Search This Blog

Saturday, February 6, 2021

RISE UP SEHEMU YA 6/10

  

RISE UP

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 6 KATI YA 10


“Mama”

“Niambie mwanangu”

“Una endeleaje?”

“Nina mshukuru Mungu nipo na wajukuu zangu hapa wana niliwaza. Shamsa siku hizi amekuwa maarufu basi ni waandishi wa habari ni full kumfwatilia”

“Ni jambo zuri kwa namna moja. Hakikisheni kwamba ana kuwa kwenye misingi na heshima ya kueleweka. Najua amekua kwenye nchi yenye utandawazi, ila usije ukamuaribu.”

“Usijali mwanangu. Ana kuwa kwenye maadili ya kiisalamu, ana sali sala zote tano, kifupi hata mke wako naye sasa amekua ni muislamu na ana elewa dini ya kiislamu”

“Nashukuru sana mama yangu. Nina kupenda na pia pole kwa kipindi chote cha kukaa mbali na wewe”

“Usijali mwanangu. Jackline alitueleza kila kitu. Hakikisha una ifanya kazi yako vizuri”

“Usijali mama, basi nikipata muda nita wasiliana nanyi”

“Sawa”

“Niambie mume wangu”

“Naomba uendelee kuwaangalia watoto vizuri”

“Usijali mume wangu wapo mikono salama”

“Hembu mpe simu Shamsa”

“Shamsa”

“Bee baba”

“Nakuomba usome sana, ujitahidi sana kwenye masomo yako na uwe mtu mkubwa sana. Sawa mwanangu”

“Sawa baba nina fanya hivyo. Hata matokeo yaliyo pita nime kuwa wa kwanza darasani”

“Safi, basi baade mpe simu mama”

“Mke wangu tuta wasiliana”

“Sawa mume wangu. Nina kupenda sana mume wangu kipenzi”

“Nina kupenda pia mke wangu”

Nikakata simu hii huku nikiwa nimejawa na furaha kubwa sana.

“Huyo aliye kuwa ana imba ni mwanao?”

“Ndio”

“Una jua huo wimbo wake ni juzi nime u download kwenye simu yangu”

“Wee!!?”

“Haki ya Mungu huu hapa usikilize”

Fatma akanisikilizisha wimbo wa Shamsa unao itwa I will Do. Kwa kweli kwenye maisha yangu sikutarajia kama itakuja kutokea siku nita pata mtoto anaye imba kwa kiasi hichi. Isitoshe wimbo wake umefika hadi huku Lebaoni basi ni jambo kubwa sana kwenye maisha ya mwanangu.

“Hongera sana kwa kuwa na mtoto mwenye kipaji kama huyu.”

“Nashukuru sana. Mungu mwenyewe ndio anaye jua namna ya KUWAPANDISHA watu kutoka chini hadi juu. Yaani nime furahi sana”

Tulizungumza huku tukiingia ndani.

“Jiandaeni ina bidi by saa nane tuwe tumesha fika Beirut. Mtolee Rashidi ile suti niliyo rudi nayo jana”

“Suti?”

Nilishangaa kidogo kwani sikuiona hiyo suti.

“Ndio, jana nilikununulia suti na viatu vipya.”

Fatma akaingia chumbani kwa baba yake kisha akatoka akiwa na mfuko wa kuhifadhia suti pamoja na viatu vyeusi.

“Nashukuru sana mzee wangu”

“Nashukuru kwa kushukuru. Sasa ina bidi uwe una vaa mavazi hayo”

“Sawa sawa baba”

Nikaelekea katika nyumba ninayo ishi. Nikaoga nakuvaa suti hii nyeusi na shati jeupe, nikasimama kwenye kioo na kujitazama jinsi nilivyo pembeze na uzuri nimesha zitoa ndevu za bandia pamoja na mboni za bandia na nina ishi kwenye sura yangu halisi. Nikajipiga picha kadha kisha nikamtumia Jackline na kukuta akiwa amenitumia picha za familia nzima. Nikarudi kwenye nyumba ya mzee Omari na kumkuta Fatma naye akiwa amevalia suti nyeusi iliyo mpendeza kikweli kweli. Mzee Omari akatoka chumbani kwake na kunipatia funguo pamoja na vitambulisho viwili vyenye picha yangu.

“Hii ni leseni yako ya udereva. Hichi ni cheti chako cha utafia. Huko njiani tuna weza kusimamisha na kukaguliwa na ukakosa hivi vitu”

“Ina maana nime kuwa raia wa Lebanoni?”

“Kwa muda. Uta endesha gari leo”

Mzee Omari alizungumza huku akinikabidhi funguo. Tukatoka nje na sote wanne tukaingia ndani ya gari.

“Ngoja mume beba silaha?”

“Ohoo mimi sijabeba bastola yangu”

Fatma alizungumza huku akishuka katika gari.

“Hata mimi”

Nilizungumza huku nikishuka kwenye gari nikaelekea chumbani kwangu nikabeba bastola zangu zote mbili, moja nikaichomeka kiunoni na nyingine nikeichomeka kwenye soksi, na nikarudi ndani ya gari.

“Hivi mumekuwa wazembe kiasi hicho ehee?”

“Baba tulijua tuna kwenda kula bata, kumbe kazi ina endelea”

Fatma alizungumza kwa furaha. Nikawasha gari na safari ya kuelekea kwenye jiji la Beirut ikaanza.

“Baba tuna elelekea wapi?”

Fatma alizuliza huku safari ikizidi kusonga mbele.

“Kwenye ofisi za usalama wa nchi”

“Sawa sawa”

Tukatumia masaa mawili kufika Beirut na mzee Omari alinielekeza hadi tukaifika katika makao makuu ya kitengo cha usalama wa hapa Beirut moja kwa moja tukaingia katika jengo hili kubwa. Mzee Omari akaonyesha kitambulisho chake na tukakubaliwa kuingia. Tukashuka ndani ya gari na tukapokelewa na wazee wawili wenye mvi huku wakiwa na walinzi wanne. Mmoja wa walinzi hawa nikamkumbuka vizuri ni mume wa Leila, mwanamke niliye kunata naye kwenye ndege. Nikamtazama jamaa huyu kwa macho makali sana hadi akajistukia na kichwani mwangu nikaanza kukumbuka mateso ambayo mke wake alikuwa ana nisimulia.

‘Nita ondoka tu na mke wako’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikijipiza kwamba ni lazima nitimize ahadi yangu ya kuondoka na Leila nchini hapa Lebaboni na kiasi cha dola laki moja nitakacho pewa na mzee Omari nita msaidia kwa ajili ya kuanzisha maisha yake mapya katika nchi ambayo tuta kwenda.



“Mkuu kijana wako mbona ana niangalia sana?”

Mume wa Leila uvumilivu ukamshinda na akajikuta akimuuliza mzee Omari na kuwafanya watu wote kuniangalia. Tukaondoka eneo hili na kuingia ndani ya jengo hili ambalo lina wafanyakazi wengi. Tukatambulishwa kwa baadhi ya wakuu wa kitengo hichi kisha mimi na Fatma tukatoka nje na kumuacha mzee Omari ofisini akiendelea kuzungumza na wakuu wezake.

“Mbonaulikuwa una mtazama yule jamaa una mjua?”

“Hapana ila kuna mtu amefanana naye?”

“Nani?”

“Hata sifahamu ndio nilikuwa nina jaribu kutafuta kumbukumbu yake ila kwa bahati mbaya sikufanikiwa kumtambua”

“Ni mmoja wa wakuu wa wapelelezi wa jeshi la polisi hapa Beiruit”

“Ahaa sawa sawa”

Baada ya lisaa moja mzee Omari akatoka ofisini hapo huku akiwa amejawa na tabasamu pana sana usoni mwake.

“Mambo yamesha kamilika. Leo nahitaji na sisi tufurahie kukaa mjini, tupitie benki tukamsaidie Rashidi kufungua akaunti ya benki kisha tukatafute sehemu tutanue kimaisha”

“Mzee nina akaunti yangu ya benki moja ipo Marekani na nyingine ipo Ufaransa”

“Kuingiza pesa kwenye hizo nchi ina hitaji maelezo mengi na mlolongo mwingi. Nitakufungulia akaunti ya kimataifa ambayo ina fanya kazi kwenye nchi mia tatu na hamsini hivi. Hivyo ukiwa ndani ya nchi hizo uta weza kutoa pesa zako kwenye benki yoyote na ukaendelea na maisha yako”

“Sawa mzee”

Tukaondoka eneo hili na tukafika beki. Tukafwata taratobu zote za kufungua akaunti na mzee Omari akaniingizia kiasi cha dola laki moja kama alivyo niahidi kisha Fatma naye akaingiziwa kiasi hicho cha pesa ambacho kwa Tanzania ni kikubwa sana kwa mahesabu ya haraka haraka ni kama milioni mia mbili. Mara baada ya kutoka benki tuka elekea kwenye moja ya hoteli kuwa iliiyopo pembezoni mwa ufukwe wa bahari.

“Leo mupo huru kuzunguka munapo taka ila hadi ina fika saa tatu usiku nahitaji tuwe pamoja hapa hotelini na tule chakula cha usiku pamoja”

Mzee Omari alizungumza huku akiingia chumbani kwake.

“Sawa baba”

Fatma alizungumza hukua akiwa amejawa na furaha. Tukakagua vyumba vyetu, kisha tukaondoka hotelini hapa na Fatma akaanza kunitembeza kwenye mji huu.

“Kwa nini huitaji kuishi bila mwanaume?”

Nilimuuliza Fatma huku tukiwa tumekaa kwenye moja ya mgahawa huku tukila chakula cha mchana.

“Siyawezi mapenzi na wala sijawahi kuyajaribu kwani moyo wangu haujawahi kumpenda mwanaume yoyote zaidi ya baba yangu”

“Wewe hutaki kuwa na familia kwenye maisha yako?”

“Baba yangu ana nitosha. Sina mpango wa kuwa na mtot kwenye maisha yangu. Nahitaji kuwa kama wale walinzi wa kike wa Gadafi”

“Hahaaa Gadafi alisha kufa na pia walinzi wake walisha kufa. Wakati huu ni wako kuhakikisha kwamba una tengeneza familia yako. Acha kufwata imani zisizo na msingi”

“Mmmm ngoja nikuulize swali RS”

“Niulize”

“Kwani kufanya mapenzi ni kutamu sana?”

Nikakaa kimya kwa sekunde kadhaa huku nikimtazama Fatma usoni mwake. Kusema kweli huyu mwanamke ni mzuri sana ana kila sifa za kuwa mke wa mtu sema tu ndio amekuzwa kwenye mazingira ya kujua silaha sana kuliko wanaume.

“Ndio ni starehe tamu kuliko zote duniani”

“Mmmmm acha uongo”

“Haki ya Mungu”

“Tujaribu”

“Umesema?”

“Tujaribu mimi na wewe nione huo utamu”

“Ila wewe ni dada yangu na mzee akijua nita mkera sana”

“Ata juaje ikiwa siri ita kuwa ni ya kwangu peke yangu au wewe uta muambia”

“Hapana sinto muambia”

“Basi tujaribu ila ni leo tu. Siku nyingine sinto taka tena”

Fatma alizungumza kwa sauti iliyo jaa ushawishi. Nikamkubalia, mara baada ya kumaliza kupata chakula cha mchana tukatafuta hoteli na tukaingia ndani ya chumba tulicho kikodisha.

“Ehee niambie tuna anzaje?”

‘Ina maana hajawahi kuangalia hata porno huyu?’

Nilijiuliza kimoyo moyo huku nikimtazama Fatma usoni mwake. Nikamvuta karibu yangu na kumkumbatia, taratibu nikaanza kumnyonya denda. Kwa mara ya kwanza macho yakamtoka, ila baada ya dakika kama mbili hivi akaanza kufumba macho yake huku akisikilizia utamu wa denda hili. Nikaanza kumvua koti lake la suti, kisha nikamvua shati yake pamoja na sidiria. Nikazichomoa bastola zote na kuziweka mezani huku naye akichomoa bastola yake na kuiweka mezani. Nikavua koti la suti pamoja na shati kisha nikamlaza kitandani taratibu na kuanza kumnyonya shingo yake taratibu huku nikihakikisha kwamba siachi love bite. Fatma akazidi kutoa miguno ya kimapenzi, nikamvua suruali yake na akabakiwa na chup* pekee.

“Niendelee?”

“Ndio endelea nasikia raha”

Fatma alizungumza kwa sauti ya mahaba, nikamvua chup* taratibu, kisha taratibu nikaanza kupitisha ulimi wangu taratibu katika kitumbua chake na kumfanya Fatma azidishe miguno. Nikaendelea kumnyonya kitumbua kwa dakika kama kumi na tano hivi hadi akalainika kabisa, nikavua suruali yangu na taratibu nikaanza kumpa Fatma haki ambayo toka kuzaliwa kwake hajawahi kuipata kwa mtu yoyote. Kwa dakika tano za mwanzo akahisi maumivu, ila kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi anavyo nogewa na kujikuta akilia kwa furaha. Kitu cha pekee ambacho nina kiepuka ni kuwamwaga waarabu wangu weupe ndani ya kitumbua chake. Hadi tuna maliza, Fatma akanikumbatia huku safari hii akininyonya mwenyewe lipsi zangu. Tukakumbatiana kwa dakika kumi mfululizo pasio kuachiana.

“Kwa nini hukunipa siku zote?”

Fatma alilalama huku akiwa amejilaza kifuani mwangu.

“Sheria ya baba yako na zako, zilinifanya niyahamishe mawazo yangu na hisia zangu na kukuchukulia kama dada yangu wa kuzaliwa tumbo moja”

“Sasa una ondoka vitu kama hivi nita pewa na nani sasa?”

“Ila si ume sema mara moja.”

“Mimi nilidhani ni vitu vya kawaida tu. Kumbe ni raha ya ajabu sijapata kuina. Baba yangu aliniambia endapo nita kutana na mwanaume kimwili nita kufa”

“Alikambia lini?”

“Kipindi nina umri kama miaka kumi na sita hivi”

“Hahaaaa, nina hisi alikuambia ili uweze kuutuza usichana wako”

“Yaani nime jisikia raha sana”

Baada ya kupumzika kama lisaa tukapiga mechi ya mzunguko wa pili. Mechi hii kidogo Fatma akaanza kupata ujuzi na akazidi kujisikia raha ya mtanange hadi tuna maliza Fatma akanimwagia sifa nyingi sana. Kutokana tayari ni saa moja usiku, tukaoga haraka haraka na kurudi hotenili tulipo muacha mzee Omari huku tukijikausha kana kwamba hakuna kilicho endelea kati yetu. Tukajumuika kwa pamoja kupata chakula cha usiku.

“Vipi Rashidi ume uonaje mji wa Beruit?”

“Ni mzuri kusema kweli,una watu wengi”

“Yaa ni mji mazuri kimajengo ila watu wanao ishi ndani ya mji huu ni hatari sana, matukio ya kigaidi ni kila mara”

“Ila leo nime mtembeza sana Rashidi hadi amefurahi”

Fatma alizungumza huku akinitazama.

“Kusema kweli nina washukuru sana kwa kila jambo ambalo mume nifanyia kuanzia ile siku ya kwanza. Kusema kweli sikutarajia wala kutegemea kwamba maisha yangu hapa yata kuwa ya furaha”

“Sisi ni watu wakaribu sana na pia ni watu hatari sana. Ila umeishi nasi kwa amani na ume fwata masharti yetu basi Mungu azidi kutuongoza kwenye kila jambo.”

“Amen, mzee wangu nina ombi moja la mwisho”

“Ombi gani?”

OFA

Ukinunua hadithi ya X au RISE UP episode 12 kila moja utapata ofa ya episode 5. Ofa ni leo Jmosi.

Mpesa 0742334453 Azaria Msulwa au Tigopesa 0657072588 Azaria Msulwa

“Naomba unifundishe kuendesha helicopter”

Mzee Omari akakaa kimya kwa sekunde kadhaa. Kisha akatingisha kichwa akitoa ishara ya kwamba amekubaliana na kile nilicho muomba.

“Tukimaliza mapumziko haya ina bidi nika kufundishe ila tambua kwamba helicopter mafunzo yake sio kama gari wala pikipiki. Yana chukua muda, ila kutokana wewe una kichwa cha kushika mambo kwa haraka nina imani kama miezi minne hivi ita tosha kwa wewe kujua kila kitu”

“Waooo hivyo tuta endelea kuishi naye kwa miezi minne?”

Fatma alizungumza kwa furaha sana.

“Ndio, hiyo pale ambapo ata weza kurusha helicopter za aina mbili. Kuna helicopterza kijeshi na helicopter za abiria. Helicopter za kijeshi zina mifumo migumu kuliko helicopter za abiria. Na kama tukibahatika kupata kibali jeshi la anga basi uta jifunza na kuendesha jeti za jeshi. Naamini ukitoka hapa uta kwenda kuwa msaada mkubwa sana wa dunia”

“Nashukuru sana mzee wangu”

“Usijali”

“Baba”

Fatma aliita huku akimtazama baba yake usoni.

“Bee mwanangu”

“Kwa sasa nina miaka ishirini na saba. Je una niruhusu kuanzisha familia?”

Mzee Omari macho yakamtoka, hata glasi ya juisi aliyo kuwa ana ipeleka mdomoni mwake akaishusha na kuiweka mezani.

“Nani amekushauri huo upuuzi?”

Mzee Omari alizungumza kwa sauti ya kugadhibika kidogo.

“Baba leo nimeona jinsi wanawake wezangu wanavyo beba watoto wao na wanavyo furahi na waume zao. Kwa nini mimi, umri wangu una sogea, una kwenda. Simjui mwanaume na wala ukiniuliza lini nita pata mtoto sijui. Baba liangalie hili, mimi ni mwanamke tena ulikuwa una nisifia kwamba ni mrembo kama mama yangu. Kama mama yangu angekuwa ni bikra hadi leo je ungenipata mimi, ehee?”

Fatma naye akamjia juu baba yake, sasa chakula kikaanza kuwa shubiri kwetu sote.

“Nahitaji sasa kuwa mwanamke kama wanawake wengine na sio kuishi kama jike dume.”

Fatma mara baada ya kuzungumza maneno hayo akasimama na kuondoka.

“Khagrrraaa!! Amepatwa na nini huyu mpuuzi?”

Mzee Omari alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Sijui mzee wangu ila nina kuomba nika zungumze naye.”

“Achana naye, tupate chakula. Nimemtengenezea maisha ya kuishi kwa amani na furaha ana taka kuja kuingia kwenye mapenzi ya kuteswa. Kuna wanaume gani wa kuoa hapa Lebanoni, wengi ni wahuni tu”

Mzee Omari alizungumza kwa hasira. Nikamuona Fatma akiingia ndani ya lifti, kwa haraka nikasimama na kuanza kumimbilia, ila kwa bahati mbaya nikakuta lifti tayari imesha funga. Nikaitazama hadi nikaona ina elekea gorofa ya ishirini na mbili ambayo ndio goroa ya juu kabisa. Nikaminya kitufe na ikashuka chini kisha nikaingia na kuelekea moja kwa moja hadi goroa ya ishirini na mbili. Nikatoka katika kordo ndefu iliyo jaa milango ya vyumba. Kwa akili ya harka nika tambua kwamba Fatma ameelekea juu kabisa ya gorofa hilo. Na kweli nikamkuta akiwa amesimama kwenye ukuta wa kingo za gorofa hili huku akilia kwa uchungu.

“Hei Fatma”

Taratibu akanigeukia, akanikimbilia na kunikumbatia kwa nguvu huku akiendelea kulia.

“Kwa nini baba ana nifanyia mimi hivi?”

Fatma alilia huku akiwa amenikumbatia.

“Usilie, najua ata badilisha msimamo wake endapo utamueleza kwa utaratibu. Njia uliyo itumia kuzungumza naye ni ukali sana na haipendezi kuzungumza na mtu mzima kwa namna ile. Tafadhali, acha kulia”

“Rashidi”

“Naam”

“Nahiaji mtoto, nahitaji mtoto kutoka kwako na hii ndio ita kuwa njia pekee ya kumfunga mzee kinywa chake”

Taratibu nikamuachia Fatma huku nikimtazama machoni mwake. Kitu nilicho gundua ni kwamba mapenzi yame mchanganya na sasa amepata ujasiri wa kudai kile anacho kihitaji kutoa kwa mzazi wake.

“Fatma ila kumbuka daraja ambalo baba yako amelijenga katikati yetu. Hato pendezwa kuona haya mahusiano yetu”

“Mimi sitaki kusikia maswala ya sheria wala upuuzi wa sheria. Moyo wangu umesha ridhia na wewe, sijali una mke una watoto au una muogopa baba yangu. Ninacho kihitaji kutoka kwako ni wewe kunipatia ujauzito na wewe kama una ishi kwa kumuogopa baba ni bora uondoke kabla ya kuanza hayo mazoezi yako la sivyo nita muambia ukweli kwamba wewe ndio mwanaume wangu uliye nitoa usichana wangu”

“Fatma usifanye hivyo, uta niharibia kwa mzee”

“Ume kubali au ume kataa”

“Nime kubali”

Fatma akanikumbatia kwa furaha. Kitu ambacho nina kiogopa ni huyu binti kunivurugia mipango yangu ambayo nime ipanga. Tukarudi eneo la mgahawa na tukamkuta mzee Omari akiendelea kula taratibu. Tukaka kila mtu kwenye meza yake. Ukimya ukatawala huku milio ya vijiko na meza hizi za dongo vikitawala katika meza yetu.

“Umesha pata huyo mwanaume wa kuanzisha naye familia?”

Mzee Omari aliuliza na kutufanya tumtazame.

“Bado”

“Bado?”

“Ndio”

“Kwa hiyo una taka kukurupuka tu kwa ajili ya maisha yako. Una jua ni kwa nini nilikataa na kukufanya usiingie kwenye mepenzi?”

“Sijui”

“Ni kutokana na wanaume wengi wa hii nchi hawajui thamani ya mwanamke. Wana wanyanyasa wake zao na wengi wana penda wake zao wawe ndio watumwa wao je wewe upo tayari kuishia maisha hayo?”

“Nita jua wa kuishi naye pale muda utakapo fika. Ila mimi ni mwanamke na nina hitaji kuwa mama”

“Rashidi”

“Ndio mzee”

“Hambu zungumza na mdogo wako. Nina jua wewe umetokea Afrika nahisi huko kutakuwa ni tofauti na huku, mueleza maisha ya ndoa jinsi yalivyo muambie asikurupuke”

“Usijali mzee nita zungumza naye”

“Baba mimi kwa kuniangalia. Kuna mwanaume gani hapa duniani ana weza kuingiza hata kofi kwenye uso wangu. Nita muheshimi kama mume wangu pale atakapo niheshimu mimi kama mke wake na akinivunjia heshima na kunipa, sinto ifumbata mikono yangu na kumvumilia. Nita pigana naye na nita mpiga kipigo kuhakikisha ana waheshimu wanawake wote”

Fatma alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama baba yake usoni mwake.

“Haya acha tuone”

“Ila sihitaji ndoa?”

“Nini?”

“Sitaki kuolewa mimi”

“Kwa hiyo una taka kufanya nini?”

“Nahitaji nipate mtoto mmoja tu. Naye nita mlea kwenye mazingira kama uliyo nilea wewe, kwa hivi nilivyo siwezi kuwa mke wa mtu kwa maana sijui mapenzi, sijui kumuhudumia mume na kwa umri huu nimesha chelewa kujifunza hayo mambo”

“Rashidi mdogo wako leo amechanganyikiwa ehee?”

“Hata sielewi mzee”

“Sijachanganyikiwa nina akili zangu binafsi baba”

“Kama una akili zako binafsi kwa nini leo una ongea pasipo kuiweka ile heshima unayo nipaga kila siku. Mimi na wewe hatujawahi kuongelea mapenzi hata siku moja. Leo ni kichaa gani kime kukumba wewe?”

“Baba mimi sio mtoto tena. Mimi sio mdogo tena, nina jua maisha yanavyo kwenda. Ina kuwaje nina fahamu mambo mengi kwenye ulimwengu wa ulinzi nishindwe kufahamu mambo kwenye ulimwengu wa mapenzi. Baba hembu niambie, nikifanya mapenzi kweli nita kufa?”

Swali la Fatma likatufanya sote tumshangae kwa maana kwa kweli sijajua ametolea wapi ujasiri wa kumuuliza baba yake maswali makubwa makubwa kama hayo.



Mzee Omari akanyanyua glasi yake ya juisi, akainywa yote hadi ikaaisha. Akashusha pumzi nyingi huku akimtazama Fatma usoni mwake kisha akasimama huku akitutazama sote.

“Akili yako ikitulia, tuta zungumza”

Mzee Omari mara baada ya kuzungumza hivyo akaondoka na kuelekea chumbani kwake.

“Fatma ni nini una fanya wewe?”

“Ni haki yangu ya maisha kufahamu yale yote niliyo ambiwa nilipo kuwa mdogo sijitambui”

“Sawa najua ni haki yako ila huko unapo elekea ni kwenda kunigombanisha mimi na baba yako.”

“Hawezi kugombana na wewe. Usiku mwema”

Fatma akanyanyuka na kuniacha nikimsikiza kwa macho, akaingia kwenye lifti na kupandisha gorofani.

‘Nisipo kuwa makini nita fukuzwa hapa. Sitaki kupndoka kwa laana ikiwa walinipokea vizuri’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kula taratibu. Mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi mara baada ya kumuona Leina na mume wake wakiingia katika mgahawa huu wa hoteli. Leila hakuweza kuniona wala mume wake. Wakatafuta moja ya meza na wakakaa huku walinzi wawili wa mume wa Leila wakisimama eneo la karibu na meza hiyo.

‘Haki ya Mungu huyu mama ameumbika ni kifaa cha maana’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kushushia chakula changu kwa wyne nyekundu.

‘Hivi kweli ata nikumbuka, kwa maana sina ndevu wala mboni za bandia?’

Niliendelea kujiuliza mwenyewe huku nikiwatazama jinsi wanavyo zungumza yeye na mume wake. Nikasimama na kupita mbele ya meza yao. Mume wake akaniona na hakusita kuniita.

“Wewe ndio yule uliye kuja na mzee Omari leo ofisini?”

“Ndio ndio”

“Kutana na mke wangu ana itwa Leila. Leila huyu ni mmoja wa vijana wapya wa mzee Omari”

“Ahaa nashukuru kukufahamu”

Tukapena mikono na Leila na nikamtekenya kama mara ya mwisho kupeana mikono tulipo kuwa tuna shuka kwenye ndege na nilimtekenya hivyo hivyo. Leila akanitaza kwa sekunde kadha ana akauzuia mshangao wake.

“Hapa hotelini una fanya nini?”

“Ahaa ndio tulipo kuja kupumzika.”

“Sawa sawa, mzee alitueleza sifa nyingi sana juu yako. Alituambia wewe ndio uliingia kwenye kambi ya jeshi na ukafanikiwa kumtoa daktari?”

“Ndio ndio ndio.”

“Ile oparesheni ilipewa siku tatu ila nyinyi mume ifanya kwa masaa hongera sana”

“Nashukuru sana”

“Sawa karibu chakula cha usiku”

“Ahaa mimi nimesha kula”

“Hapana kaa bwana nikununulie hata kinywaji”

Jamaa alinilazimisha na taratibu nikavuta kiti na nikakaa. Nikaitoa simu yangu mfukoni na kuiweka juu ya meza, kwa kupitia simu yangu nilizidi kumuhakikishia Leila kwamba mimi ndio Rashidi tuliye kutana naye kwenye ndege kwani kava la simu yangu sija libadilisha toka nilipo ingia nchini hapa Lebanoni.

“Ehee una itwa nani vile?”

“Rashidi”

“Ndio bwana Rashidi, nina swali moja. Kwa nini muda ule ilikuwa una nitazama sana”

Nikatabasamu huku nikimtazama jamaa huyu anaye onekana ni muongeaji sana.

“Kuna mtu mmoja nilikufananisha naye. Ila sio wewe”

“Nani huyo?”

“Ni rafiki yangu mmoja ana itwa Suleimani, niliachana naye nchini Somalia miaka kama mitano iliyo pita. Sikupata mawasiliano naye hadi leo, ndio maana nilipo kuona nilishindwa kuzuia mshangao wangu.”

Ilinibidi kudanganya.

“Duniani watu wawili wawili.”

“Ni kweli”

Muhudumu akafika katika meza yetu.

“Una tumia kinywaji gani?”

“Red wyne”

“Mletee hiyo wayne, mke wangu hapa mletee soda nami niletee wyne”

“Sawa mkuu”

Muhudumu akaondoka.

“Una jua nilihitaji kupata kuona uwezo wako. Uwezo wa kuingia kwenye kambi ya magaidi kubwa kama ile aise ilitushangaza sana. Uliamua kweli kujitoa kwa ajili ya maisha ya daktari wetu. Ungana na mimi kwenye kikosi changu, nina imani kwamba maisha yako yata kuwa mazuri sana. Nita hakikisha una pata maisha mazuri kama niliyo kuwa nayo mimi?”

“Ahaa kwa sasa bado nipo kwenye mfunzo. Ita bidi nikamilishe kile kiwango nitakacho kisha tuna weza kuzungumza.”

“Sawa hii ni namba yangu na uta nipigia pale utakapo kuwa tayari”

Nikaisoma kadi hii ya yenye namba za simu alizo nipatia jama huyu na kuona jina lake ana itwa Karimu Yahaya.

“Nashukuru sana, naomba niwaache kwa maana nina jambo nahitaji kulifwatilia”

“Hakuna shaka”

“Usiku mwema nyote”

“Na kwako pia”

Nikasimama huku nikinyanyua simu yangu na kuondoka eneo hili. Nikatafuta sehemu na nikajibanza huku nikiendelea kufwatilia nyendo za Leila na mume wake. Baada ya kama dakika arobaini hivi Leila akanyanyuka na akaondongozana na mlinzi mmoja kuelekea eneo vilipo vyoo.

“Shiti, nina kwendaje sasa”

Nilizungumza mwenyewe. Nikamuona muhudumu mmoja akipitisha nguo zilizo pigwa pasi vizuri katika kitoroli cha kubebea nguo. Nikachomoa moja ya baibui pasipo muhudumu huyu kutambua chochote, nikajibaza eneo lenye taa hafifu na lisilo na kamera za ulinzi. Nikavaa baibui hili na kwa bahati nzuri lina kitamba cha kufunika uso na lina fia chini kabisa na kuziba miguu yangu. Nikajifunga kwa haraka haraka na kubakisha macho. Nikaanza kutembea kwa haraka kuelekea vyooni, nikamkuta mlinzi akiwa amesimama nje. Nikaingai ndnai ya choo hichi pasipo mlinzi kujua chochote. Nikasimama kwenye moja ya sinki la kuwawia mikono huku nikimsubiria Leila atoke kwenye moja ya choo kwani kuna vyumba vya vyoo kama ishirini hivi. Hazikuisha hata dakika mbili, Leila akatoka huku akijiweka vizuri nguo zake.

“Hei ni mimi”

Nilizungumza kwa sauti yangu halisi.

“Rashidi!!?”

Leila aliniita huku akiwa ameshikwa na mshangao.

“Ndio”

Akanishika mkono na tukaingia kwenye moja ya choo alicho toka na akafunga mlango huu kwa ndani na akanikumbatia kwa nguvu.

“Nime kukumbuka Rashidi wangu, ulikuwa wapi mpenzi”

Leila alizungumza kwa sauti ya chini sana hukua kinitazama usoni mwangu.

“Kuna kazi nilikuwa nina ifanya.”

Leila akashindwa kuvumilia na akaanza kuninyonya denda la sekunde kadhaa kisha tukaachiana.

“Nimekusubiria hadi nikakata tamaa.”

“Usijali mpenzi wangu. Nafurahi kukuoana”

“Hata mimi, nina kuomba sana unitoe kwenye haya maisha kwani hapa nilipo nimetoka kuchezea makofi na akaamua kunileta hapa hotelini kunifariji”

“Niambie una ishia wapi?”

Leila akanitajia jina la mtaa na namba ya nyumba anayo ishi.

“Sawa nita fanya kila liwezekanalo kuondoka na wewe. Namba zako bado ni zile zile?”

“Ndio”

“Basi nita kuja sawa mpenzi”

“Sawa”

Tukakumbatiana huku tukinyonyana denda kwa dakika kadha kisha Leila akatoka chooni hapa na kuniacha peke yangu. Nikaka kwa dakika kama nane kisha nami nikatoka. Moyo wangu ukajawa na furaha sana kuona Leila amenikumbuka. Japo ni mwana mama ila ana kila sifa ya kuwa mwanamke wangu.

‘Ila nina mke?’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikielekea chumbani kwangu. Nikaingia ndani ya chumba changu na nikavua baibui hili na kulitupa dirishani. Nikajilaza chali kitandani huku busu la Leila likijirudia rudia kichwani mwangu.

‘Mmmm huyu mwana mama ana nini mbona nina mkumbuka kumbuka hivi?’

Niliwaza kwani hali hii ilinitokea kipindi cha kwanza kabisa nilipo mtongoza mama Sheila na siku ya kwanza alipo niruhusu kunyonyana naye denda ndio siku ambayo nilikuwa na furaha na sikulala kwa kulifiria denda lake.

‘Nikimtorosha nimpeleke wapi huyu mama?’

Niliwaza kichwani mwangu na nika kosa jibu la kujua ni wapi nimpeleke. Asubuhi na mapema nikaamka, nikampigia simu Fatma na akanieleza amesha amka. Tukakutana na Fatma kwenye mgahawa na sote tukaagizia supu.

“Jana sija lala kabisa RS”

“Kwa nini?”

“Nilikuwa nina kuwaza wewe. Nilitamani sana kuja chumbani kwako, ila nikajikuta nikimuhofia baba.”

“Duu”

“Yaani nina kumbuka jana ulivyo kuwa una nifanya. Kwa kweli nina jihisi watofauti sana kwa sasa”

“Ila nina kuomba iwe ni siri yetu”

“Usijali ni siri yetu mimi na wewe”

Mzee Omari akafika katika meza tuliyo kaa, tukamsalimia na kwa pamoja tukapata kifungua kinywa.

“Jiandaeni tuna rudi nyumbani”

Mzee Omari alizungumza huku akinyanyuka na akandoka na akatuacha tukiwa tuna shangaa, kwani tuna siku moja nzima ya kukaa hapa Beirut.

“Mzee amekasirika?”

Nilimuuliza Fatma kwani yeye ndio anaye mfahamu baba yake vizuri.

“Shauri yake, una cha kuchukua chumbani kwako?”

“Sina kila kitu ninacho”

“Mimi ngoja nikachukue simu yangu niliiacha chaji”

“Sawa”

Fatma akanyanyuka na kuondoka. Baada ya kila mmoja wetu kuwa tayari, safari ya kurudi kijijini ikaanza. Ukimya ukatawala ndani ya gari huku kila mmoja akionekana kuwa na mawazo yake. Mzee Omari hakuzungumza chochote hadi tuna fika kijijini. Akashuka ndani ya gari na kuelekea ndani moja kwa moja.

“Fatma”

Nilimuita Fatma mara baada ya kutaka kushuka kwenye gari.

“Jaribu kumuomba msamaha mzee. Ina onyesha ume muudhi na kumkera”

“RS kaa mbali na hili jambo. Nina jua nini nina fanya”

Fatma mara baadaya kuzungumza hivyo akashuka ndani ya gari na kuingia ndani, nikashusha pumzi kisha nikaitoa simu yangu mfukoni, nikawasha wi-fi kisha nikampigia simu Jackline.

“Mambo mume wangu”

“Poa vipi bado ume lala?”

“Yaa huku ni usiku bado”

“Ohoo huku kumesha pambazuka. Watoto wana endeleaje?”

“Nina mshukuru Mungu wapo salama, wana afya njema kabisa. Ehee niambie mbona ume pendaza hivyo na suti una toka wapi?”

“Kuna kazi moja nilipewa na mwalimu wagu huyu anaye nifundisha. Nina mshukuru Mungu nime maliza”

“Ahaa ila ime isha vizuri?”

“Ndio mke wangu. Basi pumzika baadae nita kupigia mama watoto”

“Sawa mume wangu. Nina kupenda sana Rashidi wangu”

“Nina kupenda pia Jack wangu”

Mke wangu akanibusu kisha nami nikambusu na nikakata simu nikashuka kwenye gari na kuingia sebleni na kumkuta Fatma akiwa ameanguka chini huku akilia na mzee Omari mkononi mwake ameshika mkanda, huku jasho likimwagika na uso ukiwa umetawaliwa na gadhabu. Mzee Omari akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akaingia chumbani kwake.

“Bora mama yangu angekuwepo na wewe ndio unge kufa”

Fatma alizungumza kwa hasira huku akinyanyuka chini hapa. Akaingia chumbani kwake baada ya dakika kama tano akatoka akiwa ameshika begi la nguo.

“Naomba funguo”

Fatma alizungumza kwa hasira.

“Una taka kufanya nini Fatma”

“Rashidi nimekuambia nina omba funguo au una taka kugombana na mimi eheee?”

Fatma alinifokea kwa hasira, nikaingiza mkono mfukono na kumkabidhi funguo ya gari. Akatoka nje nami nikatoka nje.

“Fatma mbona una fanya maamuzi ya haraka namna hii una kwenda wapi?”

“Rashidi niache”

Fatma alizungumza kwa nguvu na nikamuachia mkono wake. Mzee Omari akatoka na kututazama.

“Muache aondoke”

“Ndio nina ondoka. Siwezi kuishi na baba kama wewe, baba muongo baba ambaye wewe ndio chanzo cha kifo cha mama yangu alafu leo hii una taka kunifungia maisha yangu. Nina jitambua na sinto endelea kuwa mwanao na sahamu kama ulisha wahi kuwa na mtoto kama mimi”

“Ukitoka nje ya ule uzio wa geti pale mimi na wewe habari imesha kwisha. Huto kuwa mwanangu tena?”

“Nina toka na nimesha kutoa kwenye mahesabu yangu kama baba yangu. Baba una mpiga mwanao ana miaka ishiri na naa. Baba wa aina gani wewe eheee?”

“Fatma hembu kuwa mstarabu”

“Rashidi funga kinywa chako. Hii haikuhusu”

Fatma akaburuta begi lake akafunga mlango wa gari na kuliingiza, akazunguka upande wa dereva akapanda, akawasha gari hili akaligeuza kwa kasi kisha akaondoka nyumbani hapa kwa mwendo wa kasi sana huku akitutimulia mavumbi.

“Mzee acha nimfukuzie”

“Usijisumbue, nina hisi pesa nilizo mpatia zina mpa kiburi”

Mzee Omari alizungumza huku macho yakitawaliwa na uwekundu mwingi sana.

“Mmmmm”

Ilibidi nigune tu kwa maana nime kuja hapa si kwa ajili ya Fatma nime kuja hapa kwa ajili ya mzee Omari.

***

Baada ya wiki moja kuondoka kwa Fatma nyumbani hapa na kukata kabisa mawasiliao nasi, mzee Omari akaanza kunifundisha mafunzo ya kuendesha helicopter. Mafunzo haya kusema kweli si rahisi, ni mafunzo yanayo hitaji ujasiri na umakini wa hali ya juu kwani kosa moja lina weza kuyagarimu maisha yangu. Ugumu wa mazoezi haya ukanigarimu miezi sita na nika kamilia kuwa rubani mzuri wa ndege za kivita.

“Mzee uta ishi na nani sasa nikiondoka?”

Nilimuuliza mzee Omari huku tukiendelea kupata kifungua kinywa.

“Kwa nini una uliza?”

“Fatma ndio hivyo hatujui ni wapi alipo. Wewe uta ishije?”

“Nita ishi mimi mwenyewe, ila kabla ya kurudi kwenye majukumu yako, nina kuomba unisaidie kumtafuta Fatma na ujue ni wapi anapo ishi na ana fanya nini kisha unitumie ripoti hiyo”

“Sawa mzee wangu”

“Jambo jengine sasa hivi ume kamilika kwa kila jambo. Nina kukumbusha tu, ukawa mtu mwema na si mtu mbaya. Sinto pendezewa nikasikia sifa zako mbaya kwenye vyombo vya habari kama ulivyo kuwa ume kuja hapa”

“Nakuahidi nita kuwa kielelezo kizuri huko ninapo kwenda”

“Nashukuru sana”

Tukapata chakula cha usiku na kila mtu akaelekea kulala. Asubuhi na mapema nikaagana na mzee Omari na nikapanda basi la kwanza linalo kwenda Beirut. Kusema kweli kuondoka kijijini hapa hususani kwa mzee Omari kuna umiza sana moyo wangu kwani nilimzoea sana mzee Omari kama baba yangu. Ila sina namna ni lazima niondoke kwani kuna watu kama DON na raisi aliye mchukua mke wangu ni lazima walipe kwa dhambi zao walizo zifanya juu yangu. Nikafika Beirut, nikapanga hoteli kwenye mtaa ambao ana ishi Leila na mume wake. Kwa mara kadhaa nina jaribu kuipiga namba ya Fatma ila siipati hewani.

“Ame kwenda wapi huyu?”

Nilijiuliza swali lililo kosa jibu kwani sifahamu ni wapi alipo Fatma na mji huu wa Beirut ni mkubwa na alipo ondoka hatukuwa na mawasiliano naye kabisa. Majira ya saa sita mchana nikatoka nje ya hoteli hii na kukaa katika mgahawa ulio upande wa pili wa barabara. Nikaagizia chakula na nikaanza kutazama watu wanao katiza katika katika barabara hii. Nikaiona nyumba anayo isha Leila na mume wake ikiwa upande sawa na hoteli ninayo ishi.

‘Nita ondoka na huyu mwana mke’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kutazama geti jeusi la nyumba hiyo.

“RS una fanya nini hapa?”

Sauti ya Fatma ikanistua sana na nikageuka nyuma na kumuona akiwa amevalia nguo za wahudumu wa mgahawa huu huku tumboni mwake akiwa na ujauzito ulio nifanya nibaki mdomo wazi hadi nikashindwa kumjibu swali alilo niuliza.



Taratibu Fatma akavuta kiti cha pembeni yangu na akaka huku akinitazama usoni mwangu.

“Fatma ni wewe?”

“Ni mimi karibu”

“Nashukuru sana, ehee ime kuwaje una fanya kazi eneo hili na upo kwenye hali hii?”

Fatma akatabasamu huku akitazama tumbo lake.

“Ni stori ndefu RS ila nita kueleza kwa ufupi tu. Nilipo ondoka nyumbani nilikua moja kw amoja hapa Beirut, nilipanga nyumba, na nikaamua kufungua mgahawa wangu huu hapa kwa ile pesa aliyo nipatia baba.”

“Ahaa sasa kwa nini hukutaka kuwasiliana nasi, namba ume badilisha?”

“Niliamua kutoka kwenye kifungo cha baba na kuishi kama mwanamke wa kawaida”

“Ahaa….nakuona umeshiba, nani muhusika”

“Hahaa, nime pata mchumba na hii ndio mida yake ata fika hapa muda si mrefu. Ana itwa Kassimu, yeye ni injinia katika ujenzi wa magorofa”

“Hongera sana”

“Nashukuru, umesha toa oder ya chakula?”

“Ndio”

“Wamekuhumia vizuri?”

“Nashumkuru Mungu. Ila baba ana hamu sana ya kuzungumza na wewe. Leo hii ndio nimeondoka rasmi kwake ameniagiza niweze kukutafuta na kumuaelezani wapi ulipoa”

“Usije ukafanya hivyo RS.”

“Fatma kumbuka yule ni baba yako na ata endelea kuwa baba yako. Fanya ufanyavyo yule ndio familia yako ya kwanza na ume toka kiunoni mwake. Hembu jaribu kulitafakari hilo tafadhali”

Nilizungumza huku nikimtazama Fatma usoni mwake.

“Mzazi hukosea na anapo kosea husamehewa. Hembu angalia maisha yako sasa hivi, ume jiozesha wewe mwenyewe. Una kwenda kupata mtoto. Endapo una kufa una taka hata baba yake asije kuja kumwaga mchanga kwenye kaburi lako?”

Fatma akashusha pumzi na taratibu akanishuka kiganja cha mkono wangu wa kulia.

“Rashidi”

“Naam”

“Natambua wewe ni mtu mwema sana. Ume ishi nasi pale nyumbani kwa wema na furaha. Pia nina kushukuru sana kwa kuweza kunitoa usichana wangu. Ile siku ni kama ulinizindua kutoka kwenye hali ambayo leo hii imenifikisha hapa. Mimi ni mwanamke nime umbwa kwa ajili ya kutengeneza familia kama ulivyo niambia. Nita anzisha familia yangu na maisha yata endelea”

Jamaa mmoja mrefu kiasi na mwembamba akafika katika meza hii na Fatma akasimama na akakumbatiana naye huku wakipigana mabusu.

“Rashidi huyu ndio mchumba wangu ana itwa Kassimu. Kassimu huyu ni kaka yangu ana itwa Rashidi”

“Nina shukuru kukufahamu shemeji”

“Nami pia nina furahi kukufahamu”

Nilizungumza huku nikimdadisi Kassimu usoni mwake. Kassimu akavuta kiti cha pembeni yangu akakaa.

“Ila hukuwahi kuniambia kwamba una kaka?”

Kassimu alizungumza huku akimtazama Fatma usoni mwake.

“Ndio kaka yangu huyo, sikupenda uyajue sana maisha yangu ya nyuma”

“Ila mimi ni mchumba wako na nina kwenda kuwa mume wako, kwa nini una nificha?”

Kassimu alizungumza kwa kibesi kidogo.

“Hei shemeji”

“Nini?”

Kassimu alizungumza kwa ukali kidogo jambo lililo nifanya nishangae.

“Hivi ndivyo unavyo ishi na dada yangu?”

“Tulia sizungumzi na wewe, kaka gani ana kushika shika viganja kama mpenzi wako au muna tongozana hapa”

Famta akafumba macho huku akimyazama Kassimu usoni mwake.

“Niambie wewe mwanamke. Uliniambia huna ndugu, huna baba wala mama. Alafu una kuja kuniletea michezo ya kuigiza hapa, kaka gani mweusi ehee?”

Kassi alizidi kufoka.

“Fatma”

“Ndio Rashidi”

“Mbona una kuwa na mwanaume asiye na adamu hata kidogo”

“Nimesha mzoea”

“Ngoja nimfunze jambo”

Nilizungumza huku nikikishika kiti cha Kassim karibu yangu, hakutegemea kama nita tumia nguvu hiyo ya kuvuta kiti chake. Nikamshika kiganja cha mkono wake wa kulia na kuanza kukiminya kwa nguvu sana.

“Nisikilize wewe pimbi ambaye una jiona ni Mungu mtu una hitaji kuabudiwa. Dada yangu hakuwa na mpango wa kuelewa ila alikuwa na mpango wa kupata ujauzito. Sasa kuanzia hivi sasa endapo nita kuona una msogelea au una kanyaga hapa nita kuua ume nielewa?”

Nilizungumza huku nikikiminya sana kiganja cha Kassimu na kumfanya uso wake uonyeshe ni namna gani anavyo pata maumivu hayo.

“Ndio”

“Fatma?”

“Bee”

“Una hitaji mume au mtoto?”

“Mtoto ila alikuwa akiniganda ganda”

“Basi umesikia, hatukuhitaji na wala hupaswi kuwa hapa. Potea”

Nikamuachia Kassimu mkono wake, akasimama na kuondoka eneo hili huku akiwa amejawa na hasira.

“Hahaa bora ume nisaidia. Nilikuwa nina tamani kumuambia kwamba mimi na yeye basi ila nikawa nina shindwa”

“Ila ujauzito ni mali yake si ndio?”

“Ndio”

“Sawa turudi kwenye mada yetu. Mzee ana kuhitaji tafadhali, jaribu hata kumpigia simu. Kumbuka yupo kwenye umri mkubwa sana, muda wowote Mungu ana weza kumchukua. Ita kuwa ni jambo baya sana kwenye maisha yako kama huto zungumza hata neno la mwisho na yeye. Tafadhali Fatma”

Nilimshawishi Fatma kwa nusu saa na akakubali ni mpigie simu baba yake na ata zungumza naye kupitia simu yangu. Nikampigia simu mzee Omari.

“Baba nimefanikiwa kufika salama n anime fanikiwa kumpata Fatma huyu hapa zungmza naye”

“Nashukuru sana Rashidi”

Nikampatia Fatma simu, akaitazama kwa sekunde kadhaa kisha akaiweka sikioni mwake.

“Baba”

“Nipo salama”

“Baba kurudi na kuishi huko kwa sasa ni ngumu. Ila nita kuja kukusalimia”

“Kusema kweli sijui nita kuja lini”

“Baba naomba tuwasiliane usiku kwa sasa nipo kazini”

Fatma akanirudishia simu huku machozi yakimlenga lenga akasimama na kuondoka eneo hili. Nikaiweka simu sikioni mwangu.

“Ndio mzee”

“Yopo eneo gani?”

Nikamtajia mtaa na jina la mgahawa ambao Fatma ana miliki kisha nikakata simu. Chakual changu kikaletwa mezani.

“Samahani nina weza kumuona mmiliki wenu niliye kuwa nime kaa naye hapa?”

“Ndio yupo ofisini kwake”

“Nashukuru”

Nikala haraka haraka, kisha nikamwafwata Fatma ofisini kwake, nikamkuta akiwa amekaa kwenye kiti chake huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Hei”

Nilizungumza huku nikikaa katika kiti kilichopo mbele ya meza yake.

“Leo tuta enda kwangu uka pajue?”

“Bila shaka, si nita pata chumba cha kulala?”

“Ndio ni nyumba kubwa”

“Sawa, kuna mama mmoja ana itwa Leila una mfahamu?”

“Huyo wa mpelelezi?”

“Ndio”

“Namfahamu ni mteja wetu sana hapa”

“Okay”

“Ume mjuaje?”

“Nilikutana naye kwenda ndege kipindi nina kuja huko. Kuna mambo mengi sana tulizungumza hivyo ningependa kumsaidia”

“Mmmm mume wake ninavyo sikia kwa habari za hapa mtaani, ana mnyanyasa san mke wake na haitaji hata awe na marafiki wanawake. Yaani ni yeye kama yeye”

“Alisha niambia hayo mambo. Nahitaji kumsaidia na kuondoka naye hapa Lebanoni”

“Wewe Rashidi mbona una cheza michezo ya hatari kwa maana mume wake ni mkatili sana na ni mtu hatari sana. Kuondoka naye ata kusaka popote muendapo. Hembu acha kuingialia maisha ambayo yatakuweka kwenye wakati mgumu”

“Je nina weza kuonana naye?”

“Leo?”

“Ndio”

“Mmmm sidhani kwa maana nina sikia amelazwa”

“Kwa sababu gani?”

“Mume wake alimpiga hapa majuzi hadi akazimia hivyo sijajua kama amesha rudishwa nyumbani au yupo hospitalini”

Nikajikuta nikitawaliwa na gadhabu kali sana moyoni mwangu ila nikajizuia tu.

“Fatma”

“Bee”

“Nahitaji kumsaidia huyu mama. Tafadhali nisaidie kwenye hili”

“Nita kusaidiaje?”

“Niambie ni hospitali gani yupo?”

“Sijajua ngoja nimuulize mtu”

Fatma akatoka ofisini kwake hapa baada ya muda akarudi akiwa na kikaratasi na kunikabidhi.

“Hiyo hospital ina itwa LAU-Medical Center-Rizck, ipo katika mtaa unao itwa Zahar na sio mbali sana na hapa”

“Ahaa sawa”

“Ila Rashidi tambua huyu mama mume wake ndio yule jamaa uliye mtazama siku ile pale tulipo kuwa tuna mkabidhisha daktari. Hivyo jiangalie usije ukapotea ndugu yangu”

“Usijali hili swala nita lifanya kimya kimya”

“Kivipi?”

“Nita dili kwanza na mume wake kisha nita ondoka naye”

“Hembu niambie nini unataka kukifanya kwa mume wake”

Fatma alizungumza huku akinikazia macho.

“Muda wake wa kuishi ume fika mwisho”

“Kichaa kweli wewe. Una taka kwenda kumuua afisa mkubwa tena wa upelelezi kama yule. Una hisi ni nini kitakacho tokea, hembu achana na hayo mambo. Uta tafutwa sehemu dunia nzima”

“Usijali nina jua nini cha kufanya. Ngoja nika muone”

“Chukua gari yangu ukimaliza rudi hapa unichukue”

Fatma akanikabidhi funguo ya gari kisha nikaagana naye na kuelekea katika hospitali hiyo kwa kufwata msaada wa ramani ya simu yangu. Nikafika hospitalini hapa ambapo watu ni wengi sana na nina hofia sana kumuulizia Leila kwani mume wake ana weza kutonywa juu ya kuuliziwa kwa mke wake. Nikaanza kuzunguka gorofa moja baada ya nyingine kuelekea juu. Nikafika gorofa ya tano na kukuta walinzi wakiwa wamesimama kwenye kordo nje ya moja ya chumba. Kwa kuwaangalia vizuri walinzi hawa, uvaaji wao una fanania kabisa na walinzi wanao mlinda mume wa Leila. Kutokana kwenye hii kordo wana katiza watu wa kila aina. Nikatafuta sehemu nikaa, nikachukua gazeti kubwa lililopo eneo hili na kauza kupitisha pitisha macho huku nikiendelea kuwatazaama walinzi hawa. Kamera nyingi za ulinzi zilizo fungwa eneo hilina nizuia kufanya tukio lolote lile.

Nikamuona mlinzi mmoja akiondoka eneo hili na kumuacha mwezake.

‘Rashidi fikiria nini cha kufanya’

Niliwaza akilini mwangu huku nikimtazama mlinzi aliye salia. Nikaona dokta mmoja akiingia kwenye moja ya ofisi, baada ya dakika tano akatoka akiwa hajavaa koti lake. Nikanyanyuka, nikazuga zuga na nikaingia ofisini kwake pasipo mtu kuniona. Nikavaa koti lake kisha nikatoka ndani hapa na nikaanza kutembea kuelekea kwenye kordo yenye chumba hicho.

“Habari”

Nilimsalimia mlinzi huyu huku nikifungua mlango.

“Salama”

Nikaingia ndani haraka pasipo mlinzi kunidadisi na kunichunguza. Nikamuona mama Leila akiwa amelala kitandani huku ametundikiwa dripu. Uso wake ume jaa alama za makofi huku mkono wake mmoja ukiwa ume fungwa bandeji kubwa. Nikamtazama kwa sekunde kadhaa kisha nikampiga picha akiwa usingizi, kisha nikatoka ndani hapa.

“Samahani dokta”

Mlinzi huyu alinisimamisha taratibu nikageuka na kumtazama huku moyoni hasira ikinichemka sana.

“Mgonjwa ni siku ya pili haja zinduka. Je ana wezakupata nafuu yoyote?”

“Tuna shuhulika na hali yake. Tumuombe mwenyezi Mungu asaidie”

“Sawa dokta”

Nikageuka na kuondoka huku nikitambua fika kwamba jamaa huyu hajanitambua nikalivua koti hili la daktari na kulitupa kwenye moja ya ndoo ya kuhifadhia uchafu. Nikaondoka hospitalini hapa huku nikiwa na hasira kali sana. Nikafika katika mgahawa na Fatma akanipokea namoja kwa moja tuka elekea ofisini kwake.

“Oho huu unyama”

Nilizungumza huku nikimuonyesha Fatma picha nilizo mpiga Leila.

“Ohoo Mungu wangu.”

“Wanawake wa hapa sijui muna nini? Muna shindwa kumsaidia mwenzenu akiwa katika hali kama hii.”

“Nani anaye jua RS. Kila mtu ana maisha yake.”

“Sasa nina hitaji kumuonyesha huyu jamaa kwamba mwana mke ni kama glasi ukimvunja ana vunjika na hawezi kuundika tena. Ana kufa kikubwa nisaidie”

Nilizungumza kwa hasira huku nikimkazia macho Fatma.

“Una hitaji nini?”

“Nahitaji kutengeneza bomu”

“Bomu, una taaluma hiyo?”

“Ndio”

“Mmmm ni nini na nini una hitaji”

“Navijua mimi mwenyewe, wewe nipitishe kwenye maduka ya vitu ambavyo nita kuwa nina kuambia nina hitaji”

“Sawa”

Tukaondaka kwenye mgahawa huu, tukapita kwenye maduka yote ambayo nina hitaji kununua vitu vya kutengenezea bomu, kwani hadi bomu liweze kukamilika kuna mchaganyiko wa vitu vingi ambavyo vina bidi vitengenezwe kwa pamoja ndio lipatikane bomu. Majira ya saa kumi na mbili tukarudi hotelini nikachukua laptop yangu kisha tukaelekea nyumbani kwa Fatma.

“Hili bomu ni dogo ila lina weza kumuua nahitaji kulitengeneza usiku mzima”

“Huto lala?”

“Ndio”

Fatma akaandaa chakula cha usiki kisha kwa pamoja tukala huku kwa mara kadhaa tukitazamana na ukimya ukiwa ume tawala kati yetu.

“Ile siku bado nina ikumbuka sana”

Fatma alizungumza huku akinitazama machoni mwangu.

“Siku gani”

“Siku uliyo nitoa usichana wangu. Nilikata tamaa ya kuonana na wewe na sikuhitaji kurudi tena nyuma nikaamua niwe na mtu mwengine aweze kunipatia ujauzito. Nichukue nafasi hii kukuomba msamaha kwani wewe ndio mtu niliye panga unipatie ujauzito ila haikuwa hivyo Rashidi”

“Usijali, kila kitu huwa hutokea kwa sababu husika hivyo kuna muda mambo yanakuwa ndio na kuna wakati mambo yanakuwa siyo”

“Ndio ila najua moyoni mwangu nina jilaumu sana kubeba ujauzito wa yule mpuuzi. Alafu kwa bahati mbaya hanijui mimi ndio nani ndio maana kuna kipindi huwa ana nikoromea koromea na nina muangalia tu, nilikuwa nina subiria siku anyanyue mkono wake nimpe furaha ambayo asinge isahau milele”

“Haaa kuwa makini, asikusumbue maishani mwako”

“Una nijua, mimi sibabaishwi na mwanaume na nina jua nini cha kufanya”

“Sawa nakuaminia kamanda wangu. Haki ya Mungu hata simba awe mkali vipi ila bado ana zaa”

“Hahaaa acha utani. Ila nina hamuna wewe Rashidi, nipe basi kidogo”

“Na hiyo mimba?”

“Haizuii kitu ila nipe taratibu”

Nikamtazama Fatma kwa sekunde kadhaa kisha nikanyanyuka kwenye kiti changu, nikamnyua taratibu hadi chumbani kwake, taratibu nikamvua tenge aliko jifunga mwilini mwake. Tukaanza kunyonyana denda huku nikimpapasa mwili mzima. Mara baada ya kumlainisha vya kutosha tukaanza mtanange wa taratibu huku nikisikia ladha ya tofauti kabisa kati ya mwanamke mjamzito na asiye mjamzito. Gafla mlango wa chumba hichi ukafunguliwa na akaingia Kassim macho yakamtoka kwa mshangao jambo lililo tufanya na sisi tumshangae kwani hatujui ameingiaje ingiaje hapa nyumbani kwa Fatma.



Kassimu akatuangalia kwa sekunde kadhaa kisha akatoka ndani hapa. Taratibu nikashuka kitandani huku nikimtazama Famta usoni mwake ambaye amejawa na aibu inayo mfanya kushindwa hata kushuka hapa kitandani. Nikajifunga taulo na kutoka chumbani hapa, moja kwa moja nikaelekea mlango wa mbele, nikafungua pazia la dirishani na kuchungulia nje. Nikamuona Kassimu akifunga mlango wa chumbani kwake huku akiwa ameshika bastola. Akaanza kutembea kwa mwendo wa haraka kuja ndani hapa. Kwa haraka nikajibaza mlangoni, akafungu mlango na kupiga hatua mbili mbele pasipo kujua kwamba nipo nyuma ya mlango. Nikampiga teke la mgonini lililo mfanya kuanguka kifudi fudi na bastola yake ikaanguka pembeni. Nikaiwahi bastola hiyo, nikatoa magazine pamoja na risasi ambayo tayari ilisha kaa kwenye chemba kwa ajili ya kutoka. Nikaufunga mlango wa ndani huku nikimtazama Kassim jinsi anavyo jinyanyua chini kwani teke nililo mpiga lilikuwa ni la kustukiza na hakulitegemea.

“Nita kuua”

Kassimu alizungumza wa nguvu huku akinifwata kwa kasi. Akarusha ngumi mbili tatu zote nikazikwepa na nilicho kigundua ni kwamba hana uwezo wa kupigana. Fatma akatoka ndani hapa na kushangaa jinsi Kassimu anavyo jitutumua.

“Malaya mkubwa, siku zote nina toa muda wangu nina kuhudumia kadri ninavyo weza kumbe una kuja kutembea na masokwe kama hawa”

“Sikupendi Kassimu na huyu ndio mwanaume ninaye mpenda na ndio mwanaume aliye nifundisha jinsi gani ya kutombw***. Wewe huniridhishi kitandani na hii mimba imeingia bahati mbaya na sikuwa na mpango wa kukupenda”

Fatma alizungumza kwa hasira huku akimtazama Kassimu usoni mwake. Kasimu akamfwata kwa kasi Fatma ili ampige ila akakutana na teke la kifua lililo muangusha chini mzima mzima na kwa bahati mbaya kichwa chake eno la kisogoni likapigiza kwenye pembe ya meza ya kioo na kikapiga chini na akatulia tuli. Taratibu damu zikaanza kusambaa sakafuni.

“RS nime ua”

**OFA YA X BADO INA ENDELEA 1500/= KUANZIA 146 HADI 155. KAMA UPO FACEBOOK UTA TUMIWA INBOX KAMA UPO WHATSAPP UTATUMIWA WHATSAPP 0657072588**

Fatma alizungumza kwa kuhamaki. Nikachuchumaa na kumgusa Kassimu eneo la shingoni mwake, kisha nikamtazama Fatma usoni mwake.

“Amekufa”

Nilizungumza huku nikinyanyuka.

“Sasa tuna fanyaje Rashidi”

“Tulia kwa sasa ina bidi tufikirie ni nini tuna takiwa kukifanya”

“Nina ogopa mume wangu”

“Usiogope tuangalie nini cha kufanya na ume niitaje?”

“Mume wangu bwana. Kwani kukuita huko kuna kosa gani ikiwa umetoka kunitomb** sasa hivi”

Nilijikuta nikimshangaa Fatma kwa maana amebadilika kwa kiasi kikubwa, yaani ana zungumza chochote anacho jisikia.

“Ina bidi huu mwili wake tuka utupe muda huu huu usiku”

Nilizungumza huku nikimtazama Kassimu usoni mwake.

“Umehakikisha kwamba amekufa?”

“Ndio”

“Wewe si ume sema kwamba una tengeneza mabomu?”

“Ndio”

“Tengeneza bomu, tuna liendesha gari lake mbali na hapa kisha tuna lilipua na mwili wake ukiwa ndania”

Fatma alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Kusema kweli jinsi anavyo toa mchango wa mawazo kana kwamba Kassimu hamuhusu kwa chochote kile.

“Poa”

Nikatoa vifaa vyote vya kuunda bomu la kutegesha. Nikaanza kutengeneza bomu hili kwa masaa mawili nikafanikiwa kutengeneza bomu la kutegesha kwenye gari.

Fungua mlango”

Nilimuambia Fatma huku nikimtazama usoni mwake. Nikambeba Kasimu na kumingiza ndani ya gari lake na kumuweka siti ya nyuma. Kisha tukanza kusafisha eneo hili lilio jaa damu. Tukahakikisha kwamba hatuachi ushahidi wowote wa Kassimu kama aliingia hapa na uzuri ni kwamba mzee Omari ametufundisha maswala yote ya kijasusi. Tukaondoka nyumbani hapa huku Fatma akiendesha gari lake na mimi nikiendesha gari la Kassimu. Tukatoka kabisa nje ya mji huu na kuingia eneo la jangwa ambalo halina mtu yoyote, tukalisimamisha gari la Kassimu pambezoni mwa barabara, kisha nikamuhamishia siti ya mbele upande wa dereva, nikamfunga mkanda wa siti. Nikalitegesha bomu hili chini ya gari lake.

“Kila kitu kipo tayari”

Nilimuambia Fatma huku nikimtazama usoni mwake.

“Linatumia muda gani kulipuka?”

“Nime liunganisha na simu yangu hii. Washa gari tuondoke”

Fatma akawasha gari, tukafika mita kadhaa kutoka eneo bomu lilipo nikaminya batani ya kulifyatulia iliyopo kwenye gari langu na gari la Kassimu likachanguka chunguka kiasi kwamba hata waje watu wa ina gani hawato weza pata ushahidi wa aina yoyote ya kufa kwake kwani naye mwili wake umechaguka vipande vipande.

Fatma akawashagari na safari ya kurusi mjini ikaanza. Ukimya ukatawala ndani ya gari kwa kama dakika ishirini hivi.

“Nina hitaji kutoa hii mimba”

Famtma alizungumza huku kipunguza mwendo wa gari. Nikamtazama usoni mwake huku nikiwa nimejawa na mshangao.

“Kwa nini?”

“Una hisi huyu mtoto akizaliwa nita muambia kwamba nili muua baba yake. Isitoshe kwamba huyu mtoto sikumpenda, nilijikuta nina shindwa kuitoa hii mimba kwa sababu ilisha ingia na sikuungwa mkono na mtu yoyote.”

“Ina miezi mingapi?”

“Una kwenda wa nne?”

“Mbona ina onekana kama ina miezi sit?”

“Ni mine tena bado haijakamilika”

“Sijajua kama ni rahisi kutoa mimba ya miezi minne?”

“Vyoyote itakavyo kuwa ni lazima niitoe”

Fatma alizugumza kw amsisitizo na anavyo onyesha ni wazo alilo kuwa nalo toka zamani. Tukafika nyumani, kwa kutumia kifaa maalumu cha kutambua alama za videlo ambazo zina achwa kwenye maeneo ambayo mtu ana shika, tukazifuta alama za vidole za Kassimu katika kitasa cha mlango wa sebleni na mlango wa chumbani, kwani kipindi ambacho tuna futa alama damu ya Kassimu tulikuwa tumevaa gloves ambazo nilizinunua machana nilipo kuwa nina fanya manunuzi ya vifaa vya kutengenezea bomu. Tulipo hakikisha ushahidi wote tume futa, tukavua gloves zetu, tukazichoma moto hadi tukahakikisha zina kuwa majivu na majivu haya tukayamwaga kwenye sinki la chooni. Tukapulizia spraye ambayo ina toa harufu ambayo mbwa ana weza kuinusa, kwani mbwa ndio kiumbe cha pekee ambaye ana weza kutambua harufu ya mtu sehemu alipo pita na alipo kuwa amesimama kwa muda.

“Hizi nguo ina bidi pia tuzichome moto kwa maana nikiziona zita nikumbusha huyu mpuuzi”

Fatma alizungumza, nguo na viatu tulizo kuwa tumezivaa nazo tukazichoma moto. Hadi ina fika saa kumi na mbili alfajiri kila kiti kikawa tayari.

“Ina bidi niende hospitali nikaonane na daktari”

“Tuta kwenda wote”

Hatuona haja ya kuendelea kulala tena. Tukaondoka na kuelekea katika hospitali ambayo Fatma ana dai ana daktari wake anaye mtazama maswala ya Afya. Saa moja na dakika kumi tukaingia ofisini kwa daktari, tukasalimiana naye. Fatma akamueleza haja ya kutoa ujauzito huo jambo lililo mfanya daktari kushangaa sana.

“Hilo unalo taka kulifanya lina weza kupelekea kuharibika kwa kizazi chako au hata wewe kufa. Hiyo ni jambo hatari na isitoshe ujauzito wako umesha anza kukua”

Daktari alizungumza kwa msisitizo. Fatma akafungua pochi yake na kutoa bunda cha pesa na kukiweka mezani mwa daktari na kumfanya ashushe pumzi nyingi huku akizitazama pesa hizi kwa macho ya uchu sana.

“Najua una weza kunitoa mimba hii pasipo kufa wala kizazi changu kuharibika”

“Ila Fat…ma una jua hii ni kinyume na kazi yangu na endapo likitokea lolote, nita fukuzwa kazi”

Fatma akatoa kibunda cha pili cha pesa na kukiweka mezani. Dokta akaweka miwani yake vizuri huku akitutazama sote.

“Huyu ni nani?”

“Kaka yangu”

Dokta akajikuna kichwani mwake kwa sekunde kadhaa huku akionekana kutafakari jambo.

“Sawa, nitajitahidi kadri ya ninavyo wewe. Ila nita hitaji iwe siri yenu”

**OFA YA X BADO INA ENDELEA 1500/= KUANZIA 146 HADI 155. KAMA UPO FACEBOOK UTA TUMIWA INBOX KAMA UPO WHATSAPP UTATUMIWA WHATSAPP 0657072588**

“Usiwe na shaka”

“Kaka ina bidi utusubirie hapo nje”

“Nashukuru”

Nikatoka ofisini hapa ambapo kuna chumba cha ofisi na chumba cha matibabu kwani daktari huyu ni wa magonjwa ya kina mama. Lisaa moja likapita, na daktari akatoka ndani hapa na akaniita, nikaingia huku nikimtazama usoni mwake.

“Nime fanikiwa kila niwezalo na hali ya mgonjwa ni salama. Kwa sasa nina msubiria azinduke kama dakika kumi hivi hadi ishirini. Mimba ime toka na kizazi cheke kipo salama. Ila akirudi nymbani ale vituv ya mototo moto kama viazi vya kushemsha ila vilivyo pondwa pondwa. Pia hakikisha kwamba hafanyi kazi ngumu ndani ya wikimoja. Kuna dawa hizi nimeziandika hapa zita msaidia kupunguza maumivu pamoja na kumpa nguvu”

“Nashukuru dokta”

“Ila nina waomba sana iwe siri. Hata mtu akiuliza mimba yake mumdanganye kivyovyote ili kunitoa mimi kwenye hili janga. Tume elewana?”

“Ndio”

Nikasubiria kwa dakika alizo nitaja daktari, Fatma akazinduka huku akiwa amechoka sana na nguvu zikiwa zime muishia mwili mzima. Daktari akamchoma moja ya sindano aliyo tuambia ita mpatia nguvu za kutembea hadi nyumbani. Tukaondoka hospitalini hapa, tukafika nyumnani nikamuandalia Fatma uji wa moto kiasi.

“Mwingi hivi jamani?”

“Ndio hivyo kunywa urudishie nguvu”

“Ila RS hili bakuli ni kubwa sana”

“Sawa ni kubwa, kamulia limao kunywa.”

“Mmmm una nikomoa”

Nikamsisitizia Fatma kunywa bakuli hili la uji hadi akamaliza.

“Una jisikiaje?”

“Kama kizungu zungu fulani hivi. Nahitaji nilale”

“Kabla haujalala. Kassimu nyumbani kwao wana kufahamu?”

“Sio wote ndugu wachache kwa maana nilikataa anipeleke kwao kwa wazazi wake.”

“Poa mgahawani kwako nani ata simamia?”

“Nina acha maagizo”

“Endapo ndugu na marafiki wakikuuliza ujauzito wako upo wapi uta waambia nini?”

“Nimenguka bafuni na mimba ika toka. Hakuna atakaye kuja kunihoji maswala zaidi ya hayo. Ngoja nikalale Kassimu”

“Sawa”

Fatma akaingia chumbani kwake kwa ajili ya kulala. Nikaanza kutengeneza bomu kwa ajili ya mume wa Leila. Majira ya saa saba mchana nikamaliza kazi yangu ya kutengeneza bomu hili la kutege chini ya gari. Mara baada ya kuimaliza kazi hii, nikapika chakula cha mchana kisha nikamuasha Fatma na kwa pamoja tula viazi rost hivi nilivyo pika ila vyake nime vipanda vponda.

“Kwa nini una nijali Rashidi?”

“Swali gani la ajabu hilo una ni niuliza?”

“Kwa sababu mimi sio mwamke sahihi kwenye maisha ya mtu yoyote. Ni muuaji na nime ua kiumbe ambacho hakina hatia kwenye haya maisha. Hivyo najiona ni mtu mwenye dhambi ambaye sistahili kuishi na mtu yoyote”

Fatma alizungumza kwa uchungu sana. Hapa ndipo nikagundua tatizo jengine kwake ambaloni tatizo la kisaikolojia ambalo tayari limesha anza kumtafuna taratibu Ubongo wake.

“Fatma”

“Bee”

“Mimi ni nani kwako?”

“Nikikuita mume wangu nita kosea kwa sababu tayari una familia yako. Na nikikikuita kaa pia nita kosea kwa sababu umesha uona uchi wangu na kunitoa usichana wangu”

“Sawa mimi ni mpenzi wako sawa. Haukuua kutokana kwa hahati mbaya ila uliua kwa sasabu ya mapenzi yako hayapo kwa yule mwanaume. Laiti ungekuwa una mpenda usinge muua yeye na kiumbe chake. Nipo tayari kuhakikisha nina kupatia kiumbe kingine. Sawa”

“Ila Rashidi utaondoka na kuniacha peke yangu. Kumbuka wewe hapa ni mtembezi umekuja na uta ondoka na jinsi unavyo onekana huna mapenzi ya kumpend amwamke mwengine tofauti na Jackline mke wako”

“Fatma nisikilize. Wewe ni mwana familia yangu, wewe utakapo beba mimba yangu ita ifanya furaha yako iweze kurudi na endapo furaha yako ikirudi basi uta ishi maisha ya furaha tena”

Fatma akanitazama kwa sekunde kadhaa.

“Vipi dokta amekuambiaje nini kuhusiana na kizazi changu?”

“Amenieleza kwamba kizazi kipo salama na una uwezo wa kupata mtoto mwengine bila ya shida”

“Kwenye tv hakuna habari yoyote kuhusian ana kifo cha Kassimu kwa maana hakuna simu wala meseji niliyo tumiwa na mtu wake wa karibu?”

“Naamini bado hawajajua. Kwani kule tulipo kwenda kumlipua ni jangwani na hadi gari na mwili wake vije kutambulika sio jambo rahisi”

**OFA YA X BADO INA ENDELEA 1500/= KUANZIA 146 HADI 155. KAMA UPO FACEBOOK UTA TUMIWA INBOX KAMA UPO WHATSAPP UTATUMIWA WHATSAPP 0657072588**

“Kwani lile bomu ni kubwa ehee?”

“Ndio ni kubwa lina changua changua kila kitu.”

“Sawa ni jambo zuri. Yaani umeniondolea mzigo ambao nilikuwa nina tamani sana uweze kuniepuka kwenye maisha yangu, sema ndio hivyo sikuwa na ujuzi mkubwa kwenye mapenzi wa kumkataa mwanaume”

“Usijali mpenzi kila jambo lita kwenda sawa”

Baada ya siku mbili tukapokea taariafa ya kupotea kwa Kassimu, ndugu na jamaa wa karibu wa Kassimu walimuuliza Fatma kama ana fahamu ni wapi alipo kwenda Kassimu naye pia akadai mara ya mwisho kuachana naye ilikuwa ni mgahawani kwake. Ila kutokana ni mtu wa kusafiri mara kwa mara hakuwa na shaka kabisa akihisi kwamba amekwenda nje ya mkoa na vijijini. Polisi wakatangaza katika vyombo vya habari juu ya mlipuko wa bomu katika gari la bwana Kassimu na wakapelekea shutuma hizo kwa kikundi cha IS(Islamic State) wakidai kwamba wao ndio wahusika namba moja kwani katika siku ya mashambulizi kuna shambulizi jengine lilitokea katikati ya mji huu wa Beirut na kusababisha vifo vya watu ishirini.

‘Tumelikwepa hili’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikitazama taarifa ya habari hapa sebleni. Famta akaungana na ndugu wa Kassimu katika kuadhimisha kifo cha Kassimu huku wengi wakimsikitikia Fatma kwa mimba yake kuharibika. Sikuhitaji kuungana nao katika msiba huo una fanyika nyumbani kwa wazazi wa Kassimu. Nikaanza upelelezi wangu wa kuhakikisha kwamba nina fahamu hali ya Leila. Nikagundua amesha ruhusiwa hospitalini na kurudishwa nyumbani na ulinzi wa nyumbani kwake hapo ni mkali sana. Nikaanza kufwatilia ratiba ya mume wake. Kwa siku tatu nilizo mpeleleza pasipo kufahamu, nikagundua ratiba yake ni ipi na maeneo gani huwa ana yapendelea kupita kabla ya kuelekea nyumbani kwake. Maeneo anayo penda ni katika majumba ya madanguro na huwa akifika hapo ni lazima alale na wanawake wawili hadi majira ya saa saba usiku ndio huondoka na walinzi wake wanao msidikiza kwa gari moja ambalo hutangulia mbele na gari la pili ni lake linalo fwata kwa nyuma.

‘Leo ni siku yake ya kufa’

Nilizungumza huku nikijiandaa kwa ajili ya kazi yangu ninayo kwenda kuifanya usiku huu. Nikaweka ndani ya begi la mgongoni kijigari kidogo kinacho endeshwa kwa rimoti ambacho kina uwezo wa kubeba bomu ambalo nimelitengeneza. Nikavaa na miwani yangu nyeusi na nikaelekea hadi kwenye moja ya danguro ambalo mume wa Leila katika siku tatu nilizo mchunguza, ni siku mbili amakwenda pale majira ya saa tatu hadi nne usiku ndio hufika eneo hilo. Nikagesha gari hili la Fatma kwa mbali kidogo kwani mtaa huu ume jengwa magorofa marefu pande zote. Nikapanda juu kabisa ya gorofa linalo tazamana na gorofa la danguro hilo.

Jinsi nilivyo wazia ndivyo jinsi mambo yalivyo kwenda. Gari mbili za mume wa Leila zikafika eneo hili majira ya saa tatu na dakika ishirini na tisa usiku. Zikazimama eneo la pembezoni mwa barabara. Mume wa Leila akashushuka huku akiwa amevalia kofia aliyo ishusha nusu wa uso wake. Akaingia ndani hapo na walinzi wake wanne anao ongozana nao kila sehemu anapo kwenda. Nikafungua begi langu hili na na kukitoa kigari changu hichi ambacho kina kamera ambayo ina niwezesha kukiongoza kila ninapi hitaji kiende. Nikakifunga bomu hili kwa chini kisha nikashuka gorofani hapa, nikakiweka pembezoni mwa barabara eneo lenye giza na sio rahisi kukiona. Nikarudi juu kabisa ya gorofa na nikaanza kukiendesha hadi kwenye gari la mume wa Leila. Nigari hichi kidogo nilikifunga smaku maalumu ambayo ina weza kunata katika chuma na hivi ndivyo nilivyo hitaji, kitendo cha kuingia katika uvungu wa gari la mume wa Leila kika nata kikiwa na bomu lake.

‘Leo una kwenda kufa mshenzi mkubwa wewe’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kusubiria kwani jamaa akiamua kukaa ndani danguro hili huwa ana kaa kweli kweli na nilisha wahi kuingia siku ya kwanza alipo ingia na nilikutana na wanawake warembo sana wenye kila aina ya sifa za kuitwa wanawake warembo. Hadi ina fika saa nane usiku mume wa Leila hajatoka ndani hapa. Mvua ikaanza kunyesha na kunifanya nivumilie huku nikimsubiria muhalifu wangu. Majira ya saa kumi na moja kasoro alfajiri mume wa Leila akatoka ndani danguro hilo huku akiwa na walinzi wake, nikastuka kidogo mara baada ya kumuona mmoja wa machangudoa akiingia ndani ya gari hio jamboa mbalo sio mpango wangu kumuangamiza kwani mtu ninaye muhitaji ni mume wa Leila na hata akifa na walinzi wake wanao ungana nao kwenye dhambi zake mbaya sio vibaya ila sio kwa mtu mwengine ambaye hahusiki kwenye jambo hili.



Gazi hizo zikasimama kama dakika tano hivi na binyi aliye panda katika gari hiyo akashuka na kuingia ndani. Taratibu gari hizi zikaonndoka, nikashusha pumzi taratibu na nikasubiria ziweze kufika mita kama mia moja hamsini hivi, kisha nikaminya batani ya kulipulia bomu, nikashuhudia moto mkubwa wa bomu hilo ukililipua gari la mume wa Leila na likasambaratika huku gari la mbele la walinzi wake likiwaka moto.

‘Mission ime kwisha’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikishuka gorofani hapa. Nikaingia ndani ya gari la Fatma na kurudi nyumbani. Nikakagua nyumba nzima na nikahakikisha ulinzi upo wa kutosha kwa maana Fatma bado hajarudi nyumbani. Nikabadilisha nguo zangu, nikachukua chupa ya wyne pamoja na glasi kisha nikakaa sebleni na kusubiria taarifa ya kifo cha mume wa Leila kwenye luninga. Majira saa kumi na mbili na dakika kumi habari ikatangazwa juu ya sahambulizi jengine la bomu na mkuu wa kitengo cha upelelezi wa jeshi la polisi, amefariki katika mlipuko wa bomu pamoja na walinzi wake wawili huku wengine wakijeruhiwa vibaya. Nikapiga fumba zito la wyne hii kisha nikajilaza kwenye sofa hili.

Mlio wa simu ukanistua na kuzinduka katika usingizi huu ulio nipita, nikaitazama kwa sekunde kadhaa simu hii kutoka kwa Fatma kisha nikaipokea.

“Hei”

“Vipi ume amkake?”

“Namshukuru Mungu nipo salama. Vipi wewe?”

“Nipo poa, nipo njiani nina rudi nime kukumbuka kweli kweli”

“Hata mimi nime kukumbuka, vipi maumivu ya huko chini?”

“Yapo vizuri na nilipitia hospital kusafisha”

“Sawa mimi nime lala tu hapa”

“Poa mpenzi wangu”

Nikakata simu. Baada ya lisaa moja Fatma akafika nyumbani hapa na akanikumbatia kwa furaha huku akianza uchokozi wa kimapenzi. Hatukuzungumza chochote zaidi ya kuanza kumpa dozi anayo stahili, dozi ambayo nina uhakika ita kwenda kumpatia kile alicho kuwa ana kihitaji kwangu. Hadi tuna maliza mtanange huu kila mmoja amechoka kwani ni mpute mpute wa kukata kwa shoka.

“Rashidi”

“Naam”

“Una jua ukiondoka nita pata tabu sana”

“Kwa nini?”

“Yaani sidhani kama kuna mwanaume anaweza kutokea na akanifanya kama hivi unavyo nifanya wewe. Kwa kweli una nipa kitu kinacho nifanya nifurahi sana kila ninapo kuwa nawe”

“Usiali nita kuwa nina kuja. Ina bidi niweze kuondoa kama unavyo jua nimesha msambaratisha yule mpuuzi. Kabla uchunguzi haujapamba moto basi ina bidi nisepe”

“Una onaje tukaondoka wote. Sihitaji kuishi tena hapa Lebanoni. Nina hitaji kwenda kupambana na changamoto za maisha katika nchi nyingine.”

Nikamtazama Fatma kwa sekunde kadhaa usoni mwake.

“Ni nchi gani ambayo una pendelea tuweze kwenda?”

“Nchi yoyote yenye usalama, yaani napenda nitoke kabisa hapa nchini”

“Una onaje tuka enda China”

“Mmmm China wana sheria ngumu sana. Nchi nyingine?”

“Uingereza ni nchi ambayo ina pokea wageni wengi na wengi wana weza kuanzisha maisha pale na wakaishi””

“Wazo zuri, ngoja kuna mzee mmoja nina mfahamu ni balozi wa Uingereza. Sasa ili hadi kumpata ni lazima nikazungumze na baba”

“Sawa nenda kazungumze na baba. Muage na akupatie baraka zake. Tafadhali Fatma, kama uta taka tufanikiwe basi fanya hivyo mpenzi wangu”

“Sawa nime kuelewa. Leo nita kwenda kijijini kwake na nita zungumza naye akiridhia asipo ridhia mimi nita ondoka tu Lebaboni. Ila sinto muambia kwamba una ishi kwangu na una mapenzi na mimi nahata tukienda huko Uingereza basi tuta kwenda kwa siri pasipo yeye kufahamu”

“Sawa ni wewe tu”

“Ehee niambie kazi imekwendaje?”

“Haikuwa ngumu. Ilikuwa ni sawa kumsukuma mlevi kwenye korongo. Nina imani umepata taarifa?”

“Ndio ila je haujaacha ushahidi wa aina yoyote?”

“Nipo makini zaidi ya kitu chochote kwenye maisha yangu. Sijaacha ushahidi wowote”

“Sawa mpenzi wangu.”

“Ndugu wa Kassimu wana semaje?”

“Wana laani tu kwa mtoto wao kuuwawa na magaidi na wamenipa pole sana kwa kumpoteza mtoto, ila nashukuru Mungu jambo limekwisha”

“Hicho ndio kilicho bora kwa kweli”

Majira ya mchana tukaelekea katika mgahawa wa Fatma, lengo la mimi kwenda katika mgahawa huo ni kufwatilia ni kitu gani kinacho endelea nyumbani kwa Leila. Fatma akaacha maagizo kwa vijana wake kisha akaanza safari ya kuelekea kijijini kwa mzee kama tulivyo kubaliana. Mimi nikabaki katika mgahawa huu hadi jioni huku nikishuhudia magari mengi yakifahari yakingia na kutoa katia nyumba ya Leila.

“Hivi pale ni kuna nini?”

Nilimuuliza muhudumu mmoja wa kiume kana kwamba sifahamu chochote.

“Ahaa pale ni kwa askari mmoja ni mpelelezi mkuu wa askari. Jana usiku gari yake ina sakikika ilikuwa imetegeshwa bomu. Ililupuka na akafika homo”

“Aisee ndio yule ninaye muona kwenye taarifa taarifa za habari?”

“Ndio huyo huyo”

“Vipi wamesha zika?”

“Ndio wamezika majira ya saa sita saba mchana hivi. Hapo walipo wana malizia malizia mazishi.”

“Sawa sawa”

Muhudumu akaendelea na kazi zake. Nikajisogeza nyumbani kwa Leila na ulinzi ulipo eneo hilo ni mkali sana.

“Hei una elekea wapi?”

Askari mmoja aliniuliza mara baada ya kuniona nina ingia getini.

“Ahaa nina ingia humu msibani”

“Kitambulisho chako”

Nikatoa wallet mfukoni mwangu na kumkabidhi kitambulisho changu cha uraia wa nchi hii ya Lebanoni, akakisoma kwa sekunde kadhaa kisha akanirudishia.

“Mkuu alikuwa ni nani kwako?”

“Ahaa ni miongoni mwa wale walio husika katika oparesheni ya kumuokoa dokta, alinipatia kadi yake ya simu hii hivyo nilipo sikia amefariki, nami nikaona ni vyema nisogee”

“Hembu hiyo kadi yake ya simu”

Nikatoa kadi ya simu na kumkabidhi askari huyu ambaye ana onekana kuwathamini watu wa nchi yake kuliko watu weusi.

“Sawa samahani kwa usumbufu”

“Hakuna shaka”

Nikaingia ndani hapa, nikapitiliza moja kwa moja hadi katika kiti cha kuandika rambirabi. Nikaandika rambirambi yangu kisha nikatafuta moja ya kiti na kukaa huku nikiwatazama watu walipo eneo hili.

“Rashidi”

Nilistuka kidogo mara baad ya kumuona mzee Omari hapa.

“Shikamoo mzee wangu”

“Marahaba, kumbe bado haujaondoka?”

“Ndio baba bado nipo kuna maswala nina yafwatilia. Nilipo sikia juu ya msiba wa ndugu yetu imenibidi niweze kufika nami japo nime chelewa”

“Tume poteza mtu hodari sana. Mtu ambaye alikuwa ni kama nguzo kwenye usalama wa nchi hii. Ila ndio hivyo kazi ya Mungu haina makosa”

“Ni kweli, alafu mzee una tambua kwamba sasa hivi Fatma yupo njiani ana kwenda kijijini kuonana na wewe?”

“Fatma huyu wangu?”

“Ndio ngoja nimpigie simu na nimuambie kwamba upo hapa”

“Sawa muambie aise kule nyumbani nilisha funga”

Nikatoa simu na nikampigia simu Fatma nikamueleza kwamba mzee nipo naye na ikamlazimu Fatma kurudi mjini.

“Nina ruhusiwa kutoa mkono wa pole kwa mama mfiwa?”

“Hali yake haipo vizuri. Amekuwa ni mtu wa kuzimia zimia. Una jua hawa wezetu ni walaini pale wanapo ondokewa na waume zao kama hivi. Ila tofauti na sisi huwa tuna jikaza kisabuni pale wake zetu wanapo fariki duniani”

“Ni kweli”

“Vipi ulikuwa una fwatilia mambo gani hapa mjini kwa maana ni wiki sasa?”

“Nilikuwa nina tazama fursa za kuweza hapa Beirut na nita kuwa nina rudi hapa mara kwa mara kuangalia miradi yangu na kuwaangali nyinyi. Hapa pamesha kuwa kama nyumbani”

“Ni wazo zuri sana endapo uta wekeza. Endapo uta hitaji msaada wowote basi usisite kunijulisha”

“Sawa mzee. Kama huto jali twende kwenye uwekezaji wa binti yako tukapate japo chakula cha usiku”

“Una maanisha nini unaposema uwekezaji wa binyi yangu?”

“Wewe twende ukaone mzee wangu”

Tukaondoka eneo hili na mzee Omary. Tukafika katika mgahawa wa Fatma.

“Huu ni mgahawa wa Fatma na hawa wote unao waona hapa ni wafanyakazi wake.”

“Wee Fatma huyu huyu?”

“Ndio kaka huamini muite muhudumu mmoja umuulize kwamba mmiliki wa mgahawa huu ni nani”

Muhudumu akatufwata katika meza tuliyo kaa.

“Samahani binti”

“Bila samahani baba”

“Eti anaye milikia mgahawa huu ni nani?”

“Boss Fatma”

“Nina weza kuonana naye?”

“Ahaa aliondoka mchana sasa sijajua kama ata rudi au hato rudi”

“Nashukuru”

Mzee Omari alizungumza huku uso wake ukiwa umetawaliwa na tabasamu sana na akaendelea kuangaza angaza ndani ya mgahawa huu.

“Nilipita asubuhi hapa na sikufwatilia chochote”

“Ndio hivyo Fatma ameamua kutafuta njia ambayo ana aminni ni asahihi kwa jaili ya kujitengenezea maisha yake.”

Tukaagiza chakula tunacho hitaji na muhudumu akaondoka.

“Baba”

“Naa”

“Nina imani kwamba wewe na Fatma muna mapito ambayo muna yapitia kwa sasa. Kwenye kipindi chote ninacho ishi hapa Beirut nina ishi nyumbani kwake. Nime zungumza naye mambo mengi sana kuhusiana na historia yake ya nyuma na historia ya familia yako kwa ujumla. Alinieleza vitu vingi sana ambavyo hapo awali sikuweza kuvitambua.”

Muhumumu akatuweka chakula mezani, akatukaribisha na akaondoka.

“Nilicho weza kugundua Fatma ni mwanamke mwenye maono makubwa. Maono ambayo yalifichwa na yale maisha uliyo kuwa ume mkuza. Fatma ana bidii katika kutafuta maisha, haijalishi wewe una utajiri kiasi gani, ilaakiwa kama mwanamke shupavu ana tambu nini anacho kifanya ndio maana leo hii tume kaa na tuna kula chakula kitokanacho na juhudi zake”

“Nina kuomba sana umsamehe kwa kila aliyo yafanya kwako. Ni mambo ambayo kama mzazi nina imani kwa asilimia kubwa yata kuumiza na kukukera. Ila ina bidi umpatie nafasi ya pili. Nafasi ya kuwa binti yako mpendwa, nafasi ya kumbariki na akafanye kile anacho jisikia kwenye maisha yake ila muunganiko wenu urudi kama zamani”

“Una jua nini Rashidi”

“Ndio baba”

“Wewe ni baba na una watoto kama jinsi ulivyo nionyesha.”

“Ndio ndio”

“Hakuna mzazi ambaye ana weka chuki juu ya mtoto wake anaye mpenda. Hata itokee vipi mtoto amkasirishe mzazi wake. Ila upendo wa mzazi hauto shuka kwa mwanaye huyo. Nina mpenda sana Fatma kuliko hata maisha yangu. Sikumkataza kuto kuondoka nyumbani kwa maana niliona na damu yangu halisi. Damu ya utafutaji, damu ya kujiamini na damu ya kuto kukubali kushindwa. Ndio maana niliamua kumuacha nakuona nini ata kwenda kufanya huko mbele ya safari na matokeo yake ndio haya. Amekuwa ni mtu mwenye kujenga maisha yake mazuri na nina imani ata kuwa ni mwanamke shupavu sana mbele ya wanaye”

“Ni kweli baba”

Tukamuona Fatma akiingia ndani hapa. Akaangaza angaza na kutuona, taratibu akapiga hatua hadi tulipo, akasimama huku machozi yakimlenga lenga. Taratibu mzee Omari akasimama na wakakumbatiana kwa nguvu na binti yake.

“Nime kukumbuka sana baba”

“Nami pia nimekukumbuka sana mwanangu”

“Naomba unisamehe baba. Ni utoto ndio ulinifanya niondoke nyumbani”

“Hapana ulifanya jambo sahihi, laiti usinge ondoka ungeendelea kuwa mpishi wangu ila leo hii nime kuja kula chakula kwenye mgahawa wako ni jambo zuri sana n anime furahi. Hongera sana mwanangu”

“Nina shukuru sana baba”

Tukajumuika kwa pamoja kupata chakula hichi cha usiku huku furaha kati ya Fatma na baba yake ikiwa imerudi tena. Majira ya saa tatu tukapita msibani kwa ajili ya kuwaaga wafiwa. Nikapata nafasi ya kumuona Leila akiwa amekaa na wakwe zake kitu kilicho nifanya nishindwe kumsogelea. Kutokana na wingi wa watu hakuweza kunitambua kama nipo. Tulipo hakikisha tume maliza kuaga tukaondoka na kuelekea nyumbani kwa Fatma. Usiku wa siku hii mzee Omari akazungumza mambo mengi sana akitusihi kuhusiana na maisha tunavyo paswa kuishi. Kwa siku ya leo sikulala chumbani kwa Fatma zaidi ya kulala katika chumba changu nilicho kabidhiwa siku niliyo fika hapa nyumbani kwake na baba akakala chumba cha wageni. Hatukuonyesha dalili yoyote kwamba tuna mahusiano ya kimapenzi kati yetu,

Asubuhi tukaanza kufanya mchakato wa safari ya kuelekea nchini Ungereza kuanza maisha mapya. Kutokana na mzee Omari kufahamiana na viongozi wengi, halikuwa jambo gumu kwa Fatma kupata kibali cha kuanzisha makazi nchini Uingereza. Baada ya wiki moja tukaondoka wote watatu kuelekea nchini Uingereza huku mimi na mzee Omari tukiwa ni wasindikizaji tu. Tukahakikisha Fatma amepata nyumba ya kuishi na eneo la kufanyia biashara, mzee Omari akarudi Lebanoni nami nikaa Uingereza kwa wiki nzima

“Rashidi Rashidi”

Fatma alinistua nikiwa usingizini na kujikuta nikifumbua macho na kumtazama.

“Mambo yame tiki, nimetoka kupima mimba na kipimo hapa kina onyesha nina ujauzito”

“Wee?”

Fatma alizungumza huku akinionyesha kipimo hicho.

“Yaa nina mimba mume wangu. Nina furaha sana nina imani malengo yetu yana kwenda kukamilika”

“Ni kweli mke wangu. Ina bidi niende Ufaransa na niombe tena visa ya muda mrefu ya kuja kuishi nawe hadi pale mimba itakapo kuwa kwenye hali nzuri”

“Sawa mume wangu ila najua ume mmisi mama wa watoto wako”

“Hata wewe ni mama wa watoto wangu. Hivyo wewe una haki na yeye pia ana haki”

“Rashidi nikuombe jambo moja”

“Naam niombe”

“Ningependa nikutane na huyo Jackline na umueleze ukweli juu ya mahusiano yetu na mtoto wetu huyu ajaye?”

“Mmm una hisi ni rahisi hivyo?”

“Najua sio rahisi ila ningependa iwe hivyo mume wangu. Tafadhali nina kuomba”

Fatma alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Nita wakutanisha pale watoto wangu watakapo zaliwa”

“Rashidi”

“Ndio, nita wakutanisha utakapo jifungua.”

“Sawa wewe ndio mume na mimi nina fwata. Una kumbuka leo ina bidi uende ubalozi wa Lebanoni asubihi hii”

“Yaa. Nilikuwa nime jisahau kwa kweli”

Nilizungumza huku nikishuka kitandani, nikaoga na kupata kifungua kinywa kicha nikaondoka nyumbani hapa nakuelekea katika ubalozi wa Lebaboni hapa nchini Uingereza.

“Karibu sana Rashidi”

Balozi alinisalimia kwani hii sio mara yetu ya kwanza kuonana kwani ni mtu ambaye nilisha tambulishwa na mzee Omari kipindi tuna ingia hapa nchini Ungereza ana akatueleza endapo tuta pata tatizo lolote basi yeye ndio mtu wa kwanza kumjulisha na ata tusaidia kwa uharaka zaidi.

“Nashukuru sana mzee wangu”

“Hili ni faili nina imani lita kufaa. Kila kitu unacho kihitaji kukifahamu kipo humu ndani”

Balozi akanikabidhi faili kubwa kidogo, nikamtazama usoni mwake, nikafungua faili hizi nikastuka kidogo mara baada ya kuona picha ya DON ikiwa ukurasa wa kwanza kabisa wa faili hili, nikapitia kurasa kadhaa za mwanzo na nikaanza kupata picha kamili ya namna gani nina weza kumpata DON kimya kimya na nikamsambaratisha kimya kimya pasipo kumwaga damu za watu wengine.




“Nashukuru sana muheshimiwa kwa kunipatia hili faili, nina imani nita lifanyia kazi”

“Mzee alinipa jukumu la kukusaidia katika hili nina imani kila jambo lita kuwa vizuri sasa”

“Ndio mkuu, nitaifanya kazi yangu vizuri”

“Basi sawa nikutakie kila la heri kwenye kazi yako”

“Nina shukuru”

Nikaagana na balozi na nikaianza safari ya kurudi nyumbani huku nikiwa nimejawa na furaha kwani hakuna kitui kizuri kama kumfahamu adui yako kwa undani kabla ya kupigana naye. Kitu kilicho kuwa kina nifelisha katika mapambano yangu ya awali na DON ni kutokana na kuto kumjua kwa undani. Nikafika nyumbani, kwa pamoja mimi na Fatma tukaanza kulipitia faili hili kwa undani. Kutokana Fatma naye ana uwezo mkubwa kweye maswala ya ujasusi, akanisaidia mambo mengi kwa kuipanga mipango yangu ya namna gani nitakavyo pambana na DON. Baada ya siku mbili za siku nilizo pewa kukaa ndani ya nchi ya Uingereza, nikaanza safari ya kuelekea nchini Ufaransa ilipo familia yangu. Sikumuambia mtu yoyote juu ya safari yangu hii kwani nina hitaji kuwastukiza. Nikafika nchini Ufaransa, nikakodisha taksi na moja kwa moja nikaelekea nyumbani. Walinzi wanao linda nyumba hii ya Jackline wakasimamisha taksi hii getini na kumuomba dereva kutoa kitambulisho chake.

“Musiwaamibie kama ni mimi”

Nilimuambia mlinzi huyu ambaye ana nifahamu vizuri.

“Sawa mkuu karibu sana”

“Nina shukuru”

Dereva akaruhusiwa kuingia katika uzio wa nyumba hii ambayo eneo lake ni kubwa sana. Dereva taksi akasimamisha gari katika maegesho yaliyopo katika nyumba hii. Nikamlipa kiasi chake kisha nikashuka mizigo yote niliyo beba ikashushwa na dereva. Shamsa akatoka ndani huku akiwa kama haamini anacho kiona, nikaipanua mikono yangu na kumfanya Shamsa kunikimbilia kwa kasi na kunirukia, nikamnyanyua na kumkumbatia.

“Baba umerudi”

Shamsa alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Jackline naye akatoka ndani, akanikimbilia na kunikumbatia kwa furaha, kwa kweli ni wakati wa furaha kubwa sana kwenye maisha yangu na familia yangu. Kwani ni muda mrefu sana nime kaa mbali na wanangu hawa.

“Mbona ujatujulisha mume wangu tuje kukupokea?”

“Nilihitaji mufurahi, vipi baba na mama wapo wapi?”

“Wamekwenda Marsell ila wata rudi usiku”

“Sawa musiwaambie kama nime rudi, watoto wapo wapi?”

“Wapo chumbani wamelala”

Sote tukapandisha chumbani na nikaingia katika chumba cha watoto wangu hawa mapacha, nikawakuta kila mmoja amelala kwenye kitanda chake. Kusema kweli ni watoto wazuri ambao wamechukua rangi ya baba na mama.

“Natamani niwaamshe ila ngoja niwache kwanza walale”

“Kweli mume wangu, wamekula chakula cha mchana muda huu huu.”

Nikambusu kila mmoja shavuni mwake kisha nikatoka ndani hapa huku nikiwa na furaha sana. Nikampatia Shamsa zawadi nilizo mnunulia. Jackline akabeba begi langu la nguo hadi chumbani. Jackline akanisukumia kitandani na nikalala chali, akanikalia kiunoni mwangu na tukaanza kunyonyana denda huku kila mmoja akiwa katika hisia kali sana. Tukavuana nguo kwa haraka na mtange wa kukata na shoka ukaanza kwani ni kwa kipindi kirefu sana hatujakutana kimwili. Mtanange huu nilio unganisha goli mbili katika mechi moja ukachukua lisaa hadi kumalizika. Hapa sasa tukapana nafasi hata ya kuzungumza.

“Aisee nilikuwa na hamu kubwa sana na wewe mume wangu”

“Hata mimi, nilikukumbuka sana mke wangu.”

“Vipi Lebanoni, umefanikiwa kukipata kile kilicho kupeleka?”

“Ndio nime fanikiwa kwa asilimia mia moja mke wangu nina mshukuru Mungu”

Majira ya saa moja usiku baba na mama wakarudi Furaha ikazidi kuongezeka kati yetu, nikaawadithia maisha niliyo kuwa nina ishi kuanzia DRC hadi Lebaboni. Kitu nilicho waficha ni maisha ya kutembea na wasichana tofauti na Jackline.

“Ina bidi ile harusi yenu sasa iweze kufungwa”

Baba alizungumza.

“Hakuna shaka baba”

“Lini muna hitaji”

“Baba mimi natamani hata kesho”

Jackline aliwahi kujibu.

“Wiki hii mwishoni”

Nilipendekeza siku ya jumamosi na tukakubaliana kwa pamoja. Siku iliyo fwata maaandalizi ya harusi yakaanza na hatukuhitaji watu wengi na walio alikwa asilimia kubwa ni rafiki wa Jackline pamoja na marafiki wa baba.

“Vipi mzee ana kujali?”

(KAMA BADO HUJA MALIZA HADIHI YA X WAKATI WAKO NI SASA. OFA YA X NI SH 1500/= TU KUPITIA WHATSAPP 0657072588 AU FACEBOOK INBOX KWENYE PAGE YANGU. MALIPO NI MPESA 0742334453 AZARIA MSULWA AU TIGOPESA 0657072588 AZARIA MSULWA. KARIBU SANA)

Nilimuuliza mama huku tukia katika eneo la kupumzikia.

“Ana nijali sana. Furaha ya maisha yangu imerudi na zile shida za nchini Tanzania zote nime zisahau mwanangu”

“Ni jambo zuri mama kama ana kujali. “

“Ni kweli, ehee katika kupita pita kwako huko huja pata mjukuu mwengine kwa maana nyinyi wanaume muna pita sehemu nyingi sana”

Mama alizungumza huku akitabasamu, nikashusha pumzi huku nikimtazama.

“Nisiwe mnafki mama kuna binti mmoja anaishi hapa hapa Ufaransa ana itwa Fiifi, nilipo ondoka nilimuacha na mimba yangu hivyo nina imani kwamba ata kuwa na mtoto wangu. Kuna binti mmoja nilikuwa naye Lebanoni naye ana ujauzito wangu na tunatarajia kupata mtoto”

“Kama ni hivyo ni vyema kuhakikisha kwamba hao watoto wana pajua kwao. Kwani watoto ni baraka kwenye familia na usione haja ya kuwaficha ficha”

“Acha kwanza wakue kue si unajua sihitaji kuifuta furaha ya jackline kwa kipindi hichi”

“Sawa ila unipatie namba za mama zao kwani mimi ndio bibi yao”

“Usijalimama”

Jambo la kumshukuru Mungu mama yangu ni msiri wangu na ni mtu anaye nielewa vizuri sana. Majira ya mchana nikaelekea mjini na moja kwa moja nikaeleka hadi kwenye mgahawa ambao Fiifi alikuwa ana fanyia kazi. Nikaulizia na nikaambiwa aliacha kazi miaka miwili iliyo pita.

“Alieelekea wapi?”

Nilimuuliza mmiliki wa mgahawa huu.

“Mara ya mwisho kuzungumza naye Acra Ghana na aliniambia ameanzisha biashara yake huko ya mgahawa.”

“Kwa ni nini aliondoka Ufaransa?”

“Ni kutokana na ujauzito alio upata”

“Mulimfukuza?”

“Hapana, ila alitamani kwenda kujifungua nchini kwao.”

“Namba za mawasilino una weza kunisaidia?”

“Hakuna shaka”

Mmiliki huyu akanipatia namba ya Fiifi anayo itumia nchini kwao Ghana, kisha nikarudi nyumbani. Furaha na amani ikazidi kutawala ndani ya familia yangu. Nikawaeleza juu ya kazi iliyopo mbele yangu na nikapanga mara baada ya harusi kuisha. Kila mmoja akanikubalia na kunipa baraka ya kazi ninayo kwenda kuifanya mbele yangu.

“Mume wangu”

“Naam”

“Kazi hii inayo kuja ita chukua muda gani?”

“Kazi ya kumuwinda DON?”

“Ndio”

“Natamani sana niimalize kwa muda mfupi niishi kwa amani ila nina imani ita nichukua muda kidogo kama unavyo jua hali ya DON sio ya kawaida”

“Kuwa makini kwa maana furaha ambayo watoto wana ipata kwa sasa kwa kukuona basi nina tamani iendelee kwa kipindi chote cha maisha yetu”

“Amen mwenyezi Mungu abariki”

Siku ya sherehe ya harusi yetu ukawadi, wageni waalikwa ambao ni matajiri wakubwa sana duniani wakahudhuria kwenye sherehe yetu hii ya kifahari ambayo ulinzi wake nina weza kuufananisha na ulinzi wa raisi wa Marekani.

“Sinto acha kukupenda Jackline. Nita kulinda, kukuheshimu na kujujali hadi kifo kitakapo nichukua.”

Nilimuambia mke wangu huku tukiendelea kucheza mziki wa taratibu huku tume kumbatiana. Maneno yangu yakamfanya Jackline kulengwa lengwa na machozi.

“Hata mimi nina kupenda sana Rashidi wangu. Umenifanya leo niwe mwanamke, mwanamke wa kuheshimiwa na kila mtu. Asante kwa kuja katika maisha yangu”

Baada ya sherehe tukaelekea Spain kwa ajili ya mapumziko ya wiki moja. Wiki moja hii ya mapumziko tukaitumia kufurahi na mke wangu kisawa sawa sawa. Nikahakikisha ndani ya wiki nzima Jackline ana furahi kuliko kipindi chote ambacho amesha wahi kuishi na mimi.

“Miaka ina kwenda kasi sana”

Nilizungumza huku nikiwa nimejilaza kwenye kitanda kilicho ufukweni hapa huku mke wangu naye akiwa amelala pembeni katikakitanda chake.

“Kwa nini una sema hivyo mume wangu?”

“Miaka mitatu ya nyuma nikikuwa sina mbele wala nyuma. Mama yangu na mwanangu tulikuwa tuna ishi maisha ya ajabu. Majaisha ya kimasikini ambayo kusema kweli yalitufanya tuwe ni watu wa kudhalilika na kuonekana hatuna thamani”

“Usikumbuke huko mume wangu maisha yamesha pita hayo”

“Ni kweli yame pita ila ni maisha ambayo sitamani kurudi mimi na familia yangu kwa sasa”

“Nisikilize mmewangu. Kwenye maisha kuna kupanda na kushuka na aliyepo chini siku zote ana tamani kupanda juu na aliyopo juu hatamani kushuka chini. Hivyo tupo pamoja na tuta pambana kuhakikisha watoto wetu wana ishi maisha ya kitajiri na ya kifahari. Nakuahidi kwenye hili kwa maana biashara zetu zina zidi kupanda juu na kukuua. Shamsa ndio yule ana zidi kukua kisanaa na pesa imeanza kumfwata akiwa bado mdogo sana, nina imani hadi afikishe umri wa miaka kumi na nane basi ata weza kujitegemea kiuchumi na ata kuwa na maisha mazuri sana”

“Jack”

(KAMA BADO HUJA MALIZA HADIHI YA X WAKATI WAKO NI SASA. OFA YA X NI SH 1500/= TU KUPITIA WHATSAPP 0657072588 AU FACEBOOK INBOX KWENYE PAGE YANGU. MALIPO NI MPESA 0742334453 AZARIA MSULWA AU TIGOPESA 0657072588 AZARIA MSULWA. KARIBU SANA)

“Niambie mume wangu”

“Ninas hukuru sana kwa kumlea mwanangu kama mwanao”

“Usijali, nime kupenda wewe na watu wako wote walio kuzingira.”

Upendo wa Jackline kusema kweli ni upando kutokana moyoni mwake. Ana fanya kila liwezekanolo kuhakikisha wana familia yangu wana ishi vizuri.

Baada ya siku za mapumziko yetu kuishi hapa Spain tukarudi Ufaransa nikakaa wiki moja kisha nikaanza safari ya kuelelekea nchini Tanzania ambapo kwa taarifa za kijasusi nilizo zipata kwenye faili hili, DON yupo nchini Tanzania na ame idhamini serikali kujenga uwanja mkubwa wa mpira, uwanja wa kisasa na utakao kuwa uwanja mkubwa kuliko viwanja vyote duniani. Sikutaka kuingia nchini Tanzania moja kwa moja , nikafika nchini Kenya ili iwe ni rahisi kwa mimi kuelekea nchini Tanzania kwa njia za mipakani ambazo ni rahisi sana kuingia kuliko unapo pitia viwanja vya ndege. Kabla ya kuingia nchini Tanzania nikaanza kuzipitia habari zote zinazo endelea nchini Tanzania kuanzia uongozi wa raisi na familia yake hadi kiwanja kinacho jengwa na DON huku nikiwa sijui dhana ya ushirikiano wao ni nini. Nilipo jiridhisha nina taarifa za sasa zinzo endelea nchini Tanzania, nikaanza safari ya kuelekea Tanzania kwa kupitia mpaka wa Horohoro na kuingia mkoni Tanga.

‘Nipo nyumbani sasa’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikitazama mandhari ya jiji hili la Tanga. Nikapangisha chumba katika hoteli iliyopo katikati ya barabara ya saba. Kutokana na sekeseke la kusawa na serikali ya Tanzania lilisha kwisha na nilisha onekana sina hatia, sioni haja ya kuendelea kujificha ficha kwa watu.

Kitu ninacho wapendea watu wa mkoa huu ni wakarimu sana na niwatu ambao hawawezi kukuficha jambo unapo wauliza.

“Hivi uwanja huo uta tumiwa na timu zetu za hapa hapa nyumbani?”

Niliuliza swali hili huku nikiwa kwenye moja ya kibanda cha kahawa huku watu wakicheza bao.

“Hakuna timu itakayo tumia huo uwanja. Nina sikia ni timu ya taifa pekee ndio ita tumia uwanja huo”

Mzee mmoja alizungumza huku akiendelea kucheza bao.

“Dogo zungusha kahawa kwa kila mtu na kashata”

Nilimuambia kijana anaye uza kahawa. Kila mtu akashangaa kwa mimi kutoa ofa hiyo na wakafurahi sana kwani maisha ya wengi ni magumu.

“Dogo huuni binjira?”

Nilimuuliza dogo huyu muuza kahawa.

“Kuna rafiki yangu anazo ngoja nimuite”

“Muite muambie aje na nyingi”

Kijana huyu akamuita kijana mwenzake muuza kahawa na watu wakaendelea kuburudika na nikawalipa vijana hawa. Kitu ninacho kifanya ni kutengeneza urafiki na watu hawa wa vijiweni kwani ukitaka kupata habari hata ya mke wa mtu basi kuwa na ukaribu na watu hawa.

“Kijana cheza na wewe”

Mzee mmoja aliye kuwa ana cheza alizungumza huku akinipisha kwenye benchi nami nikaka.

“Ila mimi sio mtaalamu wa kucheza haya maude, ila ngoa nijitahidi mzee wangu”

Nilizungumza huku nikianza kucheza na mzee mwengine.

“Kwa hiyo serikali ndio ina jenga uwanja ule”

“Ndio serikali ndio ina jenga ule uwanja.”

“Ila nina sikia kuna kampuni ya kutoka Marekani ndio imedhamini ujenzi wake.”

“Ina itwaje?”

“Mmm hata sifahamu”

“Sawa sawa”

Nikakaa na wazee hawa hadi majira ya saa mbili usiku, nikaondoka na kuelekea Forodhani, nikapata chakula chaa usiku kisha nikarudi hotelini kujipumzisha.

‘Lazima niende Dar es Salaam’

Nilizungumza huku nikipitia faili lenye taarifa za DON.

‘Kwa hiyo DON amejenga uwanja ili iwe ni kichaka chake cha kujificha hapa nchini ehee?’

Niliendelea kuwaza huku nikitazama faili hili. Nikanyanyuka kwenye sofa hili nililo kaa, nikasogelea dirisha na kuchungulia dirishani. Galfa risasi ikipiga kwenye kioo cha dirisha hili na ikanipunyua na kupiga ukutania jambo lillo nifanya kwa haraka nilale chini kwa maana nikifanya kosa lolote nina fumuliwa ubongo.



Kwa kasi ya ajabu nikatamaa hadi sehemu nilipo liweka begi langu, nikaitoa bastola yangu ambayo niliinunua nchini Kenya kinyume na sheria kwa maana wao uza silaha hizi huziuza kwa siri sana pasipo serikali ya nchi yao kuweza kufahamu. Nikaifunga kiwambo cha kuzuia risasi kisha kwa haraka nikazima taa ya chumbani kwangu. Taratibu nikachungulia dirishani ili kuona mdunguaji huyu anatokea wapi. Kutokana na giza sijafanikiwa kuona chochote. Nikasikia mlango wangu ukiguswa kitasa kwa haraka nikajibaza pembezoni mwa mlango huu, mlango ukafunguliwa na nikaona bastola ikitangulia mbele sasa hapa nikajua kumesha kucha ni tayari maadui zangu wamesha tambua ni sehemu gani nilipo. Kitendo cha mtu huyu kuingiza kichwa chake ili kuchungulia ndani hapa ikawa ni kosa kubwa sana kwenye maisha yake. Kwani sikuhitaji kujishauri mara mbili nikampiga risisai ya kichwa na akaanguka chini. Mtu mmoja akaingia ndani hapa kwa sarakani ya kujirusha hewani na risasi mbili nilizo zifyatua zote zime pita kama hewa. Mtu huyu aliye jifunika uso wake akafyatua risisi kadhaa katika eneo ambalo nililo kuwa nimesimama, ila nani sikuwa mjinga, nikajirusha nyuma ya sofa. Mtu huyu aliye ingia ndani kwangu hapa ana onekana ni mjuzi sana wa kutumia silaha na mapigano ya kavu kavu. Nikalisukuma sofa hili hadi sehemu alipo na kumfanya kuruka hewani, kwa kasi ya ajabu na mimi nikanyanyuka nikazunguka kwa teke linao itwa round kick, ambalo likampata tumboni mwake barabara na akaangukia kitandani na bastola yake ikaangikia pembeni. Kutokana nina hitaji kujua wame agizwa na nani sikuhitaji kabisa kumpiga risasi zaidi na nina hitaji kupigana naye mkono kwa mkono hadi nimzidi. Mwanaume huyu akasimama kwa haraka huku akipangusa tumboni mwake. Akachomoa kisu kidogo na kuanza kunishambulia kwa kasi ya ajabu. Kitu ambacho jamaa huyu amekikosea ni kukubali kupewa kazi ya kuto kujua ana kwenda kupigana na mtu wa aina gani. Rashidi yule niliye kuwa nina pambana kwenye mapigano kwa ajili ya umakisiniki wangu sio Rashidi huyu wa sasa ambaye nime pitia mafunzo makali na ya kila aina. Mafunzo yanayo ninayo nifanya nami niwe mtu hatari kati ya watu hatari ambao umesha wahi kuwasikia kwenye maisha yako. Mateke na ngumi zake za kustukiza hazikunisumbua kichwa zaidi ya kuyapangua kwa kasi ya ajabu na kumtandika mapigo ya nguvu. Mapigo ambayo yana mfanya kugugumia kimoyo moyo huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.

“Nyanyuka mpuuzi wewe”

Nilizungumza huku nikimtazama jinsi alivyo lala chini akijivuta vuta ili anyanyuke kwani nilimpiga teke moja la shingo lililo muangusha chini kama mzoga. Nikawash taa zenye mwanga hafifu ili nimuone vizuri. Gafla nikasikia kioo kikipasuka, huku risasi zikianza kumiminika ndani ya chumba hichi, kutokana nipo karibu na mlango nikajirusha nje ya chumba hichi. Nikaanza kukimbia kuelekea katika ngazi za kushuka, nikawaona watu wawili walio valia mavazi meusi kama watu hawa nilio kuwa nina pigana nao wakipandisha kwa kasi katika ngazi hizi.

“Shiti”

Nilizungumza huku nikichomoa bastola yangu kiunoni. Mashambulizi ya bunduki yakaanza, watu hawa dhairi wana onyesha wamekuja kwa ajili ya kuniangamiza. Uwezo wangu wa kutumia silaha na shabaha niliyo jifunza haikunimalizia risasi kwani kila risasi ninayo ipiga inaondoka na mtu. Nikaokota bunduki ya mmoja wa watu hawa walio nishambulia. Nikaanza kushuka kwenye ngazi hizi huku nikiwa makini sana. Jambo la kumshukuru Mungu bunduki hizi zime fungwa viwambo vya kuzuia risasi, hivyo mashambulizi yote yanaenda kimya kimya na hakuna mgeni katika hoteli hii aliye sikia chochote. Nikafika gorofa ya mwisho. Nikachungulia eneo la mapokezi na kumuona muhudumu wa kike akiwa yupo bize na simu yake na hana ancho jua. Nikaificha bunduki hii na nikamfwata.

“Samahani kuna watu umewaona wakipandisha gorofani?”

“Saa ngapi?”

“Muda huu?”

“Hapana nipo toka ule muda ulipo rudi ila sijaona mtu aliye pandisha gorofani wala kuingia ndani ya lifti.”

Muhuduma huyu alizungumza kwa kujiamini. Hapa ndipo nikapata picha kwamba watu hawa walikuwa wakinifwatilia kimya kimya na wao wamechukua vyumba katika hoteli hii hii. Gafla tukaona gari nyeusi aina ya Toyota Noah ikifunga breki nje ya hoteli hii, kutokana mlango wake ni wa kioo, tukashuhudia watu wenye bunduki na walio zifunika sura zao wakishuka ndani ya gari na walipo niona tu, wakaanza kufyatua risasi mfululizo. Nikajirisha ndani ya eneo la mapokezo lililo jengewa zizuri. Muhuhudumu huyu akaanza kupiga kelele za woga. Nikamlaza chini huku nikiishika vizuri bunduki hii aina ya Car15/203.

“Piga simu polisi”

Nilimuambia dada huyu huku nikiamini kabisa kwamba watu hawa sio askari. Milio ya risasi ya watu hawa ka zidi kuwachanganya watu. Nikachuchumaa chini huku nikitoa magazine ya bunduki hii na kukuta zikiwa zimebaki risasi mbili na watu hawa bado wana endelea kushambulia kisawa sawa. Gafla wakarusha bumo aina ya Flash Bang ambalo lina kufanya upate kelele inayo umiza masikio na kuufanya mwili uzizi kwa muda.

‘Fuc***”

Nilijikaza huku nikisikia masikio yangu yakipata maumivu makali sana ya kelele za bomu hili, nikaichomeka magazine ya bunduki hii na nikaikoki. Watu wawili walio tangulia kuingia humu ndani wakiamini kwamba katika sekunde hizi chache basi wana weza kunidhuru kwa bomu hili, nikawatungua kwa risasi hizi mbili zilizo salia, kisha kwa kasi ya ajabu nikachomoa bastola yangu kiunoni na kuanza kuwashambulia wengine wawili walio baki nje na hoteli na kwa bahati nzuri au mbaya walikuwa wamesimama nje ya Nohah hiyo wakiimarisha ulinzi. Risasi zangu zikawapata vifuani na wakanguka chini. Nikaokota bunduki ya mmoja wa hawa nilio waua ndani na nikatoka nje na nikadhibitisha kwamba wamekufa. Watu katika mtaa huu wametawanyika na kuufanya mtaa kuwa kimya sana. Nikamvua mmoja wao earphone wanayo wasiliana na nikaivaa masikioni.

“Nipe ripoti mume muua?”

Nilisikia sauti ambayo ni ngeni machoni mwangu.

“Bado”

Nilisikia sauti ambayo ni ngeni kwenye masiko yangu.

“Bado”

Nijibu kwa sauti ya tofauti kidogo huku nikichungulia ndani ya gari hili na sikuweza kuona mtu wa aina yoyote. Gafla nikastukia risasi ikipiga katika kioo cha pembeni ya gari hili, hapa nikapata nafasi ya kujua mdunguaji yupo gorofa gani.

‘Mpuuzi wewe, uta nijua’

Nilizungumza huku nikianza kukimbilia kwenye gorofa hilo kwa mwendo wa kasi sana huku nikijificha mdunguaji huyu asinione. Nikaingia katika mlango wa gorofa hili na nikaanza kupandisha kuelekea juu kabisa. Nikafika gorofa ya tano ambayo ndio gorofa ya mwisho ya tano. Kwa tahadhari ya hali ya juu nikafungua mlango wa mwisho kabisa unao elekea eneo la juu katika gorofa hili. Kwa umakini nikaingia huku nikifunga taratibu. Nikaona kamba nyungi za kuanikia nguo zikiwa eneo hili, huku nguo nyingi zikiwa zimeanikwa. Galfa nirisi ikipeanya katika bega la mkono wangu wa kushoto na kujikuta nikianguka chini huku nikitoa ukelele mwengi wa maumivu. Nikamuona mwanaume mrefu mwenye bunduki kubwa yenye uwezo wa kumpiga mtu kwa umbali mrefu akisimama mbele yangu.

“Mkuu nimempata”

Mwanaume huyu alizungumza huku akininyooshea bunduli yake hii huku akinipa ishara ya kuisukumia kwa mbali bunduki niliyo ishika.

‘Siwezi kukamatwa kama kukua’

Nilizungumza kimoyo moyo, nikampiga mtama mawa kumstukiza na akaanguka mzima mzima, nikachomoa bastola kiuno mwangu kabla hajasimama na kufanya chochote nikampiga risasi ya kichwa na kumwaga ubongo.

“M3 mume fikia wapi?”

Niliisikia sauti kwenye earphone niliyo ivaa sikioni mwangu.

“Mtu wako amekufa, tuma wengine wafe”

Nilizungumza kwa kujikaza huku damu zikinimwagika begani mwangu. Nikamkagua mwanaume huyu mfukoni mwake na kuona simu, nikachukua kidole gumba chake na kukiweka katika sehemu ya kuifungua simu hii na ikafunguka, nikabadilisha mfumo wa kuifingua simu hii kutoka kwenye finger print na kuingiza namba za siri zangu kisha nikaizima na kuanza kuondoka eneo hili huku nikiwa nimeshika bega langu la kushoto. Maumivi makali haya makali yakanifanya niweze kurudi hotelini, nikamkuta muhudumu huyu akiwa bado amelala chini huku mkojo ukiwa umetapakaa eneo aliko lala.

“Hei naomba boksi la humuda ya kwanza.”

Nilimuambia msichana huyu huku nikimnyanyua, akaanza kupiga kelele.

“Hei ni mimi”

Nilizungumza huku nikimtazama jinsi anavyo tetemeka.

“Wa….m….ekufa?”

Aliniuliza huku akibabaika.

“Ndio”

Muhudumu huyu akanitazama kwa mshangao jinsi ninavyo mwagikwa na damu. Akafungua moja ya droo na kutoa kiboksi(first aid box) chenye vifaa za huduma ya kwanza.

“Nifanyaje?”

Binti huyu alizungumza huku akitetemeka, nikampa ishara ya kufungua boksi hiili, mara baada ya kulifungua nikalitazama, kwa sekunde kadhaa.

“Una wisky yoyote kali?”

“Aha…aahaa ndio”

“Niletee”

Nilizungumza huku nikijihisi kizungu zungu kwani damu inayo ni mwagika ni nyingi sana. Muhudumu huyu akikimbilia anapo pajua mwenyewe, nikachukua pamba kubwa na kujiziba kwenye jeraha hili na kitu kibaya zaidi ni kwama risasi hii imeingia kwenye began a haijatoaboa upande wa pili. Muhudumu huyu akarudi akiwa na chupa ya wisky.

“Ifungue”

Nilimuambia huku nikivua tisheti yangu hii. Nikachukua chupa hii ya wyne wisky nikapiga fumba moja zito kisha nikaanza kujimwagia katika kidonda hichi na nikajikuta nikipiga kelee za maumivu kwani jeraha la risasi kusema kweli halina mbabe. Nikachukua mkasi mdogo ulio katika kisanduku hichi. Nikavuta pumzi nyingi kisha nikaibana taratibu, kwa kutumia risasi hii nikaanza kuichomoa bastoa risasi hii ambayo hakuzama ndani sana. Nikaitoa risasi hii huku nikigugumia maumivu haya kwa uchungu sana. Nikajimwagia wisky hii kwenye shimo hili la risasi na maumivu ninayo yahisi ni kama kuchomwa na pasi mgongoni.

“Naomba bandeji hiyo”

Nilimuambia muhudumu huyu na akanipatia bandeji nyingine. Nikaibandika katika kidonda hichi, nikachukua plasta kubwa na kuibandika juu ya bandeji hili ili likaze vizuri na lisidondoke.

“Umewapigia simu polisi?”

“Hapana”

Muhudumu huyu akanisaidia kunyanyuka chini hapa.

“Wapigie simu polisi na uwaeleze kilicho tokea”

“Sawa”

Nilizungumza huku nikianza kutembea kwa mwendo wa kuyumba yumba kuelekea chumbani kwangu.

“Uta anguka”

Muhudumu huyu alizunguma huku akinisaidia kunishika kiuoni mwangu. Tukaingia ndani ya lifti na taratibu tukaanza kupandisha juu. Tukafika katika karibu na chumba changu, nikachoma bastola kiunoni.

“Kaa nyuma”

Nilimuambia muhudumu huyu huku nikianza kutangulia kuingia ndani ya chumba hichi. Nikamkuta mtu niliye mpiga akiwa bado yupo chini na amezimia. Nikampiga risasi mbii za mgongo na nikamruhusu muhudumu huyu kuingia. Nikawasha taa na kumfanya muhudumu huyu macho kumtoka.

“Hawa ni majambazi?”

Muhudumu aliuliza huku akitazama maiti zilizomo ndani hapa.

“Ndio”

Nilizungumza huku nikifungua kabati nikatoa begi langu la nguo.

“Naomba hilo faili hapo”

Nilizungumza huku muhudumu akanipa faili lenye maelezo ya DON, nikavaa shati langu.

“Asante sana”

Muhudumu huyu wa kike alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Ya nini?”

“Kuokoa maisha ya watu kwenye hii hoteli, haki ya Mungu wangeniua wale”

Muhudumu huyu alizungumza huku akinitazama machoni mwangu.

“Nahitaji kutoka nje ya hoteli hii, nisaidie”

Nilizungumza kwa sauti ya unyonge kwani nguvu za mwili zimesha zimeniishia sana kutokana na kumwagikwa na damu nyingi. Tukatoka kwa pamoja nje ya hoteli hii huku akiwa amenishika mkono wangu.

“Nahisi kufa”

Nilizungumza kwa sauti ya kukata kata huku nikianza kuona maruwe ruwe na galfa nikajikuta nikianguka chini na nikiisikia sauti ya muhumudu kwa mbali akiniita ila sikuweza kuitika na baada ya muda sikusikia chochote.

***

“Una mjua hadi ukamleta kwako. Una hatari ujue”

Nilisikia sauti za kike zikibishana.

“Japo simjui ila huyu kaka ameokoa maisha yangu. Wale majambazi wangeniua sasa hivi ungekuwa unaongea na mimi hapa”

Niliisikia sauti ya muhudumu wa hoteli.

“Hata kama ila mtu amepigwa risasi hivi una hisi ita kuwaje akifa hapa na huduma ya kwanza hajapatiwa”

“Bwana nimekushirikisha kama rafiki yangu ila na wewe nina kuona hunipa support yoyote. Ondoka kwangu na ole wako umuambie mtu kama kuna mtu ndani kwangu uta nitambua”

“Naondoka, ila ukweli nime kuambia. Akikufia uta nitafuta”

“Toka usinitibue kichwa changu mimi”

Muhudumu wa hoteli alizungumza kwa msisitizo. Nikasikia mlango ukifunguliwa na kufungwa, nikafumbua macho yangu na kumtazama binti huyu mwembaba kiasi ila mwenye uzuri wa kipekee.

“Umeamka”

Alizungumza huku akitabasamu na kusogelea hapa nilipo lala. Nikatazama chumbani hichi ambacho kina sofa ya watu wawili, tv ukutani, meza ndogo, feni na baadhi ya ndoo za maji pamoja na mabegi ya nguo.

“Mambo”

Nilimsalimia huku nikitabasamu.

“Safi, ohoo asante Mungu ume amka. Una jisikaije?”

“Kichwa kina niuma”

Taratibu nikakaa kitako huku maumivu yakiwa mengi.

“Pole ngoja nikueletee panado unywe”

“Hapana panado haiwezi kunisaidia. Sasa hivi ni saa ngapi?”

“Saa nane mchana. Toka ulivyo anguka jana usiku sasa hivi ndio ina zinduka”

“Hapa nilipo ni wapi?”

“Ni nyumbani kwangu nime amua kukuleta hapa, niliogopa kukupeleka hospitalini labda wale majambazi wangekufwata tena”

Nikamtazama msichana huyu kwa muda kidogo kisha nikatabasamu.

“Kama ningekufa kama rafiki yako alivyo kuambia ungefanyaje?”

“Najua usinge kufa kwa maana kama Mungu alikuokoa kwenye zile risasi pale basi sidhani kama angekuacha huku ulipo”

“Nipo wapi hapa?”

“Upo nyumbani kwangu”

“Yaani nipo maeneo gani?”

“Aha…Tupo eneo moja lina itwa Donge, una lijua”

“Hapana, kwani Tanga ndio mara yangu ya kwanza kufika”

“Ahaa basi upo Donge.”

“Polisi walifika pale hotelini?”

“Ndio walifika asubuhi kwani baada ya kukuleta hapa nilirudi hotelini nikawaeleza watu walio kuwa kwenye vyumba vyao kwamba mashambulizi yamekwisha. Yaani polisi wamekuja asubuhi kabisa.”

“Wametambua kwamba mimi ndio nimepambana na majambazi?”

“Sikumuamini yoyote kwani nilikukuta na kiji earphone sikioni mwako, nikajaribu kusikiliza kinacho ongelewa nikasikia watu wakisema ni lazima wakutafute na kukuua, nikaamua kukivunja kile kiji earphone”

Nikajikuta nikishangazwa na ujasiri wa msichana huyu.

“Una itwa nani?”

“Tina”

“Tina?”

“Ndio, hicho ni kifupi cha Christina”

“Ahaa hapo nime kuelewa sasa.”

Nilizungumza huku taratibu nikikaa kitako kitandani hapa, nikatoa bandeji kwenye kidonda changu hichi na nikakuta damu ikiwa ime kauka ila maumivu bado nimakali sana. Nikamuomba Tina kalamu na karatani na akanipatia, nikamuandikia vitu ninavyo vihitaji kwa ajili ya kuhudumia jeraha hili na kurudisha damu katika mwili wangu na nipate nafasi nyingine ya kupamnaba na hawa watu ambao moja kwa moja nina hisi kama hawajatumwa na raisi basi wametumwa na DON.



“Mmmm vitu hivi ni garama na mimi bado sijapokea mshahara”

“Lete begi langu”

Tina akaniletea begi langu la nguo.

“Hapa Tanga kuna duka la kubadilishia pesa?”

“Ndio lipo kule katikati ya mji”

Nikatoa noti za dola mia tano na kumkabidhi Tina, macho yakamtoka kwa mshangao.

“Hizi zote?”

“Ndio, kanunua na matumizi yako yote ya ndani na baadhi ya vitu ambavyo una hisi vita saidia siku mbili tati hizi nitakazo kuwa humu ndani”

Tina akanitazama kwa sekunde kadhaa huku akionekana haamini anacho kiona.

“Sawa, ngoja nijiandae niende, hilo hapo ni bafu na choo”

Tina alizungumza huku akinionyesha mlango mwengine ulipo ndani hapa.

“Nashukuru, una mpenzi kwa maana nisinge penda kuvunja mahusiano yako?”

“Sina mwanaume kwa sasa”

“Sawa, niwashie tv nipoteze poteze muda”

Tina akawasha tv hii.

“Nina movie za kikorea tu”

“Huna antenna?”

“Sina nina deki. Vipi una hisi njaa?”

“Ndio”

“Basi ngoja nikununulie chipsi hapo nje”

Tina akatoka ndani hapa na baa ya dakika kumi akarudi na mfuko wa chips pamoja na soda.

“Kula mimi ngoja niwahi mjini”

“Sawa”

Tina akanihudumia kwa kuninawisha mikononi kisha akaondoka nyumbani hapa. Nikala chakula hichi kwa haraka kisha nikafungua begi langu na kutoa faili la DON. Nikajipapasa mfukoni na kuikuta simu niliyo ichukua kwa mmoja wa watu nilio waua. Nikataka kuiwasha ila nafsi ikasita huku nikiamini kwamba wana weza kuitafuta na ikajulikana ipo eneo hili na ikawa ni shida kwa upande wangu na binti huyu. Baada lisaa moja na nusu Tina akarudi na vitu vyote nilivyo muagiza.

“Ina bidi uwe nesi sasa”

“Eti ehee?”

“Ndio, ina bidi unisafishe kidonda kisha uniwekee dawa na ukifunge. Hii kazi yake ni kusafisha kidonda, uta weka dawa hii, kisha naomba hivyo videnge nivywe kwanza”

Nilimpa maelekezo Tina ya dawa anazo paswa kunihudumia. Nikameza dawa za kupunguza maumivu kisha shuhuli ikaanza kunisafisha kidonda hichi. Alipo maliza nikachukua sindano maalumu ya kushona vidonda kisha nikaanza kujishona mwenyewe.

“Wee kaka una roho ngumu”

“Mimi mwanaume”

“Mmmm hata kama ni mwanaume ila si kwa ujasiri huo. Wangekuwa ni wanaume wengine sasa hivi wangekuwa Bombo ila wewe una jihudumia wewe mnywewe”

Nikatabasamu tu, nikamaliza kushona kidanda hichi kisha nikajifunga bandeji mpyayenye dawa na kuweka plasta kadhaa. Nikachukua bomba la sindano, nikavuta dawa ya kutoa sumu ya risasi mwilini.

“Nifunge hapa na ukaze”

Nilimueleza Tina akanifunga mkanda kamba ngumu eneo la msuli kisha taratibu nikajichoma sindano hii kwenye mshipa na nikaanza kusukuma dawa taratibu. Nikamaliza zoezi la jichoma dawa hii.

“Sasa hapa ita chukua muda mchache itapo. Dawa ya kukausha vidonda kwa haraka niliyo kuandikia umeipata?”

“Ndio hii hapa”

“Basi usiku uta nichoma sindano hii makalioni uta weza”

“Mmm wee kaka?”

“Uta weza”

“Nita jaribu. Hivi una itwa nani kwa maana sija kufahamu jina lako”

“Rashidi”

“Mmmm Rashidi?”

“Ndio, mbona una guna?”

“Kama sura yako nilisha wahi kuiona mwaka jana sijui kwenye tv kama una tafutwa ila baada ya muda wakadai kwamba kesi ime futwa”

“Ndio nilisingiziwa”

“Ahaa hapo sawa. Wewe ni mtanzania kweli?”

“Ndio Mtanzania”

“Una ishi wapi?”

“Dar es Salaam”

“Ahahaa sawa”

Tina akanitazama usoni mwangu kwa dakika kadhaa huku akionekana kuwazia jambo fulani.

“Nitakuwa nina kuita Chidi kama kifupi cha Rashidi”

“Hakuna shida”

“Hivi una fahamu kwamba uwepo wako hapa ni hatari kwangu”

“Nita ondoka leo”

“Hapana sijakuambia uondoke ila nime kueleza tu kwamba wewe kuwepo hapa ni hatari hata kwangu kwa maana sikufahamu vizuri na ikiwa ulikuwa kwenye rekodi ya kutafutwa kama gaidi. Isitoshe jana wale watu walikuvamia ikiwa sitambui walikuwa na shida gani kwako”

“Tina”

“Beee”

“Nashukuru kwa kunisaidia. Nita ondoka na sihitaji kukuweka matatizoni tena.”

“Hapana sihitaji ondoke haid hicho kidonda kipone ila nahitaji kukufahamu vizuri Chidi si una jua binadamu sisi, usije ukapata tatizo nikashindwa kwa kukupeleka”

“Siwezi kupata tatizo, usijali”

“Sawa”

“Naona chumba chako ni kidogo nita kuwa nina lala kwenye sofa nawe kitandani”

“Poa”

Tukaendelea kutazama filamu hii ya kikorea hadi majira ya usiku na Tina akaanda chakula na kwa pamoja tukala chakula hichi.

“Huwa nina sikia sifa moja ya wana wake wa Kitanga wana jua kupika basi leo hii nime dhibitisha. Upo vizuri kwenye chakula”

“Hahaahaa kweli?”

“Ndio chakula chako ni kitamu sana”

“Nashukuru”

“Asante pia kwa kunipigia chakula kitamu”

“Nawe pia nashukuru kwa kula. Ngoa nikuchemshie maji ya kuoga kisha nikuchome sindano hiyo”

“Sawa”

Tina akaandaa maji ya kuoga na akaingiza ndoo ya maji hayo bafuni. Nikaingia bafuni, nikajikuta nikishangaa mara baada ya kukuta maji yakinukia iliki. Ikabidi nifungue mlango na kuchungulia.

“Best mbona maji yana nukia iliki”

“Hahaaa hujazoe, ndio mambo ya Kitanga hayo Chidi”

“Duu kwa hiyo nioge?”

“Ndio au una taka nije kukuogesha”

Tina alizungumza huku akinitazama kwa macho fulani ya kulegea.

“Kama huto jali njoo uniogeshe mama”

Tina akatabasamu kisha akaninyooshea kidole akimaanisha dakia moja nikarudishia mlango na kweli baada ya dakika Tina akaingia ndani hapa akiwa na kanga moja tu.

“Una ogaje na boksa sasa?”

“Mimi mgonjwa nivue”

Nilimjaribu Tina kwa kumueleza hivyo na kweli hakusita kunivua boksa yangu. Taratibu akamshika jogoo wangu huku akimrusha rusha.

“Ngoja nikuonyeshe jambo”

Tina alizungumza kisha tatatibu akachuchumaa na akaanza kumnyonya jogoo wangu hadi akasimama, akaanza kujipiga piga mashavuni mwake kwa kutumia jogoo wangu. Taratibu Tina akavua kanga yake na kuitundika juu ya bomba la mvua. Akaanza kuninyonya denda taratibu, ulaini wa mwili wa Tina ukanifanya nizidi kupandwa na mzuka, maumivu kidogo nikayaweka pembeni.

“Tulia”

Tina aliniambie huku akishika ukuta, akamshika jogoo wangua na kumuingiza katika kitumbua chake.

“Usifanye chochote, acha nikuhudumie”

Tina alizungumza shuku akianza kuchezesha kino chake mithili ya feni linalo kwenda kasi. Nikajikuta nikugugumia ndani kwa ndani kwa maana huyu mtoto ni fundi tena kisawa sawa.

“Mmmm tamu baby…tambu mb** yako baby”

Tina alizidi kulalama huku akikata kiuno chake.

“Unajisikiaje?”

Tina aliniuliza.

“Raha”

“Kweli?”

“Yeah raha”

“Kalia ndoo”

Tina alizungumza huku akigeuka, nikakalia ndoo na akanikalia mapajani mwangu huku akimkalia jogoo wangu na kuanza kumzungushia kiuno taratibu.

‘Aisee huu wizi kwa kweli kama una mke una msahau, haki ya Mungu jamani’

Nilizungumza huku nikisikilizia utamu wa mauno ya Tina.

“Nakojo***”

Tina alilama huku akiendelea kukatika mauno kwa kasi ya ajabu.

“Ooo…iaii……s..iiisii….a….”

Tuni alilama huku mwili mzima ukimtetemeka. Akatulia kwa dakika kadhaa huku akiwa anasikilizia utamu wa kufika kileleni ambao ni wanawake wachache sana walimo ndani ya ndoa huwa ndio wana fikishwa na waume zao ila wengi kati ya hao wana guswa guswa na waume zao.

“Bado huja kojo**?”

Tina aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Ndio”

“Ngoja”

Taratibu akanyanyuka na akaanza kumnyonya jogoo wangu huku akimchua kwa kasi.

“Ongeza spidi”

Nililalama huku nikisikilizia utamu wa kunyonywa jogoo. Kwa ufundi wa Tina nikajikuta waarabu weupe wakitoka na kumrukia usoni mwake.

“Wooo, aisee wewe kweli mwanaume”

“Kwa nini?”

“Yaani nime kata mauno yangu yote ila huja kojoa au una tumia dawa za kuchelewa kufika kileleni?”

“Hahaa hakuna ni uwezo tu wa kawaida, ila wewe ni mtamu sana”

“Mmmm ina maana huja wahi kutomb** mwanamke kama mimi?”

“Ndio”

“Hahaa muongo”

“Kweli vile”

Tina akaanza kuniogesha taratibu pasio kuingiza maji kwenye jeraha langu. Kusema kweli binti huyu ana jua jinsi ya kumteka mwanaume. Tukarudi chumbani na mpango wa mimi kulala kwenye sofa ukaisha na mapenzi mapya yakanza kati yetu. Tina akanichoma sindano ya kukausha kidonda kwa haraka na kwa pamoja tukalala kitandani. Majira ya saa kumi na moja alfajiri Tina akaanza uchokozi wa kunichezea chezea jogoo wangu ambaye ni kama Israel mtoa roho, kwani habipiwi, Tina akamkalia jogoo wangu na kuendelea na michezo yake ya kukata viuno. Sikutaka kumpa nafasi ya kuutawala mchezo, nami nikaanza kumuonyesha makeke yangu, japo bega langu lina maumivu kwa mbali ila hayanizuii mimi kumpa Tina dozi ya uhakika, dozi ya kumuonyesha kwamba ume kutana na mti wa mpingo na sio mronge.

“Chidi uta niua uwiiii”

Tina alilalama huku nikiwa nimekunja kwenye moja ya kona ya kitanda na kumpa vitu.

“Inama?”

Nilizungumza huku nikimnyanyua na kumgeuza kwa haraka haraka kwani nina anza kusikia waarabu weupe wakijikusanya kwa ajili ya kutoka. Moto na kasi ikazidi kuongezeka, hadi nina maliza Tina akashusha pumzi nyingi kwani yeye tayari alisha fika kileleni zaidi ya mara tatu.

“Wewe mwanaume kumbe ni mbaya hivi. Haki ya Mungu nilikuwa nina kuchukulia poa”

“Eti ehe?”

“Ehee nilikuwa nina kuchukulia poa sana, kumbe daa. Yaani sijawahi kutomb** kibabe kama hivi, yaani kuna muda nikahisi kama mbo** yako ina changua tumbo langu”

“Pole”

“Pole ya nini?”

“Ya kukuumiza tumboni mwako”

“Hamna kwa kweli nime furahi kwa maana ume nikuna hadi sehemu ambayo hakuna aliye wahi kunikuna”

“Kweli?”

“Ndio”

“Kazini una kwenda lini?”

“Bosi alinipa ruhusa ya kukaa wiki moja nyumbani kwa ajili ya kumpumzika na nijisikie vizuri”

“Hapo sawa”

Siku zikazidi kukatika huku jeraha langu likizidi kupona kwa haraka na nikijitahidi sana kula mboga za majani majani kuhakikisha kiwango cha damu kilicho potea kina ongezeka kwa haraka na kwa njia salama tofauti na njia ya kuongezewa damu. Mapenzi kati yangu na Tina yakazidi kunawiri kwani mtoto ana jua kuniwezea. Wanawake wengi nilio wahi kulala nao, anaye weza kunipatia kitandani wa kwanza ni Tina ana fwata Jackline kisha mama Shamsa. Hawa ndio wanawake ambao wana jua nini maana ya tendo la ndoa na ni tofauti na wanawake wengine ambao waana subiri waume zao wafanye kila kitu.

“Baby”

Nilimuita Tina huku nikimtazama jinsi alivyo jilaza chali kitandani pasipo nguo yoyote.

“Yes baby”

“Nahitaji tuhame hapa”

“Tuhamie wapi?”

“Tafuta nyumba ya kununua, nzuri na sehemu iliyo tulia tununue ndani ya siku mbili hizi na tuhamie huko”

Tina akakurupuka kwa furaha na kukaa kitandani.

“Kweli Chidi au ninanitani?”

“Kweli, kwani tatizo lako ni nini?”

“Hamna mpenzi”

“Pia nahitaji uache kazi yako na fikiria biashara ya kufanya”

“Ohoo Chidi mbona una taka kunitia wendawazimu mimi”

“Fanya hivyo kwa maana hapa tunapo ishi ni padogo na nina mabo yangu mengi sana nina hitaji kuyafanya kwa kipindi hichi”

“Sawa mume wangu”

Tina akanifwata kwenye sofa hili nilio jilaza na akaninyonya denda la nguvu. Tina hakuhitaji kupoteza muda, akaanza kuwapigia simu madalali ambao ana wajua yeye mwenyewe. Dalali mmoja akamtumia picha za nyumba na akanionyesha.

“Hii nyumba ya gorofa ipo Raskazoni, ni eneo moja ambalo lipo pembezoni mwa bahari”

“Ni kiasi gani?”

“Amesema ni milioni mia saba hamsini”

“Sawa, muambie kesho tuta iona na kesho hiyo hiyo tukiipenda tuna inunua”

“Chidi una hitaji niwe chini, haki ya Mungu sijawahi kufikiria kwamba maisha yangu yana weza kubadilika kama hivi kwa haraka”

“Una jua ni kwa nini nimehitaji maisha ya badilike?”

“Hapana?”

“Kwa sababu umenionyesha moyo wa ukaribu na hukujali mimi ni nani na nina weza kukuletea hatari gani kwenye maisha yako. Umekubaliana na kila kitu na ulinitetea hata pale rafiki yako alipo kushauri uniache na ukaamua kumfukua ikiwa hunijui na sikujui. Baki hivyo hivyo na usibadike sawa”

“Nakuahidi Rashidi siwezi kubadilika na nita kuwa mwamke mwema na bora kwenye maisha yako yote. Na nita zidi kukupenda na kukujali na kuwa nawe haijalishi iwe ni shida raha au matatizo, kwani nime kipenda wewe kama wewe toka ulipo yatoa maisha yako kwa ajili ya kuniokoa. Nakupenda sana mume wangu”

“Nina kupenda pia Tina ila kuna jambo moja ina bidi ulifahamu kabla ya mambo haya yote. Kama utakubali au kukataa maamuzi yote ni juu yako sawa”

“Jambo gani?”

“Mimi nina mke na watoto wanne. Watatu wamesha zaliwa na mmoja yupo tumboni. Hivyo kama uta kubali kuendelea kuishi nami sawa ila kama huto hitaji kuishi nami niambie sasa hivi”

Tina macho yakamtoka kwa mshangao, akatamani kuzungumza kitu ila akajikuta akiishia njiani na nikakaa kimya kusubiria afanye maamuzi kati ya kunyoa au kusuka.



“Chidi”

“Naam”

“Mimi huwa nina ogopa sana kutembea na mume wa mtu. Mwaka jana nilishuhudia rafiki yangu akichanwa chanwa na viwembe kisa mume wa mtu. Kwa nini hujanieleza mapema?”

“So una hitaji tuachane au?”

“Hapana sijasema tuachane huko unapo kwenda ni mbali mpenzi”

“Sawa. Nina mke wangu na yupo nchini Ufaransa ambapo ndio kwao na ndipo yalipo makazi yangu na familia yangu. Dini yangu ina niruhusu kuoa wake zaidi ya mmoja”

“Mmmm ila mimi ni mkristo na nina ishi kwenye msimamo wa dini yangu”

“Sija kuambia ubadili dini wala ufwate dini yangu. Ila kama una hitaji kuwa na mimi basi kuwa na mimi ila kama huitaji kuwa na mimi basi usiwe na mimi?”

“Rashidi una zungumza hivyo kwa sababu una jua nina kupenda si ndio?”

“Sio kwamba nina kupenda. Huwa nina penda kufahamu mtu mwenye maamuzi sahihi juu yangu”

“Mke wako akifahamu ita kuwaje?”

“Hawezi kufahamu?”

“Kwa nini?”

“Kwa sababu hawezi kufahamu. Moja sinto hitaji uposti picha yoyote kwenye mtandao wowote ambayo tupo pamoja au nipo peke yangu. Ukifanya hivyo mke wangu hato weza kufahamu”

“Mmm wewe mwanaume, haya bwana umeshinda na umesha nipata mimi sina jinsi wala jambo la kubisha”

“Sawa”

Siku iliyo fwata tukatembelea nyumba ambayo dalali alitueleza kwamba tuna weza kuinunua. Ni nyumba nzuri ambayo ina hadhi ya kitajiri na uzuri ipo pembezoni kabisa kwa bahari. Tukakutana na mmiliki wa nyumba hii na nikamuhamishia kiasi chape tulicho kubaliana na nikainunua nyumba hii kwa jina langu kwani simuamini sana Tina.

“Kweli usimdharuai usiye mjua. Laiti kama ninge kudharau yangu maisha yangu sijui yengebadilika lini”

Tina alizungumza akiwa na furaha sana huku akinikumbatia kwa mara kadhaa.

“Nakuachia jukumu la kununua vitu vya ndani, piga sehebu ya vitu unavyo hitaji kisha uta niambia ni kiasi gani”

“Sawa mpenzi”

“Kesho nina kwenda Dar es Salaam”

“Hee kuna nini?”

“Kuna jambo nina kwenda kulishuhulikia mara moja ila nina hitaji usafiri wa gari binafsi”

“Zipo show room nyingi zina uza magari, una weza kwenda kununua gari unalo hitaji”

Nikatazama akiba ya akaunti yangu niliyo toa pesa kwa ajili ya kununu nyuma hii.

‘Ina nitosha kufanya kazi yangu ya kuwaondoa hawa washenzi’

“Sawa nita nunu, andia vitu vinavyo hitajika humu ndani tuka nunue”

“Sawa mume wangu”

Tina alizungumza kwa furaha isiyo ya kawaida. Tukaondoka nyumbani hapa na tukaeleka kwenye moja ya duka kubwa la uuzaji wa magari.

“Hii X5 boss ni mpya kabisa imetembea KM 800 tu, Japan.”

Muuzaji alizungumza huku akituonyesha gari aina ya BMW X5. Gari ambazo huwa nina zipenda sana kwenye maisha yangu.

“Sawa nahitaji hii”

Nikanunua gari hii huku kila kinacho tokea machoni mwa Tina ni kama ndoto ila kwa upande wangu nina maana ya kufanya hivi, sinunui ili mradi kwamba nina nunua ila nina mpamgo ambao kwa kumtumia Tina mambo yangu mengi yana weza kukamilika tena kwa urahisi sana. Muuzaji huyu akafanya kila aina ya usajali na nika muhonga pesa ya kunitafutia leseni mpya siku hii na hii ya leo na haikuwa jambo kugumu kupata leseni ndnai ya lisaa moja. Kwa siku ya leo tukanunua vitu baadhi vinavyo hitajika ndani ya nyuma na nikamuachia Tina kiasi cha pesa ambacho ana weza kumalizia manunuzi mengine pamoja na pesa za kutumia kwa siku ambazo nita kaa nje ya mji huu wa Tanga. Usiku mzima haukuwa usiku wa kulala, kwani Tina, penzi na heka heka za kitandani alizo nipa, hajawahi kunipatia toka tumefahamiana na kwa bahati nzuri au mbaya hajanikuta mzembe amenikuta ni mtu ninaye jua kujituma haswa kwenye uwanja wa kitanda na mara nyingi huwa nina jifananisha na mchezaji Messi pale anapo hakikisha ana pita ngome ya wapinzani kuhakikisha ana tafuta ushindi kwa ajili ya timu yake. Hadi ina fika saa kumi na moja alfajiri, Tina mziki ukamshinda na akasalimu amri kwamba amefikia mwisho wa mchezo.

“Aisee wewe mwanaume uta weza kweli kuendesha gari, goli nne sio jambo dogo?”

“Nipo vizuri hata uniambie twende mbili za mwisho nita kubali”

“Mmmm haki ya Mungu, kwa stahili hii mimba isipo ingia basi nita kuwa sina kiazi”

“Hahaa”

“Vipi maumivu ya kidonda?”

“Siyahisi kivile”

Nilizungumza huku nikishuka kitandani. Nikasimama mbele ya kioo na kutazama jeraha hili la risasi na jambo la kumshukuru Mungu limesha kauka kwa asilimia kama themanini na tano. Fatma akaniandalia kifungua kinywa nami nikajiandaa na majira ya saa moja kamili nikaianza safari ya kueleea jijini Dar es Salaam. Taratibu nikapunguza mwendo nilipo fika katika gereza la Maweni, nikasimamisha gari pembezoni mwa barabara na kulitazama gereza hili kwa nje. Nikajikuta machozi yaakinilenga lenga kwa maana ni gereza ambao niliingia pasipo kuwa na hatia yoyote. Gereza ambalo lilinifanya kwa mara yangu ya kwanza nimuue mtu ili mradi kuhakikisha nina yatetea maisha yangu. Nikatazama mikono yangu jinsi ianvyo nitemeka kwa hisia kali ya kukumbuka matukio mengi niliyo kuwa ninayafanya ndani ya gereza hili. Nikatamani sana kushuka ili kuingia kwa ajili ya kuwasalimia baadhi ya marafiki zangu ila nikashindwa kwani bado mpango wangu haujaanza na nipo kwenye eneo la adui, kwani kuwa ndani ya nchi yangu ni eneo la adui. Endo ambalo adui atakapo fahamu kwmaba nipo ni lazima atanishambulia kama siku ya kwanza nilipo shambuliwa na watu nisio wafahamu hotelini.

‘Nita kuja kuwatembelea siku’

Nilizungumza huku nikiendelea na safari yangu ambayo inapo nilazimu kuendesha mwendo wa kasi nina fanya hivyo na inapo nibidi kuendesha mwendo wa taratibu pia nina endesha hii ni ili mradi kuhakikisha kwamba nina fwata sheria zote za barabarani. Kwa mara kadhaa askari wa usalama barabarani wana nina nisimamisha ila jambo la kumshukuru Mungu hakuna anaye nipata na hatia ya aina yoyote. Majira ya saa sita nikafika jiji la Dar es Saalaam. Nikaelekea moja kwa moja hadi katika mtaa ambao nilikuwa nina ishi. Mtaa ambao ulinifanya mimi kwa mkakamavu. Moja kwa moja nikaelekea nyumbani kwa rafiki yangu mmoja anaye itwa Shabani, kipindi cha utoto tulikuwa kama mapacha, popote ninapo kwenda na yeye ni lazima anifwate na ni mtu ambaye aliniheshimu sana. Nikasimama katika nyumba yao ya urithi ambapo mara ya mwisho nina ondoka Dar nilimuacha akiishi kwenye nyumba hii na familia yake. Nikaiweka vizuri kofia yangu kisha nikashuka ndani ya gari ili watu wasinitambue kwa haraka, nikagonga mlango wa mbele.

“Nani”

Nilisikia sati ya mtoto mdogo wa kike.

“Mimi”

“Wewe nani?”

‘Mmmm’

Niliguna kimoyo moyo. Mlamgo ukafunguliwa na nikamuona binti anaye fanania na Shabani ambaye kipindi nina ondoka nilimuacha na mika kama miwili hivi na hawajapisha sana na Sheila wangu.

“Shikamoo”

“Marahaba, mambo Sara”

Binti huyu akastuka kidogo kwa maana hajui kama nina mfahamu.

“Sijambo. Umejuaje jina langu ikiwa sijawahi kukuona”

“Usijali”

“Sara ni nani huyo”

Niliisikia sauti ya shemeji ikitokea jikoni.

“Ni mgeni mama”

“Mkaribishe sasa ndani, una wahoji vipi watu mlangoni kama askari. Tabia mbaya hiyo”

Mama yake alizungumza kwa kufoka huku bado akiwa jikoni. Sara akanipisha mlangoni na akanikaribisha sebleni, nikatazama picha za rafiki yangu akiwa na familia yake.

“Karib….”

Shemeji akashikwa na kigugumizi mara baada ya kuniona. Ili kumdhibitishia kwamba ni mimi, nikavua kofia na shemeji akazidi kushangaa kwa maana yeye na Shabani nina fahamu ni wapi walipo toka, ni watu ambao kesi zao nyingi nilikuwa nina zisawazisha mimi na ni watu ambao walipenda toka tukiwa shule ya sekondari, sema wezangu waliendelea na masomo mimi nikaachana nao kidato cha pili.

“Shemeji ni wewe?”

“Ndio ni mimi shem wangu”

Mama Sara uvumilivu ukamashinda, akanikumbatia kwa nguvu huku machozi yakimtiririka usoni mwake.

“Shemeji, ulikuwa wapi, siku zote tuna jua kwamba umesha fariki dunia”

Mama Sara alizungumza huku akiniachia.

“Ni stori ndefu ila nipo hai”

“Kweli upo hai. Karibu sana”

“Nashukuru, naona muna zidi kunawiri”

“Wapi ndugu yangu, maisha magumu sana. Yaani kama ulivyo tuacha kipindi kile ndivyo tulivyo, tunacho badilisha ni chakula tu”

“Haahaa ila hongereni aisee mume kuza”

“Asante sana, ehee vipi Sheila hajambo?”

“Hajambo amekuwa mdada kama huyu”

“Weeee ila pole sana bwana. Baba Sara aliniadithia yaliyo kusibu ila tulishindwa kuwa na jinsi zaidi ya kutazama mambo yanavyo kwenda”

“Musijali, yupo wapi ndugu yangu”

“Amekwenda kwenye mishe mishe zake. Si una jua ni misson town”

“Bado hajaajiriwa?”

“Hataki hata kusikia, mwenyewe asubuhi akiingia kariakoo hapo, akirudi basi yupo vizuri. Mwenyewe ana sema kuajiriwa ni utuma na toka lile sakata lako la kule kazini lilipo tokea basi hata na yeye akacha kazi na kuamua kupiga mishe zake.”

“Hembu nipatie namba yake ya simu”

“Sawa shemeji hembu andika hapo.”

Mama Sara akanitajia namba za mume wake.

“Shem una kunywa kinywaji gani?”

“Kama kawaida yangu una jua”

“Hahaa, Sara kachukue chupa jikoni nenda pale kwa Mangi muambie nahitaji koka ya baridi, tana ya baridi, muambie pesa nina ileta baadae”

“Sawa mama”

“Haloo”

Shabani alizungumza,

“Mimi ni mkuu wa upelelezi, nina kuhitaji nyumbani kwako kuna matatizo makubwa”

Nilizungumza kwa sauti nzito kidogo.

“Rashidiiio!!!?”

Shabani aliuliza kwa umakini.

“Aisee wewe mjinga husahau sauti yangu”

“Hahahahaaaa niambie kaka upo Tanzania aiseee kitambo sana ndugu yangu. Yaani wewe sauti yako hata niwe kaburini ni lazima niikumbuke”

Shabani alizungumza kwa shangwe.

“Hahaaa najua hilo”

“Aisee upo wapi ndugu yangu?”

“Nipo mbele ya mwanamke mmoja mrembo, mweye macho makubwa kiasi, shepu ya kibantu”

Nilizielezea sifa za shemeji yangu na kumfanya shemeji kutabasamu.

“Haahaaaa, usiniambie upo kwangu?”

“Nipo kwako kaka, ukichelewa nina ondoka na mkeo na Sara”

“Kaka nina kuja sasa hivi, nina kujaa usiondoke ndugu yangu”

“Chelewa chelewa ukute mwana si wako”

“Nachukua boda kaka nina kuja haki ya Mungu usiondoke”

“Poa ndugu yangu uta nikuta”

Nikakata simu huku nikitabasamu.

“Hapo ata kuwa amesha changanyikiwa kwa furaha kwa maana kwa kipindi chote amekuwa ni mtu wa kumlaani mama Shamsa na kumuona kama shetani alite mpoteza ndugu yake.

“Aha….ndio hivyo ndugu yangu”

“Shem nina pika nisije nikaunguza”

“Una pika nini?”

“Nina kaanga samaki, kisha nisonge ugali kwa ajili ya mchana”

“Yaani nime kumbuka kula pishi lako balaa”

“Hahaaa , umekuja wakati mzuri shemeji. Wewe jiandae tu kula si una jua makeke yangu ya jikoni”

“Sina shaka na wewe kwenye eneo hilo”

Shemeji akaondoka na kuniacha nikitazama picha kadhaa. Nikaona moja ya picha yangu mimi na Shabani tulipo maliza mtihadi wa darasa la saba. Nikajikuta nikitabasamu huku machozi ya furaha yakinilenga lenga kwani sikutarajia kama Shabani ana weza kutunza picha kama hii. Nikazitazama picha nyingine tulizo kuwa tuna piga piga kweye sikukuu haswa sikukuu za Idd ambazo mara nyingi tulipenda kwenda Cocobeach na hatukwenda kurufahia tu ila kwa ambaye alikuwa ana jiweka vibaya tulikuwa tuna muibia, iwe ni simu, pochi ua hata vuatu. Kiufupi tulikuwa ni vijana watukutu.

“Mama nimesha rudi”

Sara alizungumza huku akinitazama kwa tabasamu. Shemeji akarudi sebleni hapa huku mkononi mwake akiwa ameshika opena. Akanifungulia soda hii na kunikabidhiI

“Karibu sana shemeji”

“Nashukuru sana shemeji”

Mlango ukafunguliwa na Shabani akaingia. Kwa furaha tukakumbatiana huku machozi ya furaha yakitulenga lenga kwa maana ni marafiki ambao kwa kipindi cha miaka mingi sana hatujaonana.

“Siamini kama upo hai ndugu yangu”

“Nipo hai kaka, maisha bwana”

“Daaaa katika siku nilizo furaha kwenye maisha yangu, hii basi ni namba moja kwa kweli”

“Hahaa”

“Sara, huyu ni baba yako, yaani ukimuona huyu ni sawa umeniona mimi. Sawa mwanangu?”

“Sawa baba”

“Nilimuacha bado mdogo hata hawezi kunikumbuka”

“Ni kweli kaka. Vipi mama na Shamsa?”

“Wazima wa afya kabisa. Yaani sasa hivi nikimuambia mama kama nipo na wewe ana weza kulipuka kwa furaha”

“Aisee kama wapo hembu wapigie simu kwa maana nina hamu sana ya kuwaona?”

“Kwa sasa kule nahisi ita kuwa ni usiku”

“Kule wapi tena?”

“Ahaa ndugu yangu ni stori ndefu sana iliyo tokea hapa katikati. Nimeepukana sana na vifo, kama munavyo jua yule mshenzi ameshikiliwa na mtu mkubwa sana hapa nchini”

“Yaani kum****ke nime mmaindi yule malaya. Yaani siku ninge kutana naye haki ya Mungu ninge mpiga bisu la roho akafilie mbali”

“Hahaaa ndio wanawake ila sio wote kwa maana nina ona hadi leo upo na shemeji yangu.”

“Ni kweli sio wote. Sema yele mseng** sana sijui kilicho mbadilisha ni nini mamaee walai”

Shabani alizungumza huku akijipangusa machozi yatokanayo ya uchungu utokanao na matendo aliyo nifanyia mama Shamsa. Nikaanza kuwaadithia maisha ya mateso niliyo pita na jinsi namna roho yangu inavyo windwa hadi kukosa kosa kuuwawa wiki iliyo pita na nikawaonyesha jeraha la risasi ambalo bado halijapona kwa asilimia mia moja.

“Aise pole sana pacha, aise hawa washenzi ume panga kuwafanya nini?”

Shabani alizungumza huku akinitazama.

“Shem”

“Abee”

“Naomba utupishe kidogo na mtoto”

“Hakuna shida. Sara twende tuka malizie kupika”

Shemeji akaondoka huku naye akiwa amejawa na huzuni na masikitiko yatokanayo na historia ya maisha yangu.

“Nahitaji bunduku, nime rudi Tanzania kwa ajili ya kuwaua watu watatu. Mama Shamsa, Don na huyu raisi. Je naweza kupata?”

“Kaka una weza na umefika kwa master plan wa hili jijini. Dar nzima ipo mkononi mwangu anaye ingia na kutoka lazima nipewe data zake. Hiyo kazi imekwisha kaka, tuna waangamiza hawa washenzi wote. Wewe subiria na uone”

Shabani alizungumza kwa msisitizo huku akinitazama usoni mwangu akionyesha kwamba ana uhakika na anacho kifanya.



“Nashukuru sana ndugu yangu kwa hilo”

Tukapata chakula cha mchana kwa pamoja huku tukikumbushiana mambo mengi sana ya maisha ya nyuma yaliyo pita. Hakika siku hii ni siku nzuri sana kwangu kwani ni mambo mengi sana ya maisha ya nyuma nimeyakumbuka. Majira ya saa kumi jioni tukaondoka nyumbani kwa Shabani na kuelekea katika maeneo ambayo amenihakikishia kwamba kuna watu wana uza silaha.

“Aisee kaka ume tusa sana maisha. Hii ngoma kali sana”

Shabani alizungumza huku akilisifia gari langu.

“Ndio hivyo kaka, nikiondoka Tanzania nita kuachia hii usukume sukume ndugu yangu”

“Kweli?”

“Ndio na ina bidi upishe mishe kubwa ndugu yangu kuendesha familia, shem ameniambia bado una mission town”

“Ndio hivyo ndugu yangu ishu ni mtaji”

“Una hitaji kufanya biashara gani?”

“Kuna biashara moja sasa hivi inalipa kishenzi. Biashara ya kununua hivi vitu vya electronics. Kama simu, tv, redio vina lipa sana na hivyo ndio nina vifanyia udalali hapa mjini.”

“Kwa hiyo kwa kuanza ni kaama bei gani ina hitajika?”

“Nikianza na milioni hamsini, kaka nitakuwa pazuri”

“Basi nita kupa mia”

“Asieee shukrani sana ndugu yangu. Mungu akubariki”

“Amen”

Tukafika maeneo ya Buguruni ila maneo ya ndani ndani kidogo, tukashuka katika gari na kutembea kama mita mai mbili hivi, tukafika katika karakana ya kutengeneza madirisha na vitanda vya nyuma. Tukasalimiana na vijana tulio wakutandani hapa na kisha tukaingia ndani katika chumba kimoja.

“Boss mambo vipi?”

Mzee tuliye mkuta humu ndani alimsalimia Shabani kwa furaha sana.

“Safi mzee, ndugu yangu huyu ana itwa Rashidi”

“Sura yake sio ngeni huyu ndio yule ambaye alikuwa ametangazwa kama gaidi na baade serikali ikafuta zile tuhuma?”

“Hujakose. Rashidi huyu mzee ana itwa Tumbo, ndio msambazaji wa silaha za magendo zote. Alikuwa ni mwanajeshi wa zamani huko”

“Ahaa nashukuru kukufahamu”

“Nami pia una jua ilikuwa haiingii akilini kijana kama huyu kupata shutuma kubwa kama zile kwamba amelipua meli ya jeshi tena meli ya kivita.”

“Hayo yamesha pita. Kuna baadhi ya bunduki ninahitaji je nina weza kuzipata mzee”

“Bunduki gani?”

Nikamtakia aina nne ya bunduki ninazo hitaji, kwa bahati nzuri ana aina tatu na aina hamoja akaniahidi ata weza kunitafutia ndani ya wiki hii.

“Je muta hitaji msaada wa kuzitoa hapa?”

“Hapana, wewe tuwekee kwenye begi”

Kutokana bundiki hizi tumezigawanyisha vipande vipande na tuta kwenda kuviunga mbele ya safari. Nikamuahidi mzee huyu nita mletea milioni kumi ya silaha na risasi alizo tuuzia siku inayo fwata kwani ni lazima nikatoe kiasi hicho benki na nikabidhi mkononi.

“Ndugu yangu vipi una ujuzi wa haya mambo nini?”

“Ujuzi upo mkubwa sana, nimepita pita sehemu sehemu kujifunza kabla sija kabiliana na hawa maadui zangu. Vipi wewe una weza kutumia bastola?”

Nilimuuliza Shabani huku nikimtazama usoni mwake.

“Sana, hizi changamoto za hapa mjini lazima ujue hata mambo machafu”

“Nimekusoma ndugu yangu. Hivi yule mama Chausiku anaye kaanga mihogo pale mtaani yupo?”

“Yupo na siku hizi ana pika mihogo hadi usiku”

“Basi leo tukale kale pale kwa maana ni kitambo kidogo”

“Hakuna shaka ndugu yangu”

Simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni na kuona namba ya Tina.

“Niambie mke wangu”

“Safi mume wangu, ume fika wapi?”

“Nilisha fika ila kuna mizunguko kidogo nina malizia”

“Aha nina hamu na wewe kama nini?”

“Mmmm si asubuhi tu mke wangu nime ondoka?”

“Ndio ila nina hamu na muhogo wako uni kune tena”

“Usijali mama watoto nikirudi nita kushuhulikia”

“Sawa mume wangu, nina kupenda”

“Nina kupenda pia mke wangu”

Nikakata simu.

“Mmm kaka huyo ndio mwanamke aliyopo huko Ufaransa”

“Hapana, haka katoto kamoja ka Kitanga, aisee mtoto ana balaa mwanangu”

“Ahaa. Watoto wa Kitanga aisee sio watu wazuri. Mwenyewe kuna dili moja nilikwenda Tanga,nikapata katoto kamoja barabara za namba mwanangu. Ile dili ilikuwa ya milioni kama kumi hivi, ila nilijikuta naacha milioni kwake, mtoto alinipa vitu adimu mwanangu”

Shabani alizungumza kwa furaha.

“Hahaaa usiniambie”

“Ohoo kaka niliacha milioni hivi hivi nina ona elfu kumi kumi mia moja nina mkabidhi mwanangu. Asikuambie ule mji ukiw ana mke una weza msahau”

“Wenyewe wana sema waja leo kuondoka majaliwa”

“Yaani”

“Sasa mimi hicho kitoto kwanza ni chembemba fulani ila kamefungasha kalio si la mchezo. Mtoto ana kata mauno, kuma***ke walai. Mtoto kama huna pumzi mzee baba una adhirika”

“Hahahaaa ana itwa nani?”

“Tina, asiee nime tomb** wanawake wengi hadi mzungu, ila haka aisee kwenye top three yangu kana chukua nafasi ya pili au moja”

“Balaa hilo”

“Yaani kamenifanya nime nunua nyumba Tanga wakati nilikuwa sina mpango huo”

“Hahaa ume muandika jina nini?”

“Weee hapo nipo makini, mimi mwenyewe mtoto wa mbwa. Ila pale nime wekeza, nita katandika mimba nina pata mtoto mwengine si una jua kuwa na watoto wengi napo kuna faida yake. Mimi mwenyewe kwetu nipo peke yangu, ndio maana najitahidi kuunda timu hata ya basketball”

“Jaamaa wewe una hatari sana”

“Ohoo maisha mafupi Sheby kikubwa ni kuunda chama la wana mapema, ukisepa ume acha alama”

“Ila mimi mwenyewe nina katoto ka kiume Arusha, sipati picha siku mke wangu akijua ita kuwaje”

“Wana wake hawa ni waelewa. Atakasirika hasira zitaisha maisha yana songa mbele”

“Ni kweli kaka, una kumbuka yule demu ana itwa Aziza uliye kuwa una mfukuzia kipindi kile tupo lasaba?”

“Yaa namkumbuka aisee”

“Mwanangu ame danja wiki kama mbili hivi zilizo pita”

“Weeee”

“Yaa alikuwa ni mjaumzito mume wake sijui alimpiga jinsi inavyo sadikika. Manzi kuwahishwa hospitali akafa yeye na mwanaye”

“Jamaa yake yupo wapi?”

“Alikamatwa ila nasikia ameachiwa kwa dhamana wana dai wana peleleza kesi. Sasa hapo si ndio amesha toka”

“Aisee masikini, yule demu alikuwa na tako?”

“Mwanangu, asikuambie mtu, demu alikuwa akipita lazima ugeuke”

“Ila si sawa na shemeji?”

“Wee mke wangu haingii ndani kaka. Yule demu alikuwa kajaa tena kajaa kweli. Ila ndio hivyo tumesha zika sasa watu wana msahau”

“Mungu amtangulie mbele yake nyuma yetu”

“Amen”

Tukafika mataa ya Ubugo, nikasimamisha gari huku gari yangu ikiwa ya mbele kabisa kwenye foleni. Nikamuona askari wa kike ambaye kipindi nilipo kamatwa na kesi ya kusingiziwa nina shirikiana na majambazi alinipiga kipigo cha mbwa mwizi na kunitesa kwa kunipiga shoti za umeme tena sehemu zangu za siri. Nikatoa simu yangu mfukoni na nikampiga picha kadhaa pasipo kujua chochote.

“Vipi ume mzimikia yule afande nini?”

“Kum***ke yule demu alinitesa kipindi kile nina kamatwa mara ya kwanza. Sasa hapa nime muona nita kula naye sahani moja”

“Yule afande yupo kitua cha kati”

“Una mjua?”

“Yaa nasikia ni hatari na ana muwinda sana Tumbo ila hawampati na hawamjui Tumbo ni nani zaidi ya kusikia jina lake”

“Mbona mzee yupo kweupe sana na hawamkamati?”

“Yule mzee ni mtu wa Kigoma asiee sijui ana tumia dawa gani. Una jua askari wana pata tabu sana. Wana msaka na hawampati”

“Nataka huyu demu nipate taarifa zake, nahitaji kumtongoza”

“Broo mbona una jipeleka kwenye mdomo wa mamba”

“Wewe kaa uone huyu huyu ndio ata nikutanisha na watu ninao wahitaji. Kuna demu mmoja ni mkuu wa kitengo cha NSS, ni mdogo wake wa raisi”

“Caro”

“Una mjua?”

“Aha nani asiye mjua yule demu. Siku hizi kila NSS wakifanya kitu basi yupo mbele ya vyombo vya habari.”

“Una jua nimesha piga pale”

“Weeee!!”

“Yaa nimeshapiga tena ilikuwa bado kidogo nimuoe sema mseng** alikuja kubadilika na kunikamata akidai kamba mimi ni mkuu wa Al-Shabab”

“Ahaa ulivyo kuwa una tuadithi pale, sasa nikawa nina jiuliza huyo mwanamke ni nani kumbe ni Caro”

“Ndio”

“Na alikuwa ana viambia vyombo vya habari kwamba ata hakikisha una kamatwa”

“Mseng** yule tena safari hii nataka kuwaonyesha jinsi gani nilivyo mshenzi”

Taa zikaruhusu magari ya upande wetu na taratibu tukaanza kuondoka eneo hili na kuelekea Kimara ambapo ndipo Shabani ana ishi. Tukafika nyumbani kwa Shababi, na akabeba begi hili lenye vipande vipande vya bunduki tulizo zichangua hadi katika moja ya chumba cha wageni.

“Kaka karibu sana na jisikie upo nyumbani”

“Nashukuru sana ndugu yangu. Nahitaji kuoga”

“Usijali ngoja shemeji yako akachemshie maji ya moto”

“Ndugu, aise hatupo mikoa ya baridi. Na joto hili kweli nioge maji ya moto una nitakia nini”

“Hahaa poa poa aise”

Shemeji akaniandalia maji ya kuoga, nikaoga na Shabani akanipatia nguo zake kwani miili yetu ina endana. Majira saa mbili tukamtembelea mama Chausiku ambaye ni jirani yetu kabla ya eneo hili mama Shamsa kuliuza kwa tajiri aliye jenga jumba la kifahari.

“Yule mwanamke ni shetani sana”

Nilizungumza huku nikitazama jumba hili la gorofa.

“Yupi?”

“Si mama Shamsa, yaani ameuza nyumba ya mama yangu, mshenzi yule. Yaani nina hasira naye balaa”

“Ndio wanawake hao kaka”

“Laiti ningejua ni shetani wala nisinge muoa”

“Una jua kwenye maisha yetu kaka tume umbiwa siri moja mbaya sana. Hakuna anaye jua kesho yake hapo ndipo shida ilipo”

“Shabani naona ume kuja na mgeni”

Mama Chausiku alizungumza huku tukikaa kwenye benchi lililopo hapa huku wanao hitaji wakiwa wengi”

“Yaaa ni mgeni, ndugu yangu”

Mama Chausiku ni kwa mara ya pili sasa nina kutana naye na ana shindwa kunifahamu, kutokana na uvaaji wangu wa kofia.

“Karibuni sana.”

“Vipi kuna foleni?”

“Kidogo kama watu watatu. Niwawekee ya sh ngapi?”

“Ya elfu kumi mama Chau”

Niliwahi kujibu kwa sauti yangu ya kawaida sana ambayo mama Chausiku ana ifahamu, akasita kidogo kisha akanitazama.

“Ni masikio yangu au?”

Mama Chausiku alizungumza huku akinitazama kwa umakini. Nikapandisha kofia kidogo na akaniona sura. Mama Chausiku akashindwa kujizuia akasimama na kunikimbilia, akanikumbatia kwa nguvu huku watu wakiendelea kushangaa shangaa wasielewe. Mama Chausiku akaanza kumwagikwa na machozi kwani huyu na mama yangu ni watu walio kuwa marafiki kama pete na kidole.

“Ni wewe mwanangu?”

Mama Chausiku aliniuliza hukua akijifuta machozi na tenge lake.

“Ni mimi mama”

“Ohooo Mungu wangu. Sheila na mama yako wana endeleaje?”

“Salama kabisa”

“Mupo wapi jamani?”

“Tupo mbalimbali, malizia wateja tuta ongea mama yangu”

“Sawa nime furahi sana kukuona”

“Hata mimi”

“Ndio utuwekee ya kushiba mama Chausiku”

Shabani alizungumza. Huyu mama biashara yake aliianza kipindi cha nyuma sana toka tulipo kuwa shule ya msingi.

“Musijali wanangu. Yaani nina furaha sana leo kuwaona”

“Tupo kwako leo, tena ngoja nimuambie mke wangu aje hapa tule hapa hapa”

“Muite tu”

Shabani akampigia simu mke wake na baada ya muda akaja eneo hili na mtoto wake wa kike. Mama Chausiku akatukaangia mihogo kwa ajili yetu na wateja walipo isha tukajumuika naye kula.

“Chausiku yupo wapi?”

“Yupo Dodoma, aliolewa na Mbunge wa jimbo letu la Ubungo”

“Ahaa kwa hiyo sasa hivi ni mke wa muheshimiwa?”

“Ndio hivyo na ana mtoto mmoja sasa”

“Safi sana”

Nikamuelezea mama Chausiku kwa kifupi maisha yetu baada ya kuondoka hapa na hadi sasa hivi tulipo. Nikampigia video call mama na kumueleza watu nilio nao na furaha ikazidi kuongezeka kwa kila mtu. Mama na mama Chausiku wakajikuta wakimwagikwa na machozi kwani ni miaka sasa hawajaonana. Nikawatambulisha kwa Jackline pamoja na watoto wangu, na kila mmoja akajawa na furaha sana.

“Mke wangu nita kupigia badae”

“Sawa mume wangu”

Nikakata mazungumzo haya yaliyo dumu kwa lisaa moja na dakika kama ishirini.

“Aisee Rashidi ina bidi unifanyie mpango namimi nipande ndege nielekee huko alipo mama yako”

Mama Chausiku alizungumza.

“Hata kesho ukitaka una kwenda?”

“Kweli?”

“Ndio muambie Chausiku azungumze na mume wake, wakutafutie hati ya kusafiria pamoja visa kisha nita kulipia tiketi na mama ata kupokea”

“Sawa mwanangu nina shukuru sana jamani”

“Shem wewe ni Simba au Yanga?”

“Mmm shem mimi kwenye mpira wa Tanzania sina timu yoyote, ila kwa mbali nina wapenda penda Yanga”

“Basi kesho timu zina kutana, mume wangu si tuna kwenda kama ulivyo niahidi?”

“Ratiba tuta cheki si una ona tuna mgeni?”

“Tuta kwenda sote, usijali ndugu yangu”

“Kesho raisi ndio mgeni Rasmi ata kabidhi kombe kwa mshindi wa fainali ya kesho”

Kauli ya Shemeji ikanifanya nitabasamu kidogo huku akili yangu ikianza kufikiria ni nama gani ambavyo nita nita fanya tukio la kumdhuru adui yangu ambaye yeye na DON ndio wamenifanya niwe hapa leo.



“Ohoo ina onaonekana raisi ni mtu wa kupenda michezo ehee?”

Niliuliza huku nikianza kufanya udadisi wa awali.

“Ndio ana penda na ni mtu anaye saidia sana timu za taifa hili kufanya vizuri kwenye mashindano ya nje ya nchi”

Shemeji alizungumza kwa furaha.

“Basi natamani nami kesho niende, mechi ni saa ngapi?”

“Ina anza saa kumi jioni hivyo uwanjani shabiki ukifika hata saa nane mchana hivi sio mbaya”

“Ina bidi kesho niende asubuhi nikanunue tiketi”

Shabani alizungumza.

“Sawa kaka hakuna shaka”

Tukazungumza mambo mengi na mama Chausiku hadi saa sita usiku, nikampa laki moja ya kumsogeza sogeza kwa siku mbili hizi kisha tukarudi nyumbani kwa Shabani. Usiku mzima nikauutumia kuisoma uwanja wa mpria, eneo ambalo viongozi hupenda kukaa.

‘Ni ngumu sana kumuua public’

Nilizungumza kimoyo moyoyo huku nikitazama video ya uwanja wa Taifa, katika simu yangu. Majira ya saa kumi usiku nikajilaza huku nikizidi kuchanganua mbinu itakayo niwezesha kumfikia raisi ila hadi usingizi una nipitia sijapata mbinu yoyote.

“Kaka kaka kumekucha”

Niliisikia sauti ya Shabani kwa mbali sana, nikafumbua macho yangu na kuona mwaga wa jua ukitawala chumba kizimza.

“Chidi”

“Niambie Sheby”

“Kumekucha ndugu yangu”

Taratibu nikashuka kitandani huku nikipiga miyayo sana. Nikanyanyuka na nikafungua mlango wa chumba hichi na Shabani akaingia ndani.

“Umeamkaje kaka”

“Nimeamka salama ndugu yangu, aisee jana nilichelewa kulala sana”

“Uliala saa ngapi?”

“Ngoma kama saa kumi hivi”

“Duu pole aisee”

“Nashukuru, naona umesha jiandaa”

“Yaa naomba funguo ndugu yangu nielekee town nikanunue tiketi niwahi kurudi”

“Aisee ina bidi twende benk, si unajua pesa za yule mzee, Ina bidi tuwahi asubuhi hii kabla foleni ya ndani ya benki haijawa kubwa”

“Sawa ndugu yangu, basi jiandae”

“Fasta Fasta namaliza sasa hivi”

“Kwa ni saa ngapi sasa hivi?”


ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG