahitaji kumfikisha kaka yangu makamani ili aweze kustakiwa kutokana na madhambi mengi aliyo yafanya?”

“Una hisi hiyo ita kuwa ni njia sahihi kwa yeye kumfikisha mahakamni. Ikiwa yeye ndio mkuu wa nchi na bado yupo madarakani na sidhani kama katiba ya nchi ina ruhusu kumstaki raisi pale anapo kuwa madarakani”

“Naona hiyo ndio ita kuwa njia rahisi kwa sisi kukabiliana naye?”

“Hapana. Kaka yako ameninyooshea silaha kichwani mwangu. Ana hitaji kunia hivyo kumpeleka mahakamani siafikiani nalo”

“So una hitaji kufanya nini?”

“Nita rudisha mapigo kutokana na vile nitakavyo shambuliwa. Kama ata nishambulia kwa kunipiga risasi basi nita rudisha mashambulizi kwa staili hiyo hiyo.”

“Mmmmm”

“Ndio maana nilikuambia ukae mbali na hii vita ipo siku bingwa ata julikana ni nani. Na wewe huwezi kuimwaga damu ya kaka yako kwa sasabu damu ni nzito kuliko maji na ukiachana na maswala ya damu kuwa nzinto, muna kumbukumbu kubwa sana kwenye maisha yenu ya mambo mema ambayo alikufanyia. Ila mimi sina jambo jema hata moja nililo kufanyia hivyo nina rudia tena kwa mara nyingine mke wangu. Hii vita kaa naye mbali”

“Ila mume wangu nimepata wazo”

“Nakusikiliza?”

“Una onaje tuka tumia njia ya amani. Njia ya upatanishi, nikawakutanisha wewe na kaka muka patana….”

“Alafu?”

Nikamuwahi Caro kabla hajamalizia sentensi yake.

“Alafu mukaishi kwa amani kuliko hivi mume wangu”

“Nisikilize, nakuomba hili jambo tusilizungumzie. Tafadhali”

Nilizungumza huku uso wangu ukiwa umesha anza kutawaliwa na ndita.

“Samahani mume wangu”

“Usijali”

Tukatoka ndani hapa kwa pamoja na kurudi chumbani. Caro akaanza uchokozi huku akihitaji nimpatie haki yake. Sikutaka kumnyima, nikampa haki yake kisawa sawa hadi sote tukaridhika. Tukaoga kwa pmoja kisha Caro akaandaa kifungua kinywa.

“Nahitaji kwenda kumuona Shabani mara moja nita rudi baadae”

“Sawa mume wangu”

Mara baada ya kupata kifungua kinywa nikaondoka nyumbani hapa kwa Caro, nikampigia simu Shabani na kunieleza yupo maeneo ya Kariakoo. Nikamfwata sehemu alipo na tukakutana.

“Ehee niambie ana endeleaje Tina?”

“Yupo salama kabisa amesha yazoea mazingira ya nyumbani pale”

“Ni jambo zuri”

Nikamuelezea Shabani kila kilicho tokea kwenye safari yetu hadi kufika jijini Dar na jambo alilio lifanya raisi.

“Duu kaka hiyo ni hatari ni lazima uwe makini zaidi ya sana”

“Ndio hicho ninacho kiwazia mtu wangu. Hapa nina jaribnu kutafakari nini nifanye”

“Hapa ninavyo ona kila adui amesha kulenga wewe. Kama Don alituma watu tena ili kukuua. Ina kupasa kuwa makini kaka. Hili jambo halihitaji dharau wala kejeli”

“Nahitaji kuunda timu ya vijana ambao wata kuwa tayari kufanya chochote na muda wowote”

“Mimi wa kwanza kaka, nipo tayari. Wewe niambie una hitaji vijana wenye sifa gani na gani kwa maana nina watambua vijana wengi sana hapa mjini ambao wana hitaji kutengenezwa kidogo tu ili waendane na mpango unao uhitaji”

“Ila kaka wewe una familia?”

“Kaka ilivyo kwako pia una familia. Rashidi, mimi na wewe tume toka mbali sana, tena sio mbali kidogo, mbali kweli kweli. Hatuwezi kuachana kisaa hawa wanaweka na watoto tulio wapata ukubwani. Hambu lifikiria hilo nahitaji tuwe pamoja kwenye kila hatua na huo ndio undugu kaka”

Shabani alizungumza kwa msisitizo hadi mwili ukaanza kunisisimka.

“Nimekuelewa kaka”

“Nashukuru kwa kunielewa ndugu yangu. Siwezi kukuacha kwenye hili ukawa peke yako. Kamwe kama ni kufa tufe pomoja ili tuweze kuacha alama kwenye maisha yetu”

“Sawa ndugu yangu. Nahitaji vijana wenye sifa zifwatazao.”

“Ehee nina kusikiliza”

“Nina hitaji vijana wawili, wawe warefu kiasi, futi sita na kuendelea. Wewe na miilia nyumbulifu, naamini una jua ninacho maanisha”

“Ndio sio vibonge”

“Ewalaaaa. Wawe ni watu wenye uwezo wa kupigana vizuri sana, kwenye maswala ya kutumia silaha hayo nita wafundisha mimi mwenyewe. Ila kikuwa ni hicho kwanza”

“Sawa kaka nime kuelewa. Hao vijana niachie kwanza leo nipeleleze kwa maana ina bidi pia wawe ni watu wanao weza kutunza siri”

“Ndio”

“Basi acha niwasake, kesho nita kuwa na jibu sahihi”

“Nashukuru ndugu yangu. Una mishe gani hapa Kariakoo?”

“Sasa hivi kuna jamaa nime kuja kuzungumza nao hapa. Ila baada ya lisaa nita kuwa huru.”

“Basi uta nikuta nyumbani”

“Sawa sawa”

Shabani akashuka ndani ya gari na nikaianza safaari ya kuelekea nyumbani kwake. Nikafika nyumbani kwa Shabani na nikapokelewa na shemeji.

“Karibu sana shemeji”

“Nina shukuru, Tina yupo wapi?”

“Amekwenda gengeni na bi shosti sasa hivi wata rudi.”

“Sawa shemeji yangu ila mupo salama lakini?”

“Sisi tuna mshukuru Mungu kwa kweli tupo salama kabisa, jinsi ulivyo tuacha ndivyo jinsi tulivyo”

“Basi ni jambo la kumshukuru Mungu”

Tina na mtoto wa Shabani wakaingia ndani hapa. Tina akanikumbatia kwa nguvu huku mtoto wa shabani akinisalimia kwa furaha.

“Nime kumiss mume wangu”

“Nime kumiss pia. Vipi majeraha yamepona?”

“Yaa yameacha kuuma sasa nipo vizuri”

“Pole”

“Nashukuru”

“Shem mume endana”

“Hahaaa utani huo shemeji”

“Haki ya Mungu vile mume endana.”

“Kweli anko umependezeana na mama mdogo”

Tukajikuta sote tukicheka kwa furaha. Tukaingia katika chumba changu mimi na Tina kwa ajili ya mazungumzo.

“Vipi una ishi vizuri hapa?”

“Sana shemeji na mke wake ni watu wema sana ambao kusema kweli sija wahi ona watu wema kama hawa”

“Ni jambo zuri. Sasa kuna kazi nina hitaji kuifanya kwa kipindi fulani hivi. Nita hitaji kuwa peke yangu kwa maana ni kazi hatari na kama vile ulivyo ona ile siku tuliponyoka kwenye tundu la sindano”

“Ni kweli mume wangu kwa maana hapa nilipo nimejawa na woga mkubwa sana”

“Pole sana, so nahitaji wewe na wifi yako pamoja mtoto wake muchague sehemu ambayo ita kuwa rahisi kwenda kukaa huko hadi kazi itakapo kwisha kwa maana hii kazi nina kwenda kuifanya mimi na Shabani”

“Mmmm, umezungumza na shemeji?”

“Ata zungumza na mume wake ila kwa sasa nimeona nizungumze mimi na wewe ili maamuzi yawe kwa pamoja hapo baadae”

“Sawa mume wangu, mimi sina shida. Ila nina kuomba uwe makini”

“Usijali nita kuwa zaidi ya makini”

“Nashukururu”

Tina akanitazama kwa dakika kadhaa kisha taratibu akanisogelea na kunibusu shavuni.

“Samahani sana mume wangu. Natambua kwamba nimefanya usaliti mkubwa ambao hadi sasa hivi nina endelea kuujutia kwenye maisha yangu. Ila kumbuka sana mume wangu nina kupenda na nina kuhitaji bado kwenye moyo wangu”

“Nisikilize Tina, mimi nina tabia za kizungu, hivyo usijali, kila jambo ni jambo limesha pita sasa hivi ni wakati wa sisi kutazama ni kipi kilichopo mbele yetu na si kuangalia yaliyo pita. Kwanza nina hamu na wewe”

Nilizungumza huku nikiwa na tabasamu pana usoni mwangu, nikamnyanyua Tina na kumkalisha mapajani mwangu. Tukatazamana kwa dakika kadhaa kisha tukaanza kunyonyana denda, japo nimetoka kumpa Caro haki yake asubuhi ila bado nina uchu wa kumshuhulikia Tina. Tukaanza kuvuana nguo na ndani ya muda mchache tukaanza kupiga mechi ya taratibu huku tusitoe kelele nje ya chumba hichi. Mauno ya Tina aliye mkalia jogoo wangu mapajani zina nifanya nigugunue ndani kwa ndani hadi sote kwa pamoja tukajikuta tukifika tamati kwa pamoja.

“Asante mume wangu”

Tina alizungumza huku akinikumbatia kwa pamoja.

“Asante nawe pia mke wangu”

Tukajisikilizia jinsi mapigo ya moyo yanavyo kwenda kasi kwa pamoja huku tukiwa tumekumbatiana kisha tukaachiana.

“Una mb** tamu sana wewe mwanaume”

“Kweli?”

“Haki ya Mungu vile yaani wewe pekee ndio unaye nikijolesha. Yaani hapana”

“Ilikuwaje sasa ukawa na yule mpaka kucha?”

“Yaani sijui alitumia madawa kunipata kwa maana nilijiwekea msimamo wa kuto kukusaliti ila sijui akili yangu ilikuwaje kuwaje ahadi akanipata. Ila nina rudi nina kuomba unisamehe”

“Usijali mke wangu”

“Ngoja nikaandae maji ya kwenda kuoga”

“Sawa”

Tina akajifunga kanga kishaa katoka ndani hapa. Baada ya muda akarudi na kunialeza kila kitu tayari. Nikajifunga taulo na kuelekea bafuni kwa pamoja kwa maana chuoo na bafu katika nyumba hii ya Shabani vipo kwa nje kidogo japo ni ndani ya uzio.

“Baby”

“Naam”

“Nina wazo moja”

“Wazo gani?”

“Una onaje ile nyumba ya Tanga uka iuza kisha tukanunua nyumba nyingine hapa Dar es Salaam kwa maana sihitaji tena kurudi Tanga”

“Ni wazo zuri. Ila ni bora tununue kuliko tuka iuza. Pia nahitaji kitu kingine kifanyike kabla ya mambo mengine kwenda”

“Kitu gani?”

“Nahitaji kujitambulisha kwa wazazi wako. Una jua hayta maisha tunayo ishi ni hatari sana pale endapo uta kufa au kupata tatizo kubwa linalo hitaji msaada kutoka kwa wazazi. Nitakosa pa kuanzia hivyo ni heri kuwajua wazazi wako kwanza na kuwaeleza juu ya mahusiano yetu”

“Kweli mume wangu umeamua iwe hivyo?”

Tina aliniuliza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana.

“Ndio”

“Ohoo nashukuru sana mume wnagu. Mungu akubariki”

“Amen”

“Ila mume wnagu uliniambia kwmaba ume mke je akijua una mwanamke mwengine na ukaenda kujitambulisha kwao ita kuwaje au hilo hujalifikiria?”

Swali la Tina likanifanya nikae kimya kwa muda huku nikikumbuka jinsi na namna ambavyo Jackline aliapia mbele yangu kwamba siku akitambua kwamba nina mwanamke mwengine basi ata shuhulika naye na jinsi ninavyo muona Tina hato kuwa na pesa wala uwezo wa kupambana na Jackline wala Caro ambao hao wote wawili wana uwezo wa kifedha pamoja na watu wa kuwasaidia kwenye lolote wanalo lihitaji.



“Kwa nini una muogopa mke wangu ikiwa wewe pia ni mke wangu ikiwa wewe pia ni mke wangu”

“Rashidi mume wangu. Kumbuka sisi wana wake tuna hila nyingi sana na isitoshe mwezangu ametangulia kabla yangu”

“Ila dini yangu ina ruhusu”

“Sawa ya kwako ina ruhusu ila ya kwangu hairuhusu ni ndoa ya mke mmoja tu”

“Okay nime kuelewa kwa hiyo siwezi kwenda kwenu?”

“Sija maanisha hivyo baby”

“Ila?”

“Basi nisamehe mume wangu. Niambie ni lini tuna kwenda nyumbani ili niwaeleze wazazi”

“Nitakuambia”

Tukamaliza kuoga na tukarudi chumbani. Kila mtu akavaa nguo zake. Majira ya mchana Shabani akarudi nyumbani hapa na kwa pamoja tukapata chakula cha mchana.

“Tena nime kumbuka kaka nime pata nyumba aise ipo vizuri sana.”

“Ipo wapi?”

“Ipo maeneo ya Mbezi mwisho njia ya kama una kwenda Goba, ndani kidogo, ni nzuri sana nimepiga picha hizi hapa”

Shabani akanionyesha nyumba hii ya kifahari, iliyo jengwa vizuri na kwa mitindo wa kisasa.

“Ni ya nani hii?”

“Ni nyumba zinazo jengwa na mashirika ya nyumba hivyo hii ina pangishwa au kununuliwa kwa mwenye uwezo wa kuinunua”

“Bei gani?”

“Ni tzsh bilioni mbili nukta tisa, walikuwa wapo kwenye bilioni tatu nikawaomba waishushe”

“Sheme vipi hii nyumba ume ipenda?”

Nilizungumza huku nikimkabishi shemeji simu ya mumewe. Akaanza kutazama picha moja baada ya nyingine.

“Jamani kuna watu wana pesa. Jumba kubwa asiee.”

“Ume ipenda?”

“Ndio kwa nini nisiipende jamani ikiwa jumba limetengenezwa vizuri sana”

“Tina hembu sheki na wewe utoe mchango wako”

Tina akatazama jumba hili ambalo ni kubwa na ni mara mbili na nyumba tuliyo iacha Tanga”

“Mmmm hii kiboko”

“Umeona”

“Yaa, hii nzuri mume wangu”

“Ina vyumba vingapi mume wangu”

Shemeji alimuuliza Shabani.

“Ina vyumba vya kulala saba, kila chumba kina choo bafu pamoja na seble ndogo ndogo ya ndani hapo. Ina kiwanja cha mpira, swimming pool, kiwanja cha tennes na basketbool. Ina garden ya kupumzikia, ina ofisi mbili ya gorofani na chini. Ina kila kitu kinacho hitajika ndani ya nyumba yaani kama mtu ana kwenda kupanga ana kuta kila kitu. Wewe una ingia na nguo zako tu. Labda vitu vya kuongeza ni vichache mmono.”

“Hiyo ni sawa na dola milioni moja nukta nne na nusu ehee?”

“Nilizungumza huku nikimuangalia shabani usoni mwake?”

“Ndio”

“Hata sasa hivi tukihitaji kwenda kuina si tuna weza kuina?”

“Ndio, nina namba ya mkurugenzi wa shirika la nyumba na pia nilikuwa nime sahau jambo. Ina seble tatu kubwa, dinning mbili, ina ukumbi wa kutazamia sinema. Yaani hizi nyumba ni kama zile ambazo muna ziona kwa wale wasanii wa Kimarekani”

“Hembu twendeni tukaione, jiandaeni”

“Sawa”

Tukatoka nje mimi na Shabani.

“Aisee nyumba ime simama sana”

“Ni kweli kaka ila hiyo pesa kweli ipo kwa maana tusije tukapeleka wakaingiwa na tama ya kubaki kule”

“Wala usijali, nina pesa nyingi na akaunti tofuauti tofauti hivyo hilo lisikupe presha”

“Sawa kaka. Tunatumia hii BMW au hii uliyo kuja nayo?”

“Tutumie BMW hili gari la mwenyewe bwana asije akawa amafunga device traker ambayo popote ninapo kwenda ana niona. Simuamini hata sh kumi yule mwanamke.”

“Hahaa”

Tina, shemeji pamoja na mawanaye wakatoka ndani na safari ikaanza. Ukimya ukatawala ndani ya gari huku akili yangu ikiwata matukio mawili makubwa yaliyo tokea simu iliyo pita.

“Shemeji mbona una onakena una mawazo mengi?”

“Ehee?”

“Una onekana una mawazo mengi, au mdogo wangu amesha kuumiza kichwa?”

“Hapana nipo sawa”

Tukafika katika jumba hili na kumkuta mkurugenzi ambaye alisha pigiwa simu na Shabani na akamueleza juu ya safari yetu katika jumba hilo. Mkurugenzi akaanza kututembeza eneo moja baada ya jengine huku akitueleza ni namna gani eneo hilo hutumika pamoja na vitu vyake. Baada ya mzunguko katika jumba hili kubwa na lenye eneo kubwa, nikamuahidi asubuhi ya siku inayo fwata nita elekea ofisini kwake kwa aji ya ununuaji wa jumba hili. Tukarudi nyumbani majira ya saa moja usiku.

“Nita kuja kesho mchana au asubuhi”

“Hulali?”

Tina aliniuliza akiwa katika hali ya masikitiko.

“Ndio kuna kazi ina bidi niishuhulikie”

“Sawa ila kuwa makini mume wangu”

“Usijali nipo makini sana”

“Shem si ungesubiri tupike ule?”

“Usijali shem nita kula kesho kuna mahali nina wahi”

“Sawa shemeji yangu usiku mwema”

“Nawe pia”

Nikaondoka nyumbani hapa kwa Shabani na kurudi nyumbani kwa Caro, nikamkuta akiwa wamejilaza kwenye moja ya sofa la hapa sebleni.

“Vipi mke wangu”

Nilizungumza huku nikimbusu Caro katika lipsi zake.

“Safi mume wangu, za mizunguko?”

“Mungu ana bariki, vipi katoto tumboni kamesha anza kupiga mateke”

“Hahaa atakuwa ni mototo wa kozombi asiee. Mimba hata mwenzi haina apige mateke. Hahaaa”

“Utajuaje upo na Zombi au Vempire”

“Hahaaa haya bwana”

“Nina habari kesho Obote ana kuja nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi?”

“Obote huyu wa Congo au?”

“Ndio hivyo kuanzia kesho nita kuwa bize sana, si una jua maswala ya maraisi wakija basi NSS tunakuwa juu juu kama breki ya tinga tinga”

“Haaaa asije akaleta logo longo za kukuoa, nita muua”

“Hahaa hawezi sasa hivi ana mke wake?”

“Ahaa yeye akileta fyoko fyoko nipo naye”

“Kesho ata kutana na raisi pamoja na wafanya biashara. Mmoja wa wafanya biashara hao ni DON”

“Don?”

“Ndio si ndio ana jiita Frenando Philipe”

Akili ikaanza kupiga mahesabu ya haraka haraka namna ya kumpata DON.

“Nahitaji kuingia kwenye kikao hicho?”

“Mume wangu, kikao kina fanyika ikulu, una ingiaje ikiwa hujaalikwa na isitoshe siwezi kukufanyia mpango wa kukupeleka pale kwani ukiachana kwamba raisi ni kaka yangu ila pia ni mkuu wangu wa kazi na leo amenipigia simu mchana amenichamba sana, ameniambia ana nipa nafasi ya mwisho la sivyo ata nifuta kazi. Sasa mume wangu piga picha nikiondolewa kwenye mfumo wa upelelezi ita kuwaje.

“Sawa nita kuomba unuisaidie jambo moja?”

“Jambo gani?”

“Nipatie listi ya wafanya biashara watakao hudhuria kikao hicho pamoja na picha zao kisha nita jua nini cha kufanya.”

“Hilo tu?”

“Ndio”

“Hakuna jengine?”

“Ndio ni hilo”

“Ngoja”

Caro akachukua simu yake iliyopo juu ya meza, akaminya minya kidogo kisha akapiga.

“Jose vipi?”

“Hembu nitumie list ya wageni walikwa ambao ni wafanya biashara pamoja na details zote”

“Sasa hivi nina subiria. Tuma kwenye eimali yangu ya kazini”

“Sawa”

Caro akakata simu.

“Ngoja atume hapa”

Hazikuisha hata dakika mbili email(barua pepe) ikaingia katika simu ya Caro. Akafungua faili lenye orodha ya wafanya biashara wote wapatao ishirini na nane.

“Wanakwenda kwa ajili ya mkutano wa wafanya biashara wa Tanzania na Congo wana kutanishwa na viongozi wao”

“Sawa”

Nikaanza kuwaza namna ya kuifanya kazi yangu kwa kutumia akili na pasipo kufwatiliwa.

“Niazime laptop yako”

“Sawa ipo ndani”

Taratibu Caro akanyanyuka.

“Siwezi kufanya bila ya yeye”

Nilizungumza kimyo moyo. Nikaitafuta namba ya Shabani katika simu yangu kisha nikampigia.

“Kaka upo wapi?”

“Nyumbani”

“Hembu nakuomba uje huku kwa Caro”

“Vipi kwema?”

“Kwema ila kuna kazi nahitaji tuje kuifanya”

“Sawa ndugu yangu nina kuja sasa hivi”

“Poa”

Nikakata simu, Caro akarudsi sebleni hapa akiwa na laptop yake.

“Maulid anakuja hivyo nenda kavae vazi la heshima basi”

“Mume wangu una vivu jamani”

“Wivu ni muhimu kiliko chochote hivyo nenda kavae nguo ya kueleweka”

“Sawa bwana baba watoto.”

“Hivi hii laptop yangu haijaunganishwa na NSS?”

“Hapana, hakuna anaye weza kufanya upuuzi huo”

“Sawa, nenda basi ana fika muda si mrefu”

Caro akapandisha tena gorofani. Nikaaanza kupakua software inayo tumika katika kuunda sura ya bandia, kabla ya kuitengeneza. Baba Fatma alinifundisha vitu vingi ikiwemo kutengeneza sura za bandia zinazo vuka kirahisi pamoja na kuziunda sauti feki kwa wale watu tunao vaa sura zao za bandia. Caro akarudi akiwa amevaa track suite.

“Umefurahi sasa?”

“Hapo tako bado lime chomoza. Kajifunge tenge”

“Jamani Rashidi hayo sasa makusudi mume wangu, sasa tako nita lificha vipi jamani”

Caro alilalama.

“Nakuatania. Kuna mashine hii je tuna weza kuipata?”

Nilimuonyesha Caro mashine ya kutengenezea sura bandia.

“Una taka kutengeneza sura bandia?”

“Ndio”

“Mmm hembu niambie kwanza mpango mume wangu. Usije ukajiingiza matatizoni”

“Kuna mfanyabiashara mmoja ametokea Arusha. Umbo lake lina endana kabisa na mimi hadi urefu. Hivyo nina hitaji kutengeneza sura yake pamoja na sauti yake ya bandia baada ya hapo nitakacho kifanya ni kuhakikisha kwamba nina mteka yeye pamoja na mlinzi wake atakaye ambatana naye kuelekea ikulu. Tuta waweka sehemu salama na kuwachoma sindano za usingizi. Kisha tuta elekea sisi ikulu”

“Mume wangu hapo kila mmoja anaye ingia ikulu, ana ingia kwa utambuzi wa alama za kidole huoni kama uta kuwa una cheza makida makida kwa maana. Huyu fingerprint yake ipo ikulu, wewe huna. Ukifika kabla ya kiingia ni lazima uweka dole gumba kwenye mashine Fulani hivi na ndio utambulike ndani. Mambo yamebadilika siku hizi mume wangu”

“Hilo lisikupe shida. Najua namna ya kufanya”

“Una taka kuniambia una zipataje fingerprint zake”

“Mke wangu kuwa basi kama kiongozi wa kitengo nyeti cha serikali basi. Kinacho fanyika hapo ni hivi, nita chukua kidole gumba chake tuta kipachika hata kwenye kioo, una tambua lile vumbi linalo tumika kutambua alama za vidole, nitachukua plastika maalumu na kuichika katika ile fingerprint yake, nita igandisha hiyo karatasi ya plastik kwenye kidole change. Kazi ita kuwa imekwisha”

Tukasikia kengele ya mlamngo wa hapa sebleni ikiminywa.

“Atakuwa ni shemeji”

Nikatembea hadi mlangoni, nikafungua na kweli nikamkuta Shabani akiwa amesimama.

“Vipi kaka naon usiku usiku huu, shem mambo vipi?”

“Safi shemeji habari ya wewe?”

“Nina mashukuru Mungu kwa kweli, vipi wewe”

“Mimi nipo salama kabisa.”

“Mume nistua sana, nimeendesha gari kwa spidi na hisi hapa kesho askari wata kuwa wana nisaka kwa maana kuna sehemu walinisimamisha nikapita na kama zote”

“Ohoo pole shemeji. Mimi nina msikiliza nduguyo hapa na mipango yake”

“Mipango gani tena?”

Nikamuelezea vizuri Shabani wazo langu hadi akanielewa.

“Ni wazo zuri kaka, ila je tukistukiwa ina kuwaje hapo”

“Hata mimi ndio woga wangu uliopo hapo shemeji”

“Tukuhitaji kufanya kazi tuna fanya. Tukikamatwa ni matokeo. Sidhani kama kuna timu yoyote ambayo huingia uwanjani ikijua kwamba ina kwenda kufungwa. Kila timu ina hitaji ushindi, maswala ya kufungwa huja kama matokeo tu ila sio jambo la kupanga kabisa.”

“Ngoja kuna kitu niulize kwa walinzi wa ikulu:

Caro akapiga simu kwa mlinzi wa ikulu.

“Issa mambo”

“Mimi nipo salama. Ulinzi wa viongozi upo vizuri?”

“Je mlangoni wafanya biashara wata kuwa wana ingia kwa mfumo gani?”

“Kwa hiyo system wama i upadate?”

“Sawa basi asubuhi na mapema nita kuwa hapo”

“Haya”

Caro akakata simu hukua kishusha pumzi nyingi.

“Kuna nini?”

“Nahisi mpango wako mume wako hauto weza kufanikiwa”

“Kwa nini?”

“Wamesema kwamba mfumo wa kuingia si kwa alama ya kidole tu pekee bali hata kwa utambuzi wa macho, je iris yako ina fanana na iris ya huyo mfanya biashara na hapa mtindo unao onekana mfumo huu una badilika mara kwa maana na usiombee kila mfanya biashara akatumiwa code namba yake ukifika pale ni lazima uingize hiyo code, uweka fingerprint kisha alama za macho zitambulike. Je kwa hilo umjejipangaje mume wangu”

Wote wawili wakanitazama kwa maana mimi ndio niliye toa wazo hili. Nikakaa kwenye moja ya sofa kwa maana nilikuwa nime simama. Viganja vyangu vikafunika mdomo wangu huku nikiwazia nini cha kufanya.

“Baby tuna kusikilizia”

“Muache ana waza”

Shabani alizungumza kwa maana nikikaa katika staili hii huwa akili yangu ina chemka kutafuta jawabu la kile ninacho taka kukifanya na toka nilipo kuwa motto nilkikuwa hivi hivyo imekuwa rahisi Shabani kutambua kwamba nina waza.

“Caro wageni wana ingia saa ngapi ikulu?”

“Saa mbili usiku kwa maana wata pata chakula cha usiku na raisi kisha wata ingia kwenye kikao cha mazungumzo baada ya hapo wana ondoka”

Nikakaa kimya kwa dakika kadhaa kisha nikasimama nikiwa nimejawa na tabasamu.

“Vipi?”

“Nimepata wazo moja zuri sana na kuku wangu Frenando Philipe nina kwenda kumpata kirahisi kuliko na jinsi mutakavyo amini.”

Caro na Shabani macho yakawatoka huku kila mmoja akionekana kuwa na hamu kubwa ya kuhitaji kujua ni mpango gani ambao uta kuwa ni rahisi sana wa kumkamata DON.



“Wazo gani?”

Caro aliniuliza huku akinitazama kwa umakini sana.

“Nita hitaji kuingia ikulu kwa njia za chini ya ardhi nita hakikisha kwamba nina mteka Don na kumtoa katika njia hizo hizo za paya bila ya mtu yoyote kufahamu”

“Mmmmm”

Shabani akaguna huku akinitazama.

“Ndio”

“Mume wnagu hivi una hisi ikulu ni sehemu ya kawaida kama kuingia hapa nyumbani kwangu?

“Najua ikulu sio sehemu ya kawaida. Ila nina jua namna ya kuingia. Wewe imarisha ulinzi wako kila sehemu ila mimi nina kuambia nita toka na DON”

“Kaka hilo wazo kama silihafiki vile kwa maana hicho unacho kwenda kukifanya ni kitu cha hatari sana aisee”

“Najua ila natambua kwamba nita kiweza na kukimudu. Wewe Shabani utanisubiria baharini, nitakapo mtoa DON basi tunaondoka naye na moja kwa moja nitampelekea hadi katikati ya bahati huko na nita malizana naye”

Caro na Shabani wote wakakaa kimya huku wakinitumbulia macho.

“Kwa hiyo hiyo ndio plan yako?”

Caro aliniuliza kwa msisitizo.

“Ndio”

“Ina maana ikulu una ifahamu vizuri?”

“Sikuanza leo wala jana kulisoma lile jingo la ikulu pamoja na Airpot nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuvisoma vizuri na nimelijua. Hivyo tafadhali nina omba muweze kuamini plan yangu”

Mume wangu nina kupenda sana ila nina kuomba sana uwe makini na plan zako kwa maana hicho unacho taka kwenda kukifanya ni kitiu cha hatari na ni kitu ambacho ukikamatwa una kufa”

“Najua sintio kufa kwa maana nina hitaji kumuona mwangu kutoka kwako”

“Sawa bwana. Mimi sinto husika kwenye huo mpango?”

“Hakuna shida. Hili nitalifanya mimi kama mimi”

“Sawa mume wangu. Ngoja mimi nikapumzike kwa maana hapa nilipo nime choka sana na kama unavyo fahamu kesho ni siku ngumu na ndefu sana kwangu”

“Usijali mke wangu”

Caro akaondoka eneo hili na nikabaki na Shabani.

“Huwa nina jua unacho kipanga huwa mara nyingi hakikwami kaka, ila kwa hili nina kuomba ukae na kulitafakari tena. Ikulu kaka lile jingo sio dogo una jua”

“Najua sio dogo ila nita kuhakikishia kwamba kila jambo litakwenda vizuri. Wewe niamini mimi”

“So tuna fanyaje?”

Nikaanza kumuonyesha Shabani ramani ya eneo zima la ikulu kwa mfupo wa ramani ya 3D na nikampa maelezo ya namna gani nita ingia ndani ya ikulu pasipo mtu yoyote kuniona. Na namna gani nita toka ikulu pasipo mtu yoyote kuniona.

“Aisee kaka wewe ni kichwa una jua sikukufikiria kwamba una mawazo makubwa kama haya?”

“Ndugu sasa hivi nime kamilika tena nimekamilika kisawa sawa ndugu yangu wewe subiri uone mchezo unavyo kwenda.”

Baada ya maandalizi ya vitu vichache nikeleeka kulala chumbani huku Shabani akielekea kulala kwenye chumba cha wageni. Asubuhi na mapema tukaamka sambana na Caro akaanza kujiandaa kwa ajili ya kuelekea kazini.

“Mume wangu kwenye mpango wako tafadhali nina kuomba tusiweze kukutana kwa maana una weza kuniingiza majaribuni”

“Usijaki mke wangu hatuto kutana”

“Sawa, ila samahani leo sinto weza kukuandalia kifungua kinywa ina bidi niwahi ofisini”

“Usijali mke wangu”

Caro akanipiga busu kisha akaodnoka eneo hili, nikamchungulia dirishani nikamuona akiingia ndani ya gari lake na akaondoka na mlinzi dereva wake. Nikaelekea chumbani kwa Shabani nikamgongea mlango na akafungua.

“Umeamkaje ndugu yangu?”

“Salama aisee nilisha aamka nikahisi wewe bado”

“Mimi tayari. Vipi wale jamaa wa boti za kukodi ume wapata?”

“Ndio nimesha wapata kilicho baki ni kuwalipa pesa kisha tupewe hiyo boti.”

“Sawa tuka walipe”

“Ila kaka tuna ile ahadi ya kukutana yule mkurugenzi wa nyumba ya kule”

“Aisee nilisha sahau sasa tufanye hivi, tuanze kwa mgurugenzi ofisini kwake tulipie nyumba kisha tuelekee kwa watu wa boti. Ila kabla ya kutoka hapa ina bidi tubebe silaha”

“Ila ndugu nime zungumza na panya wangu wana niambia leo ulinzi ni mkali tofauti sana na siku nyingine”

“Hilo ni jambo la kawaida pale anapo kuja raisi kutoka nchi nyingine. Kikubwa ni sisi kuwa makini”

“Sawa wewe ziandae ksiaha tuta jua namna gani ya kuwakwepa”

Moja kwa moja nikaelekea katika chumba cha Caro anacho hifadhia silaha, nikachukua moja ya bebi la kubebe mkononi, nikachagua silaha ninazo zihitaji, pamoja na mavazi meusi kwa ajili ya kazi yangu. Nikalifunga begi hili na nikatoka ndani hapa, nikaliingiza ndani ya gari kisha nikarudi sebleni.

“Ndugu una njaa?”

“Hapana”

“Hivyo hakuna haja ya kunywa chai ehee?”

“Ndio kaka”

“Basi sawa”

Tukaondoka eneo hili na moja kwa moja tukaeleke ofisini kwa mkurugenzi wa shirika la nyumba.

“Karibuni sana tena nilikuwa nina mpango wa kuwapigia simu sasa hivi kwa maana leo siku yangu ita kuwa ndefu sana kuna vikao vingi sana ikulu leo”

“Ohoo tuna shukuru. Za toka jana?”

“Mungu ana bariki kwa kweli mambo yanakwenda vizuri”

Shabani alijibu kwa maana yeye na huyu mzee ndio wamezoeana sana.

“Ndio niambieni mume kuja kutimiza ahadi yenu ehee

“Ndio mzee, nina imani pesa inasalipwa kupitia benk?”

Niliuliza huku nikimtazama mzee huyu usoni mwake.

“Ndio ndio”

Tukaanza kufanya taratibu za pesa kupitia akaunti yangu ilipo nchini Ufaransa. Baada ya pesa hii kukamilika, nikaandikisha majina yetu mawili mimi na Shabani huku mimi nikiwa ndio mmiliki namba moja na endapo mimi sinto kuwepo yeye ndio anatakeye miliki nyumba hii. Tukakabidhiwa funguo za nyumba pamoja na kila kiti kinacho husiana na nyumba hiyo. Toka nimfahamu Shabani, sijawahi muona akiwa na furaha kubwa kama hii.

“Aise kweli Mungu fundi?”

“Kwa nini?”

“Yaani maisha yetu yamepinduka kama shilingi bichwa limekuwa mwenge sassa”

“Hahaaaa”

“Ndio kaka, yaani bichwa limekuwa kichwa. Una kumbuka kipindi kile tuna uza maji, soda soda Ubongo kwenye magari kule ilimradi tupate pesa za kujikimu kimaisha?”

“Nakumbuka”

“Sasa leo tuna kwenda kuishi kwenye majumba kama wanayo kaa kina Ronaldo aisee sio jambo la kawaida ndugu yangu”

“Hajhaaa Mungu ndio amejalia kupata mpunga mrefu kama huu. Sasa ile nyumba ni cha mototo, jumba analo ishi mke wangu asikuambie mtu ni jumba la kufa mtu, siku Mungua kitujalia tukapata nafasi ya kwenda Ufaransa wewe mwenyewe uta shangaa. Kaka kuna watu wana pesa chafu duniani huku, asikuambie mtu”

“Duu”

“Yaa kuna watu wana mkwanja wa kufa mtu ndugu yangu na wapo vizuri sana kwenye kila kitu, una kumbuka nilikwua nina kuambia kwamba ipo siku tuta kuwa matajiri?”

“Nakumbuka Rashidi”

“Sasa huu ndio wakati wetu tume kuwa matajiri. Hapa ina bidi familia iondoke leo le oleo kuelekea kwenye ile nyumba kisha mambo mengine yatafwata”

“Hapo kaka nime kuelewa ila nina shukuru sana kwa maana ume badilisha maisha yangu”

“Usijali ndugu yangu. Kikubwa ni kupombana”

“Kweli kaka”

Tukafika nyumbani kwa Shabani na tukawaeleza wake zetu juu ya umilikiwa nyumba tulio toka kuinunua jana. Hatukuwa na muda wa kupoteza wala kumuaga mtu yoyote, kila mtu akabeba nguo atakazo kwenda kutumia kwenye makazi mapya kwa maana nyumba ina kila kiti kinacho paswa kuwa ndani ya nyumba hiyo pasipo nguo tu. Tukaondoka mtaani hapa na moja kwa moja tukaeleka nyumba tuliyo inunua. Kutokana tuliikaugua tukiwa pamoja, tulicho kifanya sisi ni kuwaacha kisha tukaondoka kuendelea na kazi yetu. Tukafika kwa mzee mmoja anaye miliki boti ndogo ndogo. Akatupeleka katika boti ambayo Shabani alimuelezea sifa zake. Tukaikagua kwa kuiendesha ndani ya bahari ili kuangalia ubora tunao uhitaji, baada ya kujiridhisha kwa ubora wa boti hii, tukamlipa kiasi tunacho kihitaji kisha tukajaza mafuta ya kutosha. Nikanunua mtingi wa gesi ya oksijeni kwa ajili ya kunisaidia kupumua nikiwa ndani ya maji, nikanunua nguo maalimu za kuogelea.

“Maandalizi yako yapo tayari na hakuna ulicho kisahau?”

Shabani aliniuliza huku akifungua buti ya gari na kutoa begi lenye silaha.

“Hakuna kabisa kwa maana kama ni kifaa cha kutoninisa na kamera zozote wala GPRS vyote nime vichukua kwenye hadhina ya Caro hivyo nina weza kuingia ikulu pasipo kamera zozote kunikamata. Hii suti nita ivaa na nita kuwa kama mlinzi wa ikukulu. Naamini kazi yangu ita kwenda vizuri”

“Sawa kaka”

Tukafuinga gari kisha tukarudi baharini eneo lenye boti. Tukapanda boti hii na kuondoka kwa mwendo wa kasi hadi katika eneo ambalo nina imani kwamba nikizama mita mia moja kwenda chini nita kutana na boma maalumu la kutoa majitaka ndani ya ikulu. Bomba hili lina elekea moja kwa moja hadi katika mabomba mengine kumi yanayo toa maji taka yanayo tumiwa katika vyoo, mabafu na majiko yaliyopo ikulu. Nikavaa nguo za kuogelea nikaingiza mfuko wa suti ndani begi hili lenye silaha ambalo haliingii maji kabisa.

“Kuwa makini sana ndugu yangu”

“Usijali kaka”

Nikavaa mtungi wa gesi pamoja na viatu maalumu vya kuogelea. Nikalishika begi hili kwa umakini, nikavaa miwani ya kuogelea ndani ya maji kisha taratibu nikadingi ndani ya maji na nikaanza kusama kuelekea chini kabisa lilipo bomba hili. Nikafika chini kabisa ya maji kisha nikaanza kufungua mfuniko maalumu wa bomba hili ambalo lina matobo matobo makubwa ambayo sio rahisi kwa mtu kupita ila maji taka yana weza kupita vizuri. Haikuwa kazi rahisi kufungua mfuniko huu lio kazwa kisawa sawa. Ikanichukua kama dakika ishirini kukamilisha zoezi hili. Nikawasha tochi yangu maalumu inayo tumika ndani ya maji, nikaanza kuogelea ndani ya bomba hili ambalo lina upana mithili ya pipa. Nikafanikiwa kufika katika muunganiko wa mabomba mengine na nikaingia katika bomba ambalo hutokea katike eneo analo ishi raisi na familia yake. Nikapandisha hadi eneo la juu kabisa la tanki kubwa kiasi linalo kusanya maji taka, japo kuna harufu kali sana ila sijali hili. Nipenya hadi katika moja ya choo cha chumba cha wageni. Nikasogeza eneo lilipo jengewa choo cha kukaa, kisha nikatoka ndani ya chumba hichi.

“Mmmm”

Nilizungumza huku nikifungua begi langu la silaha, nikatoa pafyumu maalumu ambayo hutumika kwa ajili ya kutoa harufu mbaya na kali na kwa muda mfupi. Baadaya kukamilisha zoezi hili, niavua nguo hizi zoa kuogelea nikazidumbukiza katika bomba nililo jia pamoja na mtungi wa gesi pamoja na viatu vya kuogelea. Nikaliosha begi hili kisha nikaoga haraka haraka na nikajipulizia pafyuma hii na hali yote ya harufu ikaondoka mwilini mwangu.

“Hapa nipo poa”

Nilizungumza kisha nikafungua begi langu, nitoa suti pamoja na viatu, nikavaa haraka haraka. Nikaitazama picha moja ya mlinzi wa hapa ikulu ambaye nina fanana naye kiasi. Nikabandika kope zinazo endana na yeye huku ukataji wa nywele zetu ukiwa ume fanana kabisa. Nikavaa earphone maalumu kwa ajili ya mawasiliano na earphone wanazo tumia walinzi wa hapa ikulu, nikaziset vizuri earphone hizi ambazo hutumia frequency maalumu na nikafanikiwa kusikia kila kitu wanacho wasiliana walinzi wote. Nikavaa saa wanazo zitumia kisha nikajifunga mguuni kifaa kinacho nisaidia kukata uwezo wa kamera za ulinzi kuninasa mamoja na kufahamu nipo wapi. Vifaa hivi ni mara chache sana hutimiwa na wapelelezi hususani wape wapelelezi wanao kwenda kupeleleza kwenye mataifa hatari na yenye ulinzi mkali. Nikachomeka bastola mbili kiunoni, nikavaa kitambulisho kinacho nioonyesha na mimi ni mlinzi wa hapa ikulu. Hivi vitu vyote niliviandaa usiku kabla ya siku ya leo. Nikamtumia meseji Shabani na kumueleza kwamba nimesha ndani ya ikulu na nipo vizuri. Jambo jengine ambalo lina nifanya nisiwe na wasiwasi ni kwamba nime jifunza alama zote za ishara ambazo walinzi husalimiana. Hivyo hata nikukutana na mlinzi yoyote akinipa ishara basi nina uwezo wa kumjibu kwa ishara bila ya wasiwasi hivyo ita kuwa ni ngumu kwa wao kunitambua.

Baada ya kukamilika kwa kila kitu nikalificha begi hili chini ya kitanda eneo ambalo sio rahisi kwa mtu kulikagua kwa maana nyumba hii ina aminika. Nikakiurishia choo hichi cha kukaa ambacho ni ya kubandika, katika sehemu nilipo kitoa kisha nikapiga hatu hadi mlangoni, nikachungulia katika kordo na kuona ukimya mwingi sana. Nikafungua mlango taratibu na kuanza kutembea kuelekea katika mlango wa kutokea.

“Anko Jony”


ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG