Search This Blog

Saturday, February 6, 2021

RISE UP SEHEMU YA 2/10

  

RISE UP

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 2 KATI YA 10



“Claudia ume kuja kufanya nini humu?”

Nilizungumza huku nikivuta taulo lililopo pembeni yangu na kulifunga kiunoni mwangu.

“Una waruhusu vipi wasichana hawa waweze kuugusa mwili wako?”

Claudia alizungumza kwa hasira kidogo.

“Ila wewe mwenyewe umeona hali hasiri ilivyo kuwa pale”

“Poa ninahitaji unipe cha fasta fast. DON sasa hivi yupo na malaya zake”

“Malaye zake kivipi?”

“Chidi acha maswali mengi nipe cha fast fasta, nina dakika kumi hapa”

Claudia alizungumza huku akivua nguo zake, akanivuta taulo na kunisukumia kitandani. Nikalala chali, akamshika jogoo wangu na akamchua kidogo na akasimama. Akamkalia huku akigugumia kwa raha. Akaanza kukata mauno ya haraka, ndani ya dakika kumi Claudia akwa amefika kileleni.

“Ohoo asante sana Rashid bye”

Claudia akashuka kitandani na kujifuta maufuataa, akavaa vazi alilo ingilia.

“Kwa nini ume vaa vazi hilo?”

“Hili ni vazi la mmiliki wa hawa wana wake wote. Ndio maana walipo niona na vazi hili ikawa ni rahisi kwa wao kunipisha. Bye baby”

Claudia akanibusu mdomoni na akatoka ndani hapa kwa haraka na hazikupita dakika mbili wasichana wale nilio kuwa nao wakaingia ndani hapa. Kutokana Claudia ameniacha katika hali ambayo bado nina hitaji penzi, ikanilazimu kuwatembezea kichapo wasichana hawa hadi nilipo ridhika, nikaingia bafuni na nikaoga haraka haraka kisha nikatoka chumbani hapa huku nikiawaacha wasichana hawa wakiwa wame lala usingizi fofofo. Nikarudi ukumbini na kuwakuta wapiganaji wezangu wakiendelea kula starehe.

“Umemuona DON?”

Nilimuuliza mpiganaji mwenzangu.

“Nahisi yupo juu”

“Wapi?”

“Gorofani, kwani vipi?”

“Nilikuwa nina hitaji kurudi nyumbani?”

“Umechoka kukaa na warembo?”

“No nimechoka pia na muda umekweda sana”

“Poa poa”

Nikaendelea kuzungumza kumtafuta DON ndani ya ukumbi huu na nikafanikiwa kutambua sehemu alipo. Nikaelekea gorofa inayo fwata na kuwakuta walinzi wake wakiwa wame simama nje ya mlango wa chumba kimoja kati ya vyumba vingi vilivyopo katika kordo hii.

“Naweza kumuona boss?”

“Ngoja”

Mlinzi mmoja akaingia ndani humo na baada ya dakika moja akatoka.

“Una weza kuingia.”

Nikaingia ndani hapa na kumkuta Don akiwa amezungukwa na warembo wengi walipo uchi huku Claudia akiwa amekaa kwenye moja ya kiti akiwa amevalia mavazi yake ya kawaida huku akimtazama mume wake jinsi anavyo chezewa chezewa na wasichana hao.

“Ohooo Malcom”

DON alizungumza huku akinyanyuka na kukaa kitako, huku mwilini mwake akiwa amebakiwa na bukta kubwa tu. Mwili mzima wa DON ume jaa tattoo za kutisha.

“Ndio muheshimiwa?”

“Vipi wale wasichana walikuhudumia vizuri?”

DON alizungumza huku akiwa ameshika kalio la mwanamke mmoja huku akiliminya minya.

“Ndio, nina omba kuelekea nyumbani kupumzika”

“Ohoo sawa sawa. Una weza kwenda, muambie mlinzi mmoja hapo akupeleke kwa dereva wangu ata kupeleka nyumbani”

Don alizungumza huku akiwa amejawa na furaha sana.

“Nashukuru”

Nikamtazama Claudia kwa jicho la kuiba na nikashindwa kuelewa yeye na mume wake wana ishi maisha gani kwa maana mwanamke aliyopo kwenye ndoa sio rahisi kumruhusu mume wake kuchezewa chezewa na wanawake kama hivyo. Nikatoka nje ya chumba hichi na kuwapa maagizo walinzi hawa na nikaondoka na mlindi mmoja hadi katika maegesho ya magari yaliyopo chini ya gorofa hili na akanikabidhi kwa dereva wa DON na tukaanza safari ya kuelekea nyumbani huku tukiwa katika gari hili la kifahari ambalo hata sifahamu jina lake lina itwaje. Nikafika nyumbani na walinzi wa nyumbani kwangu hapa wakanifungualia geti. Nikashuka kwenye gari na kusalimiana nao na moja kwa moja nikaelekea ndani. Nikamkuta mama akiwa amekaa sebleni huku akitazama tv.

“Shikamoo mama”

“Marahaba, mbona ume chelewa kurudi, yaani ume tufanya tujawa na mashaka mengi isitoshe hatujui hata namna ya kukupata kwa mawasiliano”

“Samahani, nilikuwa na pambano huko”

“Pambano, pambano gani?”

Mama aliniuliza huku akinitazama machoni mwangu kwani bado sija mueleza kitu kinacho endelea kwenye maisha yangu hadi sisi kufika hapa kwani furaha ya kuondoka nchini Tanzania ilinifanya hadi nisahau kumueleza uhalisia wa maisha yangu.

“Mama”

Niliita huku nikikaa kwenye moja ya sofa.

“Nakusikiliza”

“Kwanza Shamsa yupo wapi?”

“Amesha lala. Sasa hivi ni saa nane ina kwenda saa tisa usiku mwanangu”

“Nikweli, ila kuna jambo ambalo sikukueleza tulipo kuwa nchini Tanzinia, acha nikueleze”

Kutokana mama ndio msiri wangu na ndio mshauri wangu nikaanza kumuadithia namna nzima ya tukio la ujambazi lilivyo tokea, jinsi nilivyo iba cheni hizo nika mueleza namna ambavyo pitia mateso ya polisi, nikamuelezea jinsi nilivyo ishia gerezani hadi nikakutana na Claudia. Hadi nina maliza kumsimulia mama, akashusha pumzi nyingi huku akinitazmaa usoni mwanangu.

“Rashidi”

“Ndio mama”

“Natambua mchezo unao ucheza wewe ni hatari”

“Ni kweli mama, ila ndio utatufanya tusahau maisha ya ajabu tulio kuwa tuna ishi nchin Tanzania”

“No sizngumzii hayo mapigano yako. Nina zungumzia mchezo unao cheza na mke wa mtu”

Nikakaa kimya kwa sekunde kadhaa huku nikimtazama mama usoni mwake.

“Kama ulifanya kwa kuto kujua na ume kuja kutambua ukweli, ni bora ukaachana na huyo mwanamke. Japo tuna ishi sehemeu nzuri yenye kila kitu ila sinto penda kukuona una kuja kuingia kwenye matatizo mengine mwanangu”

“Nime kuelewa mama”

“Tulia, akili yako iweze huko kwenye mapambano yako. Nina imani kubwa kwamba Mungu ata kuletea mwanamke wako peke yako.”

“Asante mama”

“Sawa acha mimi nikapumzike kwa maana nilikuwa na wasiwasi na nikashindwa kulala kuhofia labda uta kuwa umepata tatizo”

“Asante mama kwa kunijali”

“Ni jukumu langu kukujali”

Mama akasimama huku akiwa amejawa na tabasamu, akaelekea chumbani kwake ambapo ndipo anapo lala na mjukuu wake. Nikajilaza sebleni hapa huku kichwani mwangu nikitafakari mambo mengi sana yahusianayo na misha yangu ya sasa na baadae.

‘Siwezi kuwa mpiganaji hadi kufa kwangu’

Nilizungumza kimoyo moyo huku usingizi ukianza kuninyemelea. Nikanyanyua taratibu na kufunga milango yote kisha nikaeleka chumbani kwangu na kujibwaga kitandani na wala sijakumbuka kuvua nguo wala viatu.

Asubuhi na mapema nikaaka na kuanza kufanya mazoezi ya viongo. Nikamaliza na kukuta mama akiwa tayari amesha andaa kifungua kinywa. Tukajumuika katika meza ya chakula wote watatu na tukaanza kula.

“Baba”

“Naam mwanangu”

“Mama mbona hajakuja?”

Nikatazamana na mama yangu kabla ya kujibu swali la mwanangu.

“Shamsa”

“Bee bibi”

“Mama ata kuja siku si nyingi tumsubirie sawa wajina?”

“Sawa bibi”

Brian akafika nyumbani hapa na kutuomba tuweze kuongozana kulekea kwenye matembezi ya kulifahamu jijini hili la Las Vegacy. Tukazunguka maeneo mbalimbali huku tukiwa tumeongozana na mama yangu pamoja na mwanangu.

“Kwa kweli kuna watu wana ishi jamani”

Mama yangu alizungumza huku tukiwa kwenye moja ya hoteli iliyo jengwa vizuri tukipata chakula cha mchana.

”Ndio hivyo mama yangu, ukisikia duniani huku ndio duniani, kule tulikuwa kwenye visigino vya duniani”

Kauli yangu ikatufanya watu wote kucheka.

“Ila una kwamba Tanzania ni nzuri kuliko Marekani”

Brian alizungumza na kumfanya mama kuguna.

“Ni kweli mama yagu. Tanzania ni nzuri kuliko Marekani. Tanzania ina uzuri wa kialisi, hii Marekeni, ina uzuri wa kutengezwa. Ngoja nita wapeleka kwenye jengo la maonyesho. Muta jionea historia nzima ya Marekani jinsi ilivyo kuwa miaka ya nyuma. Hapo ndipo muta nielewa nini nina maanisha.”

“Ila kaka Brian huku kwenu bwana mume piga msamba na sio hatua, sisi kule bado tuna jikongoja rafiki yangu”

“Hahaa ila katika kukaa siku chache kwenye ile nchi. Nimetokea kuipenda sana ile nchi”

“Kweli?”

“Haki ya Mungu nime ipenda na ipo siku nita rudi kwenda kupumzika”

Kusema kweli Brian ame kuwa mcheshi sana kwetu. Amekuwa ni msaada mkubwa sana kwenye maisha yangu na katika muda mchache huu nilio kaa naye nime weza kujifunza vitu vingi sana ikiwemo utu. Baada ya kumaliza chakula cha mchana, tukaelekea katika jengo la Makumbusho. Brian akalipa kiasi ambacho kila mmoja ana paswa kulipia ili kuingia katika jengo hili kubwa na lenye ulinzi mkali sana. Tukaanza kutembezwa sehemu moja baada ya nyingine.

“Rashidi”

“Ndio kaka”

“Hivi mtoto wako ana penda vitu gani?”

Brian aliniuliza huku tukiwa tuna watazama, mama, Shamsa pamoja na muelekezaji wetu anaye tuonyesha histori ya nchi hii ya Marekani.

“Bado sija jua ndugu yangu?”

“Kwa nini?”

“Maisha yetu ya uswahili ni ngumu sana kufahamu vitu hivyo ndugu yangu”

“Ila kwa kumtazama mwanao naamini ipo siku ata kuja kuwa muimbaji mmoja mkubwa sana.”

“Eti ehe?”

“Yaa niamini katika hilo, kwa maana toka tulipo kuwa ndani ya ndege, alipo kuwa ana sikia mziki, nilikuwa nina muona akitingisha tingisha kichwa, ina onyesha ana hisia kali snaa na mziki”

“Ngoja nita mchunguza katika hilo ndugu yangu”

“Jaribu kufanya hivyo, ili siku unapo kuja kufanikiwa uweze kumsaidia na yeye kufanikiwa katika ndoto zake.”

“Sawa sawa, alafu nina swali ndugu?”

“Niulize”

“Hivi DON na mke wake wana ishije ishije?”

“Kivipi?”

“Jana niliingia katika chumba alichokuwa nika mkuta DON akiwa amezungwa na wasichana walipo uchi, wakimkatikia mauno na mke wake amekaa pembeni huku akimtazama tu”

“Ni story ndefu kidogo. Ila kwa ufupi DON ni malaya na pia ni mtu ambaye ame mpenda Claudia na ndio maana ame muoa. Kitu kinacho mfanya Claudia kuwepo kwa DON kwa miaka yote hii ni kuweza kurithi utajiri wake kwa maana jamaa na utajiri wa kama dola bilioni hamsini. Hizo ni pesa ambazo zina julikana kiserikali ila pesa zake za madawa ya kulevya na biasara magendo nyingine anazo ziendesha ni nyingi sana ambazo tukizijumlimsha, basi hakuna tajiri yoyote ndani ya Marekani au duniani ana weza kumfikia. Kiufupi jamaa ni mafia”

“Duuu”

“Yaa hicho ndio kinacho mfanya Claudia kuendelea kukomaa, ila hana upendo wala hampendi DON kabisa”

“So Claudia ana mpenda nani?”

Brian akasimama na kunigeuka huku akinitazama usoni mwangu.

“Claudia ana kupenda wewe na amekupenda kwa muda mchache sana. Ila kitu kinacho mfanya ashindwe kuwa karibu nawe hususani hapa nchini Marekani ni mume wake na kila mwananume ambaye DON ana mtilia mashaka juu ya mke wake, basi ana muua hata kama haja tembea naye. Ndio maaa nilikuambia ukae mbali sana na yule mwanamke kwa hapa Marekani kwa maana sinto furahia kukuona unaingia kwenye matatizo wewe na familia yako”

Nikashusha pumzi taratibu, galfa tukamuona Shamsa akikimbia jambo lililo tufanya tustukee kidogo na nikaanz akumkimbiza huku nikimuita kwa nyuma.

“Mamamaaa”

Shamsa alizunguzma huku akimshika mwanamke mmoja mwenye nywele ndefu zinazo fika mgongoni, kwa nyuma. Mwanamke huyo akageuka na kunifanya nistuke sana kwani si mwengine bali ni mama Shamsa, ambaye hata yeye mwenyewe kitendo cha kutuona hapa akajawa na mshangao kwa maana hakuna aliye tarajia kukutana na mwezake katika sehemu kama hii, tena katika nchi za watu.



“Wee mtoto niachie” Mama Shamsa alizungumza kwa ukali huku akimuachanisha Shamsa na mihuu yake. Kitendo hichi hata Shamsa kika mshangaza sana. “Nime sema niache” Mama Shamsa alizidi kufoka ika nibidi kumshika mkono Shamsa na kumuachanisha na mama yake. Mama na Brian wakafika eneo hili na kumfanya mama Shamsa kujawa na mshangao mkubwa sana.

“Mwanangu tuondoke” Shamsa akaanza kulia huku akijaribu kumng’ang’ania mama yake. Walinzi wawili wa kike walio valia suti nyeusi wakafika eneo hili. “Mkuu kuna tatizo?” Walimuuliza mama Shamsa usoni mwake. “Hapana ila nahitaji kuondoka nimesha shefukwa kukaa hapa”

Mama Shamsa akaondoa eneo hili na kumuacha mwanangu akilia kwa uchungu sana. Kitendo hichi kwa kweli kime niumiza sana moyoni mwangu. Mama akamchukua Shamsa kutoka mikononi mwanangu na kuendelea kumbembeleza. “Huyu ndio yule mwanke niliye zaa naye” Nilimuambia Brian kwa uchungu. “Pole sana kaka” Hata hali ya kuendelea kutembezwa katika jengo hili ikaishia hapa na tukaanza safari ya kurudi nyumbani, Shamsa akalia hadi usingizi ukampitia. Tukafika nyumbani na mama akamuingiza mjukuu wake ndani. “Kaka kuna jambo nina omba inisaidie” “Jambo gani Rashidi?” “Nahitaji kukutana na yule mwanamke ambaye tume onana naye pale kwenye eneo la makumbusho.” “Mmmm ngoja niwasiliane na vijana wangu. Nipe dakika tano”

Brian alizungumza huku akipiga hatua na kusimama pembeni yangu kidogo, akatoa simu yake na kuzungumza na watu wake kisha baada ya dakika mbili akanifwata. “Nimeweza kupata jina la hoteli na chumba alipo. So tuna weza kwenda kuonana naye sasa hivi?” “Sawa, ngoja nimuage mama” Nikaingi ndani na moja kwa moja nika elekea chumbani kwa mama na kumkuta akiwa amekaa kitandani huku machozi yakimwagika. Akajifuta machozi yake haraka haraka mara baada ya kuniona.

“Ahaa….mama” “Beee” “Nina toka mara moja na Brian” “Sawa usichelewe, ila sijui ni kwa nini mama Shamsa amemfanyia vile mwanaye wa kumzaa hana uchungu kweli” “Usijali mama kila kitu kita kwisha tu” Nikanyanyuka na kutoka ndani hapa. Nikatoka nje, nikaingia kwenye gari kisha tukaondoka nyumbani hapa na Brian.

“Kwa nini una hitaji kuonana na mwanamke aliye kuacha?” Swali la Brian likanifanya nikae kimya kwa muda kidogo. “Nahitaji kuzungumza naye kwa mara ya mwisho” “Una maanisha nini?” “Sikupata nafasi ya kumuuliza ni kwa nini amebadilika kiasi hichi. Una jua ni mke wangu wa ndoa, ndio maana moyo wangu una umia sana kuona ana nifanyia mambo kama haya” “Pole sana ndugu yangu” “Nina shukuru sana” “Ila tafadhali usijeuka fanya jambo lolote baya kwake. Nchi yetu katika maswala ya kiusalama ipo vizuri sana, uta jikuta una ingia gerezani” “Usijali kaka, siwezi kufanya chochote kibaya” “Sawa nina kuamini” Tukafika kwenye moja ya hoteli ya kifahari iitwayo Staybridge Suites-Las Vegas. Tukaelekea katika eneo la ukumbi wa kupumzikia na tukaagiza vinywaji na kuanza kunywa taratibu. “Vijana wangu wame niambia kwamba ana patikana eneo hili majira kama haya” “Sawa” Tukaendelea kunywa vinywaji vyetu taratibu baada ya muda nikamuona mama Shamsa akiwa ameongozana na walinzi wake wakikaa kwenye moja ya meza iliyo andaliwa vizuri. “Ana walinzi, ina bidi uwe makini sana” “Sawa kaka” “Ngoja” Brian akanyanyuka na kusogea hadi eneo la meza hiyo, kutokana wapo mbali kidogo na sehemu nilipo kaa mimi sikuweza kusikia wanacho kizungumza. Brian akaniita kwa ishara mara baada ya kuzungumza na mke wangu kwa muda kidogo. Nikanyanyuka na kuwafwata walipo. “Zungumza naye ame kupa dakika tano” Brian alizungumza huku akiondoka. Mama Shamsa akawapa ishara walinzi wake kusogea pembeni kidogo ili tubaki wawili. “Mama Shamsa” “Koma sina mtoto na wewe” “Okay sawa. Kwa nini ume kuwa mkatili kiasi hicho?” “Rashidi nilisha kueleza mapema na uka elewa kwamba huna hadhi ya kuwa na mimi na hapa ninavyo zungumza nawe nimesha muambia Mr kwamba upo nchini hapa Marekani. Yule mkuu wako wa gereza ana pata kibano sasa hivi na bado wewe nita hakikisha una ishia jela kwa kuingia nchini mwa watu kinyemela. Alafu usiniharibie mood yangu, nime kuja kufanya shoping kesho nina elekea Paris kwa aili ya ndoa yangu. Hivyo sitaki unipatie ma stress ambayo hayana sababu ya msingi” Mama Shamsa alizungumza kwa dharau na kejeli iliyo pitilia, midomo yake kila mara ana ibenua kunidhihirishia kwamba ana nidharaua. “Nina kutakia maisha mema ya ndoa yako. Ila ulicho kifanya kwa mtoto sio kitu kizuri. Yule ni mwanao na ume muweka tumboni miezi tisa. Kumbuka usiku ule ulivyo zaa kwa uchungu, ulikuwa una lia na kuumia maumivu ambayo hujawahi kukutana nayo kwenye maisha yako. Ila leo hii ume mkana mtoto kana kwamba sio mwanao. Haki ya Mungu ume kosea mama Shamsa” Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu. “Najua una nichukia, usiku wa majambazi kuvamia kwenye eneo langu la lindo nilirudi nyumbani usiku sikukutana nilikupigia simu na ukaniambia upo nyumbani ikiwa mimi nilikuwa nipo nyumbani, ina onyesha kwamba haya mahusiano yako ulianza zamani sana na mtu wako. Ila nina shukuru sana, leo hii una niaona mimi masikini kwa ajili ya kutembea na huyo mzee mwenye pesa na mamlaka kwenye nchi yetu ila kumbuka ipo siku na wakati uta fika uta tamani uwe nami ila huto niona, uta tamani kuishi nami ila haito tokea. Kila uta kuta kikiwa kime badilika.” Nilizungumza huku machozi yakinibubujika, mama Shamsa akaa kimya huku akinitazama usoni mwake. Hata kama amejawa na ujasiri gani ila tayari nimesha anza kuona hali ya kunionea huruma. “Kumbuka nilipo kutoa wewe, ulikuwa fukara usiye thaminika. Nikakupa thamani ambayo bila ya mimi huyo mzee asinge kuona” “Rashidi ina tosha ondoka kabla sija waita walinzi wangu waka kudhalilisha hapa” “Nina ondoka, ila tambua kwamba sija kupatia talaka na bado wewe ni mke wangu wa ndoa ila leo nita kupa talaka yako ukaolewe vizuri bila ya kipingamizi. Ila tafadhali muambie mume wako na wewe pia nina kuambia hili ukae ukijua. Achaneni na maisha yangu, maisha ya familia yangu na maisha ya mwanangu. Mukijaribu kuleta ujinga hapa Marekani nina apia kwa Allah. Nitawaua mmoja baada ya mwengine na sito ona hasara ya kurudi gerezani kwa mara nyingine kwa maana muta kuwa mume shika sehemu ambayo hajapaswa kuishika.” Nilizungumza maneno hayo kwa msisitizo. Nikanyoosha mkono wangu juu na muhudumu akanifwata. “Samani dada nina omba peni na karatasi” “Sawa” Baada ya dakika mbili muhudumu akaniletea peni na karatasi. Nikamtazama mama Shamsa usoni mwake kisha nikaanza kucharaka talaka ya kuachana naye jumla jumla na kwa imani yetu dini ya kiislamu, ili kuachana mazima na mke wako ni lazima umtandike talaka tatu na ndicho nilicho kifanya. Nilipo maliza kuiandika nikamsogekeza mama Shamsa. “Waooo, safi sana nilikuwa nina lingojea hili sana. Pia na sasa hivi mimi sio muislamu ni mkristo” “Uta jijua mwenyewe. Ila kumbuka ukijaribu kuigusa familia yangu wewe, yule malaya mwenzako nita muua na kuanzia sasa hivi tambueni mupo kwenye vita na mimi na muta juta ni kwa nini mume ingia kwenye kumi na nane. Kama niliweza kuingia gerezani, nika toka na nime fika hapa Marekani na nina ishi basi tambua kwamba nita dili na nyinyi” Mara baada ya kuzungumza hivyo nika nyanyuka na kurudi eneo alipo Brian.

“Kaka tuondoke” Brian akanitazama machoni na akatambua kabisa ninacho kizungumza nina kimaanisha. Akatoa noti ya dila mia na akaiweka mezani hapa kisha tukatoka nje, tukaingia ndani ya gari na kuondoka.

“Ime kuwaje?” Nikameleza Brian nilicho zungumza na mama Shamsa.

“Hapa ni Marekani sio kama kule Tanzania, hapa kila mtu ana uhuru wa kuzungumza ndio maana hata raisi ana weza kutukanwa na aliye mtusi asichukuliwe sheria, ila fanya hivyo kwenye nchi yako, uone” “Ni kweli” “Nikutoe wasiwasi kaka. Hawato weza kukudhuru” “Nashukuru. Nina weza kuonana na DON usiku huu?” “Ngoja niwasiliane naye” Brian akawasiliana na Don kisha akatuelekeza ni sehemu gani ambayo yupo na tukamfwata. “Malcom niambie” DON alinisalimia huku akinipokea kwa furaha. “Salama mkuu” “Niambie kijana wangu nini kina kusumbua kwa maana usoni una onekana haupo sawa” Nikamuelezea DON historia ya maisha yangu hadi nilipo pata msaada wa kufika nchini Marekani. “Aise huwa nina chukia sana wanaume wanao penda kuchukua wake za watu. Ndio maana nina sema mimi nikijua mtu ana mchukua mke wangu. Haki ya Mungu nina mkata kichwa, ehee niambie una taka kumfanya nini huyo makamu wa raisi” “Nina hitaji tumpatie onyo” “Sawa onyo la aina gani, tumuue, tumteke au tufanye nini?” Nikashusha pumzi kwa maana DON amenipatia nafasi ya kujielezea. “Nina hitaji tuweze kupata picha za uchi akiwa na mke wangu chumbani wakifanya ngono alafu tuzisambaze kwenye mtandao” “So una hisi hiyo adhabu ita ifanya nafsi yako kuwa na amani?” “Ndio kwa asilimia mia moja ita nifanya niwe na amani” “Basi hilo asabu kwamba lime kamilika. Alafu nilisahau kukuambia, kesho tuna safari ya kuelekea Mexco kuna pambano lime andaliwa, ukishinda pambano la kesho basi nita kupa ujira wako na uta furahi” “Nashukuru sana DON” “Ila hakikisha una shinda” “Nina imani nita shinda” “Basi nenda kapumzike na usimuwazie huyo fala. Vijana wangu wapo duniani nzima hivyo hiyo kazi ita kamilika” “Nashukuru” Tukaondoka eneo hilo na Brian akanirudisha nyumbani kwangu huku akiniahidi kwamba asubuhi na mapema ata nipitia kwa ajili ya kunipeleka kwa DON kwa ajili ya safari ya kuelekea nchini Mexco. Nikakuta mama amesha niandalia chakula cha usiku. “Vipi nyinyi mumesha kula?” “Ndio” “Shamsa aliamka?” “Yaa aliamka akala kisha akalala. Ila nina hisi kama ana kajoto kwa mbali, ila nina hisi ni kutokana na kulia kwa muda mrefu” Nikamueleza mama jinsi nilivyo kutana na mama Shamsa na nikamueleza kwamba tayari nimesha mpatia talaka. “Umefanya jambo zuri sana mwanangu” “Nashukuru mama” “Achana naye kabisa, yule manamke ni muuaji. Yaani sijajua amekumbwa na nini hadi mwanaye tu wa kumzaa amemfanyia unyama kama ule” “Ndio binadamu hao mama” “Ni kweli” “Kesho nina kwenda nchini Mexci kuna pambano. Don ameieleza kwamba nita kuwa na pambano huko” “Nakuombea mwanangu ushinde” “Amen” Mama akavua cheni yake ambayo kwa kipindi kirefu nilikuwa nina muona nayo shingoni na huwa haivui.

“Hii cheni alinipa baba yako kipindi hicho tulipo kuwa ni wachumba. Hivyo alikwenda Mererani kutafuta maisha na kuna kipindi nilipata habari kwamba vifusi vya mchanga viliwafukia yeye na wezake na wakafia katika mgodi huo. Hivyo chukua hii cheni ita kulinda mwanangu” Mama alizungumza kwa sauti ya upole huku akikabidhi cheni hii. “Asante mama, lla kwa nini ulikuwa una nificha kuhusiana na baba?” “Ulikuwa bado huja komaa na kuwa na akili kama hizi ulizo kuwa nazo sasa. Nina imani umesha elewa nini maana ya maisha na sidhani kama ita tokea siku uta muacha mwanao kuishi maisha kama uliyo ishi wewe. Pia ukiona cheni hii tambua kwamba ni ukumbusho tosha wa familia yako, yaani mimi na mwanao” “Asante mama” Taratibu mama akaichukua cheni hii kwenye kiganja changu cha mkono wa kulia na akanivisha shingonim wangu. Akanibusu shavuni kisha akelekea chumbani kwake. Nikatazama tv filamu kadhaa ksha nikaingia chumbani kwangu na kulala.

Asubuhi na mapema kama Brian alivyo niahidi akafika nyumbani hapa. Tukapata naye chai kwa pamoja kisha nikaagana na mama pamoja na mwanangu Shamsa, kisha tukaelekea nyumbani kwa DON. Nikamkuta DON, mke wake na walinzi wake wakiwa wamesha jindaa. Tukaingia kwenye magari na kuelekea uwanja wa ndege. Tukapanda kwenye ndege yake binafsi na safari ya kuelekea nchini Mexco ikaanza. “Malcom” “Ndio mkuu” “Hili pambao kuna rafiki zangu nime beti nao. Hivyo lina pesa nyingi sana, hakikisha una shinda na isitoshe huyo unaye kwenda kupigana naye ni mtu hatari sana. Japo mimi nime toa pesa yangu ila nina wasiwasi kwa kwlei” “Huyo mpiganaji nina weza kupata kuona video zake?” “Ndio zipo zipo. Hembu mpeni video za iron men” Mlinzi wa DON akanikabidhi ipade na kuniwekea video za mapambano ya mtu huyu ambaye kwa haraka haraka nilivyo muona hana tofauti ya ZUMO niliye pigana naye gerezani, kwani ukubwa wa maombo yao ni sawa na hata ukatili na upiganaji wao ni sawa kabisa na Zumo ila kitu cha tofauti ni kwamba Zumo ni mweusi na huyu Iron Men ni mweupe na ana asili ya Kimexco. Kitu ambacho kidogo kime niogopesha katika hizi video za mapambano ya huyu mtu ni jinsi anavyo wabana wapinzani wake vichwa kwa kutumia viganja vyake hadi wanafariki.

‘Ohoo Mungu wangu’

“Huyo jamaa huwa amuachi mpinzani wake hadi pale atakapo hakikisha kwamba ame muua kama unavyo ona kwenye hizo video”

DON aliniambia huku akinitazama machoni, nikamtazama Claudia aliye kaa pembeni ya mumewe na kumuona akiwa amejawa na huzuni kubwa sana. “Mmm!!”

Niliguna huku nikiwa nimejawa na wasiwasi mwingi sana. “Ndio, yaani amesha ua wapiganaji wangu kama sita hivi. Endpo wewe leo akikuua uta kuwa wa nane. Jitahidi sana Rashidi kwa maana katika mapambano hayo sita nimesha poteza kitu kama dola milioni ishirini. Leo endapo utashinda, pesa yangu ita rudi mara kumi yake. Hakikisha una shinda Rashidi” DON alizungumza kwa msisitizo na kunifanya nimtazame tu usoni mwake kwani kama wapiganaji wake sita wame uwawa na jitu hili, basi naamini hii safari sinto rudi nchini Marekani kwani nime jaribu kutafuta mbinu za haraka haraka za kulipiga jamaa hili ila nime shindwa kwani wapigaaji wezangu walio nitangulia nimeona kila laliye jaribu kulipiga ngumi na mateke halitetereki kabisa na zaidi lina wahimiza wampige zaidi na baada ya hapo anacho kifanya ni kuwapiga makofi ya vichwa kisha anaanza kuwabana vichwa vyao hadi mafuvu ya vichwa yana pasuka na kuwa mithili ya mtu aliye kanyagwa na tairi ya gari.



Woga ulio ambatana na hofu vikanitawala sana moyoni mwangu, kwani hakuna binadamu ambaye ana jua kwamba ana kwenda kufa alafu akawa hana wasiwasi wala woga. Tukafika nchini Mexco majira ya mchana. Tukapokelewa na wenyewe wetu na moja kwa moja tukaelekea hadi kwenye arena(ukumbi mkubwa wa mapambano) na kukuta ndio kwanza watu wana anza kuingia. Don akasimama katikati ya ulingo huu mkubwa ulio zungushiwa nyavu ngumu, akautazama kwa sekunde kadhaa.

“Wapiganaji wangu wengi sana wame kufa hapa”

Don alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Leo sinto hitaji kuona damu yako ikimwagika, nahitaji ushindi Malcom.”

“Sawa mkuu”

Nikamjibu DON kwa upole kiasi kwani kusema kweli bado hofu haijaondoka moyoni mwangu. Nikaanza kuuzunguka ulingo huu kwa mara saba huku nikiomba kimoyo moyo, mwenyezi Mungu apate kunisaidia kushinda. Nikamaliza kusali kisha nikatoka ukumbini hapa, kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi hofu ilivyo zidi kuniondoka hadi ikafikia wakati ujasiri ukanijaa moyoni mwangu. Tukapata chakula cha mchana, sikuhitaji kula kitu chochote zaidi ya kukua mzima aliye chemshwa na kuwekwa pilipili na limao la kutosha.

“Rashid”

Brian akaniita kwa sauti ya upole huku tukiwa ndani ya chumba cha maandalizi.

“Ndio kaka”

“Nina ujumbe wako hapa”

Brian akanikabidhi kikataratasi kidogo, nikakifungua nakukuta maandishi.

‘Nina kupenda na nina omba uwe hai mume wangu’

Nikatambua ujumbe huo ume toka kwa Claudia. Nikakikunja kunja na nikakitafuna, nikaingia bafuni na kuki flash kwenye choo la shimo.

“Brian nikuulize kitu?”

Nilizungumza huku nikiwa nina toka katika mlango wa choo.

“Niulize”

“Ume shuhudia mapambano mangapi ya jamaa huyu ninaye kwenda kupigana naye leo?”

“Mengi, huku kama mkuu alivyo kuambia kuna wapiganaji wetu alisha waua.”

“Katika kuyatazama mapambano hayo kuna kitu gani ambacho umekigundua kwa jamaa?”

“Mmmm kitu nilicho kigundua ni kwamba hana spidi, hii ni kutokana na ukubwa wa umbo lake. Jambo jengine ni kwamba akikukamta na kukushushia kofi au ngumi yake moja broo, ume kwisha.”

“Okay uadhaifu wake ni spidi?”

“Ndio ila sijui hili jaa lina mwili wa iina gani kwa maana hata likipigwa ngumi, mateke huwa aliumii kabisa ndio maana ameitwa Iron men, ila hizi zina weza kukusaidia”

Brian akanikabidhi bangili mbili za chuma zenye matundu matano matano kwa ajili ya kuvaa vidoleni.

“Vitakusaidia ndugu yangu”

“Nashukuru”

Nikajaribu kuvaa bangili hizi mbili vidoleni mwangu, vikanikaa vizuri.

“Nashukuru”

“Rashidi kumbuka una ndoto nyingi, hakikisha una pambana kwa ajili ya mwanao”

“Nashukuru naomba niwe peke yangu”

“Hakuna shaka”

Brian akatoka ndani hapa. Nikachukua ipade na kurudia kuyatazama mapambano ya iron men. Wakati huu sasa nikanza kugundua mambo kadhaa ambayo pale awali sikuweza kuyagundua. Dakika ishirini kabla ya pambano kuanza, akaingia DON, Brian na Claudia.

“Sasa pambano lina kwenda kuanza, umejiandaa?”

Don aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Ndio”

“Kapambane”

“Nime kuelewa mkuu”

“Rashidi”

“Ndio madame”

“Tuna kuhitaji uweze kuwa hai”

Claudia alizungumza kwa sauti ya upole huku akinitazama usoni mwangu.

“Usijali”

Wakaondoka chumbani hapa na kuniacha na Brian. Muda wa kuelekea ulingoni ukawadia, tukatoka na Brian ambaye ndio mpambe wangu huku usoni mwangu nikiwa nimevalia kinyago changu. Katika mapambano niliyo wahi kupigana, hakuna pambano lililo jaza watu kama hili. Nikaingia ulingoni nikiwa na Brian.

“Jiamini Chidi”

Brian alizungumza huku akininong’oneza sikioni mwangu.

“Usijali kaka”

Kama ilivyo kuwa Las Vegas ndivyo ilivyo hapa, watu wengi wana nizomea. Sikujali kuhusian ana kelele zao ninacho kijali sasa hivi ni kusiana na mpambano ulipo mbele yangu. Mziki mkubwa ukaanza kusikika na nikaliona jitu hilo kubwa likitoka katika sehemu niliyo pita mimi. Likanyoosha mkono wake mmoja juu na kuwafanya waty wazidi kushangilia. Nyuma yake lime ongozana na warembo walio valia bikini na sidiria wapatao sita, huku warembo wao mikononi mwao wakiwa wameshika urembo huku wakicheza nyimbo hiyo ya Kimexco.

‘Ohoo Mungu wangu’

Niliguna huku nikimtazama jamaa huyu ambaye hata kwenye mlango huu anainama ndio aingie ndani.

“Mapigano mema”

Brian alizungumza huku akitoka kwa haraka ulingoni. Refarii akasimama katikati yetu huku sisi wote wawili tukimtazama mtu huyu kwa juu. Jamaa hili likanitazama kwa dharau kubwa kwa maana hata sina hadhi ya kupigana naye.

“Refa una uhakika huyu ndio ninaye peswa kupigana naye?”

“Ndio yeye”

“Muna niletea vipi watu wa ajabu”

“Mupo tayari?”

“Ndio”

Lilizungumza, refa akaamuru kengele igongwe. Likarusha kofi la kustukiza ila kwa kasi nikalikwepa huku nikirudi nyuma. Shangwe katika ukumbi huu zikazidi kumiminika. Iron men akaanza kunizinga zinga ili anikamate. Ila kwa ujuzi na wepesi wangu nika zidi kujitahidi kukwepa ngumi na mateke ya jamaa hili.

‘Rashidi lazima nishinde. Haijalishi ni mkubwa kiasi gani ila mimi ni sawa na Daud na hili ni Goliath’

Nilijisema kimoyo moyo. Nikaitazama miguu ya jitu hili, kwa kazi ya ajabu kwa kutimia miguu yangu yote miwili nikampiga eneo enka ya mguu wa kushoto na kumfanya aanguke chini mzima mzima kwa maana pigo hili nilihakikisha kwamba nina vunja eneo hilo ambalo hata uwe una mazoezi kiasi gani ni lazima utenguke au uvunjike. Sikutaka kumpa nafasi ya kunyanyuka nikamkanyaga eneo la sehemu za siri na kumfanya ajishike eneo hilo huku akitoa ukelele mkali sana. Nikaukimbilia mguu wake nilio mvunja enka, nikakimbilia kikanyagi chake na kuzungusha kwa nguvu zote na kumalizia kuuvunja kabisa. Akakaribu kusimama kwa kutumia mguu mmoja, ila nikapiga teke eneo la gotini na kuvunja goti la mguu wa kulia na hapa sasa akawa hana ujanja wa kufanya zaidi ya kukaa chini. Kila kinacho tokea hapa nina imani hakuna hata mmoja aliye tarajia hali kama hii. Nikazitoa bangili alizo nipa Brian, katika mfuko mdogo wa bukta yangu, na kuzivaa vidoleni mwangu na kukunja kugumi vizuri.

Nikamsogelea eneo la kichwani mwake, hapo anajaribu kujiviba kwa mikono yake na muda mwengine ili anikamate kwa mikono yake ila nina ikwema na hizi banguli nilizo zivaa ni ngumu sana na hivyo hata nikimpiga eneo lolote basi ngumi ina ingia kisawa sawa. Kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi nilivyo zidi kwenda ndivyo jinsi nilivyo zidi kumchakaza kwa kumpiga mgumi za kichwani. Nikamshika mkono wake wa kulia na kuvunja vidole vyake na kuzidi kumnyia uwezo wa kujilinda. Nikaanza kumpiga ngumi mfululizo katika koo lake hadi nikavunja koromeo lake. Kelele zilizo kuwa zime tawala ukumbini hapa zote zime fifia na wanao shangilia ni watu wachache sana. Nikalitazama jitu hili kwa dakika kadhaa kisha nikampiga kabali ya shingo yake kwa kutumia miguu yangu ambayo ina nguvu kubwa uliko hata mikono. Iron men akajitahidi kufurukuta ila akashidwa kuitoa miguu yangu.

‘Tuonane kuzimu’

Nilizungumza kimoyo moyo na nikaivunja shingo yake kabisa na huu ndio ukawa mwisho wa Iron Men. Nikanyanyuka huku nikiwa sija umia wala kupigwa ngumi hata moja na mpinzani wangu.

“Wewe ni nani?”

Refa aliniuliza huku akinishangaa.

“Mtu”

Refa akanishika mkono na kulia na kuunyanyua juu. Akainama huku akisikilizia mapigo ya moyo kifuani mwa Iron Men ila akatingisha kichwa akimaanisha kwamba amekufa. Nikamuona DON na walinzi wake wakikimbia kwa kasi na kuingia ulingoni hapa. DON akaninyanyua juu kwa furaha na kuanza kunizungusha.

“Safi safi sana Chidi”

Hata hichi kilicho tokea nina imani kwamba DON haamini kwenye macho yake. Walinzi wake wakanitoa ulingoni hapa huku wakinibeba juu juu. Nikarudi chumbani ambapo nikuta Claudia na Brian wakiwa wana tusubiria.

“Wewe ni genius”

Claudia alizungumza huku akinikumbatia kwa furaha nikaachiana naye kisha Brian naye akanikumbatia.

“Aisee mke wangu ume leta jembe. Siamini kama yule kum** amekufaa”

“Nilikuambia mume wangu ndio maana hata kile kiasi tulicho mlipa mkuu wake wa gereza nikakuambia kwamba kita rudi, ona sasa, pambano la kwanza lilikuwa la kumima hili lime kuwa ni pambano official na ameshinda mbele ya mtu ambaye alikula pesa zetu nyingi sana na sio kushinda tu amemuua”

Hakika furaha ilizidi kutawala kwa kila mmoja wa timu yetu. Nikaoga na kuvaa nguo nilizo kuja nazo eneo hili. Usiku huu huu tukaondoka hapa nchini Mexco na kurudi Las Vegas Marekani. Moja kwa moja tukaelekea nyumbani kwa DON na nikaingia naye ofisini kwake pamoja na mke wake.

“Rashidi nani vile?”

“Rashidi Pinda”

“Sikuwahi kufarahi sana kwenye maisha yangu. Ila leo furaha yangu ime pitiliza kwa kweli. Umenipatia kitu ambacho nilikuwa nina ndoto ya kukipata na sikingine ni kumuangusha yule jamaa. Kama ni pesa ninayo nyingi sana na leo nita kupa cheki ya dola milioni moja”

“Dola milioni moja?”

Nilishangaa huku macho yakinitoka.

“Yaa dola milioni moja. Najua wewe ni binadamu na sio kila siku uta kuwa una pigana tu ulingoni, ni lazima uta kuwa na malengo yako binafsi na isitoshe bado ni kijana mdogo sana”

“Anacho kizungumza mume wangu ni kweli, Rashidi bado ni mdogo sana”

Claudia akatilia mkazo wa kauli aliyo izungumza mume wake.

“Jambo jengine nahitaji kukufanya mkono wangu wa kulia sasa”

“Una maanisha nini BOSS”

“Nenda nyumbani leo, kesho asubuhi Brian atakuja kukuchukua. Atakupeleka benk uta fungua akaunti kwa jila kako na uta weka kiasi hicho cha pesa, cheki uta upitia asubuhi”

“Nashukuru sana DON”

Nikaondoka nyumbani hapa kwa DON na Brian akanirudisha nyumbani kwangu.

“Rashid”

“Ndio ndugu yangu”

“Hongera sana”

“Nashukuru kaka”

Brian akaondoka na kuingia ndani kwangu, nikafungua mlango wa chumbani kwa mama na kuwakuta wakiwa wame lala pamoja na mjukuu wake. Nikaingia chumbani kwangu na kuanza kupanga mipango ya namna gani nitakavyo zitumia pesa hizo kwa kuanzisha miradi itakayo niingizia pesa nyingi. Nilipo pata mradi ambao nikaona kwangu uta kuwa ni sahihi kuufanya nikajipumzisha.

“Kumbe ulirudi”

Mama aliniulza mara baada ya kutoka chumbani kwangu na kumkuta sebleni akiwa ana fanya usafi.

“Ndio mama nilirudi jana usiku, nikaona sio busara kukuamsha”

“Vipi shindano lako lime kwendaje?”

“Lilikwenda vizuri, lilikuwa ni rahisi kuliko vile watu walivyo kuwa wana fikiria”

“Hongera. Ehee ume lipwa kiasi gani?”

“Mama tume uchinja”

“Una maanisha nini?”

“Bosi ameniambia asubuhi hii nikachukue cheki ya dola milioni moja kibongo bogo ni kama bilioni mbili na ushee”

“Wee!!”

“Haki ya Mungu vile mama. Yaani hapa nina msubiria Brian kuja kunichukua kwa ajili ya kwenda kuchukua cheki na kufungua akaunti niweke pesa zangu”

“Ni jambo la heri”

“Asante sana mama. Nikiishika pesa na kuhakikisha ipo mkononi mwangu nita kuambia ni biashara gani tufanye”

“Sawa mwanangu”

Brian akafika nyumbani hapa tukapata kifungua kinywa kisha tukaianza safari ya kuelekea nyumbani kwa DON.

“Yaani nina ipenda sana chai ya mama yako ana jua kupika sana”

“Kweli?”

LIKE PAGE Story Za Eddy-tz

“Yaa ana pika vizuri sana.”

“Ndio mapishi ya Kitanzania”

“Yaani nime yapenda sana Muambie siku mama yako atupikie Ugali samaki, mimi na Claudia tuna upend asana”

“Kweli?”

“Ndio”

Tukafika nyumbani kwa DON na tukakaribishwa na wafanyakazi wake wa ndani.

“Mkuu bado hajaamka”

Tukasubiri kama robo saa DON na mke wake wakafika sebleni hapa. Akampa Brian maelekezo ya benki gani ani pekeke nikafungue akaunti ya benki. Nikakabidhiwa cheki yangu ya dola za kimarekani milioni moja. Kwa kweli sikuamini kwenye maisha yangu kama nina weza kushika kiasi kama hichi tena kwa kumkupuo. Ujume mfumi wa meseji ukaingia kwenye simu ya DON, akautazama wa sekunde kadha akisha akatabasamu.

“Wooo, Malcom kazi yako ime kamilika. Picha za watu unao wahitaji si hizi”

DON alizungumza huku akinikabidhi simu yake. Nikatazama picha za uchi za mke wangu na makamu wangu wakiwa kitandani. Tabasamu likanijaa usoni mwangu hata hii milioni moja niliyo pewa siifikirii sana na ninacho kifikiria ni kumchafua mke wangu na makamu wa raisi ili yale maumivu niliyo yapata mimi na wao wayapate tena hii ita kuwa ni aibu ya duniani nzima na ita mchafulia sana makamu wa raisi kwani ana mke na watoto wakubwa tu.



“Hapo vipi zime kufaa?”

DON aliniuliza huku akiwa ametabasamu kwa furaha kubwa sana.

“Sana tena sana, nashukuru sana kaka”

“Usijali ni haki yako, sasa hivi nendeni benki ila hakikisha una kuwa makini sana na utendaji wako kwa hizo picha”

“Sawa mkuu usijali”

Tukaondoka na Brian na kuelekea benk.

“Rashidi”

“Ndio kaka”

“Hizo picha ume panga kuzifanyia nini?”

“Nahitaji kuzisambaza kwenye mtandao”

“Ngoja nikupatie ushauri mmoja”

Nikamtazama Brian anaye endelea kuendesha gari.

“Kama una namba ya mmoja kati ya hao maadui zao wapigie na uwatumie hizo picha. Kisha uwape shinikizo lolote utakalo lihitaji. Hiyo ita wasaidia kuwapa tumbo joto na hata una weza kudai pesa na wakakupatia kwa maana mkamu wa raisi sio mtu mdogo mdogo, lazima atakuwa na pesa nyingi”

“Hapo sasa ume nifumbua macho ndugu yangu”

“Yaa ukisisambaza tu, huto ridhika kulipiza kisasi chako”

“Nina namba ya makamu wa raisi nina imani nita fanya jambo”

“Sawa fanya hivyo”

Tukafika katika jengo moja kubwa ambalo, Brian ameniambia hapa ni beki. Tukafwata taratibu zote za kufungua akaunti kisha tukaweka kiasi hicho cha dola milioni moja.

“Una hitaji ku droo kiasi kidogo?”

Brian aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Yaa nataka kuwa na dola kama elfu tano hivi”

Brian akanielekeza namna ya kutoa pesa kisha nikatoa kiasi hicho cha pesa na tukaondoka benki hapa. Hakika kwa mara ya kwanza kweye maisha yangu leo nina shika pesa yangu niliyo ipata kwa kutumia jasho langu. Nikawasiliana na mama na kumueleza kwamba apike ugali na samaki kwani tuna kwenda kupata chakula cha mchana mimi na Brian, chakula ambacho ana kipenda.

Nikanunua baadhi ya mahitaji ya nyumbani pamoja na zawadi kwa ajili ya mama na mwanangu, kisha tukarudi nyumbani.

“Mama hii ni pesa yangu, leo nime kununulia zawadi wewe na mjukuu wako”

Nilizungumza kwa furaha huku nikimkabidhi mama zawadi zake.

“Asante sana mwanangu na Mungu akubariki kwa kweli”

“Nina shukuru sana mama yangu”

Tukapata chakula cha mchana huku tukizingumza mambo mengi ya kufurahisha. Mara baada ya chakula tukatafuta sehemu iliyo tulia mimi na Brina kisha nikazinakili namba za makamu wa raisi ambazo nilizikremisha katika simu aliyo nipatia kadi yake ya bishara. Kisha nika mpigia. Namba ya nchini Tanzania kwa bahati mbaya nika kuta haipatikani. Kutokana alinipatia na namba ambayo ata itumia akiwa nje ya nchi, nikampigia na kwa bahati nzuri nikaipata hewani.

“Haloo”

Sauti iliyo jaa uchovu wa usingizi ilisikika.

“Mmmm niambie muheshimiwa”

“Nani mwenzangu”

“Ohoo nime sahau kujitambulisha. Mimi nina itwa Rashid”

“Rashid gani?”

“Naamini hujanijua, ila ni yule kijana ambaye ulimbambikia kesi ya majambazi wale na akapelekwa Maweni kule”

“Ohooo kumbe ni wewe mshenzi. Nina sikia kwamba upo nchini Marekani na familia yako?”

“Ndio nipo nchini Marekani, ulihisi kwamba nita endelea kuishi nchini Tanzania ili niendelee kunyanyasika kila siku si ndio?”

“Kijana nilikupa nafasi ya kuishi sasa nina ona una nikaribia. Sasa nita kuonyesha”

“Safari hii mimi ndio nita kuonyesha kenge wewe”

“Una semaje?”

“Kenge wewe mimi ndio nitakaye kuonyesha”

Nilizungumza kwa kujiamini, kisha nikakata simu. Nikaingia mtandao wa WhatSapp na kumtumia picha za ngono akiwa yeye na mke wangu kitandani. Hazikupita hata dakika mbili akanipigia simu.

“We…ee….w…e….ee ume zitoa wapi hizi picha”

Makamu wa raisi alizungumza huku akiwa amejawa na kigugumizi kizito sana.

“Hii ni dunia, kama una jua mambo ya makubwa ila na mimi kuna mambo yangu ninayo yajua. So uliamua kunivuruga na kunichafulia amani ya moyo wangu. Sasa nina kuhakikishia dunia nzima ita kwenda kushuhudia upuuzi wako na hiyo ndoa yao ya siri ni lazima wanao na mke wako ata ifahamu”

“Kijana hembu tuzungumze?”

“Hatuna cha kuzungumza mimi na wewe. Ubaya ni ubaya mzee. Alafu ngoja nikuambie kitu kimoja, usihisi kwamba nita kuja kurudia hilo kombo lako ulilo lichukua. Lazima ajutie kwa nini alinisaliti na wewe uta juta kwa nini ulinisaliti, kiburi chako cha madaraka ni lazima nikikomesha. Lazima uvuliwe uwanachama”

“Ng….o…o…ja”

Nikakata simu huku tayari nikiwa nimesha itambua hofu ya makamu wa raisi. Akapiga, nikakata simu, akapiga kwa mara nyingine na nikakata tena. Namba mpya ikaingia kwenye simu yangu na nikamuonyesha Brian.

“Hiyo ina code ya hapa Marekani”

“Ita kuwa ni nani?”

“Pokea tuisikie”

Nikaipokea na kuweka loud speaker.

“Rashid tuna weza kuzungumza?”

Niliisikia sauti ya mama Shamsa akizungumza kwa sauti ya upole na yenye majonzi.

“Ohoo mke mtarajiwa wa makamo wa raisi”

“Rashidi ni kwa nini una fanya hivi”

“Nimefanya nini tena mke wa makamu wa raisi?”

“Hizi picha ume zitoa wapi?”

“Kenge wewe, nimezitoa kuzimu.”

Nikakata simu huku nikijawa na hasira. Ili kuepuka usumbufu nikaizima kabisa kwa maana ushawishi wake una weza kunifanya kubadili mawazo yangu, simu ya Brian ikaanza kuita, akaipoke.

“Sawa boss”

“Tuna kuja”

Brian akakata simu na akanieleza kwamba DON ana tuhitaji. Tukaondoka eneo hili na kuelekea nyumbani kwa DON. Hakika toka nime fika hapa nchini Marekani, Brian ame kuwa ni rafiki yangu wa karibu sana. Tukafika nyumbani kwa DON, tukamkuta akizungumza na watu wanne ambao kwa muonekano wao ni matajiri.

“Champion wangu ndio huyu hapa”

DON alizungumza huku akininyooshea kidole.

“Aisee nime shuhudia pambano lake kwa njia ya TV, ila nilitaka kuona sura ya nani yupo nyuma ya kile kinyago. Kumbe ni bwana mdogo sana?”

Alizungumza mzee mmoja huku akivuta sigara kubwa kama alizo kuwa ana zivuta mkuu wa gereza.

“Ni bwana mdogo sana”

“Una umri gani?”

Mzee mwengine aliniuliza.

“Miaka ishirini na sita”

“Aisee DON ume pata mashine ya kazi. Una jua kwa sasa hakuna mbabe mwengine kwa maana Iron men ndio alikuwa mbabe wa wababe”

“Ndio alafu ndio pambano lake kwa kwanza”

“Aisee”

“Ndio, nilimpa shindano la kujipima akalimudu akazidi kunidhihirishia kwamba yeye ni mkali sana mara baada ya kumbonda na kumuua Iron Men.”

DON alizungumza kwa furaha sana huku akinitazama usoni mwangu kwa furaha.

“Safi sana DON yaani hadi nina kuonea wivu kwa maana wapiganaji wangu wana nivuruga tu. Kila siku hunitia hasara”

“Pole sana. Malcom una weza kwenda kunisubiria nina kikao sasa hivi, nikimaliza tuta kuja kuzungumza”

“Sawa”

Nikaelekea sebleni alipo kwenda Brian kwa maana sehemu ambayo DON ameketi na wezake ni katika moja ya kibanda cha kupumzikia. Nikamkuta Brian na Claudia wakizungumza, nikamsalimia Claudia kisha nikakaa kwenye sofa lililopo pembeni ya Brian.

“Una jisikiaje Rashid?”

“Salama tu madame”

“Naona hatuonani?”

“Nipo”

DON akaingia sebleni hapa akanipa ishara ya kumfwata, nikanyanyuka na kumfwata nyuma na kuingia ofisini kwake.

“Kaa”

DON alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Nikakaa kwenye kiti cha wageni kisha na yeye akaka kwenye kiti chake kilichopo nyuma ya meza yake hii kubwa ya kifahari.

“Kuna kazi moja nina hitaji kukupatia, ukifaulu kazi hiyo basi maisha yako yana kwenda kuwa mazuri sana”

“Ahaa….kazi gani mkuu”

“Kuna tajiri mmoja ana ishi Paris Ufaransa. Ana utajiri una kimbia kwenye dola bilioni tisini na ushenzi. Ana binti yake mmoja tu wa pekee, nina hitaji umshawishi hadi umuoe. Yule mzee umri wake upo kwenye hatua za mwisho nina imani ata mrithisha pesa huyo binti yake na endapo ata kurithisha ina maana utajiri uta kuwa ni wako pia. Baada ya hapo nita kuambia namna ya kufanya kuhakikisha kwamba tuna upora utajiri huo”

Nikashusha pumzi taratibu huku nikimtazama DON usoni mwake.

“Kwa nini ume nichagua mimi mkuu”

“Una muonekano na una kipaji Rashid. Yule binti ana penda watu wenye uwezo wa kupambana uliongoni. Utakacho kifanya wewe ni kwenda kuishi Ufaransa. Kuna baadhi ya kumbi zina endesha mapambano, uta jisajili kama mpigaji wa kijitegemea. Iistoshe Ufaransa watu weusi ni wengi kama hapa Marekani. Hivyo hakuto kuwa na ishi kubwa kwneye maswala ya uhamiaji na kuna watu wangu kule wata kuwa wana kulinda na serikali wala polisi hawato kusumbua je upo tayari?”

“Ndio, je kazi hiyo ina bidi iende kwa muda gani?”

“Hata mwaka, miaka miwili, ila kikubwa ni kuupata huo utajiri. Endapo uta upata nina kuhakikishia kwamba uta kwenda kuwa sio wewe tena na baada ya hapo uta weza kufanya kazi zako wewe kama wewe na huto kuwa mpiganaji wala chini yangu. Uta baki kuwa mwanangu, una lionaje hilo?”

“Nime kuelewa mkuu”

“Sheria namba moja na zote katika hiyo kazi. Usiupe moyo wako nafasi ya kumpenda huyo msichana kwa maana endapo ita tokea uta mpenda. Uta feli kazi na ukifeli kazi. Nitakuondoa duniani”

DON alizungumza huku akinikazia macho hadi nikaogopa kidogo. Akatabasamu na kurudi katika sura yake ya amani.

“Familia yako nita ipatia uangalizi wote. Na uta kuwa una rudi mara moja moja kuja kuwatembelea. Brian nina imani ata kuwa karibu sana na familia yako kwa kipindi chote utakacho kuwa kazini”

“Nime kuelewa mkuu”

“Kazi yenyewe ina naza kesho asubuhi uta ondoka nchini hapa na kuelekea Ufaransa kuna dereva taksi ata kupokea na atakupatia maelekezo yote ya wapi ufike na picha za binti huyo uta ziona ukifika huko na dereva huyo ata kupeleka kila sehemu ambazo msichana huyo ata kuwa ana patikana”

“Sawa, je jina nita tumia jina gani?”

“Hilo hilo Malcom X”

“Sawa sawa”

“Nikutakie kazi njema”

“Nashukuru sana”

Nikatoka ofisini hapa kwa DON huku nikikwa nina mawazo mengi sana. Nikakuatan na Brina sebleni, na tukatoka wote na kuingia ndani ya gari na kuondoka nyumbani hapa.

“Kazi uliyo pewa ni ngumu sana Rashid”

Brian alinisemesha mara baada ya kuniona nikiwa nime jawa na mawazo mengi sana.

“Ume juaje ndugu?”

“Claudia ameniambia. Hapa ameniomba nikupekeke kwenye moja ya nyumba ya siri sana ambayo hata DON haijui kidogo uka zungumze naye”

“Mmmm huu sasa ni mtihani ndugu yangu”

“Ndio hivyo yaani ni heri ukaenda huko Paris, endapo uta baki hapa, macho ya DON yata kuja kugundua juu ya jinsi unavyo chovya chovya asali yake, na akijua ndugu yangu umekwisha”

“Aiisee Mungu anifanikishe kwa maana DON ameniambia nikifanikisha mpango huo basi ita kuwa ndio kazi yangu ya mwisho”

“Yaa jamaa akizungumza huwa ana maanisha sio mtu wa kufeki ahadi zake”

Tukafika katika nyumba moja ambayo kidogo ime jificha ficha na muonekano wake ina onyesha ni nyumba ya kawaida sana ambayo si rahisi kwa mtu kuweza kufirikia kwamba mke wa DON ana weza kuishi eneo hilo. Tukaingia ndani na kumkuta mke wa DON sebleni akinywa mvinyo kama kawaida yake.

“Nipo nje nina angalia ulinzi”

“Sawa”

Brian akatoka ndani na kuniacha mimi na Claudia, ambaye hakutaka kunisemesha chochote.Akanivua suruali yangu na akachuchumaa na kuanza kumnyonya jogoo wangu. Nilipo ridhika nika muinamisha kwenye moja ya kochi na kuanza kumtandika bakora za kukata na shoka. Kichapo ninacho mpatia Claudia hato kaa anisahamu kwenye maisha yake kwa maana nina hakikisha kwamba nina msugua kisawa sawa hadi analia kama mtoto mdogo. Masaa mawili yakatosha kukata kiu ya Claudia, tukaingia bafuni na tuka oga pamoja.

“Nime jisikia vibaya sana mume wangu kukupatia hiyo kazi, ila seme ndio hivyo sina jinsi tu ya kumpinga na huwa hapendi kupingwa”

Claudia alizungumza huku nikiwa nime mkumbatia kwa nguma huku tukiwa katika sink la kuogea.

“Nahitaji kuikamilisha kazi hii ili niwe huru kutoka mikononi mwa mume wako?”

“Hilo ndio lina kuombea, ukiwa huru nina imani tuna weza kwenda sehemu yoyote ile kuishi maisha yetu mapya”

“Claudia nikuuliza swali?”

“Niulize tu”

“Kwa nini una ishi na DON mwananume anaye fanya mapenzi mbele yako na wanawake wengine na sio mmoja ni wengi na wala hutetereki”

Claudia akakaa kimya kisha taratbu akajigeuza.

“Simpendi DON na sijawahi kumpenda DON na wala sija wahi kumuwekea hisia zangu hata kwa bahati mbaya. Nipo naye kwa ajili ya pesa tu, n anime jaribu kufanya kila namna ya kumuua DON ila nime shindwa ila bado sija kata tamaa ipo siku moja nita muua”

“Kwa nini una hitaji kumuua?”

“Ni historia ndefu sana Chidy, ila kwa ufupi, DON aliniulia mwanaume nimpendaye kwa ajili ya kutaka kimapenzi. Nikafunga naye ndoa ya kifahari na ndio maana katika kipindi hicho chote nina ishi naye kwa akili sana”

“Sasa kwa huja zaa naye?”

“Hana uwezo wa kumzalisha mwanamke, hata wewe mwenyewe una muona hana nguvu za kutosha ndio maana wasichana wana ishia kumshika shika na kumnyonya nyona na baada ya hapo wana chukua pesa zake tu na hayo ndio maisha. Ila Rashidi niahidi kitu kimoja?”

“Kitu gani baby”

“Niahidi kwamba huto nisahau kwenye maisha yako?”

“Siwezi kukusahau mpenzi wangu”

“Endapo uta upata huo utajiri wa huyo msichana tafadhali Rashidi, usije ukamrudishia DON. Ukinihakikishia kwamba ume upata, mimi na wewe tuta ungana kwa pamoja kwa ajili ya kumuua na tutakuwa na utajiri wa huyo msichana pamoja na utajiri wa DON au hapo una sehemaje?”

Claudia alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Nikajifikiria kwa muda kisha nikatabasamu nikimaanisha kwamba nime kubaliana na wazo lake na endapo tuta pata utajiri wa watu hao wawili basi sinto kuwa Rashidi huyu wa sasa ambaye nina agizwa kufanya chochote na kupigana na yoyote pasipo wao kujali kwamba na mimi ni binadamu na nina paswa kuishi maisha mazuri.



“Ni wazo zuri mke wangu. Niombee katika kazi ninayo kwenda kuifanya”

“Nina kuombea mchana na usiku Rashidi wangu”

Claudia alizungumza kwa sauti iliyo jaa mahaba mengi.

“Nashukuru mke wangu”

Tukamaliza kuoga kisha kila mtu akavaa nguo zake, nikawa wa kwanza kutoka ndani hapa na kuingia kwenye gari la Brian na kuondoka eneo hili.

“Vipi mume agana?”

Brian alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Ndio nashukuru sana kwa kunitunzia siri hii”

“Usijali ndugu yangu ni jukumu langu”

“Pia Brian nina kuomba sana uweze kuitazama familia yangu. Wewe ndio ninaye kuamini”

“Nashukuru kwa kuniamini na nita walinda na kuwawekea uangalizi wote”

“Nina shukuru sana”

Tukafika nyumbani na ikabidi nikae chini na mama pamoja na Brian na tukamuelezea juu ya kazi ambayo nina kwenda kuifanya nchini Ufaransa.

“Sawa, mimi sina tatizo mwanangu. Hiyo yote ni katika harakati za kutafuta maisha, nikisema nikatea au nisikubariki, sihitaji turudi yale maisha ya shida kule Tanzania”

Maneno ya mama hakika yakanipa munkari wa kufanya kazi iliyo mbele yangu kwa juhudi. Siku iliyo fwata, nikaagana na mama pamoja na mwanangu na nika waahidi kwamba nita kuwa nina wasiliana nao. Nikaelekea nyumbani kwa DON nikiwa nime ongozana na Brian ambaye alifika nyumbani kwangu kwa ajili ya kunichukua. Tukapokelewa na DON pamoja na mke wake Claudia. Nikakabidhia tiketi ya ndege pamoja na maelekezo ya picha ya dereva yaksi ambaye ata nipokea nchini Ufaransa. Nikaagana na DON kisha mimi na Brian tukaondoka hapa na moja kwa moja Brian akanipeleka uwanja wa ndege.

“Kuwa makini ndugu yangu”

“Nina shukuru sana Brian. Pia mwanangu na mama yangu wapo mikononi mwako”

“Usijali ndugu yangu wapo salama”

“Nashukuru”

Nikaachana na Brian kisha nikapita katika sehemu zote kabla sija ingia kwneye ndege. Nilipo gongewe muhuri wa, nikaelekea katika eneo la abiria ambao wana ondoka na ndege ya shirika la KLM inayo elekea nchini Ufaransa, nikaingia ndani ya ndege, nikakaa kweye siti yangu na safari ya kuelekea nchini Ufaransa ikaanza. Kichwani mwanangu, mawazo mengi sana yakazidi kunitawala kwani nime ingia kwenye maisha ambayo kwa kweli kwa upande mmoja ukiyatazama ni rahisi na kwa namna nyinngine ukiyatazama ni hatari tena sana. Nikawasha simu yangu kisha nikaanza kuzipitia picha za nguno za mama Shamsa na makamu wa raisi.

‘Wanawake sio watu wa kuaminika kwa kweli’

Nilizungumza kimoyo moyo huku chuki ikiwa imenitawala moyoni mwangu. Nikakumbuka kwamba harusi ya mke wangu na makamu wa raisi ina fanyika nchini Ufaransa tena katika jiji la Paris ambalo ndio nina kwenda.

‘Mungu una makusudi na mimi, una nipeleka karibu na maadui zangu, sasa ni muda wa kudilia nao mmoja baada ya mwengine.’

Niliendelea kuzungumza kimoyo moyo. Baada ya masaa kumi na mbili na dakika zake, tukatua katika kiwanja kikubwa kiitwacho Charles De Gaulle. Nikapita salama kwenye maeneo ya ukaguzi, nikatoka nje na kumuona mwanaume mmoja aliye valia koti jeusi akiwa ameshika bango lililo andikwa MALCOM X. Moja kwa moja nikatambua kwamba huyu ndio dereva aliye fika kunikomboa. Nikamfwata na tukapeana mikono ya kusalimiana, tukaingia ndani ya taksi yake na kuondoka hapa.

“Ninaitwa Jack”

“Nashukuru kukufahamu Jack”

“Asili yangu mimi ni Mkenya, kwa muonekano wako una onekana wewe ni Mtanzania?”

“Yaaa japo nina ishi Marekani”

“Sawa sawa. Karibu bwana jiji la watu matajiri”

“Asante”

“DON aliniagiza nikupatie hilo begi hapo nyuma”

Nikageuka nyuma siti ya nyuma na kuona begi la mgongoni lenye rangi nyeusi. Nikalichukua na kulifungua ndani.

“Hapo una kitambulisho cha kuishi hapa Ufarasa kwa miaka miwili na imeandikwa hapo upo kwa ajili ya kikazi. Kuna Euro japo dola ina fanya kazi ila haina nguvu sana kama Euro katika nchi hii. Kuna simu uta iwasha pale tutakapo fika kwenye nyumba niliyo kupangishia kwa miaka miwili”

“Sawa sawa”

“Una njaa?”

“Kiasi”

“Ngoja nikupeleke kwenye mgahawa ambao una vyakula vya kiafrika.”

Tukakatiza katika mitaa iliyo jengeka vizuri. Ule mnara mrefuambao nilikuwa nina uona kwenye filamu na picha, nina uona sasa mubashara kwa macho yangu halisi.

‘Kweli hakuna ajuaye kesho yake. Sikujua kama nita fika huku’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikitazama mnara huo unao onekana kwa ukaribu kidogo na sehemu tulipo.

“Jack huo mnara una itwaje?”

“Una itwa Eiffel Tower. Huo mnara ndio alama ya jiji hili la Paris.”

“Aisee ni mrefu sana”

“Yaa wezetu kidogo walijaribu kufikiria mbali. Huwezi amini kwamba huo mnara ume tengenezwa mwaka 1887”

“Duuu ni miaka mingi”

“Yaa na watu wengi wana toka mataifa mbalimbali kuja kupiga picha eneo hilo, ina ongeza pato la uchumi katika nchi hii”

“Kweli wazungu sio wezetu”

“Ndio hivyo ndugu yangu. Afrika tumekalia, vita, majungu, tamaa ya madaraka, kuibiana wake mwishowe watu wana kufa kufa tu bila sababu za msingi. Ila wezetu wapo vizuri sana, hata kiwango cha kuishi ni kirefu. Utakuta mtu ana ishi miaka mia, miaka themanini, ila nenda Afrika uone, watu wana katika bado wadogo sana”

“Ina tisha”

“Ni kweli ina tisha”

Tukafika kwenye mgahawa mmoja ambapo tukakuta watu wengi wenye asili ya Afrika wakiendelea kula chakula. Jack akaanza kusalimiana na wahudumu wa hapa kwa furaha na ana onekana ana julikana sana. Tukaka kwenye eneo ambalo halina watu. Akafika dada mmoja wa kiafrika aliye valia sketi fupi na kujazia makalio yake kiasi cha kunifanya nijawe na mshangao.

“Jack karibuni, muna kula nini?”

Dada huyu alizungumza kwa sauti nyororo, inayo mshawishi hata mmteja kununua chakula hata kama hakuwa na mpango wa kula chakula mgahawani hapa.

“Mimi niletee Ugali, kisamvu na samaki wa kohoka”

Dada huyu akaandika andika kwenye kijikitabu chake kidogo.

“Kaka hapo”

Nikabaki nikimtazama uso wake jinsi ulivyo tengenezwa vizuri. Hakika huyu dada ni mzuri.

“Kaka”

“Naam”

Nilistuka kidogo na kumfanya dada huyu kutabasamu.

“Uta kula nini?”

“Ahhaa nina weza kupata mihogo ya kukaanga, kachumbari, chachandu na samaki wa kukaanga”

“Una pata kaka yangu. Hapa kila kitu kutoka katika nchi zote za Afrika kina patikana”

“Basi nina kuomba uweze kunipatia hivyo”

Dada huyu akatabasamu kisha akaondoka. Mwendo wake tu, ukazidi kuniacha hoi, makalio yake yana tingishika hadi nika kumbuka kijiwimbo ambacho tulikuwa tuna waimbia wasichana wenye makalio makubwa kitaani, ‘Singida Dodoma, Singida Dodoma’

“Kaka Malcom ume kubali mzigo nini?”

“Ndio ndugu yangu, mtoto ameniiingia moyoni aisee”

“Huyo ni mtoto wa Kighana”

“Duu sio mbongo?”

“Mghana huyo mwanangu. Ila ni mgumu balaa”

“Una manisha nini?”

“Watu wengi sana wana mtongoza ila dada kakaza, haachii uchi wake”

“Au ana jamaa?”

“Hana mtu na usione watu wana jazana hapa hususani waafrika, ila wengi wana kuja kwa ajili ya huyu demu. Watu wana toa pesa kuna mapedeshee wa Kikongo, wana fukuzia hadi kwa madawa ila hawajafua damu”

“Aisee balaa kaka”

“Yaani, mimi mwenyewe mara kadhaa nime mtokea, ila nimeishia kutamani kwa kuangalia kama hivi”

“Ana itwa nani?”

“Fiifi”

“Fiifi?”

“Ndio”

“Maana yake nini?”

“Najua basi, majina yao ya Kighana huko”

“Duuu”

Baada ya dakika kumi hivi, Fiifi akatuletea chakula tulicho muagiza, nikaonja muogo mmoja.

“Mmm mtamu sana, huu ni kibanda meno ehee?”

Nilimuuliza Fiifi na kumfanya atabasamu.

“Kwa kweli sijajua kaka yangu, hiyo miogo ina toka nchini Tanzania”

“Ooohoo basi tambua huu una itwa kibanda meno. Ni mtamu huu”

“Tuna shukuru”

“Una itwa nani?”

“Nina itwa Fiifi”

“Maana yake nini?”

“Maana yake ni Friday”

“Ijumaa?”

“Ndio”

“Jina zuri sana”

“Nashukuru, wewe je una itwa nani?”

“Nina itwa Maclom”

“Ohoo una jina zuri”

“Kweli?”

“Yaa”

“Nashukuru Fiifi”

“Haya karibuni chakula na mufurahie”

“Asante”

Fiifi akaondoka na kunifanya nigeuze shingo yangu na kuendelea kumsindikiza kwa macho, hiyo tetemete yake kwa kweli, Mungu ni fundi, ana jua kuumba wanawake aisee.

“Kaka huyu demu nime muelewa sana”

“Jijaribie bahati yako?”

“Kwa leo hapana, acha niwe mteja wake, nisome mazingira ya kazi yangu iliyo nileta hapa kisha baada ya hapo mambo mengine yata fwata”

“Sawa”

Tukamaliza kula na Jack akalipa kiasi tunacho daiwa. Katika kuagana kwa kupeana mikono na Fiifi, akaniachia kikaratasi kwenye kiganja changu kisirisiri pasipo hata Jack kugundua, nikakikunja kikunja kikaratasi hicho na kukiingiza mfukoni mwangu kisha tukaondoka. Tukafika katika nyumba ambayo Jack amenipangishia, ni gorofa refu zipatazo kumi na mbili na katika gofora hizi kila mtu ana apartment yake yenye vyumba vivili, seble, jiko chuoo na sehemu ya kufanyia mazoezi. Aparyment yangu ipo gofora ya kumi na kuna kila kitu, kinacho hitajika ndani ya nyuma.

“Hizi ndio funguo zako, una weza kupumzika, kesho nita kuja kukuchukua na kukupeleka kwenye nyumba arena moja ya mapigano, utatoa pesa kuingia katika mashindano hayo”

“Sawa Jack”

“Yule msichan naye ata kuwepo hapo, so nina imani uta fanya vizuri”

“Usijali ndugu yangu”

“Sawa siku njema”

“Nawe pia”

Jack akaondoka eneo hili na kuniacha peke yangu. Nikakagua nyumba hii nzima, nikafungua kabati la nguo na kukuta nguo kadhaa, pamoja na viatu. Nikafungua friji na kukuta vinywaji vya aina mbalimbali. Nikachukua kinywaji ninacho kifahamu cha Cocacola, kisha nikaa kwneye sofa huku miguu nikiiweka mezani.

‘Kwa kweli maisha nime yapiga dole la kati mam***e’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiwa nimejawa na furaha kwani Rashid mimi, yule niliye kuwa mlinzi wa kung’atwa na mbu usiku kucha leo hii nina ishi kweye gofora hili kubwa na nzuri ambapo ukisimama dirishani basi una weza kuona mandhari ya mji huu wa Paris vizuri sana. Nikatoa simu katika begi nililo pewa na Jack. Nikaiwasha na hazikupita hada dakika mbili ikaanza kuita kwa mfumo wa video call. Nikaipokea na kumuona DON.

“Mkuu habari yako”

“Salama Chidy una onaje maisha ya Paris?”

“Kwa kweli nime yapenda sana”

“Vizuri nina imani umekuatana na Jack?”

“Ndio, amenipokea vizuri sana kwangu”

“Sawa huyo ndio uta kuwa naye kwa kipindi chote hapo Ufaransa popote utakapo taka kwenda, wewe uta wasiliana naye na mutaongozana”

“Sawa mkuu”

“Kumbuka sheria ya kazi hupaswi kupenda. Kwenye simu kuna maelezo yanayo ya huyo binto. Nina tegemea kupata matokea mazuri kutoa kwako”

“Nita fanya kila liwezekanalo mkuu”

“Asante nikutakie siku njema”

“Nawe pia”

DON akakata simu, nikaingiza namba ya Brian katika simu hii na nikampigia kwa mfumo video call. Simu yake ikanza kuita na ikapokelewa.

“Rashidi mambo vipi?”

“Safi kaka nimesha fika ndugu yangu”

“Pole kwa safari”

“Nashukuru, tena ndio nina ingia kwa mama hapa, zungumza nao”

Brian akamkabidhi mama simu, akafurahi sana kuniona kwenye mawasiliano haya ya video ikiwa leo ndio mara yetu ya kwanza kuwasiliana kwa mfumo huu wa video call kwani mazungumzo tetu tulisha zoea kuwasiliana kwa Nokia Obama. Nikazungumza na mama mambo mengi pamoja na mwanangu, huku mama akinisisitizia kwamba niwe makini sana na nijue kwamba wana nitegemea. Baada ya kumaliza kuzungumza nao nikakata simu, nikaingia bafuni nikaoga kisha nikajilaza kitandani. Nikakumbuka kikaratasi nilicho pewa na Fiifi. Nikaitafuta jinzi yangu na kutoa kikaratasi hicho na kukuta kikiwa kime andikwa namba ya simu.

Kabla ya kumpigia simu nikayakumbuka maneno ya Jack kwamba ni wanaume wengi sana wame mfukuzia Fiifi ila hawakufanikiwa kumpata msichana huyo.

‘Ime kuwaje mimi, hadi ameamua kunipatia namba ya simu?’

Nilijiuliza huku nikitabasamu.

‘Ina weza ikawa ni ngekewa’

Nilijifariji huku nikijiweka sawa kwa ajili ya kumpigia. Nikainakili namba hiyo kisha nikakohoa kidogo na kuliweka sawa koo langu, kisha nikaminya kitufe cha kupiga. Hakuna usikivu mzuri na shahuku kubwa anayo ipata mwanaume pale anapo piga simu kwa mara ya kwanza kwa mwanamke ambaye ana mtamani. Simu ikaita hadi ikakata.

“Sasa mbona hapokei?”

Nilizungumza huku nikitazama namba niliyo iandika kwenye simu yangu na namba iliyo andikwa kwenye kikaratasi na kugundua kwamba zipo sahihi na sija kosea kuiandika namba hii. Nikataka kupiga tena namba hii ila kabla sijafanya hivyo simu ikaanza kuita, nikatabasamu mara baada ya kugundua ni namba ya Fiifi aliyo nipatia. Nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu kwa bashasha zote kana kwamba nime pewa mke wa buree.

“Haloo RASHIDI PINDA. Nilikupa nafasi ya kwenda kufika gerezani, ila ukajipa kiburi na kuanza kuruka ruka katika nchi za watu. Sasa ni hivi nina kupa masaa kumi na mbili uwe umeonana na mimi na kuzifutahizo picha zangu za utupu na mke wangu mtarajiwa na ukikiuka hivyo. Natambua kwamba upo Paris Ufaransa, hivyo nita dili na wewe mguu kwa mguu, jino kwa jino hadi nihakikishe kwamba nimekuua kwa mikono yangu. Kenge wewe”

Nikastuka sana mara baada ya kuisikia sauti ya makamu wa raisi na biti alilo nichimba hakika likanifanya mwili wangu mzima kuanza kunitetemeka kwa woga kiasi cha kunifanya nijute ni kwa nini nilipokea kikaratasi hicho nilicho dhani ni namba ya mrembo Fiifi kumbe ni shetani makamu wa raisi aliye nipokonya mke wangu kipenzi, mama Shamsa.



Nikakata simu huku nikisikilizia jinsi mapigo ya moyo yanavyo nienda kasi sana hata hamu ya kulala ikaniishia. Nikashuka kitandani huku nikihema kwa wasiwasi. Nikajaribu kutafakari ni nini cha kufanya ila nikashindwa kabisa kwa maana ndio kwanza nipo katika nchi ngeni ambayo sijui hata mitaa yake ina itwaje.

‘Mungu nipe ujasiri’

Niliomba huku nikivuta pumzi nyingi kwa mara kadhaa huku nikiishusha taratibu. Nikaitazama namba ya makamu wa raisi kisha nikaipiga huku nikiwa na ujasiri mkuu sana.

“Nisikilize wewe mzee. Huwezi kunitisha kwa lolote kwanza nina mtumia mke wako picha hizi na kumueleza juu ya ndoa yako ya siri unayo ifunga hapa PARIS halafu tuona kama huyo malaya wako ambaye serikali haimtambui tuone jinsi atakavyo tekwa na kufirigiswa. Nina namba ya mke wako, wanaoa na pia nina namba ya raisi wako. Unahitaji kucheza mchezo mchafu na mimi basi tucheze mzee”

Nilizungumza kwa kujiamini huku nami nikitoa vitisho ambavyo kwa asilimia tisini sina namba ya hata mtu mmoja kati ya hao nilio wataja.

“Hahaaa kijana una una nipiga mikwara mchara?”

“Sio mchwara ila ni halisi, subiri na uone hii game inavyo zidi kwenda na usitake nikukabidhi jina langu kwa wakuu wangu uta ona kitakacho fanyika”

“Una sema?”

“Ume nisikia sina haja ya kurudia maneno. Hujiulizi kwa nini nilikutana na panya wako Las Vegas, hujiulizi kwa nini nipo Paris. Yule masikini ambaye ulikuwa una muona una weza kumfanyia chochote kile kwa nini ana tembea kwenye kila nchi kubwa ambayo wewe una tembeza makend** yako. Kabla ya kufanya chochote fikiria ni nini kitakacho kupata wewe na huyo kenge wako. Na usije ukadhubutu kunigusa kwa maana kichwa chako kita kuwa ni halali yako”

Nikakata simu na kuiweka pembeni. Hakika hata mapumziko yangu si mazuri kabisa. Siku iliyo fwata Jack akanifwata nyumbani kwangu hapa. Kabla hatujatoka nikamueleza kila kitu nilicho tishiwa na makamu wa raisi, na nika mueleza historia yangu kwa asilimia tisini.

“Duu huyo mzee ana jaribu kuingia kwenye mipango ya DON ngoja tuta muwekea uangalizi”

“Sawa ndugu yangu”

Tukaondoka nyumbani kwangu hapa na moja kwa moja tuka elekea kwenye mgahawa tulio pata chakula siku iliyo pita. Tukaandaliwa kifungua kinywa na muhudumu mwengine, tukamuulizia Fiifi, tukaambiwa kwamba bado hajaingia kazini kwani ana ingia saa nane mchana. Baada ya kumaliza kupata kifungua kinywa moja kwa moja tukaelekea katika ukumbi ambapo ndipo mapambao yanapo fanyika.

“Jack leo ume kuja na nani tena?”

Mzee mmoja mfupi kiasi alimuuliza Jack mara baada ya kuingia ndani ya ofisi tuliyo ikuta ukumbini hapa.

“Huyu ni ndugu yangu ana itwa Malcom nahitaji leo aweze kupata pambano moja”

Mzee huyu akaishusha chini kidogo miwani yake na akaanza kunitazama kuanzia chini hadi juu.”

“Mbona hana muonekano wa kipiganaji, amekaa kama mwana mitindo.”

Mzee huyu alizungumza kwa dharuu.

“Piglet wewe tuandalie pambano bora kuliko yote”

“Siwezi kumuamini, ana weza kunitia hasara”

“Ila si tuna toa kiasi chetu. Tupe dau la kiwango cha juu kabisa”

“Hapa kuna Euro kuanzia elfu kumi hadi laki moja, sasa nyinyi muna hitaji lipi hapo?”

“La Euro laki moja”

“Jack unazo hizo?”

“Ndio wewe sema kama una tupatia nafasi kwenye pambano hilo”

“Kutokana Piglet nina penda pesa. Basi mume pata wekeni mpunga mezani”

Jack akavua begi alilo livaa mgongoni mwake ambapo sikuweza kumuuliza kwamba ameweka nini. Akatoa vibunda vya pesa vilivyo fungwa vizuri na kuviweka juu ya meza ya mzee huyu. Akazihesabu pesa hizo kwenye mashine iliyopo pembeni yake, alipo hakikisha kwamba zime kamilika, akatupatia kadi iliyo andikwa namba kumi na tisa”

“Ume sema mtu wako ana itwa nani?”

“Malcom”

Piglet akaandika jina langu kwenye kitabu chake kisha akatuambia kwamba pambano tume pata.

“Ila Jack una jua sheria za hapa?”

“Ndio natambua”

“Mueleze mtu wako”

“Usijali”

Tukatoka ofisini hapa na kuwaacha mabaunsa wanne walio simama mlangoni wakitusindikiza kwa macho. Tukaingi a ndani ya taksi na tukaondoka eneo hili.

“Malcom sheria hapa ipo hivi. Kama ume weka kiwango cha kama Euro laki moja, endapo uta shinda pambano uta pata Euro laki moja nyingine.”

“Wao wana nufaikaje?”

“Wana pata viingilio na kila mtu ana lipia pambano ambalo ana kwenda kulitazama. Kama wewe umepea namba kumi na tisha ina maanaleo mapambano yapo kumi na tisha. Hivyo ukishinda basi tuna kula Euro laki moja mzee baba”

“Mmmm sheria zao zipo vipi?”

“Sheria zao bwana ni kwamba ni lazima mtu mmoja avunjwe, mkono, mguu au mbavu ndio shindano lina fika mwisho”

“Endapo ata uwawa je?”

“Ndio safari yake ime fikia hapo na isitoshe wapo wengi wanao fika ulingoni. Yaani kabla ya kuingia ulingoni ina bidi usaini mkataba wa chochote kitakacho tokea ulingoni ni umekubaliana nacho”

“Duu”

“Ndio nchi za wezetu hii michezo ya hatari ni jambo la kawaida sana, ili mradi pesa iingie”

“Nimekusoma ndugu yangu”

Tukazunguka kwenye baadhi ya mitaa huku Jack akiwa na kazi ya kinielekeza kila mtaa tunao pita. Nikanunua nguo za kuingia ulingoni kisha akanirudisha nyumbani kwangu, nikalala masaa mawili na ilipo timu saa kumi na mbili na nusu jioni nika amka. Nikafanya mazoezi ya viungo, kisha nikaingia bafuni nikaoga kisha nikampigia Jack aje kunichukua. Jack akafika nyumbani kwangu saa moja na robo tukaondoka na kuelekea kwenye mgahawa ambao sasa ndio maahali tunapo pata chakula.

“Karibuni sana”

Fiifi alitukaribisha kwa furaha sana. Tukaketi kwenye viti tulivyo kuwa tumekaa jana.

“Fiifi rafiki yangu una zingu sana”

“Kwa nini kaka?”

“Jana umenipatia nini?”

“Ahaa kuna mzee alikuwa amekaa meza ya kule yeye na mke wake, akaniambia nichukue ile karatasi nikukabidhi kwa siri nami nikafanya hivyo”

“Sasa kwa nini hukuniambia umepewa na mzee. Yaani huwezi kujua umenisababishia matatizo gani”

Nililalama huku nikimtazama Fiifi usoni mwake.

“Jamania naomba uni samehe kaka yangu”

“Siwezi kukusamehe hadi unikubalie jambo moja”

“Mmmm nikukubalie jambo gani?”

“Jumuika nasi kwenye ukumbi, leo nina kwenda kupigana ulingoni”

“Waoooo wewe ni mpiganaji”

“Ndio mechi ya kwanza naenda kujaribu”

“Jack ni kweli?”

“Kweli, leo ndugu yangu ana kwenda kupigana”

“Jamani pambao litaanza saa ngapi?”

“Mmmm majira ya saa tano usiku”

“Basi nita wahi nawaahidi hilo, si ukumbi ule ule wa Piglet?”

“Hapo hapo”

“Nita wahi kukupa support, ila nakuomba ushinde”

“Usijali nita jitahidi kushinda”

“Endapo uta shinda basi nita kupa zawadi”

“Zawadi gani?”

“Mmm jamani zawadi haitajwi hadharani”

“Sawa naisubiria kwa hamu”

“Mmmm muna kula nini kwa maana nime kuwa nikipiga stori isije bosi akaanza kukoroma bure”

“Mimi nahitaji chai ya moto, chapatti mbili na maharage ya nazi”

Nilizungumza huku nikimtazama Fiifi usoni mwake.

“Ehee Jack?”

“Kama kawaida”

“Yaani wewe na ugali?”

“Ugali ndio asili yetu Afrika au una taka nile mavyakula ya mafuta mafuta nikose nguvu za kiume, niache kuwafaidi watoto watamu kama nyinyi”

“Hahaa una vituko sana wewe”

Fiifi alizungumza hukua kiondoka eneo hili na kutufanya mimi na Jack tumsaminishe msambwanda wake jinsi unavyo tingishika.

“Aiiise huyu manzi hapana, nimeona wanawake wazuri Tanzania ila huyu amekunjika mwanangu”

“Kaka ndio hivyo manzi mgumu sana”

“Hakuna mkate mgumu mbele ya chai”

“Una maanisha nini Malcom”

“Wewe subiri uone mchezo unavyo kwenda”

“Una taka kuniambia una weza kumchukua?”

“Sio naweza, ila amesha ingia kwenye kumi na nane”

“Mmmm mbona haonyeshi dalili yoyote?”

“Utaaona itakavyo kuwa”

“Sawa, wapare wenu wa Tanzania wanasemaga yengu mecho”

“Maana yake nini?”

Nilimuuliza Jack huku nikimtazama usoni mwake.

“Yangu macho”

“Hahaaa”

Fiifi akatuletea chakula tulicho muagiza.

“Fiifi usikose aisee”

“Usijali nita wahi kufika na nita kaa siti ya mbele uweze kuniona”

“Nina tiketi hapa”

Jack alizungumza huku akimpa Fiifi tiketi ya pambano langu.

“Wooo asanteni sana”

Fiifi akaondoka eneo hili, tukala haraka haraka, tukalipa na kuondoka. Tukafika ukumbini na kukuta watu wengi sana wakiwa wamejaa huku mapambo mengine yakiendelea. Tukatafuta moja ya eneo na kuketi huku tukitazama pambano la sita tulilo likuta.

“Mmmm jamaa mbona ana chakazwa sana?”

“Ndio hivyo ndugu yangu. Huo ulingo unaitwa ulingo wa dhambi kwa maana watu wana uwawa hivi hivi una jionea na watu wana shangilia.

Jack alizungumza huku tukimtazama jamaa mmoja wa kizungu akipigwa kipigo cha mbwa koko.

“Oya binti mwenyewe ndio yule anaye ingia na walinzi wake”

Jack akanionyesha msichana mrefu kiasi na mrembo sana akiwa katikati ya mabaunsa kama sita walio mzingira.

“Wooo”

“Mtoto ni chuma mzee, ni mzuri sana na wana pesa mbaya sana”

“So ana itwa nani?”

“Jackline The Boss”

“Ahaaa.”

“Binti mwenyewe ana pigana Judo, yupo vizuri, usimuone ni mrembo ukahisi ni laini laini”

Jack alizungumza huku tukimsindikiza kwa macho hadi kwenye moja ya eneo ambalo wame kaa watu wenye hadhi ya juu wakifwatilia pambano hilo.

“Una jua nime chukua pambano la juu nina imani kwamba atakuwepo mpiganaji mmoja hatari sana. Hivyo ina bidi uwe makini ndugu yangu”

“Usijali kaka”

Mapambano yakazidi kusonga mbele, yalipo salia mapambano mawili kufika zamu yangu, tukaingia katika vyumba vya kujiandaa.

“Saa ngapi sasa hivi?”

“Saa tano kasoro”

“Yule manzi hajakuja?”

“Nani?”

“Fiifi?”

“Unamfikiria yeye jamaa yangu?”

“No nimeuliza tu”

“Ndugu yangu sasa hivi akili yako hakikisha kwamba una focas katika pambao lako. Nina imani uta mshawishi yule msichana”

“Sawa”

Akaingia Piglet akiwa ameongozana na mabaunsa wake.

“Jack nikadhani kwamba ume kimbia pambao”

“Kwa nini nikimbie?”

“Si unaniletea wana mitindo”

“Hahaaa Piglet mbona una maneno mengi. Wewe tuambie mpinzani wetu ni nani tukipigwa si faida kwako”

“Na nilazima mupigwe kwa maana nime wanaga na Nakumari”

“Mmmm”

“Lazima ugune tu. Nina watakia bahati njema”

Piglet akatoka ndani hapa na kuniacha na Jack.

“Mbona ume guna?

“Kaka huyo mpiganaji asili yake ni Mjapani, hajawahi kupigwa, isitoshe ni bonge mwepesi ana ruka sarakasi kama chura. Akikuangukia ni msiba ndugu yangu”

Jack alizungumza huku akionekana kujawa na wasiwasi mwingi sana.

“Usijali ndugu yangu, tumuombe Mungu”

“Mmmm kaka nimeanza kuogopa, wewe ukiona mambo ni mabaya wewe kubali yaishe”

“Jack hivi una jua DON hajamtuma mtu mzembe huku, hivyo jiamini”

Simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa ndani ya begi langu la mgongoni na kukuta ni DON ndio anaye nipigia.

“Jamaa hato kufa haraka nimetoka kumtaja na yeye amepiga”

“Mpokelee”

Nikaipokea video call hii.

“Malcom una endeleaje?”

“Nipo vizuri boss”

“Nina fwatilia pambo lako kupitia mtandao hapa. Usiniangushe”

“Usijali boss”

“Jack yupo hapo?”

“Ndio huyu hapa”

Nikamkabidhi Jack simu na akazungumza na DON huku akisisitiziwa ulinzi wangu uimarishwe ili mipango iende kama ilivyo pangwa. Tukamaliza kuzungumza na DON kish Jack akanionyesha mapambano ya Nakumari yaliyo postiwa kwenye mtandao wa YouTube.

“Nina mpiga tena ndani ya muda mchache. Nipe dakika tano tu”

“Malcom acha masihara”

“Mama nina kuapia nina mpiga ndani ya muda mfupi sana.”

Nilizungumza huku nikiwa nimesha weza kuusoma udhaifu wa mpinzani wangu. Ukiona mechi mbili za mpizani na akaonyesa udhaifu basi uta tengeneza mbinu za kumpiga mapema sana. Baada ya kusubiria kwa lisaa moja a nusu ikafika zamu yangu ya kuingia ulingoni. Kama kawaida hapakuwa na mtu aliye weza kunishangilia na wengi walinizomea. Nikamuona Fiifi akiwa amekaa siti ya mbele kabisa huku yeye pekee ndio anaye nipigia makofi ambayo yamemezwa na kelele za kuzomewa na hayasikiki kabisa. Nikampa ishara ya dole gumba naye akalipokea, nikamuona Jack akikaa karibu yake na wakanipa moyo wa kupigana pambano hili. Nikamuona mpinzani wangu akikaribia uliongo huku akiwa amebeba bendera ya Japan akiipepea angani. Akaingia ndani ya ulingo huu na akautoa ulimi wake nje na kunizomea. Akaichomeka bendera yake kwenye moja ya kona ya ulingo huu ulio zungushiwa nyavu ngumu. Refa akaanzisha pambano hili, galfa Nakumari akanirukia na kunipiga kikumbo lilicho nibwaga chini mzima mzima hadi nikajishangaa kwani hajanipa hata sekunde moja ya kujipanga kumshambulia na kitendo hichi ni hatari sana kwangu kwani nikilegea tu basi nitapoteza pambao muhimu kama hili ambalo litanipa nafasi kuwa karibu na Jackline pamoja na Fiifii msichana ambaye taratibu ameanza kuuteka moyo wangu.



*********************************************************************

Nikasimama kwa haraha huku nikirudi nyuma kwa hatua kadhaa za kasi sana kwamaana nikileta mchezo hapa nina weza kutoka kapa. Nakumari akanisogelea huku akirusha ngumi mfululizo, nikakwepa ngumi kama nne hivi ila moja ikanipa kisawa sawa kifuani mwangu na kuniagusha chini. Kusema kweli katika wapiganaji wepesi nilio kutana nao huyu ni namba moja.

‘Mbona simsomi huyu jama’

Nilizungumza huku nikimtazama jinsi anavyo nyanyua mikono yake kwa mashabiki akiwahimiza washangilie kwa nguvu na shangwe zikazidi kuongezeka ukumbini hapa. Nikamtazama Jack na Fiifi, nikawaona nyuso zao zikiwa zime jawa na huzuni. Nakumari akajaribu kunirukia chini nilipo lala ila kwa kasi nikabingiria pembeni na akaanguka chini, nikanyanyuka kwa haraka huku naye akinyanyuka. Nikaanza kuvurumisha mateke ya spidi kuelekea kwake, japo anajibu kuyakwepa ila nami nikamuonja mateke matatu mazito taliyo myumbisha kiasi cha kutaka kuanguka. Nikaruka hewani huku nikikunjua teka kwa mguu wa kulia. Likatia kifuani mwake na kumbwaga chini mzima mzima. Fiifi na Jack wasimama na kuashilia kwa nguvu. Nakumari akasimama huku uso wake ukiwa umejawa na jazba. Akarusha ngumi mbili ambazo zote amekusudia kunipiga kichwani mwangu, nikazikwepa na kumpiga uppercat, eneo la chini ya kidevu na kumfanya aweweseke kwa maana hata uwe nani ukipigwa ngumi chini ya kidefu lazima dishi tu liyumbe. Nikatandika ngumi nyingine ya kichwa upande wa kushoto kwa kutumia mkono wangu wa kulia ulio shiba kisawa sawa unapo toa ngumi na nikamfanya Nakumari kuzidi kuona wenge. Hii sasa ni nafasi yangu nzuri sana kwani mpinzani anapo kuwa kwenye hali kama hii ni muda wa kumaliza mapema sana kwa manaa hapo ana ona maruwe ruwe ambayo yana mfanyanya hata ashindwe kuniona vizuri. Nikaruka hewani huku mguu wangu mmoja ukikanyaga kidogo tu kwenye paja la mguu wake wa kulia na kunifanya nizidi kwenda hewani sana, nikatua na kisukusuku, kulicho mbamiza katikati ya utosi wake na kumfanya atapike damu. Huku baadhi ya damu zikimtoka puani mwake. Nikamzunguka kwa kasi na kusimama nyuma yake. Nikaishika shingo yake kwa nyuma na kumpiga kabali kwa nguvu zangu zote. Nakumari akajitahidi sana kuitoa kabari yangu ila akashindwa na kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi pumzi na nguvu zinavyo zidi kumuishia. Taratibu niakanza kushuka naye chini huku akipiga goti moja chini, akapiga goti la pili. Nikamtazama Jack na Fiifi, nikawaona wakiwa wametokwa na macho ya mshangao.

‘Sihitaji kuongeza dhambi za kuuua’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiitengua kidogo shingo ya Nakumari na kumfanya azimie. Nikamuachia na kumsukuma chini na akalala kifudi fudi. Mashabiki wote wa Nakumari wakaa kimya, Jack na Fiifi pekee ndio sauti zao zina sikika ulingoni hapa. Baadhi ya watu wakaanza kushangilia huku refa akaninyanyua mkono wangu mmoja juu akinitangaza mshindi.

“Hongera”

Refa alizungumza kwa sauti ya chini chini.

“Nashukuru”

Ulingo ukafunguliwa na nikatoka hapa, Jack akanilaki kwa furaha iliyo pitiliza hadi akaanza kunibeba.

“Hongera sana mwanangu”

“Nina shukuru”

Fiifi akajumuika nasi kuelekea katika chumba cha kubadilishia mavazi.

“Hujaumia?”

Fiifi aliniuliza huku akinitazama kwa macho ya huruma.

“Najisikia maumivu mwili mzima”

“Jamani pole tukitoka hapa twende hospitalini?”

“Hapana, nita kwenda tu nyumbani”

“Hapana Malcom ume umia?”

“Ndio ila sihitaji kwenda hospitali, nita kwenda kwangu”

Akaingia Piglet na kundi la mabaunsa wake huku akiwa na mfuko ulio jaa vibunda vya pesa.

“Jack huyu mpiganaji umemtolea wapi?”

“Ni mwana mitindo”

“Acha utani nina maanisha kuuliza hivyo Jack?”

“Ni ndugu yangu kabisa”

“Nahiji kesho nimsajili awe wangu”

“Una dau gani?”

“Kesho tuta zungumza. Hakikisha asubuhi una mleta hapa”

“Usijali”

“Pesa zenu hizi”

Piglet akamkabidhi Jack pesa hizo zilizo jaa mfuko, akazihakikisha.

“Zipo sawa nashukuru”

“Jack nina kutegemea kwenye hilo kwa maana Nakumari wangu ndio ana wahishwa hospitalini sasa”

“Usijali, kikubwa jiandae kwa dau kubwa tu”

“Sawa”

Piglet akatoka ndani hapa na walinzi wake.

“Kaka karibu Ufaransa”

Jack alizungumza huku akitoa vibunda vya pesa sita na akanikabidhi.

“Shukrani sana ndugu yangu.”

“Asante nawe pia”

Nikatazama kibunda kimoja na kumkabidhi Fiifi.

“Usijali Malcom hizo ni zako”

Fiifi alikataa.

“Hapana chukua bwana”

Nikambembeleza Fiifi hadi akapokea pesa hizo. Nikaweka kiasi cha pesa kwenye begi langu, nikabadilisha nguo kisha tukaondoka ukumbini hapa na kuingia kwenye taksi ya Jack.

“Aisee ni saa nane usiku sasa”

Jack alizungumza huku akiwasha taksi yake.

“Yaa muda ume kwenda sana”

Nilizungumza huku nikijiegemeza taratibu kwenye siti.

“Una maumivu?”

Fiifi aliniuliza huku akinishika mkono.

“Yaa sasa hivi ndio nina hisi maumivu makali sana”

“Pole sana”

“Fiifi tukupitieshe kwako?”

“Hapana, nita elekea nyumbani kwa Malcom, hali yake hii sio nzuri anahitaji uangalizi”

Jack akageuka na kututazama kwa maana mimi na Fiifi tume kaa siti ya nyuma.

“Sawa”

Tukafika nyumbani kwangu na moja kwa moja tukapandisha hadi gorofani sote watatu.

“Jamani mimi ngoja niwaache, Malcom asubuhi tuta wasiliana”

“Sawa”

Jack akaondoka nyumbani hapa na kuniacha na Fiifi.

“Una tafuta nini?”

Nilimuuliza Fiifi mara baada ya kumuona akihangaika hangaika kufungua fungua makabati ya jikoni.

“Ni wapo muna weka kiboksi ya fist aid?”

“Mmmm sijajua kwa maana nyumba hii ni mpya kwangu”

“Mpya?”

“Ndio”

“Nimekipata”

Fiifi, akanifwata sebleni hapa huku mkononi mwake akiwa ameshika kisanduku chenye msalaba mwekundu. Akakifungua na taratibu akanivua tisheti yangu niliyo ivaa. Kusema kweli mapigo ya Nakumari yame niumiza kwa asilimia kadhaa.

“Aiissii?”

Nililama mara baada ya Fiifi kunishika kifuani mwangu.

“Pole”

“Asante”

“Ina bidi nikukuande na maji ya vuguvugu”

“Maumivu yapo mwili mzima”

“Pole ngoja nina kuja”

Fiifi akaelekea jikoni, nikawasha simu yangu na kumpigia DON kwa mfumo wa video call.

“Malcom”

“Ndio boss”

“Hongera sana”

“Nina shukuru sana”

“Una zidi kunifurahisha, sasa endelea kujitengenezea mazingira ya kumpata chambo wetu”

“Sawa mkuu”

“Pumzika kwa maana nime shuhudia jinsi Nakumari alivyo kuwa ana kusumbua”

“Nashukuru sana mkuu”

“Sawa pumzika”

Nikakata simu huku nikiyahisi maumivu kifuani mwangu, mgogoni na kiunoni. Fiifi, akarudi sebleni akiwa amebebea kidishi pamoja na kitaulo. Akachovya kitaulo hicho katika maji ya uvugu vugu, kisha akakikamua kidogo na kunikanda nacho kifuani.

“Aiisiii….”

“Pole”

Fiifi alinijibu kwa sauti laini iliyo nisisimua sana mwili wangu.

“Fiifi”

“Beee”

“Kwa nini una nijali?”

“Wewe ni rafiki yangu, lazima nikujali”

“Kweli?”

“Ndio”

“Hunichukii kumpiga mtu vile”

“Naanzaje kukuchikia ikiwa ule ni mchezo na laiti kama unge legea angakubamiza wewe sasa hivi ungekuwa hoi kwa maana yule jamaa nina mjua na nilivyo gundua kwamba una pigana na yule Nakumari, nilitawalia na hofu, nisiwe muongo”

“Haaaa kwa nini sasa?”

“Basi tu, hovu kubwa ilinitawala nika hizi leo una kufa. Ila kila mtu pale ume weza kumshangaza jinsi ulivyo mpiga na kumari”

“Asante”

“Geuka nikichue mgongoni”

Taratibu nikageuka na Fiifi akaendelea kunichua mgongoni mwangu.

“Malcom”

“Naam”

“Nina weza kukuvua suruali”

“Yes”

Fiifi akanivua suruli na nikabakiwa na boksa tu. Kadri jinsi anavyo zidi kunichua ndivyo jinsi hisia za kimapenzi zinavyo nitawala. Nikageuka na kulala chaku huku jogoo wangu akiwa tayari amesha jichora kwenye boksa yangu. Nikamtazama Fiifi usoni mwake taratibu nikamsogelea na lipsi zangu zika gusana na lispi zangu. Nikasubiria kwa sekunde tano, Fiifi hakuzitoa lipsi zake na macho yake ameyafumba. Taratibu nikaanza kumnyonya lipsi zake na yeye akaanza kusisimka huku mkono wake wa kulia akinishika shavuni mwanangu. Gafla akaniachia na akasimama.

“Hapana Malcom hatuwezi kufanya hivi”

Fiifi alizungumza na kunifanya nijawe na mshangao.

“Kwa nini?”

“Siwezi tu kufanya hivi, naomba niende kwangu”

Ikanibidi ninyanyuke kwa maana mtoto kalizima gari ambalo lilisha anza kuwaka.

“Fiifi, samahani sana kama nime kukera nina kuomba sana unisamehe””

“Hujanikera Malcom”

“Najua nime kukera, tafadhali nisamehe”

Nilizungumza huku nikipiga magoti chini, kwa haraka Fiifi akaninyanyua na kunikumbatia, japo nina maumivu kifuani ila sikutaka kuacha kumbatia hili lenye joto na fukuto kali sana mwilini mwangu.

“Malcom nina kupenda sana”

Fiifi alikiri na kunifanya nizidi kusisimka.

“Kweli?”

“Ndio, toka nilipo kuona nilikupenda. Ila nina wasiwasi na wewe sikujui, uta niumiza na sitaki kukupa usichana wangu na moyo wangu ukaja kunisaliti”

Fiifi alizungumza sentensi iliyo nifanya nimuachie kidogo na kumtazama usoni mwake.

“Uma maanisha nini kusema usichana?”

“Malcom hadi nime fika miaka hii ishirini na nne sijawahi kulala na mwanaume yoyote niliapa kumpa usichana mwanaume nitakaye mpenda na wengi wamenitamani na wananitamani ila sijawapenda. Ila wewe nime kupenda”

Fiifi alizungumza huku machozi yakimbubujika usoni mwake.

“Fiifi”

“Bee”

“Sijakutamani, ila nina kupenda”

“Malcom nyinyi wanaume ni waongo sana. Sikujui, na hatuja pima hatujuani afya nita kuamini vipi?”

“Kwa leo sinto kufanya chochote ila nina kuomba ulale hapa nyumbani. Sasa hivi muda ume kwenda sana na wewe ni mtoto wa kike huwezi kuzurura zurura barabarani peke yako”

“Sawa ila nahitaji kukujua Malcom na siku nitakayo kujua ndio siku utakayo pata zawadi ya usichana wangu”

“Nashukuru”

Tukakumbatiana na Fiifi kisha tukaelekea bafuni na kuoga pamoja. Haki ya Mungu huyu mtoto ame jaaliwa, ameumbika kiasi cha kunifanya nishindwe kabisa kuvumilia kama mwanaume lijari. Tukapanda kitandani pamoja huku kila mmoja akiwa kama alivyo zaliwa. Tukajifunika shuka kwa pamoja.

“Malcom?”

“Naam”

“Mimi nime tokea Ghana. Ni mtoto wa pili katika familia ya watoto sita. Hivyo nina wadogo zangu wanne wanao nitegemea. Baba yangu alifariki na ugonjwa wa HIV miaka sita iliyo pita.”

Nikastuka kidogo huku nikimgeukia Fiifi na kumtazama usoni mwake.

“Baada ya miaka miwili baada ya kifo cha baba, mama naye alifariki kwa ugonjwa huo huo. Wadogo zangu wawili wa mwisho nao wame athirika na janga hilo. Ndio maana nime kuwa ni muoga sana wa kukutana na wanaume. Kaka yangu wa kwanza alikimbilia Afrika kusini kutafuta maisha, hadi sasa hivi sijapata mawasiliano naye na hatujii kama yupo hai au ame kufa.”

Fiifi alizungumza kwa sauti iliyo jaa majonzi mengi sana.

“Hivyo mimi ndio nilibaki kama mama na baba kwa wadogo zangu. Mwaka jana niliweza kuja nchini hapa nikiwa na mama mmoja ambaye ndio mmiliki wa ule mgahawa ninao fanyia kazi pale. Nimepitia vishawishi vingi sana kiasi cha kufika hatua nikahisi kama nina shindwa ila kila nilipo kuwa nina kumbuka kusiana na ugonjwa ulio waua wazazi wangu na tabu wanazo pitia wadogo zangu, hakika nina jikuta nikifanya kazi kwa bidii na nina kuwa na msimamo wangu wa kuto kuwa na mwanaume nisiye mpenda na ambaye sija pima naye.”

Fiifi akanitazama kwa macho malegevu.

“Malcom”

“Naam”

“Nahitaji kusikia historia yako ya kweli kwa maana sipendi mwanaume mdanganyifu”

Nikashusha pumzi nyingi sana huku nikimtazama Fiifi. Sikuhitaji kumficha chochote Fiifi, nikaanza kumuadithia kuanzia mwanazo hadi hapa nilipo fika katika.

“Una taka kuniambia yule mzee wa juzi ni makamu wa raisi?”

“Ndio na ana iwinda roho yangu. Fiifi nipo hapa kwa ajili ya kazi, kazi kama nilivyo kuadithia nina hofia nita kuumiza moyo wako na kukuvurugia ndoto zako”

Nilizungumza kwa uchugu kwa maana nina hisi kwamba historia yangu haijaikizi vigezo vya mwanaume ambaye Fiifi ana muhitaji na isitoshe nime fika hapa Paris kwa ajili ya kumuwinda Jackline niooane naye na awe mke wangu.



“Malcom”

“Naam”

“Nimekupenda sija kutamani. Ukimaliza majukumu yako, moyo wangu upo kwa ajili yako. Usiku mwema”

Mara baada ya Fiifi kuzungumza hivyo akageukia na kunipa mgongo. Katika mtihani mgumu wa kihisia ambao nime wahi kupitia ni huu anao nipatia Fiifi, kwa jinsi mwili wake ulivyo jawa na ulaini hakika sio jambo jepesi kwa mwanaume lijari kulala naye na asimfanye chochote.

‘Hivi nikimuacha si ata niona zoba’

Nilizungumza huku mkono wangu ukiwa kiunoni mwake.

‘Nikimvamia leo ata niona mimi sio muaminifu?’

Niliendelea kuwaza akilini mwangu huku nikimsikia shetani mbaya akinisisitiza niweze kufanya kila liwezekanalo ili kupata penzi la Fiifi.

‘No mambo mazuri hayahitaji haraka’

Nilizungumza huku nikishuka kitandani, nikachukua moja ya shuka na kuanza kuelekea mlangoni.

“Malcom una kwenda wapi?”

“Najipumzisha hapo sebleni”

“Kwa nini, au nime kuudhi kwa kauli zangu?”

“Hapana”

“Ila?”

“Fiifi wewe ni mwanamke na mimi ni mwanaume. Tukilala hivi nina shindwa, nina weza kufanya kitu ambacho huja kusudia kutoka kwangu”

Nilizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa unyonge mwingi. Fiifi akaka kitako kitandani huku akinitazama kwa macho malegefu. Akaninyooshea mkono kwa ishara ya kuniita. Taratibu nikamsogelea na kuushika mkono wake. Nikapanda kitandani huku tukitazamana.

“Baby”

“Yes”

“Nakupenda”

“Nina kupenda pia Fiifi”

“Kazi iliyopo mbele yako ni ngumu ila najiandaa kisaikolojia, tafadhali, usini umieze zaidi ya kuwa na huyo Jackline kama uta fanikiwa kuwa naye”

“Nakuahidi sinto kuumiza mke wangu”

Taratibu Fiifi akaanza kuninyonya denda, shuka nikalitupia pembeni na nikaanza kuonyesha mautundu yangu ya kitanzania. Kila sehemu ambayo ina paswa kunyonywa mwilini mwa mwanamke sijaiacha salama. Nilipo hakikisha kwamba nimesha muadaa vizuri Fiifi, taratibu nikaanza kumzamisha jogoo wake katika kitumba chake. Siamini macho yangu mara baada ya kuanza kuona damu bikra zikitoka katika kitumbua cha Fiifi. Uso wa Fiifi ume jaa mikunjo inayo ashiria maumivu. Sikuhitaji kumpeleka puta puta zaidi ya kwenda naye taratibu hadi hali ya maumivu ilivyo mpungua ndipo nikanza mtanange wa kibabe. Hadi tuna maliza Fiifi, akanikumbatia kwa nguvu huku akihema.

“Asante Rashid, nina kupenda sana”

“Nina kupenda pia mke wangu, nina ona ume niita jina langu halisi”

“Yaa ndio jina nitakalo kuwa nina kuita tukiwa sisi wawili”

“Kweli?”

“Ndio, na nina kuomba uwe mume wangu wa maisha yangu”

“Nashukuru hivi wewe ni dini gani?”

“Mimi ni muislamu kama wewe”

“Kweli?”

“Ndio mume wangu”

“Waoo hata niki mueleza mama yangu kwamba nime pata mwanamke wa kiislamu ata furahi sana”

“Ila mume wangu nikuombe kitu”

“Niombe tu”

“Naomba penzi liwe la siri hadi pale utakapo maliza kazi yako kwa Jackline kwa maana watu wa huku sio wazuri sana wana weza kukudhuru wewe au kunidhuru mimi”

“Kina nani hao?”

“Wale walio nitongoza endapo wakijua kwamba umenipata na wao wame nikosa wapo tayari kukutumia hata majambazi wakakuu”

“Mmmm”

“Ndio mume wangu. Hii nchi ina mambo ya ajabu sana. Mungu tu ndio ajuaje”

“Nime kuelewa”

“Hata ukiwa na huyo Jackline tafadhali nina kuomba usije ukaonyesha kwamba una mapenzi na mimi kwa maana atanifanyia kama wewe utakacho fanyiwa”

“Nimekuelewa”

“Ila nina kuomba uwe makini sana Rashidi nina kupenda”

“Nina kupenda pia mke wangu”

Usiku huu ukaisha vizuri na furaha. Asubuhi mara baada ya Fiifi kuandaa kifungua kinywa na kula, akaondoka nyumbani kwangu nakuniacha peke yangu. Hazikupita hata dakika kumi Jack akafika nyumbani kwangu hapa.

“Mmm nasikia harufu ya mapocho pocho”

“Huhuhuhuu….kaka yaani wee acha tu”

“Ehee niambie ume mla?”

“Yaaa”

“Acha utani?”

“Hali ya Mungu alafu mtoto bikra”

“Hahaaaa……acha uongo Malcom”

“Hali ya Mungu vile dini yangu Muislam. Mtoto bikra”

“Nita aminije?”

“Ngoja nikuonyeshe kitu.”

Nikaingia chumbani na kuchukua shuka ambalo Fiifi ameliweka katika nguo chafu, nikalitazama na kwa bahati nzuri nikakuta kuna matone ya damu damu. Nikatoka nalo sebleni na kumuonyesha Jack.

“Hii sio damu ya period?”

“Wapi wewe, damu ya bikra, damu ya period iwe safi hivyo”

“Duu kaka nime amini nyinyi wa Tz huwa hamshindwi na jambo. Ume mpa nini kwa maana kama ni pesa, kuna mapedeshee wamehonga pesa nyingi sana kwa yule manzi ila wamemkosa”

“Kaka siri yetu sisi ni ulimi. Tumia ulimi wako vizuri uta mtomb** mwanamke yoyote hata awe nani uta mla”

“Nina wasiwasi na ndimi zenu zime chanjiwa maneno mazuri”

“Sio kuchanjiwa ndugu yangu. Una jua duniani kuna aina ya wanawake wa aina tatu”

“Eheee nipe darasa ndugu yangu kwa maan, ninaishia kuwala machangudoa tu”

“Aina ya kwanza. Hawa ni wale wanawake wana jishehimu, wanao jua thamani na utu wao. Wasichana hawa hata uwape magari, pesa, nyumba. Huto pata kitu na huwa wana isikiliza mioyo yao ina taka nini. Hawa sasa ndio kina Fiifi.”

“Duuu sasa hao una wapataje pataje?”

“Hao kuwapata kwako ni lazima uwe mwanaume halisi”

“Una maanisha nini?”

“Yaani usijikweze. Kuwa wa kawaida, muonyeshe kwamba pesa, magari na mambo mengine hayana nafasi. Aliye na nafasi kwenye maisha yako kupita hivyo vyote ni yeye. Mpe maneno mazuri, mjali, muheshimu, mpe nafasi ya kumfanya yeye wa kwanza kwenye kila jambo”

“Duu hapo ume nena”

“Yaa hao sasa ndio wana itwa wife material”

“Aina ya pili. Hawa ni wanawake ambao kwao pesa, mali, ndio kitu cha kwanza kukitazama kwa mwanaume. Hawa kuwapata ni rahisi sana kwa maana hawakujali wewe zaidi ya pesa zako. Angalizo, ukifulia wana kuacha”

“Alafu wanawake hao wapo wengi sana”

“Tena wengi sana na wote ni wazuri wa dukani”

“Una maanisha nini?”

“Ni wale ambao sio wazuri ila wana jitahidi wawe wazuri. Kama hana shepu basi ata weka shepu bandia, kama ana kope fipi, basi ata lazimisha awe na ndedu. Kucha anabandika za bandia, alafu hao ndio wale wanao ongoza kuishi maisha ya kufeki na kila siku ni mipicha picha ya instergram. Ila bila mfuko wa wanaume naisha yao hayaendi”

“Duu unacho zungumza broo ni kweli”

“Aina ya tatu ni wale wanawake wanao anza kuchagua muonekano wa mwanaume. Baba kama una sura mbaya huna umbo la kueleweka ume wakosa. Yaani wapo tayari kumpenda mwanaume mwenye muonekano hata kama ni mlaya vipi wao wameng’ang’ania. Hawa wengi wao mioyo yao ime jeruhiwa na ina kuwa na matobo tobo. Hata kama akitokea mwanaume wa kawaida ana mpenda kwa dhati yeye ata taka mwanaume mwenye six pack na muonekano mzuri au mwenye rangi nzuri. Sasa hawa ndio wale ambao wanachezea umri wao wa miaka ishirini na kitu. Wakisha fikisha miaka ishirini na nane, thelathini huwa wana anza kuhaha, wakianza kuombea ndoa. Kamani wa Kristo wata funga na kuomba ili Mungu ampe mume bora, kama ni Muislam basi ata soma visomo aolewe. Ishu ina zidi kuwa mbaya kwao pale tu Mungu anapo chelewa kuwajibu maombo yao, mwisho wa siku wanajikuta wana angukia kwenye mahusiano ya vizee ambavyo navyo nguvu za kila kitu zime waishia, hata wakipata mtoto basi anakuja kuwaita wazazi wake bibi na babu, shuhuli hakuna…”

“Hahahaaaa mjinga una maneno kweli wewe”

“Sio maneno ndugu yangu. Yaa hiyo ndio aina ya wanawake wa kizazi hichi. Una jua umri sahihi wa mwanamke kuolewa ni kuanzia miaka ishirini na mbili hadi kwenye ishirini na saba hivi au nane. Ila ukifika thelathini, huja olewa, huna mchumba, huja tolewa barua ya posa, huna mtoto. Wale ma hendsom boy wao wana post wanawake wengine broo huwa wana changanyikiwa kishenzi na uta kuta huko nyuma alisha mkataa muimba kwaya mmoja aliye taka kumuoa, ukitaka usikia sababu za kumuacha ni nini, ata kuambia kwamba hawezi kuvaa vizuri, sijui ana vaa suruali za vitambaa ambazo ni mabwanga, yana upindo wa pasi ulio nyooka. Yaania hahahaaa dunia ina mambo mengi sana”

Tukajikuta tukicheka sana hadi Jack akapaliwa na mate.

“Aisee Rashid umenifurasha sana”

“Asikuambie mtu hawa viumbe wana zingua sana. Mimi bwana mke wangu alikuwa aina ya kwanza ila baada ya hali kuwa mbaya akaja kuwa aina ya pili.”

“Ila kweli hata hao aina ya kwanza wana badilika?”

“Ndio hivyo, ndio maana mwalimu wangu mmoja alikuwa ana tuambia, wanawake sio watu wa kuaminika. Wana sura mbili na hadi umjue mke wako basi ina bidi ukae kwa muda mrefu sana hata miaka kumi ndio uta mjua, ila miaka miwili mitatu, broo kilicho nipata mimi Mungu tu ndio anaye jua”

“Pole sana”

“Nashukuru”

Jack akatoa simu yake mfukoni inayo ita na akaipokea.

“Haloo”

“Ndio mimi ni Jack”

“Muda huu?”

“Sawa”

Jack akakata simu huku uso wake ukiwa na furaha.

“Ote nini?”

“Ehee”

“Msaidizi wa Jackline amepiga simu ametuomba tukutane naye asubuhi hii”

“Wacha wee”

“Yeeha”

“Wapi?”

“Kuna hoteli moja hapo kati. So jiandae fasta twende mwanangu”

Sikuhitaji kupoteza muda, nikajiandaa haraka haraka kisha tukaondoka nyumbani hapa. Tukafika kaika gorofa moja la hoteli ambayo maandishi yake yameandikwa kwa lugha ya Kifaransa. Tukaingia ndani na tukakutana na msaidizi wa Jackline ambaye alizungumza na Jack. Tukapanda hadi gorofa ya thelathini na mbili, tukatembea kwenye kordo hii ndefu. Tukafika kwenye mlango mmoja na mabaunsa wanne walio simama hapa wakatukagua mimi na Jack kisha wakaturuhusu kuingia ndani. Nikashangaa kumkuta Jackline akivuta unga aina ya cocaine alio utandaza kidogo mezani. Akavuta kwa nguvu kiasi kisha akatingisha kichwa mithili yamtu mwenye maruhani. Msaidizi wake huyu wa kike akaa kwenye moja ya sofa huku nasi tukaa kwenye sofa ambayo inatazamana na sofa ya Jackline.

“Karibuni”

Jackline alizungumza kwa sauti ya kiteja.

“Tuna shukuru”

“Una itwa nani wewe?”

Jackline alizungumza huku akininyooshea kidole.

“Malcom”

“Okay. Nataka uwe mpiganaji wangu, una hitaji nikulipe kiasi gani?”

Tukatazamana na Jack.

“Ahaa mimi ndio meneja wake. Tuna sikiliza dau lako”

“Semeni, nina pesa mimi nyingi sana. Musianze maswala ya kupita huku na kule”

“Kutokana ni gafla sana tuna omba sana tuweze kukaa na kujadiliana na mpiganaji wangu kisha tuta kupatia jibu”

“Jack una jua mimi sio mtu wa maneno mengi. Nime wapa nafasi jibuni sasa hivi kwa maana sipendi kuumiza kichwa”

“Nahitaji dola milioni moja kwa kila pambano”

Nilijibu mimim wenyewe huku nikimtazama Jackline usoni mwake. Akatabasamu kisha taratibu akasimama na kunisogelea sehemu nilipo kaa. Taratibu akanikalia mapajani mwangu na kuninong’oneza sikioni mwangu.

“Dolla milioni moja nenda kaufir** mkund** wa mama yako ndio uta lipwa hicho kiasi”

Maneno ya Jackline yakanichukiza sana nika tamani kumnyanyua na kumpigiaza kwenye meza hii ya kioo ila nikajizuia huku nikikunja ngumi mikononi mwangu huku nikiyang’ata meno yangu kwani toka kuzaliwa kwangu sijawahi kutukanwa tusi kama hilo na mtu yoote ambaye hunitukania mama yangu basi nina mpa kichapo cha mbwa mwizi.



Mbaya zaidi Jackline akaanza kunilamba lamba shingo yangu, kitu kilicho nifanya nizidi kukasirika.

“Mmmm una harufu nzuri sana”

Jackline alizungumza huku akinyanyuka mapajani mwangu na kurudi kukaa kwenye kiti chake. Jack akanishika mkono wa kulia na kunipa ishara ya kutlia kwa maana ameniona jinsi nilivyo jawa na hasira ya kutaka kumvamia binti huyu.

“Nitakupatia pambano moja, endapo uta shinda uta kuwa mtu wangu na nita kulipa hicho kiasi cha pesa unacho kihitaji”

“Dola milioni moja kwa kila pambano?”

Jack aliuliza kwa mshangao..

“Ndio”

“Sawa tumekubaliana katika hilo”

Jack akajibu, kisha tukasimama.

“Huyo mpiganaji wako naomba abaki nina mazungumzo naye yakiisha tutakuambia uje kumchukua”

Jack akanitazama machoni mwangu, nikampa ishara kwamba nina weza kubaki. Jack akanyanyuka na akatoka ndani hapa, hata msaidizi wa Jackline akatoka ndani hapa na kuniacha na Jackline.

“Una tumia?”

Jackline aliniuliza huku akinionyesha sigara, nikamjibu kwa kumtingisha kichwa. Akaiwasha sigara hiyo na kaunza kuvuta taratibu huku akinitazama usoni mwangu kwa macho malegevu.

“Una itwa nani?”

“Malcom”

“Wewe ni raia wa nchi gani?”

“Kwa nini una uliza?”

“Nahitaji kujua”

“Nimezaliwa Marekani?”

“Marekani…..Marekani. Sawa una umri gani?”

“Miaka 26”

“Waooo, mimi nina itwa Jackline. Wanaume wengi wana nichukulia kwamba mimi ni mwanamke mbaya ila kwa undani mimi ni mtu mzuri sana, ninaye penda kuona vijana wezangu wana fanikiwa.”

“Vizuri”

“Pia nisamehe kwa tusi nililo kutukana nilikuwa nina kupima kiwango chako cha fujo. Ila ume jitahidi.”

Nikabaki kimya huku nikimtazama usoni mwake.

“Malcom”

“Ndio”

“Tuna weza kuwa marafiki”

Nikatabasamu kidogo kisha nika rudi kwenye sura yangu ya ukauzu.

“Sawa, ila ukihitaji kuwa rafiki na mimi kuna vigezo na masharti”

“Niambie”

“Sihitaji uvute unga na sinto hitaji kukuona una vuta sigara”

Jackline akapigwa na bumbuwazi huku akinitazama usoni mwangu.

“Nikizungumza hivyo nina maanisha”

“Ila Malcom, mimi nimesha zoea maisha haya?”

“Kwani ulizaliwa nayo?”

“Hapana”

“So ina kuwaje ina kuwa ni shida kuacha.”

“Malcom wewe hujui tu”

“Najua madhara ya vitu hivyo ndio maana nina kuambia kama una hitaji kuwa na urafiki na mimi acha hivyo vitu kwa maana vina kufanya akili yako isifanye kazi kwa asilimia mia moja”

“Una maanisha kwamba nikivuta sigara na cocaine akili yangu haipo sawa?”

“Ndio maana yake”

“Malcom nime pitia mambo mengi sana hapo nyuma ambayo yame nivuruga kichwa changu. Hadi nipo kwenye hali hii ina maanisha kwamba hivi ndio faraja yangu Malcom”

“Okay nime kuelewa ina maana sinto kuwa rafiki yako”

“Sia seme hivyo”

“Ila”

“Basi ili uridhike nitaacha”

“Okay pambano langu litakuwa ni lini?”

“Mmmm kesho usiku”

“Basi nina omba niweze kupata muda wa kupumzika”

“Je hupendi kuja kwangu uka pafahamu?”

“Sawa tuna weza kwenda”

“Kweli?”

“Ndio”

“Helicopter yangu ipo juu ya hili gorofa. Tuna weza kwenda sasa hivi”

Jackline alizungumza kwa furaha huku akinyanyuka kwenye sofa alilo kalia, tukatoka ndani hapa na kuingia kwenye lifti nikiwa na walinzi wake. Tukapandisha hadi gorofa ya mwisho kisha tukapanda juu kabisa ya gorofa na kukuta helicopter ikiwa katika kiwanja maalumu kilicho tengenezwa katika gorofa hili. Tukaingia ndani ya helicopter na kuondoka eneo hii. Leo nimepata nafasi ya kuweza kutazama jiji hii la Paris kwa juu, kwa kweli ni jiji lililo jengeka kisawa sawa na kupangwa vizuri.

“Ndio mara yako ya kwanza kupanda helicopter?”

Jacklinealiuniulza huku akinitazama usoni mwangu.

“Yaa”

“Usijali uta kuwa una panda sana”

Tukafika kwenye moja ya jumba la kifahari, tukashuka kwenye helicopter hii na kuingia ndani. Ulinzi ulipo eneo hili ni mkali sana.

“Karibu sana Malcom hapa ndio nyumbani kwangu”

“Waoo una jumba zuri”

“Nina shukuru, vipi una kula nini nikuandalie”

“Kwa urembo wako kweli una jua kupika?”

“Yaa nina fahamu. Marehemu mamu mama yangu alikuwa ana nifundisha kupika toka utotoni, hivyo ni mara nyingi sana huwa ninapenda kula chakula ninacho pika mwenyewe”

“Sawa nipikie chakula unacho kipenda wewe”

“Mmmm sijui kama uta kipenda?”

“Kwa nini?”

“Ni cha ajabu ajabu tu”

“Hicho hicho cha ajabu ajabu nita kipenda”

Jackline akanitazama kwa sekunde kadha akisha akatabasamu. Akaondoka sebleni hapa kwa furaha na kuniacha peke yangu. Kweli duniani watu wana pesa, kwani binti mdogo kama huyu ana ishi kwenye jumba kubwa sana la kifahari ambalo kibongo bongo watu wanao miliki ni wenye fedha zao. Jackline akarudi akiwa amevalia nguo za kupikia.

“Malcom”

“Naam”

“Najua wewe ni mgeni ila nina omba tuweze kujumuika kwa pamoja jikoni”

“Sawa”

Nikanyanyuka na kumfwata, jiko la huyu binti lina kila kitu kwa kweli. Akafungua friji kubwa na kuanza kutoa vitu anavyo hitaji kupika.

“Una jua mimi nina penda sana nyama ya kukausha, pamoja na viazi ya kuchoma”

“Ohoo”

“Ndio maana nilikuambia chakula changu ni cha ajabu kwa jinsi ulivyo wewe mpiganaji una paswa kula mavyakula yenye kutia nguvu ili kwenye mapambano usiweze kupigwa kirahisi”

“Hahaaaa usijali hata nilila hichi kwa leo siwezi kupigwa”

Jacklien akaanda kila kitu cha kupika kisha akanikabidhi kitambaa cha kijifunga na hata yeye akavaa kitambaa hicho ambacho kina saidia mtu kuto kuchafuka. Tukaanza kupika kwa pamoja huku Jackline akinielekeza jinsi ya kupika chakula chake hicho.

“Malcom ulianza lini kujifunza kupigana?”

“Toka utotoni”

“Je uliweza kupitia mafunzo yoyote ya kupigana?”

“Hapana, una jua nilikuwa nina penda sana ngumi za mtaani, hivyo nilijikuta nikiwa nina pigana kila kukicha na niliweza kujifunza mambo mbalimbali katika kupambana kwangu na nina mshukuru Mungu kwamba niliweza kufanikiwa kufika hapa nilipo fika”

“Upo vizuri sana Malcom”

“Nina shukuru”

Tukaandaa chakula hichi na kuanza kula.

“Ni kitamu sana”

“Kweli?”

“Ndio”

“Asante ni kwa mara ya kwanza leo mtu ana sifia chakula ninacho penda kula mimi”

“Kweli?”

“Ndio”

“Basi ni chakula kitamu sana”

Tukamaliza kula na Jackline akaanza kunionyesha maeneo muhimu ya jumba lao hili.

“Ukumbi huu huwa nina penda kutazama filamu pale ninapo kuwa na marafiki zangu”

“Waooo ni ukumbi mzuri”

“Yaa, je una penda tutazame?”

“Ndio”

Jackline akawasta tv kubwa ambayo kwa haraka haraka ukubwa wake una weza kufika inch 75. Akazima taa zote za ukumbini hapa na mwaga wa tv tu ndio una tawala.

“Una hitaji kutazama filamu gani?”

“Filamu za mapigano ya ulingoni si una jua ndio kazi yangu”

“Nilijua tu”

Jackline akaweka filamu ya ulingoni na tukaanza kutazama huku tukiwa tumekaa kwemye viti hivi vilivyo kaa kama ukumbi wa Sinema.

“Una jua nina penda sana kupigana”

Jackline alizungumza.

“Wewe?”

“Ndio na nina pigana Kick boxer. Ila miaka miwili iliyo pita niliachana na mapigano hayo na kujikita zaidi kwenye maswala ya kuongoza makampuni ya baba yangu ambaye hadi sasa hivi yupo hospitalini ana umwa na hali yake sio nzuri kwa kweli”

“Pole sana”

“Nina shukuru ndio maisha. Baba ana umwa saratani ya ubongo, hivyo hatuna mayumaini yoyote kwamba ana weza kuwa hai”

“Je kwenu mupo wangapi?”

“Nipo mimi peke yangu”

“Ahaa”

“Una jua familia zeti hizi za kutajiri mara nyingi wazazi huwa wana penda kuishi kwenye ile mifumo ya kupanga familia ndio maana nilijikuta nipo peke yangu. Nina tamani sana kuweza kupata mtoto ila kwa bahati mbaya sija pata mwanaume sahihi wa kuzaa naye”

“Mbona wanaume wapo wengi sana?”

“Ni kweli wapo wengi sana, ila walipo wengi sana wana nipenda mimi kutokana na utajiri wangu. Ila nina penda mwanaume anaye nipenda mimi kama mimi na sio mwanaume atakaye penda utajri wangu”

“Uta pata Mungu atakapo jalia”

“Hilo ndio ninalo muomba Mungu. Una jua katika miaka hiyo miwili ambayo nilikuwa nina pigana kwenye mapambao ya kick boxer. Nilipata mwanaume mmoja ambaye nilimpenda sana. Ila nilipo kuja kugundua kwamba ana penda utajiri wangu na hana mapenzi ya kweli na mimi nika mtengenezea tu ajali moja ya kugongw ana lori na ikajulikana ni ajali, akavunjika uti wa mgongo na sasa hivi amepalalazi mwili mzima”

“Duuu”

“Yaa sipendi mwanaume anaye cheza na hisi zangu. Ndio maana niliamua kudili naye kwa namna hiyo”

“Kwa nini una niambia mambo kama hayo ambayo endapo polisi wakifahamu wana weza kukuchukulia hatua za kusheria”

“Malcom”

“Naam”

“Wewe si rafiki yangu?”

“Ndio”

“Basi kama rafiki yangu una paswa kunifahamu mimi vizuri na nikikaa na wewe najua nita fahamu ukweli wako, japo nina tambua kwa wanaume ni jambo gumu sana kutoa siri zao haraka haraka pale tu wanapo kutana na mwanamke mpya”

“Nime kuelewa”

Tukazungumza mambo mengi sana na Jackline huku tukiendelea kutazama filamu hizi. Hadi ina fika usiku wa saa mbili, tukaandaa chakula kingine ambacho ni wali na nyama kisha tukarudi katika ukumbi wa sinema na kuendelea kutazama filamu. Kila ninapo muomba Jackline niweze kurudi kwangu ana kataa huku kwa mara kadhaa akinifanyia ishara za kuonyesha dhairi kwamba ana hitaji kupata penzi, ila sikutaka kumkurupukia kwa maana nahitaji kujiaminisha sana kwake ili kazi yangu iweze kwenda vizuri. Muda wa kulala ukafika, Jackline akanionyesha chumba cha wageni kisha yeye akaelekea kulala chumbani kwake. Asubuhi ikafika na nikawa wa kwanza kuamka na Jackline akanikuta sebleni.

“Ume amika muda mrefu?”

“Kiasi chake”

“Ume fanya mazoezi?”

“Hapana”

“Doo unge enda tu kule gym”

“Nilikuwa nina kusubiria mwenyeji wangu uweze kuamka”

“Basi twende”

Tukafika katika gym kubwa yenye kila ina ya vifaa vya mazoezi. Akanionyesha kabati la nguo na nikachagua nguo za kufanyia mazoezi na nina mshukuru Mungu nguo niliyo ichagua ina nikaa vizuri mwilini mwangu. Tukaanza mazoezi ya kuuweka miili yetu sawa, kisha tukaanza mazoezi magumu ya kunyanyua vyuma vyenye uzito mbalimbali. Japo Jackline ana tumia madawa ya kulevya na kuvuta sigara ila kwenye mazoezi yupo vizuri sana.

“Pambano la leo nahitaji unidhibitishie kwamba wewe ni mpambanaji”

“Usijali”

Mara baada ya mazoezi tukapata kifunguakinywa kisha tukaanza safari ya kuelekea mjini kwa kutumia gari lake la kifahari yaina ya Ferrari huku mbele ikiwa ikiwa ime tangulia gari ya walinzi wake na nyuma pia lina fwata gari la walinzi wake.

“Unaweza kuendesha gari?”

“Mmmm labda magari ya kawaida, ila gari kama hizi sijawahi”

“Ipo siku uta miliki”

“Hivi ni kwa nini walinzi wana kufwata nyuma na mbele?”

“Usalama. Una jua watu kama sisi maisha yetu mara nyinngi yapo rehani. Kuna majambazi wengi sana ambao wana weza kunivamia na kunidhuru hivyo ulinzi ni muhimu. Hawa wanao nilinda ni special force hivyo nikiwa nao nina jiamini kwa asilimia mia moja”

Jackline alizungumza huku akipunguza mwendo wa gari yake hii ya kifahari.

“Sijui ni lini mimi niya yafikia haya maisha”

“Malcom una jua haya maisha ni kupambana. Nina imani ipo siku uta yafikia tu pambana”

“Sawa sawa”

Tukafika kwenye maduka la suti la Jackline akanichagulia suti kumi nzuri na akaninunulia.

“Hizi zote za nini?”

“Kuanzi sasa una paswa kuvaa hivi.”

“Ila mimi ni mtu tu wa kawaida Jackline”

“Malcom”

“Naam”

“Najua wewe ni mwanaume, mwanaume ambaye una paswa kuwa na mwanamke sahihi kwenye maisha yako. Nilitamani haya maneno ungezungumza wewe Malcom ila nina shindwa kuvumilia zaidi ya hapa. Nina kupenda sana Malcom, nahitaji uwe wangu nahitaji uwe mume wangu wa ndoa. Tafadhali nina kuomba unielewe Malcom, nipo tayari kuitangazia dunia kwamba nina kupenda.”

Nikajikuta nikishangaa huku nikimtazama Jackline kwa maana amejikuta amerahisisha kazi yangu ambayo nimetumwa kwa DON kwa maana mwenzangu ana zungumza kwa hisia za kimapenzi ikiwa mimi moyoni mwangu sina hata chembe ya upendo kwake.



“Jack….tuta ongea kwenye gari?”

“Nime zungumza hapa ili watu wote wasikie. Nina kupenda Malcom”

Jackline alizungumza kwa sauti kubwa na watu wote wakageuka na kututazama. Akanikumbatia kwa nguvu na akaanza kuninyonya denda. Wenye simu zao hawakusita kuchukua video, kwani Jackline ni mtu maarufu hapa nchini Ufaransa.

“Sinto jali watu wata ongea nini, wata sema nini, ila nipo tayari kwa lolote nina kupenda sana Malcom, nahitaji uwe wangu wa milele”

Jackline alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwangu. Kwa kweli huyu binti ana kichaa cha mapenzi.

“Nakupenda pia”

“Kweli Malcom”

“Ndio”

“Jamani Malcom ana nipenda”

Watu wote ndani ya duka hili wakapiga makofi. Tukaondoka dukani hapa huku nikiwa hata siamini kilicho tokea, kwa kweli maisha yana kwenda haraka sana kiasi cha kusababisha baadhi ya mambo nina yaona yana tokea kama ngekewa tu. Tukapita kwenye moja ya duka linalo uza vito vya dhahabu.

“Mume wangu chagua saa yoyote unayo ihitaji”

Nikaangaza angaza nikaona saa moja iliyo nipendezea machoni mwangu.

“Hii hapa”

“Mpatieni hii, chague nyingine”

Nikachagua saa nyingine ambayo nayo nime ona ni nzuri.

“Bei gani?”

“Ni dola laki tatu zote mbili”

Macho yakanitoka kwa maana saa hizo ni pesa nyingi sana. Jackline akampa ishara mlinzi wake mmoja akamkabidhi begi la mgongoni aina ya GUCCI. Jackline akalifungua begi hilo, nikashangaa kuona vibunda vya pesa vikiwa vime pangika vizuri. Akaanza kutoa vibunda kadhaa na kumkabidhi keshia.

“Zipo sawa”

“Nashukuru”

Nikakabidhiwa saa zangu ambazo ukipiga mahesabu kwa pesa yetu ya bongo ni kama shilingi miilioni mia sita na ushee.

‘Kweli duniani kuna watu wana pesa sio mchezo’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama Jackline akimkabidhi mlinzi wake huyo begi la pesa hizo.

“Nashukuru baby”

“Nashukuru kwa kunikubalia. Kwa sasa nahitaji twende hotelini kisha baadae tuta kwenda kwenye pambano lako, naamini lita kuwa ni pambano lako la mwisho kwani sinto penda kuuona mume wangu una teseka”

“Sawa baby”

Tukafika kwenye hoteli yenye hadhi ya nyota tano. Tukaelekea hadi gorofa ya mwisho kabisa ya hamsini na sita. Tukaingia kwenye moja ya chumba kilicho andaliwa vizuri.

“Hii hoteli ni yangu”

“Weeee”

“Yaa ni hoteli yangu, hii floor yoye ya juu huwa nina ishi mimi mwenyewe na walinzi wangu.”

“Aiisee una pesa”

“Nina hofu Malcom”

“Hofu ya nini?”

“Endapo baba yangu ata kufa, na mimi nikifa hatuto kuwa na mrithi wa mali hizi. Tafadhali Malcom nina kuomba uwe wangu wa milele, nakuomba unizalishe mtoto ambaye ata simama kwenye kila kitu chetu”

Jackline alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake hadi nikamuonea huruma kwa maana ameingia kwa mtu ambaye kwa kweli yupo kwa ajili ya kumuharibia maisha yake. Taratibu akaanza kunivua koti la suti yangu na kulitupa pembeni. Tukaanza kunyona denda, nikambeba na kumlaza kitandani huku tukiendelea kuvuana nguo.

‘Rashid acha ujinga huu ni wakati wako wa kutoka kimaisha. Kina DON wana hitaji kukutumia tu ukawa masikini’

Niliisikia roho moja ikinisemesha moyoni mwangu. Taratibu nikaanza kunyonya kitumbua cha Jackline na kumfanya alie mithili ya mtoto mdogo, nikazidi kumpa mautundu ambayo nina jua ni adimu kuyapata kwa wazungu wezake kwani kibongo bongo tuna kamsemo ketu kwamba mjini msingi kiuno. Nikahakikisha kabisa nimemlainisha Jackline nikaanza kumpa vitu roho ina penda. Mibiringe bayoyo ambayo nina mpigisha binti wa watu hakika yana mpagawisha. Nikahakikisha nina mpa kila kitu ambacho mwanamke ana paswa kupewa. Hadi tuna maliza mzunguko wa kwanza, Jackline machozi yana mwagika kama mtoto mdogo. Akashindwa kujizuia zaidi na kuanza kuangua kilio cha furaha huku akiwa amejilaza kifuani mwanu.

“Kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu leo nime fika kileleni Malcom”

“Weee”

“Haki ya Mungu dini yangu mkristo. Nilikuwa nina sikia tu kwamba mwanamke ana fika kileleni ila leo ndio mara yangu ya kwanza. Nilio kuwa nao huko nyuma hawajawahi kunifanya hivi”

“Pole kwa yote uliyo pitia huko nyuma”

“Nashukuru Malcom. Nakupenda sana”

“Nina kupenda pia Jackline, ila tukitoka kwenye pambano naomba unikumbushe kitu”

“Kitu gani mume wangu”

“Wewe tu uniambie kwamba mume wangu niambie ulicho kuwa unataka kuniambia kisha nita kuambia”

“Kwa nini usiniambie sasa hivi”

“Bado muda wake. Nita kuaambia”

“Sawa”

“Vipi twende mzunguko wa pili?”

“Hapana baby, una pambano usije ukaishiwa nguvu”

“Sawa sawa”

Tukaoga kwa pamoja. Tukapata chakula cha mchana huku tukisubiria muda kwa kwenda ulingoni kuwadia. Simu yangu ikaingia ujumbe kutoka kwa Jack.

‘Ndugu yangu ume zagaa kwenye mitandao’

Nikaitazama kwa sekunde kadhaa meseji hii kisha nika ijibu.

‘Kivipi’

Jack akanijibu kwa kunitumia video kwenye mtandao wa whatsapp. Nikaifungua video hii, inanionyesha mimi na Jackline jinsi alivyo kuwa anazungumza mbele za watu kwamba ana nipenda.

“Naona video ime zagaa”

Nikamuonyesha Jackline wala hakuonyesha kustushwa na chochote zaidi ya kutabasamu.

“Nime hitaji dunia nzima iweze kufahamu kwamba nina kupenda. Malcom nina kupenda kweli, sihitaji kukutania wala kukudanganya na hichi ninacho kuambia ni kitu cha ukweli kabisa mume wangu.”

“Haiwezi kukuchafulia kwenye mambo yako ya biashara?”

“Pesa na mambo binafsi haviingiliani baby. Usijali nita kuwa nina kufundisha mambo ya biashara taratibu hadi uta kwenda kufahamu”

“Sawa sawa”

Muda wa kuelekea ulingoni ukawadia. Tukaondoka hotelini hapa na walinzi wa Jackline.

“Malcom”

“Unaye kwenda kupigana naye ni mpiganaji kutoka chini. Nime wekeza kiasi cha dola milioni kumi na tano endapo uta shinda tuta pata dola milioni thelathini. Hivyo mpenzi wangu jitahidi ushinde na ukishinda hizo milioni kumi na tano za faida zote zita kuwa ni zako. Nina imani kwamba uta kuwa umesha piga hatua kubwa kwenye maisha yako”

“Sawa mke wangu. Ila kwa nini muna kuwa muna wekeza pesa nyingi kiasi hicho?”

“Ndio maisha ya kitajiri. Endapo uta kuwa na pesa nyingi zaidi ya hizo, basi kila kitu kwako kita kuwa cha kwaida.”

“Sawa, nita hakikisha nina pambana”

“Nakuamini mume wangu. Alafu nikuambie kitu?”

“Niambie”

“Wewe ni mwanaume”

“Una sema”

“Wewe ni mwanaume, yaani hakuna mwanaume ambaye uta mpa utamu wako na ata dhubutu kukuacha”

“Kweli?”

“Haki ya Mungu vile, yaani una jua kumfanya mwanamke aendane na mapigo yako. Yaani hata kama sina utaalamu ila nina jitahidi kuwa mtaalamu.”

“Hahaa nashukuru mke wangu”

Tukafika katika ukumbi mmoja mkubwa na kukuta watu wakiwa tayari wamesha jaa. Moja kwa moja tuka elekea hadi kwenye chumba cha kujiandaa. Jack naye akafika chumbani hapa.

“Ndugu yangu naona mambo ni safi”

Jack alinitania huku tukipeana tano.

“Yaa nipo na shemeji yako”

“Ila Jackline ulicho kizungumza ni kweli au una mtania ndugu yangu?”

“Haki ya Mungu Jack sitani. Nina mpenda kweli ndugu yako”

“Kwa hiyo nikutangaze wewe kama shemeji yangu maalumu sasa?”

“Ndio”

“Haya kaeni niwapige picha niwapost kwenye instegram akaunti yangu”

Nikamkumbatia Jackline kwa nyuma, Jack akapiga picha kadhaa na kuziweka kwenye mtandao. Nikajianda vizuri kwa jaili ya pambano langu ninako kwenda kucheza baada ya lisa moja.

“Baby nina kwenda kukaa v.i.p pia”

“Sawa mke wangu”

Jackline akatoka ndani hapa na kuniacha na Jack.

“Kaka wewe mchawi nini?”

“Kwa nini?”

“Fiifi, ndani ya siku mbili tu ulizo onana naye uka mla. Huyu naye ndio hivyo hivyo ana pagawa huko mitandaoni, hembu niambie ndugu yangu siri yako”

“Hahaaa kama nilivyo kueleza jana asubuhi”

“Duu hapana, jamaa una kitu. Hivi una jua huyu binti ni mkasi sana. Yaani ni ngumu sana kwa wanaume wa ajabu ajabu kuweza kummpata. Ila wewe, huna gari, huna nyumba ndio kwanza ume ume fika hapa ila ume fanikiwa kumpata”

“Ndio hivyo ndugu yangu”

“DON aliniambia nikiwa nawe nimpigie akupatie pongezi kwa maana video ile niliyo kutumia ni yeye ndio amenitumia”

“Weee”

“Haki ya Mungu. Don ana kufwatilia kwa kila hatua ndugu yangu hivyo una paswa kuwa makini sana”

Jack akampigia simu DON.

“Mkuu nipo na Malcom”

“Mpatie simu”

Jack akanikabidhi simu yake na nikatazama na DON katika mazungumzo haya ya video call.

“Habari mkuu”

“Safi sana. Hongera sana Malcom”

“Nina shukuru”

“Kwa kweli nilimtuma mtu sahihi kwenye hii kazi. Ila hakikisha kwamba una kumbuka misingi na taratibu ya kazi yetu”

“Sawa mkuu, nina kumbuka”

“Nina kuaminia, nina imani nita pata matokea mazuri muda si mrefu”

“Usijali mkuu, kila kiti kita kwenda vizuri”

“Shukrani sana”

“Nikutakie pambano jema”

“Nashukuru”

Nikakata simu na kumrudishia simu Jack.

“Vipi Fiifi alikupigia?”

Nilimuuliza Jack huku nikimtazama usoni mwake.

“Anaachaje kuni pigia na nime onana naye mchana wa leo katika mgaha wao na akanionyesha video yako”

“Akasemaje?”

“Kwa namna moja ana onekana kuumia ila kwa namna nyingine ame elewa ana sema mulish zungumza. Vipi ulimueleza ukweli wowote?”

Nikashusha pumzi huku nikimtazama Jack usoni mwake.

“Yaa nime mueleza kwa asilimia chache nahili nilimueleza kwamba lita tokea”

“Mwanangu kuwa makini, usiwaamini sana hawa wana wake”

“Usijali ndugu yangu”

“Sawa pambano jema”

Tukatoka hapa na mimi nikaelekea ulingoni na Jack akaelekea kwenye siti za mashabiki. Nikaingia ulingoni na jambo la kunipa matumaini na furaha ni mashabiki hawa nilio wapata wanao nishangilia. Hakika Mungu akiamua kukuinua ni kitendo cha mara moja sana. Jina langu lina imbwa ukumbi mzima kana kwamba ni mpiganaji wa zamani sana. Akaingia mpinzani wangu huku akiwa na makeke ya kuichezesha chezesha miguu yake, huku naye pia akiwa na mashabiki wake wanao mshangilia.

‘Mungu nitangulie, nipige hatia nyingine ya kimaisha’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama mpinzani wangu ambaye ni mfupi kidogo kwangu.

“Pambano letu ni mechi ya kifo. Anaye kufa ndio anaye shindwa mupo tayari?”

Nikastuka sana kwa maana hii sheria sikuwa nina ifahamu na hata Jackline hajanieleza.

“Ndio”

Mpinzani wangu alizungumza huku akinitazama kwa macho ya kejeli usoni mwangu. Refarii akaamuru kengele kugongwa. Mpinzani wangu akafanya shambulizi la galfa ambalo kwa haraaka nikafanikiwa kuweza kupangua ngumi zake pamoja na mateke. Nikajipanga huku nikikaa katika mkao w akupigana Taikondo, mapigano ambayo ni hatari sana kwa mpinzani wangu. Mpinzani wangu naye akaa kwenye mkao wa kupigana kareti. Nikaanza kufanya mashambulizi ya umakini sana huku mpinzani wangu naye akifanya mashambulizi ya hatari kiasi cha kunifanya nizidi kuwa makini zaidi ya awali. Mateke, ngumi na vichwa ndio vitu vinavyo tawala kwenye mtanange huu. Katika maisha yako usiombe ukapigana na mtu mfupi, kwani ni mtu ambaye ana fanya kila liwezekanalo kukushinda wewe mtu mrefu. Sarakasi anazo ziruka jamaa huyu kidogo zina nichanganya kwa kweli kwani ni kwa mara kadhaa amenipiga mateke ya shingo yanayo niyumbisha huku mengine kuniangusha chini.

‘Ohoo Mungu nini hichi?’

Nilizungumza huku nikiwa nina nyanyuka chini mara baada ya teke moja kali la shingo kunipata kisawa sawa na kuanguka chini. Nikajiweka vizuri shingo yangu huku nikimtazama mpinzani wangu jinsi anavyo kuja kwa kasi. Akaruka hewani ili anipige teke la kifua, ila nikamkwepa na kugeka kwa ustani mkubwa kwa teke moja kali ali maarufu round kick. Kikampata mgononi na kumfamzidishia kasi ya kupaa hewani na akajibamiza kwenye nyavu za ulingo huu na akaanguka vibaya sana chini. Nikamuwahi kumkanyaga kwenye bega lake kwa nguvu zangu zote hadi akavunjika bega hili la upande wakulia. Akapiga ukunga ambao sikuujali,nikaruka hewani na nikatua kifuani mwake kwa miuguu yangu miwili na kuzidi na kumvunja kifuani mwake hadi akatapika damu. Nikasimama pembeni huku nikimtazama jinsi anavyo jiviringisha chini kwa maumivu hayo. Nikajipangusa damu zinazo nitoka puani kwani kuna muda mpinzani aliniotea na kunipiga kumi ya pua. Nikamsogelea na kumpiga teke la mbavu, sikuishia kumpiga teke tu, nikampiga vigoti viwili vya mguvu kwenye mbavu hizo hizo na nikazisikika mbavu zikivunjika.

Hali ya mpinzani wangu ika zidi kuwambaya kiasi cha kuanza kuingiwa na imani ya kumsamehe. Nimamsogelea refa na kumpa ishara kwamba mpinzani wangu ameshindwa.

“Hajakufa lakini”

Refa alizungumza kwa sauti ya juu kwani kelele zinazo endelea ukumbini hapa ni nyingi sana.

“Ila yupo hoi?”

“Ili ushinde ni lazima afe”

Refa alinisisitizia pasipo kumuonea huruma mchina huyu wa watu. Nikashusha pumzi na kumfwata mpinzani wangu anaye jitahidi kusimama.

“Nisamehe sihitaji kukuua”

Nilizungumza huku nikimpiga mtama mpinzani wangu na akaanguka chini. Akanitazama kwa sura ya huruma huku machozi yakimwagika. Roho ya huruma ikazidi kunitawala, mpinzani wangu huyu akatoa cheni kwenye bukta yake. Cheni hii ina kidani chenye picha yake, mke wake pamoja na mwanaye.

“Nime shindwa kumtafutia mwanangu pesa ya kufanyiwa oparesheni”

Jamaa alizungumza kwa uchungu huku akiendelea kutema damu mdomoni mwake. Nikiwa kama baba ambaye nina mtoto nina tambua uchungu wa baba.

“Nikifa nina omba uitafute familia yangu, uisaidie japo asilimia moja ya kiasi utakacho lipwa”

Jamaa alizidi kuzungumza kwa uchungu huku akiendelea kulia kama mtoto.

“MUUEEE MUUEEEE MUUEEEE MUEEEE……..”

Kelele za mashabiki zikazidi kutawala ulingoni hapa. Nikamtazama refa akanipa ishara ya kumua mchina huyu ambaye hadi hapa alipo fikia hawezi kupigana tena na isitoshe amepigana pambano hili kwa ajili ya kuyaokoa maisha ya mwanaye ninaye muona kwenye picha hii. Nikajikuta nikiwa njia panda kani nikimuua huyu jamaa maisha yangu yana kwenda kubadilika kwani nita kuwa na utajiri wangu na nisipo muua sinto pata utajiri huo wa dola milioni kumi na tano.


***********************************************

“Isaidie familia yangu tafadhali”

Mchina huyu alizungumza kwa uzuni na uchungu mwingi sana. Kiasi cha kuiumiza roho yangu. Kelele za kunisukuma niweze kumuua mpinzani wangu zikazidi kutawala ukumbini hapa. Nikamsogelea na kumpiga kabali moja takatifu.

“Samahani sana”

Nilizungumza huku nikimpiga kabali ambayo atazimia kwa muda wa masaa kadhaa. Nikakumbuka mwalimu wangu wa gerezani aliniambia kuna mshipa ambao ukiustua una weza kuyafanya mapigo ya binadamu kusimama kwa muda kadhaa na ata onekana kama ame kufa, na ili aweze kurudi katika hali yake ni lazima aweze kuchomwa sindano moja ya kuupa nguvu moyo wake na arudi kwenye hali yake ya kawaida na pasipo kufanya hivyo basi ata kufa moja kwa moja. Japo ni mbinu hatari ila ina nibidi kuitumia kwa maana nina hitaji maisha ya mchina huyu yawe salama. Mara baada ya kuustua mshipa huu, kweli mchina huyu akalegea lege lega mithili ya mtu aliye kufa. Nikasimama huku nikinyoosha mkono wangu mmoja, refa rii kwa haraka akapiga magoti chini na kusikilizia mapigo ya moyo ya mpinzani wangu kisha akatoa ishara ya kwamba mpinzani wangu amefariki dunia na kengele ikagongwa huku watu wakinishangilia kwa furaha sana. Mpinzani wangu akatolewa ulingoni hapa kwa machela. Nami nikaanza kutembea kuelekea kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.

“Vipi kaka mbona ulikuwa una huruma na mpinzani wako”

Jack aliniuliza huku akiwa amejawa na furaha sana.

“Sikia, nahitaji ufwatilie ni wapi maiti ya huyo jama aina pelekewa nime yasimamisha mapigo yake ya moyo kwa nusu saaa. Hakikisha kuna sindano ana chomwa ya kuyastua mapigo yake ya moyo yawe sawa”

“Ina maana huja muua?”

“Ndio kaka nina omba iweze kumsaidia katika hilo”

“Kwa nini sasa ume fanya hivyo?”

“Ndugu yangu, mimi ni baba nina mtoto nina jua haya yote ninayo yafanya ni kwa ajili ya familia yangu. Naye ameingia kwenye pambano kwa ajili ya familia yake. Ila ndio ameshindwa, tafafhali ndugu yangu nina kuomba sana uweze kunisaidia katika hilo”

“Sawa”

Jack akaondoka, nami nikaingia katika chumba changu. Jackline akafika ndani hapa na kunikumbatia kwa furaha huku akininyonya denda kwa hisia kali sana.

“Mke wangu nina jasho na madamu”

“Sijali mume wangu”

Jackline alizungumza huku akiendelea kuninyonya denda, hadi akaridhika ndipo akaniachia.

“Ume nifurahisha sana mume wangu. Kwa kweli hapa nipo na mwanaume wa shoka”

“Kwa nini hukuniambia kwamba pigano hili ni hadi mmoja wapo afe?”

“Ninge kuambia unge ogopa mume wangu”

“Je ningekufa, sasa hivi unge kuwa una mnyonya nani hapa?”

Nilizungumza kwa ukali kidogo huku nikimkazia macho Jackline hadi akaingiwa na woga kidogo.

“Nakuomba unisamehe Malcom, sikuwa na maana hiyo”

“Maana hiyo vipi. Umenipa pambano ambalo sheria zake nime kwenda kuzijua pale ulingoni, au ulitaka kuiona roho yangu ya kikatili si ndio?”

Nilifoka hadi walinzi wawili wakaingia ndani hapa. Jackline akawapa ishara ya kutoka nje na wakatuacha peke yetu.

“Una jua nime muua nani yule.”

“Malcom”

“Sio Malcom, nime muua baba mwenye familia yake aliye kuwa ana pigana kwa ajili ya kumsaidia mwanaye aliye lazwa hospitalini kwa ajili ya kufanyiwa oparesheni. Piga picha ningekuwa mimi ndio nina pigania maisha ya mwanangu, alafu nina uwawa pale ulingoni huku wewe na mtoto wetu mukiwa hospitalini mukiwa muna nisubiria kuona nina rudi na pesa ya kumsaidia mtoto afanyiwe upasuaji alafu nina rudi nikiwa maiti, uta jisikiaje?”

Nilizungumza kwa ukali sana hadi Jackline akaanza kumwagikwa na machozi. Taratibu Jackline akapiga magoti mbele yangu kitendo ambacho sikukitaraji kabisa kwa yeye kuweza kukifanya.

“Malcom sikujua mume wangu, sikutambua laiti ingekuwa nina jua hayo yote nisinge ona hasara ya kupoteza milioni hizo kumi na tano kwa jaili ya uhai wa mtu. Nipo chini ya miguu yako nina kuomba sana mume wangu uweze kunisamehe, tafadhali”

Jackline alizidi kulia huku akizungumza kwa unyenyekevu. Taratibu nikampa mkono na kumnyanyua. Akasimama na nikamkumbatia.

“Mke wangu utu ni kitu muhimu sana kuliko pesa hivyo kupitia hili nina kuomba ujifunze”

“Nime kuelewa mume wangu na kuanzia hivi leo nita kuwa ni mtu mwema. Je ume nisamehe?”

“Ndio”

“Kweli?”

“Yes baby”

Nikamnyonya denda kisha nikamuachia na kuingia bafuni. Jackline akanifwata bafuni huku na kuanza kuniongesha taratibu, hakujali kulowana nguo zake.

“Nina jihisi maumivu ya kifua na shingo”

“Nimesha wasiliana na daktari, tukitoka hapa tuta kwenda hospitalini”

“Sasa kwa jinsi ulivyo lowa hivyo?”

“Kwenye gari kuna nguo zangu, nita walinzi watuletee”

Mara baada ya kumaliza kuogeshwa Jackline akaagiza nguo nyingine na zikaletwa pamoja na suti yangu moja, tukavaa kisha tukatoka ndani hapa. Simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni na kukuta ni Jack ndio anaye piga.

“Vipi kaka”

“Nime ipata maiti yake nina ikimbiza katika hospitali iitwayo American Hospital of Paris.”

“Sawa wahi ndugu yangu”

“Sawa kuna daktari wangu nimesha mueleza situation ya jambo zima amesha andaa vifaa”

“Nashukuru sana ndugu yangu nisaidie katika hilo”

“Usijali kaka”

Nikakata simu huku tukitembea kuelekea kwenye maegesho ya magari.

“Nani huyo?”

“Jack”

“Kuna nini mume wangu”

“Nime muambia amuwahishe yule mpinzani wangu hospitalini”

“Hospitali gani wana kwenda?”

“Sijui Amenican nini huko?”

“Ohoo ndipo tunapo elekea”

Tukaingia kwenye gari kubwa na kukaa siti ya nyuma huku mbele akikaa dereva pamoja na mlimzi mmoja. Msafara wa gari mbili za Jackline ukaondoka ulingoni hapa na kuianza safari ya kuelekea hospitalini.

“Ila si amekufa yule jamaa?”

“Nikimtengua mshipa mmoja na kuyafanya mapigo yake ya moyo yasifanye kazi”

“Ahaa….kazi nzuri sana mume wangu”

“Hujachukia?”

“Kwa uliyo nieleza siwezi kuchukia mume wangu. Kwa mfano sasani wewe mimi sasa hivi ninge kuwa kwenye hali gani?”

“Vipi gari ndogo ipo wapi?”

“Mlinzi mmoja ame kwenda nayo nyumbani, usiku huwa nina penda kuendeshwa mara nyingi sipendi kuendesha”

“Sawa sawa”

Tukafika hospitalini na kwa bahati nzuri nikakutana na Jack akiwa sehemu ya mapokezi.

“Vipi Jack?”

“Aisee safi ndugu yangu, kwanza madaktari wame weza kuuzindua moyo wake ambao ulikuwa ume size. Pia ameweza kuingizwa chumba cha upasuaji kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji na hii ndio ile cheni yake”

Jack alizungumza huku akinikabidhi cheni ya mchina huyo. Nikaifungua kidani hicho na kumuonyesha Jackline.

“Masikini weee ana familia nzuri”

“Yaa watu wana shidamke wangu. Nime panga kwenye kile kiasi nitoa japo kitu kidogo kumchangia”

“Hata mimi nita mchangia mume wangu. Shem, kazi nzuri”

“Nashukuru sana, ila mume endana sana. Ndoa lini?”

“Hahaaa Jack tuta kuambia shemeji yangu”

“Ohoo fanyeni fanyeni jamani, kwa maana ndio mumesha pendana hakuna haja ya kungoja ngoja”

“Wewe ni mtu wetu, nilazima tukuambie tu. Ngoja akamuone daktari huyu, kwa maana sio kwa pigano hilo”

“Alafu kama vile ulikuwa kichwani mwangu. Ina bidi afanyie uchunguzi wa mwili mzima”

“Ndio tulicho kipanga”

Tukaelekea hadi katika ofisi ya daktari, hapakuwa na muda wa kupoteza nikaanza kufanyiwa vipimo ambavyo toka kuzaliwa kwangu sikuwahi kufanyiwa.

“Jackline ume niambia huyu ni mume wako?”

“Ndio dokta”

“Ahaa nina weza kukupatia majibu yake wewe kama wewe au nyote kwa pamoja?”

Daktari alizungumza mara baad aya majibu kukamilika.

“Tupatie kwa pamoja dokta ni mume wangu na ni majibu yake hivyo hatuwezi kuwa na siri”

“Okay, bwana Malcom tume kupima vipimo vyote vya mwili wako. Tume gundua una tatizo”

Mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi huku hofu ikinitawala.

“Vipimo vya damu, sukari, presha vyote vipo sawa”

Nikashusha pumzi kidogo kwa maana akili yangu yote ilikuwa ina kimbilia kwenye idadi ya wasichana nilio tembea nao wana weza wakawa wame athirika.

“Tatizo gani dokta?”

Jackline aliuliza huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana usoni mwake.

“Tume gundua kwamba katika kifua chake pembeni kidogo ya moyo wake kuna damu ime vilia hivyo ina tupasa kumfanyia upasuaji wa haraka sana ili kuweza kuitoa damu hiyo”

Macho yakanitoka kw amshangao, taarifa niliyo pewa ni mara mia ninge ambiwa jambo jengine.

“Ohooo Yesu wangu. Dokta ime kaa kwa muda gani hiyo damu?”

Jackline aliniuliza huku wasiwasi mwingi ukiwa ume mtawala.

“Ni damu ambayo haina muda mrefu, na sio tatizo kubwa la kustusha sana kwa maana ni upasuaji utakao chukua muda mfupi tu”

Nikasimama huku nikihisi joto likinifukuta mwili mzima japo ndani ya hii ofisi kuna A/C.

“Mume wangu kaa chini, usiwe na shaka”

“Nina hofu”

“Malcom usiwe na shaka, ni oparesheni ya kuondoa hiyo damu iliyo vilia kwa maana ikiendelea kutuama eneo hilo ina weza kupelekea saratani”

Dokta akazidi kunichanganya kiasi cha kutamani kutoka ndani hapa na kukimbia.

“Baby kila jambo litakuwa sawa”

“Je nina weza kupewa vidonge damu hiyo ika toka?”

“Hapana, upasuaji ndio njia ya mwisho bwana Malcom”

“Nita weza kupigana tena?”

“Ahha hapo ni hadi tuweze kuiangalia afya yako”

“Ila mume wangu nilikuambia kwamba lile lilikuwa ni pambano lako la mwisho”

“Dokta”

“Ndio bwana Malcom”

“Nina kuomba niweze kuzungumza na mke wangu”

“Sawa, nina waachia ofisi na mukimaliza muta nikuta hapo nje”

“Hakuna shaka”

Daktari huyo wa makamo kiasi akatoka ndani hapa na kutuacha sisi wawili.

“Mume wangu usiwe na shaka kila jambo lita kwenda vizuri”

“Kuna jambo nilikuambia unikumbushe mara baada ya mpambano kuisha”

“Ni kweli mume wangu ila wakati huu inabidi tutazame hili jambo lililopo mbele yetu”

“Jackline ina bidi unisikilize kwanza. Sihitaji kuwa muongo kwako, sihitaji kuishi kwa maisha ya kuigiza kwako. Nahitaji kuwa muwazi kwako, ili kama uta nipenda unipende nikiwa hivyo na kama uta niacha uniache nikiwa hivyo. Please nielewe”

“Malcom”

“Naam”

“Nimekupenda wewe kwa kila aina ya jambo. Iwe ni baya au zuri ila nipo tayari kukupenda hadi kufa kwangu”

“Una uhakika?”

“Haki ya Mungu dini yangu mkristo siwezi kukuacha Malcom”

Jackline akaapa huku akinitazama usoni mwangu.

“Jina langu halisi sio Malcom ni Rashid Pinda, uhalisia wangu sio Marekani ila ni Afrika tena nchini Tanzania”

Jackline macho yakamtoka huku akinishangaa. Nikaanza kumuelezea historia yangu ya maisha yangu ya nchini Tanzania, nikamuelezea maswahibu yote niliyo tapitia, familia yangu hadi kufika hapa nchini Ufaransa sikutaka kumficha chcohote kwa maana nilicho kigundua ni kwamba Jackline ana mapenzi ya dhati kwangu na sihitaji kumuumiza kwa chochote.

“Rashid”

Jackline alinita huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Naam”

Nilijibu huku nami nikiwa katika hisia ya kulia, kwani nilicho mueleza ni sawa ya kujitoa sadaka.

“Nina kupenda, haijalishi walio kutuma wata kudhuru wewe na familia yako, ila nipo tayari kusimama kidete kuhakikisha kwamba mama yako na mwanao wana letwa hapa nchini Ufaransa”

“Nina shukuru mke wangu”

“Rashid wewe ni binadamu wa tofauti na mwanaume wa tofauti sana kuwahi kutokea kwenye maisha yangu. Nina kupenda sana”

“Nina kupenda pia mke wangu”

Nikakumbatiana na Jackline kwa nguvu hadi nikahisi maumivu yaliyopo kifuani mwangu.

“Aiiissiii”

“Pole pole baby. Nimuite dokta?”

“Ngoja mara moja”

“Niambie mume wangu”

Nikatoa simu yangu mfukoni na kumuonyesha Jackline picha ya mama yangu na mjukuu wake.

“Waooo ni wazuri sana”

“Nashukuru sana Jackline. Endapo kuta tokea chochote katika upasuaji huu au nikifa basi waambie familia yangu kwamba nina wapenda na nina kuomba uweze sana uweze kumlea mwanangu”

“Usiseme hivyo mume wangu huwezi kufa. Ina nina jambo moja nahitaji kukuambia”

“Niambie”

“Jifanye kama huja niambia chochote. Tumsome adui yetu taratibu kwa akili nina imani kwamba tukijua njia zake tuna weza kufanikiwa kumdhibiti kwa maana huyo DON nina mtambua ni mtu katili sana na ni mtu ambaye yupo radhi kudhuru yoyote ili mradi aweze kupata pesa za zulma. Sasa safari hii amekutana na mjanja na nita hakikisha kwamab nina dilia naye kwa kutumia akili tu hadi nina mfilisi yeye. Ume nielewa mume wangu”

“Nimekuelewa mke wangu”

“Nita baki kukuita Malcom mbele za watu, ila tukiwa sisi wawili nita kuita Rashid kwa maana wewe ndio mume wangu halali sasa”

“Asante mke wangu, nina kuomba nimueleze Jack pamoja na DON juu ya hili tatizo ili tuendelee kuwapumbaza”

“Usijali nina kuelewa”

Nikanyanyona denda na mke wangu kisha nikatoka ofisini hapa, nikamuita Jack kwa ishara na akanifwata.

“Dokta nita zungumza na ndugu yangu dakika mbili”

“Sawa”

Daktari akaingia ndani na kuniacha na Jack pamoja na walinzi wa Jackline.

“Vipi kaka mbona macho mekundu, kwema kweli?”

“Sio kwema?”

“Ohoo kuna jambo gani tena?”

“Aisee nime kutwa na nina damu ime vilia kifuani mwangu ina bidi niweze kufanyiwa upasuaji usiku huu”

“Broo kweli?”

“Haki ya Mungu”

“Duuu sasa ina kuwaje?”

“Sina jinsi zaidi ya kufanyiwa upasuaji”

Jack akanishika mkono na tukasogea pembeni kabisa eneo ambalo sio rahisi kwa walinzi kuweza kusikia mazungumzo yetu.

“Ina bidi tumtaarifu mkuu”

“Jaribu kumpigia”

Jack akampigia DON video call na akapokea.

“Mkuu nipo na Malcom hapa tuna habari mbaya kidogo?”

“Ha…habari gani?”

DON alizungumza kwa kubabaika.

“Katika pambano la leo, Malcom aliweza kupigwa eneo la kifuani mwake na kwa bahati mbaya ameweza kuvilia damu na madaktari wame sema afanyiwe upasuaji haraka iwezekanavyo hata usiku huu.”

“Mmmmpe simu”

DON alizungumza kwa kubabaika, nikaipokea simu hiyo na kutazamana naye.

“Ndio Bos”

“Upo kwenye hali mbaya champion wangu?”

“Hapana ila ni upasuaji mdogo dokta ameniambia ata nifanyia”

“Okay pole sana, sasa nina funga safari nina kuja kukuona huko huko Ufaransa nina kuja na mke wangu na uta muambia huyo mwanamke kwamba mimi ni ndugu yako wa karibu sawa”

“Ndio mkuu”

Nilijibu kwa sauti ya upole huku nikihisi maumivu makali sana kifuani mwake, galfa nikaanza kuhisia kizunguzungu hadi nikayumba.

“Broo upo sawa?”

Jack aliniuliza kwa sauti ya mshangao. Giza nene na la gafla likanitawala machoni mwangu na taratibu nikajikuta nikianguka chini mzima mzima na taratibu nikaanza kuisikia sauti ya Jack kwa mbali ikiniita ila sina uwezo wa kumjibu kwani nina jiona kama nina zama kwenye kina kirefu cha bahari na jinsi niavyo zidi kwenda chini ndivyo jinsi ninavyo zidi kuishiwa na pumzi hadi nikatulia tuli.



Taratibu nikafumbua macho yangu, ila ukungu mwingi ulio nitawala machoni uka nifanya nishindwe kuona vizuri hili eneo. Nikatulia kwa dakika kadhaa huku nikijaribu kuvuta kumbukumbu ya kilicho tokea. Kumbukumbu yangu ika gota kwenye mazungumzo yangu ya simu kati yangu mimi na Don. Nikatazama pembeni yangu na kumuona Jackline akiwa amelala kwenye moja ya sofa huku kiwa amejifunika shuka. Nikajitazama vizuri mwilini mwangu, nikajikuta nikiwa nime wekewa mashine ya kusaidia kupumua, huku mkono wangu wa kushoto nikiwa nime chomwa sindano inayo ingiza maji taratibu yaliyopo kwenye dripu. Nikajaribu kutazama kifuani mwangu, ila nikashindwa kuona chochote kwa maana nime valishwa shati kubwa lenye rangi ya blue bahari. Nikatamani kumuita Jackline ila nikashindwa kwani mashine hii ya kupumua ime nizuia. Vibration ya simu ya Jackline ika mfanya afumbue macho yake na kuitazama sehemu alipo iweka. Akiwa katika harakati za kuitafuta, macho yake yakagongana na macho yangu. Akasimama kwa haraka na kunisogelea karibu yangu.

“Baby ume amka?”

Nikamjibu kwa kutingisha kichwa nikimaanisha kwamba nime amka.

“Una nikumbuka mimi ni nani yako?”

“Ndio”

Nilizungumza kwa shida kidogo.

Jackline machozi yakaanza kumwagika usoni mwake kwa furaha. Hata simu anayo pigiwa hakuwa na haja ya kuifwatilia na ikaita hadi ikakata.

“Ohoo asante Mungu kwa kweli ume fanya jambo”

Jackline alizungumza kwa shangwe sana.

“Ngoja nimpigie daktari”

Jackline alizungumza huku akinyanyua mkonga wa simu ya mezani iliyopo hapa chumbani akampigia daktari na hazikuisha hata dakika tano daktari akafika chumbani hapa.

“Waoo ame zinduka?”

“Ndio dokta, Mungu amefanya jambo kwake mara baada ya wiki nzima ya kuto zinduka wala kujitingisha leo ame amka”

Jackline alizungumza kwa furaha hapa ndipo nika tambua kwamba wiki nzima nime lala kitandani pasipo kujitambua. Daktari akanipima na kipimo chake alicho kivaa shongoni. Akatoa tochi ndogo na kunimulika machoni mwangu.

“Yupo sawa sawa. Hapa kinacho paswa ni kuto kumsemesha sana na pia tuta angalia namna na jinsi ambavyo ana weza kuanza kula vyakula vilaini laini”

“Sawa daktari”

“Hongereni wote kwa maana nilikuambia ata zinduka tu na leo ame weza kuzinduka”

“Nilikuwa nina ogopa sana dokta. Mwanaume ninaye mpenda kuondoka mapema kwenye maisha yangu, haki ya Mungu ninge jiua na mimi”

“Jackline sio vyema kuzungumza mazungumzo hayo mbele ya mgonjwa”

“Ohoo samahani dokta furaha ime zidi kikomo”

Jackline alizungumza kwa furaha sana. Dokta akatoka ndani hapa na akatuahidi aha rudi baada ya muda mchache. Jackline akavuta kiti na kukaa karibu kabisa ya kitanda changu. Akanishika mkono wangu wa kushoto huku akinitazama.

“Namshukuru sana Mungu kwa kuweza kukurejesha kwenye hali hii mume wanu kwani hapa katikati kuna mambo mengi sana yame tokea kiasi cha kunifanya niwe nina changanyikiwa. Ila kuna mchungaji mmoja alikuja hapa kuwaombea wagonjwa leo asubuhi hii na nika muomba akuombee na wewe na sasa ume zinduka”

“Asante kwa kuwa nami”

Nilizungumza kwa tabu kidogo.

“Usijali mume wangu, nita kuwa nawe kwenye kila hali, nita hakikisha hakuna mtu mbaya ana kusogelea.”

Jackline alizungumza kwa msisitizo kiasi cha kunifanya niwe na furaha moyoni mwangu. Nikaka hospitalini hapa kwa wiki moja mfululizo na madaktari waka niruhusu kurudi nyumbani huku wakinisisitizia nisifanye mazoezi hadi pale watakapo niruhusu.

“Karibu sana nyumbani mume wangu”

“Nashukuru sana”

“Nilimuambia Jack ahamishe vitu vyako muhimu kutoka kule ulipo kuwa ume panga na kunikabidhi. Kuanzia leo tuta kuwa tuna ishia hapa mume wangu. Ila kama nime fanya makosa nina kuomba uni samehe”

“Hapana huja fanya makosa mke wangu”

Jacklien akaandaa chakula ambacho siku zote alikuwa ana kianda nilipo kuwa hospitalini. Tukala kwa pamoja huku Jackline akijitahidi kadri ya uwezo wake kuendelea kunijali na kunihudumia.

“Ehee niambie mke wangu ile siku nilipo anguka ili kuwaje?”

“Aisee niliogopa sana mume wangu. Mlinzi wangu mmoja alifungua mlango na kumuita dokta, tukatoka nje na kukuta ukiwa umeanguka chini. Aisee nililila sana na wala sitaki kuikumbuka ile siku kwa maana ilikuwa ni siku ya maumivu na majuto kwangu. Laiti kama ninge jua nisinge kuuhusu kwenda kupigana kwenye lile pambano kwa manaa lile pambano ndio chanzo cha matatizo yote haya”

“Usijilaumu mke wangu kwa maana hakuna binadamu hata mmoja hapa duniania ambaye ana weza kufahamu hata dakika moja ijayo ita kuwaje”

“Asante mume wangu kwa kunielewa”

“Alafu kupata majeraha kwenye michezo hatari kama ile ni jambo la kawaida mke wangu wala usije uka jihukumu na kuhisi kwamba wewe ndio chanzo”

“Sawa, bwana yule DON alifika siku iliyo fwata akiwa na mke wake pamoja na walinzi wake. Akajidai ohoo mimi ni ndugu wa karibu wa Malcom, nami nika jitambulisha kwamba ndio mke wake mtarajiwa na nikajifanya kama sifahamu chochote kinacho endelea”

“Hakukuletea shida yoyote?”

“Hapana aka furahi sana na akaseme kwamba siku ya harusi yetu tumualike, nikamuambia asijali kwa maana ata kuwa ni wa kwanza kabisa kuweza kupata mualiko.”

“Ila yule jamaa ni mtu hatari?”

“Nina lijua hilo mume wangu namimi pia ni hatari sana kwake kwa maana ukisha mjua adui unaye pambana naye basi ni mwendo wa kumsoma taratibu na kwenda naye taratibu. Vijana wangu kwa sasa nao wapo kazini katika kuhakikisha kwamba tuna zidi kumuingiza kwenye rada zetu”

“Ehee alikaa siku ngapi?”

“Siku mbili nna akadai kwamba tuna weza kufanya mazungumzo ya kibiashara, nikamuambia hakuna tabu siku nikipata wazo la biashara nita mjulisha”

“Ahaa, kwa nini nili lala wiki nzima pasipo kuzinduka?”

“Yaani hakuna anaye fahamu hadi sasa. Hata madaktari wenyewe walikuwa wana rudia mara kwa mara kukuangalia kama labda kuna sehemu walikosea kwenye upasuaji wao ila hawakukuta shida ya aina yoyote. Ila nina hisi Mungu alikuwa ana hitaji kuniweka kwenye nafasi fulani”

“Nafasi gani?”

“Ohoo mume angu asikuambie mtu, nilikuwa nina sali na siku mbili hizi za mwisho nika funga kabisa kumuomba Mungu aweze kufanya muujiza wake na kweli ame fanya muujiza wake ume zinduka. Yaani nilipo kuwa katika kipindi hicho cha maombi sikuwa na hamu hata ya kuvuta sigara, kunywa pombe au kuvuta unga kwa kweli Rashidi ume kuja maishani mwangu kwa ajili ya kuyabadilisha maisha yangu”

Jackline alizungumza kwa hisia kali sana na kimapenzi. Taratibu akanibusu mdomoni mwangu.

“Ehee ume fikiwa wapi juu ya kumtafuta mama na mtoto?”

“Ohoo nina habari njema. Niliweza kumutumia huyo huyo DON kwenye kuniunganisha na mama na kweli akaniunganisha naye na nika zungumza naye na nika jitambulisha kwake, ila sikuweza kumueleza kwamba una umwa ila nilimueleza kwamba tuta kwenda nchini Marekani kumtembelea”

“Hakuniulizia?”

“Alikuulizia ila nilimuambia kwamba upo mbali kidogo kuna kazi una ifanya nje ya jiji la Paris na akasema kwamba ana kuombea.”

“Ila mke wangu kurudi nchini Marekeni na kuwa karibu na DON si ina weza kuleta shida?”

“Usijali mume wangu jinsi yeye alivyo kuwa na nguvu nami ndivyo jinsi hivyo hivyo nilivyo kuwa na nguvu. Hivyo hata tukiwa Marekani, tuta kwenda kwake na kulak wake.”

“Duu”

“Mume wangu upo na mwanamke wa shoka. Wala usihofu kabisa”

Nikatabasamu huku nikimtazama Jackline usoni mwake. Japo hapo awali sikuweza kumpenda ila kadri ya jinsi anavyo jitoa maishani mwangu ndivyo jinsi ninavyo zidi kumpenda na kumuamini.

Kadri ya siku zinavyo zidi kwenda ndivyo jinsi hali yangu inavyo zidi kuimarika. Ndani wiki mbili nilizo kaa hapa nyumbani, na matibabu ya madaktari wanao kuja hapa hapa nyumban kunihudumia, nikaruhusiwa kuanza kufanya mazoezi mepesi mepesi. Katika siku hizi zote nilizo toka sikuhitaji kuzungumza na mama pamoja na mwanagu kwa maana nikizungumza nao nikiwa katika hali ya kuumwa ni lazima mama ange lifahamu hilo. Nilipo hakikisha kwamba sasa sauti yangu ina toka vizuri na hata nikiongea na mama hawezi kuhisi chochote, nika mpigia video call na kwa bahati nzuri aka ipokea.

“Ohoo Rashid mwanangu”

“Shikamoo mama”

“Marahaba, habari ya wewe”

“Namshukuru Mungu, samahani sana kwa kuto wasiliana nanyi”

“Usijali rafiki yako Jackline aliweza kutueleza kwamba upon je ya mji huo”

“Ni kweli mama”

“Ila upo salama?”

“Ndio, Shamsa yupo wapi?”

“Huyu hapa”

Mama akamuonyesha Shamsa.

“Waooo ume kuwa mdada mwangu”

Nilizungumza kwa furaha sana kuwaona wakiwa katika afya njema.

“Shikamoo baba”

“Marahaba mwanangu haujambo”

“Sijambo baba, mbona haurudi?”

“Nina kuja siku si nyingi”

“Usisahau kuniletea zawadi”

“Usijali mwangu. Ehee muna ishi vizuri?”

“Ndio, nina angalia Cartoon. Bibi ana nipikia chakla kizuri”

“Safi mwangu. Nikirudi nita kuletea zawadi nzuri sana hadi wewe mwenyewe uta furahia”

“Asante baba”

“Ehee mama niambie Brian ana waangalia vizuri?”

“Sana, yaani uwepo wake kidogo ume tutoa upweke. Kwa kweli Mungu ambariki”

“Amen. Katika wiki hii au ijayo nita kuja huko kukutelea mkwe wako”

“Wooo ndio Jackline nini?”

“Mama mbona una haraka hivyo”

Nilizungmza huku nikimtazama Jackline aliye kaa pembeni yangu.

“Kwanza yupo Jackline hapo?”

“Hayupo”

Jackline macho yakamtoka kwa mshangao.

“Nisikilize mwanangu kwa umakini. Huyo binti ana kufaa kabisa kuwa mke wako, ana kila aina ya sifa ambazo ata faa kuwa mkwe wangu na hata Shamsa mwenyewe ame mpenda sana”

“Ehee mama, kwa nini una sema ana sifa za kuwa mke wangu, ikiwa una elewa jinsi mama Shamsa alivyo niumiza”

“Huyo mshenzi sintaki kumsikia na asikufanye ukakaa na kushindwa kuendelea na maisha yako. Kwanza Jackline ni mstarabu, japo sijawahi kukutana naye ila kwenye mazungumzo yetu ya video call ana onekana ni mstarabu, ana heshima na ana hofu ya Mungu. Kama huja mtongoza mwnaangu jitahidi kuongezea bidii zako kumpata na pia ana onekana ana akili kubwa sana ya kimaisha kukushinda hata hiyo yako”

Jackline akacheka chini chini huku akiwa amejawa na furaha.

“Mama ina maana mimi akili yangu ndogo?”

“Wewe hujioni, laiti ingekuwa sikufahamu ninge sema ila nina kufahamu vizuri sana. Huyo mwanamke ata kusaidia kukufanya upige hatua. Sasa wewe kaparamie magube gube huko, wakudanganye danganye uwahonge hivyo vipesa unavyo pata, tuta rudi Tanzania kwa miguu mwanangu”

“Hahaa sawa mama nita ufanyia kazi ushauri wako”

“Hilo ndio ninalo hitaji kulisikia. Na kama una kuja njoo naye”

“Sawa mama, alafu huyu hapa amefika”

“Mpe simu nimsalimie”

Mama alizungumza kwa shahuku kubwa, nikamkabidhi Jackline simu.

“Mama shikamoo”

“Marahaba mwanangu, una endeleaje?”

“Nina endelea vizuri mama yangu, Shamsa yupo wapi?”

“Huyu hapa ana nipokonya simu ana taka kukuona”

“Antii shikamoo”

“Marahaba Shamsa mtoto mzuri, una endeleaje?”

“Nina endelea vizuri. Nimeipata zawadi ya mdoli ulio ninunulia asante”

“Asante mtoto mzuri, nita kuja na baba tuta kueletea zawadi nyingi na nzuri”

“Kweli antii”

“Kweli”

“Muna kuja lini?”

“Kesho”

“Weweeeeee”

Shamsa akashangilia hadi nikashangaa kwa kipindi kifupi mwanangu ame kuwa muongeaji sana hadi kunishinda mimi.

“Mama kweli muna kuja kesho?”

Mama aliuliza.

“Ndio hata Rashid mwenyewe hafahamu ndio ana sikia sasa hivi”

“Ohoo nina wasubiria kwa hamu sana, nita kuandalia chakula cha Kitanzania ukija ule hadi ujisikie furaha”

“Nita zidi kufurahi sana mama yangu”

“Karibuni sana tena sana”

“Asante mama”

Mama alizungumza kwa furaha sana na wakamaliza kuzungumza na Jackline, nikaagana nao kisha nikakata simu.

“Baby kesho tuna kwenda Marekani?”

“Ndio tuta ondoka na ndege yangu binafsi mume wangu”

“Ila mke wangu mbona ni safari ya galfa sana”

“Nilisha ipanga ila nilitaka kukufanyia suprize tu. Leo nahitaji twende hospitalini tuka mtazame baba kisha kesho tuanze safari”

Muda wa kuelekea hospitalini ukawadia, tukafika katika hospitali ambayo kwa muonekano wake ina onyesha wanao tibiwa hapa ni watu wenye pesa za kujitosheleza. Tukaingia kwenye chumba maalumu alicho lazwa baba mkwe. Katika chumba hichi kume jaa maua kadhaa ambayo ndugu na marafiki wame kuwa wakiyaleta pale wanapo kuja kumtembelea. Tukasimama pembeni ya kitanda hichi, kwa kweli ugonjwa wa Saratani sio wa mchezo mchezo kwa maana mzee huyu ame kwisha hata muonekano wake sio mzuri kabisa.

“Baba yangu ana teseka sana Rashid”

Jackline alizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa simanzi.

“Mungu ni mwema ata pona”

“Baby hawezi kuona saratani ilipo fikia hapo ni sisi kusubiria tu kifo chake. Muda mwengine huwa ina katisha tamaa kabisa mume wangu. Nina tamani hata kushauriana na watu wake wa karibu tuweze kumchoma sindano ya sumu ili aweze kufa kabisa ili asindelee kuteseka”

Macho yakanitoka kwa mshangao huku nikimtazama Jackline kwani maamuzi wanayo yataka kuyachukua ni magumu kiasi cha kujiuliza kimoyo moyo huyu binti ana roho ngumu kiasi gani, kama baba yake ana weza kumfanyia hivyo je mimi itakuwaje siku nikiwa nime mkosea.



“SUMU….!!?”

Nilizungumza kwa mshangao mkubwa.

“Ndio baby, kwa maana ana endelea kuteseka”

“Nisikilize mke wangu wazo hilo mimi sikubaliani nalo kabisa. Acha Mungu aweze fanya yake kwa maana Mungu wetu yeye ndio muweza wa kila jambo akishindwa basi ata mchukua kwa kudra zake”

“Sawa, ila nilikuwa na wazo tu ila sija muambia yoyote zaidi yako wewe mume wangu”

“Basi mimi kama mmimi nime kataa hilo jambo”

Nilizungumza kwa msisitizo kwa maana nina tambua kwamba Jackline ana nisikiliza kwa asilimia mia moja na hawezi kunipinga.

“Naomba unisamehe mume wangu naona una zungumza kwa hasira.”

“Sijazungumza kwa hasira ila nimetoa maoni yangu tu mke wangu”

“Sawa baby nime kuelewa”

Tukaa kwa muda kidogo hospitalini hapa kisha tukarudi nyumbani. Siku iliyo fwata, tukaaza safari ya kuelelea nchini Marekani kwa ndege binafsi ya Jackline. Kwa kweli kuna watu wana ishi maisha ya kifahari sana duniani. Mtoto wa kike kama Jackline ana miliki pesa nyingi kiasi cha kunifanya nihisi kama nipo mbingini.

“Baby mbona upo kimya?”

Jackline alizungumza huku akinishika kiganja cha mkono wangu wa kulia.

“Natazama uumbaji wa Mungu kutokea mawinguni leo”

Nilizungumza huku nikichungulia dirishani.

“Hahaaa una vituko kweli mume wangu. Alafu nilikuwa nina wazo”

“Wazo gani?”

“Una onaje mama na mwanao tukaondoka nao na kurejea nao nchini Ufarasa tukaendelea na maisha yetu”

“Ila kama unavyo fahamu mke wangu, bado nipo chini ya DON, nita tokaje ikiwa ana ishikilia familia yangu na endapo nita ondoka nao ata waua?”

Jackline akakaa kimya huku akionekana kutafakari jambo.

“Ngoja tufike Marekani”

Safari ikatuchukua masaa kadha kufika nchini Marekani. Tukafikia katika hoteli moja katika jiji hili la Las Vegas, tukalala hadi asubuhi kwani tulifika majira ya saa kumi usiku. Majira ya saa mbili asubuh tukaelekea nyumbani anapo ishi mama na mjukuu wake. Wakatupokea kwa furaha sana na nika wasiliana na Brian ambaye hakuchukua muda mrefu akafika nyumbani hapa na nikamtambulisha kwa Jackline.

“Pole kwa matatizo, japo sikupata nafasi ya kuzungumza nawe”

Bria alinipa pole huku tukiwa nje na mama na mkwe wake wapo ndani.

“Nina shukuru sana ndugu yangu.”

“Madaktari wamesemaje?”

“Sasa nimesha anza mazoezi mepesi mepesi na siku si nyingi nnita fanya mazoezi magumu”

“Ila mwanangu ume pata bonge la mwanamke, ng’ang’ania”

“Ila si una jua nipo kazini”

“Kazini wapi ndugu yangu. Wewe una yapenda maisha ya utumwa, Tazama jinsi mwanamke anavyo ijali familia yako, tazama jinsi anavyo mjali mwanao. Kwenye maisha ya sasa hivi uta mpata nani atake jali familia yako hivi hususani mwanamke tajiri kama Jacklie”

“Ila kuna Claudia”

“Rashidi acha ujiga. Yule ni mke wa mtu, kiumri ni mkubwa na ni hatari kuwa naye kwenye mahusiano kwa maana mumewe akijua hakuna cha mswalie mtume kama wenyewe munavyo sema waislam. Ata kuua, ila kwa huyu bibie upo free kufanya chochote”

“Hilo ulilo sema nalo ni neno”

“Nakushauri kama rafiki yangu, mdogo wangu. Haya ni maisha, hata ikitokea ume mfilisi huyu binti wa watu na pesa akampatia DON, so katika asilimia mia moja ya utajiri wa huyu msichana ana weza kukupa asilimia moja, je kwa akili zako ita kuwa ni haki?”

“Sio haki kaka”

“Ndio maana nina kuambia tafuta mbinu yoyote ya kuikoa familia yako kwa maana nina jua fika kwamba mama na mwanao wapo kifungoni pasipo wao kujua”

“Ni kweli na hilo ndio lina nipa hofu Brian.”

“Napenda nikusaidie sana kwenye hili ila nina weza kuuwawa”

“Na nani?”

“DON yeye anacho kihitaji ni pesa na sio kingine”

“Ngoja tuangalie itakavyo kuwa”

“Sawa sawa kaka”

Tukapata chakula cha asubuhi kwa pamoja na walinzi wa Jackline ambao kila tuendapo wapo pamoja nasi. Tukaingia katika chumba changu mimi na Jackline.

“Mume wangu mchana nita kwenda White House”

“Ikulu ya Marekani”

“Ndio nina kwenda kuonana na raisi”

“Kweli?”

“Ndio, ninge penda kuandamana nawe sema ndio hivyo bado hatuja funga ndoa, ila tungekuwa tume funga ndoa tunge ingia kwa tiketi yam r na mrs”

“Una kwenda kufanya kitu gani?”

“Raisi ni rafiki wa karibu sana na baba hivyo kuna mambo mengi nina kwenda kuzungumza naye”

“Sawa mke wangu mimi nina weza kwenda kwa DON”

“No tuta kwenda pamoja kwa DON wewe uta nisubiria hadi nitakapo rudi”

“Sawa mke wangu”

Majira ya saa sita mchana Jackline akaelekea uwanja wa ndege yeye na walinzi wake.

“Hivi ita wachukua muda gani kufika huko Washintong DC?”

Nilimuuliza Brian.

“Masaa manne na dakika zake”

“Ohoo kumbe kuna umbali ehee?”

“Yaa nchi yetu ni kubwa sana hii”

Simu ya Brian ikaanza kuita, akaitoa mfukoni mwake na kunionyesha kwamba anaye mpigia ni Claudia.

“Ndio madame”

“Yes nipo naye”

Brian akanikabidhi simu yake na nikaiweka sikoni.

“Haloo”

“Ohoo nafurahi kusikia sauti yako mpenzi wangu”

“Nina shukuru”

“Natamani sana kuonana na wewe sema ratba ndio imenibana. Mupo hapa Marekani hadi lini?”

“Bado sija fahamu”

“Nime sikia leo muna kuja kula chakula cha usiku kwetu”

“Ndio”

“Basi nina kuandalia chakula kitamu sana mume wangu. Nakupenda sana Rashid”

“Nashukuru”

“Mbona huni jibu kama una nipenda pia?”

“Mazingira”

“Ohoo okay nime kuelewa. Basi baadae”

“Sawa”

Simu ikakatwa na nikashusha pumzi nyingi sana.

“Vipi?”

“Huyu mwana mama bado ana nipenda sana”

“Kuwa makini ndugu yangu. Yaani ni sawa sawa ume shikilia mayai yakipasuka huwezi kuyarudisha kuwa mayai mazima”

“Nime kuelewa kaka”

Siku nzima nika itumia kukaa na mama yangu pamoja na mwanangu hadi Jackline alipo rejea na walinzi wake. Tukaondoka familia nzima na kuelekea nyumbani kwa DON kwa asili ya kupata chakula cha usiku, Tukapokelewa vizuri na DON pamoja na mke wake huku wakutufurahia kana kwamba ni watu wema kwetu.

“Naona mdogo wangu ana zidi kung’aa”

DON alizungumza kwa furaha huku akicheka.

“Nampatia matunzo mazuri shemeji”

Jackline alijibu kwa bashasha.

“Hata mimi nina ona. Mama mwanao ame pata mke namuambia aoe ila naona hanipatii jibu”

“Ata oa tu, hapa nina hamu sana ya kupata mjuu wa pili”

Watu wote tuka chekea.

“Mama usijali nita kuzalia mjukuu wapili”

Tukaendelea kupata chakula huku stori za hapa na pale zikiendelea. Kwa mara kadhaa Claudia ana nitazama kwa macho ya kuiba huku baadhi ya maongezi yakioyesha dhairi kuto mpendeza hususani mazungumzo ya kuzaa na Jackline. Mara baada ya chakula hichi, DON akaniomba nizungumze naye ofisini kwake na tukaingia.

“Naona kazi ina kwend vizuri?”

“Yaaa taratibu ana anza kunionyesha nguvu yake ya pesa”

“Hilo ndio jambo la msingi. Ina kupasa uwe makini sana kwa maana si una jua hawa wanawake ni kina madelila. Tunna weza kuwa tuna mtega kumbe na yeye ata tutega”

“Hilo nimeliwekea uangalizi Boss wala usijali”

“Kuna pambano moja la mpiganaji mmoja ana toka nchini Thailand, matajiri wana jaribu kuwekeza pesa zao mshindi ana weza pata hadi dola milioni mia sita.”

“Duuu ni pesa nyingi”

“Yaani hapa Roho ina niuma sana upo kwenye hali kama hiyo. Ila kama ungekuwa vizuri nina uhakika kwamba hizi pesa zinge kuja nyumbani hapa”

“Kwani hauna mpiganaji ambaye una muamini tofauti na mimi?”

“Kabla hujakua wewe alikuwa ni yule Iron ila toka ume kuja, nime poteza imani naye kabisa yaani. Simuamini”

“Mpiganaji ni mtu wa aina gani?”

“Ngoja nina clip yake hapa”

Don akanionyesha Clip ya video ya mpiganaji huyo kwenye simu yake.

“Tumpe pambano hili Iron”

“Ata pigwa”

“Kama uta niruhusu na ata kubali, nitamfundisha mbinu za kupigana na jamaa huyo”

Don akaka kimya kwa sekunde kadhaa huku akinitazama usoni mwangu.

“Kweli ata shinda?”

“Ndio ata shinda, kwani pambano lenyewe ni lini?”

“Kesbo kubwa na bado sija weka dau langu”

“Dau ni kiasi gani?”

“Milioni mia mbili. Ipo hivi, kuna hao matajiri wa Thailand wame wekeza milioni mia tatu, mimi na mwenzangu mmoja tuna wekeza milioni mia tatu, mimi naweka mia mbili na yeye ana weka mia. Hivyo tukishinda tuna chukua milioni hizo mia sita”

“Kesho saa mbili asubuhi nikutanishe na Iron, najua ata nidharau kwa sababu ana jihisi ni bora”

“Hawezi kukudharau Rashidi kwa maana kila mmoja ana fahamu uwezo wako kwani ume shinda mapambano ambayo hata yeye mwenyewe asinge weza kufua dafu”

“Naomba nitumie hizo Clipp kwenye simu yangu, nita ziangalia usiku kucha kisha nita jua madhaifu ambayo Iron akiyafanyia kazi basi tuna shinda”

“Sawa ni hiyo kesho mafunzo uta yafanyia hapa hapa nyumbani kwangu na nitahitaji kuyashuhudia mwenyewe”

“Hakuna shaka”

Tukatoka ofisini hapa, tukaagana na familia ya DON kisha tukarudi nyumbani kwa mama.

“Baby njoo uone”

Nilizungumza huku nikiwa nime lala kitandani. Taratibu Jackline akapanda kitandani na kuanza kutazama video ya mapambano ya mpiganaji ambaye DON ana hofia kuweka pesa zake.

“Jamaa ni mkali?”

“Yaa endapo mshinda ata shinda hili pambano ana kula dola milioni mia sita”

“Mia sita!!?”

“Ndio baby”

“Duu”

“Kuna kijana namba mbili wa DON ambaye nikitoka mimi ana kua yeye nina hitaji asubuhi nikampe mbinu za kumpiga huyu jamaa”

“Ila kumbuka mumewangu hupaswi kufanya mazoezi magumu”

“Najua siwezi kufanya mapamano magumu. Ila nina mfundisha tu”

“Vipi tuwekeze pesa na sisi ili tuweze kupata gawio?”

“Hapana mke wangu, tuache lipite ila hizi pesa na nyinginezo nina jua ni jinsi gani ta kuzirudisha kwetu”

Taratibu Jacline akaanza uchokozi wa kimapenzi, akaanza kuninyonya denda kisha akanza kumchezea jogoo wangu na taratibu akasimama. Kutoka sipaswi kufanya mikiki mikiti, siku zote uwa Jackline ana jihudumia kwa kumkalia jogoo wangu. Akamnyonya kwa dakika kadhaa kisha taratibu akamkalia na kuanza kumkatikia viuno. Kadri tunavyo zidi kuzoeana na Jackline ndivyo jinsi anavyo zidi kuwa mtuundu katikandani. Katika siku zote za kuumwa huwa na jitahi kuniridhisha huku naye kujiridhisha. Hadi ana maliza mzunguko wa kwanza sote kwa pamoja tukaridhika na taratibu akajilaza pembeni yangu.

“Rashidi”

“Yes baby”

“Nina kupenda sana mume wangu”

“Nina kupenda pia mke wangu”

Baada ya mdua kidogo sote tukapitiwa na usingizi, asubuhi na mapema nikawa wa kwanza kuamka. Nikafanya maezoezi mepesi mepesi kwa maana nimesha jizoesha kufanya mazoezi. Mara baada ya kupata kifungua kinywa Brian akafika nyumbani hapa na nikaondoka naye kuelekea nyumbani kwa DON huku Jackline akiwa amepanga kwenda matembezi na mama pamoja na mwanangu. Tukafika nyumbani kwa DON na kumkuta Iron ana tusubiria kwenye ukumbi wa mazoezi(gym) uliopo nyumbani hapa kwa DON.

“Yaani wewe ndio uwe mwalimu wangu una kichaa wewe”

Iron alizungumza kwa dharau pasipo kujua uwezo wangu wa kumsoma mpinzani upo vipi na endapo nikimpatia mbinu ninazo zitumia mimi nikiwa ulingoni hata akipigana na mtu mwenye uwezo gani ni lazima ata shinda kwani kupigani sio nguvu bali ni akili ndio inayo takiwa katika kuhakikisha kwamba una muelewa mpinzani wako kuanzia hatua yake ya kwanza hadi ya mwisho.


“Una sema nini wewe”

Sauti ya DON ikatustua watu wote ndani ya ukumbi huu wa mazoezi. Tukageukia mlangoni na kumuona DON akiingia ndani hapa akiwa ameongozana na mke wake.

“Ahaa mkuu”

Iron alizungumza kwa wasiwasi.

“Una sema kwamba Malcom ni kichaa, ulisha wahi kufanya aliyo yafanya yeye tena kwa muda mfupi. Eheee?”

DON alizungumza kwa hasira hadi Iron akaanza kutetemeka.

“Nimeona dharau zetu toka awalikwa Malcom ila kwa bahati mbaya ameweza kuwadhihirishia kwamba yeye ni mbaya kuliko nyinyi”

“Naomba unisamehe mkuu”

“Sasa ana kufundisha utake na usitake na pambano la kesho nina hitaji ushindi la sivyo? Sihitaji kuzungumza sana”

Irona ikambidi akubaliane na DON kishingo upande. Tukatazama vipande kadhaa vya video za mpinzani ambaye Iron ana kwenda kupigana naye kisha nikaanza kumueleza niliyo yaona mimi na Iron akaanza kuyafanyia mazoezi. Mazoezi yakachukua masaa mawili hadi nikaridhika kwamba sasa Iron ana uwezo wa kupambana na mpinzani wetu. Baada ya mazoezi haya nikamfwata DON katika eneo lake la kupumzika ammbapo ame kaa na mke wake pamoja na walinzi walio simama maeneo tofauti tofauti.

“Ehee Rashid vipi kijana?”

“Ameiva, akipigwa kesho ni yeye mwenyewe”

“Unajua hawa vijana wa Kimarekani huwa wana dharau sana pale wanapo ona mtu mweuzi hususani kutoka Afrika na ingekuwa sio sisi kuingia pale munge zozana hadi sasa”

“Ni kweli”

“Ehee vipi ndoa yako na Jackline?”

“Ndoa siku yoyote mkuu”

“Ooa ili tumpae kiurahisi”

“Mkuu nina wazo moja”

“Ndio wazo gani?”

“Ili tusistukiwe kwamba tupo kwake kwa ajili ya kuuwinda utajiri wake. Una onaje nikaishi na familia yangu nchini Ufaransa kwa maana aliniomba nikaishi na familia yangu sasa nina hofia nikimkatalia ana taza kujiuliza ni kwa nini nime mkatalia”

“Ila hilo kweli mume wangu”

Claudia aliwahi kumshawishi mume wake.

“Rashidi isije ikawa ndio mbinu yako ya kutoroka?”

“Mkuu ni mangapi nime fanya tena ya kuhatarisha maisha yangu. Siwezi kutoroka na isitoshe wewe na watu kila kona ya duniani”

“Hapo sasa ume anza kunielewa”

“Ndio nina kuelewa mkuu. Nina kuhakikishia kwamba utajiri una upata”

“Sawa, kutokana Paris nzima ipo mkononi mwangu. Mukiondoka muta ondoka na familia yako na nina imani kwmaba muta funga ndoa kwenye mji huo”

“Ndio mkuu”

“Lazima nita hudhuria”

“Uta kosaje kwa mfano.”

“Hahaaa siwezi kukosa mimi ndio ndugu tena”

DON alizungumza kwa furaha.

“Ila yule demu ni mzuri aisee kama mke wangu hapa.”

“Ni kweli ila sija mpenda”

“Ume mpenda ndani Rashid”

Claudi aliuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Simpendi yoyote kwa maana niliye mpa moyo wangu aliamua kunikimbia na akaamua kuwa na mwanaume mwengine”

“Ehee nime kumbuka, nilifwatilia ndao ya X wife wako na yule makamu wenu wa raisi na ilifanyika kipindi wewe umefanyiwa upasuaji”

DON alizungumza na kunidhibitishia hilo akanionyesha picha za mama Sheila akiwa katika shele la garama. Nikazitazama picha hizi na mikono ikaanza kunitetemeka kwa hasira kali sana, japo nimeamua kusamehe kila kitu ila sijui ni kwa nini nikimuona mama Sheila nina jawa na hasira kali sana.

“Rashidi, Rashidi”

“Naam”

“Bado una hasira ya kulipiza kisasi?”

“Ndio mkuu”

DON akaka kimya kwa sekunde kadhaa.

“Nilikutumia picha zao za uchi hukuzifanyia kazi?”

“Hicho sio kisasi kizuri, nina hitaji kumpa fundisho yule fala hadi akifa na kwenda kuzimu basi ata nikumbuka milele”

“Sikia Rashidi ina bidi utilize kichwa chako na ujuea ni nini una taka kufanya usikurupuke kwa maana uta shindwa”

“Alafu kuna wapelelezi wangu walio kuwa wana mfwatilia yule mzee wamesema baada ya raisi huyu kumaliza kipindi chake cha uraisi mwaka kesho. Yeye ndio atakaye simamishwa kuwa mgombea. Mke wake amempatia talaka ndio maana ameamua kuoa huyu mwanamke ili iwe

rahisi kwa yeye kupata tiketi hiyo ya kwenda ikulu”

Nikaanza kupata picha taratibu ya kwa nini mke wangu alishawishika kirahisi kumbe ana kwenda kuwa mke wa raisi mtarajiwa.

“Ina bidi umuharibie kabla ya kwenda kuwa raisi kwa maana akishika nchi ata zidi kuwa na nguvu zaidi na zaidi”

DON alizungumza.

“Ishu je ata fanya nini?”

“Rashidi una nini unacho kiawaza akilini mwako kwa sasa?”

“Naombeni niwaache nina hitaji kufikiria zaidi”

“Sawa, kesho pambo usikose”

“Hakuna shaka”

Dereva wa DON akanirudisha nyumbani, sikuwakuta mama na mkwe wake pamoja na mjukuu. Nikapitiliza chumbani kwangu na nikapanda kitandani na kujipumzisha. Nikaanza kutazama picha za ngono za makamu wa raisi na mama Sheila ambazo zipo kwenye simu yangu.

‘Ina bidi wapate mateso makali sana’

Nilizungumza kimoyo moyoa huku nikiendelea kutafakari mpango wa kuwakomesha. Nikasikia mlio wa magari yakisimama nje kwangu, nikafungua dirisha na kumuona Jackline akiwa ame mbeba Shamsa, mama pamoja na walinzi wakishuka kwenye magari haya mawili waliyo ondoka nayo.

“Baby”

Nilisikia sauti ya Jackline ikiniita. Akaingia ndani hapa, akanisogelea na kunipiga busu la mdomoni.

“Vipi mume wangu”

“Safi”

“Leo nime furahi sana kuwa familia yako. Haki ya Mungu ni watu wema sana”

“Ahaa sawa sawa”

“Mume wangu mbona una nijibu kama haupo sawa. Una tatizo gani?”

“Kuna mambo yana niumiza kichwa”

“Mambo gani baby”

“Tutaongea baadae ila now nahitaji kuwa peke yagu”

Jackline akanitazama kwa macho ya wasiwasi kutokana hataki kuniudhi akasimama na kuanza kutembea kuelekea mlangoni.

“Baby ngoja kwanza”

Jackline akasimama na kugeuka.

“Njoo hapa”

Taratibu akanisogelea na kukaa pembeni.

“Kwa mfano mtu akakuibia mume wako kisha yeye ana pesa na mamlaka kwenye nchi uta mfanya nini?”

Jackline akashusha pumzi huku akinitazama usoni mwangu.

“Nita hakikisha nina fanya mbinu yoyote kumshusha”

“Mbinu gani?”

“Kama ana pesa nipo tayari hata kupambaa naye kwenye biashara na kumuangusha chini na ikiwezekana kumfilisi kabisa kwa maana nikisema kwamba nimuue, ata kufa haraka na hato pata maumivu ya machungu kama niliyo yapata mimi. Ila kwa nini mume wangu umeniuliza hivyo?”

“Nina imani nililueleza historia yangu?”

“Ndio”

“Yule mwanamke amasha funga ndoa na makamu wa raisi. Na makamu wa raisi ana hitaji kugambania uraisi na yule mwanamke ata kuwa ni first lady wa nchi ya Tanzania”

“Duuu”

“Ndio maana kichwa changu kime vurugika”

“Ila mume wangu mimi nipo hapa au una mpenda bado mama Sheila?”

“Simpendi”

“Ila?”

“Ila kinacho niumiza mimi ni kupokonywa na kutukanwa na nika singiziwa makesi mengi”

“Kwa hiyo ni hilo tu”

“Hilo tu”

“Basi nita kutengenezea mpango wewe mwenyewe uta upenda”

“Kweli mke wangu”

“Haki ya Mungu na wala hato weza kugombania huo uraisi. Nakuapia”

“Nashukuru mke wangu. Nahitaji kukuoa”

“Nini?”

Jackline aliuliza kwa mshangao na furaha.

“Nahitaji kukuoa mke wangu. Nahitaji uwe wangu, nahofia kupokonywa”

“Hahaaa kwenye kupokonywa hapo haiwezekani, nina kuapia mume wangu”

“Kweli?”

“Ndio”

Tukatoka sebleni na Shamsa akaanza kuniadithia sehemu walizo pita na akanionyesha zawadi alizo nunuliwa jambo ambalo limemfurahisha kila mtu kwani Shamsa ana uwezo mkubwa wa kukremisha vitu.

“Alafu mume wangu nime gundua jambo moja”

“Jambo gani?”

“Shamsa ana uwezo mkubwa sana wa kuimba”

“Kweli angalia hii”

Jackline akanikabidhi simu yake na kuniwekea sauti ambayo Shamsa alikuwa akiimba. Hata mimi mwenyewe nikajikuta nikifurahi kwa maana mwanangu ana sauti nzuri na hapa alikuwa ana imba wimbo wa New day wa Celin Dion.

“Shamsa wimbo huu uliusikia wapi?”

“Kwenye simu ya anko Brian”

“Woo”

“Huo wimbo kuna siku Brian alikuwa ana usikiliza kwenye simu yake, mwanao aka omba na akaukremisha hapo hapo hapo hadi Brian alishangaa”

Mama alizungumza huku akimtazama Shamsa.

“Mume wangu ina bidi tutafute mtu wa kumtungia mashairi ili awe ana imba. Unajua tukimkutaza toka mtoto ata kuja kuwa msanii mzuri kama kina Justin Bieber na ata jitengenezea uchumi mzuri toka akiwa mtoto”

“Hilo unalo sema ni kweli tuta lifanyia kazi mke wangu”

Siku ikaisha tukiwa na furaha sana. Siku iliyo fwata majira ya jioni tukaondoka nyumbani hapa mimi na Jackline pamoa na walinzi wawili huku walinzi wengine wakibaki nyumbani. Tukaelekea nyumbani kwa DON na baada ya hapa tukaondoka na DON na mke wake na walinzi na kuelekea ukumbini kushuhudia pambano la Iron. Nikamuacha Jackline na Claudia kisha mimi nikaelekea katika chumba Iron ambapo ana jiandaa kwa ajili ya pambano lake.

“Vipi kaka”

“Safi Malcom. Samahani bwana kwa kauli yangu ya jana”

“Usijali, nina jua sisi ni binadamu na tuna teleza”

“Nashukuru kwa maana toka jana nilikuwa nina tafuta nafasi ya kukuomba msamaha ila kwa bahati mbaya sikuweza kupata nafasi hiyo”

“Usijali kaka cha kufanya weka akili yako kwenye pambano. Vipi una jiamini?”

“Kwa asilimia mia moja nina jiamini ndugu yangu. Ninge omba uwe kocha wangu pembeni ya ulingo kama huto jali kwa maana jamaa ana kocha wake”

“Usijali, nita kuwa pamoja nawe”

Ikabidi nirudi katika chumba cha V.I.P ambacho matajiri wenye pesa zao wame kaa ndani hapa wakishuhudia pambano hilo. Nikamueleza DON ombi la IRON na akakubaliana nalo, nikamueleza Jackline naye pia akakubalia na baada ya hapo nikarudi katika chumba alichopo Iron pamoja na wapambe wengine wa DON. Nikapewa kitambulisho maalumu cha ukocha.

“Hili pambano lina fwatiliwa na vyombo vingi vya michezo kwa maana ni kick boxer ndugu yangu. Lina sheria zote”

Iron aliniambia.

“Usijali nina elewa, mapambano yangu mengine ni mechi za vifo huwa yalikuwa hayana sheria”

“Ni kweli kaka”

Nikaka na Iron kwa lisaa zima na muda wa pambamo lake ukawadia. Tukatoka naye chumbani hapa huku mziki wake wa kuingilia ukipigwa kwenye spika kubwa zilizopo hapa ukumbini. Wapambe wengine wa Iron wame beba bendera ya Marekani. Tukaingia ulingoni na Iron huku shangwe zikitawala kila pande za uwanja huu wamapambano.

“Kumbuka mpinzani wako ana kasi kubwa. Wewe huna spidi kubwa hakikisha una mpiga maeneo ambayo nilikuonyesha sawa Iron”

“Nimekuelewa kocha”

“Kitu kingine usije ukampa nafasi ya kukushambulia hadi akakuzidi”

Nilimnong’oneza Iron sikioni mwake. Mziki wa mpinzani wake ukaanza kusikika na watu wakashangilia kuingia kwa mpiganaji huyu pamojana wapinzani wake. Mara baada ya kuingia ulingoni, makocha pamoja na wapambe ika tubidi tutoke ulingoni hapa na kuwaacha wapinzani wawili pamoja na kocha. Nikaka kweye kona ambazo makocha ina tupasa kukaa.

‘Mungu msaidie’

Nilizungumza kimoyo moyo kwa maana kila mzunguko mmoja wa pambano hili lenye mizunguko kumi na mbili ni dakika tano. Baada ya refa kuzungumza nao, akakatiza msichana akiwa na bago lililo andikwa namba moja huku akiwa amevalia bikinipamoja na sidiria. Kengele ya kuanzisha pambano ikagongwa na mpambano ukaanza. Mpinzani akaanza kurusha mateke mfululizo na kumfanya Iron kurudi nyuma nyuma hadi akajibanza kwenye moja yakona ya ulingo huu na kwa bahati mbaya yupo kwenye kona ya kocha wa pinzani wetu na hivyo nina shinda hata kumpa mbinu.

Iron hakuweza kurusha ngumi hata moja kwa mpinzani na ndani ya dakika tano hizi zote amekuwa ni mtu wa kuzuia kiasi cha kumfanya mpinzani kuzidi kujiamini. Muda wa mapumziko ukawadia na akarudi na kukaa kwenye kona yetu.

“Mbona una mpa nafasi ya kukupiga?”

Nilimuuliza kwa ukali Iron kwa maana bila ya kutumia ukali hato weza kufanya chochote.

“Nina hisi pumzi ina nikata”

“Kwani huna mazoezi ya kutsoha IRON na inakuaje pumzi ina kata?”

“Hata mimi sifahamu sijui ame niwekea nini?”

Nikaanza kupata mashaka kidogo kwa maana Iron sio mtu wa kuishiwa pumzi kirahisi.

“Malcom nina ogopa nina hisi nina weza kushindwa hili pambano?”

“Hei sikia Iron. Huwezi kushindwa, una shindwaje, wewe ni mwanaume nenda kapigana, nenda kamnyooshe ume nielewa?”

Nilizungumza kwa msisitizo huku Iron akinitazama kwa macho ya ujasiri na kutingisha kichwa. Akanyanyuka kwa maana kengele ya kurudi ulingoni imesha gongwa. Tukatoka ulingoni na pambano mzunguko wa pili ukaanza. Mpinzani wetu akaruka hewani na kugeuka kwa teke la mzunguko na likatua shingoni mwa Iron na taratibu nikamshuhudia Iron akianguka chini mzima mzima na kutulia tulia, nikajikuta nikifumba macho yangu kwa uchungu sana kwani tayari refa amesha anza kuhesabu kuanzia moja na endapo ita fika kumi na Iron hajasimama basi shindano litaishia hapo na pesa alizo wekeza DON zita kuwa zime liwa ndani ya dakika saba za mchezo.




“IRON AMKA, UNA WEZA KUMPIGA, AMKAAAAAAAAAA……………………”

Nilizungumza kwa sauti ya ukali huku nikipiga piga ulingo. Refa akafika tano, taratibu Iron akajinyanyua hadi ana fika nane akasimama wima. Refa akamuuliza una weza kuendelea akajibu kwamba ana weza. Nikashusha pumzi nyingi sana huku nikimtazama Iron jinsi anavyo jiweka sawa. Mpinzani akaanza kurusha mteke ya kustukiza ila Iron akamuotea akamtandika ngumi nzito katika eneo ambalo nilimuelekeza ni maeneo ambayo mpinzani wetu ana udhaifu nayo. Ngumi hiyo ya mbavu ikampunguza kasi ya mashambulizi ya mpinzani wetu. Kengele ya mapumziko ika gongwa na kuwafanya kila mtu aelekee kwenye kona yako.

“Unajisikiaje?”

“Nahisi nina weza kumpiga. Malcom nina mpiga nimeona zile sehemu”

“Nilikuambia hakikisha hizo ndio una dili nazo”

“Sawa kaka nina shukuru sana”

“Hakikisha una jilinda na ukipiga una piga kweli. Nina hitaji umalize huu mchezo kwenye round hii”

Nilizungumza huku nikimtazama Iron usoni mwake jinsi anavyo mwagikwa na jasho jingi.

“Sawa kaka nita kuhakikishia kwmaba nina mpiga”

“Poa fanya hivyo”

Muda wa kurudi mchezoni ukawadia. Mpinzani wetu akabadilisha mbinu ambazo hatukuziona kabisa kwenye clip za video na si Iron aliye changanyikiwa bali hata mimi kocha nimechanganyikiwa kwa maana tumezoea kumuona adui yetu akitushambulia kwa kasi sana ila sasa hivi ame kuwa ni mtu wa kujilinda na kama ana rusha mateke na ngumi zake basi ana zirusha kwa umakini sana. Mzunguko wa pili ukaisha huku wapiganaji wote wakionekana kutoka droo.

“Malcom jamaa ana onekana kutusoma, mbona amepunguza kasi?”

“Iron nisikilize, hakikisha kwamba una ongeza spida, jinsi unavyo mshambulia kwa kasi ndivyo jinsi unavyo paswa kuhakikisha kwamba una yapiga yake maeneo yenye udhaifu. Ile ngumi uliyo mpiga ya mbavu ime mpa umakini mkubwa na ime muingia. Hakikisha halifika mzunguko wa sita sawa”

“Poa kaka”

Tukafongesheana tano na Iron kisha akarudi ulingoni. Kitendo cha pambano kuanza tu, Iron akaanza kumshambulia mpinzani wetu kwa kasi sana iliyo mfanya aanze kupoteza kujiamini.

“YES”

Nilizungumza kwa furaha kwa maana makonde ya ngumi ambayo Iron ana mpelekea mpinzani hakika yana mchaganya na kwa mara mbili mfululizo ameanguka chini na Iron akamfwata huko huko chini na kuendelea kumtandika mangumi hadi damu zikaanza kusambaaa ulingoni hapa na kusababisha refa kumuachanisha.

Refa akaanza kumuhesabia mpinzani wetu kwa maana ana hali mbaya. Akajitahidi kunyanyuka ila akashindwa na kuanguka chini tena. Refa akajaribu kumnyanyua mkono mmoja na akashindwa hata kuusimamisha na refa akaamua kulimaliza pambano hili, kwa haraka nikaingia ulingoni na Iron akanikumbatia kwa furaha na kuninyanyua juu kwani ni pambano langu la kwanza kama kocha wa kuunga unga na mwanafunzi wangu ameshinda. Iron akakabidhiwa mkanda wa mpiganaji wa uzito wa juu.

Hakika furaha ikazidi kunitawala, tukatoka ulingoni na kuelekea kwenye vyumba na kuwakuta DON na watu wake pamoja na Jackline wakitusubiria. Furaha iliyo mjaa DON nina kumbuka mara ya mwisho kumuona nayo ilikuwa nchini Mexco nilipo shinda pambano.

“Hongera sana mume wangu”

Jackline alizungumza huku akinikumbatia kwa furaha.

“Nashukuru mke wangu”

“Malcom hongera sana. Ina bidi uwe kocha sasa”

DON alizungumza huku akinipa mkono.

“Hahaa nime jaribu tu”

“Hujajaribu kaka, yaani una kipaji cha ukocha. Ingekuwa ni kocha mwengine haki ya Mungu hili pambano leo ningelipoteza kwa maana ilifikia kipindi nime shindwa kabisa mpinzani ana nileta kiasi cha kuhisi kwamba leo nina dhalilisha ndani ya ardhi yangu”

Iron alizungumza kwa furaha.

“Nawashukuru sana”

“Kwa hili, nina kuhakikishia kwamba harusi yako nita ifahanya kuwa harusi kubwa duniani haijapata kutokea. Shemeji jukumu la sisi kukuoa niachieni mimi nita hatakikisa kila kitu kina kwenda kwenye mstari”

DON alitoa ahadi hiyo mbele za watu na kila mtu akashangilia kwa furaha. Claudia akanitazama kwa macho ya wivu kidogo ila hapakuwa na aliyeligundua hilo zaidi yangu mimi peke yangu.

DON akaandaa sherehe ya watu wachache nyumbani kwake na mara baada ya kutoka hapa moja kwa moja tika elekea nyumbani kwake na sherehe ya ushindi ikaendelea huku watu wakinywa na kula. Mimi na Jackline pekee ndio tuna tuna tumia vinywaji laini na hatutumii kilevi.

“Mbona hamnywi wisky?”

DON aliniuliza huku akikaa pembeni yetu.

“Mimi bado nina dozi mkuu”

“Shemeji vipi?”

“Shemeji nilisha kanywa kunywa hivyo vitu toka tulipo anza mapenzi yetu mimi na ndugu yako”

“Ohoo kweli?”

“Haki ya Mungu, yaani sasa hivi situmii kabisa”

“Ngoja nikuombee kwa ndugu yagu akuruhusu kuywa?”

“Hapana, sipendi kumuudhi?”

“Eti Malcom uta kasirika mkeo akinywa mbili tatu?”

Nikatabasamu tu kwa maana kusema kweli sipendi kumuona Jackline ana tumia kilevi cha aina yoyote.

“Ametabasamu ina maana amekuruhusu”

“Nashukuru shemeji, nikijisikia kunywa nita kunywa”

“Sawa, furahieni sherehe”

DON akanyanyuka na kuelekea kujumuika na watu wengine. Claudia akasimama mbele yetu na kwa ishara akatuomba aweze kukaa katikati yetu, Jackline akampisha pasipo kuelewa chochote.

“Hongereni sana mume pendezana”

“Tuna shukuru sana wifi”

“Hakika Malcom amejipatia mwanamke mzuri sana au una semaje Malcom?”

“Yaa”

Nilijibu huku nikimtazama Claudia ambaye akinigeuzia mimi uso ana kuwa katika hali ya hasira ila anapo mtazama Jackline ana kuwa katika hali ya kutabasamu.

“Jackline”

“Ndio shemeji?”

“Mjali sana Malcom”

“Usijali, nina mjali, nina mpenda chochote anacho kihitaji ana kipata”

“Kweli?”

“Ndio muulize hata yeye, kila kitu nina mpatia”

“Ohoo ni jambo la kufurahisha sana. Niwatakie maandalizi mema ya ndoa yenu”

“Asante”

Claudia akambusu Jackline shavuni mwake kisha akasimama na kuondoka eneo hili huku moja kwa moja nina tambua kwamba mwanamama huyu ame kasirika. Majira ya saa nane usiku, tukaagana na kurudi nyumbani.

“Mume wangu una onaje ukawa kocha ukaachana na kupigana kabisa?”

Jackline aliniuliza huku tukiwa tume lala kitandani.

“Kocha?”

“Ndio kwa maana una kipaji pia cha kuwa kocha na una weza ukamtengeneza mpiganaji wako akawa hodari na wakuogopwa kama kina Mike Tyson na wengine”

“Nita lifikiria, kwa maana nilihitaji kuachana na mambo ya ulingoni kabisa”

“Usiitupe karama yako mume wangu, hakikisha kwamba una ifanyia kazi. Hata kama uta milikia mamilioni ya pesa ila hicho kilichopo ndani yako ni muhimu sana baby”

“Hahaa basi nita kufundisha wewe”

“Hahaaa….mimi hapana nilisha acha huko mume wangu”

Jackline alizungumza kwa furaha, taratibu nikaanza kumpapasa kifuani mwake. Nikaanza kuyatomasa maziwa yake, kisha taratibu nikaanza kuyanyonya. Jackline akaanza kulegea kwa kwa maana udhaifu wake mkubwa upo kwenye maziwa yake na kitumbua chake. Tukaanza mtanange ambao leo hii mimi ndio dereva, nikaanza kumuadamisha Jackline kama nilivyo kuwa nina fanya awali kabla sijafanyia upasuaji. Nikahimilimi mipambano miwili pasipo kuhisi mumivu yoyote kifuani mwangu.

“Nahisi sasa nime pona mke wangu”

“Mungu ni mwema hata mimi nina hisi hivyo”

“Dokta alisema nirudi hospitalini baada ya miezi mitatu?”

“Ndio. Alafu baby umeridhia kabisa, DON aisimamishe harusi yetu?”

“Mmmm vipi wewe huja ridhia?”

“Mume wangu, pesa za muuza madawa ya kulevya kweli zisimamie ndoa yetu. Hivi una hisi ita kuwa na baraka ndani yake?”

Nikakaa kimya kwa sekunde kadhaa huku nikitafakari kauli ya Jackline.

“Hilo ulilo lizungumza nalo ni neno?”

“Ndio mume wangu na hapa ninavyo zungumza, vitengo vya CIA, FBI vyote vina muwinda DON. Naona kuendelea kujiweka karibu naye ipo siku na wewe uta jumuisha katika kukamatwa kwake”

“Ume juae?”

“Nimezungumza na raisi na nilimueleza situation nzima ambayo una pitia na amesema yupo tayari kutupa support kwenye hili swala la mama na mwanao kuweza kuwa huru”

“Ahaa, niliongea na DON nikamuambia kwamba aweze kuiachia familia yangu na tuka ishi Paris na amekubaliana na hilo. Ila hofu ndio hiyo kwamba ana watu kila kona ya dunia na hato niachia hadi pale atakapo hakikisha kwamba ana pata kile kitu ambacho ana kihitaji”

“Ila kuna watu ni mahatahira sana, ina wezekanaje utajiri wa mwenzako una kuwa una uwinda kiasi hicho?”

“Sipati picha kama unge kuwa ndio una windwa utajiri wake?”

“Wee angekuwa amesha ua mtu.”

“Nikuulize mke wangu?”

“Uliza tu?”

“Kwani DON na baba walisha wahi kufanya biashara?”

“Ndio na ni kipindi cha nyuma sana, toka mimi nina miaka nane ndio nilikuwa nina waona wakiwa wana kaa pamoja. Una jua baba alikuwa ana kukutanisha na marafiki zake hususani wafanya biashara wezake toka nilipo kuwa ni mtoto mdogo sana. Hivyo hawa kina DON, raisi wa nchi hii na watu wengine wakubwa duniani, nina juana nao vizuri sana”

“Ahaa kwa hiyo huyu raisi pia alikuwa ni mfanya biashara?”

“Yaa ni mfanya biashara hadi leo. Sema ni miaka ya hapa karibuni ndio ameingia kwenye siasa. Kama unavyo jua nchi kubwa kama hizi zina hitaji kwanza mtu mwenye nguvu ya kipesa na ushawishi ndio maana ame kuwa raisi”

”Sawa sawa”

“Alafu nilikuambia nita kupatia mbinu za kuhakikisha kwamba una lipiza kisasi kwa adui yako”

“Ndio mke wangu”

“Nimewaza na kuazua nime ona kuna njia moja ambayo tukiipita hiyo ni lazima ata angukia pua.”

“Njia gani mke wangu?”

“Njia ya kwanza ni kuhakikisha kwamba tuna jua ni makosa gani ya nyuma aliyo yafanya akiwa kiongozi wa serikalini. Pila ina bidi kutengenezea dili la kuitia hasara mabilioni ya pesa ambayo endapo ata toka tu madarakai basi ata stakiwa na akistakiwa kinacho fwata ni jela, kufilisiwa na huyo kimada wake ata baki mwupe hata pesa ya kununulia pedi ata kosa”

“Waoo hilo wazo ni zuri sana mke wangu?”

“Yaa mtu kama huyu una kwenda naye kwa akili sana. Tukisema tutumie nguvu, tuta mwagana damu ambazo zitatuchafulia status za maisha yetu”

“Nimekuelewa sana mke wangu, ehee tuna mjuaje?”

“Ina bidi twende Tanzania baada ya ndoa”

“Ila mke wangu una tambua kwamba nina makosa ya kusingiziwa?”

“Hilo nita zungumza na raisi moja kwa moja”

“Raisi wa Tanzania?”

“Ndio”

“Umemjuaje?”

“Nita mtumia raisi wa hapa Marekani kwa maana yeye na nchi ya Tanzania wana uhusiano mzuri, hivyo ita kuwa ni njia rahisi sana kwa yeye kuzungumza naye na kesi yako ikafwatiliwa na ikafanyiwa uchunguzi na endapo itabainika hauna kosa ina futwa na tukiingia Tanzania basi tuta ingia salama na hakuna hata panya atakaye kunyooshea kidole”

Maneno ya Jackline yakanipa furaha kiasi cha kujikuta nikimpa dozi ya tatu ambayo imekuwa bab kubwa hadi tunamaliza kila mtu akapitiwa kwa usingizi.

Asubuhi na mapema Jackline akawasiliana na raisi wa nchi hii ya Marekani na kumuelezea juu ya kesi yangu ana akaahidi kwamba ata wasiliana na raisi wa Tanzania ili iweze kufwatiliwa. Majira ya saa nane mchana tukatumiwa namba ya raisi wa Tanzania na nikaambiwa nizungumze naye kwa video call.

“Karoho kana nidunda mke wangu”

Nilimuambia Jackline huku nikiitazama nama ya raisi wa Tanzania.

“Usijali mume wangu, alafu hio ndio njia ya kuweza kujipatia nafasi ya kujuana na watu wakubwa kama hao kwenye nchi yako. Endapo uta shikamana nao, nina imani uta rudi nyumbani nchini Tanzania muda wowote na wasaa wowote”

“Nime kuelewa mke wangu”

Nikaweka vizuri kola ya shati yangu kisha nika ipiga namba hii na haikuchukua muda ikapokelewa. Uso kwa uso nikaonana na raisi wa nchi ambaye siku zote nilikuwa nikimuona kweye mabango ya chama chake tena kipindi cha uchaguzi na kwenye tv ni mara chache sana,

“Shikamoo mzee”

“Marahaba, wewe ndio Rashidi Pinda?”

“Ndio muheshimiwa, kwanza samahani kwa kukusumbua kwa maana nina imani kwamba huko Tanzania sasa hivi ni usiku”

“Ni kweli sasa hivi ni usiku. Ila nilisha pewa habari zako hivyo nikawa nina subiria tu simu yako. Ehee hembu niambieilikuwaje kwa maana kupata malalamisha kama haya kutoka kwenye nchi kubwa kama Marekani tena kwa kiongozi wao mkubwa ni aibu sana”

“Kwani nikuombe radhi kwa kutumia njia hiyo kwa maana sikuweza kukufikia kiurahisi naamini una tambua vizuri muheshimiwa ugumu wa mwananchi wa kawaida kukufikia wewe?”

“Ni kweli hilo nina lielewa”

“Mimi ni Mtanzania halisi, mama ni Mtanzania na baba ni Mtanzania na hata mwanangu amezaliwa hapo Tanzania”

Nikaendelea kuzungumza huku nikianza kumsimulia raisi historia nzima kuanzia jinsi nilivyo kumbwa na balaa siku ya lindo langu na kuokota cheni za dhahabu na kukimbia enao la kazi. Nikamuelezea mateso niliyo yapata polisi na jinsi nilivyo jikuta nikizindukia gerezani. Nikamueleza unyama una endelea katika gereza la maweni, mapambano yanayo endeshwa na mkuu wa gareza na jinsi makamu wake wa raisi alivyo mshabiki mkuu wa mapmbano hayo. Hadi nina malizia jinsi nilivyo lazimika kuondoka nchini kwangu kwa kumuhofia makamu wa raisi, nikaomuona raisi machozi yakimlenga lenga.

“Kumbe nina ishi na washenzi?”

“Ndio muheshimia”

“Una udhibitisho wa picha za makamu wa raisi akiwa na mke wako, kwa maana sitambui kama amefunga ndoa na mke anaye tambulika kiserikali ni moja tu?”

“Ninazo, ila muheshimiwa kwa sasa huyo sio mke wangu kwani nimesha mpa talaka”

“Ohoo sawa, nitumie”

Nikamtumia raisi picha za mama Shamsa akiwa amefunga ndoa na makamu wa raisi na nikamtumia na picha zao za kitandania.

“Ooohoo Mungu wangu hii ni aibu kubwa sana kwa taifa. Hizo picha anazo nani?”

“Ninazo mimi peke yangu na nimiezi sasa bado nipo nazo”

“Kwanza nikupe pole kwa yale yote uliyo kumbana nayo. Pia nikupongeze kwa hatua uliyo fikia hakika umepanda kutoka mavumbini hadi kufika hapo ulipo fikia”

“Nina shukuru mkuu”

“Nina kuhakikishia hili nita lifanyia kazi. Wale wote ambao wame husika kuku frame kwenye hilo jambo nita shuhulika nao kisawa sawa”

“Asante sana muheshimiwa raisi”

“Usijali”

“Je makamu wa raisi uta mshuhulikia?”

Raisi akaka kimya kwa sekunde kadhaa huku akinitazama.

“Makamu wa raisi ni msaidizi wangu ni mtu ambaye nita kaa naye chini na nita mueleza aliyo yafanya sio sheria kama unavyo tambua hayo matatizo yenu ni binafsi sana ya kifamilia, ila kwa hawa wanao endesha mapambo magarezani nakuhaidi kwamba nita washuhulikia. Usiku mwema bwana Pinda”

Raisi akakata simu na kutuacha mdomo wazi mimi na Jacklien kwa maana hapa mtu anaye paswa kushuhulikiwa ni makamu wa raisi ime kuwaje ana hamishia mpira kwa wakuu wa gereza, ambao kwa mateso yao waliyo nipatia ndio leo wamenifanya niishi kwenye nchi kubwa kama hii Marekani



“Huyo amekujibu kisiasa mume wangu inavyo onekana hato fanya chochote kwa huyo makamu wako wa raisi”

Jackline alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Sasa tuta fanya nini mke wangu”

“Kikubwa tukifanikiwa kuhakikisha kwamba kesi yako ime futwa na kuondolewa kile kifungo basi tuna kaa kwenye mpango wetu ambao tume upanga”

“Sawa mke wangu”

***

Mipango ya harusi yangu ikaanza kupangwa huku DON kila siku akinisisitizia kwamba ita kuwa ni harusi kubwa sana ambayo hajawahi kutokea duniani. Wiki moja kabla ya harusi tukarudi nchini Ufaransa mimi na familiayangu.

“Rashidi hili jumba lote ni la mke wako?”

Mama alininong’oneza mara tu baada ya kufika katika jumba analo ishi Jackline.

“Ndio mama”

“Asiiee ana pesa”

“Ndio hivyo watu wana ishi bwana”

“Kweli watu wana ishi.”

Tukamzungusha mama na mjukuu wake katika eneo zima la jumba hili na kila walicho hitaji kujua juu ya jumba hili Jackline hakusita kuwaelewesha. Siku iliyo fwata tukaelekea hospitalini kumuona baba Jackline na madakatri wakatuambia kwamba hakua mabadiliko yoyote tofauti na siku za nyuma.

“Rashidi una mkumguka yule shehe wa Mbagala anaye soma visomo na watu wana pona?”

Mama aliniuliza huku tukimtazama baba Jackline.

“Ndio”

“Una onaje tukamleta huku akamsomea baba mkwe wako. Ya Mungu mengi ana weza kunyanyuka na kupona”

“Mmmmm ila wezetu ni wakristo mama”

“Dua haichagua ni mkristo au muislamu hembu fanya mchakato mwanangu”

“Sawa nita zungumza na mke wangu”

Tukarudi nyumbani, nikamueleza Jackline juu ya shehe ambaye kwa Tanzania ana sifika sana kwa kusomea wagonjwa sungu na wana pona. Jackline hakuwa na kipingamizi chochote kwa maana kwa sasa mimi ndio msemaji wa mwisho kwenye maisha yake.

“Ila si ana ombe kweli kweli?”

“Ndio ngoja kwanza tuingie kwenye Youtube kuna video zake huwa ana ziposti”

Tukaanza kutazama video za shehe Gongo.

“Mume wangu tuna fanayeje ili aweze kuja huku?”

“Ngoja niwasiliane naye”

Nikaanz akuchati na shehe na jambo la kumshukuru Mungu ni yeye mwenyewe ndio anaye nijibu meseji hizo, nikamueleza hali ya baba mkwe na akaniahidi ata weza kufika nchini Ufaransa pale tu nitakapo mupatia mualiko pamoja na kumkatia tiketi ya ndege yeye na kijana wake. Maagizi ya shehe hayakuwa magumu kwa Jackline kutekeleza kwa maana yeye ndio raia wa nchi hii, akatumia mualiko wa kufika nchini Ufaransa na ikawa raisi sana kwa shehe kupewa viza ya kuingia nchini Ufaransa. Jackline akamkatia tiketi kwenye shirika la ndege la Air France.

Baada ya siku mbili, shehe akafika nchini hapa Ufaransa tukampokea na kuelekea naye nyumbani kwa ajili ya mpumziko kwa maana wame fika saa mbili usiku.

“Tanzania kuna endeleaje?”

“Mwenyezi Mungu ana jalia kwa kweli ni wazima.”

Kutokana na uchovu wa safari, shehe na kijana wake wakapumzika mara baada ya kupata chakula cha usiku. Siku iliyo fwata, alfajiri na mapema, shehe akatusomea kisomo familia nzima.

“Shehe wangu naona una vita kubwa sana mbeleni ina kujia”

Shehe alizungumza mara baada ya kumaliza kutusomea kisomo hicho.

“Vita gani shehe?”

“Kuna maadaui wata jiiunua na wata hitaji kuyaangusha maisha yako. Ila hio tutasoma kosomo kesho cha kuzuia mabalaa yote yasikukaribie”

“Nashukuru shehe wangu”

Tukaondoka na kufika hospitalini. Mara baada ya madaktari kumuandaa baba mkwe, shehe akaanza kusoma kisomo na kijana wake huku mimi na mama tukiitkia kwenye maeneo ambayo tuna paswa kuitikia. Jackline na Shamsa wao pekee tu ndio hawaelewi kuruani. Lisaa la kwanza likapita, lisaa la pili likakatika, katika lisaa la tatu, baba mkwe akatingisha mkono jambo lililo mstua sana Jackline, nikampa ishara ya kutulia ili kisomo kiendelee kusomwa. Shehe na kijana wake wakazidi kuzidisha maombi na kila mmoja akajawa na mshangao mara baada ya baba mkwe kufumbua macho yake na taratibu akaka kitako huku akionekana kushangaa shangaa kinacho endelea. Jackline kwa haraka akanyanyuka kwenye sofa aliilo kaa ndani hapa na kumsogelea baba yake huku akiwa katika hali ya furaha hadi machozi yakaanza kumwagika.

“Jack kuna nini kina endelea?”

Kwa mara ya kwanza nikaisikia sauti ya baba mkwe akizungumza. Jackline akamkumbatia baba yake kwa furaha na kuendelea kulia. Shehe na kijana wake wakazidi kuongeza kisomo na baada ya nusu saa hivi, kisomo kikafika tamati.

“Hawa ni kina nani?”

Baba mkwe aliuliza huku akiwa na mshangao. Hata daktari wake anaye muhudumia kwa kipindi chote naye akajwa na mshangao kumuona baba mkwe akiwa ameamka. Mtu ambaye kila mtu alikata tamaa na kusubiria kudra za mwenyezi Mungu leo hii ameamka tena akiwa ana zungumza japo hali yake ya kiafya ime zohofika sana.

“Tuta zungumza”

“Naombeni maji kwenye chupa”

Baba mkwe alizungumza na daktari akaleta maji. Shehe akayashika majia hayo na kuyaombea kisha akamkabidhi baba mkwe ayanywe. Mara baada ya baba mkwe kunywa hazikuisha dakika tano akaanza kutapika, vitu vyeusi vyeusi, akatapika iridhi kubwa pamoja na manywele yaliyo changanyikana na kucha kucha kiasi cha kutufanya sote tuduwae.

‘Kumbe haya mambo yapo hadi kwa wezetu’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikitazama jinsi baba mkwe anavyo malizia kutapika uchafu huo ambao moja kwa moja una tokana na ushirikina.

“Sasa mtafutieni chakula kilaini aweze kula”

Shehe alizungumza huku akiishika iridhi hiyo na kuanza kuisomea dua na ikaanza kuchezea cheza mkononi mwake na kila linalo fanyika hapa ni maajabu. Shehe akaitupa iridhi hiyo chini na ikaendelea kucheza cheza, gafla ikaanza kuwaka moto hadi ika teketea.

“Hilo ni jini ambalo lilikuwa limewekwa ndani ya iridhi hiyo na jini hilo ndio lilikuwa lina mtesa na kuonekana ni Saratani kumbe sio saratani”

Shehe alizungumza huku sote tukimtazama.

“Nashukuru sana shehe wangu, sijui nikupatie nini?

Jackline alizungumza huku akilia kama mtoto mdogo.

“Dada yangu yote ni mwenyezi Mungu, tuna fanya hivyo kwa ajili ya kuwasaidia waja wake ambao binadamu wenye nia mbaya huwe ndio wana wafanya wapitie shida hizi. Laiti kama yangekuwa ni maradhi yatokanayo na mwenyezi Mungu kama mtihadi wa kumpima mja wake tunge kuambia kwa maana yangefika hatua yakapona kwa maana mwenyezi Mungu kwenye wakati huyo huwa ana tazama imani za watu pamoja na uvumilivu. Ila tulivyo jua ni maradhi ya wanadamu tukaona ni heri tuje na kweli, mwenyezi Mungu ameweza kufanya yake.”

Kauli ya shehe ikanisisimua sana mwili wangu hakika kuna watu wamepewa karama na vipaji vya maombezi.

Baba mkwe akaletewa chakula na manesi na akaanza kula taratibu. Kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi baba mkwe anavyo zidi kuendelea kula chakula hicho.

“Niongezeeni kingine”

Baba mkwe aliomba chakula na nesi akamletea na akaendelea kula. Baba mkwe akala sahani nne za viazi hivyo vya kuchemsha.

“Sasa nime shiba”

Kila mtu akajawa na furaha ya kumuona mgonjwa mahututi alite kuwa akilishwa na mashine leo hii amezinduka na ana kula yeye mwenyewe. Tukaka hospitalini hapa hadi majira ya saa kumi usiku, tukarudi nyumbani na kumuacha baba mkwe akiwa katika wodi nyingine.

“Mume wangu shehe tumlipe kiasi gani kwa maana amefanya mambo ambayo sikuwahi kuyatarajia kama yatatokea”

Jackline alizungumza huku tukiwa kitandani.

“Chochote ambacho moyo wako una jisikia wewe mlipe mke wangu. Kwa maana hawa kazi zao ni za kumtegemea Mungu na kila wanacho kifanya ni kutokana na Mungu anavyo waelekeza”

“Sawa hivi kama nikiwapa dola laki moja na nusu, alafu tukawajengea msikiti huko Tanzania si litakuwa ni jambo la heri?”

“Ndio mke wangu”

“Basi kesho tuta jadiliana na baba, tuta wajengea msikiti Tanzania”

“Sawa mke wangu”

Gafla Jackline akaka kitako kitandani, akashuka kwa haraka na kukimbilia bafuni ikanibidi kumfwata. Nikamkuta akitapika kwenye sinki la kunawia mikono.

“Hei baby vipi?”

“Najisikia kichefu chefu mume wangu”

Nikajikuta nikitabasa kwa maana hata mama Shamsa dalili za ujauzito wake zilikuwa hivi.

“Mbona sasa una tabasamu?”

“Haamna mke wangu, asubuhi tutakwenda kwa daktari”

“Kweli kwa maana nina jisikia hovyo hovyo hata sijui ni nini kinacho endelea”

“Usijali”

Usiku mzima, Jackline hakulala kwa amani, hadi asubuhi kuna pambazuka.

“Maalimu hongera sana”

Shehe alinipongeza mara baada ya kusalimiana naye asubuhi hii.

“Hongera ya nini?”

“Jana huja ona dalili yoyote kwa mama?”

“Ohoo jana usiku alikuwa anatapika”

Nilizungumza kwa kutabasamu.

“Ndio maana nina kupa pongezi. Ni pacha mbili?”

“Weeee”

“Ndio pacha za kiume, jana mwenyezi Mungu alinionyesha hayo kwamba uta pata pacha mbili za kiume kutoka kwa huyu binti. Ila usije ukamueleza hadia akadhibitishiwe na madaktari kwa maana asije akatuona watu weusi sisi wachawi”

“Hahaa nashukuru sana shehe wangu”

Nilizungumza kwa furaha sana.

“Sifa zote ni zake Allah, sisi ni wawakilishi wake tu hapa duniani, walimfunga naye asiweze kupata kizazi ikiwa tayari ulisha fanya mambo”

“Duu kumbe ina wezekana?”

“Ndio shehe alafu, ina bidi tukupigie kisomo na wewe kwa maana maadui zako wata ongezeka baada ya hili”

“Hili lipi shehe wangu??”

“Hili la baba yako mkwe kunyanyuka tena”

Tukakatisha mazungumzo yetu mara baada ya Jackline kufika sebleni hapa tulipo.

“Una jisikiaje mke wangu?”

Nilimuuliza Jackline marra baada ya kukaa pembeni yangu.

“Najihisi joto, nime muomba mama anitengenezee juisi ya limao. Shehe habari yako”

“Salama tu”

“Shehe baadae nita enda hospitalini na mume wangu kwa maana sijisikii vizuri. Unaonaje hicho kisoma kikafanyika mara baada ya sisi kurudi?”

“Hakuna shaka, ila pole”

“Nashukuru sana kwa maana yaani nijisikia vurugu vurugu. Hali ambayo hapo awali sikuweza kuisikia”

“Mungu ataleta heri yake utarudi kuwa salama ty”

“Nashukuru”

Nikaelekea jikoni na kumkuta mama akiandaa kifungua kinywa. Nikasalimiana na mama na akanitazama machoni mwangu huku akitabasamu.

“Nini?”

Nilimuuliza mama huku nikicheka cheka.

“Una jua ulicho kifanya”

“Ahaa mama”

“Ndio, mtoto wa watu ndio umesha mjaza hembu fanya mpango umueo ili watato wazaliwe ndani ya ndoa”

“Sawa ngoja twende hospital. Shamsa bado hajaamka ehee?”

“Bado amelala”

Mama akaanda kifungua kinywa na kwa pamoja tukala, ila Jackline akashindwa kabisa kula zaidi ya kunnywa juisi aliyo tengenezewa na mama. Tukajianda ana kuelekea katika hospitali ambayo baba mkwe ana endelea kupatiwa matibabu, kabla ya kumuona tulaekelea kwa daktari na kwa maelezo aliyo taoa Jackline moja kwa moja daktari akampima ujauzito.

“Baby ita kuwa ni ugonjwa gani?”

Jackline aliniuliza huku tukiwa tuna subiria majibu kutoka kwa daktari.

“Ngoja tuone atakacho tujibu”

Nilijifanya kama sifahamu chochote kwa maana nina hiataji Jackline asikie yeye mwenyewe kutoka kwa daktari. Daktari akarudi akiwa amejawa na tabasamu usoni mwake.

“Hongereni sana tena sana.”

“Dokta una nipa hongera wakati nina umwa?”

“Ndio una umwa ila huumwi ugonjwa wa kusema kwamba una umwa. Hongera sana kwa maana una mimba ya miezi miwili sasa”

Jackline akatokwa na macho ya mshangao.

“Daktari kweli?”

“Yaa kweli, una mimba”

Jackline akanikumbatia kwa nguvu huku akilia kwa furaha sana.

“Ina bidi mr Malcom kwa sasa uhakikishe kamba una muangalia hali yake kwa umakini sana na aanze clinic haraka iwezekanavyo”

“Sawa daktari”

Baada ya kupata maelekeyo yote kwa daktari tukaelekea katika chumba cha baba na kumkuta akiwa na nesi. Tukasalimiana naye kwa furaha.

“Baba nina mimba”

“Mimba?”

“Ndio nina kwenda kukuletea mjukuu baba”

“Ume ipatia wapi?”

Baba mkwe aliuliza kwa ukali kidogo.

“Baba mambo yamebadilika katika kipindi ambacho ulikuwa una umwa, nime pata mchumba wangu huyu ana itwa Rashidi kutoka nchini Tanzania”

Baba mkwe akanitazama kwa umakini kuanzia juu hadi chini.

“Dini gani?”

“Muislamu”

“Kijana naomba utupishe”

Baba mkwe alizungumza kwa msisitizo hadi nika hisi kuna jambo ambalo lina kwenda kutokea, kwa kutii amri yake nikatoka chumbani hapa na kuwaacha ndani. Nikawatazama walinzi wanne tulio ambatana nao na wamesimama mlangoni hapa. Simu yangu ikaanza kuita na nikaitazama vizuri na kukuta ni namba ya DON. Nikaipokea na kuiweka sikioni.

“Habari mkuu”

“Habari sio shwari ume fanya nini?”

DON alizungumza kwa ukali kidogo.

“Mbona sikuelewi mkuu”

Nilizunugmza huku nikisogea mita kadha ili walinzi wasisikie ninacho kizungumza.

“Wewe ndio mtu wa kuleta mashehe sijui watu gani ili kumzindua baba yako mkwe. Umesahau mpango ulio kupelekea nchini hapo?”

Nikashusha pumzi huku nikijiuliza DON amejuaje jambo hili.

“Ila mkuu, ilikuwa ni ishu ya kumsaidia baba mkwe?”

“Kenge wewe kaa kimya. Una mjua huyo mzee wewe, kulala kwake kitandani kwetu ilikuwa ni ushindi alafu wewe unaniletea uwenda wazimu eheee”

DON alifoka hadi nikahisi mwili ukinitetemeka.

“Huyo mzee kulala kwake kitandani tulikuwa tuna hitaji utajiri wake, alafu wewe una lete misaada ya kipumbavu. Sasa kazi yako ime badilika”

Nikashusha pumzi nyingi sana kwa maana nina fokea kama mtoto mdogo.

“Nina hitaji kwa mikono yako miwili umuue huyo mzee la sivyo. Wewe, mwanaona na Jackline wote nita waua. Sasa fanya kosa lolote katika hiyo kazi niliyo kuambia, uwapoteze wapendwa wako. Mtoto wa kamahaba weweee”

DON mara baada ya kumaliza kuzungumza sentensi yake akakata simu na kunifanya nijawe na hasira kali sana kwa maana siwezi kukubali kufanya dhambi ambayo sija kusudia kuifanya kwenye maisha yangu.



0 comments:

Post a Comment

BLOG