Search This Blog

Saturday, February 6, 2021

RISE UP SEHEMU YA 4/10

  

RISE UP

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 4 KATI YA 10


“Aisee mbona ana balaa”

“Na nina kushauri ndugu yangu kuwa makini sana na huyu jamaa. Kama huyo Caro ni mdogo wake basi tambu hato kuwa na wewe kama mke wako pekee tu. Ila ata kupeleleza, ata kushawishi kama Samson alivyo shawishiwa na Delila. Baba uta toa kila kitu, madini na kila kitu kitakuwa mikononi mwao”

“Rashidi ndugu yangu nipi makini, makini tena sana. Mwanamke hawezi kunizidi akilia”

“Rafiki yangu huwajui hawa wanawake. Waogope sana kwa maana mwanamke ndio mtu wa pekee aliye kutana na shetani pale bustani ya edene, ukiachana na kushauriwa kula tunda hatujui ni mambo gani mengine ambayo walizungumza na shetani. Usije ukamkaribisha shetani chumbani kwako. Ata kutafuna”

Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama Obote usoni mwake.

“Hahaaaa Rashidi, acha kuwa na wasiwasi. Nina wajua wana wake wengi sana”

Nikamtazama Obote na nikagundua ana asili ya ubishi.

“Sawa”

Nilijibu kwa unyonge kidogo.

“Rashidi mwanangu bado hujamuona yule mtoto. Ana bonge la tako, mtoto ni namba nane OG”

“Ndugu yangu kwenye swala la mapenzi na mahusiano sinto penda kukushauri sana. Una nijua kwenye hilo, ila kwenye swala la nchi na wananchi wako, nita kushauri muda wowote na wakati wowote. Ila huyu panya ni lazima nidili naye”

“Ehee nime kumbuka. Nina kuomba sana kama una hitaji kudili naya basi dili naye mara baada ya ndoa yangu mimi na Caro kufungwa”

“Una sema!!?”

Niliuliza kwa mshangao.

“Dili naye mara baada ya mimi na Caro kufunga ndoa. Sinto ruhusu chochote kibaya kimpate kabla ya mpango wa kumpata mwanamke ambaye nina muhitaji haujafanikiwa”

Maneno ya Obote yakawa kama kisi kikali kinacho katakata maini na utumbo, tumboni mwangu.

“Kweli?”

“Ndio nipo serious kwenye hilo jambo Rashidi, sihitaji kukubadilikia ila nina hitaji kwanza mpango wangu kufanikiwa”

“Okay nime kuelewa”

“Nielewe na uliweke kichwani mwako la sivyo nita kutoa sadaka kwa adui yako”

Obote mara baada ya kuzungumza maneno hayo akatoka ofisini hapa na kuniacha peke yangu. Hasira kali ikanivaa mwilini mwangu kwa maana naona Obote mapenzi sasa yanaanza kumchanganya na hata mpango wako ana upiga tarehe na mbaya sana amenidhibitishia kwmaba ata nitoa sadaka kwa raisi Ibrahim ambaye hadi leo ameniulizia.

‘Nita anza kukuua wewe, endapo tu uta mchukua demu wangu’

Nilizungumza huku nikiitazama picha kubwa ya Obote iliyopo hapa ofisini kwake. Nikavuta pumzi nyingi kisha nikaishusha taratibu kuhakikisha kwamba nina rudi kwenye hali yangu ya kawaida. Nikatoka ndani hapa na kumuuliza mlinzi mmoja ni wapi raisi alipo elekea na akanielekeza kwamba amekwenda eneo alipo raisi wa Tanzania. Nikafika mlangoni na kuwakuta walinzi wa nchi ya Tanzani na Congo.

“Haruhusiwi mtu mwengine kuingia humu kwa sasa”

“Ila mimi ni mshauri wa raisi”

“Samahani hatujapewa ruhusa ya kumuongiza mtu mwengine”

“Una nijua mimi ni nani?”

“Ndio nin akufahamu ila raisi ana zungumza mazungumzo ya kifamilia”

Nikmatazama mlinzi wa Obote amabye ndio ananijibu mambo yote hayo.

“Sawa”

Nikatoka ndani hapa na moja kwa moja nikaelekea chumbani kwangu huku kichwa changu kikinivurugika kupita maelezo. Nikafunga mlango kwa ndani huku nikitafakari ni nini ambacho kina endelea kichwani mwa Obote.

‘Huyu jamaa fala kweli. Ina maana akitekenywa kidogo ana weza kunitoa sadaka?’

Nilijiuliza akilini mwangu.

‘Ila hawezi kufanya upumbavu huo. Nimefanya naye kazi nyingi sana’

‘Ila sipaswi kumuamini yeye na hata wanajeshi wake kwa maana muda wowote ana weza kunibadilikia’

‘Ila Caro ana nipenda hawezi kunisaliti.’

‘Endapo nikimsaliti nita mfanya nini?’

Niliwaza sana na kukukosa majibu ya maswali yangu.

‘Haki ya Mungu akinisaliti nina muingiza kwenye listi ya mama Shamsa na mume wake’

Mtiririko wa maswali ukanifanya nipitiwe na usingizi mzito. Mlio wa kugongwa kwa mlango wangu ukanifanya nizinduke kutoa usingizini. Nikakaa kitako na kitandani, nikajishangaa sana kwani sijavua nguo hata moja wala viatu. Mtu anaye endelea kugonga mlango wangu bado ana fanya hivyo.

“Nina kuja”

Nilizungumza huku nikitembea kwa uchovu hadi mlangoni na isitoshe uchuvu huu umeshababishwa na jana usiku kukosa muda mzuri wa kulala. Nikafungua mlango na nikakutana uso kwa uso na mlinzi wa Obote.

“Aisee mkuu ana kutafuta muda wa halfa umekaribia”

“Saa ngapi sasa hivi”

“Saa mbili kasoro usiku.”

“Basi nina omba nibadilishe suti nilipituwa na usingizi”

“Usijali”

Nikafunga mlango kwa ndani kisha nikavua suti hii huku kalamu yangu nikiiweka mezani. Nikaingia bafuni nikaoga haraka haraka kisha nikavaa suti ya pili niliyo chumbani hapa. Nikaiingiza mfukoni kalamu yangu pamoja na simu yangu kisha nikatoka ndani hapa.

“Raisi yupo wapi?”

Nilimuuliza mmoja wa walinzi.

“Nyumbani kwake’

Nikaelekea nyumbani kwa Obote na kumkuta amejawa na furaha kubwa sana.

“Ohoo rafiki yangu nashukuru kwa kuja aisee”

“Usijali”

“Ebwana yule manzi amenikubali na leo nina mvisha pete ya uchumba katika hiyo halfa”

“Eheee!!”

Nilishangaa sana kwani Caro ambaye amekolea kwenye penzi langu amekubaliana na huyu gaidi na malaya ambaye toka nimfahamu idadi ya wanawake nilio shuhudia akiwaingilia kiyume na maumbile wana fika hata mia moja bado hao tu ambao amewala kitumbua.

“Ndio nime kubaliwa aisee. Nina imani usiku wangu leo uta kuwa una amani na furaha kubwa sana.”

“Ngoja kwanza. Umezungumza naye wewe mwenyewe au ume unganishwa naye?”

“Nime zungumza naye mimi mwenyewe nimempiga voko za kipaaaa Oboteeeeeeee. Mtoto ameingia laini. Yaani nina hitaji ndoa yangu ifanyike wiki ijayo. Hembu niambie nipete gani hapa ina mfaa kwa maana sonara amezichongesha hizi mbili leo hii hii. Utakayo ipenda wewe ndio nitakayo mvisha”

Obote akanionyesha pete hizi zinazo onyesha kutengenezwa kwa garama kubwa sana.

‘Huu using** sasa yaani nina mchagulia demu wangu peta ya kuvishwa?’

“Bei gani hizi ndugu yangu?”

“Kila moja ni dola milioni mbili?”

“Aisee”

“Yaa niambie ipi ina mfaa moja nita kuachia ndugu yangu ukipata demu wa kumpenda umvishe na yeye”

“Hii hapa ina mfaa”

“Yaani hata mimi mwenyewe nilikuwa nina ifikiria hii”

“Ni nzuri sana”

“Basi chukua hii ukipata demu uta mvisha”

“Nashukuru”

Obote akanionyesha na mkufu mwengine ulio tengenezwa kwa madini ya diamond. Akaniambia garama yake ni dola milioni tatu.

‘Jamaa fala kweli anatumia garama nyingi kumvisha mwanamke vitu ambavyo hata hamjui mwanamke mwenyewe’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama Obote jinsi alivyo jawa na furaha. Baada ya kujiandaa tukatoka ndani hapa na kuelekea kwenye ukumbi. Nikakuta watu majatajiri, watu maarufu, wakiwemo wanasanii wakubwa wa hapa Congo wakiwa ndani ya ukumbi huu. Nikamuona Caro akiwa amekaa pembeni ya mama Shamsa huku wote wakiwa wamevaa na kupendeza. Nikatamani kuzungumza chochote na Caro ila nikashindwa kwa maana sura anayo ijua sio hii niliyo nayo. Raisi Obote akasimama mbele yetu na kuanza kuzungumza.

“Kwenye maisha yangu nilitamani sana kupata mwanamke ninaye mpenda. Leo hii nina penda mushuhudia nikimvisha pete mke wangu mtarajiwa. Caro nina kuomba”

Nikamuona Caro akisimama huku amejawa na tabasamu usoni mwake. Wakakumbatiana na raisi Obote huku wakipigana mabusu ya mdomoni hadi nikashangaa na kujiuliza ni muda gani ambao walizoeana kiasi hicho hadi kila mmoja kumfurahia mwezake kiasi hichi.



Nikapata wazo moja, nikawapiga picha moja kisha nikatoka ndani hapa na kuelekea chumbani kwangu. Nika washa laptop yangu, kisha nikabadilisha code namba ya simu yangu na kutumia code namba ya nchini Tanzania ya +255 kisha nikamtumia Caro picha hiyo akivishwa pete huku nikimuandikia maneno ya hongera mdanganyifu na moja kwa moja nikatambua kwamba ni lazima Caro ata fahamu nipo nchini Tanzania. Nikarudi ukumbini na kukuta sherehe ikinoga huku Obote akiwa amekaa pembeni ya Caro huku wakiendelea kupata vinywaji. Obote akaniita kwa ishara na nikaelekea katika eneo walilo kaa.

“Huyu ni mshauri wangu namba moja ana itwa Sudy S. Sudy. Ndugu yangu nime fanikisha kutana na shemeji yako”

Nikapeana mikono na Caro na wala hakugundua chochote kwamba ni mimi.

“Asante na karibu sana ukweni”

Nilizungumza kwa sauti ya tofauti ili Caro asiweze kunigundua.

“Nina shukuru”

Caro alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana. Mlinzi mmoja wa Tanzania akamnong’oneza Caro sikioni mwake, kisha wakaaga na kutoka eneo hili na Caro.

“Mume pendezana”

Nilimnong’oneza Obote huku nikiwakata kwa jicho la kuiba raisi Ibrahim na mke wake.

“Mbona ume zungumza kwa sauti ya tofauti kwa shemeji yako”

“Si una jua maadui zangu hawa”

“Haya”

Nikarudi nilipo kaa. Baada ya dakika kama tano hivi nikamuona Caro akikaa kwenye kiti chake huku usoni mwake akionekana hana furaha kabisa. Mkono wake wa kushoto ameshika simu yake na nikahisi moja kwa moja ata kuwa ameupata ujumbe wangu. Majira ya saa sita usiku sherehe ikafika tamani, raisi wa Tanzania na mke wake pamoja na walinzi wake wakaondoka ikulu hapa kuelekea hotelini huku Caro naye akiondoka kuhakikisha ana tekeleza shuhuli iliyo mleta hapa nchini Congo.

“Mbona ume muachia mtoto mzuri ameondoka?”

Nilimuuliza Obote huku nikimtazama usoni mwake.

“Amedai kwmaba nitakapo muoa ndio tuta lala pamoja. Hiyo ni kutokana na mila zao”

“So ume kubalina na hilo?”

“Ndio”

“Sawa Mungu abari. Ila nina fikiria kurudi nchini Tanzania na sura hii”

“Kwa nini?

“Nimewaza mambo mengi sana kuhusiana na jambo hili, nikaona endapo nita lazimisha kudili nao hapa hapa nita kuletea shida wewe”

Obote akajifikiria kwa sekunde kadhaa.

“Ila hakikisha una dili nao hadi harusi yangu itakapo kamilika”

“Usijali, siwezi kuizulumu furaha yako”

“Sawa so lina una ondoka?”

“Asubuhi”

“Mapema sana ndugu yangu. Itakuwa vizuri uondoke baada ya hawa kumaliza ziara yao?”

“Ndugu yangu una jua maumivu ya kuibiwa mke yana uma sana. Hivyo ninapo waona wakiwa pamoja basi roho yangu ina niuma sana na nina tamani kuwafanya chochote kibaya ila nina jizuia”

Nilizungumza kwa uchungu mwingi sana.

“Nime kuelewa ndugu yangu. Basi uta ondoka na ndege ya asubuhi sana”

“Sawa”

“Si una jua ratiba yetu”

“Ndio”

Nikaagana na Obote na nikarudi chumbani kwangu. Nikakusanya kila kilicho changu na kalamu yangu hii niliyo itegeneza kwa mfumo wa bomu, nikaliharibu bomu hilo na ikarudi na kuwa kalamu ya kawaida. Usiku hakika sikupata usingizi kabisa. Asubuhi na mapema Obote akaniletea hati ya kusafiria yenye jina langu la kama Sudi S. Sudi. Nikaagana naye kisha nikapelekwa na dereva hadi uwanja wa ndege, nikapanda katika ndege inayo elekea Nchini Tanzania. Majira ya saa moja kamili ndege ikaanza kuondoka uwanjani hapa.

Majira ya saa tatu na nusu asubuhi, tukatua jijini Dar es Salaama. Moja kwa moja nikaelekea nyumbani kwangu. Nikasimama mbele ya kioo, nikatazama sura hii ya bandia. Kisha taratibu nikaanza kuibandua, japo ina maumivu makali sana ila nikajibandua yote. Mara baada ya kumaliza nikaoga na kubadilisha nguo. Nikaelekea katika moja ya saluni na nikanyooa nywele zangu zote na nikabaki na kipara. Sikutaka kufanya mizunguko yoyote, nikarudi nyumbani na kulala.

Mlio wa simu yangu ukanistua, kutazama vizuri nikakaona namba ya ngeni inayo tokea nchini Congo. Nikaipokea huku nikiamini anaye piga ni Obote.

“Haloo”

“Rashidi mambo”

Niliisikia sauti ya Caro.

“Una hitaji nini?”

“Rashidi mpenzi wangu hicho ulicho kiona kwenye hiyo picha sio kweli ime editiwa tu”

Nikatamani kuangua kicheko.

“Eti eheee, una taka kuniambia hadi zile video za kwenye vyombo vya habari zime editiwa. Alafu si uliniambia kwmaba una kwenda Arusha wewe. “

“Ndio ila kutokana na mambo ya kazi sio kila kitu napaswa kukuambia”

“Caro nisikilize, una maisha yako na nina maisha yangu. Baki na huyo raisi acha mimi niishi maisha yangu ya kawaida. Sihitaji kugombana na watu wenye vyeo vyao kisa mapenzi. Ukija kwangu uta chukua gari lako. Umenielewa”

“Rashidi mpenzi wangu usinifanyie hivyo. Nipe nafasi ya kukuelezea?”

“Ukirudi uta nikuta”

“Okay kesho kutwa nina rudi Tanzania nina kuomba nikukute”

“Tuombe uzima kwa maana akili yangu umesha ivuruga. Sijui nyinyi wanawake muna wapi aisee”

Nikakata simu, saa ya simu ina oneysha sasa hivi ni majira ya sa akumi na moja jioni. Nikaingia katika mtandao wa Instergram, moja kwa moja nikaelekea kwenye akaunti ya Jackline nikakuta amepost picha ya watoto wangu wa mapacha, dakika ishirini zilizo pita. Nikaingia upande wa meseji, kisha nikamtumia meseji ya salamu. Hazikuisha dakika mbili akaijibu.

‘Naona muna mtafuta huyo mwanaume hapo?’

‘Ndio nina mtafuta ni mume wangu, je una fahamu ni wapi alipo. Niambie nipo tayari kukulipa kiasi chochote cha pesa?’

‘Nitakuambia baada ya wiki’

‘Maana yake una fuhamu ni wapi alimu mume wangu?’

‘Dada kuwa mtulivu nita kuambia’

‘Nashukuru sana’

‘Sawa’

Sikutaka kumuambia Jackline aje nchini Tanzania kwa maana sijui na nini kitatokea siku zijazo. Baada ya siku mbili Caro akarudi nchini Tanzania akiwa ameongozanana raisi Ibrahimu na msafara mzima ilio kuwa kwenye ziara.

“Hei baby”

Caro alizungumza kwa furaha huku akinibusu katika lipsi zangu. Sikuwa na furaha ya aina yoyote zaidi ya kumtazama.

“Mume wangu wangu najua ume kasirika. Ila nina kuomba unipatie muda wa kukuambia ukweli”

“Ongoea”

“Ahaa kaka yangu na wifi walinifwata na kuzungumza nami na kuniambia kwamba raisi wa Congo ana nipenda na amenikubali. Nikawauliza si una jua kwamba nina mchumba wangu na ana nipenda na nimepanga kufunga naye ndoa. Wakasema kwamba tuna lijua ila kubali kuvishwa pete na huyu jamaa ila harusi haito kuwepo, tulicho kuwa tuna kihitaji ni amani ya sisi kuendelea kuwepo nchini Congo kwa siku mbili hizi kisha tuna ondoka zetu na kurudi nchini Tanzania stori ita ishia pale na sinto funga naye ndoa na hasahau hilo kabisa”

“Ohoo kwa hiyo ume lala naye?”

“Hapana, haki ya Mungu vile sija lala naye”

“Okay”

“Mbona huna furaha mume wangu”

“Ngoja nikuambie kitu. Nilikuwa nina kuamini sana, ila kwa sasa sikuamini”

“Jamania Rashidi, nisamehe mume wangu, sikupanga kukuambia kwamba nina elekea Congo kwa maana ni maswala ya kiusalama, tafadhali mume wangu”

Caro alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Laiti kama ningekuwa sikupendi ninge lala na yule mpuuzi. Ila nilimuambia kwa sheria za mila yetu hatupaswi kulala pamoja hadi pale tutakapo funga ndoa. Please mume wangu”

Caro alizidi kulalama hadi nikamuonea huruma. Taratibu niamkumbatia huku nikimtazama usoni mwake.

“Nikuulize”

“Niulize tu mume wangu”

“Una nipenda?”

“Nina kupenda kutoka moyoni mwangu kwa asilimia moja na kaka yangu ameniomba leo hii twende ikulu nikakutambulishe na akazungumze na wewe kuhusiana na jambo hili kwa maana nilimueleza kila kitu kuhusiana na mambo yalivyo vurugika katika penzi langu”

“Leo hii?”

“Ndio mume wangu. Tafadhali nina kuomba usinikatalie”

“Hato niua kaka yako?”

“Ana anzia wapi kukuua, ikiwa ana penda sana kuniona nikiwa na furaha. Alafu ngoja kwanza mume wangu, ni nani amekushauri kunyoa upara hivi?”

“Kwa nini?”

“Hahaaa yaani ume ume tisha”

“Ulivyo nikera kwa hasira nikamalizia kwenye kunyoa nywele zangu”

“Jamani, nina kuahidi haito jitokeza tena”

“Sawa”

“So nimuambie tuna kwenda leo usiku?”

“Ndio”

Caro kwa furaha akaanza kuninyonya denda hadi taratibu tukajikuta tukizama katika dimbwi zito la mapenzi. Tukapiga mechi moja ya kibabe na ilipo timu saa moja usiku, tukaanza safari ya kuelekea ikuku.

‘Siwezi kumkimbia adui ni lazima niwe naye karibu adui yangu’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama Caro ambaye leo ndio anaye endesha gari. Tukafika katika geti kubwa la kuingilia ikulu. Caro akashusha kioo cha upande wake kidogo na mwanajeshi aliye tazamana naye akamruhusu kuingia.

“Kwa hiyo hapa una ingia pasipo shida yoyote?”

“Ni nyumbani hapa hivyo hakuna anaye nikagua”

“Ahaa sawa”

Caro akasimamisha gari, nikamshika mkono wake wa kushoto.

“Baby”

“Yes mume wangu”

“Toka kuzaliwa kwangu sijawahi kufika eneo hili, hapa nina hisi kama miguu ina ishiwa nguvu”

“Hahahaa usijali mume wangu. Upo na mimi usiwe na shaka”

“Sawa”

Tukafungua milago na tukashuka kweye gari. Kitendo cha kuikanyaga ardhi hii ya ikulu mwili wangu mzima ukaanza kunisisimka. Caro akazunguka hadi eneo nilipo, nikamshika mkono wake wa kulia na tukaanza kutembea kuelekea ndani. Tukasalimiana na baadhi ya walinzi pamoja na wafanyakazi wa ikulu kisha moja kwa moja tuka elekea katika eneo analo ishi raisi. Tukakuta wafanyakazi wakiandaa vyakula mezani.

“Wifi yupo wapi?”

“Wana wageni kidogo wamesema tukifika tuwakaribishe”

“Ahaa sawa, mleteeni mume wangu juisi au vipi baby?”

“No sasa hivi sijisikii kunywa juisi, baadae”

“Sawa kaendelee na kazi yako dada”

Mwanadada huyu akaondoka huku sisi tukiwa tumekaa kwenye seble hii. Nikatazama picha kubwa ya raisi Ibrahim na mama Shamsa siku ya harusi yao, ambayo wame ibandika ukutani?”

“Wameendana?”

Nilizungumza huu nikiitazama picha hiyo.

“Umeona ehee, japo kaka yangu umri ume kwenda, ila ana mke mzuri sana”

“Amempatia wapi mke wake?”

“Mmmm kusema kweli hata sielewi amempatia wapi. Si una jua kaka yangua na tembea tembea sana”

“Okay”

“Ila kaka yangu ni mtu wa maswali maswali sana hivyo ina bidi uwe makini anapo kuuuliza maswali”

“Usijali”

Tukaa kwa dakika kama ishirini hivi, raisi Ibrahim na mke wake wakaingia ndani hapa. Wote wakastuka kidogo mara baada ya kuniona na jambo hilo Caro akaligundua.

“Mmmm mbona mume stuka mara baada ya kumuona mume wangu?”

Caro aliwauliza kwa masihara na kuwafanya raisi Ibrahim na mama Shamsa kutabasamu, kinafki kuficha wanacho kijua.

“Hapana, hatukutarajia kama muta kuwa mumesha fika”

Raisi Ibrahim alizungumza.

“Tumefika kama dakika ishirini na tano zilizo pita”

“Ahaa karibuni sana”

Raisi Ibrahim akaanza kunipa mkono huku akifwatia mke wake. Wakaka kwenye sofa linalo tazamana nasi.

“Poleni sana kwa kuwachelewesha”

“Ilikuwa bado kidogo niwapigie simu kuwauliza mupo wapi?”

“Tulikuwa na kikoa kidogo viongozi wa jumuia ya kina mama katika chama ndio maana tumechelewa kidogo”

Raisi Ibrahim alizungumza huku akiwa amekunja nne. Mama Shamsa kila ninapo mtazama ana yakwepesha macho yake.

“Kaka huyu ndio yule mwanaume wa ndoto zangu niliye kuwa nina kuambia. Huyu ndio aliye nifanya nisimuone wala kumsikia Obote. Mume wangu mtarajiwa ana itwa Rashidi”

“Okay tuna shukuru kukufahamu bwana Rashidi”

Raisi Ibrahim alizungumza huku akinitazama kwa macho ya udadisi.

“Nashukuru nanyi kwa kuwafahamu. Yaani hadi sasa hivi nina ona kama ni ndoto kukutana na watu wakubwa nchini kama nyinyi”

“Hahaaa ni jambo la kawaida. Una itwa Rahidi nani?”

“Rashidi Pinda”

Nikamuangalia mama Shamsa na kumuona jinsi mikono yake inavyo mtetemeka kwa woga.

“Okay ni mwenyeji wa wapi?”

“Nimezaliwa hapa hapa Dar es Salaam, nime kulia hapa hapa Dar es Salaam”

“Sawa kazi yako ni nini?”

“Ni mfanya biashara, nina chukua vitenge kutoka Kigoma, Uganda, Kagera, kisha nina vileta huku jijini Dar es Salaama na kuvisambaza kwenye maduka ya jumla Kariakoo”

“Ohoo hivyo biashara yako ina uwezo wa kukuingizia kiasi gani labda kwa mwenzi”

“Kaka jamani”

“No nahitaji kujua mwanaume anaye weza kumuoa mdogo wangu ana uwezo gani kifefedha. Tuendelee Rashidi”

Raisi Ibrahim alizungumza kwa msisitizo.

“Zaidi ya dola milioni moja kwa mwenzi”

“What?”

Raisi akastuka hata Caro mwenyewe akanitazama kwa macho ya mshangao.

“Dola milioni moja?”

“Ndio kwani haiwezekani mkuu?”

“Ina wezekanai ila nahisi uta kuwa una viingiza kimagendo kwa maana hicho kiasi ni kikubwa sana”

“Nina lipa ushuru na vina ingia kwa njia halali na wala sio magendo.”

Nilizungumza kwa kujiamini sana huku nikiwatazama kwa macho ya yaliyo jaa uchu wa ugomvi wote wawili.

“Okay ni jambo zuri sana kulipa kodi za kiserikali, je utajiri wako una fika kiasi gani?”

“Kaka maswali mengine achana nayo. Uta muuliza siku nyingine mukionana”

Caro alizungumza kwa jazba kidogo mara baada ya kumuona kaka yake akinishindilia maswali.

“Kijana nina hitaji kuzungumza nawe. Nifwate”

“Kaka si ungesubiri tule kwanza”

“Mimi ni kaka yako na hapa upo kwangu. Hunipangii mimi ndio ninaye panga. Umenielewa?”

Raisi Ibrahim alizungumza kwa ukali kidogo, nikamshika Caro mkomso wake na kuuminya kidogo huku nikimtazama usoni mwake.

“Ni sawa, usijali mke wangu”

Mara baada ya kuzungumza hivyo nika mnyonya Caro denda mbele ya mama Shamsa pamoja na kaka yake kitendo kilicho mfanya raisi Ibrahim sura yake kujidhihirisha kwamba ana hasira kali sana na mimi.


“Usijali kila kitu kitakuwa sawa mke wangu”

Nilizungumza kwa sauti ya mahaba huku nikimtazama Caro machoni mwake.

“Sawa baby”

Caro akanijibu kimapenzi, kisha taratibu nikasimama huku nikimtazama mama Shamsa ambaye muda wote amejawa na bumbuwazi. Nikaanza kumfwata raisi kwa nyuma, tukaingia kwenye moja ya chumba kwa haraka akanishika shati langu kifuani na kunigandamiza ukutani huku macho yakimtoka kwa hasira.

“Wewe kenge kumbe siku zote nina kutafuta kumbe upo karibu na mdogo wangu sasa leo nita kuonyesha kwamba mimi ni nani”

Raisi Ibrahim alizungumza kwa hasira na akanipiga nguvu ya tumbo na nikajikunja kidogo huku nikisikilizia maumivu haya. Akataka kunipiga ngumi nyingine ya mbavu ila nikauzuia mkono wake na nikamgeuza kwa haraka sana na kumuweka ukutani yeye huku nikimkaba koo lake kwa nguvu zangu zote. Raisi Ibrahim akajitahidi kujitoa mikononi mwangu ila nikazidi kumkaba huku nikimgandamizia ukutani. Macho yakaanza kumtoka, kisha taratibu nika legeza mkono wangu na kumfanya anze kupambana na kuivuta pumzi nyingi kwa maana pumzi ilisha muishia.

“Nilipanga kukuua”

Nilizungumza huku nikimtazama raisi Ibrahim jinsi alivyo inama.

“Sina kitu cha kupotea kwa maana kama ni mke wangu kipenzi ulimchukua wewe na akawa mke wako. Nime mpata mdogo wako kwa ajili ya kuwa karibu na wewe. Kama utaniua basi niue ili ujenge uadui na mdogo wako”

“Wee….w….e….mshe….zi nita kuua”

Raisi Ibrahim alizungumza huku akijaribu kurusha ngumi ila nikaikwepa.

“Huna ubavu wakunipiga mseng** wewe”

Nilizungumza kwa sauti ya chini huku nikimtazama raisi Ibrahi ambaye macho yamemjaa kwa wekundu mwingis ana.

“Ulinisingizia kesi ya kwamba mimi ni jambazi na ukahitaji nipotelee gerezani. Hukuishia hapo ukanipeleka Congo na nika fanikiwa kutoroka hivyo hata nikikuua nina uwezo wa kutoroka hapa ikulu na tambua kwamba tupo mimi na wewe humu ndani”

Nilizungumza kwa kujiaminini sana. Raisi Ibrahim akasimama wima huku akishusha pumzi nyingi. Uso wake ulio jawa na hasira kali sana haunitishi kwa chochote.

“Nina kupa nafasi ya mwisho toka ndani hapa la sivyo walinzi wangu wata kufanya kitoweo”

“Una hisi kwamba nina weza kutoka hapa bila ya mdogo wako. Kama upo tayari mdogo wako afe basi ata kufa leo. Alafu nime kuja kukujuza kwamba nipo nchini Tanzania kwa maana kabla ya hapo tumesha kutama mara nyingi sana na sehemu mbalimbali nikiwa katika hali tofauti tofauti.”

“Haahahaa una juamini nini wewe masikini usiye na uwezo wowote. Masikini ambaye nilikuchukulia mke wako kwa nguvu ya pesa?”

Raisi Ibrahim alizungumza kwa dharau. Nikampiga ngumi mbili za kifua hadi akaanguka chini na kubong’oa. Nikachuchumaa kisha nikamnyanyua taratibu huku akisikilizia maumivu makali.

“Nita kuua na huyo mwanamke unaye mringia ni mke wangu na ana nipenda ndio maana hata nilivyo mnyonya denda mdogo wako alijawa na wivu. Isitoshe nina imani kwamba toka uwe naye hujawahi kumfikisha kileleni kwa maana hujui ni mkao gani ambao nina mfikisha kileleni.”

Nilizungumza kwa kumnong’oneza raisi. Nikaufunga mlango huu kwa ndani kisha nikatazama mezani hapa na kuoan pambo moja la kobe mdogo kidogo aliye tengenezwa kwa chuma. Nikamchukua huku raisi akinitazama ni nini nita fanya. Nikavua kiatu cha mguu wa kulia, nikavua soksi na kumuingiza kobe huyu.

“Una taka kufanya nini?”

Raisi Ibrahim alizungumza huku akiwa amejawa na woga mwingi sana kwa maana ngumi nilizo mpiga zime mtoa wenge la kujiamini na woga ume mtawala na kwa bahati mbaya tupo kwenye nyumba yake na walinzi wake amewaacha katika mlango wa kuingilia hapa nyumbani kwake. Kwa kutumia soksi hii yenye kobe nikaanza kujipiga maeneo mbali mbali ya mwilini mwangu, kuanzia mgonini, tumboni na nina tambua kwa kufanya hivi lazima alama alama zitabaki mwilini mwangu. Nikajipiga na shavu langu la kushoto, japo ni maumivu makali sana ila nikajitahidi kuhakikisha kwamba nililo lipanga lina kusudia.

“Wewe ni kichaa kweli kweli”

Raisi Ibrahim alizungumza huku akisimama. Nikamtoa kobe huyu ndani ya koksi na kumrudisha juu ya meza. Nikavaa soksi yangu pamoja na kiatu kisha nikamtasogelea raisi Ibrahim huku nikiwa katika hali ya hasira.

“Una ona haya maumivu niliyo jipatia mwilini mwangu, yana dhihirisha kwamba sina cha kupoteza na sina wa kumuogopa wala kumuhofia. Mimi ndio yule kijana uliye kutana naye kule Pangani na kumshangilia kwa mapigano yake ya ulingoni. Ndio maana nika kuambia kwamba kama ningehitaji kukuua basi ninge kuua siku nyingi ila nilikupa nafasi ya kufika hapa ulipo ili nipate kile ninacho kihitaji. Kabla sijakuua naanza kutoka ndani hapa kisha na wewe una fwata kwa nyuma. Umenielewa”

Raisi Ibrahim akanitingisha kichwa akimaanisha kwamba amenielewa.

“Endapo uta wastua walinzi wako, au uta fanya jambo lolote la upuuzi, nita muua mke wako na mdogo wako. Kama niliweza kupata picha za nguno ukiwa Paris France basi tambua kwamba nina weza kupata chochote chako na hichi kiti chako cha uraisi unaweza usimalize hata miaka miwili nikawaa nime kuua”

Nilizungumza kwa sauti nzito na iliyo jaa mtetemo wa hasira.

“Nime kuelewa”

Nikamtazama raisi Ibrahim kwa sekunde kadhaa kisha nikamuweka vizuri shati lake, kisha taratibu nikaanza kutoka ndani hapa, huku naye akinifwata kwa nyuma. Kitendo cha kufika tu sebleni Caro akasimama huku akiwa amejawa na mshangao. Mama Shamsa naye akasimama huku wakinishangaa kwa maana kovu la shavuni mwangu lina onekana vizuri sana.

“Kaka ume mfanya nini mume wangu”

Caro alizungumza kwa hasira huku akimtazama kaka yake.

“Usijali mke wangu”

Nilizungumza kwa kujikaza huku mkono wangu wa kushoto ukishika tumbo langu.

“Hapana lazima nijali, ume mfanya nini mume wangu?”

Caro alizidi kufoka kwa hasira kali sana. Akaanza kunifungua vifungo vya shati langu, macho yakazidi kumtoka huku machozi yakimlenga lenga machoni mwake.

“Kaka huo ni ukatili wa aina gani. Yaani una mpiga mume wangu kama mnyama. Wifi tazama jinsi mume wako alivyo katili, hichi ndio chakula cha usiku mulicho panga tuje kula hapa kwenu si ndio. Nawashukuru kwa haya yote na kuanzia leo, sinto kanyaga hapa ikulu kama mdogo wako au wifi yako. Nita kuja kwa sababu ya kazi tu na kuanzia leo mimi na wewe undugu wetu ume kufa hapa”

“Caro……”

Jicho nililo mtazama nalo raisi Ibrahim likamfanya akae kimya na kuishia kumuita tu jina mdogo wake.

“Rashidi tuondoke”

“Baby nisikilize. Huyuy ni kaka yako wa tumbo moja na pia ni damu yako. Mimi ni mtu baki, sinto penda kukugombanisha na mwana familia yako. Mimi ninge penda niondoke na nikuache na familia yako kwa maana sihitajiki kwa kaka yako”

Nilizungumza huku machozi yakinimwagika usoni mwangu. Kila ninacho kifanya hapa ni kucheza na hisia na nina hitaji raisi Ibrahim apate maumivu ya kihisia kama niliyo yapitia mimi kwa maana nikimua kwa mara moja pasipo kupitia maumivu kama haya hato jua uchungu nilio upata. Vilio nilivyo lia usiku na mchana, nina hitaji na yeye aweze kuvipitia. Nikamuona mama Shamsa akimwagikwa na machozi.

“Rashidi hapana, ume nisikia msimamo wangu mimi na huyu katiki mauhusiano yetu ya undugu yamekufa leo. Sikutegemea, kukupigania kote hadi ukaingia ikulu, ikiwa una mambo mengi machafu uliyo yafanya hadi ukaachwa na mke wako wa kwanza, nikaona kwamba hayana maana, leo hii ume nilipa hivi. Nina shukuru sana kaka”

Caro alizungumza huku machozi yakimendelea kumwagika usoni mwake.

“Na wewe usije ukafurahia kuishi hapa ikulu uka dhani una ishi na binadamu, leo kwa mara yangu ya kwanza nina kuambia kwamba una ishi na shetani. Kama ulimkimbia mume wako fanya mchakato wa kwenda kumtfuta na kama mulimuua basi nenda kaburini kwake na ukamuombe msamaha kwa maana huyu shetani ipo siku ata kurarua vipande vipande”

Caro alizungumza kwa hasira kali sana huku akimtazama mama Shamsa. Caro akaanza kunifunga vifungo vya shati langu.

“Muheshimiwa nina shukuru kwa kila kitu”

Nilizungumza kwa sheshima kubwa sana huku nikinama kidogo.

“Tuondoke”

Caro akanishika mkono wa kulia na tukaanza kutembea kuelekea mlangoni. Nikamtazama raisi Ibrahim huku nikitabasamu na tabasamu hili ni yeye peke yake ndio ameliona. Moja kwa moja tukaelekea katika gari letu.

“Yaani siamini siamini kaka yangua amekufanyia hivi. Yaania emevuka mipa, haki ya Mungu amevuka mipaka mshenzi sana”

Caro alizungumza kwa kufoka huku akaiwasha gari hili, akaligeuza na kuliweka sawa na tukaondoka ikulu hapa huku kila muda akifuta machozi yake.

“Mke wangu usijisikie vibaya bwana”

“Mume wangu lazima nijisikia hivyo, lazima nisikie uchungu. Haki ya Mungu ni heri ninge kusikiliza maneno yako ya kwamba huto pigwa, tunge baki tu nyumbani”

Caro alizidi kulalama. Tukafika katika hospital ya Kairuki. Moja kwa moja tukaelekea mapokezi.

“Nahitaji mume wangua tibiwe”

Caro alimuambia nesi aliye mkuta mapokezi.

“Anashumbuliwa na nini?”

“Nahitaji kumuona dokta bwana wewe.”

Caro alizungumza kwa uchungu hadi nesi wa watu akaw amnyonge. Nesi akatupa taratibu zote na tukazifwata, moja kwa mojatukaelekea katia chumba cha daktari, akayatazama majeraha ya mwili wangu wangu.

“Ina bidi tukuchome sindano ya kupunguza maumivu kisha baada ya hapo tuta kupatia dawa”

“Hafanyiwa matibabu zaidi ya dawa?”

“Ahaa tuta mpa dawa kwazana za akajisikilizie na kama hali haito kuwa nzuri basi muta rudi tena ila tuna waandikia dawa za siku mbili”

“Sawa dokta”

Sikuhitaji kuzungumza chochote huku nikimtazama dokta jinsi anavyo nikagua mwili wangu.

“Ina onyesha kama ume pigwa na kitu kigumu. Mume ripoti polisi”

“Hakuna haja ya kuripoti polisi dokta”

“Kwa nini?”

“Mimi mwenyewe ni polisi. Dokta tuandike hizo dawa tupndoke bwana”

“Sawa”

Daktari akanitazama usoni mwangu, kisha akarudi kwenye kiti chake kwa maana nime kaa katika kitanda kilichopo hapa ofisini kwake. Nikavaa tisheti yangu na nikarudi kwenye kiti changu. Akaandika dawa na akatupatia karatasi, nikapitia chumba cha sindano, nikachoma sindano ya kutuliza maumivu kisha tukapitia katika duka la dawa na tukanunua dawa tulizo andikiwa na tukaondoka eneo hili. Tukafika nyumbani na moja kwa moja niakaelekea chumbani.

“Baby”

Caro aliniita kwa sauti ya upole.

“Yes”

“Nikupikie chakula gani?”

“Sijisikii kula mke wangu”

“No baby. Usilale bila kula tafadhali”

“Nipo sawa, nahitaji kulala sitaku kuzungumza sana”

“Mume wangu nina kuomba msamaha sana kwa kila kitua ambacho kaka amekufanyia. Nina kuahidi hakuna lolote baya lililo jitokeza”

“Caro”

“Bee”

“Hivi umasikini una weza kukufanya mtu kukisa mambo megi ehee?”

“Kwa nini una sema hivyo mume wangu?”

“Kaka yako ameniambia kwamba mimi ni masikini, sistahili kuwa na wewe kwanza ni mwanamke mzuri na umesha vishwa pete na raisi wa Congo. Hivyo akiniona tuna endelea na mahusiano ata niua”

Nilizungumza kwa suati ya unyonge huku machozi yakinilengelenga. Haya yote nina yafanya maigizo ili kuzidi kuiteka akili ya Caro na kumtia chuki dhidi yakaka yake. Nikayasikia meno ya Caro yakisuguana kutokana na hasira kali aliyo nayo. Caro akaanza kuzunguka ndani ya chumba hichi huku mikono yake akiwa amekunja ngumi hadi ina mtetemeka.

“Naogopa mke wangu. Mimi sina nguvu yoyote katika hii nchi. Mimi sio hata mwenyekiti wa nyumba kumi kwenye hii nchi. Nakupenda Caro ila nina ona ni heri ukaenda kuolewa na huyo raisi mwenzake”

“Rashidi mume wangu usiongee jambo, nina kuapia ukiniacha nina jiua na safari hii sinto jizamisha kwenye swimming pool ila nita jiya kwa risasi.”

Caro alizungumza kwa msisitizo huku akipiga magoti mbele yangu.

“Rashidi haki ya Mungu, nita jiua. Usiniache mume wangu, wewe ndio mwanaume wa ndoto zangu. Wewe ndio mwanaume unaye nifaa na kunijulia. Tafadhali”

“Caro usijitazame wewe mwenyewe. Leo hii nime pigwa hivi tena na kaka yako tu, je angenikabidhi mikononi mwa walinzi wake ambao alisema akinikabidhi watanifanya kitoweo”

“Walinzi wote wa raisi mimi ndio mkuu wao. Hivyo laiti wakikugusa basi nita dili na mmoja baada ya mwengine”

Caro alizungumza huku akinishika viganja vyangu.

“Niahidi kitu kimoja mume wangu”

“Kitu gani?”

“Kwamba huto nijacha kwenye maisha yangu yote”

“Caro”

“Bee”

“Najua riasi ni kaka yako. Lazima ata tunga uongo kuhakikisha ana tutenganisha na ata tuma watu wa kila aina kuharibu hili penzi letu”

“Nakuahidi nimeyafumba masikio yangu na nita yafumba masikio yangu na hakuna atakaye tutenganisha”

Taratibu Caro akaanza kuninyonya dende, huku machozi yakimwagika.

‘Kazi yangu namba moja imesha kamilika, sasa’

Nilizungumza kimoyo moyo huku tukiendelea kunyonyana denda.

“Taratibu uta niumiza mke wangu”

“Ohoo sorry mume wangu. Ngoja nipike chakula kwa maana nina njaa sana.”

“Usiku huu uta pika chakula gani?”

“Chips nilinuua viazi”

“Una taka niwe mwanaume wa Dar nini?”

“Kwa nini?”

“Una taka niwe napenda kule chips”

“Jamani mume wangu kwa hiyo una taka kusema wanaume wa mikoani wao hawali chipis”

“Wewe umeenda mkoa gani uka kuta vibanda vingi vya chipsi kama Dar”

“Mmmm haya nasonga ugali, ila mboga hakuna”

“Nyanya zipo na kitunguu?”

“Ndio”

“Basi wewe pika ugali mimi nina kata kachumbari. Leo tuna kula kibachela”

“Hahaa una vituko mume wangu. Wewe pumzika nita kata kachumbari bwana”

“Hapana nataka leo uonje pishi langu japo kwa kidogo”

“Sawa”

Tukaelekea jikoni kwa pamoja. Nikaanza kuandaa kachumbari huku Caro naye akisonga ugali, nikamtazama kuanzia chini hadi juu, taratibu nikaza kumtomasa makalio yake.

“Baby, nita unguza bwana”

“Kidogo zima gesi”

Nilizungumza huku nikimvua kanga moja aliyo jifunga kifuani mwake, Caro akazima jiko na taratibu akainama huku nami nikiwa nyuma yake.Japo nina maumivu kwa mbali ila nikaanza kumpatia Caro haki anayo stahihili. Tukiwa katikati ya mtanange, tukasikia kengele ya getini.

“Mmm ume tarajia mgeni yoyote mume wangu?”

Caro aliniuliza huku akinitazama machoni mwangu kwa maana hapa ni nyumbani kwangu.

“Hapana”

“Sasa ata kuwa ni nani?”

“Tuendelee bwana”

“Hapana mume wangu ina bidi tumsikilize ana weza uwa ni mtu muhimu”

Caro alizungumza huku akijifunga tenge lake. Taratibu nikaelekea sebleni na kuwasha tv kwa maana nime unganisha upande wa kamera za getini na tv hii.

“Baby njoo ni gari za nani hizi?”

Caro akanifwata sebleni hapa na kuzitazama gari hizi.

“Ni wifi na walinzi wake. Amepajuaje hapa”

“Nikuulize wewe au wamekuja kuniua kabisa”

Nilizungumza huku nikimtazama Caro usoni mwake kwa maana sijawahi kumuambia mama Shamsa siku hata moja eneo ninalo ishi na leo hii ndio ameniona na kutambua kwamba nipo nchini Tanzania.




“Hakuna anaye weza kukuua mimi nikiwa hapa. Vaa ngoja nikawafungulie niwasikilize”

Caro alizungumza huku akirudi jikoni, akajifunga tenge lake.

“Mmmm usitoke hivyo”

“Kwa nini mume wangu”

“Wewe ni mke wangu sasa hivi. Una tokaje ukiwa na tenge moja alafu na huo mtako, una taka kuwatamanisha walinzi ehee?”

“Jamani mume wangu una wivu wewe. Jiamini mimi ni wako bwana”

“Wangu ikiwa umesha vishwa pete huko”

“Jamani baby”

Caro alilalama huku tukiongozana chumbani, akavaa gauni refu kisba nami nikavaa pensi na tisheni na nikarudi sebleni. Nikasimama dirishani na kuchungulia jinsi Caro anavyo fungua geti, nikatazama tv kwa maana kinacho endelea getini hapo kina rekodiwa na cctv camera iliyopo mlangoni hapo. Wakasalimiana na wifi yake kisha akamakaribisha ndani, kwa haraka nikabadilisha kinacho onekena kwenye tv na kuweka mechi ya mpira inayo endelea.

“Karibu ndani”

Mama Shamsa akaingia ndani hapa huku akitazama tazama kila eneo la seble hii. Kusema ukweli siamini kama aliweza kufikiria au kutegemea kwamba io siku nita kuja kuishi kwenye nyumba nzuri kama hii kwa maana mazzingira aliyo tuacha ni ya kifukara sana.

“Wifi nikuletee kinywaji gani?”

“Hapana nipo vizuri wifi yangu. Pi anime kuja kuzungumza na wewe?”

“Ngoja kwanza ume pajuaje hapa?”

“Dereva wako nilimuuliza, ila sahamani kwa hilo kwa maana nilishindwa kukuuliza wewe mwenyewe kwani kwa hasira uliyo ondoka naye ikulu nikaamini kwamba bado utakuwa katika hali hiyo.”

“Usijali, mimi hasira yangu huwa nikisha lia basi ina isha”

“Sawa, sijui shemeji ana weza kutupisha?”

Mama Shamsa alizunngumza huku akinitazama kwa macho ya kuiba iba.

“Hapana huyu ni mume wangu. Ukimuona yeye ni sawa ume muona mimi hivyo sisi wawili hatuna siri kati yetu. Ni sawa wewe na yule mshenzi”

Nikajiweka vizuri kwenye sofa kwa maana sumu niliyo ipandikiza moyoni mwa Caro ina zidi kuchepua na kumtawala. Mama Shamsa akashusha pumzi nyingi huku akinitazama.

“Wifi naamini mimi na wewe hatujawahi kuvunjiana heshima siku hata moja. Toka siku ya kwanza nina kuheshimu na una niheshimu.”

Mama Shamsa alizungumza kwa sauti ya upole na unyonge kidogo.

“Ndio nalitambua hilo”

“Najua wewe ni kiungo kikubwa kwenye ofisi ya kaka yako. Mamabo mengi sana kaka yako ana yajua, mengine ni mazuri na mengine ni mabaya. Ila katika hili lililo jitokeza leo nina kuomba sana niweze kumuombea msamaha. Sipendi kuona familia yenu ina gawanyika vipande. Kaka yako ni kiongozi wa hii nchi na endapo kichwa chake hakito kuwa vizuri basi kuna mambo mengi sana ambayo yata vurugika au kufa kabisa na ana weza kuwa ana fanya maamuzi ya kipuuzi”

“Ngoja kwanza wifi. Wewe ni mke wake una uwezo wa kuhakikisha kwamba ana kuwa sawa. Mimi ni mdogo wake tu na ukweli ni kwamba undugu wetu hauwezi kuvunjika na yeye ana jua kwamba mimi ni mtu mwenye maamuzi ya haraka ila nikitulia nina rudi kwenye mstari. Ila kwa hichi alicho mfanyia mpenzi wangu kwa kweli, hata kama ni wewe usinge kubaliana nacho.”

“Ni kweli najua amefanya kosa. Shemeji, nimekuja kuomba msamaha kwa niaba ya mume wangu”

Mama Shamsa alizungumza kwa kujikataza tu ila ukweli ni kwamba hapo alipo ana jisikia vibaya sana kwa maana nina mtambua kwenye kila hali aliyo nayo.

“Mume wangu akimsamehe na mimi nime msamehe”

Caro alizungumza huku akinishika kiganja changu cha mkono wa kulia.

“Eti baby?”

“Yaa mimi na wewe ni mwili mmoja mke wangu”

Nilizungumza huku nikipapasa papasa paja la Caro na kumfanya mama Shamsa kujawa na wivu wa chini chini kwani nina imani kilicho mpeleka kwa raisi ni pesa na sio mapenzi ya dhati.

“Nina weza kumsamehe, ila kwa sharti moja”

“Sharti gani?”

“Aliniahidi kunia na kunifanyia kitu kibaya endapo nita endelea kuwa na Caro. Nahitaji kwa kinywa chake kabisa azungumze mbele yetu kwamba hato niua wala kunidhuru.”

“Ni kweli, kisheria kaka amekosa. Hapa hata mume wangu akigongwa na baiskeli nita jua yeye ndio amemtuma huyo muendesha baiskeli kumdhuru mume wangu. Alilo zungumza mume wangu ni jambo zuri sana na kaka ana paswa kulitekeleza”

“Basi nita muambia hilo jambo kisha nita wapatia majibu”

“Sawa kama ni hivyo. Mume wangu ngoja nina kuja”

Caro akasimama na kuondoka eneo hili na sote tuka msindikiza kwa macho.

“Mshenzi wewe ume rudi kwenye maisha yangu. Kama hato kuua mume wangu nita kuua mimi”

Mama Shamsa alizungumza kwa sauti ya chini chini huku uso ukiwa umejikunja kwa hasira.

“Najua kinacho kusumbua wewe hapo ni nyeg* na wivu. Mzee hakutomb** vizuri ndio maana una payuka kama kuku. Ila una ona zigo hili, mtoto mtamu, msambwanda wa maana”

Nilizungumza maneno ya kejeli na kumfanya mama Shamsa kukunja ngumi huku akitetemeka kwa hasira.

“Rashidi nita kuua?”

“Usiseme uta niaua sema, tuta uana. Una hisi nilishindwa kukuua nilivyo kushika mkono nchini Congo ulivyo kuwa una shuka kwenye ndege. Ulidhani nilishindwa kuku nilipoku kuwa Paris. Ila nine waacha ili mutambue kwamba malipo ni hapa hapa duniani kwa maana nikisema niwaua mapema hamuto faidi niliyo yafaidi mimi, malaya wewe”

Caro akarudi sebleni na sisi sote tukajawa na nyuso za tabasamu kana kwamba hakuna kilicho tokea kati yetu.

“Wifi nina malizia kupika, kama ita wezekana ina bidi tule pamoja”

“Tena mke wangu niletee nyanya, kitunguu, tango, karoti na pilipili nianze kutengeneza kachumbari, nina hisi wifi yako ata ipenda”

“Hapana jamani nina omba niondoke. Nilikuja mara moja”

“Huwezi kuondoka wifi, hujawahi kula hata mapishi yangu. Wewe subiri tule pamoja ukiondoka uta niudhi kama kaka na wewe nita kuchanganya kwenye mkumbo”

“Mmmm wifi jamani?”

“Ndio, mume wangu nakuletea”

“Sawa”

Caro akaondoka sebleni hapa na baada ya dakika akarudi akiwa na vitu nilivyo muagiza. Akanipatia kisha akarudi jikoni kuendelea kusonga ugali wake. Ukimya ukatawala sebleni hapa huku nikiendelea kutengeneza kachumbari hii. Mama Shamsa akaendelea kunitazama kwa macho ya hasira, nikamaliza kutengeneza kachumbari hii.

“Onja basi”

Mama Shamsa akaachia msunyo wa chini chini.

“Ila uta ila na uta kumbuka mbali kipindi cha miogo ya mama Chausiku”

“Vipi baby tayari?”

“Ndio mke wangu”

“Sawa ngoja niweke ugali mezani.”

“Pao”

Caro akaanda chakula mezani na wote tukajumuiaka kwa pamoja. Tukaanza kula huku kwa mara kadhaa nikifanya michezo ya kumlisha Caro ugali huku naye akinilisha kwa kutimia mdomo. Vitendo hivi nime vianzisha makusudi ili kumtesa kihisia mama Shamsa. Kwa mara kadhaa mama Shamsa ana tutazama kwa macho yaliyo jaa wivu.

“Wifi, hivi kaka alisha wahi kukulisha kama hivi?”

“Eheee”

“Kweli?”

“Ndio ana nilishaga mara moja moja”

“Huwa nina penda kumlisha sana mke wangu”

Nilizungumza kwa sauti ya mahaba kisha taratibu niamsogelea Caro na kuanza kumnyonya denda la hisia kali sana. Caro naye hakuwa na kipingamizi cha kuona aona aibu. Akaendelea kunyonya hadi mama Shamsa akakohoa kidogo na tukaachiana.

“Ahaa asanteni kwa chakula na nina omba niondoke”

“Mbona una wahis hemeji?”

“Muda ume kwenda”

“Ila chakula changu na kachumbari ya mume wangu ume ipenda?”

“Ndio nime vipenda ni vitamu sana”

“Sawa acha nikusindikize”

“Nami nina kusindikiza”

Kwa pamoja wote watatu tukatoka seblebeni hapa, nikawatazama walinzi jinsi walivyo simama hapa nje. Mama Shamsa akafunguliwa mlango wa gari lake na kuingia ndani, wakaondoka nyumbani kwangu hapa, kisha nikamnyanyua Caro.

“Baby uta niangusha bwana”

“Una hisi kwamba sina nguvu, twende ndani tukamalizie tulipo paacha”

Caro akatabasamu, tukaingia ndani na taratibu nikamlaza juu ya sofa, nikamvua gauni lake na nikaanza kumnyonya kitumbua chake na kumfanya azidi kujawa na furaha. Nikavua nguo zangu zote na tukaanza kutanange wa kukata na shoka, tukabinuana, tukageuza ili maradi kila mmoja aweze kujawa na furaha ya tendo hili. Kila mmoja akaridhika baada ya mtanange huu kuisha, tukaingia bafuni, tukaoga na kulala huku nikihisi kwa mbali maumivu ya mwili wangu.

Asubuhi na mapema Caro akaamka, akajiandaa na kuelekea kazini. Sikutaka kuendelea kulala kwa maana nina mambo nahitaji kuyahakikisha yana kamilika kwa muda mfupi kabla sijaanza safari yangu ya kuelekea nchini Paris ilipo familia yangu ya kweli. Nikiwa katika maandalizi ya kutoka nyumbani kwangu, simu yangu ikaanza kuita, nikaitazama kwa muda kidogo na kuona ni namba kutoka nchini Congo na ina piga kwa kutumia video call kupitia mtandao wa whatsapp. Nikaipokea na kuiziba Camera, mara baada ya kuiona ni sura ya Obote nikatoa kidole changu kwenye kamera.

“Rashidi haya ndio malipo unayo nilipa baada ya kukufanyia kila kitu”

Obote alizungumza kwa sauti ya hasira huku akinitazama machoni mwangu.

“Ndugu yangu hiyo ndio salamu?”

“Salamu yangu haiwezi kukusaidia chochote wewe. Msaliti mkubwa”

“Obote humbug tulia. Niambie nini una maanisha?”

“Ooo hujui nini nina maanisha. Nina kutumia picha ili ujue nini nina maanisha”

Nikazifungua picha ambazo Obote amenitumia, nikastuka kidogo kwa maana picha hizi ni kipindi nina mnyonya denda Caro mbele ya mama Shamsa na nikaanza kujiuliza alizipiga muda gani ikiwa sikumuona ameshika simu mkononi mwake.

‘Fuc* kifungo kimoja wapo cha simu yake ni kamera.’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikilikumbuka shati alilo livaa mama Shamsa.

“Kwa hiyo ulikuwa una niona mimi fala mara baada ya kukuambia nina mpenda yule mwanamke alafu ukaja kunipokonya si ndio?”

Obote aliendelea kufoka.

“Obote cool down my men”

“Kum*** wewe una niambie nitulie ikiwa uemnichukulia mchumba wangu tena niliye mvisha pete mbele za watu na wana Congo wote wana subiria ndoa yetu”

“Oya una vuka mstari. Usinitukane”

“Nina kutukana, wewe ni kum** mama yako ni kum** na familia yako nzima ni makum** tu”

Maneno makali ya Obote yakanikera na kunichafua moyo wangu kwa maana mtu kama una hitaji kunivuruga, nitukanie mama yangu au mtu yoyote wa familia yangu.

“Sikiliza wewe mseng**. Umekalia hicho kiti kutokana na akili yangu niliyo kusaidia. Ukubwa wa bure ila kichwa chako hakina akili. Una penda kukurupuka kama malaya mtoto. Huyo mwanamke ni mwanamke wangu kabla ya wewe kumuona hapo Congo. Nimeanza kumtomb** huyo demu kabla yako, ila ulivyo anza kuleta nyeg** zako za kumpenda nikaona nikae pembeni nikuachie na nisikuambie kitu chochote na usijue. Upuuzi wako wa kukurupuka ndio maana manzi amekutosa. Hivi kwa kujiangalia na hiyo midevu yako una hadhi ya kutembea na mwanamke kama huyu? Hukufikiria kwamba una ibiwa, ume dandia treni kwa mbele”

Nami nilizungumza kwa hasira huku tukitazamana na Obote. Laiti kama tungekuwa karibu tayari tungesha zichapa.

“Ohoo kwa hiyo ume nizunguka. Sasa nita kuonyesha mimi ni nani. Mimi ndio Obote Ndikuku mzawa wa Mang’ombe. Lazima nita kuua wewe, lazima nita kufanya kitu kibaya siwezi kumpoteza mwanamke wa maisha yangu mwanamke wa ndoto zangu. Lazima nikufanye kitu”

Obote alizungumza hadi mate yana mchuruzika.

“Nenda zako bwana. Usinitishe ikiwa nina kujua A to Z nina uwezo hata wa kukupindua”

“Una sema?”

“Hujasikia au?”

“Jaribu kama sija kuchinja na nina mueleza raisi Ibrahim kila kitu kuhusiana na wewe ili akuue vizuri?”

“Muambie, sio wewe, sio yeye wote siwaogopi na kama una taka kulijua hilo. Vuka mipaka ya kumsogelea Caro, Yani hata ukikanyaga kivulia chake na sio kumgusa tu mwili wake, nina kuhakikishia kwamba nita dili na wewe. Umenielewa?”

Obote akanitazama huku midomo ikimtetemeka.

“Alafu nikuambie jambo moja. Caro ni mtamu sana, hembu piga picha jinsi ninavyo ukamatia msambwanda wake kitandani hahaaaaaaa”

Nilicheka kwa dharau adi Obote akakata simu. Nikaka juu ya sofa huku nikifikiria huu uchonganishi alio ufanya mama Shamsa.

“Karata zake si ndipo zilipo ishia basi nita dili naye”

Nikampigia simu Caro.

“Baby nipo kwenye kikao nita kupigia baada ya dakika kumi na tano”

“Sawa nina kuja ofisini kwako”

“Now”

“Ndio”

“Sawa ila nita omba unisubirie”

“Poa mke wangu”

Nikatoka ndani hapa, nikafunga milango ya nyumba hihi, nikaingia katika gari ambalo Caro amenikabidhi kwa ajili ya matembezi yangu. Nikaanza safari ya kuelekea ofisini kwake. Baada ya dakika arobaini na mbili nikafika ofisini kwake. Nikawasiliana naye na walinzi wa getini wakanipatia kitambulicho maalumu na kuingia ndani mara baada ya kukaguliwa. Caro akanipokea kwa kweli makao makuu ya kitengo chake cha usalama sio ya mchezo mchezo. Wafanyakazi karibia wote wamevalia suti nyeusi. Moja kwa moja tukaeleka ofisini kwake.

“Aisee mke wangu una ofisi nzuri”

“Asante mume wangu. Hapa ndio kazini bwana”

“Ina maana wewe hawa watu wote wazee kwa vijana wapo chini yako?”

“Ndio wapo chini yangu. Ehee niambie mume wangu, kwema nyumbani?”

“Sio kwema?”

“Kuna nini tena?”

“Jana tulikuwa na mpelelezi pale nyumbani”

“Una maanisha nini?”

“Wifi yako kuna hizi picha amezipiga kisiri”

Nikamuonyesha Caro picha ambazo tulikuwa tuna nyonyana denda.

“Shitii sasa amekutumia za nini?”

“Sio yeye aliye nitumia”

“Ni nani?”

“Aliye kuvisha pete na amenipigia kwa namba hii. Amenichimba biti kwamba wewe oohoo sijui ni mchumba wake na ndio first lady ajae DR Congo. Akadai kwamba ni lazima ata niua kuhakikisha kwamba ana kupata na una kuwa ni mke wake wa ndoa”

Caro akafumba macho yake kwa sekunde kadhaa huku nikishuhudia jinsi kifua chake kinavyo zidi kupanda na kushuka kwa mihemo mizito anayo ivuta.

“Wana nitaka nini hawa watu?”

Caro alizungumza kwa sauti ya kukwaruza kidogo.

“Sijui mke wangu. Kama kaka yako ana taka kuniua ni raisi wa hii nchi. Alafu huyu naye ana taka kuniua naye ni raisi wa DRC hivyo kweli mimi nita kuwa salama mke wangu?”

Caro akatoa simu yake katika mfuko wa koti lake, akanipokonya simu yangu, akainakii namba ya Obote kisha akapiga video call. Hazikuisha hata sekunde kumi simu ikapokelewa.

“Ohoo Caro my dia”

“My dia, dia dia nyok** wewe. Hivi una hisi una hadhi ya kuwa na mimi kenge wewe. Una tolea wapi ujasiri wa kumpigia simu mume wangu na kumchimba biti la kipuuzi kama uta muua. Sasa nikuambie jambo moja endapo uta mgusa mume wangu, uta mdhuru. Nita unda kikosi cha kukuuaa na mimi ndio nitakaye kiongoza na usinione ni mrembo usoni na mwilini ila mimi ni shetani rohoni na hadi kwenye mawazo na ndio maana nina ongoza kitengo nyeti kama hichi cha usalama wa nchi yangu. Kenge weweee”

Caro alizungumza kwa hasira na msisitizo mzito hadi nikaanza kutabasamu kwa maana wanao jikoroga kunitisha tisha yupo mwanamke wa kunikingia kifua.



“Malkia wangu, hembu nisikilize”

Niliisikisa sauti ya Obote akizungumza kwa upole. Nikamtazama Caro jinsi uso wake ulivyo jaa ndinda akidhihirisha kwamba ni kweli amechukizwa na vitisho vya Obote.

“Mimi sio malikia wako na utambue kabisa kwamba utakapo mgusa mume wangu. Nita ondoka na kichwa chako”

“Sawa nipo tayari kufa mikononi mwako, nipo tayari kufanya chochote ili maradi niwe na wewe. Alafu huyo mume wako bado huja mjua. Bado huja mtambua vizuri”

“Potelea pote, nmjue nisimjue ni mume wangu na nina mpenda kwa hali yoyote ile aliyo nayo”

“Oohoo ni hivyo. Ngoja nikuambie mume wako ni miongoni mwa walinzi wangu nilio saidiana nao katika kupindua serikali iliyo kuwa madarakani”

Nikastuka kidogo ila nikazuia kustuka kwangu.

“Kwa hiyo nikusaidieje kwa mfano kama alikusaidia wewe kuingia madarakani au kuna dhambi yeye kukusaidia?”

Jibu la Caro likanishangaza sana kwa maana sikutarajia amjibu Obote hivyo.

“Ana mpango wa kumua kaka yako pamoja na wifi yako”

“Hahaaaaa….natamani sana awaue kwa maana hata kwangu hawana faida. Una kingine unacho hitaji kuzungumza. Kama huna nikupe onyo tu, using** wa kumsingizia mume wangu kwamba sijui vimepanda vime shuka uache ndio maana wewe ni domo zege. Umeshindwa kunitongoza na ukatongozewa na kaka yangu, dhairi ina onyesha hujiwezi fala wewe”

Caro akakata simu huku uso ukiwa una ndita nyingi sana. Nikasimama na kumsogelea kwenye kiti alicho kaa na kuinama pembeni yake.

“Mke wangu tuliza jazba. Hawa ni wapumbavu na wata tufanyia visa vingi kuhakisha kwamba tuna achana.”

“Yaani nikuambie ukweli tu mume wangu. Mimi sio mwanamke mpuuzi wa kubeba kila ninacho ambiwa. Alafu namba yako ameipatia wapi?”

“Ukiuliza hivyo jiulize picha amezipatia wapi?”

“Alafu wifi kumbe alikuja kutunafkia tu?”

“Ndio maana yake”

“Ngoja nimkomeshe”

“No achana naye kwani mjinga ukimpa faida ya kwamba ume gundua ujinga wake ata zidi kupanuka kichwa. Ila wewe cha kufanya jifanye kama hujui kitu kilicho tokea, kikubwa ni kuhakikisha kwamba maisha yetu yana kwenda poa”

“Rashidi nina kupenda mume wangu”

Caro alizungumza kwa sauti ya kudeka.

“Nina kupenda pia mke wangu”

“Eti huyu fala ana sema kwamba wewe ni mlinzi wake ume msaidia kuingia ikulu, kweli ana akili?”

“Mimi ndio kwanza nime muona leo. Una jua nilistuka kidogo kumuona laiti kama nisinge kuwa nime muona alivyo kuwa ana kuvisha pete, haki ya Mungu leo ninge zima simu siku nzima”

Nilizungumza kwa kujiamini kwa maana nina tambua kwamba Obote hana ushahidi wa kumdhibitishia Caro kwamba mimi nilikuwa mlinzi wake kwani katika kipindi chote nilicho kuwa na Obote nilikwepa kupiga picha ya aina yoyote ile na wala kusimama kwenye mkanda wowote wa video.

“Ila mume wangu inabiidi nikufundishe kitu”

“Unifundishe kitu gani?”

“Kupigana kwa maana natambua kwamba una weza kupigana labda kimtaani mtaani. Inabidi nikufundishe kupigana ki professional na nikufundishe kutimia bastola kwa maana siku ya siku wana kubumia peke yako. Ujue wata kuteka hivi hivi una jiona”

“Ni kweli mke wangu hapo ume zungumza jambo la maana.”

“Yaa binadamu bwana sisi hatuna maana. Kama wamekutisha hivyo ujue kinacho fwata ni utekelezaji. Hivyo hatutambui utekelezaji wao ata kufanya kwa njia gani”

“Nime kuelewa mke wangu. Basi ngoja niondoke uendelee na majukumu ya kujenga taifa”

“Sawa mume wangu. Kuwa makini, au nikupe kijana wa kukulinda?”

“Hapana”

“Baby”

“Yaa usijali kwenye hili mke wangu”

“Sawa, ratiba yako leo ina semaje?

“Mmmm nina mizunguko kwa wateja wangu. Kisha nita rudi nyumbani”

“Sawa mume wangu tuta wasiliana”

“Poa”

Tukanyonyana denda na Caro kisha akanisindikiza hadi kwenye gari na nikaondoka makao makuu ya jengo.

‘Obote mbona una ingia kwenye vita ambayo sijakusudia uingie?’

Nilizungumza kimoyo moyo huku taswira ya Obote ikinitawala kichwani mwangu.

‘Au una taka kufa ili nipate lawama kwa Wacongo wezako?’

‘Ila dawa yako ina chemka’

Askari mmoja wa usalama barabarani(trafki) akanisimamisha na taratibu nikasimamisha gari pembezoni mwa barabara. Nikamuangalia kwenye kioo cha pembeni jinsi anavyo kuja. Taratibu nika fungua kioo.

“Habari yako chief”

Nilimsaimia askari huyu huku nikiwa nimejawa na tabasamu la furaha usoni mwangu.

“Shuka kwenye gari?”

“Kwa kosa gani boss?”

“Nimekuambia shuka kwenye gari?”

Askari huyu alizungumza kwa ukali, nikamtazama kwa sekunde kadhaa kisha nika shuka ndani ya gari. Gafla akanigusa kifuani mwangu na kifaa chenye shoti iliyo nitingisha kwa sekunde kadhaa na kujikuta nikiishiwa na nguvu mwili mzima na nikaanguka chini. Ikasimama gari nyeusi aina ya Toyota Voxy. Wakashuka watu wanne walio valia nguo nyeusi na miwani nyeusi.

“Ni wakwenu sasa”

Askari huyu alizungumza huku wakiwa wamenizuka. Hali ya ukungu ikaanza kutawala machoni mwangu na kushindwa kuwaona vizuri watu hawa. Nikanyanyuliwa na kuingizwa ndani ya gari na kia jinsi dakika zinavyo yoyoma ndivyo jinsi ninavyo jikuta nikiishiwa na uwezo wangu wa kuona.

“Mkuu ana hamu naye sana huyu”

Nilisikai sauti ya mwanaume ikizungumza nikafumbua macho kidogo na kujiona bado nipo ndani ya gari n anime kalishwa katikati ya wanaume wawili, mmoja kulia na mwengine kushoto kwangu. Wanaume wawili wamekaa siti ya mbele huku mmoja akiwa ndio dereva.

“Sasa ame mfanya nini mkuu?”

Dereva aliuliza swali hilo huku wote wakiwa bado hawajastuka kwamba nime zinduka. Mikononi mwangu wamenifunga na saltape ngumu, walio izungusha mara kadhaa huku mdomoni mwangu wakiwa wame izungusha saldtape hiyo ili kunizuia kupiga kelele.

“Hilo swali umuulize mkuu mwenyewe aise”

“Ila mkuu leo ana kwenda kumtafuna mbichi mbichi kwa maana ana onekana ana hasira sana.”

Nikatuliza akili yangu huku nikisikilizia jinsi gari hili linavyo kwenda. Utulivu wangu ukanisaidia kutambua kwamba hii gari ina endeshwa kwa spidi zaidi ya mia na kumi”

‘Mkuu wao ni nani?’

Nilijiuliza haraka haraka kwa maana sasa hivi nina maadui wawili, raisi ibarim na raisi Obote. Ila lafudhi yao hawa jamaa sio Wacongo kabisa. Nikaendelea kuinamisha kichwa chini huku nikipiga mahesabu, nisababishe vurugu ndani ya gari au nisubiri kufika kwa mkuu wao.

‘Nikifika kwa mkuu wao kweli nina weza kuchemshwa supu kama wanavyo sema’

Nilijishauri kichwani mwangu huku nikiendelea kujikausha kimya.

‘Ila ngoja nifike ni heri sana kumtambua mkuu wao.’

Baada ya kama nusu saa, tukafika katika shamba kubwa sana lililo jaa mahindi marefu. Gari hii ikasimama kwenye nyumba nzuri ya mbao iliyo jengwa eneo hili. Wakanishusha na katika eneo hili nikaona gari tatu za walinzi wa ikulu na moja kwa moja nikatambua kwamba aliye niteka ni raisi Ibrahim ndio maana kwa kutumia njia ya kumsimamishwa na trafki ilikuwa rahisi sana kwao kunipata.

Wakanishusha kwenye gari huku mmoja akiwa amenishika bega la kulia na mwengine bega la kushoto na nikaendelea kujilegeza huku nikiendelea kusoma mazingira ya eneo hili kwa umakini sana. Nikaingizwa ndani hapa na kubwagwa chini.

“Bado hajazinduka”

Nikastuka kimoyo moyo mara baada ya kusikia sauti ya mama Shamsa.

“Ndio mkuu”

“Mwagieni maji ya baridi aamke na simu yake ipo wapi?”

“Hii hapa mkuu, nime izima kuhofia kutafutwa na mpenzi wake’

“Leo ndio siku ambayo ata nijua mimi ni shetani au laa. Siwezi kuona mtu ana nivunjia familia yangu alafu nika mchekea chekea”

Mama Shamsa alizungumza kwa kujiamini na inavyo onyesha alikuwa ameweka vijana wa kunifwatilia nyendo zangu toka pale nilipo toka asubuhi nyumbani kwangu. Nikamwagiwa maji ya baridi sana na nikajifanya kuzinduka huku kama mtu mwenye mawenge.

“Nipo wapi nipo wapi?”

Nilijidai kubabaika.

“Hahahahahaaaaaaaaa karibu sana Rashidi kwenye kaburi lako”

Mama Shamsa alizungumza huku mkononi mwake akiwa ameshika glasi ya wyne.Nikamtazama kuanzia juu hadi chini jinsi alivyo valia suruali nyeusi, tisheti nyeusi, kofia nyeusi na buti nyeusi. Nikatazama eneo hili na kuona walinzi kama kumi hivi wakiwa wamesimama maeneo tofuati tofauti.

“Jana nilikuahidi kwamba nita kuua na leo nina kamilisha ahadi yangu ya kuua?”

“Kwa kosa gani lakini?”

“Mimi ni mtu nisiye penda kuteseka Rashidi. Ume niumizia mume wangu mpaka leo ana shindwa kufanya kazi vizuri kwa ajili yako. Ila kutokana mimi jemedari wake nipo hapa basi ameniachia hii kazi niweze kuifanya. Mpigisheni magoti”

Walinzi wawili wakanipigishaa magoti kilazima

“Mimi ni mtu ambaye ninapo zungumza maneno yangu huwa hayaanguki chini. Naombeni vifaa vyangu”

Mlinzi mmoja akaleta brufacase nyeusi, akaifungua na mama Shamsa akaanza kutoa gloves nyeusi na kuvaa viganjani mwake.

“Leo nina taka uwe chakula cha mamba wangu. Nina hitaji kukukata kata vipande vipande ili uwe msosi mzuri sana kwao”

Mama Shamsa alizungumza huku akichukua miwani kubwa nyeupe na akaivaa usoni mwake. Akatoa kishoka kidogo kwenye brufcase hiyo iliyo shikwa na mlinzi wake, akatoa na kisu kikubwa na akaanza kuvigongesha gongesha kama ana vinoa.

“Hivi una jua ni kwa nini nina kukata kata vipande?”

Nikatingisha kichwa huku nikitazama jinsi walinzi hawa walivyo kaa.

“Kwa sababu nahitaji ukanisalimie huko kuzimu kwamba duniani ulimchokoza malikia wa shetani”

“Kweli?”

“Ndio, shetani mimi ni baba yangu na mimi ni mwanaye”

Mama Shamsa alizungumza huku akinisogelea taratibu. Akasimaam mita mbili kutoka nilipo piga magoti.

“Nianze na sikio, pua, kidole au nikutumbue mijicho yako hiyo?”

Mama Shamsa alizungumza kwa sharua kubwa sana.

“Njoo nikunong’oneze”

“Mmm hutaki walinzi wangu wasikie kwamba ni nini nianze nacho?”

“Ndio”

Mama Shamsa akawatazama walinzi wake walipo nyuma yangu. Taratibu akainama ili kunisikiliza, nikamtandika kichwa kizito cha uso na akaanguka chini. Nikajigeuza kwa kasi ya ajabu ambayo hata walinzi walipo nyuma yangu hawakuitarajia, nikawapiga mitama na wakaanguka chini. Nikakiwahi kisu kilicho anguka, nikabingirika kama gurumumu la gari huku nikikata saltape hii niliyo fungwa mikononi mwangu. Nikanyanyuka kwa kasi huku walinzi wakisosogelea kwa ajili ya kupambana na mimi. Mlinzi mmoja akarusha teke, nilikwepa na nikakita kisu cha shingoni mwake na akaanguka chini. Mlinzi wa upande wa kulia kwangu a kachomoa bastola kiunoni mwake, kabla haja ishika vizuri nikaipiga teke ikaruka hewani, nikaifwata hewani kwa kuruka sarakasi moja kali na nikaidaka, hadi nina tua chini kwa miguu yangu miwili tayari nimesha ikoki na nilicho kifanya ni kufyatua risasi mfulizo kwa walinzi walio mzuguka mama Shamsa.

Kitu ambacho walinzi na mkuu wao wamekikosae ni kwamba hawakujua maisha yangu ya nyuma kaba ya hili tukio nilipita wapi na wapi, ndio maana walijiamini kwa wingi wao. Nikamvaa mama Shamsa na kuzunguka nyuma yake na kumpiga kabali huku nikimuwekea bastola ya kichwa na walinzi sita walio bakia wakabaki na kiguumizi cha kunishambulia huku wakiwa wameninyooshea bastola zao.

“Mimi ndio shetani uliye kuwa una una muadithia hapa hivyo ume ingia choo cha wahuni ukiwa na bikra”

Nilizungumza huku jasho likinimwagika mwili mwangu kwa maana tukio nililo lifanya lime chukua kama dakika tatu hadi nne.

“Weka bastola yako chini”

Mlinzi mmoja alizungumza huku akitetemeka kwa maana mambo yamekuwa sio mambo hususani kwa upande wao.

“Mukiniua muna muua utamu wa raisi wenu”

“Ra…shi…id….i naomba tuzungumze”

“Kaa kimya malaya wewe”

“N….i…i…ambie una taka nini?”

Mama Shamsa alizungumza huku akilia kwa uchungu sana. Nikawatazama walinzi hawa, kwa shambulizi la gafla nikawapiga risasi wote sita na mama Shamsa akashuhudia jinsi walinzi wake wanavyo kufa, nikamsukumiza chini na akaanguka huku akitetemeka.

“Ra..sh…idi usiniue mpenzi wangu”

Mama Shamsa alitetemeka.

“Nilikuambia kama ningetaka kukuua siku nyingi ninge kuu. Sasa leo nataka kukuonyesha kwamba mimi ni mbwa, mtoto niliye zaliwa uswahili na niliye miliki genge la wahuni na kuliongoza nikiwa na miaka sita tu, fala wewe. Nipe simu yangu”

Mama Shamsa akatoa simu yangu mfukoni, nikaiwasha huku nikimtazama usoni mwake. Nikampa ishara ya kusimama, taratibu akasimama huku akitetemeka. Kwa umakini mkubwa nikausogela mlango na kuufunga kwa ndani.

“Kaa hapo kwenye sofa”

Mama Shamsa akatii kwa maana nina muamrisha kwa ukali sana. Nikaokota bastola ya mlinzi mmoja na nikanza kuzipiga maiti hizi risasi za vichwa ili kama kuna ambaye hajakufa basi afe kabisa. Mama Shamsa woga ukazidi kumtawala.

“Simama”

Mama Shamsa akatii.

“Vua nguo zako”

Taratibu mama Shamsa akaanza kuvua nguo zake huku akitetemeka. Nikawasha simu yangu na kuweka upande wa kamera. Nikamgeuza na kumbong’olesha kwenye sofa hili. Nikavua suruali yangu huku jogoo wangu akiwa amesimama hadi ana nesa nesa mithili ya atena inayo pambana na upepo mkali.

“Rashi…di unataka kufanya nini?”

Mama Shamsa alizungumza huku akilia kwa uchungu sana. Nikamsokomea jogoo wangu wote ndani ya kitumbua chake na kuanza kukitafuna huku nikirekodi tukio hili na kuionyesha sura yake.

“Mumeo ana kutomb** kama hivi?”

Nilimuuliza mama Shamsa huku nikimgusa kwenye sehemu ambazo nina zijulia, kilio chake halisi kikabadilika na kuwa kilio cha mahaba.

“Ha…ha…pan….aa”

“Nina kutomb** vizuri?”

“N….diooo….”

Nikamchomoa jogoo wangu na kumsokomeza mkund** mwake.

“Uwiiiiiiiiiiiiiii hiii sio haki…una nifir**** jamaniiii oiiiiii”

Mama Shamsa alilia kwa uchungu sana kwa maana toka nimjue sijawahi kumuingilia kinyume na maumbile na hajawahi kufanyiwa kitendo hicho toka kuzaliwa kwake na maumivu anayo yapata hapa ni zaidi ya maumivu ya bikra niliyo mvunja. Nikazidi kurekodi kila kitu na nilipo jihisi nina karibia kuwamwaga waarabu weupe nikamuhamishia jogoo wangu katika kitumbua chake hadi waarabu weupe wote wakatoka na nika wamwaga ndani ya kitumbua chake. Taratibu nikamchomoa jogoo wangu huku nikkimsukumiza mama Shamsa katika sofa hili alilo kuwa ameinama, machozi yakazidi kumwagika. Nikakatisha video hii na nikampiga picha kadhaa akiwa uchi. Nikavaa nguo zangu kisha nikamsogelea mama Shamsa.

“Una lia nini ikiwa ume tombw** na mume wako wa ndoa. Sasa endapo uta muambia huyo mzee wako kwamba mimi ndio nime waua hawa walinzi basi nita mtumia hii video, ashuhudie jinsi nilivyo kutomb** na kukufir** na baada ya hapo uta kuwa ume potea ndoa na huto kuwa first lady wa hii nchi. Kama aliweza kumuacha mke aliye zaa naye watoto wengi basi tambua hata wewe ana weza kukuacha mama Shamsa. Mrembo wa uswahilini hadi kuwa first lady.”

Nilizungumza kwa dharau na kejeli ya hali ya juu huku nikimcheka mama Shamsa anaye lia kwa uchungu wa hasira kwani alilo kuwa amedhamiria kulifanya kwangu lime mgeukia yeye na kuwa baya kwake.



Nikaanza kukusanya bastola za walinzi wote na kuziweka kwenye prufcase hii kubwa, nikazichanyanya na kisu pamoja na kishoka ambacho mama Shamsa alipanga kunicharanga nacho kama muuza bucha.

“Naamini una weza kuvaa nguo zako na ukarudi ikulu au ukampigia mume wako na kumueleza atume walinzi wengine waje kukuchukua. Siku njema X wife”

Nikatoka ndani hapa huku nikimuacha mama Shamsa akinitazama kwa macho ya hasira. Nikaingia kwenye gari ambayo nime letwa nayo eneo hili la shamba kubwa la mahindi, kwa bahati nzuri, nikakuta funguo ikining’inia. Nikawasha gari hili na kuligeuza kwa kasi ya ajabu na kuondoka eneo hili. Nikawasha data ya sumu yangu na kwa kutimia google map, nikatambua eneo nililopo ni Morogoro vijijini.

‘Wasenge walinileta mbali hawa?’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kuongeza spidi ya gari hili katika shamba hili kubwa. Nikafanikiwa kutoka kwenye shamba hili ambalo kwa mahesabu yangu ya haraka haraka ni kama hekari mia mbili hivi. Nikaendelea kufwata barabara hii na kupita baadhi ya vijijini ambavyo nyumba zake zime jengwa kwa matofali ya kuchoma huku ni chache sana ambazo zime jengwa kwa kutumia saruji. Saa ya simu yangu ina onyesha sasa hivi ni saa nane mchana.

‘Huyu mwanamke ata nitafuta?’

Niliwaza kimoyo moyo huku nikizidi kuchanja mbuga. Nikafika katika moja ya kilima ambacho kwa chini kina korongo kubwa sana. Nikasimamisha gari hili pembezoni mwa barabara, kwani kitendo cha kuwemo ndani ya hili gari ni hatari sana kwangu. Nikafungua buti ya nyuma na kwa bahati nzuri nikakutana na galoni ya lita tano iliyo jaa mafuta ya petroli. Nikaitoa na kuanza kuyamwaga mafuta haya ndani ya siti za gari hili. Nilipo hakikisha kwamba kila kitu kime kwenda kama vile nilivyo hitaji, nikatoa moja ya bastola, nikaikoki vizuri. Uzuri wa eneo hili hakuna magari yanayo pita mara kwa mara kwa mara na hakuna makazi ya watu zaidi ya nyani, tumbili na wanyama wengine wanao kaa kwenye misitu mikubwa kama hii. Eneo ambalo nime isimamisha gari hili ni pembezoni kabisa kwa barabara hii ambapo hata nikilizukuma gari hili kwa nguvu zangu basi lina dumbukia katika korogo hili. Nikapiga risai moja kwenye siti ambayo ime jaa mafuta na taratibu gari hili likaanza kuwaka moto kwa ndani, nikaitupia ndani bastola hii pamoja na kidungu cha mafuta yaliyo salia kidogo kisha nikafunga mlango na kuisukuma kwa nguvu zangu zote na taratibu ikaanza kushuka kwenye korongo hili ambalo ni refu sana kwenda chini. Kitendo cha gari kuanza kujipigiza pigiza kwenye miti ndivyo jinsi moto wake ulivyo zidi kuongezeka na mwishowe likalipuka na kuchaguka chaguka. Nikaondoka eneo hili kwa mwendo wa kukimbia huku nikiifwata barabara hiii. Nikasikia mlio wa pikipiki ukija kwa nyuma yangu na ikanilazimu kugeuka. Nikamuona muendesha pikipiki, akipandisha kilima hihi kwa mwendo wa kasi. Nikamsimamisha na kwa bahati nzuri akakubali kusimama.

“Mambo vipi kaka”

Nilimsalimia muendesha pikipiki huyu ambaye kwa kukadiria umri wake ni kama miaka thelathini hadi thelathini na tano.

“Salama ndugu vipi?”

“Safi aisee. Una weza kunipatia lifti?”

“Una elekea wapi?”

“Mjini”

“Poa panda kwa maana nami nina elekea huko huko”

Uzuri ambao nina upenda kwa Watanzania wengi ni wakarimu na wana saidiana hata kama hawajuani ili mradi waelewane. Nikapanda kwenye pikipiki hii na safari ikaendelea.

“Una itwa nani kaka?”

Dereva huyu aliniuliza kwa sauti ya juu kidogo kwa maana upepo ni mkali sana.

“Rama”

Ilibidi kudanganya jina langu kwa maana bado simuamini mtu yoyote.

“Ohoo mimi nina itwa Jose ni mkazi wa kijiji kimoja kinaitwa Dutumi”

“Nashukuru kufahamu katika hilo”

“Karibu, wewe ni mwenyeji wa wapi?”

“Morogoro mjini”

“Sawa sawa”

Safari ikazidi kusonga mbele hadi tukafanikiwa kuingia Morogoro mjini.

“Uta niacha hapo Msavu”

“Poa poa kaka”

Dereva huyu wa pikipiki akanifikisha katika stendi ya mabasi, nikaingiza mkono mfukoni na kutoa noti ya shilingi elfu kumi na kumkabidhi.

“Ya mafuta hiyo kaka”

“Aisee asante sana”

“Asante na wewe pia”

Dereva huyu aliye valia koti kubwa la kuzuia ubaridi wa barabarani akaondoka eneo hili huku nikimtazama kwa macho jinsi anavyo tokomea kwenye barabara inayo elekea mikoa ya Dodoma na Singida. Nikashusha pumzi nyingi huku nikijichunguza kuanzia chini hadi juu.

‘Sija chafuka na sina damu’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiingia ndani ya stendi hii. Kwa bahati nzuri nikapata basi ambalo lina ondoka baada ya dakika tano, mara baada ya kukata tiketi nikaingia ndani ya basi na baada ya dakika nilizo ahidiwa basi likaondonka stendi hapa. Nikampigia simu Caro.

“Baby mambo vipi?”

“Poa mume wangu mbona nilikupigia muda fulani ulikuwa hupatikani?”

“Ooo pole mke wangu, simu ilikata chaji si una kumbuka jana sikuiweka chaji”

“Ahaa sawa, mume wangu nina elekea Morogoro vijijini kuna tukio kidogo la kiusalama limetokea”

Moyo kidogo uka nistuka.

“Tukio gani?”

“Ahaa vijana wa wifi wamevamiwa na kuuwawa”

“Mungu wangu je na yeye?”

“Yeye yupo salama, nime ongea naye kama dakika mbili hivi ana lia tu”

“Aisee”

“Ndio hivyo nina elekea kupanda helicopter kueleka huko kwani tayari kuna vijana wengine wamesha elekea eneo la tukio”

“Sawa mke wangu safari njema”

“Nashukuru mume wangu. I love you”

“I love you too”

Nikakata simu na kushusha pumzi taratibu. Mzee niliye kaa naye siti ya pembeni akanitazama kwa macho ya kuiba hadi nikajistukia na kujikuta nikimsalimia.

“Marahaba”

Baada ya masaa manne na dakika zake tukafika jijini Dar es Salaam, nikashuka stendi ya mabasi, nikakodisha bodaboda na kuelekea hadi katika eneo ambalo nilisimamishwa na trafki na kitu cha kushangaza nikalikuta gari langu.

‘Ina maana yule alikuwa ni trafki feki au?’

Nilijiuliza kimoyo moyo huku nikilichunguza gari hili, kisha nikaingia ndani ya gari na moja kwa moja nikaeleka hadi nyumbani kwangu. Nikapitiliza hadi bafuni, nikaoga kisha nguo hizi nikaziweka kwenye pipa la kuchomea taka, nikazimwagia mafuta ya taa na kuzichoma zote. Nilipo hakikisha kwamba kila kitu kipo vizzuri, nikahamisha video na picha zote nilizo mpiga mama Shamsa na kuziweka katika laptop yangu na nikazifuta kwenye simu yangu. Nikaziweka picha na video hii katika faili la mtandoa ambalo hakuna mtu yoyote atakaye ziona na hata laptop ikiharibika nina weza kuzipata muda wowote na sehemu yoyote.

‘Ila nilicho mfanyia mama Shamsa sio haki’

Niliwaza kichwani mwangu

‘Ila naye alicho nifanyia sio haki bwana. Aliniharibia maisha yangu n anime kpoteza malengo mengi sana kwenye maisha haya’

Niliwaza huku pich ya tukio zima zikijirudia rudia kichwani mwangu hadi usingizi ukanipitia. Gafla nikastuka mara baada ya kuhisi kitu kilaini kikinichezea sikioni mwangu.

“Hahaaa baby ni mimi”

Caro alizungumza huku akicheka kwa furaha.

“Aisee ume nistua”

“Pole mume wangu, pole kwa kulala’

“Asante vipi za kazi”

“Salama kwa upande mmoja na upande mwengine sio salama”

“Kwa nini?”

“Walinzi kumi wa wifi wameuwawa”

“Weee wame uwawa!!?”

Nilijifanya kushangaa huku nikimtazama Caro usoni mwake.

“Ndio, alikuwa shambani kwa kaka huko Morogoro vijijini. Sasa wakavamiwa na wauaji walio valia maksi kwenye nyuso zao na kuwashambulia walinzi wote na yeye alifichwa kwenye handaki ambalo wauaji hao hawakuweza kumuona na hiyo ndio pona pona yake la sivyo na yeye angeuwawa.”

“Masikini weee ana hali gani sasa?”

Niliuliza kiunafiki tu huku moyoni nikiwa na furaha kwa maana stori aliyo itengeneza mama Shamsa kwa kweli ime niweka mbali na kesi hiyo.

“Ni mstuko tu ndio ameupata, hapo daktari wa saikolojia kidogo ana jaribu kumuweka sawa kwa maana kama mtu huja wahi kukutana na tuko kama lile alafu ukakutana nalo ni jambo la kukusizisha kidogo.”

“Aisee poleni sana?”

“Ahaa ndio hivyo tumesha poa. Wavamizi hao wana onyesha kwamba walikuwa wana hitaji salaha, kwani hatujakuta silaha hata moja na pia magari mawili tuliyo yakuta kwenye eneo hilo yamechomwa moto.

‘Mmmm hilo nalo jipya’

Nilizungumza kimoyo moyo kwa maana gari nililo ondoka nalo ni moja na niliyo yaacha hapo sikuyachoma moto.

‘Ina maana ata kuwa amejitengenezea mazingira mwenyewe. Hahaaa huyu mwanamke kweli mafia, Rashidi ina bidi nijipange kwa maana hawezi kukaa kizembe zemba ni lazizma ata fanya jambo tu.’

Nilizungumza huku nikimtazama Caro usoni mwake.

“Aisee mpe pole sana?”

“Ahaa nimesha”

“Sasa huko shambani alikwenda kufwata nini ikiwa yeye ni mtu mkubwa, mke wa raisi hapaswi kutembea tembea hivyo”

“Huwa ni mara kwa mara wana kwenda shambani kule kufwatilia mazoa yao. Ila tuachane na hizo habari, acha wapambane na hali zoa kwa maana malipo ni hapa hapa duniani. Wlalikupiga na kukunyanyapaa sasa wana isoma namba”

“Ila ni familia yako?”

“Hata kama ila sio kwa kile walicho kufanyia wao”

Caro akavua nguo zake na kubaki na nguo zake za ndani. Akapanda kitandani hapa huku akianza uchokozi wa kumshika jogoo wangu, ambaye ni kama Israel mtoa roho kwani uki m’beep tu ana kupigia.

“Usinyanyuke leo nataka kumkali”

Caro alizungumza huku akimkalia jogoo wangu na kuanza kujihudumia hadi sote kwa pamoja tukamaliza mtanange huu huku tukiwa tume jawa na furaha na amani kubwa sana.

Miezi miwili ikapita huku penzi kati yangu na Caro likizidi kuchanua. Kitu cha pekee ambacho kwangu nina kifanya ni kuhakikisha kwamba moyo wangu wote siutoi kwa mwanamke huyu kwani nina mtumia kwa ajili ya kufanikisha baadhi ya mambo yangu.

“Una uhakika kweli tume itwa kwa wema?”

Nilimuuliza Caro mara baada ya kunieleza kwamba jioni ya siku ya leo kaka yake ame tuita ikulu.

“Ndio n anime mueleza ule upumbavu alio ufanya sinto penda ujitokeze tena kwetu”

“Asije akanidhuru”

“Usiwe na wasiwasi mume wnagu hawezi kukudhuru”

“Sawa”

Jioni ikawadia, tukajiandaa na kuelekea ikulu, tukakaribishwa na kaka yake nyumbani kwake.

“Wifi yupo wapi?”

Caro aliuliza mara baada ya kusalimiana na kaka yake.

“Amepumzika”

“Ana umwa?”

“Uchovu wa hapa na pale. Vipi kijana?”

Raisi Ibrahim alinisalimia kwa furaha ambayo sijui nyuma yake ina maana gani.

“Nashukuru”

“Kwanza nipende kuwaomba radhi kwa kila jamboa mbalo lilitokea ile siku kwa maana kama munavyo fahamu. Muungwana ni yule anaye tambua kosa lake na kuliombea msamaha. Natambu nilimtuma mke wangu kipenzi na hamkupata solution yoyote juu ya lile tukio, ndio maana nikaona niwape muda, hasira zipungue kisha ndio tukutane na kuzungumza”

Raisi Ibrahim alizungumza huku akijichekesha chekesha.

“Asante kwa hilo kaka. Mimi na mume wangu tulisha kusamehe siku nyingi.”

“Mbona una msemea mume wako, acha azungumze mwenyewe”

“Ahaa mimi nime kusemehe mkuu”

“Karibu sana kwenye familia yangu”

“Nashukuru”

”Caro”

“Bee kaka”

“Nina habari njema na nzuri”

“Habari gani?”

“Una kwenda kuwa shangazi kwa mara nyingine. Wifi yako ni mjamzito wa miezi miwili na siku kadhaa”

“Weeee”

“Ndio maana nina furaha kubwa sana”

Nikaanza kupiga mahesabu ya haraka haraka toka siku niliyo mbaka mama Shamsa hadi leo ni miezi miwili.

“Hongera sana kaka”

“Nashukuru sana mdogo wangu. Huyu mtoto akizaliwa sasa hivi nina hitaji umpatie jina wewe”

“Kweli kaka?”

Caro aliuliza kwa furaha kubwa sana.

“Ndio”

“Wooo nita shukuru sana kaka”

“Shemeji hongera”

“Asante bwana mdogo, ngoja nikamuamshe mama kijacho japo tupate chakula cha usiku pamoja.”

“Sawa”

Raisi Ibrahim akaondoka eneo hili na kutuacha sebleni.

“Mume wangu ina bidi na mimi nikubebe ujauzito sasa. Kesho ina bidi nikatoe hichi kijiti”

“Ukatoe kijiti gani?”

“Ohoo samahani mume wnagu sikukuambia. Nina kijiti hapa cha kuzuia ujauzito, si unajua kazi yangu hii”

Nikamtazama Caro kwa skeunde kadhaa kwani siku zote nime kuwa nikipiga mechi za kibabe ila mwenzangu hajawahi hata kupata dalili ya kutapika wala kula maembe mabichi.

“Samahani mume wangu, naona una nitazama kwa jicho kali”

“Poa”

Raisi akarudi sebleni hapa huku akiwa ameongozana na mama Shamsa, akanitazama machoni mwangu kwa macho ya kuiba iba. Wakakaa kwenye sofa wanalo penda kukaa. Sasa hapa ndipo nikaanza kugundua furaha ya raisi na mualiko wake huu ni kuja kunitambia kwamba mke wangu wazamani ameweza kumpachika mimba.

‘Mzee mseng** kweli huyu’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama jinisi anavyo kilaza kichwa cha mke wake katika bege la upande wake wa kushoto. Tukasalimiana na mama Shamsa.

“Wifi ume nenepa au ndio mimba?”

“Nina mlisha mapocho pocho, si una jua ni mke wangu kipenzi na atanizalia mtoto mzuri katika kipindhi hichi nikiwa madarakani”

“Hongereni sana nami na mke wangu, tupo mbioni kutafuta mtoto”

Nami nilizungumza ili kama ni kupenyeza maumivu nipenyeze na kwao pia.

“Ila bwana mdogo inge bidi mufunge ndoa aisee ndio muzae. Caro si una kumbuka hilo?”

“Ndio kaka nina kumbuka”

“Mwanaume mzuri ni yule anaye tumia pesa kuhakikisha ana yatimiza majukumu yake na moja wapo ni kumuoa mke wake ili wakizaa watoto basi wazae ndani ya ndoa.”

Raisi alizungumza kwa majigambo yaliyo nifanya nikereke sana.

“Mwanaume mzuri ni yule anaye hakikisha kwamba ana mpata mwanamke yoyote anaye muhitaji kwenye maisha yake, iwe ni mke wa mtu, au ni nani ila ana tumia kila njia kuhakikisha ana mpata au una semaje bwana mdogo?”

Kauli ya raisi ikanifanya nitabasamu huku ikipitisha maumivu makali sana moyoni mwangu kwani anacho kizungumza hapa kina nihusu mimi.

“Ni kweli ila hapo kwa mke wa mtu shemeji naona kama ni kosa kumuiba na ukitegemea mume wake ndio aliye mtoa bikra mke wake, sasa wewe ukimuiba kwa kutumia pesa ni sawa na kula makombo walio acha wengine na pia ana weza akawa amefwata pesa kwako tu na moyo upo upande wa pili kwa ina weza kupelekea makaburi siku moyo yakafufuliwa na usishangae siku moja kwenye kufukua huko makaburi wakapata dhahabu alafu ukajinadi ni yako kumbe sio yako”

Maneno yangu yakamfanya mama Shamsa kunyanyua kichwa chake kutoka begani mwa mume wake na kunitazama kwa macho makali na yaliyo jaa hasira kiasi cha kutufanya sote watatu kutambua kwamba amekasirika.



“Muna nipigia makelele bwana”

Mama Shamsa alizungumza kwa ukali huku akiwa katika hali yake ya kukasirika.

“Ahaa samahani mke wangu. Caro tujumuike kwa pamoja mezani”

“Mimi sijisikii kula nina kwenda kulala”

Mama Shamsa alizungumza huku akinyanyuka kwenye sofa alilo kalia na kuondoka sebleni hapa.

“Msameheni kwa maana katika kipindi kama hichi huwa ana kuwa ni mtu wa hasira sana”

Raisi alizungumza kwa sauti ya upole huku akitabasamu pasipo sababu.

“Najua kaka, si hata shemeji Win naye si alikuwa hivi alivyo kuwa na mimba ya Patrick”

“Usimtaje Win hapa”

“Ila kaka Win ni mke wako pia na kina Prick ni wanao. Hata kama mumepeana talaka haiwezi badilisha uhusiano wa wazizi ulipo kati yenu”

“Twendeni tukale”

Raisi Ibrahim alizungumza huku akielekea eneo lenye meza ya chakula. Tukajumuika kwa pamoja na kunza kupata chakula hichi cha usiku. Simu ya Caro ikaanza kuita, akaitazama kidogo kisha akanyanyuka na kuelekea chumbani kwa ajili ya kuzungumza na anaye mpigia na hii sio mara ya kwanza kumshuhudia akifanya hivi na hali hii nimesha izoea kwa Caro kwani simu zake nyingine ni za kazini kwake na sipaswi kusikia anacho kizungumza.

“Bwana mdogo usione nimekukenulia macho ukahisi kama nina kupenda. Yaani lazima utajichanganya na utaingia kwenye kumi na nane zangu. Yaani hata mpenzi wako hato weza kukuoa”

“Sawa, naisubiria hiyo siku kwa maana kabla ya kuniua ni lazima niache mbegu katika famiia yako”

“Una maanisha nini?”

“Wewe ni raisi, una shindwa kuwaza nje ya boksi?”

Raisi Ibrahim akanitazama machoni mwangu. Caro akarudi na kukaa kwenye kiti chake.

“Kuna dharura ime tokea kaka tuna hitajika”

“Nini tena?”

“Uta fahamu kwenye commanding room. Mume wangu kuna dharura ya kinchi ime tokea, uta tusaemehe endelea kula hapa acha sisi twende”

“Sawa”

Akaingia mzee mwenye mvi nyingi kichwani mwake, akamnong’oneza raisi na akanyanyuka kwa haraka.

“Baby naomba niende home”

“No nisubirie mume wnagu”

Caro akanibusu mdomoni mwangu na akaondoka ndani hapa na kumfwata raisi na mzee huyo walipo elekea na nikabaki na wafanyakazi wawili wa hapa ndani ambao wakati wote tuna endelea kula, walikuwa pembeni ya meza hii wakisubiria kuagizwa chochote tutakacho hitaji. Nikamalizia kula, nikanawa mikono na kurudi sebleni.

“Samahani dada kuna games humu ndani?”

“Ndio, ipo PS4”

“Naomba uniwashie”

Mwana dada huyu mrefu kiasi na mwembamba akawasha tv.

“Una hitaji kucheza game gani?”

“Naomba nichague mwenyewe”

Mwanadada huyu akanikabidhi pad ya game hii. Nikatazama game zilizo hifadhiwa na nikaanza kucheza game iitwayo Call of Duty. Nikiwa katikati ya kujiburudisha mama Shamsa akafika sebleni hapa.

“Naombeni mutupishe”

Mama Shamsa aliwaambia wasichana hawa na wakaondoka na kutuacha peke yetu. Nikasimamisha game hii na kukunja nne.

“Nina kuchukia”

Mama Shamsa alizungumza kwa sauti ya upole huku akinikazia macho.

“Mimi nina kuchukia mara mia moja zaidi ya wewe unavyo nichukia. Vipi huyo kijacho ni wa huyu joka la kibisa?”

Nilimuuliza mama Shamsa kwa dharau kidogo huku nikimtazama kwa macho ya kumdadisi. Akakunja ngumi katika viganja vyake huku akitetemeka mwili mzima.

“Mume wangu ni mwanaume jasiri, mwanaume anaye weza kunitosheleza kwa kila kitu, kuanzia pesa hadi kitandani isije siku hata moja uka waza au kufikiria kwamba ana shindwa kunipatia mimba”

“Hahahahaaa….huu ndio ule usemi wa vibabu vina penda mademu zetu, mapenzi havijui vimechokaaaa hahahaaa”

Mama Shamsa akazidi kukunja uso wake huku akitamani kunivamia na kunifanya chochote kibaya. Akavuta pumzi nyingi huku akinikazia macho.

“Unakumbuka ulivyo kuwa na mimba ya Shamsa ulikuwa ni mtu ni mtu wa kukasirika kasirika kama hivyo. Naamini kwamba huyo bwana aliyopo humo tumboni ni mali yangu”

Mama Shamsa kwa hasira akanirushia kimto kidogo, kisha akasimama na kuondona sebleni hapa na kuniacha nikicheka kwa dharua kwani dawa ya moto ni moto. Nikaendelea kucheza game kwa lisaa moja, Caro akarudi ndani hapa.

“Vipi?”

“Ahaa kazi hizi jamani, zina chosha sana mume wangu. Tuondoke”

“Kuna nini?”

“Tutazungumza ndani ya gari.”

Tukaoondoka sebleni hapa, tukaingia ndani ya gari na safari ya kurudi nyumbani ikaanza.

“Kuna meli yetu moja ya kijeshi ime vamiwa bwana”

Caro alizungumza kwa sauti ya unyonge huku akinitazama usoni mwangu.

“Imevamiwa na nani?”

“Kuna magaidi hadi sasa hivi hatujajua ni kina nani wame ivamia, wanajeshi wengi wame uwawa”

“Aisee sasa ina kuwaje?”

“Hapa nina kwenda nyumbani kupumzika japo masaa mawili kisha nirudi, kwani tumesha panga namna ya oparesheni ya kwenda kuikomboa meli hiyo itakavyo fanyika.

“Duu”

“Yaani hapa vichwa vya watu vina pata moto balaa”

“Sasa ilikuwaje wakaiteka?”

“Yaani hadi sasa hivi hakuna anaye jua ni jinsi gani ime tekwa. Ila hilo la meli kutekwa hatuhitaji kulifahamu. Tunacho hitaji kukifanya sasa hivi ni kuhakikisha kwamba, wanajeshi walio shikiliwa mateka wana kuombolewa na meli ina kombolewa kwa maana ina silaha nyingi sana”

“Mume gudua watekaji wana asili ya wapo?”

“Wamefunika nyuso zao na hatujio ni wa nchi gani. Ila wamevalia mavazi ya jeshi la Tanzania hivyo tuna hisi walichanganyikana na wanajeshi wa Tanzania pasipo wao wenyewe kujijua kwa maana katika meli za kijeshi wana weza kuwa hadi wanajeshi mia nane. HIvyo ni ngumu sana wanajeshi kufahamiana kwa sura, kinacho wafanya wajuane ni mavazi yao”

“Magaidi hao hawajaomba kitu chohote?”

“Hadi nina ondoka hawakuomba kitu chochote”

“Mmmm hiyo nayo ni shuhuli”

Simu ya Caro ikaanza kuita, akaitoa mfukoni mwake na kuipokea.

“Ndio”

“Nini!!?”

Caro alizungumza kwa mshangao mkubwa sana huku akinitazama.

“Haiwezekani?”

“Wamemjuaje?”

“Poa nitumieni hiyo video”

Caro akakata simu huku akinitazama kwa macho yaliyo jaa wasiwasi.

“Kuna nini mke wangu”

“Simamisha gari Rashidi”

“Kuna nini?”

“Wewe simamisha”

Taratibu nikapunguza mwendo wa gari na nikalisimamisha pembezoni mwa barabara.

“Watekaji wana kuhitaji wewe”

“Mimi?”

“Ndio”

Nikajawa na mstuko huku nikimtazama Caro machoni mwake. Caro akaifungua video hiyo aliyo tumiwa.

“Tumeteka meli hii kwa sababu ya mtu mmoja. Tuna muhitaji mtu wetu Rashidi Pinda, la sivyo kila baada ya lisaa moja tuta ua wanajeshi wawili na tuna anza na hawa”

Tukastuka sana mara baada ya wanajeshi wawili walio pigishwa magoti huku wakiwa wamefungwa kamba kwa nyuma, mikononi mwao wakipigwa risasi za vichwa na kufariki. Mwili mzima ukanitetemeka kwa woga kwa maana magaidi hawa siwajui ni kina nani na wala sifahamu ni wapi wametokea.

“Rashidi mpenzi wangu. Niambie ukweli una mabusiano gani na hawa watu?”

“S…ijui….i chochote mke wangu”

Nilizungumza huku nikitetemeka.

“Kama huyui chochote, ina kuwaje wana kuhitaji wewe, kwa nini wana ua wanajeshi wasio na hatia kwa ajili yako. Hembu niweka wazi Rashidi wewe ni nani haswa?”

Caro alizungumza kwa msisitizo na kwa sauti ambayo siku hata moja hajawahi kuniongelea kwani ana onyesha yupo seeiuos na amehama kabisa katika hisia za kmapenzi.

“Sijui mke wangu. Kumbuka nina maadui wawili hapa. Kaka yako pamoja na raisi wa DRC”

“So una taka kuniambia kwamba wana weza kupanga mapnago mbaya kama huu, tena wa kuua wanajeshi ehee? Kwa nini wasimulizie mtu yoyote zaidi yako. Rashidi una nificha kitu gani wewe, niambie”

Caro alizidi kufoka kiasi cha kuanza kunibadilikia.

“Sina cha kukuambia mke wangu”

Caro akatoa bastola chini ya siti aliyo kalian a akanitooshea usoni mwangu.

“Sijawahi kufanya uzembe juu ya nchi yangu. Hata kama nina kupenda vipi nita kufumua Ubongo, niambie wewe ni nani haswa?”

Caro alizungumza kwa msisitizio huku meno yake yakisagana sagana kwa hasira. Nikafumba macho huku nikishusha pumzi nzito.

“Una hitaji kunia, niue ila mimi hao watu siwafahamu mke wangu”

Nilizungumza kwa sauti ya upole huku nikijifanya kutetemeka mwili wangu. Caro akaminya minya simu yake kidogo kisha akaiwaka sikioni mwake.

“Ninaomba full detail za Rashidi Pinda, pia itrack simu yangu na tuma vijana hapa tulipo”

Caro mara baada ya kuzungumza maneno hayo akakata simu huku akiendelea kuniyooshea bastola.

“Caro ni kitu gani una fanya mke wangu. Mimi mbona sio huyo unaye mfikiria?

Nilizungumza huku machozi yakinimwagika usoni mwangu.

“Rashidi, nime zaliwa na nimeua watu wengi na wengine walinitomv** na nikawaua. Kukaa kwenye hii nafasi niliyopo sikuwekwa tu kwa kujuana. Nilikaa kutokana na uwezo wangu, tumekutana hotelini, sijui background yako ya nyuma. Sasa leo nina hitaji unieleze maisha yako ya ukweli A hadi Z la sivyo nina kuua”

‘Sijui nimfanye kitu kibaya huyu mpuzi, ananichukulia poa tu’

Niliwaza kichwani mwangu huku nikimtazama Caro jinsi alivyo ishika bastola yake aliyo ilengesha kichwani mwake.

“Zungumza”

“Niongee nini ikiwa nilisha kueleza kila kitu”

“RASHIDI SITANIII, NITAKUUUAAA”

Caro akapayuka kwa sauti kali sana na kwa bahati nzuri, sauti haiwezi kutoka ndani ya gari. Caro akaipokea simu yake huku akinitazama kwa umakini sana na kuiweka loud speaker simu yake.

“Mkuu nime pata detaul za Rashidi Pinda”

“Sawa, endelea”

“Ni mtanzania na amepata elimu yake katika shule ya msingi Temboni na amesoma sekondari Jangwani hadi form two na ameacha shule na hakuna details zozote kuanzia hapo”

“Tafuta detail zake nyingine, huo ni upuuzi tu”

Caro alizungumza kwa kufoka sana. Nikaona gari tatu zinazo piga ving’ora zikisimama eneo lilipo gari letu.

“Nyoosha mikono yako juu”

Caro aliniamrisha na nikatii amri yake.

“Fungua mlango na ushuke”

“Ila mke wangu mbona una nibadilikia hivi”

“Sitaki kusikia upumbavu wewe”

“Sawa, najua una nihisi vibaya, ila tambua kwamba mimi ni mtu mwema. Hili unalo nifanyia ipo siku utalijutia”

“Sina majuto kwa mtu mpuuzi”

Caro alizungumza kwa kujiamini na taratibu nikashuka kwenye gari hili huku naye akishuka.

“Mfugeni pingu”

Caro akawapa amri vijana wake wawili na wakaizungusha mikono yangu kwa nyuma na kunifunga pingu.

“Caro naomba nikuambie jambo”

“Sina muda wa kusikiliza upuuzi wowote. Muingizeni kwenye gari na mumpeleke sehemu sahihi, wewe niendeshe kichwa changu kimesha vurugika”

Vijana hawa wakainiingiza kwenye gari moja walilo kuja nalo hapa na safari ua kuelekea nisipo pafahamu ikaanza huku ulinzi ukiwa mkali sana. Tukafika makao makuu ya kitengo cha NSS. Nikashushwa ndani ya gari na moja kwa moja nikapelekwa hadi kwenye chumba ambacho kina meza ya chuma, na viti viwili, Niafunguliwa pingu na mlimzi mmoja kisha nikaacgwa ndani ya chumba hichi. Hazikuisha dakika kumi, Caro akaingia ndani hapa.

“Jiandae una pelekwa kwa watu wanao kuhitaji.”

“Ila Caro una jichanganya mke wangu?”

“Ndio lazima nijichanganye, alafu sijui ime kuwaje nime jikuta nimezama kwako kimapenzi. Mtu ambaye ni mgeni kwangu na sikujui kabisa. Wewe ni nani eheee?”

Caro alizungumza kwa hasira sana kiasi cha kuzidi kunishangaza.

“So umeamua kunisaliti?”

“Wewe ndio msaliti, mtu ambaye sijui background yako. Leo magaidi wakubwa wenye uwezo wa kuteka meli ya kivita ya nchi hii alafu una taka kuniletea blaa blaa za kipuuzi. Nahitaji ufungue simu yako, weka fingerprint”

Nikamtazama Caro ambaye kusema kweli amebadilka kwa kiasi kikubwa, akanikabidhi simu yangu na nikaweka kidole ninacho tumia kufungua simu hii kwani pasipo kidole changu haiwezi kufunguka kabisa.

“Asante”

Caro alizungumza huku akiichukua simu hii kutoka mkononi mwangu. Akatoka ndani hapa na kuniacha peke yake.

‘Ni kina nani wanao nhitaji, tena kwa garama ya maisha ya watu?’

Nilijiuliza huku nikijaribu kupangilia watu wenye chuki nami, ila nikashindwa kupata jibu sahihi. Kitu ninacho shukuru katika simu yangu hakuna kitu chochote cha maana kinacho weza kuniingiza kwenye matatizo na kushukiwa kama nami ni gaidi. Baada ya nusu saa, wakaingia wanaume wanne warefu na walio jazia miili yao kwa kufanya mazoezi. Wanaume hawa wamevalia nguo nyeusi na majeketi ya kuzuia risasi ambayo kifuani mwao yame andikwa NSS. Wakaniamrisha kunyoosha mikono yangu mbele na nikatii, wakanifunga pingu kisha, wakanifunga mnyororo miguuni mwangu.

“Twende”

Mmoja wao alizungumza huku akinishika mono wangu wa kulia kwa nyuma eneo la begani na nikatolewa ndani hapa. Nikakutana na Caro kwenye kordo hii ndefu akiwa na walinzi kama sita hivi.

“Nina kwenda, endapo nita pata nafasi ya kukutana na wewe tena. Huto kuwa mpenzi wangu bali nita kuwa adui yako, alafu usije ukasahau kwenye maisha yako mimi ni mtu mwenye bahati kubwa sana. Usiku mwema Caro”

Nilizungumza kwa sauti iliyo jaa msisitizo.

“Muondoeni hapa”

Caro alizungumza kwa hasira na moja kwa moja nikapelekwa hadi katika lifti, nikaingia na walinzi hawa wanne kisha lifti hii ikaanza kupandisha juu. Tukafika gorofa ya mwisho. Tukatoka ndani ya lifti na kupanda eneo la juu la gorofa hili, nikakuta helicopter nyeusi na yenye maandishi makubwa meupe yanayo someka NSS, ikiwa tayari imesha washwa. Tukaingia ndani ya helicopter hii, nikafungwa mkanda wa siti na walinzi hawa nao wakafunga mikanda ya siti hizi ambazo zina tazama na taratibu helicopter hii ikaanza kupaa hewani kuelekea eneo ambalo meli ya kijeshi ime tekwa.

‘CARO, CARO, CARO. Umeniruga sana, yaani nikirudi salama, nita hakikisha kwamba nina kuuua kwa mikono yangu mimi mwenyewe. Huwezi kucheza na maisha yangu malaya mkubwa wewe’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikitetemeka kwa hasira ambayo taratibu nikaanza kufikiria ni kitu gani nifanye kabla ya kufikishwa mikononi mwa magaidi ambao kusema kweli hata siwajui ni kina nani na wala sikuwahi kuwa na mahusiano yoyote na magaidi wa kikundi chochote hapa duniani.



‘Mungu nisaidie’

Nilizungumza kimoyo moyo huku helicopter hii ikizidi kusonga mbele. Tukaanza kuiona meli hiyo kwa mbali na baada ya muda mchache helicopter hii ikatua eneo maalumu katika meli hii ambayo kwa kweli ni kubwa. Tukashuka ndani ya helicopter hii huku nikiwa nime wekwa chini ya ulinzi mkali sana kiasi cha kushindwa kufanya chochote. Magaidi sita walio valia nguo nyeusi, majaketi ya kuzuia risasi huku mikononi mwao wameshika bunduki ya maana. Magaidi hawa wakatoa ishara kwa askari hawa wa kitengo cha NSS, waniachie, wakatii amri hiyo na taratibu nikaanza kutembea kuwafwata sehemu walipo simama. Asakri wa kitengo cha NSS, wakaagizwa waondoke eneo hili na wakatii, wakaingia katika helicopter yao na kuondoka. Wagaidi wawili wakanikamata, kulia na kushoto katika mikono yangu na tukaondoka eneo hili. Tukaingia ndani ya meli kwa maana eneo ilipo tua helicopter hii ni juu ya meli hii. Tukapita kwenye vikordo kadhaa huku tukishuka chini. Magaidi hawa hawakuzungumza kitu chochote zaidi ya kuzidi kuniongoza kueleeka wanapo hitaji twende. Tukafika eneo la chini kabisa ya meli hii. Wakafungua mlango wa chini na tukaingia katika eneo jengine ambalo kwa haraka haraka nika gundua ni submarine(nyambizi). Wakanifungia kwenye moja ya chumba ambacho hakina kitu chochote.

‘Sasa hawa ni kina nani jamani?’

Nilizidi kujawa na maswali yaliyo kosa majibu kichwani mwangu. Nikasikia mtikisiko mdogo kisha ushwari wa chombo hichi kinacho tembea chini ya maji ukapatikana. Dakika na masaa yakazidi kusonga mbele, huku nikiwa sijui ni kutu gani kinacho endelea.

Mlango wa chumba hichi ukafunguliwa na wakaingia magaidi wanne, wakaniamrisha kusimama na nikatii amri hiyo. Wawili wakanivamia na kunikamta mikono yangu kwa nguvu, kisha mmoja akachomoa sindano yenye dawa mfukoni mwake. Kitendo hichi kianifanya nianza kujikurupusha mikononi mwao ila nikajikuta nikishindwa kuwazidi nguvu kwani mikono na miguu yangu ime fungwa pingu na minyororo. Jamaa huyu akanichoma sindano hii shingoni mwangu kisha wakaniachia. Taratibu nguvu zikaanza kuniishia, miguu ikakosa uwezo wa kusimama, nikaanguka chini na usingizi fofofo ukanipitia.

***

Taratibu nikafumbua macho yangu, nikatazama eneo la dari na kuona mazingira mazuri sana ambayo ndio yapo katika eneo hili, nikatazama pembeni na kuona sofa zenye thamani ya juu sana. Nikajitazama mwilini mwangu na kujikuta nikiwa nime vaa pensi huku nikiwa nipo tombo wazi. Nikakaa kitako kitandani huku nikitazmaa mazingira ya chumba hichi kikubwa. Taratibu nikashuka kitandani na kutembea hadi dirishani, mwangu mkali wa jua, ukanifanya nifumbe macho kwa sekunde kadhaa kwa maana una niumiza sana. Macho yalipo anza kuzoea mwangaza huu wa jua, taratibu nikayafumbua na kutazama eneo hili lililo jaa magorofa makubwa na ya kila aina.

‘Nipo wapi hapa?’

Nilijiuliza kimoyo moyo ila nikakosa jibu kabisa. Mlango ukafunguliwa na kwa haraka nikageuka na kutazama mtu huyo anaye ingia.

“Holloo Malcom”

Don alizungumza kwa furaha huku akiwa ameongozana na walinzi wake wawili ambao nina wafahamu vizuri.

“Ni wewe?”

“Yes ni mimi, njoo unikumbatie ndugu yangu.”

Don alizungumza huku akichanua mikono yake. Tartaibu akanikumbatia huku akinipiga piga mgongoni mwangu.

“Habari za masiku ndugu yangu”

“Salama”

“Vipi unahitaji kula chochote?”

“Hapana, hembu niaambie nipo wapi?”

“Hilo halina umuhimu sana kufahamu upo wapi. Kikubwa ni kwamba nimekupata”

Nikamtazama Don kwa sekunde kadhaa.

“Ahaa kuna mambo amabayo Rashid uliweza kuenenda kinyume na makubaliano yetu. Ukajaribu kujificha huku na kule. Ila leo hii nime kukamata. Nilikuambia kabisa kwamba nina mkono mrefu na popote pale utakapo kwenda ni lazima nita kukamata”

“Don ni kipi nime kiuka?”

“Mission yako ilikuwa ni kumuoa Jackline na kumfilisi, ila ukafanya madudu yako ukampa ujauzito na ukatafuta wapuuzi wako wakafanya walicho ifanya hadi yule mzee akanyanyuka tena kitandani. Sasa hujui ni madhara gani uliniletea kwenye biashara zangu. Sasa uta lipa”

Don alizungumza kwa msisitizo huku akinitazama machoni mwangu.

“Nilipanga kumuua mama yako, wanao, pamoja mke wako. Ila nikajiuliza nikifanya hivyo na nikiwa bado sija kupata, nita kuwa nina jipatia hasara tu. Nikaona kwa nini usiwe mbwa wangu kwa maana ukifanya chochote kinyume na mimi, ata anza kufa mwanao wa kike, ata fwata wanao mapacha kisha wata kufa mama yako, mke wako na yule mzee mpuzi”

“Kwa nini una nifwata fwata? Nilisha kuingizia pesa zenye faida kubwa kuliko hata zile ulizo nilipa mimi. Achana na familia yangu”

“Hahahahaa Rashidi Rashid, hujui ni nini kinacho kwenda kutokea kwenye maisha yako. Hembu washa tv”

Tv ikawashwa na mlinzi mmoja.

“Hiyo inayo teketea ni meli ya kivita inayo milikiwa na nchi yako ya Tanzania. Wanajeshi na meli nzima ime teketezwa na vijana wangu. Hembu peleka video ya pili”

“Tume temeteka, tume vamia, tume ua wanajeshi wa Tanzania walio kuwa kwenye meli ya kivita. Tumetekeleza shambulizi hilo kwa ajili ya kumuokoa kiongozi wetu Shehe Rashidi Pinda. Kiongozi wetu ni muhimu sana kuliko hata uhai wetu…..”

Nikashangaa sana kuona video hii ikuzungumza na askari wa Al-Shahab huku kukiwa na video inayo onyesha jinsi ninavyo shushwa kwenye helicopter na wanajeshi wa NSS.

“Endapo nita iachia video hiyo. Una kwenda kuwa thee world criminal. Je una jua maana ya kuwa gaidi wa dunia, yaani uta windwa kama vile alivyo kuwa ana windwa Osama Bin Laden. Je una hitaji nikufanye kinayang’anyoro kwa mataifa makubwa?”

Swali la Don likanifanya nishushe pumzi nyingi huu nikimtazama usoni mwake.

“Nijibu, nina weza kiiachia kwenye vyombo vya habari kama CNN, SKYNEWS na kadhalika na vyote vikikutangaza, mzee ume kwisha”

“Nini una taka nifanye”

Don akatabasamu huku akinitazama usoni mwangu.

“Safi, kuna matajiri kumi wapo hapa nchini Brazil. Nita hitaji uweze kuwaua vifo ambavyo havito leta ushahidi wala kuhisiwa kwa mtu yoyote. Baada ya kumaliza kuwaua matajiri hao, nita kupatia list ya matajiri wengine ili uwaangamize”

Nikamtazama DON kwa macho makali sana.

“Kwa nini mimi?”

“Kwa sababu najua una uwezo huo au una hitaji niiachie hiyo video ili upambane na hali yako?”

“Okay nita fanya ila nikuambie jambo moja. Msaada wako ulio nisaidia usikufanye unifanye mbwa wako. Endapo utta igusa familia yangu au kuipa shida yoyote nina kuapia kwa mwenyezi Mungu nita kuu”

“Hahaaaa Rashidi, sijui nikuite Malcom. Vyoyote nipendavyo kukuita. Hakuna mtu aliye fungua kinywa chake na kunitishia kukua. Ila leo ume jitahidi kwa kweli. Fanya kazi yangu, maliza nikupatie kazi nyinngine kisha mimi na wewe tuachane salama”

“Poa nime kuelewa”

“Kamleteeni vitu vyake”

Akatoka mlinzi mmoja na nikabaki na Don pamoja na mlinzi mwengine. Baada ya dakika tano mlinzi akarudi akiwa na begi kubwa. Akaliweka kitandani.

“Humo ndani kuna simu, laptop, bastola yenye magazine kumi zenye silaha. Pesa, nguo, viatu, kitambulisho chako kinacho kuonyesha wewe ni nani na katika simu na laptop yako kuna maelezo yote ya matajiri niao hitaji uwaue ndani ya siku thelathini na baada ya hapo, vijana wangu wata kuleta sehemu niliyopo. Tume elewana?”

“Ndio”

“Swali?”

“Sina”

“Nikutakie asubuhi njema”

Don akanyanyuka kwenye sofa alilo kaa kisha akatoka ndani hapa na walinzi wake. Nikajilaza chali kitandani kwa maana mambo yanazidi kuniwia ugumua katika maisha yangu kwani kila ninapo jaribu kuyaweka sawa yana yumba.

“Matajiri kumi mbona ni wenngi sana?’

Nilijiuliza huku hukiwaza kichwani mwangu.

‘Au nimuanze yeye?’

‘Mmm ila sijui amejipangaje pangeje huyu mwehu. Anaweza kuwaua wana familia yangu ambao hawana makosa katika hili’

Nikasimama, nikafunuga begi hili na kila alicho niambia Don nikakikuta ndani ya begi hili.

“Malcom San Poul”

Nililisoma jina lilipo kwenye kitambulisho changu cha taifa pamoja na hatiya kusafiria. Kila kitambulisho kina picha yangu. Nikawasha simu na laptop ambazo zote zime tengenezwa na kampuni ya APPLE. Hazikupita hata dakika tano ujumbe umfupi ukaingia katika simu na laptop hii. Nikaufungua ujumbe huu katika simu ambao ni barua pepe. Nikaanza kusoma maelezo ya matajiri hawa kumi ambao nime paswa kuwaua. Maelezo haya yaliweza kuwaelezea kwa kina matajiri hao, kuanzia sehemu wanazo ishi, utajiri wao, ulinzi wao na maofisi yao wanayo fanyia kazi.

‘Duuu kazi ninayo’

Simu yangu ikaanza kuita, nikaitazama kwa sekunde kadhaa kisha nikaipokea.

“Malcom ume pata kila kitu?”

Niliisika sauti ya Don.

“Ndio”

“Kumbuka hapa ni Brazil na hao una wafwata wana magenge makubwa ya uhalifu. Inakupasa uwe makini zaidi ya umakini ulio nao”

“Nime kuelewa. Ila nahitaji uniahakiishie jambo moja”

“Zungumza”

“Nikiimaliza kazi hii nipe hiyo inayo fwata kisha achana na mimi?”

“Malcom una tambua kabisa kwamba mimi ni mtu wa maneno yangu. Siwezi kukuangusha kwenye hilo”

“Sawa”

“Kuna funguo ya gari. Shuka chini ya gorofa na kwenye maegesho utaliona gari lako, kuwa makini na uendeshaji wako kwa maana hapa Brazil wapo makini sana kwenye uendeshaji wa magari.

“Poa”

Don akakata simu, nikafungua barua pepe iliyo ingia katika laptop nayo ina fanania na hii iliyo ingia katika simu. Nikatoa bastola na magazine zake ndani ya beki na kuiweka pembeni. Nikatoa nguo nilizo nunuliwa na vuatu na chini kabisa nikakuta vibunda vingi vya dola mia mima. Nikaangalia saa iliyopo katika simu yangu na ina onyesha sasa hivi ni saa sita mchana kasoro. Nikaingia bafuni, nikaoga haraka haraka na kurudi chumbani. Nikabadilisha nguo na kuvaa jinzi nyeupe, tisheti nyeusi, kofia nyeusi pamoja n raba nyeusi. Nikachukua dola elfu moja na kuiweka mfukoni mwa suruali, nikapanga kila kitu vizuri ndani ya begi hili na leo sihitaji kutembea na bastola. Nikaitazama funguo ya gari ambalo nimeambiwa lipo eneo la maegesho, kisha nikairudisha ndani ya begi.

‘Nahitaji kuujua kwanza huu mji’

Nilizungumza huku nikifunga zipu ya begi hili. Nikatoka chumbani kwangu na nikafunga mlanngo kwa nje na hapa ndipo nikagundua kwmaba nipo hotelini. Nikatembea kwa mwendo wa umakini hadi katika lifti, nikaingia na taratibu nikaanza kushuka chini nikitokea gorofa ya tano ambapo ndipo kilipo chumba changu. Nikatoka nje ya hoteli hii na kukuta mtaa umechanganga huku watu wa aina mbalimbali wakubwa na watoto, wazee na vijana wakikatiza katika eneo hili. Nikajichanganya na watu hawa huku mkononi mwangu nikiwa nimeshika simu yangu kuangalia ramani ya eneo hili zima kwa maana siwezi kuifanya kazi yangu pasipo kuujua mji huu vizuri.

Nikatembea maeneo ya karibu na mji huu. Nikeelekea katika beach kubwa ambayo watu wengi sana wamejazana kiasi cha kunifanya niwe nina wakudolea macho wanawake walio valia bukini na sidiria huku wengine wakiwa wana bikini pekee ila kifuani hawana chochote.

‘Yeeah sasa huku ndio duniani’

Nilizungumza huku nikiingia katika moja ya mgahawa mkubwa ambao upo ufukweni hapa. Nikatafuta kiti kimoja na kukaa.

“Habari”

Muhudumu wa kike alinisalimia.

“Habari”

“Nina weza kukusaidia chochote?”

“Ahaa…ndio naweza kupata juisi ya parachichi?”

“Ndio”

“Basi nipatie”

“Asante”

Baada ya muda kidogo muhudumu akaniletea glasi iliyo jaa juisi ya baridi huku ikiwa na mrija.

“Karibu na ufurahie”

“Asante”

Nikanza kunywa taratibu juisi huku nikitazama jinsi watu wanavyo ogelea, wengine wakicheza mipira ya ufukweni na wengine wakiwa wamejilaza kwenye mchanga mweupe wa beach hii. Nikatoa simu yangu mfukoni na kuendelea kumsoma tajiri namba moja kwenye listi hii anaye itwa Victor LUIZI. Ni mmiliki wa hoteli kumi katika nchi hii ya Brazil.

“Habari”

Nikastuka kidogo mara baada ya kusikai salamu, nikanyanyua uso wangu na nikakutana na askari wa kike ambaye taratibu tukajikuta tukitazamana kwa sekunde kama ishirini.

“Aahaa habari”

“Samahani nina weza kukaa kwa maana nime kosa sehemu ya kukaa katika eneo hili”

Asakri huyu mrembo na wa kuvutia alizungumza huku akiwa ameshika glasi ya juisi mkono wa kulia na mkono wa kushoto ameshika sahani yenye chipsi. Kutokana katika hii meza yangu kuna kiti kilicho tupu, nika mruhusu kukaa.

“Karibu tule”

Askari huyu alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.

“Nashukuru”

“Naitwa Leticia Gustavo ni afisa wa polisi”

“Nashukuru kukufahamu. Naitwa Malcom San Poul”

“Waoo una jina zuri”

“Asante sana”

Ukimya kama wa dakika mbili uka tawala katikati yetu huku askari huyu Letcia akiendea kula chakula chake.

“Una shuhulika na nani?”

Swali la Leticia kidogo likanifanya nikae kimya huku nikimtazama na tabasamu pana likwa lime tawala usoni mwangu.

“Ni mfanya biashara”

“Ohoo ni jambo zuri sana kufanya biashara”

“Ni kweli”

“Una ishi hapa hapa Rio de Janeiro?”

“Ndio ndio”

“Nami pia nina ishi hapa, nimehamishiwa mwenzi ulio pita kutoka Brasilia.”

“Ahaa sawa sawa.”

“Je tuna weza kuwa marafiki?”

Nikamtazama Leticia kwa sekune kadhaa.

“Sio kwa ubaya ni kwa wema kwa maana watu wengi huopopa kuwa na urafiki na askari”

“Yaa naamini una litambua hili ila hakuna shaka”

“Sawa Malcom ngoja nikupatie kati yenye namba yangu simu ya mkononi kisha uta nipigia muda wowote na uta niambia ni wapi nikufwate”

“Sawa”

“Nikutakie mapumziko mema”

“Asante”

Leticia akasimama huku akibeba vyombo vyake, akamkabidhi muhudumu kisha akatoka ndani hapa huku akinipungia mkono.

‘Kweli tembea uone, mtoto mzuri kama huyu ni askari polisi. Angekuwa Bongo sasa hivi angekuwa ni timu kudanga’

Niliwaza huku nikimtazama Leticia jinsi anavyo katika katikati ya watu na kupokea katika upeo wa macho yangu. Nikamuita muhudumu na kuagiza nyama choma, nikaitazama kadi hii ya Letcia kisha nikainakili namba kwenye simu yangu ili hata kama nikipoteza kadi hii basi nita kuwa na namba hiyo kwenye simu yangu.

‘Inabidi niwe makini yasije yakuwa kama ya Caro hapa’

Nilizungumza kimoyo moyo. Muhudumu akaniletea nyema niliyo muagiza na kuendelea kula taratibu. Nikwa katikata ya kula, nikamuona mmoja wa matajiri ambao wapo kwenye listi yangu ya kuwaua akiingia mgahawani hapa na walinzi wake jambo lililo ufanya mwili wangu kusisimka kwani nina hitaji kuwau hawa watu wote nilio agizwa kuwawa ili niondoke zangu na sasa niungane na familia yangu.


*************************************************

Nikamuona jinsi anavyo salimiana na watu huku akionekana ni kipenzi cha watu wengi sana kwani watu kadhaa wamemuomba kupiga naye picha. Kwa kweli kwa mazingira ya wingi huu wa watu siwezi kufanya jambo lolote. Nikamaliza kupata chakula, nikalipa kiasi ninacho paswa kulipa na nikarudi hotelini.

‘Kwa nini napaswa kuua hawa watu?’

Niliwaza kichwani mwangu huku nikiwa sina amani kabisa na isitoshe nipo katika nchi ambayo sijui utaratibu wa kiulinzi upo vipi.

‘Je nikitangazwa kama gaidi wa duniani kweli nita iweka wapi sura yangu na nani ata niamini kama mimi sio gaidi ikiwa Caro mwenyewe ameshindwa kuniamini?’

Niliendelea kuwaza kichwani mwangu, simu yangu ikaanza kuita, nikaitazama na kuona namba ngeni, nikaipokea na kuiweka sikioni mwake.

“Rashidi Rashidi huja ifanya kazi yako ikiwa kulikuwa na nafasi ya wazi kabisa”

Don alizungumza na kunifanya nikae kitako kitandani hapa.

“Usinifundishe kazi ambayo wewe mwenyewe umeshindwa?”

“Hahaaa Rashidi siku hizi una jiamini sana?”

“Zaizi y asana, na nikuambie jambo moja ambalo nina rudia tena, endapo mtu yoyote ndani ya familia yangu uta mdhuru kwa bahati mbaya au kimakusudi, nikuhakikishie kwamba nita kuua wewe, mke wako na kila aliye kuzunguka. Ume nielewa?”

Nilizungumza kwa kujiamini na kumfanya Don kukaa kimya kwa muda kidogo.

“Fanya kazi yangu ninavyo hitaji, huto sikia nime igusa familia yako”

“Nakujua vizuri na jaribu kufanya hivyo uta ingia kwenye hii listi uliyo nipa”

“Una sema?”

Nikakata simu na kuiweka pembeni. Akili yangu ikaanza kuzunguka na nina amini kwamba kila ninapo kwenda nina hisi Don ameweka watu wanao nifwatilia. Nikavua nguo zangu zote na nikasimama kmbele ya kioo kiliochopo ndani hapa na nikaanza kujichunguza sehemu moja baada ya nyingine. Katika mbavu za kushoto kwangu nikaona kijialama kidogo cha kuchazwa na nimeshonda na inavyo onyesha nime pigwa sindano ya kukausha kidonda hichi kwa haraka na ndio maana sihisi maumivu ya aina yoyote. Nikajigusa gusa eneo hili na kweli nika hisi kitu kigumu kikiwa ndani ya hili eneo.

‘Mseng** ameniwekea chip huyu, ndio maana kila ninapo kwenda ana niona’

Nikajifikiria kwa sekunde kadhaa nikataka kuitoa ila nikaona kutoka Brazil hadi bara la Ulaya ni safari ndefu sana, safari amayo kutoroka kwake ita nigarimu maisha yangu. Nikamkumbuka Leticia. Nikaitoa gadi aliyo nipatia na nikazinakili namba hizo kwenye simu yangu na nikampigia.

“Haloo”

“Mambo vipi Leticia?”

“Salama nani mwenzangu”

“Ohoo ni mimi Malicom Luiz tulionana pale kwenye mgahawa”

“Ohoo Malcom asante Mungu ume nipigia kwa maana muda si mrefu nilitoa kukuwaza”

“Kweli?”

“Ndio, vipi tuna weza kuonana leo usiku?”

“Ndio, niambie ni wapi nikufwate?”

“Nita kutumia jina la hoteli kama nilivyo kuambia kwamba hapa bado sijawa mwenyeji sana”

“Sawa nina shukuru”

“Hakuna shaka”

Nikakata simu huku mpango nilio nao sasa hivi ni kuhakikisha kwamba nina achana na hii kazi na kuiokoa familia yangu. Kitu ninacho hofia sasa hivi ni kuwasiliana na Jackline kwa maana nina imani naye maisha yake yana windwa sana. Japo ana walinzi ila sijui ni namna gani walinzi hao wanavyo weza kujilinda.

“Yule malaya amenigombanisha na Obote si wangeenda DRC aisee”

Nilijikuta nikijilamumu mimi mwenyewe. Majira ya saamoja usiku Leticia akanipia simu na akanitajia jina la hoteli ambayo ameomba usiku saa mbili tukutane kwa ajili ya kupata chakula cha usiku. Nikalinakili jina la hoteli hiyo katika simu yangu ili isiwe ni shida kwa mimi kulikumbuka. Saa mbili kasoro nikaondoka hotelini hapa huku nikiwa nimevalia suti yenye rangi ya dark blue. Nikamueleza dereva taksi jina la hoteli hiyo na akanipeleka hadi ilipo, nikamlipa kisha nikaingia ndani ya hoteli. Kwa bahati nzuri nikamuona Leticia akiwa ana zungumza na muhudumu mmoja. Nikamtzama msichana huyu mrefu na mwenye umbo mithili ya miss wolrd. Gauni jekundu alilo livaa na lenye mpasuo mrefu kwa kweli lime mpendeza.

“Karibu mkuu, una hitaji meza ya kuketi?”

Muhudumu wa kiume aliniongelesha huku akiwa amejawa na tabasamu pana sana usoni mwake.

“Hapana mwenyeji wangu yule pale amesimama”

“Ohoo karibu sana”

“Nashukuru”

Nikatembea kwa mwendo wa taratibu huku macho yangu yakiwa kwa Leticia ambaye hadi sasa hivi hajaniona. Nikiwa mita mbili kabla ya kumfikia akageuka na kunitazama, akanipokea kwa tabasamu lililo zidi kumfanya azidi kuonekana mzuri.

“Hei Malcom karibu”

Leticia alizungumza huku akinikumbatia na kunibusu katika pande zote mbili za mashavu yangu.

“Nashukuru sana”

“Dada uta nipatia kama nilivyo kueleza”

“Nashukuru”

“Malcom nashukuru sana kwa kuja. Meza yetu ile kule”

Tukaongozana kwa pamoja hadi katika meza aliyo iandaa Leticia, nikavuta kiti na kwa ishara nikamuomba aweze kukaa.

“Nashukuru sana”

Leticia alizungumza huku akiwa na furaha sana. Nami nikakaa kwenye kiti kinacho tazamana naye.

“Niambie mrembo.”

“Weee Malcom mimi sio mrembo bwana?”

“Basi kama hakuna aliye kuambia wewe ni mrembo basi leo nina kudhibitishia mimi kwa asilimia mia moja wewe ni mrembo”

“Hahahaha nashukuru Malcom. Samahani sana kwa kukuchukulia muda wako?”

“Usijali nina shukuru kwa mualiko wako”

Muhudumu wa kiume akasimam apembeni yetu akiwa na chupa ya Champagne, akatumimia kila mmoja kwenye glasi yake.

“Karibuni sana”

Muhudumu huyu alizungumza huku chupa hii akiiacha hapa mezani na akaondoka. Leticia akanyanyua glasi hii nyembaba na kuomba tugongoshe chiaz na nikafanya hivyo, nikapia fumba la taratibu na kusema kweli ikaninogea.

“Waoo ni nzuri sana”

“Kweli ume ipenda?”

“Asilimia mia moja”

“Ina itwaje hii champagne?”

“Pommery’s Cuvee”

“Kwa kweli nime ipenda sana”

“Hii wyne bibi yangu alikuwa ana ipenda sana na akanifanya nami niipende kweli kweli na siku aliniambia kwamba endapo siku uta kutana na mwauame unaye mpenda basi hakikisha una muandalia hii wyne”

Nikatabasamu huku nikimtazama Leticia machoni mwake.

“Nashukuru sana kwa heshima hiyo uliyo nipatia?”

“Nami nina shukuru. Ahaa Malcom nime kuita hapa kwa ajili ya kufunguka kile nilcho kihisi kuanzia ule muda nilipo kuana pale. Kusema ukweli nime tokea sana kukupenda.”

Nikashusha pumzi taratibu huku nikimtazama Leticia jinsi alivyo jawa na unyonge mwingi sana.

“Ila Leticia, huja nijua uta nipendaje?”

“Malcom kujujua ita kuja baadaye, siwezi kuficha hisia zangu za kimapenzi kisaa eti sikujui.”

“Huna mpenzi?”

“Sina”

Muhudumu mmoja akafika eneo hili na akamnong’oneza Laticia sikioni mwake.

“Sawa kileteni tu”

Muhumumu huyu akaondoka.

“Samahani kwa kunong’onezwa”

“Usijali”

“Nime muagiza chakula cha asili ambacho kwenye hii hoteli hawakipiki. Chakula hicho alikuwa ana nipikia bibi yangu kipindi hicho”

“Waoo”

“Yaa”

Wahudumu wawili wakafika hapa mezani wakiwa na sahani zilizo funikwa. Wakaziweka mezani na wakazifunua, nikaona viazi vitamu vilivyo chomwa, pamoja na nyama ya kuchoma. Wahudumu hawa baada ya kutuhudumia wakatukaribisha na kuondoka.

“Karibu chakula cha asili”

“Nashukuru”

Leticia akachukua kisu na uma na akaanza kukata kiasi moja ya kiasi chake.

‘Mambo hayo, tulio zoea kula kwa mikono kazi tunayo’

Nilizungumza huku nami nikitumia kisu na uma kwenye kula chakula hichi.

“Malcoma natambua kwamba uta kuwa una jiuliza ni kwa nini nime kueleza ukweli wa hisia zangu ikiwa ndio mara yetu ya kukutana na mbaya zaidi uliweza kunikuta nikiwa katika mavazi yangu ya kazi ambayo watu wengi sana huwa wana ichukia”

“Wanao ichukia kazi yako ni wahalifu”

“Hata raia wa kawaida huwa wakijua kwamba wewe ni polisi, basi wana kuchukulia ni mtu wa tofauti sana.”

“Leticia”

“Mimi siiangalii kazi yako kwa maana nin aimani kwamba Mungu ndio amekufikisha hapo ulipo na alikuwa na makusudi makubwa sana ya kukufanya wewe uwe askari”

“Ni kweli na una jua chanzo cha mimi kuletwa kwenye mji huu ni kutokana na jinsi ya utendaji wangu wa kazi ulivyo tukuka. Katika mji mkuu kwa mwaka jana nilikuwa ni askari bora wa mwaka na nikapewa tuzo kwani nilikuwa nina dili na wahalifu wa kila aina “

“Ahaa….Hongera sana”

“Nashukuru, hivyo nime kuja kwenye mji huu kuuweka sawa kwani, wala rushwa, wacheza kamari feki, wauza madawa ya kulevya na watu wa kila aina wapo eneo hili. Hivyo ndani ya miezi sita nita kuwa nime watakatisha”

“Una nitisha sasa Leticia?”

“Kwa nini?”

“Ina onyesha wewe ni mwanamke wa shoka ehee?”

“Ngoja nikuonyeshe kitu”

Leticia akatoa simu yake kwenye pochi ndogo na akanionyesha video akimuonyesha akipigana na wanaume wanne tena wenye uwezo wa kupigana kisawa sawa na akafanikiwa kuwamudu na kuwatandika wote. Kusema kweli kwa video hii ina nidhihirishia huyu mwanamke ana uwezo mkubwa sana japo ni mrembo na ukiingia kichwa kichwa ana kupasua tena kisawa sawa.

“Leticia”

“Bee”

“Nipo tayari kuwa nawe ila kwa sharti moja”

“Sharti gani?”

“Nahitaji uhakiishe una nikubali kwenye kila hali.”

“Hilo tu?”

“Ndio”

“Nakuahidi, nita kukubalia kwenye kila hali. Leticia akanyanyuka kidogo na kunisogelea, nami nikanyanyuka kidogo na tukapigana busu lenye hisia kali sana kisha kila mtu akarudi na kukaa kwenye kiti chake. Tukaendelea kula chakula hichi huku kila mmoja akiwa amejawa na furaha kubwa sana moyoni mwake. Tukamaliza kupata chakula hichi kisha Letcia akaniomba tuelekee nyumbani kwake. Tukatoka hotelini hapa, tukaingia kwenye gari yake aina ya BMW X7.

“Waoo una gari zuri”

“Nashukuru mpenzi”

Letcia alizungumza huku akiendesha kwa mwendo wa kawaida. Akauchukua mkono wangu wakushoto na kuuweka juu ya paja lale ambalo ni laini kisawa sawa. Nikaanza kulitomasa taratibu, na kumfanya Leticia kujihisi furaha. Tukafika katika nyumba yake ambayo ina lindawa na askari polisi wanne. Askari wakampigia saluti. Kisha tukaingia ndani.

“Karibu sana na jisiie nyumbani”

“Nashukuru, nyumba yote hii una ishi peke yako?”

“Ndio, yaani katika huu mji kama nilivyo kuambia mimi bado mgeni”

“Sawa sawa”

Leticia akanishika mkoni hadi chumbani kwake. Akanisukumiza kitandani huku akitabasamu.

‘Watoto wazuri kama hawa wamekufa na kuoza kwangu alafu yule mseng** mmoja mama Shamsa ana niumiza kichwa daa masha haya hayana adabu’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimuangalia Leticia jinsi anavyo vua gauni lake na akabakiwa na nguo za ndogo. Kusema kweli huyu mtoto ame umbika kisawa sawa, ana umbo la kumvutia kila mwanaume, jap ni mwembaba na hajapasuka kwa makalio makubwa kama wasichana wetu wa kiafrika ila ukweli ni kwamba ni mzuri. Akapanda kitandani hapa na akanikalia kiunoni mwangu. Nikamshika kiuno chake na kuanza kukipapasa taratibu. Nikapandisha viganja vyangu hadi kifuani mwake na kuanza kuyatomasa maziwa yake taratibu. Nikaifungua sidiria yake na nika itupa pembeni. Tukaanza kunyonya dende, nikamgeuza na kumlaza chali, nikavua koti langu la suti na kuliweka pembeni, kwa haraka Leticia akanivua shati langu na taratibu akaanza kunipapasa kifua changu.

“Waoo….”

Leticia alizungumza kwa sauti iliyo jaa mahaba mengi sana. Tukaanza mtanange wa kukata na shuoka huku nikihakikisha kwamba nina mshuhulikia kisawa sawa mrembo huyu. Kama kawaida ya mapigo yangu ni lazima yampagawishe mwamke kama ndio mara ya kwanza kuyapata. Nusu saa ikatosha kabisa kwa mzunguko wa kwanza, mzunguko ulio mfanya Leticia kumwagikwa na machozi ya furaha na akanikumbatia kwa nguvu zake zote huku kila mara akinishukuru kwa nilicho mfanyia. Leticia kwa furaha akafungua friji ndogo iliyopo hapa chumbani kwake na kutoa chupa ya wyne, akamimia katika glasi mbili, kisha tukaka kitandani na kuanza kunywa taratibu.

“Baby”

Letcia aliniita huku akinitazama kwa macho malegevu.

“Yes”

“Umejualia wapi mapenzi ya kumpagawisha mwanamke kwa kiwango kikubwa namna hii?”

“Hahaaa, kila jambo ni kuzaliwa nalo. Hapakuwa na mwalimu aliye sema ana nifundisha kwamba fanya hivi fanya hivi kwa mwanamke. Hakuwahi kutokea kwa kweli”

“Aisee kusema kweli ume niweze. Ume jua kunichanganya, kunivuruga na kunigaragaza”

“Nafurahi nime sikia hivyo. Kazini kwako una fanya kazi kitengo gani?”

“Nina fanya kazi katika kitengo cha upelelezi, maswala ya uhalifu mkubwa kama uuzaji wa madawa ya kulevya. Ujambazi wa kutumia silaha na kadhalika”

“Ila ina onekana ni kazi ngumu sana?”

“Kiasi chake ni ngumu na hatari pia, ndio maana nina walinzi askari hapa kwangu. Katika kitengo changu cha kazi tuna dili na wale wauzaji madawa ya kulevya wakubwa, wauzaji madawa ya kulevya wakubwa ambao wao mapumziko yao makubwa yapo kwenye huu mji. Kama unavyo ona kuna fukwe nzuri, mahoteli makubwa na mawazuri.”

“Ni kweli, sasa kuwa na mimi katika mapenzi huoni ina weza kuhatarisha maisha yangu?”

“Haiwezi kwa maana wengi hunichukulia kama askari wa kawaida ndio maana una ona nina vaa mavazi ya kiaskari wadogo. Ila nina cheo kikubwa sana, na pia maswala ya maisha yangu binafsi hayawezi kuathiriwa na maisha yangu ya kazi”

“Kwa hiyo una nihakikishia usalama wangu?”

“Asilimia mia moja”

Nikapiga fumba la wyne hii na kuishusa glasi ikiwa imekwisha. Leticia akaniongezea glasi nyingine ya wyne.

“Leticia”

“Yes baby”

“Mimi nahisi sio mwanaume sahihi kwenye maisha yako”

“Kwa nini una zungumza hivyo Malcom?”

Nikashusha pumzi nyingi huku mapigo yangu ya moyo yakinienda kasi sana, kwani nafsi moja ina niambia nimuambie ukweli huk nafsi nyingine ina niambia nikae kimya na nisimueleze chochote kuhusiana na maisha yangu ya nyuma.

“Niambie mume wangu kwa nini una sema wewe sio mwanaume wangu sahihi?”

“Ni maisha yangu Leticia?”

Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga machoni mwangu kwani kutunza kwangu siri ndio kulinifanya kuachana na Caro kabla ya kukamilisha mpango wa kumuua kaka yake ambate alinichukulia mke wangu wa ndoa.



“Maisha yako yame fanya nini?”

Letitica aliniuliza kwa sauti ya upole huku akinitazama usoni mwangu.

“Nimepita kwenye maisha mengi ya kila aina. Maisha ambayo muda mwengine nina jutia ni kwa nini niliwahi kutapitia ila yote yamefika hapa nilipo fika kutokana na mapenzi”

“Mapenzi?”

“Ndio, najua wewe ni askari na mpelelezi, Sinto penda ifikie siku uje kujua ukweli wowote kuhusian ana maisha yangu alafu ukatumia nafasi hiyo kunihumumu.”

Leticia akanitazama kwa macho ya umakini sana, nikashuka kitandani hapa na kuelekea bafuni na Leticia akanifwata nyuma. Nikasimama mbele ya kioo kikubwa kilichopo ndani hapa.

“Malcom niambie una tatizo gani mume wangu?”

“Letcia kuna watu nilikuwa nina fanya nao kazi miaka ya nyuma”

“Kazi gani?”

Nikafungua maji ya bomba ili kama simu au hii chip niliyo wekewa mwilini mwangu isiweze kurekodi chochote kinacho endelea ndani ya bafu hili kwa maana kukua kwa teckonolijia kuna fanya mambo magumu kuwa maraisi ikiwemo la umfwatilia mtu kila ninacho kizungumza.

“Nilikuwa ni mpiganaji wa ngumi za ulingoni, nikiwa nipo nyumbani nchini Tanzania. Kwanza jina langu halisi sio Malcom, jina langu halisi ni Rashidi Pinda, asili yangu mimi ni muafrika na sina asili kabisa ya hapa Brazili, kinacho nibebe nchini hapa ni kutokana nina weza kuizungumza lugha yenu na pia kuna watu weusi?”

Leticia akatokwa na macho ya mshangao kwa maana ninacho mueleza kina mshangaza sana. Nikaanza kumuadithi uhalisia wa maisha yangu kuanzia nilipo kutana kwa mara ya kwanza na mama Shamsa, umasikini na ufukara mkubwa ulio kuwa ndani ya familia yangu. Sikumficha chochote Leticia kwa maana ninacho kihitaji mimi ni kutoka katika mazingira haya ya kitumwa. Nikamaliza historia yangu na kumfanya Leticia kunikumbatia kwa nguvu huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Pole sana Malcom”

“Nashukuru mke wangu. Nahitaji kuitoa hii chip iliyopo mwilini mwangu. Uta nisaidiaje?”

“Usiitoe na wala usipate shida kuitoa. Nita kusaidia jinsi ya kukabiliana na huyo DON kwanza pia ni mtu ambaye ana tafutwa kwa kipindi kirefu na mashirikia ya kijasusi ulimwenguni na kama yupo hapa Brazil basi hato toka salama”

“Mke wangu DON sio mtu mdogo na una weza kukuta ana watu wake hadi ndani ya jeshi la polisi. HIvyo chochote munaco weza kukijadili basi kina mfikia tena kwa njia rahisi na nyepesi musiyo itegemea”

“Nalifahamu hili mume wangu, ila nita hakikisha hii oparesheni ina kwenda kwa ukimya kimya pasipo mtu yoyote nje ya timu yangu kufahamu na hiyo video ya kukutengenezea wewe na kuitwa gaidi basi tuta hakikisha tuna itafuta na kuipa”

“Kweli?”

“Asilimia mia moja. Niamini mume wangu. Siwezi kukugeuka kama alivyo kugeuka huyo nani sijui”

“Caro?”

“Ndio na nita hakikisha familia yako ina kuwa salama ila nita hitaji unahisi kitu kimoja”

“Kitu gani?”

“Nita omba unipatie japo mtoto mmoja awe ukumbusho kwenye maisha yangu”

“Una hitaji kuzaa na mimi?”

“Ndio, ila baada ya haya mambo kuisha”

“Sawa mke wangu nina shukuru kwa kujitoa katika hilO”

“Poa, pia nita hitaji kuiona hiyo list ya watu ulio paswa kuwaua”

“Ngoja nichukue simu”

Nikatoka bafuni hapa, nikachukua simu yangu na kuingia bafuni, nikamuonyesha Leticia listi nzima ya watu ninao paswa kuwaua.

“Hawa wote ni wauza madawa ya kulevya wakubwa ambao kwa muda mrefu tume kuwa tukiwasaka na kukosa vidhibitisho kwao ila ukweli ni kwamba wana dili na madawa ya kulevya na wamejificha nyuma ya mabiashara makubwa wanayo yamiliki. Sasa swali langu ni kwa nini huyu Don ana hiaji kuwaua?”

“Ipo hivi DON yeye anapo fanya kazi na mtu na akaona una mkaribia labda kiuchumi basi tambua ana kuua na nusu ya mali yako ana ichukua au yote kabisa hivyo ana zidi kuwa tajiri”

“Hawa watu ni washenzi sana hapa duniani”

“Ndio hivyo mke wangu. Ehee nipe mpango wako?”

“Mpago wangu nita ufahamu nikisha iandaa timu yangu na baada ya hapo nita kueleza kila kitu”

“Sawa”

Usiku huu mzima tukautumia kupeana vitu roho ina penda. Asubuhi na mapema tukajiandaa na kuondoka eneo hili, Leticia akaondoka na kunirudisha hotelini kisha na yeye akaelekea kazini kwake. Hazikuisha dakika tano baada ya Leticia kutoka ndani ya chumba changu mlango uka gongwa.

“Nani?”

Niliuliza huku nikiwa nime jibaza pembeni ya mlango.

“Ni mimi”

Niliisikisa sauti ya DON nikaifungua mlango naakatangulia kuimgia mlinzi wake, kisha akafwata yeye. Wakamalizia walinzi watatu.

“Malcom, Malcom au ukipenda Rashidi”

Don alizungumza huku akizunguka zunguka ndani hapa. Akaitazama tv kubwa iliyopo ukutani na akaanza kuipapasana kwa kidole kimoja.

“Hivi una fahamu yule msichana uliye kuwa naye jana usiku hotelini na kuelekea naye kwake ni nani?”

Swali la Don halikunistua kwani natambua kwamba ame weka watu ambao wana nifwatilia.

“Ina maana kwamba ume weka watu wa kunifwatilia si ndio?”

“Ndio, sikuamini lazima ufwatiliwe kila hatu kwani ukianguka wewe basi kila kitu kwangu kime anguka”

“Ohoo kwa hiyo mimi ndio nguzo kubwa inayo shikilia maisha yako. Hahaahahaa DON”

Nilizungumza kwa kujisikia kwa maana nina tambu kwamba mipango yote ya DON nime ibebe mimi.

“Usijihisi wewe ni wa thamani kubwa sana.”

“Okay nenda kwenye pointi yako kwa nini ume kuja asubuhi asubuhi hapa”

“Sihitaji nikuone na yule msichana kwa maana ni mtu mmoja hatari sana. Ni askari polisi anaye shuhulika na kesi zote za kiuhalifu. Yule mwanamke ni sindano sana kwetu. Ukijichanganya una kwisha”

“Hujui mpango wangu hivyo kaa kimya na angalia mambo yanayo kwenda”

“Una sema?”

“Funga bakuli lako”

“Aisee toka nimezaliwa hakuna binadamu hapa duniani aliye nitusi kwa tusi hilo. Mfunzeni adabu kidogo ili siku nyingine unapo zungumza utambue kwamba una zungumza na nani”

Don aliwaambia walinzi wake, mlinzi mmoja akajaribu kurusha nikaikwepa na kumpiga ngumi mbili za kasi za mbavu na kumfanya ayumbe, wawili wakaja kwa kasi ila nikawatuliza kwa mateke mawili ya mfululizo niliyo wapiga vifuani mwao na wakaanguka chini. DON macho yakamtoka kwa maana katika kipengele kimoja alicho kisahau kwenye kunifahamu ni kipengele cha mimi kuijiuga na jeshi la waasi la Obote, jeshi ambalo nilipatiwa mafunzo ambayo kipindi nina jiinga nilikuwa nipo kwenye asilimia ishirini ya kufahamu juu ya maswala ya kupina ila sasa hivi nime kamilila kwa kila kitu. Nikawatembezea kichapo walinzi wa Don huku nikifunga mlango kuhakikisha hatoki mtu hata mmoja ndani hapa. Ndani ya dakika saba walinzi wote nikawazimisha na akabaki DON mwenyewe huku akitetetemeka kiasi cha kuanza kuujua udhaifu wake ambao siku zote ni ngumu sana kwa mtu kuufahamu pale anapo kuwa na walinzi wake. Nikaanza kumfwata Don taratibu na yeye akaanza kurudi nyuma hadi akafika usawa wa dirisha la kiooo.

“Nahitaji uniambie ni wapi ilipo tepu uliyo rekodi inayo nichafua kwamba mimi ni gaidi?”

“Siwezi kukueleza Rashidi, kama una taka kunia, wewe niue tu”

DON alizungumza kwa kujiamini japo tayari ana hofu. Nikamkaba koo lake, kwa jinsi alivyo mfupi na mnene akaanza kufurukuta ili kuutoa mkono wangu ila akashindwa kabisa kwa maana nime mkaba kisawa sawa.

‘Sijui nimuue?’

Niliwaza mooyoni mwangu huku nikimtazama jinsi macho yanavyo mtoka. Nikampiga shingno mwake kwa kututumia ubapa wa kiganja changu na kumfanya DON azimie na kuanguka chini. Nikachukua simu yangu mfukoni na kumpigia Leticia.

“Upo wapi?”

“Nipo kazini?”

“Nime mkamatisha DON njoo hotelini kwangu mumchukue”

“Kweli?”

“Sasa hivi njooni”

“Sawa nisubirie hapo hapo?”

Nikakata simu, kwa haraka nikabadilisa nguo, nikabeba begi hili alilo nipa DON jana. Nikawaburuza wote kwa pamoja na kuwaingiza katika bafu huku wakiwa wamezimi. Nikaanza kusikia ving’ora vyagari za polisi, nikatoka ndani hapa huku nikiwa nime valia miwani nyeusi, kofia nyeusi. Sikuhitaji kuinga kwenye lifti, kwani ndio askari wata itumia, nikatumia ngazi kushua hadi chini na kukuta ulinzi mkali wa askari wakiwa eneo hili. Niikatafuta moja ya eneo na nikajibaza, baada ya dakika kadhaa nikawaona Don na vijana wake wakiwa chini ya ulinzi mkali wa askari. Simu yangu ikaanza kuita, nikaiatazama kwa sekunde kadhaa, nikamuangalia Leticia jinsi alivyo iweka simu yake sikoni akisubiria nipokee simu yake.

“Ndio”

“Ume kwenda wapi mpenzi wangu”

“Natambua kwamba nime muingiza DON kwenye mikono yenu ni lazima ata nisaka yeye na watu wake. Nina hitaji sehemu ya kujificha mambo yatakapo tulia nita kuambia”

“Ngoja kwanza baby kwa nini usiende nyumbani kwangu?”

“Wana pajua hadi nyumbani kwako, walijikua kwa ajili ya kuniua ila nika wazidi hivyo nina kuomba sana niondoke”

“Nime kuelewa mume wangu nina shukuru sana”

“Zawadi ya pekee ninayo kupatia ni list ya wale wahalifu ita kuwa ni moja ya ushahidi wako utakao utumia kumbana DON”

“Sawa mume wangu”

Nikakata simu, nikaituma email hiyo kwa Leticia ambaye yeye hanioni sehemu hii niliyo jificha ila yeye nina muona na mbaya kuna watu wengi sana eneo hili. Nikaingia kwenye moja ya taksi na kumuomba anipeleke hadi uwanja wa ndege. Akatii, nikafungua begi hili, nikatoa bastola na kuichomeka chini ya siti hii ya nyuma niliyo kaa pasipo dereva taksi kugudua chochote. Nikafika uwanja wa ndege, nikamlipa dereva na nikashuka, nikaingia uwanjani hapa, moja kwamoja nikelekea katika maduka ya vifaa mbalimbali yaliyo uwanjani hapa, nikanunua kiwembe kidogo, nikapita duka la dawa na kununua dawa ya kuziia damu kutoka pamoja na bandeji. Nikaelekea katika vyoo vilipo katika uwanja huu, nikaiatingia katika moja ya chuoo cha kiume na nikafunga mlango, nivua tisheti niliyo ikaa, kisha taratibu nikaanza kuchana eneo nililo wekewa chip inayo muonyesha DON eneo lolote ambalo nina elekea. Japo ni oparesheni ndogo ambayo haitumii hata ganzi ila ina maumivu makali sana, nikafanikiwa kuitoa chip hii na kuivunja vunja na kuitumia kwenye choo hichi cha kuflash. Nikajipaka dawa katika jerala langu hili na ndani ya muda mfupi damu ikakauka, nikizungushia bandeji hili eneo zima la tumboni ili kuhakikisha bandeji ya dawa iliyopo katika kidonda haianguki. Nikanawa mikono na kuvaa nguo zangu, nikitoa laptop aliyo nipa DON na nikaivunja katika vipande wivili nikatoa simu mfukoni nayo nika ivunja vunja vipande na kuitupia ndani ya choo hichi na nika iflash. Nilipo hakikisha kwamba kwa sasa hakuna anaye weza kunifwatilia kwa mtandoa, nikatoka chooni hapa na moja kwa moja nikaeleka hadi katika eneo la kukata tiketi, nikakata tiketi katika shirika la ndele la KLM ambayo ita ondoka siku mbili zijazo. Nikatoka nje ya uwanja huu na kuingia katika moja ya taksi na moja kwa moja nikaelekea nyumbani kwa Leticia, kutokana alinitambulisha kwa asakari wake asubuhi hivyo ikawa rahisi kwa wao kuniamini na kunipokea. Akili yangu ya kuelekea uwanja wa ndege ilikuwa ni kuwachanganya watu wa DON wanao nifwatilia kwa mtandoa. Lazima signal ya mwisho ita waonyesha kwamba nilikuwa uwanja wa ndege na hivyo kwa asilimia tisini na tano wata amini kwamba nime ondoka nchini Brazil.

‘Vita sasa ime anza, Jackline mke wangu nina kuomba unisubirie nina kuja nyumbani’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikifungua mojaya kopo la juisi nililo chukua katika friji kubwa iliyopo hapa nyumbani kwa Leticia.

‘Huyu mwanamke hawezi kurudi nyumbani sasa hivi’

Niliwaza kimoyo moyo huku nikijaribu kutafakari nini cha kufanya. Nikatoka nje na kumuita kwa ishara mmoja wa askari.

“Ndio shemeji”

“Samahani nina omba uniazime simu yako, nimpigie bibie kwa maana simu yangu kidogo ilileta shida jana usiku”

“Hakuna shaka”

Askari huyu alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu. Nikaiingiza namba ya Letcia ya mkononi na simu jina likatokea Mkuu katika simu hii, simu ikaanza kuita, ila ikakatwa na ujumbe mfupi ukaingia kutoka kwake kwamba yupo busy kwa sasa ata wasiliana na mimi baadae. Nikatuma ujumbe wa meseji kwani nina imani ana amini kwamba ni walinzi wake.

‘Ni mimi mumeo nipo kwako’

Baada ya kuutuma ujumbe huo nikakata simu na kumkabidhi mlinzi huyo hata kabla hajaodoka simu yake ikaanza kuita.

“Ana piga bosi”

Askari akanikabidhi simu na nikaipokea.

“Ndio”

“Baby ni wewe”

“Yes nipo nyumbani”

“Ohoo nita kuja baada ya nusu saa”

“Poa”

Simu ikakatwa na nikamshukuru askari huyu na moja kwa moja nikaeleka chumbani kwa Leticia na kujilaza kitandani. Nikaitazama picha ndogo iliyopo pembeni ya kitanda hichi. Ina muonyesha Leticia kipindi alipo kuwa mdogo pamoja na bibi ambaye nina imani ndio aliye kuwa bibi yake. Baada ya nusu saa Leticia akafika nyumbani hapa. Akanikumbatia kwa furaha huku akininyonya denda la nguvu.

“Asante sana mume wangu”

“Asante ya nini tena?”

“Yaani ume nifanya nime onekana bora sana kwa kumkamata muhalifu mkuu wa dunia na kwa kupitia hili la leo ni lazima nita pandishwa cheo”

“Ngoja kwanza, mbona DON alikuwa ana ishi na watu mulikukuwa muna shindwa nini kumkamata?”

“Ilikuwa ni ngumu sana kumfikia DON kwanza leo hii ndio nina muona uso kwa uso”

“Duu mimi nime zunguka naye maeneo mengi sana”

“Ehee niambie”

“Kwanza nina omba ulishuhulikie jeraha langu”

Nikavua tisheti na nikafungua bandeji hii.

“Niliitoa ile chip, ili wasifahamu ni wapi nilipo”

“Aiisii ngoja nije kukushona mume wangu”

Leticia akanyanyuka na kuelekea sebleni, akarudi akiwa amebeba kisanduku chenye rangi nyekundu huku kikiwa na msalaba mwepe. Akakifungua na nikaona kikiwa kime jaa kila aina ya dawa. Akaanza kazi ya kukisafisha kwanza kidonda hichi kisha akanishona vizuri kisha akaniweka bandeji.

“Aisee ulipaswa kuwa nesi”

“Hahaaa bibi yangu ndio alikuwa nesi, alinifundisha maswala yote ya kuhudumia mgonjwa aliye jeruhiwa, ila kusema kweli sikupenda kazi yake kabisa. Nilicho penda ni kubebe bastola kila muda”

“Sawa, mke wangu DON alinieleza juu kuhusia na wewe kwamba ni maaskari wanao dili na maswala ya uhalifu na nina paswa kuwa makini sana na wewe. Hivyo ina kupasa uwe makini sana tena sana”

“Usijali mume wangu nipo makini na mziki wangu wana ufahamu vizuri.”

“Kwa sheria za hapa kwenu ina kuwaje mukimkamata muhalifu kwa ushahidi?”

“Yaani kiufupi leo DON moja kwa moja ana pelekwa mahakamani kisha ana hukumiwa kifungo kutoka na makosa aliyo yafanya na isitoshe amefanya makosa mengi na ame husika katika makosa mengi sana. Kiufupi hakuna nchi duniani ambayo ina weza kumshikilia DON na asikutwe na hatia.”

Leticia akawasha tv iliyopo hapa chumbani kwake na habari zinazo tawala kwenye kila chaneli ni kuhusiana na kukamatwa kwa DON.

“Naamini dunia sasa ita furahi kwa kukamatwa kwake.”

Leticia alizungumza kwa furaha sana.

“Ila mume wangu una jiweza”

“Kwa nini?”

“Una jua DON ana lindwa na walinzi wenye uwezo mkubwa sana. Ume wapigaje pigaje kwa maana muda ambao tulikuwa tuna ingia pale, tuliwakuta hoi bafuni?”

“Ubaya ni kwamba nina mfahamu DON na watu wake”

“Je una fahamu sehemu nyingine za siri ambazo ana tengenezea madawa ya kulevya?”

“Mmmm kipindi nilipo kuwa ni mbwa wake, kuna maeneo mbalimbali alikuwa ana nipeleka”

Simu ya Leticia ikaanza kuita akaitazama kwa muda kidogo.

“Ahaa mkuu ana piga”

Leticia alizungumza huku akitabasamu. Akaipokea simu hiyo na kuiweka sikoni mwake.

“Ndio mkuu”

“Nini?”

Leticia aliuliza kwa mshangao huku macho yakimtoka.

“Sawa nina kuja sasa hivi”

Leticia akakata simu huku kikipanda na kuchukwa kwa kasi sana.

“Baby nina ondoka, watu wa DON wamevamia kituo kikuu na wana jaribu kumtorosha bosi wao na hapa ninavyo zungumza na wewe ni kwamba mkuu ameniambia askari wana zidi kuuwawa na wana hitaji msaada wangu”

Nikahisi kama moyo unataka kunichomoka kwa wasiwasi kwa maana kama DON ata fanikiwa kutoroshwa na watu wake, ata nifanya nini mimi na familia yangu.



“Naomba twende wote”

Nilizungumza huku nikisimama wima.

“Hapana mume wangu una jeraha mwilini mwako”

“Ndio nina jua ila sio kubwa na haliwezi kunizuia kufanya chochote. Kumbuka akitoka salama eneo lile ana kuja juu yangu na familia yangu. Ni lazima nifanye jambo sasa”

Leticia akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akatingisha kichwa akimaanisha kwamba amekubaliana na mimi. Nikavaa tisheti yangu na tukatoka ndani hapa, tukaingia ndani ya gari na kuondoka nyumbani hapa kwa kasi.

“Askari wote mulipo eneo la karibu na makao ya polisi, kituo kimevamiwa nina rudia tena, kikao kime vamiwa, msaada wa askari una hitajika”

Letcia alizungumza kwa kutumia simu ya upepo, huku akizidi kuongeza mwendo kasi wa gari lake hili linalo washa king’ora cha tahadhari na kuwafanya maderev wa gari nyingine kulipisha gari letu.

“Nisikilize Malcom wewe sio askari ila una hitaji kuingia kwenye oparesheni hii, angalia siti ya nyuma hapo kuna jaketi la kuzuia risasi na cheni yenye kitambulisho. Vaaa”

Sikutaka kuuliza swali lolote zaidi ya kufwata anacho niambia Leticia, nikavaa jaketi la kuzuia risasi ambalo limeandikwa kwa maandishi makubwa yenye rangi nyeupe, POLICE. Nikavaa cheni hii ambayo ina kitambulicho kilicho tengenezwa kwa rangi ya dhahabu huku kikiwa na nembo ya jeshi la polisi na maandishi yanayo mtambulisha mtu mwenye kitambulisho hichi ni polisi. Leticia akanitazama kidogo kishaa akatabasamu na tukaendelea kuendesha gari hili kwa umakini wa hali ya juu. Tukafika karibu na eneo la kituo na kukuta askari wengi wakiwa wameuwawa huku eneo hili la nje kukiwa na watu walio valia nguo nyeusi wapatao sita na mikononi mwao wameshika bunduki kubwa ambazo silaha zake zina wekwa kwenye mikanda maalumu. Gari nyingi za polisi zzilizopo nje ya kitua zina teketea kwa moto. Tukashuka kwenye gari kisha sote tukazunguka nyuma ya gari hili kwa maana risasi bado zina endelea kumiminwa na watu hawa ambao wana onekana wamejipanga sana.

“Fuc** wanatumia mashine gun”

Leticia alizungumza huku akifungua buti ya gari lake, akanipa bunduki aina ya M4 pamoja na bastola aina ya MK28. Kisha naye akachukua silaha zinazo fanania na zangu.

“Jamaa wana tumia M2”

Nilimuambia Leticia huku nikimtazama jamaa mwenye bunduki hiyo kubwa akiwa amesimama juu ya gari aina ya Toyota Pickup huku bunduki hiyo akiwa ameiweka juu ya gari kwa maana ni kubwa na ni nzito na hadi uweze kuitumia una paswa kuwa na afya ya kutosha, kama una afya mgogoro ina kuua. Risasi zikaanza kupiga gari letu kwa mbele na kutufanya tukae chini kwa maana risasi zina weza kupenyea kwenye kioo cha pembe na kuitupiga sehemu tulipo.Kazi yangu ikaanza kufanya kazi kama computer, eneo hilu tulipo pembeni kuna gorofa refu na kuna mlango ulio fungwa. Nikapiga risasi kadhaa katika kitasa cha mlango kisha kwa kasi ya ajabu nikakimbilia katika mlango huo na kuupiga kwa nguvu kwa bega langu la mkono wa kulia huku risasi kadhaa zikinipunyua punyua na kupiga nguzo iliyo nje ya jengo hili. Nikamtazama Leticia kwa maana jinsi gari linavyo zidi kushambuliwa ndivyo lina weza kulipuka na kumdhuru Leticia.

“Nina kulinda ruka”

Nilizungumza huku nikitoa mkono mmoja nje ukiwa na bastola na kufyatua risasu mbili kuelekea eneo walipo watu waDON. Leticia wa haraka akaruka eneo nililo mimi.

“Shukrani”

Letica alizungunza na tukaanza kukimbia huku tukipandisha ngazi zinazo tupelekea goro la juu. Tukafika gorofa ya pili na tukaingia kwenye moja ya chumba kinachoe elelekea kilipo chumba cha polisi, kwa bahati nzuri mwenye chumba hichi hayupo na mlango wenyewe niliupiga kumbo moja la nguvu na ukafunguka. Nikachungulia dirishani na kuona jinsi jamaa hawa wanavyo shambulia askari au gari za jeshi zinazo fika eneo hili.

“Ina maana hawafi kwa risasi?”

Nilimuuliza Leticia huku tukiwa tumejibanza kwenye kuta za chumba hichi tukitazama.

“Wamevaa vifaa maalumu ambavyo vipo kama ngao. Risasi zote ambazo tuna wapiga zikiwakaribia mita tano kutoka walipo simama zina poteza nguvu na kunguka chini”

“Duu kwa hiyo huo utaalamu upo?”

“Ndio upo, ndio maana wamesimama eneo la wazi na kifaa hicho ni kidogo tu una vaa mkononi kama saa”

“Sasa tuna fanayeje?”

“Hata sijui mume wangu na nina imani kwa muda huu wata kuwa wan ajarubu kutorosha DON.

‘Siwezi kumuacha DON atoroke’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiwatazama. Nikaishika bundik yangu hii zizuri, nikamtazama jamaa aliye na bunduki kubwa kuliko wengine kisha nikashusha pumzi nyingi. Nikafyatua risasi nne kwa mfululizo huku nikiamini kama kifaa hicho kina uwezo wa kuzui risasi zinazo pigwa bila mpangilio basi endapo risasi zikapigwa nne katika eneo moja na zikiwa zimepishana sekunde moja moja basi zina weza kuleta mafanikio. Akili na wazo langu nililo kuwa nina lifikiria likafanya kazi kwani risasi moja ikamtandika jamaa kichwani mwake na akaanguka chini.

“Ume fanyaje Malcom?”

“Piga risasi eneo moja la mwili wake, hakikisha rirasi zote zina lenga eneo moja na zina pishana kwa sekunde”

Leticia akaanza kufanya kama nilivyo mueleza na wazo langu likaanza kufanya kazi, tukaanza kuwaua mmoja baada ya mwengine wawili wakakimbilia ndani ya kitua cha polisi ambapo tuna imani kuna wezao. Tukatoka katika chumba hichi na tukaanza kushuka katika ngazi, tukatoka nje na kukuta gari la Leticia likiteketea kwa moto kwa umakini mkubwa tukaanza kukimbilia kituoni. Nikafika kwenye moja ya maiti na kuintanyua mkono wake wa kushoto, nikamvua kifaa ambacho kime kaa kama saa, nikakivaa na nikaisogelea maiti nyingine na kumrushia kifaa hicho Leticia, akakidaka na tukaanza kukimbillia ndani ya kituo hichi. Tukafanikiwa kuingia ndani na kukuta maiti za askari wengi zikiwa zime zagaa kila sehemu. Kusema kweli, watu hawa ni makatili kwani hadi wafungwa wadogo wadogo walio kuwa wamekamatwa kwa makosa madogo madogo nao pia wameuwawa. Kitu kimeharibiwa kwa matundu ya risasi huku damu zikiwa zimetapakaa kwenye kuta na sakafu. Nikaanza kumfwata Leticia kwa nyuma huku akiwa makini sana, tukafika katika chumba ambacho DON alikuwa amehifadhiwa. Askair walio nje wote wame uwawa na ndani ya chumba hakuna mtu yoyote.

“Shitii, hawa watakuwa wamepita subway”

Leticia alizungumza na sote tukatoka ndani hapa na kuanz akukimbilie aeneo lenye njia inayo pita chini ya ardhi. Tukafika katika eneo hilo na kweli tukakuta mlango ukiwa ume funguliwa.

“LETICIAAAAA”

Nilizungumza kwa sauti ya juu huku nikimshika Letica kwa nyuma na kumzuia asipige hatua kwani kuna waya mdogo sana wa bomu la kulipuka ambao sio rahisi kuuona, na endapo Leticia angeukumba basi bomu lililo tegwa lingelipuk.a

“Bomu”

Nilimuambia Letica huku nikimuonyesha waya huo. Macho yakamtoka huku hofu kubwa ikimtawala. Nikatazama waya huu na kweli ume tegeshwa katika eneoa njia hii. Nikatazama kulia kwangu kwa juu na nikaona bomu jengine likiwa lime tegeshwa na bomu hili ni lina teguka kwa muda maalumu ambao ume pangwa.

“Totoke tutoke”

Leticia alizungumza kwani bomu hili lina kwenda kuteguka ndani ya sekunde arobaini na sitta. Tukaanza kukimbia kadri ya uweozo wetu huku Leticia akiwa ametangulia mbele, kitendo cha kufika katika mlango wa kutokea katika kituo hichi cha polisi, mlipuko mkubwa sana ukaanza kutokea nyuma yetu, ikatulazimu kujirusha nje na kulala chini huku moto mkubwa ukitoka mlangoni hapa na kupita juu tetu. Jengo hili la gorofa tano likaanza kudidimia kuelekea chini kwa maana mabomu yaliyo tegeshwa yalitegeshwa eneo la chini ya jengo hili. Baada ya moto huu kutulia kwa haraka nikamnyanyua Leticia na tukaanza kukimbilia eneo walipo askari polisi na wanajeshi.

“Mupo salama”

*******************************************************************

Ili uwe wa kwanza kupata episode za mbele za hadithi hii kabambe ya X unacho paswa kufanya ni kuwasiliana nami whatsapp 0742334453 au 0657072588. Kama upo Facebook uta ipata kupitia facebook inbox kwenye page yangu ya Story Za Eddy-tz EPISODE MOJA NI SH 250/= TU. Wahi sasa

********************************************************************

Askari mmoja alituuliza ila Leticia hakujibu chochote zaidi ya kukohoa. Leticia akapatiwa huduma ya kwanza naa askari wezake.

“Asante”

Leticia alizungumza huku akinawa maji usoni mwake.

“Don hajafa”

Nilimuambia Leticia huku nikimtazam ausoni mwake.

“Ndio lazima tuta mpata”

Leticia alizungumza huku akichukua moja simu ya upepo kutoka kwa askari wake.

“DON hajafariki dunia, nina hitaji askari wote kuhakikisha kwamba njia zote zina zibwa kuhakikisha Don ana kamatwa”

Leticia alizungumza kwa kujiamini. Gari nne nyeusi aina ya Range Rover Sport, zikasimama eneo hili na wakashuka watu kumi walio valia suti nyeusi, miwani nyeusi pamoja na vinasa sauti masikioni mwao.

“Shiti wametokea wapi hawa wapuuzi”

Leticia alizungumza huku sote tukiwatazama jamaa hawa. Wakasimama mbele yetu na mmoja wao akaonyesha kitambulisho.

“Fwatana nasi”

Jamaa huyo alimuambia Leticia huku akitutazama sisi sote wawili.

“Nipo katikati ya oparesheni siwezi kuongazana nanyi mtu wangu nimpate”

“Oparesheni kuanzia hivi sasa ita kuwa chini ya jeshi na sio polisi tena. Tafadhali fwatana nasi pamoj ana wewe kijana”

“Huyu hana lolote la kufanya”

“Naye pia ana hitajika”

Nikamtazama Leticia huku mapigo yamgu ya moyo yakianza kunienda kasi.

“Tunahitaji silaha zenu”

Leticia akakambidhi silaha zake kwa jamaa hawa, nami nikatii na kukabidhi silaha zangu kwa hawa hamaa na tukaana kuondoka nao kuelekea kwenye gari zoa. Tukaingizwa katika gari moja na tukaanza kuondoka eneo hili.

“Hawa ni kina nani?”

Nilimuuliza Leticia huku nikimnong’oneza sikioni mwake.

“Ni kikosi maalumu cha upelelezi wa nchi nchi nzima. Hawa wana mamlaka ya juu kuliko vikosi vyote vya nchi hii na wao pia ndio humlinda raisi”

“Ahaa sawa, sasa kwa nini wame tukamata?”

“Kwenye ishu kama hii lazima hili nilitegemea litokee kwa maana wata hitaji kutuhoji maswali”

Leticia alinijibu kwa kuninong’oneza.

“Ila mimi sio polisi”

“Usiwe na shaka, wewe tulia nita malizana nao mimi”

“Mmm!!”

Niliguna kwa maana sijui ni kitu gani kinacho kwenda kutokea. Tukafika katika gorofa moja refu. Tartaibu gari hizi zikaingia katika maegesho yaliyopo chini ya ardhi na zikasimama kwa pamoja. Wakashuka jamaa hawa kisha jamaa walipo kaa siti ya mbele wakatuamrisha kushuka.

“Kuwa makini na uancho ulizwa”

Leticia alizungumza kwa kuninong’oneza, Tukakaingia katika lifti ambayo kidogo ina nichanganya, badala ya kuelekea juu, tuna elekea chini ikiwa eneo tulilo kuwepo ilikuwa ni hini kabisa na gorofa ya kwanza ipo juu. Wanaume hawa kumi walituweka katikati ndani ya lifti hii. Mlango uka funguka kisha walipo mbele yetu wakatangulia kushuka. Nikatazama kordo hii ndefu ambayo ina taa zenye mwenga hafifu huku zikicheza cheza kana kwamba umeme wake una taka kukatika. Katika kordo hii kuna milango mingi mingi

“Twende”

Jamaa aliye kaa nyuma yangu alizungumza huku akinisukuma kidogo. Tukaanza kutembea, huku kwenye kila chumba hinacho pita nikisikia kelele za watu wakilia.

‘Ohoo tume kuja kuteswa. Wanaume watano wakaingia na Leticia kwenye moja ya chumba huku nami nikibaki na watano na safari ya kuembeea ikazidi kusonga mbele. Tukakunja kushoto na nikaona kordo nyingine ambayo ni ndefu sana na ina vyumba vyumba. Tukafika kwenye mjoja ya chumba na mmoja wa jamaa hawa akafungua na nikaingia ndani. Katika chumba hichi kuna mwanga hafifu ambao una niwezesha kuona kiti kimoja tu cha chuma kilichopo eneo hili. Mmoja waoa akanivua jaketi hili la kuzuia risisasi, wakanivua na tisheti yangu niliyo ivaa.

“Kaa pale”

Jama huyu aliniambia na nikatii, nikakaa kwenye kiti hichi cha chuma. Galfa nikaihisi hali ya tofauti kwenye mwili wangu kwani miguu na mikono yangu nikahisi ikikosa nguvu kabisa.

“Tuna maswali, tuna omba utujibu. Ukitudanyanya tuna kuua”

Jamaa huyu alizungumza huku akikoko bastola yake. Jamaa wanne wakatoka ndani hapa na akabaki peke yake.

“Wewe ni Rashidi Pinda na ni Mtanzania si ndio?”

Nikastuka kidogo huku nikimtazama jamaa huyu.

“Nijibu ndio au hapa?”

“Ndio”

*******************************************************************

Ili uwe wa kwanza kupata episode za mbele za hadithi hii kabambe ya X unacho paswa kufanya ni kuwasiliana nami whatsapp 0742334453 au 0657072588. Kama upo Facebook uta ipata kupitia facebook inbox kwenye page yangu ya Story Za Eddy-tz EPISODE MOJA NI SH 250/= TU. Wahi sasa

********************************************************************

“Kitambulisho chako feki ambacho kina kuonyesha kwamba ume ingia hapa ni raia wa Brazili unaitwa Malcom Luiz na pia ulikuwa una ishi nchini Marekani kwa kitambulisho cha Malcom X na ulikuwa ni raia wa nchi hiyo pia. Nchini Tanzania ulikamatwa na kuhukumiwa kwa kosa kuwaua askari polisi, ukafungwa katika gereza liitwalo Maweni lililopo mkoa wa Tanga”

Nikashangaa sana kuona jamaa anajua historia yangu.

“Uliingia nchini Marekani kwa jina la Malcom X ikiwa ni kinyume na sheria. Ukawa mpiganaji chini ya DON hivyo tukisema kwamba wewe ni kijana wa DON tuta kuwa tume kosea?”

“Nilikuw ani mtu wake ila sio sasa”

“Hahaaa ndio maana ukaoan umsaidie katika kutoroka gerezani kwa kumtumia kimapenzi askari wetu si nsio?”

“Sija mtumia kimapenzi Leticia. Nina mpenda na nipo tayari kufanya chochote kwa ajili yake”

Nilizungumza kwa kujiamini huku nikimtazama jamaa huyu usoni mwake.

“Katika tukio la wiki moja iliyopita kwa kuvamia meli ya jeshi lako la nchi ya Tanzania na kuwateketeza wanajeshi wote walipo ndani ya meli hiyo ili kuokolewa na DON kutoka mokononi mwa kitengo cha NSS, Ina dhibitisha kwamba wewe ni gaidi si ndio?”

“Mimi sio gaidi”

“Kweli?”

“Ndio mimi sio gaidi na mimi nina hitaji wa kumua DON”

“Ohoo”

Jamaa huyu akatoa ishara, taa kubwa zenye mwanga mwupe mithil ya jua zikawashwa ndani yac humba hichi. Jamaa huyu akatoka ndani hapa na kunifanya nifumbe macho yangu kwani taa hizi zina umiza sana, ukubwa na taa hizi ni sawa na taa zinazo fungwa kiwanja cha mpira ambapo usiku una ona kama mchana. Joto kali linalo sababishwa na taa hizi likatawala ndani hapa. Ndani ya muda mfupi koo langu likakau na kiiu ikanikamata kisawa sawa kiasi cha kuhisi nina weza kufa.

“Maji, maji”

Nilizungumza kwa sauti ya unyonge kwan hata sauti yenyewe haitoki vizuri kooni mwangu. Jasho jingi likazidi kunitiririka kwa haraka haraka ukioniona una weza kuhisi nime toka kukimbia mbio ndefu.

‘Majiiii’

Nilizungmza huku nikogopa hata kufumbua macho yangu kwani yana weza kupofuka kwa mwanaga huu huu ulivyo mkali. Nikajaribu kusimama ila miguu ime ishiwa nguvu na kushindwa kuelewa, hichi kiti kina nini kwani sija fungwa lala kupigwa ila sina nguvu kabisa. Taa zikazimwa na kidogo hali ya joto ikaanza kutulia ndani hapa. Mlango ukafunguliwa na akaingia jamaa ambaye alikuwa ana zungumza nami kwa mara ya kwanza. Mkoni mwake ameshika chupa ndogo iiyo jaa maji, nikatamani kumvamia nichukue chupa hiyo ila mikono na migu haina uwezo wa kufanya chochote.

“Hiyo kiu ya maji nikukuacha nayo kwa masaa mawili una weza kufa. Tupatie kile tunacho kihitaji kisha tuta kuwa tayari kukuacha unde”

“Muna hitaji nini jamani ikiwa kama ni ukweli nilisha waeleza?”

“Tuambie ni wapi alipo DON?”

“Sifahamu kweli”

Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga usoni mwake. Jamaa akafungua chupa hii ya maji na tarayibu akaanza kuyamwaga chini huku akinitazama usoni mwangu.

“Ni wapi alipo DON na kwa nini ulipanga kumkamatisha kwa askari ili hali una tambua DON ni muhalifu mmoja mkubwwa wa kidunia?”

“Ni…liamini kwamba kumsalimsha kwa polisi kwangu ita kuwa ni msaada. Nimeachana na DON kwa maana ana hitaji kuiua familia yangu. Ana taka kunitumia kwneye mipango mibaya ambayo hapo awali sikukubaliana nayo. Tafadhali nina omba majaii, naomba unisaidie jamaa yangu”

Nilizungumza huku nikietetemeka, kwani koo langu lime kauka hadi nina hisi lita pasuka, mate yote mdomoni mwangu yameniish

a kwa kweli katika adhabu ambazo zina tesa mwili ndani kwa ndani, basi adhabu hii ya taa zenye mwanga mkali ni kiboko kwani hupigwi ila unacho kipata hutamani ukipate tena.


***********************************************

“Sifahamu jamaa yangu, mimi mwenyewe nina pambana na DON kwa ajili ya kuhakikisha mke wangu, mama yahngu na wanangu wana kuwa salama.”

Nilizungumza tabu sana kwani hata sauti yenyewe ina endea kukauka.

“Nina kuahidi nita hakikisha nina msaka DON popote pale alipo kuhakikisha tuna mkamata”

Jamaaa akanisogele huku chupa ya maji ikiwa robo. Akaanza kuninywesha taratibu.

“Tuna kupatoa masaa arobaini na nane kuhakikisha kwamba DON ana patikana”

Jamaa huyu akagusa nyuma ya kiti hichi na taratibu nikaanz akujihisi nguvu mikononi mwagu na miguuni mwangu.

“Macho yetu yote yapo kwako sasa. Endapo uta fanya jambo lolote la kishenzi tuta dili na wewe. Tumeelewana?”

“Ndio”

Baada ya dakika kama tano hali yangu ukarudi na kuwa kawaida. Tukatoka ndani ya chumba hichi na jamaa huyu na nikakuna na jamaa wengine wanne ambao mara ya kwanza wao ndio walio nileta katika chumba hichi. Kama tulivyo ingia ndivyo tulivyo toka, ila kwa wakati huu lifti ina panda kuelekea juu. Tukafika katika maegesho ya magari na kumkuta Leticia akiwa emeegemea moja ya gari. Tukakumbatiana na Leticia kisha tukaingia katika gari hili huku tukiwa peke yetu na safari ya kuondoka hapa ikaanza.

“Pole mume wangu”

“Nashukuru vipi wame kutesa?”

“Hapana wame nihoji maswali kadhaa tu vipi wewe”

Nikamuadhithia Leticia kilicho nipata ndani ya chumba nilicho kuwa nimefungiwa.

“Hivi ume waeleza chochote juu ya historia yangu?”

“Hapana ila hawa watu kuipata rekodi ya maisha ya nyuma ya mtu ni jambo rahisi sana kwa manaa kitengo chao kina fanya kazi na vitengo vya aina hiyo katikati nchi mbalimbali”

“Ahaaa, vipi DON amefikia wapi?”

“Nimepokea ripoti kwamba wamepotelea baharini kwa maana ile njia ina tokea baharini, vikosi vya majini bado vina endelea kumsaka”

“Hawezi kumpata”

“Kwa nini?”

“DON ana submarine ambayo kwa upeo wangu mdogo sana haiwezi kunaswa na satelaite ya ina yoyote. Ndio maana ilikuwa ni rahisi kwa wao kuivamia meli ya jeshi la Tanzania na kuiteka”

“Duu kama ni hivyo tumesha mpotenza huyo”

“Ndio hiyo. Hapa nina imani ata kwenda moja kwa moja nchini Mexco na huko Mexco ndipo kwenye genge lake kubwa la wahalifu”

“Ina bidi twende Mexco”

“Leticia Mexco ni nchi ya ajabu ni nchi hatari sana”

“Nina ifahamu vizuri kwa maana bibi mzaa mama ni Mmexco hivyo aliolewa na babu yangu ambaye ni mbrazili na ndio kizazi cha mama yangu na mimi kikafwata”

“So ulisha wahi kuishi Mexco?”

“Ndio miaka kumi na mbili ya utoto wangu”

“Sawa”

“Hapa nina hitaji tuondoke sasa hivi na ndege kuelekea Brasilia, makao makuu ya polisi, nina hitaji uweze kuingia katika timu yangu”

“Wata nikubalia kweli ikiwa rekodi ya nyuma sio nzuri?”

“Niamini mimi”

Tukafika nyumbani kwa Leticia akabeba nguo chache huku nami nikibeba begi alilo nipatia Don. Tukaondoka nyumbani na moja kwa moja tukaelekea uwanja wa ndege, Leticia akakata tiketi mbilia na majira ya saa kumi na mbili tukaondoka Rio de Janeiro na safari ya kuelea mji mkuu wa nchi ya Brazili ikaanza. Ukimya ukatawala kati yetu huku akilini mwangu nikiwazia ni namna gani nina weza kuilinda familia yangu kwani kumsaliti Don ita kuwa ni kama na Mbogo aliye jeruhiwa.

“Baby”

Leticia aliniita kwa sauti ya upole na iliyo jaa mahaba.

“Yes”

“Mbona upo kimya?”

“Nawaza juu ya haya tunayo kwenda kuyafanya. Ina bidi sasa hivi niwasiliane na familia yangu”

“Usiwasiliane nao kwa sasa”

“Kwa nini?”

“Tambua tuna ingia kwenye mapambo na mtu ambaye ana watu. Watu ambao wapo tayari kwa ajili ya kufa kwa ajili yake. Hivyo ni lazima kuhakikisha tuna ishinda hii vita kisha familia ita kuwa ya mwisho kuwasiliana nao?”

“Je wakiuwawa ina kuwaje ikiwa DON alidhihirisha kwamba ata iangamiza familia yangu na ana fahamu udhaifu wnagu mkubwa ni familia yangu”

“Ngoja tufike kwanza mkao makuu”

Safari ikazidi kusonga mbele na tukafika mji mkuu wa nchi hii ya Brazil na moja kwa moja tukaelekea katika makao makuu ya jeshi la polisi. Tukafika na kupandisha gorofa ya sita, Leticia akaniacha katika eneo la mapumziko na kuingia katika ofisi moja kubwa ambapo mlangoni kuna kibao kilicho andikwa Director General. Muda ukazidi kusonga mbele huku baadhi ya askari wakinitazama mara kwa mara. Baada ya masaa mawili na nusu ya kukaa eneo hili, Leticia akatoka ndani ya ofisini hiyo na akanifwata na kukaa pembeni yangu.

“Aha anime zungumza na wakubwa, wakupatie nafasi juu ya oparesheni hii. Wamefwatilia detail zako, japo kuna kaugumu ila tumuombe Mungu kwa maana wana jadiliana”

“Mmmm kaugumu gani?”

“Moja wewe sio Mbrazil, pili una kesi ya ujambazi ulio ufanya chini Tanzania na hapo tume angalia video ya cctv kamera ya eneo ambalo ulikuwa una fanya kazi ya ulinzi. Watu ina sadikika ume toroka gerezani na wana tazama baadhi ya mapambano yako uliyo kuwa una yafanya chini ya DON. Kiufupi kuna mambo mengi sana wakubwa wame iyomba serikali ya nchi ya Tanzania dhidi yako na hapa wana jaribu kumtafuta raisi wa Tannzani ili wazungumze naye”

“Duuu hawawezi kunikubalia”

“Kwa nini?”

*******************************************************************

Ili uwe wa kwanza kupata episode za mbele za hadithi hii kabambe ya X unacho paswa kufanya ni kuwasiliana nami whatsapp 0742334453 au 0657072588. Kama upo Facebook uta ipata kupitia facebook inbox kwenye page yangu ya Story Za Eddy-tz EPISODE MOJA NI SH 250/= TU. Wahi sasa

********************************************************************

“Kama niliyo kuadithia raisi alimchukau mke wangu wa ndoa. Isitoshe akanisingizia kesi, isitoshe akataka kunia sasa leo hii apewe full detail juu yangu kwa kweli, kinacho fwata ni mimi kurudishwa nnchini Tanzania na nikirudishwa nina kwenda kuuwawa tu mke wangu”

Leticia kaka kimya huku akinitazama kwa sekunde kadhaa kisha akanyanyuka. Akapiga hatua za haraka, akagonga mlango wa ofisi hiyo na kisha akaingia ndani. Akaka kwa dakika kumi na mbili kisha akatoka na akaniita kwa ishara. Nikamfwata na kwa pamoja tukaingia ofisini humo, nikakuta wazee watano. Mmoja amevalia mavazi ya upolisi huku akiwa na vyeo vyeo begani mwake na kwa haraka ana onyesha huyo ndio mkuu wa jeshi la polisi, wengine wamevalia suti nyeusi. Tukasimama sehemu moja na Leticia huku tukiwatazama wazee huyu, nikatupia jicho kwenye moja ya tv iliyomo ndani hapa na ina picha yangu nikiwa ulingoni.

“Wewe ni mpelelezi?”

Mkuu huyu wa jeshi la polisi aliniuliza.

“Hapana mkuu”

“Tuambie historia ya kweli ya maisha yako”

“Ila mkuu ina bidi tumfunge mashine ili tufahamua nacho kizungumza ni ukweli, ana weza kuzungumza kitu cha uongo na tuka muamini”

“Ni wazo zuri”

Mkuu wa jeshi la polisi akanyanyua mkonga wake wa simu na akaminya minya batani zake na kusikilizia.

“Nileteeni mashine ya kupima ukweli na uongo”

Baada ya kuzungumza hivyo simu ikakatwa. Baada ya dakika tano wakaingia askari wawili wakiwa na mashine hiyo ambayo sio mara yangu ya kwanza kuiona. Nikakaa kwenye moja ya kiti kisha nikavua tisheti na kupashikwa viwaya viwili kifuani mwangu huku kiwaya kimoja kikipachiwa kichwani mwangu upande wa kulia.

“Anza kutusimulia maisha yako”

Nikamtazama Leticia na akanipa ishara ya kuzungumza. Nikaanza kuongea taratibu nikisimulia hatua moja baada ya nyingine kuanzia nilipo jitambua hadi hapa nilipo fikia. Historia yangu ilichukua lisaa moja na dakika ishirini kuimaliza kuizungumza kwa maana sikutaka kuizungumza kwa papara.

“Kila kitu ni kweli alicho ogea mkuu”

Askari mwenye ujuzi na mashine hiyo alizungumza huku akiwatazama mabosi zake hao.

“Tuna shukuru”

Nikatolewa viwana hivyo na askari hawa wakatolewa ndani hapa.

“Tusibirini nje”

Mimi na Leticia tukatoka ndani hapa na kurudi kwenye benchi la kukaa.

“Nikueletee kahawa?”

“Ndio”

Leticia akaondoka eneo hili na baada ya dakika tano akarudi na vikombe viwili vilivyo jaa kahawa. Akanikabidhi kikombe chnangu na taratibu tukaanza kunywa huku moja ya saa ya ukutani ikionyesha sasa hivi ni saa tisa usiku.

“Ume choka?”

Nilimuuliza Leticia huku nikimtazama usoni mwake.

“Hapana sijachoka mume wangu, vipi wewe?”

“Nipo poa”

Baada ya dakika kumi tukaitwa ndani kwa pamoja.

“Habari njema ni kwmaba tume kukubalia kumuingiza kwenye kikosi chako. Ila kwa sharti moja.”

“Sharti gani mkuu”

“Kazi hii endapo itaisha basi na yeye ata kuwa nje ya kikosi, na kumbuka kazi hii ya kumsaka Don ni hatari sana kuna mawili kufa au kupona. Nina imani tume elewana?”

“Ndio”

“Muna weza kwenda kupumzika, safari ya kuelekea Mexco kama ulivyo omba ina andaliwa na muta ondoka kesho asubuhi saa nne”

“Asante sana mkuu”

“Karibus ana bwana Rashidi Pinda”

“Nina washukuru”

“Tuache na Leticia wewe una weza kutoka”

Nikatoka ofisini hapa na kurudi kwenye kiti nilicho kuwa nime kaa na kumsubiria Leticia baada ya dakika kadhaa akatoka na tukaondoka hotelini hapa. Moja kwa moja tukaeleka hotel kwa ajili ya mapumziko kwani asubuhi tuna hitajika kituoni.

Asubuhi na mapema mara baada ya kupata kifungua kinywa moja kwa moja tukaelekea kituoni. Tukakabidhiwa hati za kusafiria, na vibali vyote vya kufanya kazi ndani ya nchi ya Mexco, nchi ambayo ina magenge makubwa ya uhalifu, watu wana uza madawa ya kulevya nje nje. Wata wana nguvu kubwa kuliko hata serikali na wana ogopwa hadi na viongozi wa serikali. Nchi ambayo wauza madawa ya kulevya wana wapelelezi wao hadi ikulu ya raisi, ndio maana ina kuwa ni eneo gumu sana la haswa wapelelezi kutoka mataifa mengine makubwa kama Marekani, Uingereza na kadhalika kuendesha oparesheni zoa.

“Tuna watakia safari njema na kila baada ya masaa ishirini na nne tuta hitaji ripoti kutoka kwenu”

Mkuu wa polisi alizungumza huku akitupa mikono.

“Sawa mkuu”

Tukaondoka ofisini hapa na kuelekea uwanja wa ndege. Baada ya nusu saa tuka panda ndege ya shirika la KLM na safari ya kuelea nchini Mexco ikaanza.

“Tuna masaa nane na nusu kukaa angani”

Leticia alizungumza huku akifungua mkanda wa siti kwani tayari ndege imesha kaa sawa angani.

“Ni mengi”

“Yaa ni robo robo siku”

“Naamini kazi yetu huko Mexco ita kwenda vizuri”

“Mungu atusaidie. Ila kusema kweli tuna ende katika nchi hatari”

“Nalijua hilo mke wangu”

“Hivi hii kazi ikiisha je uta enelea kuwa nami au utarudi Ufaransa kufunga ndoa na Jackline?”

Swali la Leticia likanifanya nikae kimya kwa sekunde kadhaa huku nikimtazama usoni mwake.

“Kuwa huru kwa sababu ni familia yako na ulisha nieleza”

“Ila mpenzi ulihitaji mtoto kutoka kwangu?”

“Ndio ila kumbuka mtoto ata hitaji kumjua baba yake”

“Usijali mke wangu, tumuombe Mungu tumalize kwanza hili”

Safari ikazidi kusonga mbele na tukafanikiwa kufika katika uwanja wa ndege wa Aeropuerto Internacional de la Ciudad de Mexco. Tukatoka uwanjani hapa na tukapokelewa na askari mmoja mpelelezi kutoka nchini Brazil ambaye ni mwaka wa pili sasa yupo hapa nchini Mexco.

“Karibuni sana”

“Tunashukuru, Luis Mexco imekupenda”

“Kwa nini mkuu?”

“Naona shavu dodo, una jisahau mdogo wangu”

“Hahahaa hapana mkuu, si una jua sehemu nilipo”

“Najua ila angalia mwili huo usije ukakueletea madhara”

“Sawa mkuu”

“Ehee umepata taarifa za mtu ambaye ametufanya tufike hapa?”

“Ndio mkuu na nimesha anza kulifanyia kazi, ila inavyo onyesha hakuna dalililo yoyote ya DON kuingia nchini hapa kwa maana tukio alilo lifanya jana Brazil hawezi kukimbilia nchini hapa”

Tukatazamana na Leticia huku safari ya gari hili ikizidi kusonga mbele.

“Hiyo habari ume ipata wapi?”

“Kwa watoa taarifa wangu.”

“Ata kuwepo Mexco”

Nilizungumza kwa kujiamini na umfanya jamaa Luiz kunitazama usoni mwangu.

“Kwa nini una sema upo?”

“Nilikuwa ni mkono wa kulia wa DON hivyo nina jua mambo yake mengi na nina jua ni wapi na wapi anapo weza kuwepo”

“Sawa”

Tukafika katika nyumba ya garofa moja, katika mtaa huuu una nyumba zinazo fanana na hii nyingi sana huku kila nje ya nyumba kukiwa na magari yaliyo simamishwa pembezoni mwa barabara. Tukaingia ndani na mizigo yetu na Luiz akatupatia funguo.

“Kila kitu nime weka ndani kama ulivyo agiza mkuu”

“Sawa nahitaji kucheki ccct amera zote kama zina fanya kazi vizuri”

Leticia alizungumza huku akitoa laptop yake katika begi, akaifungua na akaiwasha.

“Password?”

Leticia alizungumza huku akimtazama Luiz usoni mwake. Luiz akamtajia Leticia neno la siri la kamera hizo. Akaanza kukagua kuanzia kamera ya mlangoni,kamera iliyo juu ya gorofa inayo onyesha mita mia moja za mtaa huu kulia na kushoto.

“Kazi nzuri. Nani ana tambua juu ya uwepo wangu hapa?”

“Hakuna mkuu”

“Funguo ya gari?”

“Hii hapa alafu usinge nikumbusha ninge sahau”

“Silaha”

“Twende nikawaonyeshe”

Tukaondoka na Luizi na kuingia stoo, akawasha taaa, chumba hichi kina makabati yaliyo jaa silaha na mabomu. Leticia akaanza kukagua kabati moja baada ya jengine hadi akajiridhisha.

“Safi sana Luiz.”

“Nipo makini sana mkuu”

“Poa tuta pumzika kesho asubuhi tuta wasiliana”

“Sawa mkuu, ndugu niwatakie mapumziko mema”

“Poa poa”

Luizi akatoka ndani hapa na kuondoka. Letici akaandaa chakula cha usiku huku mimi kazi yangu ikiwa ni kutafuta watu wa karibu na Don ambao alinitambulisha kwao kipindi nikiwa nipo naye bega kwa bega kwenye kila kitu.

“Baby nime maliza kupika njoo tule sasa”

“Ngoja kidogo mke wangu”

Leticia akaja na kuinama nyuma yangu huku kidevu chake akikiweka katika bega langu la kushoto.

“Rodrigus Alex au kwa jina jengie ana itwa RX. Ni mtu wa karibu sana wa DON ambaye kwa hapa Mexico yeye ndio anaye simamia biashara za DON.”

Nilizungumza huku nikimuonyesha Leticia picha ya mzee huyu mwenye mvi nyingi sana kichwani mwake.

“Ana patikana wapi?”

“Kuna Club moja ya usiku hapa mjini ambayo ni mali ya DON tuna weza kumpata kwa maana pale ndipo vikao vyote, biashara zote za madawa ya kulevya vina fanyika”

“Ina itwaje?”

“El Real Under. Juu ni Club na chini uchafu wote ndipo unaendelea na RX tuta mpata huko ila ni hatari kubwa sana kwa sisi kuingia hilo eneo hilo hususani mimi kwa maana sura yangu sio ngeni kwao”

“Usijali mume wangu leo hii tuta mpata RX”

Leticia alizungumza kwa kujiamini na kujikuta nikimtazama kwa maana hatari ya club hiyo nina ijua mimi na hadi umfikie RX si chini ya walinzi stini tena wenye silaha na walio jazia misuli, upambane nao na kuwaua ndio RX uta mpata.


************************************************

“Ni hatari?”

“Najua ni hatari mume wangu ila nakuhakikishia tuta mpata huyo RX. Tule kisha tujiandae twende”

Kwa pamoja tukajumuika mezani na tukala chakula alicho kiandaa Leticia. Majira ya saa nne usiku tukaondoka nyumbani hapa huku tukiwa tumejiandaa vya kutosha. Tukaingia katika gari hii aina ya Chevrolet Tahoe.

“Hii gari ni kubwa na nzuri sana”

Nilizungumza huku nikiwa nimekaa pembeni ya Leticia anaye endesga gari hii.

“Yaa hizi gari huwa zina himili masafa marefu na barabara za aina yoyote ile ina pita tofauti na gari za chini. Ndio maana hata vikosi vyetu vya usalama hususani, Marekani, hapa Mexico huwa wana tumia gari hizi kwa sana”

“Sawa”

Tukafika eneo la karibu kabisa na ukumbi wa El Real Under. Leticia akavua koti alilo livaa na akabakiwa na kigauni kifupi ambacho kwa haraka haraka ukimtazama hana tofauti kabisa na machangudoa wanao jiuza. Akaiziweka vizuri nywele zake ambazo ni ndefu kiasi. Kila mmoja akavaa earphone maalumu ambayo ni ndogo sana kiasi cha kwamba ina ingia ndani kabisa ya sikio na si rahisi kwa mtu kuweza kuiona.

“RX ana penda sana wanawake. Hivyo kwa udhaifu wake huo una weza kumpata”

“Usijali mume wangu”

Leticia akavaa cheni nyembamba ambayo ina kidani cha msalama ambacho, ukiminya katikati ya msalama huyo, ina toa kisindano kidogo ambacho kina dawa kali ya usingizi. Leticia kanisogelea taratibu na kuninyonya denda kwa hisia kali.

“Nina kupenda sana Rashidi”

“Nina kupenda pia baby. Kuwa makini kwenye hii kazi”

“Usijali mume wangu”

Leticia akajipaka rangi ya mdomo, akajiweka vizuri, akatoa miwani kwenye pochi yake ndogo. Miwani hii ina kamera maalumu inayo rekido kila kina na nina weza kuona kila kinacho rekodiwa katika miwani yangu kwa kupitia simu yangu.

“Kuwa makini”

“Usijali”

Leticia akashuka katika gari na mimi nikahamia katika siti aliyo kuwa amekaa. Akavuka upande wa pili wa barabara ambapo ndipo ilipo club hiyo. Nikaitazama video yangu na kuiweka pembeni ya gari hili na kufwatilia sehemu anayo elekea Leticia.

Leticia akafika katika mlango wa club hiyo ambayo ni kubwa sana katija jiji hilo la Mexco. Leticia akakaguliwa kama ana silaha kisha akaruhusiwa ndani.

‘Nime inga ndani’

Leticia alizungumza na nikasikia kupitia earphone yangu huu.

“Kuwa makini”

Nilimsisitizia Leticia kwa maana akifanya kosa moja basi lita mgarimu sana na Wamexico hao huwa hawana huruma kabisa na jambo la kumua mtu kwao ni kitu cha kawaida sana. Leticia akakaa katika kiti kirefu kilichopo katika kaunta ya winywaji. Akaagiza kinywa na taratibu akaanza kunnywa huku akiangaza angaza ndani ya ukumbi huo, kila anacho kitazama nami ninkiona vizuri.

‘Leo naona watu ni wengi sana’

‘Ya’

“Hei mama sito, ni mrembo sana wewe”

Jamaa mmoja alizungumza huku akisimama pembeni ya Leticia.

“Nashukuru”

Leticia alizungumza kwa sauti ya mahaba. Leticia akatazama katika paja lake na nikaona jinsi jamaa anavyo mpapasa paja lake.

“Niambie bei ngapi kwa watu wawili mimi na rafiki yangu pale”

Leticia akmtazama rafiki wa jamaa huyo. Kabla hajamjibu RX akasimama pembeni ya jamaa huyo kuondoka pasipo hata kuaga,

“Vipi mrembo”

RX alizungumza huku akiachia tabasamu pana. Pembeni yake wamesimama mabaunsa wawili.

“Salama”

“Wewe ni mrembo sana”

“Nashukuru”

Leticia lizungumza kwa sauti ya kijilainisha kwa RX ambaye ndio mtu aliye tufanya sisi kufika hapa.

“Nahitaji huduma yako kwa muda huu nina weza kupata”

“Bila shaka, ni pesa yako”

“Dola mia”

“Fanya mia na hamsini”

“Sawa hakuna shaka”


ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG